Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 2

TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI


Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania inawatangazia wale wote waliofanya usaili wa mchujo (written
interview) tarehe 12 14 Agosti 2015 na 7 8 Septemba 2015 kwa nafasi za Afisa Udahili Daraja la II,
Afisa Ithibati Daraja II na Mtunza Kumbukumbu Msaidizi Daraja la II kuwa wafuatao ndio
waliochaguliwa kuhudhuria usaili wa ana kwa ana (Oral Interview):
Usaili utafanyika tarehe 5 6 Oktoba 2015 katika Ukumbi wa Tume.
mmoja kupitia anwani ya barua pepe (email address) za waliochaguliwa.

Ratiba itatumwa kwa kila

1. AFISA UDAHILI - II (ADMISSION OFFICERS) Tarehe 5/10/2015


Na.
1

Jina

Na.

Jina

8 JOHN MNG'ONG'O

CALVIN BARIKI TEMBA

2 RAJABU SAID SHABANI

9 NTULE N. SHIMWELA

3 HUSSEIN RASHIDI MKUHA

10 OLIVER MICHAEL MINJA

4 MARIAM HUSSEIN

11 PETER MOSES KABIGI

5 MARY NYAMISY MANG'ANA

12 MASHAMBO WASHINGTON

6 MATHAYO MAFANG'HA

13 JOYCE C. CHARLES

7 ESTOMII EDWARD

2. MTUNZA KUMBUKUMBU MSAIDIZI (RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT)


Tarehe 5/10/2015
Na.

Jina

JOHN METHOD NESTORY


2 ASHA MOHAMED
3 SALVATORY KAZINGOMA
4 MWANAHARUSI ABDALLAH JUMA

3. AFISA ITHIBATI DARAJA II (ACCREDITATION OFFICERS) - Tarehe 6/10/2015


Na.
1

Jina

Na.

FAUSTIN JULIUS

Jina

9 RENATUS NGATA

2 GODNESS J. KISOKA

10 NYALALI NDAKI

3 MATASO WARIOBA GEHONDE

11 YAHAYA OMARI MWAVURIZI

4 EMMANUEL SYONGA

12 BERTHA CLAUD

5 BONIPHACE MALIMA

13 PHINEHAS MSESA

6 JUMA NCHELENG'HANYA

14 ZUBERI MWARAMI

7 DATIVA DRANCED TESHA

15 JACKOB JOSEPH

8 JACOB M. ASWILE
Mambo muhimu ya kuzingatia:
1. Wasailiwa wafike na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi (mf. kitambulisho cha Utaifa, kupigia
kura, kadi ya benki, hati ya kusafiria au kitambulisho cha kazi).
2. Wasailiwa wafike na vyeti halisi (Original certificates) Testimonials, Provisional results
na Statement of Results HAVITAKUBALIWA.
3. Kwa wale waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa
na mamlaka husika (TCU, NACTE & NECTA).
4. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, malazi na usafiri.
Aidha Tume inawaarifu wale wote ambao hawakuona majina yao katika orodha hii watambue kuwa
hawakufanikiwa na tunawashukuru kwa kuonyesha nia ya kufanya kazi na Tume.

Imetolewa na:
Katibu Mtendaji
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania

You might also like