Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 12

www.annuurpapers.co.

tz

Sauti ya Waislamu

Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha I - 2014 Mkuzo, Ubungo, Nyasaka, Kirinjiko

Polisi wamkamata wakili wa Sheikh Chambuso


Ahojiwa zaidi ya saa sita, aachiwa Kisa nyaraka feki za mteja wake Hofu ya kuzitosa kesi za Waislamu yatanda
Ajabu! Prof. Lipumba Si mwana-Sunnah Vipi Mkapa, Augustino Lyatonga Mrema! Somo kutoka Hudaibiyah, Fath Makkah
MTU unajiuliza, kama Ibrahimu Haruna Lipumba sio mwana-Sunnah, Mkapa Mkatoliki ( a u Au g u s t i n o Lyatonga Mrema), ndio walikuwa wanaSunnah? Au swali la msingi ni: kwani uchaguzi ule ulikuwa wa kumchagua Rais wa kutawala nchi ya Kiislamu?

ISSN 0856 - 3861 Na. 1102 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 6-12, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Uk. 5

Ujinga mzigo

Kwa heri Kamishna Mussa usisahau wafungwa wako


Uamsho bado wapo Korokoroni
Na Mwandihi Wetu KAMA ilivyokuwa kwa Kamanda George Kizuguto (RPC), leo Mussa Ali Mussa, sio tena Kamshna wa Polisi Zanzibar. Cheo ni dhamana, kabadilishwa wadhifa na kupewa kazi mpya. Hivi sasa ni Kamishna wa Polisi Jamii huku nafasi yake ikichukuliwa na Hamdan Omar Makame. Kamishna Mussa anafananishwa na George Kizuguto enzi za utumishi wa k e k a t i k a j e s h i l a Polisi Zanzibar kwa jinsi walivyowashughulikia wananchi na hasa Waislamu. Zama za RPC Kizuguto, wananchi walishuhudia vipigo vikali, watu wakifuatwa hadi ndani ya Misikiti, kilele cha zahama hiyo kikiwa kuuliwa Imam mara baada ya swala ya Ijumaa na asubuhi yake Inaendelea Uk. 6

KAMANDA Mussa Ali Mussa

2
www.annuurpapers.co.tz

Tahariri/Matangazo
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


Juu ya haya yote Abdulwahid, ndiye aliyewasha cheche za kuanzisha harakati za kudai uhuru wa Tanganyika. Dhana inayojaribiwa kuenezwa katika vitabu vingi ni kuwa kabla ya kutokea kwa Julius Nyerere mwezi Aprili, 1953 alipochaguliwa kuwa Rais wa TAA, chama hicho hakikuwa na mwelekeo wowote wa siasa. Lakini katika vitabu hivyo haielezwi kiufasaha juu ya waasisi, watendaji wala viongozi wa TAA. Wala haielezwi urais wa TAA, Nyerere aliupataje au aliuchukua kutoka kwa kiongozi gani wa wakati ule. Kwa hakika ipo haja kwa upotoshaji huu kuondolewa. Upotoshaji ambao umetumbukizwa katika historia ya nchi hii na watu wenye chuki za kidini. Wa t u a m b a o k w a chuki zao wanaona kuwa akitajwa Dosa Aziz, Sheikh R a m i a , A b d u l wa h e e d na wengine, itakuwa ni kuutukuza Uislamu. Wanalotakiwa kufahamu ni kuwa historia ni historia, lazima iachwe kama ilivyo. La muhimu ni watu kujifunza kutokana na historia hiyo. K a m a k u l i k u wa n a watu wakati wa kupigania u h u r u wa o wa l i k u wa wakiwatumikia wakoloni kwa pipi walizokuwa wa k i l a m b i s h wa , b a s i wajifunze kutokana na historia wajenge uzalendo kama wenzao.

AN-NUUR

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

TANZANIA bara husherekea maadhimisho ya siku ya Uhuru tarehe 9 Desemba kila mwaka. Desemba 9 mwaka 1961, Ta n z a n i a wa k a t i h u o ikiitwa Tanganyika, ilipata uhuru wake kutoka kwa Uingereza. Mwaka huu, sherehe hizi zitakuwa ni za 52 k u a d h i m i s h wa t a n g u Tanzania ilipopata uhuru wake. Kimsingi, Watanzania wanaadhimisha siku ya uhuru kukumbuka namna walivyojikomboa kutoka katika makucha ya mkoloni, ambaye aliwatawala na kuwadhulumu kwa kila hali. Lakini zaidi, kuwakumbuka majemadari waliojitoa kwa nafsi na mali zao, kwa ajili ya kupigania haki, mamlaka na uhuru wa Watanzania wote. Tunaona kwamba kwa kuwakumbuka waasisi halisi wa uhuru, ndio heshima ya matukio haya ya kihistoria. Kwa bahati mbaya au kwa makusudi, historia ya uhuru wetu imefinyangwa sana kiasi cha kufukia kufahamika watu wengi walioasisi juhudi na jitihada za kupigania uhuru wa Tanzania tangu enzi za TAA na TANU, ambavyo kimsingi ndizo taasisi zilizoasisi harakati za uhuru wetu, achilia mbali zama za akina Chifu Mkwawa, Mtemi Mirambo, Bushiri, Chabruma, Kibasila, Mareale na wengineo. Hali halisi inaonyesha kwamba, hujuma ya historia halisi ya uhuru wetu ilianza kupotezwa katika uandishi wa Historia yenyewe. Matokeo yake vizazi vingi vya Watanzania, vimeaminishwa kwamba mwasisi wa uhuru wa nchi hii ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na kuonekana kama historia ya Taifa imeanzia kwake na kuishia kwake. Tu k u m b u s h e t u kwamba tarehe 27 Aprili, 1,985 Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambaye anajulikana kama Baba wa Taifa, katika sherehe iliyofanyika

Historia isipotoshwe
viwanja vya Ikulu, alitoa jumla ya medali 3,979 kwa Watanzania waliochangia katika maendeleo ya taifa. Kati ya wale ambao walipewa medali hizo alikuwa Sheikh Abdallah Chaurembo. Wazalendo waliotajwa ndani ya kitabu hiki ambao walipigania uhuru wa Tanganyika, hakuna hata mmoja wao aliyekuwa katika orodha ile ya heshima. Baada ya siku chache kupita, Nyerere kama mtu aliyegutuka alimualika Dossa Aziz Ikulu. Dossa Aziz, wakati wa k u d a i u h u r u wa Ta n g a n y i k a a l i k u wa mtu maarufu, mwenye nafasi na aliyejiweza kiuchumi. Dossa baada ya miaka kupita, hakuwa akifahamika tena kama muasisi wa harakati za uhuru. A l i i s h i m a i s h a ya kawaida kijijini Mlandege, maili chache nje ya Dar es Salaam. Tukumbushe kwamba m k u t a n o w a TA N U iliofanyika Tabora, uliacha kovu katika historia ya uhuru wa Tanganyika. Huenda kama si yale masharti ya uchaguzi wa kura tatu, historia ya TANU na kwa hakika ile ya ukoloni Tanganyika, isingekuwa hivi ilivyo sasa. Y a w e z e k a n a kusingekuwepo na mgawanyiko katika TA N U w a l a Z u b e r i Mtemvu asingeunda ANC, na Mashado Plantan - AMNUT; wala suala la udini katika siasa za Tanganyika lisingewekwa katika agenda, jambo a m b a l o k wa m i o n g o mitatu baada ya uhuru, ngurumo zake bado zinasikika na zinatishia utengemano na uthabiti wa nchi. Tukumbushane kuhusu mwanaharakati mashuhuri wa uhuru Abdulwahid Kleist S y k e s . A l i k u wa m t u mashuhuri katika jamii katika harakati za kudai uhuru kabla hata ya kuja Mwalimu Nyerere. Huyu alikuwa Katibu

na baadae Rais wa TAA. Ingawa historia ya Tanzania bado haijamtambua mchango wake. Ni wazi kuwa Abdulwahid ndiye aliyekuwa bongo katika kuasisi TANU, chama ambacho kilikuja kuwaunganisha wananchi wa Tanganyika katika kudai uhuru wao kwa Waingereza. Tukiacha ndugu wa marehemu Abdulwahid, marafiki wa karibu na wanachama wa zamani wa TANU, hakuna hata mtu mmoja katika Chama cha Mapinduzi (chama k i l i c h o r i t h i n a f a s i ya TANU) anayemkumbuka. Jina la Abdulwahid halitajwi kabisa katika historia ya kudai uhuru wa Tanganyika au katika historia ya kuasisi TANU.

Polisi wamkamata wakili wa Sheikh Chambuso


Na Bakari Mwakangwale
JESHI la Polisi mkoani Ta n g a , l i m e m k a m a t a wakili wa Sheikh Chambuso Rajab, pamoja n a Wa i s l a m u w a n a o kabiliwa na kadhia ya Kilindi na kumshikilia zaidi ya saa sita kabla ya kumuachia. Wakili huyo aliyetajwa kwa jina la Hassan Kilule, ndiye anayesimamia kesi za Waislamu hao wanaoshtakiwa katika kesi zipatazo tano katika Mahakama ya Wilaya ya Handeni. Baada ya tukio hilo la kukamatwa, imedaiwa kuwa wakili Kilule, a m e o n ye s h a d a l i l i z a kutaka kujitoa kusimamia kesi hizo, akidai kuwa hajalipwa ujira wake wa kusimamia baadhi ya kesi zinazowahusu Waislamu takriban 76. Akiongea na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu juu ya tukio hilo, Sheikh Rajab Chambuso, alisema wakili wao alikamatwa siku ya Ijumaa ya Novemba 29, 2013, akiwa mahakamani,kwa ajili ya kuwatetea wateja wake, ambao ni Waislamu wanaokabiliwa na kesi ya kadhia ya Kilindi. Wakili wetu alikamatwa Novemba 29, Ijumaa ya wiki iliyopita akifuatilia k e s i ya wa t e j a wa k e , ambapo siku hiyo ilikuwa kesi ikisikilizwa. Alisema Sheikh Chambuso. Alisema Polisi waliomkamata, walidai kuwa walipokea amri kutoka kwa RCO, kwamba wakili Hassan akamatwe k i s h a a p e l e k we k i t u o cha Polisi cha Wilayani Handeni, hadi Polisi mkoa watakapofika kumchukua na kumsafirisha kwenda jijini Tanga. Wa l i m c h u k u a p a l e pale mahakamani. Mara b a a d a ya k u m a l i z i k a kwa kesi Polisi walifika na kumueleza anahitajika katika kituo cha Polisi Handeni,kwa mahojiano, huku wakidai kuwa wamepokea amri hiyo kutoka kwa RCO, kuwa kuna maswala anatakiwa akajibu. Alisema. Aliongeza kuwa baada ya kufikishwa kituo cha Polisi Handeni, hapakuwa na mahojiano yoyote kama alivyoelezwa, badala yake wa l i m w e k a r u m a n d e na kumueleza kuwa a t a k u wa h a p o m p a k a atakapopelekwa mkoani. Sheikh Chambuso, a l i s e m a Wa i s l a m u walifatilia kukamatwa k wa k e na k uf a ni k i wa kumtoa siku hiyo hiyo (Ijumaa) majira ya saa 2 : 0 0 u s i k u , b a a d a ya kufanya mawasiliano na RCO ambapo wakili huyo alitakiwa kuripoti kituoni hapo siku ya Jumatatu (wiki hii). Alipoulizwa kosa lilosababisha kukamatwa kwake, Sheikh Chambuso, alisema baada ya kufuatilia na kufanikiwa kumtoa, walibaini kuwa alihusishwa na madai ya mmoja wa mteja wake kufoji nyaraka katika kesi inayomkabili Sheikh Chambuso, akiwa wakili wake. Wa l i m k a m a t a n a kumuhoji kuhusu nyaraka bandia zinazomhusu mmoja wa wateja wake

anayekabiliwa na kesi ya jinai jijini Tanga, baada ya kudaiwa kuwa ni za kughushi. Alibainisha Sheikh Chambuso. Alisema kwamba nyaraka hizo kiuhalisia hazihusiani kabisa na wakili wao, na isitoshe kesi hiyo imekuwepo na kusikilizwa tangu mwaka 2000, lakini akaonyesha kushanga kuwa anakuja kutiwa misukosuko hivi sasa, zaidi akasema, mikataba ya nyaraka hizo feki sio yeye aliyeandika. Alipoulizwa kilichojiri baada ya kurejea Polisi siku ya Jumatatu, (wiki hii) kama alivyotakiwa na Jeshi la Polisi, Sheikh Chambuso, alisema hakuna kilichoendelea zaidi ya kuhojiwa tu, ili kupata ukweli kuhusu nyaraka hizo. Mpaka sasa (Jumatano wiki hii) sina taarifa za shitaka lolote, ila alielezwa sababu za kukamatwa kwake ni kupuuza wito wa Polisi, hata hivyo wakili alikuwa ni mgonjwa siku a m b a y o a l i p o t u m i wa ujumbe wa kuhitajika Polisi. Alisema Sheikh Chambuso. Akifafanua zaidi Sheikh Chambuso, alisema siku ya Alhamisi iliyopita wakili wao alikuwa ametoka Jijini Dar es Salaam katika matibabu, kisha Ijumaa yake aliamkia mahakamani kwa ajili ya shauri la watuhumiwa wa kesi ya Kilindi na ndipo walipomkamata. Sheikh huyo alidai kuwa tukio hilo linatoa picha ya kumtia misukosuko wakili wao, ili aweze kujitoa katika kusimamia kesi hizo zinazowakabili Waislamu. Inaendelea Uk. 4

3
Na Omar Msangi
Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza katika mfumo wa vyama vyingi, kulikuwa na propaganda nyingi kila upande wa wagombea wakijitahidi kupata wapiga kura wengi. Nakumbuka wapo watu, katika makundi ya wanaojiita wanaharakati wa Kiislamu, walikuwa wakisambaza ujumbe kuwa Profesa Lipumba sio mwanasuna, hivyo akipata serikali hatatawala kwa Kitabu na Sunnah! Mtu unajiuliza, kama Ibrahimu Haruna Lipumba sio mwana-Sunnah, Mkapa Mkatoliki (au Augustino L ya t o n g a M r e m a ) , n d i o walikuwa wana-Sunnah? Au swali la msingi ni: kwani uchaguzi ule ulikuwa wa kumchagua Rais wa kutawala nchi ya Kiislamu? Uchaguzi ulikuwa wa kuchagua Rais na wabunge katika nchi ya kisekula, nchi inayojiita kuwa haina dini. Sasa, hii kuwa Ibrahim Lipumba sio mwana-Sunnah kwa hiyo asipewe kura na Waislamu, inatoka wapi! Hata hivyo wapo watu waliyameza maneno hayo na wakawa wanathubutu hata kusimama Misikitini au kufanya minakasha kuwahimiza watu wasimpigie Lipumba kwa sababu sio mwana-Sunnah! Ili kumpindua aliyekuwa kiongozi wa Libya, makundi kadhaa ya Kiislamu ndani na nje ya Libya yalitumika. Haya yalikusanywa na kupigwa propaganda iliyowaaminisha kuwa wanapigana Jihad ili kusimamisha serikali ya Kiislamu Libya. Japo Kanali Muammar Gadhafi alikuwa Muislamu, lakini alishutumiwa kwamba h a k u wa a k i t a wa l a k wa Kitabu na Sunna na zaidi akishutumiwa kuwa alikuwa akitesa na kuuwa wanaharakati wa Kiislamu wanaotaka Serikali ya Kiislamu. Makundi haya ya Mujahidina walioaminishwa kuwa wanapigana Jihad, ndio waliopewa silaha na kusaidiwa na Marekani na NATO (na hata Mayahudi). Ushirikiane na Marekani na NATO, kusimamisha Serikali ya Kiislamu! Ushirika wa ajabu kabisa huu! Lakini pamoja na ajabu hiyo, walipatikana vijana wa Kiislamu wakapigana kwa ari kubwa wakipata msaada wa kifedha, silaha, propaganda, diplomasia na mbinu za kivita kutoka Marekani na NATO. Vita ni vita. Wakauwa wananchi wasio na hatia, wakaharibu miji na vijiji na wakauwa mamia kwa maelfu ya askari wa Gadhafi. Na wote hawa walikuwa Waislamu. Kwa hiyo unachoweza kusema ni kuwa waliuwa maelfu ya ndugu zao Waislamu na

Habari

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


wa Syria, lengo likielezwa kuwa ni kungoa serikali ya kitwaghuti ya Bashar Al Assad na kusimamisha serikali ya Kiislamu. Kutokana na vitendo vyake vya mauwaji, kulipua vituo vya polisi, majengo ya serikali na kuuwa watu wanaodaiwa kuwa wa serikali, mnamo Desemba 2012, Umoja wa Mataifa ulilitangaza kundi hili kuwa ni la kigaidi. Marekani nayo ikafanya hivyo mwezi huo huo ikifuatiwa na Australia (Juni 2013) na Uingereza Julai 2013. Abu Ahmed, anayejiita kamanda wa jeshi wa alNusra Front akiongea na baadhi ya vyombo vya habari anasema kuwa wao lengo lao ni kumngoa Bashar alAssad na kurejesha Khilafah ambapo Syria itakuwa nchi inayotawaliwa kwa Shariah kukiwa hakuna ulevi, sigara/ tumbaku, muziki wala jambo lolote lisilotakiwa na Uislamu. Hawa al-Nusra Front, p a m o j a n a w o t e wa l i o pamoja nao katika kumpiga vita Rais Bashar al-Assad, ndio wanaopewa misaada na kuungwa mkono na Marekani pamoja na mataifa mengine ya N AT O . K wa m a a n a nyingine, hawa wanaotaka kusimamisha Khilafah, wanaungwa mkono na Marekani na NATO! Pengine kilichotarajiwa ni kuwa Salafi na wanaharakati hawa wangejifunza kutokana na somo la Libya. Lakini wa p i , k i l a u c h a o wa t u kutoka mataifa mbalimbali wanakusanywa na kuingizwa Syria wakiaminishwa kuwa wanakwenda kupigana Jihad ili Khilafah irudi ikianzia na Syria na kusambaa dunia nzima! Kiongozi mkuu wa Jabhat anaitwa Abu Mohammad al-Jawlani. Watu wengine maarufu ni Abu al-Mundhir al-Shinqiti, Abu Muhammad al-Tahawi, na Abu al-Zahra al-Zubaydi. Kwa mujibu wa taarifa za waliokuwa wakifuatilia suala la Kilindi, hasa majeruhi wa l i o k u wa wa m e l a z wa katika hospitali ya Bombo, Tanga, ilikuwa tabu sana kuwatambua majeruhi hao kutokana na majina waliyokuwa wakitumia. Wote walitambuliwa na kujitaja kama Abu Hamza, Abu Majid, Abu Fulani n.k Majina haya ukiyaunganisha na taarifa za awali kuwa ndani ya kijiji cha Madina kulikuwa na kundi la watu waliokuwa wamezuiya watoto wao kusoma kwa madai kuwa elimu hiyo ni ya kikafiri na kutokana na madai kuwa kulikuwa na falsafa iliyotawala hapo kuwa watu wanajiandaa kwa kusimamisha Khilafah, ikiwezekana kwa kuanzia hapo wafanye Jihad kusimamisha Dola ya Kiislamu Tanzania au kutoka hapo wajiandae kwenda kufanya Jihad mahali pengine kama ambavyo hivi sasa baadhi ya watu wanatoka Tunisia, Algeria na nchi kadhaa za Kiislamu kwenda kupigana Syria; unapoona majina haya Abu, Abu; hapana shaka unajenga dhana na wasiwasi fulani. Hoja hapa sio majina Abu Hafsa wala dhana na nia ya kusimamisha Khilafah, bali mtizamo na lengo katika kujipa jina hilo na kubwa zaidi kama ni hiyo Khilafah unaipata kupitia njia gani, mbinu gani, kwa gharama gani, mazingira uliyopo na kwa kushirikiana na nani. Tu n a a m b i wa k u wa mpaka sasa zaidi ya watu laki mbili washauliwa toka hawa Mujahidina wa Kisalafi waanze kupambana na jeshi la serikali Syria. Mali na makazi ya watu ya l i y o a n g a m i z wa n i ya mabilioni ya dola. Lakini kwa vyovyote itakavyokuwa, hata kama hatimaye ataangushwa Bashar Al-Assad, hakuna serikali ya Kiislamu wala Khilafah itakayosimama Syria kwa kupitia mlango huu au njia hii. Itakuwa yale yale ya Libya na Afghanistan baada ya Mujahidina kutumiwa kumngoa Mrusi. Hatujifunzi? Kama nilivyotangulia kusema awali, hoja hapa sio kuwa Waislamu wana wajibu wa kuwafanya watu wote wawe Waislamu na watawaliwe Kiislamu kama ambavyo Wakristo na watu wa dini nyingine wangetaka. Wala hoja sio Jihad na nafasi yake katika ulimwengu wa leo katika kusimamisha Uislamu. Hoja ni kama ni Dawah ya kuwafanya watu wawe Wa i s l a m u a u wa k u b a l i kutawaliwa Kiislamu, unafanyaje. Unatumia njia zipi, fursa gani na mbinu gani katika mazingira gani. Nani unafanya nao Jihad hiyo na nini malengo yao (ya ndani). Watu na jamii inayokuzunguka na ile ya kimataifa unaiandaa vipi na utakabiliana nayo vipi. Zipo taarifa kuwa watu wa mrengo huu wa Mujahidina wa Salafi wanaopigana kumngoa Rais Bashar AlAssad, waliunga mkono jeshi la Misri kumpindua Rais Mohammad Morsi kwa madai kuwa chama chake Muslim B r o t h e r h o o d k i n a f a n ya mambo ya kitwaghuti kama kufuata mfumo huu wa elimu wa kisasa, kuingia katika siasa za kidemokrasia na mambo kama hayo. Katika harakati za mapinduzi hadi hivi sasa jeshi limeuwa maelfu ya raia wa Misri wasio na hatia na linaendelea kuuwa. Wala hutasikia kauli ya Salafi hawa wakilani jeshi la Misri! Sasa hapa ndio unaingia wasiwasi kuwa huenda hizi Abu fulani, popote zilipo, ni katika ule mtandao wa entrapment. Kupumbazwa, kughilibiwa (brain washing au kuwa-programmed). Kijana anadhani yupo katika Jihad, lakini kumbe anatumiwa

AN-NUUR

Ujinga mzigo
kuharibu miji na makazi ya ndugu zao Waislamu ili kumngoa Gadhafi wakitaraji kusimamisha Serikali ya Kiislamu. Haikuchukua muda mrefu. Gadhafi akangoka. Akauliwa. Lakini leo hakuna Serikali ya Kiislamu Libya! Kuna Serikali ya watu waliotakiwa na Marekani na NATO. Watu watakaotoa fursa na kufumba macho mataifa hayo yakivuna m a f u t a . Wa t u a m b a o watahakikisha kuwa Libya haisimami tena na kuwa jasiri wa kukataa kuburuzwa na mataifa ya Magharibi. Wale Waislamu waliokusanywa wakapumbazwa wakaamini kuwa wanapigana Jihad, leo wanaonekana kuwa ni magaidi. Wanapigwa vita mpaka wengine wamefikia kutekwa wakiwa katika mitaa ya Libya na kupelekwa kutiwa adabu na majasusi wa Marekani. Lakini jingine kubwa zaidi ni kuwa makundi yaliyokuwa na silaha yameachwa mitaani yakiranda. Hayakufanywa kuwa ndio jeshi jipya la Libya . Hii imefanyika kama namna moja wapo ya kuhakikisha kuwa nchi hiyo haiwi na amani kabisa kwa miaka mingi ijayo. Kunapokosekana amani kama Congo (DRC) na kuwa na makundi yenye silaha yanayoweza kuteka sehemu ya nchi na kujimilikisha mali za eneo hilo, hapo hakuna tena nchi wala taifa. Mataifa makubwa yatamiliki makundi hayo kwa kuwapa silaha ili muendelee kupigana huku wao wakipora mali. Unapewa silaha kwa makubaliano ya kumwacha mwenye kukupa silaha kupora mali. Libya, sasa ni hadithi ya kusikitisha. Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, kumekuwa na umwagaji damu mkubwa Syria. Wananchi wasio na hatia wanauliwa na makazi yao kuharibiwa. Kumejaa wajane, yatima, vilema na wakimbizi. Yote haya kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe. Wa n a u w a n a w a - S y r i a . Wanauwana Waislamu kwa Waislamu. Wa n a o p i g a n a u p a n d e wa jeshi la Serikali wanaamini kuwa ni wajibu wao kupambana na waasi wanaotaka kupindua Serikali, kama ambavyo nchi na serikali yoyote duniani ingefanya dhidi ya waasi walioshika silaha kutaka kupindua nchi nchi. Sahihi kabisa. Kwa upande wa waasi, hawa wanasema kuwa ni wajibu wao kupambana kumngoa Rais Bashar Al Assad kwa sababu ni dikiteta. Huo ndio mwito na kauli mbiu ya awali. Hivi sasa walio katikati ya ngoma hii ni wanaharakati wa Kiislamu. Wao agenda yao ni kutaka kusimamisha serikali ya Kiislamu Syria. Wa l i o a n z a k wa j i n a l a kupigania demokrasia, kadiri vita inavyochukua muda mrefu, wanachoka na kukata tamaa. Hivi sasa wamebaki wale walioaminishwa kuwa wanapigana Jihad na hawa ndio hivi sasa wanafanya mauwaji ya kutisha kwa jina la Jihad. Na hawa, kama ilivyokuwa kwa wale wa Libya, ndio wanaopewa msaada na Marekani pamoja na mataifa ya Ulaya. Hawa hawaelekei kukata tamaa japo wakati mwingine wanatwangwa sana. Imani ya kuwa wanapigana Jihad, inawapa mori kuzidi kusonga mbele na kuwa madhubuti zaidi. Lakini zaidi ni kuwa hivi sasa kuna kampeni kubwa kutafuta wapiganaji Wa i s l a m u k u t o k a n c h i mbalimbali. Hawa wakipigwa propaganda na kuaminishwa kuwa wanakwenda kupigana Jihad. Lile somo la Libya au hata lile la Afghanistan, hawalitizami. Taarifa moja ya Umoja wa Mataifa inaeleza kuwa makundi haya ya Kiislamu yamekuwa yakifanya uhalifu mkubwa wa kivita ikiwa ni pamoja na kuuwa watu wasio na hatia katika vijiji wanavyoamini kuwa wanamuunga mkono Rais Bashar Assad. Taarifa moja inasema kuwa walipoingia katika kijiji cha Khan alAssal manamo Julai 21, walikuwakusanya askari wa serikali 150 wakawalaza chini na kuwapiga risasi japokuwa walikuwa wameshajisalimisha. Taarifa hiyo hiyo inasema kuwa katika kijiji hicho hicho, wa l i u wa wa n a k i j i j i 1 2 3 kwa kuwatuhumu tu kuwa wanaunga mkono serikali. Wote hawa, wauwaji na wanaouliwa ni Waislamu!. Kwa mujibu wa taarifa i l i y o t o l e wa G e n e va n a timu ya Umoja wa Mataifa inaelezwa kuwa wananchi na askari wa serikali walikuwa wakiamriwa kulala chini halafu wanapigwa risasi. Aidha inasema kuwa katika vijiji vingi, miili ya watu waliouliwa na mujahidina hao, ilikuwa ikionekana imezagaa kila mahali. Taarifa nyingine ikadai kuwa mujahidina hao wamefikia mahali pa kuchukua maiti za askari wa serikali na kuzikatakata na kuwalisha mbwa!!! Wanaodaiwa kufanya haya si wengine bali ni wanaojiita Al-Nusra Front au Jabhat al-Nusra (Kiarabu: Jabhat an-Nurah li-Ahl ash-Shm). Kundi hili limeundwa tarehe 23 Januari, 2012 mara tu baada ya kuanza mgogoro

Inaendelea Uk. 4

4
Inatoka Uk. 3
katika namna ambayo itakuja kuangamiza nchi yake na umma mzima wa Kiislamu. Hivi sasa Syria, Iraq, Pakistan, Nigeria, Somalia, matukio ya kulipuka bomu na kuuwa watu wasio na hatia imekuwa ndio maisha. Kilich oanza Syria (na

Makala/Tangazo

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


wazalendo waliokuwa wakipinga sera na miradi ya kibeberu katika nchi hizo. Kwa hiyo sio ajabu kuona katika nchi makachero wa nchi kutumia (wakiwatumikia mabeberu) kupandikiza v i k u n d i v ya v u r u g u , ugaidi na mauwaji. Katika hali kama hii, wananchi wanatakiwa kuwa makini sana. Kwa vile sura inayojitokeza walengwa wakubwa hivi sasa katika kutumiwa ni Waislamu, kuna haja ya viongozi wa Kiislamu hapa kwetu kuwa makini. Kuhakikisha k u wa k wa n z a k a t i k a mawaidha na Dawah y a o k w a Wa i s l a m u , wanawaelimisha juu ya hali halisi ya ulimwengu hivi sasa. Na katika kufanya hivyo kuwatahadharisha na sumu ya watu wenye mwelekeo wa kuwatia katika sera za Jabhat al-Nusra za kutaka kusimamisha Uislamu kupitia njia za kujitia kitanzi wenyewe na Waislamu wote. Uislamu hauwezi kusimamishwa kupitia h a r a k a t i a u J i h a d ya kuanzisha vijiji vya Kiislamu porini kwa lengo la kujiandaa kuleta vurugu na vita. Katika Fathi Makkah, Mtume (s.a.w) hakushirikiana na makafiri wa M a k k a h k u n g o a masanamu katika kabah, bali akina Abu Sufyani baada ya kuona ile nguvu ya Uislamu na Waislamu, ilibidi wasalimu amri. Alichofanya Mtume katika Mkataba wa Hudaibiya, ni kujenga mazingira ya kupata fursa ya kufikisha Uislamu kwa watu mpaka wakaukubali kama mfumo wao wa maisha. Na hata wasio Waislamu wakaona kuwa salama yao ipo katika kusimama Uislamu. Ni kama hivi leo nchi nyingi za Ulaya hivi sasa zimefikia mahali kuona kuwa mfumo unaofaa wa uchumi na fedha ni wa Kiislamu. Ndio maana hivi leo yanafumuka mabenki ya Kiislamu London, Paris na Ulaya nzima. Wewe leo wakati katika shule yenye wanafunzi Waislamu 500, ni 11 tu wanaovaa hijabu, unataka Jihad ya silaha kwenda kukomboa Somalia na Syria au kusimamisha Serikali ya Kiislamu katika kijiji ndani ya serikali na nchi ya kisekula! Leo wewe utegemee madege ya kijeshi ya Marekani yatumike kumwangamiza Gadhafi/ Bashar al-Assad, ili wewe upate fursa ya kusimamisha Uislamu! Ajabu kabisa!

AN-NUUR

hata Libya na Nigeria), ni watu wa mtizamo wa ki- Jabhat al-Nusra, kudai wanapigania kusimamisha Shariah. Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa ama waanzilishi wa harakati hizi ni mawakala wanaotumiwa na maadui wa U i s l a m u a u wa t u wanaanzisha jambo kwa ujinga wao tu, lakini kwa nia njema, halafu wajanja laghai wenye agenda zao wanaliparamia na kuwaelekeza namna ya kwenda wakiwapa misaada kuelekea kule wanakotaka. Hebu fikiria leo katika mazingira ya Tanzania, wa t o k e e wa t u wa d a i kuwa hawaoni lolote la kufanya la Kiislamu au namna yoyote ya kufanya Uislamu ukubalike kama mfumo kamili wa maisha na serikali, ila kuhama miji na kuanzisha vijiji vyao (Madina zao) porini, iwe ni Turiani, Bagamoyo au
Inatoka Uk. 2

kokote kule. Wakilenga k u wa h u k o wa t a i s h i Kiislamu halafu kutokea hapo wataanza harakati za kuteka vijiji vingine kuviingiza katika himaya ya Khilafah. Kwa mtu mwenye akili yake timamu, hapana shaka ataona kuwa watu hawa ni wehu, wajinga wasiojua wanalolifanya na hatari kwa Waislamu na nchi. Atawaepuka. H a wa k wa v y o v y o t e watakuwa wanatumiwa bila wao kujijua kama wa l i v y o t u m i wa wa l e wa l i o m p i g a G a d h a f i . Lakusikitisha ni kuwa hawakusoma. Hivi sasa wanatumiwa tena kuuwa Wa a r a b u w e n z a o n a Waislamu wenzao Syria. Labda jambo moja niliseme hapa. Wakati mwingine ni jambo l a k u s h a n g a z a k u wa katika baadhi ya nchi, ambazo haziko katika vita kama Syria, watu hawa wamekuwa wakiachwa wakijiunda na kujiimarisha mpaka

Ujinga mzigo
wanafikia kuleta vurugu. Katika nchi yeyote yenye serikali na vyombo vyake vya dola, haiwezekani itokee watu wajikusanye iwe ni msikitini, kanisani a u p orin i n a k u u n d a vikundi kama Jabhat alNusra; serikali isiwe na habari. Kwa hiyo inapotokea vikundi hivyo vikaachwa mpaka vikawa na nguvu na kuanza kuleta vurugu, uwezekano mkubwa ni kuwa vyombo vya dola vya nchi hiyo vimeshiriki. Swali ni je, vyombo vya dola vinashiriki vipi jambo ambalo namna yake ni kama nchi kujitia kitanzi yenyewe? Jibu hapa ni jepesi. Ufisadi. Kama ilivyokuwa Pakistan na Yemen kuwa Rais wa nchi na Usalama wa Taifa wa nchi wametumika kuzitia nchi hizo katika balaa kubwa. Au kama ilivyokuwa katika nchi za Latin Amerika kwamba viongozi wa serikali, jeshi na makachero wa nchi hizo, walitumika katika miaka ya 1960s/70s, kuanzisha vikundi vya mauwaji na mateso kwa wananchi

Alisema mpaka kufikia Jumatano alikuwa hajaku t ana n a wak ili wake zaidi ya kuongea naye katika simu, hivyo akasema hafahamu kiundani mahojiano yake na Jeshi la Polisi siku ya Jumatatu yalihusu nini zaidi. Alisema ipo hofu kwa wakili wao kuachana na kesi hizo kwani baada ya kutoka katika mahojiano na Polisi, wakili huyo ameonyesha dalili kwamba huenda akajitoa katika kusimamia kesi hizo. Sheikh Chambuso, alisema wakili Hassan, anasimamia kesi takriban tano, ikiwemo yake (Chambuso) sambamba na zile za Waislamu wa Kilindi, ambazo ndio kuna wasiwasi akaziacha huku akitoa sababu ya malipo. Hii kesi yangu kwa kuwa tushamlipa amesema ataendelea nayo, sasa zile nyingine ambazo alikuwa apewe pesa, mpaka sasa bado hajapewa hivyo haijulikani anaziacha kwa sababu hiyo au kuna sababu nyingine. Alieleza Sheikh huyo. Katika hatua nyingine, kesi hiyo iliyokuwa isikilizwe siku hiyo ya Ijumaa iliyopita, haikusikilizwa kwa kile kilichoelezwa

Polisi wamkamata wakili wa Sheikh Chambuso


k u wa J e s h i l a P o l i s i kutowafikisha Mahabusu wanaowashikilia, na kwamba waliofika mahakamani hapo ni wale watuhumiwa waliopata dhamana tu. Kesi ya Waislamu hao iliahirishwa kwa maelezo ya Polisi kuwa upelelezi bado haujakamilika. Hivyo imepangwa kusikilizwa tena Desemba 13, 2013. K wa u p a n d e wa k e , Sheikh Chambuso, alisema tangu apate dhamana, amekuwa akifuatwa na watu wengi miongoni mwao hawafahamu na kumueleza mambo mbalimbali. Alisema, miongoni mwa mambo hayo ni kumtaka k u wa w e z e s h a v i j a n a kwenda nchini Somalia, lakini alidai amekuwa akiwajibu kuwa yeye si baozi wa Somali wala si afisa Uhamiaji. Alisema, wengine w a m e k u w a wakimshawishi kumpatia misaada, ambapo anadai amekuwa akiwajibu kuwa misaada hiyo waipeleke kwa wanaohitaji kwa kuwa yeye anachopata k a tik a s h u g h u li z a k e kinamtosheleza kimaisha. Juhudi za kumpata wakili Hussein kupata ufafanuzi

juu ya kukamatwa kwake hazikufanikiwa mpaka tunakwenda mitamboni.

Inawatangazia nafasi za masomo katika shule zake za 1. Luqman Islamic Seminary ( Kidato cha I-IV) 2. Luqman Pre & Primary school (darasa la I- VII) MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI: Sayansi, Biashara, Sanaa Lugha ya Kiarabu, Qur-aan na Dini ya Kiislamu. Fomu Zinapatikana: 1. Shuleni Luqman 2. Mapambano Tution Centre, Muone Mr. Mussa au Mr. Charles. Shule ipo Sinza jirani na Hospitali ya Palestina. Usaili utafanyika kila siku za kazi saa 2:00 asubuhi - 8:00 mchana. Jumamosi utafanyika saa 3:00- 6:00 mchana. Wahi kuchukua form. Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu Mlete mwanao kwa elimu na malezi bora Kwa mawasiliano zaidi piga simu. 0713 819 391 (Sekondari) 07657 757 075 (Primary) 0712 044 830

JUMUIYA YA WAISLAMU WA SINZA

5
I: Waliochaguliwa kujiuinga na Kidato cha I - 2014 A: B: C: D: B: Mkuzo Islamic High School Ubungo Islamic High School Kirinjiko Islamic High School Nyasaka Islamic Secondary School Ubungo Islamic Teachers' College
48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93

TANGAZO

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013

AN-NUUR

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 1 104 105 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 MWANSHAMBA BOBEA MBWANA NASMA SAIDI HARIDI NASMA SHAIBU AHMADI NASMA ZARI KHAMIS NASRA HOSSEIN MSUMARI NASRA JUMA SAIDI NASRA KASSIM SHEHOZA NASRA OCTAVIAN MCHAU NEEMA HAMISI MBONDE NUIYA HAMISI SEMPEHO RAHMA ALLY MWILAWA RABIA MLEKWA NOTI RAHMA NUHU MZIRAY RAHMA STANLEY NTANDU RAHMA ZUBERI BAKARI R E H E M A AT H U M A N MPWEMBWE REHEMA MANDIA ZUAKUU ROZI HASSANI NGAEGERA RUKIA JUMA LEMA RUKIA MAMLUGU MDOE RUKIA MOHAMEDI MMANGA SABRINA HAMISI KAMBI SADA MOHAMED ALLY SAFIA NGWALI SHARIFU SAFINA RAMADHANI SANGODA SAFINA SELEMANI JUMA SAFIRUNA SALUM NANIYA SAKHA HUSSEIN KATANGA SALMA ABDALLAH SALMA ABDALLAH DIGOGOGO SALMA ALLY MFAUME SALMA HAMISI JUMA SALMA MAJID KHAMIS SALMA MSHAMU OMARY SALMA SAID MFINANGA SARA HATIBU KAWAWA SAUMU HASSAN MDOE SAUMU MOHAMEDI MUSSA SHAILA SHARIFU KIKOTI SHAMILA HAMIS FUSSI SHAMSA PETER SHEMZIGWA SHANI MOHAMMED SADI SHEILA HABIBU UMBILA SIFA SELEMANI MASHAKA SOPHIA MUSA KIUNGULIA SWAIBA TAMIM MTELEKE SWAUMU HAMZA RASHID TABU ALLY ABDALLAH TAUSI A MKANDAWILE THAMARI SAID MSHAMU TUNUKIWA SADIKI LINJENJE UMULKHERI ALLY ATHMANI USAIFA NULLA ALLY VANILA SAID MOHAMED WARDA MUSTAPHA SEIF WARDA ROSHAN MMBAGA ZAINA MIRAJ RAMADHANI ZAINAB OMARY MOHAMMED ZAINABU HARUNA SEBARUA 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163
NA 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46

ZAINABU RASHIDY KIMARO ZAINABU SAIDI ATHUMANI ZAINURY RAMADHANI HIZZA ZAITUNI MIRAJI SHEHOZA ZAITUNI SALUM MACHELA ZAUJIA HAMISI MNDEME ZUBEDA KHALIFA NJENGWA ZUHURA MOHAMEDI NAMONDE ZULEKHA MOHAMED KHAMISI ZULEKHA SAHFII SHAYO ZULEKHA SIRAJI MSAMI ZULFA HASSAN SANGOLE
WAVULANA JINA ABDALLA MUSA LALI ABDALLAH JAWADU NYUNDO ABDALLAH MOHAMED MWINYI ABDALLAH SALEH MKOMWA ABDALLAH YUSUPH MFANGA ABDILLAH JUMA MAKWINYA ABDISALAM ISSA JUMA ABDUL RAHMANI RAMADHANI ABDULAZIZI ALI JUMA ABDULAZIZI MOHAMMED ABDULI HAMZA SHOMALI ABDULKARIM SALEH AL-JABRY ABDULMAJID ABDILLAH FUNGO ABDUL-MAJID H. HOZZA ABDULRAFIU ABDUL SADICK ABDULRAHIM FUAD ABDALLAH ABDULRAZAKI JUMA MKUMBA ABDULRAZAKI TWALIB MACHEMBA ABEID FADHILY MMILANDI ABRAHAMANI HASSAN KIHIYO ABUBAKARI BAKARI SONGORO ADAM ABEID SWALEH ADAM JUMA MUHAMED AHMAD SALIM BURA AHMED ZIDIMSELEM ALBANO DISMAS MWANANZILA ALLY ANANDUMI MASONU ALLY JUMA SHEDAFA ALLY SAID TOTOBAYA ALLY SIMAI ALLY AMANI HASSANI NYONI AMBANI ABUBAKAR NYANGASA AMIRI ALBUNI MFINANGA ANUARY ABDURAHMAN MUSSA ARAPHATI HASSAN YUSUPH ATHUMANI HAMIS RAFAELI ATHUMANI MAJALIWA ATHUMANI ATWAA HAMZA SILAYO AWADH AMANZI NYONGE AZIZ MOHAMED NKYA BARAKA FAKI MWAJEKA BIZAMZAM ATHUMANI MWETA CHANZI SHAHA MKIMA DAUDI HAMISI SHEMDOE EMANUEL MICHAEL MKINGA FIKIRI SANDARI MSUSA Inaendelea Uk. 8 YA S I N I

A: Mkuzo Islamic High School


NA 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 WASICHANA JINA ADILA OMARY SHOMARY AISHA HAMZA RAMADHANI AISHA HIJA KANDEGE AISHA KHALID KHALFAN AISHA OMARI AMIRI AISHA OMARI NSENGAKAMBA AISHA RAHIIM MNGWALE AISHA RAHIIM NDARO AISHA RASULI HAMAD AISHA SAIDI MMWINDI AISHA SUFIAN MSHANA AJUAYE BABU MPUNGA ALYA MABROUK ABDALLAH AMII MARO FARIJALA AMINA ABDALLAH MUHAMED AMINA ABDI FOTA AMINA ALLY ABDALLAH AMINA ALLY RAMADHANI AMINA HAMIS MCHAKU AMINA MASHAKA KASANGA AMINA MASOUD MSANGI AMINA SAID KIJAZI AMNE SWALEH ADOLF ANISAH SAIDI DINGOHI ASHA RAMADHANI JUMA ASHA RASHIDI ASHURA AJAL MLENGA ASHURA JUMA MTIMBI ASHURA OMARY MALOMBOI ASIA ABUBAKARI BAGAYA ASMA SULEIMAN SENKONDO AZIZA HAJI MILANZI AZIZA JALALA MOHAMED BAHATI ATHUMAN MOHAMED BUTHAINA HAMISI DUMWALA FAIDHIA RAMADHAN KUMBWAYA FAILUNA HAMIS ISSA FARIDA ATHMANI MBAGA FARIHIA ISSA JUMA FATINA MOHAMED HASSAN FATUMA HASSSAN MGAYA FATUMA MBWANA HASSAN FAUDHIA A. HAJI HADIJA YAHAYA HASSAN HAFSA BASHIRU KAHAMBA HAFSA KIOTA MAKUBURI HAFSAH SAID SEKAMBA HALIMA ABDALLA MBECHA HALIMA ALLY SALUM HALIMA ISMAILLY MBWAMBO HALIMA JUMA KWENGU HALIMA RIZIKI MOHAMED HALIMA YUSUF BAKARI HAWA ATHMANI NGOWI HAWA HAMISI MALETA HAWA HUSSEIN KHALIFA HUSNA HUSSEIN TUVEE HUSNA SELEMANI SOKA JASMINA WAZIRI SAIDI KAMARIYA SULEIMAN ALLY KHADIJA ABAS AMRAN KHADIJA HASSAN BAKARI KHADIJA KINYORI MANGARE KHADIJA NYEMELA RASHID KHADIJA YAHYA HASSAN KHAIRAT HASSANI SAIDI KULTHUM SAID RAMADHAN KULTHUMU HASSAN DADI LATIFA MOHAMED KAONEKA LATIPH KHALIDY ZALALI LEYLA ATHUMANI ADAMU LIVU ABDULY KABANDIKA LUCKY MUHAMMED OMARI MAGUNO TUPENDANE KULENU\WA MAJALIWA ABUBAKAR MAGAYA MAMESHO SALIM KHALFAN MARIAM AMRI JUMA MARIAM HASSAN YUSUPH M A R U D H I YA H S H A I B U NANDOPE MARYAM MHINA KAJIA MISK A NGONYANI MONTMORGEN NUHU SALEHE MUNIRA MAULID SHEKOLOA MUNIRA YAHYA SEMKA MWAHAMISI MUSSA ALLY MWAJUMA ALLY ISSA MWAJUMA MUSA MWASUNGA M WA J U M A R A M A D H A N I HUSSEINI MWAJUMA SAID KHALIDY MWANAHAWA ANDANI MAKANGA MWANAHAWA YAHYA AYUMA MWANAIDI KHAMIS HUSSEIN

Uingereza inavyowauma Waislamu na kupulizia


Na Said Rajab. UINGEREZA imekuwa nchi ya kwanza isiyo ya Kiislamu duniani kuuza dhamana ambazo zinaweza kununuliwa na wawekezaji wa Kiislamu, lengo likiwa kuvutia uwekezaji mkubwa zaidi nchini humo. Waziri Mkuu wa nchi hiyo, David Cameron, amesema kupitia hotuba yake hivi karibuni kwenye mkutano wa dunia wa Kiislamu kuhusu uchumi (World Islamic Economic Forum), uliofanyika jijini London kwamba, hazina ya nchi hiyo ina mpango wa kutoa dhamana (sukuk) zenye thamani ya paundi milioni 200, katika mfumo wa deni unaokubaliana na sheria ya fedha ya Kiislamu. Dhamana hizo mpya za Serikali zinazokubaliana na Sharia, zitaiwezesha Uingereza kuwa nchi ya kwanza isiyo ya Kiislamu duniani, kuvuna uwekezaji mkubwa wa Kiislamu unaotabiriwa kufikia paundi trilioni 1.3 ifikapo mwakani. Wa z i r i M k u u w a Uingereza amesema i t a k u wa n i " m a k o s a " kupoteza fursa hiyo ya kuvutia uwekezaji zaidi wa Kiislamu nchini humo, ambapo amesema jiji la London litashindana na Dubai kama kituo cha mfumo wa fedha unaokubaliana na Sharia. Bwana Cameron amesema wakati mfumo wa fedha wa Kiislamu ukikua kwa kasi ya asilimia 50 kuliko mifumo ya kawaida ya kibenki, na wakati uwekezaji wa Kiislamu duniani ukikua na kukaribia paundi trilioni 1.3 mwaka 2014, anataka kuhakikisha sehemu kubwa ya uwekezaji huo mpya unafanyika nchini mwake. Baadhi ya ndugu zetu Waislamu wamefurahishwa sana na hatua hii ya serikali ya Uingereza. Wanaona i n a t h i b i t i s h a u k we l i , uadilifu na usahihi wa m f u m o wa f e d h a wa Kiislamu. Ni kweli, lakini pia kuna masuala muhimu ya kuzingatiwa hapa, kabla ya kushabikia hatua hii kichwakichwa. Iwapo kimsingi, serikali ya Uingereza inapinga Sheria ya Kiislamu (Shariah), basi Sukuk nayo isikubalike kama ilivyo niqab nchini humo. Upande mmoja, serikali hiyo inakubali Sheria ya Kiislamu, hata imezindua 'Sukuk ya Uingereza' (dhamana za serikali zinazokubaliana na Shariah), na upande mwingine mawaziri wa serikali hiyo wanapinga n i q a b , wa k i t o a w i t o ipigwe marufuku vyuoni na mashuleni. Lakini 'Sukuk' na 'Niqab' zote zinatoka ndani ya sheria ya Kiislamu! Sasa kama Serikali inaona sheria za Kiislamu hazifai nchini Uingereza, hata niqab ikapigwa marufuku, mbona inaikumbatia sukuk ambayo pia ni zao la sheria ya Kiislamu? Ukweli ni kwamba kuzindua 'Sukuk' kunawezesha serikali iliyofilisika ya Uingereza, kupata moja kwa moja mabilioni ya dola kutoka Mashariki ya Kati. Kwa h i y o t a m a a ya f e d h a inafuta misingi ya taifa hilo, kama ilivyo siasa za nchi hiyo. Kwa Waislamu wenye pupa, na wasioangalia mambo katika kina chake halisi, wanaweza kudhani kwamba Serikali ya Uingereza inatoa sera rafiki zaidi kwa Waislamu. Lakini ukweli ni kwamba serikali hiyo inaangalia zaidi maslahi yake katika hatua hii kuliko ya Waislamu. Kwa Waislamu wengi, hususan wa Uingereza, ambao mara kwa mara wamekuwa na wasiwasi kuhusu hatua za kuwabana zinazochukuliwa na serikali hiyo, wanaweza kuziona sera hizo kama zinavyoonekana kwa nje - dhamira yake ni njema. Wakati kuchangamkia 'Sukuk' na kupinga 'Niqab' zinaonekana ni sera mbili za Serikali zinazopingana, lakini kiukweli sera hizo zinalenga kufikia malengo yale yale. Wanachofanya ni kuuma na kupulizia, na hatimaye Waislamu ndiyo watakaokula hasara. Kwa kupulizia, Serikali ya Uingereza inabuni sera ambazo, machoni

Makala/Tangazo

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013

AN-NUUR

Kwa heri Kamishna Mussa


Inatoka Uk. 1 watu kupigwa sana wa k i t o l e wa n d a n i ya baadhi ya Misikiti mara baada ya swala ya Subhi. Akimzidi kwa cheo Kizuguto, ambapo kama angekuwa kazini hadi sasa angekuwa bosi wake, Kamishna Mussa Juma anaondoka katika wadhifa wa Mkuu wa Polisi Zanzibar akiacha rekodi ya vipigo kwa Waislamu waliokuwa wakishiriki mikutano na mihadhara ya Uamsho. Anaondoka akiacha Masheikh wakiwa ndani. Masheikh ambao walikamatwa na Polisi na kufunguliwa mashitaka z a i d i ya m wa k a s a s a wakisota rumande kesi zao zikikwama kusikilizwa. K w a n a m n a ambavyo walikamatwa kwa mbwembwe na kupachikwa majina mabaya yakiwemo ya ugaidi, ilidhaniwa kuwa pengine Kamishna Mussa a l i k u wa n a u s h a h i d i wa kutosha kiasi kuwa isingekuwa tabu kwa mahakama kutimiza wajibu wake na hivyo isingetarajiwa kesi kuchukua muda mrefu kiasi hiki. Lakini Kamishna Mussa anaondoka akiacha majalada ya Masheikh hao yakiwa bado hayajafungwa si kwa kesi kumalizika na kutolewa hukumu, lakini hata karatasi moja ya Hakimu juu ya mashitaka na ushahidi haijaingia katika majalada hayo. Haijaingia kwa sababu kesi ya msingi haijazungumzwa, kwani muda wote huo kinachofanyika ni malumbano na sarakasi za kisheria za kesi ndani ya kesi, hasa juu ya haki ya dhamana. Pengine wananchi watarajie kumwona Kamishna Mussa akisimama kizimbani kesi za Masheikh wa Uamsho zitakapoanza kusikilizwa akitoa ushahidi wa tuhuma zinazowakabili Masheikh hao ambapo yeye binafsi na baadhi ya viongozi wa Serikali waliwarushia pia tuhuma nzito za kuwahusisha na Al-Shabaab, Boko Haram na Al-Qaidah.

zinaonekana ni rafiki kwa Waislamu, lengo likiwa kuungwa mkono n a Wa i s l a m u , l a k i n i kwa kuuma Serikali hiyo inabuni sera za kuwaadhibu Waislamu, iwapo watakiuka marufuku iliyowekwa dhidi ya 'Niqab' kwa mfano. Lengo kuu la mbinu hiyo ni kuufanya ummah wa Waislamu ulegeze misimamo ya Kiislamu katika baadhi ya mambo, ambayo hayatakiwi Ulaya, wakati huo huo ikiwatisha Waislamu kwa adhabu kali iwapo watakwenda kinyume. Badala ya kuhadaika na mipango kama hiyo yenye malengo ya kisiasa, Waislamu wanapaswa kuyaona mambo hayo kama yalivyo - ni jaribio la kuwavunga tu Waislamu, kwa lengo la kupora mali na rasilimali zao.

NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA KWANZA 2014 KATIKA SHULE ZAKE ZA KIPEKEE
KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL REG. S.358 UNUNIO ISLAMIC HIGH SCHOOL REG. G 397

SHULE ZINAPOKEA WALE WOTE WANAOTAKA NAFASI I. KIDATO CHA KWANZA 2014 II. WANAORUDIA MITIHANI KAIDATO CHA NNE NA KITUO NI HAPOHAPO III. WANAO HAMIA WENYE MAADILI SAFI SIFA ZA KIPEKEE KWA SHULE HIZI TEULE WALIMU WENYE UZOEFU NA WALIO BOBEA SHULE ZINA ZINGATIA MAADILI YA KIISLAMU MATOKEO KITAALUMA MAZURI SANA NI DHAMU BORA NA MALEZI SAHIHI KUNA FENSI (UZIO) IMARA NA USALAMA KUNA ZAHANATI SAFI NA VIFAA VYA KISASA. MASOMO YOTE YANAFUNDISHWA PAMOJA NA MAARIFA YA UISLAMU NA LUGHA YA KIARABU ADA NI NAFUU NA INALIPWA KWA AWAMU KUNDUCHI GIRLS NI BWENI TU NA KUNA FORM 5 NA FORM 6 UNUNIO NI SHULE YA BWENI NA DAY PIA WASICHANA WANAPOKELEWA PANACHUO CHA KIPEKEE CHA UALIMU UNUNIO USAHILI NI KILA JUMAMOSI SHULENI FOMU ZINAPATIKANA SHULENI AU TUPIGIE KUPATA NAFASI KUNDUCHI GIRLS MKUU WA SHULE MAKAMU MKUU WA SHULE MAKAMU UNUNIO HIGH SCHOOL 0713 346537 0713 515054 O717 008860 0718 551784 AU 0718551784 WABILLAH TAWFIQ

Madhara ya chips
na kufanya kazi chini ya kiwango, na kwa maana hiyo kuzalisha Insulin kidogo isiyokidhi mahitaji, au wingi wa I n s u l i n m u d a w o t e kwenye damu utazoeleka na kuifanya ishindwe kufanya kazi (utapata insulin resistance). Matokeo ya Insulin kuzalishwa kidogo au kushindwa kufanya kazi ipasavyo, ni sukari (glucose) kuongezeka kwenye damu kuliko inavyopaswa. Ongezeko la kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu hupelekea mhusika: 1. Kupatwa na ugonjwa wa KISUKARI CHA UKUBWANI (Type II Diabetes). Kisukari ni ugonjwa wenye madhara mengi sana. Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na: Kuharibika kwa mishipa ya fahamu kunakoambatana n a m a u m i v u ya m w i l i kuwaka moto na wakati mwingine pamoja na kupata g a n z i . K u h a r i b i k a k wa mishipa midogo midogo ya damu. Kuharibika macho. Kuharibika mafigo. Kupata maambukizi ya mara kwa mara kwenye mfumo wa haja ndogo. Kupoteza viungo vya mwili kutokana na majeraha kukataa kupona mapema. Kupoteza kumbukumbu. Kupoteza uwezo wa kufanya tendo la ndoa. Nakadhalika. Kuongezeka kasi ya kuzeeka kupitia mchakato u n a o i t wa G LY C AT I O N . Huu ni mchakato ambapo sukari hung'ang'ania kwenye protein iliyoko kwenye seli za mwili, hususan zile z i l i z o k o k we n ye d a m u na ngozi. Seli nyekundu za damu zinapokuwa zimeng'ang'aniwa na sukari hupungukiwa na uwezo wake wa kusafirisha oxygen kuipeleka kwenye seli mbalimbali za mwili na pia hupungukiwa na uwezo wa kubeba uchafu uliozalishwa na seli kwa ajili ya kuupeleka kwenye viongo vya kuutolea nje ya mwili. Aidha sukari iking'ang'ania kwenye protein za kwenye ngozi husababisha ngozi kuzaa mikunjo. Mikunjo hii hutokana na kuzalishwa kwa kemikali zinazoitwa AGES (Advanced Glycation End Products) katika mwingiliano huo. Hii ndiyo sababu ya msingi inayopelekea wagonjwa wengi wa kisukari kuonekana ni wazee kuliko umri wao halisi. Seli za mwili z i n a p o s h i n d wa k u p a t a oxygen ya kutosha, zinaweza kuamua kujibadili kutoka mfumo wa kujiendesha unaohitaji oxygen (aerobic) na kuwa na mfumo wa kujiendesha usiohitaji oxygen (anaerobic). Seli za kawaida zinapobadilika na kuwa anaerobic huhitaji njia mbadala ya kujitengenezea nishati. Kwa kawaida njia hii ni uchachuzi (fermentation)

Makala

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013

AN-NUUR

Na Juma Kilaghai
CHIPS za viazi ziko katika kundi la vyakula vya wanga. Vyakula vya wanga vinapoingia mwilini huchakatuliwa na kutengeneza Glucose. Glucose huingia kwenye mzunguko wa damu tayari kwa kusafirishwa kupelekwa kwenye seli za mwili kwa ajili ya kuzalishia nishati ya kuendeshea shughuli mbalimbali za mwili. Sasa tatizo liko kwenye kiwango cha glucose kinachozalishwa. Kutoka kwenye vyakula vya wanga glucose inayozalishwa na kuingia kwenye mzunguko wa damu ni nyingi mno. Wingi huu unasababisha kongosho kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni ya Insulin inayohitajika kuindoa glucose hii na kuipeleka kwenye seli. Kama kila wakati kongosho litalazimika kuzalisha kiwango kikubwa cha Insulin, itafikia mahala kongosho kuchoka

wa glucose. Kwa bahati mbaya mchakato huu huzalisha tindikali aina ya lactic (lactic acid) kwa wingi sana na kusababisha mazingira ya seli hizo kuwa yenye tindikali nyingi. Hali hii hupelekea seli hizo kuanza kubadilika na kuwa za saratani. Seli za saratani ni seli zinazozaliana haraka na hivyo zinahitaji nishati nyingi. Ili kupata malighafi ya kutosha ya kuzalishia nishati hiyo (glucose), eneo lenye seli za saratani hujitengenezea mishipa ya ziada ya damu katika mchakato unaoitwa 'ANGIO GENESIS' ili kuongeza kasi ya kufyonza glucose kutoka katika mzunguko wa kawaida wa damu. Hivyo basi wingi wa glucose kwenye damu waweza kuwa ni kianzishi cha saratani na wakati huo huo kuwa ni kichocheo kikubwa sana cha kuenea kwa kasi kwa ugonjwa huo pale ambapo tayari unapokuwa umeupata. Naamini kwamba kina mama wako katika hatari zaidi kwa sababu zifuatazo: Kwanza ni wapenzi wakubwa mno wa chips na vyakula vingine vya sukari nyingi kama soda, keki nakadhalika. Wakina mama wana homoni nyingi ya E S T R O G E N a m b a y o inatuhumiwa kuchochea saratani za matiti na viungo vya uzazi pale ambako

i n a k u wa h a i n a u w i a n o mzuri na homoni nyingine ya PROGESTERONE. Kwa bahati mbaya uwiano huu mara nyingi siyo mzuri kutokana na kuwepo kwa kemikali nyingi sana zinazoigiza ESTROGEN (Xenoestrogens) katika vipodozi vingi, madawa ya usafi majumbani, na hata katika baadhi ya v ya k u l a . K e m i k a l i h i z i zikichanganyika na ESTROGEN ya asili mwilini husababisha uwiano kati yake na PROGESTERONE kutokuwa mzuri. Kwa hapa kwetu Tanzania biashara ya chips imeshamiri na inafanyika kiholela huko mitaani. Kuna madai kuwa wizi wa mafuta ya transforma ulikuwa unachangiwa sana na biashara hii pamoja na ile ya kukaanga samaki. We n y e n a d h a r i a h i i wanakuja na madai kuwa mafuta ya transforma yakichanganywa na mafuta ya kawaida, basi mafuta hayo mchanganyiko hutumika kwa muda mrefu sana bila kumalizika. Sina ushahidi kuwa madai haya ni ya kweli. Lakini iwapo ni ya kweli basi mla chips hizi anakabiliwa na hatari ya ziada. Mafuta ya Transforma kwa kawaida yanachanganywa na kemikali fulani zinazoitwa PCBs (Polychlorinated Byphenyls). Kemikali hizi pia hutuhumiwa kuwa ni miongoni mwa vichocheo vikubwa vya saratani. Chukua tahadhari tafadhali. Kwa hisani ya Ukurasa wa Herbal Impact katika Facebook

NAFASI ZA AJIRA UALIMU


Uongozi wa Africa Muslim Agency unatangaza nafasi za kazi ya Ualimu katika shule zake kama ifuatavyo:A: Al- Farouq Islamic Seminary- Dar es salaam.

Bismillahir Rahmanir Rahiim AFRICA MUSLIMS AGENCY P.O.BOX 9211 Tell: 0712 656855

English & Kiswahili (Nafasi Mbili ) ( 2) Physics & Mathematics ( Nafasi Moja) (1) Computer - ( Nafasi moja) (1) Civics & General studies ( Nafasi Moja) (1) Degree in Education Economics & Mathematics ( Nafasi Moja) (1) Islamic & Arabic - ( Nafasi moja) ( 1) B: AT-TAUN GIRLS ISLAMIC SEMINARY- MOROGORO. Chemistry & Biology ( Nafasi moja) ( 1) Arabic & Islamic - ( Nafasi moja) ( 1) History & Geography - ( Nafasi moja) ( 1) Physics & Maths - ( Nafasi mbili) ( 2) Diploma in Education B/Keeping & Commerce - ( Nafasi moja) ( 1) Civics & Kiswahili - ( Nafasi moja) ( 1) English Literature - ( Nafasi moja) ( 1) Computer - ( Nafasi moja) ( 1)

C: AL-SAFA SECONDARY SCHOOL MTWARA Maths & Physics - ( Nafasi moja) ( 1) English & History - ( Nafasi moja) ( 1) Geography & Kiswahili- ( Nafasi moja) ( 1) Diploma in Education B/keeping & Commerce - ( Nafasi moja) ( 1) Islamic & Arabic - ( Nafasi moja) ( 1) Civics & Computer - ( Nafasi moja) ( 1) NB: Waombaji wote wawe na Shahada ya Chuo kikuu ninachotambulika na Serikali.Maombi yaletwe kwa mkono ofisini kwa Mkurugenzi Africa Muslim Agency Tabata- Bima- Dar es salaam. Waombaji wawe na Uzoefu usiopungua miaka mitatu. Maombi yaletwe kwa Soft Copy na hard copy Soft copy itumwe kwa E-mail: ama.darbranch@gmail.com Maombi yaambatanishwe na vivuli vya CV, Academic transcripts na vielelzo vingine kama vipo. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 13/12/2013 saa sita mchana. Wabillahi Tawfiq

8
Inatoka Uk. 5
47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 112 GULLAM OMARY NAMAJII HAFIDH SALUM MAHANJU HAFIDH SEIF KUZIWA HAJI ALLY SHESHE HAJI MOHAMED KINJUMBI HALID OMAR HASSAN HALIFA RAMADHANI MNDEME HARUBU KAIM NYONI HASSAN KHAMIS KHAMIS HASSANI ALLY MUHAMMED HASSANI MOHAMEDI HAMISI HEMED HASHIM MWAMBASHI HEMEDI SAIDI NGAINA HIMID ISMAIL MRISHO HIMID RAMADHANI MBWANA HUDHAIFA ABDUL SAID IBRAHIM JAWADU ATHUMANI IBRAHIM MUHAMED HANGO IBRAHIM SHABAN UHECHE IBRAHIMU SEIF CHIKWEPE IDD RAMADHANI HASSAN IDDI HASSANI SHABANI IDDY MZEE MAULID IMRANI HASSAN SAID ISIHAKA HASSAN ATHUMANI ISIHAKA SADIQ KIUNGULIA ISMAIL IBRAHIM SHEMMELAR ISMAIL IS-HAQA LOYA ISSA ABDALLAH IROVE ISSA AHMAD ISSA ISSA HASSANI MAKUNJALILA ISSA MOHAMED SELEMANI ISSA SHABANI MBARUKU JABIRI RAJABU MUHAMED JAFAR NURIDNI SAID JAZIRI LEMZUKA MWANGOMILE JUMA SAIDI ALLY JUMA HUSSEIN ISMAIL JUMA IDDY JUMA JUMA YUSUFU MKINDI KARIM KHALFAN MDEE KASSIM HASSAN NDEME KASSIM RAJABU MTIMA KASSIMU SHEHE ZAYUMBA KHALFAN SALMU NYENJE KHALFANI SELEMANI ASSENGA KHALID MOHAMED YUNUS KHALIDI SHAURI SELEMANI LUKUS HASSAN LUKUS MAHMOUD MOHAMED SALIMU MASHA MUHAMED MSANGI MBARAKA ABDALLAH ATHUMANI MIKIDADI BAKARI MRUTU MOHAMED HAMISI MBUJI MOHAMED JUMA MPONI MOHAMED MWIDADI BAULE MOHAMED RASHID MUHAMED MOHAMED SAID ATHMAN MOHAMED YUSUPH ABUBAKAR MOHAMMED RAMADHAN KALELA MUNADHIRI TWALIBU ALLY MURSHAAD MPINGA AWADHI MUSA SHABANI AMIR MUSSA IDDY MOHAMEDI MUSTAFA KHALID MUSHI MWALIMU RAJABU MCHOMVU 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 NADHIRI SAIDI MUSHI NURU HAMADI SHABANI

Tangazo
MZEE RAMADHANI OMARY NASEEM BAKARI MAHMOUD NASSAR CHAKE MKEYENGE NURUDINI SLFANI SHENTEMBO OMARI ABDALLAHINOCENT OMARY HUSSEIN MAHITA OMARY SWALEHE NCHASI OSAMA HUSSEIN MAMUYA RAJABU YUSUFU HUSSEN RAMADHANI ABDALLAH NYOMINZA RAMADHANI ATHUMANI OMARI RAMADHANI HAROUN AYOUB RAMADHANI MIRAJI MUHAMMED RAMADHANI MMBAGA BURHANI SAID ABBAS SHEKIAO SAIDI KARIMU MSAHANA SAIDI OMARY NGOLINGO SALAHUDIN SIRAJI BASHIRU SALIM HASHIM SALIM SALIM SHABAN SAID SALUM KHALID MUWINGE SAMEER MALICK SEIF SEFU JUMA SHEIZA SELEMANI ABDALLAH ALLY SELEMANI SAID IDASI SHABAN KISIGAYE MPEPO SHABANI IDD AKIDA SHADRACK NICODEMO MUSSA SHAFII ISMAIL CHANDE SHAKIRI HAMIDU KIMARO SHAURI MARISA SALIMU SUDI FADHILI MWIMBA SULEIMAN ABDALLAH KOMBA SWAIBU HUSSEIN KINGAZI TARIQ A. RAJABU TWAHA HAMISI HOZA TWALIB JUMA KWENGU TWALIQ ANAS KANTAMWA UMARU ALHAMI MOHAMEDI YASINI SHAHARUSADU MSUYA YATILU OMARI MCHARO YUSUFU Z. LUAMBANO YUSUPH HASSAN MRISHO YUSUPH MKUBWA YOSUPH YUSUPH NASSORO KUYAWA YUSUPH SAIDI HAFLAN 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


HAFSWA HASHIMU POLI HALIMA SAID JUMA HALIMA SAID KIMAZI HALISATH OMARY ZUBAIL HANIFA MAJID MSANGI ILHAM KHAMISI KHATIBU JAINA SAID ADAM JAMILA JAMAL BATTE KAUTHAR BENHAJJ MASOUD KHADIJA M. SUBA KHADIJA MFUNGENI KHADIJA SULEIMAN MOHAMMED KHAILATH HARUNA MDEMU KUDRAT OMARY MAKAME LAFHAT YUSSUF RASHID LATIFA JUMA HAMISI LATWIFAT MOSHI KAKOZI LEYLA WILLIAM MARUSU LEYLAT HASSAN UBWA MAIMUNA YUNUS SULU MARIAM A. MAMBO MARIAM ADAM MOHAMED MARIAM MAULID MOHAMED MARIZIA ABDALLAH MWAJABU SAIDI MAKONO MWAJUMA NASSORO MWAJUMA SELEMANI MWANAASIA JUMA MUHAMED MWANAHARUSI FADHIL KOMBO NABILA ARAFAT MOHAMED NASIBA KHAMIS NASSOR NASRA AZIZ AMIR NASRA NURDIN NGOMA NASRA RAMADHANI NEEMA HAMISI KASHUSHU NEEMA MUHARAMI MKENGE RAHMA EVANCE MASHAMBO RAHMA PONDA ISSA RAHMA SUDI AMOUR RASHMA ALLY REHEMA HARUNA KOMBO REHEMA NURDIN MDOE REHEMA RAMADHAN SAID REHEMA SALIM NALINGA REHEMA SWALEHE HUSSEIN REHEMA ZAHARANI RUKAIYA ABDALLAH MSUYA RUKIA ABDISHEHE YAHYA RUKIA MWALIMU HAMZA SADA SALIMU LUKINDO SALHA HASHIMU WAZIRI SALHA HASSAN KARABAKI SALHA OMARY BAKARI SALHA RAMADHAN KINYOGOLI SALHA SALUMU MOHAMEDI SALHA SUDI MUSA SALHA YAHAYA MKONEO SALMA RAJAB MBAWALA SALMA YAHAYA MKONGO SAUDA RAMADHAN KAYUNGILO SHAMIM SEIF ABDALLAH SHAMSA ALLY NDILA SHAMSIA SHABANI MDAMBWE SHEYLA MAHAMOUD HAMZA SIDRAH HARUNI MOHAMEDY SOPHIA YASSIN SUHAILA HAMADI BAKARI SWAUM SHAFII SARUMBO TAHIYA MBARAKA BYARUSHENGO WAHIDA ALLY HASSAN WARDA AFUAJA SAIDI WARDA ALLY HASSAN ZAHRA SALEHE MALIKULA ZAINABU BILLAL HAMISI ZAINABU HAMZA MOHAMED ZAITUNI MOHAMED ZUBEDA MASOUD ZULFA HABIBU SAID ZULFA MFAUME MPANGACHUMA ZULFA YAHABU ZUWENA HEMEDI MANDAI

AN-NUUR

100 101 102 104 105

AISHA AYOUB KHAMIS FAT-HIYA ABDALLAH BAKAR ZULEIKHA DAMIR ALLY YUSRA SULEIMAN ABDULLAH MUKRIM HAFIDH ALLY
WAVULANA JINA KAMILI ABDALLAH HAMOUD ALLY ABDILLAH YAKUBU SHAAME ABDUL SHAMIM KOLOPO ABDULIRAH MUSSA RASHID ABDULKADIR MOHAMMED MASOUD ABDULKARIM MOHAMED NGULANGWA ABDULMALIK MAHMOUD ABDULRAHIM HAMISI KASAMBALA ABDULRAHIM SAIDI ALLY ABUBAKARI ABDUL LIVIGA ABUBAKARI OMARI HAMADI ABUBAKARY SAID MNOGAMOYO ADBUL AZIZ ABDULSWAMADU SEIF ADBULRAZAK SAID ALAWI AHMED ABUBAKAR AHMED ALLY JUMA ALLY ALLY MUSTAFA LUKINDO ALLY NASSORO MWINYI ALLY SULEYMAN BWENZI ALLY WASTARA RAJABU AMANI SULEYMAN ZIWIYANI AMIRI NUHU AMIRI ANWAR AHMED MOHAMMED ANWARI MOHAMED MHEDU ARAFAT SHABANI ALLY ASHRAPH YUSSUPH MLAWA ATHMAN MOHAMMED IDDI ATHUMANI HAMIS RAFAELI AWADHI SHABANI CHIKI FADHIL IDDY MSUYA FAKI ALLY MWINYI FEISALMOHAMED ALLY HAJI OMARY FERUZI HAJI SALIM PARATA HAMID HAMAD MHANDO HAMIS GREYSON MKUMBO HAMISI HUSSEIN HASSAN YUNUS MSHANA HASSAN YUSUF ABUBAKAR HEMED MOHAMED HEMED RASHIDI SELEMANI HUSSEIN ISMAIL MZERERE IBRAHIM SHABAN RAMADHAN ISMAIL OMARY SEMNDI ISMAIL TWAIRAN SAID ISSA HEMEDY IDDY JUMA FADHIL KOMBO JUMA HASHIM HIZZA KAFUNGO RAJABU IDDY KASIBU ABDUL MAHINA LUQMAN AHMED ABDALLAH LUQMAN R. AMBAKISYE MAHMUDU M. MAHMUDU MOHAMMED AKIDA MRASHI MOHAMMED HAMAD SHABANI MOHAMMED SAID ABDALLAH MOLA MOHAMMEDY MAPUNDA MSAFIRI MRADI MCHOMVU MUSSA SAID MSANGI MWINYI ABDISHEIKH NADIL NASSOR SAID NUSRUDINI YASSIN MRUTU OMAR IBRAHIM JAMA OMARY AMIR KOMBOZA OMARY OTHMAN RAJABU ISSA RAJABU RAJABU SELEMANI SEMKUZA Inaendelea Uk.9

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67

B:
NA. 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18

WASICHANA JINA KAMILI AISHA FAUZI SHAPUMBA AISHA NYAMONDE NYAMONDE AISHA SHABANI HASSAN AISHA SHAIBU JUMA AMINA RAJABU SHAMARY ANISA HEMEDI AMANZI ASHURA ALLY NAMKUNGU ASIA MUSSA SULEIMANI ASIA RASHIDI JUMA ASIA-AMNE AMRI BIHOGA ASMA KHAMIS HASSAN ASMA RAJABU MAHMMUD BALQUS HASSANALI MWASHA FATMA ABDALLA NASSORO FATMA ALEX NDIKURIYO FATUMA ZUBERI AMRI HABIBA ABUSHIRI HABIBU HAFSA KOMBO RIDHWANI

UBUNGO Islamic High School

9
Inatoka Uk. 8 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105

Tangazo
FATUMA RASHID LIHUNDU FATUMA SALEHE FARU FAUZIA HASSAN AZIZ FAUZIA YAHYA MUHAMED FIRDAUSI ALLY SULEIMAN HABIBA BUSSORO HASSAN HADAITHA SAIDI WAKATI HADIJA ABIBU KANYA HAFSA ABDALLAH SULEIMAN HAFSA NURU MSABAH HAJRA ADINANI TARIMO HAJRA AHMADI KIUNGULIA HAJRA HAMAD KOMBO HALIMA ABDULRAHMAN MBWANA HALIMA ISMAIL MMBAGA HALIMA WAZIRI KOMBO HAMISA ALLY RAJABU HAULA MOHAMED SAID HAWA YUSUPH NDURU HELLEN MUHENA SAIDI HIDAYA HAJJI AHUNGU HIDAYA JUMA SAIDI HUSNA ADBAM BENTA HUSNA ALLY HASSANI HUSNA ALLY ZUBERY HUSNA MOHAMED SALUM ILHAM ABDUL MDAUDA ISHA KATIVO MSUYA JAMILA RAMADHANI MAINGU JULIETH VICTOR MVUANDIKE KAIMA BAKARI ZUBERI KAUTHARI MWINYIKAI MZEE KHADIJA ABDUL NASSOR KHADIJA HAMDAN ALLY KHADIJA KASSIM KALOKOLA KHADIJA RAJABU KASSIM KHAIRATI ANNUAR SAADAT KHAIROUN SULEIMAN MPINGA LAILATU SILA MSOKOTO LATIFA SAAD WADAA LATIFA SHAWEJI MNYOGOPA LATOYA SAIDI MYAGA LEYLUU HUSSEIN MSHANA MARIAM FADHILI BAKARI MARIAM IDRISA MAKAME MARIAM KHATIBU ABDALLAH MARIAMU ALLY MUSSA MARIAMU HUSSEIN MSANGI MARIAMU MWINYIHIJA LUGENDO MARYAM KASSIM HAMIS MARYAM RASHID SHANGA MASHA MATOLA SALUM MONGO A MISSANGA MUTHANA OTHMAN MWAJUMA AMINI AMIRY MWAJUMA HARUN SULEIMAN MWAMVUA MBWANA SUDI MWANAARAFA HUSSEIN MADENDE MWANAHAMISI ABASI MWISAKA MWANAHAMISI KASSIM MTUMWA MWANAIDI HAMIDU HAMISI MWANAIDI SHAIBU MADA MWANAISHA SUFIANI ALLY MWANAWETU ANTHONY MANDAI 106 107 108 109 110 111 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 152 153 154 155 156 157 158 159 160 161 162 163 164 165 166 167 168 169 170 171 MWASITI ALLY DEFFU

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


172 173 174 175 176 177 178 179 180 181 182 183 184 185 186 187 188 189 190 191 192 193 194 195 196 197 198 199 200 201 202 203 204 205 206 207 208 208 209 NA 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 SHARIFA ABDI ALLY SHARIFA ERASTO MVELLA SHARIFA HASSAN KAPAYA SHARLEEN CHESHINIWE JIMROGER SHEKHA JUMA HASSANI SUMAIYA RASHID HUSSEIN SUMMAIYA FERUZI MTIKA SWABRA ALLY ADAM SWAUMU SELEMANI HAMISI TATU ABEID SHAURI TATU JUMA CHATTA TATU MUSSA NTIMIZI TAUSI SAIDI OMARI THUWAIBA HASSANALI MWASHA UMMUAYMAN KHAMIS ALLY UMMY BUHETI HATIBU UMMY IBRAHIM ALLY VIOLETH A. KABUSHENYE WARDA KHALFANI MDUMA ZAHRA KAKOZI MRISHO ZAINAB JUMA MBONDA ZAINAB JUMA MJEMA ZAWADI JUMA SHEMDOE ZENA HASSAN ABDALLAH ZUBEDA HANAPHY MWETA ZUHURA ALLY KIDANGA ZUHURA ALLY MTEITA ZUHURA HUSSEIN JAMBIA ZUHURA IS-HAKA MSUYA ZULEKHA ABASI FADHILI ZULFA AMANI KIMARO ZULFA JUMA RAMADHANI ZULFA OMARY MCHOLO AME IDD AME HAMISA ABDILLAH ZAJ RAMADHAN ALLY ASSIF MOHAMMED TAUHIDA ALLY RAMADHAN ZAKIA KAMA HILALI KHAMA WAVULANA JINA ABBAS AMIRI WAZIRI ABDALLAH ALLY ABDALLAH ABDALLAH AWADH YUNUS ABDALLAH HAJI ALLY ABDALLAH HAMISI GOME ABDALLAH KASSIM MTILI ABDUL ABDALLAH MPALLO ABDUL KASULE FERUZI ABDUL RAMADHANI RAJABU ABDULAZIZI MUHAMMEDI MAGOGO ABDULKARIM FREDRICK SAWE ABDULMAJID NASSOR ZUBERI ABDULMALIK AMIRI WABU ABDULRAHMAN AHMAD MASINDANO ABDULWAHID MUHSIN NYAMGUNDA ABRAHAMANI HAMIS KASSI ABUBAKARI AMINI KAZOA ABUBAKARI MWIGAMBWA MFAKI ABUBAKARI SALUMU MSALA ABUBAKARY MAHMOUD MNYOGOPA ADAM FARID ADAM AHMED ALLY HIBA AHMED RAMADHANI KIHIYO AKRAM HABIBU FADHIL ALBASHIR HASSAN MUYA ALHAJI ISSA ATHUMANI ALLY AZIZ ALLY ALLY BAKARI MPONDA ALLY HABIBU YUSUPH ALLY KASSIM CHOGA ALLY ZUBER KUBO Inaendelea Uk 10

AN-NUUR

68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90

RAMADHAN RATIBU RAMADHANI RAMADHANI BAKARI NAPINDA RAMADHANI HABIBU KINYASI RAMADHANI PIUS MLUNZA RASHIDI SALIMU HEMEDI RAZAQ OMARY MAVURA SAID ISSA MOHAMED SAIDI ABDI DIMBWA SAIDI ALLY SALIM SELEMAN KAMBANGWA SALMIN JUMA KUMPITA SALUMU SEIF MOHAMED SAMEER MASOUD KHAMIS SHABANI FADHILI MUSSA SHABANI MRISHO SHABANI SHABIR SALUM HASSAN SLEYUM SOUD SAID SULEYMAN MOHAMMED SHAAME SWEDI SHABANI MRISHO WAARITH KAIFA YASIR SHABANI JUMA YASSIN ISSA YUNUS HASSAN MBUPU

MWASITI MSUAKOLO IDDI NADYA SAID SALUMU NAIMA HAMIS LUPAMBA NAIMA JUMAA MUHAMED NAIMA MOHAMED PONGWA NAJMA YUSUPH MUSA NASMA ABUBAKAR LUMAMBI NASRA ABDALLAH MVUNGI NASRA ALLY MSANGI NASRA AMUNI ALFANI NASRA FAKIHI MUSSA NASRA MUSSA ALLY NASRA OMARY MAJE NASRAT MAUGA MAKUTUBU NEEMA IDD MCHANJA NUSRA MIRAJI MWANYOKA RABIA SALIM IKUNGA RAHMA ABDALLAH MNTAMBO RAHMA ABUU MUHAMED RAHMA AMANI MIKONGO RAHMA HAMISI SALUM RAHMA HEMED HAZAL RAHMA RIDHWAN ALMAS RAHMA SEIF ABDUL RAHMAT KHAMIS KHATIB RAINA FRANCO KIBONA RAMLA HAJI OMARI RAUHIYA KHAMIS NAJIM RAUHIYA MASOUD SHARIFF RAYA HAMISI SHAIBU RAYA MZEE AMOUR RAYA SALIM MNDEME REHEMA GABLIEL KITUNDU REHEMA KARIM MCHANA REHEMA KARIMU MPONDA REHEME OMARI SEBO RIFKAT OMAR MBWANA RUFAIDAT OMARI MBWANA RUKIAS MUSTAFA HAJI SABRA AHMED MSHANA SABRINA JAFARI MGONJA SABRINA MOHAMMED SEIF SABRINA MUSSA MSHAMA SADA IMAMU KADEGHE SAFINA DAUDI MZIRAY SAFINA ZUBEIR MUHUNGO SAIDA AWADHI AHMEDI SAJIDA SWALEH IBRAHIM SALAMA ISSA ALLY SALHA HASSAN MUNGAH SALHA MUHUDHARI AMIRI SALMA HASSAN SHEKIAO SALMA MUHUDHARI LOSSINDILO SALMA SELEMAN SARUMBO SALMA YUSUPH NGUZO SAMYA SALUM HAMIDU SARAH FILBERT SHAYO SAUDA ALLY SAID SAUMU HARUNA NDALO SAUMU MUSSA HASSAN SAUMU OMARI KIPINGU SAUMU RAMADHANI OMARI SAUMU SALEH SABO SHAKILA ALLY KOMBO SHAMIMU OMARI HASSAN

C: Kirinjiko Islamic High


NA 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 WASICHANA JINA AISHA BASHIRI JUMA ALMAH JUMA KILAGHAI AMINA ABDULAZIZ MUSTAFA AMINA ALLY MWENDA AMINA MFAUME ZUMO AMINA RASHID ALLY ANIFA MASHAKA KIGUMI ARAFA ABDUL MWENDO ASHA ATHUMAN ALFANI ASHA ATHUMANI HATIBU ASHA JUMA RAMADHANI ASHA SHABAN MSHELE ASHURA MOHAMMEDY SHEKIMWERI ASHURA N MSANGI ASIA KHALID OMARI ASIA NASSOR ALLY ASIA OMARI KANIKI ASIA RASHID HASSAN ASMAHA HARUNA YUSUPH ASNATH IDD SIMBA ASSAJIDAH ALLY LEMA ASYA HAMAD KHAMISI AZIZA JUMA YAHAYA AZIZA RAMADHANI HOTI AZIZA RAMADHANI MSUYA BAHATI SAIDY MBWETO CHIKU HASSAN MTEMBA FADHILA SEIF MTANDA FAIDHA ISSA KIM FATHIA ISSA FADHILI FATMA HUSSEIN KAMBA FATMA MBAROUK SALIM FATMA OMARY MIRAJI FATNA ATHUMAN KIMARO FATNA JOVIN MAGALI FATUMA ATHUMAN MWAMBALA FATUMA BAYA SAKARA FATUMA HASSAN HONI FATUMA JAPHARI ATHUMANI FATUMA NASIBU BAGOMWA FATUMA NASSORO MKAMBALLAH

10
Inaendelea Uk 10 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91 92 93 94 95 96 97 98 99 100 101 102 103 104 105 106 107 108 109 110 111 ALQAIMU MUHSIN KAIMU ANWARY SWAHIB CHAMBO ARAFAT MOHAMED MUSSA ARQAM NUHU MTANDA ASHRAF WIHALE IBRAHIM ATHMAN MUHAMMAD SULEIMAN ATHMANI FARISALLAH MSHANA ATHUMANI ABDUL MGAZA BADI ZUBERI MSANGI BAKARI RAMADHANI SINGANO BURHAN KHALFAN MTURI CHAFWEHA YASIN SENKONDO DULLAH ABDALLAH JUMA EDWARD MASHINA HAJI FAIDHA ALLY KEA FARAJI MUSSA MGONJA FARID KHAMIS MWISHEHE FUAD IBRAHIM BADDY HAFIDH RASHIDI BUSSO HAJI KOMBO HABIBU HAJI MZIRAY PAULO HAMADI ZUBERI MSANGI HAMISI HEMEDI MWENDA HAMZA NUHA HAMZA HAMZA RAJABU MWIRU HARTHI JUMANNE MAPANDE HASSAN ABDULSALAAM KHAIFY HASSAN RAMADHANI HASSAN HATIBU IS-HAKA NJAU HENRY PINIELI KITUNDA IBRAHIM AHMAD MTOTO IBRAHIM HAMISI MBOZU IBRAHIM ISSA ANZIGIZATI IBRAHIM SALIM MNANJE IDRISA HAMAD HASSAN ISHAKA SELEMENI ASENGA ISMAIL ATHUMANI CHIDAKO JUMA ABDUL-MAJID JUMA JUMA HITAMI HUSSENI JUMA MWINYIHIJA LUGENDO JUMAA NASSORO KARIA JUMANNE OMARY JUMANNE KAPUNGU DOTTO KIWANGA KARIM JUMAA KAPERA KASSIM IDDI FRAJI KASSIM KONDO MPONDA KHALID IDRIS RAMADHAN KHALIPHA ISSA MSUYA KHAMIS SWALEH SWAI KHAMISI ALLY KINDOROKO KISAKA OMARI AMIRI KISE MAKENGO RAMADHANI LUQMAN BAKARI MSEMO MAHADI RAMADHANI SENKONDO MAHMOUD ABDALLAH MSHANA MANYIKE S JUMA MASOUD IBRAHIM IDDI MASUDI SAID RAMADHAN MIRAJI SADICK RAMADHANI MOHAMED ALLY MWICHANDE MOHAMED ALLY SHABANI MOHAMED AMIN MSHANA MOHAMED MOHAMED NGAINA MOHAMMAD RAMADHANI KUMEWAYA MOHAMMED JAFARI CHAMBEGA MOHAMMED NUHU ALLY MSAFIRI JUMA MWERA MUDRICK SEIF MOHAMED MAHARAMI YASINI MAGOTO MUHAMED ABOUD MOHAMED MUHAMED SALMIN SAID MUHAMED ZUBEIR JUMAA MUHIDINI HASSAN MBIKU MUSSA JUMA MUSSA MUSSA MARIJALI OTHMAN MUSSA TWAHA MSANGI MUSTAPHA MUJIBU SADICK NASSIR NASSOR SAIDI NASSORO THANI SULTAN OKKASHA MBWANA URARI 112 113 114 115 116 117 118 119 120 121 122 123 124 125 126 127 128 129 130 131 132 133 159 134 135 136 137 138 139 140 141 142 143 144 145 146 147 148 149 150 151 152 153 154 155 156 157 158

Tangazo
OMAM HENRY KAIJAGE OMARI ABDALLAH MUSSA OTHUMANI HAMISI YOBA RAHIM IDD MJEMA RAMADHANI HAJI RAMADHANI RAMADHANI HAMISI SHEKULAVU RAMADHANI HUSSEIN SAID RAMADHANI JUMANNE RAMADHANI RAMADHANI MAHAMOUD HUSSEIN RAMADHANI RASHIDI FUNDIKIRA RAMADHANI SALUM MSUVA RAMADHANI TWALIB MTUNGUJA RAMADHANI ZUBERI RASHID BAKARI MONJI RASHID KHALIFA UMBARA SAIDI ISSA OTOLINI SALIM ATHUMANI ALI SALIMU FADHILI SAID SALMIN OMARI ABUBAKAR SALMIN YASINI BUMBO SALUM SEIF MOHAMMED SEIF MUSTAFA SEIF SEIF KASSIM MWAGONGO SELEMANI DAUD ZAYUMBA SELEMANI KOMBO SHEHE SHABAN MSAFIRI SHABANI SHABAN RAMADHANI JUMA SHABANI SASA SABAJUMAA SHAKUR MRISHO HASHIM SHARIFU HAMISI NGONYANI SHAMSI IS-HAQ KAKIZIBA SULEIMAN TWAHA HASSAN SUNDAY OMARY KARIM SUPHIAN ALLY MZOLE SWALEHE HASSAN SWALEHE SWEDI ABDU MSUYA TUVAMO HAMISI CHIKAULA TWAHA JAFARI USSI WAZIRI JUMA RASHIDI YAHYA JUMA LEMA YAKUBU IS=HAQ LOYA YASINI RASHIDI KASSIDI YUSUPH MRISHO MILIMO YUSUPH SAID HASSAN YUSUPHU RAJABU KIBINDO ZUBERI SHABANI MHINA ZULKIFRI HAROUN MWINYI OMARY KHATIN MBARAK

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


LEILA HAMISI KAMALA SUBIRA MAISHA RAJABU MWANAIDI RAJABU FADHILI MARIAMU ABDULRAZAKI KAGIMBO SHAMSA ANWARY ISSA MUSSA SUMAIYYA ISSA NDUMA LEILA AHMAD HASHIMU MWAMVUA SUDI MIKIDADI SADA HAMISI MIHAMBO SIE MWIRU MWANGI TATU RAMADHANI MADUSI SOPHIA SAID MEYA SALMA MUSTAFA RUGUSHA HAMIDA KURA HUSSEIN SITI IDRISA RAMADHANI MWAJUMA FABIAN HAUBA HAMIDA MOHAMED ALLY SHAMSI NASSORO KILUMBI REHEMA ZAIMU NASSORO ASIA YAHYA FUNDU MARYAM HEMEDI KHALFAN FATMA HASSAN ALAWI HADIJA HALIFA HIZZA NURU AHMED MANSOOR MWAJABU IBRAHIM RASHID MAISARA SIRAJI MTANDA SAFIRINA ISSA KILIMA FARIHIYA DAUDA HASSAN NURU SIRAJI ABDALLAH AZIZA HARUBU NOTI MWANJAA HASSAN MAREGELI ALIAH MASUMBUKO ATHUMANI FATMA SALUM IBRAHIM REHEMA RASHID SALUMU ASHA SHABANI MAULIDI TUNU HAMISI ATHUMANI PILI ALLY KISANZO SALIMA SHABANI JUMA HALIMA AZIZ RAMADHANI ANIFA MAMBO THABIT KHANIFA JUMA KIPANDE HALIMA SALIM MSUYA ASIA MASHAKA HUSSEIN RAHMA RASHID ABDALLAH ZENA YAHYA ADDY SALIMA ABDALLAH KANYANGA HAFSA HAMADI MASEBO NAIMA JUMANNE MASANIRO ASHA ATHUMANI SWALEHE AZIZA SAID HILAL YUSRA MOHAMED SAID WARDA SALISALI ADDY AMINA PETER AUGOSTINO ASHA HUSSEIN RASHID FATUMA FARAHANI JAFARI AISHA RIZIKI JUMANNE YASMINI ABEDI MWIRU LAYLA HEMED SHABANI REHEMA BOKO JUMBE 81 82 83 84 85 86 87 88 89 90 91
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49

AN-NUUR

22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 38 39 40 41 42 43 44 45 46 47 48 49 50 51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62 63 64 65 66 67 68 69 70 71 72 73 74 75 76 77 78 79 80

ASMA IDDIY TAMIMU SWABIRA YAHYA HABIBU HASNATI ZULU SADICK HUSNA JUMA MWIBIDI HAWA SAIDI MPEMBEE MWAJUMA SHABAN JUMA SAADA SAID MAPONDERA KHADIJA AMANI RAPHAEL SAFINA RIZIKI JUMANNE HUSNA BOKO JUMBE FATUMA HASSAN KUYELA
WAVULANA RAMADHANI DWATAMBILE HASHIM

ABDUL SALEHE HALILI OMARY ULUMWENGU OMARY SALUM SEIF HASSAN FAISAL HAKIIM NDAGILE SAMIRU IZADINI KALOKOLA ZAHORO ALAWI KALITAMALA ISAMAIL ALLY ISMAIL IS-HAQ KHAMIS IS-HAQ NASSORO KHALFANI MUGARA JUMA MAZIMBWEJUMA NGENI HAMISI NGENI LUQMAN SAIDI HILARY HOSSAM SELEMANI MTIPA SAIDI HUSSEIN SAID MRISHO ATHUMANI KATANGA OMARY RAMADHANI KAHIGI ABUFATAH OMARY MSANGI ZAHIR ALAWI KALITAMALA JUMA RIDHWAN MSANGI SHAIDU HASSAN WARID O M A R Y M A L I YA M W I S O IBRAHIM ATIQE KARUME HASSAN YUSUPH HASSANI IDIRO DANIEL SAIMONI MKILIMA ABDULLAH KWANDIKO MASOUD

D: Nyasaka Islamic High School


WASICHANA

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21

TAWAJUDI MUDRIKAT SUED TATU JUMA BAKARI IMMA OMARY MWISHEHE TIMA FOCUS MBEYU SAADA TAIPHA MUSTAPHA MUNIRA JUMANNE LIGOPORA FATMA HUSSEIN KAMBA SAFIYUNA MASOUD MVANDIKO MARYAMU BAKRI HAMISI NAJMA IBRAHIM AHMEDI NAZDA NADHIR MAGEZI FATUMA RAMADHANI KABASHA MARIAM ABDALLAH DAUDA SAMIRA IZADINI JUMA BADRU ROSE TAIFA SAVERY SIMTOVU SHABANI MUBANGA ZUBEDA SHABAN KAYANDA SAIDATH RAMADHANI MASOUD KULTHUM ABDULRAHMAN RASHID

RAHIM RAMADHANI MASOUD OMARY ABDALLAH OMARY ABDULKARIM OTHMAN KALULU MRISHO LUKA SALIMINI IMRANI ISSACK BASIGA ZAHORO MALICK NGALINDA SALEHE JUMA SULEIMAN ISMAIL HAMDAN ABDULWAHAB AWADHI JUMA MLILE NASIR OMARI PEPO ABUBAKARI PONDA HASSAN SULEIMAN RAMIA SALIM ABBAS MRISHO MKWAMBA MAULIDI RAJABU MAULIDI RASHID ALLY RASHID ABDALLAH SAID MUKHANDI AMANI IDDY CHALLU SELEMANI HASHIM YUSUPH RAJABU MOHAMED HAMISI MOHAMED IBRAHIM HABIB SAMIR NASSORO SULEIMANI JUMA RAMADHANI RUBISHA JAMALI JUMANNE BYARO Inatendelea Uk. 11

SAYYIHA YUSUF MAHMOUD MAUA SABASABA SARUNGI

11
Inatoka Uk. 10 50
51 52 53 54 55 56 57 58 59 60 61 62

Tangazo/Habari
MAELEKEZO MUHIMU 1. Barua za maelekezo ya kujiunga (Joining instructions) zinapatikana katika kituo muombaji alipofanyia mtihani. 2. Waliofaulu na kukosa nafasi Kirinjiko Islamic High School wamepangwa Mkuzo Islamic High School SONGEA. 3. Fomu za maombi zinaendelea kutolewa kwa ajili ya shule za Ubungo Islamic High School na Mkuzo Islamic High School. 4. Mtihani wa pili utafanyika 21/12/2013 saa 2:00 asubuhi ulipofanyia mtihani wa kwanza. 5. Mzazi/Mlezi unatafadhalishwa kukubali nafasi kabla

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013


ya tarehe ya mwisho. 6. Baada ya tarehe ya mwisho nafasi ya asiyethibitisha atapatiwa muhitaji mwingine. 7. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mkuu husika :

AN-NUUR

HAMIDU JAARUFF KABEZA


SWEDI ISMAILI SWEDI ABDULRAHMANI MUSSA HAMISI MOHAMEDI MAIMANI KINDAMBA SAID MAGOYE IBRAHIM ISMAIL IBRAHIM RASHID FAROUK MAHMOUD LIKUNGUNI ABDULRAHIIM KHALID SWALEHE MUHAJIRI SHAFII RAJABU JUMA HARUNA IKANDILLO YASSIN MOSHI HAMISI ALLY HABIBU MKWACHU ABDULATIFU ABDALLAH NDABONA

UBUNGO: - 0712 974428/0684 306650. MKUZO: 0716 791113/0683155902. NYASAKA: 0713 749020/0764 749020 KIRINJIKO: 0989 296424/0762 296424 Wabillaah Tawfiiq

Uhuru wa Zanzibar kufanyika London


Na Mwandishi Wetu U M O J A w a Wazanzibari wanaoishi nchi za nje (MUWAZA) w a n a a n d a a KONGAMANO kubwa la aina yake kwa lengo la kuifanya HISTORIA ya Zanzibar iweze kufuata mkondo wake. Mada muhimu katika Kongamano hilo pamoja na mambo mengine ni kueleza Historia ya kweli ya Visiwa vya Unguja na Pemba, na ufafanuzi wa UHURU wa Zanzibar wa Desemba 10, 1963. Kongamano hilo ambalo limepangwa k u f a n y i k a s i k u ya Jumamosi Desemba 14, mwaka huu mjini London, limepewa jina KONGAMANO LA KUMBUKUMBU ZA MIAKA 50 YA UHURU WA ZANZIBAR pia litachambua hali halisi ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 na Muungano wa Zanzibar n a Ta n g a n y i k a wa Aprili 26, 1964. Mwenyekiti wa CHADEMA Tawi la Uingereza, Salim Amar, ambaye ni mmoja wa watayarishaji wa Kongamano hilo, amesema wanalenga katika Kongamano hilo kuweka ufafanuzi wa wazi katika Historia ya Zanzibar, kwa faida ya vijana wa sasa na vizazi vijavyo. Amesema lengo hilo litaweza kusaidia kuvunja nguvu za baadhi ya watu hasa viongozi wa serikali wanaodai kuwa Zanzibar si nchi, huku inajuilikana wazi kuwa Zanzibar ilipata u h u r u k u t o k a k wa Uingereza siku mbili kabla ya Kenya. Salim Amar anasema kutokea kwa Mapinduzi ya Zanzibar ya Januari 12, 1964 isiwe sababu ya kuficha Historia ya kweli ya Zanzibar na kufanya hivyo ni kupotosha kwa makusudi. M a p i n d u z i yametokea yameshapita sote tunayakubali, lakini hatukubali kupoteza ukweli wa nchi yetu na bila Uhuru yasingeweza kutokea Mapinduzi, anasema Salim Amar na kuongeza: T u n a y a j u a Mapinduzi kwa sababu yamekuwa yakitokea katika mataifa ya

Kongamano Kumbukumbu:

Afrika na mengine Ulimwengunilakini hakuna nchi hata moja iliyofanya Mapinduzi ikadharau siku yake halisi ya Uhuru kwa sababu ni siku ya Historia. Lakushangaza hadi leo hii bado tunakumbushwa utumwa pengine ulitokea zaidi ya miaka mia tano (500) nyuma U h u r u wa r a i a wa miaka 50 unafichwa na kupotoshwa, anasema Salim Amar na kufafanua: Serikali ya Ta n g a n y i k a n d i y o iliyowachukuwa viongoziMawaziri na viongozi wengine wa serikali Huru ya Zanzibar na kuwafunga katika magereza yake Hivyo Mohamed Shamte Hamad alikuwa Muarabu au Mzungu?, anauliza Salim Amar. M oh amed Sh amt e Hamad, alikuwa Waziri M k u u wa Z a n z i b a r katika Serikali ya MSETO ya Uhuru ya Muungano wa Vyama v ya Z N P n a Z P P P , chini ya maridhiano ya l i y o s i m a m i wa n a Serikali ya Uingereza.

K u h u s u wazungumzaji katika Kongamano hilo ambalo Mwenyekiti wake atakuwa Dk Mohamed Zahran, watoaji mada ni kutoka Canada, Sweden, Denmark, Germany, France na nchi za UAE. Hao ni watu wanaotajwa kuwa wanaijuwa vizuri Historia ya kisiasa ya Zanzibar. Kuhusu faida ya Kongamano hilo kwa sasa, Salim Amar anasema: Faida moja kubwa ni kujenga mustakabali wa Zanzibar, Kihistoria, Utamaduni wake, Mila na Silka za watu wa Zanzibar, ili hayo yabaki kuwa urithi wa vizazi vijavyo. Mwenyekiti huyo wa CHADEMA Uingereza, anasema katika Kongamano hilo ambalo litakuwa wazi kwa watu wote, wataangalia kwa kiasi gani wataweza kutoa michango yao ya fikra katika kuboresha serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyo katika muundo wa Kitaifa ili kuwa na ufanisi kwa wananchi wake wote. Anasema kwamba wanakusudia sherehe kubwa za kumbukumbu ya Uhuru wa Zanzibar zitafanyika rasmi hapo Desemba 10, mwaka ujao wa 2014 kwa sherehe itayoshirikisha watu wengi: Kwa sasa ni mapema kusema sherehe hizo zitafanyika wapinia ya kufanya sherehe kubwa za Uhuru wa Zanzibartunayo ili kuiweka Historia ya nchi

yetu sawa, anasema Salim Amar. Anasema bila ya kufanya kitu kama hicho kila mwaka, kutaweza kutoa mwanya kwa watu waliyo na dhamira mbaya ya kupotosha ukweli kuhusu Historia na Uhuru wa Zanziabr kwa maslahi yao binafsi. Aliyewahi kuwa Naibu Waziri Kiongozi na Waziri wa Elimu wa Zanzibar, Omar Ramadhan Mapuri, alitunga kitabu kuhusu Historia ya Zanzibar kilichoonekana kujaa upotoshaji na uongo. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Wa n a n c h i ( C U F ) ambaye sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Machano Khamis Ali, kwa kushirikiana na baadhi ya Vijana wa CUF, walikichoma moto kitabu hicho katika mkutano mmoja wa hadhara uliofanyika Kiwanja cha Malindi mwaka 1994. Katika hotuba yake, Machano alisema kuwa kitabu hicho kimejaa uzushi na upotoshaji kuhusu Historia ya Zanzibar, na hatua ya kukichoma moto hadhari ni kutokana na kukerwa na upotoshaji wa Historia ya Zanzibar ndani ya kitabu cha Mapuri. Mapuri, tayari alikuwa amependekeza kwa taasisi zinazohusika na elimu (Mitaala) kwamba kitabu hicho k i f u n d i s h we k a t i k a Skuli zote za msingi za Pemba na Unguja.

12

AN-NUUR
MAKALA

12

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013

Soma Gazeti la AN-NUUR kila Ijumaa

SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 6-12, 2013

AN-NUUR

Maalim Seif awataka Waislamu kuwekeza katika vituo vya Elimu


Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU wametakiwa kuelekeza nguvu zao katika vituo vya elimu huku wakiwa na malengo maalumu ya kuviendeleza vituo hivyo kuanzia ngazi ya awali mpaka elimu ya juu. Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, akiongea katika Mahafali ya 11 ya wanafunzi wa Shule za Daarul-Arqam, yaliyofanyika Jumamosi ya wiki iliyopita, katika viwanja vya Shule hiyo, iliyopo Amani Gomvu, Kigamboni Jijini Dar es Salaam. Maalim Seif, aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali h a y o , ya l i y o s h i r i k i s h a wahitimu wa Shule hiyo kwa ngazi ya Shule ya Awali, Darasa la Saba na Kidato cha Nne, alisema kwa Waislamu kuwa na kituo kama DaarulArqam, ni miongoni mwa malengo mazuri na yenye manufaa kwa Waislamu na Taifa lao. Kuwa na vituo vya elimu kama hivi kuanzia ngazi ya Chekechea, Msingi pamoja na Sekondari kwa pamoja ni malengo mazuri, lakini pia ni vyema kuwe na mikakati ya muda mrefu kwamba ikifikia muda fulani pawe na Chuo Kikuu hapahapa. Alisema Maalim Seif. Alisema, miradi ya elimu zikiwemo Shule za watu binafsi zinatoa mchango mkubwa katika kukuza maendeleo ya wananchi na Taifa kwa jumla hivyo akasema, hapana budi kuungwa mkono kwa hali na mali. Makamu huyo wa Kwanza wa Rais, Zanzibar, alisema kazi kubwa ya v i t u o v ya e l i m u k a m a hivyo ni kuwatengeneza vijana waweze kuishi katika U l i m we n g u wa k i s a s a , ambao unamuingiliano mkubwa wa watu wenye maadili tofautitofauti. Maalim Seif, akawataka Wa i s l a m u k u h a k i k i s h a kwamba siku zote wanakuwa msatari wa m b e l e k u h a k i k i s h a wanaziunga mkono Shule hizo na kuziendeleza ili watoto wa Kiislamu waweze kupata elimu kuanzia ngazi ya awali, Msingi Sekondari hadi Vyuo Vikuu. Hili ni jukumu letu so t e k u b a i n i u m u h i mu wa k u c h a n g i a , p a m o j a na umasikini wetu lakini tufahamu kuwa haba na haba hujaza kibaba, ukiwa na Tsh. Elfu Kumi, laki moja, milioni, au zaidi ya hapo toa tu mimi nadhani hapa ndipo mahali pakuwekeza zaidi. Alisema Maalim Seif. Akifafanua, alisema kuwekeza katika vituo vya elimu unakuwa umewekeza hapa duniani na unawekeza vile vile utakaporudi kwa mola wako baada ya maisha ya hapa duniani. Maalim Seif, alisema Ta n z a n i a w a t u w e n y e uwezo na matajiri wakubwa n i Wa i s l a m u , a m b a o wamejaaliwa uwezo mkubwa wa kifedha, akawataka miongoni mwao kujiulize mpaka sasa wametoa nini katika kuendeleza elimu katika nchi yao haswa katika Shule za wenzao Waislamu. Nitumie fulsa hii kuwasihi wenzetu, kwamba kuwekeza kwenye elimu kunatija kubwa na watambue kuwa kwa kufanya hivyo mwenyezi Mungu pia atawalipa, toeni kusaidia timu zenu za mpira na mambo mengine sawa, lakini msasahau pia kuisaidia dini yenu. Wenzetu wa upande wa pili wanazo Seminari zao wanaziendesha vizuri, ukiangali msaada mkubwa wanatoa kwa jamaa zao wa l i o j a a l i wa m a p e s a . Alisema. Akawataka Waislamu kubadili fikra na kuelekeza nguvu zao katika kuwekeze katika elimu, akasema, pamoja na kujenga Misikiti, lakini pia watambue kuwa vijana wa Kiislamu wanahitaji wafunzwe kupitia katika Shule maalum ili waweze kuusaidia Uislamu na jamii kwa ujumla. Shule kama hizi kwanza zinawaandaa watoto wetu

Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, akimkabidhi cheti mmoja wa wanafunzi waliohitim Elimu ya Awali, mbele kushoto ni baadhi ya wanafunzi hao wakiwa na Mwl. wao Ukht. Zuena, wakisubiri kupokea vyeti vyao . katika kuifahamu vizuri dini yao lakini pia waweze kutoa mchango wao katika maendeleo ya Taifa lao na jamii kwa ujumla. Alisema maalim Seif. Maalim Seif, alisema watoto wanaopita katika Shule za Kiislamu wanafaida ya k u p a t a e l i m u z o t e , kutonana na kuwa huu ni ulimwengu wa dijitali, kwani (Ulimwengu) umebadilika na kincho badilisha haya yote ni elimu. Alisema, pamoja na kuwapo kwa fulsa za vituo v i n g i v ya e l i m u l a k i n i bado wazazi inaonekana hawajaweza kuwasimamia ipasavyo vijana wao katika elimu kwa lengo la kufaulu hapa duniani na kesho akhera. Maalim Seif, alisema wazazi wengi wanasingizia umasikini na kuwabebesha majukum mazito watoto wao zikiwemo biashara ndogondogo wakati wa masomo, kwa kufanya hivyo akasema, ni kuwakosesha hakizao za msingi na kuzorotesha maendeleo. Alisema, mzazi anadhima ya kuhakikisha mwanae anapata elimu ambayo itamuandaa (mtoto) kukabiliana na changamoto zilizopo na kuhakikisha baadae haendelei kuwa tegemezi kwa wazazi wake. Maalim Seif, ambaye pia ni Katibu Mkuu Taifa wa Chama Cha wananchi CUF, alizitaka Shule hizo kuwa na mitaala itakayo wawezsha wanafunzi pindi wamalizapo elimu waweze kujiajiri. Kwa maana hiyo nguvu nyingi pia zielekezwe katika elimu ya ufundi (vocational training) lakini kamwe tusisahau masomo ya Sayansi na yale yanayo husisha habari na mawasiliano (IT) ambayo katika Ulimwengu wa leo hatuwezi kuyaepuka katika kuwafundisha vijana wetu. Alisema Maalim Seif. Pia Maalim Seif, alisema ili vituo kama hivyo viweze kuandaa vijana walio bora akazita Shule hizo kuhakikisha kuwa zinakuwa na Maabala, Maktaba pamoja na Kompyuta ili kuwawezesha vijana kupata eilimu yenye manufaa katika kila ngazi ya elimu. Kwa upande mwingine, Maalim Seif, aliwanasihi Vijana wanaomaliza kuendeleze maadili mema na kujiepushe na vitendo ambavyo vinaweza kuwaingiza katika mabalaa, kama vile matumizi ya madawa ya kulevya. Mara nyingi vijana huwa mnaingia katika mtego huu wa madawa ya kulevya k u t o k a n a n a k u wa n a marafiki wasiokuwa wema. Kwa kuzingatia misingi ya Uislamu na mfundisho mliyoyapata hapa Shuleni naimani hamuwezi kuingia katika balaa hilo na mengine nje ya maadili ya Uislamu. Alisema. Maalima Seif, akawataka wahitimu hao kuongeza mkazo katika kusoma kwani kiwango walichofikia cha elimu ya kidato cha nne hakitoshi, ambapo akasema kusoma ni amri ya kwanza iliyoshushwa kwa Mtume (s a w) na kwa Waislamu wote hivyo si jambo la hiyari.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

You might also like