Masheikh Wamweka Njia Panda Rais Shein

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1126 RAJAB 1435, IJUMAA , MEI 23-29, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
JUMUIYA ya Maimamu
Zanzibar, imemwomba
Rai s Al i Mohammed
Shein kuwa mbali na
wasaliti wasioitakia mema
Masheikh wamweka njia panda Rais Shein
Wamwambia damu ikimwagika atajibu
Asije irejesha Zanzibar kwa Aus, Khazraj
Asome kutoka kwa Aman Karume, Maalim
Sasa wachawi kutafuta
watoto wa Boko Haram
Na Mwandishi Wetu
Inaendelea Uk. 3
Zanzibar.
Watu hao wametajwa
kuwa ni wal e wana-
CCM, ambao wanapiga
vita Serikali ya Umoja wa
Kutumia tunguri, hirizi, mikuki, mishale
Rais asakata rumba taifa likiwa msibani
Jeshi latesa, lauwa maelfu ya Waislamu
WACHAWI na waganga wa kienyeji, wanasema
sasa wanaingia kazini kuwasaka wasichana
wanaodaiwa kutekwa na Boko Haram kwasababu
Polisi na jeshi wameshindwa.
Washinikiza kurejea zama za Janjaweed
Wapingana na msimamo wa Rais Shein
Siri ya CCM kumgeuka Warioba yafchuka
Kisonge, wahafdhina
wamechoka na amani
MUHADHIRI wa Kiislamu
nchini Sheikh Mohammed
I dd, amet aka dhul ma
ikomeshwe na isirudiwe
tena ili kuleta amani nchini.
Sheikh Mohammed Idd
ataka dhulma isirudiwe
Waislamu wasibaguliwe katika elimu
Ayasema haya mbele ya Mkuu wa Mkoa
Na Bakari Mwakangwale
A m e s e m a k u w a
huko nyuma Wai sl amu
wa l i b a g u l i wa k a t i k a
e l i mu huku Wa kr i s t o
wakipendelewa.
Akasema, huko ni sawa na
kuwanyima Waislamu haki
zao na pasipo haki hakuwezi
kuwa na amani.
Sheikh Mohammed Idd,
maarufu kama Abu Idd,
ametoa tahadhari hiyo mbele
ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Mh. Said Meck Sadik,
Sheikh
Mohammed Idd
Inaendelea Uk. 3
Mtume (s.a.w) amesema, Mahujaji
wanarudishiwa kila walichokitumia
katika Hijja, shilingi moja kwa milioni
moja. Hivyo Hijja ni kitega uchumi cha
uhakika. Hawezi kuwa fakiri mwenye
kuwekeza katika Hijja. Karibuni Ahlu
Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri
na huduma bora. Gharama zote ni Dola
4,500. Njoo ukamilishe Dini yako na
uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana
nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777
- 462022; Zanzibar: 0777468018/06853661
41/0657606708.
(5) TAJIRIKA KWA KUHIJJI!
BAADHI ya wachawi na waganga wa kienyeji wakiwa na silaha zao sasa
wameruhusiwa kuingia kazini kuwasaka wasichana wanaodaiwa kutekwa na Boko
Haram kwasababu Polisi na jeshi wameshindwa. Habari kamili Uk. 6.
Soma Uk. 4
2
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
TATIZO la msongamano
k a t i k a b a r a b a r a
mbalimbali za Jiji la Dar
es Salaam, limeonekana
kuwa sugu kadiri muda
unavyokwenda.
Tatizo hili ambalo ni
la muda mrefu sasa,
l i mesababi sha adha
na hasara kubwa kwa
wakazi wa jiji hili serikali
na sekta za uzalishaji
kwa ujumla.
Kwa kipindi chote
tangu kuanza kujitokeza
kwa tatizo hili katikati
ya mwaka 1995, wakazi
wa jiji hili wamelazimika
kupoteza muda mwingi
barabarani na fedha zaidi
kwa ajili ya nauli.
Kat i ka mi aka ya
hi vi kari buni baada
ya kuingia nchini kwa
wingi pikipiki na Bajaj
kutoka China na India,
wakazi hawa wamekuwa
wakilazimika kutumia
fedha nyingi kwa ajili ya
nauli, ikiwa ni jitihada za
kujaribu kuwahi katika
shughuli zao za kila siku.
Pamoj a na serikali
kutambua kuwepo kwa
tatizo hili lililodumu
kwa miaka mingi na
kusababi sha hasara
kubwa kiuchumi kwa
wakazi na serikali kwa
ujumla, kwa muda wote
huo serikali imeshindwa
kuchukua hat ua za
haraka na za uhakika
kumaliza tatizo hili.
Tumeshuhudia katika
kila mwaka wa bajeti
kwenye mikutano ya
Bunge l a J a mhur i
ya Muungano, tatizo
hili likipigiwa kelele
na wabunge. Serikali
imekuwa ikitoa ahadi
kadha wa kadha na
hata kuahidi kutenga
bajeti ili kuhakikisha
m s o n g a m a n o
unapungua au kwisha
kabisa.
Barabara kadhaa za jiji
na pembezoni zimekuwa
zikiainishwa na serikali
na kutengewa baj eti
Bajeti ya safari hii itumalizie
msongamano Dar
katika kila mwaka wa
mkut ano wa Bunge
la Bajeti, ikiwa ni njia
ya kuondoa tatizo la
msongamano.
Baadhi ya barabara
hizo ni kama ile ya Mbezi
Goba hadi Tegeta, Mbezi
Kinyerezi, Kimara Chuo
Kikuu, Kimara River
side na nyinginezo.
Hata hivyo kwa kipindi
chote cha kutengwa
bajeti na kutolewa ahadi
na seri kal i , hakuna
barabara hat a moj a
katika hizo zilizotajwa
ambayo i mej engwa
au hata kuanza ujenzi
hadi leo. Tunaona tu
barabara zikitajwa na
bajeti kupitishwa bila
utekelezaji.
Katika Bunge la safari
hi i hal i i mewaki f u
wabunge, i mef i ki a
mahal i i meml azi mu
Mbunge wa kuteuliwa,
James Mbatia (NCCR-
Mageuzi) kutaka shida
ya msongamano Dar
itangazwe kuwa ni janga
la kitaifa, kutokana na
usumbufu wanaoupata
wananchi, lakini pia
kulingana na hasara
linayoingia Taifa.
Takwimu zinaeleza
kuwa msongamano Dar
umekuwa ukisababisha
hasara ya shilingi bilioni
tano kila siku, sawa na
shilingi trilioni 2 kwa
mwaka.
Hasara hii ni pamoja
n a wa t u k u t o k a
maeneo mbalimbali ya
j ij i kuchelewa kutoa
huduma hali kadhalika
na bidhaa kuchelewa
kuwafikia wanunuzi
kutokana na barabara
kutopitika kwa haraka.
Pamoja na kwamba
barabara ya Morogoro
i n a j e n g wa u p y a
kuruhusu huduma ya
mabasi ya mwendo
kasi, bado tuna hakika
k wa mb a h u o s i o
mwarobaini wa kumaliza
tatizo la msongamano
Dar es Salaam.
Sot e t unaf ahamu
kwamba mji unapanuka
na i da di ya wa t u
inaongezeka na idadi
ya magari na vyombo
vingine vya moto pia
inaongezeka.
Kuzuia pikipiki na
Bajaj kamwe haiwezi
kuwa sul uhu, zai di
inaongeza hasara kwa
taifa na raia kwa ujumla.
Tunavyoona, kuna
haja ya serikali kuwekeza
kikamilifu katika ujenzi
wa miundo mbinu mipya
ya jiji, hususan barabara
za pembezoni mwa jiji
sambamba na kusogeza
huduma za ki j ami i
maeneo ya pembezoni.
Wa b ung e k a t i k a
michango yao wametaka
mi u n d o mb i n u y a
barabara na reli iboreshwe
i l i kuondokana na
adha hiyo, wakiwamo
wanaotaka hivi sasa
serikali inunue treni ya
kisasa kwa ajili ya usafri
wa uhakika na rahisi
jijini.
Wa po wa l i o t a k a
s er i kal i kuanzi s ha
usafiri wa bahari, kwa
mfano kutoka maeneo ya
Bandari ya Dar es Salaam
kuelekea maeneo ya
Tegeta na Bagamoyo, ili
barabara ya Ali Hassan
Mwinyi ipungue mzigo.
Kwa Dar es Salaam
barabara sugu ni za
Nelson Mandela ambayo
shida kubwa ni malori.
Nyingine ni Nyerere,
Ki l wa, Al i Has s an
Mwinyi na barabara ya
Morogoro.
Tunavyoona, kuna
haja sasa serikali kujenga
barabara nyingine kwa
ajili ya malori kutoka
bandarini, barabara ya
Mandela ibaki kwa ajili
ya matumizi kawaida
kut okana na kuwa
katikati ya makazi ya
watu.
Mal ori ya mi zi go
ambayo kwa ki as i
kikubwa yanasababisha
ms o n g a ma n o s a a
za asubuhi na j ioni,
y a we k e we mu d a
ma a l u m, a mb a o
unaweza kuwa saa nne
usiku kutoka bandarini
na saa tatu asubuhi
kuingia jijini.
Katika siku za nyuma,
Waziri Mkuu mstaafu,
Bw. Edward Lowassa
aliona tatizo hili na
akalitolea tamko kwamba
malori yaingie bandarini
kuanzia saa nne asubuhi
wakat i waf anyakazi
na watumiaji wengine
wameshapita kwenda
k a z i n i n a ya t o k e
bandarini saa tatu usiku
ili kutoa nafasi kwa
waf anyakazi ambao
wanakuwa wamechoka,
warudi majumbani bila
foleni.
Ha t a hi vy o Bw.
Lowassa aliondoka na
mipango yake.
Tuseme tu kwamba,
kama serikali ina nia
ya kweli ya kuondoa
msongamano j i j i ni ,
katika bajeti ya safari
hii ya Wizara ya Ujenzi,
t una i t a ka s e r i ka l i
kutekel eza mi pango
yake kwa vitendo. Kwa
kuanzia tunataka sasa
barabara za pembezoni
zilizotajwa hapo awali
kujengwa kwa viwango
kama inavyoahidiwa
na si vinginevyo. Hizi
z i t a pung uz a s a na
msongamano barabarani
hususan ile ya Morogoro,
Mandela na Bagamoyo
kuanzia Mwenge hadi
Tegeta.
Tunataka ratiba sahihi
ya malori kutoka na
kuingia jijini inawekwa,
ili kutoa nafasi kwa
wakazi wanaot umi a
barabara za Morogoro
na Mandel a kuwahi
kwenda katika shughuli
zao za uzalishaj i na
kurejea majumbani bila
kupoteza muda mwingi
kwenye foleni
Je, ndoa yako imekosa furaha? Haina
upendo? Au Haielewekieleweki?
Je, unamashaka na hatima ya ndoa yako?
Je, umempata mchumba sasa unajipanga
kuoa au kuolewa?
Usipate taabu wala usitafute limbwata
(utapata madhambi bure!!), lipo jambo
wewe na mwenza wako hamjalifahamu
bado. Jambo hilo ni Sayansi ya Mahusiano
Katika Ndoa. Ukiifahamu sayansi hiyo,
ndoa yako itarudi upya (Insha Allah)!!!.
Kama unashida inayohitaji ushauri tuma
ujumbe kwenye simu namba 0716 292 081,
au barua pepe kakawasapoti@yahoo.com.
upate ushauri. Wale ambao shida yao katika
ndoa itaonekana ni kubwa zaidi, Huenda
wakashauriwa waonane uso kwa uso na
Kakawasapoti au Dadawasapoti kwa ushauri
zaidi. Karibu turekebishe ndoa zetu tujenge
umma bora. Umma huanzia kwenye ndoa!!
Majibu Ndoa zenye Shida
SHURA YA MAIMAMU
Inawatangazia Waislamu wote
kuhudhuria katika Itkafu itakayofanyika
Tarehe 25/05/2014 katika Msikiti wa
Mtambani. Njoo tujikurubishe kwa
Allah (s.w) katika Itkafu hiyo.
Pia manakumbushwa kuwa Terehe
26/05/2014, ni kesi ya Shekh Ponda
Issa Ponda, katika Mahakama Kuu
ya Dar es salaam.
Amir wa Itkaf
Itkaf Masjid Mtambani
3
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Habari
Masheikh wamweka njia panda Rais Shein
Inatoka Uk. 1
Kitaifa (SUK), na kutaka
ivunjiliwe kwa mbali.
Ai dha, Rai s Shei n
amekumbushwa kuwa
ajue atakuwa na swali la
kujibu (masul) mbele ya
Mwenyezi Mungu iwapo
damu ya Mzanzi bar i
i t a m w a g i k a k w a
kuendekeza ubinafsi wa
baadhi ya watu wanaotaka
kurejesha siasa za chuki,
uhasama na visasi.
JUMAZA imedai kuwa
wanasiasa hao hivi sasa
wanataka kuungwa mkono
na Rais Shein ili atumie
msuli wa mamlaka yake
kufanikisha usaliti wao
huo.
J U M A Z A
i m e s h a n g a z w a ,
k u s h t u s h wa n a
kusi ki t i shwa sana na
baadhi ya wanasi asa
wanaopiga vita SUK na
kutoa kauli za wazi wazi
na azma yao ya kupeleka
hoja binafsi katika Baraza
la Wawakilishi kuondoa
SUK na eti kukuomba
wewe binafsi uwaunge
mkono katika mpango wao
huo ambao utaielekeza
Z a n z i b a r k a t i k a
mtafaruku.
I mes ema J UMAZA
katika barua yake kwa
Rais Sheikh.
B a r u a h i y o
kumbukumbu namba
JUMAZA/GF/VO.2/014 ya
Mei 19, 2014, imewataja
wanasi asa wanaot aka
kuvunja Serikali ya Umoja
wa Kitaifa kuwa ni watu
wanaojali maslahi yao
binafsi na wenye mioyo
ya chuki na hasadi.
Kwa ubi naf si wao,
wanasiasa hao wanadaiwa
kutokujali maslahi ya nchi
na watu wake, ndio maana
wanataka Zanzibar irudi
ilikotoka katika siasa za
uhasama, chuki na uadui.
JUMAZA i natamka
wazi kuwa hawa ni maadui
wa Zanzibar na Wazanzibari
na wanastahiki kupigwa
vita.
I l i sema sehemu ya
barua ya JUMAZA na
kusisitiza kuwa Waislamu
na Wazanzibari hawako
tayari kurejeshwa huko
kwa vyovyote vile.
Ikieleza ni kwa nini
wameamua kuandi ka
barua hi yo, J UMAZA
wamesema, wameamua
kuchukua hatua hii baada
ya kuona katika siku hizi
za karibuni wamejitokeza
hadharani baadhi ya
wanasiasa wanaotishia
mustakbali, ustawi, amani,
utulivu na mshikamano wa
Waislamu na Wazanzibari
kwa ujumla kwa kutoa
kauli za uchochezi wa wazi
wazi, ubaguzi na matusi ya
hadharani.
Mheshi mi wa Rai s,
kwa heshima JUMAZA
inawakumbusha viongozi
wetu wa juu kukumbuka
kuwa walichukua ahadi
mbele ya Mwenyezi Mungu
(S.W) kulinda maelewano
ya Wazanzibari, utulivu
na amani ya nchi. Kwa
hivyo tunaomba wanasiasa
hao wadhi bi ti we kwa
masl ahi ya Zanzi bar.
Aidha, viongozi wetu na
wanasiasa wanapaswa
kukumbuka kuwa wao
wat akuwa Masuul i
mbele ya Mwenyezi Mungu
(S.W) kwa maafa yoyote
yatakayotokea chini ya
uongozi wao na waelewe
kuwa Zanzibar sio mali ya
chama chochote cha siasa
bali ni ya Wanzibari wote
popote walipo.
JUMAZA wamesema,
Wazanzibari walikubali
kuanzishwa Serikali ya
Umoja wa Kitaifa (SUK) ili
kudumisha amani, utulivu,
maelewano, mashirikiano
na umoja miongoni mwa
Wazanzibari.
L a k i n i p i a
wakakumbusha kuwa
SUK imejenga mazingira
mazuri ambapo nchi yetu
i mepi ga hatua kubwa
za kimaendeleo chini ya
uongozi wa Rais Shein.
J U M A Z A
w a m e k u m b u s h a
Wazanzibari wakumbuke
k u wa k u l i k u wa n a
uhasama, chuki na vitendo
vya kutengana vilivyoletwa
na siasa za CCM na CUF.
Watu wakapoteza maisha
na mali zao.
Mheshi mi wa Rai s,
maafa ya siasa za uhasama
yal i f i ki a ki l el e chake
mwaka 2001 kwa kutokea
umwagaj i mkubwa wa
damu kwa mami a ya
Wazanzibari wasio na hatia
waliopigwa risasi za moto
katika maandamano ya
amani kule Pemba na hapa
Unguja. Aidha umwagaji
huo wa damu ulifuatiwa
na vitendo viovu na vya
kinyama katika historia
ya nchi yetu vikiwemo
uporaji wa mali, kubakwa
wasichana mbele ya wazazi
wao na wake za watu mbele
ya waume zao dhulma
nyenginezo. Walisema
JUMAZA.
Kut okana na uovu
kama huo, ndio maana
JUMAZA ikatoa nasaha
kwa al i yekuwa Rai s
wa Zanzi bar j uu ya
kukomesha hali hiyo na
wakashiriki kwa dua hadi
SUK ilipopatikana.
Waislamu walijitokeza
pamoja kutoa msimamo
wao kuwa wanasi asa
wameshi ndwa kul et a
ufumbuzi na maeleweano
hi vyo nj i a pekee ni
kurudi katika Dini yetu.
Mheshimiwa Amani Abeid
Karume aliyekuwa Rais
wa Zanzibar wakati huo
aliukubali wito huo na
kuitisha kikao cha viongozi
wa Dini kilichofanyika
Ikulu. Mheshimiwa Amani
aliwaeleza Masheikh na
viongozi wa Dini azma
yake ya kutaka kuleta
maelewano ya Wazanzibari
na kuondosha siasa za
uhasama. Masheikh na
viongozi wa Dini kwa kauli
moj a waliunga mkono
azma hiyo na kuahidi
kushirikiana naye kufkia
lengo.
Ni kwa sababu hiyo
JUMAZA wanasema, hata
sasa wanaungana na Rais
Shein na kumpa kila aina
ya msaada na ushirikiano
kuhakikisha kuwa wabaya
wa Zanzibar hawaivurugi.
Wa k a ma l i z i a k wa
kuielezea hali ya Zanzibar
kama ile ya Aus na Khazraj
wa l i o k u wa ma a d u i
lakini wakanufaishwa na
Uislamu.
Mheshi mi wa Rai s,
tukio hili halikutofautiana
na kisa cha makabila ya
Aus na Khazraj ambao
wal i kuwa ni maadui
wa kupigana vita kama
i l i vyokuwa Wai sl amu
wa Zanzibar. Kisa hiki
kinaelezwa kwa ufupi
katika aya zifuatazo.
Na s hi kamaneni
kwa kamba ( Dini ) ya
Mwenyezi Mungu (S.W)
nyote, wala msiachane
na kumbukeni neema ya
Mwenyezi Mungu (S.W)
iliyo juu yenu. ( zamani
) ml i kuwa ma a dui ,
naye akazi ungani sha
nyoyo zenu, hivyo kwa
neema yake, mkawa
ndugu..
(AALI IMRAN 103)
Sheikh Mohammed Idd ataka dhulma isirudiwe
Inatoka Uk. 1
katika ukumbi wa Lamada,
Ilala, akiongea katika semina
ya Masheikh na Maimamu
katika kuwajengea uwezo
katika kazi ya Daawa, Mei
17, 2014.
Abuu Idd, ambaye pia
ni Mratibu wa Taasisi ya
Masheikh na Wanazuoni wa
Kiislamu Tanzania, akiainisha
misingi kadhaa ya amani
al i sema, kat i ka mi si ngi
ya amani yapo ambayo
yanatakiwa kufanywa na
yapo ambayo yanatakiwa
kuachwa.
Abuu Idd, alisema miaka
ya nyuma kuwa kundi moja
la dini nchini lilinyimwa ama
kubaguliwa katika sekta ya
elimu ambapo watu wake
wal i l azi mi shwa kui ngi a
katika Ukristo, ili waweze
kupata elimu.
Alisema, jamii yoyote ile
ikitaka kuishi kwa amani
i na t a ki wa i s i ba gua ne
kwa misingi ya Dini, kila
mmoja aachiwe aamini dini
aipendayo lakini asibaguliwe
katika kupata haki zake za
kikatiba kwa sababu ya dini
yake.
Huko nyuma kuna
watu walinyimwa elimu
a mb a y o n i h a k i ya o
mpakawakal azi mi s hwa
kuingia katika Ukristo na
majina yao leo yanashuhudia
hayo. Unakut a j i na l a
mwanzo ni la Kikristo lakini
majina ya baba, mama na la
babu yote ni ya Kiislamu,
ukiuliza kulikoni, unaambiwa
, kama si Mkristo
husomeshwi. Hayo yamepita
tusiyarudie. Alisema Abuu
Idd.
Al i sema, mat okeo ya
kubaguliwa katika dini ni
yule anayebaguliwa kuj a
kulipiza, mwisho wa siku ni
kujikuta watu wanaishi katika
Taifa la kubaguana jambo
ambalo ni hatari.
Ab uu I dd, a l i s e ma
watawala kujipamba na sifa
ya uadilifu ni moja ya msingi
wa amani kwani kila raia
anahitaji kutendewa uadilifu
katika jamii, ili kuwaepusha
wa n a j a mi i k u a mu a
kujichukulia sheria mkononi
kwa kutotendewa haki.
Aki f af anua maana ya
uadilifu, Abuu Idd, alisema
ni ile hali ya kumtendea kila
mmoja vile anavyostahiki,
kumpa anac hos t ahi ki
mwenye kustahiki kupewa
na kumnyi ma na hat a
kumnyanganya asichostahiki
m w e n y e k u s t a h i k i
kunynganywa.
Alisema, uadilifu kwa
viongozi ni msingi mkubwa
kwani j ami i i l i yozoea
kujichukulia sheria mkononi,
ni moja kati ya vichocheo
vinavyopelekea kukata tamaa
kunakochangiwa na viongozi
kukosa uadilifu.
Pale ambapo raia mnyonge
atakapo amini kwamba hana
kiongozi katika ngazi yoyote
Serikalini atakayemuwezesha
kupata haki yake, basi hali
ya kukata tamaa inaweza
kumfikisha mdhulumiwa
huyu kujichukulia sheria
mkononi na kupelekea amani
kupotea. Alisema Abuu Idd.
Al i s ema, ms i ngi wa
amani ni kuvumiliana na
kuheshimiana katika mambo
ya Ki i mani , na kwamba
ka t i ka ms i ngi huo ni
muhimu jamii ikatambua
kuwa mwanadamu yoyote
kwa imani anayoiaminikwa
mtazamo wa dini yake huona
kuwa ndiyo sahihi kuliko
mitazamo mingine.
Al i sema, kama wewe
unavyoiona imani yakokuwa
ipo sahihi na nyingine zote
ni batili, unatakiwa ukubali
kuwa na wenzako pi a
wanaziona imani zao zipo
sahihi na yako ni batili vile
vile.
Kwa muktadha huo,alisema
ili amani idumu ni lazima kila
mmoja abakie na imani yake
lakini pia aiheshimu imani
ya mwenzake, na ikitokea
muumini mmoja akipenda
kumshawishi mwenye imani
nyingine ajiunge na imani
yake, basi hana budi kufanya
hivyo kwa nidhamu.
Alisema, inabidi iwe hivyo
kut okana na mazi ngi ra
kwamba yule anayelinganiwa
huona kama ni uasi wakati
huyo a na ye ml i nga ni a
mwenzake, anakuwa na
imani kuwa kufanya hivyo
kwake ni ibada.
Aidha, Abuu Idd, alisema
amani pia inalindwa kutokana
na uwepo wa umakini wa
upashaji wa habari kupitia
vyombo vya habari, kwani
alisema huo pia ni msingi
wa kupelekea uwepo wa
amani na kwenda kinyume na
maadili yake huingia katika
moja ya aina ya uharibifu.
Alisema, katika matukio
kadhaa, wapashaji wa habari
hutokea wakapasha habari
kwa msisitizo wa uvunjifu wa
amani utadhani kwamba wao
wanaishi katika nchi au sayari
nyingine.
Wa k a t i mwe n g i n e
hutokea jambo kuwa dogo
tu basi kama wewe haupo
eneo l a t uki o unaweza
kusema leo hakuna maisha
yatakayoendel ea kumbe
sivyo hivyo ni kutokana na
jambo husika likapendwa
na kushabikiwa na vyombo
husika. Alisema Abuu Idd.
Pia Abuu Idd, alisema
umakini wa viongozi wa dini
ni msingi wa kuwepo amanina
kwamba kutokuwepo kwa
amani katika jamii, kuna
tokana na kwamba viongozi
Inaendelea Uk. 4
4
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Habari
Sheikh Mohammed Idd
Inatoka Uk. 3
hao kuaminiwa na j amii
kuwa wa na z obus a r a
kuliko viongozi wengine
haswa ikizingatiwa kuwa
wao (vi ongozi wa di ni )
huongozwa na vi t abu
vitakatifu.
Alisema, kiongozi wa
dini anatakiwa ajitambue
kuwa anaaminiwa kupitia
nguvu ya kiimani, hivyo si
sahihi kuthubutu kujivunjia
heshima hiyo, kwani kiongozi
wa dini ni mlinzi wa roho na
kiongozi wa Serikali ni mlinzi
wa kiwiliwili.
Vi n g o z i wa d i n i
wasitumie nyadhifa zao za
kidini kuwashawishi wafuasi
wao waliowavuna kupitia
imani ili wawaingize katika
makundi ya wanasi asa
hi yo si o sahi hi kwani
watu hao wanamapenzi
na uanachama wa vyama
tofauti hivyo kuwalazimisha
kupenda chama fulani ni
kutowatendea haki. alisema
Abuu Idd.
Al i sema, umaki ni wa
viongozi wa dini ni muhimu
kwani wao ni kama chumvi
inayoboresha chakula ili kiwe
na ladha nzuri, hivyo basi
kama wao wakiharibika ni
vigumu kutengenezwa.
Naye Katibu Mkuu wa
Taaisis hiyo, Sheikh Hamisi
Mataka, alisema kazi ya
Dawa inatakiwa kufanywa
kwa kuf ua t a mi s i ngi
i l i yowekwa na Ui sl amu
wenyewe, kwa hekma na kwa
kutumika mawaidha mazuri.
Katika hali hiyo alisema,
inatakiwa kufanywa kwa
kuchunga mahusiano ya
kijamii lakini halikadhalika
inapaswa kuhakikisha amani
na ut ul i vu unaendel ea
kuwepo.
Masheikh na Maimam
ndimi zao ni ndimi zenye
kuathiri, wakiwaongoza watu
vyema jamii ile itakwenda
vizuri na kinyume chake
ndimi hizo zikitumika vibaya
ni dhahiri kuwa migogoro
na mambo yasiyopendeza
yatai ngi a kati ka j ami i .
Alisema Shkh. Mataka.
SASA imekuwa dhahiri
k u wa wa n a o d a i wa
kuwa CCM wahafidhina
wamechoka na amani na
wanataka kurejea katika
zile zama za chuki, uhasama,
vi s as i na vi pi go vya
Janjaweed.
Hiyo imedhihiri kufuatia
hatua ya CCM hao kupaza
sauti wakitaka Serikali ya
Umoja wa Kitaifa ivunjiliwe
kwa mbali.
Waki onyesha kuunga
mkono suala hilo, wakongwe
wa CCM, Kisonge wameibuka
na bango wakiwapongeza
vijana wa CCM kwa kile
walichosema ni ujasiri wao
wa kuikataa Serikali ya
Umoja wa Kitaifa.
Ukipita katika ofisi za
Ki songe, ut akut a ubao
wao ukiwa na maandishi
yasemayo:
Hongera Vi j ana wa
CCM kwa kukataa Serikali
ya Kitaifa isiyokuwa na
masilahi. Muungano Daima.
Awal i mnadhi mu wa
Baraza l a Wawaki l i shi
Zanzibar (BLW), Salmin
Awadh Sal mi n ( CCM)
amenukul i wa aki s ema
kuwa wawakilishi wa CCM
wanajiandaa kuwasilisha
hoja binafsi kwenye Baraza
hi l o, i l i kuwapa naf asi
wananchi waulizwe iwapo
wanataka kuendel ea na
Serikali ya Umoja wa Kitaifa
(SUK), au la.
Aliyasema hayo wakiti
akihutubia mkutano wa
hadhara wa chama hicho
ul i oongozwa na Kati bu
Mkuu wake, Abdulrahman
Kinana kwenye Viwanja vya
Kibandamaiti, Unguja hivi
karibuni.
Salmin aliye Mwakilishi
wa Magomeni, amesema ni
vyema wananchi wakaulizwa
kama bado wanaut aka
mfumo huo au ule wa zamani
urejeshwe.
Kitendo cha viongozi
tuliounda nao umoja wa
kitaifa kupinga Muungano
na Mapinduzi ya Zanzibar
hakivumiliki, tunaona ipo
haja kila upande ubaki na
msi mamo wake kul i ko
kujenga urafki wa mashaka,
a me nuk ul i wa S a l mi n
akisema katika mkutano huo.
Kat i ka hot uba yake,
Salim alimwomba Rais wa
Zanzibar, Dk Ali Mohamed
Shein kuunga mkono hoja
hi yo i takapowasi l i shwa
ili kutoa nafasi mpya ya
kidemokrasia kwa wananchi
wake kujua kama wanataka
mf umo wa sasa au wa
zamani.
Kati bu wa Iti kadi na
Uenezi wa CCM, Nape
Nnauye al i unga mkono
hoja hiyo akisema kuwa ni
jambo muhimu kuitishwa
kura ya maoni ili wananchi
wapate nafasi ya kuulizwa
kama wanataka mfumo wa
Serikali iliyopo au la kabla
Kisonge, wahafdhina wamechoka amani
Na Mwandishi Wetu ya kufanyika Uchaguzi Mkuu
mwakani.
Kufuatia kauli hizo zenye
msukumo na shinikizo la
kutaka kuvunja SUK, siku ya
tarehe 21/5/2014 katika Kikao
cha Bajeti kinachoendelea
katika Baraza la Wawakilishi,
Mwaki l i s hi wa J i mbo
l a Mi cheweni al i t amka
kinagaubaga katika kikao
hi cho kuwambi a CCM,
kama washachoka na amani
iliyopo na waulete haraka
huo muswada wa kuikataa
Serikali ya GNU.
Hata hivyo, kama hilo
litatokea, watakaoumia ni
wananchi, wanaodhaniwa
k u wa wa p i n z a n i wa
CCM ambapo matukio ya
kupigwa, kuporwa na hata
kuuliwa hufanywa na watu
wanaodaiwa kudhaminiwa,
kuungwa mkono na kulindwa
na serikali/CCM.
Kufuatia hatua ya Spika
Amir Kifcho kuitisha kikao
cha Wawakilishi kutoka CCM
wiki hii tarehe 21/5/2014
baada ya kikao cha jioni,
akisema kuwa kuna maagizo
ya Chama yanat aki wa
kuj adi l i wa, i nadhani wa
kuwa huenda katika kikao
hicho kulij adiliwa suala
hilo la kuikataa SUK na
waki kubal i ana kuandaa
hoja binafsi ya kuwakilisha
Barazani.
Yote haya yanajiri licha
ya kauli ya Rais Shein ya
hivi karibuni akionyesha
kuwa pamoja na changamoto
nyingi, lakini SUK imeleta
mafanikio makubwa.
Hivi karibuni katika kikao
cha Bunge Maalum la Katiba,
ilidhihiri wazi kuwa kuna
CCM ambao bado wamejaa
mawazo ya ubaguzi na shari.
Ilikuwa ni katika Bunge
hi l o ambapo baadhi ya
waj umbe kutoka Unguj a
walitamka kauli za wazi za
kuwabagua Wapemba.
Ni kutokana na kauli
hi zo, kat i ka Ki kao cha
Baj et i ki nac hoendel ea
kuliulizwa suala na Mbunge
wa Chambani , aki sema
kuwa baadhi ya Wabunge
wa Bunge la Katiba, hasa
Kutoka Unguja walitamka
kuwa Wapemba Wahame
Unguja, kwa hiyo akataka
kujua nini kauli ya Serikali.
Mwakilishi huyo alitaka
pia kujua kauli ya Serikali
juu ya wabunge waliohoji
nakutaka kujuwa Mkataba
wa Muungano kati yaUnguja
na Pemba.
Jawabu kutoka kwa Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Pili wa Rais, Mohammed
Aboud, l i l i kuwa kuwa
masuala ya Bunge la Katiba
yasiletwe Barazani kwani
yatawagawa Wawakilishi.
Hata hivyo akasisitiza
kuwa Wawaki l i s hi na
Wazanzibari wote ni wamoja,
bila kuangalia Uunguja na
Upemba.
Sie sote ni wamoja hapa.
Unguja,Wapemba ni kwao
wana haki kukaa popote na
Waunguja, Pemba ni kwao
wana haki ya kuishi popote,
na kuhusu Mkataba kati ya
Unguja na Pemba, huo haupo
kwani Visiwa hivi ni vimoja.
Baada ya majibu ya Mhe.
Mohammed Aboud, naye
Spika akasimama kusizitiza
na kunasihi kuwa hataki
kusikia kauli za kibaguzi
ndani ya Baraza lake na
kunasihi hata nje ya Baraza
Viongozi Wajizuwie kwani
Wazanzi bari ni Wamoj a
haifai kubaguwana.
Wakati huo huo, si ri
zinaanza kufchuka ni kwanini
ghafla CCM waligeuka na
kupinga muswada wa Katiba
Mpya uliowasilishwa na Jaji
Warioba wakati kimsingi,
huo ni muswada wa serikali
ya CCM.
Inaelezwa kuwa serikali
na CCM wenyewe awali
walikubali kuwa ni kweli
hakuna namna ya kukabiliana
na kero za muungano, ila
kuwa na muungano wa haki
ambao ni wa serikali tatu.
Hata hivyo inaelezwa
k u wa ms i ma mo h u o
ulibadilika ghafla kufuatia
hatua ya wana-CCM kutoka
Zanzibar kuwalilia Bara
kuwa wakiwaacha itakuwa
ndio mwisho wao kuingia
Ikulu.
Wadadisi na wapasha
habari ndani ya vikao vya
siri wanasema kuwa CCM
Zanzibar waliopania kubakia
I kul u dai ma, wal i el eza
wazi kuwa toka ulipoanza
uchaguzi wa vyama vingi,
wamekuwa waki pi gwa
mwereka na upande wa
upinzani, lakini wamebakia
madarakani kutokana na sera
ya mapinduzi daima ya kura
yanayopata nguvu kutokana
na mfumo wa serikali mbili.
Wakasema, itakapokuwa
u c h a g u z i mk u u n i
Tanganyika na Zanzibar
kivyao, hakutakuwa tena na
ubabe huo.
Wadadi si wa mambo
wanasema kuwa kwa vile
itakuwa vigumu kwa katiba
mpya kupatikana bila ya
kupatikana maridhiano kati
ya msimamo wa UKAWA/
CUF na wajumbe wa CCM,
uchochoro unaotumiwa hivi
sasa ni kumshawishi Maalim
Seif Sharif Hamad kuachana
na msimamo wa serikalitatu.
Na inasemekana kuwa
t a y a r i ma z u n g u mz o
yashaanza na yanakwenda
vizuri.
Si ulisikia ile kauli ya
Maalim kuwa wasihangaike
kumf ua t a kwa s a ba bu
msimamo wake ni UKAWA,
hi yo ni ushahi di kuwa
washaanza kumshawishi
na kumrubuni. Alisema
mpasha habari wetu mmoja.
Tat i zo na s wal i l a
msingini je, Maalim Seif
atasi mama kati ka kaul i
yake na katika msimamo
wa kutetea wananchi au
atawapisha CCM na Kisonge
yao kuwarejesha Wazanzibari
katika zama za Janjaweed?
Je, atasimama katika
ms i mamo wa kuwapa
Wazanzi bari seri kal i na
viongozi wanaowataka au
atawapisha wanaotawala
kwa mabavu ya mapinduzi
daima?
Alisema na kuhoji mpasha
habari huyo, akionyesha
wasi wasi wake j uu ya
kudumu kwa msimamo wa
CUF juu ya suala la mfumo
wa muungano wa serikali
tatu.
5
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Habari za Kimataifa/Tangazo
NAIROBI
Kenya imeiomba radhi
Somalia kwa kumkamata
Afisa wa Ubalozi wa
Somalia Siyad Mohamud
Shire, mwezi uliopita
katika msako wake wa
magai di unaondel ea
nchini humo.
Bw. Shire alikamatwa
Ap r i l i 2 5 k we n y e
operesheni ya usalama
kwenye eneo la Eastleigh
na kushikiliwa kwa saa
kadhaa kabla ya Balozi Ali
Nur kwenda kumtoa.
Kwa mujibu wa Balozi
wa Somalia nchini Kenya,
Mohamed Ali Nur, alisema
kwamba serikali ya Kenya
ilituma barua rasmi ya
kuomba radhi Jumatatu
wiki hii.
"Kenya imeomba radhi
r as mi kuhus i ana na
kukamatwa kwa Afisa
wetu wa Ubalozi jijini
Nairobi," alisema Balozi
Nur kwa mujibu wa Redio
RBC ya Somalia.
Aliongeza kuwa serikali
ya Kenya imeeleza kwamba
imesikitishwa na makosa
hayo yaliyofanywa na
polisi.
Komesha ukamataj i
na kuweka kizuizini wa
kiholela, HRW yaiambia
Kenya
Katika hatua nyingine,
Shirika la Human Rights
Wa t c h ( HRW) s i k u
ya Jumanne ya Mei 13
limeitaka Kenya kuacha
operesheni ya usalama
inayoendelea, ambayo
inayowalenga wakimbizi
na wananchi wa Kenya.
Shirika hilo limesema
msako huo wa usalama
ulikuwa "umej awa na
unyanyasaji" na uliwaathiri
Wasomali wote wa Kenya
na r ai a wa Somal i a,
Ethiopia, Sudan Kusini na
Waislamu katika vitongoji
vya Eastleigh Nairobi na
Kusini C, eneo la Likoni
Mombasa, na katika miji
mingine katikati ya Kenya
na mkoa wa Pwani.
"Mamlaka za Kenya
l a z i ma z i k o me s h e
mara moja unyanyasaji
unaoendel ea, kuweka
w a t u k i z u i z i n i
ki hol el a, kul azi mi sha
kuwahami shwa wat u
ka t i ka ma ka mbi ya
wakimbizi, na wengine
kuo ndo l e wa nc hi ni
humo katika operesheni
ya ukamataj i ambayo
imeathiri wageni na raia
wa Kenya,"lilisema shirika
Kenya yaiomba radhi Somalia
HRW wataka operesheni kusitishwa
la HRW katika taarifa
yake.
Ai dha shi ri ka hi l o
lilisema serikali inapaswa
pia kutoa ruhusa kamili
kwa Shirika la Wakimbizi
l a Umoj a wa Matai fa
(UNHCR) kuchunguza
wa f ungwa wot e i l i
kut ambua waki mbi zi
waliosajiliwa, wanaotafuta
hifadhi, na mtu yeyote
anayetafuta ulinzi, bila
kuj ali ni lini walifika
Kenya.
Kenya ilianza msako
wa kitaifa wa wahamiaji
wahamiaji mwanzoni mwa
mwezi Aprili, ukilenga
z a i di ki t ongoj i c ha
Eastleigh jijini Nairobi na
maeneo ya watu wengi
wenye asili ya Wasomali.
HRW imesema iliona
kwamba polisi wakifanya
uki ukwaj i wa wakat i
kuf anya ope r e s he ni
hiyo, ikiwa ni pamoja na
unyanyasaji, ulaf, uporaji
na kuweka kizuizini watu
kwa zaidi ya saa 24 bila
mashtaka.
H R W i l i w a h o j i
wakimbizi 21 waliowekwa
kizuizini katika vituo
mbalimbali vya polisi mjini
Nairobi na kugundua
kwamba walilazimika
kut oa hongo kat i ya
shilingi 500 hadi 5,000
(dola 5.70 hadi dola 57.40)
kwa polisi ili kuepuka
kuwekwa kizuizini au
kutolewa kutoka kizuizini
na k wa mb a , po l i s i
walikuwa wakiwapokonya
au kuwahari bi a watu
nyaraka zao.
Wafungwa waliiambia
HRW kwamba vi t uo
wa l i po we kwa wa t u
ki zui zi ni ni vi chaf u
na havina chakula cha
kutosha.
"Mamlaka za Kenya
zi naonekana kuf anya
maamuzi yanayokiuka
haki za wafungwa katika
mchakato wa kutenda haki
na kwamba unahatarisha
kurejesha idadi kubwa ya
Wasomali katika nchi yao,"
alisema Mkurugenzi wa
Afrika wa HRW Daniel
Bekele.
Alisema serikali ilipaswa
kuiruhusu mara moj a
UNHCR kwenda katika
vituo vyote walikowekwa
watu ki zui zi ni , i ki wa
ni pamoj a na uwanj a
ambako ukazi wa watu
inahakikiwa.
NAIROBI
SERI KALI ya Ke nya
i mezi l aani Ui nger eza,
Marekani, Ufaransa na
Australia kwa kutoa onyo
la usafiri kwa raia wake
wanaotaka kwenda Kenya,
kutokana na kuongezeka
kwa mashambul i zi ya
kigaidi.
Awali Wizara ya Mambo ya
Nje ya Uingereza (FCO) ilitoa
onyo siku ya Jumatano dhidi
ya "safari zote isipokuwa za
lazima" kwenda Mombasa,
ikitaja mashambulizi ya hivi
karibuni na kuendelea kwa
kitisho cha ugaidi kwenye
eneo hilo.
Tahadhari zaidi zimezidi
kut ol ewa ambapo sasa
Uingereza imetahadharisha
raia wake kuepuka kwenda
Mombasa, eneo la Eastleigh
mjini Nairobi na maeneo
mengine yote yaliyo kilometa
60 kutoka katika mpaka kati
ya Kenya na Somalia.
Ta ha dhar i nyi ngi ne
imewekwa kwenye tovuti ya
Ubalozi wake nchini Kenya
ambapo Wizara ya Mambo ya
Nje ya Uingereza imekoleza
onyo pale ilipoeleza kuwa,
kama hakuna ul azi ma,
Waingereza pia waepuke
kwenda Garissa na kwenye
Milipuko yakithiri Kenya
Magharibi wahadharisha watu wao
Watalii wazidi kutimka
makazi ya mabanda mjini
Nairobi.
Onyo l a Ui nge r e z a
limefuatiwa na la wenzao
wa Australia, Uingereza,
Ufaransa na Marekani.
Tayari mamia ya watalii wa
Kiingereza wanahamishwa
kutoka Mombasa baada ya
serikali zao kuzidi kutoa onyo
la kusafri kufuatia wimbi la
mashambulizi katika mji huo
wa pwani, liliripoti shirika la
habari la AFP siku ya Ijumaa
(tarehe 16 Mei).
Hivi sasa kuna Waingereza
5,500 wanaoishi nchini Kenya,
na taarifa imesema wengine
wasiende Kenya hadi habari
mpya zitakapotolewa.
Habari zaidi zinasema
kuwa hata ofisi za Umoja
wa Mataifa zilizopo jijini
Nairobi nchini humo, nazo
zimesitisha shughuli zake
kwa muda huku wat u
wakizuia kufka maeneo ya
jirani na ofsi hizo.
Kwa mujibu wa shirika
la habari la BBC, Ubalozi
wa Marekani umeelezwa
kupanga kuwahami sha
baadhi ya wafanyakazi wa
ubalozi wake jijini Nairobi,
ambapo kuna taarifa kwamba
maafisa hao watapelekwa
katika balozi za nchi hiyo
zilizopo nchini Tanzania na
Ethiopia kwa usalama zaidi.
Wachambuzi wanasema
tahadhari hizo ni pigo kwa
sekta ya Utalii ya Kenya,
ambayo inategemea zaidi
watalii ambao safari zao
zaidi ni kwenda kuangalia
wanyama na kwenye maeneo
ya fukwe.
Kuf uat i a hal i hi yo,
Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Nje na Biashara
ya Kimataifa wa Kenya Bw.
Karanja Kibicho, amesema
changamoto zinazotokana na
vitendo vya ugaidi, zinahitaji
j uhudi za makusudi sio
kufuata njia inayochochea
ugaidi na kusababisha hofu.
Alisema kutoa tahadhari
ya kusafri kama zilivyofanya
nchio hizo, kunawasaidia
watu wenye ni a mbaya
kwe nye j ami i , ambao
malengo yao ni kueneza
hofu na kuchanganyikiwa
mi o ng o ni mwa wa t u
wanaopenda amani.
Msemaji wa Wizara ya
Mambo ya Nje Kenya Bw.
Menda Nj oka amesema
tahadhari hizo ni mbaya na
si za busara na kukumbusha
kuwa hata nchi hizo nne
pia zimewahi kuwa kwenye
tishio la ugaidi. Amesema
kwa sasa karibu sehemu zote
duniani zina hatari ya kuwa
na tishio la ugaidi ambalo
kwa sasa ni la dunia nzima.
Sekta ya utalii ya Kenya
siku za hivi karibuni imezidi
kuathi ri ka kutokana na
kupungua kwa i da di
ya watalii tangu mwezi
Desemba mwaka 2011, kundi
la Al Shabaab la Somalia
lilipoanza kuwateka nyara
watalii na watu wanaojitolea
kutoka Hispania.
I n a e l e z wa k wa mb a
kitendo cha serikali ya Kenya
kuingia katika vita dhidi ya
kundi la al Shabab la Somalia
na kuingiza Jeshi katika
ardhi ya Somali, kimekoleza
machafuko zaidi katika ardhi
ya Kenya.
Mji wa Mombasa, Nairobi
na miji mingine ya Kenya
imekumbwa na mashambulizi
ya nchini Somalia kuwasaka
wapiganaj i wa kundi la
Al Shabaab, kutokana na
kuhusi ka na vurugu na
vitendo vya utekaji nyara
vinavyotishia sekta ya utalii
ya Kenya.
Mw e z i u l i o p i t a ,
Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Kampuni za Utalii Mombasa,
Mohammed Hersi, alieleza
kwamba hali ya ukosefu
wa usalama imesababisha
kiwango cha kujaa hoteli
kwenye mkoa wa Pwani
kushuka kutoka asilimia
70 mwaka 2013 hadi chini
ya asilimia 30 mwaka 2014,
hali inayoakisi muelekeo wa
mambo nchi nzima.
Kwa mujibu wa takwimu
za karibuni kabisa kutoka
mwaka 2011, sekta ya utalii
ama kwa njia ya moja kwa
moja au isiyo ya moja kwa
moja ilichangia asilimia 14
za uchumi wa Kenya na kiasi
cha asilimia 12 ya ajira.
"Hili litakuwa pigo kubwa
kwa sekta ya utalii," alieleza
Bw. Sam Ikwaye, kutoka
Jumuiya ya Wafanyakazi wa
Hotelini Kenya akiliambia
shirika la habari la AFP.
Bw. I kwaye al i s ema
h o t e l i z a u f u k we n i
zinakabiliwa na anguko la
mapato hadi asilimia 70 na
kwamba anahofia uamuzi
wa Ui ngereza unaweza
kuzifanya nchi nyengine
kufanya hivyo hivyo.
Tahadhari zinazotolewa
na nchi za Maghar i bi
kwa raia wake zimekolea
kufuatia matukio la ya wiki
iliyopita ambapo watu kumi
wameuawa na wengine 70
kujeruhiwa baada ya kutokea
milipuko miwili katika eneo
la soko mjini Nairobi.
Ki t uo cha Tai f a cha
Ope r e s he ni za Maaf a
(NDOC) kimesema Ijumaa
wi ki i l i yopi t a kwamba
mi l i puko i metokana na
mabomu yaliyotengenezwa
kienyeji.
"Vifaa viwilii vya milipuko
vilivyotengenezwa kienyeji
vililipuliwa wakati mmoja,"
Mkuu wa Polisi Nairobi,
Benson Kibue aliwaambia
waandishi wa habari kituoni
hapo.
BAADHI ya raia wa kigeni na watalii wakiondoka nchini Kenya.
6
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Habari
Sasa wachawi kutafuta
watoto wa Boko Haram
MAIDUGURI, Nigeria
WACHAWI na waganga
wa kienyeji, wanasema
sasa wanaingia kazini
kuwasaka wasi chana
wanaodaiwa kutekwa
n a B o k o H a r a m
kwasababu Polisi na jeshi
wameshindwa.
Wa n a s e ma , k wa
kutumia tunguri, hirizi
na vitu mbalimbali vya
ki ganga na uc hawi ,
wat aweza kuwapat a
wasichana hao.
Waki wa na mi kuki ,
mapanga, pinde na mishale
waganga na wachawi hao
wamesema kuwa madawa
na hirizi zao zina uwezo
mkubwa kushinda risasi,
makombora na silaha za
kisasa.
Zai di ya waganga
na wachawi 500 hao
wa l i o t a j wa k a ma
wawi ndaj i wa ki j adi ,
wengine wakiwa ni wazee
wa zaidi ya miaka 80,
walikusanyika Mei 18,
kule Maiduguri, Jimbo
laBorno, wakitaka kupata
ruhusa kuingia kazini.
Wakiwa na vitu kama
meno, kucha, pembe
na ngozi za wanyama
mbalimbali, wamesema
serikali imekwama na kwa
hiyo inahitaji kusaidiwa
kwa nguvu za kichawi na
kiuganga.
Kiongozi na msemaji
wao Sarkin Baka anasema
kuwa japo hawasemi kuwa
wana uwezo mkubwa
kuliko wanajeshi kisilaha,
l aki ni ki l i chof anyi ka
mpaka sasa na wanajeshi
h a o , h a k i o n y e s h i
matumaini.
Lakini wakasema kuwa
hawat ai ngi a msi t uni
kuanza kazi hiyo mpaka
wapate usaidizi wa serikali
najeshi.
H a t a h i v y o
hawakufafanua ni msaada
gani wanaohitaji ambapo
wamesema kuwa kama
hawakupat a ms aada
huo wataweka tunguri
zao chi ni na kurej ea
majumbani kwao.
Kat i ka kuonye s ha
uwezo wao wa kichawi,
wanadaiwa kujikata kwa
visu na kujichoma mikuki,
lakini hawatoki damu.
K u j i t o k e z a k wa
wachawi na wawindaji
hao i nael ezwa kuwa
inazidi kuonyesha ni kwa
namna gani wananchi
wamekata tama na kukosa
kabisa imani na serikali
yao pamoja na vyombo
vyake vyausalama.
I n a e l e z wa k u wa
toka utekaji nyara huo
utokee Aprili 15, serikali
imeonekana kutokujali
na hata pale inaposema
i n a c h u k u a h a t u a ,
hakuna kinachoonekana
kufanyika.
Hata pale inaposemwa
kuwa wanaj eshi wapo
msi t uni waki wasaka
Boko Haram, wakazi wa
maeneo hayo husema
kuwa toka idaiwe kuwa
kuna watoto waliotekwa
na kufchwa katika msitu,
hawajawahi kuona polisi
wala wanaj eshi katika
maeneo ya msi t u wa
Chibok unaojulikana kwa
jina la Sambisa.
Mmoj a wa viongozi
wa kijadi katika Chibok,
Pogu Bitrus, anasema
kuwa msitu wa Sambisa
ni aina ya savannah kwa
maana kuwa sio mnene
uliofungamana.
Kwa hiyo ni wepesi
mno kwa kitu chochote
msituni hapo kuonekana
hata kwambali.
Kwa hi yo ni j ambo
l a kushangaza kama
ser i kal i i t adai kuwa
i mepel eka pol i s i na
wanajeshi mahali hapo na
wasiweze kuwaona watoto
waliotekwa.
Hata hi vyo, ki l i cho
wakati sha tama zai di
wananchi wa Nigeria, na
hata kuwa na wasiwasi
kuwa pengi ne kuna
mchezo wa kisiasa, ni ile
hatua ya Rais Goodluck
J onat han kuonekana
akisakata rumba wakati
taifa likiwa katika msiba
mzito wa kutekwa watoto
hao takribani 300.
Siku ya pili tu baada ya
wasichana hao kutekwa
huku msiba bado ukiwa
mbichi, habari zikigonga
vi c hwa vya ha b a r i
katika TV na magazeti,
watu wakibubujikwa na
machozi huku wengine
wakichanganyikiwa na
kus hi ndwa kuami ni
kinachodaiwa kutokea,
kamera zilimdaka Rais
Jonathan akisakata rumba
jukwaani katika mkutano
wa ki s i a s a a mba po
hakugusia lolote juu ya
tukio hilo.
Rais anafanya nini
wakati taifa likiwa katika
msiba mzito kama huu
wa kutekwa wasichana
300 washule? Yaliuliza
baadhi ya magazeti.
Lakini inaelezwa pia
kuwa kwa wi ki mbi l i
kamili, Rais Jonathan
hakupata kusema lolote
hadharani juu ya kutekwa
wasichana hao.
Alibaki kimya kana
kwamba hakuna lolote
lililotokea katika taifa hilo.
Al i kuwa haj ui ? Au
kuna alilokuwa analijua la
ziada kuhusu utekaji huo
ambalo wananchi wengine
wal i kuwa hawal i j ui ?
Mbona hakuonekana
kuguswa wala kujali?
Watu wanahoji.
Hata walipo andamana
akina mama Abuja kwenda
kumtaka achukue hatua,
Rais Goodluck Jonathan
aliwapuuza na hakutaka
kukutana nao.
Alipojitokeza hadharani
Mei 2, kutangaza kuwa
ameunda tume ya kufanya
uchunguzi, alionekana
akiwa na uso wa furaha
aki kenua meno huku
akisema kuwa ana furaha
kwa sababu wasichana
wal i otekwa wal i kuwa
salama, hawakudhuriwa
au kuuliwa hadi wakati
ule.
Al i t umi a ne no l a
Kiingereza "unharmed",
lakini wakati huo huo
aki ki ri kuwa seri kal i
ilikuwa haijui walipo.
Kama wat ot o hao
wametekwa na magaidi
wanaodaiwa kuwa katili
Boko Haram, na kama
serikali kwa zaidi ya wiki
mbili haijui walipo, sasa
Jonathan huyu anajuaje
kuwa hawajadhuriwa kwa
lolote?
Haya ni maswali pia
ambayo wananchi wa
Ni ger i a wanaj i ul i za,
wakihoji, Rais Goodluck
Jonathan anajua nini cha
zaidi kuhusu wasichana
hawa ambacho wat u
wengine hawajui?
Kwa upande mwingine,
mkewe Rais, Bi Patience
J onat han, al i j i t okeza
hadharani kudai kuwa
wa n a o p a z a s a u t i
waki mt aka mumewe
kufanya uchunguzi na
kuhakikisha wasichana
waliotekwa wanapatikana,
ni wapinzani wanaotaka
kumchafulia mumewe
kisiasa.
Al i sema, wat u hao
inawezekana na wenyewe
ni Boko Haram.
Kwa upande mwingine
inaelezwa kuwa huenda
wakuu wa jeshi waliopewa
j ukumu la kuwatafuta
wasichana hao, hawalipi
umuhimu kwa sababu
nao hufanya vitendo vya
kikatili hata kushinda
hivyo vya Boko Haram.
J e s h i l a Ni g e r i a
linatuhumiwa kufanya
vitendo vya kikatili sio
kwa watuhumi wa wa
Boko Haram, lakini na
zaidi ya hapo.
Kwa mujibu wa taarifa
ya Shirika la Habari (AP)
na Shirika la Amnesty
International ya Oktoba
mwaka j ana, mael f u
ya watu wasio na hatia
wamet es wa na kuf a
mikononi mwa jeshi la
Nigeria.
We n g i wa wa t u
wanaoteswa ni Waislamu
waki t uhumi wa kuwa
ama ni ndugu au watu wa
karibu na wanaodaiwa
kuwa Boko Haram.
Mateso yametajwa kuwa
mbali na vipigo watu hao
wamekuwa wakiwekwa na
njaa na kulundikwa katika
sero ndogo hadikufa.
Taarifa kutoka chumba
cha maiti katika hospitali
ya Maiduguri zilithibitisha
pi a kuwa kuna mai ti
nyingi zinaletwa hapo
zikitokea katika mahabusu
za kijeshi.
BAADHI ya wachawi na waganga wa kienyeji wakiwa na silaha zao sasa wameruhusiwa kuingia kazini kuwasaka
wasichana wanaodaiwa kutekwa na Boko Haram kwasababu Polisi na jeshi wameshindwa.
7
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014 Makala/Tangazo
RAI S wa Uf a r a ns a
F r a nc o i s Ho l l a nde
ameitisha mkutano wa
dhar ur a mj i ni Par i s
ambao umewakutanisha
wakuu wa nchi za Afrika
Magharibi, lengo likiwa
kutafuta ushirikiano
wa kikanda kuisaidia
Nigeria kupambana na
tishio la Boko Haram.
Wa k u u wa n c h i
z a Ni g e r i a , Ch a d ,
Cameroon, Ni ger na
Beni n wamehudhuri a
mkutano huo. Wakati
akiitisha mkutano huo,
Rais Hollande alisema
" t una hi t a j i us hi r i ki
wa Wa ma r e ka ni na
Wa i n g e r e z a k a t i k a
mkutano huu, ili tufanye
kazi kwa ufanisi zaidi
k u i s a i d i a Ni g e r i a
kuwatafuta wasichana
waliotekwa".
Kwa mujibu wa taarifa
za vyombo vya habari,
wanafunzi hao walitekwa
na wanaodaiwa kuwa
ni Boko Haram Aprili
14 mwaka huu, katika
jimbo la Borno lililopo
Kaskazini mwa Nigeria.
Mar ekani i mej i t ol ea
ndege za Drones ili kutoa
msaada wa kifundi, kama
inavyodai, lengo likiwa
kuwezesha kutambua
mahal i wal i pof i chwa
wasichana hao.
Ui ngereza i metuma
t i mu ya maj asusi na
wataalamu wa kijeshi,
ambapo dola ya Mayahudi
nayo i met oa msaada
wa kij eshi na kij asusi
Ni geri a. Hat a Chi na
nayo imedandia behewa
hilo la kimataifa bila ya
kuj ua l i nakokwenda
kwa kutoa msaada wake.
Maswal i ya kuj i ul i za
hapa ni haya. Kitu gani
kiko nyuma ya kampeni
hii ya ulimwengu? Haya
machozi ya mamba ya
mabeberu kwa wasichana
wa Afrika yameanza lini?
Hadi wake wa Marais
wastaafu wa Ufaransa,
Carla Bruni na Valerie
Tr er f i l r wameshi r i ki
kampeni hii ya kutaka
mabinti waliotekwa nchini
Ni ger i a war ej eshwe!
Hata mke wa Rais wa
Ma r e ka ni , Mi c he l l e
Obama naye ameshiriki
pia kuhamasisha!
Utekaji nyara wa raia
wasio na hatia ni jambo
l i si l okubal i ka kabi sa
katika Uislamu. Si lengo la
makala hii fupi kuhalalisha
uhalifu huo, isipokuwa
tunauliza tu: Iko wapi
huruma ya mabeberu hawa
ambao walishirikiana na
utawala nchini Afrika
ya Ka t i kue nde s ha
Boko Haram ni kisingizio tu!
Said Rajab
0715-860120 / 0758-447051 / 0653-532456
NAFASI ZA MASOMO
2014-2015
Bismillahir Rahmanir Raheem
K AMBONI IG
TEACHERS
COLLEGE KIGOGO
Na
Usajili
CU 130
CU 124
B
w
e
n
i
K
u
t
w
a
n
a

WAHITIMU WOTE
WATAAJIRIWA
NA SERIKALI
NB:
Inawezekana
Kuunganisha
VYETI
RESITING PROGRAMME
DIPLOMA YA UALIMU WA SEKONDARI (Miaka 2)
Kituo No. 5089,
WALIOKOSA POINTI 34, WATARUHUSIWA
KUSOMA UALIMU HUKU WANARUDIA
MITIHANI YA KIDATO CHA NNE
CHETI UALIMU WA AWALI (Mwaka 1)
(Vigezo:Principal Pass 2, Kuanzia 2004-2013)
Ufaulu: Div I,II,III kwa masomo ya sayansi watapewa
RUZUKU na MKOPO na SERIKALI)
Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III kuanzia
2004-2013 NA Awe na Credit 2 katika masomo
ya Sayansi/Hisabati na English.
Ufaulu: Kidato cha IV,na kupata Div I, II na III
kuanzia 2004-2013.
Ufaulu: Awe na Uzoefu wa Miaka 2 kazini
Kidato cha VI,na kupata Principal Pass moja
na Subsidiary moja
(Msingi)
ondari) (Sek
DIPLOMA MAALUM YA UALIMU-KIDATO CHA IV (Miaka 3)
(masomo ya Sayansi/Hisabati na English)
(Msingi na Sekondari)
DIPLOMA YA UALIMU-ELIMU YA MSINGI (Miaka 3)
DIPLOMA YA UALIMU-KAZINI (Miaka 2)
Awe amemaliza Form IV
DIPLOMA UALIMU WA AWALI

(Miaka 2)
UALIMU WA MSINGI (Grade IIIA Miaka 2)
Form 4: Div III Point 25-31, Waliomaliza 2013
Au Div III, waliomaliza 2004-2012
Na
Form 4: Div IV, Point 32-34, Waliomaliza 2013 Au Point 26 - 27,
waliomaliza 2004-2012 Au Mwenye Ufaulu wa D katika
Masomo ya Sayansi, Hisabati, English na Kiswahili
wataruhusiwa baada ya kufanya Foundation Course
Waliopata Principal Pass 1 na Subsidiary 1 au Subsidiary 2 katika masomo
yote ataruhusiwa kusoma Ualimu baada ya kufanya Foundation Course.
mauaji ya kimbari dhidi
ya Wai s l amu? Nani
anayeweza kusahau jinsi
wanawake na watoto wa
Kiislamu walivyochinjwa
kama mbuzi Afrika ya
Kati? Huruma ya kike ya
akina Michelle Obama,
Carla Bruni na Valerie
Trerfilr huwa inakuwa
wapi wakati mabinti na
wanawake wa Kiislamu
wa Rohingya nchini Burma
wanapobakwa, kuteswa na
kuuawa kama wanyama?
Wasichana kutekwa na
bi nadamu kuchi nj wa
kama mbuzi, upi ni uhalifu
mkubwa zaidi unaohitaji
ushirikiano wa kimataifa
kuukomesha?
Rai s Barack Obama
wa Marekani, Francois
Hollande wa Ufaransa
na David Cameron wa
Ui n g e r e z a , mb o n a
hat ukuona ndege za
Drones Afrika ya Kati? Au
kwa sababu wanaochinjwa
nchini humo ni wanyama
kwa tafsiri ya watu wa
Magharibi? Lakini hata
wanyama wana ulinzi wa
kimataifa! Sio jambo la siri
kwa mtu anayetumia vizuri
neema ya akili kwamba
Nigeria ni nchi iliyo na
utajiri mkubwa wa madini
na mafuta. Mabeberu wa
Magharibi wanaumezea
mate utajiri huo. Udenda
unawatoka! China nayo
haitaki kuachwa nyuma
kwenye kinyang'anyiro
cha utajiri wa Afrika.
Kwa wa l e we nye
kufuatilia mambo, mataifa
ya mabeberu yana rekodi
mbaya ya uhalifu dhidi ya
mataifa yanayoendelea.
Ukiwaona wanahangaika
kuwasaidia waathirika wa
tukio lolote lile kwenye
nchi changa, uwe na
uhakika wanafanya hivyo
kukidhi maslahi yao ya
kibeberu, na wala siyo
huruma ya kibinadamu.
Hawana huruma yoyote
hawa! Wanajifanya wana
uchungu sana na wasichana
waliotekwa nchini Nigeria,
kiasi cha kuhamasisha
r asi l i mal i za ki j eshi
kwenda kuwakomboa,
huku vyombo vyao vya
habari vikitangaza sana
habari hiyo. Tuliza akili
yako hapo. Ukiona hivyo,
ujue wanacheza mchezo
wa kuigiza unaolenga
kuwaaminisha mazuzu
na wa pumba vu, i l i
waunge mkono ajenda
y a o . Wa k i s h a p a t a
uungwaj i mkono wa
kimataifa, wanatekeleza
ki l e wal i chokusudi a.
Mwe n y e z i Mu n g u
anawajua zaidi:
"Wanakufurahisheni
kwa vi nywa vyao tu,
hali nyoyo zao zinakataa
(hayo). Na wengi katika
wao ni waasi"
Qur(9:8)
RAIS wa Nigeria, Goodluck Jonathan (wa pili kulia) akiwa na Rais wa Ufaransa
Holande Francois.
8
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Makala
MARA utasiki leo
ubalozi wa Marekani
umef ungwa kut oa
huduma kwa sababu
y a k i t i s h o c h a
ugaidi. CNN na BBC,
wataripoti.
Kwa ujumla nchi hiyo
imefanywa ndio kituo
kikubwa cha ugaidi
wa Al Qai da huku
wananchi wakiuliwa
kila uchao kutokana
na mashambulizi ya
ndege zisizo na rubani,
maarufu drone. Hata
hi vyo, wachambuzi
wa mambo wanasema
kuwa yanayodai wa
kuwa ni mashambulizi
ya kigaidi na harakati
za mabeberu kuithibiti
nchi hiyo kij eshi, ni
mipango na mikakati ya
makusudi iliyoandaliwa
na kuratibiwa vizuri
ili kutimiza maslahi
ya nchi za Magharibi.
Kat i ka kut ekel eza
harakati hizo, zaidi
ya watu 63 waliuliwa
mwezi Aprili pekee
katika mashambulizi
ya drone.
Nchi hiyo inaonekana
muhimu kutokana na
nafasi yake kijiografia
kuelekea katika nchi
mbalimbali za Mashariki
ya Kati na Afrika kuliko
na masilahi ya Marekani.
Yemen inapakana na
Saudi Arabia, na pia
kuwa mlango wa bahari
kuelekea kinachoitwa
nj i a kuu za maj i ni
(major waterways)
Bahari Nyekundu (Red
Sea), Ghuba ya Eden
(Gulf of Eden) na Bahari
ya Arabi a ( Arabi an
Se a ) . Kwa upande
mwi n g i n e Ye me n
ipo jirani na Somalia
( Af r i ka) na hi vyo
kuwa eneo muhimu
ambapo Mar e kani
i ki weka ngome, ni
rahisi kudhibiti maeneo
yaliyotajwa.
Ili kudhibiti eneo hilo,
Marekani i mekuwa
ikifanya mauwaji ya
kutisha ikidai kulenga
magaidi. Yafuatayo ni
baadhi tu ya masaibu
y a n a y o w a k u t a
wananchi wa Yemen.
Kipo kisa cha kuuliwa
watu 12 wal i okuwa
harusini ambapo drone
zilishambulia msafara
wa harusi katika mji wa
Rad'a. Kutokana na uzito
Waislamu wanaangamizwa
Yemen yawa uwanja wa machinjio
Na Omar Msangi
wa kombora lililopiga na
kuharibu kabisa magari
manne yal i yokuwa
kat i ka msaf ar a wa
harusi, ilikuwa vigumu
kutambua maiti kwani
wal i kuwa vi pande
vipande. Wanasimulia
mas huhuda kat i ka
tukio.
Kama kawaida yake,
baada ya shambulio
hilo Marekani ilidai
kuwa ilikuwa ikilenga
magaidi.
Hilo halikuwa tukio
la kwanza wala tukio
pekee kwani inakisiwa
kuwa zaidi ya watu 200
washauliwa kutokana
na mashambulizi ya
drone, kati ya mwaka
2002 na 2014.
Mwendesha drone
mmoja kutoka katika
k o mp u t a , ( d r o n e
oper at or ) , Heat her
Linebaugh akiongea na
gazeti la the Guardian
(Uingereza), alikiri kuwa
ni vigumu kujua kwamba
wanachokilenga ni adui
au watu wasio na hatia.
"We always wonder if
we killed the right people,
if we endangered the wrong
people, if we destroyed an
innocent civilian's life all
because of a bad image or
angle."
Alisema Linebaugh
ambaye sasa amestaafu
kazi hiyo akionyesha
k u w a m o j a y a
matatizo makubwa ya
mashambulizi ya drone,
ni kuwa waongozaj i
wakiwa wamekaa katika
vyumba vya kuongozea
kule Nevada au New
Mexi co, wanakuwa
hawana habari juu ya
majanga na maangamizi
wanayowasababishia
binadamu wenzao.
Baba yake Abdulaziz
al-Huraydan, ni mmoja
ya wazazi wa Yemen
wa l i opot e l e wa na
watoto wao kutokana na
makombora ya drone.
Abdul azi z aki wa
na umri wa miaka 10
aliuliwa Juni mwaka
jana 2013 katika mji wa
al-Jawf. Alikuwa na
kaka yake akiitwa Saleh
ambaye Marekani ilidai
kuwa ni gaidi wa Al
Qaida.
Hi v i s a s a b a b a
yake ambaye sasa ni
mtu mzima anabaki
akishikilia cheti cha
shule cha kijana huyo
akionyesha alivyokuwa
na akili na akipasi vizuri
mitihani yake.
" Ka ma wa n a da i
kupambana na magadi,
waambieni wamrudishe
mtoto wangu maana
hakuwa Al Qai da,
alikuwa mtoto wa shule
wa miaka 10, alikuwa
hana hatia. Anasema
baba yake.
Aref al-Shaf'i alikuwa
na umri wa miaka
30, baba wa watoto
saba. Si ku ya tuki o
a l i kuwa ha r us i ni ,
msaf ar a wa har usi
ukapi gwa kombora
kutoka katika drone,
akafa yeye na watu
wengine 11.
Baab yake akiwa na
umri wa miaka zaidi
ya 70, anasema, hana
namna ya kuishi kwa
sababu ki j ana wake
ndiye alikuwa akifanya
bi ashar a aki pel eka
bidhaa Saudi Arabia
na kupat a ki t u cha
kuwasaidia kwa maisha.
Sasa ameuliwa akiacha
mke na watoto saba,
mdogo kabisa akiwa na
umri wa siku 15.
"Kwa nini wanauwa
watu wasio na hatia?
Kwa ni ni wanauwa
wanyonge? Kwanini
wanawat i a wat ot o
uyatima?
Anasema Zabanallah,
ambaye ni kaka wa Aref
akieleza kuwa mdogo
wake hakuwa na hatia
yoyote kustahiki kupata
hukumu ile ya kuuliwa
bila ya kuhukumiwa
kisheria.
Salim Al-Taysi naye
alikuwa katika harusi
ambapo Aref aliuliwa.
Ameacha mke na
watoto sita, sasa inabidi
kaka yake Ahmed
kuc hukua j ukumu
l a k uwa l e a , j a po
mwenyewe masikini
sana.
Abdul r ahman al -
Awl aki , ni mhanga
m w i n g i n e w a
makombora ya drone.
Abdulrahman, ni raia
wa Marekani akiwa na
umri wa miaka 16. Baba
yake akiitwa Anwar al-
Inaendelea Uk. 9
9
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Makala
Waislamu wanaangamizwa
Inatoka Uk. 8
Awlaki, ni Sheikh na
Marekani ikimtuhumu
kuwa ni Al Qai da.
Abdulrahman aliuliwa
na U.S. drone Oktoba
2011.
A b d u l r a h m a n
alizaliwa Denver, kwa
hiyo ni Mmarekani.
Al i t embel ea Sanaa
anakotoka baba yake
ambapo Se pt e mba
2 0 1 1 a l i o n d o k a
n y u mb a n i a k i d a i
kwenda kumt af ut a
baba yake ambaye
alikuwa katoweka bila
kujulikana alipo kwa
zaidi ya miaka miwili.
Kwa kuanzia aliamua
kwenda Shabwa, kijiji
ambako ndio asili yao,
hata hivyo alipofika
akafahamishwa kuwa
baba yake al i kuwa
ameuliwa na drone.
Wiki mbili baadae, naye
akauliwa pia na drone
akiwa katika mgahawa.
Katika orodha yupo
pia Imam Salim Ahmed
Jaber
Imam Salim alikuwa
Imam wa Msikiti na
mwal i mu wa shul e
mwenye Shahada ya
Masters. Agosti 28, 2012
akiwa katika kijiji cha
Khashamir kuhudhuria
harusi ya mmoja wa
j amaa zake ambapo
kesho yake Agosti 29
al i f anya mnakasha
na watu waliodaiwa
kuwa ni Al Qaida kwa
upande wake akiwa
na msi mamo kuwa
vitendo vya Al Qaida si
katika Uislamu. Ilikuwa
ni katika mkusanyiko
huo, drone iliwawahi,
akaangamizwa yeye na
waliodaiwa kuwa ni Al
Qaida.
Laki ni hata pol i si
nao hawaj asalimikia
kutokana na nakama ya
drone.
Waleed ni mtoto wa
dada yake Salim Jaber.
Dr one i l i yomuuwa
I mam Sal i m, ndi yo
iliyomuuwa na yeye.
Waleed alikuwa askari
wa usalama barabarani
(trafc) na siku ya tukio
al i kuwa barabarani
kijijini Khashamir wakati
huo akiwa na umri wa
miaka 27, kijana mdogo
ambaye ndio kwanza
alikuwa akiaanza kazi.
Si askari tu, lakini hata
watumishi wa serikali
wa ngazi za juu hawapo
AHMED, kaka yake Salim akishikilia picha ya mdogo wake aliyeuliwa na kombora
la drone. Walio pamoja naye ni mjane na yatima walioachwa na Salim.
Imam Salim Ahmed Jaber Abdulrahman al-Awlaki, ni mhanga
mwingine wa makombora ya drone.
salama. Sikiliza kisa cha
Jabir al-Shabwani.
Jabir al-Shabwani
a l i k u wa Ga v a n a
Msaidizi wa Jimbo la
Marib na mmoj a wa
viongozi muhimu na
mashuhuri wa kabila
kuu la eneo hilo.
Me i 2 0 1 0 J a b i r
a l i t o k a k we n d a
kukutana na baadhi ya
wapinzani wa serikali
(waliodaiwa kuwa ni
Al Qai da) kuf anya
mazungumzo nao ili
kuweka mael ewano
na serikali. Marekani
ikatumia fursa hiyo.
Drone ikavurumisha
kombora lililomuuwa
Jabir al-Shabwani na
wanaodaiwa kuwa Al
Qaida.
Kufuatia mauwaji ya
kiongozi wao huyo, watu
wa kabila la Shabwani
walianza mashambulizi
wakishambulia majengo
ya serikali kulipiza kisasi
huku wakiitaka serikali
kusitisha mara moj a
ushirikiano wake na
Marekani. Marid, ni eneo
muhimu kwa serikali
ya Yemen na Marekani
kwani kuna visima vya
mafuta na gesi pamoja
na mtambo wa umeme
unaosambaza umeme
kwa maeneo mengi ya
Yemen.
Al i a l - Qa wl i ni
mhanga mwingine wa
drone. Huyu alikuwa
mwalimu.
Ali al-Qawli akiwa
na umr i wa mi aka
34, alikuwa baba wa
wat ot o wat at u na
mwa l i mu k a t i k a
shule moja ya msingi,
J uhana, nj e ki dogo
ya Sanaa. Wanafunzi
wake wal i ompenda
sana kwa ucheshi wake
na ufundishaj i wake
mzuri, Januari 23, 2013,
walisubiri sana bila
kumwona mwal i mu
wao huyo aki i ngi a
dar asani wakat i si
kawaida yake kuchelewa
ki pi ndi . I l i kuwa ni
s i k u ya ma j o n z i ,
hatimaye walipokuja
kuf a ha mi s hwa na
Mwa l i mk u Mk u u
kwamba mwal i mu
Ali aliuliwa na drone
jana yake baada ya taxi
aliyokuwa amepanda
kupigwa na kombora.
H i s t o r i a y a
mashambul i zi haya
inaanzia pale Marekani
ilipotangaza vita dhidi
ya Al Qaida wa Yemen
i ki da i kuwa ndi o
walioshambulia meli
yake ya kijeshi USS Cole
na kuuwa wanamaj i
wake 17 na wengine 39
kujeruhiwa vibaya.
Okt oba 12, 2000
USS Cole ikiwa katika
bandari ya Aden, Yemen
ilipigwa na kombora
n a h a r a k a h a r a k a
Marekani ikadai kuwa
hilo lilikuwa shambulio
lililofanywa na magaidi
wa Al Qaida. Kuanzia
hapo ndio harakati za
Marekani kupambana na
ugadi Yemen zikaanza.
Viongozi wa serikali wa
nchi hiyo, wakajikuta
wa ki t umi ka ka ma
Musharaf alivyokuwa
akitumika Pakistan, nchi
ikawa haikaliki tena.
Si msikitini, harusini,
nyumbani, barabarani,
watu hawapo salama
tena. Muda wowote
wanaweza kuul i wa
ilimuradi tu wauwaji
w a s e m e k u w a
waliwatuhumu kuwa
ni magaidi.
Hata hivyo, taarifa za
kiuchunguzi zilizofuatia
baadae zi natuhumu
kuwa USS Cole ilipigwa
kwa kombora kutoka
nyambizi ya kijeshi ya
Israel. Tazama Grand
Del usi on, at www.
granddelusion.com.
Kachero wa zamani
wa CIA, John ONeill
aliyefanya kazi na FBI
New york katika kitengo
cha FBI cha kupambana
na ugaidi (FBIs Joint
Terrorism Task Force
in New York and New
Jersey), alisema kuwa
kutokana na uchunguzi
wa k e , US S Co l e
ilipigwa na kombora
alilolielezea kuwa ni
specially-configured
Popeye cruise missile
l i ki r us hwa kut oka
nyambi zi ya I srael
(Israeli Dolphin-class
submarine.)
Kachero huyo mstaafu
wa CI A anas ema
Inaendelea Uk. 11
10
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
MAKALA
Hebu kama umepita
S h u l e ya t a f a k a r i
maswal i haya kwa
makini ikisha jiulize:
JE, NI KWELI NIGERIA
KUNA WASICHANA
Z A I D I YA 2 3 0
WALIOTEKWA NA
BOKO HARAM?
Kutoka Kwa @Aremu
Oluwatimilehin Peter:
Got this from a post.
11 MYSTERI ES OF
THE MISSING GIRLS.
(MAFUMBO 11 JUU
YA WAS I CHANA
WALIOPOTEA)
Tu t a k a p o s o ma
makala hii hayatokuwa
mafumbo 11 tena kama
ilivyo asili ya makala
lakini yatazidi mafumbo
me n g i n e k u t o k a
kwangu.
1. Whe r e ar e t he
parents of these missing
girls, we want to see them?
(Wole Soyinka).
"Wako Wapi Wazazi
Wa Hao Wasi chana
Waliotekwa, tunataka
Tuwaone"
Kama kuna wasichana
waliotekwa, ni lazima
wa n g e l i j i t o k e z a
wazazi wa wasichana
hao, wanao onekana
kujitokeza ni mkewe
Obama na mabango yao.
Wazazi mia mbili na kitu
wa watoto hawa wako
wapi?
2. Wh y h a s t h e
government not published
pictures of these girls?
(Wole Soyinka)
"Kwa nini Mpaka Leo
Serikali Haijatoa Picha
Za Wasichana Hao?"
Hivi Wasichana hao
wameingia Chuoni bila
ya kuacha Kumbukumbu
Y e y o t e ? B i l a
vitambulisho vyovyote?
Mbona tunaona picha
zinazosemwa kutolewa
na Boko Haram, picha
kutoka serekalini za
kuthibitisha uwanafunzi
wao ziko wapi?]
3. You need a l ot
of vehicles to transport
230 gi rl s, (Godswi l l
Akpabio).
"Unahitaji Magari Ya
Kutosha Kusafirisha
Wanawake 230"
Wanayapat a wapi
Thibitisha ikiwa ni kweli wametekwa
Na Rashid Abdallah,
MUM
Rudisha wasichana wetu Mume wako kauwa wasichana wengi wa
Kiislam Boko Haram hawajawahi kuuwa hivyo.
magari mengi hivyo na
wao wanaishi misituni?
Kituo kipi kinatumika
kuj aza magar i yao
ma f u t a k a b l a ya
kutekeleza utekaji?
4. How where they
transported? If the girls
were made to walk in the
bush track, how come
no villagers saw them?
(Godswill Akpabio)
" Wames af i r i s hwa
Vipi? Ikiwa wasichana
wametembezwa nj ia
za misituni, Inakuaje
Wanavijiji Wasiwaone?
Hakuna mwanakijiji
hata mmoja aliyewaona
wasichana zaidi ya mia
mbili na wanamgambo
wa l i o wa t e k a p i a
h a wa k u o n e k a n a ?
Hakuna hata gari moja la
watekaji lililoonekana?
5. The girls were said
to have been transported in
trucks (Hilux), assuming
10girls per truck, that
means we'll need about
23trucks for the girls
and about 7 trucks for
the insurgents. ( Aremu
Oluwatimilehin Peter)
"Inadaiwa wasichana
hao wamesafirishwa
kwa magari ya aina
ya HILUX, jaalia kwa
wingi kila gari halitozidi
watu kumi! Ambayo
kwa wasi chana 230
watahitaji magari 23
kuwas af i r i s hi a, na
magari 7 ya watekaji
nyara"
Hivi upo uwezekano
wa magari 30 (23+7)
k u t e mb e a n d a n i
ya Ni ger i a bi l a ya
kuonekana msafara wao
na mtu yeyote mpaka
leo? Hakuna hata mtu
mmoja aliyeziona Hilux
30 zikiwasafrisha zaidi
ya wanafunzi 200? Hata
alama za maringi ya gari
hizo hazikuonekana?
Vi pi gar i hi zo
ziliingia katika jiji bila
ya kuonekana na watu?
Inawezekanaje kwa gari
30 kuingia sehemu yenye
watu kisha kusiwe na
hata mmoja aliyeziona
z i k i i n g i a mp a k a
zinafanya uhalifu na
kuondoka.
Kama walitembea
k wa mi g uu k un a
nyayo zilizoonekana?
Inawezekanaje watu 200
kutembea kwa miguu
halafu hata nyayo za
miguu yao zisionekane?
6. Why we r e t he
principal's daughters and
female stafers not touched?
(Godwill Akpabio)
"Kwa ni ni Watoto
wa Mkuu wa Chuo na
wafanyakazi wote wa
kike hawakuguswa hata
mmoja" Je! hawakuwa
n a u m u h i m u ?
Ha wa k u o n e k a n a ?
Hawakuwa shule siku
tukio linatokea?
7. Wha t wa s t he
pr i nc i pal s r e ac t i on
when this was going on?
(Godswill Akpabio)
Wakati hili linatokea
uongozi ulifanya nini?
8. Are there no guards
at the school?
Hakuna wal i nzi
s h u l e n i h a p o ?
Kulitokezea majibizano
ya risasi kati ya watekaji
na walinzi wa shule?
Majeruhi wako wapi?
9. Some girls were
said to have escaped, and
not a single child was shot,
we all know that has not
been the practice in the
past. Where
Baadhi ya wasichana
wanasemwa walitoroka
na hakuna hata mmoja
kat i ka wal i ot or oka
alipigwa risasi, sote
t unaj ua hawakuwa
na uzoefu wa kabla.
Waliachiwa huru au
walitoroka?
12.We were told that
the state government gave
N1m each to the parents of
terrorized girls.
Tuliambiwa kwamba
s e r e ka l i ya j i mbo
waliwapa kila mzazi wa
mtoto aliyetekwa fedha
za Nigeria Naira milioni
moja (N1m). Hizi pesa
zilikuwa ni kwa ajili
gani?
13. Almost all the things
suggested in the media are
the things B/haram is now
saying. (G/will Akpabio)
Takribani mambo
y o t e y a l i y o k u wa
yakisemwa na vyombo
vya ha ba r i ndi yo
ambayo Boko haram
wanayasema sasa
Vyombo vya habari
v i l i s e ma k a b l a ya
wanaoshukiwa kuwa ni
Boko haram hawajasema,
kulikuwa na mkataba gani
wa B/Haram na vyombo
hivi, kuwa vyombo vya
habari viseme mwanzo
kisha Boko Haram ndio
wafuatie kusema?
14. A news agency said
that the girls have been sold
for N2000 each, and a few
days later, the Main man
appears and threatens to sell
the girls, are we the ones
suggesting what he should
do? (G/will Akpabio)
Shirika moja la habari
l i l i s e ma wa s i c ha na
wamekuwa wakiuzwa
kwa N2000 kwa ki l a
mmoja, na siku chache
baadae anayedaiwa kuwa
ndiye skiongozi mkuu
wa kundi akajitokeza na
kutishia kuwauza, ni sisi
ndio twapendekeza afanye
nini?;
.... Any answer to prove
that these girls are really have
been abducted by Boko haram
Kuna Jibu Lolote La
Kuthibitisha Kuwa ni
Kweli Hawa Wanawake
wamet ekwa na Boko
Haram

0773 526254 or email:
rashidalmendhry@yahoo.
com
(Makala hi kwa hisani
ya mtandao)
11
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Makala/Tangazo
Waislamu wanaangamizwa
Inatoka Uk. 9
kuwa sababu ya Israel
kufanya shambulio hilo
ni i l i kuwaungani sha
Wa m a r e k a n i n a
kuwapandisha mori na
hasira zao dhidi ya Al
Qaidah na kuitaka serikali
ya Marekani kuchukua
hatua dhidi ya Waarabu na
Waislamu hao wa Yemen
na kwingineko. Ilikuwa
ni kama walivyofanya
katika Operation Cyanide
walipopiga USS Liberty na
kuwa askari wa Marekani
na kuwasingizia Waarabu
wa Misri ili kipatikae
kisingizio kwa Marekani
kuingia katika vita ya
mwaka 1967.
MOSSAD wana msemo
wao, "By way of deception,
thou shalt do war!" Kwamba
kwa uwongo na ulaghai, watu
watapigana vita. Tazama
pia The USS Cole bombing
against the backdrop of
Israeli Black Propaganda
Operations na USS Cole
Conspiracy Encyclopedia.
Michael Gillespie katika
makala yake aliyoipa jina
The USS Cole bombing
against the backdrop of
Israeli "Black Propaganda"
Ope r at i ons , anas ema
kuwa ni bahati mbaya
Waarabu na Waislamu
wameumizwa sana kwa
makosa ya kusingiziwa.
Akitoa mfano wa mauwaji
yanayofanywa Yemen hivi
sasa ambapo chimbuko
l ake ni madai kuwa
Wai sl amu wa Yemen
walihusika kulipua meli
ya USS Cole.
Anasema vyombo vya
usalama vya Israel vina
rekodi na hi stori a ya
operation za kuwasingizia
wengine uovu, wenyewe
wa k i z i i t a " b l a c k
propaganda" operations
zaidi zikilenga Waarabu
na mataifa ya Mashariki
ya Kati. Anataja mfano
wa kushambuliwa USS
Liberty Juni 6, 1967.
There are many other clear
examples of Israeli intelligence
agencies engaging in "black
propaganda" for the purpose
of damaging the public image
of Arabs and Arab states and
organizations and fomenting
trouble between Arabs and
Arab states and organizations
and the U.S. government.
Ana s e ma Mi c ha e l
Gillespie akiorodhesha
mifano kadhaa mmoj a
uki wa ni l i l i l odai wa
kuwa ni shambulio la
kigaidi lililofanywa na
Wapalestina dhidi ya meli
ya Italia the Achille Lauro
mwaka 1985.
Anasema mtu mmoja
muhimu katika jeshi la
Israel IDF, (former IDF arms
dealer) Ari Ben-Menashe,
kwamba wanapata mtaji
wa kufanyia kazi. Mtaji
wenyewe ni kama hivi
kuunda jina, mfano Boko
Haram, Salaf Jihad, halafu
na kuf anya mat uki o
i ami ni ke kuwa kundi
kama hilo lipo na nini
msimamo wake na yepi
wanafanya.
Likitimia hilo, mengine
haya ya kulipua, kuteka na
kuuwa; black propaganda
operation itafanya kazi.
Katika hali kama hii,
pamoj a na kutawakali
kwa Allah (SWT), lakini
Wai sl amu tunataki wa
k uwa ma k i n i s a n a
isij e miongoni mwetu
wakatumika kutoa mtaji
kwa maadui zetu bila
kujijua.
MAFUNZO YA STASHAHADA YA UALIMU WA LUGHA YA KIARABU
KWA MWAKA WA MASOMO 2014 / 2015
Wafuatao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya Stashahada ya Ualimu wa Lugha
ya Kiarabu katika Chuo cha Ualimu cha Kiislamu Kirinjiko kwa mwaka wa masomo
2014 / 2015.
MUHIMU:
Maelekezo ya kujiunga na Chuo yanapatikana Kirinjiko Islamic Teachers College (Same), Ubungo Islamic
Teachers College (Dar es Salaam) na Nyasaka Islamic Secondary School (Mwanza) kuanzia tarehe 23/05/2014.
Usaili wa mara ya pili kwa waliochelewa kuchukua fomu utafanyika siku ya tarehe 03/06/2014 Ubungo
Islamic Teachers College (Dar es Salaam) Inshaallah.
Fomu zinaendelea kutolewa na zinapatikana kwa mawakala wetu kote nchini.
Siku ya kuripoti Chuoni ni Jumapili ya tarehe 03/08/2014.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mkuu wa Chuo cha Kirinjiko Islamic Teachers College kwa simu namba
0787 188964 au 0657 705878.
Wabillah Tawfiq
MKURUGENZI - IPC
kat i ka ki t abu chake:
Profts of War: Inside the
Secret U.S.-Israeli Arms
Network (1992), anasema
kuwa shambulio la Achille
Lauro lilikuwa ni moja ya
Israeli 'black' propaganda
operation ili kuonyesha
kuwa Wapalestina ni watu
hatari na wana uwezo
mkubwa wa kijeshi na
kigaidi.
An a t a j a p i a l i l e
shambulio la kigadi la
Aprili 5, 1986 katika ukumbi
wa disco Berlin, Ujerumani
(La Belle discotheque,
Berlin) ambapo askari
wawi l i wa Marekani
na mwanamke mmoj a
wa Uturuki waliuliwa.
Kufuatia shambulio hilo,
Aprili 14, 1986, Marekani
ilishambulia Libya na
kuuwa zai di ya watu
40 ikidai kuwa Gadhafi
a l i h u s i k a k u p a n g a
mashambulizi hayo ya
kigaidi.
Hata hivyo, madai hayo
yal i kuwa ya uwongo.
I l i k uwa ni I s r a e l i
propaganda operation
n y i n g i n e . Ta z a ma
a na c ho s e ma Vi c t o r
Ostrovsky (Mossad feld
officer) akiandika katika
kitabu:The Other Side of
Deception: A Rogue Agent
Exposes the Mossad's Secret
Agenda in 1994.
Mi f a no ni mi ngi ,
lakini tuseme tu hapa
kuwa wanaoumi zwa
leo, kuteswa na kuuliwa
waki dai wa kuwa ni
magaidi kuanzia Kenya,
Somalia, Yemen, Nigeria,
n.k, wengi wanakuwa ni
watu wasio na hatia ila
walionaswa na black
propaganda operation.
Wanachofanya watu
hawa ni kuhakikisha tu
NA. JINA KAMILI JINSI
SAFIA SHAIB FAKI KE
ABDALLAH MUSTAFA KASWEA ME
ABDULRAHMANI R MUSSA ME
ALLY HASSAN HELAGALI ME
ALLY MUSSA PAMBE ME
AMRU YUSUFU AMRI ME
BADRU HAMIS MAUNDU ME
FADHILI ABDU JABU ME
HARIRI MOHAMED ME
HASSANAL AWADH MASANA ME
IBRAHIM SUDI SULEIMAN ME
IBRAHIM RASHID ALLY ME
IDRISA BAKAR SULEIMAN ME
JUMA IBRAHIM KITWAZI ME
JUMAA OMAR KASSIM ME
NA. JINA KAMILI JINSI
MOHAMED SHABAN MOHAMED ME
MUSA RASHIDI KIBWANA ME
MUSTAFA SEIF SAID ME
OMAR HASSAN ILUNGA ME
RAMADHAN KHAMIS MOHAMED ME
RASHID MOHAMED SAID ME
SALIMU HASSAN MWINYI ME
SULTAN SAID MUHANI ME
YASINI MOSHI HAMZA ME
HATIBU SANGU ME
MAULIDI OMARY ME
MIKIDADI KHAMISI SURU ME
SAKINA YUSUFU GHULAM KE
YASSINI SUSLEIMAN ME
YUSUPH HARUN ME
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE
12
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
ALLAH namshuhudia, ni muumba wa dunia
MTUME namsalia, na swahaba wake pia
Swali linanisumbua, bongo haijatulia
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Kiatu nawaambia, kikubwa kinatishia
Jamani ninakijua, ndo mana hadithia
Wala hakijasinyaa, kama wakiangalia
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Kipana nakitambua, na mbele kimesogea
Kinakanyaga sawia, ni vigumu kujikwaa
Kiatu kimetulia, na kwa kweli kinangaa
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
ILUNGA katangulia, akhera kwake JALIA
Kiatu kimebakia, nani atajivalia
Zabibu naulizia, majibu kutegemea
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Familia mtavaa, au mtakikimbia
Bora mtu kumgea, nyie mkakiambaa
Vumbi kukiingilia, mwisho panya kudokoa
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Wanafunzi wake pia, mlioko Tanzania
Uingereza, Russia, Marekani na India
Kiatu chasubiria, mtu wa kukichukua
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Ni nani atatokea, Masheikh kukinyakua
Kwa haraka kukivaa, aanze kutembelea
Tena saf yake nia, na ALLAH kumtambua
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Siyo ninaparamia, kiatu kusimulia
Na msije nishangaa, hata nyie fkiria
Mikono yetu inua, ALLAH kumtegemea
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
MOLA ni wa kusikia, mambo yote ya dunia
Wewe unajionea, ya moyoni wayajua,
Kiatu kinaelea, lete wa kukiokoa
Kiatu chake ILUNGA, ni nani atakivaa.
Mwisho ninaomba dua, kaburile kupanua
Makosa kumfutia, alipojitelezea
Na aliowakosea, kwa naibaye nalia
MUNGU AKULAZE PEMA, SHEIKH ILUNGA KAPUNGU.

Mwl. Zabibu I. Ngonda
Mwanza.
KIATU CHAKE ILUNGA
Kalamu i mkononi, kukupa pole malenga,
Kwa kufwa na mwandani, mumeo Shekhe Ilunga,
Qadari ya RAHMANI, Muumba nchi na anga,
Pole malenga mwenzetu, kwa kufliwa na mume.
Mauti kuyabaini, kwetu huwa fchekunga,
Yatajatufka lini, ni tambo vichwa vyagonga,
Ndani ya biladigani, majibu mwamba yagonga,
Pole malenga mwenzetu, kwa kufliwa namume.
Mjuziwe RAHMANI, yu pweke anoyapanga,
Muhali kwayo rufani, kukata wala kupinga,
Asoyaridhi yunani, kama yupo ajikenga,
Pole malenga mwenzetu, kwa kufliwa na mume.
Hayana kwa yake nduni, kizuiziwala kinga,
Sote zetu maskani, hudakhili nganganganga,
Pasi kupewa idhini, na wala hodi kugonga,
Pole malenga mwenzetu, kwa kufliwa namume.
Si insani wala jini, awezaye kujitenga,
Na Qadari ya MANANI, mbora mwenye kupanga,
Asoulizwa kwanini, kwa lolote anopanga,
Pole malenga mwenzetu, kwa kufliwa namume.
Lengo langu nudhumuni, kumfariji malenga,
Mwenzetu katika fani, mkewe Shekhe Ilunga,
Kalamu naweka chini, rambirambi naifunga,
Pole ZABIBU wa NG'ONDA, kwa kufliwa na mume.
ABUU NYAMKOMOGI MWANZA.
POLE MALENGA MWENZETU
SHUKURANI z o t e
anastahiki Mwenyezi
Mungu na Rehema na
amani zimfikie Mtume
wa Mwenyezi Mungu
na jamaa zake na Sahaba
zake hadi s i ku ya
mwisho.
A ma b a a d a y a
utangulizi huu mfupi,
niseme tu kwamba kwa
hakika dini hii ni ya
dunia nzima, ambayo
inazungumza na watu
wote wa kila jinsia na
kila tabaka na pande zote
za Dunia, kwani hapana
budi itofautishe sifa na
mambo maalum ambayo
yanafungamana na watu
wake na mahitaj i yao
katika nchi mbalimbali
Duniani.
Na umekuja Uislamu
ukiwa umebeba sheria
zake zilizo nyepesi na
ni pana. Haziepukiki
n g u z o z a k e wa l a
alama miongoni mwa
alama zake isipokuwa
Mwe n y e z i Mu n g u
ataisifa na kuipambanua
j uu ya wepesi wake,
kitu ambacho humfanya
mtu kuweza kutekeleza
na kuusi mami a kwa
u k a m i l i f u k a m a
alivyoagiza Mwenyezi
Mungu na Mtume wake
(SAW), kwani Mwenyezi
Mungu hailazimishi nafsi
jambo isiloliweza kamwe.
Amesema Mwenyezi
Mungu (hai l azi mi shi
Mwe n y e z i Mu n g u
naf si i si pokuwa l i l e
l i nal ol i we za kwani
itapata nafsi hiyo kile
ilichokichuma na kulipwa
kwa yale iliyoyafanya)
Surat Albaqarat aya ya
(286)
Uel ewa sahi hi wa
uwe pe s i : - uwe pe s i
kwa lugha ya kiarabu
ni kinyume cha uzito.
Na kutokana na hi l o
ni ( Di ni ni nyepesi )
kwa maana ya urahisi
msamaha na uchachewa
msimamumkali.
Ama katika mpatano wa
wanachuoni wa lugha hii
Kuchukua vyanzo vya wepesi ni alama ya Uislamu
Sheikh Wahid Mansour
Ally
ni kuzitekeleza hukumu
za kisheria kwa sifa za kati
na kati (Wastani) kama
ilivyokuja katika kitabu
cha Mwenyezi Mungu
na hadithi za Mtume
(SAW) bila ya kuongeza
au kupunguza na bila
kuhalalisha vya haramu
au kuharamisha vya halali
na huingia chini ya maana
hii.
Vile vile msamaha na
upana wake na kuondoa
ugumu na mengineyo ni
miongoni mwa misemo
mbal i mbal i ambayo
inabeba dalili za nafsi
yenye maana hii.
Di ni ya Ki i s l amu
inasimamia wepesi na
kuondoa ugumu na
uzito. Kwa hakika dini
ya Kiislamu kwa ujumla
wake ni yenye kusimamia
juu ya wepesi na kuondoa
ugumu, tangu mwanzo
wa imani hadi mwisho
wake, hadi katika zile
s he r i a z a ke ndogo
ndogo. Na ibada zote
hizo zinafungamana na
maumbile ya binadamu
na yanakubalika katika
nafsi ya ki l a ki umbe
bila ya kuilazimisha au
kuitaabisha. Na haya
ndio ambayo alioashiria
Mwenyezi Mungu katika
sehemu nyingi katika
kitabu chake kitukufu,
miongoni mwa maneno
yake ni na hakufanya
kwe nu ka t i ka di ni
miongoni mwa ugumu
(Surat Al-haji aya ya 78).
Na kwa neno lake vile
vile anataka Mwenyezi
Mungu kwenu wepesi na
wala hataki uzito (Surat
al-baqarat aya ya 185). Na
pia neno lake Mwenyezi
Mungu Mtukufu amesema
anat aka Mwenyezi
Mungu kukupunguzieni
na ameumbwa binadamu
ni mdhaifu (mnyonge)
(Surat Nisai aya ya 28).
Na zinafuata baada
ya aya hizi hadithi za
Mtume ambazo zinabeba
maana ya wepesi wa dini
ya Kiislamu na kutokutia
ugumu, wala msimamo
mkali katika ibada na utii,
kwani Mtume ameashiria
umuhi mu wa t of aut i
iliyopo katika ujumbe
wa Kiislamu na ujumbe
mwingine miongoni mwa
ujumbe kutoka mbinguni.
Uliotangulia ni wepesi
na urahisi na kuondoa
ugumu na taabu kama
ilivyokuja katika kauli
ya Mt u me ( S AW) ,
kwa hakika ya dini ni
nyepesi na hakuna yeyote
at akayei t i a ugumu
isipokuwa itamshinda
tu. Hivyo basi zibeni
mianya na jikurubisheni
na bashirini na ombeni
msaada asubuhi na jioni
na muda wa usi ku
a me i p o k e a I ma mu
Bukhari.
Mi f umo ya wepesi
wa sheria ya Kiislamu
k wa y ul e mwe n ye
kuzingatia wepesi wa
Kiislamu. Katika maisha
ya Mtume (SAW), utakuta
katika mwenendo wake
na mafunzo yake kwa
masahaba wake, ni juu
ya wepesi na ushahidi wa
hayo ni mambo mengi
ambayo hayahesabiki
wala kudhibitika. Lakini
tutosheke na uwepesi wa
kisa kimoja tu kilichotokea
kwa mmoja wa Masahaba
zake, ambaye alikuja kwa
Mtume (SAW) akitaka
uf umbuzi wa t at i zo
lililomtokea, naye akiwa ni
maskini ambaye hamiliki
hata chakula chake cha
siku moja.
Imepokelewa na Abii
Hurairat (RA), siku moja
akasema ewe Mtume
wa Mwenyezi Mungu
nimeangamia.
Mt ume a ka muul i z a
u n a n i n i ? Ak a s e ma
nimemuingilia mke wangu
nikiwa nimefunga. Mtume
(SAW) akasema je, unaye
mt umwa umpe uhuru?
Yul e S a ha ba a ka j i bu
sina. Mtume akamuuliza
akamuuliza je, unaweza
kuf unga mi ezi mi wi l i
mfululizo? Sahaba akajibu
hapana. Mtume akasema
je, unaweza kulisha chakula
maskini sitini? Yule Sahaba
akasema hapana.
Wakakaa kwa muda
mchache, akaletewa Mtume
kiroba cha tende, akauliza
yupo wapi yule aliyeuliza?
Sahaba akajibu ni mimi.
Mtume akasema chukua
hizi tende ukatoe sadaka.
Akasema yule Sahaba je,
yupo masikini zaidi yangu
mi mi ewe Mt ume wa
Mwenyezi Mungu? Na hasa
katika mji huu wa Madina.
Hapo akacheka Mtume hadi
yakaonekana magego yake
(meno ya kutafunia), kisha
akasema haya kawalishe
watu wako. Amesimuliwa
na I mamu Bukhari na
Muslimu.
Lakini mwishoni kwa
yeyot e at akayezi ngat i a
sheria ya Kiislamu, ataikuta
kuwa alama yake na tabia
yake imesimamia kwenye
wepesi.
Na kuondoa ugumu na
ruhusa zake ni zawadi toka
kwa Mungu kwa umati wa
Kiislamu, kinyume na umati
nyingine. Basi ni wajibu
kuzichukua ruhusa hizo
popote zinapohitajika kwa
dharura maalum.
Mtume (SAW) anasema
kwa hakika Mwenyezi
Mungu anapenda itumike
r u h u s a y a k e k a ma
anavyochukia kufanyika
maasi. ameipokea Ahmed
katika masnadi yake.
Na Mwenyezi Mungu
ndiye mwezeshaji.
Mashairi/Makala
13
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2014/2015
I: NYASAKA ISLAMIC - MWANZA
NA JINA KAMILI Comb ANAPOTOKA
1 ABDULKARIM HASHIM PCM KAHAMA
2 ALLY DARASA KUNEMA HGK DAR ES SALAAM
3 AMMAR KEBERO RASHID HGL DAR ES SALAAM
4 FERUZ YAHYA KGL DAR ES SALAAM
5 ISMAIL MASOUD ALLY HKL SINGIDA
6 ISLAM SALIM CHINKAMBA PCB MTWARA
7 JAMILLAH T. RWABUDONGO HKL DODODOMAA
8 KHALIFA KAMARUDIN HKI DAR ES SALAAM
9 MOHAMED HABIB NYUNDO HGL DAR ES SALAAM
10 MOHAMED JUMA KAMBA HGL DAR ES SALAAM
11 MUSSA KASHELO KGL MWANZA
12 NASRI A. KOMBO PCB SINGIDA
13 SALUM RAJAB SALUM CGB NZEGA
14 SHABAN O. NGAGA HKL DAR ES SALAAM
15 SWALEHE SIMON THOBIAS CBG MWANZA
16 TWAIBU ISSACK CBM BUKOBA
1 AISHA JAMAL KLA TABORA
2 ALYA AZIZ SADIKI KLA SHINYANGA
3 AMINA ZAIDI HANZURUNI HGK DAR ES SALAAM
4 AZIZA H.NDWATA EGM SINGIDA
5 BADRIA ALLY HAMIS CBG TABORA
6 FATMA FUAD SADIKI KLA SHINYANGA
7 FATMA RAMADHANI HKL MWANZA
8 HUSNA MAHMOUD SAID CBG MWANZA
9 HUSSEIN IJUMAAYUSUFU
PCB DODODOMAA
10 KUSRAT ADAM HEMED CBG MOROGORO
11 MARIAM A.KATABAZ KGL BUKOBA
12 MWANAISHA CHILUMBA PCB MWANZA
13 MWANAISHA HAMZA KLI MWANZA
14 NABILA HAMED RASHID HKL DAR ES SALAAM
15 NADRA KHAMIS KATIMBA CBM MWANZA
16 NAIBUHA H. OMAR HKL MWANZA
17 PILI DAUDI MANJALE KGL TABORA
18 REHEMA HAMIDU HGE MWANZA
19 SAIDA TWAHA HKL MWANZA
20 SAMIA HAMDUNI KGL BUKOBA
21 SANIA HAMDUNI KGL BUKOBA
22 SHARIFA SADRU HGK MULEBA-KAGERA
23 SIE RAMADHANI SUMWA PCB SINGIDA
24 SOPHIA RAMADHANI KISHOKA PCB DAR ES SALAAM
25 SUMAIYA HUSSEIN HKL MWANZA
26 SURAIYA YAHYA HGK MWANZA
27 TAUSI MOSHI OMARY HKI KIGOMA-UJIJI
28 WARDA I HAMAD CBM DAR ES SALAAM
29 WARDA RIDHWANI QASSIM EGM DAR ES SALAAM
30 YUSRA FUAD ABDUL HKL DODODOMAA
31 ZAKIA F. HAMIS HKL DAR ES SALAAM
32 ZAKIA SHABANI HASSAN PCB SINGIDA
33 HAMIS SEIF HGL MWANZA
34 HUSNA JUMA KIGOMA
35 MAISARA R. JUMA HKL KIGOMA
36 ZAINAB IBRAHIM HKL KIGOMA
37 ASHA K. ABDUL PCM KIGOMA
38 BUSINA O. KING EGM KIGOMA
39 HARUNA JITI HARUNA KIGOMA
40 SHAWILATH A. MUSTAPHA KGL KARAGWE
NA JINA KAMILI Combination MAHALI ANAKOTOKA
1 ABDULHAMID HAMZA ECA KILIMANJARO
2 ABUBAKAR W. JEZZA HKL DAR ES SALAAM
3 AHMED M DHAHIR HGL MWANZA
4 ALLY A. HAMDUN EGM DAR ES SALAAM
5 ALLY M. ABAS HKL KIBAHA
6 ATHUMANI K. ALLY ECA MOSHI
7 BARAKA MVUNGI HG.E MOSHI
8 BASHIRU N. KININA PCB KIBITI
9 FAHAD M. JUMA EGM ZANZIBAR
10 FEISAL AWADHI EGM DAR ES SALAAM
11 HASSANI M. HASSANI HKL DAR ES SALAAM
12 HUSSEIN M. MFINANGA ECA SINGIDA
13 IBRAHIM J. MSHIHIRI HGK DAR ES SALAAM
14 IBRAHIM A. ADAM HGE MOSHI
15 IBRAHIM Y. ABDI EGM DAR ES SALAAM
16 IBRAHIMU HASSANI KABANGE LBEd DAR ES SALAAM
17 KHALID R. KISANGA HKL MOROGORO
18 KISAMO IDD CBM KISARAWE
19 LUMALIZA .S. MAGANGA PCB DAR ES SALAAM
20 MANSOUR H. KHAMIS PCB DAR ES SALAAM
21 MIRAJI S. MOLIMO HKL MOROGORO
22 MOHAMED J. MOHAMED KIA* MKURANGA
23 MOHAMED SULEIMAN CBM DSM
24 MSONGA H. JUMA HKL DAR ES SALAAM
25 MUSSA A. SALLEH EGM DAR ES SALAAM
26 MWINJUMA S. MFAUME EGM DAR ES SALAAM
27 NASSIR M. OMARY EGM DAR ES SALAAM
28 SAID S SAID CBG TANGA
29 SALMINI S. HILARY HGK MOROGORO.
30 SELEMAN A. SULEIMAN EGM DAR ES SALAAM
31 SHABUKA H. KHALIFA EGM DAR ES SALAAM
32 SHADIDUS. SALIM HKL DAR ES SALAAM
33 SULEIMAN H. MBWANA KLI DAR ES SALAAM
34 SULTAN OMAR KATUNDU PCM DAR ES SALAAM
35 TWALIBU N. ALLY HKL DAR ES SALAAM
36 WINNER MHINA MTETA HGK DAR ES SALAAM
37 AZAD MOHAMED MEGHJI HGK SUMBAWANGA
38 YUSUPH MIRAJI ABDALLAH HKL KAHAMA
B: Wasichana
NA JINA KAMILI Comb ANAKOTOKA
1 AISHA B. SULEIMAN ECA DAR ES SALAAM
2 AISHA M. BYARUSHENGO HG.E DAR ES SALAAM
3 AISHA H. BARAKA CBG DAR ES SALAAM
4 AMINA K. NASSORO ECA DAR ES SALAAM
5 AMINA H. MOHA KLI DAR ES SALAAM
6 AMINA K. LWAYO HKL DAR ES SALAAM
7 ASHURA I. KASONGO HG.E DAR ES SALAAM
8 ASIA JUMA KILAGHAI HGL DAR ES SALAAM
9 AYMAN .J MOHAMED HKL DAR ES SALAAM
10 AZIZA N. SALUM HGL DAR ES SALAAM
11 AZIZA S. MFAUME KLI DAR ES SALAAM
12 FAIZA M. JUMA PCB DAR ES SALAAM
13 FARHAT MBAROUK KGI DAR ES SALAAM
14 FATMA R. BAKIR LKI DAR ES SALAAM
15 HAFIDHA M. JUMA PCB DAR ES SALAAM
16 HAWA R. MSOMA PCB DAR ES SALAAM
17 HINDO SHAIBU MWAYOLE BMEdU MBEYA
II: UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL- DSM
Tangazo
14
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
18 HUSNA H. SEMBONGWE KLA DAR ES SALAAM
19 JOKHA S.MSELEM ECA DAR ES SALAAM
20 LATIFA A. KARAMA HGE DAR ES SALAAM
21 LATIFA M. OMARY DCB DAR ES SALAAM
22 MARIAM M. IDD KLI DAR ES SALAAM
23 MARIAM O. SAIDI IKM DAR ES SALAAM
24 MARIAMU H. MZEE ECA DAR ES SALAAM
25 MARYAM H. KALIMA KGL DAR ES SALAAM
26 MGENI H. OTHMANI KLA* UNGUJA
27 MWAJUMA JUMA KLI DAR ES SALAAM
28 NADIA I. KIMARO EGM MWANZA
29 NAHDA SULEIMAN EGM DAR ES SALAAM
30 NAJMA S. TEZURA EGM DAR ES SALAAM
31 NAMCHEJA IMAM KADEGHE HGK MTWARA
32 NASRA R. YUSUPH LB.Ed DAR ES SALAAM
33 NASRA S. IRUNGA CBG DAR ES SALAAM
34 NAUMI K. MZEE EGM DAR ES SALAAM
35 NURATH SWALEHE HUSSEIN CBG KAGERA
36 NUSRAT ADAM HKL DAR ES SALAAM
37 PILI A. MOHAMED HG.E MOMBO TANGA
38 RAYA M. JUMA HKL DAR ES SALAAM
39 REHEMA ATHUMANI MOHAMED EGM DAR ES SALAAM
40 SABRINA S. KIZUKI CBG DAR ES SALAAM
41 SALMA ADAM SINGANO PCB DAR ES SALAAM
42 SAMIATH KHALID SWALEH PCB KAGERA
43 SAUDA A. KHALID EGM DAR ES SALAAM
44 SAUMU K. AHMAD CBG DAR ES SALAAM
45 SAUMU USANGAZI ALLY KGL HANDENI
46 SHEIKHAT A. MUDHIHIR PCB DAR ES SALAAM
47 SHEILAR WEDI CBG DAR ES SALAAM
48 SHENAZA R. OMARY EGM TANGA
49 WARDA M. SANGAWE HKL MOSHI
50 WARDA H. NASSORO KLA* KIGOMA
51 YUSRA R. ALLY ECA DAR ES SALAAM
52 ZAINAB H. PLANTAN HKL DAR ES SALAAM
53 ZULEKHA M. HAMAD HGK ZANZIBAR
III. Kirinjiko Islamic High School - SAME - KILIMANJARO
A:Wavulana
NA JINA KAMILI Combination MAHALI ANAKOTOKA
1 ABBAS A.KAMWE
EGM DAR ES SALAAM
2 ABBAS HASSAN WAZIRI
CB Ed
3 ABBAS M.IBRAHIM
ECA DAR ES SALAAM
4 ABDALLAH R.MSUYA
CB Ed SANYA JUU- MOSHI
5 ABDALLAH S.MBWELA
IKL DAR ES SALAAM
6 ABDILLAHI M KASSIM
KLA DAR ES SALAAM
7 ABDULBASIT ISSA
LM-ED
8 ABDULKADIR M.OMAR
BE Ed TANGA
9 ABDULRAHIM NURDIN MUNIS
ECA MOSHI
10 ABDULRAZAKI B. MSAMI
CBG DODOMA
11 ABRAHMAN A.MSANGI
HGL SINGIDA
12 ABUBAKARI H. SWAI
ECA DAR ES SALAAM
13 ABUBAKARI S.KHALFAN
PCB TABORA
14 ABUBAKARY MBAROUK
ECA DAR ES SALAAM
15 AHMAD ALLY ABDALLAH
PCB DAR ES SALAAM
16 AHMAD S.RUSAGANYA
PCB DAR ES SALAAM
17 AHMED ASHRAFU MTIRU
PCB KIBAHA
18 AHMED ALLY CHUWA
HG.E ARUSHA
19 AHMED M.MVUMA
PCB DAR ES SALAAM
20 AHMED S. MSELEM
CBG DAR ES SALAAM
21 ALI SUDI ALFANI
HGL DAR ES SALAAM
22 ALLY AREF ALLY
PCM TABORA
23 ALLY R.MWITTAH
HKL DAR ES SALAAM
24 AMIR A.OMAR
IKL DAR ES SALAAM
Inatoka Uk. 13 25 AMIR M.MATIMBA
HGK TANGA
26 AMIR SAID NONGAN
HKL DAR ES SALAAM
27 ANSWARY A, MSANGI
HG.E KIBAHA
28 ATHUMANI HABIBU
EGM DAR ES SALAAM
29 AYUOB HAMISI KIMBAU
PCB MTWARA
30 AZIZ JUMA SALUM
PCM DAR ES SALAAM
31 BARAKA SAIDI MNUNDUME
PCB MTWARA
32 BILAL EDWARD
EGM BARIADI
33 EDHA. O .ISLAM
PCB MOROGORO
34 FADHILI OMAR
ECA TANGA
35 FADHILI E.YUSUPH
HGL KIBAHA
36 FARAJI RASHID NAMBONDE
CBG MTWARA
37 FLOMAN OTHANN MPOLI
HG.E MBEYA
38 GABRIEL M.SALIM
PCM MWANGA
39 GHAZI GHALIB SAID
CBG PANGANI
40 HAMAD NURU SUYA
PCM USA RIVER
41 HAMIS R AMIRI
CBG KILIMANJARO
42 HANIF M.SULEIMAN
HGL DAR ES SALAAM
43 HAROUB ISSA OMARI
KLA PANGANI
44 HARQ H RUHOMUYA
HKL DAR ES SALAAM
45 HASSAN M. HASSAN
CBG ZNZ
46 MOHAMED G. LARDHI
PCM MOROGORO
47 SALEH M SALEH
CBG MOROGORO
48 HASSAN M OMARY
CBM MANYARA
46 HASSANI M. HASSANI
CBG DODOMA
47 HASSANI M.SINDE
HGK PWANI
48 HEMED.J.MDEE
CBG KILAKALA
49 HEMEDI JUMA MATALI
HGL LINDI
50 HUSEIN S. BONDO
HKL DAR ES SALAAM
51 HUSEIN SADICK MSANGI
PCB LUSHOTO
52 HUSSEIN ALLY KEAH
PCM ARUSHA
53 IBRAHIM R MBANO
PCB
54 IDDY A IDDY
CBM ARUSHA
55 IDHHAR M KASSIM
PCB DAR ES SALAAM
56 ISMAIL BILAL SWALEHE
HGL TANGA
57 ISMAIL N. MKAMBLA
ME Ed DAR ES SALAAM
58 ISMAIL H.MABOTE
CBG DAR ES SALAAM
59 ISMAIL MASOUD ALLY
HKL SINGIDA
60 ISSA MOHAMED
HGK DAR ES SALAAM
61 JAMALI J.ABDALLAH
PCB HAI-KILI
62 JUMA DADI
EB Ed MTWARA
63 JUMA H.CHAGAMBA
HGK DAR ES SALAAM
64 JUMA J.ATHUMANI
ECA DAR ES SALAAM
65 JUMA R.MTAMBO
IKL
66 JUMAA ABEID SHAURI
CBG DAR ES SALAAM
67 KARIM H.NGWENDE
HKL DAR ES SALAAM
68 KARIM MAJID HASSANI
HKL DODOMA
69 KARIM.RASULY.MCHOMVU
CBG ARUSHA
70 KHALFAN R MKONGO
PCB LUSHOTO
71 KHALID M MZEE
HKL DAR ES SALAAM
72 KHAMISI NYANGE KHAMISI
BC Ed PANGANI
73 MAFUTA IDDRIS
PCM PANGANI
74 MAHMOUD M.ABDALLAH
KLA IRINGA
75 MBEGESE K. MRUTU
PCM DAR ES SALAAM
76 MIRAJ ISMAIL KIDULA
ECA ARUSHA
77 MOHAMED A.HAMZA
CBG MUHEZA
78 MOHAMED AHMED ALLY
ECA
79 MOHAMED AHMED ALLY
ECA DAR ES SALAAM
80 MOHAMED ATHUMANI MAKIYA
EGM SINGIDA
81 MOHAMED H. MBAGA
MC Ed DAR ES SALAAM
82 MOHAMED K.ALKHAROUS
PCB TANGA
83 MOHAMED S MOHAMED
HKL DAR ES SALAAM
84 MUBARAK M. MFAUME
ECA DAR ES SALAAM
85 MUSSA A MALOLO
PCB DAR ES SALAAM
86 MUSTAPHA H. KUHEMBA
PCM MWANZA
87 NURDIN M.RAMADHANI
IKL TANGA
88 OMAR ANNAS RASHIDI
EGM SAME
89 OMARI HABIBU MORA
PCM MOROGORO
90 OTHMAN A.NAMPEMBE
PCB DAR ES SALAAM
91 OTHMAN M. ABDALLAH
HKL TANGA
92 RAMADHAN S.MBWEZE
PCM TANGA
93 RAMADHAN S.RAMADHANI
IKL DAR ES SALAAM
94 RAMADHANI JUMA
CBM GEITA
95 RAMADHANI MWAZERE
CBM TANGA
96 RAMJI KISUSE ABTWALBU
KGL MWANGA
97 RASHID J.RAMADHAN
ECA DAR ES SALAAM
98 RASHID BAKARY PINGU
PCM DAR ES SALAAM
99 RASHID HABIB SEIF
HKL DAR ES SALAAM
100 SAIDI ALLY
HKL BABATI
Inaendelea Uk. 15
Tangazo
15
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
101 SAIDI MKENDA
KGL DAR ES SALAAM
102 SAIDI Y.HABIBU
KLA DAR ES SALAAM
103 SALEH ABUU MAYANGE
ECA LUSHOTO
104 SAMID S.KYARUZI
CBG DAR ES SALAAM
105 SHABANI AHMAD FADHILI
CBM DAR ES SALAAM
106 SHABANI H.MLILAPI
PCM IRINGA
107 SHABANI S.MOGWA
PCB TANGA
108 SHAMSI AZIZI SALIM
HKL LANGASANI
109 SHEMLANI S.MWAYOLE
CBM
110 SWALEH M NGAINA
CBG MOSHI
111 THABITI ABDALLAH
CBM ARUSHA
112 TWAHA A.NJALAMOTO IKL
DAR ES SALAAM
113 TWAHIRU KASSIM STIMA
HGK MKINGA
114 YUSUPH M MSANGI
ECA DAR ES SALAAM
115 YUSUPH R.RASHID
CBG LUSHOTO
116 YUSUPH R.SENZOTA
PCM DAR ES SALAAM
117 ZAHARUKI ALLY CHAMBILA
PCB MTWARA
118 ZAHOR M.ZAHOR
PCB DAR ES SALAAM
119 ZAKARIA M.ABDUL
KLA IRINGA
B:Wasichana
NA JINA KAMILI Combination MAHALI ANAKOTOKA
1 AISHA MAULIDI ISSA
HKL BABATI
2 AMINA M.OTHMAN
HKL KILWA
3 AMINA N LUSHINO
CBG SAME
4 AMINA A. MWAKAKWATA
HKL DAR ES SALAAM
5 AMINA KHLFAN SHABAN
HKL DAR ES SALAAM
6 AMINA NURDIN
PCB DAR ES SALAAM
7 AMINA Y MPWAWA
HKL DAR ES SALAAM
8 ASHA IDDI
PCB TANGA
9 ASHA H KIJUU
HGL DAR ES SALAAM
10 ASHA J.MUNISI
CBG MOSHI
11 ASHA SHAIBU MWAYOLE
CBM MBEYA
12 ASMAA ALLY LEMA
HG.E DAR ES SALAAM
13 ASMAH KASSIM RAJAB
HG.E ARUSHA
14 ATTIA OMAR NASSOR
CBG ZANZIBAR
15 AZIZA A.MUSHI
HKL DAR ES SALAAM
16 BIUBWA A. MOHAMED
CBG DAR ES SALAAM
17 DARLIN KAKOZI
PCB MBEYA
18 FADHILA ABDULA ABDI
CB Ed DAR ES SALAAM
19 FADHILA YAQUB EMANUEL
HG.E MWANZA
20 FATINA SALIM MFUCHU
HKL ARUSHA
21 FATMA A.MASOUD
HGL DAR ES SALAAM
22 FATMA ADALLAH SAID
KLA LINDI
23 FATMA IBRAHIM RAJAB
PCB TANGA
24 FATMA MOHAMED
CBG DAR ES SALAAM
25 FATMA OMARY HASHIMU
CBG SAME
26 FATMA OMARY MGANGA
ECA SAME
27 FATMA RASHID HAMAD
PCB ZANZIBAR
28 FATMA YUSUFF KHAMIS
HKL MUHEZA
29 FATUMA A. MWANDEME
CBG TANGA
31 FATUMA ABBAS AALLY
KGL DAR ES SALAAM
32 FATUMA IBRAHIM MWENDO
HKL DODOMA
33 FAUDHIARAT K SHABANI
EGM DAR ES SALAAM
34 HABIBA N MZIRAY
EB Ed MOSHI
35 HAJRA MUSSA SHEWALI
HKL KOROGWE
36 HAJRA MUSSA SHEWALI
HKL KOROGWE
37 HAJRA Q. RAMADHANI
PCB DAR ES SALAAM
38 HALIMA SULEYMAN
PCM DAR ES SALAAM
39 HANIFA MOHAMEDI OMARI
HKL MOROGOROGORO
40 HAWA AYUBU KIMOMWE
HGL MOSHI
Inatoka Uk. 14
41 HUSNA ALLY MUSHI
PCB KILOMBERO
42 HUSNA H SINGANO
KGL DAR ES SALAAM
43 HUSNA KHALIFA MRUMBI
PCB DAR ES SALAAM
44 HUSNA WAZIRI FARAJI
HGK HANDENI
45 HUSNA YUSUPH IGUGU
HKL SAME
46 JAMILA HASANAL SWAI
HGK DAR ES SALAAM
47 JOHARI SAID SHAABAN
PCB MBEYA
48 JOKHA SALIM MSELLEM
ECA DAR ES SALAAM
49 KHADIJA ALLY MCHARO
HKL DAR ES SALAAM
50 KHADIJA ALLY MSEMO
PCB DAR ES SALAAM
51 KHADIJA ISMAIL OMARY
CBG BAGAMOYO
52 KHADIJA M BYABUSHA
KLI MWADUI
53 KULUTHUM SUFIAN MSUYA
ECA DAR ES SALAAM
54 LEYLA MUSSA SHEWALI
PCB KOROGWE
55 LEYLA MUSSA SHEWALI
PCB KOROGWE
56 LULU BAKARI MLANDULA
KGL DAR ES SALAAM
57 MAIMUNA KOMBO HABIBU
ECA DAR ES SALAAM
58 MARIAM AHMAD MTUNGI
KLA DAR ES SALAAM
59 MARIDHIA KHALID K
HKL MWANZA
60 MARYAM H.MKWIZU
CBG SAME
61 MWAJABU S NSIGARILA
ECA SAME
62 MWAMVITA ZUBERI MUSA
EB Ed KABUKU
63 MWANAIDI RIDHWANI MSANGI
HKL SAME
64 NASRA HUSSEIN AMIRI
EGM DAR ES SALAAM
65 NEEMA R. PEMBE
CBG DAR ES SALAAM
66 NURATH S.RAMADHANI
EGM DAR ES SALAAM
67 NURU T.KISUGURU
HG.E DAR ES SALAAM
68 PENDA RAJAB MBILO
PCB MAWENI
69 RABIA A.OMARY
EGM DAR ES SALAAM
70 RAHMA AKIDA
PCB DAR ES SALAAM
71 RAHMA ANUARY SAADAT
CBG DAR ES SALAAM
72 RAHMA JUMA MAGEMBE
PCB LUSHOTO
73 RAHMA SALUM MRUMA
PCB ARUSHA
74 RAHMA SAM COY HG.E
DAR ES SALAAM
75 REHEMA S. HAMISI
IKL DAR ES SALAAM
76 RESTITUTA SEBASTIAN URASA
HKL MOSHI
77 RUKIA MAULIDI SWAI
HG.E TARAKEA
78 SABAHA S. RAMADHANI
HKL DODOMA
79 SALAMA J.GOYALI
KGL KIBAHA
80 SALAMA M KIDELA
HKL MOSHI
81 SALMA Y. RAMADHAN
BE Ed LUSHOTO
82 SALMA ATHUMANI KILODYA
HGK MTWARA
83 SALMA MASOUD SHAABAN
PCM ZANZIBAR
84 SAMIA MUHENE ABDALLAH
HGL DAR ES SALAAM
85 SAMIRA O KAMGWELE
CBG MOROGORO
86 SAUMU R. NKOKOO
PCB DODOMA
87 SHADYA YUNUS ATHMANI
BE Ed TANGA
88 SHAKILA MIRAJI ISMAIL
EGM DAR ES SALAAM
89 SHAMILA CHAMBO
CB Ed KOROGWE
90 SHARIFA I. MFANGA
KGL SAME
91 SHUHUDA ABDULY NJAU
KLA HAI
92 SUMAIYA H. MADIKA
CBG DAR ES SALAAM
93 SURAIYA JUMA MAMBI
HGL TANGA
94 TUNU JAMAL
CB Ed MWANZA
95 WARDA MOHAMED
HKL DAR ES SALAAM
96 ZAINAB SALUM SAGALO
CBG DAR ES SALAAM
97 ZAKIA M MSHANA
HKL DAR ES SALAAM
98 ZUHURA HAMZA SEIF
ECA DAR ES SALAAM
99 ZUHURA IBRAHIM
HKL DAR ES SALAAM
100 ZUHURA S.IBRAHIM
HKL MOSHI
101 ZULFA SHAFII HUSEIN
PCB DAR ES SALAAM
1 . BARUA NA MAEL EKEZO YA KUJ I UNGA NA SHUL E ( J OI NI NG I NSTRUCTI ONS) ZI TAPATI KANA KATI KA VI TUO ZI L I POUZI WA FOMU KUANZI A
TAREHE 26/05/2014, PIA JOINING INSTRUCTIONS ZINAPATIKANA KATIKA TOVUTI: www.ipc.org.tz

2 . WAL I OCHAGUL I WA WANATAKI WA KUTHI BI TI SHA KUKUBAL I NAFASI WAL I YOPEWA KWA KUL I PA ADA NA MCHANGO WA UJ ENZI KABL A YA
TAREHE 13/06/2014.
3. KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU KWA MKUU WA SHULE ULIPOCHAGULIWA KWA NAMBA ZIFUATAZO:
A. MKUU WA SHULE - NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL - +255713749020, +255764749020, +025586417685
B. MKUU WA SHULE - UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL +255712974428, +255684306650
C. MKUU WA SHULE - KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL+255655296424, +255784296424
Tangazo
16
AN-NUUR
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
RAJAB 1435, IJUMAA MEI 23-29, 2014
Soma
Gazeti la AN-NNUR
kila Ijumaa
DEBBIE Peters, ameibua
hasira za Wakristo duniani
kot e . Aki s he r e he s ha
ukatili wa Boko Haram,
alijitambulisha kuwa yeye
ni katika wahanga wa Boko
Haram. Debora Peters aka
Deborah Nyasha Peters,
anasema kuwa, marehemu
b a b a ya k e a l i k u wa
mchungaji katika kijiji
cha Chibok, walikotekwa
wasichana wa shule. Anadai,
Boko Haram walivamia
nyumbani kwao mwaka
2011 wakamtaka baba yake
abadili dini, awe Muislamu.
Alipokataa wakampiga
risasi wakamuuwa.
Kisha wakamfuata kaka
yake, naye wakamt aka
asilimu, akasema kuwa naye
anataka kuwa mchungaji wa
kumtumikia Bwana kama
baba yake. Naye akapigwa
risasi kichwani, kifuani na
mdomoni akauliwa.
Deborah Nyasha Peters,
anayaeleza hayo Jumanne ya
wiki iliyopita mbele ya lundo
la kamera za televisheni zote
kubwa za Marekani na za
kimataifa, katika ukumbi
wa Huds on I ns t i t ut e,
Washington D.C, uliojaa
watu wazito wakiwemo
wabunge.
Kati ka mael ezo yake
Debora anasema kuwa
naye anatoka katika kijiji
cha Chibok walikotekwa
wa s i c ha na wa s hul e
n a k wa mb a we n g i
anawafahamu, ndio maana
kwa uchungu ameona
azungumzie juu ya kitisho
c ha Bo k o Ha r a m i l i
jamii ya Wamarekani na
ulimwengu kwa ujumla ijue
yanayowasibu Wakristo wa
Nigeria.
Kati ka mael ezo yake
inaonyesha kuwa kijiji cha
Chibok, kina Wakristo wengi
ndi o maana ki mekuwa
shabaha ya mashambulizi
ya Boko Haram.
Mwa n di s h i mmo j a
akionyesha kuwa Debora
sio msanii mzuri anasema:
She seems awfully happy
for a person who just saw her
father and brother gunned down
by so-called Islamist maniacs,
while herself enduring the abuse
of a kidnapping.
Mwandi shi anasema
hivyo kwa sababu katika
Uwongo uliowatia hasira Wakristo wote dunia zima
Si Biblia inasema msishuhudilie uwongo?
Na Omar Msangi
video anaonekana Demorah
akiwa na macho makavu
ka bi s a , huku wa ka t i
mwi ngi ne aki onekana
kutabasamu halafu anastuka
na kuigiza kufuta machozi.
Mwandishi huyo anasema,
kwa mtu alioyeshuhudia
baba yake na kaka yake
wakipigwa risasi na kuuliwa
mbele yake hawezi kuwa
na macho makavu kiasi
kile huku anatabasamu
akisimulia.
Alivyomaliza maelezo
yake, Deborah akai bua
bango lililoandikwa Bring
Back Our Girls, kibwagizo
kinachotumika dunia nzima
hivi sasa.
K a t i k a u k u m b i ,
wanaonekana wabunge
akiwemo, Nancy Pelosi
na John Boehner, huku
waliohudhuria wakionyesha
nyuso za huzuni kutokana
na maelezo yake waandishi
nao wakij itahidi kupata
picha nzuri.
Hata hivyo, baada ya
kutoka taarifa zile katika
vyombo vya habari, wadadisi
wa mambo wanauliza, na
wanahoji:
Deborah anasema baba
yake na kaka yake waliuliwa
na magaidi wa Boko Haram,
nani walimfuata huko kijijini
Chi bok, Borno, Ni geri a
na kumpa tiketi kwenda
Marekani?
What did she do, escape
in that remote, impoverished
area and then immediately
buy a ticket?
Alifanya nini akaweza
kutoroka na alifanya biashara
gani ya kumwezesha kununua
tiketi ya kwenda Marekani,
na ikizingatiwa kuwa anatoka
Chibok, kijiji masikini kilicho
mbali pembezoni kabisa mwa
Nigeria. Halafu, sio kwenda
Marekani tu, lakini District
of Columbia? na kupokewa
na taasisi ya Rockefeller.
Who in this universe would
ever do so? People do not visit
America to go to Rockefeller
institutes in D.C. So, despite
being kidnapped and seeing,
as she reports, her father and
brother killed, she has capacity
and fnances to procure such an
expensive ticket, board a jet, and
fy to D.C., all on her own for a
visit? Moreover, she does so,
even though she is a mere village
girl, all of 15, achieving the
untenable, a minor, fying to a
strange land on her own? Plus,
at that age she has a passport?
What a flthy , treacherous lie
it is.
Haya ni baadhi ya maswali
wanauliza watu, kwamba
binti huyu masikini wa
kijijini, aliwezaje kununua
tiketi akapata na pasipoti
akapanda ndege na kwenda
Marekani? Na kwa nini
ashuki e mikononi mwa
Rockefeller institutes.
Pamoj a naye Deborah
ka t i ka mkut a no huo
na waandishi wa habari,
a l i k u wa E mma n u e l
Oge be , mwa na s he r i a
aliyetambulishwa kuwa
ndio kwanza karejea kutoka
Nigeria kufuatilia hatma ya
wasichana waliotekwa na
Boko Haram. Katika maelezo
yake Ogebe, alisisitiza juu
ya kitisho cha Uislamu
(radical Islam) katika Nigeria
akitoa wito kwa Marekani
kuchukua hat ua huku
akiilaumu kuwa imekuwa
ikifumbia macho kitisho cha
Uislamu Nigeria.
Anasema, Boko Haram
ni Waislamu wanaotaka
Nigeria itawaliwe na Sheria
za Ki i s l amu ambapo,
badala ya watu kupelekwa
ma ha ka ni , wa t a kuwa
waki kat wa vi chwa na
kupigwa mawe na mijeledi
hadhrani katika uwanja wa
mpira.
Emmanuel Ogebe akiililia
Marekani anasema, serikali
ya Nigeria imeshindwa
kukabiliana na watu hao
waovu, kwa hiyo anaihimiza
Marekani kufanya haraka
kuwanusuru Wakristo.
Li nal os hangaza j uu
ya watu hawa wanaojiita
Wakristo na kuzungumza
kwa j i na l a Ukri sto, ni
huku kusema uwongo ulio
wazi na wenyewe wakijua
kuwa wanasema uwongo,
kinyume kabisa na huo
Ukristo wenyewe.
Hii ni kuonyesha kuwa
wao na hao mabwana zao,
agenda yao sio dini, bali
Ukristo ni njia tu ya kupitia
kama ambavyo mahal i
pengine hutumia kisingizio
cha rangi, utaifa, madhehebu
na maeneo ya kijiografia
kama ilivyokuwa Sudan
Kusini.
Uchunguzi unaonesha
kuwa Debbie Peters, aka
Deborah Nyasha Peters,
ni mfanyakazi wa taasisi
moja ya David Rockefeller
inayojulikana kwa jina la
Southwell Designs Limited.
Rockefeller anatajwa kuwa
katika vigogo wakubwa wa
Kizayuni katika Marekani
(Americas most powerful
Zionist), na kwamba maelezo
yot e al i yot oa Deborah
Nyasha Peters ni ya kutunga
ili kukoleza kitisho cha Boko
Haram na kuita hasira ya
Marekani kupeleka jeshi.
Kinyume na taarifa kuwa
Deborah ana umri wa miaka
15, taarifa nyingine zinasema
kuwa alizaliwa mwaka 1967
na kwamba sasa ana umri wa
miaka 46, kwa hiyo hawezi
kuwa mtoto wa shule.
She was likely trained for
this aspect of the scam to act
somewhat childish. This is the
real Debbie Peters, a well-placed
CFR-Rockefeller mole.
Inasema taarifa moja na
katika kukoleza kitisho cha
Uislamu inadaiwa kuwa
zai di ya Wakri st o 900
wameshauliwa na Makanisa
60 kulipuliwa kwa kipindi
cha mwaka jana 2013 pekee.
Hayo yalielezwa katika
mjadala (panel discussion)
ulioandaliwa na taasisi ya
Hudson (Hudson Institute).
BAADHI ya watoto wa shule wanaodaiwa kutekwa na Boko Haram.

You might also like