Annuur 1075

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 12

www.annuurpapers.co.

tz

Sauti ya Waislamu

(18) JE, UMESHAMZURU MTUME


Mtume (saw) amesema, Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenitembelea wakati wa uhai wangu. Kumzuru Mtume (saw) ni ushahidi wa imani na mapenzi ya Muislamu. Wewe umeshamzuru Mtume (saw) mara ngapi? Angekuwa yu-hai je? Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa. Utahiji, utazuru, na utaridhika kwa malipo ya Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0717224437; 0777462022;Unguja: 0777458075;Pemba: 0776357117.

ISSN 0856 - 3861 Na. 1075 SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Mpango wa Siri kubwa


Yadaiwa lengo ni kuondoa ugaidi, udini Ulianzia kwa Mkapa akapasiwa Kikwete Ijue historia ya mpango huu angamizi

Somo la dini na maadili:

Watu wangeulizwa kwanza Je, wanautaka?- Jaji Mark

Si Tanzania Bara, ni Tanganyika CCM watajikaanga kungangania mbili

VIONGOZI wa Uamsho walikuwa wakiuliza, Je, mnautaka? Sasa Jaji Mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani anasema kuwa ingekuwa vyema kabla ya kujadili muundo wa muungano, watu waulizwe je, bado wanautaka? Uk. 7

FOLENI ya waliohama CCM. Wanachama hawa vijana, wanawake na wanaume huko Matemwe katika mkutano wa CUF, wameamua kujiunga na CUF kutokana na sera yake ya kudai mamlaka kamili ya Zanzibar.

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza

Kuvuruga ushahidi haitasaidia sana bali Tuchunguze aliyosema Mtanda, Mwingulu

DKT. Joyce Ndalichako. Uk. 6

Jaji Mark Bomani. Uk. 7

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Makala
AN-NUUR

MAONI YETU

WENGI tunafahamu kwamba imekuwa ndio nia ya serikali kutoa ruzuku kwa taasisi za afya za mashirika ya dini. Nia ilikuwa nzuri, kuziwezesha taasisi hizo kutoa huduma nafuu kwa wananchi hasa makabwela, hususan mahali ambapo hakuna hospitali, zahanati wala kituo cha afya cha serikali. Aidha tunafahamu lengo zuri la serikali la kutoa misamaha ya kodi kwa taasisi hizi za dini, ni kuziwezesha taasisi hizo kuingiza bidhaa na vifaa vya huduma kwa unafuu, ili kuziwezesha kutoa huduma hizo kwa unafuu zaidi kwa wananchi, hususan wale wa daraja la kawaida na lile la chini kimapato. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba, fursa hizi zinazotolewa na serikali kwa taasisi hizo, pamoja na nia nzuri ya kuziwezesha kutoa huduma kwa gharama nafuu kwa umma, lakini nia hiyo imekuwa ikitumiwa vibaya. Badala ya wananchi kupata ile nafuu iliyokusudiwa, wamekuwa wakibebeshwa mzigo wa gharama licha ya serikali yao kudia sehemu kubwa ya gharama hizo. Hadi tunaandika maoni haya, ni uhakika kwamba hakuna hospitali ya kanisa i n a yo t o a h u d u m a k wa kuzingatia nafuu inayotolewa na serikali. Hii ina maana kwamba, pamoja na kuondolewa kodi, kupewa ruzuku na serikali, lakini hakuna nafuu inayopatikana katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya makanisa. Kwa kifupi ni kwamba, hatuoni tofauti ya bei za huduma za afya kati ya hospitali hizi za ruzuku na zile za binafsi au taasisi ambazo hazina bahati ya ruzuku au msamaha wa kodi. Wakati mwingine, hata huduma zilizokusudiwa k u t o l e wa k a t i k a v i t u o hivi vya huduma za afya vya mashirika haya yanayoonekana ni ya kiroho na kiadilifu, wakati mwingine huwa hazipo. Kila uchao wimbo ni dawa hakuna n.k. Na kwa kuwa pamoja na kwamba serikali inatoa ruzuku na dawa katika taasisi hizo za kiroho, lakini hakuna ufuatiliaji wa karibu unaofanywa na serikali juu

Serikali ijenge hospitali zake badala ya kuimarisha za kidini

Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzuku


Na Shaban Rajab
kusaidia zaidi kihuduma kuliko kufanya biashara ili kupata faida. Siku ya Ijumaa Mei 31 mwaka huu, Hospitali ya Rufaa ya Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC), imetangaza kupandisha gharama za huduma zake za afya kwa wagonjwa. Yalishuhudiwa matangazo kwenye mbao za hospitali hiyo yakibainisha kuwa kuanzia Jumamosi Juni 01 mwaka huu, huduma za matibabu zimepanda kwa viwango tofauti kati ya asilimia 640 hadi 945. Baadhi ya gharama zilizoorodheshwa ni kama ifuatavyo: Kumuona daktari kutoka shilingi 2,500 hadi kufikia shilingi 10,000. Oparesheni ya kuzalisha mtoto tumboni kutoka shilingi 100,000 hadi shilingi 520,000. Kufanya operesheni ndogo kutoka shilingi 100,000 hadi kukia shilingi 450,000. Kufanya operesheni kubwa (operation kama kupasua tumbo) shilingi 650,000. Upasuaji mgumu (extensive surgeries) kama kupasua kichwa shilingi 1,600,000. Gharama za kitanda kutoka shilingi 5,000 hadi shilingi 35,000 kwa siku. Operesheni za kutumia camera (laparascopic surgeries) kutoka shilingi 100,000 hadi kukia shilingi 800,000. Hata hivyo wakati gharama hizi zikipanda kwa kasi ya ajabu, KCMC imekuwa ni moja ya hospitali za rufaa nchini, ambazo zimekuwa zikipokea ruzuku kutoka serikalini kwa ajili ya kuendesha huduma zake za afya. Katika mpango huo, bila shaka hata Bohari Kuu ya Dawa Nchini (MSD), ambayo ni taasisi ya serikali nayo imekuwa ikiipatia hospitali hii mgawo wa vifaa na dawa ili kusaidia kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi. Ni hivi karibuni tu, katika vikao vya Bunge la Bajeti vinavyoendelea mjini Dodoma, serikali ilieleza kuwa imekuwa ikitoa ruzuku ya shilingi bilioni 36.7 kila mwaka kwa hospitali 97 za mashirika ya dini nchini. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa kauli hiyo b u n g e n i wa k a t i a k i j i b u swali la Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwage, aliyetaka kujua ni kwanini serikali isitumie hospitali za misheni kwa kuzipa ruzuku ya dawa na mishahara ya watumishi ili ziweze kutoa huduma bora na kwa gharama

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

ya matumizi ya ruzuku na dawa zinazotolewa katika taasisi hizi. Mwanya huo hutumika barabara kufanya udhalimu wa afya kwa wananchi walio wengi huku wachache wakifaidi. Serikali imeshasema kwamba ina mpango wa kujenga zahanati kila ki. A i d h a i n a m p a n g o wa kuongeza idadi ya vituo vya afya baada ya kuzifanya Hospitali karibu zote za mikoa kuwa za rufaa. Ili kuharakisha mpango huo wa serikali ambao ndio muhimu zaidi kwa maslahi ya wananchi, kuna haja sasa ya serikali kufanya uamuzi mgumu. Nao si mwingine ni kuondoa utaratibu wake wa kutoa ruzuku kwa mashirika na taasisi za afya za kidini, na kuelekeza mapato yake katika kujenga zahanati na vituo vyake vya afya kwa maslahi ya umma wa Watanzania. Hapo hata ukitokea ubadhirifu, ufisadi au hujuma, wananchi wa t a k u wa n a h a k i n a mamlaka ya kuihoji serikali kodi zao zimetumikaje kiasi cha wao kukosa huduma iliyokusudiwa. Lakini hilo ni vigumu kufanyika kwenye mashirika ya dini ambayo ndio yanayomiliki vituo hivyo vya afya. Kuendelea kuyakumbatia mashirika ya afya ya dini na kuyapa majukumu ya kiserikali katika kuhudumia Watanzania, ni sawa na kuendelea kuwahujumu Watanzania katika afya zao. Utaratibu wa ruzuku za afya katika taasisi za afya za kidini ufutwe sasa. Zengwe na kuboreshwa hospitali za serikali. Zile za madhehebu ya dini zijiendehshe zenyewe kwa kupitia njia zake za mapato. Hatudhani kama zilianzishwa ili ziendeshwe na serikali. Katika utaratibu wa sasa kwa kweli ni serikali inazisaidia taasisi za kidini sio taasisi hizo kuisaidia serikali. Ufupi wa maneno serikali inatumia fedha za walipa kodi kuimarisha Wakristo na Ukristo huku ikiwaweka kando wananchi wa dini nyingine. Na huu ndio Waislamu wanasema kuwa ni ubaguzi, upendeleo na dhulma. Serikali ijenge hospitali zake za kutosha sio kuimarisha za taasisi za kidini.

UHAI ni jambo la msingi na la umuhimu wa kipekee katika maisha ya mwanadamu. Uhai wa mwanadamu unategemea zaidi afya na siha nzuri. Ili kupata maisha salama, ni lazima mwanadamu awe ana uhakika wa kula na kunywa na kuhakikisha anapata matibabu pale anapopata hitilafu ya afya yake iwe ni kwa maradhi, kwa kuumia au anapopata matatizo ya kisaikolojia. Yatakuwa ni maisha ya hatari sana iwapo mwanadamnu atakosa uhakika wa kupata mahitaji muhimu yaliyotajwa. Bila shaka akishindwa kula, atadhoofu kimwili na kiakili na hatima yake ni kifo. Kadhalika akikosa matibabu pale afya yake inapokumbana na maradhi, hatima yake ni kifo pia. Hata hivyo, katika hali ya kawaida, kula na kunywa ni mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wa binadamu mwenyewe. Kwamba atahakikishia anatumia nguvu zake na uwezo wake kupata mlo. Hata serikali haina bajeti ya kulisha kila mtu katika himaya yake, ikiamini kuwa huo ni wajibu wa kila raia wake kujihakikishia mlo, malazi na mavazi. Msaada wa serikali katika mahitaji hayo muhimu ni iwapo tu, jamii imepatwa na majanga au maafa. Lakini katika suala zima la afya za watu, haiwezekani kila mmoja akawa mfamasia, mkunga, muuguzi au daktari wa kujitibia au kutengeneza dawa pale anapougua au kupata madhara ya kiafya. Katika hili, serikali au taasisi zinawajibika kutoa huduma hiyo ili kulinda afya za watu wake. Na katika jukumu hili la serikali, utendaji unakuwa ni wa huduma zaidi kuliko biashara, kwa kuwa kulinda afya na uhai wa watu wake ni jambo la msingi kwa mwanadamu yeyote. Kadhalika mashirika ya dini kwa uhalisia wake, yamebuniwa kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho na kimwili kwa watu. Lakini lengo kubwa zaidi ni kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa na mashirika haya ya dini, zinakuwa na nafuu na za kiutu zaidi, kwa kuwa zinafuata zaidi misingi ya imani za kidini katika kutoa huduma hizo za kiroho na kimwili. Kwa msingi huo, sehemu kubwa ya mashirika ya kidini, ambayo mengi ni ya hiari, kujitolea au ya kusaidia, yamekuwepo kwa ajili ya

nafuu kwa wananchi. A i d h a , M b u n g e h u yo aliihoji serikali kama iko tayari kupandisha hadhi zahanati ya Bumbile, ili iweze kuhudumia visiwa vya Bumbile, Kalebe na Makibwa vilivyo mbali na hospitali za misheni za Ndolage, Rwantege na Kagondo. Dk. Rashidi alilieleza Bunge kuwa ruzuku hiyo inayotolewa na serikali, ni mbali na ile iliyotolewa na halmashauri za mashirika ya dini kutoka katika mfuko wa maendeleo na mishahara ya watumishi walioshikizwa katika hospitali hizo. Sambamba na hilo, Waziri Rashid alisema serikali inaendelea kuboresha mazingira yatakayoziwezesha hospitali hizo ziweze kutoa huduma bora kwa wananchi kwa gharama nafuu. Ukiacha ruzuku hizo kutoka serikalini na katika Halmashauri zake, ni wazi kwamba, serikali kwa miaka m i n g i i m e k u wa h a i t o z i kodi (VAT) katika bidhaa zinazoagizwa au kuingizwa nchini na taasisi za dini. Bidhaa hizo ziwe zinaingizwa nchini kama misaada au zimeagizwa na taasisi husika, hazitozwi kodi. KCMC ikiwa ni taasisi ya dini, nayo ni mongoni mwa taasisi zinazofaidika na kuondolewa kodi hii. We n g i t u n a k u m b u k a namna serikali ilivyowasilisha taarifa yake bungeni ya kuondoa msamaha maalumu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mashirika ya dini, baada ya kubaini kupoteza mapato mengi kupitia mwanya huo. Hii ilikuwa ni katika mjadala wa bajeti ya serikali bungeni mwaka 2009/2010. Hoja ya serikali kufuta msamaha huo ilikuwa ni kufuatia kubaini kwamba imekuwa ikipoteza mapato mengi kupitia misamaha ya kodi kwa taasisi hizi, lakini msamaha yenyewe ilikuwa ikitumiwa vibaya na nafuu yake haiwafikii walengwa hivyo kupoteza lengo la serikali. Badala yake inawanufaisha wajanja wachache wanaoendesha taasisi hizo za dini. Kwamba serikali inatoa misamaha kwa mashirika na taasisi za dini, ili kuzipa nafuu taasisi hizo kuwahudumia wananchi kwa gharama nafuu zaidi. Lakini hali haikuwa hivyo, kwani huduma bado ziliendelea kuwa za gharama za juu na za kibiashara zaidi na kunufaisha watu wachache

Inaendelea Uk. 4

Mpango wa Siri kubwa


Na Mwandishi Wetu IMEFAHAMIKA kuwa suala la kuwa na somo la dini na maadili ni la muda mrefu ila limekuwa likifanywa kwa siri kubwa. Kuanzishwa kwa somo hilo kutaondoa somo la Maarifa ya Uislamu na Islamic Knowledge linalolenga kujenga imani na uchamungu na badala yake kufanywa kuwa academic, yaani la kitaaluma tu kama jiograa. Wanaokuja na somo hilo, wanasema kuwa somo la dini na maadili litasaidia kuondoa udini, kupambana na mawazo ya kigaidi na kujenga uzalendo wa Kitanzania. Wanadai kuwa masomo ya Islamic Knowledge na Bible hayahusianishwi na maadili mfano vita dhidi ya ukimwi, rushwa, ukahaba, ubakaji, ugaidi, ujambazi n.k. Utati zaidi unaonyesha kuwa jambo hili limekuwa likifanywa kwa siri mno tangu mwaka 2004 ilipotangazwa kwa mara ya kwanza kuwa serikali ina mpango wa kufundisha somo la Dini moja. Waislamu walipopinga kwa kumuandikia barua Rais wakati huo mheshimiwa Benjamin William Mkapa, EDUSHUTA ikabadilishwa na kuwa EDIMASHUTA m wa k a 2 0 0 6 a m b a p o walikutana na Rais Kikwete na kuanza mchakato wa Dini na Maadili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali kupitia mwandishi wa habari wa TBC mkoa wa Kagera, Charles Mwebeya, mpango wa kurasimisha somo la dini na maadili unakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa walimu wajuzi wa somo hilo. Hiyo huenda imekuwa ndiyo sababu mpaka sasa kwa kiwango kikubwa halijaanza kusomeshwa katika shule nyingi za msingi na sekondari licha ya kuwa ilikusudiwa somo hilo lianze kusomeshwa toka Januari mwaka huu 2013. Changamoto hiyo ilijidhihirisha toka awali kilipofanyika kikao cha uzinduzi wa muhtasari wa somo hilo, kilichoandaliwa na Umoja wa Madhehebu mkoani Kagera (UMAKA) na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka sekta za elimu na madhehebu mbalimbali kutoka mikoa ya Kagera na Kigoma. Hata hivyo katika kikao hicho ambacho kilifanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Bukoba Zipora Pangani, mkuu huyo alisema kuwa kwa kuwa serikali imekwisharasimisha somo hilo, ni dhahiri kuwa inatambua changamoto iliyoko mbele yake. Na ni kwa kutambua changamoto hiyo, mkutano huo ulipitisha azimio la kuunda chombo cha pamoja kitakachohakikisha muhtasari huo unatumika ipasavyo mashuleni na kutaka wadau wote kushirikiana kwa pamoja ili somo la dini na maadili liweze kusomeshwa kama ilivyopangwa. Mpango wa kuwa na somo la dini moja kwa wanafunzi wote wa shule za msingi, sekondari na vyuo vya Ualimu una historia ndefu kidogo. Kumbukumbu za vikao na nyaraka mbalimbali zinaonyesha kuwa kasi ya mpango huu ilianzia m wa k a 2 0 0 6 a m b a p o kuliundwa kitu kilichoitwa EDMASHUTA yaani Elimu ya Dini na Maadili Shuleni Tanzania. Katika kikao c h a E D M A S H U TA kilichofanyika 30/3/2007 katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu, Kurasini, (TEC DAR) -ilielezwa historia ya EDMASHUTA kuwa ilianzia UMAKA, yaani Umoja wa Madhehebu Kagera ambapo malengo ya k e n i k u s h i r i k i a n a na serikali kuboresha Ufundishaji wa dini mashuleni. Ilielezwa kuwa somo h i l o l i t a s h u g h u l i k i wa na Serikali na kwamba kutateuliwa washiriki kutoka taasisi za kidini ambapo atakayeteuwa ni Waziri wa Elimu na watafanya kazi chini ya uongozi wa Edmashuta. Katika kumbukumbu za kikao cha tarehe 29/8/2006 (ukumbi wa TEC-DAR) zilizosomwa kikaoni h a p o i l i e l e z wa k u wa ilishakubaliwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa barua ya siri aliyoandikiwa tarehe 17 Feb 2006 na kupokelewa April 18, 2006. Mwenyekiti wa Edmashuta alikutana na Afisa Elimu Kiongozi na kuongea naye kuwa alishawaandikia taasisi ya elimu (TIE) kupata maelekezo ya utekelezaji na kwamba EDMASHUTA itashirikishwa kikamilifu. Katika kikao hicho w a j u m b e Wa i s l a m u walipinga dhana ya somo la Dini na Maadili kwa k u e l e z a k u wa k a t i k a Uislamu hakuna dini na maadili kwani kila kitu kipo katika dini. Baada ya vikao hivyo vya awali, palifanyika Warsha ya wadau wa masomo ya dini iliyokuwa na lengo la kuangalia namna ya kuboresha mihutasari ya dini. Warsha hiyo ilifanyika Mei 10,2007 ambapo Jumuiya na Taaisis za Kiislamu iliwakilishwa na wajumbe 10 Bakwata nao walikuwa na wajumbe kadhaa. Mjadala ulikuwa mkali kiasi kwamba Asa Elimu Kiongozi (Kamishan kwa sasa) wa wakati huo Bw. Mpama alitoa tamko kuwa serikali haitaingilia dini. Kila taasisi iandae mihutasri yake na inak arib ishwa k upat a ushauri kutoka TIE. Katika hali ya kutaharuki, viongozi wa EDMASHUTA wakamuomba arudishe agenda ya Dini na Maadili akakataa na kusema kikao kilikuwa cha Serikali na sio EDMASHUTA. Wa r s h a i l i m a l i z i k a kabla ya muda uliokuwa umepangwa baada ya Waislamu kupinga mjadala huo kuendelea. Ilipofika tarehe 13 Mei, 2007, Waislamu walikutana katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni (TIC) na kuzindua rasmi Islamic Education Panel na baadae serikali kuariwa juu ya chombo hicho. Inavyoelekea ni kwamba kupitia EDMASHUTA serikali imekuwa ikipitisha maamuzi yake juu ya mitaala ya dini kwa kipindi kirefu hadi pale Waislamu walivyogutuka mwaka 2007 na ghafla serikali katika warsha ya Mei 10, 2007 Asa Elimu Kiongozi alivyowakana washirika wake hadharani na wao wakamshangaa. Walivyotoka nje ilibidi waitane kujadili kitu gani kimetokea. Bakwata katika warsha i l e wa l i o n e k a n a wa z i walikuwa dhehebu tofauti na Waislamu kwa sababu Waislamu walipopinga hoja ya Dini Mseto chini

Habari

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

Asa Elimu wa Mkoa wa Kagera, Florian Kimolo ya mwavuli wa Dini na Maadili, wao hawakupinga msimamo wao ukawa sawa na ule wa EDMASHUTA. Msomi wa Chuo Kikuu aliyeshiriki warhsa ile (Mkristo) aliishangaa serikali kuvunja katiba kwa kuingilia mambo ya dini. Kama inavyoelezwa katika nyaraka mbalimbali, malengo makuu ya E D M A S H U TA n i ( i ) Kuhakikisha somo la DINI na MAADILI linafundishwa vema shuleni kuanzia shule za awali hadi vyuoni. Pili, kuboresha mihutasari na mitaala ya somo la dini katika shule za Msingi na sekondari na kuandaa mihutasari na mitaala kwa vyuo vya Ualimu TatU, kuweka mikakati ya kuandaa walimu na njia bora za kufundishia na kujifunzia somo la dini na maadili. Inaelezwa kuwa sababu kubwa ya kuja na Somo la Dini na Maadili ni kuwa iliyotolewa ni kuwa (eti) masomo ya Islamic Knowledge na Bible hayahusianishwi na maadili mfano vita dhidi ya ukimwi, rushwa, ukahaba, ubakaji, ugaidi, ujambazi n.k Na kwamba somo hilo ni muhimu katika kuimarisha nguvu katika mshikamano wetu na umoja miongoni mwa Watanzania ili kujenga maadili. H o j a ya m s i n g i ya Waislamu ni kuwa kuwa na somo moja ambalo linaweza kusomeshwa na John au Ali, maana yake ni kuwa kwanza utakuwa umechanganya Qur an n a B i b l i a n a k u f a n ya rejea moja ya dini wakati vitabu hivyo havipo sawa. Pili, utakachokuwa unafundisha hakitakuwa na imani ya Mungu wala uchamungu. Itakuwa ni academics kama ilivyo jiografia na masomo mengine. Lakini hoja nyingine ni kuwa maelezo yanayotolewa kuwa mihutasari ya somo la dini kuwa hayahusishi imani na maadili, hayana ukweli kwa kuwa kwanza yanatolewa kwa ujumla mno lakini pili tofauti na Ukristo Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya binafsi na kijamii na katika kufundisha Uislamu mambo yote yaliyotajwa kama mapungufu yamezingatiwa katika mihutasari ya somo la Islamic Knowledege n a E l i m u ya D i n i ya Kiislamu. Utati zaidi unaonyesha kuwa jambo hili limekuwa likifanywa kwa siri mno tangu mwaka 2004 ilipotangazwa kwa mara ya kwanza kuwa serikali ina mpango wa kufundisha somo la Dini moja. Waislamu walipopinga kwa kumuandikia barua Rais wakati huo mheshimiwa Benjamin William Mkapa, EDUSHUTA ikabadilishwa na kuwa EDIMASHUTA m wa k a 2 0 0 6 a m b a p o walikutana na Rais Kikwete na kuanza mchakato wa Dini na Maadili.

4 Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzuku


Habari
Inatoka Uk. 2
kinyume na ilivyokusudiwa. Hata hivyo uamuzi huo wa serikali ulipingwa vikali na Maaskofu na baada ya muda mfupi, serikali ililazimika kurejesha msamaha huo mara moja. Katika hoja za Maaskofu, walidai kuwa ni kweli zipo taasisi zinazotumia vibaya fursa hiyo ya serikali ya kutoa msamaha wa kodi lakini sio taasisi zote. Waziri Mkuu, Mheshimiwa M i z e n g o P i n d a wa k a t i akizungumza na waandishi wa habari alisema uamuzi huo wa serikali, ambao unadhihirisha nguvu walizonazo viongozi wa taasisi za dini, umepata baraka zote za Rais Jakaya Kikwete. Waziri Mkuu alisema Rais Kikwete aliridhia uamuzi wa kurejesha msamaha huo baada ya kusikia maoni ya viongozi wa taasisi za kidini waliokuwa wamekutana na Waziri Mkuu Pinda mjini Dodoma. Mhe. Pinda alisema uamuzi wa kurejesha misamaha hiyo umekuja baada ya serikali kuona kuwa, mpango huo umepokewa kwa upinzani mkali na wabunge, viongozi wa mashirika ya dini, wananchi na wahisani wa nje, ambao wanasaidia miradi ya maendeleo kupitia mashirika ya dini. Alisema serikali imeona mpango huo haujaeleweka vizuri, kwani azma yake ilikuwa si kufuta misamaha ya kodi hata katika huduma muhimu za jamii kama afya, maji na elimu kama ilivyoeleweka. Pinda alisema lengo lilikuwa kujaribu kubana mianya ya matumizi mabaya ya misamaha hiyo kwa baadhi ya viongozi wa mashirika ya dini, ambao wamekuwa wakitumia misamaha ya kodi katika masuala ya elimu, afya, ujenzi na ununuzi wa magari kwa kujinufaisha wenyewe. Miongoni mwa wabunge walioupigia kelele kuupinga uamuzi wa serikali kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini, alikuwa ni Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Karatu, wakati huo Dk. Wilbrod Slaa. Waziri Mkuu Pinda alisema mkutano wake na viongozi wa kidini uliosababisha kufikiwa kwa uamuzi huo ulihudhuriwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Alex Malasusa, Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Valentino Mokiwa, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Dodoma, Peter Mwamasika. Aidha alikuwepo Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Masheikh wengine, ambao bila shaka walikokotwa kwa ajili tu ya kutimiliza uwepo wao ili neno viongozi wa dini litimie sawia. Hata majina yao hayakutajwa.
BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

Katika rai ya viongozi h a o k wa Wa z i r i M k u u , ilikuwa ni kuisihi serikali kusitisha azma hiyo, kwa vile ingeweza kuleta sura mbaya kwa wahisani wa nje, ambao ndio wanasaidia mashirika hayo kuleta misaada nchini. Waziri Pinda alisema aliwaelewa viongozi hao, ingawa pia aliwaeleza nia nzuri iliyokuwa nayo serikali katika mpango huo, kwani fedha hizo zingekusanywa zingeweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya wananchi wote. Viongozi hao wa mashirika ya dini waliahidi kuisaidia serikali katika kuwasaka na kuwadhibiti viongozi wa dini wanaotumia mianya ya misamaha hiyo. Akiwasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2009/2010, aliyekuwa Waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo, alisema hatua ya kufuta misamaha ya kodi itahusisha madhehebu yote ya dini na kwamba haitahusu vifaa vya kiroho na ibada. Alisema serikali imefikia hatua hiyo baada ya kubaini taasisi kadhaa za kidini zinatumia vibaya misamaha hiyo na badala yake kujinufaisha binafsi. Alisema serikali imetangaza kufuta matangazo 405 yanayotoa misamaha ya kodi kwa kampuni binafsi, asasi zisizo za kiserikali zikiwamo taasisi za dini na mashirika ya miradi ya kimataifa. Wengi tunafahamu kuwa

hata katika ule mkataba kati ya Serikali na Makanisa (MoU) wa mwaka 1992, pamoja nakwamba unaitaka Serikali kuyapa makanisa misaada ya kifedha, lakini pia ulikuwa unaibana serikali kuziombea taasisi za makanisa misaada. Bila shaka mkataba huo umekuwa kichocheo kikubwa cha taasisi kama KCMC kunufaika. Pamoja na kuwepo fursa zote hizo, inashangaza na kusikitisha kwamba hospitali hizi za mashirika ya dini ndizo zimekuwa vinara wa gharama za juu za matibabu nchini. Tu n a h o j i , s a s a k u n a haja gani ya serikali kutoa misamaha ya kodi na kutoa ruzuku kwa mashirika haya ya dini huku yakiwa vinara

wa kutoza gharama kubwa za matibabu? Kwa bahati mbaya kabisa, serikali pamoja na kuchota fedha hazina na kuzipa taasisi hizi za kidini, lakini haina mamlaka wala ujasiri wa kufanyia ukaguzi fedha zake iwapo zimetumika kihalali. Nieleweke tu kwamba, s i p i n g i m a s h i r i k a h a ya ya dini kuongeza bei ya huduma zao. Bali yangeweza kufanya hivyo, kwanza kwa kutochukua ruzuku serikalini, ruzuku ambayo ni zao la kodi za Watanzania wote. Pili, iwapo taasisi hizi za dini zingekuwa hazina misamaha ya kosi ya serikali na wala hazina mgawo wowote kutoka MSD wala Halmashauri zetu. Inaendelea Uk. 5

Nyasaka Islamic High School


P.O.BOX 11404, TEL: 0786/0717-417685, OR 0717/0785 -417680 MWANZA TANZANIA Email: nyasakaislamic@live.com

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2013/2014


Na 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 JINA NURU HAMISI AH MED OTHMAN JUMA MWANAIDI S. KOMBO ASNATH YUSUPH KHALID IDRISA Y. MTANDA RAKIATH K. KASSIM KHALID HUSSEIN MBAROUK YUSUPH JAMAL A. IDRISA MICKIDADI MAHMOUD LATIFA HUSSEIN FLORIDA J. KIDIMA ABDULRAHMAN M. KHALFAN HALIMA KHAMIS MAYALA TAHIYA KHALID ABOUBAKARY KHAMIS JUMA ALWANTUM ALLY SULTAN AMANI MAJID IGUNGULA COMB HGK CBG HKL CBG EGM CBG HKL HKL PCB PCB PCB HKL PCM HKL CBG HGE PCB PCB

CHUO CHA UALIMU UNUNIO


DAR ES SALAAM
USAJILI NA: CU. 112

MAFUNZO YA UALIMU 2013 NAFASI ZA MASOMO


SIFA ZA MUOMBAJI

STASHAHADA (DIPLOMA)
AWE AMAMALIZA KIDATO CHA S ITA NA KUPATA KUANZIA PRINCIPLA (E) 1 NA S UBS IDIARY (S )-1

CHETI (GRADE III A)


AWE AMAMALIZA KIDATO CHA NNE NA AMEPATA ALAMA ZIS IZOZIDI DIV IV-27 ALIYERUD IA (RES ITING) AWE NA C-4

CHUO NI CHA BWENI KWA WASICHANA NA WAVULANA HUDUMA ZETU NI ZA KIWANGO CHA HALI YA JUU. ADA NI NAFUU SANA KULIKO POPOTE NA INALIPWA KWA AWAMU WAHI SASA NAFASI NI CHACHE WAHITIMU WOTE WANAAJIRIWA SERIKALINI
KUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU MOJA KWA MOJA CHUONI

MKUU WA CHUO

0713 673495

CHUO KITAFUNGULIWA TAREHE 16/07/2013. CHUKUA FOMU MAPEMA

MSAJILI 0715 822332 0756 822332 0784 822332

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO F5 KWA WASICHANA COM B ZOTE


NA WANAORUDIA MTIHANI ZINAPATIKANA KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL KWA MAWASILIANO PIGA 0713 465437AU 0713 515054
FOMU ZINAPATIKANA KWA MAWAKALA WETU MIKOANI AU PIGA SIMU MOJA KWA MOJA
CHUONI AU SHULENI, HAKIKISHA UMEPEWA FOMU ZA CHUO CHA UALIMU UNUNIO SI VINGINEVYO

MAELEZO: 1 . WA N A F U N Z I W O T E WA L I O C H A G U L I WA WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION) SHULENI .PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www. ipctz.org 2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013. 3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA HADI TAREHE 23/06/2013.HIVYO NENDA KACHUKUE FOMU NA UIRUDISHE UBUNGO AU NYASAKA ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO. KARIBU NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA. WABILLAH TUFIIQ MKUU WA SHULE.

5
ALIYEKUWA mfanyikazi wa shirika la Ujasusi la CIA nchini Marekani Edward Snowden, ambaye alitoa siri ya serikali yake kuchunguza mitandao na mawasiliano ya simu za watu duniani sasa hajulikani aliko. Snowden, aliyefichua siri hiyo akiwa Hong Kong ametoweka baada ya kuondoka ghaa kwenye hoteli alimokuwa anaishi. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 29, alisema kuwa aliamua kutoa siri hiyo kwa lengo la kuwakomboa watu duniani kutoka serikali ya Marekani na kuionyesha

Habari za Kimataifa/Tangazo

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

Aliyechua siri za ujasusi wa Marekani mitandaoni atoweka


nchi yake kuwa ni lazima iheshimu haki na uhuru wa watu. Wiki iliyopita ilibainika kuwa idara ya ujasusi nchini Marekani (CIA) ilikuwa inakusanya mamilioni ya rekodi za simu na pia imekuwa ikichunguza watumizi wa mitandao. Idara hiyo ya ujasusi imesema kuwa hatua ya Snowden kutoka siri hiyo ni kosa kubwa la kihalifu na anafanyiwa uchunguzi ili kufunguliwa mashitaka. Awali Snowden aliomba kupewa hifadhi katika kisiwa cha Iceland kutokana na kufichua kwake siri ambao anaamini hatua hiyo itamweka matatani baada ya kutoa siri ya serikali. Kuchuka kwa siri hiyo kumezua mjadala nchini Marekani kuhusu mpango wa serikali kuchunguza mitandao, suala ambalo inaelezwa kuwa ni kuingilia uhuru wa watu. Rais Barack Obama ametetea mpango huo wa idara ya ujasusi ya nchi yake akidai kuwa n i n j i a m o j a wa p o ya kupambana na ugaidi duniani na kuhakikisha kuwa Marekani inakuwa salama. (Habari na r.fr).

Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzuku


Inatoka Uk. 4
hadi fedha na misamaha ambayo inatumika kifisadi kwa maslahi ya kundi fulani la watu. Hata hivyo kuna taaarifa k wa m b a h o s p i t a l i h i yo imekubali kurejesha viwango vya awali baada ya kujadiliana na serikali.

Baada ya kukosa nafuu zote hizi wanazopata, hapo wangekuwa na hiari ya kupandisha gharama vile wanavyotaka. Hakuna angewauliza. Lakini pia wanastahili kuondoa hizi kauli mbiu za huduma nafuu ambazo tunazo na kama geresha za kidini kama msamaria mwema nk. wakati wao wanafanya biashara kamili. Niseme tu kwamba umeka wakati sasa serikali kuamia kwa dhati kwamba haipo tayari kunufaisha kundi la watu wabinafsi wachache na kuwaangamiza wananchi walio wengi. Hizi ruzuku na misamaha ya kodi, ikiratibiwa na kusimamiwa vizuri, inaweza kuwa ahueni kwa Watanzania wote. Kuna haja kwa serikali sasa kufuta mara moja hii misamaha inayonufaisha wajanja wachache, na fedha i n a yo p a t i k a n a i n a we z a kusaidia kujengwa vituo zaidi vya afya nchini. Pia kwa serikali kuondoa ruzuku na misamaha katika mashirika ya kidini yaliyokosa utu na uaminifu, kunaweza kuleta ongezeko kubwa la mapato ambayo yatasaidia kupatikana huduma bora, nafuu na za kuaminika kwa Watanzania wote katika hospitali za rufaa mikoani kama Mawenzi, Sekou Toure, Amana, Mwanayamala nk. Kama lengo la serikali ni kutoa huduma nafuu za afya kwa wananchi wake, basi wakati ni sasa wa kufanya maamuzi bila hofu. Taasisi za dini zilianzisha vituo vya afya kwa hiari yao kwa lengo la kuisaidia serikali kutoa huduma kwa wananchi. Hazikuanzishwa ili zisaidiwe na serikali kujiendesha katika kutekeleza kazi hiyo. Wao waisaidie seriali, sio serikali wazisadie taasisi hizo huku zenyewe zikifanya biashara. Kazi ya seriali ni kuzipa vibali na kuziwekea miundo mbinu kama barabara, maji, umeme nk. Sio kupewa

OUAGADOUGOU Serikali ya Mali na waasi wa Tuareg wamekubaliana kuhusu kufanyika kwa uchaguzi Mkuu mwezi ujao katika eneo la Kidal, ambalo kundi hilo linathibiti. Maafikiano hayo yalikiwa siku ya Jumatatu jini Ouagadougou, nchini Burkinafaso baada ya siku tatu ya mazungumzo kati ya pande mbili hizo, muda mfupi baada ya majeshi ya serikali kuanza oparesheni dhidi ya kundi jingine la waasi la MNLA. Kundi la MNLA limekataa wito wa serikali ya Mali kurudisha silaha na linapinga kuwasili majeshi ya serikali mjini Kidal. Serikali ya Ba ma k o imekuwa ikisema inataka kusimika uongozi wake katika eneo la Kidal kabla ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 mwezi ujao na kutishia kuchukua mji huo iwapo suluhu haitapatikana. Kundi la Tuareg kwa muda mrefu limekuwa likitaka kujitenga na kujiongoza kivyao na wanaliita Azawad kwa madai kuwa eneo hilo l i m e k u wa l i k i t e n g wa kimaendeleo na kisiasa na uongozi wa Bamako. Baada ya kufanyika mapinduzi ya serikali n c h i n i h u m o m wa k a uliopita, kundi la Turaeg

Serikali ya Mali na waasi wa Tuareg waakiana kuhusu Uchaguzi Mkuu


liliungana na makundi mengine ya Kiislamu kujitenga na serikali ya Bamako na kuzua ukosefu wa usalama Kaskazini mwa nchi hiyo, suala ambalo lilisababisha Ufaransa kuanzisha oparesheni ya keshi dhidi ya waasi hao .Serikali ya Ufaransa imesema kuwa

Pamoja na hayo tunahoji kilichoisukuma uongozi wa hospitali hiyo kupandisha gharama ghafla huku ukitambua kuwa hospitali hiyo imeteuliwa na serikali kutoa huduma kwa wananchi kwa mujibu wa makubaliano na serikali na kupokea ruzuku.

Edward Snowden.

italiachia jeshi la Umoja wa Mataifa jukumu la kulinda amani mwezi ujao, baada ya kuwepo nchini humo tangu mapema mwaka huu (r.fr).

Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency


Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 1434 Hijria kwa Dola US$ 3550 tu. Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995 Fomu zinapatikana katika osi zifuatazo:1. Osi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26 Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na 0773 930444. 2. Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987. 3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 453838 4. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 444 5. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 786101 6. Dukani kwa Abdala Hadh Mazrui wete pemba 0777 482 665 7. Dukani kwa Mohamed Hadh Mazrui Mkoani Pemba 0777 456911 8. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 679692 9. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736 Wahi kulipia. Osi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444. Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736 Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia A CCOUNT NAMBA 048101000030 NBC Tanbih: Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16% atalipia $ Dola 2982 tu. Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzo la Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu. Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo. Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo. Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975. Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi. Nyote mnakaribishwa

6
Na Hashim Saiboko KWA muda mrefu sasa Wa i s l a m u w a m e j e n g a hoja kwamba kuna ubaguzi ambapo wananchi hawatendewi sawa na kwamba ubaguzi huu hufanywa na baadhi ya watendaji wa serikai na taasisi za umma. Waislamu wameweka wazi kwamba utaratibu huu ambao ni haramu kwa kuwa uko kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siyo mfumo rasmi. Aidha wamekuwa wakieleza kwa kutumia vigezo vinavyokubalika kisayansi kwamba mfumo huu unaendeshwa na watu binafsi ambao unaweza kusema kuwa wana mawazo ya kibaguzi, chuki na kwamba hawaitakii mema nchi yetu. Lakini kwa bahati mbaya watu hawa wapo wengi na mahali pengi katika sekta mbalimbali hapa nchini. Katika makongamano ya kitaifa yaliyofanyika mwaka 2011 Diamond Jubilee na pia nchi nzima Waislamu waliwasilisha rasmi serikalini kijitabu kilichojaa vielelezo jinsi serikali inavyotumia rasilimali za umma kulinufaisha kanisa. Katika kijitabu kile na kwenye makongamano yao Waislamu wameuelezea utaratibu huu wa kuwabagua na kuwalazimisha wao kuwa raia wa daraja la pili kwa jina la mfumokristo. Lakini sasa inaonekana nongwa kutamka msamiati huo. Nadhani muhimu hapa sio neno. Tuchukue tafsiri halisi ya wanaotoa msamiati huo na kuangalia madai yao kama ni ya kweli au la. Tuwahukumu kwa ukweli au uwongo wa madai yao sio kwa msamiati. Pamoja na harakati zote za kuzunguka nchi nzima kueleza mawazo yao juu ya ubaguzi wanaoona kufanyika nchini, serikali haikujali wala kusema lolote juu ya madai hayo ya Waislamu. Ilipiga kimya. Baada ya muda kupita na kama tulivyotegemea maaskofu walianza kuishinikiza serikali iwachukulie hatua watu inaodai wanachochea mauaji, uharibifu wa mali za makanisa na uvunjivu wa amani. Kama tulivyozoea huko nyuma na kama tulivyoona wakati wa mauaji ya Mwembechai mwaka 1998, serikali ghaa ikaibuka na kuanza kutoa vitisho kwa Waislamu. Waislamu waliokutana Diamond Jubilee na viongozi wao wakawa ndiyo walengwa. Maaskofu wanataka wakamatwe na

MAKALA

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013


kuamua kusema sasa basi! Hali hiyo si nzuri kwa nchi inayopenda kujivunia umoja na amani Ni wazi basi kwamba hakuna ambaye anaweza akapinga yaliyoandikwa kwenye aya hiyo hapo juu. Lakini pia kwa wale wanaofaidika na hali iliyopo inakuwa ni busara kuhakikisha kwamba jambo hili halipati fursa ya kujadiliwa. Njia pekee ya kuzuia mjadala huo ni kuzua uongo na kutengeneza propaganda. Hivi karibuni vyombo vya habari vimearifu kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelazimika kufanya mkutano wa dharura kujadili udini ambao unadaiwa ulihusika kupitishwa kwa bajeti ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Shukuru Kawambwa. Gazeti la Nipashe la Jumapili Juni 9, 2013 lilibeba kichwa cha habari kisemacho, Mgawanyiko mpya CCM: Watumia udini kupitisha bajeti. Katika habari hiyo gazeti linaeleza kwamba mkutano huo ambao ulikuwa ufanyike chini ya uenyekiti wa Waziri Mkuu, mheshimiwa Mizengo Pinda, ulitokana na hoja ya Mheshimiwa Said Mtanda aliyehoji ni kwa nini gredi za somo la Elimu ya Dini Ya Kiislamu ziwe juu kulinganisha na somo la Maarifa ya Biblia. Pia jambo jingine la mbunge huyo wa Mchinga lililowakera baadhi ya wabunge wa CCM kiasi cha kuitisha mkutano huo ni kushiriki kwenye kipindi ya Jambo kinachorushwa na televisheni ya TBC1 kuelezea kukerwa kwake na ubaguzi wa kidini unaofanywa na N E C TA k u p i t i a K a t i b u wake Mtendaji Dr Joyce Ndalichako na Kamati yake ya kutunuku. Hoja kuu katika habari hiyo kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa wabunge waliochangia wameitaka CCM izuie mgawanyiko unaoendelea ndani ya CCM ukaachwa bila kushughulikiwa utaigawa jamii ya Watanzania. Tazama mawazo ya mbunge mmoja wa CCM kama alivyonukuliwa na gazeti hilo la nipashe: Inakuwaje Mbunge wa chama tawala, hata kama ni mawazo yake binafsi, anajielekeza katika kuchochea tofauti za kidini, anajenga hoja kumtetea Waziri kwa misingi ya dini, tunakwenda wapi. Kama inavyojidhihirisha hapa ni kwamba wapo baadhi ya wanasiasa popote walipo kinachochukua nafasi ya kwanza ni kulinda hali iliyopo ambayo Waislamu Inaendelea Uk. 11

AN-NUUR

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza

Kuvuruga ushahidi haitasaidia sana bali Tuchunguze aliyosema Mtanda, Mwingulu

DKT. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania kuchukuliwa hatua mara moja. Katika mlolongo huo kwa mara ya kwanza hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi wa Machi 2013 ikaongelea kwa kirefu dhana ya mfumokristo. Vyombo vya habari na waandishi wa habari, maaskofu wenyewe na watendaji wa serikali, wanalenga kuharibu maana ya dhana ya mfumokristo. Upotoshaji huu ni wa makusudi kwani tafsiri halisi ya neno hili imo kwenye kijitabu nilichokitaji ambayo imewasilishwa serikalini na bila shaka kama ambavyo maaskofu waliweza kupata DVD za makongamano ya Waislamu yaliyofanyika kote nchini, pia watakuwa wamepata kijitabu kile. Katika sehemu yake ya utangulizi dhana ya mfumokristo imeelezwa kama ifuatavyo, Hivi sasa imebainika kwa Waislamu na wananchi wenzao walio wengi nchini kwamba Mfumokristo, ni mfumo wa UDINI dhidi ya Uislamu na Waislamu . Japo kwa misingi ya kiserikali mfumo huu haupo rasmi, kiutendaji, mfumo huu umefanywa kuwa mila, desturi na utamaduni wa watendaji walio wengi serikalini na katika taasisi za nchi ambako unatumika kukandamiza na kudhulumu haki za Waislamu. Aidha utamaduni huu umeenezwa pia kwa watendaji walio wengi katika taasisi za umma, jumuiya zisizo za kiserikali na katika baadhi ya mashirika binafsi nchini. Kwa kutumia dhana hii hutashangaa kuona kwamba juhudi zinafanyika kupotosha ukweli kwani hakuna anayeweza kusimama kutetea ubaguzi. Ndiyo tunaona zinafanyika juhudi za kunyamazisha sauti za wale wanaopinga mfumo huo. Na kama ulivyokuwa msemo wa Kiingereza dead man tell no tales hivyo ukitaka kuvuruga ushahidi unaua shahidi. Labda tujikumbushe nini hasa ulikuwa ujumbe wa Waislamu kwa wenzao. Tazama utangulizi wa waraka wa Waislamu uliosomwa Diamond Jubilee 16.10.2011, kauli ya Waislamu katika makongamano yaliyofanyika sehemu zote nchini inawakumbusha na kuwanasihi viongozi wa nchi, serikali, vyama vya siasa, taasisi na mashirika yote kwamba Waislamu ni binadamu, na Watanzania, Waislamu ni wananchi. Wana haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa kwa misingi hiyo. Kuendelea kuwabagua na kuwakandamiza, siyo tu kunawagawa wananchi kitaifa; bali kunaandaa mazingira ya vurugu na machafuko yanayoweza kutokea hapo baadae. Maana kanuni ya ukandamizaji huzaa ukombozi. Na ukombozi hutokea pale wadhulumiwa wanapoona njia zilizopo za kuondoa dhulma hazitumiki kwa makusudi. Na hivyo

7
Na Mwandishi Wetu

Matangazo

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013 likipendekezwa na tume zote zilizowahi kuundwa kuhusu muundo wa Muungano. Bomani alizitaja tume hizo kuwa ni ya Jaji Francis Nyalali ya mwaka 1991 na Kamati ya Jaji Robert Kisanga ya mwaka 1998. Alisema, muundo wa Serikali mbili uliopo ulibuniwa haraka haraka na waasisi wa nchi hizi mbili Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Karume na kwamba muundo huo umekuwa ndio chanzo cha migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara hasa kwa upande wa Zanzibar. Kwa upande mwingine, wakati Jaji Bomani akitoa maoni ya kuunga mkono Serikali Tatu, Kamati Kuu ya CCM iliyokutana Dodoma imetoa tamko linaloonesha kuwa bado chama hicho kinapigania kuwepo kwa Serikali mbili. Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya
Inaendelea Uk. 11

AN-NUUR

VIONGOZI wa Uamsho walikuwa wakiuliza, Je, mnautaka? Sasa Jaji Mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani anasema kuwa ingekuwa vyema kabla ya kujadili muundo wa muungano, watu waulizwe je, bado wanautaka? Bomani alisema kabla ya rasimu hiyo haijapendekeza muundo wa Muungano wananchi walitakiwa waeleze kama bado wanautaka au la. Hivyo ndivyo alivyonukuliwa Jaji Bomani na baadhi ya magazeti wiki hii yakiarifu alivyotoa maoni yake alipozungumza na waandishi wa habari juu ya maoni yake kuhusu rasimu ya katiba mpya. Katika maoni yake, Jaji Bomani amepinga kutumiwa jina la TANZANIA BARA. Amenukuliwa akisema: Hili jambo la kuziita katika Rasimu ya Katiba

Watu wangeulizwa kwanza Je, wanautaka?- Jaji Mark

Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji Mark Bomani.

Mpya Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Zanzibar silipendi hata kidogo, tunaogopa nini kuiita Serikali ya Tanganyika. Jaji Mark Bomani ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, amesema kuwa kabla ya muungano kulikuwa na Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ndio zikafanya Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania. Sasa kama tunarudi kuwa na serikali tatu, basi turudi kwa Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari mapema wiki hii, Jaji Bomani alisema: Pendekezo la kuwa na Serikali tatu limekuwa

CHALINZE ISLAMIC SEMINARY

INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO (V) KWA MWAKA WA MASOMO 2013/2014

KITUO CHA MAFUNZO NA AJIRA CHA TAMPRO

SHULE IPO CHALINZE WILAYA VA BAGAMOYO KILOMETA 7 KUTOKA NJIA PANDA YA CHALINZE-TANGA KUELEKEA MOROGORO. M I C H E P U O T U N AY O S O M E S H A N I - P C M , P C B , CBG,PGM,EGM,HE,HGL,HGK, HKL, HKA, KLA,HGA, KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI KWA NAMBA ZIFUATAZO: 0762-270378 0657-935148 0784-323203 FOMU ZlNAKOPATIKA MIKOANI KATIKA VITUO VIFUATAVYO: CHALINZE: Shuleni 0762270378, 0657935148, 0784-323203 Zanzibar: Rashid Masoud-Simu: 0777-478246 Dar es Salaam: Hassanali (Koosa stationery) - Simu: 0719-350044 au Yahya Tatee (Kariakoo)-Simu: 0715-361444 MOROGORO: Rama (Wastara) - Simu: 0718-778300 au Mohamed Shayo - MUM Simu: 0717-172804 Iringa: Sheikh Abdulkarim Mshana-Simu: 0715878883, au Sheikh Shamsi Elmi 0784 448484. Mbeya: Sheikh Suleman (Osi za Happy Nation) - Simu: 0783-840060. Tanga: Shemtoi (Raha Stationery) - Simu: 0714-335030. Mombo: Sheikh Biko (Lango la Msikiti Mkuu) simu: 0754 983733. Handeni: Sheikh Maga-Simu: 0657-093983/0782105735 Moshi: Mzee Issa Simu- 0766-796807 (Muuza Magazeti Msikiti wa Riadha) au KUTAYBA SACCOS Moshi Simu- 0716-109000 /0713-719441 Hai: Smart Stationery Services - Simu: 0717-806566 Arusha: Imamu Hambal Simu-0754-290329 Msikiti Mkuu wa Ijumaa au Abdulkarim Kandahar Simu- 0754 316948 (Masjid Qubah Shopping Centre). Babati:-Sheikh Juma Ibuva Simu-0714-262706 Singida: Sheikh Ramadhani ni Mtipe- Simu: 0786-797695 Dodoma: Sheikh Said Chobo-Simu: 0712-217072 Tabora/Nzega: Garden Cafe: Simu: 0784-640112 Kondoa: Mwalim Jabir Issa Isere-Simu: 0784 780869/0716 588420 Ibra Line Booking Ofces: Arusha, Moshi na DSM MLETE MWANAO CHALINZA ISLAMIC SEMINARY KWA DUNIA YAKE NA AKHERA YAKE Wabillahit Tawq

MAFUNZO MAALUM YA UJASIRI AMALI JINSI YA KUANZISHA BIASHARA BORA NA UANDAAJI WA MCHANGANUO WA BIASHARA
Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) kupitia Kituo chake cha mafunzo na Ajira inawatangazia SEMINA YA UFUGAJI UJASIRI AMALI JINSI YA KUANZISHA BIASHARA BORA NA UANDAAJI WA MCHANGANUO WA BIASHARA kwa kutumia wataalamu wenye uzoefu wanaoshughulikia masuala hayo kwa muda mrefu. Semina itakuwa kama ifuatavyo:Walengwa: Wafanyabiashara wadogo wadogo, wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati, wanaotaka kuanza biashara na watakaopenda . Siku: Jumamosi na Jumapili terehe 29 - 30 June 2013 Muda: Saa 3:00 asubuhi - 10:00 jioni Mahala: Osi Kuu ya TAMPRO Magomeni Usalama, Dar es Salaam Mada: ujasiri amali na mjasiriamali, uamuzi sahihi wa biashara unayotaka, uamuzi wa mshirika sahihi katika biashara, muundo bora wa biashara yako, uteuzi wa uongozi bora. kuanguka kwa biashara, leseni ya biashara (umuhimu wake na jinsi ya kupatikana), muundo wa mchanganuo wa biashara, kutengeneza mchanganuo bora wa biashara. Kujisajili: Shilingi 50,000/= kwa mtu mmoja. (Kwa ajili ya cheti cha ushiriki, Kitabu cha muongozo, na chakula). Kikundi/jumuiya ikisajili watu 10 watalipia 40,000 tu kila mmoja. Muhimu: Washiriki watapatiwa vyeti na kitabu cha muongozo kilichoandikwa kwa lugha ya Kiswahili ili kukidhi haja. Pia watapata fursa ya kutengeneza michanganuo kivitendo chini ya usimamizi wa wataalamu bobezi katika fani ya uandishi wa miradi. Kujisajili: Ili kujisajili lipia ada yako kwenye namba 0714 151532, 0767151532 au ka TAMPRO Makao Makuu, Magomeni Usalama, jirani na Halmshauri ya Manispaa ya Kinondoni. Wahi kuijiandikisha kwani nafasi ni chache. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714 151532, 0767151532, 0716234391 MRATIBU MAFUNZO TAMPRO MAKAO MAKUU

Makala/Tangazo

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

Na Khalid S Mtwangi

INAFAHAMIKA kwamba viongozi wa Makanisa yote ya kila madh-hebi za Kikristo huwafundisha waumini wao uwongo mwingi kuhusu Uislamu na Waislamu. Nimebahatika kuvipata baadhi ya vitabu ambavyo hawa viongozi huwa wanavitumia kuwafundisha waumini wao Uislamu ni nini. Hapa chini naorodhesha baadhi ya mafundisho hayo. Waislamu, hasa masheikh na alim wote kwa jumla wayatafakari haya khalafu bila kukosa tafadhali wawaambie Waislamu ukweli uko wapi kati ya haya wanayozua Makasisi wa Kikristo na yale wao masheikh na alim wanayo wawaidhi waumini wao. Kwa Mfano imeandikwa: As a young man Muhammad was employed by Khadija, a wealthy widow, to manage her caravan trade. Although she was fifteen years her senior, Muhammad married Khadija when he was twenty-veAFTER HER D E AT H M U H A M M A D MARRIED A FURTHER T W E LV E W I V E S , THEREBY SANCTIONING P O LY G A M Y. ( Ta f s i r i : Akiwa kijana Muhammad aliajiriwa na Khadija, mwanamke tajiri, kuangalia misafara ya biashara. Ingawa Khadija alikuwa mkubwa kwake kwa miaka kumi na tano, Muhammad alimuowa Khadija wakati akiwa na umri wa miaka ishirini na tano. Baada ya kifo cha Khadija, Muhammad alioa wake kumi na mbili zaidi na hapo akahalalisha ndoa za wake wengi). Ni kweli hayo? Mengine yanahusu historia ya Uislamu Afrika ya Mashariki; kwa hili wapo waalimu wa zile shule za Kiislamu ambao bila shaka wao wanawafundisha wanafunzi wao historia kama hiyo. Ipi sahihi hiyo wao wanayoifundisha ama hii wanayoimwaga Makanisa kwa waumini wao? Ikumbukwe kwamba takriban

mara zote, na hasa katika Kanisa Katoliki, analosema kiongozi wa Kanisa huwa halipingwi; ni ukweli kama vile Injili. Mengine yanaweza kabisa kuwa ni kashfa dhidi ya Uislamu, hivyo inakuwa ni jukumu la ulema kutuongoza hivyo watupe ukweli. Ikiwa kweli ni kahfa ni kwa vipengele gani. 1 Jina la kitabu: LAW GROSSARY OF ISLAMIC TERMS IN SWAHILI by Dr. Jan Knappert; P u b l i s h e d b y B E N E D I C T I N E P U B L I C AT I O N S , NDANDA-PERAMIHO, 2001 Mwandishi wa kitabu hiki, Jan Knappert, anasema hivi katika utangulizi:During the rst years of independence I was secretary of the Law Translations Committee, a body created by Sheikh Amri Abedi, who was, until death in early 196, Minister of Justice in the Republic of Tanzania. (Nadhani hakuna haja ya kutafsiri hili la kujigamba kwake) Kuhusu Iran ameandika hivi:If one asks about Iran, the reaction is either They practice the same Islam or They are wandering in error; because they worship Husayn, they are polytheists a n d s i n n e r s ( Ta f s i r i Wanafuata Uislamu huu huu. Ama Wanahangaika wakipotea kwa sababu wanamuabudu Husayn, wao wanaabudu miungu wengi (washirikina?) na ni watenda dhambi) pg. 9. 2. Anaendelea sasa akiingia katika historia:From the Portuguese records of the sixteenth and seventeenth century (sic) one may conclude that Islam was almost totally eradicated in towns like Mombasa and Malindi, the chief ports of the Swahili coast. Malindi was abandoned in midseventeenth century and so was Quelimani (now the ruins of Gedi) as a result of the Galla raidsWitu was destroyed by the British and Bagamoyo and Pangani by the Germans at the beginning of the colonial period Tafsiri: Kutokana na kumbukumbu za Wareno za karne ya kumi na sita na kumi na saba mtu anaweza kuamua kuwa Uislamu uliteketezwa kabisa kutoka miji kama vile Mombasa na Malindi, zilizokuwa bandari muhimu pwani ya sehemu za Waswahili. Waliikimbia

Haya ni mafundisho ama ni kashfa?


Malindi katikati ya karne ya kumi na saba hali kadhalika Qualimanci (sasa ikiitwa magofu ya Gedi) kutokana na mashambulio ya watu wa kabila la Galla.. Wi t u i l i t e k e t e z w a n a Waingereza, Bagamoyo na Pangani (ziliteketezwa) na Wajeremani mwanzoni mwa utawala wa kikoloni). Hivi Ibn Batuta alipita huku mwaka gani alipokuta Kilwa kwa mfano imeshamiri kweli kweli? 3. Ameingilia katika swala na anasema hivi:Prayer in Islam is hardly comparable with prayer in Christian practices. Jesus admonished his disciples to pray individually and alone (Mathew 6:6). In Islam it is preferable to pray in public, in the mosque, or even in a street (so that trafc has to stop) and collectively rather than individually. THE MUSLIM PROUDLY WANTS TO BE SEEN PRAYING, expressing in that way his total devotion to God for whose service daily worries and business has to stop. (Tafsiri: Swala katika Uislamu haiweza kulinganishwa na mienendo katika Ukristo. Yesu aliwakemea wafuasi wake wawe wakisali mmoja mmoja na kila mtu peke yake (Matayo 6:6). Katika Uislamu inapendekezwa kuswali hadharani, msikitini, ama hata barabarani (ilimuradi magari yatakuwa yamesimamishwa) na katika jamaa badala kila mtu akiwa mwenyewe. MUISLAM HUJIGAMBA AKITAKA KUONEKANAANASWALI, akionyesha imani yake kwa Mungu ambaye kwake kila siku anamkumbuka na hata shughuli zote kusitishwa). 4. Itakumbukwa kuwa wakati nchi ilipoamua kuhesabu watu yaani sensa kulitokea malumbano makubwa sana. Waislamu walikuwa na hoja nzito kutaka sensa hiyo pia ijumuishe idadi ya waumini wa kila dini. Ni bahati mbaya sana hata baadhi ya masheikh waliwakosoa sana wale Waislamu waliosisitiza kuwa sensa nayo itoe idadi ya waumini wa dini zote. Sasa hebu wale Waislamu walioona kuwa hakukuwa na muhimu kufahamu nchi hii idadi ya Waislamu watafakari haya: I n Ta n g a n y i k a , F r Schildknecht, the best expert, estimated the Muslim population at 22% in 1963. With Zanzibar and Pemba added since then the percentage of Muslims in Tanzania may now be

25% but not much higher. Islamic publications usually exaggerate their statistics. (Tafsiri: Huko Tanganyika Fr Schildknecht (Bavarian?) mtaalam bora kabisa, anakisia idadi ya Waislamu ni 22% mwaka 1963. Kuongeza Zanzibar na Pemba asili mia ya Waislamu sasa inaweza kuwa 25%, sio zaidi sana ya hapo. Majarida ya Waislamu kwa kawaida hutia sana chumvi takwimu zao). P 11 Pamoja na haya bila shaka Waislamu watakumbuka huko nyuma magazeti yanayochapishwa na baadhi ya makanisa ya nchi hii hakika yalikuwa yakichapisha kwa mapana kabisa hayo waliyokuwa wakisema kuwa ni tafsiri za Kuran na Hadith. Walika hata kuandika kuwa Rasuul-Llah Muhammad SAW alikufa kwa sababu aliugua UKIMWI. Astaghfirullah. Wa i s l a m u w a l i p o k u w a wakiwaandikia kutoa maelezo yaliyo sahihi wachapishaji wa magazeti hayo hawakuyatoa yale maoni na mafundisho waliyoyaandika Waislamu. Hawa hawakushutumiwa kwamba walikuwa wakikashifu dini zingine. Wasomaji tunawarifu kuwa makala hii itaendeklea wiki ijayo, inshaallah.

Bismillahir Rahmaniir Rahiim

TAMASHA LA KITAIFA, SHENGE JUU PEMBA 28, JUNI 05 JULAI, 2013

KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shenge Juu Pemba litakalofanyika kuanzia tarehe 28, Juni 05 Julai, 2013. Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi. Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13) Muhimu: Kwa kupitia Tanga nauli ya kwenda na kurudi ni Tshs. 50,000/-. Wanatamasha wote wataripoti Tanga tarehe 24/06/2013 (0715 894111/0787 894111). Kwa kupitia Dar es Salaam nauni ni Tshs. 80,000/- kwenda na kurudi. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe 25/06/2013 (0783 812576/0716 058538). Kila msari awe na kitambulisho. Mwisho wa kukusanya Nauli ni tarehe 20/06/2013. Wabillah Tawiq AMIR

Tangazo

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

P.O. Box 55105, Dar es Salaam Tel: +255 - 2450069, 0712974428 & 0659 204013 Fax: 022-2450822 WASICHANA

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL


WAVULANA

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO-UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL 2013


/N 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 JINA KAMILI AISHA M. KIDULA AISHA Y. SHABANI ARAFA MATICO ASMA A. SALEH BIUBWA M. ISSA FATHIYA T. KAMUGISHA FATMA A. KHAMIS FATMA Y. ABDALLAH FAUDHIA K. GWEBE HUSNA R. CHISHAKO IKRAN H. AHMMED JAMILA MAHMOUD KHADIJA Y. HASSAN KULTHUM A. DILANGALE MAISARA A. MTAULAH MARYAM M. MLOWE MINAR M. MIRAJI MWAJUMA F. MDIMU MWAJUMA J. MHANDO MWANAMKUU S. MBUYU SALMA R. ALLY SAMIRA H. AHMAD SAUDA M. KHALID SHADYA S. MUSSA TAUSI I. RUSHANSHUMA UMMUKULTHUM SALUM ZAINAB S. ALLY ZAITUN A. RAMADHANI

PCB ECA CBG KLA PCB HKL CBG HKL ECA HGK EGM CBG PCB ECA HGL HKL EGM HKL HGL EGM ECA CBM ECA HKL HGK CBG PCB HGK

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 14 15 16 17 19 20 21 22 23 24 25
26

ABDALLAH O. ABDI ABDULWAHID R. RAMADHAN ABUBAKAR S. MSEKWA ALLY H. RAMADHAN ALLY N. TIMAMY ALLY S. BYARUGABA FUAD H. AHMMED HAJI M. JUMA HAMAD I. HAMAD HAMIS A.MDEE HUSSEIN ABDALLAH ISACK Y. HASSAN MALIK U. HAMIDU MBARAKA M. KIGZA MOHAMMED AMIR MOHAMMED S. HAMAD RAMJI H. TELLACK RASHID I. MUSSA SALUM A. MOHAMMED SEIF N. SAID SUDI YASIN TWALIB H. JAFFAR YAQUB O. KILIMA
SAID ATHUMAN

EGM HKL EGM HGE PCB PCM PCM PCB ECA ECA HGK PCM PCM PCB ECA EGM HKL ECA CBG PCB PCM HGK HGE
HGK

MAELEZO: 1. WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION) SHULENI UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL. PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www.ipctz.org 2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013. 3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA HADI TAREHE 23/06/2013. HIVYO FOMU NA UIRUDISHE UBUNGO AU KIRINNJIKO ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO.
KARIBU UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.

NENDA KACHUKUE

WABILLAH TUFIIQ MKUU WA SHULE

10

Tangazo

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR

KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL


P.O Box 62 Same - Kilimanjaro, Tel. (027) 2758180 Mob. 0784 296424 & 0784 681784

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO-2013/2014


S/N 1 2 3 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 JINA LA MWANAFUNZI AMINA O. MBAROUK AMINA RAMADHAN SULEIMAN AMINA SWAHIBU CHAMBO FATMA ALLY MWICHANDE FATMA SUDI KHALFAN FIRDAUS SALUM KHALFAN HABIBA Y. MUNISI HALIMA MUSTAFA FUNGO HIDAYA ALLY RAJABU JALINA NASSOR JAZILA TWAHA MSABAHA KHADIJA H.ABEID LATIFA HAMIS MNJALE LIGHTNES H. SHEKIAO MARYAM AYOUB ATHMAN MWANAID K. MOHAMMED MWANTUM M. MWAKIVUMA NURAT AMIRI MALOLO NUSAIBA FUAD BARAHIYANI RIHLA HASHIM MNYAKA SAADA ABUSHEHE ITASU SAFINA FADHILI TESUA SALMA SAID ALLY SALMA SALMIN SHALIMOH SUBIRA ALLY MAHUNA SUMAIYAH K. MSUYA ZUHURA ABDALLAH MFANGA ZULFA SAID MTEPA COMB ECA HKL CBG HGK KLA HGE CBG CBG HGL HGK ECA CBG CBG HKL HGK HKL PCB HGL PCB HGK ECA HGK KHL PCB PCB CBG PCB HGK

11 12 13 14 15 16
17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 S/N 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47

IBRAHIM R. IBRAHIM IDD IBRAHIM MSOKE IDD KASSIM IDD ISMAIL HAMIDU MGAYA ISSA ATHUMANI IBRAHIM JIWA OMARY MSUNGU
JUMA HAJI JUMA JUMA HASSAN MUSSA JUMA KIBUA JUMA KHALID MUSTAFA KISATU KIBARY MWINYI MOHAMMED LUQMAN F. MTIKA MAKUNGU S. MAKUNGU MNG`WALA MOHAMED NASSORO MOHAMMED I. MATEMANGA MOHAMMED M. KABALA MOHAMMED O. MOHAMMED MOHAMMED T. FADHILI MUHAMMED R. MKONGO MULLAH M. MOHAMMED MWINSHEKHE H. IGUDU OMARI MOHAMED AWESO OMARY JUMANNE MSANGI RAMADHAN M. SHABAN SALEHE HAMISI KOMBO SHABAN A. NYANGE JINA KAMILI SHABAN IBRAHIM LUSAMA SIMAI SHAIBU NANDOPE SHARIF S. MWINDI SHOMAR R. IBRAHIM SHOMARI RAMADHANI JUMANNE SOUD SULEIMAN SOUD SULEIMAN ATHUMANI MALOZO SWALEHE HASSAN TARIQ ALAWI BARAKATI TARIQ SULEYMAN. SOUD YUSUF ABDALLAH MSANGI USAMA MOHAMED NASSOR

PCB CBG HGK PCM PCB EGM


EGM CBG PCB PCB ECA CBG ECA HGE PCB PCB PCB HGK PCB HGK PCB PCB PCB EGM PCB CBG MCHEPUO PCB HGE EGM PCB PCB PCB EGM CBG HGL PCM CBG

. 28

ASMA HASSAN HONI


JINA KAMILI

EGM
MCHEPUO

S/N

1 2 3 3 4 5 6 7 8 9 10

ABDALLAH I, ABDALLAH ADINAN HUSSEIN MZIMBIRI AHMADA A. JUMA ALLY M. ABDALLAH ALLY SALUM KHALFAN BABUU MOHAMED PAWA HAMID S. KAIS HAMZA HAMISI MAWAZO
HASHIM SHABANI MWASHEMBE

HASSAN A. MTOGO HASSAN ABBAS MSANGI

PCB HKL CBG HGK HGL HGE ECA PCB PCB PCB PCB

MAELEZO: 1. WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION) KATIKA SHULE YA UBUNGO ISLAMIC AU KIRINJIKO.PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www.ipctz.org 2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013.KWA WANAFUNZI WANAOTOKEA DAR ES SALAAM KUTAKUWA NA USAFIRI WA PAMOJA SIKU HIYO.NENDA KALIPIE NAULI UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL KUANZIA TAREHE 25-28/06/2013. 3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA HADI TAREHE 23/06/2013.HIVYO NENDA KACHUKUE FOMU NA UIRUDISHE UBUNGO AU KIRINNJIKO ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO. KARIBU KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA. WABILLAH TUFIIQ MKUU WA SHULE.

48

PCB

11
Inatoka Uk. 7

Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametahadharisha kuwa kungangania kuendesha nchi kwa kufuata mfumo wa sasa wa utawala wa Serikali mbili kunaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano badala ya kuuimarisha. Amesema, huu ni wakati wa kukubaliana na ukweli, kuzingatia na kuheshimu mawazo ya Wazanzibari vinginevyo tutaukosa kabisa Muungano uliodumu kwa takribani miaka 49 sasa. Jaji Warioba akiongea katika kipindi kimoja kinachorushwa na ITV alisema kuwa Zanzibar walikuwa na mambo mengi ya kutoridhishwa juu ya Muungano kuliko Tanzania Bara na kwamba Tume yake ilizingatia maoni ya walio wengi kabla ya kupendekeza mfumo wa serikali tatu. Kwa upande mwingine, msimamo wa Serikali mbili unaonekana kuelekea kukigharimu Chama Cha Mapinduzi hasa kwa upande wa Zanzibar ambapo
Inatoka Uk. 6 wanailalamikia kuwa ipo dhidi yao. Hawajali kama kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya nchi au ya chama cha siasa wanachokiwakilisha bungeni. Katika kulinda misingi hiyo huko bungeni basi wahusika hushirikiana bila kujali vyama na itikadi zao. Wabunge wa CCM huunganisha nguvu na akina Joseph Selasini (CHADEMA) - Rombo na Felix Mkosamali ( NCCRMAGEUZI) Muhambwe. Kauli ya Mheshimiwa Selasini kutuhumu uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuwa unaongoza chuo hicho kwa kuwabagua wanafunzi Wakristo haikukemewa na hao wabunge wa CCM waliochangia hoja za umoja na mshikamano katika mkutano wa kumsema Mheshimiwa Saidi Mtanda. Kwao udini ni kusema jambo litakalowanufaisha au kuwapa haki Waislamu. Kwa sababu hiyo hawakuonekana kushtushwa na matamshi hayo ya Selasini, lakini Mbunge wa Kondoa Kusini Mheshimiwa Juma Nkamia alipomkemea Selasini kama alivyonukuliwa akisema kwamba, Nadhani tatizo la pale UDOM ni Profesa Kikula na Profesa Mlacha (Shaban ) wanahukumiwa kwa dini zao, leo hii kungekuwa na Lyimo

Watu wangeulizwa kwanza Je, wanautaka?- Jaji Mark

Makala

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013 maoni yake unapaswa kuitwa Muungano wa Jamhuri za Tanzania, tofauti na ilivyo sasa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Maalim Seif amesema kuwa Zanzibar inahitaji kuwa na Mambo ya Nje, Sarafu, Benki Kuu, Uraia na Uhamiaji pamoja na Vyama vya Siasa. Tunataka Zanzibar iwe na uwezo wa kufanya mambo yake bila ya kuingiliwa, kwa mfano iwe na uwezo wa kujiunga na Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU), pamoja na FIFA, alieleza Maalim Seif. Ni katika mkutano huo ambapo Maalim Seif alikabidhi kadi za CUF 609 kwa wanachama wapya waliojiunga na chama hicho, ambapo ilielezwa kuwa 148 kati yao walirejesha kadi za CCM. Wakijieleza baadhi ya wanachama hao wapya wamesema kuwa wanataka kukipa nguvu chama ambacho kinapigania masilahi ya Zanzibar kama nchi na Serikali yake yenye mamlaka kamili.
vigumu kuelewa lengo la watu hawa kujidanganya kwamba amani maana yake ni Waislamu kunyamaza wakati wananyimwa haki zao. Na kama ilivyosemwa hapo juu bunge hili linaloendelea limetudhihirishia kwamba watu wenye mawazo ya kibaguzi hawaamini katika vyama vyao (CCM, NCCR-MAGEUZI, CUF na CHADEMA) zaidi kuliko wanavyojitoa kuulinda masilahi ya kundi fulani katika jamii. Mawakala hawa hawajali hata kama kwa hoja zisizokuwa na mashiko wataonekana majuha kwa wananchi. Hoja inatolewa kwamba NECTA inafelisha wanafunzi na kuwapasisha wengine kwa dini zao, lakini wakala wa kutetea ubaguzi anasimama na kusema, Dr Ndalichako ana PhD daraja la kwanza!!!!!! Hatua hii ya wabunge mawakala wa ubaguzi ndani ya CCM kuitisha kikao kuwajadili wale wanaojitoa kuinusuru nchi yao na madhara ya ubaguzi, kwetu sisi ambao wakati wote tumesimama kupinga ubaguzi haikutukatisha tamaa. Kitendo hiki kwetu ni kiashiria cha kuonesha jinsi wenye mawazo ya ubaguzi wanavyotapatapa. Na hili ni kwa sababu tunajua wazi kwamba ubaguzi haudumu.

AN-NUUR

pale haya yasingezungumzwa humu bungeni, wabunge hao hao walipiga kimya. Kuonesha ubalakala wa wabunge wa CCM, walipuuza pia taarifa za Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi alipoliambia bunge kwamba wako watendaji wa serikali wanaowahujumu mawaziri. Kauli hii ya Mheshimiwa Mwigulu imenukuliwa na gazeti la HabariLeo la Juni6, 2013 kama ifuatavyo, Kuna baadhi ya watendaji na wataalamu serikalini ambao si waaminifu wamekuwa wakiwaangusha mawaziri wetu kwa kusudi kwa sababu ya kutumiwa na watu. Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM aliyasema hayo w akati akichangia hotuba ya bajeti ya WEMU. Kwa akili ya kawaida tungedhani kwamba wabunge wa CCM wangeitisha kikao kujadili watumishi wa umma ambao wanatumia osi zao

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza


kuwabagua wateja wao kama ilivyoelezwa na Mheshimiwa Saidi Mtanda akipinga kitendo cha Katibu Mtendaji wa NECTA Dr. Joyce Ndalichako na Kamati yake ya Kutunuku kuwafelisha Waislamu kwa makusudi kwa kuwapandishia alama za ufaulu wakati akiwasaidia Wakristo kufaulu kwa kuwashushia alama za kufaulu. Lakini kwa roho mbaya walizonazo walionesha pia chuki yao dhidi ya kituo cha TBC1 kwa kumpatia fursa mheshimiwa Mtanda kupitia kipindi cha JAMBO kuelezea kitendo hicho cha hatari kilichofanywa na NECTA. Siku chache kabla ya matokeo mapya ya mitihani ya kidato cha nne kutangazwa gazeti la Jamhuri na lile la Mwananchi yalichapisha barua za serikali zilizokuwa na mawasiliano baina ya WEMU na NECTA. Kwa mazingira ya siku zile wengi wetu tulioziona barua zile tuliweza kujua kwamba chanzo chake ni NECTA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji Mark Bomani.

mamia ya wanachama wake wameripotiwa kuhama na kujiunga na CUF. Inaelezwa kuwa wanachama hao wamekimbilia CUF kwa sababu wanaona kuwa chama hicho ndio chenye msimamo wa kuitetea Zanzibar kuwa na Dola yake huru yenye mamlaka kamaili. Katika mkutano wake wa hadhara hivi karibuni huko Matemwe, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad alisema kuwa amefurahishwa na pendekezo la kuwa na Serikali tatu hata hivyo akasema kuwa kuna mambo kadhaa yanayohitajika kurekebishwa katika rasimu ya Katiba ili kukia lengo la kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili. Ameyataja mambo hayo kuwa ni pamoja na jina la Muungano ambao kwa

kwani makusudio na maoni yaliyoambana na kuchapwa kwa barua zile yalionesha kulitetea Baraza la Mitihani na Dr Joyce Ndalichako na kujenga hoja dhidi ya Mheshimiwa Shukuru. Maneno haya ya Mheshimiwa Nchemba yanawiana na matukio haya ya kutaka kumsafisha Dr Joyce na kutia uzito hoja ya kumtaka Mheshimiwa Dr Shukuru Kawambwa ajiuzulu. Kwa kuwa kimantiki ilitarajiwa kwamba wabunge wote hasa wa CCM ambacho ndicho chama chenye mawaziri wanaohujumiwa na watendaji wasiokuwa waaminifu wakasirishwe na taarifa za Mheshimiwa Nchemba na kuitaka serikali kuwachukulia hatua watumishi hao, ukweli kwamba hao wanaojidai watetezi wa umoja na mshikamano wa kitaifa hawakuonesha kujali, basi inatulazimu kuhoji dhana ya amani kwa waheshimiwa hawa! Lakini pia inakuwa

12

AN-NUUR
MAKALA

12

SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

Usikose kusoma AN-NUUR kila Ijumaa


kote hivi sasa. Kwa upande mwingine, alilipongeza jeshi la polisi kupitia Inpekta Jenerali wa Polisi, Saidi Mwema, kwa hatua zake za dhati katika kuhakikisha jeshi hilo linajitahidi kuangalia kwa karibu makosa ya kimtandao na kuongeza kuwa, Inspekta Jenerali huyo wa Polisi ameweza kuwa na utambuzi wa karibu juu ya ukuaji wa kasi wa makosa ya kimtandao na kuweka nguvu ya dhati katika kupigana na makosa hayo. A l i t o l e a m f a n o wa kitendo cha jeshi hilo kuandaa mafunzo ya wiki mbili kwa wapelelezi wa makosa ya kimtandao nchini, ambapo lilijifadhili lenyewe kuwezesha mafunzo hayo kukamilika. Itakumbukwa kuwa mwanzoni mwa mwaka huu Bw. Yusuph Kileo alipewa tuzo na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA cha jeshi la polisi nchini, kwa kuweza kuongeza security website ya polisi, ambapo mwishoni mwa mwaka jana ilikuwa ni moja ya website iliyopata athari ya makosa ya kimtandao nchini. Mapendekezo aliyotoa Bw. Kileo ni matokeo ya mkutano uliyofanyika nchini Afrika Kusini mwaka jana, uliohusisha wataalamuu wa upelelezi wa makosa ya digitali na ulinzi wa mitandao duniani, wataalam waliweza kuainisha makosa mengi sana ambayo yamejiri kati ya mwaka 2011 hadi 2012. Katika mkutano huo a m b a o u l i k u wa k wa ajili ya kupitia makosa yaliyofanyika kupitia mitandao duniani, ilibainika kuwa vitendo vya wizi wa mitandao vimeongezeka kwa kasi ikilinganishwa na mapitio waliyoyafanya juu ya makosa hayo kwa mwaka 2010 hadi 2011. B w. K i l e o a l i s e m a kuwa kufuatia ongezeko la wizi huo wa mtandao, washiriki walilazimika kutumia muda wa ziada kujadili nini chanzo, kipi kinasababisha watu wengi kujiingiza katika kufanya makosa hayo, athari zake kwa jamii hadi sasa na nini kifanyike kuondoa tatizo hilo. Alisema maazimio ya kikao hicho yalielekeza m a p e n d e k e z o yaliyotolewa na washiriki kufanyiwa kazi mara moja ili kuweza kuleta mabadiliko yatakayowezesha makosa hayo kupungua au kwisha. Mapendekezo hayo na maelezo zaidi ya mkutano h u o , y a l i wa s i l i s h wa katika kikao maalum kilichofanyika katika hoteli ya Holiday Inn, Jini Dar-es-Salaam Juni 6, 2013 ambacho kiliandaliwa na Kampuni ya Kimarekani Ijulikanayo kama BGT - Group. Akitoa mifano katika kikoa hicho, alisema kuwa kwa upande wa Tanzania, kumekuwa kukiripotiwa makosa ya wizi katika ATM, wizi wa fedha katika mitandao ya simu, utapeli wa kurubuniwa watu kwa kuibiwa fedha na Website nyingi kuingiliwa na waovu wakisababisha website hizo kutofanya k a z i a u k u o n g e z e wa Contenti ambazo si nzuri kwa jamii. Alitoa mfano wa athari z a w i z i wa m t a n d a o unaozisumbua taasisi za kifedha za Afrika, ni Benki ya Zimbabwe na kutoka katika kampuni kubwa duniani zilizoweza kuathirika kutokana na makosa haya ya kimtanadao ni SONY, ambayo ilibainikka kuwa moja ya kampuni zilizo athirika Machi mwaka jana. Aidha alizungumzia makosa aliyo yatambulisha k a m a C y b e r Wa r a m b a y o n c h i k u b wa duniani zimekuwa z i k i p i g a n a n a yo . P i a makosa hayo yamekuwa yakiunganishwa na makosa ya kigaidi ya kimtandao.

Mtaalam atoa somo kwa makampuni kuhusu wizi wa kimtandao

2 Bw Nc uli dig

Bwana Yusuph Kileo (kushoto) akipokea tuzo aliyekabidhiwa na Kamishna Msaidizi wa jeshi la polisi Nchini Tanzania DCP Hamdani Makame Baada ya kazi nzuri aliyo ionyesha katika kuongezeza Ulinzi tovuti ya polisi Nchini Tanzania. Mwandishi Wetu KAMPUNI mbalimbali nchini yametakiwa kuwa makini na wizi wa mtandao kwa kujenga tabia ya kutoa mafunzo ya mara kwa mara kuhusiana na masuala ya ulinzi wa mitandao kwa wataalam wao. Aidha wametakiwa kujenga tabia ya kupitia mifumo (system) zao mara kwa mara ili kuhakikisha kuwa hakuna viashiria vyovyote vinavyoweza kuleta athari katika mitandao. Kampuni hizo zimetakiwa kuhakikisha k u wa z i n a wa t a a l a m ambao wapo tayari kujua na kuendelea kujifunza v ya n z o n a v i a s h i r i a mbalimbli vya uhalifu huu wa kimtandao na kuzuia mapema kabla hayajatokea ili kujiepusha na alichokiita fire fighting (kuhangaika kufanyia kazi tatizo baada ya kutokea). Hayo yameelezwa na Bw. Yusuph Kileo, ambaye ni mtaalam wa ulinzi wa mitandao na upelelezi wa makosa ya digitali, yaani Cyber security and Digital forensics investigation, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Holidai Inn jijini Dar es Salaam hivi karibuni, B w . K i l e o alisema makosa yanayosababishwa na utumiaji mbaya wa mitandao, yamekuwa yakiongezeka kila siku nchini Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla na kusababisha athari kubwa katika jamii. Alisema makosa hayo si tu yanaathiri Tanzania na Afrika pekee, bali yamekuwa tishio duniani

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like