Professional Documents
Culture Documents
Tafeyoko No1 PDF
Tafeyoko No1 PDF
(TAFEYOCO)
KINONDONI MUNICIPAL ,DAR ES SALAAM REGION
P.O.BOX 1078, DAR ES SALAAM ,TANZANIA
Mobile: +255 (0) 713463420,+255(0)784113604 ,Email: tafeyoco@gmail.com
Be the change, Life is now
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA UTENDAJI WA MHE: RAIS WA
TANZANIA Dr. JOHN POMBE MAGUFULI.
Shirika
la
TAFEYOCO
(TANZANIA
FEMINIST
AND
YOUTH
CHANGE
Mhe. Rais alifanya haya yote kama njia ya kuongeza mapato na kusaidia shughuli za maendeleo
katika jamii. Hakuna kiongozi mwingine aliyeweza kufanya hivi. Haya yote Rais aliyabuni
kuongeza mapato baada ya kuikuta Hazina haina pesa.
Mhe. Rais ameweza kuokoa Bilioni saba (7) kwa kuzua safari za nje zisizo na tija kwa Taifa.
Kwa ubunifu wa Mhe. Rais ameweza kusimamia mamlaka ya mapato na kuweza kupata
makusanyo ya tilioni 1.5 kwa mwezi, makusanyo ambayo hayajawai kupatikana kipindi
chochote cha nyuma.
3. Mhe. Rais ameonyesha Uzalendo mkubwa kwa nchi kwa hizi siku mia moja (100).
Amekuwa mfuatiliaji wa mambo kwa watendaji Serikali, amekuwa akitamka waziwazi
kuwa amejitoa sadaka kwaajiri ya kuwasaidia watanzania hasa wale wenye hali duni
.Hakuna kiongozi aliyewahi kutamka maeneo kama haya hadharani kabla yake. Hii
inaonyesha hali ya kujitoa kwa Mhe. Rais ingawa anakutana na vipingamizi maeneo
mbalimbali lakini hakati tamaa.Kwake Tanzania kwanza.
4. Mhe. Rais kwa hizi siku mia moja amethibitisha usemi wake wa hapa kazi tu.
Amewaondoa
watendaji
kadhaa
Serikalini
waliokuwa
hawawajibiki
ipasavyo,
na
sababu
za
Watanzania
kuwa
maskini
na
ameamua
kujitoa
kwasababu alikosa watu sahihi.Kwa maandalizi haya kamwe haiingii alikini kwa aina hii
ya mawaziri aliowachagua
mawaziri kwenye Serikali zilizopita. Tungemuomba Mhe. Rais kama anaona kasi ya
mawaziri wake haiendani na kasi yake kiutendaji ni bora hawatumbue majipu na kuwatoa
kwani siyo dhambi. Haikubaliki Mhe Rais au waziri mkuu ndio watu pekee wa kugundua
madudu kwenye taasisi za Serikali wakati wapo mawaziri husika wa maeneo hayo.
3. Tunamshauri Mhe. Rais aunde chombo maalum cha monitoring and evaluation kwa
wafanyakazi wa Serikali hii itapunguza kama siyo kuondoa tabia za rushwa, wizi, uvivu
na Ufisadi kwa wafanyakazi wa Serikali.Siku hizi mfanyakazi wa BOT,HAZINA,
TRA,TPDC,BANDARI,UWURA,TANESCO,TCRA akiajiliwa ndani ya miezi sita
asipokuwa na gari na viwanja kadhaa anaonekana mjinga na mshamba hii haikubaliki
kwenye dunia ya leo.
4. Tunamuomba Mhe. Rais aiangalie SUMATRA vizuri ili kama kuna majipu inabidi
yatumbuliwe haraka sana, haiwezekani bei ya mafuta inashuka kila kukicha kwa kazi
nzuri ya EWURA alafu nauli za mabasi na daladala zinabaki palepale kwa muda mrefu.
Lazima jitihada za makusudi zifanyike ndani ya SUMATRA ili kukipa meno chombo
kifanye kazi zake bila mashinikizo ya watu wachache.
5. Tunamuomba Mhe.Rais apitie pia kwenye magereza yetu hapa nchini ili kama kuna
majipu yaweze kutumbuliwa. Hali za magereza ni mbaya,wafungwa wamekuwa wengi
kuliko uwezo halisi wa magereza, mazingira siyo rafiki kwa wafungwa.
6. Tunawaomba viongozi wa Serkali waweze kutimiza wajibu wao na kumsaidia Mhe. Rais
kutabua kero mbalimbali za wananchi badala ya kumsubili hadi rais achukue hatua.Jamii
ina watendaji wa Serikali kama wakuu wa mikoa, Wilaya wakurugenzi, mameya,
Maofisa Elimu wa mkoa na wilaya, wabunge na madiwani. Wote hawa wana uwezo wa
kutatua matatizo ya kukosekana kwa kutatua matatizo ya kukosekana kwa madawati
mashuleni, kujenga madarasa kwa wanafunzi wanaokosa sehemu ya kusomea kwa
uwingi wa elimu bure.
Shirika letu halitaishia kumfanyia tamthimini Mhe. Rais peke yake bali litazunguka nchi
nzima kuangalia utendaji wa madiwani na wabunge kama kweli wanatimiza ahadi zao
kwa wananchi na kumsaidia mhe Rais.
Mwisho, tunamuomba Mhe Rais apange muda wa kuonana na vijana wa mkoa wa Dar es
salaam kama alivyofanya kwa wazee. Ni miaka yote viongozi wa nchi ukutana na wazee
na kusikiliza changamoto zao lakini kwa sasa Tanzania idadi kubwa ya watu ni vijana na
ndio waliokuwa wanakesha na kuyalilia mabadiriko haya tunayoyaona kipindi hiki hivyo
tunamuomba Mhe Rais akutane na vijana na kusikiliza changamoto zao na ushauri
kwenye utendaji wake.