Professional Documents
Culture Documents
Afisa Uhamiaji Mkoa Arvid
Afisa Uhamiaji Mkoa Arvid
NUKUSHI:
UHAMIAJI
BUNDA
YA UHAMIAJI
SIMU:OFISI
+255 282622426
S.L.P 369
KUMB .NA.BND/C.1/01/26
MUSOMA
Nilipocheki kujiridhisha kama risiti hiyo imetoka ofisi hii nilikuta ERV zote
kwenye ukurasa wa mwisho kuanzia namba 49506397 hadi 49506400
zimenyofolewa kilichobaki ni nakala ya 2, 3 na 4 orijino hazipo.
Kabla hajaondoka kwenda Bologonja alichukua shilingi 300,000/= (laki tatu)
ambazo zilikuwa ni ada ya maombi 5 matano ya pasipoti ya ndg Kweka na familia
yake bila kuwapa risiti wala kukamilisha maombi. Alihaidi kumrejeshea hela zake
mara moja lakini hakufanya hivyo hadi akaenda Bologonja. Tumekuwa na wakati
mugumu na Marintha kuhusu kukopa hela za watu na kushindwa kuwarejeshea.
Pia amekuwa na tabia ya kutumia mihuri ya ofisi kwa shughuli za kukopa hela kitu
ambacho ni hatari sana.
Kwa vyovyote vile yeye ndiye aliyenyofoa risiti hizo kwani kitendo cha
kuandika risiti bila kufuata utaratibu wa mteja kwenda benki ni kosa pia kumpa
risiti ambayo ni feki ni kosa pia.
Napendekeza mkuu ikiwezakana arudishwe ili atoe maelezo hizo risiti
nyingine ziko wapi au tufungue taarifa Polisi ili watusaidie uchunguzi. Pamoja na
barua hii naambatanisha nakala ya risiti iliyoletwa na Mchungaji, makubaliano ya
kukopa hela kwa kutumia mihuri ya ofisi, na ombi la Mchungaji Obed kwa hatua
zako.
Naomba kuwasilisha
DCIS E. Mushongi
Afisa Uhamiaji Wilaya
BUNDA