Professional Documents
Culture Documents
Cap Prices WEF 5 Machi 2014 - Kiswahili
Cap Prices WEF 5 Machi 2014 - Kiswahili
Cap Prices WEF 5 Machi 2014 - Kiswahili
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATANO, TAREHE 5 MACHI 2014
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 5 Machi 2014. Pamoja na kutambua bei
kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo.
(a)
Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimebadilika
ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 5 Februari 2014. Katika toleo hili, bei ya rejareja kwa mafuta
ya Petroli imeongezeka kwa Sh42/lita sawa na asilimia 1.95. Bei ya rejareja kwa mafuta ya Dizeli na
Mafuta ya Taa zimepungua kwa Sh 74/lita sawa na asilimia 3.50; na Sh 18/lita sawa na asilimia 0.9
sawia. Kwa kulinganisha matoleo haya mawili, bei ya jumla kwa mafuta ya Petroli imeongezeka kwa
Sh 42.07/lita sawa na asilimia 2.06. Bei ya jumla kwa mafuta ya Dizeli na Mafuta ya Taa zimepungua
kwa Sh 73.62/lita sawa na asilimia 3.66; na Sh 18.36/lita sawa na asilimia 0.93% sawia. Mabadiliko
haya yametokana na mabadiliko ya bei ya mafuta katika soko la dunia na kushuka kwa thamani ya
shilingi dhidi ya dola ya marekani.
(b)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.
(c)
Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 432 la tarehe 29 Novemba 2013.
(d)
Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.
(e)
Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.
A: BEI ZA REJAREJA
Mji
Dar es Salaam
Petroli
(Sh/Lita)
2,187
Bei Kikomo
Dizeli
(Sh/lita)
2,040
Mafuta Ya Taa
(Sh/Lita)
2,051
Arusha
2,271
2,124
2,135
2,271
2,124
2,135
Karatu
2,289
2,142
2,153
Monduli
2,276
2,129
2,140
Ngorongoro (Loliondo)
2,327
2,180
2,191
Kibaha
2,191
2,045
2,056
Bagamoyo
2,198
2,051
2,062
Kisarawe
2,194
2,047
2,058
Mkuranga
2,197
2,050
2,061
Rufiji
2,214
2,068
2,079
Dodoma
2,245
2,099
2,110
Bahi
2,253
2,106
2,117
Chemba
2,272
2,125
2,136
Kondoa
2,278
2,131
2,142
Kongwa
2,243
2,096
2,107
Mpwapwa
2,247
2,100
2,111
Iringa
2,251
2,104
2,115
Kilolo
2,255
2,108
2,119
Mufindi (Mafinga)
2,261
2,114
2,125
Njombe
2,279
2,132
2,143
Ludewa
2,317
2,170
2,181
Makete
2,310
2,163
2,174
Wanging'ombe
(Igwachanya)
2,277
2,130
2,141
Bukoba
2,402
2,255
2,266
Biharamulo
2,376
2,229
2,240
Karagwe (Kayanga)
2,418
2,271
2,282
Kyerwa (Ruberwa)
2,424
2,277
2,288
Muleba
2,402
2,255
2,266
Ngara
2,367
2,220
2,231
Misenyi
2,410
2,263
2,274
Geita
2,352
2,205
2,216
Bukombe
2,341
2,194
2,205
Chato
2,373
2,226
2,237
Mbogwe
2,390
2,243
2,254
Nyang'hwale
2,367
2,220
2,231
Kigoma
2,418
2,271
2,282
Uvinza (Lugufu)
2,430
2,283
2,294
Buhigwe
2,407
2,260
2,271
Kakonko
2,375
2,228
2,239
Kasulu
2,404
2,257
2,268
Kibondo
2,382
2,235
2,246
Moshi
2,260
2,114
2,125
Hai (Bomang'ombe)
2,264
2,117
2,128
Mwanga
2,254
2,107
2,118
Rombo (Mkuu)
2,281
2,135
2,146
Same
2,247
2,100
2,111
2,267
2,120
2,131
Lindi
2,246
2,099
2,110
Kilwa Masoko
2,221
2,074
2,085
Liwale
2,266
2,120
2,131
Nachingwea
2,275
2,128
2,139
Ruangwa
2,273
2,126
2,137
Babati
2,309
2,162
2,173
Hanang (Katesh)
2,319
2,173
2,184
Kiteto (Kibaya)
2,320
2,173
2,184
Mbulu
2,322
2,175
2,186
Simanjiro (Orkasumet)
2,341
2,194
2,205
Musoma
2,365
2,218
2,229
Rorya (Ingirijuu)
2,374
2,227
2,238
Bunda
2,356
2,209
2,220
Butiama
2,362
2,215
2,226
Serengeti (Mugumu)
2,410
2,264
2,275
Tarime
2,376
2,229
2,240
Mbeya
2,294
2,147
2,158
Chunya
2,303
2,156
2,167
Ileje
2,307
2,160
2,171
Kyela
2,309
2,163
2,174
Mbarali (Rujewa)
2,278
2,131
2,142
Mbozi (Vwawa)
2,303
2,156
2,167
Momba (Chitete)
2,312
2,165
2,176
Rungwe (Tukuyu)
2,303
2,156
2,167
Morogoro
2,212
2,065
2,076
Mikumi
2,227
2,081
2,092
Kilombero (Ifakara)
2,250
2,103
2,114
Ulanga (Mahenge)
2,260
2,113
2,124
Kilosa
2,230
2,083
2,094
2,222
2,075
2,086
Turian
2,237
2,090
2,101
Mtwara
2,259
2,112
2,123
Nanyumbu (Mangaka)
2,308
2,161
2,172
Masasi
2,285
2,138
2,149
Newala
2,291
2,144
2,155
Tandahimba
2,284
2,137
2,148
Mwanza
2,337
2,190
2,201
Kwimba
2,373
2,226
2,237
Magu
2,345
2,198
2,209
Misungwi
2,342
2,195
2,206
Sengerema
2,369
2,222
2,233
Ukerewe
2,396
2,249
2,260
Sumbawanga
2,359
2,213
2,224
Kalambo (Matai)
2,352
2,205
2,216
Nkasi (Namanyele)
2,373
2,226
2,237
Katavi (Mpanda)
2,394
2,247
2,258
Mlele (Inyonga)
2,373
2,226
2,237
Songea
2,310
2,163
2,174
Mbinga
2,343
2,197
2,208
Namtumbo
2,339
2,192
2,203
2,346
2,199
2,210
Tunduru
2,369
2,222
2,233
Shinyanga
2,315
2,169
2,180
Kahama
2,329
2,182
2,193
Kishapu
2,344
2,197
2,208
Simiyu (Bariadi)
2,357
2,210
2,221
Busega (Nyashimo)
2,350
2,203
2,214
Itilima (Lagangabilili)
2,360
2,213
2,224
Maswa
2,348
2,201
2,212
Meatu (Mwanhuzi)
2,355
2,208
2,219
Singida
2,277
2,130
2,141
Iramba
2,289
2,143
2,154
Manyoni
2,262
2,115
2,126
Ikungi
2,273
2,126
2,137
Mkalama (Nduguti)
2,302
2,155
2,166
Tabora
2,341
2,194
2,205
Igunga
2,295
2,148
2,159
Kaliua
2,359
2,212
2,223
Ulyankulu
2,353
2,206
2,217
Nzega
2,305
2,158
2,169
Sikonge
2,352
2,206
2,217
Urambo
2,354
2,207
2,218
Tanga
2,233
2,086
2,097
Handeni
2,212
2,065
2,076
Kilindi
2,247
2,100
2,111
Korogwe
2,226
2,079
2,090
Lushoto
2,236
2,089
2,100
Mkinga (Maramba)
2,247
2,100
2,111
Muheza
2,233
2,086
2,097
Pangani
2,239
2,093
2,104
B: BEI ZA JUMLA
Petroli (Sh/L)
2,084.81
Dizeli (Sh/L)
1,938.01
1,949.00
Miriam Mahanyu
KNY: MKURUGENZI MKUU
EWURA
Exchange Rate
DESCRIPTION
Plus
Sub
Total
UNIT
1,627.99
0.7628
0.8212
0.7977
Petrol
Diesel
Kerosene
PRICE
PRICE
PRICE
Tzs/Ltr
1,166.07
1,180.58
1,237.40
Tzs/Ltr
84.69
48.26
58.31
Tzs/Ltr
1,250.76
1,228.84
1,295.71
Tzs/Ltr
14.65
15.78
15.32
Tzs/Ltr
4.80
4.80
4.80
Tzs/Ltr
1.00
1.00
1.00
TBS Charge
Tzs/Ltr
1.24
1.24
1.24
Tzs/Ltr
0.20
0.20
0.20
Tzs/Ltr
1.76
1.90
1.84
Tzs/Ltr
Tzs/Ltr
0.12
0.07
0.14
Tzs/Ltr
12.51
12.29
12.95
Regulatory Levy
Tzs/Ltr
6.10
6.80
3.50
Tzs/Ltr
6.25
3.69
3.89
Tzs/Ltr
9.41
9.41
9.41
Tzs/Ltr
58.05
57.17
54.29
Fuel Levy
Tzs/Ltr
263.00
263.00
Excise Duty
Tzs/Ltr
339.00
215.00
425.00
Petroleum Fee
Tzs/Ltr
50.00
50.00
50.00
Tzs/Ltr
652.00
528.00
475.00
GOVERNMENT TAXES
Plus
Tzs/Ltr
18.00
18.00
18.00
Plus
Tzs/Ltr
106.00
106.00
106.00
Tzs/Ltr
2,084.81
1,938.01
1,949.00
Plus
Tzs/Ltr
40.00
40.00
40.00
Plus
Tzs/Ltr
52.00
52.00
52.00
Plus
Tzs/Ltr
10.00
10.00
10.00
Price
Tzs/Ltr
2,187
2,040
2,051
2,042.74
2,011.63
1,967.36
2.06%
-3.66%
-0.93%
2,145
2,114
2,069
1.95%
-3.50%
-0.9%