Professional Documents
Culture Documents
ACT Katiba Kama Ilivyopitishwa Na Mkutano Mkuu 29machi15
ACT Katiba Kama Ilivyopitishwa Na Mkutano Mkuu 29machi15
(ACT-Wazalendo)
KATIBA
TOLEO LA 2015
Kama ilivyoidhinishwa na Mkutano Mkuu wa Taifa wa ACTWazalendo, Jumamosi Tarehe 28 Machi 2015
Ukumbi wa Kadinali Rugambwa, Dar es Salaam.
YALIYOMO
DIBAJI ................................................................................................................................... iv
SURA YA KWANZA .............................................................................................................1
JINA, MAKAO MAKUU, ALAMA, ITIKADI, LUGHA, MISINGI NA
MALENGO YA CHAMA ......................................................................................................1
SEHEMU YA I ........................................................................................................................1
1. Jina la Chama ................................................................................................................... 1
2. Makao Makuu ya Chama ................................................................................................. 1
3.
SEHEMU YA II ......................................................................................................................3
MISINGI NA MALENGO YA CHAMA ..............................................................................3
6. ACT itaongozwa .............................................................................................................. 3
7. ACT itapambana kuhakikisha kwamba inashinda uchaguzi............................................ 3
SEHEMU YA II ....................................................................................................................10
14. Sifa za Kiongozi........................................................................................................... 10
15. Aina sita za Viongozi ................................................................................................... 10
SURA YA SITA.....................................................................................................................53
33. Mapato ya Chama ........................................................................................................ 53
ii
iii
DIBAJI
KWA KUWA tumeamua kupambana dhidi ya rushwa, ufisadi, uzembe na uvivu;
NA KWA KUWA tumeamua kuhakikisha kuwa maliasili ya Nchi yetu Tanzania ni
mali ya wananchi wote na kwamba lazima itumike kutokomeza umasikini nchini
kwetu na kuleta maendeleo sawia na endelevu ya kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na
kisiasa;
NA KWA KUWA tumeamua kujenga Chama cha siasa chenye lengo la kuchochea
ujenzi wa Taifa la Kujitegemea, lisilo na unyonyaji wala ubaguzi wa rangi, dini,
kabila, jinsia, maumbile, hali ya kipato na kwa kuzingatia misingi ya haki kwa watu
wake wote;
NA KWA KUWA tumeamua kushiriki katika ujenzi wa Umoja wa Afrika ili
kuwaenzi waasisi wa ukombozi wa Mwafrika na kujenga bara lenye sauti yenye
nguvu na ushawishi katika jamii ya mataifa ulimwenguni;
NA KWA KUWA tumeamua kupigania demokrasia, umoja, utu, uadilifu,
uwajibikaji, uzalendo kwa Taifa;
NA KWA KUWA kwa nia moja tumeamua kujenga Chama chenye kufuata misingi
ya Ujamaa wa Kidemokrasia (Democratic Socialism), na misingi asili iliyoasisi Taifa
letu (Unyerere) ikiwemo Azimio la Arusha1; na
NA KWA wajibu tulio nao wa kujenga, kukuza na kuendeleza demokrasia na
utamaduni wa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania;
HIVYO BASI; Sisi Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha
Wazalendo (ACT) uliofanyika Dar es salaam leo tarehe 28 Machi 2015, tumepitisha
KATIBA MPYA ya Chama chetu itakayojulikana kama
KATIBA YA ACT YA MWAKA 2015.
Tamko la Azimio la Arusha lililotolewa na Chama cha TANU mnamo mwezi Februari mwaka 1967
. Tutazingatia misingi ya Azimio hili na hususani Miiko ya Uongozi kama itakavyofanyiwa marejeo
mara kwa mara, pamoja na Maazimio mengine yatakayotangazwa na chama kwa mujibu wa Katiba
hii yatakuwa ni marejeo halali ili kufikia maamuzi yeyote ya kisera ya Chama cha ACT Tanzania.
iv
SURA YA KWANZA
SEHEMU YA I
1. Jina la Chama
Jina la Chama litakuwa ni ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY
(ACT) na chama kitajulikana kwa Kiswahili kama CHAMA CHA WAZALENDO.
Makao
(2)
3.
Makuu
ya
Chama
yatakuwa
ni
Dar
es
Salaam
Alama za Chama
ii.
iii.
Nembo ya Chama
iv.
v.
i.
Undugu;
ii.
Usawa;
iii.
Uhuru;
iv.
v.
Demokrasia
SEHEMU YA II
MISINGI NA MALENGO YA CHAMA
6. ACT itaongozwa
1) ACT itaongozwa na Misingi Kumi (10).
2) Misingi hii imewekwa kwa ajili ya kutekeleza Itikadi ya Ujamaa wa
Kidemokrasia na Falsafa ya unyerere katika ubora wake.
3) Katiba hii ya ACT ipo kwa ajili ya kuilinda misingi hii muhimu ya chama na
hivyo kipengele chochote cha Katiba hii kitakachokiuka mmoja wa misingi
hii, kitakuwa batili.
4) Misingi kumi ya ACT ni:
i)
Uzalendo
ii)
Usawa
iii)
iv)
Uadilifu
v)
Uwazi
vi)
Uwajibikaji
vii)
Demokrasia
viii)
ix)
Utu
x)
Umoja
7. Malengo
ACT itapambana kuhakikisha kwamba inashinda uchaguzi na kuunda serikali ili
kutekeleza malengo yafuatayo:
i) Kuhakikisha kwamba serikali inatumia raslimali yote ya nchi kwa ajili ya
kuondosha umaskini, ujinga, maradhi, rushwa, na kuleta maendeleo ya nchi
kwa ujumla;
(ii) Kupigania na kulinda uongozi bora na Utawala wa Sheria;
(iii)Kujenga,
kukuza
na
kuendeleza
demokrasia
raslimali
na
serikali
(iv) Kuhakikisha usawa mbele ya Sheria kwa raia wote wanaume kwa wanawake
bila kujali kabila, rangi, imani za kidini, itikadi, utamaduni ama hadhi ya mtu
kiuchumi na kijamii;
(v) Kuendeleza na kudumisha Demokrasia na utamaduni wa mfumo wa vyama
vingi vya siasa;
(vi) Kuchochea, kuimarisha na kulinda uzalendo, uadilifu, uwajibikaji na uwazi
kama misingi mikuu katika uongozi wa nchi;
(vii) Kuchochea na kuendeleza mapambano katika kulinda haki za watoto,
wanawake na watu wenye ulemavu;
(viii) Kupigania haki na heshima ya wafanyakazi, wakulima, wafugaji na
wajiasiliamali katika ngazi zote;
(ix) Kudhibiti soko huria ili kuhakikisha kuwa haliathiri haki za utu za
wafanyakazi na walaji wenye kipato cha chini;
(x) Kulinda na kuendeleza mazingira bora kwa vizazi vya leo na vijavyo;
(xi) Kuhakikisha kuwa idhini, mikataba na ushirikiano wa kikanda barani Afrika
ambavyo Tanzania ni mwanachama kama vile Umoja wa Afrika (AU),
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za
Kusini mwa Afrika (SADC) vinaendana na misingi mikuu ya kidemokrasia
na kuendeleza kuheshimu utawala wa sheria Afrika;
(xii) Kuhimiza ushirikiano na mahusiano na vyama vingine vinavyoamini katika
demokrasia jamii Afrika na duniani kote;na
(xiii) Kuunga mkono na kusukuma mbele juhudi za kuundwa kwa Shirikisho la
Kisiasa la Afrika Mashariki na kupigania umoja wa Afrika.
SURA YA PILI
UANACHAMA NA UONGOZI
SEHEMU YA I
UANACHAMA
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
Wanachama wa Kawaida
Ni wanachama wote waliojiandikisha na kulipa ada ya ACT na kuzingatia
masharti ya Katiba hii.
5
ii.
Wanachama Vikundi
Ni wanachama wanaotokana na jumuiya, taasisi, mashirika au vikundi
mbalimbali ambavyo vimeamua kujiunga na Chama kupitia umoja wao.
iii.
Wanachama wanafunzi
Hawa ni wanachama ambao hawajatimiza umri wa kupiga kura na ambao
wanajiandaa kujiunga na Chama siku za usoni
9. Ada ya Uanachama
(1) Kila mwanachama atawajibika kulipa ada za uanachama kama itakavyoainishwa
kwenye Kanuni za Uendeshaji Chama zitakazotungwa na Halmashauri Kuu ya
Chama.
(2) Bila kuathiri Sheria zinazohusu vyama vya siasa nchini, pamoja na misingi na
masharti ya Katiba hii, kila mtu au kundi la watu wanaokubaliana na misingi,
malengo, sera na mipango ya Chama wanaweza kutoa ada ya kundi la
uanachama.
(3) Kutakuwa na kiingilio kwa kila mwanachama na kundi lolote litakalotaka
kujiunga na Chama itakavyoainishwa kwenye Kanuni za Uendeshaji Chama
zitakazotungwa na Halmashauri Kuu ya Chama
(4) Utaratibu wa ulipaji wa kiingilio na ada vitafafanuliwa katika kanuni za
Uendeshaji Chama.
10. Haki za mwanachama wa ACT
(1) Kila mwanachama wa ACT atakuwa na haki ya:
i.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
Bila kuathiri yaliyomo katika kipengele (f) hapo juu, wajumbe wanaohitaji
kikao hicho lazima waonyeshe kuwa viongozi katika ngazi husika
6
wameshindwa kuitisha vikao hivyo zaidi ya mara tatu kwa mujibu wa katiba
na utaratibu wa kuitisha vikao vya namna hiyo utafafanuliwa kwenye kanuni
za Chama.
(2) Kila mwanachama wa ACT atakuwa na wajibu wa:
a) Kujifunza na kupanua uelewa kuhusu itikadi, falsafa na misingi ya ACT;
b) Kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha kwamba ACT inashinda katika
chaguzi mbalimbali zitakazoitishwa nchini kwa mujibu wa Katiba na Sheria
za Nchi;
c) Kuzingatia nidhamu ya ACT;
d) Kushiriki kikamilifu katika shughuli za Chama na kutekeleza kwa vitendo
sera na maamuzi ya Chama;
e) Kushiriki kikamilifu katika kukomesha vitendo vyovyote ndani na nje ya
Chama vinavyoweza kuhatarisha uhai na maslahi ya Chama;
f) Kueneza itikadi, falsafa na misingi ya ACT kwa umma, na kujifunza mahitaji
ya umma kwa wakati na kuhakikisha kwamba yanazingatiwa katika sera za
Chama;
g) Kuwa mfano na sura ya ACT kwa kufanya kazi kwa bidii, weledi na umakini;
na
h) Kulipa ada na kuchangia mchango wowote kwa mipango maalumu na
shughuli za ACT kama itakavyokuwa imeamuliwa na vikao vya Chama.
ii. Atajiuzulu mwenyewe kwa hiari yake kwa kuandika barua kwa Katibu wa
ngazi yake au Katibu Mkuu kwa kueleza kusudio la kuacha kuwa
mwanachama na kurudisha kadi ya uanachama;
iii.
iv.
v.
uliochukuliwa
dhidi
yake,
atahesabika
kwamba
12.
Orodha ya Uanachama
(1)
(2)
(3)
13.
SEHEMU YA II
UONGOZI
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
(2)
(3)
(4)
(6)
(7)
au
uongozi
wa
juu
katika
kumbukumbu
vinavyomhusu.
za
vikao
(ii.)
(iii.)
12
SURA YA TATU
NIDHAMU NA UTATUZI WA MIGOGORO KATIKA CHAMA
13
iii)
Halmashauri
Kuu
ya
Taifa
itateua
wajumbe
wa
za
Mwenendo
na
Maadili
ya
Viongozi
ambazo
16
Karipio;
ii.
Karipio kali;
iii.
Onyo;
iv.
Onyo kali;
v.
Faini;
vi.
Kusimamishwa
kugombea
nafasi
Kusimamishwa uanachama; au
viii.
Kufukuzwa uanachama.
17
ya
uongozi
kwa
kipindi
SURA NNE
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ix)
ii)
iii)
iv)
vi)
vii)
viii)
ix)
(6) Mkutano Mkuu wa ACT Kata utakutana mara mbili (2) kwa mwaka.
Mikutano maalum/dharula inaweza kuitishwa wakati wowote na Kamati ya
Utendaji kadri itakavyolazimu.
(7) Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya Kata/Wadi:
i)
Mwenyekiti wa ACT-Kata/Wadi;
ii)
Katibu wa ACT-Kata/Wadi;
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ix)
(9) Kamati ya Uongozi ya ACT-Kata itakutana mara nne kwa mwaka yaani kila
baada ya miezi mitatu. Vikao maalum/dharula vinaweza kuitishwa kadri
itakavyolazimu.
24
(12)
ii)
iii)
25
v)
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ix)
x)
xi)
26
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
(13)
iii) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa Chama katika Jimbo na atafanya kazi
chini ya Kamati ya uongozi ya Jimbo;
iv) Atakuwa ndiye Mkuu wa mipango ya Chama katika Jimbo;
v) Ataitisha na kuongoza vikao vya viongozi watendaji wakuu wa Chama
katika Jimbo kwa madhumuni ya kushauriana, kuandaa agenda ya vikao
vya Jimbo na kuchukua hatua za utekelezaji wa maamuzi ya Chama;
vi)
vii)
viii)
ix)
x)
xi)
xii)
ii)
iii)
Sekretariet ya Mkoa.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
ii.
iii.
32
iv.
v.
vi.
(iv.)
Mkutano Mkuu wa ACT Mkoa utafanyika mara moja kwa mwaka. Mkutano
Mkuu Maalumu au wa dharula unaweza kuitishwa wakati wowote kwa
mahitaji maalumu na/au ya dharula.
(v.)
ii.
Bila kuathiri kipengele cha (i) hapo juu, viongozi wa ngome zote
watachaguliwa kwa mujibu wa miongozo ya ngome husika;
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
(6) Mkutano Mkuu wa Mkoa utafanyika mara moja kwa mwaka. Mikutano
maalum/dharula inaweza kuitishwa wakati wowote na Kamati ya Uongozi ya
Mkoa kadri itakavyolazimu.
(7) Wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya ACT Mkoa:
i.
Mwenyekiti wa Mkoa;
ii.
Katibu wa Mkoa;
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
ii)
mkoa;
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
x)
xi)
xii)
xiii)
xiv)
xv)
xvi)
(9) Kikao cha kawaida cha Kamati ya Uongozi ya Mkoa kitafanyika mara nne
kwa mwaka. Vikao maalum / dharula vinaweza kuitishwa na Sekretariet
wakati wowote kadri itakavyohitajika.
(10) Wajumbe wa Sekretariati ya Mkoa
i)
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
(11)
ii.
iii.
iv.
v.
35
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
(12)
(13)
ii)
iii)
iv)
iii)
iv)
36
vi)
vii)
viii)
ix)
ii)
iii)
iii) Uandaaji wa agenda na nyaraka kwa ajili ya vikao vya Kamati Maalum
Zanzibar.
29. ACT-Taifa
(1) ACT-Taifa ni eneo lote la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na litaundwa kwa
kuzingatia masharti ya Kanuni za Chama zilizotungwa na Halmashauri Kuu ya
Taifa.
(2) Viongozi Wakuu wa Chama Taifa watakuwa ni:
i)
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
i)
Mkutano Mkuu Taifa ndicho kikao cha juu kabisa katika ACT na
ndicho chenye maamuzi ya mwisho kuhusu jambo lolote ndani ya
chama;
ii)
i.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
i)
ii)
iii)
iv)
vii)
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
xii.
xiii.
xiv.
xv.
xvi.
(10)
42
(12)
i.
Kiongozi wa ACT;
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
xvi.
(13)
i.
ii.
iii.
43
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
x.
xi.
xii.
xiii.
xiv.
xv.
xvi.
xvii.
xviii.
xix.
xx.
xxi.
xxii.
kutokana
na
mapendekezo
ya
Kiongozi
wa
Chama
ii.
iii.
iv.
v.
vi.
vii.
viii.
ix.
(16) Kamati Kuu inaweza kuunda Kamati zingine kama itakavyoona inafaa kwa
ufanisi wa Chama.
(17) Kutakuwa na Kikosi cha Amani cha Chama kitakachoitwa ACT-Amani kuanzia ngazi
ya Tawi hadi Taifa ambapo katika ngazi hii ya Taifa kitakuwa chini ya Kamati
ya ACT- Amani. Kazi ya kikosi itakuwa ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa
wanachama, viongozi na mali za Chama.
(18) Muundo na kazi za Kamati zitaainishwa katika Kanuni za uendeshaji
zitazotungwa na Halmashauri Kuu.
(19) Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Kuu ya Chama Taifa:
i.
ii.
iii.
iv.
v.
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ix)
x)
xi)
Iwapo Kiongozi wa Chama hayupo kwa sababu yoyote ile na pale ambapo
hakuna Naibu Kiongozi wa Chama, basi Mwenyekiti wa Chama atamteua
moja ya wasemaji wa kisekta kuwa Kaimu Kiongozi wa Chama;
xii)
xiii)
xiv)
47
(27)
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
(29) Iwapo Mwenyekiti wa Chama hayupo kwa sababu yoyote ile basi Makamu
Mwenyekiti kutoka Bara atakuwa Kaimu Mwenyekiti wa Chama kama
48
(32)
50
ii)
iii)
iv)
v)
vi)
vii)
viii)
ix)
51
SURA YA TANO
NGOME ZA CHAMA NA JUMUIA YA WABUNGE WA ACT
52
SURA YA SITA
MAPATO NA MALI ZA CHAMA:
iii)
iv)
Misaada kutoka kwa vyama rafiki vya kisiasa vya ndani na nje ya nchi.
v)
vi)
54
SURA YA SABA
MAMBO YA JUMLA KUHUSU KATIBA
56
NYONGEZA YA KWANZA
KANUNI ZA MWENENDO NA MAADILI YA VIONGOZI WA ACT
SEHEMU YA I:
MASHARTI YA JUMLA
Ibaya ya 1: Dhumuni la Maadili ya Uongozi
Dhumuni la Kanuni hizi za mwenendo na maadili ya viongozi ni kuweka viwango
vya tabia na mienendo ya viongozi wa chama ili kuwafanya wawe na uwezo wa
kimaadili kuiongoza jamii katika namna ya utii wa sheria na misingi ya ACT.
Ibara ya 2: Wanaohusika na Kanuni hizi za Mwenendo na Maadili
Kanuni hizi zitawahusu viongozi wote wa chama ndani ya ACT katika ngazi zote,
wagombea katika uchaguzi wowote ule wanaogombea kwa tiketi ya ACT na
mwanachama yeyote wa ACT-Tanzania anayeshikilia nafasi ya uongozi katika
taasisi ya umma.
Kanuni hizi pia zitakuwa ni rejea na nyongeza ya Katiba ya ACT.
SEHEMU YA II:
SIFA ZA KIONGOZI
Ibara ya 3: Kiongozi wa ACT:
1) Awe Mzalendo;
2) Asiidhalilishe nchi yake Tanzania na Watanzania;
3) Awe na mtazamo wa kimaendeleo na mbunifu;
4) Awe mwadilifu;
5) Awe na maadili ya kiutamaduni, mwenendo na awe ni mtu wa kuchangamana
na watu;
6) Awe na mapenzi ya dhati kwa chama na mweledi;
7) Asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa la jinai linalohusiana na kukosa
uaminifu;
8) Asiwe amewahi kunyanganywa haki ya kiraia na/au ya kisiasa, isipokuwa
kama alirudishiwa haki hiyo baada ya kuthibitika kutokuwa na kosa;
9) Awe na umri wa miaka 18 au zaidi;
57
SEHEMU YA III:
MAADILI YA VIONGOZI
Ibara ya 4: Sheria na Kanuni ambazo kiongozi wa ACT anapaswa kuzitii
Kiongozi wa ACT atatii Katiba ya Nchi, Sheria za Nchi, Katiba ya ACT na kanuni
zake pamoja na Nyongeza hii ya Kanuni za Mwenendo na Maadili ya Viongozi.
Ibara ya 5: Mwenendo bora wa Kiongozi
Kiongozi wa ACT atapaswa kuwa na viwango vifuatavyo vya kiuongozi:
1) Uzalendo na kuweka maslahi ya taifa mbele badala ya maslahi binafsi;
2) Kuzijua na kuziheshimu haki za binadamu na kuwahimiza wanachama na
viongozi wengine kufanya hivyo;
3) Kujielimisha wakati wote
4) Kufanya kazi zake kwa kuzingatia misingi ya Demokrasia, Uwazi na
Mashauriano;
5) Kuwa tayari kupokea na kuwasikiliza wote wanaomuijia;
6) Kukuza utamaduni wa mashirikiano na kuwawezesha wanachama kutekeleza
wajibu wao;
7) Kuwataka wanachama kuheshimu maelekezo halali na kusimamia utekelezaji
wa shughuli zilizoainishwa;
8) Kuheshimu ratiba ya kazi, muda na kuwasilisha ripoti panapohitajika;
9) Kuchapa kazi kwa bidii, umakini na weledi
10) Kuwafanya wanachama watambue mipango na programu za chama na kwa
nafasi yake, kiongozi awe mfano wa kuigwa katika kutekeleza mipango na
programu hizo;
11) Awe mtetezi wa Umoja wa Taifa na Afrika;
12) Kupinga na kupigana dhidi ya ubaguzi wa aina zote;
13) Kutangaza mali zake kwa mujibu wa sheria hii ya miiko na maadili ya
Viongozi;
58
14) Kujitahidi kuwa mkweli katika kutimiza wajibu wake na katika jambo lingine
lolote linalohusu mwenendo kwa hiari ama kwa kuombwa;
15) Asiwe mtu wa kujali maslahi yake binafsi dhidi ya maslahi ya umma;
SEHEMU YA IV:
SEHEMU YA V:
MASUALA KINZANI YANAYOHUSIANA NA KAZI
Ibara ya 8: Masuala Kinzani
Inapotokea kiongozi ana wajibu wa kufanya maamuzi kwenye jambo lolote ambalo
ana maslahi binafsi nalo, atatakiwa kuwataarifu viongozi wa juu yake ama mkuu wa
taasisi iliyomwajiri ama kumteua na kuwataka radhi kwamba hatafanya uamuzi huo.
Maslahi binafsi yaweza kutokana na nafasi yake au sababu nyingine yoyote iwe ni
mchango wake mwenyewe ama kitu alichochangia na wengine ama ni mshauri tu.
Ibara ya 9: Viongozi kutofanya biashara
Kiongozi wa kuchaguliwa au kuteuliwa kwenye vyombo vya serikali kuanzia ngazi
ya jimbo na kuendelea, hataruhusiwa kumiliki, kufanya ama kuendesha biashara ya
binafsi. Ikitokea kiongozi wa namna hiyo ana biashara ya binafsi, mbali ya
kuitangaza hadharani, atatakiwa kuiweka biashara yake chini ya menejimenti binafsi
na kutangaza hilo hadharani.
SEHEMU YA VI:
KUTANGAZA MALI BINAFSI ZA KIONGOZI
SEHEMU YA VII:
ADHABU NA MAREJEO MENGINE
SEHEMU YA VIII: