Professional Documents
Culture Documents
Bei Kikomo Za Mafuta Kuanzia Leo Tar.02, Aprili, 2014.
Bei Kikomo Za Mafuta Kuanzia Leo Tar.02, Aprili, 2014.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATANO, TAREHE 2 APRILI 2014
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 2 Aprili 2014. Pamoja na kutambua bei
kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo.
(a)
Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimebadilika
ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 5 Machi 2014. Katika toleo hili, bei ya rejareja kwa mafuta ya
Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimeongezeka kwa Sh 11/lita sawa na asilimia 0.48; Sh 109/lita sawa
na asilimia 5.36; na Sh 11/lita sawa na asilimia 0.50 sawia. Kwa kulinganisha matoleo haya mawili, bei
ya jumla kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimeongezeka kwa Sh 10.67/lita sawa na
asilimia 0.51; Sh 109.20/lita sawa na asilimia 5.63; na Sh 11.04/lita sawa na asilimia 0.57 sawia.
Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya bei ya mafuta katika soko la dunia na kushuka kwa
thamani ya shilingi dhidi ya dola ya marekani.
(b)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.
(c)
Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 432 la tarehe 29 Novemba 2013.
(d)
Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.
(e)
Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.
A: BEI ZA REJAREJA
Mji
Dar es Salaam
Petroli
(Sh/Lita)
2,198
Bei Kikomo
Dizeli
(Sh/lita)
2,149
Mafuta Ya Taa
(Sh/Lita)
2,062
Arusha
2,282
2,233
2,146
2,282
2,233
2,146
Karatu
2,300
2,251
2,164
Monduli
2,287
2,239
2,151
Ngorongoro (Loliondo)
2,338
2,290
2,202
Kibaha
2,202
2,154
2,067
Bagamoyo
2,209
2,160
2,073
Kisarawe
2,205
2,156
2,069
Mkuranga
2,207
2,159
2,072
Rufiji
2,225
2,177
2,090
Dodoma
2,256
2,208
2,121
Bahi
2,264
2,215
2,128
Chemba
2,283
2,234
2,147
Kondoa
2,289
2,241
2,153
Kongwa
2,253
2,205
2,118
Mpwapwa
2,257
2,209
2,122
Iringa
2,261
2,213
2,126
Kilolo
2,266
2,218
2,130
Mufindi (Mafinga)
2,272
2,223
2,136
Njombe
2,290
2,241
2,154
Ludewa
2,328
2,279
2,192
Makete
2,321
2,272
2,185
2,288
2,239
2,152
Wanging'ombe
(Igwachanya)
Bukoba
2,412
2,364
2,277
Biharamulo
2,387
2,339
2,251
Karagwe (Kayanga)
2,429
2,381
2,293
Kyerwa (Ruberwa)
2,435
2,386
2,299
Muleba
2,412
2,364
2,277
Ngara
2,378
2,330
2,243
Misenyi
2,421
2,373
2,285
Geita
2,363
2,314
2,227
Bukombe
2,352
2,303
2,216
Chato
2,384
2,335
2,248
Mbogwe
2,401
2,352
2,265
Nyang'hwale
2,378
2,329
2,242
Kigoma
2,428
2,380
2,293
Uvinza (Lugufu)
2,441
2,392
2,305
Buhigwe
2,418
2,369
2,282
Kakonko
2,386
2,337
2,250
Kasulu
2,414
2,366
2,279
Kibondo
2,393
2,344
2,257
Moshi
2,271
2,223
2,136
Hai (Bomang'ombe)
2,274
2,226
2,139
Mwanga
2,264
2,216
2,129
Rombo (Mkuu)
2,292
2,244
2,157
Same
2,257
2,209
2,122
2,278
2,229
2,142
Lindi
2,256
2,208
2,121
Kilwa Masoko
2,231
2,183
2,096
Liwale
2,277
2,229
2,142
Nachingwea
2,285
2,237
2,150
Ruangwa
2,283
2,235
2,148
Babati
2,320
2,271
2,184
Hanang (Katesh)
2,330
2,282
2,195
Kiteto (Kibaya)
2,331
2,282
2,195
Mbulu
2,332
2,284
2,197
Simanjiro (Orkasumet)
2,352
2,303
2,216
Musoma
2,376
2,327
2,240
Rorya (Ingirijuu)
2,385
2,336
2,249
Bunda
2,367
2,319
2,231
Butiama
2,373
2,324
2,237
Serengeti (Mugumu)
2,421
2,373
2,286
Tarime
2,387
2,338
2,251
Mbeya
2,304
2,256
2,169
Chunya
2,314
2,266
2,178
Ileje
2,318
2,269
2,182
Kyela
2,320
2,272
2,185
Mbarali (Rujewa)
2,289
2,240
2,153
Mbozi (Vwawa)
2,314
2,265
2,178
Momba (Chitete)
2,323
2,274
2,187
Rungwe (Tukuyu)
2,313
2,265
2,178
Morogoro
2,222
2,174
2,087
Mikumi
2,238
2,190
2,103
Kilombero (Ifakara)
2,260
2,212
2,125
Ulanga (Mahenge)
2,271
2,223
2,135
Kilosa
2,241
2,193
2,105
2,233
2,185
2,097
Turian
2,248
2,199
2,112
Mtwara
2,270
2,222
2,134
Nanyumbu (Mangaka)
2,319
2,270
2,183
Masasi
2,295
2,247
2,160
Newala
2,302
2,254
2,166
Tandahimba
2,295
2,247
2,159
Mwanza
2,347
2,299
2,212
Kwimba
2,383
2,335
2,248
Magu
2,355
2,307
2,220
Misungwi
2,353
2,305
2,217
Sengerema
2,380
2,331
2,244
Ukerewe
2,407
2,358
2,271
Sumbawanga
2,370
2,322
2,235
Kalambo (Matai)
2,363
2,314
2,227
Nkasi (Namanyele)
2,384
2,335
2,248
Katavi (Mpanda)
2,405
2,357
2,270
Mlele (Inyonga)
2,383
2,335
2,248
Songea
2,321
2,272
2,185
Mbinga
2,354
2,306
2,219
Namtumbo
2,350
2,302
2,214
2,357
2,308
2,221
Tunduru
2,379
2,331
2,244
Shinyanga
2,326
2,278
2,191
Kahama
2,340
2,291
2,204
Kishapu
2,355
2,306
2,219
Simiyu (Bariadi)
2,368
2,319
2,232
Busega (Nyashimo)
2,361
2,312
2,225
Itilima (Lagangabilili)
2,371
2,322
2,235
Maswa
2,359
2,311
2,223
Meatu (Mwanhuzi)
2,366
2,318
2,231
Singida
2,288
2,240
2,153
Iramba
2,300
2,252
2,165
Manyoni
2,273
2,224
2,137
Ikungi
2,284
2,235
2,148
Mkalama (Nduguti)
2,313
2,264
2,177
Tabora
2,351
2,303
2,216
Igunga
2,305
2,257
2,170
Kaliua
2,370
2,321
2,234
Ulyankulu
2,364
2,315
2,228
Nzega
2,316
2,268
2,181
Sikonge
2,363
2,315
2,228
Urambo
2,364
2,316
2,229
Tanga
2,244
2,195
2,108
Handeni
2,223
2,175
2,088
Kilindi
2,258
2,209
2,122
Korogwe
2,237
2,188
2,101
Lushoto
2,246
2,198
2,111
Mkinga (Maramba)
2,258
2,210
2,122
Muheza
2,244
2,195
2,108
Pangani
2,250
2,202
2,115
B: BEI ZA JUMLA
Petroli (Sh/L)
Dizeli (Sh/L)
2,047.26
1,960.10
2,095.53
Felix Ngamlagosi
MKURUGENZI MKUU
EWURA
Exchange Rate
DESCRIPTION
Plus
Sub
Total
UNIT
1,637.42
0.7484
0.8468
0.7977
Petrol
Diesel
Kerosene
PRICE
PRICE
PRICE
Tzs/Ltr
1,188.87
1,241.94
1,246.44
Tzs/Ltr
72.39
54.30
59.82
Tzs/Ltr
1,261.25
1,296.24
1,306.26
Tzs/Ltr
14.46
16.36
15.41
Tzs/Ltr
4.80
4.80
4.80
Tzs/Ltr
1.00
1.00
1.00
TBS Charge
Tzs/Ltr
1.24
1.24
1.24
Tzs/Ltr
0.20
0.20
0.20
Tzs/Ltr
1.98
2.24
2.11
Tzs/Ltr
Tzs/Ltr
0.12
0.07
0.13
Tzs/Ltr
12.61
12.96
13.06
Regulatory Levy
Tzs/Ltr
6.10
6.80
3.50
Tzs/Ltr
6.31
3.89
3.92
Tzs/Ltr
9.47
9.47
9.47
Tzs/Ltr
58.28
59.03
54.83
Fuel Levy
Tzs/Ltr
263.00
263.00
Excise Duty
Tzs/Ltr
339.00
215.00
425.00
Petroleum Fee
Tzs/Ltr
50.00
50.00
50.00
Tzs/Ltr
652.00
528.00
475.00
GOVERNMENT TAXES
Plus
Tzs/Ltr
18.00
18.00
18.00
Plus
Tzs/Ltr
106.00
106.00
106.00
Tzs/Ltr
2,095.53
2,047.26
1,960.10
Plus
Tzs/Ltr
40.00
40.00
40.00
Plus
Tzs/Ltr
52.00
52.00
52.00
Plus
Tzs/Ltr
10.00
10.00
10.00
Price
Tzs/Ltr
2,198
2,149
2,062
2,084.86
1,938.06
1,949.06
0.51%
5.63%
0.57%
2,187
2,040
2,051
0.48%
5.36%
8
%Change in Cap Pump Prices
0.5%