Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 12

Sauti ya Waislamu

Mauwaji ya Alhaj Dr Jumbe IGP ategue kitendawili


ISSN 0856 - 3861 Na. 1048 MUHARRAM 1434, IJUMAA DES. 7-13, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Waliochaguliwa kujiunga na shule za Ubungo Islamic, Kirinjiko Islamic , Nyasaka Islamic na Mkuzo Islamic - Ndani

D.P.P yeye awaachia huru watuhumiwa Ushahidi gani unahitajika zaidi ya huu?

IGP Said Mwema

Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya Katiba Marufuku kuswali Imam abambikwa ujambazi swala tano shuleni Awali alipachikwa wizi wa nguruwe 2011
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) Dk. Eliezer Feleshi

Watu wote ila mmoja tu wataka Dola yao Prof. Baregu akiri wamekosa walichotaka Jussa atoa darsa muungano wa mkataba

Ikaja kudaiwa kuiba pikipiki na 30,000 Sasa Des. 2012 anashitakiwa kwa unyanganyi

Ni amri ya Mkuu wa Shule Sekondari Kibiti Mwalim aliyetusi Waislam, Quran haguswi Adhabu zatolewa kwa kutizama dini ya mtu

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari
AN-NUUR

Marufuku kuswali swala tano shuleni


Na Shabaan Rajab
hivyo hawatadai sehemu, chumba au darasa kwa shughuli hizo za ibada. Mwanafunzi atavaa mavazi rasmi ya shule wakati wote bila kuvaa vitu vingine kama mapambo au Vitu vya kiimani kama vile Rozan, Koa, Kanzu au Kilemba au Suruali fupi kwa kuwa shule hiyo ni ya Serikali. Kwamba mwanafunzi atalazimika kuhudhuria vipindi vya dini siku ya Jumatano, ambavyo vitaendeshwa bila kuimba au kuswali kwa sauti, ikielezwa kuwa kitendo hicho kinaathiri kujifunza kwa wengine. Aidha mwanafunzi ametakiwa kutojihusisha na sherehe au mahafali yoyote ya kidini katika eneo la shule na iwapo atakiuka masharti hayo, basi mzazi akubali kumpokea mtoto wake na kumtafutia shule nyingine au hata kufukuzwa. Pia mwanafunzi ametakiwa kukubali masharti haya kwa kutia saini kwenye nafasi yake ya saini na kupitisha katika osi ya kijiji, Kata, Tarafa na osi ya Mkuu wa Wilaya yake, zikitanguliwa na Saini ya mzazi. Hatua hizo zimekuja kufuatia hapo awali shule ya sekondari Kibiti Ruji, mkoani Pwani kufungwa kwa muda usiojulikana, kutokana na mzozo wa kiimani miongoni mwa wanafunzi Novemba 11, 2012 na usiku Novemba 14, 2012, ambao umechochewa na baadhi ya walimu wa shule hiyo. Ni katika kipindi hicho ambapo sehemu ya jengo la shule liliungua moto na kusababisha wanafunzi kusimamishwa masomo kwa muda. Katika taarifa ya Mkuu wa shule, amebainisha kuwa mwanafunzi atarejea shuleni hapo iwapo atakubali kufuata taratibu za shule ambazo nakala yake imeambatanisha na masharti. Kwamba mwanafunzi iwapo atakubali masharti yaliyopo, atie saini kwenye nafasi yake ya saini na kupitisha katika osi ya kijiji, Kata, Tarafa na osi ya Mkuu wa Wilaya yake. Katika barua hiyo iliyosainiwa n a M k u u w a s h u l e B w. W.A.L. Kihongosi, wanafunzi waliokuwa wamesimamishwa masomo, wametakiwa kuahidi kutojihusisha na mikusanyiko ya aina yoyote bila idhini ya Mkuu wa Shule. Baadhi ya wanafunzi wametakiwa kurejea shuleni wakiwa na wazazi wao. Wanafunzi hao ni; Khalidi Senge, Matoke Pius, Seleman Selemani, Halifa I. Halifa, Jacob Mwambene, Salum Shaban, Emmanuel Meza,wote wa kidato cha sita. Wengine ni Fransis Marco, Isaya L. Tinka, Joel Sebastian, Misa Mwashitete, Abubakar Abdallah, Deusdedit Daud, Festo Mbwambo, James Valentine, Joseph Efraim, wote wa kidato cha tano. Wengine ni Mohamed Adam Hamisi, Ramadhani Selemani,

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR

MAONI YETU

Tujihadhari na utendaji wa jeshi la Polisi


MWANDISHI wa habari wa gazeti la Tanzania Daima amepigwa risasi na polisi huko Kunduchi jijini Dar es Salaam. Kama kawaida, Polisi wamedai kuwa walidhani ni mhalifu aliyetajwa kwa jina la mama J, kufuatia taarifa zilizotolewa na msamaria mwema. Hatudhani kama huyo mama J, aliyedaiwa kuwa anatafutwa, alikuwa akifanana na Bw. Shaban Matutu, kiasi cha Polisi kumfananisha na kumpiga risasi. Tunaona hapa kuna udhaifu mkubwa wa kipelelezi katika jeshi la polisi. Siku za nyuma, mwandishi mwingine wa habari mkoani Iringa, marehemu Daudi Mwangosi, ambaye alikuwa akifanya kazi na kituo cha televisheni cha Channel Ten cha jijini Dares Salaam, naye aliuliwa wakati akiripoti mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na MaendeleoCHADEMA. Polisi walituhumiwa kuhusika na mauaji hayo, hata hivyo walikanusha mara moja kuhusika na mauaji hayo na kutoa visingizio lukuki juu ya mauaji hayo, ambayo kimantiki haviingii akilini. Pamoja na kutolewa kauli kadha wa kadha za kujisasha jeshi hilo, hazikutosha kusasha mazingira ya polisi kuhusika na kifo cha Mwangosi. Kesi ya mauaji ya mwandishi huyo dhidi ya polisi inaendelea mahakamani. Mapema wiki hii, gazeti la Majira liliripoti vitendo vya kihalifu vinavyofanywa katika fukwe ya pwani ya Bagamoyo, kwa baadhi ya watu kuingiza nchini bidhaa kwa njia za panya, na kukwepa kodi au ushuru wa serikali. Gazeti hilo lilimnukuu mmoja wa wapakuaji wa mizigo katika fukwe hiyo, akisema kuwa wamekuwa wakifanya kazi hiyo kwa muda mrefu sasa. Lakini la jambo la kushangaza ni kwamba, mpakuaji huyo alibainisha wazi kuwa, kwa muda wote anaofanya kazi hiyo, wamekuwa wakilindwa na polisi. Siku za nyuma kidogo, Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, alieleza kuwa polisi wanashiriki katika wizi wa mafuta bandari Dar es Salaam. Akamtaka Kamanda Suleiman Kova kuwasaka wahalifu hao na kuwakisha katika vyombo vya sheria. Wakati utendaji wa Polisi ukiwa namna hiyo, kwa upande mwingine wameonyesha uhodari na ukakamavu katika kuwakamata watu wasiokuwa na maslahi nao wala madhara kwa umma. Kwa jinsi walivyovamia kule Markaz Changombe, w a k a w a m a t a Wa i s l a m u waliokuwa wakipinga kuuzwa kiwanja chao cha wakfu, wakaharibu mali za chuo nk. huwezi kuamini kama wanaweza kufanya uhalifu wa makusudi dhidi ya mwajiri wao serikali na kuumiza watu wasiokuwa na hatika kama akina Matutu. Kwa jinsi tunavyowaona wakirandaranda mitaani na mahakamani, wakiwa wamesheheni silaha na vifaa vya kutuliza ghasia, hasa siku za kuletwa mahakamani Sheikh Ponda au Sheikh Farid kule Zanzibar, unaweza usiamini kuwa ndio wale wale wanatuhumiwa kushiriki wizi wa mafuta kule bandarini au kuuwa na kujeruhi watu wasio kuwa na hatia. Kwa kif upi ni kwamba,

katika mazingira yaliyopo, tunaona kwamba wapo baadhi ya askari, na huenda wakawa wengi, ambao wamekuwa wakituhumiwa kufanya uhalifu au kuonea mahali ambapo wanapata fedha. Na mara nyingi, wanaweza kufanya ukandamizaji kwa wale ambao wana uhakika kuwa hawana maslahi nao. Inawezekana ikawa kuwa muuza gongo, bang i au
mirungi, kama ni mhongaji mzuri wa polisi, huyo hana wa kumdhuru. Hata ukimwitia Polisi, atakamatwa kama ushahidi na baadae atarejea kwenye biashara yake. Itakuwa vyema, na kwa hakika ndivyo inavyotakikana, kwa uongozi wa Jeshi la Polisi kuchukua juhudi na hatua za makusudi kusafisha udhaifu na kasoro zilizopo, vinginevyo wananchi watafikia mahali wakose imani na chombo hicho muhimu sana cha dola. Tukichukua hatua mapema

HALI ya ubaguzi na kibano kwa wanafunzi Waislamu Shule ya Sekondari Kibiti imechukua sura mpya baada ya wanafunzi hao kupigwa marufuku kuswali swala tano. Sasa wanatakiwa kuswali Ijumaa pekee ikiwa ni moja ya mashariti ya kurejeshwa shuleni baada ya kusimamishwa kwa muda. Aw a l i w a n a f u n z i h a o walilalamika kuwa kuna upendeleo shuleni hapo ambapo baadhi ya walimu huwatukana Waislamu na kutoa adhabu kwa ubaguzi. Kwamba kwa kosa moja, mwanafunzi Muislamu anaweza kufukuzwa au kusimamishwa shule, wakati kwa Mkristo aliyefanya kosa hilo hilo, hupewa adhabu hafu. Ni kutokana na kutokuridhika na hali na kuanza harakati za kupinga unyanyasaji huo, shule ilifungwa kwa muda na sasa uongozi wa shule hiyo umekia uamuzi wa kuwarejesha wanafunzi waliokuwa wamesimamishwa masomo shuleni hapo kwa kuwawekea mashariti magumu. Bodi ya shule hiyo katika kikao chake cha Novemba 14, 2012 imeamua kutekelezwa kwa kanuni namba 2 ya kazi zake, ikiwa ni pamoja kusimamia nidhamu za wanafunzi. Kwa mujibu wa barua iliyotolewa na Mkuu wa shule hiyo yenye Kumb. Na ED/KSS/A.2/281 kwenda kwa wazazi, imeeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopewa bodi ya shule katika kikao hicho, iliridhia mapendekezo ya Baraza la Walimu la kuwarejesha wanafunzi shuleni, ambapo wale wa kidato cha sita wametakiwa kurejea Desemba 8, 2012 saa 4.30 asubuhi na kidato cha tano watarejea Desemba 28,2012 saa 4.30 asubuhi. Hata hivyo uamuzi wa kuwarejesha wanafunzi hao umeweka mashariti magumu kwa baadhi ya wanafunzi, hususan wanafunzi wa Kiislamu wanaosoma shuleni hapo. Moja ya mashariti ni kwamba mwanafunzi analazimika kukubali kuwa ataswali katika siku zile tu, ambazo zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo, yaani kwa mwanafunzi wa Kiislamu ataswali Ijumaa tu baada ya vipindi, Jumamosi kwa wahusika tu na Jumapili kwa wanaohusika katika makanisa au Misikiti iliyo nje ya eneo la shule, na kwamba ataomba ruhusa kwa kuandika kwenye kitabu na baada ya kurudi katika ibada atalazimika kutoa taarifa. Sharti jingine ni kumtaka mwanafunzi kuahidi kutojihusisha au kutoendesha semina za ibada, sala, swala ama mafundisho ya aina yeyote ya kiimani wawapo shuleni. Wametakiwa wakubali kuwa shule haina kanisa wala msikiti,

Said Jaluo, Selemani Juma, Shabani Mzenga, Athumani Salimu, Abutwalib Ramadhan, Mwapashua Fujo, Beny Kayoka, Mesia Mwangwa, Athanas Kigalu, wote kidato cha sita. Wapo pia Mengi Hamimu, Hafidhi Makwinya,Yahaya Said, Abdallah Said, Abdallah Selemani, Ulimwengu Ahmad, Lucas Gaudence, Stephan Bureta, Marijan Marijan, Nganyika Simon, wote wa kidato cha tano. Kabla ya Bodi ya shule kukia maamuzi hayo, Awali Jumuia ya Wanafunzi Waislamu Kibiti sekondari, walimwandikia barua Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, juu ya masuala yaliyojadiliwa katika kikao chao na Mkuu wa shule hiyo Novemba 12,2012 na yaliyotokea kwa ujumla, na kumtaka kuingilia kati. Walimweleza kuwa siku ya Jumatatu Novemba 12, 2012, wanafunzi wa Kiislamu katika shule ya sekondari ya Kibiti, walifanya kikao na Mkuu wa shule kujadili matatizo mbalimbali yaliyokuwa yakiwasibu shuleni hapo. Kwamba wanafunzi Waislamu walikuwa wanakwazika na nyama ya nguruwe kuliwa shuleni hapo. Wakifafanua zaidi, wasema kuwa awali walimweleza Mkuu wa shule kuwa siku ya Jumamosi ya Novemba 10, 2012, baadhi ya wanafunzi wa Kikristo kuingiza nyama ya nguruwe shuleni na kuila, kitendo ambacho ni kinyume na taratibu za shule ambayo jamii ya watu wenye itikadi za imani tofauti, huishi na kushirikiana katika mambo mbalimbali, kama vile kula n.k. Waislamu walimkishia Mkuu wa Shule kero yao hiyo kama mlezi wao, ili akemee kitendo hicho kilichotishia mahusiano baina ya wanafunzi. Aidha katika barua yao kwa Mkuu wa Mkoa, walimweleza yaliyojiri katika kikao chao na Mkuu wa shule. Kwamba wanafunzi walikuwa wakilalamikia kitendo cha baadhi ya walimu shuleni hapo, kuutukana Uislamu na Waislamu. Walifahamisha kuwa siku ya Jumatatu Novemba 5, 2012, mwalimu wa Kiswahili waliyemtaja kwa jina la Madam Mseleti, aliutukana Uislamu na Waislamu kufuatia kosa alilofanya mwanafunzi mwenzao Muislamu. Walimnukuu mwalimu huyo akisema, Angalia vijana wa Kikristo walivyokuwa wazuri na tabia zao nzuri, lakini nyinyi Waislamu tabia zenu mbovu, mbaya, mnakiri sisi tungekuwa na tabia kama zenu mngekuwa hapa? Katika tukio hilo Wanafunzi hao walimweleza Mkuu wa shule kuwa, maneno ambayo ameyatamka mwalimu huyo wa Kiswahili, ni kinyume na

Inaendelea Uk. 4

Habari

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR

DK. Jumbe Mohamed Maphingo alikufa Mei 23, 2011. Nilikuwa hoteli ya Bagamoyo Beach Resort na asubuhi sana baada ya swala ya alfajiri nilipata ujumbe wa simu ukisema kuwa Dk. Jumbe alikuwa ameuawa na kundi la wanafunzi Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Inasemekana wakati huo ilidaiwa kuwa ilikuwa ni kutokana na kujaribu kumbaka mwanafunzi wa kike! Nilishtuka kwani huyo asingeweza kuwa Jumbe niliyemfahamu. Nilimpigia simu aliyepeleka ujumbe huo na akanipa maelezo hayo hayo. Jua lilipochomoza taarifa nyingine zikaibuka na wazi kabisa ungeweza kuanza kuona kuna zaidi ya kile kilichokuwa kinaelezwa kwa watu. Hata gazeti la Daily News la asubuhi hiyo lilichapisha habari hizo za jaribio la kubaka bila kuthibitisha kilichosemwa. Nilimwomba Mungu kuwa kama ukweli siyo huo, basi ukweli uchuliwe. Nani alikuwa Dk. Jumbe?

Mauwaji ya Alhaj Dk. Jumbe IGP ategue kitendawili


kilichounganishwa na hospitali hiyo. Usiku mmoja aliarifiwa kuwa mwanafunzi mmoja, wa kike alikuwa hajalala katika bweni. Aliagiza apewe maelezo ya maandishi kutoka kwa mwanafunzi huyo na hayakuka hadi usiku ambako aliuawa. Dk. Jumbe alikuwa akikaa katika nyumba ndani ya eneo la hospitali, peke yake. Mkewe na watoto walikuwa bado wanakaa Upanga, Dar es Salaam. Alikuwa na rafiki mwingine akiwa Bulongwa ambaye pia ni daktari na waliondoka pamoja kutoka Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam kwenda Bulongwa. Usiku wa mauaji yake daktari huyu alipigiwa simu na Dk, Junbe akimwambia kuwa kuna kundi la wanafunzi nje ya nyumba yake pamoja na huyo mwanafunzi wa kike aliyezungumziwa. Walikuwa wanaonekana kutaka Yalikuwa ni mauaji ya kikatili na nilikuwa natazamia kuwa Jeshi la Polisi litakamilisha uchunguzi huo. Hata kama Jeshi la Polisi halitafanya hivyo, kuna siku maalum ambako hukumu ya mwisho itafanyika. Takriban wiki mbili baada ya hapo sisi (Mtandao wa M a e n d e l e o w a Ta w h e e d ) tuliamua kupeleka timu ya waandishi wa habari wawili na mpiga picha kwenda Bulongwa kuandika habari kuhusu kifo cha Dk. Jumbe. Walizungumza na maosa na waliona ushahidi ulioachwa katika eneo la mauaji. Ilikuwa inashangaza kusikia kuwa bado kulikuwa na vifaa ilivyosemekana vilichukuliwa na kundi la wanafunzi ambavyo bado vilikuwa katika eneo hilo. Hivi Jeshi la Polisi linaweza kuruhusu uzembe kiasi hicho? Nilikataa kukubali hilo. Ndipo walipopata nakala ya Nolle Prosequi kutoka kwa mkuu wa taasisi hiyo yenye t a r e h e N o v e m b a 9 , 2 0 11 kuwaeleza kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (Serikalini) ameamua kutokuendesha kesi dhidi ya watuhumiwa. Ilikuwa ni mshtuko. Ingekuwaje jambo kama hilo litokee? Mwaka mmoja uliopita na hakuna taarifa zilizotukia? Unaweza kutetea hilo kwa njia gani? Ingewezekana vipi hilo litokee? Ni jinsi gani ambavyo mauaji yaliyofanywa na kundi la watu ambao waliacha mtiririko wa ushahidi wa maneno, vitu na vielelezo vya uchunguzi waishie kutokushitakiwa? Nini kilitokea? Hatuna majibu na kusema kweli nimepoteza imani kabisa sasa (na vyombo vya dola). Nimepitia vianzio kadhaa na nina uhakika kuwa mauaji haya yangefunguliwa kesi kwa urahisi hilo. Eneo la tukio la mauaji lilidhibitiwa ilivyopasa? Nina uhakika kulikuwa na majeraha, michubuko na bila shaka, damu. Kwa vile alipigwa mara nyingi na damu kuruka lazima itakuwa imewaangukia watu kadhaa kati ya kundi hilo. Na vitasa vya milango, madirisha, n.k. Lazima kulikuwa angalau na alama za vidole kwa mbali katika vitu hivyo na vifaa vilivyoachwa katika eneo la mauaji. Kwa uchunguzi mzuri isingekuwa vigumu kuwafahamu waliokuwa hapo na walishika kitu gani. Vipi kuhusu kuwepo kwa vitu ambavyo havikuwepo wakati wa mauaji kwani watuhumiwa kadhaa, kwa kughafilika tu wakati huo, wataacha vifaa vya thamani kubwa kiushahidi, na hii inawezekana kabisa. Ingewezekanaje vitu kama hivi virukwe tu visiangaliwe? Ni kweli havikuangaliwa? Mwishowe, kundi la watu (kama ndivyo lilivyokuwa) la wanafunzi wa kiume na kike haliwezi tu kutoka katika mabweni yao bila kuwepo maandalizi. Lazima kulikuwa na mawasiliano, ya mdomo, ya maandishi ya ujumbe wa simu au mazungumzo ya simu. Lazima wangekuwepo na nina hakika bado wapo washuhuda wa kile kilichotokea kabla ya na baada ya mauaji. Na watu wanazungumza. Wanaweza kufanywa wakaimba, licha ya kuzungumza. Vianzio vyote hivi havikusaidia kitu kweli? Siwezi kukubali kuwa hilo kabisa linawezekana. Tuliona wote jinsi Jeshi la Polisi linavyoweza kufanya kazi kwa bidii pale ofisa wa ngazi za juu wa Polisi, Mkuu wa Polisi mkoa wa Mwanza alipouawa usiku wa manane. Watuhumiwa wote walikamatwa na wamefunguliwa mashitaka. Mauaji ya Dk. Jumbe kwa kulinganisha yangekuwa ni rahisi zaidi kutatua na bado inawezekana. Hatua nyingine? Nitakuwa mwingi wa shukrani kwa Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi kama angeulizia, yeye binafsi, kuhusu uchunguzi huo uliokwama. Kuna maelezo kuhusu mauaji ya Dk. Jumbe ambayo nisingependa kuingilia,

NOLLE PROSEQUI YA DK. JUMBE MAPHINGO KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE NJOMBE KESI YA MAUAJI NO. 3 YA 2011 JAMHURI DHIDI YA 1. JANE (BINTI YA) LAISON (KWA) MWAKABUTA 2. HAIDARY (MWANA WA) MOHAMMED (KWA) MRISHO 3. RAYSON (MWANA WA) MESHAK (KWA) KYANDO 4. CHIBONA (MWANA WA) ROBERT 5. NSAJIGWA (MWANA WA) ELIUD (KWA) NJILO 6. NGOLO (MWANA WA) YAHAYA (KWA) NGOLO 7. TESHA (MWANA WA) MBOKA (KWA) MWAIJEGA 8. SAMSON (MWANA WA) FRANCIS (KWA) SANGA 9. DAIMA (MWANA WA) MASUVE (KWA) KYANDO 10. COLETHER (BINTI WA) JERY (KWA) HASSAN 11. MIKA (MWANA WA) JOHN WANYAMA 12. ELIB ARIKI (MWANA WA) MAIKO WANYAMA NOLLE PROSEQUI MAHAKAMA INAARIFIWA KUWA MKURUGENZI WA MASHITAKA SERIKALINI KWA NIABA YA JAMHURI KUWA HATAENDELEA NA KESI DHIDI YA (WALIOTAJWA JUU) KWA SHITAKA LA MAUAJI KINYUME CHA KIFUNGU CHA 196 CHA KANUNI ZA ADHABU, SURA YA 16 (CHAPISHO LA 2002) KOSA AMBALO WAMESHITAKIWA KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE HUKO NJOMBE IMETOLEWA IRINGA SIKU HII YA 9 MWEZI NOVEMBA 2011 R. MATITU WAKILI WA SERIKALI kumshambulia, na ndiyo mara ya mwisho daktari huyo alisikia kutoka kwa Dk. Jumbe. Daktari huyo alikimbia kutoka Bulongwa na kuandika maelezo kwa Polisi Makao Makuu Dar es Salaam. Nilizungumza naye mimi binafsi pale Masjid Tambaza baada ya mazishi ya Dk. Jumbe. Mwili wa Dk. Jumbe ulikutwa na majereha kichwani yaliyosababisha kifo chake muda mfupi baadaye nyumbani kwake. Nilielezwa kuwa mwili wa Dk. Jumbe ulikuwa unasarishwa kwenda Tanga kwa njia ya barabara. Nilikuja Dar es Salaam nikaenda kwa ndege Tanga kupitia Zanzibar na Pemba na nikawahi kumzika raki yangu. Lakini tulisikia kuwa watuhumiwa kadhaa walikuwa wamekamatwa na mara moja tukasikia kuwa kesi ya mauaji ilikuwa imefunguliwa na walikuwa wameshitakiwa. Kesi za mauaji huwa zinachukua muda mrefu na tulivuta subira. Jumapili (iliyopita) nilikutana na mjane wa Dk. Jumbe, nikiwa nimerudi Jumamosi usiku kutoka Cape Town (Afrika Kusini). Nilimbiwa kuwa alikuwa anahitaji sana kuniona. Tulikutana. Kumbe yeye na shemeji yake walitembelea Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa ili angalau kuona mahali mumewe alipoa na kupata habari kutoka kwa waliokuwepo, zaidi ya mwaka mmoja baada ya kifo chake kwa sababu hapakuwa na habari zozote zinazopatikana. sana. Ushahidi uko wapi? Dk. Jumbe alizungumza na mfanyakazi mtaalamu mwenzake wakati alipoona hatari inamnyemelea -- usiku huo huo kabla ya kuuawa. Maelezo hayo walipewa Polisi kwa njia ya tarifa ya maandishi. Simu hiyo itakuwa imenakiliwa mahali na kilichomo kingechambuliwa kudhihirisha kilichotokea eneo hilo. Hiyo ilifanyika? Hiyo ingewapa Polisi kianzio kutoka kwa aliyeuliwa, moja kwa moja. Nina uhakika kulikuwa na ushahidi mwingi tu katika eneo la mauaji. Katika mwili wa Dk. Jumbe na kuzunguka eneo

Dk. Jumbe alizaliwa na kukulia Pongwe, Tanga -kilomita chache kutoka mahali apozaliwa mama yangu lakini sikumfahamu hadi Mei 2009 tulipounda Mtandao wa Maendeleo wa Tawheed - kikundi ambacho kilikuwa na nia ya kuandaa safari za Hijja. Tulikuwa tunahitaji daktari na baadhi ya marafiki zangu wa karibu wakanielekeza kwa Dk. Junbe. Tulikwenda pamoja Makka mwaka ule na mahujaji 90. Kupunguza maelezo alikuwa kama mtu aliyevumbuliwa kwangu - alidhihirisha kuwa ni daktari hodari na aliyekubuhu, lakini alikuwa zaidi ya hapo kwangu na kwa kikundi chetu. Alikuwa anasaidia jikoni, kuleta vyakula kutoka madukani, alisaidia mahujaji wazee na takriban chochote kile ambacho kilihitaji kufanyika. Alikuwa mtu mtulivu na mshirika mahsusi wa shughuli za pamoja. Tulielewana papo kwa papo. Tuliporudi nyumbani tulikuwa karibu sana na nikaanza kumfahamu vyema zaidi na familia yake. Alikuwa raki mkubwa. Lakini alikuwa, kama nilivyogundua baadaye, rafiki wa karibu wa marafiki zangu wengi tu. Baadaye akaniambia kuwa kuna shughuli anayoisimamia kule Iringa na alihitaji kusari kwenda kule mara kwa mara. Hakuniambia kuwa alikuwa amekubali ajira katika Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Nadhani alidhani ningemshauri vinginevyo lakini huo ulikuwa ni uamuzi wake. Nini basi kilitokea? Dk. Jumbe akiwa ni mtu wa jinsi alivyokuwa akidhihirisha sifa zake haraka sana. Alikuwa wakati wa kifo chake, nilivyoambiwa, Mnadhimu wa Chuo cha Tiba

na tutatoa kinachohitajika, kama Jeshi la Polisi haliwezi kufanya hivyo. Hata kama uchunguzi wa kimaabara unahitaji kufanyika. Mwananchi mpenda haki

lakini uchunguzi (wa kifo chake) unahitaji kurudiwa upya hasa kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. Kama kuna gharama zinazohitaji kukiwa, basi tufahamishwe

Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya Katiba


Na Mwandishi Wetu walio wengi katika wale waliofika mbele ya tume wakitoa maoni yanayohusu aina ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza hivi karibuni juu ya hali hiyo, mwenyekiti wa timu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayokusanya maoni hayo Zanzibar, Profesa Mwesiga Baregu alikiri kuwa wanachopata Zanzibar ni kama kura za maoni kuhusu kuwapo, kutokuwapo au aina ya mfumo wa Muungano wanaoutaka Wazanzibari. Taarifa zinaonyesha kuwa kati ya watu 123 waliotoa maoni kwenye Shehiya ya Mombasa, kwa njia ya kuzungumza ni mtu mmoja peke yake aliyetoa maoni ya Katiba Mpya. Na wakati akitoa maoni hayo, ilikuwa wazi kuwa alikuwa akiwakera wengi kwani wakati akijieleza mbele ya wajumbe wa tume, wananchi waliibua miguno na zomeazomea ikiashiria kutofurahishwa na hatua yake hiyo; ingawa wajumbe wa tume waliasa wananchi kuvumiliana. Kwa upande mwingine, limetolewa somo juu ya muungano wa mkataba, msamiati na dhana ambayo umekuwa maarufu na kusemwa na wengi. Akitoa darsa hiyo kupitia mtandao, Ismail Jussa amesema kuwa Muungano wa Mkataba ni MASHIRIKIANO kati ya nchi mbili au zaidi ambazo kila moja huwa inabaki na mamlaka yake kamili ya KIDOLA kitaifa na kimataifa lakini bado zikawa zina mashirikiano katika maeneo maalum zitakazoamua kushirikiana, mahusiano ambayo huwa yanaongozwa na Mkataba. Akifafanua zaidi akasema kuwa, Muungano wa Mkataba ni tofauti kabisa na Muungano wa Kikatiba ambao huwa unamaanisha kuwepo kwa Serikali ya Muungano inayosimamia mambo ya Muungano. Katika Muungano wa Mkataba, Jussa anasema, kila nchi hubaki na Serikali yake kamili yenye kusimamia mambo yote. Na kwamba, yale maeneo ya USHIRIKIANO husimamiwa kupitia ama KAMISHENI YA PAMOJA au KAMATI YA PAMOJA kwa kadiri makubaliano yatakavyokuwa yamewekwa

Habari/Tangazo

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR

WAZANZIBARI wamezidi kudhihirisha kuwa muhimu kwao kwa sasa ni juu ya madai yao ya kutambuliwa kama nchi na dola kamili kwanza na wala sio la aina ya katiba. Hayo yameendelea kujitokea mbele ya TUME ya Mabadiliko ya Katiba ambapo Tume hiyo imejikuta ikipokea maoni ya uwapo au kutokuwapo Muungano badala ya Katiba. Katika vikao kati ya wajumbe wa tume na wananchi katika Shehiya tofauti Unguja, tume hiyo imeshuhudia wananchi

Marufuku kuswali swala tano shuleni


Inatoka Uk. 2
Buruma Elias (V- EGM) na Hamphrey Kitago (V- EGM), ambao wao walibakishwa shuleni hapo bila kurudishwa nyumbani walipokutwa na kosa la kuwa nje ya shule na nguo za michezo. Aidha, wanafunzi hao waliomba kupewa eneo la msikiti, kutokana na eneo walilo nalo kutokidhi idadi, jambo ambalo limelazimu wanafunzi wengine kufanya ibada nje. Pia walisema kuwa eneo lililopo, lipo karibu na ofisi ya Wanafunzi Wakristo hivyo wanapofanya ibada zao, kama vile kuimba na kupiga mako, sauti zao hufika msikitini na kusababisha usumbufu katika ibada za wenzao. Baada ya wanafunzi kutoa maoni juu ya shida zinazowakabili shuleni hapo kwa Mkuu wa Shule, aliwapongeza kwa subira waliyoionyesha, kwa kuwa masuala yaliyowasilishwa yanagusa zaidi imani. Ilielezwa kuwa Mkuu wa Shule aliainisha matatizo yaliyowasilishwa kwake na kuahidi kuyafanyia kazi, isipokuwa masula yaliyo nje ya uwezo wake kama vile suala la eneo la msikiti. Alishauri wanafunzi hao waandike barua kwa mmiliki wa shule, ambaye ni Mkurugenzi ambaye ndiye mwenye mamlaka hayo ya kutoa eneo la msikiti. Yale yaliyokuwa ndani ya uwezo wake aliahidi kuyatekeleza na alianza kuchukua hatuya haraka ilivyowezekana. Siku iliyofuata, yaani Jumanne Novemba 13, 2012, Mkuu wa shule alikemea mbele ya wanafunzi wote, kitendo cha baadhi ya wanafunzi kula nyama ya nguruwe katika mazingira ya shule. Aliagiza wanafunzi waliohusika wachukuliwe hatua na makamu mkuu wa shule. Kufuatia agizo la mkuu wa shule, Makamu mkuu wa shule alianza kuwachukulia hatua kwa kuwaita wahusika majina hapo hapo mstarini na kutafuta

kosa alilolifanya mwanafunzi mwenzao, kwani yeye alikuwa akifafanua dhamira ambayo mwalimu aliikataa, naye mwanafunzi akahitaji mwalimu wake amsahihishe ni wapi alipokosea. Pamoja na hayo, wanafunzi hao walibainisha tatizo jingine kuwa kudhalilishwa ni Quran na kupotoshwa katika mafundisho yake. Kwamba wanafunzi viongozi wa Kikristo wamekuwa wakitoa nukuu za aya za Quran na kuzichanganya na nukuu za Biblia. Ilielezwa kuwa Kaka Mkuu shule aliyetajwa kwa jina la Hope Cosmas na Maulid Mjori, wamekuwa wakikosea matamshi ya aya za Quran na hata kupotosha tafsiri zake pia, bila kujali kuwa hilo ni kero na chukizo kwa wanafunzi wa imani nyingine. Aidha wanafunzi Waislamu walimweleza Mkuu wa Shule kuwa kumekuwa na tabia ya utolewa adhabu kwa wanafunzi kwa kuzingatia upendeleo wa kidini. Kwamba limekuwa ni jambo la kawaida shuleni hapo kutolewa adhabu tofauti kwa wanafunzi waliotenda kosa moja. Walidai kuwa mara zote wanafunzi Waislamu wamekuwa ni wahanga wa adhabu nzito na kubwa wafanapofanya makosa, huku wanafunzi Wakristo wakipewa adhabu hafu kwa kosa lile lile alilofanya wanafunzi Muislamu. Ulitolewa mfano wa mwanafunzi Muislamu aitwaye Yahya Said (Kidato cha 5 PCM), alipewa adhabu ya kurudishwa nyumbani alipokutwa amevaa nguo za michezo siku ya Iddi alipokwenda kusali. Adhabu hiyo alipewa hapo hapo barabarani alipokutwa. Lakini adhabu ilikuwa tofauti kwa wanafunzi wa Kikristo Fredrick Webiro (V- EGM),

ushahidi zaidi kutoka osi ya ulinzi ya wanafunzi. Aidha Mkuu wa shule alikemea kitendo cha kunukuu vitabu vitakatifu bila ufahamu wake. Pia Bw. Kihongozi alikemea tabia ya baadhi ya wanafunzi kutanianiana au kukejeliana kiimani na akatoa mfano, kuwa imani ya mtu ni kama kilema kwa hiyo kumtania mtu kilema chake ni jambo baya sana. Hata hivyo, wakati mkuu wa shule anachukua hatua hizo, lilitokea tukio la moto katika ofisi ya wanafunzi Wakristo usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano Novemba 14, 2012. Ilielezwa kuwa Polisi walika na kufanya upekuzi kuanzia msikitini kisha mabwenini. Baadae waliohojiwa osini viongozi wa Kikristo katika serikali ya wanafunzi peke yao huku viongozi Waislamu katika serikali hiyo wakiachwa. Baadae yalikusanywa maoni madarasani kupitia maswali yafuatayo yaliyoandaliwa, ambayo yalihoji chanzo ni nini? Mhusika ni nani? Na nini kifanyike? Aidha taarifa zinaonyesha kuwa viongozi wa wanafunzi wa dini zote walihojiwa na polisi na bodi ya shule. Katika mahojiano hayo viongozi wa Kiislamu zaidi ya kuhojiwa zaidi juu ya tukio la moto, walitakiwa kukiri kuwa hawakutumia njia sahihi kukisha madai yao kwa Mkuu wa Shule. Hivyo waliambiwa kuwa madai yao yote ni batili. Kufuatia mtiririko huo wa matukio, siku ya Alhamisi Novemba 15,2012, saa 2:00 asubuhi, Mkuu wa Shule aliwasilisha taarifa ya Bodi ya Shule kuwa shule inafungwa kwa muda usiojulikana. Sababu aliyoitoa Mkuu huyo ni kuwa, suala lililotokea linagusa imani za watu, hivyo kila mtu akitetea imani yake amani ya shule itatoweka.

kwenye Mkataba. Akielezea faida za Muungano wa Mkataba, Jussa amesema kuwa ni pamoja na kuwa inaondoa khofu ya nchi moja kuimeza au kuitawalia nchi nyengine. Kwamba kila nchi inabaki na uhuru na mamlaka yake kamili kitaifa na kimataifa kuamua mambo yake. Kwa utaratibu huo, kila nchi mwanachama ina uhuru wa kujitoa katika jambo lolote ililoamua mwanzo kushirikiana pale inapoona hakuna maslahi au faida kuendelea nalo. Kwa upande mwingine akasema kuwa, muungano wa mkataba huvutia nchi nyingi kuingia katika Muungano wa aina hiyo kwa sababu hakuna khofu ya kupoteza mamlaka au kupunguziwa madaraka au mambo yake kuamuliwa na nchi nyengine. Na hiyo ni kwa vile, mahusiano huwa ni ya kiraki na ya ujirani mwema yanayopelekea kuaminiana na kuondoa kutiliana shaka kusikokwisha.

KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

TAMASHA LA KANDA YA KASKAZINI, MASHARIKI NA VISIWANI KIRINJIKO - SAME 21 26 DESEMBA, 2012 Waislamu wote wa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba wanaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Chuo cha Ualimu na Ufundi Kirinjiko litakalofanyika 21 26 Desemba, 2012. Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi. Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13) Wabillah Tawiq AMIR

5
Na Paul Craig Roberts
Novemba 28, 2012 - Mtandao wa Kupashana Habari Mahojiano yanayofuata na Osama bin Laden yalifanywa Karachi, Pakistan, na gazeti la kila siku la Ummat na kuchapishwa Septemba 28, 2001, siku 17 baada ya kilichodaiwa, bila kuthibitishwa, kuwa ni shambulio la Al Qaeda la Septemba 11, 2001, katika minara pacha ya Kituo cha Kimataifa cha Biashara, na Pentagon (Wizara ya Ulinzi na Makao Makuu ya Jeshi la Marekani). Mahojiano hayo yalikuwa ya aina yake. Aliyedaiwa ni msukaji mkuu wa 9/11 alisema kuwa yeye na Al Qaeda walikuwa hawahusiki kwa lolote na shambulio la 9/11. Kitengo cha ufuatiliaji wa matangazo cha BBC (Shirika la Utangazaji la Uingereza) kilitafsiri mahojiano hayo kwa Kiingereza na kuyatoa hadharani Septemba 29, 2001. Kukana kwa kishindo kwa Osama bin Laden hakukutanganzwa katika magazeti na televisheni za Marekani. Hakukuchunguzwa na vyombo vya serikali. Hakuna mjumbe wa Baraza la Wawakilishi au Seneti aliyekunbushia kanusho la Bin Laden kuhusika na shambulio la kufadhaisha kuliko yote lililowahi kufanywa dhidi ya taifa lenye nguvu zaidi duniani. Kuthibitisha kuwa kumbukumbu yangu ya kutokutangazwa mahojiano hayo ni sahihi, niliingiza mahojiano ya Osama bin Laden akikanusha kuhusika na 9/11 katika Google, Baadhi ya kurasa za mtandao zilikuwa na mahojiano hayo, lakini kianzio pekee kikubwa cha habari nilichokiona ilikuwa ni video ya dakika moja YouTube kutoka CNN (kituo cha kimataifa cha televisheni) ambako mtangazaji, baada ya kunukuu taarifa ya Al Jazeera (kituo cha televisheni cha kimataifa cha Ghuba) ya kanusho la Bin Laden, alikia tamati kuwa tunaweza kupima hilo katika mizani ya kuaminika na kukia tamati zetu wenyewe. Kwa maneno mengine, Bin Laden alishatambuliwa ni gaidi wa kutisha, na kanusho lake halina thamani ya kuaminika. Habari hii ya kishindo haikuwa inafaa kwa wananchi wa Marekani na ilichwa kwao na vyombo huru vya habari, vyombo ambavyo viko huru kusema uwongo kwa niaba ya serikali lakini si kusema ukweli. Ni wazi kuwa kama bin Laden alikuwa amewashinda mbinu siyo tu Taasisi ya Usalama wa Taifa, Shirika la Ujasusi la CIA, shirika la upelelezi la jeshi la Marekani, shirika la upelelezi la FBI na pia mashirika yote 16 ya ujasusi ya Marekani, mashirika yote ya ujasusi ya washirika wa Marekani katika NATO au vibaraka wake, shirika la ujasusi la Mossad la Israel, halafu na Baraza la Usalama wa Taifa (Marekani), NORAD (Idara ya Ulinzi wa Anga ya Jeshi la Marekani), mamlaka

Habari mchanganyiko
ya kuongoza ndege, na ulinzi katika viwanja vya ndege mara nne katika subuhi hiyo moja tu - ingekuwa ni jambo la mafanikio ambalo halijapata kutokea katika historia ya dunia. Ni muujiza wa ujenzi wa taasisi ambao ungeifanya al Qaeda taasisi iliyofaulu zaidi ya kupambana na ubeberu katika historia ya binadamu, ushindi wa kushangaza dhidi ya Shetani Mkuu ambao ungeingiza mamilioni ya wasajiliwa wapya kurunzi lisiangalie kwake, lakini inaonyesha kuwa kila shirika la ujasusi linafahamu umuhimu wa kutangaza kuhusika kwa asasi iliyofanya shambulio lililofanikiwa. Licha ya kuwa Bin Laden alikanusha kuhusika, mwaka 2001 baadhi ya viongozi wa Al Qaeda, wakiwa wanajua umuhimu wa mashambulio ya 9/11, walitangaza kuhusika na shambulio hilo na kumkosoa Rais Ahmedinejad wa Iran aliyehoji maelezo rasmi ya Marekani.

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012


ya mapafu na go hakuishi kwa miaka mingine kumi kuuawa na kikosi maalum cha wanamaji wa Marekani, SEAL Team 6 huko Abbottabad. Mahojiano ya televisheni na jirani wa kile kilichoitwa nyumba aliyokuwa akikaa Bin Laden alifichua usanii wa kuuawa kwake. Mahojiano haya ya kishindo pia hayakutangazwa katika vyombo huru ya habari nchini Marekani. Nilijitahidi kupata tafsiri ya mahojiano hayo, na yako hapa: (http://www.globalresearch. ca/pakistan-tv-reportcontradicts-us-claim-of-binladen-s-death/25915 See also http://www.bbc.co.uk/news/ world-south-asia-13329078) Mara baada ya kilichodaiwa kuwa ni mauaji ya Osama, wanamaji 30 wa kikosi cha SEAL walikufa katika ajali ya kutatanisha ya helikopta nchini Afghanistan, na sasa tunasikia kuwa hakuna hata mmoja kati ya maelfu ya wanamaji wa meli ya kivita ya kubeba ndege, USS Carl Vinson, aliyeona kilichodaiwa ni mazishi ya bin Laden baharini kutoka meli hiyo. Taarifa za magazeti zinasema bila hiyana kuwa kwa sababu ambazo hazikuelezwa, hiyo ilikuwa siri hata kwa wanamaji wa meli hiyo. Hii inasemekana ndiyo sababu ya taarifa za simu za wanamaji kuwaambia wanafamilia na maraki kuwa hawakuona mazishi yoyote baharini. Baadhi wanakisia kuwa wanamaji hao walilipuliwa kabla maswali miongoni mwao kama Ulikuwa kwenye shambulio? hayajaka nje ya kikosi. Vyombo vya habari na wananchi kwa jumla hawahisi kuwa ni jambo la ajabu kuwa serikali ya Marekani ingemkamata mbunifu mkuu wa ugaidi bila kumhoji na bila kubakiza ushahidi wowote au kutoa mashuhuda kuunga mkono dai la kuuliwa kwake. Adolf Hitler alidai kuwa wakomunisti walichoma jumba la Bunge (mjini Berlin, mwaka 1933) na kuwa askari wa Poland walikuwa wamevuka mpaka (1939) na kuishambulia U j e r u m a n i , K a t i k a 9 / 11 Wamarekani wameujua aina hii ya uwongo mkubwa. Osama bin Laden aliyekuwa anakufa kwa magonjwa yasiyotibika katika nchi ya mbali ya Afghanistan alishinda miundo mbinu yote ya kiusalama ya dola ya Marekani na kupeleka shambulio lake ndani ya kuta za Pentagon yenyewe, kuhitaji, kwa ajili ya ulinzi wa Marekani, vita dhidi ya ugaidi iliyoteketeza uhuru wa mtu binafsi na kulisi nchi ili kuzuia ushindi wa mtu ambaye alishakufa kwa vianzio vya kawaida Desemba 2001. Mei 9, 2011 Profesa Michael Chossudovsky alichapisha tena mahojiano ya Septemba 28 2001 na Osama bin Laden katika jarida la Global Research. Mahojiano na Osama bin Laden: Osama akanusha kuhusika na 9/11 Makala hii inapatikana (http://www.globalresearch. ca/interview-with-osama-binladen-denies-his-involvementin-9-11/24697-Imetafsiriwa Kiswahili na Anil Kija)

AN-NUUR

Uzushi kuhusu Osama bin Laden

hizo zilitolewa baada ya Bin Laden kuripotiwa na gazeto la Observer la Pakistan, magazeti ya Misri, na shirika la habari la Fox nchini Marekani kuwa alikufa katikati ya Desemba 2001, kutokana ugonjwa wa mapafu. (Tazama:http:// www.foxnews.com/ story/0,2933,41576,00.html See also http://www.legitgov. org/News-Bin-Ladens-Deathand-Funeral-December-2001)

Sehemu ya taarifa kamili ya kilichochapishwa na gazeti la Pakistan kama mahojiano maalum na Usamah Bin Ladin:
Ummart: Umeshutumiwa kuhusika na mashambulizi ya New York na Washington. Unataka kusema nini kuhusu suala hilo? Kama huhusiki, nani anaweza kuwa? Usamah (Osama bin Laden): Katika jina la Allah, mwingi wa rehema, mwingi wa huruma. Sifa ziende kwa Allah, Ambaye ni muumba wa ulimwengu wote na Aliyefanya dunia ikawa mahali pa amani, kwa binadamu wote. Allah ndiye Mpaji, aliyempeleka Mtume Muhammad kwa uongozi wetu. Navishukuru vyombo vya habari vya kampuni ya Ummat, ambao wamenipa nafasi ya kutoa rai, hasa watu jasiri na Waumini halisi wa Uislamu nchini Pakistan ambao wamekataa kuamini uwongo wa ibilisi. Nimeshasema kuwa sihusiki na mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani. Kama Muislamu, najaribu iwezekanavyo kutosema uwongo. Sikuwa na ufahamu wowote wa mashambulio haya, wala sidhani kuwa mauaji ya wanawake wasio na hatia, watoto, na binadamu wengine ni kitendo cha kujivunia. Uislamu unakataza kabisa kuleta madhara kwa wanawake wasio na hatia, watoto na watu wengine. Kufanya hivyo kunakatazwa hata wakati mapigano yanaendelea. Ni Marekani ndiyo inayoendeleza kuwaonea kila mahali wanawake, watoto na watu wa kawaida wa imani nyingine, hasa wafuasi wa Uislamu. Kile kinachoendelea katika Palestina kwa miezi 11 iliyopita kinatosha kuinua ghadhabu ya Mungu juu ya Marekani na Israel. Pia kuna onyo kwa zile nchi za Kiislamu, ambazo zimeona yote haya na kukaa kimya kama watazamaji. Nini kilitokea kabla kwa watu wasio na hatia wa Irak, Chechnya na Bosnia? Ni jawabu moja tu linaweza kutolewa kuhusiana na kutojali kwa Marekani na nchi za Magharibi kwa vitendo hivi vya kigaidi na kushikamana na tawala hizi dhalimu kunaonyesha kuwa Marekani ni dola inayochukia Uislamu na inafungamana na mikondo inayopinga Uislamu. Uraki wake na nchi za Kiislamu ni onyesho tu, tuseme ni udanganyifu. Kwa kuzichangamkia au kuzitisha nchi hizi, Marekani inazilazimisha kufanya kile inachotaka. Tupa jicho kuzunguka na utaona kuwa watumwa wa Marekani ni ama watawala au maadui wa Waislamu. Marekani haina marafiki. Na pia haitaki kuwa nao kwa sababu kuwa na rafiki inabidi ujishushe ukie kiwango cha raki yako au kumkubali kuwa yuko sawa na wewe. Marekani haitaki kuona yeyote akiwa sawa naye. Inatazamia utumwa kutoka kwa wengine. Hivyo nchi nyingine ama ni watumwa au ni wasaidizi wa Marekani. Hivyo, shauri letu ni tofauti. Tumejitakia utumwa kwa Mungu Mwenyezi peke yake na baada ya hitaji hilo hakuna tena uwezekano wa kuwa mtumwa wa mwingine awaye yote. Tukifanya hivyo, itakuwa ni kumpuuzia Mpaji wetu na binadamu wenzetu, Nchi nyingi za dunia zinazolinda uhuru wao ni za kidini, ambazo ni maadui wa Marekani, au yenyewe inaziona kuwa ni maadui, Au nchi ambazo zinakataa kuwa watumwa, kama China, Iran, Libya, Cuba, Syria, na iliyokuwa Urusi kama ilivyopokelewa. Awaye yote aliyefanya kitendo kile cha Septemba 11 siyo raki wa watu wa Marekani. Nimeshasema kuwa tunaupinga mfumo wa Marekani, siyo dhidi ya watu wake, wakati ambapo katika mashambulizi haya, watu wa kawaida wa Marekani wameuawa. Kwa taarifa nilizo nazo mimi, idadi ya waliouawa ni kubwa zaidi ya kile serikali ya Marekani ilichosema. Lakini serikali ya Bush haitaki wasiwasi uenee. Marekani inatakiwa kujaribu kuwafuatilia waliofanya kitendo kile huko huko nchini Marekani, watu ambao ni sehemu ya mfumo wa Marekani, lakini wanauasi. Au ni wale ambao wanatumikia mfumo mwingine; watu wanaotaka karne hii iwe ni karne ya ugomvi kati ya Uislamu na Ukristo ili ustaarabu wao, taifa, nchi, au itikadi iweze kudumu. Wanaweza kuwa yeyote yule, kuanzia Russia hadi Israel na kuanzia India hadi Serbia. Nchini Marekani kwenyewe, kuna dazeni za makundi yaliyohamasishwa na yenye silaha za kutosha, yenye uwezo wa kufanya uteketezaji mkubwa. Na huwezi pia kuwasahau Wayahudi wa Marekani, ambao wamechukizwa na Rais Bush tangu uchaguzi kule Florida na wanataka kulipiza. Halafu kuna mashirika ya kijasusi nchini Marekani, ambayo yanahitaji mabilioni ya dola yapitishwe na Bunge na serikali kila mwaka. Kupatikana kwa fedha haikuwa tatizo wakati iliyokuwa Urusi ikiwa bado ipo lakini baada ya hapo bajeti ya mashirka haya imekuwa mashakani. Wanahitaji adui. Hivyo, kwanza walianza propaganda dhidi ya Usamah na Taleban na sasa tukio hili limetokea. Wavushaji mihadarati kutoka kote duniani wana mawasiliano na mashirika ya kijasusi ya Marekani. Mashirika haya hayataki kufutilia mbali uzalishaji wa mihadarati kwa sababu umuhimu wao utapungua, Waajiriwa wa Idara ya Kuzuia Mihadarati ya Marekani wanachochea biashara ya mihadarati ili waweze kuonyesha uhodari wao na kupata mamilioni ya dola za bajeti. Jenerali (Manuel) Noriega alifanywa kuwa bosi wa mihadarati na Shirika la Ujasusi la Marekani, na wakati ilipohitajika, akatolewa kafara. Kwa njia hiyo, hata awe ni Rais Bush au rais mwingine wa Marekani, hawawezi kuikisha Israel mbele ya sheria kwa uvunjaji wa haki za binadamu na kuitaka iwajibike kwa uhalifu huo. Ni nini hiyo? Si maana yake ni kuwa kuna serikali ndani ya serikali nchini Marekani? Serikali hiyo ya siri iulizwe ni nani aliyefanya mashambulizi hayo (ya Septemba 11).

katika mtandao wa al Qaeda. Hata hivyo aliyedaiwa ni msukaji mkuu alikataa kabisa kuhusika. Nakumbuka miongo kadhaa iliyopita lilipofanyika shambulio la kigaidi barani Ulaya, iwe ni la kweli au ni Operesheni Gladio nyingine ya kukosea kusoma bendera http://en.wikipedia.org/ wiki/Operation_Gladio ambako makundi tofauti yangetangaza kuhusika. Labda hii ilikuwa ni njia ya CIA kukwepesha

Licha ya kuwa ni Wamarekani wachache sana wanaofahamu mahojiano ya Septemba 28 2001 ambako Bin Laden alikanusha kuhusika na mashambulio ya 9/11, Wamarekani wengi wameona video zilizopigwa baada ya mashambulio hayo ambako mtu anayedaiwa ni Osama bin Laden anajipongeza kwa shughuli hiyo. Kuna matatizo mawili na video hizo. Watalamu wamezichunguza na kugundua kuwa ni bandia, na video zote

Bin Laden pia aliugua ugonjwa wa go. Taarifa ya kituo cha utangazaji cha CBS ilisema January 28 2002 kuwa Osama bin Laden alikuwa amelazwa kwa tiba ya go katika hospitali ya kijeshi ya Rawalpindi nchini Pakistan hapo Septemba 10, 2001, siku moja kabla ya 9/11. (http://www.globalresearch. ca/where-was-osama-onseptember-11-2001/3194 ) Ni wazi kuwa mtu aliyekuwa anaugua magonjwa ya kusha

Zanzibar ina uwezo wa kujitawala na kujikimu


Na Ibrahim Mohammed Hussein
yake anajaribu kutupumbaza na kututumainisha kuendelea kuitumainia Tanzania Bara kwa vile ni nchi tajiri na ina uwezo mkubwa sana. Anauliza muandishi huyo:Hivi nani angepaswa kulalamika katika Muungano, Watanzania Zanzibar au Watanzania Bara? Anasema muandishi:Watanzania Bara wana uchumi mpana, eneo kubwa, watu wengi na fursa kadhaa za kiuchumi, kiafya na kirasilimali sio wanaonungunika, wale wadogo wenye watu wachache, eneo dogo lao la ardhi, uchumi wa kisiwa na fursa chache za kijamii ndio wanaobwata kuwa hawataki Muungano. Anasema: Uchumi wa kisiwa hauwezi kuibeba Zanzibar yenyewe. Hili lahitaji darubini. Eneo la Zanzibar na ongezeko la watu wake katu haiwezi kujihimili peke yake. (Hong kong inabebwa na nani? Muandishi anaweka khofu na kuziviza akili za wananchi walio wengi ambao yeye mwenyewe amesema ndani ya makala yake kwamba Watu wetu kwa uelewa mdogo nao wamekuwa kama tanga la ngalawa, huwa linafuata upepo tu. Muandishi ndio ameona bora awadumaze watu wake kwa kuwatia hofu ya kutoweza kujitegemea peke yao bila ya msaada kutoka Bara. Muandishi anazidi kuweka vitisho na kuwapumbaza Wazanzibari kwamba Muungano ukivunjika, basi huo umeme wa Pemba na huo umeme wa Unguja utokao Tanzania Bara mtalipa kwa dola ya Marekeani. Vile vile sio umeme tu, bali hata vifaa vya ujenzi mfano wa bati, saruji, mbao na misumari mtaweza kuvinunua kwa dola? Matikiti ya Wagogo, mbatata za Wahehe na nyanya za Wasambaa zitaletwa Zanzibar na watu kununuwa kwa Dola? Mheshimiwa haya nani kamwambia kwamba Zanzibar ikiwa na mamlaka yake kamili haitakubaliwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Afrika Mashariki na itatengwa na nchi jirani kwa hivyo majirani zetu wote Kenya na Uganda watatususia vile vile kama itakavyotususia Tanzania. Hivyo mheshimiwa huyu haelewi kwamba Zanzibar chakula chetu kilikuwa kikitoka India. Mchele, Vitunguu, Mbatata n.k. takriban kila kitu chetu kilikua tukiagiza kutoka nje. Lipi la ajabu. Hukumuona Marehemu Karume alitoa agizo la kutonunua hata msumari wa bati kutoka Tanganyika, kila kitu ilikua tukiagiza kutoka Uengereza katika Kampuni ya (Crown Agent) Mh. Zanzibar ilikua ikilipia vitu hivyo kwa fedha za kigeni, hilo sio jambo la ajabu kwa Zanzibar. Marehemu Mzee Karume alichukuwa hatua hizo na kila mtu anaelewa vyema. Mheshimiwa huyo anasema:Katu Zanzibar haitaweza kujihimili peke yake na ametoa sababu mbili. Eneo la Zanzibar na ongezeko la watu wake. Haya maneno ya kusema katu Zanzibar haiwezi ni kweli haiwezi wala haitaweza kutokana na mikakati mulioiwekea Zanzibar ya kuifungia milango yake yote kwa kuitumia KATIBA ya Jamhuri ya Muungano kifungu 17:1 kila atakaetaka kuja kuishi Visiwani basi rukhsa imeshatolewa kwa nguvu za Katiba na aje tu kwa kadiri watakavyopenda. Kutokana na hali hiyo ni kweli Katu Zanzibar hitaweza. Vile vile Muheshimiwa huyu anasema:Zanzibar ina fursa chache za kijamii hili nalo ni kweli Muungano umetuzuwia kuzitumia fursa zote za kuiwezesha Zanzibar kujipatia misaada na mikopo katika dunia ya leo. Hili nalo ni tatizo la Katiba yetu. Maana katika mfumo wa Muungano uliopo ambao ndio sera ya CCM. Zanzibar imenyimwa nafasi ya kujiombea misaada yenyewe moja kwa moja. Yote hayo ni matatizo ya katiba yetu. Sasa kama tumegundua kwamba Katiba ni kikwazo kwetu, basi ni kukataa mfumo wa kikatiba. Tumeona leo ni miaka 20 imetimia tokea suala la OIC lilipojitokeza na wakatulazimisha tujiondowe kwa vile tumevunja katiba, basi ni hasara kwetu kubwa ya kiuchumi tulioipata kwa kusababishwa na Katiba. Sasa hatutaki katiba tunataka mkataba ambao hautatoa fursa ya kumezana, kubebana na kuoneana. Ikiwa dawa ya kutibu ni kukata kiungo kisichofaa kwa nini tusifanye hivyo tusubiri mwili mzima uoze. Hebu niambieni jamani, mapato yote ya vyanzo vya Muungano yanaingia katika mfuko wa Tanzania Bara ambao kikatiba sio mfuko wa Muungano bali ni wa Serikali ya Tanganyika. Muheshimiwa huyu tena huitwa Dk. anasema katika hali kama hizi eti! Nani angepaswa alalamike katika Muungano, Watanzania Zanzibar au Watanzania Bara? Mbele nitaonesha madudu na manyago ya Muungano ambayo bwana huyu huwa hayaoni abadani. Halafu katika kutaka kushawishi anajitumainisha kwa mali ya nduguye anasema:- Bara wenye uchumi mpana, eneo kubwa, watu wengi na fursa kadhaa za kiuchumi, kiafya na kirasilimali. Hapa ndio nilipomwambia kwamba mtumaini cha nduguye hufa masikini. Sasa Mheshimiwa huyu anasema jambo ambalo ndani yake ukilitafakari ni aibu tupu. Chama cha CCM, juu ya utajiri wote huo, basi chama imeikamatisha bakuli la omba omba Serikali yake iwe inatembea dunia nzima kuomba Yalla Maskini huku chama kikishindwa kuutumia utajiri na rasilimali zake alizonazo. Leo mheshimiwa Seif Khatib anataka kutwambia nini juu ya utajiri wa Tanzania Bara. Wao wenyewe maisha yo taabani pamoja na utajiri huo, bado ni masikini. Vipi atatutumainisha sisi Wazanzibari tutegemee rasilimali wasioweza kufaidika nazo wenyewe Watanganyika ziweze kutusaidia sisi huku Zenji? Mwisho mheshimiwa anasema:- Uchumi wa kisiwa hauwezi kuibeba Zanzibar yenyewe. Hili lahitaji darubini. Hivi Dk. Huyu anakiri Zanzibar yenyewe haiwezi kujiendesha. Mimi nakiri sasa mheshimiwa aisome Zanzibar. Hii hapa Zanzibar. Zanzibar ina utajiri unaojitosheleza. Visiwa vya Zanzibar vina historia inayovifanya viwe kivutio cha utalii kitu ambacho ni chanzo kikubwa cha utajiri. Visiwa vingi duniani vinaishi kwa kutegemea utalii tu na kufanikiwa kuufanya uchumi wake kuwa imara, pamoja na utajiri Zanzibar inacho

Makala/Tangazo

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR

NIMESHAJIIKA kuiandika makala hii baada ya kuisoma makala ndani ya gazeti la Mzalendo Jumapili tarehe 1117,2012, makala ilioandikwa na Dk. Mohamed Seif Khatib yenye jina la Tumeagana na Nyonga? Bwana huyu alianza makala yake kwa kuandika-Hapa ninanukuu:Waswahili utajiri wao umo katika misemo iliyoshiba falsafa. Ukipiga mbizi humo, lazima utaibuka na lulu ya maudhui mazito. Hapa niliona ni vizuri nianze kumjibu Bw. Seif Khatib kwa utajiri wa Waswahili wa hiyo falsafa ili apige mbizi na kuibuka na lulu. Sikia kama unalo sikio la kusikia. Mtumaini cha nduguye hufa masikini. Bw. Mohamed Seif Khatib ndani ya makala

kitu kingine ambacho ni cha utajiri ambacho ni zao la karafuu mbali na bidhaa za baharini ambazo ni tegemeo kubwa kwa uchumi wa nchi zilizozungukwa na bahari kama ilivyo Zanzibar. Utajiri wote huo tulionao bado Zanzibar haikupiga hatua zozote za kimaendeleo kwa vile haina maamuzi yake yenyewe. Kila kitu kimejifunga ndani ya muundo wa Muungano wa kikatiba tulio nao. Visiwa vya Zanzibar ni Visiwa tajiri sana kuliko visiwa vyote katika Bahari ya hindi vilivyo katika mwambao wa Afrika. Kitu cha awali kinachofanya visiwa hivi kuwa na utajiri ni historia yake ambayo ni kishawishi kikubwa cha kuvutia Utalii. Visiwa vingi duniani vimeneemeka kwa njia hii ya utalii lakini kwa Zanzibar bado ni kitendawili. Zanzibar bado inanuka ufukara ndani ya bahari ya utajiri iliyonayo. Mbali na utajiri wa kitalii ambao Zanzibar haijaweza kunufaika nao hadi hivi sasa, bado Zanzibar inavyo vitega uchumi vingine vinavyotosha kuufanya uchumi wake kuwa imara na kuweza kuneemesha maisha ya Wananchi wake. Zanzibar ina ardhi yenye rutba inayoweza kukubali kilimo cha aina mbali mbali hususan kwa mazao ya biashara. Isitoshe Zanzibar inalo zao la biashara ambalo ndio alama ya visiwa hivyo, Karafuu. Kama kisiwa cha Mauritius kinaweza kuimarisha uchumi wake kwa kutegemea zao moja kuu la biashara ambalo ni miwa, kwa nini Zanzibar ishindwe kuimarisha Uchumi wake kwa kutegemea zao la Karafuu zao ambalo halina ushindani kama lilivyo zao la miwa? Pamoja na karafuu Zanzibar haijaweza pia kunufaika na bidhaa za baharini kama ilivyo kwa nchi nyingine zilizozungukwa na bahari. Kwa maana hiyo inabidi tujiulize ni kitu gani kinachotufunika macho na kutugeuza vipofu? Muungano huu tulionao ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo yetu. Lakini Mheshimiwa anatujejea anasema: Zanzibar, wanayo Serikali yao, Rais wao, bendera yao, wimbo wa Taifa na mamlaka ya ndani. Hivi mheshimiwa ameona Serikali gani isiotegemea sera ya fedha kuwa ni silaha na nyenzo kubwa ya kupanga sera na maendeleo yake? Je! Zanzibar inayo silaha hiyo? Jawabu haina. Tutegemee nini katika maisha ya Muungano huu katika kukuza uchumi wetu? Hata tukikubaliana mafuta yawe yetu pekee bila ya kushirikiana na Tanzania Bara, madhali sarafu itakua sio yetu basi hapana faida yoyote itakayopatikana upande wetu. Kichekesho ni pale Waheshimwa hawa wanapotutaka tuamini kwamba, Tanganyika na Zanzibar zimeungana, lakini Tanganyika imekufa na kila mwaka wanaadhimisha sherehe za Uhuru wa Tanganyika. Ukweli ni upi basi? Ukweli Tanganyika ipo, Bunge la Tanganyika lipo, Katiba ya Tanganyika ipo na Rais wa Tanganyika yupo na mwishowe unaposema TANZANIA ujuwe unasema Tanganyika kwa hizo herufi tatu za mwanzo yaani TAN (maana yeke Tanganyika) na unaposema ZAN (unasema Zanzibar) Hapana chochote cha Tanganyika kilichopotea, kila kitu chake kipo na kinatenda kazi yake chini ya kivuli cha Muungano wa KATIBA YA SERIKALI MBILI. TEL: 0715-498363

7
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa wito kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu Maoni ya Wananchi juu ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba na tume yake kuweka bayana muundo wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya yatakayo jadili maoni ya wananchi, ili kuepusha Mabaraza hayo kutawaliwa na wajumbe wa chama kimoja. Maalim Seif alisema hayo juzi huko katika viwanja vya Alabama Michenzani, wakati alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho, ikiwa ni siku moja kabla ya Tume hiyo ya kuratibu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba kuanza kazi hiyo katika Wilaya ya Mjini jana tarehe 06/12/2012. Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema baada ya hatua hiyo ya kuchukua maoni ya wananchi kukamilika, tume itarudi ofisini kuyajadili na baadaye yataundwa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ambayo pia yataweza kujadili maoni hayo ya wananchi, kabla ya kuchukuliwa hatua nyengine. Alisema kuwa lazima kuwe na uwazi na wananchi waelezwe Mabaraza hayo yataundwa na wajumbe wepi, ili kuondoa dhana mbaya inayoweza kujengwa na wananchi kuwa wajumbe hao watatoka katika chama kimoja cha siasa. Alisema dhana kama hiyo ikijengeka inaweza kusababisha dosari katika mchakato mzima wa mabadiliko ya Katiba, hivyo tume hiyo ichukue hatua za makusudi kulitolea ufafanuzi suala hilo. M h e s h i m i w a Wa r i o b a lazima muwe wawazi, hadi sasa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya hapana anayejua muundo wake, vyenginevyo unaweza ukakuta wajumbe wote wanatoka katika chama kimoja, alishauri Maalim Seif. Aidha, Maalim Seif alisema uwazi pia unahitajika wakati wa kuundwa kwa Bunge la Katiba, ambapo mbali ya Wabunge wote na Wawakilishi wote kuwa wajumbe kuna wajumbe wengine 164, ambao watateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa ushirikiano na Rais wa Zanzibar, lakini hadi sasa utaratibu gani utatumiwa kuwapata wajumbe hao haufahamiki. Alisema ili kujenga imani kwa wananchi na kuepusha dhana mbaya itahitajika uadilifu mkubwa kwa Rais, hasa kwa wale watakaotoka Zanzibar basi kuna haja wawe angalau 55, na vile vile wasitoke katika chama kimoja cha siasa. Aidha, Maalim Seif alisema hata katika suala la kura ya maoni itakayokuja kufuatia huko mbele, bado kuna masuala mengine ya kujiuliza, kuhusu utaratiubu upi utatumika, wakati wa kura hiyo kwa Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na watu wa Tanzania Bara wanaoishi Zanzibar. Alieleza kuwa hofu hiyo inakuja kwa vile sheria ya

Habari

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012


yaliyodumu tokea Muungano huo ulipoanzishwa. Aidha aliwafahamisha wananchi hao kuondokana na dhana ya serikali mbili kwani haina maslahi ya nchi kwani hata rais wa Zanzibar huwa anabezwa katika kufanya baadhi ya maamuzi kwa nchi yake. Mimi sina haja ya kucha wala kutafuna maneno, mimi ni muumini wa Muungano wa Mkataba, maana ni imani yangu kuwa muundo wa Muungano huu tuliuonao hauwezi kuondoa kasoro zilizopo hadi kiama, alisema Katibu Mkuu wa CUF. Alitoa wito kwa wananchi k a t i k a Wi l a y a y a M j i n i kujitokeza kwa wingi kwenda kutoa maoni kuanzia leo, na wasikubali kudanganywa na baadhi ya watu wanaotoa fedha kuwarubuni wakatoe maoni, kama wanavyowaelekeza wao. Mapema, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma na Haki za Binaadamu wa CUF, Salum Bimani aliwataka Wazanzibari kuweka mbele maslahi ya Zanzibar katika zoezi la kutoa maoni ya katiba na kuweka kando itikadi zao za vyama vya siasa. Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad, kwa upande wake amesema Chama hicho kimezidi kuimarika kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwake, na kuwaomba wananchi waendelee kukiunga mkono ili kutimiza malengo yake ya kutetea maslahi ya Zanzibar ndani na nje ya nchi. (Habari kwa hisani ya OMKR).

AN-NUUR

Maalim Seif ataka Tume ya Warioba kuwa wazi

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Bi Consolata Ngimbwa kutoka Electrics International ya Dar es Salaam anayesimamia ujenzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu. mabadilikko ya katiba inasema mabadiliko hayo yatapitishwa, iwapo angalau nusu ya wananchi wa kila upande kati ya Tanzania Bara na Zanzibar wataunga mkono mabadiliko hayo, hivyo amehimiza mambo hayo lazima kwanza yawekwe wazi. Kuhusu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba, Maalim Seif ametowa wito kwa Wazanzibari kutoa maoni ambayo yatazingatia zaidi maslahi ya Zanzibar, na kusema kuwa mfumo wa Muungano wa serikali mbili uliopo sasa kamwe hauwezi kuleta ufumbuzi wa matatizo ndani ya Muungano

Imam abambikwa ujambazi


Na Shaaban Rajab bila ya mlalamikaji kutokea mahakamani, huku upande wa polisi nao ukidai upelelezi bado haujakamilika. Kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kutokea mahakamani kila kesi inapotajwa, na upande wa upelelezi kuchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi wake, hakimu aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, Nyambona Masabe, alitishia kuifuta kesi hiyo. Mwaka 2012, siku ambayo ilitajwa tena kesi hiyo, mshitakiwa alishangaa kukuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili, yamebadilishwa na safari hii akisomewa shitaka la kupora pikipiki na kuiba shilingi 30,000. Kesi iliahirishwa hadi Desemba 4 mwaka huu ilipotajwa tena. Hata hivyo, ilipofika Desemba 4, 2012, siku ambayo mlalamikaji naye alikuwepo mahakami, mshitakiwa alishangaa kusomewa shitaka jingine.

IMAM wa Masjid Swabirina Buza Capetown Yombo, Sheikh Salim Seleman, ameswekwa rumande baada ya kubadilishiwa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili. Aw a l i S h e i k h S a l i m alikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Oktoba 18, 2011, huko nyumbani kwake Buza Capetown akidaiwa kuwa amevunja bucha la nyama ya nguruwe, mali ya Bi. Nuru Lawrance na kuiba nyama na kufanya uharibufu wa mali. Imefahamika kuwa baada ya kukamatwa Sheikh Selemani, alikishwa katika kituo cha Polisi Changombe, ambako alifunguliwa jalada na baadae kukishwa katika mahakama ya Wilaya Temeke ambako kesi ilifunguliwa na kuachiliwa kwa dhamana. Imeelezwa kuwa tangu wakati huo, kesi imekuwa ikitajwa mahakamani lakini

MKUU wa Jeshi la Polisi, Said Mwema. Safari hii akisomewa shitaka jipya la unyanganyi kwa kutumia nguvu (robbery), na wakati huo huo, hakimu anayesikiliza kesi yake akiwa ni mwingine. Baada ya kusomewa shitaka hilo jipya mahakamani hapo, Sheikh Selemani, alielezwa kuwa shitaka hilo halina dhamana hivyo atakwenda rumande hadi tarehe 18 mwazi huu, kesi hiyo itakapotajwa tena, ambapo mlalamikaji alitakiwa kuleta mashahidi wake siku hiyo.

Makala

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR

Bismillahir rahmanir Rahiim ISLAMIC PROPAGATION CENTRE ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JANUARI 2013 KWA SHULE ZA IPC 1. KIRINJIKO ISLMIC SECONDARY SCHOOL-SAME
54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 MAIMUNA MOHAMEDI KASUBI MARIAM OMARY ALLY MARIAM SALUM MYOWELA MARYAM CHANDE MATESSA MARYAM SHENI KIZEGA MASRA MUHAKIRU KABYEMERA MAYNASRA SIRRY ABDALLAH MUNIRA MUHIDINI RAMADHANI MUNIRAH MAULIDY KAZIMOTO MWAJUMA RAMADHANI NJETA MWANAIDI ATHUMANI MCHOMVU MWANAIDI MUSTAPHA MASONGOLE NAISHA MRIWA TSOKYO NAJMA SALUM NGARAWA NASRA SHABAN KIAME NEEMA LAILA MASOUD MYANZA NURU MUSA MWAKANGWALE RAHMA FUAD ABDALLAH RAHMA KOMBO TAIMOR REHEMA RAMADHANI KIBARATI RUKIA JUMA SIRA SADA SAID HAFIDH SAIDA ALLY HONDO SALHA AHMAD ALAWI SALHA ISSA ALLY SALMA ABDUL-FATAH AMIRY SALMA MASOUD OMAR SALWAH MAULID SASILO SHARIFA NAYNGE MSUYA SHARIFA RAMADHANI KALANGA SOPHIA SAID MUSSA SWAUMU HARUNI MANDARI TABIA SHABANI GUNDA TATU ABDILLAHI MOHAMED TWALHAT IBRAHIM KIONE WAHIDA HAROON SALUM ZABIBU KAYA KAZEMA ZAFARANI HANZURUNI KWENYEYE ZAINAB MOHAMED AHMAD ZENA HASSAN KAOGO ZUHURA HAFIDH HUDDI ZUHURA RICHARD SEMBUA ZULFA MSTIRI MALONGWE ZUWENA SEIF SAID LATIFA SAID MHINA SHARIFA IBRAHIM ISSA AISHA MOHAMED KOMBO FIRDAUSI ALLY SULEIMAN SWABRINA HAMID MBATA ZULEKHA ABASI LATIFA HASSAN MAGAYU AMINA ISMAILI DINALLI AMINA NUHU MKUMBWA ASHA RAJABU MWETA ASMAA IDDY RAMADHANI FARIDA HEMEDI MBULI HALIMA RAMADHANI KHADIJA RAJAB IBRAHIM KIDAWA HASSANI MNZAVA 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163 164 165 166 167 168 169 170 171 172 LEYLA RAJABU MPIMBI MWAJABU FADHILI BASHIRI MWANAIMA ABDI ABDALLAH NADHUHA HARUNA MSALA SALHA SALMINI SHELIMO SAMIRA AMANI MTENGA SANIRA S. MMASA SUMAYYA RASHID OTHMAN SWAIBA SULEIMAN BILALI ZAHRA HAFIDH LIYIMO ZINIRA HAJI ABUU ZULPHAT KHAMIS HAWA SHABANI REHEMA ABDUL MBAGA ASMAA R. KIDUBA ASMARA MAULID ZULFA ALY KHAMIS ASHA ABDALLAH JUMA ASHA ISMAIL GULANGA ASMA ALLY ISSA CHIKU MUSTAFA FATMA OMARY MOHAMED HALIMA MOHAMED MTAMBO MWAJUMA SALUM SINGO NASREEN ZUBERY MYOVELA TAMRINA ALAWI BARAKATI MARIAM HASSAN MTEMBA FAUDHIA RAJABU MTENGULE MWADAWA MASUDY IDDY ZAMZAM OMARY ABRAHMAN ZUHURA RAMADHANI MOHAMED ASHA ALLY JUMA NURATH AYUBU YAHYA ZEANA SAID SUDI AISHA HASANI SAID AISHA MOHAMED HASSAN ALMASI IDDY AMINA MAJALIWA ASUMANI AZIZA SHAFII AYUBU BATUL KHALID HASSAN FADIA JAFARI MWANGA FATUMA MBWANA HADIJA ATHUMANI MBWANA KHADIDA SHEMAHONGE MARIAM BENDERA JUMA MARIAM HAJI ABEDI MARIAM MSABAH MSAKA MARIAMU HAJI HATIMU MARIAMU RASULI MASHA NASORO ABDALLAH MWANAHARUSI JUMA KIMOSA MWANAHASWA HASSAN MWANTUMU MANSOORY NASMA RAMADHANI ALLY NASRA MOHAMED KADIBO SAUMU SAID PACHIDEDI SHAMIM KAJILU SHUFAA MRISHO MFINANGA SOPHIA MUSTAFA SEMWAIKO ZAINABU OMAR HASANI

NA. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53

WASICHANA AISA ABDALLAH HAFIDH BIAISHA ABDALLA MSANGI DIANA HAMISI ISMAIL HAJRA HEMED TESUA L AT I P H A R N U R D I N M O H A M E D SHEDAPHA LIDYA A. SALIM MWANAMANI FADHILI TESUA MWEMA MOHAMED ABDALLA REHEMA JUMA HASSAN SALMA ABDULWALL MOHAMED SAMEERA QASSIM QURAISH SAMIRA JAMAL MOHAMED WADA MAJALIWA MKUZO ZIADA TWAHA ADIA RAMADHANI MWINGIRIKO AISHA ISMAIL KIHAGA AISHA RAMADHANI SANGU AISHA RASHIDI KITUNDU AISHA ZAHOR SULEIMAN AMINA ABDUL MSUYA AMINA ALLY ATHUMANI AMINA BAKARI NYUMBA AMINA MOHAMED KHALFAN AMINA OTHMAN OMAR AMNE ABTWALIB YUSUPH ASFARA ALLY LEMA ASHA YUSUPH OTHMANI ASHURA AHMADI CHINYANYA ASIA RAMADHANI KIBASI ASMA ALLY SEUGENDO BILHA DAUD MAYALA FATHIYA HAMIS SHABAN FATMA ATHUMANI YUSUPH FATUMA BASHIRU ALLY FATUMA SALUM KHALFAN FAUDHAT IBRAHIM JUNGU FURAHA HUSSEIN MSUYA HAFSA OTHMAN OMAR HANAYYAH MUHAMMED SULEYMAN HAWA HARUN MSANGI HUSNA HASHIM ATHUMANI HUSNA JAMAL OMAR JAMILA RAMADHANI MAGWA KHADIJA AFACKY KHAMIS KHADIJA IDDY NYAGAWA KHADIJA MIRAJI HUSSEIN KHADIJA NOOR AHMED KULTHUM SUDI ABDALLAH KURUTHUMU HAMAD SALKA LAILA ABASY PELEMBELA LATIFA SALIMU JUMA LEILAT HUSSEIN SAGNALI LUT-FIYA KHAMIS SUMBA

JINA

9
173 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 ZENA SARIMU LUKOSI WAVULANA OMAR AUNI MASANGI SAID NURU IDD OSAMA YAHYA MWASHA ALLY SALIM MUSTAPHA KASSIM MUSTAPHA ANUR SALIM MOHAMED HAFIDH BARAKA RAJAB SULEIMAN SWALEH PAULO ABIHUD SALIMU RAMADHAN RASULY JASSAM KHALIPHA HUSEIN AHMED AWADH ABDULKARIM ALLY SAID HALIFA HASSAN NGAULAH AHMED HAMZA ALLY IBRAHIM ISMAIL KIHAGA YUSUF JUMANNE SALUM BASHIRI RAMADHANI HALIFA HALIMA ABDALAH SHOMARY NURDIN IBRAHIM KIVINA ABDUL-AZIZ ABDALLAH SADRUY STONE NUREN JIM ROGER HAMISI HASSAN MBIRU HAIDARY YAHYA SHABAN ABDULKAREEM SAEED NYAMATAMA MUSSA FADHILI AMIRI OTHMAN JUMA ATHUMANI TTUUR ABOOD SALEH ABUU MUSTAFA KISATU SAIDI BUSHIRI MKWANJERA ABDILLAH MBAROUK SALIM AL-AMIN MUSTAPHA SHEMNGONDO KHAMIS MIRAJI ALLY IDDY DAUDI IDDY MUHARAMI MADADI AMRI SALEHE MUSSA MALONGWE SHABANI KARUME CHAUSA ABDUL-RAZAQ HASSAN MUHAMMED ANWAR SAIDI SELEMANI MOHD KHAMIS SALIM SEIF ALY LYAUKO AMRAN OMAR ABDUL PINDE TWAHA ALLY MAHMUD ATHUMANI HAMISI SALIM MUSSA RAMADHANI SHAFII JUMANNE MSAGO ABDALLAH JUMA ISSA HASSANI BASHIRU ALLY AHMED HADJI MDEMU MRISHO AZIZI MILIMO MUSSA ABDULLAH KULAVA YUNUS BARUANI KASSIBA ABDULWAHID ABDULRAHMAN MIRAJI HASSAN MOHAMED ABBAS JUMA SALUM MTORO KASSIM PINDU KORONGO MOHAMMED ALLY NASSOR TARIQ ABDUL-AZIZ KHAMIS ABDULKHALIM OMAR MUHAMMED KILEMILE ASHIRI KILEMILE MOHAMMEDY RAMADHANI MADAMBO SHAFII OMARY SALEHE

Makala
63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 AL-KARIM YUSUPH NJAU HAMISI RAMADHANI MKIMA HATIBU RAMADHANI HATIBU HASHIMU HAMDANI KAONEKA HASSAN HAMIS SHEMAINDA LAGHRISS RASUL DAUDI RASHIDI BARIKI OKAMA ALLY JUMA GEREZA MASUD SAIDI RAMADHANI ALLY ABDALLAH JUMA FEISAL SEIF MOHAMMED MOHAMMED RAMADHANI ABDALLAH RAJABU JUMA MWINYIHAJI SAIDY RAJABU SAIDY ISMAIL IDDY KIDOGA KASSIM SALUM MKOPA MOHAMEDI MASHUHURI SAIDI MUAMAR AHMED BOBSATH ABDALLAH SALUM KAKIMA MUSSA HASHIM RASHID AHMAD DAUD MSANGI ISSA MWIDADI JUMA OMARY KAHMSI MBWANA ABDULRAHMANI HAJJI MNYIKA ARAFATI ABEID MWANGA ISMAIL JUMA MDUNGUMA SAID ABDALLAH JUMA ABDILLAH KIMWERI TEMBA ISSA KASIM MSARO OMARI SILIMA MAKUNGU SAIDI (SALMIN) DANIEL KIVUYO ASHRAF MUHIDIN HARITHI YAZIDU HAMZA ABDILLAH HUSEI SABUNI IBRAHIM SAID ISSA JUMA JAFFAR MJENGA AMUOR KHAMIS MOHAMED ADINANI RAMADHANI JABIRI AHMADI NYANGASA RAMADHANI ISMAIL KIWANGO BARAKA ABRAHMANI DAIBAH ABDALLA IZADIN MUGHAMBA HASSAN RAMADHANI OMARY BAKARI BARAJAH SALEHE KHATIBU KIMLOLA YUNUSI SALMIN RAMADHANI DAUDI A. MWITA HALFAN KUNA MSUYA RAMADHANI ISMAIL RAMADHANI ABUBAKAR OMARY ABUBAKAR MICKDADI KUDURA RAMADHANI OTHMAN KASSIM OTHMAN RAJAB IBRAHIM RASHID DUMHAJIRA JUMA KIVALE SHUKURU KIVALE HUSSEIN OMARY MNZAVA FREYJHAM OTHMAN HABIB RAMADHANI SWDI IDRISA MUHIDINI ISMAIL MUHARAMI ISMAIL RASHID RAHIM ADAM MUSSA HAFIDH SAID MNUNDUMA JUMA SALUM JUMA ABUBAKARI MOHAMED NAMONDE

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012


127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 MUSHRAH SHAIBU KANYOCHOLE MLECHE SALUM IDDI MUHAJIRINA JUMA NYONGOLI FARIDY SALUM ABDALLAH RAJABU NANANA MPIMBI SELEMANI JUMANNE KABUHI RAJABU HAMISI MLANGI RAMADHANI KHALIFA JUMA ABBAS SHEKIDELE SEIF KULEBA IDDY YUSSUF ABDALLAH ABUTWALIB HAMID MSHERI FEISAL MOHAMED SALIM RAMADHANI KHATIB OMAR ABDI FADHIRI MBWANA RASHIDI SHEKIVUNGE MOHAMED ATHUMANI ABDULLAH RASHIDI SEIF MOHAMED RAMADHANI HOSSENI IDRISA OMAR MAHANYU OMAR IBRAHIMU OMARY MOHAMEDI ABDULLAH ANUARI SWAHIB CHAMBO MUSSA ABDI NYAKI

AN-NUUR

M A E L E K E Z O YA K U J I U N G A N A SHULE (JOIN INSTRUCTIONS) YANAPATIKANA SHULENI KIRINJIKO NA KATIKA VITUO ULIVYOFANYIA MITIHANI. NB: WA L I O K O S A K I R I N J I K O WAMECHAGULIWA KWENDA MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL 2. MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA
S/ 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 JINA LUKIA KHALFANKI SALUM ASYA SWALEHE ALLY MARYAM SALEH ALLY ZAINABU AMRI RABU MZEE ASHFA ABDUL NJOVU ZAINABU MUHAMMED NDULI MARYAM ADAM BAJAH SWALHA ABDALLAH AMINA HAMIS ALLY ALFATI ATHUMANI MWEGERO LEILA AZIZ LOGOME HIDAYA ABDALLAH ESHA TWAIBU LUNAS ANIFA JUMA ASHA SIMAI ALLY SIBELA H. TIMBULO HALIMA SALUMU KAPONDA ZUHURA ISMAIL MYOELA SALMA H. HABIB RAHMA MOHAMED HASSAN NEMHINA HAJI ZAFA RASHIDI ALLY AMINA HASSAN NZARO ARSHI BARAKA SHIGILI LATIFA CHUMA ATHUMANI RIZIKI AHMAD NAMGAGA SALAMA ABASI BUNGARA SAUDA OMARY RASHIDI WARDA OMARY PAZI ZAINA S. MWAYOLE NURAT KHATIBU BLAZA AZIZA SELEMANI KEA MWANAKOMBO MOHAMEDI WASICHANA

10
34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 LATIFA HUSSEIN MOHAMEDI SHAMILA YUSUFU SHABANI ZUHRA MUSSA JUMA NEEMA MOHAMEDY MSHANA NURU ABDALLAH AWADH NURU ISSA TINDWA SWAUMU SALEHE SABO FADHIRA HASSAN MDOWE AMINA ABDALATIF MAPONDELA SAKINA HAFIDHU MKINDI KHADIJA ALMASI ZAKIA SHABANI KHADIJA RAMADHANI MSIBA SHIEL ABDALLAH FATUMA SALIMU KOMBO LAILA KHAMISI ZULFA AGUSTINOM FUMBIKA AMINA KISAKENI ABUBAKARI ASHA ALLY ABDULRAHMAN ASIA HAMIDU SENODKI HADIJA ATHUMANI MAULID HALIMA SHABANI SALUMU MARIAM SALIM SAID MARIAM SALUM ISLAM MWANAMKASI SHAME IDDI SAIDA JOHN MBEZI MWANAMVUA SALUM MBAI KHADIJA SAIDI JUMA MARIAMU HUSSEIN MAGANGA KASHINDE JUMA KASWAGA AISHA YUSUFU MANDARI MOSHI MUSTAPHA MPANGACHUMA TATU ATHUMANI DIO SABAH SAUM ISLAM MAGUNO JOHN TUPANDANE ASHA ANANASI TAMIMU AZIZA HILAL HAMIDU HAWA HUSSEIN SOMBWE SOPHIA ABUU MWISHEKHE HADIJA SUNA KIPANZI AMINA ATHUMANI HAMISI HAWA MOHAMEDI HARUNA ASMA MGAZA KOMBO SHAMSA HAMZA KWEKA FATMA HABIBU ABDALLAH FATUMA AMIRI MAKUNGANYA NASRA MUSTAFA PAZI REHEMA SHABANI HEMEDY ZAINAB NYANGE MSUYA NUSURA HUSSEIN RAJABU ZAMDA KASSIM MUHAMMED RABIA ABASI JUMA SALMA MAJIDI KILIMA HABIBA MIKIDADI MUSSA STELLA CHARLES ZAKAYO WAVULANA MIHINZO RUPIA JFAR BURHANI KHAMIS SALUM FARAJA MOHAMED TANGI KITAH ABDALLAH BAJAH IDDY SHABAN NGULLAH MUHAMMED HAMIS BANDA ABDALLAH HARUBU WASIR SELEMANI HUSSEIN MWENESI HAMISI SELEMANI ABDULFATAH HASSAN HUSSEIN MWENEOSI NURDINI O KONDO SALUM KHAMIS SAID IBRAHIM AHMED MZOTA ABDULRAHMAN M. LIDEA HARUNA S MWAMBUSI AWADH ISMAIL YASINI MBARAKA HIKMA KASSIM ABDALLAH HASSAN H. TIMBULO JUSTINE YALED MWANG JUMA J MWANGU KHATIBU T BARAJA UWESU KHAMIS KWEJA ADAM SALUM 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77

Tangazo
ABDI MUSSA ABDI AYUB NASOR MWANGA FARID MOHAMED ABDULRAHIM HAFIDHI ADAMU BAKARI IMRAN HAMIDUN KIMARO JUMA MUSTAFA LESSY MUSSA JUMA SHEGWANDO HUSEIN MUHAMMAD ALLY PETER GERALD SAMBAI SHEHE IDRISA MBWANA YASSIR THABIT TARIMO IBAHIM IDD SILAYO SAID MUSSA LIHOMBA MAULID ABDILLAHI RAMADHANI AMIRI HOZA ASHIRAFU HIRI CHONA IDDI ABDULI MWISHWA JUMA RAJAB IBRAHIM ZUBERY RAHIM R. MWINCHANDE MAARUFU OMARI NANGUTA RAJABU OMARI MRUTU ABUBAKAR ABDUL MALLYA KESSY MUHAMMAD KESSY HASSAN BAKARI NGETI BAKARI RAMADHANI SINGANO JAMALI MNDOLWA ATHUMANI HAMZA OMARI FEISAL JUMA AMOUR AMMY MUHIDIN ABDALLAH ABDUL KARIMU SWADAKATI OMARY ABDALLAH KILINDO HAMID JAFARI MUKI BILAL SALEH JABIR THABIT ABDUL GWAKA ATHUMANI MOHAMEDI MUSSA MUNDHIR HILAL SEIF YASSIR NASSOR MUHAMED YAKINI SADIKI ABDULI ZAHIRI RAMADHANI KOLOWA AL-IMRAN RAMADHANI SWEDI MAGANGA BAKARI KIONGA ISMAILI SELEMANI SAMADU ABDUL JOSIAH KULWA OMARI SALEH SHOMARY ALLY HARUNA MSHOMI DANIEL JOSEPH SWAI HAMMAM MOHAMED LIPAMBA FADHILI RAMADHANI KALOWA ABUBAKARI RAMADHANI MUYA RAMADHANI ALLY KIJANGWA HAMAD STAMBULI ADAM ABOURAKARI MASOUDI KIPANGA 3. NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL WASICHANA JINA ADIJA R. RAJABU AFISA ABBAKARI IDD AISHA MAJID HUSSEIN AISHA S. ABBAS AMINA ABDILLAH ELIMI AMINA IS-HAQA NYEMENGA AMINA MOHAMMED HAMIS AMINA MUSTAPHA AMINA NASSOR MAULID ASHA SELEMANI ABDALLAH ASHURA HAKIM KATABAZI ASMAA HAMDAN SALUM ASMAA IDD MASOUD ASMIN ISMAIL JUMA AZIZA MAKONDA ABDALLAH CHIKU ATHUMAN KIZINDO DADA OMARY ABUBAKARY DOTO MAULID OMARY ESHA SALUM KALEMBO FARIZANA BASHIR FATUMA ABUBAKARY FATUMA ALLY MOHAMMED FATUMA BAYUMI MUNIS 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012


FATUMA HAJI RAMADHAN FATUMA HAWAMU HASSAN FATUMA HUSSEIN JUMA HABIBA ISSA ABDALLAH HAFSAH SWALEH ATHUMAN HAFSAT ISSA ABDALLAH HAJRA SALUM SHABAN HAMIDA R. RUDETE HANIFA R. IBRAHIM HIDAYA TWALIB KAMGISHA HINDU HAMZA MATAGIRA HUDHAIFA YASSIN HUSNA HUSSEIN NASSOR HUSNA KHATIB RAMADHAN HUSNA S. LUSENENE JALIA SHIGILI JOHA AMANI DAUDI KHADIJA GHANIM SSETUMBA KHADIJA LAMECK MASHENENE KHADIJA RAMADHAN LWAMO KULWA MAULID OMARY MARIAM JUMA KEJEMBE MARYAM H. BALEKAO MUTLAQ SALEH MWAMVUA HUSSEIN SHOMARY MWANGE ILUNGA KAPUNGU MWASITI YUSUPH PAZI MWAVITA M. HASSAN NAJATH NASSOR HAMOUD NAJMA IBRAHIM AYOUB NASRA ABDALLAH HAROUB NURU SULEIMAN MBAKILEKI RABIA ABUBAKARY RAHMA IDRISA RUBENI RAHMA J. JOHN RATIFA RASHID PANDISHA REHEMA BADIRU HUGO REHEMA HAMIS IDDY SADA MUSTAPHA MGAWE SAKINA MIRAJI RAJABU SALAMA C. SINGIJA SALMA IDDY MNEMA SAMIRA MABEJA RAMADHAN SAT-HIYA YASSIN ABDALLAH SAUDA SWALEHE GWOTA SHAKIDA AZIZ IDRISA SHAMSA HILLARY NASOR SHANI SALEH ZACHARIA SIPHA HASSAN MOHAMMED TATU ADAM JUMA TATU SAIDI HARUNA TAUSI JUNI ALLY TAUSI SWALEHE NASSOR TIBA HAMIS ATHUMAN TITI NASSOR KAPAMA TITI SAID MLYOMI ZAHARA RAJABU MDULU ZAINAB MSHINDO SHOMARY ZAINAB NKURANGA MARIJAN ZAINAB RASHID MIRAJI ZAINABU B. MOHAMMED ZAITUNI J. HARUNA ZAKIA SHABAN RAMADHAN ZEANA HEMED KHALFAN ZEANA SAID SOUD ZIADA DAUD HASSAN ULAYA ZINATH IBRAHIM MATENGA ZUHURA M HAMISI ZUHURA MASELO MARWA NILAM SULEIMAN YUSUF ZAINABU SAIDI MMANYWA SAFINA YASINI YUSUFU KHUWAIDA SELEMANI MALICK ISSA RAMADHANI IDDY \MAISARA JUMANNE SHADYA MUSTAFA MSENGA MNIRA MZIRAY BADRU ASHURA JUMANNE LOYA SHELLAH SAID MMANYWA RUKAIYA ALLY ISSA SHARIFA RAJAB HUSSEIN 105 106 MARIAMU HAMISI SOA ARAFA IDDI HASSAN WAVULANA ABDALLAH NASSOR MOHAMMED ABDLLAH M. ABEID ABDUL ALIM ISHAQ NUHU ABDUL-KARIM HAMIDU MWANANDEGE ABDULKARIM JUMA JABIR ABDUL-RAUF AMINU ABUBAKARI SHABAN MBAILWA ABUL HASSAN ABUNAIMU LEMA NEMES ADNAN SULTAN SAID AHMAD KHAMIS MUSSA AHMADA YAKUBU BUSHUMBILO AHMED HUSEIN ALLY J MALANAYA ALLY T. SAIDI AMAL IBRAHIM HASSAN ANAS OMAR ANAS ARAFAT S. SWADI ATHUMAN MOHAMMED BARAKA A. MSONGA BARAKA K. AMANI DAUDI HAMISI DAUDI DEWJI ATHUMAN MPUTI EDDY KELLO RASHID FAISAL TAMIM KHALFAN FIKIRINI KASSIM IDD GULAMALI HAMISI SAID HAMAD SALUM MHOZYA HAMDUNI ALLY SAID HAMISI ISMAIL NASIBU HASSAN ELIYASA BUHALIJE HASSAN IBRAHIM HASSAN HASSAN MUHIDIN HASSAN OMARY SHABAN HUSSEIN MALUNDE IDDI BUHANZA YAHYA IDRISA ISMAIL MASOUD IDRISA RAJABU SALUM IDRISSA OMARY SHARIF ISSA H. RMADHAN ISSA AMAN ABDALLAH ISSA JUMANNE BAKUNDA JAMAL MAFTAH KANKALA KAMALUDINI A. MAHMOUD KARIM RAMADHANI KATAKULA KASSIM KHAMIS MHOMBA KHAMIS OMAR MISIGARO KIEMBA IS-HAQA MOHAMMED MAUDUDI HAKIM MAULID MAJALIWA ALLY MIKIDADI HASSAN ABDALLAH MIRAJI SAID FUNDIKIRA MOHAMMED A. AYOUB MOHAMMED FADHILI ABDALLAH MOHAMMED FEROUZ KORONGO MOHAMMED H. BALEKAO MOHAMMED H. RASHID MOHAMMED OMARY JUMA MOSHI ISSA MUHAJIRINA JUMA NYONGOLI MUSTAPHA HAMISI MAKONGOLO MUSTAPHA MOHAMMED NAJIM NASSOR KATALA NASHIR J. HOTI OMARY YAHYA ALBOSSY RAHIM RAMADHAN MASOUD RAMADHAN ABDALLAH RAMADHAN JUMA KIRUGE RASHID JUMA FUNDI RASHID MRISHO KISANZO SAID A. MKIWA SAID ALLY OMARY SAID BARGHAISH NASSOR SAIDI MOHAMMED SAID SALAMADA SADI MSHULE

AN-NUUR

S/No

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75

11
76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 SALMIN NABII JABIR SALUM MBARAKA SALUM SALUM MOHAMMED MLILA SALUM OMARY SALUM SAMIRU MAULID MUSSA SHABAN RAMADHAN SHAFII JUMA MUCHAULU SHAKIRU SHAFII SHABAN SUDI M. ALLY TARIQ HAMDUN YUSUPH ABUBAKAR KEABA YUSUPH JAFARI BUNDALA KAIMU AHMED AMASI NAJIMUDIN MBATINA ASHRAF KASSIM BARAKA ALMAHADI MURSHID MUSTABA ABDULSWAMAD ABASI SAIDI RAMADHANI SHAMTE KHAMIS CHOBBO HASSAN KHALID ABDUNULE SSALI ABDULBASITI KIGUNDU MIKOTA ABEID KARENGA AKBARU MUHOZA RAMADHAN RATIBU SHABAN MUGANGA MOHAMED ATHMAN HUSSEIN YASSIN HAMIM AHMAD KASSIM HUSSEIN RAHMA ATHUMAN MUNA YASIRU MOHAMED NASIQ MUZAWALU SALUMU HAMIS KILOLO HUSSEIN MUHAMMAD KILONGO 4. UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL JINA KAMILI AMINA ADAM SINGANO GHANIA ABDALLAH ALLY AIKAMA NASSORO ALLY FATMA HASSAN MOHAMMED HABIBA ALLY MOHAMMED RAYA HAMAD MOHAMMED AISHA HUSSEIN KITWANA FATMA KARLAL ABDULAZIZ SARAH BASHIRI KISUMOH MAUA SUDI SAIDI ASIA SAIDI MBWELA RAHMA RAMADHANI TESSUA RAYA SAIDI SALIM ZAINA RAMADHANI BILALI SWAFAA YAHYA MADENGE HAFSA RASHID ALLY FURAHA ZAIDI HUSSEIN MWANSITI MOHAMED NJAMA MARIAM NASSOR SHEBE NAJMA SHABAN GEYA NASRA RAMADHANI NJEMU HADIRA THABIT HASSAN FIRDAUD ALLY SALIM RUKAIYA SAIDI BAKILI ZULFA AHMAD MASINDANO MWELEZA HAMZA JUMA HALIMA MTUMWA RAMADHANI FATMA SHUKURU KAMPATA FATUMA AHAMAD NGUYA MARYAM KARMAL MSUYA ANAFY HUSSEIN MANYAI SAMIRA ALLY MOHAMED SWABRINA NUHU RAMADHANI AZIZA AHMADI MUSSA MARIAM MUSSA ABRAHMANI RAPHIA MOHAMEDI MBUGUNI GHALITYE SALUM MSAFIRI SALMA SADIQ KASSIM NURU MOHAMED HAMAD AISHA SEIF HEMED AISHA ALLY KOMBO HAJRA YUSUPH MAHUNYA ROSHNY HUSSEIN SAJAN RUQAYYA OMAR KAI AISHA NASSOR MBAROUK 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 S/N 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 HUSNAT OTHMAN RAMADHANI ZAINABU HALFA HASSANI NAJMA ZUBERI BILALI MARIAM IBRAHIM SAEEDIA KABULA MOHAMED MIRAMBO FANSWARI ABDUL-HAMID YUSUPH-ASALY ASHURA RAJAB JUMA AISHA JUMANNE HAMIMU RAHILA SALUM ISSA MARYAM SALUM KITANGA LATIFA MUSTAPHA MOHAMEDI SALAH MSHINDOMUYYAGA ZUBEDA OMARI AWESO SAMIRA OTHMAN MGOMI UMMY MBWANA MRAMI ZAHARA HASHIMU KAIJAGE FADHILA SWALEHE JAFARI NASRA H MBEGA HUSNAT HASSAN MTEPA SAMIA SAID OMARI SHUFAA SALUM SAID HALIMA MUSSA MABIRANGA SHEKHA VYAMUNDU AMANI ZAIDAN HASSAN OMARY AZIZA YASSIN SADICK NASRA JUMA HASSANI SAMYA FAHAD MPONDA TUNU ABUU SHIBU AISHA HASSAN SHABANI MUTHAINA NASSOR ABDALLAH JOHARI ABDUL-RAHMANI SHAIBU HABIBA ASEDY CHOGA SADA ABDULRAHMAN ALLY FATMA ADINANI MSANGI MWANAIDI SELEMANI KIBASAME FATUMA MUSTAPHA KIPANDE NASRA HAMISI MWINYI HASINA MFAUME ABDULRAHMAN AZZA SEIF SAID ASHURA SAID MPULLA ZAINAB SAID NUNGU ASHA ATHUMANI HASSANI AISHA MOHAMED OMARY NAILA HASSAN SAID AZAMBE MAKATU MNEKEYA RIGEYE FAUZ SALUM SHYROSE ATHUMANI MSUNGWA MISKI SWAIBU ABDALLAH SABRA RASHID AHMAD AMINA HEMEDI MBAROUK HASSNATH HASSANI AMIRY RADHIA JUMA NGASI PILI BOAZ KITANGA JANNAT SALUM MBWANI SADA CLETUS MOSHI AISHA ATHUMANI MLEKWA RIZIKI HUSSEIN MSUYA FATMA AHMED KIHERE MWATATU SWALEHE BYAROG ZULFA OTHMAN KIBWANA KAUTHAR JAMAL FATMA MARINGO UHUMBI WAVULANA JINA KAMILI RAZACKIMY SHAIB MAKANDE ABDUL-KARIM SWALEH NJAKU HASSAN FERUZ KAHAMBA MUHAMMAD ALY HAMAD ALLY ABDULRAHMAN NYENYE YUSUF SALIM ISSA ALLY ABDALAH SALUM AKRAM NAFIISU KALISA HASSAN ABDUL KAWAMBWA MBARAKA GHARIBU SWALEHE ABID ISSAC KUMBI ABDULLATWIFTABRANI KINOJI OMARY YUSUPH SAIDI FEISAL SULEIMAN HAIDAR SHABAN KHALFAN SHABANI NASSOR HAMAD ALLY 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012


ADAM FAKHI ADAM SEKI AMI SEKI ABOUD ABDALLAH SALIM ISMAIL ABDUL-RAHMAN MUSHI ABDALLAH ALLY MASHAUSI HUSSEIN KHALID MOHAMED ABDUL-RAHMAN MOHAMED SHITE KHALID MOHAMED OMARY ZAHIR KHAMIS SULEIMAN ANWAR ZAHOR SULEIMAN HARUNI ISSA ALPINA AKRAM SALUM ALLY ABDUL-MALIK MOHAMED MVOGOGO RASHAD AMOUR RASHIDI ANNUR HANAFI HAMISI MUSSA MIRAJI MSUYA JUNEIDY ALLY OMARY ABRI TWALIB MRINGO YAHYA BAKARY NASSORO ABDULRAHMAN ILIASA RAMADHAN OMARI SIRAJI BALEKAO YUNUSU IBRAHIM HASSAN ABDULLAH MASOUD NASSOR ABUBAKARI MWIGAMBWA MFAKI MOHAMED SALEHE MASOUD MOHAMMED RAMADHANI MWASONGO FEISAL YAHYA MGENI SUHAYL SULEIMAN ALLY ABDUL-KARIM MALILO KISINZAH SALIM MOHAMED ISSA ABDALLAH ALLY MAZRUI MOHAMED SADI LIPELA YUSUPH HAFIDH MSOFE ABDULHAMID SHEIKH KAISARY HAJI AHMED SADIKI ZAKARIA DOTTO LELO KHAMISI ALLY RAMADHANI YAKUB ISSA MAIGE IBRAHIM AMIRI MATIMBWA SAIDI MASOUD SAID SAID KHAMIS ASHOUR SAIDI JUMANNE SINDE MAKAME HAJI TWAHA FAHAD THABIT KOMBO ARAFATI RAHISI MSANGA JUMA IBRAHIM SULEIMAN ALLY RASHID ALLY ABDUL-KARIM ISMAIL HASSAN HAMADI ALLY ABDULRAHMAN FADHIL YUNUS MBAGA 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 SHAMIR ALLY AWADH ARAFATI KIBWANA BWANGA IDRISA MOHAMMED KAONEKA ABDIRAHIM ABDALLAHMAHAMUD MUKHATAR ALLY AHMED MKAMI MUSSA MKAMI MUSSA MUHAMMED MUSSA AHMED RAMADHANI MAYOMBE SALEHE RAYMOND PETER FUAD MSABAH ALLY MOHAMED FARAJI SAIDI MOHAMMEDY HENRY ATHUMANI KHAMIS TWAHA HAMISI TARIK SAID HEMED OMARY HUSSEIN MUSSA HAMZA MAHAMOUD HAMZA SAIDI RAMADHANI MRISHO ISMAIL YUSUFU MBAGA ABDUL-KARIM HAMIS ALLY HAMISI HASANI MAPANDE ALLY BILAL KITAPPA MBARAKA HASSAN MGAWE ABDUL-AZIZ SHABAN KAPINGA IBRAHIM ABDILLAH HASSAN ISMAIL BARAKAT SALEH RAMADHANI MOHAMED MKAMA ABDUL-SHAKUR SHAHIDU SHAABAN SADAM ZEHPANIA LULANDALA ISSA MOHAMMED ISSA ALLY ABDI MBAROUK BILAL ZUBER MOHAMED ABDUL-RATIF ALLY MSHAM ALLY HAJI MWELUWE YUNUS SENZOTA LEVIRA BAKAR SEIF SAID ABDIKADRI HARUN MDOE ABDUL-HAIDH ABDDUL-RAHMAN HAFIDH OMARY RAMADHANI MAGEMBE SULEIMAN FARAJI MSANGI IBRAHIM HARUNA MWAMBOGOSO ALLY HARUNA SEBARUA IDDY JUMANNE MSUMAGILLO SAIDI SHABANI SAIDI ABDUL-AZIZ HUSSEIN MAINGO ALLY SULEIMAN ALLY YASIN HAMISI MBAYA SHABANI MOHAMED WAZIRI MUDATHIR ANUWARY ALLY ABDUSWAMADU KARIM

AN-NUUR

S/ 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45

Maelekezo ya waliochaguliwa kujiunga na shule (Join Instructions) yanapatikana shuleni na katika vituo ulivyofanyia mitihani. NB: Wale waoliokosa nafasi ya BWENI katika shule ya Kirijiko wanashauriwa wake Ubungo Islamic High School kwa ajili ya kupewa nafasi ya kujiunga na MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA.

DAEE YOUTH ART GROUP


Inakutangazia Semina ya Ndoa na Talaka kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah itakayofanyika. Siku: Jumamosi na Jumapili, kwa wiki 12. Kozi itaanza Tarehe 15-12-2012 Saa 2 Asubuhi- 8 Mchana. Mahali: Answar Islamic Model School - Kinondoni Studio Vyeti vitatolewa kwa watakao maliza mafunzo mpaka mwisho, Mada zitakazofundishwa ni pamoja na, Taratibu ya kutafuta mchumba, sifa zake, Ndoa na Nguzo Zake, haki za Mke kwa Mume na Mume kwa Mke, Eda Talaka na athari zake, Mirathi kwa mjane, Ndoa ya Mke Zaidi ya Moja na taratibu zake, Malezi ya Watoto, Jimai na Migogoro ndani ya Ndoa n.k. Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0715-24 7262/ 0715- 114373. Nyote mnakaribishwa Wake kwa Waume

AN-NUUR
12

MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

Usikose nakala yako ya AN-NUUR kila Ijumaa

Maa wahimizwa kufanyiana wema


Na Mwandishi wetu.
UISLAMU umehimiza kuishi kwa upole na unyenyekevu sambamba na kuvumiliana, kufanyiana wema ili kudumisha amani katika jamii. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa kituo cha Kiislamu cha Markaza Changombe, Jijini Dar es Salaam Dr. Ossama Mahamoud Ismaili, akiongea na Waislamu wa Kisiwa cha Mafia, hivi karibuni katika kongamano la kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu (1434). Akiwasilisha mada yake yenye anuani ya athari za kuhama na kuonyesha msamaha wa Uislamu Dr. Ismail, alisema Uislamu unahimiza kuishi vizuri kwa kumfanyia mema anayekufanyia ubaya. Alisema, mafundisho hayo huwezi kuyapata kama hujausoma Uislamu hususan Qur an na hadithi za mtume Muhammad (s a w), huku akiwapongeza na kuwaunga mkono Waislamu wa Kisiwa cha Mafia kwa yale wanayoyashughulikia kwa misingi ya Uislamu sambamba na kuwafundisha watoto wao Qur-ani. Kwa upande wake, Bi. Aisha Sururu, akiongea katika kongamano hilo aliwahimiza wanawake wa Kiislamu kisiwani humo kuwasimamia watoto wao katika elimu hususani Qur ani, na dini yao kwa ujumla. Alisema, Uislamu haujatenganisha elimu hivyo n i v y e m a Wa i s l a m u w a Mafia wakatoa kipaumbele kwa masomo yote ili kuweza kuandaa Waislamu walio na maaduili mema. Naye, Sheikh Omar Kimbau, Mbunge mstaafu wa Mafia, aliishukuru Taasisi ya Bi Aisha Sururu pamoja na Mkurugenzi wa Markazi ya Kimisri kwa kuichagua Mafia na kufanya kongamano hilo. Alisema, hali hiyo imeweka kumbukumbu husasani kwa Waislamu wa Mafia na kuwazindua kuujua mwaka wao

wa Kiislamu jambo ambalo ni kheri kwa wanamafia, kujua kalenda ya dini yao. Aidha Sheikh wa Wilaya ya Mafia, Yussuf Seleiman Juma akitoa maana Hijiria alisema, ni kuanza kwa mwaka mpya, pale Mtume alipohama kutoka Mji wa Makka kwenda Mji wa Madina, na ndipo hesabu ya mwaka wa Kiislamu ulipoanza. Kongamano hilo liliandaliwa na Kituo cha Kiislam cha Marakazi, Changmbe kwa kushirikiana na Taasisis ya Bi. Aisha Sururu, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Sheikh Mohamed Khamisi.

Mkurugenzi wa kituo cha Kiislamu cha Markaza Changombe, Jijini Dar es Salaam Dr. Ossama Mahamoud Ismaili (katikati) akiongea na Waislamu wa Kisiwa cha Maa, hivi karibuni katika kongamano la kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu (1434).

UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBAR INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA - KHARTOUM

12TH GRADUATION
The Acting Principal of the University College of Education, Zanzibar (UCEZ), cordially invites all graduands of the academic year 2011/2012, for the 12th Graduation. The Ceremony will be held on Sunday January 6, 2013 at the College premises All graduands are required to conrm their participation to the Academic Ofce not later than December 15, 2013. Graduands are reminded to pay paid Tshs. 10,000/= (non-refundable) before December 26, 2012 for graduation gowns. Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves. All graduands are requested to report at the College by 8:00 am on Saturday January 5, 2013 for rehearsal and logistical briengs. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowed to take part in the event. For more information contact the College on the following address: The Academic Ofcer University College of Education Zanzibar P.O. Box: 1933 Zanzibar. Tel: +255242234102 Email: amacez@zitec.org Mobile: 0777-863580/0773181786

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like