Professional Documents
Culture Documents
Taarifa Ya Ujenzi Wa Barabara Za Kuondoa Msongamano DSM - Juni 2016
Taarifa Ya Ujenzi Wa Barabara Za Kuondoa Msongamano DSM - Juni 2016
Taarifa Ya Ujenzi Wa Barabara Za Kuondoa Msongamano DSM - Juni 2016
1. UTANGULIZI
1.1
1.2
2. UTEKELEZAJI
2.1 AWAMU YA KWANZA
Kwa kuanzia Wakala wa Barabara (TANROADS) katika mwaka wa fedha
2009/2010 tulianza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ikiwemo
madaraja ili kusaidia kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es
Salaam. Barabara hizo pamoja na madaraja ni kama ifuataavyo:-
a)
b)
c)
d)
e)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
(vi)
Awamu hii ya pili inajumuisha mikataba ya ujenzi wa Barabara sita (6) ambazo zimegawanyika
katika Kanda (Zones) 2 kama ifuatavyo:
Kanda A: ambayo inajumuisha barabara zilizoko Kaskazini ya Barabara ya Morogoro ambazo
zinaiunganisha barabara hiyo na Barabara ya Bagamoyo, ambazo ni:
(vii)
(viii)
(ix)
Kanda B: ambayo inajumuisha barabara zilizoko Kusini mwa Barabara ya Morogoro ambazo
zinaiunganisha barabara hiyo na Barabara Nyerere na Nelson Mandela, ambazo ni:
(i) Kilungule-External/Mandela road (3.0 KM), ambayo ni sehemu ya Kimara KorogweKilungule-External/Mandela Rd. (8 Km)
(ii) Kifuru Kinyerezi (4.0KM) , ambayo ni sehemu ya Mbezi Mwisho-Malambamawili-KifuruKinyerezi(14 KM);
(iii) Tabata Dampo Kigogo road (1.6 KM)
Mikataba hiyo sita ilisainiwa baina ya Meneja wa TANROADS Mkoa wa DSM, kwa niaba ya
Mtendaji Mkuu wa TANROADS kwa upande moja, na Wakandarasi wawili kwa upande
mwingine, kama ilivyoonyeshwa katika jedwali ifuatayo:
Mikataba ya Barabara za Kuondoa Msongamano Jijini DSM
Na.
Jina la Barabara/Mkataba
Mkandarasi
Tarehe ya
Kusaini
Mkataba
Muda wa
Mkataba
(Miezi)
Awali
Nyongeza
Gharama ya
Mkataba
(TSH)
18
NA
16,436,305,153.83
16
21
13,230,858,486.85
Kilungule-External/Mandela
road (3.0 KM)
12
15
7,777,238,606.30
12
19
8,764,867,188.95
04/04/2014
16
5,724,831,297.00
01/04/2014
17
4,388,958,533.00
Urefu wa barabara zote za mradi ni KM 27.2 na gharama ya mikataba yote sita ni TSH
56,323,059,266.00 ikijumuish VAT.
Takwimu za Miradi hiyo pamoja na taarifa ya utekelezji zimeonyeshwa katika Jedwali zifuatazo:
Takwimu/Maendeleo ya Mikataba ya KANDA A (Kaskazini ya Br ya Morogoro)
GobaMbezi/Morogoro
(7km)
Jina la Barabara
Mfadhili
Tangibovu -Goba
(9km)
Kimara Baruti-Msewe
(2.6km)
Serikali ya Tanzania
Msimamizi
Mkandarasi
Urefu wa Mradi
7.0
Thamani ya Mkataba
13,230,858,486.85
16,436,305,153.83
5,724,831,297.00
04 Apr. 2014
02 Apr. 2014
04 Apr. 2014
Muda wa
Mkataba wa
Awali
Miezi16
Nyongeza
Miezi 5
Tarehe ya
Awali
31 Desemba 2015
Nyongeza
31 Octoba 2016
Kumaliza
Miezi 18
Miezi 8
Miezi 23
31 Agosti 2016
12
08 Septemba 2016
12
16
KM 0.75
KM 5.84
KM 6.91
86%
64%
6,188,538,332
4,905,782,662
1,141,067,339.00
0.00
40%
Inafanywa na mkandarasi
chini ya mkataba
Kuchelewa kwa fedha za kulipa wakandarasi pamoja na Fidia kwa mali za
wananchi zinazoathiriwa na miradi
Jina la Barabara
Mfadhili
Kifuru-Kinyerezi
(4km)
Tabata Dampo-Kigogo
(1.6km)
Serikali ya Tanzania
Msimamizi
Mkandarasi
Urefu wa Mradi
3.42
4.0
1.6
Thamani ya Mkataba
7,777,238,606.30
8,764,867,188.95
4,388,958,533.00
01 Apr. 2014
04 Apr. 2014
01 Apr. 2014
Muda wa
Mkataba
Awali
Miezi 16
Mpya
Tarehe ya
Kumaliza
Miezi 8
Miezi 12
Nyongeza
Miezi 14
01 Oktoba 2014
01 Oktoba 2014
30 Septemba 2015
30 Septemba 2015
31 Desemba
2015(Umekamilika)
Miezi 15.5
31 Agosti 2016
30 June 2016
12
14
15.5
Mradi Umekamilika
15.5
KM 3.20
KM 3.04
KM 1.5
100%
70%
98%
ujumla(%)
Fedha alizolipwa
Mkandarasi (Tshs)
Fedha anazodai Mkandarasi
(Tshs)
Kiasi cha Fidia
kinachohitajika
Changamoto
3,403,388,584
1,499,392,316
1,089,866,316
2,264,915,534
0.00
118,237,009.00
431,716,282.00
315,564,522.00
(ii)
(iii)
(iv)
Kukamilisha usanifu wa Outer ring road (Bunju B Mpiji Magohe Victoria Kifuru hadi
Pugu Kiltex 33.7)