Annuur 1190

You might also like

Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 20

UKAWA wajiandae vizuri

kupokea magoli ya mkono

Sauti ya Waislamu

Huo ndio ushauri wa Masheikh, lakini


Polisi wachunge Tsunami ya Lowassa
Kama ni lawama atazibeba Jaji Lubuva

Uk. 2

ISSN 0856 - 3861 Na. 1190 SHAWWAL 1436, IJUMAA , AGOSTI 14-20, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Ugaidi madudu ya kupangwa


Asema Balozi Dk. Augustine Philip Mahiga
Ya Padiri Ambrose, Mushi, Zanzibar yaibuliwa
Yapo pia ya Sitakishari, kuchomwa makanisa Mbagala

Lipi litarajiwe kwa Seif


BALOZI Dk. Augustine Mahiga.

Atamtetea Mselem chini ya UKAWA?


Yeye na UAMSHO lao lilikuwa moja
Muungano wa Nkataba kisha Tatu

MAZISHI ya Padri Mushi tarehe 20/02/2013.

MAALIM Seif Sharif Hamad

Omar Mussa Makame akiwa


PAROKO Ambrose Mkenda wakati alipojeruhiwa kwa m a h a k a m a n i a k i t u h u m i w a
risasi Desemba 2012, Zanzibar.
kuhusika na mauaji ya Padri Mushi.

SHEIKH Farid Hadd.

SHEIKH Msellem Ali.

USTADH Salum

Tahariri/Makala

2
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

www.annuurpapers.co.tz

UKAWA wajiandae vizuri


kupokea magoli ya mkono
Huo ndio ushauri wa Masheikh, lakini
Polisi wachunge Tsunami ya Lowassa
Kama ni lawama atazibeba Jaji Lubuva

GAZETI la Mtanzania
la Jumane wiki hii,
katika ukurasa wake
wa 6 kuna kibonzo
(katuni) ambapo
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar
es Salaam, Suleiman
K o va a n a o n e k a n a
akipokea simu kutoka
kwa mmoja wa vijana
wake waliokuwa
mitaani katika
harakati za kulinda
usalama wa raia na
mali zao. Kutokana na
ujumbe unaotolewa,
i n a o n e k a n a k u wa
afande huyo na
wenzake walikuwa
katika
eneo
a mbapo u m a ti wa
watu walikuwa
wamekusanyika
kushuhudia safari ya
Mheshimiwa Edward
Lowassa kwenda
Tume ya Uchaguzi
kuchukua fomu ya
kugombea urais.
Aroo huku kuna
sunami si mafuriko
tena. Anasema
kamanda katika simu
(redio call), aliyekuwa
bila shaka akiongoza
kikosi katika heka
heka za kudhibiti,
maandamano ya
Lowassa akimwambia
Kamanda Kova akiwa
ofisini.
Basi ongozeni njia.
Anajibu Afande Kova
akitoa maelekezo
(mapya).
Inavyoonekana ni
kuwa, awali Kamanda
Kova alikuwa
amepiga marufuku
watu wasitoke

k wa m a a n d a m a n o
kumsindikiza Lowassa
k we n d a Tu m e .
N a a l i t um a k i k o s i
kuhakikisha kuwa watu
wanasambaratishwa
kwa mabomu ya
machozi na virungu
iwapo watathubutu
kuingia barabarani
kumsindikiza
Lowassa.
Tuanze
kwa
kusema kuwa
kama Kova alikuwa
amepiga marufuku
maandamano
h a k u wa a m e k o s e a
wala haikuwa jambo
la kulaumiwa. Sote
tulishuhudia jinsi
msafara ule ulivyoleta
adha kubwa kwa
watu. Kwa zaidi ya
masaa matano hakuna
kinachofanyika.
Barabara hazipitiki.
Lakini pengine
tuseme kuwa, hiyo
ni moja ya gharama
za demokrasia na
uhuru wa watu wa
kukusanyika, kutoa
maoni yao na hisia zao.
Pili tuseme kuwa,
kama ambavyo
h a i k u wa j a m b o l a
kulaumiwa kwa hatua
ya awali ya Kamanda
Kova kupiga marufuku
maandamano,
anastahiki pia yeye
na vijana wake
kupongezwa kwa
kubadili amri ya
kuzuiya maandamano
na kuwa kuongoza
njia atakapopita
L o wa s s a n a wa t u
wake. Hapana shaka
kamanda aliyekuwa

akiongoza kikosi
cha kusambaratisha
maandamano,
alitizama Tsunami
ile ya watu, akaona
haiwezi kuzuilika labda
kama lengo ni kuleta
maafa makubwa kwa
wananchi. Akamshauri
Mkuu wake naye
akaona kuwa Usalama
wa raia na mali zao
upo katika kuongoza
maandamano hayo,
na si katika kuyapiga
marufuku.
Ni imani yetu kuwa
iwapo busara kama hizi
zitaendelea kutumika,
pamoja na mikimiki
yote itakayokuwepo
kutokana na mazingira
mapya yaliyoibuka
katika UKAWA, bado
tutakuwa na uchaguzi
wa amani na utulivu.
Wakati Jeshi la Polisi
likitekeleza wajibu
wake kwa busara kama
h i i wa l i y o o n ye s h a
wakati wa Tsunami
ya Lowassa jijini
Dar es Salaam, kuna
haja na vyama vya
siasa navyo pamoja
na wagombea wao
kuchunga ndimi zao
na kila wanalolifanya.
Wa k i o n g e a n a
wandishi wa habari
hivi karubuni, Umoja
wa Wanazuoni wa
Kiislamu Tanzania
(Hay-atul Ulamaa),
walitoa tamko ambapo
walitoa tahadhari kwa
wa t u wa U K AWA .
Tahadhari na nasaha
z a o k w a U K AWA
walizijenga kufuatia
tamko la Umoja huo
uliomsimamisha
Lowassa kuwa
m g o m b e a wa o wa
u r a i s , wa l i p o s e m a
kuwa wakihisi kuna
kuibiwa kura, basi
watasema polisi
mtusamehe, mabomu
hayatatosha.
Hiyo maana yake ni
kuwa watafanya zogo
na fujo ambalo, hata
polisi jasho litawatoka
kukabiliana nalo. Na
ukizingatia ile Tsunami
ya Lowassa Jumatatu
w i k i h i i , u n a we z a
kuona uzito na ukweli
wa kauli na kitisho

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

hicho.
Sasa, pamoja na
kuwepo kwa kauli
kutoka CCM za
kufunga magoli
ya m i k o n o , l a k i n i
H a y - At u l U l a m a a ,
wanawasihi UKAWA
kuwa wawe makini
sana. Kujiamini
sana kwao kwa
kuwa na Tsunami,
kusije kukawafanya
wakakosa ujasiri wa
kupokea matokeo
hata kama watakuwa
wamepigwa mweleka
wa kweli na CCM.
Viongozi wa
UKAWA wamekuwa
wakisema CCM
ijiandae kisaikolojia
kuachia madaraka.
Lakini pia ni muhimu
zaidi kwa vyama vya
upinzani kujiandaa
kisaikolojia kukosa
madaraka. Kufanya
hivyo kutasaidia
kujiandaa kuyapokea
matokeo yoyote yale
hasa iwapo Tume ya
Taifa ya Uchaguzi
itatenda haki.
Walisema wanazuoni
hao wa Kiislamu
wakiwanasihi UKAWA
ambao kwa kuwa na
Tsunami ya watu,
wanaweza wakawa
wamejiaminisha kuwa
tayari wameshinda.
Hata hivyo, Ulamaa
hawa wamesema
jambo moja la msingi
sana. Tume kutenda
haki na ionekane kuwa
imetendeka.
Iwap o Tume ya
Taifa ya Uchaguzi
itafanya kazi yake
kwa haki na uadilifu
bila upendeleo, kila
upande ukaona haki
siyo tu imetendeka,
bali imeonekana
kutendeka wazi wazi,
vyama vya siasa na
wananchi watakubali
matokeo na hapo
hakutakuwa na sababu
ya hofu ya uvunjifu wa
amani.
Pamoja na kuwa na
matumaini mema na
kuidhania wema Tume
katika kutenda haki,
lakini bado Wanazuoni
hao hawakuacha
kuonyesha wasiwasi

wao pale waliposema:


Katika mazingira
h a ya ya Tu m e
kuteuliwa na mmoja
wa washindani katika
kinyanganyiro hiki
cha madaraka (serikali
ya CCM), (je) inaweza
kusimamia uadilifu
kwa vyama vyote?
Katika kulijibu swali
hilo, Maulamaa hao wa
Kiislamu wakasema
kuwa Tume inaweza
kutenda haki iwapo
wataongozwa na
dhamira njema za
kuitakia mema nchi
badala ya kuangalia
maslahi yao binafsi.
Na sisi tuhitimishe
kwa
kusema
yafuatayo. Mwaka 2001
palifanyika umwagaji
d a m u wa k u t i s h a
uliopelekea kwa mara
ya kwanza nchi yetu
kuwa na wakimbizi.
Mpaka sasa si rahisi
kujua idadi ya uhakika
ni watu wanangapi
wa l i u l i wa . L a k i n i
ni makumi kama si
mamia.
Ukiacha waliouliwa,
wapo waliotiwa
majeraha na vilema
vya kudumu huku
ukifanyika uporaji
na hata ubakaji wa
wasichana wari na
wake za watu. Hali
ilikuwa mbaya zaidi
Pemba.
Asili ya yote haya ni
kuwa kuna wananchi
na wapiga kura
ambao waliona kuwa
Tume ya Uchaguzi
Z a n z i b a r h a i k u wa
imetenda haki. Ni
katika kujitokeza
mitaani kuonyesha
kutokuridhika kwao
na kazi ya Tume, ndio
busara ya Kova na
yule afande aliyeita
A r o o h u k u n i
sunami si mafuriko
tena ilikosekana.
Watu wasio na hatia
wakauliwa.
Ni ushauri wetu kwa
Tume ya uchaguzi
kujitizama na kuwa
makini wasije kuwa
sababu ya umwagikaji
damu mwingine katika
nchi yetu kwa sababu
ya wizi wa kura na
magoli ya mkono.

3
Na Bakari Mwakangwale
KATIBU Mkuu wa Chama
Cha NRA, Bw. Hassan
Kisabya, amesema si sahihi
kumlaumu Profesa Ibrahim
Lipumba, kwa hatua yake ya
kujiuzulu uongozi wa Taifa
wa Chama Cha Wananchi
CUF.
Akasema, badala yake,
wafuasi wake hususani wale
walio athirika na mfumo
wa kiutawala tokea nchi
hii ipate Uhuru, watafakari
hatua hiyo ili wasije kujuta
kama ambavyo hii leo
wanajuta baada ya wazee
wao kushindwa kumuelewa
Sheikh Suleiman Takadir.
Katika miaka ya 1960s,
Sheikh Suleiman Takadir,
alijikuta lawamani baada ya
kuwatahadharisha Waislamu
kuwa makini na Mwalimu
Julius Nyerere, baada ya
kumkaribisha na kumuamini
katika harakati za kupigania
Uhuru, kuwa huko mbele
baada ya Uhuru, huenda
(Nyerere) akawabagua
Waislamu.
Katibu huyo wa NRA,
alikuwa akitoa maoni yake
juu ya kujiuzulu kwa Profesa
Ibrahimu Lipumba.
Kwa sasa Prof. Lipumba,
atalaumiwa sana husasani
na lile kundi la watu
wa l i o t e n g wa n a m f u m o
nchini, lakini wanatakiwa
watafakari, isije ikawa
sawa na Sheikh Suleiman
Takadir, aliyewatahadharisha
Waislamu dhidi ya Nyerere,
l a k i n i h a wa k u m u e l e wa ,
walimbeza na kumtenga
na kufikia kumuitwa ni
mtaka dini, lakini baadae
sana walikuja kumuelewa.
Alisema Bw. Kisabya.
Bw. Kisabya, alieleza kuwa
Prof. Lipumba, anabezwa
kuwa ana tamaa ya madaraka
(Urais), mara kahongwa
mamilioni ya pesa, akasema si
sahihi kumlaumu, badala yake
watu wanatakiwa kutafakari
hatua hiyo tokea alipofariki
Prof. Kigoma Malima.
Alisema Al-Marhum, Prof.
Kigoma Ally Malima, alikuwa
n i m m o j a wa v i o n g o z i
wa l i o k u wa wa z i k a t i k a
msimamo na maamuzi yake
na alijulikana wazi ni mambo
gani alitaka kuyasimamia,
kwani aliwapigania wanyonge
tokea akiwa Serikalini na
alitoka Serikalini (CCM)
akiwa na dhamira hiyo, tofauti
na hao wanaotoka hivi sasa na
kuingi upinzani.
Ikumbukwe kuwa Profesa
Lipumba, ndiye mrithi wa
Profesa Malima, nawaomba
wana-CUF, watafakari
hatua hii ya Prof. Lipumba,
amekuwa wazi kama Prof.
Malima, na amesema wazi
kuwa dhamira yake inamsuta,
anajua alichokifanya kwani
lengo lake kama ilivyorithi
kwa Prof. Malima, ni
kuwasaidia wanyonge wa
nchi hii, waliotengwa na
mfumo, sasa ameona upepo
umegeuka ghafla kinyume
na matarajio na hawezi
kuyatekeleza yale ya Prof.

Habari

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Prof. Lipumba apata mtetezi

Malima. Amebainisha Bw.


Kisabya.
Alisema, ukitaka kujua
hili, tafakari kauli yake, na
maneno yale Dhamira yangu
inanisuta.
Kwamba, amezingatia
kuwa alilolikusudia
halitatimia katika mazingira
ya sasa ndani ya CUF na
ndani ya UKAWA.
Amebaini kuwa wenzie
walikuwa wakimcheza
shere mtu ambaye ni msomi
mkubwa anayetambua
mambo, amegundua kwamba
kulikuwa na mambo ambayo
yapo nje na utaratibu
uliokuwepo. Ndio maana
Prof. Lipumba, karudia
zaidi ya mara kumi katika
hotuba yake, Dhamira yangu
inanisuta.
Maana yake ni kwamba hata
dhamira yake haimruhusu
kufanya mambo ambayo si
katika makubaliano yao. Ni
wazi walitaka kumlazimisha
akiuke dhamira yake, na
kwa mtu mwenye kujua
nini kinachoendelea
hawezi kukubali kuwemo
humo, japo kwa sasa watu
wanaokandamizwa na mfumo
huo hawawezi kumuelewa
kwa maamuzi yake hayo.
Amesema Bw. Kisabya.
Alisema, Prof. Lipumba
ameeleza kuwa awali
walikubaliana mambo
m e n g i n e b a a d a e ya k a j a
kuingiziwa mambo mengine,
na kutolea mfano wa Askofu
aliyesilimu na baada ya siku
moja anapewa Uimamu,
awaongoze katika swala ndio
maana akasema, baada ya
kutafakari akaona, dhamira
yake inamkatalia.
Akizungumzia madai
kwamba, Prof. Lipumba,
ameidhoofisha CUF, Tanzania
bara, na kwamba haina
Wabunge wa kutosha, alisema
hakubaliani na hilo kwani
nguvu kubwa ya kuiwezesha
CUF, inaelekezwa Zanzibar.
Alisema, kimsingi
Menejimenti ya CUF,
ilishindwa kumuwezesha
Prof. Lipumba, kwa upande
wa Tanzania Bara, lakini yeye
kama yeye (Lipumba) mpaka
sasa ana mtaji mkubwa wa
watu ambao aliwarithi kutoka
kwa Prof. Kigoma Malima.
Niliwahi kusikia
wa k i l a l a m i k a v i o n g o z i
wakubwa wa CUF Bara,
kuwa katika moja ya chaguzi
kwamba jimbo moja huku
bara linatengewa kiasi kidogo
cha pesa kuelekea katika
uchaguzi ukilinganisha na
pesa inayotengwa katika
jimbo la Zanzibar, jambo
ambalo huwezi kupambana
na wenzio ambao wana bajeti
ya kutosha. Alisema Bw.
Kisabya.
Alisema, hata siku moja
katika batili haki haiwezi
kusimama, na leo hii ukiongea
CUF, Tanzania Bara haipo,
imebakia Zanzibar na huku

(Bara) ni changa la macho


na kwa mwenendo huo, si
rahisi kufanikiwa na kufikia
malengo yanayotakikana.
Prof. Lipumba, ambaye ni
msomi mkubwa si Tanzania
tu bali Kimataifa, amekubali
kudhalilika mno humu nchini,
kwa sababu ya mfumo wa
nchi hii, lakini yeye dhamira
yake ilikuwa kuwasaidia
wanyoge ambayo ameona
ni ngumu kupatika katika
mfumo unavyokwenda.
Sisi NRA, kila siku
tumekuwa tunanugunika
juu ya mambo anayofanyiwa,
tunasema huyu msomi sio wa
kudhalilika na na tunamuona
ndiye Prof. Malima, aliyebakia
Tanzania. Alisema Bw.
Kisabya.
Awali, akimzungumzia
Prof. Lipumba, alikotokea
mpaka kufikia hapo, Bw.
Kisabya, alisema nguli huyo
wa m a s u a l a ya u c h u m i
Duniani, alikuwa sambamba
na Prof. Kigoma Malima,
katika chama cha N.R.A,
akiwa mtendaji katika ofisi

za Katibu Mkuu wa Chama.


Akasema, baada ya kifo
cha Prof. Malima, ilibidi
sasa atafutwe mrithi wake,
mwenye sifa zinazofanana na
marehem ili aweze kusimamia
malengo ya Chama (NRA)
ndipo alipoibuliwa Prof.
Lipumba, na kutokana na
matatizo yaliyoibuka wakati
huo katika chama cha
marehem Malima, (NRA)
ikapendekezwa aende CUF,
kugombea Urais kwa kuwa
chama hicho kilichokuwa na
malengo karibia na NRA.
Akirejea habari ya Gazeti
hili la toleo lilipita, iliyosema
Lipumba atonesha msiba wa
Prof. Malima Bw. Kisabya,
alisema ni kweli Sheikh
Aboud Maalim, alitaka mrithi
wa Prof. Malima, mwenye sifa
kama zake.
Alisema, Sheikh Maalim,
alisema hayo akiwa na maana
kwamba anatakiwa mtu aliye
msomi na Profesa mchumi,
ambaye ni wa daraja la

pili atakaweza kusimamia


malengo na dhamira ya
Prof. Malima, kuitetea jamii
iliyobaguliwa nchini.
Hata hivyo baada ya kifo
cha Prof. Malima na kuteuliwa
Prof. Lipumba, kwenda CUF,
Kama ambavyo, hivi sasa Mh.
Juma Duni, alivyoazimwa na
CHADEMA, ili kutia nguvu
chama hicho kwa upande
wa Zanzibar, kwa malengo
ya kugombea Urais, pia
wanachama wengi wa NRA
walijiunga na CUF na NRA,
ilikiunga mkono CUF.
Lakini baada ya hapo
(Prof. Lipumba) hakurudi
NRA, badala yake aliendelea
kuijenga CUF, akishirikiana
na wadau mbalimbali
waliokuwa NRA, waliokuwa
wakimuunga mkono Prof.
Malima, wakati huo. Alisema
Bw. Kisabya.
Lakini, hivi sasa kihistoria
ukitamka CUF, wanachama
wengi watakuambia
walikuwa NRA, na walihama
baada ya chama kupoteza
muelekeo kufutia kifo cha
Prof. Malima, na kufanyika
mikakati ya kukiunga mkono
chama cha CUF.

Hakimu acharuka kesi ya ugaidi


Ataka Jamhuiri kukamilisha upelelezi
Mbwa wa Polisi nao walikuwa tishio

Na Mwandishi Wetu

HAKIMU wa Mahakama
ya Kisutu jijini Dar es
Salaama anayesikiliza
kesi ya watuhumiwa 23
wa ugaidi Mhe. Simba,
jana ameutaka upande wa
mashitaka kuhakikisha
wanakamilisha upepelezi
wao ifikapo Agosti 27
mwaka huu kesi hiyo
itakapotajwa tena.
Ta r e h e i n a y o k u j a
upelelezi
uwe
umekamilika, vinginevyo
nitaachia watuhumiwa na
kuwapeleka polisi na sio
gerezani, alisema Hakimu
huyo.
Kesi hiyo ilikuja
kusikilizwa, lakini upande
wa mashitaka ukaiomba
mahakaka kuahirisha kesi
hiyo kwa kuwa upelelezi
bado haujakamilika.
Wakili wa upande wa
utetezi, Salum Abubakar
aliendelea kulalamikia
kitendo cha kuendelea
kuahirishwa kusikilizwa
kesi hiyo kutokana
na upande wa Jamhuri
kushindwa kukamilisha
u p e l e l e z i wa o , h u k u
watuhumiwa wakiendelea
kuteseka mahabusu.

Haiwezekani miaka
miwili ya kesi upelelezi
haujakamilika. Hii ni
kuendelea kuwanyima
haki watuhumiwa ambao
wapo rumande. Alisema
wakili huyo.
Jaji Simba ameshasema,
lazima tarehe inayokuja
upelelezi
uwe
umekamilika, alisema
Bw. Salum.
Wa k i l i w a u p a n d e
wa utetezi Abubakar
S a lu m , a k i ho j i wa na
mwandishi wetu alisema
amesikitishwa na hali
iliyojitokeza mahakamani
hapo kufuatia ulinzi mkali
uliowekwa, kiasi hata wakili
wa kutetea watuhumiwa
alikuwa akizuiliwa kuingia
mahakamani.
Wa k i l i S a l u m a wa l i
alizuiwa na polisi kuingia
ma h a k a m a ni ha p o na
kusababisha mvutano
ambao ulilazimu baadhi
ya m a a f i s a wa p o l i s i
waliokuwepo mahakamani
hapo kuingilia kati.
Baada ya kuzuiwa, polisi
hao walitaka pia kukagua
gari yake.
Baadae baadhi ya maofisa
wa polisi waliingilia kati na
kumruhusu wakili hiyo

kuingia mahakamani.
Hata hivyo wakili
huyo baada ya kuingia
mahakanani majira ya saa
2:30 asubuhi, alikuta tayari
hakimu ameshaahirisha
kesi hiyo.
Wakili huyo alisema kwa
kawaida kesi zinatakiwa
kuanza kusikilizwa
mahakamani hapo
saa 2:30 asubuhi kwa
mujibu wa muongozo
wa Jaji Kiongozi, lakini
ameshangaa kuona kesi
hiyo ya ugaidi kusikilizwa
majira ya saa 1:00 asubuhi,
tena bila kuwepo mawakili
na kwamba ni kesi hiyo tu
inayowahishwa.
M a h a b u s u
wanapelekwa haraka sana
mahakamani, saa moja na
nusu tayari wameshafika
na kesi inaanza hata kabla
ya mawakili wao kufika.
Alibainisha wakili huyo.
Mwandishi alishuhudia
p o l i s i n a m b wa wa o
wakiranda nje ya uzio wa
mahakama, huku mbwa
hao wakikosakosa kuuma
wa t u wa l i o k u wa n j e ,
ambao walikuja kwa ajili
ya kusikiliza kesi hiyo.
Naibu Amir wa Itiqaf
ni mmoja wa watu
walionusurika kungatwa
na mmoja wa mbwa hao
wa polisi.

AN-NUUR

Makala

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Furaha ya ndoa katika Uislamu


Na Shaban Rajab

I FA z o t e n j e m a
anastahiki Allah (sw)
aliyetukuka, Mola
mlezi wa walimwengu
wote. Swala na salamu
zimshukie kipenzi chetu
Mtume Muhammad (saw)
na Swahaba zake (ra)
mpaka siku ya mwisho.
Mwanaume kuoa au
mwanamke kuolewa ni
jambo lenye heri kubwa
kwa mwanadamu
lakini zaidi ni kwamba
humfurahisha sana
Mwenyezi Mungu.
Kuoa au kuolewa ni moja
ya njia sahihi za kumfanya
Muislamu kuishi maisha
ya amani kuweza
kuyashinda matamanio
na vishawishi vya Shetani.
Ndoa ni heshima na stara
kwa mwanadamu. (Wao ni
vazi kwenu, na nyinyi ni vazi
kwao) [Al-Baqarah 2:187].
Hiyo ndio sifa ya
Muislamu mwema kuweza
kutekeleza maagizo ya
Mwenyezi Mungu
aliyetukuka pamoja na
Mtume wake (saw).
Hata hivyo wanaume
ndio wenye jukumu
kubwa la kuhakikisha
kwamba maisha salama ya
ndoa yanakuwepo katika
familia. Wao ndio viongozi
wa kaya (wachunga) na
wa n a o wa j i b i k a k u t o a
huduma zote za msingi
katika familia akiwemo
mke.
Lakini pia ni ukweli
usiopingika kuwa ili kuwa
na ndoa yenye furaha,
upendo, heshima, huruma,
nidhamu na kuaminiana
na hatimaye kuwa na
familia adilifu na bora, basi
ni jukumu la wanaume
k u h a k i k i s h a k wa m b a
wanatimiza wajibu wao
kwa wake zao ili kuteka
mioyo yao.
Ni makusudio ya makala
hii kukumbushana huo
wajibu wa mwanaume
wa kuenzi mapenzi kwa
mkewe, ili mwanamke
naye ajihisi ndani ya nafsi
yake kuwa naye ana wajibu
wa kumjali na kumliwaza
mumewe bila kukinahi.
Kabla ya kuendelea na
somo letu la namna ya na
wajibu wa mume kuuteka
moyo wa mkewe ili
kudumisha mapenzi katika
ndoa, ni vyema nikaanza
kubainisha baadhi ya
nukta muhimu za kusudio
la ndoa. Kwanza ni kupata
kizazi (watoto) ambacho
kitasaidia katika kujenga

Namna ya mume kuuteka moyo wa mke

MUME na mke wakiwa pamoja.


jamii. Pia kueneza jinsia
ya watu wa kila kabila au
mataifa mbalimbali.
Lak in i pia k u s u d io
jingine ni kumridhisha
Mwenyezi Mungu (sw)
n a M t u m e wa k e k wa
kueneza idadi ya wafuasi
wa dini ya Kiislamu.
Mtume (saw) amesema
katika hadithi,Oeni wake
wema muwapendao na
wa t a o wa p a t i a k i z a z i
chema, kwani siku ya
kiyama nitajivunia
ukubwa wa umati wangu.
(Ahmad).
Lakini pia katika
Uislamu kuna suala la
kupata baraka za mtoto
mwema, ambaye ni
yule atakayewasomea
dua wazee wake
(watakapofariki). Maneno
haya yamethibitishwa
na Hadith maarufu
inayosema kuwa,
Binadamu anapokufa,
basi amali zake nzuri
hukatika au humalizika,
isipokuwa mambo matatu
makuu, nayo ni sadaka
yenye kuendelea, elimu
yenye kunufaisha na mtoto
mwema atakayemuombea
dua mzee/wazee wake.
(Riyadhus-Swalihin).
Faida nyenginezo
zinazopatikana katika
ndoa ni kutoa kinga
kutokana na shetani katika
mambo yanayopelekea au
yanayokaribisha tendo la
zinaa.

Ndoa hapa inasimama


kama kizuizi au kizingiti
cha kufanya mapenzi
au tendo la ndoa hovyo.
Kwamba aliyeoa au
kuolewa amedhibitiwa
kisheria kutofanya
masuala ya kindoa bila
ndoa.
Isingekuwepo ndoa,
kungekuwa hakuna
milki au zuio la kisheria
kwa mume au mke. Kwa
maana nyingine maisha
yangekuwa ya zinaa tu.
Lakini pia mume na
mke hupata utulivu wa
akili na moyo na kuwa na
urafiki ambao hupelekea
mapenzi na huruma baina
yao. Ndoa huunganisha
udugu wa familia za pande
mbili za ukeni na kiumeni.
Aidha ndoa huleta
somo la kusaidiana kati
ya mume na mke katika
maisha. Kuweka bidii na
kuwa tayari kuihami na
kuitunza familia. Na vile
vile kuishughulikia na
kuitimizia mahitaji yake
yakiwa ni ya (kimwili,
kimavazi, kisiha,
kimawazo na kiroho)
na kustahamiliana pale
panapotokea kutoelewana.
Mapenzi ya mke na
mume hayastahili yaishe
hapa duniani. Ndio
maana Mwenyezi Mungu
anaichukia sana talaka.
Tunaamini kuna maisha
baada ya mauti, kwamba
wale ambao walifanya

wema katika dunia hii


wataungana na wana
n do a we n z i o ( I n g i e n i
Peponi, nyinyi na wake
zenu; mtafurahishwa humo)
(Az-Zukhruf 43:70) Pia
wataungana na watoto
wao.
(Na katika ishara zake ni
kuwa amekuumbieni wake
zenu kutokana na nafsi zenu
ili mpate utulivu kwao.
Naye Amejaalia mapenzi na
huruma baina yenu. Hakika
katika haya bila ya shaka zipo
ishara kwa watu wanaofikiri."
(Ar-Ruum 30:21).
Baada ya kueleza nukta
hizo chache kuhusu
mahusiano ya ndoa na
faida zake, nijikite katika
somo kuu la makala
kuhusu wajibu na namna
ya mume anavyostahili
kuuteka moyo wa mke
ili kudumisha mapenzi
katika ndoa na familia kwa
ujumla.
Kuna mambo ya msingi
ya kutekelezwa na mume
katika kudumisha penzi
kwa mkewe na hatimaye
k u wa n a n d o a i m a r a
iliyojaa furaha.
Kumzungumzisha
mkewe kwa lugha nzuri
na matamshi. Katika nukta
hii, ni jambo jema kwa
mume kumpamba mkewe
kwa kumuita kwa kumpa
hadhi yake ya mama wa
familia kama vile kumuita
mama fulani ikiwa ana
mtoto. Hili huonyesha

heshima kwa mkeo na


kumpa hadhi yake. Lakini
ikiwa hali inaruhusu, basi
unaweza kumwita kwa
jina lake moja kwa moja.
N i
j a m b o
linalomfurahisha sana mke
kama mume utamletea
zawadi unaporejea kutoka
kwenye mikahangaiko
yako. Hii haijalishi
ukubwa au thamani ya
z a wa d i b a l i m a m t i k i
hapa ni kitendo. Kitendo
cha kumpatia zawadi,
hasa kwa kumshtukiza
(suprise) kinamfanya mke
aone kuwa unampenda,
unamthamini na kumjali
hivyo kuleta athari chanya
kwenye mapenzi yenu.
Ni jambo la busara sana
kwa mume kujenga tabia ya
kufumbia macho makosa
ya mkewe ya bahati mbaya
au yale madogo madogo,
au yale yanayotokana
na kutojua. Busara
inayotakikana hapa ni
mume kutumia maelekezo
mepesi na yasiyoashirika
hasira katika kurekebisha
makosa ya mkewe.
Hapa mke naye ataona
soni kuwa mkaidi au jeuri
kwa mumewe, hasa mke
ambaye anajua wajibu
wake kwa mumewe na
dini yake.
Hata hivyo makosa
makubwa yanayopingana
na sheria na tabia
n j e m a , n i s h a r t i k wa
mume kuhakikisha
kwamba hayavumiliwi.
Anayakemea mara moja
lakini kwa kauli laini, sio
kumkashifu.
Iwapo mke atafanya
jambo zuri na jema lenye
faida kwako, basi mume
anastahili kuharakisha
kumshukuru na kumlipa
sifa yake na hata kupa
zawadi kidogo ikibidi.
Aidha ni vyema mume
kudhirisha kwa mkewe
hisia zake za mapenzi,
huruma zake na kile
anachokipendelea isiwe
tu kinapingana na sheria
za dini. Ikishindikana
basi usimfanyie ubahili
japo kwa kumpa maneno
mazuri.
Mpe mkeo uhuru wa
kufanya kazi zake za
nyumbani na hata nje
ya nyumba, mpe nafasi
akuwakilishe katika baadhi
ya mambo yanayohitaji
uwepo wa mke au mume.
Hilo hujenga kuaminiana
na kuheshimiana.
Ni vizuri mume

Inaendelea Uk. 12

Habari za Kimataifa

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Zaidi ya Baba wa mtoto aliyechomwa moto Gaza naye afariki


Yahudi aliyehusika na jinai hiyo afungwa
watu 300
wameliwa
mapigano
ya kikabila
Kenya
Umoja wa Mataifa
umesema kiasi cha
wakenya 310 wameuawa
na wengine zaidi ya
215,000 wamelazimika
kuyahama makazi yao
mwaka huu, kufuatia
ghasia za kikabila
Kaskazini mwa nchi
hiyo
Shirika la habari la
ABNA limeripoti kuwa
Umoja wa Mataifa katika
ripoti yake iliyotolewa
wiki iliyopita, umesema
idadi ya watu waliouawa
na kulazimika kutoroka
m a k a z i ya o k a t i k a
kipindi cha miezi sita ya
kwanza ya mwaka huu
katika eneo la Kaskazini
mwa Bonde la Ufa nchini
Kenya, ni sawa na idadi
ya watu walioathirika
mwaka mzima uliopita.
O f i s i ya m r a t i b u
wa shughuli za
kibinadamu za Umoja
wa Mataifa imesema
ghasia zinazochochewa
kikabila zimeendelea
kusambaa katika eneo
hilo la Kaskazini mwa
Bonde la ufa kutokana
na mizozo ya mipaka
ya ardhi, wizi wa
mifugo, mashambulizi
ya k u l i p i z a k i s a s i ,
kung'angania lishe ya
mifugo, maji na ardhi
pamoja na mizozo ya
kisiasa.
Maeneo yaliyoathirika
z a i d i n i Tu r k a n a ,
Baringo, Samburu,
Marsabit na Isiolo.
(abna)

SAAD Dawabsheh, baba


wa mtoto wa Kipalestina
aliyechomwa moto na
walowezi wa Kiyahudi
katika Ukingo wa
Magharibi huko Gaza
amefariki katika hospitali
ya Soroka Israel.
Bw. Dawabsheh
alipelekwa hospitalini
baada ya kuungua katika
shambulizi la moto
lililosababisha kifo cha
mtoto wake ambaye
alifariki kwa kuungua kwa
moto huo.
Mke wa Dawabsheh, Bi.
Rihamna na mtoto wao
Ahmad, bado hali zao
ni mahututi hospitalini
baada ya nyumba yao
kuchomwa moto.
Wa z i r i M k u u w a
Israel, Benjamin
Netanyahu, aliahidi kuwa
waliohusika na shambulio
hilo watakamatwa na
k u p e l e k wa m b e l e ya
vyombo vya sheria.
H a t a h i v y o Ya h u d i
anayedaiwa kuwa ndiye
aliyechoma moto nyumba
ya Bw. Saad Dawabsheh, na
kusababisha kifo cha mtoto
wake na kujeruhi vibaya
familia ya Mpalestina
huyo akiwemo mkewe
na mwanaye mwingine,
mtu anayedaiwa kuhusika
na jinai hiyo Mordechai
Meyer amehukumiwa

Mwili wa Bw. Saad Dawabsheh ukielekea mazikoni.


kutumikia kifungo cha w a k i p a l e s t i n a k w a
miezi sita tu jela.
kumchoma moto, jambo
I s r a e l i m e m f u n g a lililofanya dunia nzima
gerezani Myahudi huyo kulaani ukatili huo.
mwenye msimamo
Hata hivyo hii ni mara
mkali kutumikia miezi ya kwanza kwa Israel
s i t a g e r e z a n i b i l a ya kuchukua hatua hiyo
kumfungulia mashitaka, ya kumfunga Muisraeli
ikiwa ni hatua ya serikali b i l a ya k u f u n g u l i wa
ya Israel kuwasaka na mashitaka, tangu msako
kuwachukulia hatua za dhidi ya Mayahudi hao
kisheria Mayahudi wenye wenye msimamo mkali
msimamo mkali, ambao kuanza wiki iliyopita.
wamekuwa wakifanya
Waziri wa ulinzi wa
mashambulizi dhidi ya Israel Moshe Yaalon, alitia
Wapalestina na maeneo ya saini agizo la kumfunga
kuabudu.
Mordechai Meyer miezi
M o r d e c h a i M e y e r , sita jela kwa kuhusika
mwenye umri wa miaka katika shambulizi hilo la
18, amehukumiwa adhabu kigaidi na kumuua mtoto
hiyo kwa kuhusika katika mchanga wa kipalestina
mashambulizi la kigaidi na kwa kumchoma moto. (
kumuua mtoto mchanga abna)

Mchungaji asilimu Nigeria


Abadili Kanisa kuwa Msikiti

MCHUNGAJI mmoja
nchini Nigeria ametamka
shahada mbili na kusilimu
huku akiligeuza Kanisa
lake kuwa Msikiti.
Adekunle Afolabi,
ambaye amesilimu na
kuwa Muislamu, anasema
kuwa amechukua uamzi
huo wa kuwa mfuasi wa
dini tukufu ya Kiislamu
baada ya kuota ndoto ya
ajabu wakati alipokuwa
k a t i k a m a a n d a l i z i ya
kufanya sherehe za kila
mwaka za tangu kuasisiwa
Kanisa lake hilo, lililokuwa
likiitwa Apata Adura
Cherubim, lililopo katika
mji wa Ado Ekiti, jimbo la
Ekiti.
Kwa mujibu wa Afolabi,
ambaye kwa sasa anaitwa
Alfa Abubakar Afolabi,
alisema akiwa usingizini,
alijiwa na mtu aliyekuwa

amevalia mavazi meupe,


alimkinaisha kwamba
dini ya Kiislamu ndio
dini pekee inayoweza
kumuokoa mwanadamu
na kumfikisha peponi.
Afolabi mwenye umri
wa miaka 45, ambaye
alianzisha Kanisa lake
hilo miaka mitano
iliyopita, alisema kuwa,
t a n g u a l i p o k u wa n a
umri wa miaka 25
alikuwa akijishughulisha
na shughuli za uhubiri
wa dini ya Kikristo na
kusisitiza kuwa, kuanzia
sasa ameamua kubadili
dini na kuwa Muislamu na
kwamba, atafariki dunia
akiwa katika dini hiyo.
Baada ya kuligeuza
Kanisa hilo na kulifanya
kuwa Msikiti, Afolabi
amemteua Sheikh mmoja

wa mji huo kuendesha


ibada za Kiislamu katika
eneo hilo, huku yeye
akijikita katika kujifunza
zaidi dini ya Kiislamu
hususan Quran tukufu.
Waumini wake aliokuwa
nao, baadhi wameingia
katika Uislamu na baadhi
yao bado hawajasilimu.
Nigeria ina idadi ya
watu wapatao milioni
140, ambapo Waislamu ni
asilimia 55 huku Wakristo
wakiunda asilimia 40 ya
raia wote.
Katika baadhi ya
maeneo jamii za Waislamu
na Wakristo zinaishi kwa
amani na ushirikiano, huku
katika maeneo mengine
zikiishi kwa mivutano
inayotokana na migogoro
ya kikabila na kidini,
ambayo inasababishwa
na watu wenye misimamo
mikali.

Waingereza
wataka
Netanyahu
akamatwe

MAELFU ya wananchi
wa Uingereza wamesaini
waraka unaoitaka serikali
ya nchi hiyo kumtia
nguvuni Waziri Mkuu
wa Utawala wa Israel
Benjamin Netanyahu,
atakapowasili nchini
humo mwezi ujao.

Benjamin Netanyahu.
Waraka huo uliowekwa
kwenye wavuti ya Serikali
na vilevile Bunge la
Uingereza, unataka nchi
hiyo kumkamata Waziri
Mkuu wa Israel kutokana
na kutenda jinai za kivita
huko Palestina.
Waraka huo unaeleza
kuwa
Benjamin
Netanyahu, ambaye
anatarajiwa kutembelea
London mwezi Septemba
anapaswa kutiwa nguvuni
kwa mujibu wa sheria za
kimataifa kutokana na
kutenda jinai za kivita na
kuua raia zaidi ya 2000
mwaka 2014.
Hadi Jumatatu usiku
wiki hii, maelfu ya
watu walikuwa tayari
wameweka saini katika
waraka huo. Kwa mujibu
wa sheria za Uingereza,
serikali inalazimika
kuchukua hatua iwapo
watu waliosaini waraka
huo watafikia laki moja.
Mwaka 2014 utawala
wa Israel ulifanya
mashambulizi makali
dhidi ya watu wasio na
ulinzi wa Ukanda wa Gaza
na kuua maelfu ya raia wa
eneo hilo. irib

Makala

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Mafundisho ya Quran-Baqara: 90

Fethullah-Gulen

Wa k a r e j e a n a
machukivu juu ya
machukivu. [AlBaqarah 90]
Maana hakika wao
baada ya kusahilika
kwao, fursa ya
kuepukana na
machukivu, ambayo
waliyapata huko huko
nyuma hawakujaribu
Na Mwandishi Wetu

L I Y E WA H I
k u w a
Mkurugenzi
wa Idara ya Usalama
nchini, Balozi Dr.
Au g u s t i n e P h i l i p
Mahiga amesema
kuwa ushindani
wa makampuni ya
kibeberu katika
kupora mali, ni moja
ya sababu ya kuwepo
kwa tishio la ugaidi.
Aidha amesema
kuwa, ukiacha
ushindani miongoni
mwa makampuni
ya k i b e b e r u , u p o
ushindani pia baina ya
nchi na nchi ambapo
imekuwa ni sababu
kubwa ya nchi zenye
utajiri katika Afrika
kukosa amani.
Akitoa mfano
aligusia Congo (DRC),
Somalia na Libya.
Balozi Mahiga
ameyasema hayo
wa k a t i a k i s h i r i k i
katika kipindi maarufu
cha, Je, Tutafika,
kinachorushwa na
Channel Ten.
Katika kipindi
hicho wiki hii, mada
ilikuwa Kuvamiwa
vituo vya Polisi ni Sisi
Watanzania hao hao?
Katika kuchambua

kufaidika na fursa
h i y o m a t o k e o ya k e
wakajiingiza katika
machukivu mengine
na kitendo Baa katika
aya hii kinafahamisha
juu ya kustahiki na juu
ya kutulizana, vile vile
maana: fanya kuendelea
machukivu na kudumu
k wa k e . N a h a i r e j e i
sababu ya kutumbukia
kwao katika machukivu
j u u ya m a c h u k i v u ,
kwenye kuikanusha
k wa o Ta u r a t i k a m a
lilivyokuja hilo katika
baadhi ya tafsiri, na
katika tafsiri nyingine,
kwenye kuikanusha
kwao Quran tukufu tu,
bali kunarejea kwenye
kukanusha kwao vile
vile yule aliyekuja nayo
Mtume Zakaria na Yahya
(A.S) bali hata kule

kusimama na mauaji yao.


Na kila mmoja katika
sisi, anajuwa kwamba
mwenye kumuua
Mtume anastahiki kuishi
milele katika moto wa
Jahanamu. Kwa sababu
hiyo, limekuwa ni jambo
lenye faida, kuashiria
k wa m b a k u s i m a m a
baadhi yao kwa
kuwapinga Mitume wao
na vitabu vyao, na yale
waliyoyafanya miongoni
mwa kumuudhi
Mtume Mussa na Issa
(AS) na mwisho yale
waliyoyafanya dhidi ya
Mtume wetu Muhamad
(s.a.w.), ulikuwa ndiyo
mfano ambao uliuvunja
mgongo wa ngamia
k a m a i n a v y o s e m wa
jambo ambalo mwishoni
lilipelekea kwenye
kuingia kwao katika

kustahiki machukivu
juu ya machukivu.
Wa l i s i m a m a
hawa kwanza kwa
kuwakadhibisha
Mitume ambao
waliwaokoa na
adhabu ya Firauni na
wakawawekea wazi
njia ilionyooka, yenye
kupelekea kwenye
mambo ya ukamilifu,
ya ubinadamu,
k i s h a wa k a s i m a m a
k wa k u u wa b a a d h i
ya Mitume ambao
walikuja baada ya hapo
wakastahiki ghadhabu
kubwa sana bali
walistahiki machukivu
juu ya machukivu. Na
waka ti wa l i p oku wa
wanamngojea, Mtume
wa mwisho wa zama
ambaye zimekuja sifa
zake katika vitabu

Ugaidi madudu ya kupangwa

Asema Balozi Dk. Augustine Philip Mahiga


Ya Padiri Ambrose, Mushi, Zanzibar yaibuliwa
Yapo pia ya Sitakishari, kuchomwa makanisa Mbagala

PAROKO Ambrose Mkenda .

Omar Mussa Makame

vyote vilivyotangulia,
sehemu kubwa katika
wao hawakuweza
kufaidika na fursa hiyo
ya dhahabu, wakati
alipopelekwa Mtume
h u y u a l i y e a h i d i wa
katika mahali palipo
jirani na karibu na
wao, wakamkanusha.
Matokeo
yake
wakastahiki machukivu
j u u ya m a c h u k i v u ,
ambayo walikuwa
wa n a ya b e b a j u u ya
mabega yao.
(Imenukuliwa kutoka
K i t a b u : M i ya n g a z a
y a Q u r a n k a t i k a
mbingu ya hisia, cha
Muhammad Fethullah
Gullen kilichotafsiriwa
kwa Kiswahili na
Sheikh Suleiman Amran
Kilemile)

na kujibu swali hilo,


mwendesha kipindi
Makwaiya wa
Kuhenga, alimwalika
B a l o z i Au g u s t i n e
Mahiga, Sheikh
Mohammed Issa na
mwanaharakati Habib
Miraji.
Balozi Mahiga
alikuwa Balozi wa
Kudumu wa Tanzania
k a t i k a U m o j a wa
Mataifa mwaka 2003
mpaka 2010 na kisha
mwakilishi wa Umoja
wa Mataifa Somalia
2010 mpaka 2013.
Ilikuwa ni katika
uchambuzi wake
Balozi Mahiga alisema
kuwa hivi sasa dunia
inakabiliwa na
kitisho cha ugaidi,
akitumia mfano wa
Somalia kuonyesha
kuwa kikubwa
kinachosababisha
kitisho hicho ni ulafi
wa makampuni na
nchi za kibeberu
kutaka mali.
Akasema, Somalia
kuna mafuta mengi
ambapo itaweza
kushindana na hata
nchi za Mashariki
ya Kati, na pia kuna
madini ya Uranium.
Katika hali kama
Inaendelea Uk. 7

7
Inatoka Uk. 6

hizo akasema, mara


nyingi maadui hutaka
kuweka vibaraka
wao ili wawatumie
katika kupora mali,
na kusababisha
nchi kuishia katika
machafuko.
Kwa upande wake
Habib Miraj akiwa
mzungumzaji wa
kwanza, alionyesha
wasiwasi wake juu ya
matukio yaliyowahi
kutokea hapa nchini
na kunasibishwa na
ugaidi akisema kuwa
inaonekana ni mambo
ya kupandikizwa.
A l i g u s i a
kushambuliwa kwa
viongozi wa kidini
Zanzibar ambapo
pamoja na kuwa Bwana
Miraji hakufafanua,
lakini miongoni mwa
yanayofahamika
ni pamoja na lile la
Paroko Ambrose
Mkenda kujeruhiwa
kwa risasi na lile la
Padri Evarist Mushi
wa Kanisa Katoliki
Parokia ya Minara
Miwili mjini Zanzibar
kuuliwa kwa kupigwa
risasi.
Katika tukio la
kuuliwa Padri Mushi,
Omar Mussa Makame
(35) alikamatwa
akituhumiwa
kuhusika na mauwaji
hayo.
Katika hali ya
k u s h a n g a a B wa n a
Miraji akasema
kuwa katika matukio
hayo, haraka haraka
t u l i a m b i wa k u wa
wanaitwa watu wa nje
(FBI) kuja kutusaidia
kuchunguza.
A k a s e m a ,
inashangaza inasemwa
asubuhi kuwa
wanaitwa FBI, ikifika
jioni, tunaambiwa
FBI washafika tayari
nchini!
Ni haraka na kasi
inayoshangaza
ambayo inaweza
kuibua dhana kuwa
kuna namna.
Ni kana kwamba
walioitwa walikuwa
tayari wapo nchini
au
walikuwa
wamejiandaa wakijua
kuwa wataitwa jambo
linaloibua shaka
kubwa.

MAKALA

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Ugaidi madudu ya kupangwa

Balozi Dk. Augustine Mahiga (wa pili kutoka kulia) akiwa nchini Somalia.

ALIYEKUWA Mkuu wa Ulinzi na Usalama Marekani


(Defense Intelligence Agency-DIA), Michael Flynn.

Hilo lilimshangaza
pia hata mwendesha
kipindi, Makwaiya
wa Kuhenga, ambaye
aliuliza, vipi wageni
hao (FBI) watamjua
Mnyamwezi kuliko
tunavyojijua sisi
wenyewe.
Wa s i w a s i h u o
unajibiwa na
maelezo ya Balozi

Mahinga katika moja


ya nukta zake pale
aliposema kuwa
moja ya hatua katika
kukomaa kitisho cha
ugaidi, ni magaidi
kuonyesha udhaifu,
na kuvidhalilisha
vyombo vya Dola na
Serikali.
Kwa maana ya
k u j e n g a wa s i wa s i

n a k u wa a m i n i s h a
wananchi kuwa
serikali na vyombo
vyake haiwezi
kuwahakikishia
usalama wao.
Na bila shaka hapo
ndio kama nchi na kama
serikali inalazimika
kuagiza vyombo
vya nje ambapo kwa
mabeberu, unakuwa
mlango wa kuingilia
na kuwadhibiti
viongozi wa serikali
na vyombo vya dola.
Ni kama Boko Haram
wanavyoidhalilisha
Serikali ya Nigeria
na Al Shabaab
wanavyoidhalilisha
Kenya.
Kenya ambapo
k a t i k a We s t g a t e
tunaambiwa eti
magaidi wanne tu
kutoka Somalia
wa l i i n g i a N a i r o b i
wakaenda mpaka
Nakumati, wakateka
watu, wakauwa
makumi ya watu, huku
jengo likizingirwa na
Polisi wa kawaida,
GSU Radiation
Unit, GSU Recce
Company, ATPU na
KDF; lakini magaidi
wanne, wakafanya
ya o n a k u o n d o k a
bila kukamatwa au
kuuliwa!!!
J a p o Mz a l e n do
Balozi Dr. Augustine

Philip Mahiga
anasema kuwa haya
yanayotokea huku
kwetu, Sitakishari
(na Amboni, Tanga),
ni mwanzo tu, lakini
tayari Polisi wetu
n a v y o m b o v ye t u
vya dola vishaanza
kudhalilishwa.
Ndio hizi taarifa za
baadhi ya magazeti
k u wa e t i m a g a i d i
wameingia na
kuweka kambi katika
misitu yetu Lindi,
Pwani na Morogoro
huku, vyombo
vyetu vya usalama
vikiwa kizani!!!
Mpaka vistuliwe
n a m a j a m b a z i wa
Sitakishari.
Ndio yale ya Amboni
ambapo Polisi wetu
walituambia kuwa
wamewachakaza
vibaya majambazi
wa kigaidi, lakini
wanashindwa
kuonyesha hata
jambazi mmoja
aliyejeruhiwa.
Wa n a c h a k a z wa
vibaya, lakini
wanatoweka!!!
Mwanaharakati
Habib Miraj, alitaja
pia yale matukio ya
madai ya kuchomwa
makanisa Mbagala na
kukojolewa Quran
a k i s e m a k u wa n i
mambo yayostahiki
kutizamwa kwa
uangalifu na tahadhari
kubwa, kwani yaweza
kuwa ni ya kupangwa
ili kupandikiza chuki
miongoni mwetu.
Watu wahemkwe
na kuleta balaa
linaloweza kuchukua
sura na mwelekeo
utakayo jenga hoja
kuwa kuna magaidi.
Ilikuwa mwaka 2012
ambapo lilitokea tukio
la kijana wa Kikristo
kukojolea Msahafu
na kufuatiwa na
vurugu zilizodaiwa
kuandamana na
kuchomwa makanisa
kule Mbagala.
W i m b i
l a
propaganda ya
kuchoma makanisa
lilipamba moto hali
iliyotishia usalama na
amani ya nchi baada
ya baadhi ya vyombo
vya habari kushabikia
Inaendelea Uk. 13

Makala

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Mapitio ya Kitabu:

Medani za Vita za Kesho: Vita vya Kutumwa


vya Marekani na Operesheni za Siri barani Afrika

WA N D I S H I
wa habari wa
Marekani Nick
Turse amekusanya sehemu
kubwa ya uchunguzi wa
TomDispatch kuhusu uwepo
wa kijeshi wa Marekani
katika Afrika kuunda juzuu
mola linalotia hofu. Ndiyo
kitabu muhimu mwaka huu
hadi sasa. Na RICHARD
POPLAK
Salamu, marafiki kutoka
n d a n i k a b i s a ya A f r i k a
Iliyokaliwa.
Wa k a t i m w e n y e k i t i
wa s a s a wa U m o j a wa
Afrika, Rais wa Zimbabwe
Robert Mugabe anasisitiza
k u wa " h a ya s i y o m a k a o
makuu ya ICC (Mahakama ya
Kimataifa ya Jinai) hatuihitaji
katika ukanda huu kabisa,"
wakati wawekezaji katika
mabenki wananing'iniza
stika za 'Afrika Inakua'
katika mikutano ya kujilipia
mwenyewe ya Benki ya
Maendeleo ya Afrika, na
wengine wetu tunajifanya
kwamba hatimaye
tunaondoka katika medani
sumu ya ukoloni mamboleo
ili kuelekea mtiririko wa
malengo na mielekeo ambayo
hasa ni ya Kiafrika, ghafla
kinatokea kitabu murua
na kinachokata kutugonga
vichwa wote na kuturudisha
ardhini.
Mwaka 2005, mwandishi
wa habari wa Marekani Nick
Turse, baada ya kuandika
makala za uchunguzi kuhusu
ilichokifanya Marekani huko
Vietnam, Irak na Afghanistan,
alianza kuhisi kuwa jeshi la
Marekani (tofauti, kwa mfano
na Bunge la Marekani au
vyombo vya habari) lilikuwa
limeanza kuwa na kijitamaa
hivi kuhusu Afrika. Mwaka
2010, katika kipindi kifupi cha
Mfalme Majnun kati ya 'Kazi
Haijakamilika' na kuzuka
k wa D o l a ya K i i s l a m u ,
aligundua kuwa kijitamaa
hicho kilikuwa kimejengeka
kama danguro la mikanda
ya video za kijeshi za matusi
(BDSM). Alikusanya habari
na kuzipeleka vyombo vya
habari tofauti Marekani lakini
hakuna aliyejali.
Shukran, Tom Engelhardt,
mhariri wa TomDispatch.
com, alielewa athari zake, na
katikati ya mwaka 2012 Turse
alikuwa mwandishi mpweke
akitifua habari ambayo ni
wazi ina umuhimu kwa kila
mwanaume, mwanamke na

CHUCK Norris (mbabe wa sinema za vita vya silaha


nzito na karate kupambana na wahalifu).
mtoto anayeishi katika bara
hili.
Aliona nini?
K wa k u a n z i a , a l i o n a
matamshi yanayoendana
na ya mtunishamisuli
Arnold Schwarzenegger
(katika filamu maarufu ya
Terminator ya miaka ya 1970),
kwa mfano hii kutoka kwa
Kapteni Robert Smith, mkuu
wa platuni maalum ya pili ya
vikosi vya wanamaji (katika
AFRICOM, kamandi maalum
ya jeshi la Marekani kwa bara
la Afrika), akiwa katika hafla
ya kubadili makamanda pale
Boeblingen (makao makuu
ya AFRICOM) mwaka 2013:
'Baadhi ya watu wanadhania
k u wa A f r i k a n i d a r a j a
tutakalovuka baadaye. Afrika
ni daraja tunalovuka sasa.'
Oooyah!
Au hii hapa, inayotoka kwa
Meja Jenerali James Lander,
kamanda wa Operesheni
Maalum za jeshi la Marekani
barani Afrika: 'Afrika ni
medani ya vita ya kesho, leo.'
Mkusanyiko wa habari
za uchunguzi wa Turse
z i l i z o c h a p i s h wa k a t i k a
ukurasa wa mtandao wa
TomDispatch, unachukua
kichwa chake cha habari

kutoka usemi huo wa kiChuck Norris (mbabe wa


sinema za vita vya silaha
nzito na karate kupambana
na wahalifu). Ni maelezo
ya kutia hofu kutoka katika
miaka mitatu ya mwisho ya
habari za uchunguzi za Turse.
Sehemu kubwa ya juhudi
zake ilipuuzwa na maofisa
wa juu wa AFRICOM.
Wa k a t i u k u r a s a w a
mtandao na wa Facebook
unaonyesha kamandi hiyo
kama si zaidi ya wenye silaha
za nuklia na wanaojenga zaidi
zahanati na kurusharusha
watoto wachanga,
maelezo ya mkakati wa
AFRICOM unaficha kila
aina ya mayai ya utabiri
wa balaa wakati wa Pasaka:
" K a m a n d i ya M a r e k a n i
kwa Afrika, ikiungana na
washirika katika majeshi
ya Marekani na mataifa
shirika, inajenga uwezo
wa ulinzi, inashughulikia
hatari zinazozuka, na
kuzuia, kushinda hatari
zinazosambaa kimataifa
ili kuendeleza maslahi ya
taifa la Marekani na kukuza
usalama wa kanda. uthabiti
na ustawi." Kila wakati - kila
wakati - ambako jeshi la
Marekani limejaribu kuinua
"usalama wa ukanda, uthabiti

na ustawi" kinachotokea ni
kinyume chake. Waafrika
wamejifunza hili kwa
maumivu makubwa, zaidi
wakati wa Vita Baridi (ya
kiitikadi), lakini pia kutokana
na mikasa ya hivi karibuni
zaidi kama uingiliaji nchini
Somalia na tukio la 'Dege Jeusi
laanguka' mjini Mogadishu.
Lakini Turse alipoanza
kuchimbua, aligundua
mlolongo wa matukio
kama ya Dege Jeusi (mwaka
1 9 9 3 , i k a wa f i l a m u ya
nguvu dege - helikopta
kubwa ilivyoangushwa na
wapiganaji wa Farah Aideed
na miili ya wa-Marekani
w a l i o k u f a i k a b u r u z wa
barabarani kama mbwa).
Katika siku zilizopita, jeshi
la Marekani kwa kawaida
liligawa Afrika katika maeneo
matatu ya kijeshi - Kamandi
ya Marekani kwa Ulaya
(EUCOM), Kamandi Kuu
ya Marekani (CENCOM) na
Kamandi ya Marekani kwa
eneo la Pacific. Hii iliendana
na hali ya Afrika kama eneo
lisilo na umuhimu mkubwa,
na iliwezesha maofisa wa
kiraia kutoka Wizara ya
Mambo ya Nje kuweka
mikakati, wakiendana na
wenzao katika mashirika ya
misaada, kama USAID.
Mwaka 2006 aliyekuwa
Waziri wa Ulinzi Donald
Rumsfeld aliunda Tume
ya Mipango kutoa ushauri
k u h u s u k u u n d wa k wa
kamandi inayolenga
kikamilifu Afrika kupambana
na tishio la ugaidi ambalo
haliishi, akapeleka
mapendekezo hayo kwa Rais
Bush mwezi Desemba mwaka
huo. Hapo Septemba 28, 2007,
Jenerali William E. 'Kip' Ward
aliteuliwa kuwa kamanda
wa kwanza wa AFRICOM.
Hima akaanza kuwa kama
kidikteta cha himaya ya
pekee jeshini, akalipua
maelfu ya mamilioni ya dola
(za Marekani) katika safari
ambazo hazikuruhusiwa
na vyumba vya hoteli kwa
ajili yake, familia yake na
washikaji. Alistaafishwa na
kupunguziwa cheo kuwa
Luteni-Jenerali mwaka 2011,
lakini si kabla ya kuweka
kambi ya mstari wa mbele wa
kamandi iitwayo Kambi ya
Lemonnier (ikichukua kambi

ya awali ya Jeshi la Ufaransa),


na kupiga kiki kuanzisha enzi
ya AFRICOM.
Na nini kinachoielezea
enzi hii? Kulingana na Turse,
AFRICOM inatawala eneo la
vita linalochukua takriban
nchi 50 ambalo hukuwa
unatazamiwa kusikia habari
zake, eneo la vita lenye
ukubwa wa Marekani, China,
India na sehemu kubwa ya
Ulaya kwa pamoja, eneo la
vita ambalo halipo rasmi
kwa sababu, nje ya vikao vya
kamanda wake na maelezo
kwa wahodhi tenda za ulinzi,
jeshi la Marekani linasema
siyo eneo la kijeshi Afrika.
Ni kweli kwamba vita
haijatangazwa. Lakini
utaelezaje uwepo wa askari
elfu tano wa jeshi la Marekani
ambao wako katika bara hili
wakati wowote ule? Kiasi cha
'shughuli' 546 zilizofanywa
Afrika katika mwaka
2013 pekee? Robo tatu ya
dola bilioni moja ambazo
zitatumika Camp Lemonnier
katika miaka kumi ijayo?
(Hii ni pamoja na kituo cha
kunyoosha maungo ambacho,
kwa gharama yake ya dola
milioni 24, kimechukua kiasi
kinachofanana na ukarabati
Nkandla (kashfa ya matumizi
ya mabilioni ya rand za Afrika
Kusini kuboresha maskani
kijijini kwa Rais Jacob Zuma
iliyoleta mtafaruku bungeni
na 'tamthilia' katika mitandao
na televisheni kote duniani).
Kiasi cha dola milioni 386
kilichotumika kwa shughuli
za AFRICOM kati ya 2010
na 2012?
Viwanja vya ndege
vinane vya kurushia droni
vinavyofanya kazi au
vinavyokaribia kukamilika
huko?
Mtu anaelezeaje Libya?
Turse anachukua muda
kiasi kupambanua jinamizi
linalojitanua katika nchi hiyo.
Anatumia dhana ya 'matokeo
yasiyotarajiwa' yanayotokea
baada ya kuchukua hatua
kwa tatizo la kijeshi, ambako
hatua hizo zinaangaliwa kwa
mtazamo finyu wa kijeshi tu
na kuacha kando chochote
kile kinachokaribia uhakiki
halisi wa kijasusi. Hili ni
tatizo sugu la Marekani na

Inaendelea Uk. 12

Makala

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Kuchagua Lowassa-UKAWA, mbadala uso shaka


Na Mwadini Ali

I K U PATA wa s a a
wa kusoma makala
ya Juma Jumanne,
aliyejitambulisha kama
msomaji wa gazeti hili
kutoka mkoani Manyara.
Kupitia makala ya toleo
lililopita, mwandishi
mwenyewe anatujuza hata
hivyo kwamba, aliweka
s wa l i k wa wa s o m a j i
akiuliza, "Kura yangu
nimpe nani." Na swali hili
linakuja ndani ya makala
iliyopewa maneno "Hapa
ni mwendo wa mikuki
m i w i l i ya m o t o , u p i
unachagua."
Mwandishi analalamika
kwamba pamoja na
kutoa namba za simu
anazotumia, hakuna mtu
aliyethubutu kumpatia
jibu. Sasa ameendelea
kujadili maudhui yake
haya, akiyahusisha na
anachokiona ni mtihani
mgumu unaohitaji
kuteguliwa kwa minajil
ya kujenga hatima njema
katika taifa linapokaribia
kutoa fursa kwa
Watanzania kupiga kura
ya kuchagua viongozi
wawatakao. Oktoba 25
ndiyo itakuwa siku ya
kupiga kura, maandalizi
yake yakiwa yameanza
mbali.
Akiandika mara ya
pili, mwandishi anasema
(katika makala ya ukurasa
wa 8 toleo lililopita),
ameuliza swali ambalo
hata yeye binafsi hana jibu
lake sahihi. Sitaki kusema
kwamba mwandishi
amejiachia mno kutoa
swali ambalo mwenyewe
hana jibu sahihi. Si kitu
cha kawaida katika maisha
ya mwanadamu kukuta
mwalimu anatoa swali
kwa wanafunzi wake
darasani, swali ambalo
likitupwa upande wake,
hana jibu.
Katika kutafakari
kwangu, nimebaini kuwa
tatizo hapa si ugumu wa
swali, hata kidogo. Tatizo
ni namna mwandishi
alivyozunguka katika
kuwasilisha mada yake.
Amezunguka mno akitoa
kisa ambacho hata mwisho
wake hauendi hasa katika
ncha ya swali aliloliuliza.
Wakati imeshaeleweka
dhamira yake ni
k u wa w e k a wa s o m a j i
katika uchambuzi wa
mambo yanayohusu
mustakbali wa taifa wakati
huu wanapobakiwa na

MGOMBEA Urais CHADEMA-UKAWA, Mhe. Edward


Lowassa (kushoto).
siku 70 tu hivi kabla
ya kupiga kura ya
kuchagua viongozi, katika
kuwapeleka wasomaji
safari ya kudodosa ili
kupata jibu sahihi la
swali lake, mwandishi
amekuja na kisa cha
watu waliochimba shimo
njiani na juu kuweka
miiba na kuisonganisha
na kinyesi walichokificha
k wa k u t u m i a m a j a n i
waliyoyaweka juu.
Huu ni mtego uliowekwa
na watu wa ukoo uliokuwa
na uhasama na ukoo
mwingine. Waliolengwa
kunasa mtego huo ni
wanawake, viumbe
vinavyojulikana vilivyo
dhaifu kulinganisha na
wa n a u m e . M a a n a ya
mtego huu ni kwamba
pale mwanamke
atakapochomwa na mwiba,
ataamua kugugumia
na kuuchomoa. Lakini
akiuchomoa, ndipo
atakapokuwa anakumbana
na kinyesi. Subhanallah!
Mwiba ni hatari
na unapochoma
husababisha maumivu.
Usiposhughulikiwa kwa
uangalifu, hatari yake
ni kusababisha jeraha.
Kwa upande wa pili,
jitihada za kuuchomoa
m w i b a m g u u n i , k wa
mtego ule, zinaishia
na mhusika kukamata

kinyesi, ambacho
kinanuka na kinacholeta
karaha. Kwenye makala
yake, mwandishi
ameandamanisha picha
mbili za wanasiasa
maarufu nchini
wanaogombea wadhifa
mkubwa wa urais katika
uchaguzi unaokaribia.
Picha moja ni ya
Edward Ngoyai Lowassa,
aliyesimamishwa na
Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA)
akiwa ndiye mgombea wa
ushirikiano wa kivyama
wa kundi la UKAWA
(Umoja wa Katiba ya
Wananchi), na nyingine
ni ya Dk. John Pombe
Magufuli anayewakilisha
Chama Cha Mapinduzi
(CCM), kinachopigania
kubakia madarakani.
Picha anayoijenga
mwandishi Juma
ni kwamba katika
wagombea hawa wawili,
wa n a o t a r a j i wa k u wa
ndio wagombea wakuu
katika wenye nguvu ya
ushawishi kupitia vyama
walivyochukulia tiketi,
wasomaji wa An nuur,
h a s a h a s a Wa i s l a m u ,
hawana pa kushika.
Kwamba chama atokacho
Magufuli kinajulikana
kinavyowatenda
Wa i s l a m u . Wa k a t i
huohuo, kwa upande

mwingine, Lowassa
ambaye amejiondoa CCM,
chama alichokihangaikia
kukijenga tangu ujanani
kwake miaka ya 1980, na
hivi karibuni kuhamia
Chadema, kilicho kwenye
ushirikiano na UKAWA,
anajulikana alichokifanya
kwa Waislamu alipokuwa
Waziri wa Nchi, Ofisi
ya Waziri Mkuu enzi
za utawala wa mzee Ali
Hassan Mwinyi.
Mwandishi anaandika,
Vitu hivi viwili, kila kimoja
kina madhara makubwa.
Lakini anakiri kwamba
najisi mtu unaweza kuosha
ikatoka na ukaendelea na
shughuli zako ikiwemo ya
kutekeleza ibada muhimu
ya sala. Anatanabahisha
kuwa kuchagua kimoja ya
vyama hivi viwili, CCM au
Chadema, hakuna chaguo
salama kabisa.
K w a
f i k r a
zangu, mwandishi
anashughulisha tu
wasomaji. Kwanza siamini
mtizamo wake kuwa katika
wagombea hawa wawili,
Lowassa na Magufuli,
wote kila mmoja ni mkuki
wa m o t o . N i a m b i w e
kwamba kama Lowassa
kama Magufuli, sikubali
hata kidogo. Hizi ni sura
mbili zenye tofauti kubwa.
Lowassa ni gwiji katika
siasa. Lowassa ni mzoefu
katika uongozi. Tena ni
mwingi tunapozungumzia
ujuzi wa kiutendaji.
Magufuli mwenyewe
ametoa historia yake ya
uongozi kwa kuanzia
na alipoteuliwa Naibu
Wa z i r i W i z a r a y a
Ujenzi, akimsaidia Anna
Abdallah, katika serikali
ya awamu ya tatu ya
Benjamin Mkapa. Hapo
ni mwaka 1995, wakati huo
Lowassa akiwa miongoni
mwa makada wakubwa
wa CCM walioingia
katika kunyang'anyiro
cha urais wa jamhuri
s a m b a m b a n a J a k a ya
Mrisho Kikwete, ambaye
alikuwa swahiba wake
mkubwa kisiasa. Tuseme
a lich o k uwa a k i p e nd a
kusema mzee Mwinyi
anapoelezea tofauti ya
viwango vya watu fulani.
Akisema yule aliye
mzoefu ni mlima kama wa
Kilimanjaro, na kwa yule
aliye mwanagenzi, basi yu
kichuguu. Ndivyo walivyo
Lowassa na Magufuli.
Nataka kuwatoa hofu
wasomaji ya kukumbwa
na balaa kwa kuchagua

L o wa s s a . N i t a z i e l e z a
sababu hapo mbele
kidogo. Hebu nidurusu
hili la kweli kabisa
analolisema mwandishi
kweupeni - ni muhimu mtu
kufanya uchaguzi mzuri
kwa kuzingatia ukweli
kwamba yakija mabaya
hata wewe uliyekwepa
kutimiza wajibu wako
yatakushambulia.
Inapasa kueleweka
mapema kwamba ni kweli
wananchi wa jamhuri hii
wamechoka kimaisha.
Wanataka mabadiliko.
Wala hawataki mabadiliko
ya kichwa kinachoongoza,
wanayataka mabadiliko ya
sera, ambayo huletwa na
watu wapya wenye utashi
na uwezo wa kuuvaa
ujasiri wakafumua mfumo
ulioigandisha jamhuri na
kuwa nchi inayopitwa na
hata vijinchi vilivyokuwa
duni kutokana na
mapigano ya wenyewe
kwa wenyewe wakati
jamhuri hii ilishasimama
barabara kujenga nchi.
Kama mwandishi
ameliona hili, atasemaje
kwamba ipo hatari
ya kuruka majivu
ukakanyaga moto? Ukweli
anapozungumzia mikuki
ya moto, anachokisahau
ni kwamba upande
mmoja ni suala la mtu
na anaoshirikiana nao
(Lowassa) lakini upande
mwingine ni suala la mtu
na mfumo unaomuinua ili
kukaa kileleni. Hapa ipo
tofauti kubwa. Kwamba
Lowassa anaingia na watu
wapya wenye shauku
ya kubadilisha mifumo
ya uongozi na utendaji
kazi. Bali Magufuli
anainuliwa na watu
ambao tayari wanajulikana
wanavoshikilia mifumo
waliyoiotesha wenyewe
kwa miaka 50 na ushei.
Hapo ndipo wananchi
wanatakiwa kutafakari
kwa makini kujua mbivu na
mbichi, kujua wakichagua
wapi wanaongeza mbinyo
na mguso unaoendelea
kuwaumiza
na
kuwakandamiza. Mbona
hili lipo wazi kwamba
ugomvi mkubwa uliopo
unahusu maumivu
wanayosababishiwa
wanajamhuri kutokana
na sera mbovu za uongozi
na utoaji huduma
zinazosimamiwa na
CCM? Hivi kweli kwa
haya maumnivu na
madhila ya kimaisha na

Inaendelea Uk. 17

10

Makala

Lipi litarajiwe kutoka


kwa Seif Sharif Hamad

AT I K A m a m b o
yanayoshangaza, ni
kimya cha Maalim
Seif Sharif Hamad juu
ya kadhia ya Masheikh
wa Zanzibar walioletwa
Bara wakituhumiwa kwa
ugaidi. Katika suala la
Katiba Mpya, msimamo na
kauli ya Maalim ilikuwa
wazi kabisa. Hakuona
vibaya wala kuogopa
kutoa msimamo wake
hadharani uliopingana na
ule wa Rais Shein, CCM
na SMZ juu ya mfumo
wa muungano. Yeye awali
alitaka muungano wa
Nkataba kisha akaishia
mfumo wa serikali
tatu, Zanzibar ikiwa na
mamlaka yake kamili.
Na huo ndio umekuwa
msimamo wa Masheikh
wa UAMSHO ambao
baadhi yao wamekamatwa
wakitupiwa tuhuma za
ugaidi ila wao wanadai
kuwa wamebambikiwa
tuhuma hizo kutokana
na msimamo wao juu ya
muungano.
Katika hili la
kukamatwa Masheikh
hawa na kuletwa Bara,
Masheikh ambao wanadai
kudhalilishwa wakiwa
mikononi mwa vyombo
vya dola, haionekani kuwa
Maalim Seif anatofautiana
na Rais wake na SMZ
kwa ujumla. Masheikh
hawa, ni miongoni mwa
Na Omar Msangi

IKI iliyopita
vyombo vya
usalama vya
Marekani viliripoti
kuwa wakati unatimia
mwaka mmoja toka
serikali ya Washington
itangaze kupambana
na wanaodaiwa kuwa
magaidi wa Islamic State,
magaidi hao ndio kwanza
wanapata nguvu na
kutamba. Hawajatetereka
wala kupungukiwa
nguvu hata chembe.
Kama ilivyoripotiwa
na Shirika la Habari la
Associated Press (AP)
na gazeti la The Guardian
(London):
The consensus view of the
US intelligence agencies is
that ISIS is just as powerful
as it was a year ago, and they
can replace fighters faster
than they are getting killed.
(Rejea makala: We're A
Year Into The Unofficial War
Against Isis With Nothing
To Show For It- By Trevor
Timm)
Kinachoelezwa hapa
ni kuwa baada ya mwaka
mmoja ulioshuhudia

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Atamtetea Mselem chini ya UKAWA?


Yeye na UAMSHO lao lilikuwa moja
Muungano wa Nkataba kisha Tatu

MAALIM Seif Sharif Hamad

SHEIKH Msellem Ali.

SHEIKH Farid Hadd.

Watanzania (Waislamu)
ambao wamek umb wa
na zahama ya vita dhidi
ya ugaidi. Vita ambayo
mwanzilishi wake George
W Bush, alisema wazi
kuwa ni Crusade. Ni
vita ambayo sisi huku

tunajikuta tukichagizwa tu
na kujitumbukiza, bila ya
kujua agenda iliyo nyuma
yake.
Katika kuhakikisha
kuwa vita hii inakwenda
sawa na kutimiza malengo
yake, tumeletewa kitu

kinaitwa AFRICOM. Hii ni


Kamandi Maalum ya Jeshi
la Marekani barani Afrika,United States Africa
Command. AFRICOM,
inaelezea malengo yake
kama ifuatavyo:
"Kamandi ya Marekani

Kama yapo mambo hayafai


kusema, bora kukaa kimya!
Wanaotuundia Task Force waishindwa IS

WANAODAIWA kuwa magaidi wa Islamic State.

RAIS Barack Obama wa


Marekani.

kwa Afrika, ikiungana na


washirika katika majeshi
ya Marekani na mataifa
shirika, inajenga uwezo
wa ulinzi, inashughulikia
hatari zinazozuka, na
kuzuia, kushinda hatari
zinazosambaa kimataifa
ili kuendeleza maslahi
ya taifa la Marekani na
kukuza usalama wa kanda,
uthabiti na ustawi."
Hata hivyo, uzoefu
unaonyesha kuwa kila
wakati, - ambako jeshi
la Marekani limejaribu
k u i n u a " u s a l a m a wa
ukanda, uthabiti na
ustawi" au kuingilia kwa
lengo la kusaidia kwa
madai ya kuleta amani,
usalama na demokrasia,
kinachotokea ni kinyume
chake. Hali huchafuka
zaidi na mauwaji kuwa
makubwa zaidi. Hiyo
ndiyo hali ya Afghanistan,
Iraq, Pakistan, Yemen,
Libya, Syria, Somalia,
Sudan n.k.
Ni wazi kuwa Waafrika
t u m e j i f u n z a h i l i k wa
maumivu makubwa
sana. Rejea wakati wa
Vita Baridi (ya kiitikadi),
uone hali ilivyokuwa
Zimbabwe, Angola,
Namibia na Msumbiji.
Rejea pia hali ya Sudan,
zama za John Garang.
Lakini pia kutokana na
mikasa ya hivi karibuni
Inaendelea Uk. 11
kuuliwa mamia ya maelfu
ya watu wasio na hatia,
wengi kutiwa vilema
na kuharibiwa makazi
yao, miundo mbinu ya
Syria/Iraq kuangamizwa
na Marekani yenyewe
kutumia mabilioni ya Dola
katika mapambanao hayo,
lakini pamoja na gharama
hiyo tunaambiwa ngoma
ndio kwanza mbichi!
Kwa wenye uoni finyu
waliogeuzwa kuwa dupe
wa kutumiwa kukamilisha
mikakati ya mabeberu, si
ajabu watakuambia kuwa
hiyo ni kwa sababu hao ni
mujahidina, wanalindwa
na Mungu! Hao kwa sasa
tuwaweke kando kwanza.
Tuangalie hoja na hali
halisi uwanjani ili tutizame
ni kwa nini mwaka sasa
IS inadunda pamoja
na Obama kutangaza
kuwa anapambana
kuwaangamiza.
Kabla ya kutolewa na
kusambaa taarifa hii ya
vyombo vya kikachero vya
Marekani, kulifichuliwa
jambo jingine ambalo
lilikuwa siri kubwa katika
hii inayoitwa vita dhidi
Inaendelea Uk. 11

11
Inatoka Uk. 10
zaidi kama uingiliaji
nchini Somalia na tukio la
'Dege Jeusi laanguka' mjini
Mogadishu.
Mwandishi Nick
Turse ameandika kitabu
alichokipa jina: 'Medani
za Vita za Kesho: Vita vya
Kutumwa na Operesheni za
Siri barani Afrika'. Kitabu
hiki kikiwa ni mtiririko
wa makala za uchunguzi
zilizochapishwa katika
kipindi chote cha mwaka
2014, kinaanika uani
orodha ya operesheni za
siri, mazoezi ya kijeshi
na shughuli nyingine
zilizofanywa na vikosi
v ya M a r e k a n i b a r a n i
Af ri ka. Ki nach okuwa
bayana mtu anaposoma
kilichoandikwa ni kwamba
Marekani kimsingi iko
katika mkao wa kivita
na inajipanua haraka.
Kisingizio kikubwa kwa
sasa ni kusaidia Vita Dhidi
ya Ugaidi!
Kama anavyosema
m wa n d i s h i A b a y o m i
Azikiwe, wakati inadaiwa
kuwa United States Africa
Command (AFRICOM),
imeundwa na kuletwa
Afrika ili kuimarisha
usalama wa Bara hili,
kinyume chake ndio
imezidisha machafuko
na mauwaji yasiyo na
mpango. Anasema kupitia
kinachodaiwa kuwa ni
Vita Dhidi ya Ugaidi,
Marekani imeweza
kusambaza kambi zake
za kijeshi (military bases)
katika nchi mbalimbali za
Afrika.
Since the launching of
AFRICOM, instability has
increased in Africa. From the
ongoing war in Somalia, to
the break-up of the Republic
of Sudan and the subsequent
civil war in the newly-created
Republic of South Sudan,
to the war against so-called
Islamic extremists in Nigeria
(Boko Haram), Niger, Mali,
Cameroon and Chad, these
developments has fueled
Washingtons militarism on
the continent.
Anasema Abayomi
Azikiwe akiongeza kuwa
hicho kinachoitwa vita
dhidi ya ugaidi kimeficha
agenda ya mabeberu katika
Afrika, ndio maana huoni
Nigeria ikifua dafu mbele
ya Boko Haram au Kenya
mbele ya Al Shabaab.
Kwamba, hizi zinazoitwa
counter terrorism
zitaendelea kufeli kwa
sababu hazikukusudiwa
kuleta tija, ila tija ya kutoa
f u r s a k wa m a b e b e r u
kujitanua zaidi kijeshi na
kikachero.

Makala

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Lipi litarajiwe kutoka


kwa Seif Sharif Hamad

MASHEIKH wa UAMSHO
za ugaidi.
Hapana shaka ni
kwa mtizamo huo
t u n a o n a h u k u k we t u
Masheikh wanakamatwa
wakituhumiwa kwa
ugaidi, lakini huoni kesi
zao zikizungumzwa na
kumalizika kwa mujibu wa
taratibu za kimahakama
n a k i s h e r i a . Pa m o j a

Zanzibar wakiingia mahakamani Kisutu kwa tuhuma


na malalamiko mengi,
Masheikh hao bado wapo
ndani wakiwemo wale
walioletwa Bara kutoka
Zanzibar.
Awali kule Zanzibar
kulikuwa na sintofahamu
ya mambo ya kisiasa
yaliyozalisha chuki,
uhasama, visasi na watu

kupigwa ovyo na watu


wa l i o d a i wa k u wa n i
vikosi vya serikali. Kuja
kwa Serikali ya Umoja
wa Kitaifa, ambao
umeshuhudia kiongozi wa
chama cha CUF, Maalim
Seif Shariff Hamad, kuingia
serikalini, hapana shaka
kumeleta mabadiliko

Kama yapo mambo hayafai


kusema, bora kukaa kimya!
Inatoka Uk. 10
ya magaidi wa ISIS. Siri
yenyewe ni kuwa vikosi
maalum vya Uingereza
(na Marekani) vinapigana
Syria huku vikivaa mavazi
kama ya ISIS halikadhalika
kupeperusha bendera ya
IS.
British SAS Special
Forces Dressed Up as
ISIS Rebels Fighting
Assad in Syria, ndivyo
anavyoandika Stephen
Lendman akichambua
habari zilizochapishwa
katika magazeti ya
Uingereza mapema
mwanzoni mwa mwezi
huu. Kwa mujibu wa gazeti
la Sunday Express la Agosti
2, 2015 (SAS dress as ISIS
fighters in undercover war

on jihadis), vikosi maalum


vya jeshi la Uingereza
vimekuwa vikipigana
Syria katika jitihada za
kumngoa Rais Bashar
Assad huku wakijifanya
wao ni wapiganaji wa
Kiislamu wa IS wakivaa
kama wao (covertly
dressed in black and
flying ISIS flags)-wengine
kuwa na ndevu bandia.
Katika Operesheni hiyo
iliyopewa jina Operation
Shader, wapiganaji hao
wa jeshi la Uingereza
hupeperusha bendera
nyeusi yenye maneno
y a K a l i m a Ta w h e e d
kama inavyoonekana
i l e i n a y o d a i wa k u wa
ya I S . A s k a r i h a o n i
wale waliopelekwa
S y r i a i k i d a i wa k u wa

wanakwenda kupambana
na IS. Mchezo unaofanyika
Syria sasa hivi ndio ule ule
uliofanyika Libya ambapo
Uingreza ilipeleka kikosi
maalum-Special Forces
Support Group (SFSG)
kutoka vikosi vyake vya
SAS (Special Air Service) na
SBS (Special Boat Service),
ambao walipigana wakivaa
nembo ya Mujahidina
waliotaka kumngoa
Gadhafi kusimamisha
Dola ya Kiislamu.
Kwa upande mwingine
imeelezwa kuwa vikosi vya
Uingereza-UK SAS forces,
vipo nchini Saudi Arabia
vikiwapa mafunzo ya
kijeshi wanaodaiwa kuwa
magaidi wa IS na Nusra
Front, wanaopambana na
Bashar. Mafunzo kama

makubwa sana ndani ya


jamii ya Wazanzibari.
Hata hivyo, SUK,
haionekani kuwaletea
nafuu
yoyote,
waliokumbwa na zahama
hii ya vita ya mabeberu
Afrika. Pamoja na
malalamiko ya Masheikh
kupitia njia mbalimbali,
hakuna kauli mpaka sasa
iliyotoka kwa Makamo wa
Kwanza wa Rais, ambaye
pia ni Katibu Mkuu wa
CUF, Maalim Seif Shariff
Hamad juu ya kadhia ya
Sheikh Msellem Ali na
wenzake.
K u f u a t i a k u u n d wa
kwa Umoja wa Katiba
ya Wananchi, UKAWA,
na kufuatia umoja huo
kumteuwa aliyewahi kuwa
Waziri Mkuu, Edward
Lowassa kugombea urais
kupitia CHADEMA,
a k i u n g wa m k o n o n a
UKAWA, wakati kule
Zanzibar akisimama
Maalim Seif, ipo hamasa
kubwa kuwa huenda kwa
nguvu hiyo ya UKAWA,
hatimaye CCM watatoa
kupitia karatasi (kura).
Lakini hata ikitokea
hivyo, nini itakuwa tija
k wa wa n a n c h i ? N i n i
itakuwa tija kwa Masheikh
wanaosulubiwa Segerea?
Kama Maalim Seif
alishindwa kufunua
mdomo kuwatetea
M a s h e i k h h a o a k i wa
M a k a m o wa K wa n z a
wa Rais ndani ya SUK,
Zanzibar, ndio ataweza
ndani ya UKAWA?
hayo hutolewa pia katika
nchi za Uturuki, Jordan,
Qatar na Israel.
Kama ambavyo
wachambuzi wengi wa
siasa za Marekani na
wataalamu kuhusu haya
m a m b o ya n a y o d a i wa
kuwa ni vita ya ugaidi
walivyokwisha kusema,
inachofanya Marekani na
washirika wake wa Ulaya
katika Syria, ni kuwalinda
magaidi wa ISIS ambao
inawatumia kama askari
wake wa miguu (foot
soldiers) dhidi ya Assad.
K w a
h a k i k a
kinachofanyika Syria ni
sawa na ule mpango wa Rais
Jimmy Carter na Mshauri
wake Mkuu wa Usalama
(National Security Advisor)
Zbigniew Brzezinski wa
kuwatumia Mujahidina wa
Afghanistan kupambana
na Urusi-mpango
ambao ulitekelezwa na
kukamilishwa na Rais
Ronald Reagan, ukitumia
zaidi ya Dola bilioni 20
katika kuwapa mafunzo
Inaendelea Uk. 18

12

MAKALA

Medani za Vita za Kesho: Vita


vya Kutumwa vya Marekani na
Operesheni za Siri barani Afrika

Inatoka Uk. 8

lina makali zaidi Afrika.


Turse anaonyesha kwa
uangalifu mkubwa jinsi
hali ya Libya, ambayo
ilifikia kugonga
milango kwa ajili ya
mamilioni ya dola na
silaha za teknolojia ya
juu, iliishia kuwa hali
nchini Mali, ambayo
sasa wa-Marekani na
Wafaransa wanahitaji
kuishughulikia kwa

muda mrefu, kabla


haijalipuka na
kuwa kitu kingine
cha hatari zaidi,
kinachohitaji vikosi
zaidi na silaha,
ambazo......... unapata
kinacholengwa (ni
fedha nyingi zaidi
na silaha nyingi zaidi
za kisasa kwa eneo
hilo)!
Visumbufu hivi
vimepoozwa na
watawala wa Jeshi
la Marekani, ambao
wanasisisitza kuwa
uwepo wao Afrika
unaacha 'nyayo
nyepesi' (AFRICOM
inatoa habari kuhusu
sehemu ndogo tu
ya shughuli zake,
anaandilka Turse).
Moja ya maeneo
matamu zaidi ya
kitabu hiki ni kwa
jinsi gani kwa
ubunifu, msisitizo
na ustaarabu, wakuu
wa AFRICOM
wanamhimiza
Turse kupotea zake.
Kukataa uwazi kuko
bayana kabisa, hasa
kufuatana na jinsi
Wizara ya Mambo
ya Nje na wengine
walivyojaribu
"kulea" demokrasia
changa barani
Afrika. Hii siyo
kuficha habari, hasa
kwa sababu Turse
ndiye mtu pekee
anayeuliza maswali
magumu. Lakini ni
wazi kuwa mkakati
wa AFRICOM
ni kumbabaisha
mwandishi wa habari
'aliyevaa magwanda'
na hadithi za askari
wa Marekani kuokoa

paka waliokwama
katika miti, huku
wakiacha kile hasa
kinachohitajiwa, Siri
Kuu.
Kitabu hiki ni
m u h i m u . Ye y o t e
mwenye hisia
kuhusu bara hili
au anayeishi huku
anahitaji kukisoma.
Hakikosi mapengo
- kuna marudio
mengi, na zaidi ni
mkusanyiko wa
vipande tofauti
na mrejesho wa
jumla unaoendana
sambamba maeneo
y o t e . Yo t e h i i
inaeleweka, ukitilia
maanani vizuizi
a m b a v y o Tu r s e
alifanya kazi navyo.
Turse amefanya kazi
ya kitume kufichua
upanukaji hatua
kwa hatua wa jeshi
la Marekani katika
medani mpya ya vita
barani Afrika.
M a t o k e o ya k e ,
anahitimisha,
h a ya t a k u wa
ya kupendeza.
"Kama yaliyopita
ni mwongozo,
o p e r e s h e n i
za Marekani
zitaongezeka katika
miaka ijayo pamoja
na kuongezeka
vihatarishi vya
usalama, udhoofu wa
dola na machafuko.
Kinachoonekana
zaidi ni kuwa mengi
kati ya athari hizi
zitatokea chini ya
rada (hazitaonekana
au kusikika katika
mawimbi ya vyombo
vya habari vikubwa
a u m a s h i r i k a ya
kimataifa) na mengi
kati yake yatapita
bila raia wa Marekani
kuwa na habari nayo.
Afrika itaendelea
kuwa eneo la
mapambano - la
kesho! (Book review
Tomorrows
Battlefield: US Proxy
Wars and Secret Ops
in Africa-By Richard
Poplak. Imetafsiriwa
Kiswahili na Anil
Kija)

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

FurahayandoakatikaUislamu
Inatoka Uk. 4

akamshirikisha
mke wake katika
baadhi ya matatizo
yanayokuwa
changamoto katika
familia, shauriana
naye, sikiliza rai
zake na kisha ndio
uamue. Shirikiana
na mkeo katika raha
na huzuni japo kwa
maneno mazuri.
Aidha ni jambo la
busara kwa mume
k u j e n g a t a b i a ya
kusikiliza kwa
makini matatizo
ya mkewe na
yanayomsumbua na
kamwe asiyapuuzie.
Mume asipomsikiliza
mkewe, hapo
inaweza kuwa
chanzo cha mke
kutafuta mwingine
ambaye atamsikiliza
na huyo anaweza
asiwe mshauri mzuri
kwake.
Hakuna jambo
ambalo humfurahika
mke kama kumsifiwa
na mumewe. Msifie
k wa u z u ri wa k e ,
pishi zake, mazuri
yake na mavazi yake.
Kwa kawaida mke
anavutiwa sana na
maneno mazuri.
Mume akipata
hasira juu yake, kabla
ya kuzungumza naye
weka akilini mwako
mazuri yake na
tabia zake njema na
kumbuka matukio
yake mema na jinsi
alivyojitolea na
kujituma kwa ajili
yako.
Aidha unapopata
hasira, Hata Mtume
wetu Muhammad
(saw) alishauri
k u n y wa m a j i n a
kutullia kidogo
k a b l a ya k u a n z a
mazungumzo na
mkeo.
Kuna jambo moja
ambalo wanaume
we n g i h u j i s a h a u
kwa wake zao, hasa
pale wanapokuwa
mbali na nyumba
zao. Nalo ni kuacha
kuwasiliana mara
kwa mara na mkeo
hata kwa simu
kutokana na mazoea
ya kuwa naye muda
mrefu. Ikiwa utasafiri
na kuwa mbali naye,
usiache kuwasiliana
na mkeo na kumjuza

jinsi ulivyo na shauku


ya kuwa naye karibu.
Ikiwa litatokea
kosa lolote lile kati
yenu hasa mume
kumkosea mke,
pamoja na kwamba
mume ndiye kiongozi
wa familia, lakini ni
vyema akaharakisha
kulisuluhisha kosa
lililojitokeza na
kumtendea wema
m k e we . M u o m b e
msamaha kwa
mtindo wowote
ule na hiyo ni dalili
ya ushujaa na akili
iliyokamilika.
Kuna hekma
kubwa kwa mume
kutenga muda
maalum kwa ajili
ya kubadilishana
na mkewe mawazo
na kufanya kila
kitakacholinda
mapenzi kati yenu na
kuongeza ukaribu na
maelewano. Si vibaya
mume na mkewe
wakawa na ratiba
ya kutoka kwa ajili
ya mapumziko au
kutembelea nduguna
jamaa au kutalii japo
mara moja katika kila
mwaka.
Wakati mwingine
hasira zinavuka
mipaka hasa kuhusu
mambo ya kifamilia.
Litakuwa jambo jema
mume kujiepushe
kumtaka maneno
machafu na mabaya
hasa kuielekezea
familia ya mke na
ndugu zake, hata
kama wamekosea
na kutumia fursa
hii kuonyesha
kuwaheshimu
n a k u wa k i r i m u .
Binadamu ana
sifa ya kusahau
kulingana na muda
unavyokwenda. Ipo
siku yote yatapita

na kusahaulika na
kujikuta familia
zimekuwa pamoja.
Mara
zote
mume ahakikishe
anajiepusha kutaja
wanawake wazuri
na kuwasifia mbele
ya mkewe. Japo sio
kwa nia mbaya lakini
hilo huchochea wivu
na kuwafikiria hao
vibaya. hiyo inaweza
kuharibu mahusiano
yenu na humjengea
a w a c h u k i e
wanawake hao.
Mume ajitahidi
kutimiza mahitaji
ya nyumbani na ya
mkewe na afanye
hivyo kadiri ya
uwezo wake. Kuwa
mkarimu kwa mkeo
na umpe akitakacho
kikiwa katika uwezo
wako na isiwe ni
kwa manyanyaso
wa l a m a u d h i a u
kwa riya. Ukarimu
husitiri aibu zako
na mkeo huzidisha
haya kwako kiasi
cha kuhisi anastahili
kulipa fadhila kwa
kushikamana nawe
kwa wema na ihsani.
Usipendelee
kuzungumza
yaliyopita kuhusu
m w a n a m k e
mwingine kama
alikuwa mkeo wa
zamani au mchumba
wako aliyepita.
Ishi maisha yako
halisi na usiigize na
usitegemee miujiza.
Tamaa ya kutaka
kumtimizia mkeo
juu ya uwezo wako
ni hatari sana katika
maisha ya ndoa. Wivu
uliovuka mipaka,
kutiliana mashaka

na dhana mbaya ni
vitu hatari pia katika
ndoa yako. Zingatia
uhalisia na acha
kuishi kwa dhana
mbaya. Aminianeni
mtaishi kwa raha.
M
u
m
e
usiharakishe
kumtuhumu mkeo
katika kila jambo, bali
tazama vizuri kwa
mtazamo wa uadilifu
n a u s i ya t a n g u l i e
matukio. Usiruhusu
mtu yeyote kuingilia
maisha yenu ya
ndoa na wewe
usiwe sababu ya hilo.
Usitoe siri za ndani
kwa rafiki au ndugu.
Ukiona mkeo yupo
katika ghadhabu,
jizuie kuendelea
kuzungumza naye.
Ondoka sehemu
a l i p o k wa m u d a
halafu rejea baada
ya hali kutulia. Ni juu
yako kuijua tabia ya
mkeo. Hii itakusaidia
kujua namna gani
ya kuishi naye.
Hata hivyo Mume
asikubali ugomvi
uishe bila nyote
kuzungumzia tatizo
wakati mmetua ili
kupata suluhu ya
kudumu.
Mwisho fanya kila
uwezalo katika dini
na dunia kuhakikisha
kuwa
mkeo
anayafurahia maisha
ya ndoa na muombe
Allah (sw) awalinde
na awaongoze
katika kheri nyote
wanandoa na familia
kwa ujumla.
Nawatakia maisha
mema katika ndoa
zenu.

13

MAKALA

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Ugaidi madudu ya kupangwa


Profesa Noam Chomsky.
A L I Y E K U WA Wa z i r i
wa Mambo ya Nje wa
Uingereza, Robert
Finlayson Cook.
Inatoka Uk. 7

propaganda hiyo na
baadhi ya makanisa
kuwataka waumini
wao kujihami kwa
visu, mapanga, mikuki
na mishale.
Ilikuwa ni katika
kipindi hicho hicho
a m b a p o ya l i t o k e a
matukio mabaya ya
kumwagiwa tindikali
viongozi wa kidini na
kuuliwa Padiri Mushi
huku kukisambazwa
v i p e p e r u s h i
vikiwataka Wakristo
kulipiza kisasi.
Itakumbukwa
p i a k u wa i l i k u wa
ni katika kipindi
hicho hicho, lilitokea
shambulio la bomu
katika hafla ya Kanisa
katoliki kule Arusha
na harakaharaka
likadaiwa kuwa
ni la kigaidi huku
wakikamatwa
Waislamu (Warabu)
wakishukiwa kuwa
ndio watuhumiwa.
Mara kadhaa
tumekuwa tukieleza
juu ya watu walioibuka
na kuanza kuhubiri
umiliki wa silaha na
kuuwa waliowaita
makafiri miongoni
mwa Watanzania.
Toka awali tulisema
kuwa hawa ni katika
watu wanaotumiwa
na
mabeberu
kupandikiza kitisho
cha ugaidi kisha
tunaundiwa peudo
gangs ambao ndio
hufanya vitendo vya

kudhalilisha polisi,
vikosi na majeshi yetu

kama anavyosema
Balozi Dr. Mahiga,
kwamba moja ya hatua
katika kukomaa kwa
ugaidi katika nchi, ni
kufanya matukio ya
kudhalilisha serikali.
Ushahidi wa Michael
Flynn
Katika ujumla wake,
yaliyosemwa katika
mjadala huo, katika Je,
Tutafika, yanawiana na
kauli ya aliyekuwa Mkuu
wa Ulinzi na Usalama
Marekani (Defense
Intelligence AgencyDIA), Michael Flynn,
ambaye amesema kuwa
kuwepo kwa magaidi wa
ISIS, si jambo la bahati

Michael F. Scheue.

mbaya bali la kupangwa


kwa makusudi na kwa
malengo maalum.
Mwenyewe alitumia
maneno ya Kiingereza
a willful decision.
A willful decision
hii ndiyo iliyojitokeza
katika nukta ya Balozi
Mahiga juu ya hali ya
Somalia na Libya, na
hivyo kutahadharisha
kuwa tuwe makini.
Lakini pia tunaambiwa
kuwa katika kutekeleza
willful decision hizi,
mataifa haya makubwa
yamekuwa yakipenyeza
watu wao kuwafundisha
ugaidi watu wetu na
kuwapa silaha.
Aliwahi kusema

aliyekuwa Waziri wa
M a m b o ya N j e wa
Uingereza, Robert
Finlayson Cook kwamba
hakuna Afisa Usalama
yeyote duniani ambaye
hajui kuwa kinachoitwa
magaidi wa Al Qaida
ni danganya toto (hoax,
fraud, joke).
Na kwamba, hayo
yanaundwa ili kukidhi
maslahi ya kisiasa na
kiuchumi ya nchi za
kibeberu.
Kama ni hivyo, namna
nyingine na iliyo mbaya
kabisa ya kudhalilishwa
ni kama inavyotokea
Kenya.
K wa m b a v y o m b o
vyenu vya usalama

vinajua kuwa hakuna


gaidi anayeweza kutoka
Mogadishu akaja na
kufanya ya Westgate,
Garissa na Mandera, bali
mnafanyiziwa.
L a k i n i m n a u f ya t a
na kutizama watu
wenu wakiuliwa huku
mkijitokeza hadharani
k u wa o n g o p e a wa t u
wenu na wakati huo
huo mkiendesha
harakati za Sheikh
Makaburi elimination,
huku mkijua wazi
kuwa hahusiki na
haitatokomeza kitisho
cha ugaidi.
Afisa mmoja wa Shirika
la Ujasusi la Marekani,
CIA, aliyewahi kuwa
kamanda wa kikosi
cha kupambana na
Osama Bin Laden,
Michael F. Scheuer
aliwahi kunukuliwa
akisema kuwa Al-Qaida
haijawahi kuwa adui
wa Marekani Osama
akiwa hai na sasa akiwa
amekufa.
Akasema, adui wa
Marekani katika sura
hii ya kupambana na
magaidi ni wa kubuni.
Hayo pia ndiyo
yanayosemwa na Profesa
Michel Chossudovsky
pamoja na Profesa
Noam Chomsky ambao
wanasisitiza kuwa
suala hapa sio magaidi,
bali kutaka kuidhibiti
dunia na raslimali zake
(hegemony) na mlango
wa kupitia ni kutandaza
makucha ya kijeshi
k wa k i s i n g i z i o c h a
kupambana na magaidi.
Na mchezo huu
haukuanza leo. Tazama
Operation Mongoose,
Operation Northwoods.

14

AN-NUUR

MAKALA

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Kikiri Kakara barabarani visiwani-2

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

IJAKUWA na azma
ya kuikariri makala
hii kuwa na sehemu
ya pili, ila nimekutana
na watu walioisoma na
kuniomba nije na sehemu
ya pili na khususan juu
ya t a a z i n a z o o n g o z a
barabarani (Trafic lights).
Juu ya maombi yao, sikuwa
ninacho cha kuongeza
katika fikra zangu juu ya
jambo hili ila yalionikuta
leo, ndio nikaona kumbe
ninacho cha kuandika
kwa kuitikia ombi la
baadhi ya wasomaji wa
An-Nuur.
Nilikuwa na mwalimu
wangu wa Kiafghanistan
a k i t u s o m e s h a j u u ya
harakati za mimea (Plant
physiology). Mwalimu
hu yu al i ku wa s io wa
kutufunza somo lake tu, bali
alikuwa akitufahamisha
maisha na vipi tuishi
baada ya masomo na mie
ndio alikuwa mtu wake
wakaribu, kwani vijana
walikuwa hawamfahamu
ila mie kwa utu zima
wangu hapo darasani
nikimuelewa sana.
Professor Muini Din
alipata kunambia neno
ambalo linazunguka
katika magenzi yangu hadi
leo. Maneno yafwatayo
Ukimuona mtu mzima
anakosa nidhamu, jiweke
mbali naye.
Nikamuuliza kwa
sababu gani? Jawabu yake
ilikuwa Rudi kwenye
maisha ya kila siku
tena nyumbani, utapata
jawabu.
Hakika jawabu sasa
ninayo na kwa ukweli
naweza kuiandikia Insha
juu ya Ukimuona mtu
mzima anakosa nidhamu,
jiweke mbali naye.
Sinabudi kujitahidi
kujiweka baid na wenye
kukosa nidhamu popote
pale, lakini makala hii

naizungumzia juu ya
barabarani na utovu wa
adabu ulioshamiri na
kuota mbawa.
Lilonisukuma nimalizie
makala hii ni namna ya
madereva kutoheshimu
taa zinazoongozea
barabarani. Lau madereva
wangejua nani aliokuja
na nidhamu ya kuweka
taratibu za namna hii
ya t a a z a k u o n g o z e a
barabarani, wangekuwa
kila wafikapo katika taa
hizo wangemkumbuka
na kuomba kwa Mola
amjaalie mwengine aje na
fikra pana zaidi juu ya taa
za kuongozea barabarani,
kwani muasisi aliokuja
na nidhamu halisi ya taa
za kuongozea barabarani
alikuwa mtu Mweusi kwa
jina la Garrett Morgan
alioishi kutoka 1877 hadi
1963. Ingawa taa hizo
z i l i k u wa U i e n g e r e z a
z i m e a n z i s h wa , l a k i n i
zilikuwa zinaashiria kwa
njia ya upande mmoja tu.
Garrett Morgan alipokuwa
kila mara anashuhudia ajali
mbaya za barabarani, ndio
akaja na fikra ya kuanzisha
taa katika makutano ya
barabara zaidi ya moja.
Mie binafsi natamani
nifanye maonyesho ya
Waafrika walioipeleka
dunia mbela na mtu wa
mwanzo niweke picha na
maelezo ya Garret Morgan.
I k i wa n i m e s i m a m a
kwenye msatari mbele
yangu kuna alama
ya wapita miguu, basi
alitokea mtu mmoja
(sijui kama nikimiwita
juha itakuwa sahihi au la)
akaja kwa kasi akanipita
mbele yangu kisha
akasimamisha gari yake.
Angalau kafanya moja la
maana la kusimama, na
taa ilipoashiria ya kijani
akatoka kwa kasi labda
ya kilomita 200 kwa saa
huku mipira ya gari yake
kutoa sauti na kila mmoja
kumstaajabia. Anayafanya
hayo, mbele yake kuna
mwengine kavunja
nidhamu kwake inawaka
taa nyekundu, naye
anakuja kwa kasi, nusura
wavamiane. Yangetokea
hayo, ingekuwa Kikiri
kakara ya kwelikweli.
Kilichoniuma na kusema
aah, twaenda wapi? Mbele
yetu kuna askari wa uslama
barabarani hata mshipa
haujampiga na hili ndilo

linalonisumbua katika
nidhamu ya barabarani.

Ta a f i c h u z i n a t a a z a
kuongozea
Zanzibar imebahatika
k u wa n a t a a f i c h u z i
(CCTV) taa ambazo
huchukuwa picha nyakati
zote zikiwa zimewashwa.
Siku hizi taa fichuzi wenye
uwezo huzifunga katika
nyumba zao na kuweza
kuwaona wanaopita
nje au hata anaporudi
nyumbani mwenye
nyumba hurejesha nyuma
CD yake na kuona yote
hata yaliotendeka ndani
ya nyumba yake. Taa
hizi zimesaidia sana na
kuweza kufichua mengi
a m b a y o ya n a t e n d e k a
maofisini, barabarani,
kwenye maduka makubwa
n a k we n g i n e k o . S i k u
zilivyozinduliwa hapa
nyumbani, nilistaladha
na nikawa murtaha na
kusema enhee, sasa
ya udokozi yaani wizi
mdogomdogo au niite
ukwapuaji utamalizika.
Vi b a k a wa t a o n e k a n a
wazi wazi. Aidha,
nikasema haya matatizo
ya barabarani yatakoma.
Nikafarajika kuonyeshwa
kwenye taarifa za habari
kibaka kuingia kwenye
nyumba anaonekana
kaparamia ukuta, kisha
akabingurutia akenda
kuiba nguo zilizoanikwa,
tunaonyeshwa mpaka sura
yake, nikasema, shabash
sasa kweli, kumbe sio
kweli. Kwanini sio kweli?
Ingekuwa kweli basi
ingekuwa wanaohalifu
sheria za barabarani
na matendo yao
wayafanyayo, yangekuwa
wanakabidhiwa askari wa
usalama wa barabarani
na wao wangewafwatilia
na kuwakamata na kisha
watu hao wangeonyeshwa
kwenye runinga (TV)
juu ya makosa yao na
hata faini walizopigwa
zingetajwa au vifungo
wa t a k a v y o h u k u m i wa
vikatajwa, imani yangu hii
Kikiri kakara ingetoweka
au ingepungua kwa kiasi
kikubwa. Bahati mbaya
labda waliowekwa kwenye
kituo cha Taa fichuzi wapo
wanastarehe na urojo na
soga lilotawala rusha roho
na kusahau madhumuni
ya Serikali kuzifunga taa

Garret Morgan utotoni na utuzimani.


fichuzi na umuhimu wake.
Hatuoni
kuwa
tunamsaliti Garret
Morgan? Angekuwa
hai nafikiri angesema
na kujisuta kuwa yeye
aliumisha kichwa
kuondosha tatizo, matokeo
yake ameyaongeza
matatizo na kuwa mwenye
k u j u t a . Wa d a u w a
barabarani inafaa wakae
na wahusika kutafuta

njia ya kuiondosha hii


Kikiri kakara barabarani,
kinyume chake ndio
tunakuwa tunasikia ajali
kila kukicha zimeshamiri
visiwani mwetu. Wengine
wanasema kutokana na
idadi ya watu na magari
yaliokuwepo visiwani
Zanzibar, inaashiria kuwa
ni katika nchi ambazo zina
idadi kubwa ya ajali za
barabarani.

MAJIBU YA CHEMSHA BONGO NAMBA: 18


I
N
A
K
U
A
K
W
A
K
A
S
I

K
H
A
D
I
J
A
A
L
I
S
C
Q

M
A
M
A
W
A
I
S
L
A
M
U
R

S
H
A
W
A
L
S
O
S
K
F
R
A

A
B
C
V
B
N
G
H
V
U
L
K
H

A
M
K
J
I
H
G
F
E
D
C
B
A

M
I
T
H
A
Q
I
M
A
D
I
N
A

D
F
Y
N
I
J
N
K
L
U
Z
R
A

U
B
A
I
D
U
L
L
A
R
A
I
L

A
L
A
L
A
Q
M
A
K
A
U
J
51
AH

Z
A
I
D
BIN
T
H
A
B
I
T
Z
U

1.Uislamu ni dini ya (i) Maguvu, (ii) Mauaji, (iii) Inakua kwa kasi.
Jawabu : Inakua kwa kasi.
2.Mke wa mwanzo wa Mtume (SAW). Jawabu : Khadija
3.Maana ya Ummul Mouminin ni nini? Jawabu : Mama wa Waislamu
4.Mke wa Mtume (SAW) Bibi Hafsa alifariki mwaka upi? 41AH, 51
AH, 31AH Jawabu :
5.Wahyi wa mwanzo ulioteremka ulikuwa ni. Jawabu :
6.Mwezi wa mwanzo katika Kalenda ya Kiislamu ni: Shawal,
Muharram, Ramadhan. Jawabu :Muharram
7.Kijana wa mwanzo kuukubali Uislamu alikuwa Zayid bin Harith,
Ali bin Abi Talib, Umar bin Masoud. Jawabu : Ali bin Abi Talib
8.Mwandishi wa mwanzo wa Wahyi kati ya watu wa kabila la
Makureish alikuwa: Ubaidulla, Zaid bin Harith, Zaid bin Thabit.
Jawabu : Zaid bin Thabit
9.Sura ya kwanza kuteremshwa: Al-Ahzab, Baqara, Al-Alaq. Jawabu
: Al-Aaq
10.Katiba ya mwanzo kuandikiwa: Katiba ya Uiengereza, Mithaq-iMadina, Magna Carta. Jawabu : Mithaq-i-Madina

Fatilia kuandama kwa Mwezi

Leo Ijumaa ni tarehe 27 Shawal 1436 AH sawa na tarehe


14 August 2015.
Mwezi unategemewa kuandama kwa Mfungo Pili
tarehe 16 August, Kutokea leo hadi kufikia Mfungo Pili
tumebakisha siku 2.

15

AN-NUUR

MAKALA

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Ndio biashara, potelea mbali


B
Na Ben Rijal

IASHARA
imekuwa
ikifanyika
kwa miaka na
mikaka baina ya
mataifa na baina
ya mtu na mtu.
Huku nyuma
biashara ilikuwa
ikifanywa baina ya
mtu na mtu katika
kubadilishana
bidhaa, wewe
una bidhaa fulani
unabadilishana na
mwenzako. Hayo
yalidumu kwa
miaka hadi pale
pesa ilipoanza
kutumiwa.
Mara
zote
mwanadamu
anatakiwa ajitahidi
kupata chumo
la halali ambalo
atalitumia katika
mahitaji yake
mengineo. Uislamu
umesisitiza
pakubwa juu
ya chumo la
halali kwani
unapokusanya
chumo lilokuwa
sio la halali,
tunaambiwa
k u wa n d a n i ya
matumbo yetu
ni moto na hivyo
tunavyovitumia
vinatulani na siku
ya malipo makazi
ya hao wenye
kuchuma kwa
njia za dhulma ni
motoni.
B i a s h a r a
katika Uislamu
imehalalishwa na
hata kuongozwa
kwa njia mahsusi na
hata ile tija uipatayo
na kubakia bila ya
kuitumia hutakiwa
tuitolee Zakka.
M t u m e ( S AW )
alifanya biashara
kwa kutoka
Makka na kwenda
Sham na kurudi,
mpaka mwishowe
akaajiriwa na
anayekuja kuwa
mkwe
wake
baadaye Bibi.
Khadija.
Leo makala hii
itazungumzia

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGO NAMBA: 19


Weka duara kwenye jawabulio sawa. Jawabu
kamili wiki ijayo.
A

MASUALA
1. Jina la mwaka aliozaliwa Mtume (SAW).
2. Watoto wa Kiume wa Mtume (SAW) walikuwa
wangapi, 3, 5, 7.
3. Mke wa Mtume (SAW) ambaye alikuwa sio
mjane, Khadija, Aisha, Hafsa.
4. Taja jina la ami yake Mtume (SAW) aliouwawa
katika vita vya Uhud?
5. Kipando alichopanda Mtume (SAW) kwenda
safari ya Miraj.
6. Shahidi wa mwanzo katika Uislamu. Sada,
Sumayyah, Hamza.
7. Jina jengine alioitwa Syd Uthman bin Affan.
8. Mtume Daud aliteremshiwa kitabu gani? Taurat,
Zaboor, Injil.
9. Jambo gani lilokuwa ni lazima kwa Muislamu
kulitekeleza kila siku, anapata dhambi kutolitekeleza.
Sala, Kula, Kulala.
10. Zakka, Sadaka, Mchango ipi inayotaka kutolewa
inapopitiwa na mwaka?

Mtumba wa Kompyuta.

Jee Unajua?

Nchini Ghana uchomwaji wa taka katika jaa

Ukusanyaji wa vipuri kutokana na mitumba ya elektroniki na


umeme.
biashara ya mtumba
wa
Umeme
na Elektroniki
(e-waste) au
kitaalamu zaidi
huitwa electrical
and electronic

equipment (EEE).
Mitumba ya Umeme
na Elektroniki
huelezewa ni
vyombo vya aina
hio ambavyo
vimetumika kwa

muda mrefu kisha


vikawa mwenye
navyo havihitajii
mfano Kompyuta,
Mashine ya kutolea
vivuli vya picha,
Inaendelea Uk. 19

1. Watu Weusi mbalimbali waliokuja na uvumbuzi


katika nchi ya Amerika? Otis Boykin 1920 1982 ni
mvumbuzi aliweza kutengeneza resistors bora
zitumiwazo kwenye Computer. Garrett Morgan 1877
1963 mvumbuzi wa taa za barabarani za kisasa aidha
alifanikiwa kuvumbua kizuizi cha kujikinga na gesi
(gas mask). Patricia Bath 1942 mwanamama aliokuja
na ufundi mwanana wa kufanya upasuaji wa mtoto wa
jicho. Granville Woods 1856 1910 ametoa mchango
mkubwa katika matumizi ya simu. Lewis Latimer
1848 1928 mwanzilishi wa taa zenye kudumu kwa
muda mrefu. George Edward Alcorn 1940 anajulikana
zaidi katika kuiendeleza taaluma ya imaging x-ray
spectrometer. Norbert Rillieux 1806 1894 huyu
ndio aliorahisiha matumizi ya viwanda vya sukari
na sukari kutumia majumbani, baba mzungu mama
alikuwa mtumwa, Jan Ernst Matzeliger 1852 1889
mvumbuzi wa kiwanda cha viatu chenye kudumu
kwa muda mrefu. Frederick McKinley Jones 1893
1961 mvumbuzi wa mambo yasiopungua 60 na moja
ya uvumbuzi wake ni majokofu kwenye magari
makubwa na kuchukua vitu pasi kuharibika. Madame
C J Walker 1867 1919 mwanamama alitengeneza
mafuta kwa wanawake weusi kuzidisha urembo
wao. http://listverse.com/2007/10/29/top-10-africanamerican-inventors/
2. Mabadiliko ya tabia nchi yanajaalia joto
kuongezeka duniani na kuwafanya watu wengi
kujipumzisha kwenye fukwe na kuogelea baharini.
Ongezeko la joto nalo linawafanya papa kuhama hama
na kuongezeka matokeo ya watu kuhujumiwa na papa.
Papa hupendelea zaidi kuwahujumu wanaume kuliko
wanawake. http://listverse.com/2015/08/08/10-savagetruths-about-shark-attacks/
3. Katika mapenzi ya kupigiwa mfano ni yale ya
Romeo and Juliet watu ambao wanaelezewa walilijua
penzi kwa hali ya juu. Imefahamika kuwa watu hawa
hawajapata kuishi ila ni ngano tu, kinyume na katika
Fasihi ya lugha ya Kiarabu ya Jamil na Buthayna ambao
walipata kuishi. Big borother hakupata kuishi ila ni
taswira iliojengwa kuwa kitu hichi kilikuwepo, muasisi
wake ni George Orwel muandishi wa kitabu 1984 na
Animal Farm. Michezo ya Kimerekani ikielezea juu ya
shujaa Robin Hood na namna alivyokuwa anaweza
kuwaangamiza maadui. Mtu huyu hajapata kuishi
ila ni ngano zilizotengenezwa watu waamini kuwa
aliishi na kutenda mengi ya ushujaa. http://listverse.
com/2008/11/03/top-10-influential-people-who-neverlived/
4. Kuna maelezo ya Agano Jipya kuwa hayapo
sahihi, yakiwa yanapingana na yale maandishi ya
asili ya Bibilia yalioanddikwa kwa Kiyunani. http://
listverse.com/2015/08/11/10-bible-passages-that-mightbe-totally-bogus/

16

MAKALA

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Marufuku mkorogo kwa wagombea


Na Juma Jumanne

A S WA H I L I
husema mazoea
hujenga tabia.
Msemo huu una asilimia
kubwa ya ukweli kwa
sababu wengi wetu
tunaendeshwa na mazoea,
na hivyo kufanya kuwa
sehemu ya desturi ama
utamaduni wetu. Hata
hivyo, jambo hili siyo
baya iwapo mazoea
yako yamejijenga katika
kufanya mambo ya kheri,
kuishi katika misingi
ya Qur-an na Sunnah na
mfano wa hayo.
Makala yetu ya leo ni
muendelezo wa makala
zilizopita kuhusiana
na mchakato huu wa
uchaguzi mkuu wa
mwaka huu. Nawaombeni
msichoke kusoma makala
zinazohusiana na uchaguzi
kwa kule kurudiwa kila
mara. Hili linatokana na
ukweli kwamba, hata zoezi
lenyewe bado halijafika na
mengine yanafanyika na
yanaendelea kufanyika
na muda si mrefu hawa
viumbe wa Allah mtukufu
wataanza kupita sehemu
mbali mbali kuomba
kura yako. Hivyo basi,
maandalizi yatasaidia
kujipanga juu ya namna
ya kukabiliana nao.
Leo pia tuangalie mkasa
mmoja wa kweli uliowahi
kumkumba mwanamke
mmoja, na tujaribu
kunasibisha na hichi
kilichopo mbele yetu. Ni
kisa cha kweli lakini soma
kwa makini utajifunza
jambo moja au mawili
makubwa mno.
Mwanamke huyu
alikuwa mpole, mkarimu
na mwenye huruma
kwa upeo wa hali ya juu
kabisa. Kwa muda mrefu
alikuwa akiishi maisha
ya kawaida akitegemea
ajira hizi za kumuwezesha
kukidhi mahitaji ya msingi
kama chakula, mavazi na
malazi. Pamoja na hali
hiyo, hakuwa na tamaa
kama walivyo baadhi ya
wanawake wengine.
Mwanamke huyu
aliolewa na mume asiye
na kazi, hivyo akalazimika
k u f a n ya m e n g i k a m a
sio yote ambayo mume
alitakiwa kufanya.
Akanunua kiwanja,
akajenga nyumba na
wakahamia kwenye
nyumba yao. Mara mume
akabadilika, akawa na
m a h a wa r a h u k o n j e .

Njooni hivyo hivyo mlivyo, msivae wigi

WINGI wa watu kama huu unatarajiwa kupamba mikutano mingi ya kampeni ya


vyama vya siasa inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu.
Akawa haonekani hata
nyumbani na akija
hakamatiki anapita tu
kama upepo.
Jambo hili lilimuumiza
sana mkewe hadi akafikia
maamuzi ya kutaka
kuuza nyumba ili arejee
kwao. Ndipo alipoamua
kuwaona viongozi wa
serikali ya kijiji akiwemo
mwenyekiti na kuwaeleza
hali halisi, na kueleza nia
yake ya kuuza nyumba
ili arudi kwao. Aliomba
ushauri wa namna bora
ya kufanya, kwa kuwa
ile nyumba aliandika
jina la mume wake kwa
kule kumuamini. Mume
alipoitwa na kuambiwa
juu ya suala la kuuza
nyumba, akakataa katakata
na kusema ni nyumba
yake yeye, na kwamba
mkewe hakuchangia
chochote. Baada ya
kikao cha muda mrefu,
mwen yek iti a k a fa n ya
kile alichoelekezwa
n a m wa n a m k e h u y o ,
kwamba akikataa basi
u l e t we M s a h a f u k wa
ajili ya kufanya kiapo.
Mwenyekiti akamwambia
h u y o m u m e k wa m b a
kama hataki, basi tuagize
m s a h a f u . J a m a a k wa
mkwara akasema uletwe
hapa, tena ndio itakuwa
vizuri sana!!?
Mara msahafu
u k a a g i z wa u k a l e t wa
pamoja na masheikh
wa w i l i . J a m a a h u k u

kiti kikawa hakikaliki


k i m e k u wa c h a m o t o .
Akaanza mkewe kisha
huyu mume naye
akatakiwa kurudia
m a e l e z o ya k e a k i wa
ameshikilia msahafu.
Huku jasho jingi likimtoka,
jamaa alikataa na kudai
kuwa msahafu haushikwi
hivi hivi, bali una utaratibu
wa k e . A k a e l e z wa n a
wale masheikh kwamba,
utaratibu wenyewe si
ndio huu tunaokuelekeza?
Akasema sijajenga peke
yangu, bali tumechangia
wote, japo mwanzo
alisema amejenga peke
yake. Alipoulizwa
kiasi alichochangia
akasema amesahau.
Akaambiwa basi chukua
msahafu ili kusadikisha
hayo unayosema ya
kushirikiana akagoma
pia. Mwisho akaamua
kutimua zake mbio. Kwa
kuwa alishakimbia mara
mbili na kurudishwa,
alipokimbia mara ya tatu
wakaamua wamuache.
Ukaandikwa muhtasari
wa kikao na ikajulikana
rasmi sasa hii ni nyumba ya
mwanamke. Mwanamke
akaondoka zake kwao.
Huyu mwanaume akawa
anaenda kila siku kuangalia
ile nyumba, lakini kama
haitoshi akaandika majina
yake kwenye kuta za
hiyo nyumba na mawe
yaliyowekwa kuzunguka
eneo la nyumba!!! Niishie

hapa.
Baada ya kuona
mkasa huu, sasa tusafiri
pamoja kifikra na kiakili.
Tumeweza kuona kwa
ufupi yaliyomkuta huyu
mwanamke pamoja
n a t a b i a ya k e n j e m a
aliyokuwa nayo. Haya ni
mambo ambayo yapo kila
mahali, na kama hujawahi
kukutana na tukio kama
hili, basi usiombe kukutana
nalo.
Tunaamini kwamba,
mtu anapotaka kuoa kuna
vigezo ambavyo mhusika
anavipendelea zaidi.
Aghalabu wengi wetu
huangalia sura, rangi,
umbile (namba 8), urefu,
dini, mali na mengine
yanayofanana na hayo.
Lakini kwetu Waislamu,
tuna vigezo ambavyo
mtume wetu Muhammad
(saw) ametubainishia. Siyo
mada yangu ya leo.
Kwa akili tu ya kawaida
unaweza kuona ni jinsi
gani huyu mwanaume
alivyokuwa mroho wa
mali. Mke aliyemuoa
siyo kwa lengo la kuishi
naye na kufikia lengo la
ndoa, bali amemtumia
kama fursa ya kuchuma
mali, wala hana mapenzi
ya kweli. Kwa maneno
mengine tunaweza kusema
kwamba, ni tapeli wa
mapenzi. Anachokipenda
na anachokitaka ni nyumba
tu, basi na si vinginevyo.
Vyama pamoja na

wagombea wao katika


nafasi mbali mbali wapo
katika kipindi kigumu.
Juhudi zao katika kufikia
h i c h o wa n a c h o k i t a k a
zinaonekanwa na wengi.
Binafsi bado nashindwa
kuwaamini pamoja na
jitihada zao hizo kwa
sababu nawafahamu
vema. Siamini kama
kweli wanatupenda na
kututhamini, au wanataka
tu nyumba! Imekuwa ni
kawaida kwa wagombea
hawa kujichubua,
kutumia mkorogo
(body cream) pindi
uchaguzi unapokaribia.
Nadiriki kusema hivi
kwa sababu ya mambo
yaliyojitokeza na
yanayoendelea kujitokeza
kwenye mchakato wa kura
za maoni. Kuna mtia nia
ambaye alipita kwenye
maeneo fulani kwa ajili
ya kuomba ridhaa, akidai
kuwa anawapenda,
anawathamini na hivyo
anataka kuishi nao ili
awasaidie kwa moja
m b i l i t a t u . Wa l e
waliotakwa ridhaa hiyo
walionekana wakali kama
m b o g o k wa m t i a n i a
huyo, wakamzomea na
kumfanya aondoke akiwa
mnyonge kabisa.
Hata hivyo, mtaka
nyumba huyo hakukata
tamaa. Aliamua kufanya
udadisi kujua tatizo
nini akaelezwa sababu
zilizopelekea kutokea
hicho kilichotokea. Mtia
nia huyu akaoga,
akatafuta mkorogo
akajipaka, akajichubua,
akatafuta na wigi akavaa.
Kama haitoshi, akatafuta
n g u o z a k u n g a r a
kabisa akawatokea
usiku akaongea nao
h i c h o wa l i c h o o n g e a .
Wananchi wa maeneo
hayo mawili wakamuona
kuliko walivyomuona
mchana! Wakamuelewa
zaidi usiku kuliko
walivyomuelewa mara
ya mwanzo alipowajia
mchana. Matokeo yake
yalikuwa ya kushangaza
kwa kweli. Mtia nia huyu
alipata kura nyingi zaidi
kwenye maeneo haya
kuliko maeneo mengine
yote!!
Ni katika kipindi kama
hiki, wagombea pamoja na
vyama vyao wamekuwa
wakicheza na saikolojia za
watu kwa ajili ya kupata
nyumba, wakidai
kuwa wanatupenda na

Inaendelea Uk. 17

17

MAKALA

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Marufuku mkorogo kwa wagombea

Inatoka Uk. 16

kututhamini. Tukiwapa
kura zetu haooo..
wa n a e n d a z a o . H a t a
yale matatizo yetu
hawayafikishi popote kwa
sababu wameshatujua.
Wa m e s o m a y o t e
tunayopenda na
kuyakimbilia. Kwa hali
hiyo, wanakuwa na uhakika
kwamba, wakitujia usiku
wakiwa wamevaa wigi,
n g u o z a k u n g a r a ,
wamepiga na mkorogo
tunawaita Wazungu.
Na wanapokuja usiku
wanajua kabisa mkono
mtupu haulambwi, hivyo
wanakuja kamili.
Hivi tutawakubali
watu kama hawa mpaka
lini? Mtu unamjua vema,
kwamba ni mfupi tena
mweusi, huwaje leo
tunamkubali kwa urefu
na weupe wa kununua?
Ukimkagua utakuta
miguu pepsi, uso
mirinda, tumbo maji
ya kunde! Akishapata
kura anakuwa mweusi
tii kama zamani. Hivi ni
kweli haya hatuyaoni?
Wagombea wa aina
hii ni zaidi ya mwiba.
Tutarajie kuvuna bangi
japo tunahisi tumepanda
mahindi. Ikiwa tutakuwa
wepesi kiasi hicho kila
mara, basi hatuna sababu
ya kupiga kura. Kwanini
u p o t e z e m u d a wa k o
kupanda kwenye shamba
la mawe? Kwenye mawe
hakupandwi kitu jamani,
labda kama unakusudia
k u a n i k a n i s a wa . N a
unapoanika maana yake
unakausha, lakini baya
ni kwamba tunaanika
v i t u a m b a v y o t a ya r i
vimekauka. Tusiwakubali
watu wa namna hii.
Ikiwa kweli wanataka
kutusaidia kikwelikweli,
basi waje kiuhalisia ili
wapate halisia. Msitujie na
viatu virefu hali ya kuwa
tunawajua kuwa ninyi
ni vifutu. Njoeni kama
mlivyo, wala msipate tabu
kujichubua, kutumia
mikorogo n.k. na sisi
wa n a n c h i t u t a k u b a l i
kukorogwa mpaka lini?
Mtu yule yule akujie kwa
nyakati tofauti ndio iwe
sababu ya kutomjua ni
nani!!? This is too much!!
Ushauri wangu ni
kwamba, tumieni muda
mwingi kuwahoji watu
hawa ili kujiridhisha
kama kweli wanataka
kutusaidia au wanataka

'MAFURIKO' ya namna hii inatarajiwa kuonekana katika mikutano ya kampeni


ya vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2015.
nyumba, pindi kampeni tayari wewe unahesabika wa kupelekwa kama boya.
zitakapoanza.
una dini kwa sababu dini Moja ya vigezo vya wapiga
Mkishindwa kubaini ni njia au mfumo. Huo kura, ni kuwa na akili
basi tumieni kanuni ya mfumo unaoishi ndio dini timamu. Kura isiyokuwa
msahafu kuwaapiza. yako hiyo.
na maslahi ni sawa na
Kama hawataki kubadilika
Kwa kumalizia makala kupoteza muda bure.
tufike mahali tukubaliane yangu niseme tu kuwa, Tutumie miwani sahihi
n a u l e m s e m o w a o huu ni wakati wa kuwa k u wa b a i n i m a t a p e l i
kwamba, tusichanganye makini zaidi. Siyo wakati wa mapenzi, wanaodai
dini na siasa. Bila shaka
kauli hii siyo ngeni
masikioni mwa watu,
kwamba ni marufuku
kuchanganya dini na siasa.
Mambo mengi ya ajabu Inatoka Uk. 9
k u wa e l e k e z a wa s o m a j i
na udhalilishaji yamekuwa kiibada yanayowasibu na wanajamhuri wengine,
yakifanyika katika kipindi wanajamhuri, Chadema, na nafurahi ameviona vitu
k a m a h i k i , h u s u s a n kwa upana wake UKAWA, vizuri vya kuwatonesha
huko visiwani Zanzibar. wanastahili kulaumiwa? Si majeraha waliyotiwa ya
ufukara na ukandamizaji.
W a t u w a n a p i g w a , sahihi.
akinamama wanabakwa
Katika suala la kufanya Angalia anaposema, "Kwa
na madhila mengine u c h a g u z i O k t o b a 2 5 , sasa ni mapema kujua
mengi yanayofanana na W a i s l a m u w a s i j i t i e umefanya maamuzi yepi, ila
hayo. Ikiwa mambo ndio pambani na hasira za mkizi, utekelezwaji wa ahadi ndio
haya, basi tuwaambie sasa wakadharau kutekeleza utakaotoa majibu kwamba
tunakubaliana na msemo k i l e wa n a c h o k i j u a k wa mimi nawe tulishikaau
wenu wa kutochanganya u h a k i k a k u w a n d i c h o tuliacha "mwiba tumekuwa
dini na siasa. Msitusumbue kitakuwa njia ya wao kupata watu wa kudanganywa tu,
na kutuumiza kwenye ahweni dhidi ya madhila lengo tuwape watu kura
mambo ya kisiasa sisi wenye hayo ya miaka yote tangu ambayo baadaye hugeuka
dini. Ninyi si mnajinadi uhuru. Jambo hili halihitaji maangamizi kwetu." Njia ya
hamna dini, basi hatutaki mtu kutoa nguvu kubwa kutoka kwenye maangamizi
haya anayoyapita, ni
m a f u n g a m a n o k a t i k a kulieleza, au kuzunguka k u t o w a c h a g u a h a o
jambo la siasa, tunabaki k a m a a l i v y o z u n g u k a wanaoyasababisha. Ndio
na yetu ya dini. Utii bila mwandishi aliyenitekenya ufumbuzi, na ndio dawa
shuruti!!! Hichi ndicho nikajikuta mwenye wajibu mjarabu.
Magufuli ni mtihani. Ona
k i a p o n i l i c h o k u s u d i a wa kusaidia maarifa ya
kuwaapiza hawa jamaa. vipi tunaweza kujivua na amepatikanaje Dodoma.
Ona waliomsogeza jikoni
Wakikimbia kiapo hichi shida hizi tulizolazimishwa na alisogeaje? Hatukusikia
kuamini
eti
zipo
hata
kwa
kama alivyofanya mume
wakubwa
nchi za wenzetu. Uchaguzi n a m n a
wake na yule mwanamke, uliopo kwetu ni wa wazi walivotamka ndipo akapenya
basi wakubaliane na yetu - tuzitie voti zetu kwa baada ya wastahiki wake
ya msingi tunayotaka Lowassa ambaye tutakuwa k u m p e n y e z a k i m t i n d o
kama Waislamu na jamii na dhamana ya kumuongoza kwa kuwashughulikia kina
o wa s s a ? H a t u k u a m i n i
nzima kwa ujumla. Hata kwa kutupeleka. Kuchagua L
kwamba wakubwa walitumia
wale wanaojiita wasio na CCM maana yake ni kuhiyari hila kuvuruga wasiowataka
dini, wakubaliane katika kuendelea kuumiuzwa.
kwa gharama ya uadilifu
hili kwamba na wao ni
N i n a p o m s h a n g a a wa kutenda kwa mujibu wa
wana-dini, kwa sababu m w a n d i s h i
k w a kanuni zao?
unaposema huna dini kuzungukazunguka katika
Tu s i k i z a n e n d u g u

wa n a t u p e n d a k u m b e
wanataka nyumba!
Wa n a o t u j i a w e u p e
kumbe ni weusi,
wanaotujia wareeefu
ilihali ni wafupi kuliko
hata vifutu.
Ni hao hao ambao
hukurubia nyumba za
ibada na kukaa karibu
na masheikh, maaskofu
na waumini wengine wa
dini. Ikiwa kweli hamtaki
t u c h a n g a n ye d i n i n a
siasa, mbona mnatufuata?
Mbona mnaonekana
siyo wale tunaokuoneni
mkiwa maofisini kwenu,
mabungeni na maeneo
kama hayo!!?
Hebu tuwekeni wazi,
mnataka tuchanganye
dini na siasa hamtaki?
Kama mnataka, ni kwa
kipindi hiki tu au kwa
kipindi chote cha dhamana
ya u wa k i l i s h i we n u ?
Tu m e w a c h o k a m j u e .
Wana-dini mnasemaje
katika hili; tuchanganye
au tusichanganyeeee?
Au tukoroge kabisa nini!!!
Wabillah Tawfiiq!!
(Juma Jumanne 0752 527
833/ 0659 789 468)

Kuchagua Lowassa-UKAWA
zangu katika suala hili.
Lowassa ameingia kundi
la wapambanaji dhidi ya
utawala dhalimu ambao
machungu yake tunayajua
sote. Tunayoyahisi hivi
tunaposoma, yameletwa
na madhalimu hao,
tunayoyakumbuka kutusibu
m i a k a i l e ya b a a d a ya
uhuru, ikiwemo kuvunja
East Africa Muslim Welfare
Society (EAMWS) na kuunda
BAKWATA iliyo wakala
wao, yote wameyaleta wao
madhalimu.
Yote hayo hayakubaliki
chini ya UKAWA, hiyo ambayo
Lowassa amejikubalisha
kuja kutumika nayo. Huku,
tofauti na CCM, ataongozwa
kwa mashauriano
na masharti. Anajua

kilichomchukiza kule, na
kilichomvuta UKAWA.
Serikali itakayoundwa
yeye akiwa kichwa,
itajumuisha wapigania
maslahi ya wananchi, siyo
maslahi ya wachache.
Akiwa UKAWA, atakuwa
na serikali inyoimba
na kuamini uadilifu na
m a t u m i z i m a z u r i ya
raslimali na maliasili kwa
ajili ya umma mkubwa
wa wanyonge. UKAWA ni
mbadala uso shaka.

18
Inatoka Uk. 11

na vifaa Mujahidina.
Pengine sasa swali
laweza kuwa, kwa
nini vita hii inachukua
muda mrefu? Kwa nini
hatuoni kushindwa Assad
kama ilivyokuwa kwa
Muammar Gadhafi?
Kule Iraq ambapo
Marekani ilivamia,
h a l i k a d h a l i k a L i b ya
w a l i p o t u m i w a
wanaharakati wa
Kiislamu, lengo lilikuwa
kubadili utawala
basi (regime change).
Hili la Syria na Iraq
linaolendeshwa chini ya
ulaghai wa kupigana na
magaidi wa IS, ni zaidi
ya hapo. Kinachotakiwa
ni kuchora upya ramani
ya Mashariki ya Kati, Iraq
na Syria zikigawanywa
katika vinchi vidogo
v i d o g o . ( Ta z a m a : A
Strategy for Israel in the
Nineteen Eighties by Oded
Yinon as published in
KIVUNIM (Directions),
A Journal for Judaism
and Zionism; Issue No,
14--Winter, 5742, February
1982. Israels L ong-time

Strategy to Destabilize the


Middle East, September 2,
2013 at 9:36 am. Tazama
pia: Deconstructing Syria:
Towards a regionalized
strategy for a confederal
country.)
Mpango makakati huo
wa Israel unasema wazi
kuwa ili kuihakikishia
usalama wa kudumu
na wa uhakika Israel,
ni lazima kusiwe na
nchi ya Kiarabu yenye
nguvu, na hasa zile
ambazo hazikubali
kuwa vibaraka wa Israel
au Marekani. Katika
mpango huo Iraq ndio
namba moja ikifuatiwa
na Syria. Kwa hiyo,
hapa kinachotakiwa
sio kupinduliwa tu
Bashar Assad, lakini
kuwapiganisha Sunni
na Shia na kwa upande
m w i n g i n e Wa k u r d i
mpaka ifikie mahali
nchi hiyo igawanywe
katika mapande
matatu dhaifu-nchi
ya Wasuni, ya Washia
n a Wa k u r d i . M u d a
wa kuwa mazingira
hayajajitokeza ya
k u t i m i a k wa l e n g o
hilo, magaidi wa IS
wa t a e n d e l e a k u wa
na nguvu na kufanya
vituko kila uchao mpaka
hilo litimie na mabeberu
wakitumiwa na Israel,

MAKALA

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Kama yapo mambo hayafai


kusema, bora kukaa kimya!

WAPIGANAJI wa Yemen wanaokabiliana majeshi vamizi ya Saudi Arabia.

(Defense Intelligence
Agency- DIA) Michael
Flynn, alikiri kuwa
kuibuka kwa ISIS
halikuwa jambo la bahati
nasibu wala bahati
mbaya, bali jambo la
kupangwa. Akihojiwa
na mtangazaji wa Al
Jazeera Me hdi Hasan

katika makala iliyopewa


j i n a : L e va n t R e p o r t "
Head t o Head episode,

MAREHEMU Muammar Gadhafi, Kiongozi wa zamani


wa Libya.

wa t a e n d e l e a k u t o a
kila aina ya visingizio
kuonyesha kuwa
IS wanapata nguvu
ilimuradi waendelee
kuwapiganisha Waarabu
mpaka ifikie mahali
ionekane kuwa kila mtu
awe na na nchi yakeShia, Sunni na Wakurdi.
( Ta z a m a s e h e m u y a
mkakati huo kama
tulivy ouchapisha kwa

Kiingereza).
Ukiacha zile porojo
zetu wanaharakati
kuwa IS, Salafi, Akhi

wetu wa Syria na Nusra


Front, ni Mujahidina wa
kusimamisha Khilafah,
lililo la ukweli ni kuwa

makundi yote hayo katika


Syria na Iraq, yawe ya
ma-Dupes au Pseudogangs, yameundwa na
Israel na washirika wake
wa Marekani na Ulaya
kutimiza mkakati huo wa

kuzisambaratisha Iraq
na Syria.
Hivi karibuni
aliyekuwa Mkuu wa
Kitengo cha Ukachero
katika jeshi la Marekani

Michael Flynn alikiri


kuwepo kwa waraka
kutoka Idara yake (DIA
memo), wa mwaka 2012,
uliolekeza kuundwa
kwa IS wakikusanywa
Salafi ili kutumika
katika mkakati huo wa
kuisambaratisha Syria.
(Tazama: Former Defense
Intelligence Agency Chief
Says Rise of Islamic State
Was A Willful DecisionBy Brad Hoff.)
Kama kuundwa kwa
ISIS na Nusra wa kiSalafi kupambana na
Bashar Assad ilikuwa
ni a willful decision
kwa ajili ya kutimiza
lengo maalum, ndio
maana pamoja na
tambo za Rais Obama
k u wa a n a p a m b a n a
na magaidi hao,
bado IS wanaendelea
kuuwa watu wasio na
hatia. Na wataendelea
kuwepo mpaka lengo
la kuundwa kwao kwa
willful decision,
litimie.

Hivyo ndivyo
tunavyotakiwa tuielewe
h i i v i t a ya u g a i d i
tunayoletewa huku.
Kwamba hii imekuja
kwa a willful decision
na kwa kutimiza lengo
maalum.
Tujue, tukiipokea
ndio kijiba kitakuwa
kimetukaa kooni. Kama
zaidi ya mwaka sasa
msuli wa Pentagon
na CIA umeshindwa
kuibomoa IS, basi tujue
h a t u n a m s u l i wa l a
mbinu za kupambana
na Al-Shabaab wala
magaidi wa jina lolote,
i l i m u r a d i n i h a wa
wanaoibuka kwa a
willful decision.
Tumeambiwa kuwa
pamoja na kupeleka
askari wao na kujifanya
kuwa wao ni IS wakiwa
na kanzu na bendera
za IS, huwa pia wana
kambi za kuwafundisha
magaidi hao katika
nchi za Saudia Arabia,
Uturuki, Jordan, Qatar
na Israel. Wakishahitimu
ndio hupenyezwa na
kujingia Syria.
Tulitafakari
hili tukizingatia
haya yanayotokea
h u k u
k w e t u
tunapoambiwa kuwa
watu wanakamatwa
wakiwa na bendera
za Al Shabaab. Lakini
tulizingatie pia
tunapoambiwa kuwa
kuna watu wapo
misituni wakijifundisha
ugaidi. Isije ikawa ni
katika mtindo ule ule
wa U K S A S f o r c e s
wanaofundisha magaidi
kule Qatar, Saudia na
Jordan.
Pengine tumalizie
kwa kusema kuwa,
siku hizi upatikanaji wa
habari umerahisishwa
sana. Kwa hiyo
huchukua muda mfupi
sana hata yale mambo
ambayo yalikuwa
ya siri kufichuka na
kusambaa taarifa zake.
Ya we z e k a n a k a t i k a
haya mambo yetu ya
Sitakishari na hii
vita dhidi ya ugaidi,
kuna mambo ambayo
hayasemeki hadharani.
Sasa itakuwa vyema
pengine kukaa kimya
kuliko kuja na projo
ambazo zishawekwa
wazi na akina Michael
Flynn.

19
Inatoka Uk. 15
majokofu, viyoyozi,
runinga, radio, video
n.k.
Nchi za Ulaya
Magharibi kwa kujua
kuwa vyombo hivyo
vitaleta madhara
kuvitupa katika
m a z i n g i r a ya o k wa
kuvichoma moto
au kuvitupa katika
majaa, wanakuwa
tayari watapojitokeza
kuvichukua na kwenda
kutumiwa katika nchi
zinazoendelea huwa
kwao sio mashaka.
Mingi ya mitumba
ya
umeme
na
elektroniki ni kachara
na wanaochukua kuja
kuuza hukongoa baadhi
ya vipuri na yaliobaki
kutupwa kwenye majaa,
kuchomwa moto au
kuonekana kuzagaa
ovyo. Afrika imekuwa ni
kama mava ya kuzikwa
kwa bidhaa hizi na bara
la Afrika limekumbwa
na wimbi la mitumba ya
umeme na elektroniki.
W a t a a l a m u
wa n a t u a m b i a k u wa
tunaishi katika dahari ya
digitali, dahari ambayo
uvumbuzi wa vitu vya
elektroniki umekuwa
mkubwa na wingi wa
uzalishaji unachangia
kutokuwa na ubora wa
bidhaa hizo au tuseme
kutokuwa katika
viwango. Wanasayansi
wanafahamisha
kuwa
bidhaa
nyingi za elktroniki
zinazotengenezwa
huwa na maisha
mafupi yanapungua
kwa asilimia ya maisha
ya hicho chombo kwa
asilimia 33, kutokana
na hayo bidhaa hizo
huwa hazifai au
kutomridhisha mwenye
kuzitumia, tena hapo
mtumiaji huamua kutaka
kununua chengine
na kile cha mwanzo
kukitupa. Kutokana na
hali hio, mitumba ya
elektroniki na umeme
imezagaa duniani kote,
i k i wa A f r i k a n d i p o
zinapomalizikia baada
ya nchi hizo za Ulaya
kuona kuwa bora
wasafishe mazingira
yao na kuchafua ya
wengine kwa kisingizio
cha Utandawazi
( U t a n d a r i z i ) .

HABARI

AN-NUUR

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

Ndio biashara, potelea mbali

Majokofu yenye Chloroflorocarbon yamezagaa hayana maana wala matumizi


Wa s o m i w e n g i w a
nchi zinazoendelea
wamefika kunena kuwa
Utandawazi ni Ukoloni
mambo leo unaotawala
kwa mlango wa nyuma.
Tanzania ni mmoja ya
nchi ambayo inaingiza
mitumba hio kwa wingi.
Takwimu za Benki ya
D u n i a z i n a o n ye s h a
kuwa katika mwongo
uliopita uingizwaji wa
kompyuta za mitumba
zimeongezeka mara
k u m i n a wa t u m i z i
wa simu za mikononi
umeongezeka kwa
mara 100, simu hizo
zipo ambazo ni mpya
zilipouzwa na kuna
zilizokuwa ni mitumba,
simu huwa hazifai baada
ya muda hubidi zitupwe
na huo ndio mzigo wa
mazingira unaobeba
uchafu huu.
Nchi za Afrika
pamoja na Tanzania
matumizi ya mitumba
ya elektroniki na umeme
imeshamiri kutokana
na umasikini na uwezo
mdogo wa watu wake
kumudu kununua
vitu vipya na vyenye
viwango. Matokeo yake
vinapoingia na kuuzwa
mitumba ya elektroniki
na umeme hununuliwa
kwa wingi na hata kufika
kusikia wenye kununua
bidhaa hizo kuwa ni
bora hio mtumba ina

dumu na ipo mizuri


kuliko kununua bidhaa
m p ya . M wa n a f u n z i
niliowahi kufanya kazi
naye alinambia katika
m a h o j i a n o ya k e n a
watu wasiopungua 100
kaja kugundua kuwa
katika kila watu 10
idadi ya watu 2 hadi 3
ndio hawana bidhaa za
mitumba wanaoitumia
katika majumba yao.
Waliobaki kama hana
jokofu, ana runinga,
kama hana runinga ana
video, kama hana video
ana Music system n.k
Bidhaa nyingi za
mtumba ya elektroniki
huwa na maisha mafupi.
Sio vingi ndio vyenye
kudumu kama wengi
wasemavyo. Kutokana
na wingi wa bidhaa hizo
kuwa hazifai, ndipo
matatizo yanapoanza
kujitokeza kwani
majaa yetu kutokuwa
ya kisasa, bidhaa hizo
hutupwa katika majaa
k i s h a k u k a c h o m wa
moto. Nyingi ya bidhaa
h i z o h u wa n a a i n a
m b a l i m b a l i ya v i t u
yenye sumu na hatari,
kama Mercury, Nickel,
Chromium n.k. Moshi
mzito unaotokana
na uchomwaji moto
katika majaa huchangia
kudhoofisha afya za
watu.
Majokofu yenye

Chloroflorocarbon
ya m e z a g a a h a ya n a
maana wala matumizi
Vipi hali hii visiwani
Zanzibar
Hali hairidhishi na
kila kukicha bidhaa
hizi zinaingia kisiwani
kwa wingi. Takwimu
halisi zinashindikana
kupatikana kutokana na
kuwa inapotumwa hii
mitumba ya elektroniki
na umeme, hutumwa
mchanganyiko na
bidhaa nyengine iwe
makochi, nguo n.k.
Inakadiriwa kuwa
kiasi cha tani 99,360
huingizwa visiwani au
zaidi ya kiwango hicho
kila mwaka.
Nimesaidiana na
mwanafunzi mmoja
ambaye alikuwa akitaka
kujua hali ya mitumba
ya elektroniki na umeme
ikoje visiwani Zanzibar,
tulichagua maeneo 12
ikiwa Mji Mkongwe,
Mlandege, Mikunguni,
M we m b e l a d u ,
Michenzani, Magogoni,
Amani, Mfereji wa Wima,
Mwana kwerekwe, Kwa
Mchina, Mombasa na
eneo la kuelekea skuli
y a S O S . Tu l i w e z a
kugundua maduka
yasiopungua 88 yapo
nje ya Mji Mkongwe
yanauza biashara hio

na makadirio ni zaidi ya
maduka 150 kwa Unguja
tu yanashughulika na
u z a j i wa b i d h a a z a
mitumba ya elektroniki
na umeme.
Katika eneo la
M l a n d e g e t u l i we z a
kuyatambua maduka 6
yenye kuuza majokofu,
printer, mashine za
kutoa kopi, runinga,
mashine za kufulia n.k.
Wingi wa biadhaa hizo
hazimo katika hali ya
ubora. Eneo la Mfereji
wa Wima tuliona duka
linaouza majokofu na
zaidi ya asilimia 60 ya
majokofu hayo hakika
ya t a k o s a m n u n u a j i
kutokana na kuchakaa
kwake. Katika eneo la
Mikunguni tulihesabu
maduka 14 kati ya hayo
9 yanauza majokofu na 5
yanauza runinga. Katika
eneo la Amani tumeweza
kuhesabu maduka 9, kati
ya hayo 4 yenye kuuza
majokofu na 5 bidhaa
nyengine, sehemu
ya Mwanakwerekwe
t u m we z a k u h e s a b u
maduka 9 yote yanauza
mchanganyiko wa
kachara ya mitumba
ya elektroniki na
u m em e. Ma eneo ya
kwa Mchina tuliweza
kugundua maduka 20
kati ya hayo 13 wanauza
majokofu, 3 majokofu
na bidhaa nyengine
na maduka 7 yanauza
majokofu, kompyuta,
microwave, runinga,
radio na vitu vidogo
vidogo vya elektroniki.
Maduka ya Mombasa
nayo hayatafautiani na
kwa Mchina kwa bidhaa
wanazouza tuliweza
kuhesabu maduka
18. Maeneo ya SOS
tulihesabu maduka 2.
Katika maeneo ya
Mwembeladu tulipata
maduka 9 na Mji
Mkongwe maduka 14,
maduka ni mengi na
kazi hii ya kuhesabu
t u l i f a n ya k wa s i k u
na nusu, nategemea
kuendeleza kuangalia
haya maduka na kupata
idadi yake kwa undani.
Hatua gani hadi sasa
zinachukuliwa katika
kupiga marufuku
uingizaji wa bidhaa
hizi za mitumba ya
elektroniki na umeme?
Fwatana na mie wiki
ijayo upate uhondo
zaidi.

AN-NUUR

20

20

RAIS wa Nigeria
Muhammadu Buhari,
kwa mara nyingine tena
ameituhumu Marekani
kuwa inawaunga mkono
magaidi wa kundi la
Boko Haram.
Akizungumza Jumatatu
wiki hii kwenye sherehe za
kufuzu wanajeshi wa cheo
cha Cadet, Rais Buhari
a l i s e m a Wa s h i n g t o n
i m e k u wa i k i wa u n g a
mkono waasi wa Boko
Haram na kuitaka Wizara
ya Ulinzi kuchukua hatua
za haraka za kuhakikisha
jeshi linajitosheleza katika
masuala ya silaha.
Rais Buhari alisema
kuwa, hatua ya Marekani
ya kukataa kuiuzia nchi
ya k e s i l a h a i n a wa p a
nguvu magaidi wa Boko
Haram na hapana shaka
kwamba, hilo ndilo
lengo kuu la serikali ya
Washington.
K i o n g o z i h u y o wa
Nigeria wiki kadhaa
zilizopita alifanya safari
nchini Marekani akiwa
na matumaini makubwa
k wa m b a Wa s h i n g t o n
i n g e m p a m i s a a d a ya
kutosha ya kifedha na
kisilaha, ili kufanikisha
vita dhidi ya Boko Haram.
Hata hivyo kwa
mshangao mkubwa,
s e r i k a l i ya Ma r e k a n i
ilitangaza wazi kwamba
haitoiuzia silaha serikali
ya Nigeria kutokana na
kile kilichotajwa kuwa ni
rekodi mbaya ya haki za
binadamu ya jeshi la nchi
hiyo.
Sera hiyo ya Marekani
ya kutoiuzia silaha Nigeria
ilianza miaka 6 iliyopita.
Rais Buhari ambaye
aliingia madarakani mwezi
Mei mwaka huu kwa
ahadi ya kupambana na
Boko Haram, amekanusha
kuweko ukiukaji wa haki
za binadamu ndani ya
jeshi la Nigeria na kusema
kuwa, sera ya Marekani
ya kutoiuzia silaha nchi
yake ni mpango maalumu
wa kimkakati unaolenga
kuhakikisha kuwa serikali
ya Abuja inashughulishwa
na vita dhidi ya Boko
Haram na kuachana na
mambo mengine yenye
umuhimu kwa taifa.
Alipotoka Marekani,
Rais Buhari alisema

MAKALA

SHAWWAL 1436, IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015

AN-NUUR
(21)
AMKA,
MUISLAMU
MTANZANIA!
SHAWWAL 1436,

IJUMAA AGOSTI 14-20, 2015


Unajua kuwa Tanzania tuko nyuma sana katika
utekelezaji wa nguzo ya Hijja? Tunakwenda wachache
sana, na wengi wetu tukiwa wazee tumeshachoka.
Mtume(saw) amehimiza watu waende Hijja wakiwa
vijana wenye nguvu Muda unakwisha! Gharama zote
kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola
2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0765462022;0782804480; 0717224437.
Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

Buhari aituhumu Marekani


kuunga mkono Boko Haram

RAIS wa Nigeria Muhammadu Buhari.

Nigeria kwa ushirikiano


na nchi jirani itaendelea
kupambana na magaidi
wa Boko Haram hata bila
ya silaha za Marekani
na kuelezea matumaini

yake kwamba, kundi


hilo litashindwa na
kutokomezwa kabisa.
Hata hivyo wachambuzi
wengi wanakosoa siasa
za kindumakuwili za

Marekani katika kadhia


ya kupambana na ugaidi.
Kufuatia hali hiyo,
Rais Buhari amekusudia
kuanza mkakati wa
kuiwezesha nchi hiyo

kujitengenezea silaha zake


yenyewe kwa kutumia
teknolojia na utaalam
kutoka mataifa rafiki.
Nchi hiyo ambayo
inajinadi kuwa kinara
wa kupambana na ugaidi
duniani, mara kwa mara
hutumia visingizio vingi
kukwamisha vita hivyo
katika baadhi ya maeneo,
ili kufikia malengo yake
haramu.
Wa j u z i wa M a m b o
wanasema kufuatia
hatua ya Marekani ya
kukataa kuiuzia silaha
serikali ya Nigeria,
njia pekee ya Abuja ya
kufuata ni kuhakikisha
inajitosheleza katika sekta
ya ulinzi hivyo kuweza
kujiondoa katika safu
za nchi zinazotegemea
misaada ya Marekani.
Kwa sasa nchi za
Nigeria, Niger, Chad,
Cameroon na Benin
zimeimarisha nguvu
zao za kijeshi kwa ajili
ya kupambana na Boko
Haram.
Wafuatiliaji wa masuala
ya A f r i k a wa n a s e m a
miungano ya kieneo kwa
ajili ya kutatua matatizo
ya kijeshi na kisiasa ni
bora zaidi kuliko misaada
ya aina yoyote ile kutoka
nchi za nje.

WAANDAMANAJI nchini Nigeria wakiwa na mabango yanayotaka Boko Haram uwaachie huru wasichana
waliowateka nchini humo.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

You might also like

  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Document20 pages
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1262
    Annuur 1262
    Document20 pages
    Annuur 1262
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1264
    Annuur 1264
    Document20 pages
    Annuur 1264
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1223
    Annuur 1223
    Document20 pages
    Annuur 1223
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1232 PDF
    Annuur 1232 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1232 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1230 PDF
    Annuur 1230 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1230 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • ANNUUR 1228d
    ANNUUR 1228d
    Document20 pages
    ANNUUR 1228d
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1231 PDF
    Annuur 1231 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1231 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1229 PDF
    Annuur 1229 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1229 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1218 PDF
    Annuur 1218 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1218 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1226 PDF
    Annuur 1226 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1226 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1225
    Annuur 1225
    Document20 pages
    Annuur 1225
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1227 PDF
    Annuur 1227 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1227 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1220
    Annuur 1220
    Document20 pages
    Annuur 1220
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1219
    Annuur 1219
    Document20 pages
    Annuur 1219
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • ANNUUR 1216d
    ANNUUR 1216d
    Document20 pages
    ANNUUR 1216d
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1224
    Annuur 1224
    Document20 pages
    Annuur 1224
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • ANNUUR 1209aaa
    ANNUUR 1209aaa
    Document20 pages
    ANNUUR 1209aaa
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1214
    Annuur 1214
    Document20 pages
    Annuur 1214
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1208
    Annuur 1208
    Document20 pages
    Annuur 1208
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1217
    Annuur 1217
    Document20 pages
    Annuur 1217
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1213 PDF
    Annuur 1213 PDF
    Document20 pages
    Annuur 1213 PDF
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1210a
    Annuur 1210a
    Document20 pages
    Annuur 1210a
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1202
    Annuur 1202
    Document20 pages
    Annuur 1202
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1204
    Annuur 1204
    Document20 pages
    Annuur 1204
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1207...
    Annuur 1207...
    Document20 pages
    Annuur 1207...
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1195
    Annuur 1195
    Document20 pages
    Annuur 1195
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1201
    Annuur 1201
    Document20 pages
    Annuur 1201
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet
  • Annuur 1200
    Annuur 1200
    Document20 pages
    Annuur 1200
    Anonymous x8QGwFF
    No ratings yet