Professional Documents
Culture Documents
Mapenzi Kazi Kweli Kwel I!!
Mapenzi Kazi Kweli Kwel I!!
ama lini wewe kama mke ukaamua week - end moja mkalale sehemu
ya tofauti na nyumbani hotels zipo nyingi sana na nzuri sana siku hizi,
muda huu ni muhimu sana kwani mnakuwa peke yenu tu hamna
kelele za watoto na majirani na kupata wakati wa kumchunguza vizuri
mwenzako(utakuta ana machejo mapya kibao, unaweza kugundua
kama anakovu jipya ambalo hulijui n.k ) maana mkiwa na watoto
muda wa kuchunguzana huwa hautoshi maana mara mama hivi
mama vile baba hiki na ishu kibao....
kwenye sita kwa sita watu utawakuta kimya tu madai wanasikilizia uhondo, jamani
kuna maneno pale ama mnaoneana aibu sasa kwangu raha mpenzi aongee aniambie
anavyojisikia wapi niongeze, vipi nikae, wapi nimshike kwa sauti ya taratibu na
yenye mapenzi tele....sijui wewe mwenzangu zile sauti za taratiiibu sana kama
unazitumia ……oooohhg !! aaaahg !! .shiiiiiigh !! cciiiiiii !! aaasante baba……….
Mama…….!!
sasa pakiwa kimya tu jamani na ndio kwa mfano kitanda ndio vileeee ukigeuka tu
majirani mpaka watujuwa hizo kwinyo kwinyo kwinyo hapo kwenye mechi sindio
balaa maana utakuwa usikilizii raha unakilaani kitanda tu hichi nacho mpaka watu
wajuwe leo napewa mautamuuu.....
kama mnaona aibu kuongea basi kama chumbani kuna redio wekeni hata mziki wa
taratiiibu kuwahamasisha zaidi, maana ule ndio utakaoongea kwa niaba yenu...
maneno ya mahaba jamani ndio mafuta tosha ya kuendesha hilo gari la mapenzi
siwafundishi umalaya lakini unapo kua mtu mzima sio ndo unajifanya uko siiiriasi
umalaya una ruhusiwa kwa mtu mmoja tu ambaye ni mumeo au mkeo wa ndoa .
sawa? jamani keep your love alive all the time ...