Professional Documents
Culture Documents
Annuur 117
Annuur 117
ISSN 0856 - 3861 Na. 1017 RAJAB 1433, IJUMAA JUNI 8 - 14, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Waunguja wasema wao Wasegeju Wao na Wazanaki damu yao mmoja Wataka Maalim atimuliwe serikalini
Polisi jijini Dar wakataa njia Ilikuwa yaende Baraza Mwenge Wanafunzi kupiga kambi Wizarani
Ni shahidi namba 1 mahakamani Zanzibar Aseme kikombe cha Babu kimeishia wapi Ndio awaparamie vijana wa Kiislam Arusha Waislam wanajitakia wenyewe kutukanwa
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0755 260 087, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
AN-NUUR
kipaumbele kanisa kupitia maakiano yenu ya kisadi ya Memorandum of Understanding (MoU) ambayo mnaitumia k u w a k e b e h i Wa i s l a m u kwamba wao hawakuomba ndio maana hamuwachotei mabilioni kutoka hazina kama mnavyomchotea Pengo na akina Elinaza Sendoro. Kila siku maaskofu, mapadiri na wachungaji hupiga siasa hadharani na ndani ya makanisa yao. Tena wakati mwingine wakikutukaneni na kukukemeeni. Kimya!! Mlidhani watakukumbatieni na kukuimbieni ngonjera na tenzi za kukusifuni.
AN-NUUR
MAONI YETU
Wameungana na nguvu ya umma wanakusokoteeni kitanzi. Wamewazingira ndani na nje ya vibanda na vigwanda vyenu. Sasa msidhani mtasalimika kwa kuwaparamia Waislamu. Marekani ilipotaka kuwabamiza Waislamu dunia nzima, ilikuja na Septemba 11, ikaja kuibuka na Patriot Act ambayo ilitulazimisha na sisi kuwa na yetu. Inavyoonekana sasa mnataka nanyi kutuletea Septemba 11 yenu ya kienyeji. Tunashauri, kama huko ndio mnakoelekea, mkae kitako mtafakari upya.
Limekuwa kama kijiwe cha Makanisa Subra ina mwisho wake. Tunasema basi Ufanyike uchunguzi kwa miaka 10 iliyopita
ndio maana wanataka iundwe Tume na uchunguzi ufanyike angalau kwa miaka 10 iliyopita. Bakwata, linawapongeza na kuwaunga mkono Taasisi zote za Kiislamu nchini kwa jitihada ya kuligundua hili na hatua walizozichukuwa dhidi ya Baraza la Mitihani na kuufahamisha umma wa Kiislamu juu ya kadhia hii. Amesema Mufti Simba na kuongeza akisema, Baraza tunawapongeza taasisi zote za Kiislamu na tunasema Bakwata tuko nyuma yao kwani kauli yao ndio kauli yetu. Akizungumzia hoja na kauli ya utetezi ya Katibu Mtendaji wa NECTA, Dr. Joyce Ndalichako, kwamba Baraza lina utaratibu mzuri wa usahihishaji na program za komputa ila tu ilitokea dosari ya kibinadamu, Mufti amesema kuwa mifumo ya usahihishaji sio maneno matakatifu kwamba haiwezi kuchezewa kutokana hila za binadamu. Ni mifumo iliyowekwa na binadamu, na binadamu huyo huyo anaweza kuibadilishabadilisha vyovyote anavyotaka, ndio maana Waislamu wanataka kwanza Baraza lichunguzwe kwa miaka 10 iliyopita na likiundwa upya uwepo wa Waislamu na Wakristo uzingatiwe. (Soma makala Uk. 8 & 9)
Habari
AN-NUUR
Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU Jijini Dar es Salaam leo wanatarajia kufanya maandamano ya amani wakiitaka Serikali kufanya mabadiliko katika Baraza la Mitihani. Maandamano hayo ilikuwa yagawike katika makundi mawili ambapo, kundi moja lingekwenda Baraza la Mitihani Mwenge huku wengine wakielekea Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Waislamu wanadai kuwa Baraza hilo limekuwa likiwahujumu kutokana na kudhibitiwa kwa kiasi kikubwa na Wakristo. Hata hivyo, habari tulizo zipata tukienda mitamboni ziliarifu kuwa polisi wamekataa kuyaruhusu kama yalivyokuwa yamepangwa awali kwa sababu za kiusalama. Wamesema, kutawanyika kwa njia za maandamano hayo katika njia tofauti, itakuwa vigumu kwa vyombo vya usalama kudhibiti hali ya usalama. Badala yake polisi waliruhusu kufanyika mkutano wa hadhara Mnazi mmoja bila ya maandamano. Hata hivyo, viongozi wa Waislamu waliokuwa katika majadiliano na polisi waliomba kuwa Waislamu waanze maandamano yao msikiti wa Magomeni, Kichangani (TIC) kuelekea katika mkutano mara baada ya swala ya Ijumaa. Habari kutoka ndani ya kikao hicho ziliarifu kuwa polisi walitarajia kutoa majibu ya maombi hayo mapya ikapo saa 12 jioni jana. Hadi tunakwenda mitamboni saa 11 jioni ilikuwa haijafahamika polisi wangekuja na jawabu gani. Akitangaza kuwepo kwa maandamano hayo mbele ya Maimamu pamoja na vijana wa Kiislamu katika Msikiti wa Kichangani Magomeni (T I C), Jumanne wiki hii, Mwenyekiti wa Baraza la vijana wa Kiislamu Taifa, Ustadh Shaaban Mapeo, amesema wanataka Baraza hilo liundwe upya katika namna ambayo Waislamu watakuwa na imani nalo. Alisema, maandamano hayo yatagawanywa katika makundi mawili ili kuweza kukisha ujumbe wao katika kwa Baraza la Mitihani la Tanzania na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa wakati mmoja. Mapeo amesema, kundi la kwanza litakuwa ni kutoka katika Misikiti ya Wilaya ya Kinondoni, ambapo mara baada ya ibada ya swala ya
yasambazwa Zanzibar
ni watu wasio na fadhila y o y o t e . Tu n a k u o m b a Rais wa Jamhuri fanya mazungumzo na Rais Shein afikie hatua ya Maalim Seif apewe kisiwa chake cha Pemba akawatawale Wapemba wenzake. Imesema sehemu ya kipeperushi hicho ambacho kimezagaa mikononi mwa watu wengi. Wachunguzi wa mambo wanasema kuwa kipeperushi hicho na vingine vya namna hiyo ni kazi ya wale ambao wangependa kuona Wazanzibari wakiparurana na kutoana ngeu badala ya kufanya kazi zao kwa amani na maelewano kujiletea maendeleo. Wa p o w a n a o s e m a pia kuwa huenda wanaosambaza kipeperushi hicho ni makachero wanaotumiwa ili kuzima hoja ya muungano ambayo sasa inaonekana kuwa mwiba kooni mwa serikali na haina majibu ya hoja zinazoibuliwa. Wa n a o t o a h o j a h i i wanasema kuwa propaganda hii imelenga kuwagawa hata viongozi wa serikali na wa kisiasa ili hata jambo hili likiibuka Bungeni au katika vikao vya kiserikali na kisiasa, Wajumbe wa Zanzibar wasiwe na kauli moja. Kwamba hata kama ni CCM, basi wana-CCM Unguja wakinzane na wanaCCM Pemba huku Bara wakisimama na msimamo mmoja. Wagawe uwatale inatimia kwa wepesi bila kutoa jasho. Vyovyote itakavyokuwa, viongozi wa SMZ, viongozi wa kijamii na kidini Unguja na Pemba pamoja na Wazanzibari kwa ujumla, wametakiwa kuwa makini wasije kutiwa sumu ya tna, chuki na farka wakabaki wakichapana bakora na marungu ya polisi huku wanaopika fitna hiyo wakichekelea.
Askofu Thomas Laizer Na Omar Msangi w azu ng u mzaji k atik a kipindi hicho walikuwa Sheikh Ponda Issa Ponda na Ramadhani Sanze ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu. Katika mazungumzo yao Ponda na Sanze waligusia malalamiko na madai mbalimbali ya Waislamu nchini huku wakionyesha ushahidi wa hujuma wanayofanyiwa Waislamu na Baraza la Mitihani. Mchangiaji mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Fred Mwarengo akipiga simu kutoka Singida aliwarushia makombora Waislamu akisema kuwa Waislamu hawana wa kumlaumu bali walaumu ujinga wao. Akasema, yeye alisoma na Waislamu na kuwaona ni watu wajinga tu. Shuleni badala ya kusoma wao hukalia kuswali swali tu na kukaa misikitini. Lakini pia pamoja na ujinga wao, hawataki kusoma na wenzao katika discussion, bali hujadiliana wenyewe kwa wenyewe (kwa maana ya wajinga kwa wajinga). Bwana Fred anashangaa na kushindwa kupata picha, discussion ya
KIPO kisa cha binti msaidizi wa nyumbani (house girl) na mh u d u mu wa bustani (shamba boy) waliokuwa wameajiriwa na tajiri mmoja. Wawili hawa walifanya kazi kwa tajiri yao kwa muda mrefu na wenyewe wakatokea kuelewana. Hawakukwaruzana wala kugombana hata mara moja. Yule kijana akampenda sana binti hata siku moja akajitutumua akamwambia anataka waoane.
Shamba boy na house girl, waoane! Nashindwa kupata picha hiyo itakuwa familia ya namna gani. Naona wewe tafuta mke wa hadhi kidogo, nami nisubiri kupata mume asiye na maisha duni kama yangu. Lilikuwa jibu la binti (house girl) kwa kijana. Jumatatu katika kipindi cha Baragumu kinachoendeshwa na Channel Ten, wageni
watu wajinga kwa wajinga itakuwa na tija gani kama sio kugawana ujinga walio nao Waislamu na hatimaye kufeli mitihani! Labda niseme hayo sio mawazo ya Fred pekee. Ndivyo Waislamu wanavyotizamwa katika nchi hii. Na labda niseme pia kuwa huenda akina Fred hawana hatia. Sio wa kulaumiwa, bali wa kulaumiwa ni Waislamu wenyewe kwa ujinga wao kama alivyosema Fred. Mohamed Said ameandika sana juu ya dhulma wanayofanyiwa Waislamu nchini mpaka historia na mchango wao katika kupigania uhuru umefukiwa. Ameandika Padiri Dr. John Sivalon akionyesha jinsi mawakala wa kanisa walivyo wahujumu na wanavyoendelea kuwahujumu Waislamu. Wa m e a n d i k a m p a k a watu wa nje, Wazungu, kuonyesha jinsi Rais wa kwanza wa nchi hii Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alivyotoa ahadi na kuitekeleza ya kulipa upendeleo kanisa. Leo pamoja na hujuma yote waliyofanyiwa, Waislamu nao wamo tu, kuimba wimbo wa Baba wa Taifa! Mifano ya majina ya Halima, Aisha na Ismail yaliyokutwa Kilakala, Umbwe na shule nyingine za serikali yakitumiwa na akina Mary na Joseph, ni mingi na imesemwa sana hadharani. Hayo ni machache katika mengi unayoweza kusema juu ya hujuma kwa Waislamu katika nchi hii. Swali ni je, baada ya kuyajua yote hayo, Waislamu walifanya nini? Wamefanya nini? Kwamba Baraza la Mitihani la Tanzania limedhibitiwa na Wakristo toka kuanzishwa kwake, sio habari. Ishapitwa na wakati. Kama kwa
Habari
AN-NUUR
kukamatwa kwa kiongozi mmoja wa Uamsho Sheikh Mussa Abdallah Juma, zilisababisha kuchomwa kwa makanisa. Mengi yamesemwa sana juu ya kadhia hiyo. Wakati jumuiya ya Uamsho ikisema kuwa haihusiki kwa namna yoyote na uchomaji makanisa, wapo ambao wameshikilia kwamba ni Uamsho wanaohusika. Na wenye msimamo huu ndio ambao wamekuwa wakipewa nafasi kubwa katika vyombo vya habari. Baada ya ile kauli kali ya Askofu Valentino Mokiwa akishinikiza kutiwa adabu Uamsho, ameibuka kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Arusha Askofu Thomas Laizer akidai kuwa anawajua wanaoshambulia na kuchoma moto makanisa. Akinukuliwa na mwandishi John Mhala wa gazeti la HabariLeo la Jumatatu Juni 4, Askofu Thomas Laizer alisema kuwa anazo taarifa za kutosha na za uhakika kuwa kwa sasa kuna vijana zaidi ya 300 wa Kiislamu eneo la Unga Limited katika msikiti mmoja wakifanya mazoezi ya kareti tayari kujiandaa kufanya uhalifu katika makanisa. Misikiti ni mahali pa kufanya ibada. Ni mahali Waislamu wanakusanyika kuswali swala tano, swala ya Ijumaa, tarawehe, swala za idd, kufanya Itqaaf, kusoma Quran na ibada mbalimbali wakimnyenyekea Mola wao. Lakini Askofu Laizer anasema kuwa kwa Waislamu sasa misikiti ni mahali pa kupangia uhalifu. Sasa maadhali jambo hili amelisema akilihusisha na uchomaji makanisa Zanzibar, basi huenda atakuwa shahidi muhimu sana pindi kesi ya watuhumiwa wa uchomaji Inaendelea Uk. 11
Kimataifa
AN-NUUR
Ahmad Shaq
Mohamed Morsi utawala huo. CAIRO Kabla ya hapo, Ali MSEMAJI wa chama cha Uhuru na Uadilifu cha K h a f f a j i , m m o j a w a Misri amesema kuwa, viongozi waandamizi wananchi walio wengi wa chama cha Uhuru wa nchi hiyo wanataka na Uadilifu cha Misri serikali ya wananchi chini ameyataja matamshi ya ya misingi ya Uislamu. Ahmad Shafiq, Waziri Waleed el Haddad, M k u u w a m w i s h o ameiambia televisheni ya wa utawala wa Hosni Press TV kuwa, wananchi Mubarak na mgombea wa Misri ambao wana Urais nchini humo, kuwa ustaarabu mkongwe wa ni kichekesho na kusisitiza dini tukufu ya Kiislamu, kuwa, vyama vya upinzani w a n a p e n d a k u o n a nchini Misri vitaendelea mafundisho ya Uislamu, na maandamano yao hadi ya kutotenganishwa dini vitakapofanikisha malengo na siasa, yanatekelezwa ya mapinduzi ya wananchi nchini humo na wanapinga wa nchi hiyo ambayo ni u t a w a l a w a k i s e k u l a pamoja na usawa, uhuru na uadilifu. unaopinga dini. Itakumbukwa kuwa Msemaji huyo ambaye pia ni mtaalamu wa masuala Ahmad Shafiq, ametoa ya kisiasa ameongeza tuhuma kali dhidi ya chama kuwa, kamwe wananchi cha Uhuru na Uadilifu na wa Misri hawatokubali pia amewataka wananchi kurejea utawala wa Hosni wa Misri wakubaliane na Mubarak, kwa mlango hukumu ya mahakama ya wa nyuma na kwamba nchi hiyo iliyowaondolea w a t a s i m a m a k i d e t e tuhuma wana wawili kukabiliana na njama zote wa Hosni Mubarak na za kuurejesha madarakani kumhukumu Mubarak
wameingia katika duru ya pili ya uchaguzi huo iliyopangwa kufanyika Juni 16 na 17. Naye Naibu kiongozi wa chama cha Uhuru na Uadilifu tawi la kisiasa la Harakati ya Ikhwanul Muslimin, Muhammad Morsi, ambaye ni mgombea wa kiti cha Rais wa Misri kwa tiketi ya chama hicho amesema kamwe hatasalimu amri mbele ya vitisho vya Marekani na washirika wake. Imeelezwa kwamba iwapo Ahmad Shafiq, atakuwa Rais wa nchi hiyo maana yake ni kuwa taifa la Misri litakuwa limerudi tena katika zama za udikteta wa Husni Mubarak. Ta y a r i m s e m a j i w a harakati ya Ikhwanul Muslimin nchini humo, Mahmood Ghazlan, ametangaza kuwa harakati hiyo inakusudia kumchukulia hatua za kisheria Ahmad Shafiq, kufuatia tuhuma alizozitoa dhidi ya harakati hiyo na mgombea wake Muhammad Morsi, katika moja ya mikutano na waandishi wa habari.
LONDON WA Z I R I w a E l i m u Uingereza, Michael Gove, amesema litakuwa jambo bora iwapo wafadhili wataunga mkono mpango wa kutuma nakala za Qurani Tukufu katika shule nchini humo. Kwa mujibu wa gazeti la Telegraph la London, Gove, ambaye amekuwa akiunga mkono usambazwaji Bibilia katika shule za Uingereza amesema wizara yake inatafakari suala za
kusambaza vitabu vingine vitakatifu kama Qurani katika shule za nchi hiyo. Iwapo watu w a t a w a s i l i s h a mapendekezo, wafadhili na wengine, basi tunaweza kusambaza nakala za Qur ani katika shule, amesema waziri huyo. Katika siku za hivi karibuni, Wizara ya Elimu Uingereza ikishirikiana na wafadhili Wakristo wamesambaza nakala 24 za Bibilia katika shule za nchi hiyo.
Makala
AN-NUUR
Na Mwandishi Wetu
PROFESA Abdul Sharif ametaka kiini cha kinachoitwa vurugu Zanzibar zilizopelekea k u c h o m w a moto makanisa kichunguzwe badala ya kupiga propaganda. Aidha, amehoji na kushangaa kuona baadhi ya viongozi wa makanisa wakitaka masheikh wakamatwe na kupigwa mijeledi na virungu kabla hata ya kukishwa mahakamani. I was dismayed when I read the story by Mwinyi Sadallah in the Nipashe of 31st May, 2012 quoting the Archbishop of the Anglican Church in Tanzania, Dk. Valentino
Inaendelea Uk. 7
yanataka kuibuliwa ni kukata mzizi wa tna. Katika makala yake hiyo ambayo An nuur inaitoa kwa Kiingereza kama ilivyo, Prof. Sharif anasema kuwa Wazanzibari si watu wa kufundishwa namna ya kuishi na Wakristo kwani wamekuwa nao kwa mamia ya miaka na hapakuwa na tatizo. A m e s e m a ,
Zanzibar haikuwa na vurugu za kidini bali zimepandikizwa kutoka Bara kuanzia mwaka 1987. Akifafanua amesema, mwaka huo chama tawala kilifanya semina yake huko Bara ambapo ndani ya semina hiyo ilitolewa pendekezo la kifedhuli kwamba Sheria za Kiislamu zilizopo ndani ya Quran zibadilishwe. Katika kuonyesha kuwa semina hiyo iliyofanyika Dodoma chini ya Mwalimu Nyerere imekwenda mbali sana katika kukashifu Uislamu, Waislamu Zanzibar waliandamana kwa amani lakini wakashambuliwa kwa
Inaendelea Uk. 14
Makala/Tangazo
African state will never be accepted when selfgovernment is achieved in this Protectorate. We are also opposed to multiracial government in these islands. It is against all this Association stands for. We want Zanzibar to become an African state like the Gold Coast (Afrika Kwetu, May 5, 1955). Tafsiri: Tungependa kuwahakikishia wale wote wanaoitwa Wazanzibari kwamba chochote kisichokuwa Dola ya Kiafrika hakitakubaliwa, wakati serikali yetu wenyewe itakapopatikana katika visiwa hivi. Pia tunapinga serikali mseto (Multi-racial) katika visiwa hivi. Tunataka Zanzibar iwe dola ya Kiafrika kama ilivyo Ghana Afrika Kwetu, May 5, 1955. Kufuatia majadiliano yao na Sheikh Ameir Tajo Ameir, wajumbe wa ZNP wakaenda Pemba ili kujadiliana na Sheikh Muhammad Shamte Hamad. Wajumbe wengine walikuwa Sheikh Miraji Shaalab, Abdulrahman
RAJAB 1433, IJUMAA JUNI 8 - 14, 2012 Muhammad Babu, Sheikh Maalim Hilal na Sheikh Ali Muhsin. Nyerere alitawala kwa miaka 28 (19611989), kama Rais na Mwenyekiti wa chama kinachotawala Tanzania. Wakati wa utawala wake, Rev. Frank Schildknecht, mwanachama wa Shirika la Kikatoliki la White Father, ambaye alikuwa na jukumu la kuangalia shughuli zote za Waislamu Barani Afrika kwa niaba ya Kanisa Katoliki, alituma ripoti mwezi Julai mwaka 1963 kwa Papa mjini Vatican, kwamba Taasisi ya Waislamu ya East African Muslim Welfare Society (EAMWS), inakuwa na nguvu sana na inatishia mustakabali wa Kanisa kwa kueneza Uislamu. Wakati huo (EAMWS) ilijenga Misikiti, Zahanati na mashule katika eneo lote la Afrika Mashariki. Na pia ilipanga kujenga Chuo Kikuu cha kwanza cha Waislamu visiwani Zanzibar, kama kile cha Beirut, lengo likiwa kuzal i s h a w a s o m i n a wataalamu Waislamu. February 25, mwaka 1965, Nyerere alipiga marufuku Umoja wa Elimu wa Waislamu, ambao ulianzishwa kwa lengo la kuwasaidia Waislamu ambao hawakuruhusiwa katika shule za msingi za Serikali. Na pia aliipiga marufuku (EAMWS) mwaka 1968 kwa taarifa hii fupi: Waziri wa Mambo ya Ndani, kwa amri ya Rais (Julius Nyerere), ametangaza tawi la Tanzania la East African Muslims Welfare Society (EAMWS) na Baraza la Tanzania la East African Welfare Society kuwa ni taasisi zilizo kinyume cha sheria chini ya kipengere 6(1) cha Sheria ya vyama vya kijamii (The Standard, December 20, 1968). Mshauri wa EAMWS, Sheikh Hassan bin Ameir al - Shirazy alikamatwa na kurejeshwa Zanzibar. Kila mtu anafahamu Crusade ya Nyerere dhidi ya Zanzibar kujiunga na OIC. Lakini pia vita dhidi
Inaendelea Uk. 11
AN-NUUR
Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro kinapenda kuwatangazia wanafunzi wote wenye sifa za kujiunga na Chuo kuwa fomu za kujiunga na masomo katika mwaka 2012/2013 zinaendelea kutolewa mpaka tarehe 25/06/2012. UTAWALA
Darasa la wanawake/Tangazo
AN-NUUR
kusoma shule ya sekondari ya Lake ya mjini Mwanza na hii ilitokana na kuona vijana wengi waliokwenda kusoma shule za sekondari za kulipia Bukoba hawakufanya vizuri kutokana na sababu mbalimbali. Shule ya Lake ni shule ya kutwa. Mimi pamoja na kaka yangu tukiishi sehemu mbalimbali tuliwashawishi walezi wetu wakakubali kuanzisha Madrasa za usiku. Tukifundisha madrasa usiku huku mchana tukienda shule na wakati huo huo tukifundisha somo la Maarifa ya Uislamu shuleni, yaani katika shule ya sekondari tulipokuwa tukisoma. Ilipoka wakati wa kujaza form za masomo ya mitihani ya kidato cha nne nikajikuta nina masomo mengi ya kufanyia mtihani kuliko yaliyokuwa yanaruhusiwa. Yalikuwa yanaruhusiwa masomo sio zaidi ya 10, mimi kwa vile nilikuwa nina soma masomo ya sayansi wakati huo mbali ya hesabu nilikuwa pia nikisoma somo la hesabu la ziada yaani additional mathematics, pia na somo la historia. nikajikuta ni lazima niache somo moja nisilifanyie mtihani, yaani kati ya additional mathematics, history au Islamic knowledge. Kwa vile nilikuwa nikijiweza sana kwenye hesabu, niliamua kwamba lazima additional mathematics nilifanyie mtihani na hivyo kubakia masomo mawili ya kuamua niache lipi yaani history na Islamic knowledge.
Nikaamua kuacha history pamoja na kwamba nilikuwa ninaimudu vizuri. Mwalimu Mkuu akaniita na kunisihi niache Islamic nifanye history na sababu yake kubwa ilikuwa ni kwamba Islamic nitafeli kwa vile wengi huwa wanafeli. Mimi sikukubaliana nae nikamwambia ni vigumu kuacha Islamic, kwamba kama mimi nilikuwa mwalimu nikiacha Islamic ndio hakuna atakeifanya. Na hivyo huenda ikafa hapo shuleni. Matokeo yalipokuja ya Islamic nikawa na daraja B ijapokuwa mategemeo yangu ilikuwa ni A. Hata hivyo sikujali kwa vile B nayo haikuwa mbaya. Nilipokwenda kidato cha 5 niliendelea kuwafundisha wenzangu somo la Maarifa ya Uislamu huku na mimi nikijiongezea maarifa mapya. Wakati wa mtihani wa mwisho nilifanya kwa kujiamini sana na maswali yote niliyamudu barabara. Kwa kweli hadi hivi sasa sikuwahi kufanya mtihani huku nikijiamini kama nilivyofanya mtihani wa Islamic form 6. Matokeo yalipokuja nikapata daraja E. Kwa wale wasiojua daraja E ni karibia kidogo nifeli, yaani nipate F au failure. Sikuamini, lakini pia wakati huo sikuwa hata najua kama kuna ku-apeal. Ila nilimuuliza Almarhum Burhani Mtengwa kwamba imekuwje nikafeli somo hilo pamoja na kwamba nililifanya vizuri sana? Kwa kweli nae hakuwa na jibu la kunitosheleza. Nilikaa na swali hili
Makala
AN-NUUR
Inatoka Uk. 8
bila kuwa na memo ya mtu maarufu. Sikuwa na mtu wa aina hiyo. Nilichokifanya nilipeleka maombi yangu moja kwa moja kwa mkurugenzi aliyekuwa ndio anahusika na uajiri. Niliendelea kufuatilia kwake, lakini niliishia kupewa jibu la kukatisha tama. Sio kwamba sikuwa na vigezo, bali kilicholeta shida ni dini na chuo nilichosomea. Na aliniambia live hivyo. Kwamba mimi Khalid na nikusomea katika vyuo vya kikanisa kanisa. Nimesoma katika Chuo kinachofadhiliwa na OIC! Hata kwenye usaili (interview) sikuitwa wakati ambapo wale niliowajua pamoja na kufahamu elimu zao kuwa za chini kuliko mimi, ndio waliopewa nafasi. Ningeamini kuwa tatizo ni kwa vile sikuwa na kimemo, lakini kama ingekuwa hivyo, asingeniambia alivyoniambia. Kuna ukweli kuhusu ajira na vimemo katika nchi hii, lakini hii yote ni aina ya rushwa. Wakati nasoma Shahada ya Uzamili katika somo la rasilimali watu (human resources), tulisoma kuwa miongoni mwa matatizo ya ajira na usaili ni kitu kinachoitwa hello effect, yaani kama mtu anaeajiri au kufanyisha usaili ana kitu cha kushea na wewe kama vile mkiwa wa dini moja au kabila moja au hata lugha, basi kuna uwezekano mkubwa huyo msaili akavutiwa na kimoja wapo kati ya hivyo akaamua kukupa kazi hasa pale inapotokea nafasi moja inawaniwa na watu wawili wenye vigezo sawa. Kutokana
na hilo basi, ni budi uwepo utarataibu wa kuziba matatizo kama hayo katika ajira. Kwa mfano Kenya usaili unafanyika live kwenye runinga watu wote wakiona kama ilivyokuwa wakati wa ubunge wa Afrika Mashariki hivi karibuni pale Dodoma. Wa k a t i f u l a n i b w a n a mmoja ambaye hurusha kipindi cha TV kila Jumatatu usiku na kuruhusu maswali, alikuwa anaongelea mchango wa Mwalimu Nyerere katika amani ya nchi. Nilibahatika kupiga simu na baada ya kujitambulisha nikamwambia kuwa hii inayoitwa amani ya nchi imejengwa juu ya dongo na haikujengwa juu ya jiwe, yaani msingi imara hivyo wakati wowote inaweza kuparaganyika, nikampa mfano wa ubaguzi katka ajira nikamweleza yaliyonisibu mimi katika kutafuta kazi. Nikamwambia kuwa hata yeye kwa hofu ya kubaguliwa, aliamua kubadili jina lake akaacha jina la Kiislamu alilopewa na baba yake. Yule bwana alionekana kukerwa na mchango wangu. Kesho yake nikapigiwa simu kwa sauti ya mwanamke nikiulizwa kama niko tayari kujibu maswali yake nikamwabia nitajibu. Akauliza maswali yafuatayo: Je, wewe ni Mtanzania? Kama ni Mtanzania ni kwa kuzaliwa au kununua uraia? Je, Tanzania unavyoiona ni nchi nzuri ya kuishi? Wastani? Au mbaya? Nilijibu maswali yake akakata simu. Nikadhani ama walikuwa ni Usalama wa Taifa au alikuwa ni yule
10
Makala
AN-NUUR
Na Khalid S Mtwangi KATIKA makala iliyopita tulipozungumzia kwamba Ukristo unapotea Ulaya na kuhamia Afrika, tulijaribu na nadhani tulifaulu kuweka wazi jinsi gani Fr Frodolin Portman wa Kanisa Katoliki alivyotoa uwongo kuwadanganya Wakatekist na wengine wengi kwa jumla. Leo hii tutaendelea na kuchambiua uwongo mwingine uliomo katika kijitabu alichoandika huyu Padri Fridolin Portmann, ambaye nadhani ni wa kutoka Switzeland. Nchi yenye historia ya kuukandamiza Uislamu kwa nguvu sana. Ni hawa ambao walikataza misikiti isijengwe na minara. Katika ukurasa wa tisa (9) wa kijitabu chake huyu mtumishi wa Mungu anaandika uwongo wake kama ifuatavyo: Labda waumini wa Muhamadi walijifunza destri fulani ya dini kwa hawa Wakritu wa Uhabeshi (Ethiopia ya leo); kwa mfano desturi ya kufunga inayokazwa sana na Wakristu Waabeshi (sic) mpaka leo. Hii inaweza kuwa kweli w a s o m a j i Wa i s l a m u ? Katika kutafuta ukweli, nilizungumza na Sheikh Khamis Mataka ambaye hivi karibuni tu ametunukiwa shahada ya uzamil hapo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kanihakikishia kuwa huyu Fr Fridolin Portman kadaganya. Mtume Muhammad SAW alianza kufunga hata kabla ya ile wengine huiita Hijra ya kwanza pale Ras-ulL l a h M u h a m m a d S AW alipowaambia wafuasi wake wakimbilie Abyssinia (Uhabeshi-Ethiopia). Sheikh Mataka kanihakikishia. Mtume alikuwa akifunga siku ya Jumatatu ambayo ndiyo siku aliyozaliwa na Alkhamis, siku ambayo milango ya rehma iko wazi. Haitoshi hili ni somo muhimu sana kwa vile kufunga mwezi wa Ramadhani ni moja katika zile Nguzo Tano za Uislamu. Kurani
iko wazi kuhusu swaumu. Tu n a a m b i w a : E n y i mlioamini mmeandikiwa saumu kama walivyoandikiwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu . (surat-il-Baqara 2: 83 p.58, tafsiri Al Muntakhab ya Al Marhum Sheikh Ali Muhsin Al Barwani. Ama : Enyi mlioamini! M m e l a z i m i s h w a kufunga (saumu) kama walivyolazimishwa walikuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu. ( p 41 suratil-Baqara 2 : 83 tafsiri ya Al Marhum Sheikh Abdallah Saleh Al Farsy. Quran inaonyesha kuwa surah hii ilishuka Madina, yaani ilikuwa ni baada ya Hijra. Sasa kwa nini huyu Fr Fridolin Portmann asiwafundishe wana Katekisti wake kuwa labda Mtume Mhammad alijifundisha hayo kutoka kwa Wakristo walipomkaribisha huyu Rasul-Llah Muhammad SAW hapo Madina? Inajulikana kuwa Wakristo wa Madina walimpokea Mtume vizuri sana na laishirikiana nao katika mambo mengi. Hawa Wakristo wa Madina hawakuwa wakifunga? Kwa
Mayhem in Zanzibar
By Khalid S Mtwangi
as absurd, that Christians feel they are second class citizens in Zanzibar. Absurd? No, the correct description would be ridiculous; facts speak for themselves. Of all the Christian denominations that have found a home in Zanzibar the Anglicans (or CMS or UMCA, as they used to be known days yonder) have been able to integrate admirably with their majority Muslim country folk. These Christians are found in many slots, some very high positions, in the political plane and simply normal life in Zanzibar such that sometimes it is difficult to tell them apart. However, it may be true that to some extent, a triviality me thinks, Christians feel alien in a country that is almost wholly Muslim, more so now that there is a proliferation of all manner of denominations some of which are known to rejoice at causing trouble to Muslims. These may feel slighted just as Muslims are viewed as an oddity in some parts of the Tanzania Mainland. I can defend this attestation if need it be. No Muslim leader worth his prayer mat would exhort his ock to run amok and torch anyones church, in fact the Cathedral at Mkunazini, at the old slave market, is a testimony to the moral rectitude of Zanzibar Muslims. Having said so, however, some
nini? Fr Fridolin Portmann atakuwa ametuelimisha vizuri sana kama atatufafanulia haya mawili. Tumalizie kuonyesha uwongo wa Fr Fridolin Portman kwa kutazama amri ya kufunga Mwezi wa Ramadhani. Tunapozungumzia kufunga hukumbuka hasa mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambao Fr Fridolin Portmann
imeteremshwa Zaburi ya Daudi AS tarehe kumi na nne ya Mwezi wa Ramadhani; na imeteemshwa Quran kwa Muhammad SAW tarehe ishirini na nne ya Mwezi wa Ramadhani. (Maulid Nabii ya Mfunguo Sita????) Sheikh Ali Juma Mayunga anasema tazama Al Burhan y Tafsirul Quran juzuu 1 ukurasa 183. Yote haya yamo katika tagfsiri yake ya Quran AL QURAN MUBIN. Haya yote ndiyo mafundisho yaliyo sahihi k w a Wa i s l a m u k u h u s u kufunga saumu. Lakini kweli haitawafaa kina Fr Fridolin Portmann katika kuwadanganya waumini wao ule uwongo ambao unawafundisha wengi wao kuuchukia na kuudharau Uislamu. Wakifundisha kweli wanaweza kupoteza waumini wengi kama inavyotokea Ulaya leo hii. Ndugu zetu Wakristo wanaombwa watafute ukweli kutoka kwa masheikh wa Kiislamu. Ni hayo ndiyo yanayotokea Ulaya na inawatuma watu kama vile Fr Frodolin Portmann waje kudanganya huku Afrika na kuwawezesha kuzoa waumini.
ANY sane person would not support nor condone the mayhem that had been unleashed in some streets of Zanzibar Town over the last week or so. It is right that voices, perhaps discordant and not all sincere, have been heard to condemn the fracas. Not surprisingly the Christian clergy and their ock have been prominent in their denunciation of the torching and resultant damage to their Church buildings. They have my sympathies. However, once tempers have cooled down and emotions have been ameliorated by sobriety of thought those of your readers who have the good of the Union of Tanganyika and Zanzibar at heart, need to sit down and cogitate, really agonize, over the consequences of the demise of the Union as some intemperate language has been heard emitted by some commentators. As would be expected, these commentators have been extravagant with their choice of words. Let me start with the head or the Primate of the Anglican Church in Tanzania, His Eminence Archbishop Dr Valentino Mokiwa. He was seen and heard making a claim that can only be described
very sober people, and not those so called wenye msimamo mkali, have been heard to ruminate over the invasion of so many Christian Churches in Unguja and Pemba. There are not that many Christian souls to save, so why not leave the poor Muslims in those islands continue to uphold the unadulterated teachings of Rasul-ul-Llah Issa (Yesu) as only they know how. Admittedly democracy is on the side of the intruders; nevertheless, there is bigotry Muslims have always to contend with; history surely would absolve these usually docile souls both on the isles and on the Main Land. One could go back to the misguided statement His Eminence Archbishop Dr Valentino Mokiwa that Christians are made to feel like they are second class citizens in Zanzibar. How wrong that notion is. But then he must have heard, certainly, of similar complaints being aired and expounded everyday by Muslims on the Mainland. It would be very strange, in fact, ludicrous if he is not aware of those cries. This could be because these exasperations have always been ridiculed by everyone including that ever ubiquitous press. Should the Archbishop not commit himself to expunge
the inrmity from our midst on the Mainland? It must be accepted that there is a swell of strong current is Zanzibar that at best looks askance at the Union. Accompanied by Bw Ally Saleh, the writer and activist, I did at one time visit the hot bed of antiUnion cabal at a place originally known as Soko Muhogo but now as Jaws Corner in Stone Town. The litany of the sentiments expressed here can only be believed when heard and seen in person. However, it is not all banter and demagoguery. There is some substance in what they complain about. Admittedly that cannot be excuse to burn down anyones church, if indeed it was the anti-Union cabal who did it! The Qur an enjoins that There is no compulsion in religion. Distressing though, it is known that His Holiness Pope Benedict XVI denigrates this verse from the Quran and dismisses it with some derogatory remarks directed at Prophet Muhammad SAW. This was seen and heard when Cardinal Jean-Louis Tauran of the Vatican was interviewed by Al Jazeera television on March 20. 2012. Sincerely Yours, Khalid Shaabani Mtwangi
11
Inatoka Uk. 4
makanisa Zanzibar itakapoanza kusikilizwa. Ila pamoja na kujua kuwa kuna ile Amri ya Biblia inayowataka Wakristo wasiseme urongo, na kwa kujua kuwa kila Mkristo anayeamini kuwa Yesu mwana wa Maryamu aliyezaliwa na kutahiriwa siku ya saba ni Mungu, anapaswa kulikubali neno la Biblia, lakini bado nataka nimkumbushe Askofu Laizer jambo moja. Yeye alikuwa katika watu waliopigia sana debe kile kikombe cha Babu kule Samunge, Loliondo, akiwataka watu wakapone ukimwi, kisukari, saratani, shinikizo la damu (presha) na kifafa kwa jina la Yesu. Na kama kawaida ya viongozi wa serikali wa nchi hii, kauli ya askofu ni sauti takatifu isiyopingwa wala kuhojiwa hata kama akili yako haikubaliani nayo; serikali ikasaidia kuhamasisha watu kwenda kupata dawa inayotokana na ndoto za mchungaji. Maelfu wakafurika wakipanga foleni kupata kikombe bila kujali maiti zilizokuwa zikizagaa Samunge watu wakifa kwa kukosa huduma. Maadhali Askofu Laizer kakibariki Kikombe na katangulia William Lukuvi na Steven Wasira kukinywa, kila
mtu anakimbilia kikombe. Kikombe kikawa kikombe, mpaka serikali ikaona vyema iweke kitengo cha usalama wa taifa kumlinda Babu maadui wa nje wasije wakamuiba Babu wetu tuliyeletewa na Mungu! Baba Askofu Thomas Laizer, wengi wa Watanzania hatujui ule mkanda wa kikombe cha Babu umeishia wapi. Hatujui hata stelingi wake mzee Ambilikile Mwasapila kaishia wapi na kile kikosi cha walinzi alichopewa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pengine kabla ya Baba Askofu Laizer kutupa kwa undani habari za jeshi la vijana wa Kiislamu wanaojiandaa pale Unga Limited Arusha tayari kwa kushambulia makanisa, angetumalizia ile tamthilia ya Samunge na zaidi Watanzania wangependa kujua ni watu wangapi wamepoteza maisha hadi sasa kutoka na kuacha matibabu ya kisukari,
Makala//TANGAZO
RAJAB 1433, IJUMAA JUNI 8 - 14, 2012 Wasiwasi ni mmoja tu. Hatuna uhakika kama wapo polisi na waendesha mashitaka wa Jamhuri wenye ubavu wa kumuita Askofu Thomas Laizer mahakamani. Lakini si polisi pekee, hata wale vijana wa Arusha. Kwa uzoefu ulipo, kama ni kusema wataishia katika mimbari na vibarazani je ya Misikiti. Lakini lebo kwamba ni wahalifu itabaki. Labda kama sasa kutakuwa kumeibuka kizazi kipya chenye ujasiri wa kusimama na Askofu Laizer mahakamani au kumfikisha mbele ya Baraza la Habari.
AN-NUUR
wakadhani kuwa Askofu Laizer hawaoni. Nimalizie kwa kusema kuwa kile kitendawili na kesi ya nani kachoma m a k a n i s a Z a n z i b a r, haitakuwa na ugumu tena. Shahidi namba moja ashapatikana.
Jumuiya ya wanafunzi na vijana wa Kiislamu Tanzania (TAMSYA) Mkoa wa Dar es Salaam Idara ya Wanawake inapenda kuwaalika katika kongamano kubwa la vijana na wanafunzi wa kike litakalofanyika Inshaallah: TAREHE: 09/06/2012 JUMAMOSI MAHALI: UKUMBI WA SHULE YA AL-HARAMAIN MUDA: SAA 1:00 ASUBUHI HADI SAA 7:00 MCHANA Mada mbalimbali zitawasilishwa Sifa za mwanamke mwanaharakati. Nafasi ya mwanamke katika kuipigania dini ya Kiislamu MJULISHE MWENZAKO MJE PAMOJA KATIBU HABARI TAMSYA MKOA 0654 290875
Inatoka Uk. 7 ya Uislamu ilidhihirika zaidi Mei 7, mwaka 1988 wakati wa Mkutano wa CCM kule Dodoma. Chini ya Uenyekiti wake, CCM ilishauri kuondolewa kwa Sheria ya Kiislamu Tanzania, ambako zaidi ya asilimia 65 ya wananchi wake ni Waislamu. Crusade hii ya kisiasa kupitia chama cha Mapinduzi ilisababisha Maandamano makubwa Zanzibar, Mei 9 mwaka 1988, yaliyofanywa na vijana wa Kiislamu baada ya Swala ya Ijumaa, katika kipindi cha Mwezi Mkutufu wa Ramadhani. Wa k a t i Wa i s l a m u walipoandamana visiwani Zanzibari wakidai Sheria zao za Kiislamu ziheshimiwe, jeshi la Polisi likiwa na silaha, mabomu ya machozi na magongo likawashambulia waandamanaji hao. Ali Mansour, mwanaharakati makini wa Dwat alIslamiyyh, alipigwa risasi na kufa shahidi. Muislamu mwingine alia hospitali siku ya pili yake. Mamia ya wananchi walilazwa hospitalini kufuatia majeraha yaliyotokana na kipigo cha Polisi. Wengine kadhaa, wakiwemo wanawake walikamatwa na kushitakiwa kwa kuchochea vurugu. Kuongeza Petrol kwenye moto, Polisi iliwakamata Maulamaa wanne, akiwemo Sheikh Nassor, Imam wa Msikiti wa Kikwajuni. Wa l i w a t u h u m u k w a uchochezi wa maandamano
hayo kwa sababu muda mfupi baada ya hotuba zao, Waislamu waliandamana kupinga jaribio la wazi kabisa la kuondoa Sheria ya Kiislamu Tanzania. Baada ya Maandamano makubwa, Waziri Kiongozi wa Zanzibar wakati ule, Seif Shariff Hamad (19841988) akafukuzwa CCM na wenzake sita. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haukuwa na dhamira njema. Nyerere alikuwa akipigana vita ya kidini dhidi ya Waislamu wa Zanzibar kupitia Muungano huo. Alikuwa na ajenda ya siri ya kuiteka Zanzibar na kuikabidhi mikononi mwa Mfumo - Kristo, kama alivyofanya Tanganyika. Wazanzibar wanayo haki ya kukataa muungano wa hovyo kama huu, ambao unalenga kuhujumu taifa lao na utambulisho wao wa Kiislamu. Kwa nini Wazanzibari wanapohoji Muungano huu wananyamazishwa? Mzee Abeid Amani Karume alipogutuka uzingizini na kugundua uovu uliojicha ndani ya Muungano huu, wote tunafahamu yaliyomkuta. Alipoanza tu kutoa kauli za kujitambua, Muungano ni kama koti, likikubana unalivua, hakudumu akapata fursa ya kulivua. Mzee Aboud Jumbe alipohoji Muungano huu, akajikuta ameenda Dodoma akiwa Rais wa nchi, akarudi akiwa raia wa kawaida. Muungano huu una nini hata iwe marufuku kuuhoji? Kwa nini Mkataba wake umechwa?
12
TAKWIMU YA SENSA (JIBU)
Ndugu ulo mashakani, shaka ninakuondoa, Swali lako gazetini, jibu ninakupatia, Sensa TBC wani, nini wamekusudia, Ni dhuluma ya zamani, wamejihalalishia. Ni mengi wanatamani, waweze kuyakia, Kila kilicho nchini, iwe yao milkia, Umoja hawathamini, amani wala sheria, Haja yao kileleni, kwa hila uzushi pia. Sensa iliyo na dini, hapa kwetu Tanzania, Iliishia sabini, nne bila kukosea, Idadi ya waumini, lizidi asilimia, Kilotusibu ni nini, leo tuwe qalilia. LengoTBC wani, sasa nakuelezea, Saidi wa Kiwalani, hili ndugu zingatia, Kama likuwa makini, siku chache baadia, Baraza kawa hewani, Rais kalichagua. Nia yao mebaini, maswali kuyazuia, Wao wamezidi nini, nchi kujitawalia, Kuanzia Taifani, mikoa, wilaya pia. Ni dhuluma ya yaqini, bila shaka kutilia. Nakuomba ikhiwani, nyuma kidogo rejea, Ile mbili ya tisini, nini walijifanyia, Mgao wa chinichini, ridhaa iso sheria, Chumo la serikalini, kanisa linalo shea.. Nashanga wahofu nini, data wakajipikia, Sera imeanza lini, wingi kuuzingatia, Kila kilichomo ndani, haki yao asilia, Wengine sote wageni, urithi wa malikia, Ndugu yangu samahani, hapa ninaishilia, Ni mgeni kwenye fani, ila nimeingilia, Inanichoma moyoni, ndo mana nimeongea, Jibu kama si makini, wengine watalitoa. Ally Mtande MUM-Morogoro. (0715-888360)
AN-NUUR
Na- Kissima Adolf 0713 401812 Email: adolfkissima@yahoo.com HABARI ndugu msomaji, wa gazeti la Ann nuur, nashukuru kwa maoni yenu kupitia barua pepe na simu. Wengi wenu mmeniomba kuendelea kuzungumzia juu ya sheria ya ardhi ambayo nilizungumzia wiki mbili zilzopita.Kwa mujibu wa sheria, kila kijiji ni lazma kiwe na na baraza la ardhi la kijiji . Ili maamuzi ya Baraza hili yatambulike kisheria ni lazima muundo wa baraza hili likidhi matakwa ya sheria. Usimamizi wa Mabaraza Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji yatakuwa chini ya usimamizi wa Msajili wa Vijiji. Kazi ya usimamizi inajumuisha uendeshaji wa haya mabaraza akisaidiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri husika. Uendeshaji ni kwa maana ya matumizi na mapato. Mkurugenzi anatakiwa wakati wote kuhakikisha kuwepo kwa mabaraza haya katika ngazi ya vijiji vyote vilivyosajiliwa. Uwasilishaji wa malalamiko Mtu yeyote mwenye malalamiko kuhusu mgogoro wa ardhi, anaweza kuyawasilisha kwa njia ya maandishi au kwa njia ya mdomo, kwa Katibu wa Baraza la Ardhi la Kijiji na yeye atayawasilisha kwa Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi la Kijiji. Kama malalamiko yatatolewa kwa mdomo, basi Katibu wa Baraza la Ardhi la Kijiji atayanakili na kuwasilisha nukuu hiyo kwa Mwenyekiti wa Baraza la Kijiji. Kanuni za Uendeshaji wa Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji Baada ya wajumbe wa Baraza la Ardhi la Kijiji kuchaguliwa, watamchagua Mwenyekiti na Katibu wa Baraza. Mwenyekiti ndiye atakayekuwa kiongozi wa Baraza, na ndiye atakayewajibika kutoa maamuzi mbalimbali ya Kijiji. Baada ya kusuluhisha mgogoro, Baraza la Ardhi la Kijiji linapaswa kuandika
Katika kusikiliza mashauri ya aridhi, baraza hili litakuwa limekamilika kisheria endapo kutakuwepo na Mwenyekiti pamoja na wazee wa baraza wasiopungua wawili. Wazee hawa wa baraza wataitajika kutoa mawazo yao katika shauri husika kabla mwenyekiti hajatoa uamuzi katika shauri husika. Na ili kufikia katika uamuzi mara nyingi mwenyekiti atalazimika kufuata ushauri au maoni ya wazee wa baraza lakini mwenyekiti halazimishwi kufuata mawazo hayo cha msingi anaweza kuyakataa kwa kutoa sababu itakayoonyesha kwanini anapingana na mawazo ya wazee wa baraza. Kikawaida mwenyekiti katika baraza la Ardhi la Wilaya huchaguliwa na waziri husika. Na mwenyekiti ni lazima awe mtu ambaye ana taaluma ya sheria ( legal qualied person) na ataweza kuiafanya kazi yake hiyo kwa muda wa miaka mitatu, na vilevile ataweza kuchaguliwa tena katika nafasi hiyo. Kikawaida kwa mujibu wa sheria, mwenyekiti huyo kabla hajaanza kazi yake ni lazima ale kiapo, kiapo hicho kitasimamiwa na mkuu wa mkoa katika mkoa ambao baraza hilo lipo. Waziri wa aridhi baada ya kujadiliana na mkuu wa mkoa atachagua wazee wa baraza la aridhi lawilaya wasiopungua saba, kati yao wakiwemo wanawake watatu. Mtu yeyote mwenye umri kuanzia miaka 21 ataweza kuchaguliwa kuwa mzee wa baraza la Ardhi la Wilaya. Isipokuwa mtu hawezi kuteuliwa kama mzee wa baraza endapo tu, siyo mkazi wa kila siku katika wilaya husika, mtu huyo hawezi kuteuliwa kama ni mbunge, au mabaye akili yake si timamu au mtu huyo alishawahi kfungwa ( has been convicted of criminal offence) au mtu huyo sio raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. mwenendo wa shauri katika baraza la Ardhi la Wilaya linapaswa kusikilizwa sehemu ya wazi ili kuruhusu umma kuka na kuangalia mwenendo mzima wa sahuri. Na mlalamikaji au mlalamikiwa anweza kufika kwenye baraza na kusimama yeye binafsi au kwa kutumia wakili wake au kwa kutumia ndugu yake. Katika usikilizaji wa mashauri, Baraza la Ardhi la Wilaya litaweza kutumia lugha ya kingereza au Kiswahili itategemea na mwenyekiti atakavyoamua akizingatia hali halisi ya shauri lilipo mbele yake. Lakina maandishi pamoja na hukumu (records and judgment ) ni lazima iwekwe kwa lugha ya kingereza.
13
Makala
AN-NUUR
Zanzibar tuna utendaji wa aina mbili wanaotumikia Serikali mbili. Kwanza Serikali ya Zanzibar, pili Serikali ya Muungano. Kwa mujibu wa sheria vyombo vyote vya Muungano hasa hasa Polisi na Jeshi vinawajibika moja kwa moja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano na sio Rais wa Zanzibar. Upande wa Polisi hali ndio hiyo hiyo na zaidi kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ambae hivi karibuni alikuwa ni Mzanzibari Mh. Shamshi Vuai Nahodha. Kutokana na mikakati mipya ya kiutendaji amekabidhi kazi hiyo kwa Mh. Emmanuel Nchimbi. Huko nyuma niliwahi kuandika katika makala zangu kwamba kama kutatokea machafuko Zanzibar, basi mchafuko huo utakuwa umesababishwa na Serikali ya Muungano pale wanapokataa ombi la Wabunge wake ambao kwa nyakati tofauti walipodai Bungeni kutaka uwasilishwe mkataba wa Muungano ili Bunge lipate kuuona mkataba huo. Wazee kumi Visiwani Zanzibar walifungua kesi Mahakamani. Dai ni hilo hilo. Mkataba wa Muungano wa asili. Mwana sheria anasema yeye hakuuona kabisa. Sasa hawa viongozi wa dini na wao wamepatwa na mashaka ya kutoamini kwamba nchi hii imechukuliwa kimabavu. Haina mkataba wowote ule na kama upo utolewe ili wenye nchi yao (raia) wapate kuuona mkataba huo. Ndani ya mkataba ndio kuna maneno yote waliokubaliana Viongozi wawili Nyerere na Karume. Wengi wanasema kwamba mkataba huo ulikuwa na makubaliano ya miaka kumi, wengine wanasema ni milele.
WAISLAMU Zanzibar wakiwa katika maanamano ya amani. usanii wa kujivisha kanzu kwa malengo ya kutuletea madhara nchini mwetu kwa kumkamata kihuni kiongozi mwenye heshima anae aminika na mwenye wafuasi wengi nyuma yake. Nini malengo ya Serikali yetu hii inayoongozwa na Dk. Shein inayodai kwamba inafuata sheria na kuongozwa na katiba leo wafanye vitendo viovu namna hii? Je! kama kiongozi huyo alitenda jinai kwa nini ashikwe kihuni na wasimpelekee notisi ya Mahakama kwa kosa lake baada ya kupita taratibu za kisheria zilizowekwa nchini? Ni nani huyo anaetoa amri za kutaka kuirudisha nchi hii katika hali mbaya ya nyakati za nyuma? Huu ndio mwendo wa Serikali ya kitaifa ambayo ilileta maridhiano na umoja nchini mwetu? Au hizi ni njama za kutaka kuivuruga amani iliokwisha patikana? Lazima uchunguzi ufanywe ili ibainike ni nani huyo asiejua nidhamu ya kuwakabili viongozi wa dini wenye heshima kubwa nchini mwetu kwa kutumia taratibu zenye heshima na busara. Dhamana hii iko mikononi mwenu viongozi wawili ndani ya Serikali ya umoja wa kitaifa, kama alivyowahi kusema kwenye sherehe moja iliyowahi kufanywa Pemba, Mh. Hassan Nassor Moyo, ni yeye aliesema kwamba viongozi hawa wawili ndio dhamana wa serikali hii ya kitaifa yaani Mh. Dk. Sheni na Mh. Maalim Seif Sharif Hamad. Natumai aliwaambieni Mh. Hassan Nassor Moyo kwamba msikubali kumuachia yeyote yule kutuharibia umoja wetu ambao ulipatikana katika juhudi kubwa sana zilizofanywa na watu mbali mbali kwa mashirikiano. Sasa leo akitokezea kiongozi huko Bara au hapa Visiwani akatoa amri zake bila ya kutumia busara, basi huyo hatufai. Dua na visomo vimnase mtu huyo bila ya huruma. Wazanzibari wanaposema Zanzibar imemezwa hawajakosea hata kidogo. Na jamii ya wamezaji wapo hapa Zanzibar kibao (yaani wengi) hawa watatupa tabu kwa vile wamo ndani ya Serikali katika nafasi mbali mbali hasa upande wa Polisi. Wasi wasi wangu isijekuwa wamepata kipenyo cha kutaka kuturudisha tulikotoka. Washughulikiwe na Serikali kabla hawajaichafua nchi yetu. Bado vidole vyao vimejaa damu ya ndugu zetu huko Pemba wala hawakufaulu kuifuta damu hiyo ambayo itabaki vidoleni mwenu hadi mwisho. Hapana kitu kibaya kama kuwafanyia wananchi mambo ambayo sote tuliyakataa wakati wa kutawaliwa na mkoloni. Leo vinatumika vyombo vya dola kuwanyamazisha Wazanzibari kwa kutumia mabomu ya machozi, magereza na risasi za moto kuwaulia Wazanzibari wasio na hatia. Nini cha mno? Wanadai kura ya maoni ya nchi yao ndio kosa hilo? Je! na sisi tunaiga mambo ya mkoloni? Siku zote hutuba zao ni za kujisifia CCM ndio iliyojenga nchi, Tukiondoka kila kitu kitatokomea, na nchi hii itarudi tena kwenye biashara ya Utumwa Hizi ndio dizaini ya hotuba zao. Hivi sasa Zanzibar kumekucha na mbiu ya Wazanzibari ni kuwaambia wenzi wao wa Tanganyika waamke. Wazanzibari hivi sasa wameshaamka baada ya kupitiwa na Uamsho. Wengi miongoni mwetu tulikuwa tukiamini kwamba mtu hawezi kuepuka lile aliloandikiwa, hapo maana yake ni mgandamizaji wake hana lawama tena. Hivi ndivyo tulivyokuwa tukiamini. Yaani uovu wa Serikali yetu ni kitu kilichoamriwa. Huku ni kuamini dini kinyume nyume. Uamsho ndio umefanyakazi ya kuwashajiisha umma udai haki zao za kimsingi na kikatiba. Unajua, mtu yeyote anaweza kuwa raia wa nchi yeyote, lakini si kila raia anaweza kuwa mzalendo, kwani uzalendo ni hali ya mtu kupenda nchi yake. Kwani kuipenda nchi na kuipenda Serikali iliyoko madarakani ni vitu viwili tofauti. Wapo wananchi ambao kwa sababu wanazozijua wao hutokea kuichukia Serikali lakini ndani ya mioyo yao wanaipenda nchi yao kikomo. Mara nyingi watu wa aina hii kutokana na kuichukia Inaendelea Uk. 14
14
Inatoka Uk. 6
risasi za moto ambapo watu wawili waliuliwa. Akaongeza kuwa kumekuwa kukifanyika semina za watu kutoka Bara na nchi za nje ambapo wajumbe wa makanisa wamekuwa wakihoji kwa nini kuna kuwa na osi za Kiislamu kama ile ya Kadhi Mkuu. Prof. Sharif anasema kuwa watumishi hao wa kanisa wanasahau kuwa Zanzibar ni Waislamu na kwamba katiba yao haisemi kuwa Zanzibar haina dini kama ilivyo ile ya Tanzania. Anybody who knows anything about Zanzibar will know that 97% of the people of Zanzibar are Muslims. She/he should also know that religion is not a Union matter, and that the Zanzibar constitution nowhere says nchi hii haina dini. Anasema.
Makala
AN-NUUR
kijana wa Kikristo kwa kuchochewa na mchungaji wa Kimarekani alichoma moto Quran, l a k i n i Wa i s l a m u hawakuchukua hatua za kulipiza kisasi. Anasema, jambo la kujiuliza, ni kwa nini matukio kama haya ya tna za kidini yamekuwa yakiongezeka toka mwaka 1987? Kwa upande mwingine Profesa aligusia lile tukio la Pwani Mchangani, ambapo ilidaiwa k u w a Wa z a n z i b a r i wanawachukia na hawawataki Wabara. Hata hivyo akahoji, ni kwa nini watu hawajiulizi kwamba inakuwaje wanaofaidi shughuli za utalii ni Wabara tu na watu wa Nungwi wanachoambulia ni kuharibiwa maadili na familia zao? (Soma makala ya Profesa Sharif Uk. 15)
15
By Prof. A Sharif
wanted to live at peace with the local Muslim majority. They had regular cordial debates with the Muslim clerics of the time, including Shaikh Mansab bin Ali of the renowned clerical family of Zanzibar. Part of the land on which the cathedral was built was donated by the Hindu Customs Master, and Sultan Seyyid Barghash donated the clock that is still in the tower of the cathedral. During all my study of the history of Zanzibar there has never been a confrontation between these two religions until 1987. So what happened in 1987? The country was then discussing personal law, marriage and inheritance, and the Muslims said that we were bound by the Islamic Shariah, as they had every right under the constitution to believe and practice their religion. A prominent woman political leader of the ruling party on the mainland said we will change the Shariah. Muslims in Zanzibar were incensed, and they came out in a demonstration to protest against this infringement of their rights. They were met by the police, an arm of the Union government, with live fire, and two people were killed. The commission under the late Abdulwahid Boraa conrmed that the Muslims were unarmed and peaceful; but no remedial action was taken to bring the culprits to book. More recently, a young Christian man was instigated by the American preacher to burn the Muslims Holy Book, but I am happy to say we did not hear Muslims retaliating by burning the Bible. So the fundamental question is why cases of intolerance have increased since 1987? We will be the proverbial ostriches if we bury our heads in the sand if we conclude that all this is because udini and hatred against Christians have suddenly flourished in Zanzibar even more luxuriantly that our cloves, and these are always carried out by one religion against the other. It needs two to tango. The fact is that over the past two decades, we have been going full speed to develop tourism as the primary foundation of our economy, and aiming to
Feature
AN-NUUR
the culpability of Uamsho in this saga, but nobody has documented the evidence either of their direct instigation or their so-called hate sermons. Their DVDs are freely available, and it should be easy to document this for anyone who wants to speak on the subject. But most of those who have spoken or written have not cared to see them. Mao tse Tung used to say: no research, no right to speak. But, again as I said above, it takes two to tango. Are we so absolutely sure that the clerics of all the other denominations are clean on this score? I cannot say what is being preached in all the mosques and churches, but I was a witness to one incident that was frightening. A Norwegian missionary organized an interfaith meeting last year in Zanzibar, and I was invited. I was abbergasted to hear a cleric from the Anglican Cathedral say that since Tanzania was a secular state, why is the Zanzibar Government nance the Qadhis courts here? Anybody who knows anything about Zanzibar will know that 97% of the people of Zanzibar are Muslims. She/he should also know that religion is not a Union matter, and that the Zanzibar constitution nowhere says nchi hii haina dini. There have been Qadhis courts here even before the coming of the British. In their wisdom they did not abolish them but allowed Muslims to practice their religion in terms of personal law. For more than a century the dual jurisdiction has worked smoothly to the satisfaction of all, including non-Muslims who could take their cases to the countrys civil courts. So who is this cleric to add insult to injury by proposing the Qadhis courts should be
abolished in Zanzibar, as they were in Tanganyika in 1963, and why at this stage when Muslims on the mainland are demanding restoration of their Qadhis courts? Fortunately, it was not left to a Zanzibari Muslim to answer him, which would have made it a Christian-Muslim malumbano. A wise Christian Copt from Egypt stood up to answer. He said: I am really surprised. We Copts constitute 10% of the population in Egypt, but we have to recognize that 90% of the people are Muslims who want to be governed by their religious rules in these matters. Why should we object? Here, you Christians form less than one per cent of the people, and you want to abolish the Qadhis courts? Nothing more needed to be said. So wisdom is called for on the part of all responsible leaders, religious or otherwise. And this relates not only to this sensitive question of religion, but in all matters during this critical period. I was dismayed when I read the story by Mwinyi Sadallah in the Nipashe of 31st May, 2012 quoting the Archbishop of the Anglican Church in Tanzania, Dk. Valentino Mokiwa, saying that the suspects wakamatwe, wapigwe bakora na polisi na baadaye wafikishwe kwenye vyombo vya sheria. When we are writing the
new constitution in which we should be safeguarding the human rights of all people against police brutality, should a responsible cleric be giving them free license to beat up people before they have been convicted of any crime? I just hope that he has been misquoted. If he was, then the journalist should apologise to him and to the rest of us.
16
AN-NUUR
16
Na Shaaban Rajab
AN-NUUR
Watoto yatima waliowakilisha Zanzibar katika sherehe za mtoto yatima kimataifa zilizofanyika Istanbul, Uturuki hivi karibuni. Watoto hao ni Shufaa Mohamed Ali, Luta Sheha Hassan, Hajir Humoud Khalid na Salum Ali Mohamed. Viongozi walioandamana nao ni Farouk Hamad Khamis, Abdalla Hadhar Abdalla na Nassra Suleiman Abdalla, wote kutoka taasisi ya Muzdalifah Islamic Charitable Organization.
alijitegemea kimaisha kwa kazi yake ya useremala iliyomuwezesha kupata kipato kiasi cha kutomtegea. Hassan Salimu alikua ni miongoni mwa Waislamu wa mwanzo kuanzisha darasa la watu wazima maarufu kama Thaqb chini ya mwalimu wao Ustaadh Ilunga. Kupitia darasa hilo, mchango wa Hassan hautasahaulika katika kuchangia ujenzi wa vituo vya Kiislamu. Akiwa fundi, Hassan alijitolea kuona vituo vinasimama na watoto wa Kiislamu wanasoma. Kifo cha Hassani kina mafunzo mengi moja muhimu likiwa ni kutumia muda na mali zetu vizuri katika uchamungu kwani hatui muda wa kuondoka. I n n a l i l l a h i wainnailayhir rajiuun.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.