Professional Documents
Culture Documents
Rais Magufuli Ateua Wakuu Wa Wilaya Na Kufanya Mabadiliko Madogo Ya Wakuu Wa Mikoa
Rais Magufuli Ateua Wakuu Wa Wilaya Na Kufanya Mabadiliko Madogo Ya Wakuu Wa Mikoa
OFISI YA RAIS,
IKULU,
1 BARABARA YA BARACK
OBAMA,
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi amesema katika uteuzi huo
Rais Magufuli amezingatia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na umri
ambapo kwa wale ambao umri wao ni zaidi ya miaka 60 ameamua
wastaafu.
Mhe. Rais amewashukuru sana kwa utumishi wao mzuri na
amesema pale ambapo itahitajika, serikali itaendelea kuwatumia
katika majukumu mengine.
Katika uteuzi huo, Wakuu wa Wilaya waliopo sasa ambao wamebaki
katika nafasi zao ni 39. Pia Rais Magufuli amewateua Wakurugenzi
Watendaji wa halmashauri 22 kuwa Wakuu wa Wilaya kutokana na
utendaji wao mzuri.
Aidha, nafasi 78 za uteuzi wa Wakuu wa wilaya zimejazwa na
watanzania wengine ambao wameteuliwa kwa mara ya kwanza
wengi wao wakiwa ni vijana, wenye elimu ya kutosha na uzoefu
katika maeneo mbalimbali.
Walioteuliwa kuwa wakuu wa wilaya ni kama ifuatavyo (Orodha
imepangwa kulingana na mikoa)
ARUSHA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Arusha
Arumeru Ngorongoro
Longido
Monduli
Karatu
DAR ES SALAAM
1.
2.
3.
4.
5.
Kinondoni Ilala
Temeke
Kigamboni Ubungo
-
Ally Hapi
Sophia Mjema
Felix Jackson Lyaviva
Hashim Shaibu Mgandilwa
Hamphrey Polepole
DODOMA
1. Chamwino -
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Dodoma
Chemba
Kondoa
Bahi
Mpwapwa
Kongwa
GEITA
1.
2.
3.
4.
5.
Josephat Maganga
Matha John Mkupasi
Hamim Buzohera Gwiyama
Herman C. Kipufi
Shaaban Athuman Ntarambe
IRINGA
1. Mufindi
2. Kilolo
3. Iringa
KAGERA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Biharamulo
Karagwe Muleba
Kyerwa
Bukoba
Ngara
Missenyi -
KATAVI
1. Mlele
2. Mpanda
3. Tanganyika
KIGOMA
3
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Kigoma
Kasulu
Kakonko
Uvinza
Buhigwe
Kibondo
KILIMANJARO
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Siha
Moshi
Mwanga
Rombo
Hai
Same
Onesmo Buswelu
Kippi Warioba
Aaron Yeseya Mmbago
Fatma Hassan Toufiq
Gelasius Byakanwa
Rosemary Senyamule Sitaki
LINDI
1.
2.
3.
4.
5.
Nachingwea
Ruangwa Liwale
Lindi
Kilwa
-
MANYARA
1.
2.
3.
4.
5.
Babati
Mbulu
Hanang' Kiteto
Simanjiro -
Raymond H. Mushi
Chelestion Simba M. Mofungu
Sara Msafiri Ally
Tumaini Benson Magessa
Zephania Adriano Chaula
MARA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Rorya
Serengeti
Bunda
Butiama
Tarime
Musoma
Simon K. Chacha
Emile Yotham Ntakamulenga
Lydia Simeon Bupilipili
Anarose Nyamubi
Glodious Benard Luoga
Dkt. Vicent Anney Naano
4
MBEYA
1.
2.
3.
4.
5.
Chunya
Kyela
Mbeya
Rungwe
Mbarali
MOROGORO
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Gairo
Kilombero
Mvomero
Morogoro
Ulanga
Kilosa
Malinyi
MTWARA
1.
2.
3.
4.
5.
Newala
Nanyumbu Mtwara
Masasi
Tandahimba
MWANZA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Ilemela
Kwimba
Sengerema
Nyamagana
Magu
Ukerewe Misungwi -
NJOMBE
5
1.
2.
3.
4.
Njombe
Ludewa
Wanging'ombe
Makete
Ruth
-
Blasio Msafiri
Andrea Axwesso Tsere
Ally Mohamed Kassige
Veronica Kessy
PWANI
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
RUKWA
1. Sumbawanga
2. Nkasi
3. Kalambo -
RUVUMA
1.
2.
3.
4.
5.
Namtumbo
Mbinga
Nyasa
Tunduru
Songea
-
SHINYANGA
1. Kishapu
2. Kahama 3. Shinyanga -
SIMIYU
1. Busega
2.
3.
4.
5.
Maswa
Bariadi
Meatu
Itilima
SINGIDA
1.
2.
3.
4.
5.
Mkalama
Manyoni
Singida
Ikungi
Iramba
SONGWE
1.
2.
3.
4.
Songwe
Ileje
Mbozi
Momba
Samwel Jeremiah
Joseph Modest Mkude
Ally Masoud Maswanya
Juma Said Irando
TABORA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
Nzega
Kaliua
Igunga
Sikonge
Tabora
Urambo
Uyui
TANGA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
Tanga
Muheza
Mkinga
Pangani
Handeni
Korogwe
Kilindi
Lushoto
Thobias Mwilapwa
Mhandisi Mwanaisha Rajab Tumbo
Yona Lucas Maki
Zainab Abdallah Issa
Godwin Crydon Gondwe
Robert Gabriel
Sauda Salum Mtondoo
Januari Sigareti Lugangika
7
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
26 Juni, 2016