Professional Documents
Culture Documents
Cap Prices WEF 01 April 2015 - Swahili
Cap Prices WEF 01 April 2015 - Swahili
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATANO, TAREHE 1 Aprili 2015
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 1 Aprili 2015. Pamoja na kutambua bei
kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo:-
(a)
Bei za jumla na za rejareja kwa aina zote za mafuta, yaani, Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimepanda
ikilinganishwa na bei katika toleo lililopita la tarehe 04 Machi 2015. Katika toleo hili, bei za rejareja
zimepanda kwa viwango vifuatavyo: Petroli Shs 103/lita sawa na asilimia 6.23 Dizeli Shs 109/lita sawa
na asilimia 6.98 na Mafuta ya Taa Shs 132/lita sawa na asilimia 8.65. Aidha, kwa kulinganisha matoleo
haya mawili, bei za jumla zimepanda kama ifuatavyo: Petroli,Sh 103.01/lita sawa na asilimia 6.66
Dizeli, Sh 109.05/lita sawa na asilimia 7.48, na Mafuta ya Taa,Sh 131.76/lita sawa na asilimia 9.29.
Kwa kiasi kikubwa kupanda huku kwa bei za mafuta kwenye soko la ndani kumetokana na kupanda kwa
bei za mafuta katika soko la dunia, ambako kumeanza kuanzia mwezi wa Februari 2015
(b)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.
(c)
Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 7 la tarehe 4 Machi 2015.
(d)
Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.
(e)
Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.
A: BEI ZA REJAREJA
Bei Kikomo
Dizeli
Petroli
Mji
(Sh/Lita)
(Sh/lita)
Mafuta Ya Taa
(Sh/Lita)
Dar es Salaam
1,755
1,672
1,655
Arusha
Arumeru (Usa West)
1,839
1,756
1,739
1,839
1,756
1,739
Karatu
1,857
1,774
1,757
Monduli
1,845
1,761
1,744
Ngorongoro (Loliondo)
1,896
1,812
1,795
Kibaha
1,760
1,676
1,659
Bagamoyo
1,766
1,683
1,666
Kisarawe
1,762
1,679
1,662
Mkuranga
1,765
1,681
1,664
Rufiji
1,783
1,699
1,682
Dodoma
1,814
1,730
1,713
Bahi
1,821
1,738
1,721
Chemba
1,840
1,757
1,740
Kondoa
1,847
1,763
1,746
Kongwa
1,811
1,728
1,710
Mpwapwa
1,815
1,731
1,714
Iringa
Kilolo
1,819
1,736
1,719
1,824
1,740
1,723
Mufindi (Mafinga)
1,829
1,746
1,729
Njombe
1,847
1,764
1,747
Ludewa
1,885
1,802
1,785
Makete
Wanging'ombe
(Igwachanya)
1,878
1,795
1,778
1,845
1,762
1,745
Bukoba
1,970
1,887
1,870
Biharamulo
1,945
1,861
1,844
Karagwe (Kayanga)
1,987
1,903
1,886
Kyerwa (Ruberwa)
1,992
1,909
1,892
Muleba
1,970
1,887
1,870
Ngara
1,936
1,852
1,835
Misenyi
1,979
1,895
1,878
Geita
1,920
1,837
1,820
Bukombe
1,909
1,826
1,809
Chato
1,941
1,858
1,841
Mbogwe
1,958
1,875
1,858
Nyang'hwale
1,935
1,852
1,835
Kigoma
Uvinza (Lugufu)
1,986
1,902
1,885
1,998
1,915
1,898
Buhigwe
1,975
1,892
1,875
Kakonko
1,943
1,860
1,843
Kasulu
1,972
1,889
1,871
Kibondo
1,950
1,867
1,850
Moshi
1,829
1,745
1,728
Hai (Bomang'ombe)
1,832
1,748
1,731
Mwanga
1,822
1,738
1,721
Rombo (Mkuu)
1,850
1,766
1,749
Same
1,815
1,732
1,714
1,835
1,752
1,735
Lindi
1,814
1,730
1,713
Kilwa Masoko
1,789
1,705
1,688
Liwale
1,835
1,751
1,734
Nachingwea
1,843
1,760
1,742
Ruangwa
1,841
1,758
1,741
Babati
Hanang (Katesh)
1,877
1,794
1,777
1,888
1,804
1,787
Kiteto (Kibaya)
1,888
1,805
1,788
Mbulu
1,890
1,806
1,789
Simanjiro (Orkasumet)
1,909
1,826
1,809
Musoma
1,933
1,850
1,833
Rorya (Ingirijuu)
1,942
1,859
1,842
Bunda
1,924
1,841
1,824
Butiama
1,930
1,847
1,830
Serengeti (Mugumu)
1,979
1,895
1,878
Tarime
1,944
1,861
1,844
Mbeya
1,862
1,778
1,761
Chunya
1,872
1,788
1,771
Ileje
1,875
1,792
1,775
Kyela
1,878
1,794
1,777
Mbarali (Rujewa)
1,846
1,763
1,746
Mbozi (Vwawa)
1,871
1,788
1,771
Momba (Chitete)
1,880
1,797
1,780
Rungwe (Tukuyu)
1,871
1,787
1,770
Morogoro
Mikumi
1,780
1,697
1,680
1,796
1,712
1,695
Kilombero (Ifakara)
1,818
1,734
1,717
Ulanga (Mahenge)
1,829
1,745
1,728
Kilosa
1,799
1,715
1,698
Gairo
1,799
1,715
1,698
1,791
1,707
1,690
Turian
1,805
1,722
1,705
Mtwara
1,827
1,744
1,727
Nanyumbu (Mangaka)
1,876
1,793
1,776
Masasi
1,853
1,770
1,752
Newala
1,859
1,776
1,759
Tandahimba
1,853
1,769
1,752
Mwanza
1,905
1,821
1,804
Kwimba
1,941
1,857
1,840
Magu
1,913
1,829
1,812
Misungwi
1,911
1,827
1,810
Sengerema
1,937
1,854
1,837
Ukerewe
1,964
1,881
1,864
Sumbawanga
1,928
1,844
1,827
Kalambo (Matai)
1,920
1,837
1,820
Nkasi (Namanyele)
1,941
1,858
1,841
Katavi (Mpanda)
Mlele (Inyonga)
1,963
1,879
1,862
1,941
1,857
1,840
Songea
1,878
1,795
1,778
Mbinga
1,912
1,828
1,811
Namtumbo
1,908
1,824
1,807
1,914
1,831
1,814
Tunduru
1,937
1,854
1,837
Shinyanga
Kahama
1,884
1,800
1,783
1,897
1,814
1,797
Kishapu
1,912
1,829
1,812
Simiyu (Bariadi)
Busega (Nyashimo)
1,925
1,842
1,825
1,918
1,835
1,818
Itilima (Lagangabilili)
1,928
1,845
1,828
Maswa
1,917
1,833
1,816
Meatu (Mwanhuzi)
1,924
1,840
1,823
Singida
Iramba
1,846
1,762
1,745
1,858
1,774
1,757
Manyoni
1,830
1,747
1,730
Ikungi
1,841
1,758
1,741
Mkalama (Nduguti)
1,870
1,787
1,770
Tabora
1,909
1,826
1,808
Igunga
1,863
1,780
1,762
Kaliua
1,927
1,844
1,827
Ulyankulu
1,921
1,838
1,821
Nzega
1,874
1,790
1,773
Sikonge
1,921
1,837
1,820
Urambo
1,922
1,839
1,822
Tanga
1,801
1,718
1,701
Handeni
1,781
1,697
1,680
Kilindi
1,815
1,732
1,715
Korogwe
1,794
1,711
1,694
Lushoto
1,804
1,720
1,703
Mkinga (Maramba)
1,816
1,732
1,715
Muheza
1,801
1,718
1,701
Pangani
1,808
1,724
1,707
B: BEI ZA JUMLA
Petroli (Sh/L)
Dizeli (Sh/L)
1,650.20
1,566.63
Felix Ngamlagosi
MKURUGENZI MKUU
EWURA
Mafuta ya Taa
(Sh/L)
1,549.56