Download as doc, pdf, or txt
Download as doc, pdf, or txt
You are on page 1of 24

Taarifa ya Bunge Kuhusu Matatizo yaliyotokana na operesheni Tokomeza Taarifa ya kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, maliasili na mazingira kuhusu

tathmini ya matatizo yaliyotokana na oparesheni tokomeza

1.0 UTAN U!"#" Mheshimi$a %pika, wakati Bunge likijadili hoja ya kuahirisha shughuli za Bunge ili kujadili jambo muhimu la dharura kwa mujibu wa Kanuni ya 47 ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2013, iliyowasilishwa na he! "aid #kumba, bunge wa "ikonge kuhusu gogoro kati ya $a%ugaji na $akulima, &i%adhi na 'wekezaji, heshimiwa "(ika alitoa 'amuzi ) Speakers Ruling* kuwa Kamati ya +rdhi, aliasili na azingira ishughulikie kazi ya kutathmini na kuangalia jinsi (ango wa Ku(ambana na ajangili uli,yo(angwa na kutekelezwa na "erikali ku(itia )-(eresheni Tokomeza*! Kwa mujibu wa kumbukumbu za Taari%a .asmi za Bunge za tarehe 1 #o,emba 2013, wakati Bunge likihitimisha &oja ya Kuairisha "hughuli za Bunge, he! "(ika alitoa uamuzi u%uatao/0 1Kamati ile ya kawaida ya aliasili itaendelea na kazi yake ya ku%anya tathmini ya kuangalia jinsi m(ango ule wa Ku(ambana na ajangili uli,yo(angwa na ndani yake itashughulikia kama kulikuwa na uzembe ama kuna watu wanahusika katika kuondoa maisha ya watu kwa sababu za uzembe 1 1.1 Kuund$a k$a Kamati Ndogo ya U&hunguzi Mheshimi$a %pika, ku%uatia uamuzi ulioutoa tarehe 01 #o,emba, 2013 Kamati ya +rdhi, aliasili na azingira, ilikutana 2odoma tarehe 3 #o,emba, 2013 kwa lengo la kujadili utaratibu wa kutekeleza jukumu hilo! Katika kikao hi4ho Kamati iliazimia kuunda Kamati #dogo kwa mujibu wa Kanuni ya 1175167, ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Tole la 2013 ili iweze kushughulikia suala hilo kikamili%u! 1.' (adidu za )e*ea, +a*um,e $a Kamati na muda $a kazi Mheshimi$a %pika, Kamati #dogo ya +rdhi, aliasili na azingira iliyoundwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya +rdhi, aliasili na azingira kwa agizo lako la tarehe 01 #o,emba, 2013, ili(ewa &adidu za .ejea #ne 547 zi%uatazo/0 17 Kutathmini na kuangalia jinsi i(ango ya Ku(ambana na ajangili ili,yo(angwa8 27 Kuangalia kasoro zilizojitokeza katika kutekeleza m(ango huo8 37 Kutathmini iwa(o kulikuwa na uzembe katika kutekeleza -(eresheni Tokomeza ambao ulisababisha watu wasio na hatia ku(oteza maisha na mali zao8 na 47 Ku4hunguza migogoro ya +rdhi inayohusu $akulima, $a%ugaji na $awekezaji kwenye maeneo yanayozunguka hi%adhi!

Mheshimi$a %pika, Kamati hii ya u4hunguzi iliundwa na $ajumbe Tisa 537 kama i%uata,yo/0 i! he! 9ames 2audi :embeli, b! ii! he! +bdulkarim ;smail "hah, b! iii! he! "usan :imbweni Kiwanga, b! i,! he! Kaika "anin*go Telele, b! ,! he! 2k! &enry 2a%%a "heki%u, b! ,i! he! +mina +ndrew <lement, b! ,ii! he! &aji Khatibu Kai, b! ,iii! he! uhammad +mour <homboh, b! i=! he! 2k! ary wanjelwa Mheshimi$a %pika, "ekretarieti iliyohudumia Kamati #dogo ya '4hunguzi iliundwa na $ajumbe wa%uatao/0 i! #dg! Theonest K! .uhilabake ii! #dg! >erald "! agili iii! #dg! <ha4ha T! #yakega i,! #dg! "tanslaus $!Kagisa Mheshimi$a %pika, Kamati #dogo ya +rdhi, aliasili na azingira ilitakiwa kutekeleza majukumu yake na kuwasilisha ri(oti katika kutano wa Kumi na #ne 5147 wa Bunge! &i,yo basi, baada ya uteuzi huo, $ajumbe wa Kamati #dogo wali(anga kuanza kazi tarehe 2? #o,emba, 2013 na kuikamilisha i%ika(o tarehe 1? 2esemba, 2013! 1.- N*ia zilizotumika katika kukamilisha kazi Mheshimi$a %pika, Kamati #dogo ya +rdhi, aliasili na azingira ilitekeleza majukumu yake kwa kuongozwa na &adidu za .ejea ilizo(ewa kwa ku%anya rejea na kuzingatia ya%uatayo/0 a7 Kusoma na ku4hambua nyaraka zilizoandaliwa na $izara ya aliasili na 'talii katika kuandaa na kutekeleza -(eresheni Tokomeza n4hini! #yaraka hizo ni hizi zi%uatazo/0 i! (ango Kazi wa -(eresheni Tokomeza 5<on4e(t @a(er7 ii! Tathmini ya 'tekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! iii! "heria ya Kinga, aadili na adaraka ya Bunge 5#a!37 1366 i,! "heria ya $anyama(ori 5#a! ?7 2003 ,! Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la mwaka 2013 b7 Ku%anya mahojiano na watu mbalimbali/0 i! $aziri wa aliasili na 'talii ii! Katibu kuu $izara ya aliasili na 'talii iii! kurugenzi wa Adara ya $anyama(ori i,! kurugenzi saidizi Kikosi wa 2hidi ya 'jangili ,! $aziri wa ambo ya #dani ya #4hi ,i! kurugenzi tendaji wa "hirika la &i%adhi za Tai%a 5T+#+@+7 ,ii! kurugenzi tendaji wa amlaka ya &i%adhi ya #gorongoro 5#<++7 ,iii! kurugenzi tendaji wa $akala wa &i%adhi za isitu 5TB"7 i=! ahojiano na baadhi ya $aheshimiwa $abunge

47 Kuzuru maeneo yaliyoanishwa katika Taari%a ya $izara kuhusiana na utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza na yale yenye migogoro kati ya $akulima au $a%ugaji na $awekezaji katika maeneo ya hi%adhi kwa lengo la kuhakiki 5,eri%y7 masuala yaliyoainishwa ku(itia u4hambuzi ulio%anywa na Kamati! '.0 KU./K0A NA KU1(AMBUA N2A)AKA MBA!"MBA!" #"!"#/(U%U /.0)0%(0N" T/K/M0#A Mheshimi$a %pika, &adidu .ejea ya kwanza iliitaka Kamati #dogo ya +rdhi, alisili na azingira, ku%anya tathmini na kuangalia jinsi mi(ango ya ku(ambana na majangili ili,yo(angwa! Ali kukamilisha jukumu hilo, Kamati ili%anya ya%uatayo/0 a7 Ku(itia na ku4hambaua (ango Kazi wa -(eresheni Tokomeza (Concept Paper7 ulioandaliwa na $izara b7 Ku(itia na ku4hambua Tathmini ya 'tekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! '.1 U&ham,uzi kuhusu Mpango Kazi $a /peresheni Tokomeza heshimiwa "(ika, katika ku4hambua (ango Kazi wa -(eresheni Tokomeza kwa lengo la ku(ata uelewa zaidi wa namna o(eresheni hiyo ili,yo(angwa na kutekelezwa, Kamati ilibaini kuwa, m(ango huo uliandaliwa na $izara ya aliasili na 'talii na ulikuwa na mambo ya%uatayo/0 i! 'kubwa wa tatizo la ujangili ii! +ina za ujangili na sababu za ukuaji wake iii! aeneo yaliyoathiriwa zaidi na ujangili i,! alengo ya -(eresheni Tokomeza ,! #jia zilizotumika kutekeleza o(eresheni ,i! aeneo ya o(eresheni na gharama za utekelezaji ,ii! Tamko la "erikali kusitisha -(eresheni Tokomeza '.1.1 Uku,$a $a tatizo la u*angili Mheshimi$a %pika, Kamati ilibaini kuwa, tatizo la ujangili ni kubwa na limekuwa likisababisha idadi ya Tembo iendelee ku(ungua n4hini! Takwimu zinaonesha kuwa, idadi ya Tembo ime(ungua kutoka 3?0,000 5miaka ya 13707 hadi ku%ikia ??,000 5mwaka 13637! 9uhudi za kukabiliana na hali hiyo ku(itia -(eresheni zilizowahi kutekelezwa huko nyuma zilisaidia kuongeza idadi ya Tembo hadi 141,000 5mwaka 200C7 ingawa ilishuka tena hadi ku%ikia 110,000 5mwaka 20037! '.1.' Aina za u*angili na sa,a,u za ukua*i $ake Mheshimi$a %pika, kwa mujibu wa Taari%a ya "erikali, ,itendo ,ya ujangili ,ina,yo%anyika n4hini ,imegawanyika katika makundi mawili ya%uatayo/0 i. U*angili $a Ku*ikimu 3su,sistan&e poa&hing4 +ina hii ya ujangili inahusisha watu wenye ki(ato kidogo na hulenga zaidi katika kuji(atia kitoweo na %edha kwa ajili ya kukidhi mahitaji mengine! 'jangili wa aina hii huathiri zaidi wanyama wanaoliwa na si Tembo!

ii. U*angili $a Biashara 3&ommer&ial poa&hing4 +ina hii ya ujangili inahusisha zaidi watu wenye uwezo mkubwa wa ki%edha na hulenga ku(ata nyara zenye thamani kubwa! $anyama wanaoathiriwa zaidi na aina hii ya ujangili ni (amoja na Tembo, Baru, "imba na <hui! Mheshimi$a %pika, taari%a ilibainisha kuwa, kuongezeka kwa masoko haramu katika n4hi za +sia na ashariki ya Kati ambayo yanatoa bei kubwa ya nyara hizo, imekuwa ni 4ha4hu ya kuimarika kwa mitandao inayojihusisha na ujangili 5ndani na nje ya n4hi7 na hi,yo kusababisha ongezeko kubwa la ,itendo ,ya ujangili! '.1.Maeneo yaliyoathiri$a zaidi na u*angili Mheshimi$a %pika, (ango Kazi waKu(ambana na 'jangili ulilenga kujikita katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na ujangili wa wanyama(ori na misitu! (ango huo ulioelezewa kuwa niwa muda mre%u na kusimamiwa na kikosi kazi 4ha Tai%a 5national task %or4e7,umeanisha maeneo ya%uatayo kuwa ndiyo yaliyoathirika zaidi/0 i! @ori la +kiba "elous ii! &i%adhi ya Tai%a "erengeti, @ori la +kiba aswa na @ori Tenge%u la :oliondo! iii! &i%adhi ya Tai%a Kata,i na a(ori ya +kiba .ukwa na :ukwati! i,! &i%adhi ya Tai%a ikumi ,! &i%adhi ya #gorongoro na &i%adhi za Tai%a Tarangire na Diwa anyara! ,i! a(ori ya +kiba Burigi, Biharamuro, Abanda na .umanyika! ,ii! a(ori ya +kiba oyowosi, Kimisi, 'galla na &i%adhi ya isitu :uganzo! '.1.5 Malengo ya /peresheni Tokomeza Mheshimi$a %pika, -(eresheni Tokomeza ambayo ilizinduliwa rasmi tarehe 04 -ktoba, 2013 ilikuwa na malengo ya%uatayo/0 i! Kuzuia ,itendo ,ya ujangili ndani na nje ya &i%adhi za Tai%a, a(ori ya +kiba, a(ori Tenge%u, amlaka ya &i%adhi #gorongoro na isitu ya &i%adhi na ku%anya o(eresheni maeneo yote yaliyoathiriwa na ujangili! ii! Kuwatambua ma(ema majangili na kujua nyendo zao ndani na nje ya maeneo ya hi%adhi! iii! Kuwakamata na kuwa%ikisha kwenye ,yombo ,ya sheria wa%anyabiashara haramu wa nyara za "erikali na mazao ya misitu! i,! Ku,unja mitandao ya wa%adhili, wanunuzi wadogo na wakubwa (amoja na mawakala wa biashara haramu ya nyara za "erikali na mazao ya misitu! ,! Ku%uatilia na kukamata mali za majangili zilizotokana na biashara haramu ya nyara za "erikali na mazao ya misitu! '.1.6 N*ia zilizotumika kutekeleza /peresheni Tokomeza Mheshimi$a %pika, Kamati ilibaini kuwa, (ango Kazi wa "erikali kuhusiana na -(eresheni Tokomeza, uliainisha kuwa o(eresheni hiyo itaendeshwa kwa kutekeleza mambo ya%uatayo/0 i! Ku%anya u4hambuzi wa kina wa watuhumiwa wa mtandao wa ujangili wa nyara za "erikali na wa,unaji na wasa%irishaji haramu wa mazao ya misitu! ii! Kuwakamata watuhumiwa wote waliobainishwa kwenye taari%a za kiintelijensia! iii! Ku(iga (i4ha na ku4hora ramani ya eneo la tukio kwa kila mtuhumiwa 5 sketch map7!

i,! Kuhoji na kuandika maelezo ya watuhumiwa wa ujangili wa nyara za "erikali na wa,unaji na wasa%irishaji haramu wa mazao ya misitu! ,! Kukusanya na kuhi%adhi ,ielelezo ,yote ,itaka,yokamatwa kutoka kwa majangili kwa ajili ya kujenga ushahidi mahakamani! ,i! Kuandika maelezo ya mashahidi na askari wakamataji kwa ajili ya kujenga ushahidi mahakamani! ,ii! Kuandaa mashitaka dhidi ya watuhumiwa na kuwa(eleka mahakamani ili sheria i4hukue mkondo wake! '.1.7 Maeneo ya /peresheni na gharama za utekeleza*i Mheshimi$a %pika, (ango Kazi wa -(eresheni Tokomeza ulianisha kuwe(o awamu mbili za utekelezaji ambazoni8 (ango Kazi wa uda %u(i na (ango Kazi wa uda re%u! Katika (ango Kazi wa uda m%u(i ita%anyika o(eresheni maalum katika maeneo yote ya ndani na nje ya hi%adhi za wanyama(ori na misitu n4hi nzima! aeneo hayo yaligawanywa katika kanda 12 za utekelezaji kama i%uata,yo/0 i! "elous, ikumi, 'dzungwa, :ukwikaE :umesule na :i(aramba, ii! BurigiEBiharamuro, AbandaE.umanyika na .ubondo, iii! oyowosi, 'galla na :ugazo, i,! "erengeti, :oliondo, aswa, Akorongo na Kijeshi, ,! Kilimanjaro, +rusha, komaziE'mba, "imanjiro na :ongido, ,i! Tarangile, anyara, KaratuE#gorongoro, "wagaswaga na kungunero, ,ii! .ungwa, .uaha, (anda F Ki(engele, ,iii! .ukwa, :ukwati, Kata,i, :wa%i, @iti na $embere, i=! ahale na >ombe, =! "aadani na kwenye maeneo yenye misitu ya mikoko, =i! @ori Tenge%u la &andeni, Kilindi na kinga na =ii! situ wa Kazimzumbwi, Kisarawe, .u%iji na kuranga , Mheshimi$a %pika, ilianishwa kuwa, awamu ya kwanza ya (ango Kazi wa muda m%u(i ingegharimu jumla ya Tshs! 3,3C6,1C6,CC7EG ambazo zinge4hangwa na Taasisi za wanyama(ori 5$2, T+#+@+, #<++ na TB"7 kwa kila moja jumla ya Tshs! 332,042,1C7EG '.1.8 Tamko la %erikali kusitisha /peresheni Mheshimi$a %pika, ku%uatia mi4hango na malalamiko ya $aheshimiwa $abunge wakati waki4hangia hoja iliyotolewa na he! "aid #kumba bunge wa "ikonge, (amoja na maagizo ya Bunge kutaka "erikaliitoe maelezo kuhusu hoja zilizotolewa na $aheshimiwa $abunge, "erikali ilitoa Tamko la kusitisha -(eresheni Tokomeza tarehe 01 #o,emba, 2013! '.' U&ham,uzi $a Taarifa ya a$ali ya Utekeleza*i $a /peresheni Tokomeza Mheshimi$a %pika, taari%a hii ya awali kuhusiana na utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza ilikuwa na mambo ya%uatayo/0 i! $ashiriki wa o(eresheni ii! +wamu za o(eresheni iii! a%anikio ya o(eresheni

i,! Adadi ya ,! <hangamoto za o(eresheni

watuhumiwa

na

kesi

zilizo%unguliwa

'.'.1 +ashiriki $a /peresheni Mheshimi$a %pika, -(eresheni Tokomeza ilihusisha jumla ya washiriki 2,371 kutoka ,yombo ,ya 'linzi na 'salama kwa mgawanyo u%uatao/0 i! $anajeshi 566?7 kutoka 9eshi la $anan4hi wa Tanzania, ii! +skari 54607 kutoka 9eshi la @olisi, iii! +skari 54407 kutoka Kikosi 2hidi ya 'jangili 5K2'7 i,! +skari $anyama(ori 53637 kutoka "hirika la &i%adhi za Tai%a 5T+#+@+7 ,! +skari 5337 kutoka $akala wa &uduma za isitu 5TB"7 ,i! +skari $anyama(ori 5?17 kutoka amlaka ya &i%adhi ya #gorongoro 5#<++7 ,ii! $aendesha ashitaka 5237 na ,iii! ahakimu 5100 '.'.' A$amu za /peresheni Mheshimi$a %pika, -(eresheni Tokomeza ili(angwa kutekelezwa katika awamu #ne 547 kama i%uata,yo/0 i! +wamu ya kwanza ambayo ililenga kusaka "ilaha za Ki,ita na eno ya Tembo kutoka miongoni mwa wanaojihusisha na ,itendo ,ya ujangili! ii! +wamu ya (ili ambayo ililenga kusaka silaha zisizomilikiwa kihalali na zile zinazomilikiwa kihalali lakini zinasadikiwa kutumika kwenye ,itendo ,ya ujangili! iii! +wamu ya tatu, ambayo ililenga kuta%uta yali(o aghala ya #yara, kusaka $a%adhili na $anunuzi wa nyara hizo na kuwabaini watu wanaowakingia ki%ua wahusika wa ,itendo ,ya ujangili! i,! +wamu ya nne, ambayo ililenga kukamata #yara nyingine mbali na eno ya Tembo na kuhakikisha watu walio katika makundi ya%uatayo wanakamatwa/0 0 $awindaji haramu, 0 $a,unaji haramu wa mazao ya misitu, 0 $atu wanaolisha i%ugo ndani ya hi%adhi, na 0 $atu waliojenga ndani ya maeneo ya hi%adhi '.'.Mafanikio ya a7 Adadi ya watuhumiwa na kesi zilizo%unguliwa /peresheni Tokomeza

Mheshimi$a %pika, tangu kuanza kutekelezwa kwa-(eresheni Tokomeza 5tarehe 04 -ktoba, 2013 hadi ili(ositishwa 5tarehe 01 #o,emba, 20137 jumla ya kesi C67 zili%unguliwa zikiwahusisha watuhumiwa 1,030 katika maeneo yote kama i%uata,yo/0 i! Kanda ya Kwanza kesi 10? zikiwahusisha ii! Kanda ya @ili kesi 370 ambazo zilihusisha iii! Kanda ya Tatu kesi 1C? zilizohusisha i,! Kanda ya #ne kesi 47 zilizohusisha watuhumiwa ?2 watuhumiwa watuhumiwa watuhumiwa 10? 37? 436

Mheshimi$a %pika, hadi wakati -(eresheni Tokomeza inasitishwa tarehe 01 #o,emba, 2013 kati ya Kesi C67 zilizokuwa zime%unguliwa ni 132 tu ndiyo zilikuwa zimetolewa maamuzi na ??? bado zilikuwa katika hatua ya kusikilizwa! 5Tazama Kiambatisho #a! 17 i! Kukamatwa kwa meno ya Tembo 211 yenye uzito wa kilo ?22, meno ya #giri 11, ikia ya wanyama mbalimbali 3C, #gozi za wanyama mbalimbali 21, @embe za "wala 4C, itego ya wanyama 134, ng*ombe 7,C21 Baiskeli ?6, @iki(iki 6 na agari 3! ii! Ku(ungua kwa kasi ya mauaji ya Tembo kutoka wastani wa Tembo wawili 527 kwa siku hadi tembo wawili tu katika ki(indi 4hote 4ha o(eresheni 5siku 237! iii! &adi ku%ikia tarehe 11 #o,emba, 2013 jumla ya Bunduki za Kijeshi 16 zilikamatwa, Bunduki za kiraia 1?73, .isasi 13C4, bao ,i(ande 27,313, kaa agunia 1242, agogo 6?6 na isumeno C0! Hyote hi,yo ,ilikamatwa katika Kanda ya #ne! '.'.5 1hangamoto za a4 9ifo :ili:yotokea $akati $a /peresheni /peresheni Tokomeza

Mheshimi$a %pika,Taari%a ya "erikaliiliainisha ,i%o kama4hangamoto kubwa iliyojitokeza wakati wautekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kutokana na watumishi C na watuhumiwa 13 ku(oteza maisha! 5Tazama Kiambatisho #a! 27 ,4 (u*uma dhidi ya /peresheni Mheshimi$a %pika, taari%a ya "erikali ili%a%anua kuwa,utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza ulikumbwa na ,itendo ,ya hujuma kutoka kwa baadhi ya makundi ya jamii kama i%uata,yo/0 i! amluki miongoni wa washiriki wa -(eresheni! %ano8 kukamatwa kwa +skari @olisi na +skari $anyama(ori wakisindikiza gari lenye eno ya Tembo, na gari la "erikalikutumika kusa%irisha eno ya Tembo! ii! Hyombo ,ya &abari kutumika ku,uruga o(eresheni kwakueneza (ro(aganda zilizolenga kushawishi wanan4hi ku(inga o(eresheni hiyo! iii! Baadhi ya wamiliki wa silaha kutuhumiwa kutoa silaha zao ili zitumike kwa ajili ya ,itendo ,ya ujangili! 14 Tuhuma dhidi ya /peresheni Mheshimi$a %pika, taari%a ya "erikai ili%a%anua kuwa,ingawa lengo la o(eresheni lilikuwa ni ku(ambana na ,itendo ,ya ujangili dhidi ya raslimali za Tai%a, utekelezaji wake ulikumbwa na tuhuma kadhaa zikiwemo zi%uatazo/0 i! ateso dhidi ya watuhumiwa yaliyosababisha maumi,u, ku(ata ulema,u wa kudumu na hata wengine ku(oteza maisha 5 %ano8 arehemu ;miliana >as(er aro wa >alla(o F Babati7! ii! atumizi mabaya ya "ilaha 5 %ano8 zee wa miaka 70 kuuawa kwa ku(igwa risasi 37! iii! #yumba za wanan4hi ku4homwa moto 5 %ano8 Kijiji 4ha Kabage $ilaya ya (anda F Kata,i7! i,! i%ugo kuuawa kikatili kwa ku4homwa moto na ku(igwa risasi 5 %ano8 #g*ombe C0 kuuawa

kwaku(igwa risasi7! ,! Kukosekana kwa mwongozo wa utoaji wa taari%a jambo lililosababisha ,iongozi husika wa "erikali kuto(ewa taari%a muhimu za utekelezaji wa -(eresheni! 5 %ano8 $aziri wa aliasili na'talii, $aziri wa ambo ya #dani ya #4hi, $aziri wa 'linzi na $akuu wa ikoa na $ilaya7! ,i! +skari waliotuhumiwa kukiuka taratibu kukataa kutoa ushirikiano wa kutosha (ale wali(ohitajika ku%anya hi,yo! ,ii! Kutoshirikishwa kwa ,iongozi wa amlaka za 'tawala katika ngazi za ikoa na $ilaya! -.0 MA(/;"AN/ BA"NA 2A KAMAT" NA +"#A)A .AM/;A NA +ABUN 0 Mheshimi$a %pika, Kamati ili%anya mahojiano na makundi ya%uatayo/0 i! $izara ya aliasili na 'talii (amoja na Taasisi zake ii! $izara ya ambo ya #dani ya #4hi iii! $aheshimiwa $abunge -.1 Maho*iano ,aina ya Kamati na +izara ya Maliasili na Utalii pamo*a na Taasisi zake Mheshimi$a %pika, ili kuhakikisha wajumbe wa Kamati wana(ata uelewa wa kutosha kuhusiana na -(eresheni Tokomeza, Kamati liagiza uongozi wa $izara ya aliasili na 'talii ukiongozwa na $aziri, ku%ika mbele ya Kamati ili kueleza namna -(eresheni Tokomeza ili,yoandaliwa na kutekelezwa hadi ili(ositishwa ku(itia tamko la "erikali lililotolewa Bungeni tarehe 01 #o,emba, 2013! Mheshimi$a %pika, Kamati ilikutana na $aziri wa aliasili na 'talii (amoja na timu yake kwa siku tatu, tarehe 260 23 #o,emba, na tarehe 01 2esemba, 2013! Katika ,ikao hi,yo, $aziri aliieleza Kamati juu ya (ango Kazi wa -(eresheni Tokomeza, raslimali 5watu na %edha7 (amoja na tathmini iliyo%anyika kwa ki(indi amba4ho -(eresheni Tokomeza ilitekelezwa! Mheshimi$a %pika, katika mahojiano na $aziri wa aliasili na 'talii Kagasheki, b na watendaji wake Kamati ili%ahamishwa ya%uatayo/0 he! Balozi Khamis

i! Kwamba -(eresheni Tokomeza ilikuwa ya kijeshi kama ali,yonukuliwa katika Taari%a .asmi za Bunge 5Hansard7 akisema/ I1-(eresheni ilikuwa ya kijeshi! Alikuwa ya kijeshi kwa sababu ilitekelezwa kwa amri ya jeshi #amba 0001E13 iliyotolewa tarehe 26 "e(temba, 2013 na kusainiwa na kuu wa ajeshi ya 'linzi1J ii! Kwamba, kinadharia inaonekana kwamba, $aziri wa aliasili na 'talii ndiye alikuwa semaji kuu, lakini kiuhalisia hakuwa msemaji mkuu wa -(eresheni Tokomeza kama ali,yonukuliwa katika Taari%a .asmi za Bunge akisema8 I1kinadharia inaweza ikasemekana kwamba mimi ndiye msemaji mkuu, lakini mimi sikuwa msemaji mkuu wa -(eresheni Tokomeza 1J iii! 'tekelezaji wa -(eresheni Tokomeza ulisimamiwa na 9eshi la $anan4hi wa Tanzania! i,! Taari%a za mwenendo wa o(eresheni zilikuwa zina(elekwa moja kwa moja kwa kuu wa ajeshi na kwamba, hazikum%ikia $aziri wa aliasili na 'talii! ,! -(eresheni Tokomeza iliingiliwa na $anasiasa! ,i! @amoja na (ango kazi huo kuandaliwa na $izara ya aliasili na 'talii, kwa namna ambayo haieleweki $aziri hakuuona wala kuidhinisha rasimu ya mwisho ya (ango huo! &iyo ilidhihirika mbele ya Kamati kutokana na $aziri kukiri kwamba hakuuona wala kuudhinisha

-.1.1 Tathmini ya Kamati kuhusu ma*i,u ya +aziri $a Maliasili na Utalii pamo*a na $atenda*i $a +izara Mheshimi$a %pika,kwa kutumia tathmini ya awali ya nyaraka zilizowasilishwa (amoja na mahojiano na $aziri ilionekana kwamba, -(eresheni Tokomeza iliandaliwa na $izara ya aliasili na 'talii kwa kushirikiana na taasisi zilizo 4hini yake na kushirikisha ,yombo ,ya 'linzi na 'salama! Mheshimi$a %pika, li4ha (ango wa -(eresheni Tokomeza kuandaliwa na $izara ya aliasili na 'talii, hata hi,yo utekelezaji wake ulisimamiwa na kuongozwa na 9eshi la $anan4hi wa Tanzania! &atua ya jeshi ku4hukua jukumu la kuongoza -(eresheni Tokomeza, lili%anya ,iongozi wa $izara kujiengua katika jukumu la kuongoza 5ead agency7 na badala yake kua4ha jukumu hilo kwa 9eshi (ekee jambo lililota%siriwa kwamba, -(eresheni Tokomeza ilikuwa ya kijeshi! Mheshimi$a %pika, ku(itia mahojiano ilibainika kwamba, hakukuwa na utaratibu mzuri wa ku(ashana habari kuhusiana na mwenendo mzima wa -(eresheni Tokomeza jambo lililo%anya baadhi ya wahusika kutotambua kikamili%u wajibu waokatika -(eresheni hiyo! %ano mzuri ni kwamba, li4ha ya kuelezwa kwenye Kanuni za 'tendaji 5Operational Guidelines7 za -(eresheni Tokomeza kwamba, $aziri wa aliasili na 'talii ndiye atakuwa semaji kuu wa -(eresheni Tokomeza, bado he! $aziri hakutekeleza jukumu hilo kwani alikwishatoa ma(endekezo katika rasimu kwamba semaji kuu awe ni kurugenzi wa $anyama(ori! +idha, Kamati ilibaini kuwa baadhi ya $atendaji wa juu wa $izara walidaiwa kukwamisha utekelezaji wa maagizo ya $aziri wa aliasili na 'talii kutokana na kuingilia mawasiliano aliyokuwa anaya%anya na baadhi ya $atumishi! %ano ni majibizano kwa njia ya barua (e(e kati ya $aziri na Katibu kuu, $aziri na kurugenzi wa $anyama(ori na (ia Katibu kuu na kurugenzi wa $anyama(ori! Kwa mujibu wa majibizano hayo $aziri anaonekana kushangazwa na hatua ya Katibu kuu kuhoji hatua ya yeye kumuita mmoja wa mtumishi wa $izara o%isini kwake! 5Kiambatisho #a! 37 Mheshimi$a %pika, kukosekana kwa m%umo mzuri wa ku(ashana habari kwa (ande husika kuhusu mwenendo mzima wa -(eresheni Tokomeza, kulionekana kuathiri utaratibu mzima wa ,iongozi husika akiwemo $aziri wa aliasili na 'talii, ku(ata taari%a zinazotakiwa kwa wakati! &ali hiyo ili4hangia utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kukumbwa na athari ambazo zingeweza kue(ukika iwa(o kungekuwa na m%umo mzuri wa mawasiliano! Mheshimi$a %pika, ku(itia mahojiano (ia Kamati ilibaini uwe(o wa hujuma kutoka kwa ,iongozi wa kisiasa na "erikali ambao kwa namna moja au nyingine walionekana kuhusishwa na -(eresheni Tokomeza ama wao bina%si au ndugu zao! Mheshimi$a %pika, miongoni mwa hujuma ambazo Kamati ilizibaini ku(itia mahojiano na$aziri wa aliasili na 'talii na $atendaji wake ni (amoja na/0 i! Baadhi ya watuhumiwa wenye mahusiano na ,iongozi wa kisiasa kutumia majina ya ,iongozi hao kuingilia utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! ii! Baadhi ya $aheshimiwa $abunge kutuhumiwa kujihusisha na,itendo ,ya ujangili na

biashara haramu ya nyara za "erikali! iii! Baadhi ya awaziri kutoa kauli zenye kuingilia utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! 5 %ano/ kutoa maelekezo kwa wahusika wa -(eresheni Tokomeza kwamba wasiguse ,iongozi wa kisiasa wa ngazi zote7! i,! Baadhi ya ,iongozi wa,yombo ,ya 'linzi na 'salama kushiriki kudhoo%isha utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kwa kusindikiza au kusaidia watuhumiwa wa ujangili kutoroka! 5 %ano8 ,iongozi wa @olisi wa $ilaya na ikoa7 Mheshimi$a %pika, kubainika kwa hujuma hizo ni ishara tosha kwamba hata ndani ya "erikali yenyewe hakukuwa na dhamira ya dhati kwa baadhi ya kwa ,iongozi na watendaji katika kuhakikisha ,ita dhidi ya ,itendo ,ya kijangili ina(iganwa kikamili%u! &ali hiyo ilisababisha utekelezaji wa o(eresheni kukumbwa na athari nyingi kama ,ile8 wanan4hi ku(oteza maisha, mi%ugo kuuawa kwa ku4homwa moto, njaa, kiu au ku(igwa risasi7, u(ote,u wa mali, nyumba ku4homwa moto na ,itendo ,ya ukatili dhidi ya wanan4hi amba,yo ,ilikiuka haki za kibinadamu! &ali hiyo imesababisha utekelezaji wazoezi la -(eresheni Tokomeza kuta%siriwa kwamba ulilenga wanan4hi wasio na hatia na kua4ha wahusika wa ujangili! -.' Maho*iano ,aina ya Kamati na +izara ya Mam,o ya Ndani ya N&hi Mheshimi$a %pika, mnamo tarehe 30 #o,emba, 2013 Kamati ilikutana na ku%anya mahojiano na $izara ya ambo ya #dani ya #4hi ili kubaini namna ili,yoshiriki katika -(eresheni Tokomeza! $aziri wa ambo ya #dani ya #4hi he! 2k! ;mmanuel #4himbi, b alieleza kuwa, o(eresheni hii ilikuwa na lengo la kutimiza azma 5Commitment7 ya "erikali iliyoitoa Bungeni kwamba, inakusudia ku%anya -(eresheni ya ku(ambana na majangili! $izara yake ilishiriki kwa kutoa +skari @olisi ?04 (amoja na baadhi ya ,yombo ,ya usa%iri na kwamba ,yombo ,ya 'linzi na 'salama ,ya n4hi ,ilikuwa ,ikikutana mara kwa mara kwa lengo la kuandaa mkakati wa namna ya kushirikiana katika kutekeleza m(ango huo wa ,ita dhidi ya ujangili! Mheshimi$a %pika,$aziri wa ambo ya #dani ya #4hi alikiri kuwa, li4ha ya lengo la o(eresheni kuwa zuri, kulijitokeza 4hangamoto kadhaa zilizotokana na baadhi ya washiriki wa o(eresheni kwenda kinyume na malengo yaliyokusudiwa kama ,ile8 ukatili dhidi ya mi%ugo na ,itendo ,ya unyanyasaji wa wanan4hi kwa kuwatesa kiasi 4ha kuwasababishia ulema,u wa kudumu au ,i%o! @ia heshimiwa $aziri alikiri kwamba, kutokuwe(o m%umo mzuri wa mawasiliano na -(eresheni kuongozwa na jeshi, iliashiria kwamba taari%a za o(eresheni zilikuwa zinakwenda kwa kuu wa ajeshi F <2B moja kwa moja na hi,yo ku%anya (ande zingine zinazohusika zisijue kina4hoendelea! -.'.1 Tathmini ya Kamati kuhusu ma*i,u ya +aziri $a Mam,o ya Ndani ya N&hi na $atenda*i $ake

Mheshimi$a %pika, Kamati ilibaini kuwe(o kwamawasiliano ha%i%u kati ya $izara ya aliasili na 'talii na $izara nyingine zilizoshiriki katika o(eresheni hii!@ia,kukosekana kwa m%umo mzuri wa mawasiliano, kuliikosesha $izara ya aliasili na 'talii ambayo iliandaa na kugharamia -(eresheni Tokomeza,%ursa ambazo zingeiwezesha ku%anya tathmini kuhusu utekelezaji wa -(eresheni hii! +idha, Kamati ilibaini kwamba, hatua ya kutoshirikisha Kamati za 'linzi na 'salama za $ilaya ililenga kuto,ujisha siri dhidi ya watuhumiwa wa ujangili! &atua hiyo ilisababisha usumbu%u mkubwa kwa ,iongozi wa mamlaka za utawala za $ilaya na ikoa kutokana na kulaumiwa na wanan4hi kwa kushindwa kuwasaidia (ale wali(okumbwa na matatizo! -.Maho*iano ,aina ya Kamati na +aheshimi$a +a,unge Mheshimi$a %pika, kwa kuwa suala hili liliibukia Bungeni baadaya wawakilishi wa wanan4hi ku(aza sauti kuhusu athari zilizowakumba wa(iga kura wao, Kamati iliona ni busara kuhoji baadhi ya $aheshimiwa $abunge walio4hangia hoja hii! $abunge hao walitoa taari%a muhimu kuhusu ,itendo ,ili,yo%anyika katika maeneo yao wakati wa o(eresheni! Mheshimi$a %pika, $aheshimiwa $abunge walieleza kusikitishwa na namna amba,yo -(eresheni Tokomeza ilikiuka malengo yaliyokusudiwa na badala yake ikanyanyasa wa%ugaji kwa kuangamiza mi%ugo yao na kuwaharibia mali zao kama ,ile8 ku4homa moto nyumba, ku(ora %edha na ,itu ,ingine! bunge mmoja alinukuliwa katika Taari%a .asmi za Bunge akisema/0 I1badala ya -(eresheni Tokomeza kusaka majangili, ikageuka kuwa -(eresheni Tokomeza '%ugaji1J Mheshimi$a %pika, $aheshimiwa $abunge waliieleza Kamati kuwa, siyo jambo la kawaida kwa watu wanaoagizwa ku%anya jambo %ulani kwenda kinyume na maagizo! $akashauri kuwa, wahusika wote waliotenda kinyume namaagizo wa4hukuliwe hatua stahiki ili kue(usha ,itendo ,ya aina hiyo ,isijirudie katika o(eresheni zitakazo%uata! @ia $aheshimiwa $abunge walishauri kasoro zilizojitokeza zirekebishwe na o(eresheni iweze kuendelea ili kutowa(a mwanya majangili kuji(anga u(ya! -.-.1 Tathmini ya Kamati kuhusu ma*i,u ya +aheshimi$a +a,unge Mheshimi$a %pika, kimsingi $aheshimiwa $abunge wanaunga mkono -(eresheni Tokomeza ambayo ililenga kukomesha ,itendo ,ya kijangili na kunusuru raslimali za n4hi hasa wanyama(ori na misitu! &ata hi,yo, walieleza kusikitishwa na ,itendo ,ili,yojitokeza wakati wa utekelezaji wa o(eresheni na walisema ha,iwezi ku,umilika! Mheshimi$a %pika, baada ya ku(ata taari%a mbalimbali kutoka kwa $aheshimiwa $abunge, mahojiano na ,iongozi na watendaji wa $izara na kuzingatia taari%a zilizowasilishwa na "erikali, Kamati iliazimia kuzuru baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na -(eresheni Tokomeza ili ku%anya uhakiki!

5.0 KAMAT" KU#U)U MA0N0/ 2A!"2/AT(")"KA K+A A;"!" 2A KU(AK"K" 390)"<"1AT"/N=/UT)0A1(4 heshimwa "(ika, kutokana na wingi wa maeneo (amoja na u%inyu wa muda, Kamati ilijigawa katika makundi matatu ili yaweze kutembelea baadhi ya maeneo yaliyoainishwa katika Taari%a ya "erikali ili ku%anya tathmini 5,eri%i4ation7 kwa utaratibu u%uatao/0 4!1 Kundi la kwanza lilielekea Kanda )<*iliyohusisha maeneo yaliyoathiriwa na -(eresheni Tokomeza katika ikoa ya "hinyanga, Kagera, Tabora, Kigoma, .ukwa, Kata,i na "ingida! Mheshimi$a %pika, kundi heshimiwa 9ames 2audi :embeli, "usan :imbweni Kiwanga, b! hili liliundwa na $ajumbe b, heshimiwa &aji Khatibu Kai, b na wa%uatao/0 heshimiwa

4!2 Kundi la (ili lilielekea Kanda )B*iliyohusisha maeneo yaliyoathiriwa na -(eresheni Tokomeza katika ikoa ya "imiyu, ara, +rusha na anyara! Mheshimi$a %pika,kundi hili liliundwa na wajumbe wa%uatao, heshimiwa +bdulkarim ;! "hah, b, heshimiwa &enry 2a%%a "heki%u, b na heshimiwa +mina +ndrew <lement, b! 4!3 Kundi la tatu lilielekea Kanda )2*iliyohusisha maeneo yaliyoathiriwa na -(eresheni Tokomeza katika ikoa ya @wani, orogoro, Aringa, .u,uma na twara! Mheshimi$a %pika, kundi hili liliundwa na wajumbe wa%uatao8 heshimiwa Kaika "aning*o Telele, b, heshimiwa uhammad +mour <homboh, b na heshimiwa 2kt! ary wanjelwa, ambaye hata hi,yo hakushiriki kutokana na dharura! Mheshimi$a %pika,kama ili,yoainishwa ha(o juu lengo la Kamati kutawanyika ikoani lilikuwa kutathmini athari zilizotokana na -(eresheni Tokomeza ambayo iliendeshwa n4hini kuanzia tarehe 04 -ktoba, 2013 hadi tarehe 01 #o,emba, 2013! Mheshimi$a %pika, ili kutimiza jukumu hilo kikamili%u, Kamati iliongozwa na taari%a zi%uatazo8 i! (ango Kazi wa -(eresheni aalum ya ku(ambana na 'jangili n4hini, ii! Taari%a ya 'tekelezaji wa -(eresheni Tokomeza iliyotolewa na "erikali! iii! i4hango ya $aheshimiwa $abunge kama ili,yonukuliwa katika Taari%a .asmi za Bunge 5&ansard7! i,! adai yaliyotolewa na $abunge kuhusiana na athari zilizotokana na utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! ,! aelezo yaliyotolewa na ashahidi ambao walihojiwa na Kamati! ,i! Hielelezo ,ili,yowasilishwa na ashahidi walio%ika mbele ya Kamati! 6.0 MAKUN>" 2A KAMAT" 2A!"92/T0K0!0#A MA;UKUMU 2AK0 Mheshimi$a %pika, katika kutekeleza jukumu hili, Kamati ilikutanana makundi ya%uatayo/0 i! Kamati za 'linzi na 'salama za ikoa na $ilaya

ii! $aheshimiwa iii! $aathirika wa -(eresheni Tokomeza

adiwani

6.1 Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa na +ilaya Mheshimi$a %pika, Kamati ilikukutana na Kamati za 'linzi na 'salama za ikoa na $ilaya na ku(okea taari%a iliyohusu hali ya 'linzi na 'salama hususan wakati wa utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza! Mheshimi$a %pika, kwa sehemu kubwa taari%a za 'linzi na 'salama za $ilaya zilisaidia kuanisha maeneo na matukio yaliyojiri wakati wa -(eresheni Tokomeza na athari zilizojitokeza! $ajumbe wa Kamati walitumia u4hambuzi wa taari%a hizo ku(ata uelewa zaidi kuhusiana na utekelezaji wa -(eresheni hiyo kabla ya kukutana na wanan4hi walioathirika ili ku(ata maelezo zaidi! 6.' +aheshimi$a Madi$ani Mheshimi$a %pika,katika baadhi ya $ilaya, Kamati ilikutana nabaadhi ya adiwani wakiwa ni wawakilishi wa wanan4hi katika ngazi ya halmashauri ili ku(ata maelezo zaidi kuhusu utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kabla ya kukutanana waathirika wa -(eresheni! 6.+aathirika $a /peresheni Tokomeza Mheshimi$a %pika, Kamati ilikutana nabaadhi ya wanan4hi walioathirika na -(eresheni Tokomeza na ku(okea maelezo na malalamiko yao kuhusu namna wali,yoathiriwa na uekelezaji wa -(eresheni! Mheshimi$a %pika, wa(o baadhi ya waathirika walitoa ushahidiE,ielelezo ,ya maandishi na (i4ha ili kuthibitisha yale waliyokuwa wakiyaeleza mbele ya Kamati! $engine walikwenda mbali kiasi 4ha kuonesha majerahana mako,u waliyoya(ata katika miili yao kutokana na mateso waliyo(ata kwenye kambi maalum za mahojiano zilizoandaliwa na waendeshaji wa -(eresheni Tokomeza! 6.5 Kuzuru maeneo yaliyoathirika zaidi na /peresheni Mheshimi$a %pika, Kamati ili(ata %ursa ya kutembelea baadhi ya maeneo yaliyokumbwa na athari za o(eresheni Tokomeza kwa lengo la kushuhudia mabaki ya ,ielelezo ili kujiridhisha iwa(o tuhuma za athari zilizotolewa kuhusu maeneo hayo zilikuwa zakweli! 7.0 2A!"2/BA"N"KA KAT"KA #"A)A C!1 Hikao na Kamati za 'linzi na 'salama za ikoaE$ilaya #A KAMAT"

Mheshimi$a %pika, katika ,ikaona Kamati za 'linzi na 'salama za ikoaE $ilayaKamati ilibaini kuwa utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza haukushirikisha ,iongozi wa maeneo hayo ya utawala! Kulikuwa na manung*uniko kwamba li4ha ya $akuu wa $ilaya na ikoa kuwa wawakilishi wa .ais, walia4hwa kando na -(eresheni kuendeshwa katika maeneo wanayosimamia hadi malalamiko ya wanan4hi waliokamatwa yali(owa%umbua ma4ho kwamba walikuwa wanateswa na ku%anyiwa ,itendo ,ya udhalilishaji na watekelezaji wa -(eresheni! +idha,

Kamati ilielezwa kwamba utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza ulisababisha ho%u miongoni mwa wanan4hi na ,iongozi na kusababisha baadhi yao kukimbia makazi! %ano8 kuu wa $ilaya ya 'langa alikiri kujihi%adhi kwenye &oteli moja nje ya $ilaya yake ambako alikutana na baadhi wanan4hi wake waliokimbia adha za -(eresheni Tokomeza! Hiongozi hao walieleza kwamba, kimsingi hawa(ingi -(eresheni Tokomeza ajangili kwaniililenga kunusuru raslimali za n4hi hasa wanyama(orina misitu ,isitoweke kutokana nakushamiri kwa ,itendo ,ya ujangili! &ata hi,yo, walieleza kuwa hatua ya kutowashirikisha imeli%anya zoezi hilo kuwa na kasoro nyingi (amoja na udhalilishaji hata kwa ,iongozi walio4haguliwa na wanan4hi! 7.' 9ikao :ya Kamati na +aathirika $a /peresheni Tokomeza Mheshimi$a %pika, Kamati ili%anya mikutano mbalimbali katika baadhi ya maeneo iliko%anyika -(eresheni Tokomezakwa lengo la kuwasilikiliza waathirika na kubaini mambo ya%uatayo/0 $atuhumiwa ku(ekuliwa, kudhalilishwa na baadhi kutojulikana wali(o i! heshimiwa "(ika, badhi ya wanan4hi wakiwemo ,iongozi, adiwani na $enye,iti wa Hijiji na Hitongoji na $atumishi wa "erikali walikamatwa na kudhalilishwa mbele ya wanan4hi wanaowaongoza! Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa walikuwa hawajulikani wali(o hadi Kamati ili(ozuru maeneo hayo! %ano8 Hijana watatu wa Kijiji 4ha -steti, Kata ya <ha(akazi, $ilayani Kiteto, walituhumiwa kujihusisha na biashara ya eno ya Tembo! Hijana hao ni #ya%uka #g*onja, #g*onja Ki(ana na swaya Karani! ii! Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa walidai kudhalilishwa mbele ya wana%amilia kwa ku(ewa adhabu wakiwa u4hi na wanawake kushikwa sehemu za siri bila ridhaa yao! %ano8 ndugu +li #yenge 5367 wa Kata ya A(uti, $ilaya ya 'langa alidai ku,uliwa nguo, kumwagiwa maji yaliyo4hanganywa na 4hum,i na ku4ha(wa ,iboko huku mwanae wa kiume 5117 akishuhudia! @ia alidai kulazimishwa ku4hora (i4ha ya <hatu kwa kutumia wembe kwenye (aja lake! Hile,ile, Bi! #eema oses wa Babati alidai ku,uliwa nguo na kulazimishwa a%anye ma(enzi na wakwe zake na (ia kuingizwa 4hu(a sehemu zake za siri! +idha, baadhi ya akina mama walidai kubakwa na kulawitiwa! %ano8 katika Kata ya A(uti, $ilaya ya 'langa, mwanamke mmoja alidai kubakwa na +skari wawili 527 wa -(eresheni Tokomeza 'jangili mida ya usiku! Hile,ile, mama mmoja mkazi wa Kata ya atongo $ilayani Bariadi, alibakwa na askari watatu 537 wa -(eresheni Tokomeza 'jangili huku akiwa ameshikiwa mtutu wa bunduki iii! $atuhumiwa waliokamatwa wali%anyiwa u(ekuzi bila kuhusisha ,iongozi wa "erikali za maeneo husika na kutokuwe(o kwa mashahidi na hati za u(ekuzi! %ano8 #dg! +bdallah @ata na Bi! Blora warabu wa Kata ya A(uti $ilayani 'langa na #dg! ;lias <osmas Kibuga wa >alla(o Babati, wali(ekuliwa bila ku%uata utaratibu!

Ukatili na Udhalilisha*i katika Kam,i za Maho*iano i:. Mheshimi$a %pika, baadhi ya watuhumiwa walio(elekwa katika kambi za mahojiano walidai kuteswa kwa adhabu zinazokiuka haki za binadamu! %ano8 2iwani wa Kata ya "akasaka wilaya ya eatu #dg! @eter "amwel, alidai kuadhibiwa akiwa mtu(u kwa ku(ewa adhabu za kijeshi kama kuning*inizwa ki4hwa 4hini miguu juu, ku(igwa kwa ,yuma na kulazimishwa ku%anya ma(enzi na mti! Mheshimi$a %pika, kutokana naukatili ulio(itiliza, baadhi ya kambi za mahojiano zili(ewa majina kama ,ile >uantanamo 5.uaha7, >oligota 5#gorongoro7, 2uma na +ndajega 5"erengeti7! Upote:u $a mali za $atuhumi$a na faini zisizoele$eka :. Mheshimi$a %pika, ilidaiwa kuwa wakati wa utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza 'jangili, baadhi ya watuhumiwa wali(oteza mi%ugo, mali na %edha zao! %ano8 katika $ilaya ya 'langa Kata ya A(uti mwanan4hi mmoja alidai ku(orwa sanduku la HA<-B+ lenye shilingi laki saba na nusu 57?0,000EG7 (amoja na simu ya mkononi na +skari wa -(eresheni Tokomeza walio,amia nyumbani kwake! Hile,ile #dugu usa asanja wa "akasaka $ilaya ya eatu, alidai ku(orwa shilingi laki tatu 300,000EG (amoja na simu 2 za mkononi na +skari +skari wa -(eresheni! Mheshimi$a %pika,@ia ilidaiwa kuwa mi%ugo ya watuhumiwa ilikamatwa na kuingizwa ndani ya maeneo ya hi%adhi na ku%a kwa ku(igwa risasi au kukosa maji na malisho kutokana na kuzuiliwa kwa muda mre%u! Baadhi ya mi%ugo ilitozwa %aini bila stakabadhi au stakabadhi kuonesha ,iwango ,idogo ikilinganishwa na %edha halisi iliyoli(wa! %ano/#dugu "osoma "himula mwenye #g*ombe 1700 $ilayani Kasulu alidai kwamba alitakiwa kuli(a %aini ya shilingi ilioni thelathini 530,000,000EG, ali(owasihi ali(unguziwa hadi ilioni kumi na mbili 512,000,000EG7 hata hi,yo aliweza kuli(a ilioni kumi 510,000,000EG7! +lionesha Kamati stakabadhi inayoonesha kuwa ameli(a %aini ya shilingi milioni moja tu 51,000,000EG7! "takabadhi hiyo ilijazwa sehemu ya tarakimu, lakini hakuna kili4hoandikwa katika sehemu ya kiasi 4ha %edha kwa maneno! 5Tazama Kiambatisho #a! 47 +atuhumi$a kutes$a na kuumiz$a :i. Mheshimi$a %pika, baadhi ya watuhumiwa walidai ku(igwa na kuumizwa na askari wa -(eresheni na wengine ku(ata ulema,u wa kudumu! %ano8 katika $ilaya ya Atilima,Kijiji 4ha bogo #dg "ita .umala alidai ku(igwa na ku,unjwa mkono alionesha wajumbe mkono uliokuwa ume%ungwa bandeji ngumu 5@!-!@7! +idha, 2iwani @eter "amwel #dekija wa Kata ya "akasaka, $ilaya ya eatu, alidai ku(igwa na kuumizwa ,ibaya mgongoni na alionesha kwa wajumbe wa Kamati mako,u aliyoya(ata! Hile,ile,ilielezwa kuwa #dugu unanka a4humbe 5247 ambaye ni bubu ali(igwa risasi 3 zilizomjeruhi ma(ajani na kuharibu sehemu za siri wakati akijaribu kuwahoji +skari wa -(eresheni kwa ishara sababu za kumtesa baba yake!

+idha, katika tuko lingine "hekhe kuu wa $ilaya ya 'langa +li ohamed 5707 aishiye kijiji 4ha A(uti, alidai kurushwa ki4hura na kutandikwa bakora na +skari wa -(eresheni Tokomeza! @ia,#dg! #yasongo agoro "erengeti wa Kata ya ajimoto wilaya ya ulele alidhalilishwa mbele ya wanan4hi wake! 5Tazama Kiambatisho #a! ?7 Mifugo kuingiz$a hifadhini na $atuhumi$a ku,am,ik$a kesi :ii. Mheshimi$a %pika,wakati wa -(eresheni, mi%ugo mingi ilikuwa hi%adhinilakini hata ile iliyokuwa nje ya hi%adhi iliingizwa na askari wa hi%adhi na wa%ugaji kutakiwa wali(e %aini ya shilingi ilioni tatu 53,000,000EG7 hadi "ita 5C,000,000EG7 kwa idadi ya ng*ombe 30 hadi ng*ombe 100 na aliyeshindwa kuli(a %aini mi%ugo yake iliuawa au ku(igwa mnada na m%ugaji ku%ilisiwa! $alioshindwa kuli(a %aini mi%ugo ili(igwa mnada na wa%ugaji hawakuruhusiwa kununua wala kukaribia eneo la mnada, na katika mnada mi%ugo iliuzwa kwa bei ya 4hini kuliko %aini iliyotozwa %ano8 shilingi el%u sitini 5C0,000E G7 kwa kila ng*ombe! +atuhumi$a ku,am,ik$a kesi ,iii!Alidaiwa kwamba, baadhi ya watuhumiwa walidai kubambikwa makosa ambayo hawahusiki nayo kama ,ile kumiliki silaha kinyume na sheria, kukutwa na bangi au nyara za "erikalim%ano8 Bw! ;lias <osmas Kibuga wa >alla(o Babati alidai kubambikiwa kesi ya kumiliki bunduki kukutwa na mkia wa twiga kinyume 4ha sheria! Mheshimi$a %pika, (ia Bibi Duhura +li wa Kilombero alidai kuteswa huku akilazimishwa kutoa silaha ambayo hakuwa nayo! +idha, Bw! elkzede4k +braham "arakikya wa Atigi alidai kuteswa akilazimishwa atoe silaha! Mateso na :ifo k$a +atuhumi$a i?. Mheshimi$a %pika, baadhi ya wanan4hiwalidai kuwa ndugu zao waliteswa kikatili kwa muda mre%u na bila ku(atiwa huduma za lazima kama 4hakula, maji na matibabu 5siku 1 027 hadi mauti yali(owa%ika! Kwa m%ano #dg! Ki(ara Assa wa $ilaya ya Kaliua na ndugu ;miliana >as(er aro wa >alla(o, $ilaya ya Babati! +idha, wanan4hi hao walidaikuwa mahojiano kwa watuhumiwa yaliambatana na mateso makali kwa muda mre%u kiasi 4ha kusababisha ,i%o! 5Tazama Kiambatisho #a! C7! Hile,ile, watuhumiwa wengine waliodaiwa ku(oteza maisha wakati wa -(eresheni Tokomeza ni #dg! $egesa Kirigiti wa Kijiji 4ha .emagwe na #dg! @eter asea wa Kijiji 4ha rito 5Tarime7, #dg! ohamed Buto 5 asasi7 na >er,as #zoya 5Kasulu7! heshimiwa "(ika, (amoja na uthibitisho wa (i4ha zilizotolewa na wanan4hi kuhusu kuteswa hadi ku%a kwa Bi ;miliana >as(er aro, "erikali ku(itia kurugenzi wa $anyama(ori ilitoa Taari%a kwa 'mma iki(inga Taari%a iliyorushwa na kituo 4ha luninga 4ha ATH tarehe 13 -ktoba 2013 kuhusu mauaji ya kutisha yaliyo%anywa na +skari wa ku(ambana na ujangili! Taari%a hiyo ya "erikali ina(inga kuwa +skari wa -(eresheni Tokomeza hawausiki na ki%o 4ha mtajwa! Taari%a hiyo imeonekana kukosa umakini kutokana na kuji4hanganya juu ya watu

inaowazungumzia! Taari%a hiyo inazungumzia majina mawili to%auti 5;,elyn >as(er na ariana >as(ar allo wa eneo la -longadiola7 wakati muathirika halisi ni Bi! ;milliana >as(er aro wa Kijiji 4ha -rngadida, >alla(o! 5Tazama kiambatisho #a!77 Ukatili dhidi ya +anyama ?. Mheshimi$a %pika, kuhusu ,itendo ,ya ukatili kwa wanyama ilidaiwa kwamba ng*ombe wali(igwa risasi, na ndama waliku%a kwa kukosa maziwa kutokana na mama zao kukamatwa na kuzuiwa kwenye mazizi yaliyo(o maeneo ya hi%adhi kwa muda mre%u! 5Tazama Kiambatisho #a! 67 )ush$a k$enye Mapori ya Aki,a ?i. Mheshimi$a %pika, $anan4hi walidai kukithiri kwa ,itendo ,ya rushwa kwa watumishi wanaosimamia ma(ori ya akiba ya aswa, Kigosi oyowosi, Burigi, Kimisi na kungunero kwa kutaja majina ya baadhi ya watumishi wanaowatuhumu! %ano8 #dg! Kileo mtumishiwa (ori la aswa, alidaiwa kuwa na tabia ya kutoza wanan4hi %aini bila stakabadhi au kutoa stakabadhi kinyume na %aini iliyotolewa au kutoa stakabadhi bandia! +idha, katika (ori la Kigosi0moyowosi, watumishi wa%uatao walidaiwa kujihusisha na ,itendo ,ya rushwa8 #dg! so4ha, +l%red, Kobelo na -dhiambo! +idha, ilidaiwa kuwa katika ma(ori ya Kigosi oyowosi na Kimisi zaidi ya wa%ugaji 100 wenye ng*ombe wanaokadiriwa kuwa ?0,000 wanali(ia ku4hungia ng*ombe wao kwenye ma(ori hayo ya hi%adhi tangu mwaka 2000 kwa mali(o maalum na hata -(eresheni Tokomeza haikuwagusa! +idha, ilidaiwa kuwa #dg! so4ha 5 eneja wa @ori la +kiba la Kigosi uyowosi7, alituhumiwa na baadhi ya wanan4hi kuwa amekuwa akiwakodisha wa%ugaji hao kwa ,i(indi ,ya miezi mitatu, na wa%ugaji huruhusiwa kuli(a tena muda una(oisha! +idha, %ugaji ambaye huli(a kiasi kidogo hulazimishwa kuli(a huku aki(igwa nami%ugo yake kuuawa kwa ku(igwa risasi! Alielezwa kuwa, $a%ugaji na +skari $anyama(ori huwasiliana kwa simu ilil kutekeleza makubaliano ya mali(o kwa malisho yao! #ambaza simu zinazodaiwa kuwa za +skari $anyama(ori zimeorodheshwa! 5Tazama Kiambatisho #a! 37 Mahusiano kati ya $anan&hi na Askari $a mapori ya Aki,a ?ii. Mheshimi$a %pika, wanan4hi wanaoishi kwenye a(ori ya +kiba yanayo wazunguka walidai kuwa katika mahusiano mabaya na +skari wa ma(ori hayo! %ano8wanan4hi wa kijiji 4ha Kimotorok, $ilaya ya "imanjiro na +skari wa (ori la akiba la kungunero kiasi 4ha ku%ikia hatua ya kutishiana maisha! Hitendo hi,yo (ia ,i(o kwa jamii zinazo(akana na ma(ori ya >urumeti! Mahakama na Magereza kuzidi$a u$ezo ?iii.Mheshimi$a %pika, kutokana na -(eresheni Tokomeza ilidaiwa kuwa ,yombo ahakama na agereza katika maeneo husika ,ilizidiwa uwezo kutokana na wingi wa kesi na idadi ya ahabusu! %ano8 >ereza la $ilaya ya Bunda lenye uwezo wa ku4hukua jumla ya wa%ungwa na mahabusu 217 lililazimika ku4hukua hadi watu 411!

Baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa wanalazimika kusa%iri umbali mre%u kuhudhuria kesi zao! %ano8 katika wilaya ya "erengeti baadhi ya watuhumiwa wali%unguliwa kesi $ilaya za Tarime, Bunda na Bariadi! +atumishi $a Umma kuhusish$a na U*angili ?i:.Mheshimi$a %pika, ilidaiwa kuwa baadhi ya $atumishi wa "erikali na ,yombo ,ya dola 5@olisi7 wanajihusisha na ujangili! %ano ni 2ere,a wa -<2, $ilaya ya #gorongoro aliyetuhumiwa kujihusisha na ujangili wa eno ya Tembo! +skari huyo alihojiwa na ,iongozi wa -(eresheni Tokomeza katika kituo 4hake 4ha kazi! Hile,ile, #dg! ohamed Asmail, +%isa $anyama(ori 5$7 eatu anatuhumiwa kukutwa na nyara za "erikali! +idha,+skari @olisi wawili 52 7<(l! Asaa4k na @< "i=bert wa ugumu $ilayani "erengeti walikamatwa wakiwa na meno ya Tembo! Mheshimi$a %pika, (ia ilidaiwa kuwa baadhi ya ao%isa wa "erikali wamekuwa wakitumia magari ya 'mma ama kusa%irisha au kusindikiza watoroshaji wa nyara za "erikali! %ano nigari la "erikali lililokamatwa liki%aulisha meno ya Tembo kutoka kwenye gari jingine huko kuranga kwa lengo la kuyasa%irisha kwenda 2ar es "alaam! "ambamba na hilo baadhi ,iongozi wa jeshi la @olisi wametuhumiwa kusaidia watuhumiwa wa ,itendo ,ya kijangili kutoroka na kue(uka mkono wa sheria! Migogoro kuhusu mipaka ya Maeneo ya (ifadhi ?:. Mheshimi$a %pika, wanan4hi walidai kuwa baadhi ya a(ori ya +kiba na&i%adhi yamekuwa yaki(anua mi(aka yake bila kushirikisha wanan4hi wa maeneo yanayowazunguka! %ano8 wanan4hi wa $ilaya ya Bunda wanao(akana na @ori la +kiba la >urumeti! @ia, wanan4hi wa ,ijiji ,ya Kegonga na asanga, katika Kata ya #yanungu, $ilayani Tarime wako katika mgogoro wa m(aka na T+#+@+ wakidai kuwa bonde la #yanungu limemezwa na eneo la &i%adhi kutokana na T+#+@+ kuongeza mi(aka yake bila kushirikisha wanan4hi wa maeneo hayo! +idha, katika $ilaya ya 'langa kuna mgogoro katika kata za A(uti na :u(iro dhidi&i%adhi ya "elous! "dara za +anyamapori katika (almashauri kukosa :itendea kazi ?:i.Mheshimi$a %pika, kutokana na silaha za Adara ya $anyama(ori katika baadhi ya &almashauri ku4hukuliwa wakati wa -(eresheni Tokomeza kwa ajili ya u4hunguzi, wanan4hi wamedai ku(ata shida kutokana na wanyama hasa Temboku,amia mashamba na kuharibu mazao (amoja na kujeruhi au kuua watu na mi%ugo! +anasiasa kusha$ishi $anan&hi kuishi k$enye maeneo ya (ifadhi ?:ii. Mheshimi$a %pika, wakati wa kutekeleza -(eresheni Tokomeza ilidaiwa kuwa nyumba na maboma ndani ya ma(ori ya akiba zili4homwa moto! %ano8 $ilaya ya "umbawanga kijiji 4ha sila Kata ya %inga na kijiji 4ha Kabage $ilaya ya (anda! &ata hi,yo baadhi ya

wanan4hi wameanza kurejeakatika baadhi ya maeneo ya hi%adhi kutokana na ushawishi wa wanasiasa! %ano8 katika @ori la &i%adhi ya 9amii 'bende $ilaya ya (anda wali4hangishwa shilingi laki moja 5100,000E G7 kwakila kaya kwa ajili ya ku(atiwa huduma za kisheria iwa(o mamlaka husika zitajaribu kuwaondoa ndani ya hi%adhi! +idha, Kamati ili(ata taari%a kuwa, baadhi ya ,iongozi wa Hyama ,ya "iasa wamekuwa wakigawa kadi za ,yama ,yao kwa wanan4hi wanaoishi katika maeneo ya hi%adhi na kwa ahadi kwamba, ,yama wali,yojiunga nga na,yo ,itawatetea wasiondoke katika maeneo hayo! Tatizo la 9i,ali :ya +akulima $a Muda ?:iii. Mheshimi$a %pika, Kamati ilielezwa li(o tatizo la raia wa n4hi jirani kuingia n4hini na ku(ewa ,ibali ,yakuendesha shughuli za kilimo5@easant @ermit7kwa muda, amba,yo hutolewa bilakubandika (i4ha ya mhusikaEmwombaji hasa maeneo ya Karagwe! .aia hao wanadaiwa kutumia nakala za ,ibali hi,yo kuingiza n4hini wahamiaji haramu ambao baadhi yao huingiza makundi makubwa ya mi%ugo hasa ng*ombe na wengine kutumia mwanya huo kuingiza silaha na kujihusisha na ,itendo ,ya ujangili katika baadhi ya ma(ori ya akiba! %ano8 @ori la +kiba la Abanda .umanyika! Hile,ile kuna tatizo la majangili kutumia ,i,uli ,a wa%ugaji kuingia kwenye hi%adhi huku wakiwa wame%i4ha silaha, na hi,yo kuwe(o mazingira ya kushindwa kuto%autisha kati ya majangili na wa%ugaji hususan katika maeneo ya hi%adhi ya .uaha! ?i?.Mheshimi$a %pika, kuna mgogoro katika eneo la 'shoroba 5Bu%%er Done7 katika Kata za :u(iro, bugana A(uti $ilaya ya 'langa, maeneo ambayo jamii imejenga miundombinu kwa miaka mingi ikiwa ni (amoja na shule, nyumba, mashamba, misikiti na makanisa huku "erikali ikiwa kimya kwa muda mre%u!&ata hi,yo, wakati wa -(eresheni Tokomeza wanan4hi hao walilazimishwa kuhama bila kuelekezwa waende wa(i! Mi&hango ya +aheshimi$a +a,unge kuhusu /peresheni ??. Mheshimi$a %pika, Kamati ilibaini kuwa baadhi ya mi4hango iliyotolewa na $aheshimiwa $abunge wakati waki4hangia &oja ya he! "aidi #kumba haikuwa ime%anyiwa uta%iti wa kutosha kwani baadhi ya madai waliyoyatoa hayakuwa na uhusiano na -(aresheni Tokomeza! Kwa m%ano8ni kweli kwamba ng*ombe ?1 walitumbukia katika mto .ubana $ilayani Bunda na ku%a, hata hi,yo tukio hilo lilitokea mwezi +(ril, 2013 ikiwa ni miezi C kabla ya -(eresheni! +idha, ni kweli kuwa $akazi wa Hijiji ,ya Kabage $ilayani (anda na :u4hima $ilayani ulele walihamishwa kutoka katika maeneo ya hi%adhi na nyumba zao ku4homwa moto katika utaratibu ulio%anywa na &almashauri hizo mwezi "e(temba, 2013 kwa lengo la kuwa(eleka kwenye maeneo rasmi ya makazi! 8.0 MA/N" NA U%(AU)" +A KAMAT" KU(U%U TAT(M"N" 2A UT0K0!0#A;" +A /.0)0%(0N" T/K/M0#A

Mheshimi$a %pika, baada ya Kamati ku4hambua nyaraka husika kuhusiana na utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza, kuwahoji ,iongozi mbalimbali wa $izara na $aheshimiwa $abunge, (amoja na ku%anya ziara mikoani kwa lengo la kuhakiki yaliyojiri kutokana na -(eresheni Tokomeza, Kamati ina(enda kutoa maoni na ushauri u%uatao/0 i! Kwa kuwa, lengo la -(eresheni Tokomeza lilikuwa kunusuru raslimali za n4hi hususani $anyama(ori na hasa Tembo na isitu, na kwa kuwa $aheshimiwa $abunge na $anan4hi wameiunga mkono mbali na matatizo ya kiutendaji yaliyojitokeza, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali irekebishe haraka kasoro zilizojitokeza katika utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza ili kuendeleza na kukamilisha awamu zote za o(eresheni kama zili,yo kwenye m(ango na kunusuru raslimali za Tai%a hasa wanyama(ori na misitu ambayo inatishiwa kutoweka kutokana na ,itendo ,ya ujangili! ii! Kwa kuwa,Kamati imejiridhisha kwamba matatizo na u(ungu%u uliojitokeza katika utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza yame4hangiwa na maandalizi mabaya ya (ango kazi ambao $aziri wenye dhamana hakuidhinisha, na kwa kuwa, imedhihirika kuwe(o hali ya sinto%ahamu 5kwa mujibu wa hansard7 iliyosababishwa na watendaji wakuu wa $izara kwa makusudi kuamua kutomshirikisha kikamili%u $aziri katika hatua za mwisho za maandalizi ya (ango kazi, hi,yo basi Bunge linaazimia kwamba, "erikali iwa4hukulie hatua stahiki za kinidhamu $asaidizi $akuu wote wa $aziri walioshiriki katika (ango kazi huo! iii! Kwa kuwa, Kamati imebaini kwamba (ale 9eshi la $anan4hi 59$TD7 lina(oshirikishwa katika -(eresheni u%anisi mkubwa hu(atikana, na kwa kuwa, bado iko haja ya kuendeleza -(eresheni Tokomeza kwa maslahi ya Tai%a, na kwa kuwa ushahidi wa mazingira )circumstantial evidence* unaonesha kuwa 9eshi lili4hukua uongozi wa o(eresheni baada ya kugundua kuwa washiriki kutoka Hikosi ,ingine 5@olisi, T+#+@+, T"B na #<++7 kwa kushirikiana na wa%ugaji wenye ushawishi wa ki%edha (amoja na wanasiasa, walihujumu o(eresheni hiyo kwa kutoa taari%a kwenye mtandao mkubwa wa kijangili ambao umejengeka kuanzia $izarani hadi kwenye maeneo ya &i%adhi na kusaidia )majangili (a(a* wasikamatwe, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba/0 0 "erikali ku4hukua hatua za makusudi kuu,unja mtandao huo na (ia8 0 Kuandaa o(eresheni nyingine ambayo ita(angwa na kutekelezwa na 9eshi la $anan4hi wa Tanzania na Adara ya 'salama wa Tai%a! i,! Kwa kuwa, kumekuwe(o na o(eresheni kadhaa kabla ya -(eresheni Tokomeza ambazo zililenga ku(ambana na ujangili, na kwa kuwa, -(eresheni Tokomeza imeshindwa ku(ata ma%anikio yaliyotarajiwa, na kwa kuwa, ushahidi wa mazingira unaonesha wazi kwamba, Kikosi 2hidi ya 'jangili 5K2'7 kimeshindwa kutimiza wajibu wake, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali iimarishe kikosi hi4ho kwa kuki%anyia tathmini na kukiunda u(ya ikiwa ni (amoja na kukiwezesha kwa rasilimali 5$atu, %edha, magari, silaha za kisasa na ,i%aa ,ya mawasiliano kama redio na simu7! "erikali iunde 4hombo amba4ho kitakuwa na jukumu la kusimamia na kutathmini utendaji kazi wa K2'! Awa(o utaratibu huo utazingatiwa ni wazi ,itendo ,ya ujangili ,itadhibitiwa bila kutumia o(eresheni kubwa kama 'hai na Tokomeza!

,! Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwe(o kwa ,itendo ,ya utesaji na ukatili wa hali ya juu, ukiukwaji wa haki za binadamu na uzembe miongoni mwa +skari wa -(eresheni Tokomeza 5ushahidi wa wahusika u(o7, hali ambayo imesababisha baadhi ya $anan4hi ku(oteza maisha, ku(ata ulema,u wa kudumu (amoja na ku(oteza mali zao! &i,yo basi, Bunge linaazimia kwamba/0 0 "erikali Awabaini wote waliohusika na ,itendo ,ya kinyama, mateso na udhalilishaji dhidi ya watuhumiwa, iwa4hukulie hatua stahiki na kuwasilisha taari%a ya utekelezaji wa agizo hili katika kutano ujao wa Bunge! 0 A%anye tathmini ya kina kwa ku(itia $akuu wa ikoa na $ilaya ili kujua athari za -(eresheni hii na kuta%uta njia ya kutoa ki%uta ma4hozi kwa waathirika, ili kurejesha imani ya $anan4hi kwa "erikali yao! ,i! Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwa -(eresheni Tokomeza ilikuwa haikutengewa %edha katika Bajeti ya $izara ya aliasili na 'talii katika mwaka wa %edha wa 2013E2014 na kwa kuwa kiasi 4ha %edha Tshs! 3,3C6,1C6,CC7EG kili4ho(atikana kutoka Adara na ashirika Tanzu ya $izara haikutosheleza mahitaji ya %edha ya -(eresheni Tokomeza kutokana na ukubwa wa eneo la -(eresheni, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali itenge Bajeti aalum ya kutosheleza mahitaji ya -(eresheni Tokomeza! "erikali kutenga Bajeti kwa ajili ya kuendeleza shughuli za uhi%adhi katika maeneo ya &i%adhi ikiwa ni (amoja na kuweka raslimali watu ya kutosha na miundombinu mingine muhimu! ,ii! Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwa Taari%a kwa 'mma iliyotolewa kwa Hyombo ,ya &abari na kurugenzi wa Adara ya $anyama(ori tarehe 23 -ktoba 2013, haikuwa sahihi na (ia ililenga kuudanganya 'mma kwa ku%i4ha mazingira na sababu za ki%o 4ha Bi ;milliana >as(er aro, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali i4hukue hatua za kumwajibisha kurugenzi wa Adara ya $anya(ori kwa kuudanganya umma kwa kujaribu ku%i4ha ukweli! ,iii!Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwa kumekuwa(o m4hezo m4ha%u unao%anywa na baadhi ya aa%isa $anyama(ori, aa%isa isitu katika ma(ori ya akiba, isitu ya "erikali na katika baadhi ya &i%adhi za Tai%a wa ku(okea rushwa, kutesa wanan4hi, kuwabambika kesi na kujihusisha na ujangili,na kwa kuwa Kamati inayo majina na ,ielelezo ,ya wahusika, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali i%anye tathmini n4hi nzima kwa lengo la kutambua kiwango 4ha ,itendo ,ya rushwa miongoni mwa watumishi hao, na kuwa4hukulia hatua stahiki za kinidhamu wale watakaobainika kuhusika ikiwa ni (amoja na kuwawajibisha na kuwa%ikisha kwenye ,yombo ,ya sheria! i=! Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwa baadhi ya ,iongozi wa kisiasa na "erikali waliingilia utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kwa manu%aa yao bina%si, kwa m%ano, agizo la kuwataka wahusika wa -(eresheni Tokomeza kutowagusa Hiongozi wa Kisiasa wa ngazi zote, kauli ambayo ilita%siriwa kuathiri utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza kwa kubagua $atanzania katika makundi ya Hiongozi na $anan4hi wa kawaida, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali ihakikishe kuna uwajibikaji wa (amoja (ale ina(oamua kutekeleza jambo la Kitai%a kama -(eresheni Tokomeza!

=! Kwa kuwa, Kamati imethibitisha kuwa, baadhi ya wanasiasa wamekuwa wanawadanganya wanan4hi waliothibitika ku%anya shughuli za u4humi kwenye maeneo ya hi%adhi, na kuwaahidi kuwatetea (indi "erikali ina(o4hukua hatua za kuwaondoa katika sehemu hizo, ikiwa ni (amoja na kuwa(a kadi za ,yama ,yao ,ya siasa, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, serikali ihakikishe kwamba, wanan4hi hawaendeshi shughuli za kiu4humi kwenye maeneo ya hi%adhi na kuwaonya wanasiasa waa4he kuwalaghai wanan4hi kwa maslahi yao bina%si! =i! Kwa kuwa, Kamati imebaini kwamba katika baadhi ya maeneo ya mi(akani m%ano Karagwe, Adara ya 'hamiaji hutoa ,ibali kwa raia wa n4hi jirani ,ya kuishi na kulima ha(a n4hini, ,ibali amba,yo ha,ina udhibiti wala tija kwa n4hi, na kusababisha migogoro ya mara kwa mara kati ya wakulima na wa%ugaji lakini (ia uharibi%u wa mazingira kwa kuingiza mi%ugo hi%adhini, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali isitishe mara moja zoezi la kutoa ,ibali hi,yo, ku%uta ,ili,yo(o na kuwataka raia hao wa kigeni wenye ,ibali kuondoka #4hini mara moja! =ii!Kwa kuwa, Kamati imebaini kwamba zaidi ya asilimia 2? ya eneo la #4hi ni hi%adhi, nami(aka ya maeneo mengi yaliyohi%adhiwa haijaainishwa, na kwa kuwa "erikali haina uwezo wa 5raslimali watu na edha7 wa kusimamia na kulinda mi(aka ya maeneo haya kikamili%u, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali ku%anya ya%uatayo/0 K Kuridhia Adara ya $anyama(ori na $akala wa &uduma ya isitu kuajiri idadi ya watumishi wanaotakiwa kama "erikali bado inaendelea kuyahi%adhi maeno hayo! K Kuainisha mi(aka ya ma(ori yote ya akiba, hi%adhi za tai%a na isitu ya "erikali kwa alama maalumu na za kudumu ili kue(usha $anan4hi kuingia katika maeneo hayo kwa kutojua mi(aka! K Kuyaa4hia ma(ori ya "erikali ambayo yamekosa si%a, ili yatumike kwa kilimo na u%ugaji kwa kuzingatia m(ango wa matumizi bora ya ardhi! =iii!Kwa kuwa,ya(o maeneo ya ma(ori na &i%adhi ambayo yana migogoro ya muda mre%u amba(o wanan4hi wameishi katika maeneo hayo kwa muda mre%u, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali irekebishe mi(aka husika au iwahamishie $anan4hi hao kwenye maeneo mengine yenye miundombinu! "erikali iwaagize awaziri wa +rdhi, #yumba na aendeleo ya akazi, aliasili na 'talii na Tawala za ikoa na "erikali za itaa kutembelea maeneo yote yenye migogoro n4hini na kuita%utia u%umbuzi ili wanan4hi waweze kuelewa hatma yao katika maeneo hayo kwani wamekuwa katika hali ya sinto%ahamu kwa muda mre%u! =i,!Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwe(o kwa migogoro baina ya $anan4hi, $awekezaji na hi%adhi katika maeneo ya eatu, Tarime, Bunda na ile ya :oliondo na Kimotorok ambayo inashughulikiwa na -%isi ya $aziri kuu, hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, "erikali ihakikishe inamaliza 5kama ili,yoahidi7 migogoro iliyo(o :oliondo na Kimotorok na maeneo mengine ma(ema iwezekana,yo! Kurekebisha haraka kasoro zote za kisheria zilizokiukwa kwa makusudi na Adara ya $anyama(ori kiasi 4ha kusababisha mgogoro baina ya &almashauri ya $ilaya ya eatu na mwekezaji katika @ori la &i%adhi ya 9amii la akao (amoja na kuwawajibisha $atendaji wa Adara ya $anyama(ori waliosababisha mgogoro huo!

=,!Kwa kuwa, Kamati imebaini kwamba, migogoro wanayokumbana nayo wa%ugaji kutokana na kuingiza mi%ugo kwenye maeneo ya hi%adhi (amoja na kero nyingine ni kutokana na kukosekana kwa miundombinu sahihi na endele,u kwa ajili ya ustawi wa mi%ugo, na kwa kuwa, heshimiwa .ais aliunda $izara mahsusi kwa ajili ya kuendeleza "ekta ya i%ugo n4hini akitambua umuhimu wa "ekta hii kwa u4humi wa Tai%a, na kwa kuwa, Tanzania ni ya (ili kwa wingi wa mi%ugo Barani +%rika, ni wazi kwamba adha wanazokumbana nazo wa%ugaji ni matokeo ya kutokuwe(o sera na mi(ango madhubuti ya muda m%u(i na mre%u! &i,yo basi, Bunge linaishauri "erikali kumtaka $aziri wa aendeleo ya kuji(ima na kuona iwa(o bado anastahili kuendelea kuhodhi wadhi%a alionao! i%ugo na ',u,i,

=,i!Kwa kuwa, Kamati imebaini kuwa baadhi ya madai yaliyotolewa na $aheshimiwa $abunge Bungeni wakati waki4hangia &oja ya he! "aidi #kumba ilikuwa ni ya kweli8 na kwa kuwa yaliyoelezwa katika madai hayo hayana uhusiano na -(eresheni Tokomeza kwani yalitokea kabla ya -(eresheni hiyo8 hi,yo basi, Bunge linaazimia kwamba, $aheshimiwa $abunge kuwa makini zaidi na ku%anya uta%iti kwa lengo la kuhakikisha mi4hango yao inakuwa sahihi na inalenga hoja mahsusi iliyo mbele ya Bunge! @.0 ("T"M"%(/ Mheshimi$a %pika, jukumu uliloikabidhi Kamati hii lilikuwa zito na lilihitaji umakini mkubwa na muda wa kutosha katika kulitekeleza! Kutokana na u%inyu wa muda na mazingira magumu wakati wa kutekeleza jukumu hilo, Kamati inakiri kwamba haikuweza kutembelea maeneo yote yaliyoathirika na zi(o lawama kutoka kwa baadhi ya wanan4hi kwamba, Kamati haikuweza ku(ita katika maeneo yao! Mheshimi$a %pika, Kamati ina(enda kuwahakikishia wanan4hi wote kuwa, ku(itia taari%a mbalimbali za ,iongozi na wawakilisihi wa waathirika mbele ya Kamati, malalamiko yao yamezingatiwa na ku%anyiwa kazi! Mheshimi$a %pika, kama tuli,yoeleza katika maelezo yetu ya utangulizi, Kamati inaamini na kote tuliko(ita wanan4hi wanakiri kuwa, lengo na azma ya "erikali kuanzisha -(eresheni Tokomeza 'jangili lilikuwa jema kwani lililenga kunusuru maliasili zetu kwa ajili ya maendeleo endele,u na heshima ya Tai%a letu! Mheshimi$a %pika, Kamati inaamini maelezo yote yaliyotolewa na wanan4hi (amoja na ,iongozi wao yalikuwa na dhamira njema! +idha, ma(endekezo yaliyotolewa na Kamati yanalenga kuisaidia "erikali ku4hukua hatua za makusudi na haraka kurekebisha kasoro zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa -(eresheni Tokomeza 'jangili, ili kue(uka kutokea kwa ,itendo ,ina,yoashiria ukiukwaji wa misingi ya haki za binadamu na 'tawala Bora n4hini! Mheshimi$a %pika, na(enda kukushukuru wewe bina%si kwa dhati kutokana na kuiamini Kamati yangu na kuikabidhi jukumu hili zito! &ii ni ishara tosha kwamba una imani na $abunge wako na kwamba wanaweza ku%anya kazi kwa niaba yako! Mheshimi$a %pika, (ia nitoe shukrani za dhati kwa Katibu wa Bunge, 2kt! Thomas 2idimu Kashilillah, kwa kuiwezesha Kamati hii ku%anya kazi yake ,izuri na kuikamilisha kwa wakati!

+idha, kwa namna ya (ekee na(enda kuwashukuru makatibu walioihudumia Kamati hii wakiongozwa na #dugu Theonest K! .uhilabake ambao ni #dugu >erald agili, #dugu <ha4ha #yakega na #dugu "tanslaus Kagisa! +idha, nina(enda kuwashukuru ,iongozi wa ikoa, $ilaya, Kata na Hijiji ambao walionyesha ushirikiano mkubwa Kamati ili(otembelea maeneo yao! Mheshimi$a %pika, mwisho lakini si kwa umuhimu Kamati inawashukuru watumishi wa%uatao8 #dugu "il,a <hindandi, #dugu #digwako waigaga, #dugu Hi4toria izengo, #dugu >ermina agohe na watumishi wengine ambao kwa namna moja au nyingine walishiriki katika kuihudumia Kamati hii hadi inakamilisha taari%a hii! Mheshimi$a %pika, naom,a kutoa ho*a. ;ames >aud !em,eli, M, M+0N20K"T" KAMAT" 2A KU>UMU 2A BUN 0 2A A)>(", MA!"A%"!" NA MA#"N ")A

You might also like