Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 16

Sauti ya Waislamu

Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 8 na 10 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 31 Oktoba, 2012. Jiandikishe sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: tmht@live.com, info@hajjtrusttz.org Website: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1433

Polisi watazua balaa


ISSN 0856 - 3861 Na. 1003 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 16-22, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Watenganishe upolisi na ulokole wao Wameruhusiwa Waislamu kulipa kisasi

Washitakiwe wanaharakati kwanza kabla ya madaktari


Waandishi wa habari nao wana kesi ya kujibu

Mchumi karibu nyumbani Tanganyika, Muungano


CUF bado ngangari, yavunja rekodi Nyerere 'alifeli' kiuchumi - Lipumba
mnyamwezi. Wewe ni dawa ya matatizo ya Uchumi nchini, ila wanashindwa kukutumia. JK, mpe ajira Mnyamwezi Lipumba, arekebishe uchumi

MAELFU ya waumini wa Kiislamu waliohudhuria kongamano la kuzungumzia tukio la kuuliwa kana Jumapili Ismaili lililofanyika Masjid Mtambani wiki Jini Dar es Salaam.

MKURUGENZI wa kitengo cha Haki za Binadamu na Sheria Bi Helen Ko Bisimba (kushoto) na Mkurugenzi wa TAMWA Ananilea Nkya. Soma Uk. 10

ni mtu huyo huyo mmoja


NINI basi faida ya Muungano huu? Ziko wapi hizo faida lukuki tunazoambiwa na viongozi wetu? Kwa hakika kudumaa kwa maendeleo Zanzibar kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na huu Muungano.

Na Bakari Mwakangwale

MCHUMI karibu nyumbani, sote tupo furahani tunakupongeza na tunakupenda kamwe hatutokutenga. Mzigo mzito mpe

nchini. Hivyo ndivyo yalivosomeka baadhi ya mabango yaliyobebwa na maelfu ya wananchi na wapenzi wa Chama Cha Wananchi CUF, waliofanya Inaendelea Uk. 4

Sababu Muungano huu una madaraka juu ya tawala mbili: moja mambo ya Kimuungano na pili yale ya Tanganyika. Wa p i u t a k o s e k a n a upendeleo wakati Mtanganyika na Muungano ni mtu huyo huyo mmoja? (Soma Uk. 13)

2 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16-22, 2012


wa 2000. Askari huyo baada ya kupiga pombe zake, yalikuwa yakimtoka maneno walivyofaidi u p o r a j i n a k u u wa . Tu m e w a k o m e s h a , ilikuwa kauli yake akiirejea mara kwa mara. Hatudhani kuwa kilichowaongoza askari hawa katika mauwaji yale na kufanya uporaji ilikuwa sheria na kanuni zao za kipolisi. Kilichodhihiri katika simulizi za baadhi ya askari ni chuki dhidi ya Wapemba (Waislamu?). Itakumbukwa kuwa mwaka jana mtu mmoja aliuliwa kule Mto wa mmbu, Arusha baada ya mahubiri ya wachungaji yaliyodaiwa k u t u k a n a Wa i s l a m u . Kilichojitokeza katika tukio lile ni kuwa pamoja na Waislamu kufikisha malalamiko kituo cha p o l i s i , wa l i c h o f a n ya polisi ni kuwalinda na k wa n a m n a m o j a a u nyingine kuwahamasisha wachungaji kuendelea na matusi yao dhidi ya Waislamu. Matokeo yake Waislamu wakashindwa k u h i m i l i . Vu r u g u zikatokea, mtu mmoja akauliwa. Hivi majuzi tena ameuliwa mtu mwingine huko Shinyanga. Ukitazama mlolongo wa matukio, utabaini pia kwamba tatizo ni polisi kuendekeza ukereketwa wao wa Ukristo badala ya sheria, kanuni na maadili ya kazi zao. Mpaka sasa isingekuwa Waislamu na uongozi wa Bakwata kuja juu, watuhumiwa

AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110148, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

TAHARIRI/TANGAZO
wa mauwaji ya kijana Ismail wangekuwa bado hawajakamatwa na k u s i n g e k u wa n a k e s i ambayo imefikishwa mahakamani. Yote haya na mengine ambayo hatukuyataja, ndiyo yaliyowapelekea Masheikh kutoa kauli na kusema kuwa kama polisi hawataacha tabia na mwenendo huu wa kuendekeza ulokole wao, basi huenda wakawa sababu ya machafuko ya kidini nchini. Kwa hiyo, wametaka polisi watambue wajibu wao wa kuwalinda Watanzania na mali zao kwa misingi ya haki na sheria. Kwa upande mwingine Msheikh hao wakawataka viongozi wa makanisa na waumini wao kuacha Ukristo ujitete wenyewe b a d a l a ya k u k i m b i l i a kukashifu Uislamu. Kwamba ili kuthibitisha kuwa Ukristo ni dini ya kweli, huhitaji kutukana na kukashifu Uislamu au kuchoma moto Quran. Kuleta madai ya uwongo kwamba Mungu wa Waislamu ni Jiwe Jeusi katika Al Qaaba, hakutafuta ukweli kuwa Yesu anayedaiwa kuwa ni mungu mkuu, alilia msalabani akitaka msaada wa Mungu, wala haitaondoa ule utata wa mungu aliyepitia hatua ya kuwa mimba tumboni mwa mwanamke na Mariyam kumzaa kwa uchungu kama wazaliwavo watoto wengine. Wa n a c h o t a k i wa kufahamu wachungaji, hasa hawa wa kilokole ni kuwa kuitukana Qur an kuwa ni kitabu cha uchawi, hakutamfanya Yesu kama ni binadamu kuwa Mungu, na kama ni mungu, umungu wake hautaondoka iwapo wachungaji watadumu katika kusema na kuhubiri kile kilichoandikwa katika Biblia badala ya kuzua uwongo na kukimbilia kuchoma Quran. Imani ni ile inayotokana na elimu na kuitosheleza akili kwa hoja. Waache waumini wao waisome na kuichambua Biblia. Wawaache pia wasome, kuchambua na kuhoji mafundisho yaliyo ndani ya Quran. Suala hapa sio kuwa Wakristo wasisome na kuchambua yaliyo katika Uislamu. Wasome. Na Waislamu nao wasome Biblia ili kujua wenzao Wakristo wamesimamia wapi katika Dini yao. Kinachogomba ni Waislamu kusema neno la uwongo na kudai kuwa lipo katika Ukristo au Wakristo kusema neno la kuzua wakadai hilo ni katika mafundisho ya Uislamu. Tuache dini na vitabu vya dini vitete vyenyewe. Tuwaache waumini wasome na kuvichambua vitabu vya dini kwa kutumia akili zao walizopedwa na Mungu wao Muumba. Tu s i w a t i e u p o f u wa kufuata mambo kibubusa kwa kuwa wahi kwa propaganda za kuwapandikiza chuki zisizo na sababu.

A L I WA H I k u s i m a m a mahakamani kamanda wa polisi akiitaka mahakama imwite mahakamani Mungu wa Waislamu ili ajibu mashitaka, ni kwa nini aliandika Quran. Polisi huyo Bwana Ngoi ambaye alikuwa kitengo cha upelelezi mkoa wa Morogoro, alitoa madai hayo akihoji na kupinga mafundisho ya Qur an yanayosema kuwa Yesu si Mungu. Katika kesi hiyo ambapo mlalamikaji alikuwa Jamhuri, na shahidi Jamhuri, polisi walikuwa wamewakisha Waislamu mahakamani wakisajili mashitaka kuwa Waislamu wa n a k a s h i f u U k r i s t o . Kashfa yenyewe ni kusema, Mungu ni Mmoja, Hana Mwana, wala si mmoja katika wale watatu, na Yesu si Mungu. Katika utetezi wao washitakiwa waliiambia mahakama kuwa, hawakuwa wa m e k a s h i f u U k r i s t o kwani walichokisema ni mafundisho ya Qur an. Wa o w a l i n u k u u a y a zinazofundisha kuwa Yesu si Mungu na kwamba Yesu si mwana wa Mungu, na hakuna utatu, bali Mungu ni mmoja asiye na mshirika. Na kwamba, mafundisho hayo ni maneno ya Mwenyezi Mungu katika Quran, hayakuwekwa na Waislamu. Ilikuwa ni baada ya kutolewa hoja hiyo, afande Ngowi alitoa hoja mahakamani akitaka huyo Mungu aliyeandika Quran asimamishwe kizimbani ili ajibu tuhuma za kuleta maneno ya kashfa na uchochezi. Huyu hakuwa askari wa kawaida. Ni afande mwenye cheo katika idara ya upelelezi. Kwa nafasi yake inakisiwa kuwa ni mtu anayejua katiba na sheria za nchi zinazotoa uhuru wa imani, uhuru wa dini na uhuru wa kuabudu. Ni afande ambaye ungetarajia

Polisi wazingatie nasaha za Masheikh

MAONI YETU

kuwa ajue kuwa yeye si askari wa kutumikia Kanisa Katoliki au yale ya walokole, bali kutumikia Watanzania. Na kwamba kazi yake sio kuhubiri Utatu wa Mungu wa Wakristo na mungu Yesu aliyezaliwa na Mariamu na kutahiriwa baada ya siku ya saba. Ilitarajiwa pia kwa nafasi yake ajue kuwa si kazi yake kumlinda na kumtetea Yesu aliyeita msalabani Mungu wangu Mungu wangu mbona unaniacha?, pale alipokuwa akisulubiwa; bali wajibu wake ni kuwalinda Watanzania na mali zao. Kwa hiyo ukiyatafakari haya utaona kuwa afande huyu kilichokuwa kikimsukuma katika utendaji wake ni ukereketwa wa Ukristo wake. Liko pia lile tukio ambapo, kinyume na sheria za nchi na haki za binadamu, polisi waliwalenga shabaha Waislamu na kuuwa. Piga yule, na yule, bado mwongeze, ilisikika sauti ya kamanda akiamrisha kuuliwa Waislamu pale Mwembechai mwaka 1998. Ukiangalia ile kanda ya Mauwaji ya Mwembechai, unachoweza kusema ni kuwa hapakuwa na sababu yoyote kwa wanasiasa n a v y o m b o v ya d o l a kuamuru mauwaji yale, zaidi ya ukereketwa wao wa Kikristo. Lakini ukiacha hilo, lipo lile tukio la mauwaji ya kutisha yaliyofanyika Pemba mwaka 2001. Zipo kumbukumbu za kauli za baadhi ya askari wa Bara walivyokuwa wakitamba kwa jinsi walivyotumia virungu na risasi zao kuuwa, kupora na kubaka Wapemba (Waislamu). Mwandishi wa gazeti hili ni mmoja wa waliosikia tambo hizo akiwa katika basi lililokuwa likielekea Moshi kutoka Dar es Salaam ndani akiwemo askari aliyekuwa akitokea Pemba baada ya uchaguzi

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL Mafunzo maalum kwa wanaorudia kufanya mtihani wa Kidato cha Nne, Oktoba 2012
Ubungo Islamic High school inawatangazia wanafunzi Waislamu wote kuwa imeandaa mafunzo maalum kwa wale wanaotarajia kurudia kufanya mtihani wa kidato cha Nne, Oktoba 2012. Masomo yanayofundishwa ni: Elimu ya Dini ya Kiislamu, Arabic, Civics, Mathematics, English, Kiswahili, History, Geography, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book-Keeping. Masomo yameanza tarehe 01/03/2012 hadi 31/08/2012. Ni mafunzo maalum kwa muda wa miezi sita. Uandikishaji unaendelea. Kwa mawasiliano zaidi: 0754 260241

Mlete mwanao! Asipoteze nafasi hii adhimu


MKUU WA SHULE

HABARI
Na Bakari Mwakangwale JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuwa makini katika utendaji kazi wake vinginevyo, watakuwa sababu ya kuzua balaa la machafuko ya kidini nchini. Katika kutolewa tahadhari hiyo imeelezwa kuwa, baadhi ya polisi wamekuwa wakiongozwa na ukereketwa wao wa Kikristo wanapokutana na masuala yanayowahusisha Waislamu na Wakristo badala ya kutizama sheria, kanuni, taratibu na maadili ya kazi zao na sheria za nchi. L i m e t a j wa t u k i o l a kuuliwa kana Ismail wa Shinyanga kwamba kama polisi wangefanya kazi zao vizuri, huenda maafa hayo yasingetokea. Aidha imeelezwa kuwa hata baada ya kuuliwa kijana huyo wa Kiislamu, badala ya polisi kuwatafuta watuhumiwa, waliwakamata Waislamu waliokwenda kulalamika na wakawa wanawatisha. Nasaha na tahadhari hiyo kwa polisi, zimetolewa na Masheikh mbalimbali walioongea Masjid Mtambani wiki iliyopita katika kongamano la kuzungumzia tukio la kuuliwa kijana Jumapili Ismaili. Kwa upande mwingine, Masheikh wamewataka v i o n g o z i wa K i k r i s t o na waumini wao kuiga mwenendo wa Waislamu ambao huheshimu dini za watu wengine na hata wakifanya muhadhara, husema yaliyoandikwa katika Biblia, sio kusema yaliyo nje ya Kitabu hicho au kuwazulia uwongo na kashfa Wakristo. Hivi nani amewahi kusikia kesi ya Muislamu kachoma, Biblia? Alisema na kuhoji Sheikh Nurdin akisisitiza kuwa, Waislamu hawana rekodi ya kuwachokoza Wakristo kama wanavyofanya Wachungaji na waumini wao kwa kuchoma Quran na kuwazulia Waislamu mambo ambayo hayapo katika mafundisho ya Dini yao kama hili la kudai kuwa Jiwe katika Kaabah ndio Mungu wa Waislamu. Uislamu ni Dini ya Kweli, ni Dini ya Haki na haihitaji kutukana Ukristo katika kujitangaza kama wanavyofanya Wakristo kwa kuzua matusi, kejeli na kuwatia chuki waumini wao wasisome na kuchambua kwa kutumia akili zao huru, Uislamu hauhitaji nguvu ya polisi, nguvu ya mafundisho yake inatosha. Alisema msemaji mmoja.

Polisi watazua balaa

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

IGP Said Mwema Awali akizungumzia tukio hilo lililotokea Februari, 9, 2012, Sheikh wa mtaa wa Kakola, Yassini Shabaan, amesema kamwe Wa i s l a m u h a w a w e z i kukubali tukio hilo lipite hivi hivi endapo mamlaka husika hazitochukua hatua. Akisherehesha aya za Qur an, juu ya kadhia hiyo kwamba Mwenyezi Mungu ametoa mwongozo gani, Sheikh Shaaban alisema, wameruhusiwa Waislamu kulipiza kisasi dhidi ya wale wanaowapiga au kumwaga damu yao. Tunawaambia, hili si susla la Waislamu wa Kakola tu, bali ni la umma mzima wa Kiislamu, ndio maana leo tumekusanyika hapa mamia ya Waislamu kwa ajili ya kuuwawa M u i s l a m u m m o j a wa Kakola na si wa Dar es Salaam, lazima tusimame imara kukomesha hali hii kama ambavyo Mwenyezi Mungu alivyo amrisha. Alisema Sheikh Shaaban. Sheikh Shaaban, ambaye pia ni mjumbe wa Baraza la Masheikh katika mji wa Kahama, alisema pamoja na kwamba mtuhumiwa wa mauaji hayo aliye mtaja kwa jina la Mussa, kuwa yupo ndani, lakini alionyesha wasiwasi juu ya utendaji wa Jeshi la Polisi hususan katika kadhia kama hizo dhidi ya Waislamu. Hivi sasa huyu Mussa (mtuhumiwa) yupo ndani, alikamatwa baada ya sisi k u l a l a m i k a k wa R P C (Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga). Pamoja na kuwa ndani lakini Mfumo Kristo unaweza kufanya kazi yake. Kama lile tukio la Mkristo mmoja kukanyaga Msahafu kwa makusudi na tulipomkamata n a k u m p e l e k a Po l i s i , kesi ilifunguliwa lakini hata ilivyoisha hatujui na yule mtu yupo tu mtaani hadi leo, kwa hili hatutokubali. Alisema na kutahadharisha. Alisema, tukio hilo la kuuwawa Muislamu halikufanywa kwa bahati mbaya, kwani ilionekana wao walijipanga zaidi kwa maafa kwani, suala hili tayari lilikuwa Polisi, linashughulikiwa, lakini wafuasi wa Kwaya hiyo walikaidi amri ya polisi ya kuacha kupiga rekodi ambayo inakashifu imani ya Uislamu. Akielezea tukio zima lilivyotokea alisema Ust. Jumapili, alipita sehemu ya biashara ya Mussa, kwa amani akiwa na vijana wadogo na kukuta CD, ile inaonyeshwa hivyo ilibidi amkumbushe kuwa CD hiyo imezuiwa na Polisi, k wa k u wa i n a k a s h i f u Uislamu. Alisema, muuza CD ile (Mussa) aligoma na kumueleza kuwa hawezi kumzuia kufanya biashara yake, na baada ya kushindana kwa hoja, alidai kuwa ndipo Mussa, alitoka na rungu na kuanza kumshambulia, Ust. Jumapili, huku wale vana wadogo wakitimua mbio kuelekea Msikitini kutoa taarifa. Wa l e m a b wa n a walikuwa wamejiandaa k wa s h a r i , n a k a t i k a purukushani baina ya Musa na Jumapili, waliibuka

Wakristo wengine pembeni na kuanza kumchangia kwa kipigo na walipobaini a m e z i r a i , wa l i k i m b i a wakidhani kuwa wameuwa mpaka Waislamu wanaka p a l e wa l i m k u t a c h i n i hajiwezi. Alisema Ust. Shaaban, akiulezea umma wa Waislamu katika Msikiti wa Mtambani. Alisema, mamlaka husika zielewe kwamba, tukio hilo limewagusa na limewaumiza Waislamu nchini, na kwamba suala hilo lina mlolongo mrefu mpaka kukia kurushwa hewani. Alisema, hiyo ina maana kwamba, rekodi hiyo si kwamba imerekodiwa na kufanyiwa uhakiki (editing) pale Kakola, bali alidai kuwa imerekodiwa na kuhakikiwa na viongozi wa Kanisa hilo hapa Jini Dar es Salaam. K at i k a h ot u b a ya k e kabla ya Ibada ya swala ya Ijumaa, Msikitini hapo Sheikh Nurdin Kishki, alisema kitendo cha jeshi la polisi kupuuza masuala yanayowagusa Waislamu kumesababisha Muumini wa Kiislamu kuuwawa na Wakristo katika Mji wa Kakola, Kahama Shinyanga. Alisema, si mara ya kwanza kusikia madai au malalamiko ya Waislamu kutoka kona mbalimbali za nchi kuwa Wakristo kupitia Makanisa yao wameingilia imani ya dini ya Kiislamu. Tukio hili si la kwanza d h i d i y a Wa i s l a m u , kufanyiwa kashfa na istizai Uislamu na hata kuukejeli. Yapo matukio mengi ya walimu Wakristo kutoa kashfa hizo na kusababisha tafran katika mashule yao na yote hayo huka katika mamlaka husika lakini mwisho wa siku huishia hewani, sasa Waislamu tumechoka. Alisema Sheikh Kishki. Alisema, katika uhai wake na kujishughulisha kwa karibu na masuala ya dini hajapata kusikia hata siku moja kuwa Waislamu wamewachokoza Wakristo. Waislamu ni watu wa amani, zaidi wakizingatia kuwa Allah (sw), amewaonya kutosema vibaya dini zingine, kusije kupelekea wao wakawatukania Mungu wao wa kweli. Hivi nani amewahi kusikia kesi ya Muislamu kachoma, Biblia?. Alisema na kuhoji Sheikh Nurdin. Machi 3, 2012, Ustadh Ismail, wa Kakola Bulyankulu, Shinyanga, alifariki baada ya kupigwa na vijana wa Kikristo,

akihoji kuendelea kupigwa CD ya kwaya ya Sabato Kakola (SDA), iliyozuiwa na Jeshi la Polisi. CD hiyo ina nyimbo ya kukashifu, imani ya dini ya Kiislamu, kupitia Al-qaaba, wakidai kuwa jiwe jeusi lililopo ndani ya Qaaba hiyo, ndio Mungu wa Waislamu wanayemuabudu. Katika kuhitimisha kongamano la Ijumaa i l i y o p i t a , Wa i s l a m u wameitaka Serikali kuwachukulia hatua watu wanaotukana Dini na Imani za watu wengine badala ya kusoma yaliyoandikwa katika maandiko. Wamesema, hali hiyo isipodhibitiwa inaweza kuzua balaa ambalo kulizima kwake itakuwa kazi kubwa. Tahadhari hiyo ipo katika maazimio yaliyopitishwa katika Kongamano la kulaani mauaji ya kijana wa Kiislamu. Akisoma maazimio h a y o m a r a b a a d a ya Masheikh mbalimbali kuzungumza, Sheikh Mohammed Issa, alisema kwa ujumla Waislamu wanaalani vitendo vyote vya uchokozi dhidi ya Waislamu vinavyofanywa na baadhi ya Makanisa ya Kikristo nchini. Tu n a l a a n i m a u a j i ya kijana Jumapili, aliyeuwawa Kakola akipinga kukashiwa Alqaaba. Tunaitaka Serikali kuepuka balaa linaloweza kutokea nchini baina ya Wakristo na Waislamu kutokana na chokochoko z i n a z o l e t wa d h i d i ya Waislamu. Alisema Sheikh Mohammed Issa. A l i s e m a , Wa i s l a m u na Wakristo wamekuwa wakiishi vizuri na ukizingatia Uislamu unawahimiza Waislamu kukakaa kwa wema na wasio kuwa Waislamu. Alisema, pamoja na kuwa Wakatoliki wana m a m b o ya o d h i d i ya Uislamu, lakini hawajawahi kuvuka mipa ka kama ambavyo yanavyofanya Makanisa haya mapya yanayochipukia hivi sasa k a m a u yo g a , a m b a yo yanafadhiliwa na Wamarekani. Alisema, kufuatia kadhia ya K a k o l a , M a s h e i k h wamemuandikia kiongozi wa Kanisa la CDA, aombe radhi ndani ya wiki mbili. Tu n a e l e wa m a k a o makuu ya Kanisa hilo la SDA, yapo Arusha, hapa (DSM) pia yapo Makanisa yao tunayajua. Sisi tumeishi vizuri kwa miaka mingi bila bughudha nao, ufadhili huu kutoka Marekani usituvurugie uhusiano wetu kama Watanzania, kinyume chake watakuwa wa m e t a n g a z a v i t a n a Waislamu. Alisema.

4 AN-NUUR
Inatoka Uk. 1

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

mapokezi makubwa ya kihistoria Jini wakimlaki Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwasili akitokea nchini Marekani, mwishoni mwa wiki iliyopita. Profesa Lipumba, aliwasili nchini, majira ya Alasiri Jumapili, Machi 11, 2012, katika uwanja wa ndege wa Kimataifa Jini Dar es salaam, akitokea Washington Marekani, alikokuwa zaidi ya miezi mitano, katika masuala ya utafiti wa uchumi duniani. Licha ya kuwasili saa 9, alasili, wananchi walianza kuwasili katika viwanja hivyo kuanzia majira ya asubuhi, wakitoka katika maeneo mbalimbali ya Jini na vitongoji vyake, wakiwa katika malori aina ya fuso. Wa n a n c h i h a o n a wapenzi wa Chama hicho, wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbalimbali kwa pamoja bila kuchoka muda wote walionekana wakiimba nyimbo mbalimbali

Mchumi karibu nyumbani

MACHI 16-22, 2012

Habari/Matangazo
Ofisi Kuu za Chama hicho, Buguruni Jijini Dar es Salaam, Profesa Lipumba alisema utafiti wake ulijikita zaidi katika masuala muhimu ya kujenga asasi za kuendeleza demokrasia na kuleta maendeleo ya kiuchumi yatakayo ongeza ajira na kutokomeza umasikini kwa Watanzania. Alisema, pia akiwa huko alipewa fursa ya kutoa muhadhara kuhusu miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika ambapo alisema alisisitiza kuwa kipindi hicho ni kipindi kirefu katika kuleta mabadiliko makubwa. Alisema, Mwalimu Julius Nyerere (Rais wa kwanza wa Tanzania) alileta umoja wa kitaifa lakini suala la kujenga uchumi unaoongeza ajira na unaowaondolea wananchi umasikini hilo alishindwa. Alisema, hali ya miaka ya 1970 na 1980, ilizidi kuwa ngumu kwa wananchi na kusababisha kila kitu kuwa adimu na kutopatikana kabisa. alisema, ukitazama utafiti ambao umefanywa hivi sasa n i k wa m b a i l i n c h i iweze kuendelea katika maendeleo ya kudumu panahitajika kuwepo kwa demokrasia inayowapa wananchi f u r s a ya k u c h a g u a viongozi wanaowataka. Lakini pia alisema Profesa Lipumba kwamba, panahitajika uwe na uhuru wa kiuchumi pamoja na haki miliki za wananchi wa kawaida ziweze kuheshimiwa. Alisema, pamoja na marekebisho makubwa ya uchumi yaliyofanyika, alisisitiza kuwa bado haki miliki za wananchi haziheshimiwi hususani vini. Akifafanua alisema, mathalani mkulima wa Korosho, Ufuta na mazoa mengine anaweza k u n y i m wa h a k i ya kuuza mazao yake kwa mtu atakayempa bei kubwa, badala ya yake analazimishwa auze mahala fulani.

PROF. Ibrahim Lipumba (katikati), Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano (kushoto), Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad (wa pili kulia) na Ismail. za kuhamasishana na k a t i k a u t a f i t i wa k e humo kama kutakuwa kumpongeza Profesa huo nchini Marekani, na mapokezi makuba Lipumba, kwa hatua amerejea na heshima kama haya ya mtu huyu, aliyokia ya kuiletea sifa kwa Taifa na Afrika kwa yaani mie nastukia tu Tanzani, na Afrika pia. ujumla akiwa Mwafrika sasa hivi. Sasa huu umati P r o f e s a L i p u m b a p e k e e k u c h a g u l i wa umetoka wapi.? Alisikkia Mzee mmoja katika kamati ya kuchunguza chanzo cha wa Makamo maeneo ya UMRA kudorora kwa uchumi Magomeni, akionekana kustaajabu akiwa duniani. UMRA 2012 /1433H Uandikishwaji ka osini M a r a b a a d a y a amejibanza pembezoni kwetu kwa gharama nafuu sana, k u w a s i l i , n d i p o mwa gereji moja. PEACE TRAVEL & TOURS LTD / KHIDMAT m s a f a r a m k u b w a Akiongea kwa muda ISLAMIYA HAJJ & UMRAH SERVICES. ulipoanza na kufunga mchache na vyombo barabara za Nyerere vya habari kabla ya Tupo Mtaa wa Maa tunatizamana na msikiti ( P u g u ) , M a n d e l a , kuanza kwa msafara wa Manyema, Kariakoo. Kwa mawasiliano Morogoro pamoja na huo u l i o n g o z wa n a zaidi piga simu 0784/ 0715 411 788, 0784 Kawawa na kuishia Katibu Mkuu wa CUF, /0715/ 0774 786 680, 0767 876680, 0715 viwanja vya Karume M a a l i m S e i f S h a r i f 252325. na kulazimisha magari Hamad, na Mh. Juma E-mail: hajjkhidmat@gmail.com, ambayo hayakuwa Duni Hajj, alisema katika mapokezi hayo Demokrasia na uchumi peacetraveltz@gmail.com info@peacetravel. kusimama kwa muda shirikishi ndio nyenzo com m r e f u w a k i s u b i r i kuu kwa Bara la Afrika Au wasiliana na Sheikh Hashim Ahmad katika kupambana na msafara kupita. Rusaganya 0784/0715 915 008 H a l i h i y o umasikini. Pia uandikishaji wa safari ya Hijja kwa mwaka Profesa, Lipumba iliwastaajabisha baadhi huu 2012/ 1433h, unaendelea na unaweza ya wananchi, ambao alisema ni jambo la wa l i s h a n g a a k u o n a msingi kwa maendeleo kulipa malipo Kidogo kidogo. maelfu ya watu hao yaliyo endelevu na wakiwa katika msafara yasiyo kuwa na wasiwasi huo tena wakitembea yaunganishe demokrasia Asalam Alaykum kwa miguu na wengine na haki za kiuchumi. lakini haitoshi tu wakiwa katika msururu wa mafuso yasiyopungua kuwa na demokrasia Mimi ni mwanamke wa Kiislamu naitwa lakini lazima pia Mwanahamisi Mohamed. Natafuta kazi 200, ukiacha gari tatu za uwe na utawala bora Chama hicho. kwa mda mrefu lakini sijafanikiwa. Tanzania hakuna u n a o w a j i b i k a k w a Ninawaomba ndugu zangu katika Imani waandishi wa habari, w a n a n c h i k u p i t i a mnisaidie kazi yeyoye, taaluma yangu s i k u z o t e n a s o m a v y o m b o w a l i v y o vichagua. Alisema ni DEREVA wa magari madogo. Kwa magazeti, CUF kwisha Mchumi huyo. CUF yameguka kwa mawasiliano zaidi piga simu namba t a a r i f a h i z i u n a j u a Ama akiongea na kabisa sasa chama hiki waandishi wa habari 0713 875 448. hakipo. Pia sikusoma siku ya Jumatatu, katika

MOGADISHU SERIKALI ya mpito ya Somalia imewasilisha rasmi ombi la kuwa mwanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC. Wachambuzi wa mambo wanaamini kuwa ombi hilo la Somalia ni sahihi, lakini limewasilishwa katika kipindi ambacho si mwafaka hasa kutokana na hali inayoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika. J u m u i ya ya A f r i k a Mashariki inaundwa na nchi za Kenya, Uganda, Burundi, Tanzania na Rwanda, ambazo hadi sasa zinaelekea kusaini hati ya kuanzisha sarafu moja kwa ajili ya nchi wanachama. Kuondoa vizuizi vya kodi na kuanzisha soko la pamoja, ni miongoni mwa juhudi za kupunguza

Somalia yaomba uanachama Makumi wauawa Jumuiya ya Afrika Mashariki Sudan Kusini
matatizo ya kibiashara, yaliyomo ndani ya Jumuiya ya A f r i k a M a s h a r i k i . Mwezi uliopita Jumuiya ya A f r i k a M a s h a r i k i ilitupilia mbali ombi la Sudan la kutaka kujiunga na jumuiya hiyo. Ta n g u m wa k a 1 9 9 1 Somalia imekosa uwezo wa kiuchumi na imekuwa ikikumbwa na matatizo makubwa katika kujaribu kurejesha hali ya amani nchini humo. Wananchi wa Somalia hasa wale wa upande wa kusini mwa nchi hiyo, pamoja na kuwepo vita lakini pia wanakabiliwa na hali ya ukame ulioenea nchini humo na njaa. Hivi karibu ndege ya kasusi ya Marekani isiyo na rubani ilianguka nchini Somalia katika eneo la Mudug, lililokaribu na bandari ya Hobyo. Maafisa wa Somalia ambao hawakutaka kutajwa wamesema ndege hiyo ya kijasusi ilikuwa imeruka kutoka manowari ya Marekani, USS Taylor, iliyopo katika pwani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika. Katika siku za hivi karibuni Marekani imeanza kutumia aina mpya ya ndege isiyo na rubani Somalia ulikanayo kama kamikaze. Ndege hiyo ina uwezo wa kusheheni makombora na kufanya ujasusi. M a r e k a n i i m e k u wa ikitumia ndege hizo mpya zisizo na rubani kushambulia Somalia kwa kisingizio cha kupambana na wanamgambo wa ash Shabab, lakini wahanga wakuu wa mashambulizi ya ndege hizo ni raia wa kawaida JUBA VITA vya wenyewe kwa wenyewe vimepamba moto Sudan Kusini, likiwa ni taifa changa kabisa baada ya kuamua kujitenga na Jamhuri ya Sudan. Habari kutoka taifa hilo changa zinasema kuwa, takribani watu 41 wameripotiwa kuuawa kufuatia kuzuka mapigano katika jimbo la Jonglei. Eneo hilo ni maarufu kwa mapigano ya kikabila na wizi wa mifugo. Habari zinasema kuwa, watu kadhaa wameteketezwa kwa moto ndani ya nyumba zao katika mapigano hayo. Mwishoni mwa mwezi uliopita wa Novemba, kundi la wanamgambo wa Sudan Kusini lilisema kuwa litazidisha mapigano dhidi ya serikali ya Juba na kuendelea kushinikiza kufanyike uchaguzi mkuu mpya baada ya mazungumzo kati yao na serikali kugonga mwamba.

HABARI ZA KIMATAIFA

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

NAIROBI POLISI nchini Kenya imetangaza kuwa watu wanne wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea katika kituo cha basi karibu na ji la Nairobi. Habari zinasema kuwa, tukio hilo limetokea mwishoni mwa wiki baada ya kulipuka guruneti la kurushwa kwa mkono katika kituo cha mabasi cha Machakosi, karibu na mtaa wa kibiashara jini Nairobi. Watu wengi wamejeruhiwa kufuatia tukio hilo. Hadi sasa hakuna kikundi chochote kilichotangaza kuhusika na mlipuko huo. Hata hivyo msemaji wa polisi, Charles Owino, amekilaumu kikundi cha al Shabab

Mlipuko wa bomu waua wanne Kenya


cha Somalia kuwa ndicho kilichohusika na shambulizi hilo. Amesema hakuna shaka kuwa kitendo hiki kimetendwa na kundi la al Shabab na kwamba, Kenya itakamilisha vita dhidi ya kundi hilo na kuendelea kuwasaka wanamgambo hao. Hata hivyo Polisi nchini Kenya imewatia nguvuni watu wane kwa kuwashuku kuhusika na shambulizi la mabomu lililofanyika mjini Nairobi ambapo watu sita waliuliwa. Shambulizi hilo la maguruneti lilijeruhi watu wengine 60 katika kituo cha mabasi cha Machakos jini Nairobi ambapo majeruhi 42 bado wamelazwa hospitalini. Vyombo vya usalama vya Kenya vinawatuhumu wapiganaji wa kundi la

Maasa wa Marekani wadaiwa kupokea rushwa

I t a k u m b u k wa kuwa, mnamo mwezi Februari mwaka huu, watu wasiopungua 200 wa l i r i p o t i wa k u u a wa baada ya kundi hilo la waasi kuwashambulia raia wa Kata ya Fangak katika jimbo lenye utajiri wa mafuta la Jonglei. Gavana wa jimbo la Jongeli, Kuo Manyang alithibitisha habari hiyo na kusema kuwa watu waliouawa wa n a k a d i r i wa k u f i k a 223, 150 wamejeruhiwa huku kukiwa na wasiwasi kwamba wanawake na watoto 300 wametekwa nyara. Maelfu ya mifugo nayo iliripotiwa kuibiwa katika eneo la Lou Nuer linalopakana na jimbo la Upper Nile. Licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta, lakini Sudan Kusini ni moja ya nchi zilizoko nyuma kabisa kimaendeleo ambapo kati ya kila watoto saba wa nchi hiyo, mmoja wao hufariki dunia kabla ya kutimiza umri wa miaka mitano.

RAIS Mwai Kibaki al Shabaab la Somalia kuwa ndio waliofanya shambulio hilo. Kenya imekuwa ikikumbwa na vitendo vya kigaidi tangu mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka jana wakati jeshi la nchi hiyo lilipoingia katika m g o g o r o wa k i v i t a nchini Somalia kwa kile kilichoitwa ni kuwasaka wanamgambo wa al Shabab nchini Somalia.

GAZETI la Washington Times la Marekani limedokeza kuwa, Edward Rendell, Gavana wa zamani wa jimbo la Pennsylvania, ni mmoja kati ya maafisa wa ngazi za juu wa Marekani wanaotuhumiwa kupokea hongo kutoka kwa mawakala wa kundi la kigaidi la MKO, ili walifute kundi hilo katika orodha ya makundi hatari zaidi ya kigaidi duniani. Maafisa wengine wanaotuhumiwa kuhusika na kitendo hicho cha ufisadi ni Howard Dean, aliyekuwa Mwenyekiti Taifa wa chama cha Democrats cha Marekani, Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Usalama

wa Ndani na Gavana wa Pennsylvania, Tom Ridge pamoja na Louis Freeh, aliyekuwa Mkurungenzi Mkuu wa Shirika la Upelelezi la Marekani FBI. Katika kusisitizia hoja yao, maasa hao walidai kuwa, madhali kundi la MKO halajihusisha na vitendo vya kigaidi kwa takriban miongo miwili sasa na kwa kuwa linapiga vita adui wa Marekani yaani Iran, basi halifai kutambuliwa kama kundi la kigaidi. Mwaka 1986, kundi la MKO lilipewa kambi ya kijeshi na utawala wa marehemu Saddam Hussein wa Iraq ili kulisaidia jeshi la Iraq wakati wa vita vilivyoanzishwa na Iraq dhidi ya Iran.

6 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

Na Dr. Emad Rabie


KILA sifa njema ni milki ya Mola wa viumbe wote na rehema na amani zimkie yule aliyepelekwa kuwa ni rehema kwa viumbe wote. Mtume Muhamad (s.a.w) na kwa jamaa zake na Masahaba zake wote. Ama baada ya utangulizi huu, Uislamu ni dini ya amani na usalama na amani vimemdhamini kila mtu. Amani katika roho zao na mali zao na heshima zao, na wala Uislamu haukuruhusu dhuluma wala jeuri wala uharibifu, hata kama a n a ye f a n y i wa h a yo s i o Muislamu. Bali Uislamu umedhamini hata uhuru wa kuabudu na kuishi muda wa kuwa wanaishi kwa amani bila ya kupiga vita Uislamu na Waislamu na wala hawawaudhi na wala hawawapigi vita. Anasema Mwenyezi Mungu, Na wala msijadiliane na Mayahudi na Wakristo isipokuwa kwa jambo zuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao. Na semeni tumeamini kwa yale yaliyoteremshwa kwetu na yale yaliyoteremshwa kwenu. Akasema tena Mwenyezi Mungu, na wala

Mbatia awatetea Kusini


Ataka wapewe soko zuri la korosho Bandari ya Mtwara nato ifufuliwe
wake hutegea kipato chao. B w. M b a t i a , a l i s e m a kutokana na umuhimu huo, ni wajibu wa Serikali kuwatafutia soko la kudumu ili kuwasaidia kiuchumi wakulima wa zao hilo. Alisema, endapo Serikali itawawezesha kwa kuwapatia soko zuri, ni wazi itaondoa kelele na kuepusha hasira za wakulima wa zao hili ambazo zinaweza kupelekea maandamano kwa dhana kuwa Serikali yao inawakandamiza kimaslahi. Alisema, Serikali makini ni ile inayolinda maslahi ya watu wake, hivyo jukumu hilo ni vyema lingebaki kwa Serikali ili kuweza kuwanusuru kiuchumi wanakusini. Na Bakari Mwakangwale, Mtwara Changamoto kwa Serikali ni kupata pesa kununua zao la Korosho kwa bei nzuri, baada ya hapo itafute Soko yenyewe hata kama ni nje ya nchi. Msiwaache wakulima wa Korosho wakasirike hadi waandamane, tutatue matatizo yao mapema na si kuwapuuza au kuwakandamiza. Alisema Bw. Mbatia. Aliwataka wakazi wa Mtwara, kuishinikiza Serikali kuwahakikishia wakulima wa zao la Korosho bei nzuri kwani zao hilo kwa ujumla linaiingiza pato kubwa Serikalini na kukuza uchumi wa Taifa kwa ujumla. Alisema, mbali na zao la Korosho, pia kuna mazao kama Ufuta, Choroko, Mbaazi, Karanga pamoja na Mahindi, ambapo pia hulimwa kwa wingi na kuashirika kuwa wakazi wa Mtwara ni wachapa kazi lakini kikwazo ni Serikali kwa kushindwa kuwawezesha. Akizungumzia suala la gesi, inayotoka Mtwara hadi Dar es Salaam, aliwataka Madiwani kusimama kidete kuhakikisha mkoa wa Mtwara, unapata walau asilimia 25, kwa maendeleleo ya wana-Mtwara. Madiwani wasimame kidete kuhakikisha asilimia 25, ya gesi hiyo inarudi Mtwara kwa maendeleo ya wana-Mtwara, si iende tu Dar es Salaam kuzalisha bila nyinyi kuzalisha kwani ukikaa na waridi lazima unukie waridi. alisema Bw. Mbatia. Ama kuhusu Bandari ya Mtwara, Mwenyekiti huyo

msiwatukane wale ambao wanaoabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu, watamtukana Mwenyezi Mungu kwa uadui tu, bila ya ujuzi. Na amesema tena Mwenyezi Mungu, hawakatazini Mwenyezi Mungu juu ya wale ambao hawakupigeni vita katika dini na wala hawakutoeni katika mi yenu kuwafanyia we m a n a u s a wa k wa o , hakika Mwenyezi Mungu a n a wa p e n d a wa f a n ya o usawa. Na amesema Mtume (S.A.W), yeyote mwenye kumuudhi yule mwenye mkataba, kumuudhi yule mwenye mkataba wa kuishi kwa amani, basi ameniudhi mimi .... Na dalili hizi tukufu toka katika Qur ani na hadithi za Mtume (S.A.W) ni dalili tosha juu ya utukufu wa Uislamu na kukubali kwake juu ya haki za wengine katika maisha ya amani na utaifa muda wote wakiishi kwa amani na katika wakati wa Mtume (S.A.W) katika kupita karne zilizopita za Kiislamu, historia inatukumbusha utukufu wa Kiislamu na kuishi kwa amani na wasio Waislamu upande huu hadi upande ule bila ya maudhi au kujibana. Na miongoni mwa dalili kubwa juu ya mikataba ambayo ameandika Mtume (S.A.W) na Mayahudi kwa ajili ya kuishi kwa amani na usalama na jamii ya Madina. Akaendelea Mtume (S.A.W) na muundo wa kuunga udugu kati yao

Kuishi kwa amani na wasio Waislamu

MACHI 16-22, 2012

Makala/Habari

kwa usalama na amani hii ndio tabia yao. Na miongoni mwa dalili vile vile neno lake Menyezi Mungu katika surati Nisai aliposema: Sisi tumeteremsha kwako kitabu kwa haki ili uhukumu baina ya watu kwa yale anayokuonyesha Mwenyezi M u n g u n a wa l a u s i we mgomvi na maadui zako. Hii iliteremka kwa Myahudi mmoja anakataa kuhusika na wizi na anajisasha juu ya wizi huo kwa njia hii na kupata deni huyo aliyemtuhumu kwa dhuluma na uadui tuu. Yote haya yanajulisha juu ya kustarehe kwa wasio Waislamu katika jamii ya Kiislamu kwa haki zote ambazo wanazozipata

Waislamu wenyewe. Amesema Mtume (S.A.W), wao wana yao na sisi tuna yetu na wao basi ni dalili kubwa juu ya kupata haki wasio Waislamu katika ndani ya jamii ya Kiislamu. Nje ya nyakati za Mtume (S.A.W), tuone yale yaliyokuwepo wakati wa Sayidi na Omari Bin Khatwabi (R.A.) katika kuikomboa Beiti Palestina. Nakuandika mikataba ambayo imehifadhi hadi uhuru wa kuabudu na makanisa na masoko na bishara na mambo mengine. Na pia yale aliyokuwa nayo (R.A.) pale alipojua kwamba mtoto miongoni mwa watoto wa Bwana Amri Bin Aswi nchini Misri amempiga kana

wa Kikristo na akashitaki huyu kijana kwa kiongozi wa wa u m i n i a k a m u i t a Bwana Amri na mwanawe akamuamrisha kijana wa Kikristo amlipishe kisasi ampige kama alivyompiga yeye na akamwambia bwana Amri maneno ambayo yamehifadhika Dunia nzima na kuandikwa katika Historia kwa wino wa dhahabu: Alisema, Ewe Amru, kuanzia l i n i m n a wa f a n ya wa t u watumwa na wakati watu wote wamezaliwa na mama zao wakiwa huru. Naapa kwamba huu ni Utukufu mkubwa wa Uislamu na uzuri ulioje juu ya sheria ya Mwenyezi Mungu.

SERIKALI imetakiwa kuwatafutia soko la kudumu wakulima wa zao la Korosho wa Mikoa ya Kusini, ili kuweza kuwainua kiuchumi kupitia zao hilo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Taifa wa C h a m a C h a N C C R Mageuzi, Bw. Jame Mbatia, akiwahutubia wakazi wa M j i wa M t wa r a , k a t i k a uwanja wa Mashujaa Mjini humo, mwishoni mwa wiki iliyopita. Alisema, Korosho ndio zao kuu la wakazi wa Mtwara na Kusini kwa ujumla, ambapo kupitia zao hilo wananchi

wa Taiafa wa NCCR- Mageuzi alisema, haoni sababu ya bandari hiyo kutotoa huduma ya kusariha wananchi. Alisema, endapo Bandari hiyo itapewa kipaumbele na Serikali, huenda pia ikawa ni moja ya sehemu ya kuwapatia kipato wakazi wa Mtwara na mi ya jirani. Alisema, moja ya sifa kuu ya Bandari hiyo ni kuwa na kina kirefu kuliko Bandari zote katika ukanda wa Afrika Mashariki, lakini alidai Serikali inashindwa kutumia neema hiyo, ambayo ikifufuliwa itarahisisha sekta ya usarishaji na kuwasaidia wale wenye kipato kidogo. Ni wajibu pia kwa Serikali kuhakikisha usari huu wa majini (Baharini) unarudi kwa wakazi wa Mtwara na vitongoji vyake ili iwe ni moja ya Bandari bora ya ukanda huu katika usafirishaji. Alisema Bw. Mbatia.

Walimu hawahitaji mshenga kuwashawishi kugoma


Na Abuu Nyamkomogi HIVI walimu na wenyewe kwa nini wasigome hadi mabadiliko ya kweli yaanze? Anaendelea, Walimu wanaweza na wanapata wapi ujasiri wa kwenda darasani na kukuta shule isiyo na milango, m a d a wa t i , v i t a b u n a watoto ambao wamekosa chakula? Anahitimisha kwa kuhoji, mwalimu anaweza kufundisha vipi mahali ambapo mtoto akirudi nyumbani hana cha kufanya zaidi ya kujipanga kucheza Hakunaga?. Hiyo ni nukuu kutoka safu ya HOJA YANGU katika gazeti la Raia mwema, toleo Na 226 la Feb 15-21, 2012, iliyowasilishwa na Mwaandishi wa safu hiyo aliyejitambulisha k a m a L u l a wa N d a l i Mwananzela. Kimsingi, kauli zake hizo kuhusu ushawishi wake kwa walimu juu ya suala la mgomo, ndizo hasa kichocheo cha msingi (pamoja na kuwa kuna sababu nyingine kama nitakavyozibainisha punde hapo mbele), kilichonisukuma kushika kalamu ili kujadili uvulivuli (Vagueness) wa ushawishi wa mwaandishi huyo kuhusu hilo (Mgomo wa walimu), ambao mimi nauona (Ushawishi huo) kuwa usio na mashiko. Nitatoa sababu za ithibati yangu juu ya ukosefu wa mashiko wa ushawishi wa Mwanazela huko mbele, Inshaalah. Sababu ya pili iliyonisukuma kujadili suala hili ni kuchelea kuwa ukimya wetu kama hadhira juu ya hoja mbalimbali, hata kama ni za kipuuzi z i n a z o wa s i l i s h wa n a waandishi mbalimbali kupitia ama makala zao au safu zao za uandishi, kunaweza kujengwa dhana au kuchukuliwa kuwa ni sahihi. Wahausa wa Nigeria wana msemo wao mashuhuri usemao Karum ma Magana ce ukimaanisha kuwa Hata kukaa kimya nako ni kuzungumza. Hivyo basi, ninachochelea ni kwamba Mwananzela asikuhisi kuwa ukimya wako kama hadhira ushamhalalishia hoja yake hiyo. Sababu ya tatu na ya

Makala

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto). mwisho, japo si kwa udogo, iliyonipa msukumo kujadili suala hili ni ibara ya kumi na tisa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayonipa uhuru wa kutoa maoni juu ya jambo fulani madhali tu, si yenye kusababisha uvunjifu wa sheria. Baada ya kudokeza sababu anuwai juu ya uamuzi wangu wa kujadili hoja ya Mwanzela, iliyodokezwa hapo awali na kama nilivyoahidi katika aya ya tatu juu ya utoaji wa ithibati juu ya suala husika, sasa naona ni wakati muafaka kuanza kubainisha sababu moja baada ya nyingine katika kuthibitisha ukosefu wa mashiko ya ushawishi wa Mwananzela. Mosi, kujenga urari wa kinjozi katika ushawishi wake kati ya mgomo wa walimu na kile anachodai mabadiliko ya kweli. Nukta inajidhihirisha kutokana na swali lake la kibalagha (Rhetorical Question) aliloliibua kama ifuatavyo, Hivi walimu na wenye we k wa n i n i wasigome hadi mabadiliko ya kweli yaanze? N i m e u i t a u r a r i wa kinjozi kwa kuwa dhana yake juu ya mgomo wa walimu na mabadiliko ya kweli imejengeka katika msingi wa kinadharia zaidi kuliko uhalisia kwa kuwa Mwananzela alipaswa kututanabahisha au kutupa Tanbih juu ya nukta zifuatazo ili aweze kutushawishi kisayansi juu ya uhalisia wa namna mabadiliko ya kweli yanavyoweza kutokea au yatakavyotokea ili walimu wakilibaini hilo waweze kuitisha mgomo wao ambao Mwananzela anajaribu kuujenga kutokana na ushawishi wake. Nini maana ya mabadiliko ya kweli, kilugha na kiistilahi? Je, mawanda (Scope) ya hayo mabadiliko ya kweli yanaanzia wapi na kuishia wapi? Je, mabadiliko hayo ya kweli yatafikiwa kwa muda gani, Je, ni ndani ya wiki moja ya mgomo wa walimu, ama mwezi mmoja. Je, mwaka moja, muongo (Decade) mmoja au kile wanachoita Waingereza Just an overnight process? Je, ni nani wanaowajibika kuleta mabadiliko ya kweli? Je, suala hili ni kazi au jukumu pekee wanalopaswa kulibeba wanajamii wa kada nyingine za maisha pekee yao au na walimu nao ni sehemu muhimu katika suala hili au wao waketi na kusubiri hadi yatakapo anza ndipo waje kufaidika nayo kama anavyoshauri Mwananzela? Ndugu msomaji, ebu tumia wasaa wako kidogo kulinganisha na kulinganua nukta hiyo hapo juu na kisa cha Nabii Mussa (a.s) na wana wa Israel kilichosimuliwa ndani ya Quran tukufu ( 5:20-24) ili upate kuilewa nukta katika uhalisia wake. Je, mabadiliko hayo ya kweli yanakusudiwa kukiwa katika nyanja ipi ya maisha ? Ya kisiasa, ya kiuchumi, ya sayansi na teknolojia au ya kielimu pekee au Nyanja zote hizo, na yatafikiwa kwa kiwango gani, asilimia moja, mbili au asilimia ili iweze kutambulika kwa wanajamii na hususan walimu, kuwa sasa maendeleo ya kweli yameanza au yamekiwa ili walimu wasitishe mgomo wao unaoshawishiwa na Mwananzela. Je, kila mwalimu, mathalani, atakapopatiwa usari bora, maakuli mazuri na malezi maridhawa, n d i p o m a b a d i l i k o ya k w e l i ya t a k a p o k u wa yamekiwa? Au ni umma wo t e wa Wa t a n z a n i a watakapopatiwa maslahi yote haya kwa pamoja n d i p o m a b a d i l i k o ya k we l i h a s a ya t a k u wa yamekiwa? Nadhani Mwananzela ana majibu muafaka na maelezo toshelevu, pamoja

na mambo mengine, kuhusu maswali hayo hapo juu yanayohusiana na swali lake la kwanza la kibalagha aliloliibua katika makala yake. Pili, kujenga mafungamano ombwe baina ya ujasiri wa walimu katika kutekeleza majukumu yao ya kiajira na ukosefu wa miundo m b i n u b o r a a u k wa maneno mengine, uwapo wa miundo mbinu duni. Hii inadhihirika pale anapohoji katika swali lake la pili hivi, Walimu wanaweza na wanapata wapi ujasiri wa kwenda darasani na kukuta shule isiyo na milango, m a d a wa t i , v i t a b u n a watoto ambao wamekosa chakula? Ukilidurusu kwa makini swali hilo, utabaini namna ambavyo baadhi ya waandishi wetu wasivyo na uwezo wa kujenga hoja madhubuti juu ya yale wanayojaribu kuyaibua au kutaka kuyajadili. Japo sishawishiki kuamini hivyo kwa komred wetu Lula wa Ndali Mwananzela, kutokana na umahiri wake katika makala zake nyingi nilizowahi kuzisoma siku za nyuma! Labda tusiendelee sana na udodosaji juu ya kinukta hicho, ujenzi wa hoja na badala yake nimuombe Mwananzela, atuauni majibu ya maswali yanayotokana na swali lake la pili la kibalagha kama ifuatavyo: Je, ujasiri aliokusudia komredi Mwananzela ni upi? Je, ni kweli kuwa ujasiri wa kufundisha wa walimu huletwa kwa shule kuwa na miundo mbinu kama vile milango, madawati, vitabu na sui niite miundo mbinu tumbo yaani watoto kuwa na shibe? Je, Mwananzela anaweza kuthubutu kutupatia maelekezo gani ya kisayansi katika kuitetea hoja yake kwa upande wa walimu walio katika shule zenye miundo mbinu yote hiyo tena iliyo bora bila kusahau miundo mbinu tumbo, lakini bado wanakosa ujasiri wa kwenda darasani kufundisha na badala yake wanashughulishwa na shughuli zao binafsi kwa minajili ya kujiongezea mkate wao wa siku? Hivi hapa tatizo ni miundo Inaendelea Uk. 12

Tanzania na OIC: Padri Mapunda amepotosha ukweli


MAKALA ya Padri Baptiste Mapunda iliyochapishwa kwenye Toleo Na. 230 la Machi 14 hadi 20, 2012, ukurasa wa 5, Raia Mwema (ISSN 1821 6250) haiwezi kuachwa bila kupingwa. Nikiwa msomaji na mpenzi wa ukweli usiyotiliwa shaka, nimeshawishika kuandika makala haya kupitia gazeti hili katika kuonyesha upungufu uliyomo kwenye makala yenye kichwa, TANZANIA NA OIC: Lijue lengo kuu la Azimio la Abuja kama ilivyoandikwa na Padri Baptiste Mapunda (wa Kanisa Katoliki). Padri Mapunda ameanza kwa utangulizi wenye kulielezea tamko (linaloitwa Abuja Declaration) na taathira ya tamko hilo kwa Ta n z a n i a ! I l i k u p a t a matini ya dhamira ya utangulizi wake tutazame ushahidi huu: Baada ya kulisoma, nikaridhika na nikaunganisha yanayotokea katika nchi yetu ya Tanzania, juu ya harakati za wenzetu Wa i s l a m u i k i w a n i utekelezaji wa tamko hilo muhimu la Abuja. Bila ya kuonyesha harakati za Waislamu wa Tanzania na taathira ya moja kwa moja ya tamko hilo (kama limeridhiwa na Waislamu wa Tanzania au la), Padri Mapunda ameridhika na kuunganisha na kutoa hukumu ya moja kwa moja. Hapa kuna hoja mbili muhimu ambazo Padri Mapunda alihitajika (kwa mujibu wa uchunguzi na mantiki inayoufanya utati uwe wa kisayansi). Kwanza, kwa kuwa tamko la Abuja (Abuja Declaration) lililotolewa tarehe 28, Novemba 1989 nchini Nigeria limekuwapo kwa takriban miaka 22 sasa; na kwa kuwa (kama anavyodai Padri Mapunda) lengo lake lilikuwa kuzifuta imani nyingine zisizokuwa Uislamu; nadhani ilikuwa vema aonyeshe jinsi tamko hilo lilivyoathiri Ukristo katika Tanzania n a a u h a t a a o n ye s h e j i n s i l i l i v y o t a f s i r i wa na kufanyiwa kazi na Waislamu wa Tanzania. P i l i , ( Wa i s l a m u w a ) Tanzania si miongoni mwa nchi zilizoshiriki na au hata kuridhia tamko hilo; kwa naomba hapa nichore mifano michache ya nchi wanachama wa OIC na demografia yake kidini. OIC (kwa mujibu wa takwimu za karibuni) i n a n c h i wa n a c h a m a zinazokadiriwa kufikia 57 na miongoni mwa nchi hizo ni: Msumbiji ( M o z a m b i q u e ) ; To g o ; Lebanon; Uganda; Burkina Faso; Cameron; na Nigeria. Kwa nchi zilizotajwa tujaribu kuangalia nchi nne (4) kwa uwiano wa kidini kwa kurahisha ufafanuzi. Msumbi iliunga mwaka 1994 ina Wakristo asilimia 56.1 (%), Waislamu asilimia 17.9 (%) na dini nyingine asimilia 26 (%). Kwa maana hiyo Msumbi ni nchi yenye Wakristo wengi na iliamua kujiunga na OIC, siyo? Togo iliunga na OIC mwaka 1997 ina dini za kienyeji asilimia 51 (%), Wakristo asimilia 29 (%) ilhali Waislamu asilimia 20 (%). Hii ina maana kwamba, Togo si nchi ya Kiislamu lakini ni mwanachama wa OIC! Na kielelezo kingine ni Cameron iliyojiunga mwaka 1975 ina Wakristo asilimia 69 (%), Waislamu asilimia 21 (%) na dini nyingine asilimia 10 (%). Kwa udondozi huu Cameron ni nchi yenye Wakristo wengi kuliko dini nyingine na ni mwanachama wa OIC. Tumalizie kwa mfano kutoka Afrika ya Mashariki; Uganda iliunga mwaka 1974 (inawezekana hoja ikawa kwamba wakati huo ilikuwa ikitawaliwa na Idd Amin Dada ambaye alikuwa Muislamu) ina Wakristo asilimia 84 (%) na Waislamu wakiwa asilimia 12 (%). Uganda ni nchi yenye Wakristo wa madhehebu ya Roman Katoliki kama asilimia 41.9 (%) na kwa kujiunga kwake tangu 1974 hadi leo (ni mwanachama) na hatujasikia nchi hiyo imekuwa ya Kiislamu kama anavyodai Padri Mapunda! N a d h a n i k u n g e k u wa na hoja nyingine juu ya Islamization of Africa lakini kwa kutumia uandishi wa uchochezi na au propaganda zilizopitwa na wakati kwa kutumia ukweli ghushi unaotengenezwa na mashine za propaganda kama The Ministry. Katika kuweka dhana na kuthibitisha falsafa ya

8 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16-22, 2012

Makala

WAZIRI wa Mambo ya NJe, Benard Membe. jinsi hiyo, Padri Mapunda alitakiwa aoneshe kisayansi jinsi tamko hilo lilivyowaathiri Waislamu wa Tanzania hata yeye (Padri Mapunda) kukia hatua ya kuunganisha yale aliyoyaita matukio yanayotokea Tanzania na tamko la Abuja. Padri Mapunda, katika kusisitiza dhamira ya uandishi wa makala yake, anaandika hivi: Inadaiwa kwamba katika yote hayo lengo kuu la OIC na hasa kupitia Azimio la Abuja ni kuona kwamba Bara lote la Afrika linakuwa la Kiislamu. Nilistushwa sana na maelezo haya kwa vile mantiki inaonesha kwamba mwandishi (Padri Mapunda) anaandika hapa kwamba, inasadikiwa kana kwamba yeye aidha hajasoma malengo ya OIC au ameamua kwa makusudi kuwapotosha wasomaji wasielewe dhana hizi mbili; yaani OIC na tamko (Azimio) la Abuja. Katika hali hii imenifanya kufanya upitizi kwa mara nyingine ili nijiridhishe juu ya malengo ya OIC; kwa ujumla, malengo ya OIC kwa mujibu wa Hati Idhini (OIC Charter) h a ya j a b a d i l i k a t a n g u ya l i p o i d h i n i s h wa n a wanachama wake. Akitumia uandishi wa ujanja wa mbuni kucha kichwa mchangani ilhali mwili wake uko nje, Padri Mapunda anaandika hivi: Huu ndio ukweli wa mambo wala si uchochezi wala si propaganda ukitaka ukweli nenda tu kwenye internet utaupata najisomee maandishi mbalimbali juu ya umoja huo wa nchi za Kiislamu, yaani OIC. Nadhani mwandishi huyu alijua kwamba alichoandika ni uchochezi kwa kuwa suala la Tanzania kujiunga na OIC limekuwa likipigwa danadana na serikali ya Tanzania kwa shinikizo la Kanisa Katoliki (hili linafahamika). Na vilevile Padri Mapunda anafahamu kwamba alichoandika ni propaganda; yaani, uongo uliokolezwa chumvi nyingi dhidi ya OIC! Kwa kujaribu kumuweka sawa Padri Mapunda na uchochezi na propaganda zake

uchochezi na propaganda dhidi ya Waislamu na Uislamu, Padri Mapunda anaandika hivi, Sehemu ya madhumuni ya OIC, kupitia tamko la Abuja ni kufuta katika hali zote imani ya dini isiyo ya Kiislamu katika nchi wanachama. Na imani ambazo zitabidi zifutwe ni dini ya Kikristo, na nyinginezo ambazo hazikubaliani na imani ya Kiislamu. Haya ni madai mazito sana kuandikwa na mtu anayedhaniwa kwamba ni kiongozi wa kiroho na padri wa Kanisa Katoliki linaloamini juu ya makosa dhidi ya kweli kama inavyobainishwa kwenye fungu la 2475 la Katekisimu ya Kanisa Katoliki! Kwa ujumla, Uislamu unakataza kumlazimisha mtu yoyote kuingia kwenye Uislamu kwa nguvu (tazama Qur an 2: 256). Kwa katazo hilo, vilevile Uislamu umeweka wazi juu ya dhana ya kila mtu kuwa na dini ya k e ( t a z a m a Q u r a n 109: 1 6) kwa falsafa na matini ya aya hizo sidhani kama alichonukuu Padri Mapunda ndio ufafanuzi wa kweli na haki juu ya malengo ya OIC, kama inavyodai makala yake. Padri Mapunda amejaribu kuonyesha vurugu na sintofahamu zinazotokea Nigeria na lile analoliita Azimio la Abuja! Nadhani hapa pana hoja chaparare inayohitaji (hata hivyo) kujibiwa; kama tamko la Abuja (Abuja Declaration) l i l i a s i s i wa m i a k a 2 2 iliyopita, Boko Haram iemanzishwa na tamko hilo? Je, kwa kila vurugu za kidini na au sintofahamu na mauwaji ya kidini chanzo chake ni tamko la Abuja? Nadhani hii haitakuwa sahihi kwa kuwa suala la vurugu, sintofahamu, songombingo na hata mauwaji ya kidini ya m e k u wa ya k i t o k e a duniani kutokana na sababu za kibinafsi zaidi kuliko za dini yenyewe. Tuchukuwe mfano wa vita vya kidini ndani ya dini moja moja na kwa madhehebu tofauti, kama mfano! Waislamu wa madhehebu ya Sunni na wa madhehebu ya Shia wamekuwa Inaendelea Uk. 9

Tanzania na OIC: Padri Mapunda amepotosha ukweli


Inatoka Uk. 8 wakipigana na hata kuuwana sehemu tofauti za dunia ya Waislamu; kama wanavyouwana waamini wa madhehebu ya Kikristo (rejea mauwaji yaliyokuwa yakitokea I r e l a n d ya K a s k a z i n i kati ya Wakatoliki na Waprotestant); na hapa napo tusemeje? Cha kusikitisha s a n a Pa d r i M a p u n d a anaandika kwa uangalifu mkubwa sana kwamba: Ukichunguza kwa kina unaweza kubaini kwamba utekelezaji wa Azimio la Abuja unakuja polepole, hauna haraka. Na ninasema wazi kwamba katika uchunguzi wangu nchini Tanzania, mipango hii pia imeanza kutekelezwa kimya kimya na kwa uangalifu mkubwa sana. Hapa inaonyesha kwamba Padri Mapunda amefanya utati wa kina na wa kutosha na anazo data (na taarifa) rasmi juu ya matokeo ya taathira ya lile analodai ni Azimio la Abuja. Sidhani kama aliyoyaandika hapa ni kweli; na kama ni kweli naomba nimkumbushe kwamba awe kama alivyofanya Dakta John C. Sivalon (MM), aandike utafiti wake dhidi ya tuhuma hizo! Kwa kuwa Dakta John C. Sivalon (MM) aliandika ukweli msadikivu kwa mujibu wa fungu la 2475 la Katekisimu ya Kanisa Katoliki, naomba n i m k u m b u s h e Pa d r i Mapunda kwamba Kanisa Katoliki lilishautangaza Uislamu kama adui wake (kwa mujibu wa utati wa Dakta Sivalon, ukurasa 34). Zilikuwapo sababu kwa Kanisa Katoliki kuutangaza Uislamu kama adui kwa vile ulikuwa unakua kwa kasi; na hii ndio iliyopelekea Kanisa Katoliki kuandaa mikakati ya kuuviza na kuurudisha nyuma Uislamu na maendeleo ya Waislamu katika Tanzania (tazama utati wa Sivalon, 1994). Nadhani tusiandike kwa ushabiki kana kwamba wengine ni mbumbumbu hawasomi na au hawajui kilichokuwa kikifanywa na Kanisa Katoliki dhidi ya Waislamu wa Tanzania. Padri Mapunda anasema, Hata hivyo, kwa namna ya kipekee mambo yameshajulikana juu ya ajenda hii ya siri, Mungu hawezi kuruhusu jambo la namna hiyo kutokea katika ardhi ya Tanzania. Nadhani Padri Mapunda hahitaji kutumia nguvu nyingi sana juu ya hili; kwani Kanisa Katoliki lilivyotangaza vita na Uislamu kati ya 1960 na 1967 Azimio la Abuja lilikuwapo? Na kwa kusisitiza kimantiki kwenye matini hii; Mwalimu Julius K. Nyerere alivyoshiriki kuivunja East African Muslims Welfare Society (EAMWS), OIC ilishaundwa? Narudia vita kati ya Uislamu na Kanisa Katoliki katika Tanzania ilishatangazwa miaka 50 nyuma; na huu ni mwendelezo tu anao unyesha Padri Mapunda! Padri Mapunda anasisitiza kabla hajamalizia makala yake kwa kuandika, Alama za Azimio hilo la Abuja zimeshaanza kujitokeza kwa mbali katika nyanja mbalimbali nchini Tanzania na kwa hiyo, wale wanaoshabikia suala la Tanzania kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiislamu ( O I C ) k wa n z a wa j u e malengo yake ni yapi. Hapa vilevile namuomba Padri Mapunda aoneshe alama hizo kwenye nyanja alizotumia kwenye utafiti wake; kisha aoneshe taathira ya vita vilivyotangazwa na Kanisa Katoliki kwa kutumia ushiriki wake kwenye siasa ya Tanzania (rejea Sivalon, 1992 ukurasa wa 16 hadi wa 17). Sipendi kumsingizia mwandishi yoyote kwa jambo asiloliandika; kwa jinsi hii, hapa napenda nimalizie na thibitisho la udini aliyouonesha Padri Mapunda. Padri Mapunda anaandika (japokuwa sentensi yenyewe imekatika kimantiki) hivi: Misingi iliyowekwa na muasisi na Baba wa Taifa Mtumishi wa Mungu, Mwalimu Julius K. Nyerere ilikuwa ya busara, upendo, usawa, inayokuza haki na amani kwa watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote. Hapa, na kama hitimisho lake bainifu, ndipo unapoweza kumsoma vema Padri Mapunda juu ya makala yake yenye taathira ya udini. Ukweli unaopatikana kwenye utati wa Dakta John C. Sivalon (1992) unaonesha wazi kwamba kwa mujibu wa fungu la 2477) Padri Mapunda ameandika makala ambayo imeleta madhara ya kiakili (kisaikolojia) kwa baadhi ya Waislamu (nikiwamo mimi); amehukumu kwa pupa juu ya nchi ya Tanzania kujiunga na OIC kwa vile kuna nchi zenye Wakristo wengi ambazo ni wanachama; amejifanya kufunua makosa ya OIC ambayo siyo kweli ilhali yeye (Padri Mapunda) ameacha yale (yaliyothibitika kwa mujibu wa utafiti wa Sivalon) juu ya Kanisa Katoliki Tanzania lilivyowafanyia Waislamu na Uislamu; na vilevile amewasingizia Waislamu wa Tanzania kwa mambo ya dhana na masimango yasiyokuwa na ithibati yenye uchunguzi na mantiki. Padri Mapunda, kama muamini na kiongozi (kwa ngazi ya upadri) anapaswa kufuata vema na kwa makini fungu la 2478 la Katekisimu ya Kanisa Katoliki linalotamka kwamba: Ili kuzuia hukumu ya haraka, kila mmoja awe mwangalifu kadiri inavyowezekana kutafsiri mawazo, maneno, na matendo ya jirani yake kwa namna nzuri. Hapa naomba nieleweke kwamba jirani ya Wakristo k a t i k a Ta n z a n i a n i Waislamu (tunaishi ndani ya paa moja la Tanzania) kwa hiyo ni vema na haki tukiheshimiana kwa tofauti za dini zetu, tukipendana kama watoto wa Baba Mmoja (Adam) na tukiabudu kwa kila m m o j a n a d i n i ya k e ilhali wote tunamuelekea Mungu Mmoja kwa imani tofauti. Uislamu, kama mfumo maisha, hauwezi kumlazimisha yoyote k u i n g i a k we n ye d i n i (Qur an 2: 256) na dini inayotumia zaidi hekima na mawaidha mema (Quran 16: 125). (Makala yameandikwa na Bakari M. Mohamed S. L. P 6 Mzumbe, Mvomero. Simu ya kiganjani: +255 713 593 347 au +255 767 593 347 Barua-pepe: maligwa1968@yahoo. c o m ; b a k a r i . mohamed@mzumbe. ac.tz)

Makala

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

MWALIMU Julius Kambarage Nyerere. hata Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea ni falsafa ya kidini ya Kanisa Katoliki! Ina maana kwamba Kanisa Katoliki lilipata nafsi muhimu sana ndani ya ujenzi wa Tanzania kwa kuwa lilikuwa linatekeleza f a l s a f a ya k e ( t a z a m a Sivalon, 1992 ukurasa 41). Hapa tunaweza kujifunza vilevile kwamba, ndio maana Kanisa Katoliki kwa dhima yake kwa kuwa na kiongozi mwenye i t i k a d i ya k i k a t o l i k i inayoakiana na imani yake kwa makusudi hayo wameamua kumtangaza Julius K. Nyerere; kwanza kama Mwenye Kheri na sasa kama Mtumishi wa Mungu anayeandaliwa mchakato wa kuingizwa kwenye Orodha ya Watakatifu. Ni ushahidi wa pekee unaoweza kutumiwa na msomi yoyote ambaye si zezeta na asiyemezwa na ulipyoto kuona: Ni nini Waislamu wamefanyiwa kwa miaka zaidi ya 50 katika nchi ya Tanzania?! Huu ni ukweli; na yeyote anayepinga ukweli na kushuhudia uongo kwa maslahi ya uchochezi na au propaganda za chuki laana ya Mwenyezi Mungu Mtukufu itamrudia na yeye (mzushi) na mpotoshaji wa ukweli atakuwa ni mwenye hasara. Mwisho wa makala haya na kwa kuwa Padri Baptiste Mapunda ni muamini wa Kanisa Katoliki napenda nimkumbushe juu ya fungu la 2477 la Katekisimu ya Kanisa Katoliki linalosema juu ya Heshima ya sifa ya watu inakataza kila hali na neno linaloweza kuwaletea madhara yasiyo ya haki. Anakuwa na hatia: ya hukumu ya pupa, hata bila kusema, yule ambaye anasadiki bila sababu ya kutosha kwamba kosa la kimaadili la jirani ni kweli; ya kuondoa sifa yule ambaye anafunua makosa ya wengine na mapungufu ya mwingine kwa watu ambao hawayajui bila kuwa na sababu thabiti kweli; ya masingizio, anayeharibu sifa ya wengine na kutoa nafasi ya hukumu juu yao isiyo ya kweli kwa maneno yaliyo kinyume na kweli. Kwa munasaba huu (na

10 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16-22, 2012

Na Omar Msangi
WAANDISHI wa habari na wahariri wao wana kesi ya kujibu. Pamoja nao ni wanaharakati ambao kwa muda wote wa mgomo wa madaktari, walikuwa msitari wa mbele katika kuwachochea na kuwahamasisha madaktari waendelee na mgomo. Labda kabla ya kujadili suala hili, tujikumbushe yale ya Babu wa Kikombe kule Samunge, Loliondo. Kama itafanyika tathmini ya madhara yaliyotokona na dawa iliyokuwa ikitolewa na mchungaji mstaafu Ambilikile Mwasapila, itagundulika kuwa mamia ya watu kama si maelfu walipoteza maisha kabla kikombe hakapoteza umaarufu. Na yote hayo yalitokea kutokana na jinsi kikombe hicho kilivyofanyiwa promosheni kinyume na ukweli. Sumaye atinga Loliondo, Vigogo waanza safari za Loliondo, Wassira, Mkono n a o wa t u a k wa B a b u , Magufuli apata kikombe, Mrema atua Loliondo kuimarisha afya yake, Magufuli apeleka shilingi bilioni moja Loliondo, Maajabu: Dawa ya babu yathibitishwa, inatibu magonjwa sugu. Baada ya promosheni kubwa iliyofanywa na vyombo vya habari kwamba ukika na kupiga kikombe kimoja tu unapona ukimwi, kisukari na presha, watu walianza kumiminika Samunge. Hata wagonjwa mahututi wakawa wanatolewa wodini na kupanga foleni za kwenda kupata kikombe. Kwa vile kitaalamu dawa hiyo ilikuwa haijafanyiwa utati na kuthibitika uwezo wake wa kutibu na kwa kuwa mazingira ya Samunge, ikizingatiwa wakati ule kilikuwa kipindi cha mvua, serikali kupitia Waziri wa A f ya D r. H a j i M p o n d a ilitangaza kusitishwa kwa safari za Loliondo mpaka dawa hiyo ifanyiwe utafiti wa kitaalamu na vilevile kuondoa uwezekano wa kutokea maafa kutokana na kulundikana watu Samunge hali isiyolingana na huduma za kiafya na kamii zilizopo. Hata hivyo kauli hiyo ya Dr. Haji Mponda ikazua balaa kubwa. Ole wake atakayemgusa Babu wa Loliondo, Kanisa laapa kupambana kumlinda, Serikali yachemsha Loliondo, Amri yake yapuuzwa, maelfu wazidi kumiminika kwa Babu, Serikali yanywea ya k a n a k u z u i ya u t o a j i dawa, Serikali yanywea kwa Mchungaji Loliondo, yabariki aendelee.., Tiba Loliondo: Serikali yasalimu amri. Yampelekea Babu gari ya wagonjwa, Ole wake atakayemgusa Babu wa Loliondo, Kanisa laapa kupambana kumlinda, Maaskofu wapinga serikali

Washitakiwe wanaharakati kwanza kabla ya madaktari

Makala
madaktari, basi wangewapa ushauri wa kisheria iwapo mgomo wao ni halali au la kwa mujibu wa maadili na viapo vya kazi zao pamoja na zile za kazi na sheria za nchi kwa ujumla. Lakini badala ya kufanya hivyo, wakaungana na wale waliofunga barabara wakisubiri kamera za BBC, CNN na Aljazeera ziwanase. Walifanya hivyo wakisema ni mkakati wa kuishinikiza serikali itekeleze mara moja madai ya madaktari. Madai yenyewe ni yapi? Wa k a t i w a n a h a r a k a t i hawa wakisimama na kulala barabarani, madai ya madaktari, pamoja na mambo mengine, yalikuwa ni yale ya kulipwa mshahara pamoja na posho unaokia shilingi 7,000,000 kwa mwezi kutoka laki tisa. Wanaharakati hawa ambao wanadai kuwa kazi yao ni kutetea haki za binadamu, kwa busara zao, waliona waungane na madaktari katika kuwafanya wagonjwa kuwa ni collateral damage ya kupata mshahara na posho zinazokia shilingi milioni 7 kwa daktari anayeanza kazi! Kwa namna wanaharakati hawa walivyolisemea jambo hili, hapana shaka kuliwapa msukumo zaidi madaktari kuona waendelee na mgomo kwa sababu wana watu wa kuwaunga mkono. Lakini pia kutokana na jinsi vyombo vya habari v i l i v yo p a m b a k a u l i z a wanaharakati hawa dhidi ya serikali, na jinsi vilivyosimama upande wa madaktari na kuwaacha wagonjwa (wananchi) wakiwa hawana mtetezi, kulisaidia pia kuwafanya madaktari wajione kwamba wapo sahihi kugoma. Ni kutokana na hali hii, nadhani kuwa, maadhali wameibuka wanaharakati wanaotaka kuwashitaki madaktariu kwa madhara yaliyotokana na mgomo wao, basi katika kesi hii, waunganishwe pia waandishi wa habari na wanaharakati waliojianika pale daraja la Salenda wakisubiri kamera za CNN. Aliwahi kusema Profesa Issa Shivji kuwa tatizo la zinazoitwa NGOs za Tanzania ambazo zinadai kutetea wananchi ni kuwa hazina agenda zinazowahusu wananchi. Alisema, nyingi ya NGOs hizo hutegemea nini wanaambiwa na kuagizwa na wafadhili wao waliopo Ulaya na Marekani. Labda niulize, katika kuwafanya wagonjwa kuwa collateral damage ambao ulikuwa ndio msimamo wa baadhi ya wanaharakati katika kushinikiza serikali kutekeleza madai ya madaktari, wanaharakati hawa walikuwa wakitetea wananchi au wakitekeleza maagizo ya wafadhili wao?

Waandishi wa habari nao wana kesi ya kujibu

kumfungia mchungaji. Wasema dawa za kiroho hazina TBS, ni kuingilia imani. Hivi vilikuwa baadhi ya vichwa vya habari vilivyopamba magazeti ya Machi 11 na 12 vikionyesha jinsi serikali ilivyoshindwa kuhimili shinikizo la Maaskofu lililoshabikiwa na vyombo vya habari mpaka ikatengua amri yake ya kusitisha kwa muda tiba ya Babu hadi utakapofanyika uchunguzi. Pamoja na kuwa ilikuwa haki na kazi ya wanahabari kusema kile kilichosemwa na maaskofu kujibu kauli ya Waziri wa Afya, lakini utoaji habari wenyewe ulikuwa wa kuponda msimamo wa serikali na kuunga mkono kauli za maaskofu. Kwa upande mwingine, vyombo vya habari havikutekeleza wajibu wao wa kuchambua na kuwaelimisha wananchi juu ya ukweli kwamba kwa vile hapakuwa pamefanyika utafiti wa kisayansi k u t h i b i t i s h a m a d a i ya mchungaji kwamba dawa yake inatibu ukimwi, kisukari na presha; basi wachuke tahadhari. Msimamo wa sisi wanahabari ulikuwa wa kushabikia, kwamba ukika tu Loliondo na kupata kikombe, umepona ukimwi. Umepona presha. Huna kisukari tena. Lakini propaganda

MKURUGENZI wa kitengo cha Haki za Binadamu na Sheria Bi Helen Ko Bisimba akizungumza na waandishi wa habari.
na ukweli ni vitu tofauti. Haukupita muda, mamia ya watu wakaanza kufa. Wa l i o f a r i k i d u n i a Loliondo wakia 78. Yumo mke wa Mkuu wa Mkoa, watoto saba, raia wa Kenya 19 wazikwa Samunge. Liliarifu gazeti moja. Likifafanua jinsi hali i l i v y o k u wa ya k u t i s h a Samunge, gazeti hilo lilisema kuwa siku iliyoongoza kwa vifo vingi ni Machi 24, 2011 ambapo watu 15 walipoteza maisha ikifuatiwa na Machi 2 5 a m b a yo i l i s h u h u d i a wagonjwa 11 wakifariki dunia. Vifo vilitokea kwa sababu kama alivyotahadharisha Waziri Dr. Haji, hali ya Samunge haikuwa na uwezo wa kutoa huduma za kiafya na kijamii kwa wagonjwa wengi kiasi kile. Lakini pili, ni kuwa kutokana na promosheni iliyofanywa na vyombo vya habari, watu walikia hatua ya kuwatoa wagonjwa wao waliokuwa ICU wakiishi kwa dripu na kuwakimbiza Samunge. Wa g o n j w a w e n g i n e walikuwa wakika Samunge unamwangalia na kumwona kuwa huyu alikuwa amewekewa drip, lakini yuko pale akiwa kwenye foleni akisuburi (kikombe). Hiyo ilikuwa kauli ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Dominick Lusasi akitoa sababu za vifo hivyo. Lakini umweli unabaki kuwa, maafa haya yasingetokea kama si promosheni iliyofanywa n a v yo m b o v ya h a b a r i kinyume na ukweli ambapo kilichofuatia tena ni kufa waliokunywa dawa wa k a a c h a d a wa z a o z a kisukari wakidhani sasa wanaweza kunywa Koka kola na Pepsi maadhali wamepata kikombe cha Babu. Nimeyaeleza haya kwa urefu ili kuona nguvu ya v yo m b o v ya h a b a r i na mchango wake katika ile kadhia ya kufa watu L o l i o n d o n a wa l i o k u j a kufa baadae kutokana na kuacha kunywa dawa za hospitali na kuacha mashariti waliyokuwa wamepewa na madaktari wao wakiamini maono ya mchungaji kwamba wamepona baada ya kupata kikombe. Baada ya kuyasema hayo niseme pia kwamba, kama isingekuwa vyombo vya habari na wanaharakati, mgogoro wa madaktari usingekia mahali ulipoka ambapo ulisababisha madhara makubwa. Wapo wanaharakati ambao kwa mujibu wa tasjila zao, wanatoa msaada wa kisheria na pia kutetea haki za binadamu. Ilitarajiwa kuwa pamoja na madai ya msingi ya

Makala

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

11

Na Khalid S Mtwangi
WIKI iliyopita tuliweza kuwafahamisha wasomaji kuwa hakika idadi y a Wa i s l a m u k u w a wengi haijawasaidia kuwaondolea madhila ya kuhujumiwa haki zao na kudhalilishwa humu Tanzania, na hasa Ta n g a n y i k a . N c h i h i i ndiyo inajulikana kuwa na idadi kubwa ya Waislamu kushinda zile nchi zingine zote za Afrika ya Mashariki na Kati. Kufuatana na takwimu za Muadhama Rt Rev Methodius Kilaini (Padri Prevatus Karugendo hana hakika kama KILAINI ni jina la Kiaya!), Tanzania ina Waislamu wachache kuliko Wakristo. Labda hivyo ndivyo inavyotakikana iwe hivyo kwa sababu wale hasa wanaoweza kukadiria na wenye kuweza kupata takwimu ni wale waliojaa katika maofisi ya Serekali zote, za Mitaa na Serekali Kuu. Haitoshi kama ilivyoelezwa wiki iliyopita kumekuwepo na sera maalum ambazo zimesaidia sana ukuaji wa Ukristo nchini humu. Lakini hata iwe hivyo, bado idadi ya Waislamu nchini si ndogo kiasi cha kuweza kufunikwa na waumini wa dini nyingine. Rt Rev. Kilaini anatoa takwimu kuwa Wakristo nchini ni 45% ilihali Waislamu ni 40%; hapa itaonekana kuwa tofauti sio kubwa sana. Jambo la kusikitisha ni kwamba ukweli unabaki pale pale kwamba wanapohusika Wa i s l a m u , w i n g i wa o unakuwa si hoja. Ukweli huu unajitokeza pale hali ya Waislam wa Tanganyika inapofananishwa na Waislamu wenzao wa nchi za Afrika ya Mashariki na Kati. Hao wachache waliomo katika majirani wanaonekana kuwa na sauti kubwa nchini m wa o ; k i a s i k wa m b a Serekali zao huwasikiliza

bila kuwadharau kama wanavyodharauliwa wa Tanganyika. Huko Uganda Waislamu wengi wamo katika jamii ya Baganda ambalo ni kabila kubwa kupita yote nchini humo. Halafu idadi kubwa pia inapatikana West Nile ambako ndiko kwao na Al Marhum Mtawala Iddi Amin Daddah. Serekali ya Milton Obote ilijaribu k u w a g a w a Wa i s l a m u hasa walio Baganda ili kuwadhoofisha. Hivyo Mjini Kampala kwa mfano kulikuwa sala ya Idd huko Nakasero, kwa wale walio upande wa Serekali, kama ilivyo BAKWATA hapa petu. Waislamu wengine walikuwa wakikutana kule Kibuli wakiongozwa na Prince Badru Kakungulu, a m b a ye a l i k u wa b a b a mdogo wa Mfalme Kabaka wa Buganda. Huyu Prince Badru alipata elimu yake ya dini Zanzibar wakati ule Zanzibar. Hili halikuwa likimpendezesha sana Milton Obote, kiasi kwamba alimshauri ndugu yake m m o j a a k i i t wa A d o k o Nakyon, asilimu na ajipenyeze kuwa kiongozi katika vyombo vya Kiislamu nchini Uganda. Wakati fulani ilitokea kuwepo mjadala kuhusu mambo ya dini tukiwa safarini sehemu za magharibi mwa Uganda. Muislamu nikiwa peke yangu. Kiongozi wa msafara alikuwa karibu sana na Rais Obote, naye alikuwa na mke wa Kizungu (Mwingereza). Wakati wa kiamsha kinywa asubuhi niliepuka kuketi nao kwa sababu ya wao bila shaka hula nyama ya nguruwe. Walilitambua hilo na wakanishauri nikae nao meza moja hawatakula kitu kama hicho, kwanza yule mama alisema naye havipendi vyakula vyenye nyama ya nguruwe. Ikatokea kwamba yule mkuu wa msafara akamtaja huyu nduguye Rais Obote, ambaye alisemekana kuwa amesilimu na kiongozi wa Kiislamu. Lakini akaongeza kuwa nyumbani kwa huyo Nakyon kulikuwa kunaliwa nyama ya nguruwe kuliko nyumbani kwake huyu mwenye mke wa Kizungu. Wa s o m a j i n i m e t o a mkasa huu kusisitiza kiasi gani baadhi ya serekali zilivyojikita kujaribu kudhibiti maendeleo ya Waislamu. Lakini bahati

Kweli wingi si hoja


nzuri huko Uganda hilo limeshindikana kwa sababu kubwa mbili. Kwanza kama ilivyoelezwa idadi kubwa ya Waislamu wanapatikana katika kabila la Baganda, ambao bado wana sauti kubwa nchini humo. Pili ni kuwa pamoja na yote yale anayotwikwa mpaka leo, Rais Iddi Amin Daddah alijaribu sana kuwajenga Waislamu nchini humo; bila shaka misingi aliyoiacha inawawezesha Waislamu kuwa na sauti ya kusikilizika. Kinyume na ilivyo Tanganyika, wao ni 12% tu ya Wananchi wote wa Uganda kufuatana na THE WORLD ALMANAC 2010 cha Marekani; kitabu hicho hicho kinasema kuwa Waislamu Tanganyika ni 35% na Wakristo nao ni 30%. Kuna kitabu kingine p i a , W H I TA K E R S ALMANACK 2008, kinasema kuwa Waislamu Uganda ni 15% ilihali Wa i s l a m u w a l i o m o Tanganyika ni 30% na wenzao Wakristo pia 30% Bahati mbaya sana kuwa hali Kenya ni tofauti kidogo ingawa huko nako Waislamu wanapewa heshima zaidi kuliko wenzao Tanganyika. Kosa kubwa huko Kenya ni kwamba shina ama kitovu cha Uislamu kimekuwa n i u k a n d a wa P wa n i , Lamu na Mombasa vikiwa ndivyo vitovu. Ni jambo la kusikitisha sana kuwa hawa Waislamu wa Pwani ya K e n ya h a wa k u t a k a kuueneza Uislamu huko Bara. Tafadhali wasomaji msichoke na vimikasa vidogo vidogo ninavyotoa, lakini nawahakikishia kuwa vyote ni vya kweli kabisa. Wa l e wa n a o i f a h a m u Nairobi bila shaka watakumbuka ule msikiti mkubwa uliomo katikati ya Ji hilo, unaitwa Central Mosque. Mtaa wa nyuma yake ambako ndio kibla (nimeusahau jina lake) kuna viduka vingi vya Wahindi ambao wengi wao ni Waislamu. Siku moja nilipita katika duka linalouza saa, muuzaji alinionyesha saa ambayo inaweza kumkumbusha mvaaji nyakati za swala. Sikuwa na pesa za kutosha kununua. Nilichukua nafasi hiyo kuwashutumu Wahindi Waislamu wa Kenya kwamba kwa muda mrefu sana wameishi Kenya wameshindwa kuisambaza ama kuieneza dini yao

sehemu nyingi hasa za bara. Ikumbukwe kuwa wakati wa ukoloni, huko Kenya nako kulikuwa na ubaguzi wa rangi mkali karibu sawa na Afrika ya Kusini. Huyu kijana ingawa alikubali ukweli huo, lakini naye akasema misikiti yote ninayoiona bara, Thika, Nakuru na hata huo mkubwa hapo Nairobi, imejengwa na Wahindi. Aliitaja familia moja ya kina Karim Bux (Bulushi) waliokuja kujenga reli ambao walifanya kazi kubwa kujaribu kueneza Uislamu bara ya Kenya. Sasa akaniuliza hebu tazama hawa Waarabu wamekuwa Pwani kwa karne nyingi wamefanya nini kueneza dini. Nilikuwa sina jibu kwa vile nafahamu kuwa safari kilometa chache tu kutoka Mombasa kuelekea bara Uislamu haupo. Mazeras, iliyo kilometa kumi na tano hivi nje ya Mombasa ni mji wa Kikristo. Lamu na Malindi zimejulikana kwa muda mrefu kuwa ni vitovu vya dini, lakini mtu akisari kidogo tu, nje ya mi hii anakutana na ama Ukristo wenye nguvu ama hakuna dini kabisa. Mpaka miaka ya sitini Wananchi wa Miji Kenda (makabila tisa ya Pwani yakumuisha Wagiriama, Wadigo, na k a d h a l i k a ) wa n a wa k e walikuwa wakifunga nguo moja tu chini, kama sketi vile ya majani wakitembea mjini Malindi. Wadigo wa Tanzania ambao wengi ni Waislamu waliutelekeza utamaduni huo siku nyingi sana. Hii maana yake ni kuwa ingawa kulikuwa na alim kiasi kikubwa pwani ya Kenya, lakini hawakutaka kupiga daawa bara. Ni sababu hii kwa muda mrefu Uislamu umekuwa hauna nguvu sana huko Kenya. Hivi sasa, Alhamdullillahi, kuna mwamko wa kutosha kiasi kwamba yuko kigogo mmoja ambaye alikuwa profesa wa Chuo Kikuu cha Nairobi alisilimu kuwa sasa ni Islamised Muslim (AFRICA EVENTS). Ya a n i k a m a v i l e kavumbua upya Uislamu wake sasa. Ni maoni ya watu wengi kuwa vile sasa Uislamu unaheshimika sana Kenya shukrani ziende kwa Wananchi wa Kenya walio wa asili ya Kisomali ambao wameibuka kwa nguvu kuwa mstari wa mbele katika maendeleo ya Kenya. Wanatambulika wao zaidi ya wale wa Pwani ya Kenya. Idadi ya Waislamu

Kenya inasemekana kuwa ni 10% (ALMANAC 2010 a ma 7 % W H I TA K E R S ALMANACK 2008). Ukweli ni kwamba Uislamu n a Wa i s l a m u l e o h i i wanaheshimika zaidi huko Kenya kuliko Tanzania yenye idadi kubwa ya Waislamu. Soma magazeti ya Kenya na ukweli huu utauona. Nimechagua nchi za Afrika Mashariki halisi kwa ulinganisho huu kwa sababu hizi ni nchi za karibu ambazo pia taarifa zake zinapatikana kwa urahisi. Mwandishi huyu alibahatika kuishi katika nchi hizo kwa muda. Lakini inaelezwa kuwa huko Zambia kwa mfano Uislamu kwa jumla n a Wa i s l a m u h a wa n a uzoefu wa kubaguliwa. Huko Kongo nako shida yao kubwa ni kule kupigwa vita na Kanisa Katoliki ambalo inasemekana wana sauti kubwa sana. Hata hivyo Serekali inajaribu kuwahudumia Waislamu bila ubaguzi. Sasa kwa nini inakuwa kwamba hapa Tanzania (hasa Tanganyika) ambako idadi yao ni kubwa wao Waislamu wamekubali kudhalilishwa na kuwa kama second class citizens kufuatana na wanavyolalamika wenyewe? Haitoshi kama Ustadh Shariff Mohamed Yahya kutoka Tanga anauliza ikiwa katiba inatambua kwamba kuna Wananchi wanaofuata dini tofauti kwa nini haitaki kujua idadi ya kila dini ili kujaribu kuwahudumia ama kuelewa mahitaji yao? Swali la msingi nadhani ambalo kila Muislamu Tanganyika ajaribu sana kulitafakari ni kwamba: Kama ilivyoelezwa Rais Milton Obote wa Uganda alijaribu sana kutaka kuwadhibiti Waislamu, lakini alishindwa ilihali idadi yao huko Uganda ni ndogo. Ilikuwaje Serekali Tanzania imeweza kuudhibiti Uislamu na k u w a f a n y a Wa i s l a m u washindwe kufurukuta mbele ya Wakristo. Kuwakumbusha tu wasomaji turudi nyuma kidogo. Gazeti la TUMAINI LETU la Ijumaa Februari 27-Machi 5, 2009 limenukuu Mukombe Muhasham Polycarp Cardinal Pengo, a k i m u a s a R a i s J a k a ya Mustafa Kikwete kuwa: MIMI NINAKWAMBIA ZUNGUMZA NA V I O N G O Z I WA D I N I WATA K U S A I D I A N A H ATA U K I TA K A N A K U R A Z A WA U M I N I W E T U U TA Z I PATA , HATA UKITAKA KURA Z A WA K AT O L I K I ZUNGUMZA NA MIMI.

12 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 15 -22, 2012

Shairi/Habari

Kuuawa waumini mpaka lini?


Ninahoji kulikoni, kuuawa waumini, Mithili ya hayawani, wasokuwa na thamani, Sasa imekuwa ada, Islamu tafakari, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Ni ada sasa nchini, kuuawa waumini, Tena si kwa uhaini, bali ni kwa hiyo dini, Shuhuda zimesheheni, za wazi petu nchini, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Mauaji dhukuruni, ya Mwembechai jini, Walouawa ni nani, kama sio waumini, Na walouwa ni nani, si polisi wa nchini. Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Kadhalika kumbukeni, Mwembetanga visiwani, Ni Imamu si haini, alotiwa mautini, Na polisi wa nchini, tena nchi ya amani, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Kahama tafakarini, kwa makini ikhiwani, Yalojiri karibuni, mauaji ya kidini, Chimbukole kanisani, kuuawa muumini, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Alopanga uhaini, wa kwaya ya kanisani, Ilotusi yetu dini, kwa kejeli hadharani, Kwa kudai ni manani, jiwe jeusi hjani, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Wakamzonga dukani, kondoo wa kanisani, Kamjeruhi batini, akawa yu taabani, Wakatimka mbioni, kua yu mautini, Wauaji si wageni, ni raia wa nchini. Punde si punde njiani, katokeza waumini, Wakambeba kwa jani, hadi hospitalini, Akatutoka jamani, ndugu yetu muumini, Itadumu mpaka lini, hali hii ikhiwani? Na Abuu Nyamkomogi Mwanza

Inatoka Uk. 16

Walimu hawahitaji mshenga kuwashawishi kugoma


wa majukumu yake ya kiajira kazini na uzembe pamoja na ufanyaji mchezo wa wanafunzi awapo nyumbani kwao, hilo linabainika katika swali lake la tatu la kibalagha lililohoji hivi Mwalimu a n a we z a k u f u n d i s h a vipi mahali ambapo mtoto akirudi nyumbani hana cha kufanya zaidi ya kujipanga kucheza Hakunaga? Ama kweli wahenga hawakukosea pale walipotanabaisha kuwa akili ni nyewe kila mtu ana zake. K wa m u k t a d h a wa kauli hiyo ya wahenga, nimalizie mjadala huu kwa kuhitaji mwandishi atupatie majibu ya maswali haya: Je, walimu wasifundishe kwa kuwa tu wanafunzi hawadurusu yale wanayofundishwa shuleni? Je, mgomo wa walimu ndio suluhisho pekee na muafaka kwa tatizo la watoto kutotalii wanayofundishwa shuleni? Kwa kuhitimisha mjadala wetu, labda nikazie maarifa kidogo juu ya ushawishi wa mgomo unaodhaminiwa n a k o m r e d i L u l a wa Ndali Mwananzela kuwa

Wachawi wa Zanzibar wako wengi


Ndugu mhariri NIMESOMA kwa kituo makala gazeti lako la An-nuur la Feb 24 lenye kichwa cha habari Mchawi wa Zanzibar sio JOYCE NDALICHAKO. Makala imeandikwa na Mwandishi Maalum, maudhui yake ni kushuka kwa elimu Zanzibar na akatowa msimamo wake kuwa wanafunzi wa Zanzibar hawapaswi kumlaumu Katibu Mtendaji (NACTE) kwa kuwafutia matokeo ya kidato cha nne mwaka 2011. B i n a f s i m i m i natatofautiana na kauli ya mwaandishi huyu aliposema Wazanzibari wengi bado wanaamini kuwa Zanzibar ya leo ndio ile ile ya 1950s n a 1 9 6 0 s . A s i wa s e m e e Wanzanzibari yale ambayo hayamo katika mawazo yao kwani kwa hili, hata umuulize mtoto mdogo, tena mapepe wa Kizanzibari atakwambia Zanzibar ya leo ni tafauti na ile ya 1950s na 1960s. Wa s i c h a n a k u t o k a bara au popote kufanya uchangudowa Zanzibar watalaumiwa tu sababu hayo si maadili yetu. Mwandishi anasema uchangudowa ni biashara- Kwa huku kwetu Zanzibar uchangudowa hatuiti biashara kwani kwetu sisi hiyo ni karaha ya kuepukwa kama ukoma. Aidha hata mwanamke hatukumuweka bidhaa ya kuuzwa na kununuliwa, hilo ni kosa. Hata kule kujaribu kuweka danguro, liwe na mnunuzi au lisiwe na mnunuzi ni kosa la jinai kidunia hata kidini na si utamaduni wetu. Wa n a o f u n g u a b a r Zanzibar zikaenea kama uyoga katika mitaa yetu, Wazanzibar ni haki yao kuwalaumu, sababu zinatuharibia watoto wetu, ndio maana wengine uvumilivu unawashinda, wanaamua kuzichoma moto (Mimi sisemi wazichome) Lakini naonesha uchukivu wa watu wetu juu ya hizi bar. Tumewakubali kama Wazanzibar ingawa wengi wao ni kutoka Bara. Hawa wameenea katika mitaa ya Kwahani na Jang`ombe na wengi wao ndio vibaka wakabaji. Huu uhamiaji holela u s i p o d h i b i t i wa n d u g u mhariri, huku kwetu Zanzibar kuna siku utatugharimu, sababu kuna wale wanahamia Zanzibar na wanakuja na maadili mema. H a wa h a t u n a m a s h a k a nao. Lakini wako ambao hawana maadili, hawa ni wa kudhibitiwa. Mfano hai ni Kiboje jimbo la Uzini, kuna mtaa unaitwa Manzese unaongoza kwa ulevi. Baadhi ya watu wake wametoka makwao na mi yao kutoka Bara na kuleta silka chafu za kuharibu utamaduni wa Zanzibar. Mwandishi anasema mi ya bara ni sa kuliko Zanzibar. Sidhani. Bado faida ya usa haionekani. Tathimini za kutaalamu zinatwambia maradhi ya miripuko kama kipindupindu yanasababishwa na uchafu. Kwa nini bara h u t o k e a m a r a d h i h a yo mara kwa mara nako ni safi? Maoni yangu tuzidi kujitahidi kuiweka nadhifu mi yetu kwani bado yote ingali michafu. Vana wanaotumia dawa za kulevya, kuvuta bangi, kuzurura mitaani Zanzibar wako wengi kuliko bara nakubali. Hicho ni kilio chetu

mbinu tu au kuna kubwa zaidi ya miundo mbinu? A m a k we l i wa h e n g a hawakukosea pale walipotanabahisha kuwa Msema pweke hakosi. Kadhalika kuhusu suala la kupima mambo kwa kutumia visivyo stahiki kwa mambo husika au pengine tuseme visivyo na uwiano na mambo hayo, mshairi maarufu Bw. Salum Kibao, alipata kuwaasa washairi wenziwe kunako jambo hilo kwa kusema na hapa namnukuu: Kilo kupimwa na jiwe, ni vituko washairi, Hilo kutahamikiwe, kila aliye mahiri, Kilo sharti kwa mwenziwe, ndipo utapokariri, Na Shubiri kwa shubiri, hapo itakuwa sawa. Kwa ufupi, jambo la msingi tunalopaswa sote kujifunza katika upimaji wa mambo yetu anuwai ni kwamba kila jambo lipimwe kwa vipimo vyake stahiki pasi kinyume chake! Tatu, uoanishaji usio n a m a n t i k i b a i n a ya utekelezaji wa mwalimu

suluhusho muafaka kwa matatizo anuwai wanayokabiliana nayo; kwa kumrejesha katika anasa zilizowasilishwa kwa watu wenye fikra n a u o n i k a m a wa k e , kupitia tahariri ya gazeti la An-nuu, toleo namba 998 la Feb 10-16-2012 Isemayo, Ukitazama mijadala na kelele zote hizi zinazopigwa, lile jambo la msingi halijadiliwi ikaendelea Unapoichagiza serikali iwalipe madaktari, unaposema kuwa kwa makusudi serikali haitaki kumaliza mgogoro wa madaktari, kwa sababu haina huruma na wananchi wanyonge, ni lazima k wa n z a we we u a n z e kumsaidia mwananchi huyu kwa kumweleza na kumfafanulia tatizo ni nini.
Anachokibainisha mhariri hapa, yumkini ndicho M wa n a n z e l a a n a o n e k a n a pia kughafilika nacho na kushughulishwa zaidi na utoaji wa ushawishi usio na mashiko kwa kulikwepa, ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya, jambo la msingi linalopaswa kujadiliwa.

ambacho kinatuathiri sana, tena kwa mawazo yangu wa kulaumiwa zaidi kwa kusababisha hawa vijana wa viwe ni hawa mawakala wanaoingiza unga nchini, lakini hatusikii kulaumiwa wala kuchukuliwa hatua, bado wanaachiwa kutuharibia watoto wetu. Mwisho namalizia kwa kumtaka Dk. Joyce Ndalichako afungue Biblia takatifu katika Luka mtakatifu, atizame aya 41 inayosema, Basi mbona wakitizama kibanzi kilicho ndani ya jicho la mwenzako ( N d u g u ya k o ) n a b o r i t i lililo ndani ya jicho lako mwenyewe huangalii. Aya hii itamsaidia sana katika utendaji wake wa kazi, namtakia kazi njema. Mzee Hassan Mkwende Hassan.

Makala

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16-22, 2012

AN-NUUR

13

Na Ibrahim Mohammed Hussein Serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar iwape nafasi vijana waamuwe khatma ya nchi yao baada ya miaka 48 ya Muungano. Wakati umewadia kwa Wazanzibari kujiamulia na sio kuamuliwa. K a m a Wa z a n z i b a r i walipigana kufa na kupona kumuondoa Sultani wakiwa na tamaa ya kujitawala wenyewe, kujiamulia mambo wenyewe bila ya kuingiliwa na mtu yeyote kutoka nje. Wazanzibari walikuwa na tamaa kubwa ya kula matunda mazuri ambayo yalipiganiwa kwa miongo k a d h a a n a Vi o n g o z i pamoja na wananchi wake kwa matumaini ya yale waliyoyakosa wakati wa kutawaliwa na Usultani. walitaraji kuyapata kwa nafasi wakati wa Zanzibar kuwa huru. Viongozi hawa wawili, Nyerere na Karume (hivi sasa ni marehehmu) walikutana kwa sababu wanazozuwa wenyewe, walizungumza bila ya kuwashirikisha wananchi wa pande zote mbili, walijiamulia mambo wenyewe huku wa k i a m i n i a k i l i z a o ndio akili za wananchi wanaowaongoza. Lakini sio kweli, bali ni dalili za Udikteta ambao unalenga kuwalazimisha wananchi wayakubali mawazo yao. Viongozi hao walifanikiwa kuwarubuni wenzao huku wakiwa na Dola zinawalinda. Wa l i w e z a k u u f i c h a Muungano wanaoutaka wao na kuwekeana makubaliano maalum. Watu walilazimishwa kuukubali Muungano bila kujadili wala

kuulizwa japo maoni yao. Muungano huu ni kielelezo tosha cha kutudharau, kutupuuza, kutudhalilisha Wazanzibari. Vitisho, siri na propaganda ndio vinavyotawala juu ya Muungano huu. Mwalimu Nyerere a l i j i t wa l i a m a d a r a k a makubwa kwa kutumia n a f a s i ya k u k u b a l i k a kweke. Nyerere alikuwa na uwezo wa kumkataa mtu na wenziwe wakaridhika, akimuonesha kidole mtu, basi atatengwa na akimkumbatia mtu basi ataaminiwa na wote. Kwa mantiki hiyo, Viongozi wa chama walifikia hatua za kumtukuza kwa kusema zidumu kra za Mwenyekiti wa CCM. Hapo ndipo Viongozi wetu kutoka Zanzibar walipofungwa kamba shingoni na kuburuzwa bila ya kujua wanakopelekwa. Wa l e w a l i o o n e s h a kutokubaliana nao wengi wao walitokomezwa na wengine kupigwa bakora na kutishwa kwa sauti kali yenye kutisha, kilichofuata ni kutii amri na kusonga mbele katika kuipokonya madaraka Serikali ya Zanzibar. Mwisho wa yote Wa t a n z a n i a w o t e wa l i p i g wa m a r u f u k u kujadili Muungano, na yeyote atakaekaidi, basi huyo ni haini. Sheria a u k a u l i h i yo i l i k u a inawalenga Wazanzibari wasije wakathubutu kudai kujitoa ndani ya Muungano. Hata hivi sasa vitisho hivyo bado vinajitokeza kwa sura t o f a u t i . Tu k u m b u k e ile rasimu i l o c h a n wa Zanzibar. Rasimu ile ilitaka tusizungumzie masuala ya Muungano kabisa. Sasa rasimu hii ya hivi sasa wametoa sheria Bungani ya kumchukulia hatua mtu yeyote yule atakaejadili lolote lile ambalo liko nje ya hadudi rejea za rasimu ya KATIBA. K wa m a n t i k i h i yo , yoyote atakae toa HOJA ya kuirudisha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar au Muungano wa mkataba kuwa ndio unaofaa kwa Zanzibar wa k a t i wa m c h a k a t o wa Katiba utakapokuja, atachukuliwa hatua za kisheria na atafikishwa

Ni haki kwa Wazanzibari kuhoji muungano


Mahakamani ili wengine waogope kuendelea kuidai Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na badala yake iendelezwe hoja inayotakwa ya kujadiliwa Katiba ya kikoloni bila ya uwepo wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambae ndio mbia mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. W a z a n z i b a r i walilazimishwa kuunganisha nchi zao, nasema ndio walilazimishwa. Siku ile ulipotangazwa Muungano, Vikosi vya Kimarekani, Kiingereza na Vikosi vya Tanganyika vilikuwa tayari kuvamia keshi pindi Wananchi wa Zanzibar wangeliukataa Muungano huu. W a z a n z i b a r i walilazimishwa kuvunja chama chao cha Afro Shirazi Party (A.S.P). Wazanzibari wakawekewa sehemu ya kuwachinjia na kuwasulubu Dodoma. Kukatwa jina la Gharib Bilali asiwe Rais wa mwaka 2000 na 2005 viongozi wetu walisahau umuhimu wa kuwa na Uhuru wa kisiasa, ukiwa nao vingine vyote utavipata. Wazanzibari wamekoseshwa fursa ya kujitafutia maendeleo katika Shirika la OIC hivi sasa ni miaka 20 kamili tokea tulipoahidiwa kwamba tutajiunga pamoja kama Tanzania, hadi hivi leo Serikali ya Muungano imekataa kwa vile Tanzania Bara imelipinga suala hilo. K u w a n g a n g a n i a Wazanzibari hivi sasa na kutaka kulazimisha Muungano uwe ni kitu cha lazima ni kuanzisha mapambano mapya baina ya Wananchi wa Zanzibar na Uongozi mchanganyiko wa Serikali mbili ndani ya Muungano huu, Serikali ya Muungano upande wa Tanzania Bara na Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano huu huu. Haya yote yanatokana na upofu wa Serikali yenyewe ya Muungano kwa vile haioni mbele wala haikumbuki tulikotoka. Si kweli kwamba, mambo yalioshinikiza Muungano huu wa miaka 48 iliyopita bado ni muhimu katika mazingira ya sasa na yajayo. M i s i m a m o wa v i t a baridi imekwisha, ndoto za Umoja wa Afrika za DR Kwame Nkuruma na Mwalimu Nyerere si muongozo tena, wala mfumo wa demokrasia ya vyama vingi hauwezi kuutetea na kuurudisha mfumo wa Chama kimoja kutokana na mazingira ya sasa. Kuitumia ilani ya Chama ili kukidhi biashara ya kisiasa haiwezi kuimarisha M u u n g a n o . H o j a ya kuandika KATIBA kwa matakwa ya watawala ni mipango ya kulinda na kuendeleza kuikalia Zanzibar kimabavu (Ukoloni mamboleo) na kutaka kuidhibiti kwa muda mrefu zaidi. Kujua ubora wa Serikali ya Muungano kwa Wazanzibari hakuhitaji itikadi, bali kunahitaji akili ya kujua ni nini zuri kwetu na ni nini baya kwetu. Miaka 48 ni mingi, mengi yanatokea ambayo wa n a n c h i wa m e we z a kutafakari na wako tayari kwa maamuzi sahihi juu ya nchi yao. Wengi wao ni vijana chipukizi ambao wa m e we z a k u o n a n a kupima uzuri na ubaya wa M u u n g a n o we t u . Serikali isisahau kwamba madaraka na mamlaka walionayo imetokana na wao. Hivi sasa Viongozi wote wa Bara na Visiwani wanapiga mbiu ya KATIBA. Viongozi wanaelewa kwamba kuzungumzia KATIBA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, maana yake ni kuzungumzia MKATABA wa Muungano? Mkataba wa Muungano ndio kitu pekee kilichotuunganisha baina yetu Wazanzibari na Watanganyika kwa s a b a b u h i y o b i l a ya MKATABA wa Muungano hakuna Muungano, na hivyo hakuna KATIBA YA J A M H U R I YA MUUNGANO. Vipi leo mlazimishe kuzungumzia KATIBA? Uwapi mkataba uliotuunganisha? Leteni mkataba mbele ya Wazanzibari kama

nyinyi mnasema kweli. Je! Hamkufanya usanii juu ya Mkataba mbona hatuoni sahihi ya Karume? M n a f a n ya m z a h a n a k u i t a w a l a Z a n z i b a r, mnakiri bado Wazanzibari wamelela? Mbele yenu kuna vita vikubwa, vita hii itakuja pale mtakapotaka kulazimisha Wazanzibari kujigandisha kwa nguvu katika Muungano huu unayoigharimu Zanzibar katika kupiga hatua za kimaendeleo huku nyinyi (Tanzania Bara) kila kukicha mnakwenda mbele. Serikali gani (SMZ) isiotegemea sera ya fedha kuwa ni silaha na nyenzo kubwa ya kupanga sera na maendeleo yake. Je! Zanzibar inayo silaha hiyo? Jawabu haina. Vyombo vyote vya fedha na hasa Benki Kuu ni vyombo vya Muungano na vinawajibika kwa Serikali ya Muungano. Inabuni sera za fedha zanye maslahi ya uchumi wa Serikali ya Muungano ikiwemo Tanganyika ndani yake. Zanzibar inalazimika kufuata sera hizo ikuwa k u wa n i p o t o f u k wa mahitaji ya uchumi wake. Sasa lazima tuendelee na mfumo wa aina hii? Kodi ya mapato na ushuru wa forodha ni shughuli za Muungano. Mwenye mamlaka kisheria kutangaza kodi hizo, kupandisha, kushusha au kuzisamehe kabisa ni Waziri wa Fedha (wa Tanganyika), ambae ndiye huyo huyo anaetambulika kuwa Waziri wa Fedha wa Muungano. Waziri wa Fedha wa Zanzibar hana uwezo huo. Sasa nini basi faida ya Muungano huu? Ziko wapi hizo faida lukuki tunazoambiwa na viongozi wetu. Kudumaa kwa maendeleo ya Zanzibar kumechangiwa kwa kiasi kikubwa na huu Muungano. Sababu Muungano huu una madaraka juu ya tawala mbili, moja mambo ya Kimuungano na pili yale ya Ta n g a n y i k a . Wa p i utakosekana upendeleo kwa vile Mtanganyika na Muungano ni mtu huyo huyo mmoja?

14 AN-NUUR

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16-22, 2012

Tangazo

NAFASI ZA UALIMU NGAZI YA CHETI 2012/2013


WAISLAMU MNATANGAZIWA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC
A. SIFA: Muombaji awe na sifa zifuatazo: (a) Ufaulu wa kidato cha 4 usiopungua alama 27 katika kikao kimoja cha mtihani, asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano (5) tangu amalize kidato cha nne. (b) Awe na credit 4 kiwango cha C endapo amekaa mtihani kwa vikao zaidi ya kimoja. (c) Kuhitimu kidato cha 6 ni sifa ya nyongeza. B. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE 1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certicates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni. 2. Fomu irudishwe siku ya kufanyiwa usaili tarehe 9/6/2012 saa 2:00 asubuhi. 3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo: (a) Kirinjiko Islamic T.C SAME (b) Ubungo Islamic T.C DSM (c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza 4. Majibu yatatolewa kwa watakaoteuliwa tu. 5. Fomu zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi katika vituo vifuatavyo: Arusha Msikiti wa Ngarenaro: 0786 469896 Kilimanjaro Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723418 Same: Kirinjiko Islamic Secondary School: 0784 296424 Juhudi studio/Restaurant-Same Mjini 0757013344 Tanga Uongofu Bookshop: 0789 410914 Mwanza Nyasaka Islamic Secondary School: 0786 417685/0717 417685 Osi ya IPC MWANZA Mtaa wa Ruji Musoma Shule ya Msingi Kamnyonge: 0714 587193 Kagera Bukoba: Katoro Islamic Secondary School: 0688 479667 Shinyanga Kahama Osi ya Annur 0684 940941 DSalaam Ubungo Islamic High School: 0754 260241/0655 260241 Manzese Osi ya Gazeti la Annur-0713110148/0777777372 Temeke Osi ya Islamic Ed. Panel-Mkabala na msikiti wa Nurulyakin-0787119531/0655 144474/0715 002706 Pwani Ikwiriri Msikiti wa Taqwa:0656 531133 Bagamoyo Duka la vitabu (Mosa Investment): 0754 452686 Morogoro Osi ya EKP- Msikiti wa Ijumaa Boma Road - Morogoro mjini-0712689258 Dodoma Al-Hijra Islamic Primary School: 0712 325086 Singida Osi ya Islamic Ed. Panel, karibu na Nuru Snack Hotel 0714 285465 Manyara Babati: 0784 209701 Kigoma Msikiti wa Legeza Mwendo Mwanga: 0753 355224/0717 317322 Kibondo Islamic Nursery School: 0756 146182 Murubona Muslim S.S. Kasulu 0714 710802 Tabora Kituo cha Kiislamu Isevya: 0783 079146 Lindi Wapemba Store: 0784 974041 Mtwara Amana Islamic Secondary School: 0715 729973/0786 729973 Songea Songea Mjini: M.A. Kawanga mkabala na Msikiti wa Wilaya 0713 249264 Mbeya REXONA mkabala na Mbeya Retco (Stationary ya Msikiti wa Uyole) mtaa wa Uhindini na Uyole (kwa mwalimu Idrisa): 0718 425319 Rukwa Sumbawanga: Semzango Stationary-0785 734662 Iringa Masjidi Hidaya Iringa mjini: 0714 522122 Pemba Wete: Wete Islamic Education Centre: 0777 432331 Unguja Madrasatul-Fallah: 0777 420612

Tangazo na fomu zipo pia katika tovuti ya IPC:www.ipc.org.tz

Wahi kuchukua fomu mapema!


Wabillah Tawiq

MKURUGENZI

Habari/Makala
Na Bakari Mwakangwale NILIPATA kumsikia Sheikh mmoja akitoa mawaidha katika Msikiti mmoja akisema, katika mwili wa mwanadam kuna viungo tata, akavitaja kuwa ni roho, nafsi, moyo pamoja na akili! Hakika, bila shaka hivi ni vitu muhimu sana kwa mwanadamu katika maisha yake ya kila siku hapa duniani. Viungo hivi vinafanya kazi kwa kushirikiana hivyo kulingana na mawaidha ya Sheikh huyo, nilipata hamu ya kuviangalia kwa makini kwa mujibu wa Qur an na Sunnah, ili niweze kuwaidhika na utata wa viungo hivyo. Lakini pia nilibaini mambo mengine kupitia viungo hivyo katika mwenendo wa maisha ya mwanadamu ya kila siku. Katika pekua pekua yangu, kwanza niligundua kwamba kila kimoja kina tafsiri yake, lakini juu ya roho Allah (s.w) amekataza kuadili roho. Wanakuuliza kuhusu roho, waambie roho ni amri ya Mwenyezi Mungu hamna elimu ya kuijadili, elimu yenu ni ndogo, Hayo yalikuwa ni majibu na maelekezo ya Allah kwa Mtume (s. a.w) awajibu wanaomuuliza kuhusiana na roho, hivyo hapo hakuna mjadala zaidi. Mwanadam ana akili, Mwenyezi Mungu anaitaja akili kama moja ya kiungo muhimu kwake kwani akili ndio inamfanya mwanadamu atambue uwepo wake na uwezo wake. Kwa maana hiyo ni akili ndiyo yenye nafasi ya kuchanganua zuri na baya, ili kuweza kukia lengo la kuumbwa na kuletwa hapa duniani. Katika Qur an 3:190, Mwenyezi Mungu anasema, Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi na kuhitilafiana usiku na mchana ziko ishara kwa wenye akili. Moyo unajulikana ulipo, na ndio unaweka sawa mapigo ya pumzi za viumbe na zaidi, Qur an imeeleza mambo mengi kuhusu moyo pale Allah (s.w) aliposema:Wanazo nyoyo lakini hawazingatii kwa nyoyo hizo. Hapa ni pale walipolaumiwa watu wa motoni. Hivyo moyo una kazi ya kuzingatia. Pia ukiutengeneza moyo ukawa na tabia ya kuzingatia, utafanikiwa katika mambo mengi. Ama ukishindwa kuutengeneza moyo, pia utashindwa katika mambo mengi, hivyo ni dhahiri kuwa mwanadam ana jukumu la kuujenga moyo wake uwe ni wenye kuzingatia. Hivyo basi, viungo hivi kwa pamoja, katika makala hii nakusudia kuizungumzia

RABBIUL THAN 1433, IJUMAA

MACHI 16 - 22, 2012

AN-NUUR

15

zaidi nafsi ili tujue kwani bila kujua mwanadamu atakuwa ni mwenye hasara siku zote na kamwe hutoweza kukia lengo lake la kuumbwa. Na mwanadamu kutojijua ni tatizo katika jamii. M wa n a f a l s a f a m m o j a anasema, Asiyejua hawezi k u j u a wa j i b u wa k e , n a asiyejua wajibu wake hawezi kujua haki zake, na asiyejua haki zake hawezi kuzilinda wala kuzitetea. Ukizingatia maneno hayo ya hekma, utabaini kwamba mwanadamu ana dhima ya kujijua, ukishajijua ndipo utajua wajibu wako ni upi, kisha utajua haki zako ni zipi na utajua namna ya kuzitetea haki zako na kuzilinda. Kutojijua ni chanzo cha matatizo na kujidhulumu. M wa n a d a m u a n a p a s wa kuitengeneza nafsi yake ili awe salama mbele ya Allah (s.w) kwani kwa mujibu wa Qur an, nafsi imegawanyika mara tatu. Qur an, 89:27-30, Allah (s.w) katika aya hizi anaitaja nafsi iliyotulia na kuainisha kuwa nafsi ndiyo itakayovuna yale iliyoyachuma katika maisha ya duniani, Mwenyezi Mungu anasema:Ewe nafsi yenye kutua!, R u d i k wa M o l a wa k o , hali ya kuwa utaridhika (kwa utakayoyapata), na (Mwenyezi Mungu) aridhike na wewe. Basi ingia katika ( k u n d i l a ) wa j a w e m a (wazuri). Uingie katika Pepo yangu. Nafsi yenye kutua ni ile nafsi ya mwenye kuamini akatenda matendo mema aliyoamrisha Allah (s.w) na kuacha makatazo yake kwa kufanya matendo mema. Nafsi hiyo haitakuwa na hofu wala huzuni siku ya kiama, hakika Mwenyezi Mungu atakuwa radhi nayo siku hiyo na moja kwa moja itaingia peponi, hiyo ni nafsi ya kwanza, Nafsi limutumainna. Nafsi ya pili ni ile inayoamrisha maovu, Nafsi la ammarat -bisuui, Mwenyezi Mungu anaitaja katika Suratul Yusuf katika aya ya 53. Nami sitakase nafsi yangu, kwa hakika (kila) nafsi ni yenye kuamrisha sana maovu, isipokuwa ile ambayo Mola wake ameirehemu... Kwa kawaida Allah (s.w) huzipandisha daraja nafsi zetu, kila unapoielekeza katika mambo mazuri, mfano wa askari awapo jeshini. Na nafsi ya tatu ni ile ambayo inajilaumu, Nafsi Lawama. Nafsi lawama ni ile ambayo inapofanya jambo baya, kabla hajalaumiwa na yoyote haraka inaanza kujilaumu yenyewe, kwa

Nafsi

kusikitika na kujuta. Ilitokea kwa swahaba mmoja zama za Mtume (s. w. a), alikatisha maeneo ya makari, jamaa walimkabili kikubwa walimshurutisha amkane Allah (s.w) na Mtume (s .a. w) wake, na kumtamkisha miungu yao, Swahaba yule alitii amri kunusuru uhai wake!, kisha walimuachia. Palepale nafsi yake iluta na kuamua kumuendea Mtume (s.a.w) na kumuelezea kisa kizima, kisha alisema, baada ya kuona mateso yanazidi, nilikubali . Kisha Mtume alimuuliza je, katika nafsi yako unaonaje, alisema majuto/huzuni. Na ninaapa kwa nafsi inayojilaumu! (inamlaumu mtu kwa dhambi zake na upungufu wake) Qur an 75:2. Sasa basi, ili nafsi yako ihame katika kutoka

kuamrisha maovu (Bisui), siku zote ni kujitahidi kuyaacha yale yaliyokatazwa na kufuata kwa dhati kabisa mema yaliyoamrishwa na Allah (s.w). Na unapokuwa mtiifu kwa Allah, katika mwenendo wako wa maisha, naye anaipandisha daraja nafsi Bisur, na kwa kuwa Allah ni mwingi wa rehma, huipandisha daraja hadi kukia nafsi Lawama. Lakini katika daraja hili bado utakuwa na kibarua zaidi cha kuongeza ibada na kujikurubisha kwa Allah (s.w), mwisho wa siku itaka darja la nafsi Litumaanina Nafsi Litumaanina, ndiyo Mwenyezi Mungu ataikaribisha kwake katika daraja la kwanza (First Class), akasema Mwenyezi Mungu katika Suratul Balad (2730):Ewe nafsi yenye kutua!.., Basi ingia katika waja

wema ...Uingie katika Pepo yangu. (Rabaal-Minhum). Hapa utaona kuwa mwisho wa siku (kiyama) nafsi inakwenda Peponi baada ya wewe kujitahidi kuinyanyua daraja! Mtume (s. a .w), aliwahi kuwaambia Maswahaba wake wakati wakitoka katika Jihadi (Vita vya Badri) kuwa wamemaliza jihadi ndogo na wanaelekea katika jihadi kubwa. Kauli ambayo iliwastua Maswahaba kisha walimuuliza Jihadi gani kubwa ya hii? Ikiwa hii tumeuawa, tumerudi vilema, hiyo ni jihadi gani tena? Mtume alisema jihadi kubwa wanayoiendea ni ya Nafsi. Kwa sababu Mtume anajua nafsi ni mtihani k wa m wa n a d a m k a t i k a kuidhibiti.

Wanawake wasomi wa Kiislam waelimishana juu ya haki zao


Inatoka Uk. 16 wanachotumia ni tofauti na wanachozalisha. Hata hivyo alisema pamoja na wanawake hao kutafuta njia mbalimbali za kujikwamua kiuchumi, lakini pia lazima wazingatie kigezo muhimu cha kupanda na kushuka kwa uchumi ili waweze kutimiza lengo lao hilo. Sheikh Sanze alisema kwamba mwanaume na mwanamke, wote wako sawa katika masuala ya kujiongezea kipato. Hata hivyo alisema mwanamke wa Kiislamu ana fursa nzuri zaidi ya kujikwamua kiuchumi kwa kuwa pamoja na kwamba kapewa usawa na mwanaume katika kuchuma na kumiliki alichokichuma kwa mikono yake, bado mumewe anawajibika kukidhi mahitaji yake yote muhimu ya maisha. Aidha akina mama hao wanataaluma wa Kiislamu walitumia semina hiyo kuelimishana haki zao kwa mujibu wa Uislamu na kupeana nasaha. Mada hiyo ilitolewa

Serikali yatoa ahadi nyingine kwa wanafunzi wa Ndanda


(Februari, 2012). Aidha Ponda, alisema wamekubalina kufanya kikako kingine tena kati ya viongozi wa Waislamu na Serikali, ili kujadili na kukomesha kabisa matatizo makubwa yanayokabiliana nayo wanafunzi wa Kiislamu kiimani katika Mashule na vyuo vya Serikali nchini. Kwa mujibu wa Sheikh Ponda, kikao hicho na makubalianao hayo, ya l i f a n y i k a b a i n a ya viongozi wa Serikali chini ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa na Masheikh kutoka taasisi za Kiislamu chini ya Sheikh Mussa Kundecha, Amir wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Ta n z a n i a ( B A R A Z A KUU). Wengine waliohudhuria

kwa kuzingatia kwamba wa n a wa k e we n g i wa Kiislamu kutojitambua na kuingia katika kudai haki zao nje ya Uislamu, walichukua fursa hiyo ya kukutana pamoja kwa kukumbushana haki za mwanamke wa Kiislamu kwa mumewe, kutambua majukumu yao na kutimiza lengo la kuumbwa kwao. Haki ya mwanamke wa Kiislamu kuolewa, haki za wanawake wajane, haki za ndoa, haki za kushiriki siasa, haki za talaka, n.k. ni baadhi ya mada zilizowasilishwa na kutolewa ufafanuzi.

Inatoka Uk. 16 na Serikali kupitia Wizara ya Elimu, kukutana na viongozi wa Kiislamu na kukia muafaka. Alisema Sheikh Ponda. Alisema, maandamano hayo yaliahirishwa kwa lengo la kupisha na kutoa nafasi tena kwa Serikali kutekeleza makubaliano hayo na ikiwa hayajatekelezwa, alidaia maandamano hayo yatatangazwa tena. Alisema, wanafunzi h a o k wa m u j i b u wa makubaliano na Wizara ya Elimu, watarejea baada ya shule kufunguliwa kwa mtindo wa kusambazwa katika shule mbalimbali nchini bila mashariti ili waendelee na masomo, sambamba na wale wa kidato cha sita, waliokuwa wafanye mtihani wao wa kumaliza mwezi uliopita

kwa upande wa Waislamuni Maalim Ally Bassaleh wa Haiyat Ulama, Sheikh Ponda Issa Ponda wa Shura ya Maimamu, Rajabu M r u m a ( B A K WATA ) pamoja na Jaafar Mneke wa TAMSYA. Na kwa upande wa Serikali, kulikuwa na Waziri wa Ofisi ya Wa z i r i M k u u Ta wa l a za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. George Mkuchika pamoja na maafisa wengine wa Serikali. Sakata la kufukuzwa kwa wanafunzi 62, liliibuka kufuatia mvutano wa kidini uliosababishwa na kile kilichoonekana ni kupuuzwa kwa madai ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni hapo, ambapo pamoja na kufikisha malalamiko yao katika ngazi za juu, Mkoani, bado walipuuzwa na hatima yake walifukuzwa shule.

16 AN-NUUR

16

AN-NUUR
RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 16-22, 2012 RABBIUL THAN 1433, IJUMAA MACHI 16 - 22, 2012

Maulid! Maulid!
Masjid ALLAH KARIM Kazimzumbwi Kisarawe, inawaalika Waislamu wote katika Maulid ya Mtume Muhammad (S. A.W) itakayofanyika Kazimzumbwi Kisarawe tarehe 24/3/2012, Jumamosi saa 2:30 usiku baada ya swala ya Inshaa. Wafadhili wa Maulidi haya ni Raki Nurmohamed Satya, Abdulwahid Mohamed na familia ya Madenge .

Serikali yatoa ahadi nyingine Msikiti mkubwa kwa wanafunzi wa Ndanda


Na Bakari Mwakangwale SERIKALI ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, imeahidi kuwarejesha wanafunzi wote 62, waliofukuzwa katika mgogoro wa kidini ulioibuka katika Shule ya Sekondari Ndanda, Mkoani Mtwara, mapema hivi karibuni. Uamuzi huo wa Serikali umekuja siku mbili kabla ya kufanyika kwa maandamano makubwa ya Waislamu yaliyopangwa kufanyika Ijumaa, (wiki iliyopita) nchi nzima kupinga kufukuzwa kwa wanafunzi hao. Mbali na hilo, lakini pia maandamano hayo yalilenga kulaani ahadi hewa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa Jumuiya ya wanafunzi wa Kiislamu T a n z a n i a ( T M S YA ) iliyotoa katika viwanja vya Kidongo Chekundu, Jijini Dar es Salaam, mwezi Januari mwaka huu, kuwa wanafunzi wa kidato cha sita, wa shule hiyo watafanya mtihani wao, jambo ambalo

Nyote mnakaribishwa

Ulaya kujengwa Ujerumani

Wanawake wasomi wa Kiislam waelimishana juu ya haki zao


Na Pendo Masasa WA N AWA K E w a Kiislamu waliojaaliwa na mwenyezi Mungu kupata taaluma mbalimbali w a m e s h a u r i w a kujipanga na kuwakia wanawake wa Kiislamu ambao hawakubahatika kupata elimu na taaluma mbalimbali na kuwaelimisha ili nao waweze kujikwamua kiuchumi wao wenyewe na kuendeleza Uislamu. Wito huo umetolewa na Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, Sheikh Ramadhani Sanze, wakati akitoa mada juu ya nafasi ya mwanamke wa Kiislamu katika uchumi, kwenye semina ya siku moja ya Wanawake Wanataaluma wa Kiislamu, (Professional Muslim Women), iliyofanyika katika ukumbi wa Jaffar Complex jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Sheikh Sanze alisema kuwa ili kuwafanya wanawake wa Kiislamu wamudu kikamilifu kuwa wazalishaji wenye manufaa kwao, ni lazima wanawake wanataaluma wa Kiislamu watumie kikamilifu elimu yao kuwajuza wenzao ili kuleta ushindani na kuwawezesha wenzao

SHEIKH Ponda Issa Ponda akihutubia waumini katika Msikiti wa Mtambani jini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. lilishindikana. alisema makubaliano sana nchi nzima, kufuatia Akiutangazia umma wa hayo yalifikiwa siku ya kadhia ile ya vana wetu Waislamu katika Msikiti Jumatano ya wiki iliyopita, wa Kiislamu wa Shule ya wa Mtambani, Kinondoni katika osi za Waziri wa Sekondari Ndanda, lakini Jijini Dar es Salaam, Elimu. tumeyaahirisha kutokana Ijumaa ya wiki iliyopita, Leo ilikuwa yafanyike Inaendelea Uk. 15 Sheikh Ponda Issa Ponda, maandamano makubwa

wajikite barabara katika ujasiriamali katika biashara na kilimo. Akifafanua zaidi, Sheikh Sanze, alisema ingawa asilimia 90 ya wafanyabiashara wengi n i Wa i s l a m u , l a k i n i wengi wao wanashidwa kufikia malengo ya kujikwamua kiuchumi kutokana na kutokuwa na uelewa juu ya uchumi, Inaendelea Uk. 15

CAIRO UJENZI wa msikiti mkubwa zaidi barani Ulaya umeanza katika mji wa Cologne nchini Ujerumani kwa ushirikiano wa shirika moja la Uturuki. Kwa mujibu wa g a z e t i l a Ya u m a s Sabe linalochapishwa Misri, moja ya mashirika makubwa zaidi ya Uturuki nchini Ujerumani limepewa jukumu la kujenga msikiti huo ambao utakuwa mkubwa zaidi nchini humo na katika bara zima la Ulaya. Msikiti huo ambao utagharimu Euro milioni 34 utakuwa wa 1000 kujengwa barani Ulaya. Mkuu wa Baraza la Kiidara la msikiti huo amesema kwamba msikiti huo utakuwa na uwezo wa kubeba waumini 2000 na kutoa huduma muhimu kwa Waislamu wa nchi hiyo a m b a o wa n a k i s i wa kuwa milioni nne. Akizungumzia suala hilo, Jurgen Roters, Meya wa ji la Cologne amesema kwamba ujenzi wa msikiti huo utauletea mji huo umashuhuri wa kimataifa. Amesema ujenzi wa msikiti huo utakamilika mwakani na kufunguliwa tayari kwa Waislamu kutekelezea ibada zao.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like