Professional Documents
Culture Documents
Jarida La Wiki La Nishati Na Madini Toleo La 76
Jarida La Wiki La Nishati Na Madini Toleo La 76
HABARIZA
ZA
NISHATI
NISHATI&MADINI
&MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.76
51
Toleo No.
LimesambazwaLimesambazwa
kwa Taasisi nakwa
Idara
zotenaMEM
Taasisi
Idara zote MEM Tarehe
- 23-29 Januari , 2015
Julai 17 - 23, 2015
Wabunge
Soma
habari
Uk. 2
Somahabari Uk.2
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
Uk. 2
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Asteria Muhozya na
Teresia Mhagama
akandarasi
wa miradi ya
kuboresha
miundombinu
ya
umeme
kwenye vituo vya kupoozea
umeme jijini Dar es Salaam
wametakiwa
kuhakikisha
wanakamilisha miradi hiyo
ndani ya muda uliopangwa.
Wito
huo
umetolewa
hivi karibuni na Kamishna
Msaidizi wa Umeme, Mhandisi
Innocent Luoga wakati wa
ziara yake ya ukaguzi wa
Mradi wa
Electricity
V- Ilala:
Transfoma
mpya
iliyofungwa
kwenye kituo
cha kupooza
umeme cha
Ilala mara
baada ya
majaribio ya
awali.
NewsBulletin
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
Hongera Simbachawene
kwa mkakati wa kuisuka
Upya TIPER
Mapema wiki hii Waziri wa Nishati na
Madini, George Simbachawene alikutana na
Uongozi wa Shirika la kuhifadhi mafuta ya
TIPER ambayo serikali ni mbia kwa asilimia 50.
Katika kikao hicho alisisitiza kuhusu dhamira
ya Serikali kuboresha na kulisuka upya shirika
hilo la kuhifadhi mafuta ili liweze kutoa huduma
ya kupokea mafuta kwa kampuni zote kwa haki
na usawa.
Simbachawene alisema lengo la kulisuka
upya Shirika hilo ni kuliboresha na kuhakikisha
kuwa linatoa huduma ya kuhifadhi na kupitisha
mafuta yote yanayoletwa nchini, na kuhakikisha
gharama za kuhifadhi mafuta hapa nchini
zinakuwa nafuu.
Kwa mara nyingine tunapenda kupongeza
jitihada zinazofanywa na Serikali katika
kuhakikisha kwamba Sekta ya mafuta nchini
inalinufaisha taifa ikiwemo kuleta unafuu wa
nishati hiyo.
Hakika katika hili la kuisuka upya TIPER ni
mikakati madhubuti ambayo inatarajia kuleta
mabadiliko makubwa katika Shirika hivyo,
wadau wa TIPER na Watanzania tuunge
mkono juhudi hizi za Serikali kwani kauli hii ya
sasa inadhihirisha dhamira ya dhati ya Waziri
Simbachawene juu ya kulisuka upya Shirika hilo
ambapo alisisitiza umuhimu TIPER katika sekta
ya mafuta nchini, na kuleza kwamba hivi sasa
shirika hilo linahitajika kuliko wakati mwingine
wowote.
>>Inatoka Uk. 2
ikiwa ni pamoja na kubaini
changamoto
zinazokabili
utekelezaji wa miradi husika.
Katika
taarifa
yake
ya utekelezaji wa Mradi
wa Electricity V, Meneja
wa Mradi huo, Mhandisi
Florence
Gwangombe
alisema kutokana na sababu
mbalimbali huenda mradi
huo ukachelewa kukamilika
tofauti na makubaliano ya awali
kitendo ambacho kilimkera
Mhandisi Luoga na hivyo
kumuagiza Meneja huyo kukaa
na wakandarasi wa Mradi na
kurejea makubaliano ya awali.
Mhandisi Florence alisema
moja ya sababu inayopelekea
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
BODI YA UHARIRI
MHARIRI MKUU: Badra Masoud
MSANIFU: Essy Ogunde
WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James
na Nuru Mwasampeta
yanayotarajiwa.
Alisema lengo la Serikali ni
kuhakikisha taifa linakuwa na
umeme wa uhakika kwa ajili ya
kukuza uchumi hivyo aliwaasa
mameneja hao kuhakikisha
azma hiyo inatimia.
Ninawasisitiza muhakikishe
kunakuwepo na ufatiliaji makini
wa miradi mnayoisimamia na sio
kuwaachia wakandarasi wafanye
kila kitu bila usimamizi wenu,
aliagiza Mhandisi Luoga.
KwaupandewakeMenejawa
kampuni ya NCC Ltd, Sadeesh
John alimuahidi Mhandisi
Luoga kuwa atahakikisha kasi
ya utekelezaji inaongezeka na
kutimiza maagizo husika ili
kuhakikisha mradi unakamilika
ndani ya muda uliopangwa.
FIVE
PILLARS OF
REFORMS
INCREASE EFFICIENCY
QUALITY DELIVERY
OF GOODS/SERVICE
SATISFACTION OF
THE CLIENT
SATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERS
SATISFACTION OF
SHAREHOLDERS
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
>>
Aitaja ya pili kuingiza fedha za Kigeni baada ya
Maliasili
>>
Ajira zaongezeka kutoka 3,500 hadi 15,000.
Na Asteria Muhozya,
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Mwenyekiti wa Bodi ya
TIPER Prof. Abdulkarim
Mruma akieleza jambo
katika moja ya vikao na
Waziri
Mkurugenzi Mtendaji wa
Shirika la TIPER, Daniel
Belair ( Wa kwanza kulia)
akimwongoza Waziri
wa Nishati na Madini,
George Simbachawene
(kushoto) na ujumbe
wake walipotembelea
shirika lake hivi karibuni.
kurugenzi wa Idara ya
Utawala na Usimamizi wa
Rasilimaliwatu, Wizara ya
Nishati na Madini, Mrimia
Mchomvu
amewataka
wanafunzi wanaosomea masuala ya gesi
na mafuta nchini China kutumia utaalam
na uzoefu wao katika kuleta mabadiliko
kwenye sekta ya gesi na mafuta nchini.
Mchomvu aliyasema hayo ofisini
kwake, alipotembelewa na wanafunzi
waliofadhiliwa na Wizara ya Nishati na
Madini kwa ajili ya mafunzo ya Shahada ya
Uzamili katika masuala ya gesi na mafuta
katika Chuo Kikuu cha Jiosayansi Wuhan
kilichopo nchini China.
Wanafunzi hao ambao ni miongoni
mwa wanafunzi nane waliofadhiliwa na
Wizara kusomea masuala ya gesi na mafuta
kwa mwaka 2013, walifanya ziara hiyo kwa
lengo la kuishukuru Wizara pamoja na
kuelezea mikakati yao katika kutumia elimu
na uzoefu walioupata kuinua sekta za gesi
na mafuta.
Alisema lengo la Serikali kupitia Wizara
ya Nishati na Madini la kupeleka wanafunzi
hao lilikuwa ni kuzalisha wataalam kwa ajili
ya kufanya kazi katika Wizara, makampuni
ya utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi
nchini.
Kutokana na kukua kwa shughuli za
utafutaji wa gesi na mafuta nchini kama
Serikali tulipanga mikakati mbalimbali
ikiwa ni pamoja na kuwawezesha wazawa
kushiriki katika
shughuli hizo kwa
kuwapeleka kusomea masuala ya gesi na
mafuta ili waweze kufanya kazi na mashirika
ya umma na makampuni yaliyowekeza
katika shughuli za utafutaji na uchimbaji wa
gesi na mafuta nchini, alisema Mchomvu.
Mchomvu aliendelea kusema kuwa
wataalam hao wanaweza kutumia elimu na
uzoefu walioupata kutoka China kufanya
kazi kwenye mashirika ya umma, taasisi na
makampuni binafsi yanayojishughulisha na
shughuli za uchimbaji na utafutaji wa gesi na
mafuta.
Alisisitiza kuwa serikali pekee, haiwezi
kuajiri wahitimu wote wanaomaliza
mafunzo ya gesi na mafuta bali kazi yake
kuu ni kuwapatia elimu itakayowawezesha
kushiriki
katika
fursa
mbalimbali
zinazojitokeza katika setka ya gesi na
mafuta.
Sekta ya gesi na mafuta inakua kwa kasi
kwa sasa, fursa ni nyingi hivyo ni jukumu
lenu kuchangamkia fursa mbalimbali za
ajira zinazojitokeza katika makampuni ya
utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi.
Kuna Shirika la Maendeleo ya Petroli
Nchini (TPDC) ambalo lina kampuni
Mkurugenzi wa Utawala na
Usimamizi wa Rasilimaliwatu,
Wizara ya Nishati na Madini
Mrimia Mchomvu, ( wa pili
kutoka kushoto) Mkurugenzi
Msaidizi Utumishi, Wizara
ya Nishati na Madini Lucius
Mwenda ( wa pili kutoka kulia)
wakiwa katika picha ya pamoja
na baadhi ya wanafunzi
waliowahi kufadhiliwa na
Wizara kwa ajili ya kusomea
Shahada ya Uzamili katika
musuala ya gesi katika vyuo
vya China.
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Mratibu wa kitengo cha Tehama na Mawasiliano, Belatrix Kasuga akipokea cheti cha
mfanyakazi bora kutoka kwa Meneja mkuu wa mgodi Mhandisi Dennis Sebugwao (kulia)
wakati wa maadhimisho ya mgodi kutimiza mwaka mmoja wa uzalishaji. Pembeni ni
Meneja Uchimbaji, Mhandisi Abdallah Kwassa aliyeshikilia zawadi tayari kwa kumkabidhi.
Na Jacqueline Mattowo
STAMIGOLD
ampuni ya STAMIGOLD
ambayo ni kampuni tanzu
ya Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO)
imetimiza
mwaka
mmoja
wa
uchimbaji dhahabu katika mgodi wake wa
Biharamulo uliopo wilayani Biharamulo
Mkoa wa Kagera ambapo kiasi cha wakia
16,388 za dhahabu zimekwisha zalishwa
tangu uchimbaji dhahabu ulipoanza rasmi
mnamo mwezi Julai mwaka 2014 na
jumla ya wakia 12,923 za dhahabu zenye
thamani ya Dola za Kimarekani Milioni
15.6 zimeuzwa kwenye soko la kimataifa.
Kiasi hicho cha dhahabu kilipatikana
katika maeneo ya West Zone na Mojamoja
takribani kilomita tatu na nusu kutoka uzio
wa mgodi ambapo uchimbaji wa dhahabu
bado unaendelea. Maeneo hayo mapya
yalikabidhiwa STAMICO kutoka mgodi
wa Tulawaka uliokuwa ukimilikiwa na
kampuni ya African Barrick Gold sasa
ACACIA mwishoni mwa mwaka 2013.
Akizungumza katika hafla ya
kusherehekea mwaka mmoja tangu
kuanza kwa shughuli za uchimbaji wa
dhahabu iliyofanyika mwishoni mwa
juma katika mgodi wa Biharamulo,
Meneja Mkuu wa mgodi wa Biharamulo,
Mhandisi Dennis Sebugwao alieleza kuwa
matarajio ya mgodi ni kutafuta namna
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Watalaam wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) wakifanya utafiti wa Jiolojia katika ukanda wa
Dhahabu wa Lupa(Lupa Gold Field), wilayani Chunya mkoani Mbeya
Na Veronica Simba
akala wa Jiolojia
Tanzania
(GST)
imetoa taarifa yake ya
utendaji kwa kipindi
cha Serikali ya Awamu
ya Nne (2005-2015), ambayo pamoja na
mambo mengine imeainisha mafanikio
yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali.
Taarifa hiyo iliyotolewa hivi karibuni,
imeainisha mafanikio ya Wakala huo
kwa kipindi husika katika makundi
matatu ambayo ni utekelezaji wa kazi
za jiosayansi, kuboresha rasilimali
watu, vitendea kazi, miundombinu
na mazingira yake pamoja na kazi na
tafiti zilizokamilika na zinazoendelea
kutekelezwa.
Kwa upande wa utekelezaji wa kazi
za jiosayansi, Taarifa ya GST imeeleza
kuwa Ramani mpya 60 za jiolojia
zimekamilika na kuchapishwa. Ramani
hizi ni muhimu kwani huwezesha
kubainisha uwepo wa madini katika
eneo husika.
Pia, taarifa ilibainisha kuwa
ukusanyaji wa takwimu za jiofizikia
kwa kutumia ndege umefanyika katika
Wilaya 35 ambayo ni asilimia 15 ya
eneo la nchi. Wilaya hizo ni Dodoma,
Bahi, Kongwa, Mpwapwa, Nchemba,
Kondoa, Chamwino, Iramba, Manyoni,
Ikungi, Mkarama na Singida.
Wilaya nyingine ni pamoja na
Igunga, Babati, Kiteto, Hanang,
Simanjiro, Mbulu, Moshi, Same,
Monduli, Korogwe, Handeni, Kilindi,
Bagamoyo, Mvomero, Kilosa, Gairo,
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
izara ya Nishati na
Madini imeanzisha
mfumo mpya wa
usajili wa wateja
kwa
kutumia
njia ya mtandao ijulikanayo kama
Online Mining Cadastre Transactinal
Portal( OMCTP) utakaowawezesha
waombaji na wamiliki wa leseni za
madini kujisajili kwa njia ya mtandao
ili kufahamu na kuhakiki taarifa zao
kwa urahisi.
Kamishna Msaidizi wa Madini
anayeshughulikia leseni, John Nayopa
amesema utaratibu huo umeanzishwa
ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka
Wizara na Taasisi za Serikali kurahisha
upatikanaji wa huduma bora karibu na
wananchi, kupokea malipo ya Serikali
kwa njia za kielektroniki ili kudhibiti
mapato tofauti na ilivyokuwa hapo
awali.
Mwaka 2000, kitengo cha utoaji
leseni kilikuwa Dodoma Wakati huo
mamlaka ya utoaji leseni ilikuwa
Dar-es-Salaam hali iliyosababisha
ucheleweshaji wa kutolewa leseni na
pia mfumo wa utoaji na kuchambua
NewsBulletin
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
KAMPUNI YA STAMIGOLD
MGODI WA BIHARAMULO
TAARIFA KWA UMMA
Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini