Professional Documents
Culture Documents
Miundombinu Na Mawasiliano
Miundombinu Na Mawasiliano
WIZARA YA MIUNDOMBINU NA
MAWASILIANO
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA
MATUMIZI YA WIZARA YA MIUNDOMBINU
NA MAWASILIANO KWA MWAKA WA FEDHA
2014/2015
JUNI 2014
YALIYOMO
I
UKURASA
UTANGULIZI ............................................................. 4
II.
UTEKELEZAJI WA KAZI ZA KAWAIDA NA MAENDELEO
KWA MWAKA 2013/2014 NA MALENGO YA MWAKA
2014/201. 6
IIa) OFISI KUU PEMBA ..................................................... 8
IIb) UTAWALA NA SERA ................................................... 9
(i) IDARA YA MIPANGO, SERA NA UTAFITI ....................... 10
(i-1) MIRADI YA MAENDELEO ............................................. 11
(i-1.1) MIRADI YA UJENZI WA BARABARA
11
I:
UTANGULIZI
20
za
38. Mheshimiwa
Spika,
Mradi
huu
unagharamiwa na Serikali ya Mapinduzi pekee na
una lengo la kuweka taa katika barabara ya
kurukia na kutulia ndege na kufanya upembuzi
yakinifu na usanifu wa huduma mbali mbali katika
21
MRADI WA
MPIGADURI
UJENZI
WA
BANDARI
YA
23
(ii)
IDARA
UENDESHAJI
YA
UTUMISHI
NA
hii imeratibu na
Jipya moja na
manne (4) katika
sasa yanatumika
MATENGENEZO YA BARABARA
55. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha
2013/2014,
Wizara
kupitia
programu
ya
matengenezo ya barabara, iliendelea kutekeleza
jumla ya miradi 5 ya ujenzi wa barabara kwa
kutumia bajeti ya Serikali pekee. Kwa mwaka
2014/2015 Wizara inakusudia kuendeleza miradi
hiyo kama ifuatavyo:-
31
58.
35
36
kipaza
sauti
(public
address
45
MALENGO YA MAMLAKA
2014/2015.
KWA
MWAKA
ii.
iii.
iv.
91.
Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha
2014/2015 Mamlaka inakadiria kukusanya jumla
ya TZS bilioni 4.9 na kutumia jumla ya TZS bilioni
4.9 kwa kazi za kawaida na maendeleo. Kati ya
hizo TZS 4.5 ni makusanyo yatokanayo na vianzio
vya mapato vya Mamlaka na TZS milioni 400
zitatokana na "safety fee".
MASHIRIKIANO NA TAASISI ZA MUUNGANO
92. Mheshimiwa
Spika,
katika
mwaka
2013/2014, Wizara iliendelea kushirikiana na
taasisi za Muungano zilizopo hapa Zanzibar
(Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) na
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika
utoaji wa huduma na usimamizi wa Sekta ya
Usafiri wa Anga. Mashirikiano na taasisi hizi
yamechangia kwa kiasi kikubwa katika upatikanaji
wa huduma na usimamizi mzuri wa sekta hii.
47
49
MAMLAKA
KWA
MWAKA
51
Huduma za Bandari
(ii) SHIRIKA LA BANDARI
101. Mheshimwa Spika, Shirika la Bandari lina
jukumu la kutoa huduma za uingizaji na utoaji
meli katika bandari za Unguja na Pemba, ufungaji
na ufunguaji wa meli kwenye gati, uangalizi wa
alama za kuongozea usafiri wa meli (minara na
maboya), uteremshaji na upakiaji wa bidhaa
kwenye meli pamoja na vyombo vyengine vya
usafiri wa baharini. Vile vile, Shirika lina wajibu wa
kuhifadhi mizigo na utunzaji wake katika Bandari
pamoja na kuvifanyia matengenezo madogo
madogo vyombo mbali mbali vya usafiri wa
Baharini kwa kutumia Karakana yake ya Malindi.
HATUA ZA UTEKELEZAJI (2013/2014)
102.
Mheshimiwa Spika, Katika mwaka
2013/2014 Shirika lililenga kuhudumia meli za
kigeni 180 zenye uzito wa ujazo (GRT) 2.6
milioni. Hadi kufikia mwezi Machi 2014 jumla ya
meli za Kigeni 152 zenye uzito wa ujazo (GRT)
2.27 milioni zimehudumiwa sawa na asilimia 84
ya lengo. Aidha, meli za ndani zipatazo 2,913
zimehudumiwa pamoja na vyombo vya kienyeji
4,617 kati ya vyombo 4,100 vilivyokadiriwa.
Shirika pia, limehudumia jumla ya tani 49,363
ukilinganisha na tani 53,245 za mizigo
52
53
UTEKELEZAJI
MAENDELEO
WA
MIRADI
YA
105.
Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha
Julai 2013 hadi Machi, 2014 Shirika limetekeleza
miradi ifuatayo:i.
ii.
iii.
iv.
SHIRIKA
KWA
MWAKA
107. Mheshimiwa
Spika,
kwa
mwaka
2014/2015 Shirika la Bandari linatarajia
kuhudumia jumla ya meli 185 za kigeni zenye
uzito (GRT) wa Tani 2.7 milioni, Meli za ndani
zipatazo 3,500 na Majahazi 5,000 pamoja na
kuhudumia tani 86,140 za mzigo mchanganyiko
na makontena 59,116.
108. Mheshimiwa Spika, Kwa upande wa
miradi ya maendeleo Shirika linatarajia
kuendelea na uimarishaji wa huduma na
rasilimali zake kwa kuikamilisha miradi
iliyoanzishwa mwaka wa Fedha unaomalizika
kama ilivyoelezwa hapo juu pamoja na
kuendelea na awamu ya tatu ya mradi wa
ununuzi wa vifaa vya kunyanyulia mizigo
bandarini.
Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 Shirika la
Bandari limekadiria kukusanya jumla ya TZS
bilioni 19.81. Aidha katika kutekeleza malengo
yake Shirika limepanga kutumia jumla ya TZS
bilioni 16.22 kwa kazi za kawaida.
56
SHIRIKA
KWA
MWAKA
113. Mheshimiwa
Spika,
kwa
mwaka
2014/2015 Shirika litaendelea kutekeleza
majukumu yake ya uendeshaji wa meli za
Serikali kwa kusafirisha abiria na mizigo kwa
kutumia meli ya MV Maendeleo. Aidha, Shirika
litaendelea na utaratibu maalum wa preventive
maintenance ulioanzishwa mwaka jana kwa
ajili ya kupunguza matumizi makubwa
yatokanayo na matengenezo ya mara kwa
mara ya meli na kuzifanya meli zetu ziendelee
kufanya kazi vizuri hadi pale taratibu za
upatikanaji wa meli mpya zitakapokamilika.
Vile vile, Shirika litaendelea na taratibu za
kuajiri kwa mkataba wahandisi kwa kazi za
melini (Sign-on/Sign- off) na kuendelea kutoa
huduma za uwakala wa meli za kigeni
zinazoingia nchini kwa kutumia bandari zetu.
59
III: HITIMISHO.
114. Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Wizara
ya Miundombinu na Mawasiliano, napenda
kuwashukuru
kwa
dhati
wale
wote
walioshirikiana nasi katika kipindi cha mwaka
wa fedha 2013/2014 katika utekelezaji wa
majukumu yetu. Shukurani za pekee ziwaendee
Washirika
wa
Maendeleo
walioendelea
kushirikiana nasi katika kutekeleza programu na
mipango yetu ya uimarishaji miundombinu ya
usafiri na mawasiliano. Washirika hao ni
pamoja na Jamhuri ya Watu wa China, Norway,
Japan,
Saudi Arabia,
India,
Marekani,
Ujerumani, Oman na UAE. Mashirika ya
Kimataifa ni pamoja na Benki ya Dunia (World
Bank), China Exim Bank, Jumuiya ya Nchi za
Ulaya (EU), Benki ya Maendeleo ya Afrika
(ADB), Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya
Afrika (BADEA), Mfuko wa Umoja wa
Maendeleo ya Kimataifa wa Nchi Zinazosafirisha
Mafuta kwa Wingi ulimwenguni (OPEC Fund),
SAUDI Fund, NORAD, Mashirika ya Umoja wa
Mataifa ya UNDP, IMO na ICAO.
115. Mheshimiwa Spika, nitakuwa mchoyo wa
fadhila nisipowashukuru viongozi wenzangu na
nikianza na Mhe. Issa Haji Ussi Gavu, Naibu
Waziri, Dkt. Juma Malik Akil, Katibu Mkuu, Nd.
Tahir M.K. Abdullah na Wakurugenzi wote.
60
61
62
KIAMBATANISHO NAMBA 1:
SEHEMU A: MUHTASARI WA MAKADIRIO YA FEDHA KWA KAZI ZA KAWAIDA, MAENDELEO NA MAPATO KWA KIPINDI CHA
JULAI 2013 HADI MACHI 2014 NA MAKISIO YA MWAKA 2014/2015
KASMA
MATUMIZI
HALISI
2012/2013
0301 PEMBA
0401 MIPANGO
0501 MAMLAKA YA USAFIRI BAHARINI.
0701 UUB
0801 LESENI
MAKADIRIO
2013/2014
Mishahara/
Matumizi
Maposho
Mengineyo
Asilimia
Jumla
Makisikio
2014/2015
1,074,213,708
1,277,000,000
733,060,300
125,664,000
858,724,300
67%
1,362,501,000
108,007,210
288,000,000
83,137,770
83,137,770
29%
200,585,000
238,000,000
178,560,000
178,560,000
75%
300,000,000
1,271,433,402
250,000,000
81,282,842
81,282,842
33%
165,488,000
447,121,180
300,000,000
64,298,000
64,298,000
21%
200,585,000
63
KASMA
MATUMIZI
HALISI
2012/2013
0901 UENDESHAJI
0110 MAWASILIANO
JUMLA
MAKADIRIO
2013/2014
Mishahara/
Matumizi
Maposho
Mengineyo
Asilimia
Jumla
Makisikio
2014/2015
1,135,464,070
2,583,400,000
1,798,064,362
217,946,860
2,016,011,222
86%
3,269,114,000
104,294,460
255,600,000
80,039,000
80,039,000
31%
179,527,000
64
5,677,800,000
Kiambatanisho 1: Inaendelea.
SEHEMU B: MAPATO
MAPATO
KASMA
HALISI
2012/2013
MAKADIRIO
2013/2014
FEDHA
ZILIKUSANYWA
ASILIMIA %
JULY-MACHI
MAKISIO
2014/2015
2013/2014
0301 PEMBA
47,882,500
50,200,000
44,550,559
89%
62,000,000
0701 UUB
6,650,000
10,000,000
3,480,000
35%
10,000,000
339,833,650
346,000,000
266,218,300
77%
364,000,000
394,366,150
406,200,000
314,248,859
77%
436,000,000
0801 LESENI
JUMLA
65
Kiambatisho 1: Inaendelea.
KASMA
MATUMIZI
HALISI
2012/2013
0301 PEMBA
0401 MIPANGO
0701 UUB
JUMLA
FEDHA
MAKADIRIO
ZILIZOPATIKANA
2013/2014
JULY-MACHI
ASILIMIA %
MAKISIO
2014/2015
2013/2014
2,501,829,904
4,723,356,000
3,120,000,000
66
3,325,000,000
897,270,096
7,976,644,000
822,798,204
10
3,325,000,000
1,609,544,000
2,200,000,000
433,532,436
20
1,750,000,000
5,008,644,000
14,900,000,000
4,376,330,640
96
8,400,000,000
66
KIAMBATANISHO NAMBA 2:
1.
UJENZI
UREFU (km)
MFADHILI
BAJETI YA SMZ
RUZUKU/
(Tsh)
MKOPO (Tsh)
52.7
SMZ/BADEA
/SAUD FUND
2,425,000,000
11,999,998,000
100,000,000
3.
4.
5.
24
7.6
SMZ/BADEA
/SAUD FUND
SMZ
300,000,000
6.5
SMZ
35
SMZ /OPEC
500,000,000
4,392,000,000
67
NA.
UJENZI
UREFU (km)
MFADHILI
BAJETI YA SMZ
RUZUKU/
(Tsh)
MKOPO (Tsh)
65.2
AfDB
1,754,456,000
ROAD FUND
50,000,000
1,600,000,000
7,500,000,000
4,975,000,000
25,646,454,000
SMZ/WB
975,000,000
14,600,000,000
SMZ /EXIM
1,950,000,000
110,840,000,000
77.9
25.2
SMZ/BADEA
JUMLA NDOGO
ndege.
11
68
NA.
UJENZI
UREFU (km)
MFADHILI
BAJETI YA SMZ
RUZUKU/
(Tsh)
MKOPO (Tsh)
CHINA
12
SMZ
13
SMZ
500,000,000
14
ADB
654,456,000
3,425,000,000
126,094,456,000
8,400,000,000
151,740,910,000
JUMLA NDOGO
JUMLA KUU
69
KIAMBATANISHO NAMBA 3:
IDARA
MASTERS
MKE
MME
PG/DIPLOMA
MKE
MME
MKE
MME
ADV.
DIPLOMA
MKE
MME
UENDESHAJI NA UTUMISHI
MIPANGO,SERA NA UTAFITI
DEGREE
DIPLOMA
CHETI
MKE
MME
MKE
MME
11
1
1
15
5
IDARA YA MAWASILIANO
IDARA YA USAFIRI NA LESENI
JUMLA
1
6
13
19
48
70
IDARA
W/WAKE
W/ME
JUMLA
UENDESHAJI NA UTUMISHI
MIPANGO,SERA NA UTAFITI
IDARA YA MAWASILIANO
JUMLA
37
46
71
KIMBATANISHO NAMBA 4:
BARABARA ZILIZOFANYIWA MATENGENEZO KUPITIA MFUKO WA BARABARA KWA MWAKA
WA FEDHA 2013/2014
Matengenezo ya kawaida ya barabara za lami (Routine maintenance for paved roads)
Kazi zilizofanywa na wafanyakazi wa idara ya barabara (Force account contract)
(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)
JINA LA BARABARA
SNO
UREFU (KM)
UNGUJA
1
Tunguu- Makunduchi
34.00
Kaebona-Kaepwani
6.00
Kibuteni-Kizimkazi Mkunguni
6.00
Mkwajuni-Matemwe
7.00
Mshelishelini-Pwanimchangani
7.50
Mwanakwerekwe-Tunguu
30.00
Mchinamwazo-Nyumbambili
1.20
1.20
72
JINA LA BARABARA
SNO
UREFU (KM)
Paje-Michamvi
17.82
10
Mtegani-Mtende
5.50
11
Dunga-Chwaka
14.40
12
Paje-Makunduchi
18.40
Jumla ndogo
149.02
PEMBA
Chake-Wete
30.00
Kilindini-micheweni
6.00
3.50
Mkoani-Makombeni
5.00
Bogoa-Michenzani
3.00
Chanjaani-M/manne
4.00
Mbuguani-Mkoani Port
2.00
Mkoani-Shindi
2.20
73
JINA LA BARABARA
SNO
9
Mkoani-Ng'ombeni school
UREFU (KM)
0.50
Jumla ndogo
56.20
74
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Matengenezo ya sehemu korofi - uwekaji wa lami
SNO
1
2
3
4
JINA LA BARABARA
UNGUJA
Upenja-Kiwengwa
Mkwajuni-Matemwe (sehemu ya Kilimani)
Uwekaji wa taa za nguvu za jua (Sola) za
kuongozea magari na CCTV sehemu ya
makutano ya barabara Malindi, Mkunazini na
Kwamchina mwanzo
Mwanakwerekwe-Tunguu ( Sehemu
yaTunguumwisho )
JUMLA
75
UREFU KM
MAELEZO
1.30
0.17
Kazi zimeanza
6.00
7.47
1
2
PEMBA
Barabara ya Mtaa wa Kilo road (Kiwango cha
kifusi)
Barabara ya Mtaa wa Selemu (Kiwango cha
76
0.40
0.80
MAELEZO
Mkandarasi anafanya
matayarisho
Kazi zimekamilika
Kazi
Kazi
Kazi
Kazi
zinaendelea
zimekamilika
zimekamilika
zimekamilika
Kazi zinaendelea
SNO
3
JINA LA BARABARA
UREFU KM
kifusi)
Barabara ya Msitu wa Ngezi (kwa kiwango cha
Saruji na udongo)
1.20
12.30
5
6
1.00
2.20
17.90
31.70
77
MAELEZO
Kazi zimekamilika
Taratibu za manunuzi
zinaendelea
Kazi zimekamilika
Kazi zinaendelea
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Matengenezo ya dharura
SNO
1
2
1
78
UREFU KM
MAELEZO
0.23
Kazi zimekamilika
0.60
Kazi zinaendelea
0.12
Kazi zimekamilika
IDADI/KM
MAELEZO
PEMBA
Ujenzi wa kalvati (No)
1
Mgagadu-Kiwani
Konde Kiuyu
JUMLA
0.20
Chake-Mkoani
0.40
JUMLA
0.60
79
Kazi zinaendelea
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
MALENGO KWA MWAKA WA FEDHA 2014/2015 KWA KUTUMIA FEDHA ZA MFUKO WA
BARABARA - ZANZIBAR.
Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa
kufanywa na Idara ya barabara (Force account contract)
(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)
UNGUJA
Ref
T3
R107
JINA LA BARABARA
Tunguu-Makunduchi
UREFU (KM)
34.00
Kaebona-Unguja Ukuu
6.00
18.00
R109
Paje - Makunduchi
Mtegani-Mtende
T002
Dunga - Chwaka
14.42
R108
Kibuteni-Kizimkazi
5.50
R115
M/shelini - P/Mchangani
7.50
R113
Mkwajuni - Matemwe
7.43
T8
5.50
80
Ref
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
T7
Pongwe - Matemwe
20.40
Mfenesini- Bumbwini-Mangapwani
13.82
T8
Paje - Michamvi
17.00
M/kwereke - Tunguu
Kwamchina mwanzo -Mbuyu mnene/nyumbambili
30.00
2.80
T3
F448
U220 Mazizini-Chukwani/U/ndege
9.00
Jumla
191.37
Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa
kufanywa na Idara ya barabara (Force account contract)
(Ukataji wa majani, kusafisha misingi na kuziba mashimo)
81
PEMBA
Ref
T31
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
30
R199
3.5
T31
Chanjaani - M/Manne
T31
T32
Kilindini - Micheweni
U301
0.5
R161
Mkoani - Makombeni
F503
Bogoa - Michenzani
F502
Mkanyageni - Shidi
Jumla
2.2
56.20
82
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa
kufanywa na wakandarasi/vikundi vya jamii (Contract account contract) (Ukataji wa majani, kusafisha
misingi na kuziba mashimo)
UNGUJA
Ref
1
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
Lot. 1
R119
Bububu - Mndo
3.94
F401
Kwanyanya-Mkanyageni
3.08
R102
Regezamwendo-Mfenesini
14.27
2
F402
Lot.2
Kitundu-Ndagaa
5.50
Amani -Dunga
12.74
F403
5.50
R103
Kidimni- Kitope
19.00
T2
Lot.3
83
Ref
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
T6
Kinyasini - Tunguu
26.76
T1
Mkwajuni - Nungwi
19.00
Lot.4
R114
Upenja - Kiwengwa
8.31
Kipilipilini - Pongwe
Mahonda - D/Mkokotoni
14.00
13.52
Njianne - Bambi
6.50
5
T1
T1
Lot.5
Kwanyanya - Mahonda
Mahonda-K/Mkokotoni
19.00
15.00
Lot. 6
T4
Mazizini - Fumba-Kwabakharesa
19.82
Kitogani - Paje
11.60
T7
T1
R104
R110
Lot.7
T1
Malindi jctn-Kwanyanya
10.00
T5
Mnazimmoja - U/ndege
3.00
84
Ref
U201
JINA LA BARABARA
Mtoni- Amani - K/samaki
UREFU (KM)
9.00
Jumla
239.54
85
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Matengenezo ya kawaida barabara za lami (Routine maintenance for paved roads) zilizopangwa
kufanywa na wakandarasi/vikundi vya jamii (Contract account contract) (Ukataji wa majani, kusafisha
misingi na kuziba mashimo)
PEMBA
Ref
1
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
Lot.1
T32
Ole - Konde
25.50
T32
Madenjani - M/Takao
5.50
Lot.2
T31
Chajaani - Mbuguani(Mkoani)
27.50
R163
Mtuhaliwa - Chokocho
8.80
Lot.3
R178
Machomane - Vitongoji
7.00
R177
Chanjaani - U/Ndege
5.50
R179
8.00
86
Ref
4
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
Lot.4
R164
Mtambile - Kangani
6.4
R174
Chanjamjawiri - Tundauwa
11.0
R175
Chanjaani - Pujini
5.0
R169
3.2
R165
Kenya - Chambani
Mtambile - Mwambe
R202
Mizingani - Wambaa
9.4
9.4
Lot.5
R187
Bahanasa-Uondwe (Mtambwe)
10.36
R188
M/takao-Pandani-M/karim
13.44
R190
Kipangani-Kangagani
2.7
R195
Chwale-Likoni
1.9
R198
Mapofu-Finya Bahraini
5.5
R200
Daya-Makongeni
3.65
169.75
Jumla
87
JINA LA BARABARA
UREFU (KM)
F413
F440
Donge- Mwanda
F412
Kama-KMKM
2.5
F421
Kijitoupele-Nyarugusu
2.5
F416
Fuoni-Kwarara
0.6
3.8
2
Jumla
11.4
88
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Matengenezo ya sehemu Korofi (Spot improvement)
PEMBA
Ref
JINA LA BARABARA
UREFU
(KM)
1.20
UREFU (KM)
UNGUJA
R101
T2
T1
4.3
1.7
1.5
0.7
5.28
Jumla
PEMBA
13.48
89
R199
12.3
2.5
Jumla
14.8
28.28
IDADI
1No
1No
Jumla
2No
T32
0.4km
T32
0.4km
Jumla
0.8km
90
KIAMBATANISHO 4: INAENDELEA..
Uwekaji wa alama za barabarani na mipaka ya miliki ya barabara
Ref
JINA LA BARABARA
IDADI
UNGUJA
Uwekaji wa alama za miliki ya barabara (Road reserve posts)
U204
100No
T1
210No
310No
Jumla
91
60No
T1
10No
Jumla
70No
12,000m2
12,000m2
Jumla
92
KIAMBATANISHO NAMBA 5:
UKAGUZI WA VYOMBO VYA MOTO JULAI 2013 HADI MACHI 2014:
IDADI YA VYYOMBO VYA MOTO VILIVYOKAGULIWA
AINA
YA UKAGUZI
WA UKAGUZI
WA UKAGUZI
WA
VYOMBO
KAWAIDA
SHAKA
AJALI
GARI
MOTORCYCLE
JUMLA
UNGUJA
PEMBA
12,573
11,274
23,847
1,050
1,912
2,962
JUMLA
13
3
16
93
548
221
769
33
7
40
14,292
13,439
27,731
Kiambatanisho 5: Inaendelea.
RUHUSA ZA NJIA NA USAFIRISHAJI
MAHALI
AINA YA HUDUMA ILIOTOLEWA
ZILIPOTOEWA
UNGUJA
369
301
342
205
280
22
27
00
1,546
PEMBA
29
201
12
18
90
00
00
00
350
JUMLA
398
502
354
223
370
22
27
1,896
94
Kiambatanisho 5: Inaendelea.
TAKWIMU ZA MADEREVA WALIOJARIBIWA KUENDESHA VYOMBO VYA MOTO:
AINA
YA
WALIOJARIBIWA
WALIOFAULU
WALIOFELI
MADEREVA
KUENDESHA
KUENDESHA
KUENDESHA
Gari
M/c
Jumla
Gari
M/c
Jumla
Gari
M/c
Jumla
UNGUJA
2,443
1,473
3,916
1,775
1,301
3076
633
207
840
PEMBA
918
887
1,805
868
381
1,249
346
210
556
JUMLA
2,360
5,721
2,643
1,682
4,325
979
417
1,396
3,361
95
Kiambatanisho 5: Inaendelea.
UTOAJI WA LESENI KWA MADEREVA WANAFUNZI
DARAJA
B1
C1
D1
UNGUJA
34
2,511
2,646
453
290
968
308
7,218
PEMBA
478
251
75
43
13
51
74
985
JUMLA
34
2,989
2,897
81
496
303
1,019
382
8,203
96
JUMLA
Kiambatanisho 5: Inaendelea.
UKUSANYAJI WA MAPATO
S/No
Aina ya mapato
Unguja
Pemba
jumla
Majaribio ya madereva
41,288,500
7,478,500
48,767,000
Ukaguzi wa vyombo
156,270,000
16,569,500
172,839,500
Fomu za maombi
32,971,400
8,370,000
41,341,400
Kadi za njia
26,298,900
1,840,000
28,138,900
Mapato mengineyo
9,390,000
10,292,559
19,682,559
266,218,800
44,550,559
310,769,359
Jumla
97
KIAMBATANISHO NAMBA 6:
IDADI YA NDEGE ZILIZOHUDUMIWA KATIKA KIPINDI CHA JULAI 2013 HADI MACHI 2014
AINA YA
IDADI YA NDEGE
NDEGE
2012/2013
UNGUJA
PEMBA
SCHEDULE
22,369
6,096
CHARTER
13,568
CARGO
JUMLA
IDADI YA NDEGE
JUMLA
2013/2014
UNGUJA
PEMBA
28,465
21,977
7,014
28,991
236
13,804
15,257
268
15,525
124
124
PRIVATE
663
663
421
421
MILITARY
54
54
38
38
OTHERS
281
68
349
636
66
702
JUMLA
36,939
6,400
43,339
38,453
7,348
45,801
98
Kiambatanisho 6: Inaendelea.
IDADI YA ABIRIA WALIOHUDUMIWA KATIKA KIPINDI CHA JULAI 2013 HADI MACHI 2014
KIWANJA
IDADI YA ABIRIA
JUMLA
2012/2013
International
Domestic
256,637
343,468
PEMBA
37
49,582
JUMLA
256,674
393,050
UNGUJA
IDADI YA ABIRIA
JUMLA
2013/2014
International
Domestic
600,105
302,460
366,344
668,804
49,619
19
58,328
58,347
302,479
424,672
649,724
99
727,151
Kiambatanisho 6: Inaendelea.
KAMPUNI ZA NDEGE ZILIZOTUMIA KIWANJA CHA NDEGE CHA ABEID AMANI KARUME KWA
MWAKA 2013/2014
S/N
1
JINA LA KAMPUNI
Precision
VITUO
Dar,
Kilimanjaro,
NCHI INAYOTOKA
Mombasa, Tanzania
Nairobi
2
Coastal Travel
Tanzania
Zan Air
Tanzania
Auric Air
Tanzania
Flight Link
Tanzania
Air Advanture
Tanzania
As Salam Air
Tanzania
100
S/N
JINA LA KAMPUNI
VITUO
NCHI INAYOTOKA
Pelican Air
Dar, Zanzibar
Tanzania
Regional Air
Dar, Zanzibar
Tanzania
10
Dar, Zanzibar
Tanzania
11
Shine Aviation
Dar, Zanzibar
Tanzania
12
Tanzan Air
Dar, Zanzibar
Tanzania
13
Tropical Air
Tanzania
14
Zenith Aviation
Tanzania
15
Twin Wing
Dar, Zanzibar
Tanzania
16
Air Excel
Tanzania
17
Fast Jet
Kilimanjaro, Zanzibar
Tanzania
18
Ethiopian Airline
Addis- Ababa
Ethiopia
19
540 Aviation
Mombasa, Nairobi
Kenya
20
Kenya Airways
Mombasa, Nairobi
101
Kenya
S/N
JINA LA KAMPUNI
VITUO
NCHI INAYOTOKA
21
Meridian Fly
Milan, Malpensa
Italy
22
Condor
Frankfut, Mombasa
Germany
23
Tui Airline
Brussels
Belgium
24
Travel Service
Budapest
Hungary
25
Neos Air
Milan
Italy
26
Oman Air
Muscat
Oman
27
Livingstone
Milan, Mombasa
Italy
28
Arkefly
Netherlands
29
Alitalia
Milan, Mombasa
Italy
30
Mango
Johannesburg
South Africa
31
Xl Airways France
France
France
102
KIAMBATANISHO NAMBA 7:
ORODHA YA MELI ZILIZOSAJILIWA CHINI YA USAJILI WA NDANI ( LOCAL REGISTRY )
KIPINDI CHA
JULY 2013 MACHI 2014
S/N
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
JINA LA MELI
FATMAH-ZEHRA
COMARCO 185
CORMACO 186
CORMACO 184
NGATI HAKA
BERKAT MENJALA N0. 23
SEMUDERA PACIFIC NO. 3
ALRABEE1
FATIMA (EX TORGELOW)
MUNEERA ( EX SEMLOW)
TANYA
MEISA
UZITO (GRT)
341.38
629
629
629
258
587
498
1515
299.48
299
1295
949
103
S/N
13.
14.
15
JINA LA MELI
SVS GUARDSMAN
SVS AVERY
MARTIAL
JUMLA
UZITO (GRT)
168
168
863
9,127.86
104
Kiambatanisho 7: Inaendelea.
MELI ZILIZOSAJILIWA CHINI YA USAJILI KUPITIA TANZANIA ZANZIBAR
INTERNATIONAL REGISTER OF SHIPPING KIPINDI CHA JULY 2013 MACHI 2014
S/N
1
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11
12.
13.
Name of Vessel
UZITO (GRT)
RANYRAN
CANTE
ARABIAN SUN 2
SEA BIRD 1
SEA BIRD 3
AURIGA
TABUN
SAN JOSE
MED STAR
MEGAH CEMENT
PENTA
SYMPHONY
BARAWATI
479
13,322
412
215
248
55,962
26639
168
3,909
6,774
387.24
44190
55042
105
S/N
14.
15.
16.
17.
18.
19.
20.
21.
22.
23.
24.
25.
26.
27.
28.
29.
30.
31.
Name of Vessel
PERGIWO
RODE
SEA BREEZE
AL KHALEEJ 1
Vare
Danhaibianmao 171
Danhaibianmao 187
Danhaibianmao 189
Shuang Yang
SSE Angelina
Hai Jie
Harmony Liverstock
SSE Rhonica
Pendora
Roula
Kathy
Hamza 5
Sulaiman
UZITO (GRT)
23496
20818
5306
359
17183
125
125
125
199
158
198
2062
30
49.6
11506
203
224
161
106
S/N
32.
33.
34.
35.
36.
37.
38.
39.
40.
41.
42.
43.
44.
45.
46.
47.
48.
49.
Name of Vessel
Capricorn
Quality
Falcon 1
Onassis
Friendship I
Al Khaleej 4
Santa Cruz
Revana
Crystal Sun
Zheng Ying
Grann. St. Anne
Lampunchai
Mandalay
Hao Xiang 66
Malak
New Falcon
Rahma
Ang Quan
UZITO (GRT)
2187
712
861
671
683
205
179
1288
4722
168
1048
1381
420
1967
1040
4066
1473
11042
107
S/N
50.
51.
52.
53.
54.
55.
56.
57.
58.
59.
60.
61.
62.
Name of Vessel
Heng Yang 77
Delta 1
Revana I
Al Wakra
Hong Yuan
Gulf Trader
Chang Da
Chun Hing N0. 1
Sea Sul I
SL-D10
Hamal
Munsu
Victoria Star
JUMLA
UZITO (GRT)
375
2867
1332
3423
643
1197
124
177
2472
958
422
675
1485
343,653.84
108
KIAMBATANISHO NAMBA 8:
HUDUMA ZA MELI
S/NO
AINA YA MELI
1.
Meli za Nje
2.
3.
4.
KIPINDI
ONGEZEKO/
JULAI, 2012
JULAI 2013
MACHI, 2013
MACHI, 2014
PUNGUZO (%)
133
152
14.29
1,929,141
2,227,955
15.49
Meli za Ndani
4,050
2,913
(28.07)
Mjahazi
4,456
4,617
3.61
109
Kiambatanisho 8: Inaendelea.
HUDUMA ZA MIZIGO
KIPINDI
S/NO
1.
2.
3.
4.
5.
6.
AINA YA MIZIGO
Mzigo Mchanganyiko
Makontena
Mafuta
Mzigo wa Majahazi
Abiria wa Ndani
Abiria wa Kigeni
JULAI, 2012
MACHI, 2013
53,245
38,341
26,711
83,785
1,641,849
2,053
110
JULAI, 2013
MACHI, 2014
49,363
44,276
40,133
116,802
1,776,101
2,654
ONGEZEKO/ PUNGUZO
(%)
(7.29)
15.48
50.25
39.41
8.18
29.27