Professional Documents
Culture Documents
MEM45
MEM45
MEM45
NISHATI &MADINI
NewsBulletin
Australia
http://www.mem.go.tz
Toleo No. 45
Somahabari Uk.2
Balozi wa Australia nchini anayemaliza muda wake, Geoff Tooth (kulia) akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wizara ya Nishati na Madini,
Mhandisi Ngosi Mwihava. Balozi huyo alimshukuru kwa ushirikiano alioupata kutoka katika Wizara na kumhakikishia kuwa Serikali ya Australia
imedhamiria kuuenzi ushirikiano huo ambao ni wa kihistoria. Alisema Tanzania ijiandae na uwekezaji mkubwa kutoka kwa kampuni kubwa za
Australia hususani katika masuala ya mafuta na gesi asilia.
NewsBulletin
NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (katikati) katika picha ya pamoja na Balozi Geoff Tooth (wa pili kutoka kulia).
Wa kwanza kushoto ni Afisa wa wizara ya Mambo ya Nje katika Idara ya Asia na Australia, Bertha Makilagi, anayemfuatia ni Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya
Rasilimaliwatu Lusius Mwenda kutoka wizara ya Nishati na Madini.
NewsBulletin
MAONI
http://www.mem.go.tz
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
zilizokidhi vigezo kufuatia Zabuni ya Nne ya Vitalu vya Utafiti wa Mafuta na Gesi iliyotangazwa
na Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli
Tanzania (TPDC) na maombi yake kufungwa rasmi
mwezi Mei mwaka huu.
Kwa upande wake Meneja katika Idara ya
Maendeleo ya Biashara wa kampuni ya CNOOC
International Hu Gencheng alieleza kuwa kampuni
yake iko tayari kushirikiana na kufanya kazi na
Tanzania katika sekta husika kutokana na uhusiano
mzuri uliopo baina ya nchi hizo na zaidi kufuatia
uzoefu katika shughuli za utafutaji na uchimbaji
wa mafuta na gesi na kuongeza kuwa, kampuni hiyo
inalenga kubadilishana uzoefu wa kitaalamu na kiteknolojia na Tanzania ili taifa liweze kunufaika na
rasilimali hizo.
Tuko tayari kwa majadiliano na TPDC na
Wizara ili kufanya kazi na Tanzania katika sekta
hii. Tuna masoko, teknolojia na uzoefu mkubwa.
Tunataka kubadilishana ujuzi na ninyi ili maendeleo
tuliyofikia katika masuala haya yainufaishe na Tanzania, aliongeza Gecheng.
Kwa mujibu wa Gencheng, kampuni ya
CNOOC International ni kampuni ya pili Duniani
kwa ukubwa, teknolojia na utaalamu katika masuala
ya Gesi iliyosindikwa. (LNG).
Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Umeme Mhandisi Innocent Luoga (wa kwanza kulia), akiongea
jambo katika kikao baina ya Wizara ya Nishati na Madini na Kampuni ya CNOOC International ya China. Katikati ni
Naibu Katibu Mkuu Mhandisi Ngosi Mwihava.
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
BODI YA UHARIRI
MHARIRI MKUU: Badra Masoud
MHARIRI : Leonard Mwakalebela
MSANIFU: Essy Ogunde
WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson Mwase
Teresia Mhagama, Mohamed Saif na Nuru Mwasampeta
FIVE
PILLARS OF
REFORMS
INCREASE EFFICIENCY
QUALITY DELIVERY
OF GOODS/SERVICE
SATISFACTION OF
THE CLIENT
SATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERS
SATISFACTION OF
SHAREHOLDERS
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, (Nishati) Charles Kitwanga (wa kwanza kushoto)
akiwa kwenye maandamano ya mahafali ya Chuo cha Madini Dodoma (MRI), kulia
kwake ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST), Prof.Abdulkarim
Mruma na watatu ni Makamu Mkuu wa Chuo Bw. Ramadhani Singano
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, (Nishati) Charles Kitwanga (katikati) akijiandaa kukata utepe
kufungua madarasa mapya mawili ya Chuo Cha madini. Kushoto ni Mkuu wa Chuo Sudian
Chiragwile na Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Prof. Abdulkarim Mruma.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Waziri wa Nishati
na Madini
Profesa Sospeter
Muhongo (kulia)
akisisitiza jambo
kwenye ufunguzi
wa kikao kwa
ajili ya kusaini
makubaliano ya
awali (MoU) kati
ya Kurugenzi ya
Utafiti wa Madini
ya Uturuki na
Wakala wa Jiolojia
Tanzania (GST)
Mmoja wa washiriki wa kikao hicho kutoka ujumbe wa Uturuki akichangia mada kabla ya kusaini
makubaliano ya awali (MoU) kati ya Kurugenzi ya Utafiti wa Madini ya Uturuki na Wakala wa
Jiolojia Tanzania (GST)
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Mkurugenzi wa kampuni ya DermCapello, Mhandisi Ridhwani Mringo (wa kwanza kushoto), akizungumza
masuala mbalimbali kuhusu kampuni hiyo inayotaka kuwekeza katika umeme jua na kujenga kiwanda cha
kutengeneza vifaa vya umeme jua nchini.Wanaomsikiliza ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (katikati) na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya DermCapello
Rais wa kampuni ya Capello ya Italia, Capello Giuseppe akizungumza wakati wa kikao kati ya kampuni hiyo na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini. Kampuni hiyo iliyoungana na
watanzania na kuunda kampuni ya DermCapello walifika Wizara ya Nishati na Madini ili kueleza nia yao kuwekeza katika umeme wa jua.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Wachimbaji
wadogo kunufaika
miradi ya SMMRP
Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja, akizungumza jambo
wakati wa kikao cha Kamati Tendaji inayoratibu miradi kupitia Mradi wa Usimamizi
Endelevu wa Rasilimali Madini Nchini (SMMRP), iliyokutana kujadili masuala
mbalimbali kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali zilizopangwa
kutekelezwa katika Awamu ya pili.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Tendaji inayoratibu miradi kupitia Mradi wa Usimamizi Endelevu wa
Rasilimali Madini Nchini (SMMRP), wakimsikiliza Kamishna wa Madini Tanzania Mhandisi Paul Masanja
(hayupo Pichani), ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo,
Na Asteria Muhozya,
Dar es Salaam
Meneja Miradi wa SMMRP Mhandisi Idrisa Yahya (wa kwanza kulia), akiongea
jambo wakati wa kikao cha Wajumbe wa Kamati Tendaji inayoratibu miradi kupitia
Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini nchini (SMMRP), anayesikiliza
ni Kamishna Msaidizi wa Madini Kitengo cha Baruti, Oforo Ngowi
ajira kwa vijana wa Tanzania na Pato la
Taifa, Vilevile, aliongeza kuwa, wachimbaji
madini wanatarajiwa kunufaika kupitia
ruzuku ambayo imeongezwa kiwango
huku kipaumbele kingine kikitolewa
kwa wanawake wanaofanya shughuli za
uchimbaji kwa kuongezewa ruzuku ya dola
za Marekani 30,000 ikiwa ni kiwango cha
juu, itakayowawezesha kufanya shuguli
nyingine za kiuchumi tofauti na shughuli
za madini.
Kwa upande wa wachimbaji madini
wadogo katika awamu ya pili ya ruzuku
imeongezewa kiwango kutoka Dola za
Marekani 50,000 hadi Dola za Marekani
100,000 na wakina mama au vikundi vya
madini nchini kwani mchimbaji mdogo hawezi kupewa ama kumiliki eneo la mchimbaji mwenye leseni
kubwa japokuwa mchimbaji mkubwa anaruhusiwa
kumiliki eneo la mchimbaji mdogo kisheria.
Katika kuthibitisha hayo Nyenzi alionyesha leseni
kadhaa za STAMIGOLD na jinsi ya kuingiza Kodineti katika ramani za umiliki wa maeneo na kuweza
kutambua kama eneo hilo liko ndani ya mgodi wa
STAMIGOLD.
Mwenyekiti wa kikundi hicho, Husein Kavula
alifafanua kuwa, kikundi chao kinaendelea kufuata
taratibu zote za kisheria ili kupata eneo lililo wazi kwa
ajili ya kuanzisha shughuli za uchimbaji madini hivyo
STAMIGOLD kama mgodi wa jirani ni vyema
kufahamu hilo.
Tunaomba ushirikiano wa namna yoyote aidha
wa kiushauri ama kitaalamu ili kufanikisha azma
yetu kwani shughuli za uchimbaji hasa upimaji wa
kodineti kwa ajili ya utafiti wa eneo lililo wazi na
lenye madini linahitaji msaada wenu. Hivyo, sisi
kama wachimbaji wadogo tunaomba ushirikiano
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Global Events and
Partners ya Uingereza, Danny Grogan (kushoto) ambayo imeleta ombi la kuandaa kongamano la Mafuta na Gesi na mafuta nchini.Wengine katika picha
ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Nishati na Madini, Mrimia Mchomvu (wa pili kulia) na Mchumi Mwandamizi, Oscar Kashaigiri (wa
pili kushoto).
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Global Events Partners
ya Uingereza, Danny Grogan. Kampuni hiyo imeleta ombi la kuandaa kongamano la Mafuta na Gesi nchini.
NewsBulletin
Norway
Ujenzi wa mtambo wa
gesi kuchukua miaka 7
http://www.mem.go.tz
JENZI wa mtambo wa
kuchakata gesi asilia kwa
ajili ya matumizi mbalimbali (LNG) mjini Mtwara
unakadiriwa kuchukua miaka takriban saba na kutoa ajira kwa watu
10,000.
Meneja Uendeshaji wa kampuni ya
Statoil Tanzania Bw. Thomas Mannes
amesema kuwa, mambo yakienda kama
yalivyopangwa, mtambo huo utakuwa
tayari kwa uchakataji kati ya mwaka 2022
au 2023.
Akizungumza na viongozi wa dini
wa Tanzania waliotembelea mtambo wa
uchakataji gesi wa Statoil uliopo Karsto,
Bw.Mannes amesema kuwa mradi huo
mkubwa utagharimu mabilioni ya dola za
Marekani.
Tunakadiria itachukua kama miaka
saba, mmoja kwa utafiti wa eneo kujua
uimara wake kiufundi, miaka miwili ya
utafiti wa kiuhandisi na michoro na miaka
minne ya ujenzi wenyewe alisema.
Kwa mujibu wa Bw. Mannes,tayari
wamekwishapendekeza maeneo yanayofaa kwa ujenzi wa mtambo huo na hivi
sasa wabia wa mradi wanateua timu ya
pamoja itakayosimamia mradi huo.
Mradi huo utakuwa wa pamoja kati
ya Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini
(TPDC) na kampuni za Statoil, BG, ExxonMobil, Ophir na Pavilion. Mradi huo
utaenda sambamba na miradi mingine ya
mafuta ya vitalu 1,3 na 4 inayoshirikisha
TPDC, BG,Ophir na Pavilion na mradi wa
gesi wa kitalu 2 wenye ubia kati ya TPDC,
Statoil na ExxonMobil.
Bw. Mannes alieleza kuwa kukamilika kwa mradi huo kutakuwa na
manufaa makubwa kwa Tanzania kwani
kutaongeza mapato na nafsi za ajira, kutachochea biashara za bidhaa na huduma,
anafunzi wa
Chuo cha
Madini cha
Katavi kilichopo Mkoa
mpya wa Katavi wamehimizwa
kuzingatia masomo na kufanya
vizuri katika mitihani ili waweze
kufanikiwa katika maisha kutokana
na umuhimu wa elimu kwa maisha
yao.
Wito huo umetolewa hivi karibuni na Kaimu Meneja Mkuu
wa mgodi wa STAMIGOLD Biharamulo, Bi. Enea Minga wakati
akizungumza na wanafunzi wa
chuo hicho waliohitimu mafunzo
ya vitendo (field) katika Idara za
Uchimbaji ( Mining) na Uchenjuaji
( Process Plant) mgodini hapo.
Bi. Minga alieleza kuwa ikiwa
wanafunzi hao watasoma kwa bidii
na kufanya vizuri katika mitihani
yao, watafanikiwa kutimiza ndoto
zao walizojiwekea pamoja na kupata nafasi ya kujiendeleza zaidi
kielimu.
Ni matumaini yangu kuwa
mmejifunza mambo mengi kwa
kipindi chote mlichokuwa hapa
wa huo.
NewsBulletin
10
http://www.mem.go.tz
Taifa tunalojivunia ni lile lenye uchumi imara unaotoa ajira na maisha bora kwa wote. Tanzania
yenye amani, utulivu wa utaifa wa kudumu. Tumeingia kwenye uchumi wa gesi asilia wenye mapato
makubwa yatakayoondoa umasikini nchini mwetu. Uongozi wa kizalendo na wenye umahiri mkubwa
unahitajika. Tuchape kazi kwa bidii, ubunifu na uadilifu mkubwa sana. Kizazi chetu kitashinda na
vizazi vijavyo navyo vitaushinda umasikini. Hii ndiyo Tanzania tuitakayo
WIZARA
YA NISHATI NA MADINI
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wasiliana nasi kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com