Professional Documents
Culture Documents
Matukio Muhimu Yatakayokuwepo Katikati Ya Juma La 70 La Danieli
Matukio Muhimu Yatakayokuwepo Katikati Ya Juma La 70 La Danieli
1. Kwa muhtasari
2. Kahaba wa Babeli
Mfumo huu wa dini ya uongo utakaa juu ya maji mengi, yaani juu
ya watu wengi wengi, mataifa na lugha mbali mbali
2
Mfumo huu wa dini ya uongo kwa karne nyingi kwa ujanja kabisa
umemuondoa “uzao wa mwanamke” (Kristo) na kuweka kumuabudu
mama na mtoto au “Malkia wa Mbingu” kulikolaaniwa kwa nguvu zote
na manabii wa kale, Yer.44:16-19; 24:28. Angalia pia Ufun.17:2,3,6.
Mwanamke kahaba huyu amewatawala kwa miaka mingi wafalme wa
dunia. Vivyo hivyo, katika siku za mwisho, uhusiano ule ule na ufalme
wa mwisho wa mnyama wa Shetani, kwa kutumia umaarufu wake wa
kimatatifa alioujenga hapo kale, atamsaidia Mpinga Kristo kukusanya
muungano wa mataifa kumi ambao utakuja kutawala dunia,
Ufun.17:12,13.
wale watakaomuabudu na
wale watakaokataa kumuabudu na kujitoa kikamilifu kwake.