Professional Documents
Culture Documents
Gazeti La Annur
Gazeti La Annur
Waliochaguliwa kujiunga na shule za Ubungo Islamic, Kirinjiko Islamic , Nyasaka Islamic na Mkuzo Islamic - Ndani
D.P.P yeye awaachia huru watuhumiwa Ushahidi gani unahitajika zaidi ya huu?
Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya Katiba Marufuku kuswali Imam abambikwa ujambazi swala tano shuleni Awali alipachikwa wizi wa nguruwe 2011
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) Dk. Eliezer Feleshi
Watu wote ila mmoja tu wataka Dola yao Prof. Baregu akiri wamekosa walichotaka Jussa atoa darsa muungano wa mkataba
Ikaja kudaiwa kuiba pikipiki na 30,000 Sasa Des. 2012 anashitakiwa kwa unyanganyi
Ni amri ya Mkuu wa Shule Sekondari Kibiti Mwalim aliyetusi Waislam, Quran haguswi Adhabu zatolewa kwa kutizama dini ya mtu
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
AN-NUUR
AN-NUUR
MAONI YETU
katika mazingira yaliyopo, tunaona kwamba wapo baadhi ya askari, na huenda wakawa wengi, ambao wamekuwa wakituhumiwa kufanya uhalifu au kuonea mahali ambapo wanapata fedha. Na mara nyingi, wanaweza kufanya ukandamizaji kwa wale ambao wana uhakika kuwa hawana maslahi nao. Inawezekana ikawa kuwa muuza gongo, bang i au
mirungi, kama ni mhongaji mzuri wa polisi, huyo hana wa kumdhuru. Hata ukimwitia Polisi, atakamatwa kama ushahidi na baadae atarejea kwenye biashara yake. Itakuwa vyema, na kwa hakika ndivyo inavyotakikana, kwa uongozi wa Jeshi la Polisi kuchukua juhudi na hatua za makusudi kusafisha udhaifu na kasoro zilizopo, vinginevyo wananchi watafikia mahali wakose imani na chombo hicho muhimu sana cha dola. Tukichukua hatua mapema
HALI ya ubaguzi na kibano kwa wanafunzi Waislamu Shule ya Sekondari Kibiti imechukua sura mpya baada ya wanafunzi hao kupigwa marufuku kuswali swala tano. Sasa wanatakiwa kuswali Ijumaa pekee ikiwa ni moja ya mashariti ya kurejeshwa shuleni baada ya kusimamishwa kwa muda. Aw a l i w a n a f u n z i h a o walilalamika kuwa kuna upendeleo shuleni hapo ambapo baadhi ya walimu huwatukana Waislamu na kutoa adhabu kwa ubaguzi. Kwamba kwa kosa moja, mwanafunzi Muislamu anaweza kufukuzwa au kusimamishwa shule, wakati kwa Mkristo aliyefanya kosa hilo hilo, hupewa adhabu hafu. Ni kutokana na kutokuridhika na hali na kuanza harakati za kupinga unyanyasaji huo, shule ilifungwa kwa muda na sasa uongozi wa shule hiyo umekia uamuzi wa kuwarejesha wanafunzi waliokuwa wamesimamishwa masomo shuleni hapo kwa kuwawekea mashariti magumu. Bodi ya shule hiyo katika kikao chake cha Novemba 14, 2012 imeamua kutekelezwa kwa kanuni namba 2 ya kazi zake, ikiwa ni pamoja kusimamia nidhamu za wanafunzi. Kwa mujibu wa barua iliyotolewa na Mkuu wa shule hiyo yenye Kumb. Na ED/KSS/A.2/281 kwenda kwa wazazi, imeeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopewa bodi ya shule katika kikao hicho, iliridhia mapendekezo ya Baraza la Walimu la kuwarejesha wanafunzi shuleni, ambapo wale wa kidato cha sita wametakiwa kurejea Desemba 8, 2012 saa 4.30 asubuhi na kidato cha tano watarejea Desemba 28,2012 saa 4.30 asubuhi. Hata hivyo uamuzi wa kuwarejesha wanafunzi hao umeweka mashariti magumu kwa baadhi ya wanafunzi, hususan wanafunzi wa Kiislamu wanaosoma shuleni hapo. Moja ya mashariti ni kwamba mwanafunzi analazimika kukubali kuwa ataswali katika siku zile tu, ambazo zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo, yaani kwa mwanafunzi wa Kiislamu ataswali Ijumaa tu baada ya vipindi, Jumamosi kwa wahusika tu na Jumapili kwa wanaohusika katika makanisa au Misikiti iliyo nje ya eneo la shule, na kwamba ataomba ruhusa kwa kuandika kwenye kitabu na baada ya kurudi katika ibada atalazimika kutoa taarifa. Sharti jingine ni kumtaka mwanafunzi kuahidi kutojihusisha au kutoendesha semina za ibada, sala, swala ama mafundisho ya aina yeyote ya kiimani wawapo shuleni. Wametakiwa wakubali kuwa shule haina kanisa wala msikiti,
Said Jaluo, Selemani Juma, Shabani Mzenga, Athumani Salimu, Abutwalib Ramadhan, Mwapashua Fujo, Beny Kayoka, Mesia Mwangwa, Athanas Kigalu, wote kidato cha sita. Wapo pia Mengi Hamimu, Hafidhi Makwinya,Yahaya Said, Abdallah Said, Abdallah Selemani, Ulimwengu Ahmad, Lucas Gaudence, Stephan Bureta, Marijan Marijan, Nganyika Simon, wote wa kidato cha tano. Kabla ya Bodi ya shule kukia maamuzi hayo, Awali Jumuia ya Wanafunzi Waislamu Kibiti sekondari, walimwandikia barua Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, juu ya masuala yaliyojadiliwa katika kikao chao na Mkuu wa shule hiyo Novemba 12,2012 na yaliyotokea kwa ujumla, na kumtaka kuingilia kati. Walimweleza kuwa siku ya Jumatatu Novemba 12, 2012, wanafunzi wa Kiislamu katika shule ya sekondari ya Kibiti, walifanya kikao na Mkuu wa shule kujadili matatizo mbalimbali yaliyokuwa yakiwasibu shuleni hapo. Kwamba wanafunzi Waislamu walikuwa wanakwazika na nyama ya nguruwe kuliwa shuleni hapo. Wakifafanua zaidi, wasema kuwa awali walimweleza Mkuu wa shule kuwa siku ya Jumamosi ya Novemba 10, 2012, baadhi ya wanafunzi wa Kikristo kuingiza nyama ya nguruwe shuleni na kuila, kitendo ambacho ni kinyume na taratibu za shule ambayo jamii ya watu wenye itikadi za imani tofauti, huishi na kushirikiana katika mambo mbalimbali, kama vile kula n.k. Waislamu walimkishia Mkuu wa Shule kero yao hiyo kama mlezi wao, ili akemee kitendo hicho kilichotishia mahusiano baina ya wanafunzi. Aidha katika barua yao kwa Mkuu wa Mkoa, walimweleza yaliyojiri katika kikao chao na Mkuu wa shule. Kwamba wanafunzi walikuwa wakilalamikia kitendo cha baadhi ya walimu shuleni hapo, kuutukana Uislamu na Waislamu. Walifahamisha kuwa siku ya Jumatatu Novemba 5, 2012, mwalimu wa Kiswahili waliyemtaja kwa jina la Madam Mseleti, aliutukana Uislamu na Waislamu kufuatia kosa alilofanya mwanafunzi mwenzao Muislamu. Walimnukuu mwalimu huyo akisema, Angalia vijana wa Kikristo walivyokuwa wazuri na tabia zao nzuri, lakini nyinyi Waislamu tabia zenu mbovu, mbaya, mnakiri sisi tungekuwa na tabia kama zenu mngekuwa hapa? Katika tukio hilo Wanafunzi hao walimweleza Mkuu wa shule kuwa, maneno ambayo ameyatamka mwalimu huyo wa Kiswahili, ni kinyume na
Inaendelea Uk. 4
Habari
AN-NUUR
DK. Jumbe Mohamed Maphingo alikufa Mei 23, 2011. Nilikuwa hoteli ya Bagamoyo Beach Resort na asubuhi sana baada ya swala ya alfajiri nilipata ujumbe wa simu ukisema kuwa Dk. Jumbe alikuwa ameuawa na kundi la wanafunzi Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Inasemekana wakati huo ilidaiwa kuwa ilikuwa ni kutokana na kujaribu kumbaka mwanafunzi wa kike! Nilishtuka kwani huyo asingeweza kuwa Jumbe niliyemfahamu. Nilimpigia simu aliyepeleka ujumbe huo na akanipa maelezo hayo hayo. Jua lilipochomoza taarifa nyingine zikaibuka na wazi kabisa ungeweza kuanza kuona kuna zaidi ya kile kilichokuwa kinaelezwa kwa watu. Hata gazeti la Daily News la asubuhi hiyo lilichapisha habari hizo za jaribio la kubaka bila kuthibitisha kilichosemwa. Nilimwomba Mungu kuwa kama ukweli siyo huo, basi ukweli uchuliwe. Nani alikuwa Dk. Jumbe?
NOLLE PROSEQUI YA DK. JUMBE MAPHINGO KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE NJOMBE KESI YA MAUAJI NO. 3 YA 2011 JAMHURI DHIDI YA 1. JANE (BINTI YA) LAISON (KWA) MWAKABUTA 2. HAIDARY (MWANA WA) MOHAMMED (KWA) MRISHO 3. RAYSON (MWANA WA) MESHAK (KWA) KYANDO 4. CHIBONA (MWANA WA) ROBERT 5. NSAJIGWA (MWANA WA) ELIUD (KWA) NJILO 6. NGOLO (MWANA WA) YAHAYA (KWA) NGOLO 7. TESHA (MWANA WA) MBOKA (KWA) MWAIJEGA 8. SAMSON (MWANA WA) FRANCIS (KWA) SANGA 9. DAIMA (MWANA WA) MASUVE (KWA) KYANDO 10. COLETHER (BINTI WA) JERY (KWA) HASSAN 11. MIKA (MWANA WA) JOHN WANYAMA 12. ELIB ARIKI (MWANA WA) MAIKO WANYAMA NOLLE PROSEQUI MAHAKAMA INAARIFIWA KUWA MKURUGENZI WA MASHITAKA SERIKALINI KWA NIABA YA JAMHURI KUWA HATAENDELEA NA KESI DHIDI YA (WALIOTAJWA JUU) KWA SHITAKA LA MAUAJI KINYUME CHA KIFUNGU CHA 196 CHA KANUNI ZA ADHABU, SURA YA 16 (CHAPISHO LA 2002) KOSA AMBALO WAMESHITAKIWA KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE HUKO NJOMBE IMETOLEWA IRINGA SIKU HII YA 9 MWEZI NOVEMBA 2011 R. MATITU WAKILI WA SERIKALI kumshambulia, na ndiyo mara ya mwisho daktari huyo alisikia kutoka kwa Dk. Jumbe. Daktari huyo alikimbia kutoka Bulongwa na kuandika maelezo kwa Polisi Makao Makuu Dar es Salaam. Nilizungumza naye mimi binafsi pale Masjid Tambaza baada ya mazishi ya Dk. Jumbe. Mwili wa Dk. Jumbe ulikutwa na majereha kichwani yaliyosababisha kifo chake muda mfupi baadaye nyumbani kwake. Nilielezwa kuwa mwili wa Dk. Jumbe ulikuwa unasarishwa kwenda Tanga kwa njia ya barabara. Nilikuja Dar es Salaam nikaenda kwa ndege Tanga kupitia Zanzibar na Pemba na nikawahi kumzika raki yangu. Lakini tulisikia kuwa watuhumiwa kadhaa walikuwa wamekamatwa na mara moja tukasikia kuwa kesi ya mauaji ilikuwa imefunguliwa na walikuwa wameshitakiwa. Kesi za mauaji huwa zinachukua muda mrefu na tulivuta subira. Jumapili (iliyopita) nilikutana na mjane wa Dk. Jumbe, nikiwa nimerudi Jumamosi usiku kutoka Cape Town (Afrika Kusini). Nilimbiwa kuwa alikuwa anahitaji sana kuniona. Tulikutana. Kumbe yeye na shemeji yake walitembelea Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa ili angalau kuona mahali mumewe alipoa na kupata habari kutoka kwa waliokuwepo, zaidi ya mwaka mmoja baada ya kifo chake kwa sababu hapakuwa na habari zozote zinazopatikana. sana. Ushahidi uko wapi? Dk. Jumbe alizungumza na mfanyakazi mtaalamu mwenzake wakati alipoona hatari inamnyemelea -- usiku huo huo kabla ya kuuawa. Maelezo hayo walipewa Polisi kwa njia ya tarifa ya maandishi. Simu hiyo itakuwa imenakiliwa mahali na kilichomo kingechambuliwa kudhihirisha kilichotokea eneo hilo. Hiyo ilifanyika? Hiyo ingewapa Polisi kianzio kutoka kwa aliyeuliwa, moja kwa moja. Nina uhakika kulikuwa na ushahidi mwingi tu katika eneo la mauaji. Katika mwili wa Dk. Jumbe na kuzunguka eneo
Dk. Jumbe alizaliwa na kukulia Pongwe, Tanga -kilomita chache kutoka mahali apozaliwa mama yangu lakini sikumfahamu hadi Mei 2009 tulipounda Mtandao wa Maendeleo wa Tawheed - kikundi ambacho kilikuwa na nia ya kuandaa safari za Hijja. Tulikuwa tunahitaji daktari na baadhi ya marafiki zangu wa karibu wakanielekeza kwa Dk. Junbe. Tulikwenda pamoja Makka mwaka ule na mahujaji 90. Kupunguza maelezo alikuwa kama mtu aliyevumbuliwa kwangu - alidhihirisha kuwa ni daktari hodari na aliyekubuhu, lakini alikuwa zaidi ya hapo kwangu na kwa kikundi chetu. Alikuwa anasaidia jikoni, kuleta vyakula kutoka madukani, alisaidia mahujaji wazee na takriban chochote kile ambacho kilihitaji kufanyika. Alikuwa mtu mtulivu na mshirika mahsusi wa shughuli za pamoja. Tulielewana papo kwa papo. Tuliporudi nyumbani tulikuwa karibu sana na nikaanza kumfahamu vyema zaidi na familia yake. Alikuwa raki mkubwa. Lakini alikuwa, kama nilivyogundua baadaye, rafiki wa karibu wa marafiki zangu wengi tu. Baadaye akaniambia kuwa kuna shughuli anayoisimamia kule Iringa na alihitaji kusari kwenda kule mara kwa mara. Hakuniambia kuwa alikuwa amekubali ajira katika Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Nadhani alidhani ningemshauri vinginevyo lakini huo ulikuwa ni uamuzi wake. Nini basi kilitokea? Dk. Jumbe akiwa ni mtu wa jinsi alivyokuwa akidhihirisha sifa zake haraka sana. Alikuwa wakati wa kifo chake, nilivyoambiwa, Mnadhimu wa Chuo cha Tiba
na tutatoa kinachohitajika, kama Jeshi la Polisi haliwezi kufanya hivyo. Hata kama uchunguzi wa kimaabara unahitaji kufanyika. Mwananchi mpenda haki
lakini uchunguzi (wa kifo chake) unahitaji kurudiwa upya hasa kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. Kama kuna gharama zinazohitaji kukiwa, basi tufahamishwe
Habari/Tangazo
AN-NUUR
WAZANZIBARI wamezidi kudhihirisha kuwa muhimu kwao kwa sasa ni juu ya madai yao ya kutambuliwa kama nchi na dola kamili kwanza na wala sio la aina ya katiba. Hayo yameendelea kujitokea mbele ya TUME ya Mabadiliko ya Katiba ambapo Tume hiyo imejikuta ikipokea maoni ya uwapo au kutokuwapo Muungano badala ya Katiba. Katika vikao kati ya wajumbe wa tume na wananchi katika Shehiya tofauti Unguja, tume hiyo imeshuhudia wananchi
kosa alilolifanya mwanafunzi mwenzao, kwani yeye alikuwa akifafanua dhamira ambayo mwalimu aliikataa, naye mwanafunzi akahitaji mwalimu wake amsahihishe ni wapi alipokosea. Pamoja na hayo, wanafunzi hao walibainisha tatizo jingine kuwa kudhalilishwa ni Quran na kupotoshwa katika mafundisho yake. Kwamba wanafunzi viongozi wa Kikristo wamekuwa wakitoa nukuu za aya za Quran na kuzichanganya na nukuu za Biblia. Ilielezwa kuwa Kaka Mkuu shule aliyetajwa kwa jina la Hope Cosmas na Maulid Mjori, wamekuwa wakikosea matamshi ya aya za Quran na hata kupotosha tafsiri zake pia, bila kujali kuwa hilo ni kero na chukizo kwa wanafunzi wa imani nyingine. Aidha wanafunzi Waislamu walimweleza Mkuu wa Shule kuwa kumekuwa na tabia ya utolewa adhabu kwa wanafunzi kwa kuzingatia upendeleo wa kidini. Kwamba limekuwa ni jambo la kawaida shuleni hapo kutolewa adhabu tofauti kwa wanafunzi waliotenda kosa moja. Walidai kuwa mara zote wanafunzi Waislamu wamekuwa ni wahanga wa adhabu nzito na kubwa wafanapofanya makosa, huku wanafunzi Wakristo wakipewa adhabu hafu kwa kosa lile lile alilofanya wanafunzi Muislamu. Ulitolewa mfano wa mwanafunzi Muislamu aitwaye Yahya Said (Kidato cha 5 PCM), alipewa adhabu ya kurudishwa nyumbani alipokutwa amevaa nguo za michezo siku ya Iddi alipokwenda kusali. Adhabu hiyo alipewa hapo hapo barabarani alipokutwa. Lakini adhabu ilikuwa tofauti kwa wanafunzi wa Kikristo Fredrick Webiro (V- EGM),
ushahidi zaidi kutoka osi ya ulinzi ya wanafunzi. Aidha Mkuu wa shule alikemea kitendo cha kunukuu vitabu vitakatifu bila ufahamu wake. Pia Bw. Kihongozi alikemea tabia ya baadhi ya wanafunzi kutanianiana au kukejeliana kiimani na akatoa mfano, kuwa imani ya mtu ni kama kilema kwa hiyo kumtania mtu kilema chake ni jambo baya sana. Hata hivyo, wakati mkuu wa shule anachukua hatua hizo, lilitokea tukio la moto katika ofisi ya wanafunzi Wakristo usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano Novemba 14, 2012. Ilielezwa kuwa Polisi walika na kufanya upekuzi kuanzia msikitini kisha mabwenini. Baadae waliohojiwa osini viongozi wa Kikristo katika serikali ya wanafunzi peke yao huku viongozi Waislamu katika serikali hiyo wakiachwa. Baadae yalikusanywa maoni madarasani kupitia maswali yafuatayo yaliyoandaliwa, ambayo yalihoji chanzo ni nini? Mhusika ni nani? Na nini kifanyike? Aidha taarifa zinaonyesha kuwa viongozi wa wanafunzi wa dini zote walihojiwa na polisi na bodi ya shule. Katika mahojiano hayo viongozi wa Kiislamu zaidi ya kuhojiwa zaidi juu ya tukio la moto, walitakiwa kukiri kuwa hawakutumia njia sahihi kukisha madai yao kwa Mkuu wa Shule. Hivyo waliambiwa kuwa madai yao yote ni batili. Kufuatia mtiririko huo wa matukio, siku ya Alhamisi Novemba 15,2012, saa 2:00 asubuhi, Mkuu wa Shule aliwasilisha taarifa ya Bodi ya Shule kuwa shule inafungwa kwa muda usiojulikana. Sababu aliyoitoa Mkuu huyo ni kuwa, suala lililotokea linagusa imani za watu, hivyo kila mtu akitetea imani yake amani ya shule itatoweka.
kwenye Mkataba. Akielezea faida za Muungano wa Mkataba, Jussa amesema kuwa ni pamoja na kuwa inaondoa khofu ya nchi moja kuimeza au kuitawalia nchi nyengine. Kwamba kila nchi inabaki na uhuru na mamlaka yake kamili kitaifa na kimataifa kuamua mambo yake. Kwa utaratibu huo, kila nchi mwanachama ina uhuru wa kujitoa katika jambo lolote ililoamua mwanzo kushirikiana pale inapoona hakuna maslahi au faida kuendelea nalo. Kwa upande mwingine akasema kuwa, muungano wa mkataba huvutia nchi nyingi kuingia katika Muungano wa aina hiyo kwa sababu hakuna khofu ya kupoteza mamlaka au kupunguziwa madaraka au mambo yake kuamuliwa na nchi nyengine. Na hiyo ni kwa vile, mahusiano huwa ni ya kiraki na ya ujirani mwema yanayopelekea kuaminiana na kuondoa kutiliana shaka kusikokwisha.
TAMASHA LA KANDA YA KASKAZINI, MASHARIKI NA VISIWANI KIRINJIKO - SAME 21 26 DESEMBA, 2012 Waislamu wote wa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba wanaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Chuo cha Ualimu na Ufundi Kirinjiko litakalofanyika 21 26 Desemba, 2012. Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi. Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13) Wabillah Tawiq AMIR
5
Na Paul Craig Roberts
Novemba 28, 2012 - Mtandao wa Kupashana Habari Mahojiano yanayofuata na Osama bin Laden yalifanywa Karachi, Pakistan, na gazeti la kila siku la Ummat na kuchapishwa Septemba 28, 2001, siku 17 baada ya kilichodaiwa, bila kuthibitishwa, kuwa ni shambulio la Al Qaeda la Septemba 11, 2001, katika minara pacha ya Kituo cha Kimataifa cha Biashara, na Pentagon (Wizara ya Ulinzi na Makao Makuu ya Jeshi la Marekani). Mahojiano hayo yalikuwa ya aina yake. Aliyedaiwa ni msukaji mkuu wa 9/11 alisema kuwa yeye na Al Qaeda walikuwa hawahusiki kwa lolote na shambulio la 9/11. Kitengo cha ufuatiliaji wa matangazo cha BBC (Shirika la Utangazaji la Uingereza) kilitafsiri mahojiano hayo kwa Kiingereza na kuyatoa hadharani Septemba 29, 2001. Kukana kwa kishindo kwa Osama bin Laden hakukutanganzwa katika magazeti na televisheni za Marekani. Hakukuchunguzwa na vyombo vya serikali. Hakuna mjumbe wa Baraza la Wawakilishi au Seneti aliyekunbushia kanusho la Bin Laden kuhusika na shambulio la kufadhaisha kuliko yote lililowahi kufanywa dhidi ya taifa lenye nguvu zaidi duniani. Kuthibitisha kuwa kumbukumbu yangu ya kutokutangazwa mahojiano hayo ni sahihi, niliingiza mahojiano ya Osama bin Laden akikanusha kuhusika na 9/11 katika Google, Baadhi ya kurasa za mtandao zilikuwa na mahojiano hayo, lakini kianzio pekee kikubwa cha habari nilichokiona ilikuwa ni video ya dakika moja YouTube kutoka CNN (kituo cha kimataifa cha televisheni) ambako mtangazaji, baada ya kunukuu taarifa ya Al Jazeera (kituo cha televisheni cha kimataifa cha Ghuba) ya kanusho la Bin Laden, alikia tamati kuwa tunaweza kupima hilo katika mizani ya kuaminika na kukia tamati zetu wenyewe. Kwa maneno mengine, Bin Laden alishatambuliwa ni gaidi wa kutisha, na kanusho lake halina thamani ya kuaminika. Habari hii ya kishindo haikuwa inafaa kwa wananchi wa Marekani na ilichwa kwao na vyombo huru vya habari, vyombo ambavyo viko huru kusema uwongo kwa niaba ya serikali lakini si kusema ukweli. Ni wazi kuwa kama bin Laden alikuwa amewashinda mbinu siyo tu Taasisi ya Usalama wa Taifa, Shirika la Ujasusi la CIA, shirika la upelelezi la jeshi la Marekani, shirika la upelelezi la FBI na pia mashirika yote 16 ya ujasusi ya Marekani, mashirika yote ya ujasusi ya washirika wa Marekani katika NATO au vibaraka wake, shirika la ujasusi la Mossad la Israel, halafu na Baraza la Usalama wa Taifa (Marekani), NORAD (Idara ya Ulinzi wa Anga ya Jeshi la Marekani), mamlaka
Habari mchanganyiko
ya kuongoza ndege, na ulinzi katika viwanja vya ndege mara nne katika subuhi hiyo moja tu - ingekuwa ni jambo la mafanikio ambalo halijapata kutokea katika historia ya dunia. Ni muujiza wa ujenzi wa taasisi ambao ungeifanya al Qaeda taasisi iliyofaulu zaidi ya kupambana na ubeberu katika historia ya binadamu, ushindi wa kushangaza dhidi ya Shetani Mkuu ambao ungeingiza mamilioni ya wasajiliwa wapya kurunzi lisiangalie kwake, lakini inaonyesha kuwa kila shirika la ujasusi linafahamu umuhimu wa kutangaza kuhusika kwa asasi iliyofanya shambulio lililofanikiwa. Licha ya kuwa Bin Laden alikanusha kuhusika, mwaka 2001 baadhi ya viongozi wa Al Qaeda, wakiwa wanajua umuhimu wa mashambulio ya 9/11, walitangaza kuhusika na shambulio hilo na kumkosoa Rais Ahmedinejad wa Iran aliyehoji maelezo rasmi ya Marekani.
AN-NUUR
hizo zilitolewa baada ya Bin Laden kuripotiwa na gazeto la Observer la Pakistan, magazeti ya Misri, na shirika la habari la Fox nchini Marekani kuwa alikufa katikati ya Desemba 2001, kutokana ugonjwa wa mapafu. (Tazama:http:// www.foxnews.com/ story/0,2933,41576,00.html See also http://www.legitgov. org/News-Bin-Ladens-Deathand-Funeral-December-2001)
Sehemu ya taarifa kamili ya kilichochapishwa na gazeti la Pakistan kama mahojiano maalum na Usamah Bin Ladin:
Ummart: Umeshutumiwa kuhusika na mashambulizi ya New York na Washington. Unataka kusema nini kuhusu suala hilo? Kama huhusiki, nani anaweza kuwa? Usamah (Osama bin Laden): Katika jina la Allah, mwingi wa rehema, mwingi wa huruma. Sifa ziende kwa Allah, Ambaye ni muumba wa ulimwengu wote na Aliyefanya dunia ikawa mahali pa amani, kwa binadamu wote. Allah ndiye Mpaji, aliyempeleka Mtume Muhammad kwa uongozi wetu. Navishukuru vyombo vya habari vya kampuni ya Ummat, ambao wamenipa nafasi ya kutoa rai, hasa watu jasiri na Waumini halisi wa Uislamu nchini Pakistan ambao wamekataa kuamini uwongo wa ibilisi. Nimeshasema kuwa sihusiki na mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani. Kama Muislamu, najaribu iwezekanavyo kutosema uwongo. Sikuwa na ufahamu wowote wa mashambulio haya, wala sidhani kuwa mauaji ya wanawake wasio na hatia, watoto, na binadamu wengine ni kitendo cha kujivunia. Uislamu unakataza kabisa kuleta madhara kwa wanawake wasio na hatia, watoto na watu wengine. Kufanya hivyo kunakatazwa hata wakati mapigano yanaendelea. Ni Marekani ndiyo inayoendeleza kuwaonea kila mahali wanawake, watoto na watu wa kawaida wa imani nyingine, hasa wafuasi wa Uislamu. Kile kinachoendelea katika Palestina kwa miezi 11 iliyopita kinatosha kuinua ghadhabu ya Mungu juu ya Marekani na Israel. Pia kuna onyo kwa zile nchi za Kiislamu, ambazo zimeona yote haya na kukaa kimya kama watazamaji. Nini kilitokea kabla kwa watu wasio na hatia wa Irak, Chechnya na Bosnia? Ni jawabu moja tu linaweza kutolewa kuhusiana na kutojali kwa Marekani na nchi za Magharibi kwa vitendo hivi vya kigaidi na kushikamana na tawala hizi dhalimu kunaonyesha kuwa Marekani ni dola inayochukia Uislamu na inafungamana na mikondo inayopinga Uislamu. Uraki wake na nchi za Kiislamu ni onyesho tu, tuseme ni udanganyifu. Kwa kuzichangamkia au kuzitisha nchi hizi, Marekani inazilazimisha kufanya kile inachotaka. Tupa jicho kuzunguka na utaona kuwa watumwa wa Marekani ni ama watawala au maadui wa Waislamu. Marekani haina marafiki. Na pia haitaki kuwa nao kwa sababu kuwa na rafiki inabidi ujishushe ukie kiwango cha raki yako au kumkubali kuwa yuko sawa na wewe. Marekani haitaki kuona yeyote akiwa sawa naye. Inatazamia utumwa kutoka kwa wengine. Hivyo nchi nyingine ama ni watumwa au ni wasaidizi wa Marekani. Hivyo, shauri letu ni tofauti. Tumejitakia utumwa kwa Mungu Mwenyezi peke yake na baada ya hitaji hilo hakuna tena uwezekano wa kuwa mtumwa wa mwingine awaye yote. Tukifanya hivyo, itakuwa ni kumpuuzia Mpaji wetu na binadamu wenzetu, Nchi nyingi za dunia zinazolinda uhuru wao ni za kidini, ambazo ni maadui wa Marekani, au yenyewe inaziona kuwa ni maadui, Au nchi ambazo zinakataa kuwa watumwa, kama China, Iran, Libya, Cuba, Syria, na iliyokuwa Urusi kama ilivyopokelewa. Awaye yote aliyefanya kitendo kile cha Septemba 11 siyo raki wa watu wa Marekani. Nimeshasema kuwa tunaupinga mfumo wa Marekani, siyo dhidi ya watu wake, wakati ambapo katika mashambulizi haya, watu wa kawaida wa Marekani wameuawa. Kwa taarifa nilizo nazo mimi, idadi ya waliouawa ni kubwa zaidi ya kile serikali ya Marekani ilichosema. Lakini serikali ya Bush haitaki wasiwasi uenee. Marekani inatakiwa kujaribu kuwafuatilia waliofanya kitendo kile huko huko nchini Marekani, watu ambao ni sehemu ya mfumo wa Marekani, lakini wanauasi. Au ni wale ambao wanatumikia mfumo mwingine; watu wanaotaka karne hii iwe ni karne ya ugomvi kati ya Uislamu na Ukristo ili ustaarabu wao, taifa, nchi, au itikadi iweze kudumu. Wanaweza kuwa yeyote yule, kuanzia Russia hadi Israel na kuanzia India hadi Serbia. Nchini Marekani kwenyewe, kuna dazeni za makundi yaliyohamasishwa na yenye silaha za kutosha, yenye uwezo wa kufanya uteketezaji mkubwa. Na huwezi pia kuwasahau Wayahudi wa Marekani, ambao wamechukizwa na Rais Bush tangu uchaguzi kule Florida na wanataka kulipiza. Halafu kuna mashirika ya kijasusi nchini Marekani, ambayo yanahitaji mabilioni ya dola yapitishwe na Bunge na serikali kila mwaka. Kupatikana kwa fedha haikuwa tatizo wakati iliyokuwa Urusi ikiwa bado ipo lakini baada ya hapo bajeti ya mashirka haya imekuwa mashakani. Wanahitaji adui. Hivyo, kwanza walianza propaganda dhidi ya Usamah na Taleban na sasa tukio hili limetokea. Wavushaji mihadarati kutoka kote duniani wana mawasiliano na mashirika ya kijasusi ya Marekani. Mashirika haya hayataki kufutilia mbali uzalishaji wa mihadarati kwa sababu umuhimu wao utapungua, Waajiriwa wa Idara ya Kuzuia Mihadarati ya Marekani wanachochea biashara ya mihadarati ili waweze kuonyesha uhodari wao na kupata mamilioni ya dola za bajeti. Jenerali (Manuel) Noriega alifanywa kuwa bosi wa mihadarati na Shirika la Ujasusi la Marekani, na wakati ilipohitajika, akatolewa kafara. Kwa njia hiyo, hata awe ni Rais Bush au rais mwingine wa Marekani, hawawezi kuikisha Israel mbele ya sheria kwa uvunjaji wa haki za binadamu na kuitaka iwajibike kwa uhalifu huo. Ni nini hiyo? Si maana yake ni kuwa kuna serikali ndani ya serikali nchini Marekani? Serikali hiyo ya siri iulizwe ni nani aliyefanya mashambulizi hayo (ya Septemba 11).
katika mtandao wa al Qaeda. Hata hivyo aliyedaiwa ni msukaji mkuu alikataa kabisa kuhusika. Nakumbuka miongo kadhaa iliyopita lilipofanyika shambulio la kigaidi barani Ulaya, iwe ni la kweli au ni Operesheni Gladio nyingine ya kukosea kusoma bendera http://en.wikipedia.org/ wiki/Operation_Gladio ambako makundi tofauti yangetangaza kuhusika. Labda hii ilikuwa ni njia ya CIA kukwepesha
Licha ya kuwa ni Wamarekani wachache sana wanaofahamu mahojiano ya Septemba 28 2001 ambako Bin Laden alikanusha kuhusika na mashambulio ya 9/11, Wamarekani wengi wameona video zilizopigwa baada ya mashambulio hayo ambako mtu anayedaiwa ni Osama bin Laden anajipongeza kwa shughuli hiyo. Kuna matatizo mawili na video hizo. Watalamu wamezichunguza na kugundua kuwa ni bandia, na video zote
Bin Laden pia aliugua ugonjwa wa go. Taarifa ya kituo cha utangazaji cha CBS ilisema January 28 2002 kuwa Osama bin Laden alikuwa amelazwa kwa tiba ya go katika hospitali ya kijeshi ya Rawalpindi nchini Pakistan hapo Septemba 10, 2001, siku moja kabla ya 9/11. (http://www.globalresearch. ca/where-was-osama-onseptember-11-2001/3194 ) Ni wazi kuwa mtu aliyekuwa anaugua magonjwa ya kusha
Makala/Tangazo
AN-NUUR
NIMESHAJIIKA kuiandika makala hii baada ya kuisoma makala ndani ya gazeti la Mzalendo Jumapili tarehe 1117,2012, makala ilioandikwa na Dk. Mohamed Seif Khatib yenye jina la Tumeagana na Nyonga? Bwana huyu alianza makala yake kwa kuandika-Hapa ninanukuu:Waswahili utajiri wao umo katika misemo iliyoshiba falsafa. Ukipiga mbizi humo, lazima utaibuka na lulu ya maudhui mazito. Hapa niliona ni vizuri nianze kumjibu Bw. Seif Khatib kwa utajiri wa Waswahili wa hiyo falsafa ili apige mbizi na kuibuka na lulu. Sikia kama unalo sikio la kusikia. Mtumaini cha nduguye hufa masikini. Bw. Mohamed Seif Khatib ndani ya makala
kitu kingine ambacho ni cha utajiri ambacho ni zao la karafuu mbali na bidhaa za baharini ambazo ni tegemeo kubwa kwa uchumi wa nchi zilizozungukwa na bahari kama ilivyo Zanzibar. Utajiri wote huo tulionao bado Zanzibar haikupiga hatua zozote za kimaendeleo kwa vile haina maamuzi yake yenyewe. Kila kitu kimejifunga ndani ya muundo wa Muungano wa kikatiba tulio nao. Visiwa vya Zanzibar ni Visiwa tajiri sana kuliko visiwa vyote katika Bahari ya hindi vilivyo katika mwambao wa Afrika. Kitu cha awali kinachofanya visiwa hivi kuwa na utajiri ni historia yake ambayo ni kishawishi kikubwa cha kuvutia Utalii. Visiwa vingi duniani vimeneemeka kwa njia hii ya utalii lakini kwa Zanzibar bado ni kitendawili. Zanzibar bado inanuka ufukara ndani ya bahari ya utajiri iliyonayo. Mbali na utajiri wa kitalii ambao Zanzibar haijaweza kunufaika nao hadi hivi sasa, bado Zanzibar inavyo vitega uchumi vingine vinavyotosha kuufanya uchumi wake kuwa imara na kuweza kuneemesha maisha ya Wananchi wake. Zanzibar ina ardhi yenye rutba inayoweza kukubali kilimo cha aina mbali mbali hususan kwa mazao ya biashara. Isitoshe Zanzibar inalo zao la biashara ambalo ndio alama ya visiwa hivyo, Karafuu. Kama kisiwa cha Mauritius kinaweza kuimarisha uchumi wake kwa kutegemea zao moja kuu la biashara ambalo ni miwa, kwa nini Zanzibar ishindwe kuimarisha Uchumi wake kwa kutegemea zao la Karafuu zao ambalo halina ushindani kama lilivyo zao la miwa? Pamoja na karafuu Zanzibar haijaweza pia kunufaika na bidhaa za baharini kama ilivyo kwa nchi nyingine zilizozungukwa na bahari. Kwa maana hiyo inabidi tujiulize ni kitu gani kinachotufunika macho na kutugeuza vipofu? Muungano huu tulionao ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo yetu. Lakini Mheshimiwa anatujejea anasema: Zanzibar, wanayo Serikali yao, Rais wao, bendera yao, wimbo wa Taifa na mamlaka ya ndani. Hivi mheshimiwa ameona Serikali gani isiotegemea sera ya fedha kuwa ni silaha na nyenzo kubwa ya kupanga sera na maendeleo yake? Je! Zanzibar inayo silaha hiyo? Jawabu haina. Tutegemee nini katika maisha ya Muungano huu katika kukuza uchumi wetu? Hata tukikubaliana mafuta yawe yetu pekee bila ya kushirikiana na Tanzania Bara, madhali sarafu itakua sio yetu basi hapana faida yoyote itakayopatikana upande wetu. Kichekesho ni pale Waheshimwa hawa wanapotutaka tuamini kwamba, Tanganyika na Zanzibar zimeungana, lakini Tanganyika imekufa na kila mwaka wanaadhimisha sherehe za Uhuru wa Tanganyika. Ukweli ni upi basi? Ukweli Tanganyika ipo, Bunge la Tanganyika lipo, Katiba ya Tanganyika ipo na Rais wa Tanganyika yupo na mwishowe unaposema TANZANIA ujuwe unasema Tanganyika kwa hizo herufi tatu za mwanzo yaani TAN (maana yeke Tanganyika) na unaposema ZAN (unasema Zanzibar) Hapana chochote cha Tanganyika kilichopotea, kila kitu chake kipo na kinatenda kazi yake chini ya kivuli cha Muungano wa KATIBA YA SERIKALI MBILI. TEL: 0715-498363
7
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa wito kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu Maoni ya Wananchi juu ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba na tume yake kuweka bayana muundo wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya yatakayo jadili maoni ya wananchi, ili kuepusha Mabaraza hayo kutawaliwa na wajumbe wa chama kimoja. Maalim Seif alisema hayo juzi huko katika viwanja vya Alabama Michenzani, wakati alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho, ikiwa ni siku moja kabla ya Tume hiyo ya kuratibu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba kuanza kazi hiyo katika Wilaya ya Mjini jana tarehe 06/12/2012. Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema baada ya hatua hiyo ya kuchukua maoni ya wananchi kukamilika, tume itarudi ofisini kuyajadili na baadaye yataundwa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ambayo pia yataweza kujadili maoni hayo ya wananchi, kabla ya kuchukuliwa hatua nyengine. Alisema kuwa lazima kuwe na uwazi na wananchi waelezwe Mabaraza hayo yataundwa na wajumbe wepi, ili kuondoa dhana mbaya inayoweza kujengwa na wananchi kuwa wajumbe hao watatoka katika chama kimoja cha siasa. Alisema dhana kama hiyo ikijengeka inaweza kusababisha dosari katika mchakato mzima wa mabadiliko ya Katiba, hivyo tume hiyo ichukue hatua za makusudi kulitolea ufafanuzi suala hilo. M h e s h i m i w a Wa r i o b a lazima muwe wawazi, hadi sasa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya hapana anayejua muundo wake, vyenginevyo unaweza ukakuta wajumbe wote wanatoka katika chama kimoja, alishauri Maalim Seif. Aidha, Maalim Seif alisema uwazi pia unahitajika wakati wa kuundwa kwa Bunge la Katiba, ambapo mbali ya Wabunge wote na Wawakilishi wote kuwa wajumbe kuna wajumbe wengine 164, ambao watateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa ushirikiano na Rais wa Zanzibar, lakini hadi sasa utaratibu gani utatumiwa kuwapata wajumbe hao haufahamiki. Alisema ili kujenga imani kwa wananchi na kuepusha dhana mbaya itahitajika uadilifu mkubwa kwa Rais, hasa kwa wale watakaotoka Zanzibar basi kuna haja wawe angalau 55, na vile vile wasitoke katika chama kimoja cha siasa. Aidha, Maalim Seif alisema hata katika suala la kura ya maoni itakayokuja kufuatia huko mbele, bado kuna masuala mengine ya kujiuliza, kuhusu utaratiubu upi utatumika, wakati wa kura hiyo kwa Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na watu wa Tanzania Bara wanaoishi Zanzibar. Alieleza kuwa hofu hiyo inakuja kwa vile sheria ya
Habari
AN-NUUR
MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Bi Consolata Ngimbwa kutoka Electrics International ya Dar es Salaam anayesimamia ujenzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu. mabadilikko ya katiba inasema mabadiliko hayo yatapitishwa, iwapo angalau nusu ya wananchi wa kila upande kati ya Tanzania Bara na Zanzibar wataunga mkono mabadiliko hayo, hivyo amehimiza mambo hayo lazima kwanza yawekwe wazi. Kuhusu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba, Maalim Seif ametowa wito kwa Wazanzibari kutoa maoni ambayo yatazingatia zaidi maslahi ya Zanzibar, na kusema kuwa mfumo wa Muungano wa serikali mbili uliopo sasa kamwe hauwezi kuleta ufumbuzi wa matatizo ndani ya Muungano
IMAM wa Masjid Swabirina Buza Capetown Yombo, Sheikh Salim Seleman, ameswekwa rumande baada ya kubadilishiwa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili. Aw a l i S h e i k h S a l i m alikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Oktoba 18, 2011, huko nyumbani kwake Buza Capetown akidaiwa kuwa amevunja bucha la nyama ya nguruwe, mali ya Bi. Nuru Lawrance na kuiba nyama na kufanya uharibufu wa mali. Imefahamika kuwa baada ya kukamatwa Sheikh Selemani, alikishwa katika kituo cha Polisi Changombe, ambako alifunguliwa jalada na baadae kukishwa katika mahakama ya Wilaya Temeke ambako kesi ilifunguliwa na kuachiliwa kwa dhamana. Imeelezwa kuwa tangu wakati huo, kesi imekuwa ikitajwa mahakamani lakini
MKUU wa Jeshi la Polisi, Said Mwema. Safari hii akisomewa shitaka jipya la unyanganyi kwa kutumia nguvu (robbery), na wakati huo huo, hakimu anayesikiliza kesi yake akiwa ni mwingine. Baada ya kusomewa shitaka hilo jipya mahakamani hapo, Sheikh Selemani, alielezwa kuwa shitaka hilo halina dhamana hivyo atakwenda rumande hadi tarehe 18 mwazi huu, kesi hiyo itakapotajwa tena, ambapo mlalamikaji alitakiwa kuleta mashahidi wake siku hiyo.
Makala
AN-NUUR
Bismillahir rahmanir Rahiim ISLAMIC PROPAGATION CENTRE ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JANUARI 2013 KWA SHULE ZA IPC 1. KIRINJIKO ISLMIC SECONDARY SCHOOL-SAME
54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 MAIMUNA MOHAMEDI KASUBI MARIAM OMARY ALLY MARIAM SALUM MYOWELA MARYAM CHANDE MATESSA MARYAM SHENI KIZEGA MASRA MUHAKIRU KABYEMERA MAYNASRA SIRRY ABDALLAH MUNIRA MUHIDINI RAMADHANI MUNIRAH MAULIDY KAZIMOTO MWAJUMA RAMADHANI NJETA MWANAIDI ATHUMANI MCHOMVU MWANAIDI MUSTAPHA MASONGOLE NAISHA MRIWA TSOKYO NAJMA SALUM NGARAWA NASRA SHABAN KIAME NEEMA LAILA MASOUD MYANZA NURU MUSA MWAKANGWALE RAHMA FUAD ABDALLAH RAHMA KOMBO TAIMOR REHEMA RAMADHANI KIBARATI RUKIA JUMA SIRA SADA SAID HAFIDH SAIDA ALLY HONDO SALHA AHMAD ALAWI SALHA ISSA ALLY SALMA ABDUL-FATAH AMIRY SALMA MASOUD OMAR SALWAH MAULID SASILO SHARIFA NAYNGE MSUYA SHARIFA RAMADHANI KALANGA SOPHIA SAID MUSSA SWAUMU HARUNI MANDARI TABIA SHABANI GUNDA TATU ABDILLAHI MOHAMED TWALHAT IBRAHIM KIONE WAHIDA HAROON SALUM ZABIBU KAYA KAZEMA ZAFARANI HANZURUNI KWENYEYE ZAINAB MOHAMED AHMAD ZENA HASSAN KAOGO ZUHURA HAFIDH HUDDI ZUHURA RICHARD SEMBUA ZULFA MSTIRI MALONGWE ZUWENA SEIF SAID LATIFA SAID MHINA SHARIFA IBRAHIM ISSA AISHA MOHAMED KOMBO FIRDAUSI ALLY SULEIMAN SWABRINA HAMID MBATA ZULEKHA ABASI LATIFA HASSAN MAGAYU AMINA ISMAILI DINALLI AMINA NUHU MKUMBWA ASHA RAJABU MWETA ASMAA IDDY RAMADHANI FARIDA HEMEDI MBULI HALIMA RAMADHANI KHADIJA RAJAB IBRAHIM KIDAWA HASSANI MNZAVA 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163 164 165 166 167 168 169 170 171 172 LEYLA RAJABU MPIMBI MWAJABU FADHILI BASHIRI MWANAIMA ABDI ABDALLAH NADHUHA HARUNA MSALA SALHA SALMINI SHELIMO SAMIRA AMANI MTENGA SANIRA S. MMASA SUMAYYA RASHID OTHMAN SWAIBA SULEIMAN BILALI ZAHRA HAFIDH LIYIMO ZINIRA HAJI ABUU ZULPHAT KHAMIS HAWA SHABANI REHEMA ABDUL MBAGA ASMAA R. KIDUBA ASMARA MAULID ZULFA ALY KHAMIS ASHA ABDALLAH JUMA ASHA ISMAIL GULANGA ASMA ALLY ISSA CHIKU MUSTAFA FATMA OMARY MOHAMED HALIMA MOHAMED MTAMBO MWAJUMA SALUM SINGO NASREEN ZUBERY MYOVELA TAMRINA ALAWI BARAKATI MARIAM HASSAN MTEMBA FAUDHIA RAJABU MTENGULE MWADAWA MASUDY IDDY ZAMZAM OMARY ABRAHMAN ZUHURA RAMADHANI MOHAMED ASHA ALLY JUMA NURATH AYUBU YAHYA ZEANA SAID SUDI AISHA HASANI SAID AISHA MOHAMED HASSAN ALMASI IDDY AMINA MAJALIWA ASUMANI AZIZA SHAFII AYUBU BATUL KHALID HASSAN FADIA JAFARI MWANGA FATUMA MBWANA HADIJA ATHUMANI MBWANA KHADIDA SHEMAHONGE MARIAM BENDERA JUMA MARIAM HAJI ABEDI MARIAM MSABAH MSAKA MARIAMU HAJI HATIMU MARIAMU RASULI MASHA NASORO ABDALLAH MWANAHARUSI JUMA KIMOSA MWANAHASWA HASSAN MWANTUMU MANSOORY NASMA RAMADHANI ALLY NASRA MOHAMED KADIBO SAUMU SAID PACHIDEDI SHAMIM KAJILU SHUFAA MRISHO MFINANGA SOPHIA MUSTAFA SEMWAIKO ZAINABU OMAR HASANI
NA. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53
WASICHANA AISA ABDALLAH HAFIDH BIAISHA ABDALLA MSANGI DIANA HAMISI ISMAIL HAJRA HEMED TESUA L AT I P H A R N U R D I N M O H A M E D SHEDAPHA LIDYA A. SALIM MWANAMANI FADHILI TESUA MWEMA MOHAMED ABDALLA REHEMA JUMA HASSAN SALMA ABDULWALL MOHAMED SAMEERA QASSIM QURAISH SAMIRA JAMAL MOHAMED WADA MAJALIWA MKUZO ZIADA TWAHA ADIA RAMADHANI MWINGIRIKO AISHA ISMAIL KIHAGA AISHA RAMADHANI SANGU AISHA RASHIDI KITUNDU AISHA ZAHOR SULEIMAN AMINA ABDUL MSUYA AMINA ALLY ATHUMANI AMINA BAKARI NYUMBA AMINA MOHAMED KHALFAN AMINA OTHMAN OMAR AMNE ABTWALIB YUSUPH ASFARA ALLY LEMA ASHA YUSUPH OTHMANI ASHURA AHMADI CHINYANYA ASIA RAMADHANI KIBASI ASMA ALLY SEUGENDO BILHA DAUD MAYALA FATHIYA HAMIS SHABAN FATMA ATHUMANI YUSUPH FATUMA BASHIRU ALLY FATUMA SALUM KHALFAN FAUDHAT IBRAHIM JUNGU FURAHA HUSSEIN MSUYA HAFSA OTHMAN OMAR HANAYYAH MUHAMMED SULEYMAN HAWA HARUN MSANGI HUSNA HASHIM ATHUMANI HUSNA JAMAL OMAR JAMILA RAMADHANI MAGWA KHADIJA AFACKY KHAMIS KHADIJA IDDY NYAGAWA KHADIJA MIRAJI HUSSEIN KHADIJA NOOR AHMED KULTHUM SUDI ABDALLAH KURUTHUMU HAMAD SALKA LAILA ABASY PELEMBELA LATIFA SALIMU JUMA LEILAT HUSSEIN SAGNALI LUT-FIYA KHAMIS SUMBA
JINA
9
173 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 ZENA SARIMU LUKOSI WAVULANA OMAR AUNI MASANGI SAID NURU IDD OSAMA YAHYA MWASHA ALLY SALIM MUSTAPHA KASSIM MUSTAPHA ANUR SALIM MOHAMED HAFIDH BARAKA RAJAB SULEIMAN SWALEH PAULO ABIHUD SALIMU RAMADHAN RASULY JASSAM KHALIPHA HUSEIN AHMED AWADH ABDULKARIM ALLY SAID HALIFA HASSAN NGAULAH AHMED HAMZA ALLY IBRAHIM ISMAIL KIHAGA YUSUF JUMANNE SALUM BASHIRI RAMADHANI HALIFA HALIMA ABDALAH SHOMARY NURDIN IBRAHIM KIVINA ABDUL-AZIZ ABDALLAH SADRUY STONE NUREN JIM ROGER HAMISI HASSAN MBIRU HAIDARY YAHYA SHABAN ABDULKAREEM SAEED NYAMATAMA MUSSA FADHILI AMIRI OTHMAN JUMA ATHUMANI TTUUR ABOOD SALEH ABUU MUSTAFA KISATU SAIDI BUSHIRI MKWANJERA ABDILLAH MBAROUK SALIM AL-AMIN MUSTAPHA SHEMNGONDO KHAMIS MIRAJI ALLY IDDY DAUDI IDDY MUHARAMI MADADI AMRI SALEHE MUSSA MALONGWE SHABANI KARUME CHAUSA ABDUL-RAZAQ HASSAN MUHAMMED ANWAR SAIDI SELEMANI MOHD KHAMIS SALIM SEIF ALY LYAUKO AMRAN OMAR ABDUL PINDE TWAHA ALLY MAHMUD ATHUMANI HAMISI SALIM MUSSA RAMADHANI SHAFII JUMANNE MSAGO ABDALLAH JUMA ISSA HASSANI BASHIRU ALLY AHMED HADJI MDEMU MRISHO AZIZI MILIMO MUSSA ABDULLAH KULAVA YUNUS BARUANI KASSIBA ABDULWAHID ABDULRAHMAN MIRAJI HASSAN MOHAMED ABBAS JUMA SALUM MTORO KASSIM PINDU KORONGO MOHAMMED ALLY NASSOR TARIQ ABDUL-AZIZ KHAMIS ABDULKHALIM OMAR MUHAMMED KILEMILE ASHIRI KILEMILE MOHAMMEDY RAMADHANI MADAMBO SHAFII OMARY SALEHE
Makala
63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 AL-KARIM YUSUPH NJAU HAMISI RAMADHANI MKIMA HATIBU RAMADHANI HATIBU HASHIMU HAMDANI KAONEKA HASSAN HAMIS SHEMAINDA LAGHRISS RASUL DAUDI RASHIDI BARIKI OKAMA ALLY JUMA GEREZA MASUD SAIDI RAMADHANI ALLY ABDALLAH JUMA FEISAL SEIF MOHAMMED MOHAMMED RAMADHANI ABDALLAH RAJABU JUMA MWINYIHAJI SAIDY RAJABU SAIDY ISMAIL IDDY KIDOGA KASSIM SALUM MKOPA MOHAMEDI MASHUHURI SAIDI MUAMAR AHMED BOBSATH ABDALLAH SALUM KAKIMA MUSSA HASHIM RASHID AHMAD DAUD MSANGI ISSA MWIDADI JUMA OMARY KAHMSI MBWANA ABDULRAHMANI HAJJI MNYIKA ARAFATI ABEID MWANGA ISMAIL JUMA MDUNGUMA SAID ABDALLAH JUMA ABDILLAH KIMWERI TEMBA ISSA KASIM MSARO OMARI SILIMA MAKUNGU SAIDI (SALMIN) DANIEL KIVUYO ASHRAF MUHIDIN HARITHI YAZIDU HAMZA ABDILLAH HUSEI SABUNI IBRAHIM SAID ISSA JUMA JAFFAR MJENGA AMUOR KHAMIS MOHAMED ADINANI RAMADHANI JABIRI AHMADI NYANGASA RAMADHANI ISMAIL KIWANGO BARAKA ABRAHMANI DAIBAH ABDALLA IZADIN MUGHAMBA HASSAN RAMADHANI OMARY BAKARI BARAJAH SALEHE KHATIBU KIMLOLA YUNUSI SALMIN RAMADHANI DAUDI A. MWITA HALFAN KUNA MSUYA RAMADHANI ISMAIL RAMADHANI ABUBAKAR OMARY ABUBAKAR MICKDADI KUDURA RAMADHANI OTHMAN KASSIM OTHMAN RAJAB IBRAHIM RASHID DUMHAJIRA JUMA KIVALE SHUKURU KIVALE HUSSEIN OMARY MNZAVA FREYJHAM OTHMAN HABIB RAMADHANI SWDI IDRISA MUHIDINI ISMAIL MUHARAMI ISMAIL RASHID RAHIM ADAM MUSSA HAFIDH SAID MNUNDUMA JUMA SALUM JUMA ABUBAKARI MOHAMED NAMONDE
AN-NUUR
M A E L E K E Z O YA K U J I U N G A N A SHULE (JOIN INSTRUCTIONS) YANAPATIKANA SHULENI KIRINJIKO NA KATIKA VITUO ULIVYOFANYIA MITIHANI. NB: WA L I O K O S A K I R I N J I K O WAMECHAGULIWA KWENDA MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL 2. MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA
S/ 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 JINA LUKIA KHALFANKI SALUM ASYA SWALEHE ALLY MARYAM SALEH ALLY ZAINABU AMRI RABU MZEE ASHFA ABDUL NJOVU ZAINABU MUHAMMED NDULI MARYAM ADAM BAJAH SWALHA ABDALLAH AMINA HAMIS ALLY ALFATI ATHUMANI MWEGERO LEILA AZIZ LOGOME HIDAYA ABDALLAH ESHA TWAIBU LUNAS ANIFA JUMA ASHA SIMAI ALLY SIBELA H. TIMBULO HALIMA SALUMU KAPONDA ZUHURA ISMAIL MYOELA SALMA H. HABIB RAHMA MOHAMED HASSAN NEMHINA HAJI ZAFA RASHIDI ALLY AMINA HASSAN NZARO ARSHI BARAKA SHIGILI LATIFA CHUMA ATHUMANI RIZIKI AHMAD NAMGAGA SALAMA ABASI BUNGARA SAUDA OMARY RASHIDI WARDA OMARY PAZI ZAINA S. MWAYOLE NURAT KHATIBU BLAZA AZIZA SELEMANI KEA MWANAKOMBO MOHAMEDI WASICHANA
10
34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 LATIFA HUSSEIN MOHAMEDI SHAMILA YUSUFU SHABANI ZUHRA MUSSA JUMA NEEMA MOHAMEDY MSHANA NURU ABDALLAH AWADH NURU ISSA TINDWA SWAUMU SALEHE SABO FADHIRA HASSAN MDOWE AMINA ABDALATIF MAPONDELA SAKINA HAFIDHU MKINDI KHADIJA ALMASI ZAKIA SHABANI KHADIJA RAMADHANI MSIBA SHIEL ABDALLAH FATUMA SALIMU KOMBO LAILA KHAMISI ZULFA AGUSTINOM FUMBIKA AMINA KISAKENI ABUBAKARI ASHA ALLY ABDULRAHMAN ASIA HAMIDU SENODKI HADIJA ATHUMANI MAULID HALIMA SHABANI SALUMU MARIAM SALIM SAID MARIAM SALUM ISLAM MWANAMKASI SHAME IDDI SAIDA JOHN MBEZI MWANAMVUA SALUM MBAI KHADIJA SAIDI JUMA MARIAMU HUSSEIN MAGANGA KASHINDE JUMA KASWAGA AISHA YUSUFU MANDARI MOSHI MUSTAPHA MPANGACHUMA TATU ATHUMANI DIO SABAH SAUM ISLAM MAGUNO JOHN TUPANDANE ASHA ANANASI TAMIMU AZIZA HILAL HAMIDU HAWA HUSSEIN SOMBWE SOPHIA ABUU MWISHEKHE HADIJA SUNA KIPANZI AMINA ATHUMANI HAMISI HAWA MOHAMEDI HARUNA ASMA MGAZA KOMBO SHAMSA HAMZA KWEKA FATMA HABIBU ABDALLAH FATUMA AMIRI MAKUNGANYA NASRA MUSTAFA PAZI REHEMA SHABANI HEMEDY ZAINAB NYANGE MSUYA NUSURA HUSSEIN RAJABU ZAMDA KASSIM MUHAMMED RABIA ABASI JUMA SALMA MAJIDI KILIMA HABIBA MIKIDADI MUSSA STELLA CHARLES ZAKAYO WAVULANA MIHINZO RUPIA JFAR BURHANI KHAMIS SALUM FARAJA MOHAMED TANGI KITAH ABDALLAH BAJAH IDDY SHABAN NGULLAH MUHAMMED HAMIS BANDA ABDALLAH HARUBU WASIR SELEMANI HUSSEIN MWENESI HAMISI SELEMANI ABDULFATAH HASSAN HUSSEIN MWENEOSI NURDINI O KONDO SALUM KHAMIS SAID IBRAHIM AHMED MZOTA ABDULRAHMAN M. LIDEA HARUNA S MWAMBUSI AWADH ISMAIL YASINI MBARAKA HIKMA KASSIM ABDALLAH HASSAN H. TIMBULO JUSTINE YALED MWANG JUMA J MWANGU KHATIBU T BARAJA UWESU KHAMIS KWEJA ADAM SALUM 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77
Tangazo
ABDI MUSSA ABDI AYUB NASOR MWANGA FARID MOHAMED ABDULRAHIM HAFIDHI ADAMU BAKARI IMRAN HAMIDUN KIMARO JUMA MUSTAFA LESSY MUSSA JUMA SHEGWANDO HUSEIN MUHAMMAD ALLY PETER GERALD SAMBAI SHEHE IDRISA MBWANA YASSIR THABIT TARIMO IBAHIM IDD SILAYO SAID MUSSA LIHOMBA MAULID ABDILLAHI RAMADHANI AMIRI HOZA ASHIRAFU HIRI CHONA IDDI ABDULI MWISHWA JUMA RAJAB IBRAHIM ZUBERY RAHIM R. MWINCHANDE MAARUFU OMARI NANGUTA RAJABU OMARI MRUTU ABUBAKAR ABDUL MALLYA KESSY MUHAMMAD KESSY HASSAN BAKARI NGETI BAKARI RAMADHANI SINGANO JAMALI MNDOLWA ATHUMANI HAMZA OMARI FEISAL JUMA AMOUR AMMY MUHIDIN ABDALLAH ABDUL KARIMU SWADAKATI OMARY ABDALLAH KILINDO HAMID JAFARI MUKI BILAL SALEH JABIR THABIT ABDUL GWAKA ATHUMANI MOHAMEDI MUSSA MUNDHIR HILAL SEIF YASSIR NASSOR MUHAMED YAKINI SADIKI ABDULI ZAHIRI RAMADHANI KOLOWA AL-IMRAN RAMADHANI SWEDI MAGANGA BAKARI KIONGA ISMAILI SELEMANI SAMADU ABDUL JOSIAH KULWA OMARI SALEH SHOMARY ALLY HARUNA MSHOMI DANIEL JOSEPH SWAI HAMMAM MOHAMED LIPAMBA FADHILI RAMADHANI KALOWA ABUBAKARI RAMADHANI MUYA RAMADHANI ALLY KIJANGWA HAMAD STAMBULI ADAM ABOURAKARI MASOUDI KIPANGA 3. NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL WASICHANA JINA ADIJA R. RAJABU AFISA ABBAKARI IDD AISHA MAJID HUSSEIN AISHA S. ABBAS AMINA ABDILLAH ELIMI AMINA IS-HAQA NYEMENGA AMINA MOHAMMED HAMIS AMINA MUSTAPHA AMINA NASSOR MAULID ASHA SELEMANI ABDALLAH ASHURA HAKIM KATABAZI ASMAA HAMDAN SALUM ASMAA IDD MASOUD ASMIN ISMAIL JUMA AZIZA MAKONDA ABDALLAH CHIKU ATHUMAN KIZINDO DADA OMARY ABUBAKARY DOTO MAULID OMARY ESHA SALUM KALEMBO FARIZANA BASHIR FATUMA ABUBAKARY FATUMA ALLY MOHAMMED FATUMA BAYUMI MUNIS 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104
AN-NUUR
S/No
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75
11
76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 SALMIN NABII JABIR SALUM MBARAKA SALUM SALUM MOHAMMED MLILA SALUM OMARY SALUM SAMIRU MAULID MUSSA SHABAN RAMADHAN SHAFII JUMA MUCHAULU SHAKIRU SHAFII SHABAN SUDI M. ALLY TARIQ HAMDUN YUSUPH ABUBAKAR KEABA YUSUPH JAFARI BUNDALA KAIMU AHMED AMASI NAJIMUDIN MBATINA ASHRAF KASSIM BARAKA ALMAHADI MURSHID MUSTABA ABDULSWAMAD ABASI SAIDI RAMADHANI SHAMTE KHAMIS CHOBBO HASSAN KHALID ABDUNULE SSALI ABDULBASITI KIGUNDU MIKOTA ABEID KARENGA AKBARU MUHOZA RAMADHAN RATIBU SHABAN MUGANGA MOHAMED ATHMAN HUSSEIN YASSIN HAMIM AHMAD KASSIM HUSSEIN RAHMA ATHUMAN MUNA YASIRU MOHAMED NASIQ MUZAWALU SALUMU HAMIS KILOLO HUSSEIN MUHAMMAD KILONGO 4. UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL JINA KAMILI AMINA ADAM SINGANO GHANIA ABDALLAH ALLY AIKAMA NASSORO ALLY FATMA HASSAN MOHAMMED HABIBA ALLY MOHAMMED RAYA HAMAD MOHAMMED AISHA HUSSEIN KITWANA FATMA KARLAL ABDULAZIZ SARAH BASHIRI KISUMOH MAUA SUDI SAIDI ASIA SAIDI MBWELA RAHMA RAMADHANI TESSUA RAYA SAIDI SALIM ZAINA RAMADHANI BILALI SWAFAA YAHYA MADENGE HAFSA RASHID ALLY FURAHA ZAIDI HUSSEIN MWANSITI MOHAMED NJAMA MARIAM NASSOR SHEBE NAJMA SHABAN GEYA NASRA RAMADHANI NJEMU HADIRA THABIT HASSAN FIRDAUD ALLY SALIM RUKAIYA SAIDI BAKILI ZULFA AHMAD MASINDANO MWELEZA HAMZA JUMA HALIMA MTUMWA RAMADHANI FATMA SHUKURU KAMPATA FATUMA AHAMAD NGUYA MARYAM KARMAL MSUYA ANAFY HUSSEIN MANYAI SAMIRA ALLY MOHAMED SWABRINA NUHU RAMADHANI AZIZA AHMADI MUSSA MARIAM MUSSA ABRAHMANI RAPHIA MOHAMEDI MBUGUNI GHALITYE SALUM MSAFIRI SALMA SADIQ KASSIM NURU MOHAMED HAMAD AISHA SEIF HEMED AISHA ALLY KOMBO HAJRA YUSUPH MAHUNYA ROSHNY HUSSEIN SAJAN RUQAYYA OMAR KAI AISHA NASSOR MBAROUK 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 S/N 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 HUSNAT OTHMAN RAMADHANI ZAINABU HALFA HASSANI NAJMA ZUBERI BILALI MARIAM IBRAHIM SAEEDIA KABULA MOHAMED MIRAMBO FANSWARI ABDUL-HAMID YUSUPH-ASALY ASHURA RAJAB JUMA AISHA JUMANNE HAMIMU RAHILA SALUM ISSA MARYAM SALUM KITANGA LATIFA MUSTAPHA MOHAMEDI SALAH MSHINDOMUYYAGA ZUBEDA OMARI AWESO SAMIRA OTHMAN MGOMI UMMY MBWANA MRAMI ZAHARA HASHIMU KAIJAGE FADHILA SWALEHE JAFARI NASRA H MBEGA HUSNAT HASSAN MTEPA SAMIA SAID OMARI SHUFAA SALUM SAID HALIMA MUSSA MABIRANGA SHEKHA VYAMUNDU AMANI ZAIDAN HASSAN OMARY AZIZA YASSIN SADICK NASRA JUMA HASSANI SAMYA FAHAD MPONDA TUNU ABUU SHIBU AISHA HASSAN SHABANI MUTHAINA NASSOR ABDALLAH JOHARI ABDUL-RAHMANI SHAIBU HABIBA ASEDY CHOGA SADA ABDULRAHMAN ALLY FATMA ADINANI MSANGI MWANAIDI SELEMANI KIBASAME FATUMA MUSTAPHA KIPANDE NASRA HAMISI MWINYI HASINA MFAUME ABDULRAHMAN AZZA SEIF SAID ASHURA SAID MPULLA ZAINAB SAID NUNGU ASHA ATHUMANI HASSANI AISHA MOHAMED OMARY NAILA HASSAN SAID AZAMBE MAKATU MNEKEYA RIGEYE FAUZ SALUM SHYROSE ATHUMANI MSUNGWA MISKI SWAIBU ABDALLAH SABRA RASHID AHMAD AMINA HEMEDI MBAROUK HASSNATH HASSANI AMIRY RADHIA JUMA NGASI PILI BOAZ KITANGA JANNAT SALUM MBWANI SADA CLETUS MOSHI AISHA ATHUMANI MLEKWA RIZIKI HUSSEIN MSUYA FATMA AHMED KIHERE MWATATU SWALEHE BYAROG ZULFA OTHMAN KIBWANA KAUTHAR JAMAL FATMA MARINGO UHUMBI WAVULANA JINA KAMILI RAZACKIMY SHAIB MAKANDE ABDUL-KARIM SWALEH NJAKU HASSAN FERUZ KAHAMBA MUHAMMAD ALY HAMAD ALLY ABDULRAHMAN NYENYE YUSUF SALIM ISSA ALLY ABDALAH SALUM AKRAM NAFIISU KALISA HASSAN ABDUL KAWAMBWA MBARAKA GHARIBU SWALEHE ABID ISSAC KUMBI ABDULLATWIFTABRANI KINOJI OMARY YUSUPH SAIDI FEISAL SULEIMAN HAIDAR SHABAN KHALFAN SHABANI NASSOR HAMAD ALLY 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66
AN-NUUR
S/ 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45
Maelekezo ya waliochaguliwa kujiunga na shule (Join Instructions) yanapatikana shuleni na katika vituo ulivyofanyia mitihani. NB: Wale waoliokosa nafasi ya BWENI katika shule ya Kirijiko wanashauriwa wake Ubungo Islamic High School kwa ajili ya kupewa nafasi ya kujiunga na MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA.
AN-NUUR
12
wa Kiislamu jambo ambalo ni kheri kwa wanamafia, kujua kalenda ya dini yao. Aidha Sheikh wa Wilaya ya Mafia, Yussuf Seleiman Juma akitoa maana Hijiria alisema, ni kuanza kwa mwaka mpya, pale Mtume alipohama kutoka Mji wa Makka kwenda Mji wa Madina, na ndipo hesabu ya mwaka wa Kiislamu ulipoanza. Kongamano hilo liliandaliwa na Kituo cha Kiislam cha Marakazi, Changmbe kwa kushirikiana na Taasisis ya Bi. Aisha Sururu, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Sheikh Mohamed Khamisi.
Mkurugenzi wa kituo cha Kiislamu cha Markaza Changombe, Jijini Dar es Salaam Dr. Ossama Mahamoud Ismaili (katikati) akiongea na Waislamu wa Kisiwa cha Maa, hivi karibuni katika kongamano la kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu (1434).
12TH GRADUATION
The Acting Principal of the University College of Education, Zanzibar (UCEZ), cordially invites all graduands of the academic year 2011/2012, for the 12th Graduation. The Ceremony will be held on Sunday January 6, 2013 at the College premises All graduands are required to conrm their participation to the Academic Ofce not later than December 15, 2013. Graduands are reminded to pay paid Tshs. 10,000/= (non-refundable) before December 26, 2012 for graduation gowns. Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves. All graduands are requested to report at the College by 8:00 am on Saturday January 5, 2013 for rehearsal and logistical briengs. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowed to take part in the event. For more information contact the College on the following address: The Academic Ofcer University College of Education Zanzibar P.O. Box: 1933 Zanzibar. Tel: +255242234102 Email: amacez@zitec.org Mobile: 0777-863580/0773181786
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.