Download as doc, pdf, or txt
Download as doc, pdf, or txt
You are on page 1of 2

DIWANi wa viti maalum kata ya Lupingu wilaya ya

Ludewa Prisca Kayombo(Zaruta ameku!a papo "apo na wengine


ku#eru"iwa vibaya katika a#ali ya a#ali mbaya ya gari iliyotokea
leo asubu"i$
%as"u"uda wa a#ali "iyo walio&ungum&a na mtandao "uu
walidai kuwa c"an&o c"a a#ali "iyo ni gari "ilo ambalo walikuwa
wakisa'riki kutoka Lupingu ( Ludewa ku!eli breki na "ivyo
kupinduka $
)redo *aule alisema kuwa baada ya gari "ilo aina ya +oyota
)osta inayo#ulikana kwa #ina la D%, iliyokuwa iki!anya sa!ari &ake
kutoka Ludewa %#ini kuelekea Lupingu -ku!eli breki dereva
aliwataka abiria kutulia ndani ya gari "ilo ila diwani "uyo
"akuwe&a ku!anya "ivyo na kuamua kuc"ukua maamu&i
magumu ya kutaka kuruka katika gari "ilo$
Alisema kuwa wakati akiruka alimsukuma utingo wa basi "ilo
na "ivyo wote wawili utingo na diwani ku!unikwa na gari "ilo na
kupelekea ki!o c"a diwani "uyo "uku utingo "uyo akiwa
ma"ututi baada ya kubanwa na gari "ilo$
. Diwani "uyo amepote&a mais"a wakati akiwa n#iani kuelekea
ku#umuika na wananc"i wake katika s"ug"uli ya maendeleo ya
kuc"imba mas"imo ya ngu&o &a umeme kuelekea ki#i#ini kwake
Lupingu.
%bunge wa #imbo la Ludewa Deo /ilikun#ombe ameele&a
kusikitis"wa na ki!o c"a diwani "uyo kutokana na mc"ango
wake mkubwa aliouonyes"a en&i wa u"ai wakati kwa kus"iriki
vema na wananc"i wa kata yake katika &oe&i la ku!yeka na
kuc"imba mas"imo ya ngu&o &a umeme kwenda Lupingu$
Alisema kuwa anakumbuka ni wiki mbili pekee &imepita toka
diwani "uyo alipoungana nae katika uc"imba#i wa mas"imo ya
ngu&o &a umeme kwenda ki#i#i c"a Ntumbati na kuwa "ata
wakati a#ali "iyo inamkuta bado alikuwa katika "arakati &a
kuwatumikia wananc"i wake$
. Ludewa tumempote&a diwani mc"apa ka&i na aliyependa
ku#ituma muda wote na "ata wakati mwingine diwani "uyo
alikuwa aki!anya ka&i ngumu kama mwanaume kwa kubeba
ngu&o &a umeme kwa kus"irikiana na mimi na wananc"i
wake $$$$$kwweli ki!o c"ake ni pigo kubwa ndani ya ))% na kwa
wananc"i wa kata n&ima ya Lupingu.
Kwani kati ya madiwani waliokuwa bega kwa bega na wananc"i
wao na mbunge ni pamo#a na diwani "uyo ambae alikuwa
mstari wa mbele kuona kata ya Lupingu inapata umeme wa
u"akika baada ya miaka &aidi ya 01 ya 2"uru bila umeme $
%bunge /ilikun#ombe alisema atamkumbuka diwani "uyo
kutokana na mc"ango wake mkubwa katika maendeleo na vile
alivyo!anya ka&i na wananc"i wote bila ku#ali itikadi &ao &a
vyama$
%kuu wa wilaya ya Ludewa 3uma %ada"a amet"ibitis"a
kutokea kwa a#ali "iyo iliyosababis"a ki!o c"a diwani "uyo na
kuwa a#ali "iyo ilitokea ma#ira ya saa 4 asubu"i $

You might also like