Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 2

Anuani ya Simu:

NUKUSHI:

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
IDARA YA UHAMIAJI

UHAMIAJI

OFISI YA UHAMIAJI WILAYA


S.L.P 417

BUNDA

YA UHAMIAJI (M)
SIMU:OFISI
+255 282622426
S.L.P 369
KUMB .NA.BND/IMM/PPT/VOL.II/16
MUSOMA

Saturday, 21 May 2016

AFISA UHAMIAJI MKOA


S.L.P 369
MUSOMA.
YAH: OMBI LA PASI YA KUSAFIRIA LA NDUGU; CLEMENT ANTHONY
MALIMA.
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu.
Mtajwa ni mkaazi wa mtaa wa Bunda mjini, wilaya ya Bunda, mkoa wa MaraTanzania.
Ameomba kupewa pasi

ya kusafiria ili aweze kufanikisha safari zake za

kibiashara. Pamoja na barua hii nakutumia ombi la pasi ya kimataifa ya


kusafiria na kuambatanishwa viambato vifuatavyo:1. Fomu ya CT 5(Ai) iliyojazwa kikamilifu.
2. Picha 5 za pasipoti saizi.
3. Fomu ya C.T.3 iliyojazwa kikamilifu.
4. Barua ya Afisa mtendaji wa kata.
5. Barua ya maombi ya mwombaji.

6. Fomu ya alama za vidole (Ten finger prints).


7. Kiapo cha kuzaliwa cha mwombaji.
8. Kiapo cha mzazi wa mwombaji
9. Nakala ya TIN namba ya mwombaji
10. Nakala ya Lesseni hai ya Biashara ya mwombaji

A/INSP. MATESO S. MSIGALA


Kny AFISA UHAMIAJI (W)
BUNDA.

You might also like