Professional Documents
Culture Documents
Hotuba Ya Mgombea Urais Wa CCM Dk. John Pombe Magufuli
Hotuba Ya Mgombea Urais Wa CCM Dk. John Pombe Magufuli
Hotuba Ya Mgombea Urais Wa CCM Dk. John Pombe Magufuli
kumuomba
aendelee
kutusimamia
mpaka
ushindi
utakapopatikana.
Naomba nirudie tena kuwashukuru kwa moyo wa dhati Kamati
Kuu, Wajumbe wa Halmashauri Kuu na Wajumbe wa Mkutano
Mkuu kwa heshima kubwa mliyonipa kuipeperusha bendera ya
CCM katika kinyanganiro cha Urais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2015. Nakosa maneno
sahihi na muafaka ya kuwashukuru. Ahadi yangu kwenu ni kwamba
sitowaangusha kamwe. Nitalipa fadhila hii, kwa kuinadi na
kuisimamia vizuri Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya 2015 na
kuitekeleza kwa makini kwa manufaa ya wananchi wote wa Tanzania
ili tuendelee kukiweka Chama chetu kwenye nafasi ya ushindi daima.
Asanteni sana.
Niwashukuru sana viongozi wa wana CCM wa Dodoma kwa
kuandaa hafla hii ya kuzungumza nanyi na kupitia kwenu kwa
wananchi
wote wa Tanzania
Natambua, Watanzania
na
mafanikio
makubwa
yaliyopatikana
kama
ya hali ya juu, ili sasa nchi yetu ipae kuelekea kwenye maendeleo ya
juu kwa pato la nchi na pato la kila mmoja wetu.
Tupunguze
Kwa vijana,
umeme hasa vijijini, kilimo bora na chenye tija, masoko kwa ajili
mazao ya kilimo na mazao mengine yatokanayo na sekta mbalimbali,
usafiri wa uhakika wa barabara, reli, anga na majini.
Ili haya yote yaendelee kutekelezwa vizuri na kwa ufanisi
mkubwa Watanzania wanayo Imani kubwa na matumaini kwa
Chama Cha Mapinduzi.
haya. Ni katika Imani hii basi, naamini kuwa mwezi Oktoba, CCM
itashinda kwa kishindo na kuendeleza hatamu ya uongozi wa nchi
yetu kwa Awamu ya Tano. Napenda niwahakikishie kuwa,
nikichaguliwa kuwa Rais wa nchi yetu, kazi yangu kubwa ni
kuhakikisha Ilani inatekelezwa kikamilifu na kuongeza kasi ya
maendeleo kwa Watanzania wote, vijana kwa wazee, wanawake,
watoto wetu na nchi kwa ujumla. Tunachohitaji ni umoja miongoni
mwetu wana CCM kama kauli mbiu yetu inavyosema Umoja ni
Ushindi. Naomba viongozi na wanachama wa CCM tuiishi kauli hii
kwa matendo.
CCM iko tayari kwa mageuzi ya uhakika na ya haraka kwa
maendeleo ya nchi yetu na watu wake. Nitawauliza? Kwa mageuzi
ya uhakika na maendeleo ya haraka kwa wote tuchague chama
gani? CCM, kumbe mnajua.