Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 12

www.annuurpapers.co.

tz

Sauti ya Waislamu

Kumechafuka
ISSN 0856 - 3861 Na. 1096 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA , OKTOBA 25 -31, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Baa, pombe, marufuku Z'bar Uk. 3

Hatari ya ugaidi iliyohofiwa inakuja Uk. 11 Kila mzazi ajue kijana wake analala wapi

Pigo kubwa kwa Kadhi Mkuu


Waislamu wamkimbia siku ya Eid Aswalisha watu 13 na watoto wanne Waziri amtolea hasira kupotosha

MUFT wa BAKWATA, Sheikh Issa Shaaban Simba.

Uk. 6

Uk. 11

SEPTEMBA 11, 2011 gazeti la Los Angeles Times lilichapisha maoni ya watu mbalimbali juu ya h a l i ya Wa i s l a m u Marekani miaka 11 baada ya shambulio la kigaidi Washington Septemba

Unahitaji kichaa mmoja tu kusambaratisha Taifa


Inaendelea Uk.2

11, 2001. Being Muslim in America after 9/11, ndio kilikuwa kichwa cha habari. Katika maoni hayo walijikita zaidi kuandika maoni ya watu mbalimbali

2
www.annuurpapers.co.tz

Tahariri
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA


kwa mapanga, mishale na mikuki kwa madai kuwa Serikali haitekelezi wajibu wake kuwalinda. Ukisoma taarifa kama hizo ndio hapo unapaswa ujiulize: nini lengo la k u ch a p i sha ha b a r i z a uwongo, fitna na uchochezi kama hizo? Je, nini kinategemewa kutokea watu wakiziamini habari hizo? Hapana shaka ndio kile alichosema mwandishi katika Islamonline kuwa unahitajia mtu mmoja tu kulipua nchi. Hivi ina maana vyombo vya usalama vya nchi hii vimekosa utaalamu, weledi na umakini kiasi cha kushindwa kuona na kuchukua hatua dhidi ya kambi na vyuo vya kigaidi vinavyodaiwa kuwepo nchini? Kwa nini baadhi ya magazeti yanaendelea kukariri habari hizi? Lakini swali jingine ni je, Serikali inanufaika nini na uwongo na propaganda hizi zinazoitukana hata Serikali yenyewe na vyombo vya Dola? Tunauliza haya kwa sababu pamoja na uhuru wa vyombo vya habari uliopo, lakini Serikali ina taratibu zake za kuhakikisha kuwa uhuru wa habari hauvurugi nchi. Hii ni hatari. Kwa kuona hatari hiyo, Waziri mmoja katika Baraza la Mawaziri la Uingereza, Bi Sayeeda Wa r s i , a m e f a n i k i w a kuishawishi Serikali k u k u b a l i k u wa k u n a chuki dhidi ya Waislamu na kwamba jambo hilo lisipotafutiwa ufumbuzi wa haraka, litaleta balaa mbeleni. Awali ilikuwa mwiko kwa Serikali ya Uingereza kutoa kauli rasmi kwamba kuna ubaguzi na chuki dhidi ya Waislamu, kama i n a v y o o n e k a n a k u wa mwiko na jambo lisilofaa kusema kuwa kuna udini Tanzania na udini wenyewe ni kubaguliwa na kudhulumiwa Waislamu. Baada ya Serikali ya Uingereza kukubali hoja hiyo, kutafanyika mipango ya makusudi kufuta na kurekebisha hali hiyo ikiwa ni pamoja na kuangalia taarifa za uwongo na uchochezi zinazotolewa katika vyombo vya

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

badala ya kutoa maoni ya bodi ya uhariri ya gazeti hilo. Mmoja wa watu walionukuliwa maoni yao ni Askofu Mkuu Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini. Alichosema Tutu kama alivyonukuliwa awali na The Washington Post, ni kuwa kutokana na madai kuwa waliohusika na Septemba 11, ni walioitwa magaidi wa Kiislamu na jambo hilo likapigiwa zumari mpaka likakubalika, Waislamu wamekuwa ni jamii iliyochukiwa, isiyoaminika, inayobaguliwa kama wakati wa ma-Nazi huko Ujerumani na kwamba vikosi maalum vimeundwa kupambana na Waislamu kwa madai kuwa ni magaidi. Maoni mengine yaliyochapishwa siku hiyo yalikuwa ya Jim Wallis (Huffington Post). J i m Wal l i s an as ema kuwa siku moja katika TV ilitolewa habari ikionyesha kuwa Uislamu ni dini ya uuwaji huku Waislamu wakionyeshwa kama mijitu katili na wauwaji. "That's not true, there is a Muslim boy in my class, and he is not like that at all." Ghafla alisema kijana wake akiitwa Jack akimaanisha kuwa hayo yanayosemwa na TV sio kweli kwa sababu darasani kwake anasoma na kijana Muislamu na ni mtu mzuri. Haoneshi kuwa na tabia hizo. Haya anayosema mtoto Jack Jim Wallis, yanatupeleka katika ile habari juu ya Fox News iliyokuwa na kichwa cha habari: What Happens When People Actually Believe the Fox Network.? (Islamonlie-: 23/12/2011 06:27:00 AM GMT) Kama kipo chombo cha

Unahitaji kichaa mmoja tu kusambaratisha Taifa

habari katika Marekani kilichojidhihirisha kuwa na chuki na Waislamu, basi chombo hicho kinatajwa kuwa ni Fox Network. Te l e v i s h e n i h i y o inayomilikiwa na Rupert Murdoch, inasifika kwa kutoa habari za uwongo za kuwapaka matope na kuwatukana Waislamu pamoja na kuchochea chuki dhidi yao. Namna yake ni kama inawachochea Wakristo na Serikali ya Marekani na walimwengu kwa ujumla, wawapige vita Waislamu na ikiwezekana kuwahilikisha kabisa wasiwepo duniani. Anachoshanga m wa n d i s h i wa m a o n i yaliyochapishwa katika I s l a m o n l i n e n i k u wa k wa u k a t i l i n a u o v u wanaotangaziwa Waislamu, ni jambo la kushangaza kuwa Wakristo wanaoishi jirani na Waislamu (ikiwa ni pamoja na hao wanahabari wa Fox Network) wanaweza kulala usingizi buheri wa afya bila kuvamiwa na kupigwa mawe na Waislamu hadi kufa! If one were to believe these lies, it is a wonder they can get out of bed in the morning without being stoned to death by a horde of angry Muslims! Anashangaa mwandishi akisema kuwa vyombo hivyo vya habari, vimewadumbukiza Waislamu na dini yao katika pakacha la ukatili, uuwaji, na sasa wanakuja na misamiati ya kuwatangazia uadui Waislamu kwamba Wakristo wote kwa pamoja wa p o v i t a n i d h i d i ya Waislamu. Anashangaa akisema kuwa katika kilele cha chuki na ujinga, hata Rais Obama kwa kuwa na ubini wa Hussein, haaminiki. Inasemwa kuwa Obama is a secret Muslim

anayewasaidia Waislamu wanaotaka kuisilimisha Marekani. Mwandishi anasema kiwango cha chuki kilichofikiwa na propaganda inayoendelea kupigwa kuwa Waislamu ni magaidi wanaolenga kuwaangamiza Wakristo, ni cha hatari kwa sababu unahitajia kuwa na kichaa ,mmoja tu kushika panga akaingia Kanisani na kuuwa watu kadhaa halafu unasema ni magaidi. Hapo una hakika kwamba: Kwanza madai hayo yataaminika na vyombo vya habari vitayapamba sana. P i l i , w a t u walioaminishwa hivyo, wanaweza kuchukua silaha kulipiza kisasi dhidi ya Muislamu yeyote. Hapo sasa ni ua nikuuwe. Nchi ishavurugika. Lakini j i n g i n e n i k u wa h a t a jinsi vyombo vya dola vilivyoaminishwa, navyo havitahangaika kufanya uchunguzi. Navyo vitaimba wimbo huo huo wa watuhumiwa wa ugadi wa siku nyingi. Labda hapa tujiulize, kwa hapa kwetu Tanzania, nini lengo la kupiga propaganda kama hizi? Tunachotaka kuvuna nini? Tunajiuliza maswali haya kwa sababu, haya yanayosemwa na Fox ya Marekani, ndio hayo hayo yanayopambwa na baadhi ya magazeti yetu. Kwa hakika magazeti mengine (na baadhi ya wanasiasa/ viongozi wa vyombo vya dola) washakuwa kama vipaza sauti vya Fox Network. Rejea gazeti la HOJA l i l i l o k u wa l i m e r i p o t i k u wa k i k o s i m a a l u m cha magaidi kutoka Unguja kimeingia Dar es Salaam kwa boti maalum ya kukodi kwa ajili ya kuungana na Waislamu wa Dar es Salaam kuchoma Makanisa. Rejea tena ile habari k at ik a g azet i mo ja la Kikristo lililoripoti kuwa jopo la Mapadiri lilikuwa limekaa na kutoa taarifa ya kuwepo kikosi cha Wa i s l a m u wa l i o i n g i a Mbeya kwa ajili ya kuchoma moto Makanisa na kuuwa viongozi wa Kikristo! Na viongozi hao wa Makanisa wakatoa wito kwa waumini wao kujihami

habari ambazo huathiri kwa kiwango kikubwa mitizamo ya wananchi na hata watendaji katika vyombo vya dola. Sisi tunaamini kuwa tatizo hili lipo pia Tanzania, tena kwa kiwango kikubwa mno. Na kama ni hatari k wa U i n g e r e z a , b a s i itakuwa hatari kubwa zaidi kwa Tanzania ambapo, Waislamnu na Wakristo wanakaribiana kwa wingi. Tunachotakiwa kuzingatia hapa ni kuwa mchezo tunaofanya, ndio mauti yetu sisi sote. Maana kanuni na uzoefu u n a o n ye s h a k u wa i l i kitisho cha ugaidi kikolee, haishii kwenye habari tu. Uwongo na propaganda ikishakolea, lazima sasa yatokee matukio ya kweli na ya kutisha/ya kikatili; halafu unasema ni wale magaidi. Hapo sasa unafungua mlango wa kulipizana kisasi. Katika hali kama hiyo, nani atasalimika Tanzania? Nani atafaidika? Mwandishi na gazeti lake anayesema uwongo kuwa Chuo cha Kiislamu Ukerewe kinafundisha ugaidi, atanuifaika vipi? "That's not true, there is a Muslim boy in my class, and he is not like that at all." Kama alivyohamaki yule mtoto Jack Jim Wallis, labda nasi tujiulize, hivi kama kule Aljazeera, U k e r e w e k u n g e k u wa kunafundishwa ugaidi na kwamba Tanzania kuna magaidi kama baadhi ya vyombo vya habari vinavyowatia ujinga wasomaji wake, hivi nchi hii hivi sasa ingekuwa inakalika? Upo ujinga mwingine ambapo baadhi ya watu na vyombo vya habari, huona fahari kututangazia kuwa kumealikwa wataalamu wa kupambana na ugaidi kutoka nje kuja kutusaidia. Swali moja tu wajiulize: Ni nchi gani iliyopewa msaada wa kupambana na magaidi na sasa ipo katika salama? Kila nchi iliyokaribisha wataalamu hao, hivi sasa ni ua nikuuwe kila kona. Kila uchao, ni milipuko ya mabomu na maguruneti.

Baa, pombe, marufuku makazi ya watu Zanzibar


Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar inafanya mapitio ya sheria ya vileo ya mwaka 1928, ili kuweka utaratibu utakaozuia uanzishwaji wa baa na vilabu vya pombe katika maeneo ya makazi ya watu. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Vikosi Maalum, Haji Omar Kheir, wakati akijibu swali lililoulizwa katika kikao cha Baraza la Wawakilishi, kufuatia kukithiri biashara holela ya vileo Zanzibar, jambo ambalo limeonekana kuathiri mila, desturi na tamaduni za wazanzibar. Waziri Kheir alisema kuwa serikali kwa kuzingatia utamaduni wa watu, sasa utoaji wa leseni za kuendeshea biashara hiyo ya vileo utazingatiwa kwa umakini. Aliongeza kuwa serikali imeanzisha Mahakama ya Vileo itakayowezesha wananchi kutoa pingamizi za kuzuia leseni za biashara hiyo, endapo wataona zitaharibu mila na utamaduni za visiwani humo. Waziri Kheir amesema uanzishwaji wa vilabu vya pombe au baa, unaweza kusababisha kuporomoka kwa maadili na hatimaye kuathiri mila na tamaduni kwa vijana. Serikali ya Mapinuzi Zanzibar bado inatumia sheria ya mwaka 1928, iliyotungwa na wakoloni kuendeshea biashara ya vileo inayoonekana kupitwa na wakati. Katika tukio jingine, M a k a m u wa K wa n z a wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amewahimiza wananchi wa Zanzibar kuungana katika kulinda na kuhifadhi utamaduni, mila na silka za Wazanzibar, ili kuepusha tabia ya upotoshaji unaofanywa kwa makuasudi na baadhi ya watu. Maalim Seif, alitoa wito huo hivi karibuni, wakati akihutubia katika hafla ya Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W), iliyoandaliwa na Madrasat Nur Islamiya katika kijiji cha Tumbatu Jongowe, Wilaya ya Kaskazini A Unguja. Amesema utamaduni na mila za Wazanzibari ni hazina za kipekee zilizorithiwa miaka mingi iliyopita, lakini baadhi ya watu wamekuwa wapotosha kwa malengo yao maalum, jambo ambalo linapaswa kupigwa vita na wananchi. Amesema historia ya Zanzibar ina mafungamano makubwa na Dini ya Kiislamu kwa zaidi ya miaka 1,000, hali ambayo inathibitishwa na kuwepo maeneo mengi ya kihistoria, ukiwemo msikiti wa Kizimkazi, magofu ya majengo ya asili huko Makutano katika kisiwa cha Tumbatu pamoja na kuwepo eneo la kihistoria la Mkuu, kisiwani Pemba. Maalim Seif amesema malengo ya kuhifadhi na kulinda utamaduni na mila za Wazanzibar yataweza kufikiwa iwapo walimu, Masheikh na wazee watakuwa na tabia ya kuwafunza watoto wao historia na utamaduni wa nchi yao. A i d h a M a k a m u wa Kwanza wa Rais ametumia hafla hiyo kuhimiza umoja na mshikamano miongoni mwa Wazanzibari wote, h a s a wa k a t i h u u wa kutafuta Katiba mpya ya Tanzania, ili kuweza kulinda maslahi na musatakabala mwema wa Zanzibar. Alisema kuwa i w a p o Wa z a n z i b a r watashikamana pamoja, wa t a we z a k u t e t e a n a kulinda maslahi ya nchi yao na watu wake, lakini wakigawanywa na kuweka mbele maslahi binafsi badala ya maslahi ya Taifa, watashindwa kuitumia vyema fursa iluiyopo ya kupata katiba mpya inayokidhi. Katika risala hiyo iliyosomwa na Maalim Juma Makame, uongozi wa Madrasat Nur Islamiya uliahidi kuendelea

Habari

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akiteta na Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad. kushirikiana na Serikali p a m o j a n a wa n a n c h i wa kijiji hicho, katika kuwajenga watoto katika maadili mema ili waje kuwa wananchi wema wa kutegemewa na Taifa.

Kampuni za mafuta zaelekea Zanzibar


Na Mwandishi Wetu

wajumbe wa Baraza soko la Zanzibar. kuwepo dalili za l a Wa wa k i l i s h i Matokeo ya Utafiti mafuta na gesi katika KAMPUNI za kuhusu uwezekano w a m w a k a 1 9 8 2 , maeneo ya baharini uchimbaji wa mafuta wa Zanzibar kuwepo yameonyesha kuwa visiwani Zanzibar. zilizopewa mikataba mafuta na gesi. ya kutafuta na Wa z i r i h u y o kuchimba nishati NAFASI YA KAZI amesema kampuni hiyo na serikali ya za Rak Gas na Shell MKUU WA SHULE YA MSINGI muungano, zimeanza zimeanza kuwasiliana kuwasiliana na YA KIISLAMU ANAHITAJIKA na Serikali ya Zanzibar baada ya Mapinduzi kufufua suala hilo kutakiwa maeneo waliopewa na Mahala: Dar es Salaam kuondolewa kwenye Sifa: Serikali ya Muungano Muungano. Nayo kampuni ya Rak Diploma au Degree ya Ualimu Waziri wa ardhi, Gas kutoka Rass-helma Makazi, Maji na Nishati, Uzoefu usiopungua miaka 3 katika Uongozi Ramadhan Abdalla imetahadharisha juu Shaaban, amesema ya ucheleweshaji wa Umri usiopungua miaka 30 uchimbaji wa mafuta hatua hiyo inatokana Muadiliifu, Mbunifu na Mchapakazi asiyesubiri n a wa j u m b e wa na gesi Zanzibar Baraza la Wawakilishi unaweza kukosesha usimamizi wa karibu kutaka mafuta na gesi soko la kuzia nishati kuondolewa kwenye hiyo. Mjuzi wa kutumia Kompyuta Mkuu wa uendeshaji Mshahara: Mzuri kulingana na Elimu na Uzoefu orodha ya Mambo ya wa kampuni ya Rak Maombi: Barua, Vyeti na CV yenye wadhamini Muungano K wa m u j i b u wa gas Joseph Haskel wawili (hard or soft copy) vitumwe kwa: Mtandao wa Zanzibar amesema nchi jirani Mkurugenzi, Pamoja Foundation, Islamic news, Waziri za Kenya na Uganda P.O. Box 70941, Dar es Salaam Ramadhan Abdalla ambazo zimo katika Email: pamojafund@gmail.com Shaaban, alieleza hayo hatua ya mwisho ya Mwisho: Mwisho wa hupokea maombi wakati akizungumza uchimbaji wa mafuta Ijumaa tarehe 08.11.2013 saa 10:30 jioni. k a t i k a s e m i n a y a z i n a we z a k u h o d h i

Waislamu 52, washinda rufaa Mahakama Kuu


Na Bakari Mwakangwale MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es S a l a a m , i m e wa a c h i a h u r u Wa i s l a m u 5 2 , waliohukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela, na kusema hawakustahili kupewa adhabu hiyo. Waislamu hao wamekuwa huru kuanzia Oktoba 21, 2013 kufuatia rufaa waliyoikata kupinga adhabu hiyo waliyohukumiwa na Mahakama ya Hakamu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, Machi 21, 2013. Akitoa hukumu hiyo Jaji Salvatory Bongole, alisema kwa mujibu wa sheria makosa waliyoyafanya washatakiwa hao, adhabu yake i l i st ah ili kulip a faini ya TSh.50,000 au kutumikia kifungo cha miezi mitatu kila mmoja jela. K a t i k a m a e l e z o ya hukumu hiyo, ilionyesha kuwa tayari Waislamu h a o wa m e s h a m a l i z a kutumikia kifungo chao, baada ya Jaji, Bongole, kufuta baadhi ya makosa na kubatilisha adhabu ya awali na kutoa ufafanuzi wa adhabu stahiki. Jaji Bongole, katika hukumu yake hiyo, alifafanua kwamba makosa yaliyowatia hatia washtakiwa hao ni kufanya mkusanyiko usio halali, kula njama pamoja na kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi kufuatia zuio la kufanya maandamano. Jaji Bongole, akasema anakubaliana na hoja za Wakili wa upande wa utetezi, Mohammed Tibanyendela, kwamba Hakimu wa Mahakama ya Kisutu, alikosea katika hukumu yake dhidi ya wateja wake. Alisema, Hakimu huyo, Fundi Fimbo, wa Mahakama ya Kisutu, alifanya makosa kwa kuwatia hatiani katika kosa la kula njama na kuwadhibu kwa kosa hilo tena ili hali tayari alikuwa amewatia hatiani kwa kufanya mikusanyiko isiyo halali. Akasema, anafuta adhabu ya kosa la kula njama kwa kuwa halikuwa sahihi, adhabu iliyotolewa ambayo ilikuwa ni kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani. Hata hivyo, Jaji Bongole, alibadilisha adhabu ya kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani, katika makosa ya kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi kufuatia zuio la kufanya maandamano na kufanya mkusanyiko usio halali, badala yake alisema watakaa miezi mitatu gerezani au kulipa faini. Nakubaliana na kutiwa hatiani kwa washtakiwa katika kosa la pili na la tatu, lakini adhabu yake haikuwa sahihi. Na ninakubaliana na hoja za Wakili wa utetezi, hivyo natengua adhabu ya kifungo cha mwaka mmoja na kuwa kifungo cha miezi mitatu jela kulingana na makosa yao. Alisema. Kufutia kauli hiyo Jaji Bongole, akafafanua kwamba toka siku ya hukumu kwa warufani hao (Machi 21, 2013), hadi siku ya hukumu (Oktoba 21, 2013) tayari inakuwa wameshakaa jela zaidi ya miezi mitatu, kwa maana h i y o wa m e s h a m a l i z a kifungo chao. Jaji Bongole, alisema katika hukumu ya awali watuhumiwa walipewa adhabu mbili katika kosa moja, kula njama pamoja na kuiba. Hivyo kosa la kula njama linakufa na kufanya adhabu waliyopewa kutokuwa sahihi. Kwa upande mwingine Jaji Bon go le , a lis e ma anakubalina na upande wa utetezi kwamba sheria ya kupunguziwa adhabu washtakiwa hao haikuzingatiwa. Alisema, katika kipengele hicho adahabu ya kifungo haikuzingatia wala kufuata kifungu cha 46 cha sheria za Jeshi la Polisi. Machi 21, Mahakama ya Hakim Makazi Kisutu, iliwahukumu Waislamu 52, ambao walidaiwa kuandamana wakiitaka Serikali kumpatia dhamana Sheikh Ponda Issa Ponda, aliyekuwa

Habari

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Ni wa maandamano ya DPP Jaji akosoa hukumu ya Kisutu, afuta shitaka Adhabu yao ni jela miezi mitatu au faini
ameshikiliwa gerezani kufuatia kadhia ya Kiwanja cha Markazi, Changombe. Mahakama hiyo, iliwatia hatiani Waislamu hao, baada ya kuwaona wa n a m a k o s a m a t a t u , ambayo kila moja adhabu yake ilikuwa ni kukaa gerezani mwaka mmoja kwa pamoja, kabla ya kukata rufaa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es S a l a a m , k u p i t i a k wa Wakili wao, Mohammed Tibanyendela, kwa kuwasilisha sababu tisa kupinga huku ya Mahakama ya Kisutu. Baada ya kuhukumiwa Machi 21, 2013 mpaka rufaa yao inasikilizwa Oktoba 21, 2013, Waislamu h a o t a ya r i wa l i k u wa wamekaa gerezani kwa miezi nane.

Maimam, Walimu wa Madrasa,Walimu wanaofundisha masomo ya Islamic Knowledge na Kiarabu wanaombwa kuhudhuria semina maalum ya kuwawezesha kupata elimu ziada ya habari na mawasiliano (TEHAMA) itakayowawezesha kujiendeleza katika elimu ya kompyuta. Semina hiyo inatarajiwa kutolewa bila malipo. Mahali ni Masjid Baitul Muqadas Ubungo Kibo Jumamosi baada ya swala ya Alasir, chini ya usimamizi wa Sheikh Yahya Sufiani. Kibaha Maili Moja itafanyika Masjid Muuminina Jumapili baada ya swala ya Alasir. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia: 0714 474941, 0782 474941, 0755 754828 Barua pepe: athumanikimisha@gmail.com au a.kimisha@support2develop.com

Tangazo

Semina bila malipo


Wanawake wote wa Kiislamu wa mkoa wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani. Islamic Forum inawaalika kwenye semina ya ujasiriamali itakayofanyika siku ya Jumapili tarehe 27/10/2013 katika shule ya Alharamain-Kariakoo Lengo ni kuwakomboa wanawake kutokana na Lindi la umaskini kwa maelezo zaidi wasiliana kupitia namba: 0655 787900, 0772 787900 na 0717 246092

Inatanga Nafasi za Masomo Kidato cha kwanza 2014 Shule ni ya Bweni kwa Wavulana na Wasichana. Inaongozwa kwa maadili ya Kiislamu ipo KIGAMBONI- kibada- Km 12 kutoka Feri. Ukitokea mbagala (Kongowe) ni Km 15. Shule ina Michepuo ya Sayansi, Biashara na Sanaa. Fomu za Kujiunga na shule Zinapatikana katika vituo vifuatavyo:1. Shuleni Algebra Islamic Seminary 2. Ubungo Islamic- 0712- 033 556 3. Ofisi za Gazeti la An-nuur Manzese Tip top ( Usangi house) 0655- 677 683 4. Tanga- Almusa Stationary ( Barabara ya 13, Mkabala na kituo cha Daladala za Donge- 0767- 206 136. 5. Morogoro- Mum- 0764- 392 987. 6. Zanzibar- chuo cha elimu Chukwani- 0778-775 226. Mtihani wa Usaili utafanyika tarehe 09/11/2013 kwenye vituo vifuatavyo. Shuleni, Algebra Islamic Seminary- Kigamboni. Tanga. Zanzibar, Chukwani. Morogoro MUM Kwa Maelezo Zaidi Wasiliana Nasi kwa Namba hizi, 0768/0655 176 700/ 0716 803 670/ 0784 260 241. Mlete Mwanao Apate Elimu na Malezi Bora. Mkuu wa Shule

S.4198

Habari za Kimataifa

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

CAIRO Familia ya Rais wa Misri aliyeondolewa madarakani na jeshi la nchi hiyo, Muhammad Morsi, imesema kuwa kiongozi huyo a m e k a t a a k u f a n ya mazungumzo na viongozi wa kijeshi wa nchi hiyo. Morsi pia amesema kuwa wale wote waliotenda jinai dhidi ya raia wa Misri, watafikishwa mbele ya mkono wa sheria hivi karibuni. Mtoto wa Muhammad Morsi, anayeitwa Osama, amesema kuwa wafuasi wa baba yake wanakaribia kupata ushindi dhidi ya k i l e a l i c h o k i i t a "mapinduzi ya damu" yaliyotekelezwa na jeshi la Misri. Siku ya Ijumaa mchana wafuasi wa Morsi walifanya maandamano katika miji ya Cairo, Alexandria, Damietta n a S u e z , wa k i t a k a kuachiwa huru Rais huyo aliyepinduliwa na jeshi na kusisitiza kurejea kwake madarakani. Mwanzoni mwa wiki iliyopita, ilielezwa kuwa hali ya Mohammad Morsi kiafya ni mbaya kwa muda wa wiki mbili. Habari zilisema kuwa, madaktari walikuwa wakienda kumpatia matibabu Morsi huko huko kizuizini, huku serikali ya mpito ikikataa kumhamishia hospitalini kwa uchunguzi zaidi wa kiafya yake. Hata hivyo mtoto wa Morsi, Usama alisisitiza kuwa, Morsi ameapa kuendelea kupigania haki zake za kisheria hadi mwisho wa uhai wake. Usama aliikosoa serikali ya mpito kwa kuendelea kusikiliza kesi za viongozi wa harakati ya Ikhwaanul Muslimin, wakati wa kusherehekea sikukuu ya Eid na kusisitiza kuwa kitendo hicho kinakipingana na katiba

Morsi akataa kuzungumza na viongozi wa kijeshi

Mkakati mpya wa Marekani barani Afrika


Gazeti la New York Times limeripoti kwamba, Marekani imeanzisha mkakati mpya wa kutuma vikosi vyake vya kijeshi katika maeneo mbalimbali ya bara la Afrika. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, hivi sasa inafanywa mpango wa kuwahamishia barani Afrika maelfu ya askari wa Kimarekani ambao wamerejea nchini kwao wakitokea katika vita kwenye nchi za Afghanistan na Iraq. Maafisa ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon, wamedai kwamba mpango huo ni katika mkakati mpya wa Marekani wa kutoa mafunzo kwa vikosi vya kukabiliana na uasi na ugaidi barani Afrika. Mwanzoni mwa mwezi huu makomandoo wa Marekani walifanya operesheni ya kijeshi katika nchi za Libya na Somalia na kudai kwamba, operesheni hiyo ilifanyika kupambana na ugaidi. Pamoja na hayo, weledi wa m a m b o wa n a a m i n i kwamba kwa kuzingatia historia ya Marekani ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, karne ya 21 imepewa jina la Afrika na kwamba, Washington inafuatilia malengo maalumu ya kuweko kwake kijeshi katika bara hilo.

WAAANDAMANAJI Misri ya nchi hiyo. Jumapili iliyopita, Mwendesha Mashtaka wa Misri alisema kuwa, Morsi ataendelea kubaki kizuizini kwa muda mwezi mmoja zaidi. Wakati hali ikiwa h i v y o , Wa n a f u n z i katika Chuo Kikuu cha al-Azhar nchini Misri, wameendelea na maandamano yao kwa siku ya tatu mfululizo wakilitaka jeshi kujiweka kando na siasa. Wa n a f u n z i h a o p i a wa m e t a k a D k t . Mohammed Mursi, arejeshwe madarakani. S e r i k a l i ya m p i t o imesema kuwa maandamano hayo yanatishia usalama wa nchi na imeonya kuwa, huenda ikatumia nguvu kuyasimamisha. Wa n a f u n z i wa chuo hicho kikongwe zaidi nchini humo wanaandamana sio tu mjini Cairo, bali pia katika matawi mengine ya chuo hicho katika miji mbalimbali ya Misri.

Uingereza kinara wa mihadarati Afghanistan


JARIDA la Veterans Today, la nchini Marekani limeandika k u w a , Wa i n g e r e z a wanaongoza kwenye magendo ya dawa z a k u l e v ya n c h i n i Afghanistan. Aidha limefahamisha kwamba London wala haina azma ya kuondoa vikosi vyake nchini humo katika miaka ya hivi karibuni. Mhariri Mkuu wa Jarida hilo Gordon Duff, ameeleza kuwa, lengo la Waingereza kutuma majasusi zaidi nchini Afghanistan, ni kusimamia fedha zipatazo zaidi ya dola bilioni moja zinazotokana na magendo ya dawa za kulevya, kuhamishwa heroini kutoka nchini humo na kusaidia m f u m o wa k i b e n k i katika benki za London. Duff amefichua kuwa, Shirika la Ujasusi la Marekani CIA na lile la Uingereza MI6 na mashirika mengine ya kijasusi yamekuwa yakijihusisha na magendo ya dawa za kulevya katika pembe mbalimbali duniani tangu wakati wa vita vya Vietnam. M h a r i r i h u y o wa J a r i d a l a Ve t e r a n s Today amesisitiza kuwa, Waingereza kwa zaidi ya miaka 100 wamekuwa wakijishughulisha na uzalish aji wa dawa za kulevya nchini Afghanistan, hivyo hawawezi kuiacha biashara hiyo kutokana na kuwaingizia pato kubwa. Gordon Duff amefichua zaidi kuwa, zaidi ya dola milioni nne zilizotokana na magendo ya dawa za kulevya, zilitumika katika uchaguzi uliopita wa Baraza la Congres la Marekani na kwamba, wanasiasa wengi kutoka nchi mbalimbali duniani wamejitumbukiza kwenye biashara ya dawa ya kulevya. Katika gazeti la Daily Mail la Septemba 2010, liliwahi kuripoti kwamba kuna madai ya askari wa Uinegerza wanaorejea nchini humo kutoka Afghanistan wanabeba heroin. Kwa mujibu wa habari za gazeti hilo, Wizara ya Ulinzi ilithibitisha kwamba polisi wa jeshi walikuwa wakifanya uchunguzi juu ya taarifa za wanajeshi waliopelekwa Afghanistan kupambana na Taliban, walikuwa wakinunua dawa za kulevya huko Afghan na kuzisafirisha kwa meli

hadi Uingereza. Madai yenyewe ni kwamba heroin na dawa nyingine zimekuwa zikisafirishwa na mamia ya askari wanaorejea kila RAF Brize Norton huko Oxfordshire. Baadhi ya matajiri wakubwa wa kuuza dawa za kulevya wa l i h u s i s h wa kuwatumia baadhi ya askari katika biashara hiyo. Afghanistan huzalisha asilimia 90 ya zao la opium duniani, ambalo hutumika kutengenezea heroin. Zao la heroin k wa k i a s i k i k u b wa hulimwa katika jimbo la Helmand, ambako ndiko ilipowekwa kambi kuu ya kijeshi ya Uingereza na vikosi vya washirika wengine huko Afghanistan. (www. dailymail.co.uk)

6
DURING the firefight, hostages reportedly had their throats slashed from ear to ear and were thrown screaming from thirdfloor balconies as the siege came to a bloody end. Children as young as five were shot up to five times by the terrorists that carried out the Westgate mall massacre, it has emerged. One girl at the event, 16-year-old Nehal Vekariya, was shot through the eye, according to The Sunday Times. The paper reports her fathers final phone conversation with her. He said: She said Im okay, Im with friends, call Mummy fast and tell her Im okay. When her mother called her she heard yelling and then gunshots, then the line went dead. She had been cut down at close range. The paper also reports that witnesses describe children as young as five being hit up to five times by the terrorists, as they roamed the mall looking for victims. In the group was Caroline Fowler, a woman from Washington, D.C. She was shaking, and had what appeared to be bloodstains on her pants. She had been waiting for a taxi at the front entrance, she told me, when the shooting started. She ran inside, into a tapas restaurant. We hid under the bar for a little while. Then the shooting was louder and I saw a man and I saw a gun, she said, struggling to catch her breath. They snuck from the bar, and then we all hid in the kitchen. When the shooting ceased, Maggie ran from the mall. Outside she watched as two gunmen, whom she described as young and light-skinned, approached a man. He lay down, she said. And at close range they just shot him. (Sources: http://www. dailymail.co.uk/news/ article-2437201/KenyaWe s t g a t e - m a l l - a t t a c k Al-Shabaab-terroristsshot-children-5-times. html#ixzz2gTQmCwrc) Ta f s i r i n a m a e l e z o :

Makala

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Lete Sababu yako

What Daily Mail wrote:

n a k u wa z i m e t o l e wa picha nyingi sana zikionesha askari na watu mbalimbali wakiokolewa, la kushangaza ni kuwa hakuna hata picha moja i l i y o p a t i k a n a ya h a o watoto na watu mbalimbali wanaodaiwa kupigwa

Westgate Mall, jijini Nairobi, Kenya. Picha chini mmoja wa mwanamke akitoka ndani ya jengo na watoto wake salama

Habari hii kama ilivyochukuliwa katika gazeti la Daily Mail la Uingereza na kunukuliwa na magazeti mengi hapa nchini inasema kuwa, katika kilele cha utekaji pale Westgate Mall, Nairobi, magaidi waliwakata makoo (waliwachinja) m a t e k a , wa k a wa k a t a masikio, mikono na viungo vingine huku wengine wakiwamiminia risasi vichwani kwa mlengo wa karibu. Kudhihirisha ukatili wao, walimpiga risasi ya jicho (na kufumua kichwa chote) msichana wa miaka 16, Nehal Vekariya. Inaelezwa kuwa awali Nehal alimpigia simu baba yake na kumwambia kuwa yupo salama, lakini baadae alipopiga tena ikawa simu haipatikani. She had been cut down at close range. Linasema gazeti kuwa Nehal alikuwa keshamalizwa kwa kupigwa risasi at close range. Maana yake hiyo ni kumsogezea mtu mtutu jirani kabisa ndio ufyatue. Gazeti likasema pia kuwa kulikuwa na watoto wa kiasi miaka mitano (5) waliopigwa risasi zaidi ya tano na wengine

kubamizwa ukutani. W a p o p i a wa l i o v u r u m i s h wa n a kutupwa chini kutoka ghorofa ya tatu. Sasa sikiliza hoja hizi: Plenty of pictures, but not a single one of any child being shot even once,

let alone five times. What a mess that would be. Yet, it would sure create indignation against those bloodthirsty Mooslims. No such pictures were provided, because they dont exist. Hoja ni kwamba pamoja

risasi vichwani, machoni na kukatwa makooo na masikio. Hakuna pia picha za hao magaidi wakionekana kushambulia na kuchinja watu! Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, kumetokea wizi mkubwa ambapo askari wanatuhumiwa kupora maduka ya watu wakati wa zoezi la uokozi na kupambana na magaidi. Kamera za usalama CCTV, zimeonesha picha za askari wakipora. Lakini la ajabu kamera hizo hazikukamata hata picha moja ya gaidi au watoto waliodaiwa k u k a t wa m a s i k i o n a kufumuliwa vichwa kwa risasi. Mchambuzi mmoja anasema, No such pictures were provided, because they dont exist. Kwamba hakuna picha kama hizo zilizopatikana kwa sababu hazikuwepo. Hakukuwa na watu wa l i o p i g wa r i s a s i n a kuuliwa na magaidi. Sasa wewe sema sababu yako. Ni kwa nini mpaka sasa hatuoneshwi hao watu waliokatwa masikio na kupigwa risasi za machoni!

Pigo kubwa kwa Kadhi Mkuu


Na Mwandishi Wetu ILIKUWA kituko cha aina yake pale watu 13 pamoja na Imam wao walipojitokeza kusali Swala ya Eid el Adhha siku ya Jumatano. Wa t u h a o k u m i wanaume na wanawake watatu wakiwa na watoto wanne, watatu wakiwa wavulana, ndio waliosikiliza na kufuata tangazo la Kadhi Mkuu kuwa Eid ilikuwa Jumatano (iliyopita). Waislamu wa Kenya walipuuza tangazo la Kadhi Mkuu na hivyo kufurika kwa maelfu katika uwanja wa Sir Ali Muslim Club, Nairobi siku ya Jumanne kuswali. U wa n j a wa S i r A l i Muslim Club, ndio uwanja mkuu wa kuswalia Eid Nairobi, ambapo wabunge na mawaziri Waislamu walijumuika na Waislamu Jumanne na kupuuzilia kwa mbali tangazo la Kadhi Mkuu, Sheikh Ahmad Muhdhar. Waliopuuza tangazo la kuswali Eid Jumatano kama lilivyotolewa na Kadhi Mkuu Sheikh Ahmad Muhdhar, ni pamoja na Naibu wa Kadhi Mkuu, Sheikh Rashid Ali Omar. Katika hali ya kushangaza, hata baada ya kuona kuwa Misikiti yote iliswali Eid Jumanne na maelfu kufurika uwanja mkuu wa Sir Ali Muslim Club, bado Kadhi Mkuu na watu wake hao 13 walijitokeza kuswali Jumatano katika uwanja huo huo jambo lilionekana kama kiroja cha aina yake kwa wapita njia. Akiongea mara baada ya swala Mbunge wa G ar i ssa Adan Duale, alisema kuwa lengo la kuwa na Kadhi ni ili awaunganishe Waislamu sio kuwagawa na kuwatia ujinga. Akasema, kitendo cha kuwataka Waislamu wa s wa l i E i d s i k u ya Jumatano huku ikijulikana kuwa Arafah ilikuwa Jumatatu, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Makala

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Waislamu wamkimbia siku ya Eid Aswalisha watu 13 na watoto wanne Waziri amtolea hasira kupotosha Waislam

WAISLAMU Kenya walioswali Idd siku ya Jumanne wakipuuza agizo la Kadhi Mkuu. Picha chini waliofuata tangazo la Kadhi Mkuu wakaswali Jumatano.

atashughulikia masuala kama hilo la Eid na mwezi, na Kadhi Mkuu abaki na mambo yake ya ndoa na talaka. Kama Nairobi na miji mingine ya Kenya, Mombasa nako Waislamu walipuuza kauli ya Kadhi Mkuu wakaswali Jumanne. Taarifa kutoka Nairobi z i n a f a h a m i s h a k u wa pamoja na Kadhi Mkuu kutangaza kuwa Eid ni Jumatano, Masheikh, viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbalimbali ikiwemo Majlis Ulamaa, walikataa kufuata agizo la Kadhi Mkuu na kuwatangazia Waislamu Eid Jumanne. Aliyeswalisha Eid hiyo katika Uwanja Mkuu wa Eid alikuwa kiongozi mkuu wa Majilis Ulamaa, Sheikh Muhammad Osman. Wakati hayo yakijiri K e n ya , Wa i s l a m u walio wengi Tanzania, walishikamana na kauli ya Bakwata iliyotangazwa na Alhaj Ismail Habib Makusanya, wakaswali Eid Jumatano. Baadh i ya Masheikh

We respect you, you are our leader but please we do not want you to divide Muslims but unite them. You are holding brief on behalf of the Muslim community and you cannot use this seat to divide the community. We will not allow you and we will not allow anyone in the future. Alisema Duale, kama alivyonukuliwa na jarida moja la Kiislamu la Nairobi, akimkumbusha Kadhi Mkuu kwamba cheo alichoshika ni amana kubwa kwa Waislamu na kwamba pamoja na kuwa Waislamu wanamheshimu kama kiongozi wao, lakini

hawatakubali kuona anatumia madaraka hayo vibaya kwa kuwagawa. Eid ul Adhha inafanyika siku inayofuatia kisimamo cha Arafah, ilikuwa makosa kwa Kadhi Mkuu kuwaambia Waislamu wa Kenya kuswali Eid siku ya Jumatano. Alisema mbunge huyo. K wa u p a n d e wa k e Sheikh Rashid Ali Omar ambaye ni Naibu Kadhi M k u u a l i s e m a k u wa hatua ya Kadhi Mkuu kuwapotosha Waislamu wa Kenya juu ya siku ya Eid wakati ni jambo lipo wazi, litajadiliwa katika

vikao husika na kutolewa maamuzi. Sheikh Rashid Ali Omar alisisitiza k u wa wa t a h a k i k i s h a kuwa upotoshaji na mkanganyiko huo hautokei tena Kenya. Nako Mombasa Waziri wa Madini Najib Balala alisema kuwa aibu ya kutaka kuwaswalisha Wa k e n y a t o f a u t i n a Waislamu wote duniani kama alivyokuwa akitaka kufanya Kadhi Mkuu, si jambo la kufumbiwa macho. Akasema, pana haja ya kuwa na Mufti mwenye ufahamu ambaye

wa ki-Bakwata, waliwaambia waumini k a t i k a m i s i k i t i ya o wafunge Arafah Jumatatu lakini Eid waswali Jumatano. Lakini wapo pia walioambiwa wafunge J u m a n n e b a d a l a ya Jumatatu ambayo ndiyo ilikuwa siku yenyewe ya Arafah. Kwa upande mwingine, wakati Majlis Ulamaa wa Kenya na Masheikh kwa ujumla, wakitoa fatwa na kuwapa Waislamu wa nchi hiyo mwongozo na msimamo, Masheikh na Maulamaa wa Tanzania, hilo bado linaonekana kuwa mbali sana. Katika Masheikh waliobahat ika kupewa
fursa kuongea katika vyombo vya habari, walichofanya ni kutoa hoja za kushikilia na kungangania msimamo wa mtu.

8
Na Mwandishi Wetu NINA matumaini makubwa kwamba mfumo wa serikali tatu katika muungano, huko mbele, unaweza kuwa ni suluhisho kubwa la matatizo ya muungano. Sio moja kwa moja katika mpangilio uliopangwa na Jaji Warioba na kamati yake, la hasha. Ukiangalia rasimu ya katiba mpya kama ilivyotolewa na timu ya Warioba utaona haileti m a t u m a i n i m a k u b wa kwa Zanzibar kwa sababu m a m b o m a k u b wa n a muhimu katika uhuru wa nchi bado yamo kwenye serikali ya muungano. Lakini nategemea huko mbele mambo yatabadilika na uhuru zaidi utapatikana. Ikiwa kweli kutakua na serikali ya Tanganyika, ya Zanzibar na ile ya Muungano, na kwamba hautafanyika ujanja ule ule uliofanyika April 1964, ambapo baada tu ya makubaliano ya muungano Nyerere aligeuza kibao na kutangaza kwamba kuanzia 26/04/64 mambo y o t e y a Ta n g a n y i k a yatakua chini ya serikali ya muungano, na ikiwa kila serikali itashughulikia mambo yalioko katika mamlaka yake, sulhu itapatikana. Sababu kubwa ya kuamini hivyo ni kwamba serikali ya Tanganyika katu Inatoka Uk. 12

Serikali tatu suluhisho matatizo ya muungano


muungano atakua Mtanganyika hakuna kitakachokwamishwa kwa sababu ndio wao kwa wao. Serikali ya Zanzibar kwa miaka hamsini haijapata kufanikiwa hata mara moja kutoa jambo la muungano na kulifanya l i s i we l a m u u n g a n o . Ingawa wamejaribu mara nyingi kwa lengo la kutaka kuinasua Zanzibar kutoka katika magando ya kaa, lakini juhudi zao zilipigwa na chini. Kilichofanyika n i k u ya f a n ya m a m b o yasiokua ya muungano kuyafanya ya muungano. Tulianza na mambo 11 na sasa yamekua 38. Katika wakati wa Karume (senior) Baraza la Mapinduzi liliandaa orodha ya mambo ambayo walitaka yatolewe katika mambo ya muungano; l a k i n i ya l i p o p e l e k wa Bungeni, Mwalimu Nyerere aliyazima. Lakini kutokana na kuchachamaa kwa Mzee Karume, baadhi ya mambo hayakuweza kuingizwa katika muungano mpaka alipouwawa ndio yakapata

Makala

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Mwalimu Nyerere haitokubali kuburuzwa na serikali ya muungano kama inavyofanywa serikali ya Zanzibar kwa miaka hamsini sasa. Serikali ya Tanganyika ambayo kwa hivi sasa ndio serikali ya muungano itakapoona haina mamlaka ya kutekeleza mipango yake, itakuja juu na ndio itakayokua mstari wa mbele kudai na kumegua mambo ya muungano yatoke katika muungano.

Mzee Karume Siamini kwamba Watanganyika wakitaka k u a n z i s h a m r a d i wa maendeleo katika nchi yao, na kama wakati huo kiongozi wa serikali ya muungano ni Mzanzibari na Baraza la Mawaziri l i n a Wa z a n z i b a r i , watakuja Zanzibar kuja kupiga magoti kwa mkurugenzi fulani ili mradi wao ukubaliwe. Hilo hawatakubali. Na kama kiongozi wa

kisha msaidie kuvikwamua ili aweze kusonga mbele. N i l i p o k u w a msichana, kinara wangu alikuwa ni mama yangu mzazi aliyenikuza na kunifanya niamini kwamba ninaweza kufikia ndoto yoyote ile. Alikuwa mfano hai wa kuvunja dhana potofu dhidi ya watoto wa kike pale alipopata shahada ya juu ya uchumi katika wakati ambapo haikuwa kawaida kwa wanawake k a t i k a m a j i m b o ya mashambani Kusini mwa Marekani kufanya jambo hilo. Akilazimika kuingia darasani katika kipindi cha likizo ya kiangazi kwa kuwa wakati huo chuo kikuu alichokuwa akisoma hakikuruhusu wanawake kuhudhuria masomo katika muhula

wa masomo wa kawaida, mama yangu alipambana na ubaguzi ili kufikia ndoto yake. Nilipokuwa kigori nilijiingiza katika shughuli ambazo kwa kawaida zimehodhiwa na wanaume -- kutoka michezo hadi taaluma -mama yangu aliniunga mkono kwa moyo mmoja. Akinishangilia katika mbio zote nilizoshiriki na akinipa moyo na kunihimiza nijaribu tena pale niliposhindwa na kuanguka. Mwandishi mmoja wa Kimarekani aitwaye Mark Twain alipata

Kwa nini yakupasa uwe mfano kwa mtoto wa kike wa Tanzania


kusema kwamba watu wenye busara, uwezo na upeo mkubwa huwafanya wengine wajione kuwa na wao wanaweza kuwa na busara, uwezo na upeo mkubwa. Hivi ndivyo mama yangu alivyonifanyia, na ndivyo ninavyomsihi kila mmoja wetu amfanyie mtoto wa kike katika jamii zetu. Pale mtoto wa kike anapoendelea, taifa zima linaendelea. Wataalamu wengi wanaoheshimika wa masuala ya uchumi (mfano Ripoti ya World Economic Forum kuhusu Tofauti za Kijinsia)

njia. Katika wakati wa Aboud Jumbe na yeye alijaribu kwa upande wake kujaribu kupambanua mambo yepi yawe ya muungano na yepi yasiwe. Na yeye yaliompata yanajuilikana. Tu m e o n a ya l i o m f i k a Maalim Seif na kundi lake kwa kujaribu kuufafanua muungano na kutafuta maslahi ya Zanzibar katika muungano. Katika kipindi kilichofata kuanzia 1995 hadi hivi sasa hakuna juhudi yoyote kubwa ya viongozi wa Zanzibar kujaribu kutoa jambo lolote kutoka kwenye muungano. Sababu kubwa ni kwamba viongozi wa Zanzibar katika kipindi hicho inaonekana nao waliridhika na majaaliwa ya Zanzibar au kama hawakuridhika, walikosa ujasiri wa kusema na kuhoji. Naamini kabisa kwamba kama kutakua na serikali ya Tanganyika katika muungano mpya, haitokubali kukabwa koo na serikali ya muungano. Na kwa sababu mabadiliko yote yatakua yanafanyika katika bunge la muungano ambalo litakua na Watanganyika 50 na Wanzibari 20, lolote watakalopeleka bungeni l i t a p i t a . Wa t a a n z a kuumegua muungano kidogo kidogo mpaka mwisho kila nchi itaweza kua na mamlaka yake kamili. (Kwa hisani ya mtandao wa Mzalendo net)

wamebaini kuwa nchi ambazo zina uchumi uliostawi na wenye ushindani ni zile ambazo wanaume na wanawake wana fursa sawa katika nyanja mbalimbali za jamii ikiwa ni pamoja na elimu, afya, ushiriki katika uchumi na ushiriki katika siasa. Siku hii ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike inatupa sisi sote fursa ya kujadili masuala haya muhimu na njia zitakazotuwezesha kufanya kazi kwa pamoja kuondoa vikwazo vinavyoweza kuwakwamisha watoto na vijana wetu wa kike

na wa kiume wasifikie upeo wa uwezo wao. Pamoja na kujenga ufahamu huu, kwa mara nyingine tena napenda kutoa wito kwenu nyote kuchukua hatua mahsusi katika jamii zenu. Chagua mtoto mmoja wa kike wa Kitanzania katika jamii yako na uwe mwalimu wake, msaada wake na kiongozi wake. Kwa kumsadia mtoto huyu wa kike wa Kitanzania kukabiliana na kuzishinda changamoto katika maisha yake, utakuwa unasukuma mbele gurudumu la maendeleo ya taifa lako na ya dunia. Nawe pia utakuwa kinara. (Virginia M. Blaser ni Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.)

9
1 . K wa n z a unapokaa kiasi cha masaa nane bila kula chochote, mwili unaanza kuunguza mafuta uliyohifadhi mwilini kwa ajili ya kukupatia nishati ya kuendesha shughuli zinazoendelea katika seli za mwili wako. Hali hii haijitokezi pale unapokuwa umekula kwa sababu chakula ulichokula ndicho kinachokuwa chanzo cha nishati unayohitaji. Mbaya zaidi ni kwamba iwapo umekula ukashiba, na hususan kama chakula ulichokula ni cha asili ya wanga, kuna uwezekana wa kupata nishati ya ziada. Hii huhifadhiwa mwilini k wa m a t u m i z i ya baadaye ikiwa katika muundo wa mafuta! Hii ina maana kuwa jitihada zako za

Makala/Tangazo

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

FAIDA TATU ZA KUFUNGA

kupunguza unene siku zote zitakwama kama hukuzingatia k a n u n i h i i . 2. Unapokuwa na njaa, mwili huzalisha homoni (hormone) inayoitwa GHRELIN. Homoni hii ndiyo inayokufanya ujisikie njaa. Tafiti za hivi karibuni kabisa zimegundua kuwa ubongo wako hutengeneza seli mpya tu pale mwili unapokuwa umesheni GHRELIN. Kwa maneno mengine, muda wote unapokuwa na shibe ubongo wako hautengenezi seli mpya kuchukua nafasi ya zile zinazokufa!

JE, WAWEZA KUKAA MBALI NA CHIPS ZA VIAZI?


MNANO tarehe 1, Januari 1990 Governor wa Jimbo la California kule nchini Marekani alipitisha sheria ndogo (pro 65) chini ya sheria ya mwaka 1986 iliyojulikana kama Safe Drinking Water & Toxic Enforcement Act, au kwa Kiswahili Sheria ya Maji Safi ya Kunywa na Usimamizi wa sumu (tafsiri siyo rasmi). Kwa mujibu wa sheria hii ndogo, ulikuwa ni wajibu wa kisheria kwa watengeneza chips za viazi kutoa onyo kwa walaji pale ambapo bidhaa zao zingebainika kumsababishia mlaji kuingiza mwilini zaidi ya 0.2 micro grams za kemikali ya Acrylamide kwa siku. Acrylamide ni kemikali ambayo imegundulika kuwa inajitengenezwa kwa wingi pale wanga unapopikwa kwa joto la juu. Kemikali h i i i n a t u h u m i wa k u wa miongoni mwa vichocheo (carcinogenic) vikubwa vya saratani. Utafiti uliofanywa kwenye sampuli mbalimbali za chips za viazi ulibaini kuwa chips hizo zilikuwa na viwango vikubwa mno vya Acrylamide ukilinganisha na viwango salama vilivyopendekezwa. Kwa mfano baadhi ya sampuli zilionyesha kuwa kiwango cha Acrylamide kilikuwa ni mara 910 zaidi ya kiwango salama kilichopendekezwa cha 0.2 micrograms kwa siku. Aidha utafiti mwingine ulioendeshwa na jopo la watafiti wa Kipoland chini ya Marek Naruszewicz na kuchapishwa na Jarida la American Journal of Clinical Nutrition mnamo mwezi Machi 2009, ulionyesha kuwa watu wote walioshiriki utafiti huo ambapo kila mmoja alipewa kiasi cha micro grams 157 za Acrylamide kwa siku kwa muda wa wiki 4, walikuwa wameathirika katika viashiria vyote vya ongezeko la hatari ya u g o n j wa wa m o y o . Viashiria hivi ni pamoja na uharibifu wa lehemu nyepesi (oxidized LDL), ongezeko la viashiria vya uvimbe mwako (inflammatory markers) na kupungua kwa vipinga vioksidishaji (antioxidants). Kwa maana ya tafiti hizi basi, mlaji mzuri wa chips siyo tu kuwa anaongeza u w e z e k a n o wa k u p a t a saratani, lakini pia anaongeza sana uwezekano wa kujiletea magonjwa ya moyo. WAK INA DA DA M PO ? Mungu akipenda wiki ijayo tutaelezea madhara ya ziada ya Chips. CIAO! Kwa hisani ya Ukurasa wa Herbal Impact katika Facebook

Kufunga kunaweza kumsaidia mtu huyu

3. Homoni ya ukuaji (Human Growth Hormone) ambayo ni muhimu sana katika ukarabati wa misuli ya mwili na kuchochea u j e n z i wa m i s u l i , huzalishwa kwa wingi sana pale mtu anapokuwa amefunga. Baadhi ya tafiti zinaonyesha kuwa uzalishaji wa homoni hii huongezeka hadi kufikia kiasi cha 1,300% pale mtu anapokuwa amefunga! Kwa kawaida homoni hii huzalishwa usiku mtu anapokuwa u s i n g i z i n i , k wa n i muda huo ndio ambao mwili unautumia kufanikisha masuala ya kujikarabati. ( K wa h i s a n i ya Ukurasa wa Herbal Impact katika Facebook.)

ASSALAF ISLAMIC SEMINARIES ENGLISH MEDIUM PRE/PRIMARY & SECONDARY SCHOOL

UONGOZI WA SHULE ZA SEMINARI ZA KIISLAMU ASSALAF ISLAMIC SEMINARIES ARUSHA (KISONGO TANZANIA) UNAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA, DARASA LA KWANZA NA CHEKECHEA KWA MWAKA 2014 SHULE NI YA MCHANGANYIKO (WAVULANA NA WASICHANA) NA NI YA BWENI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI TU. MASOMO YANAYO FUNDISHWA: SHULE YA SEKONDARI:QURAN, MASOMO YA DINI KWA KIWANGO CHA MUTAWASITWA,(KWA LUGHA YA KIARABU) NA MASOMO YOTE YA SEKONDARI KWA MUJIBU WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDISTADI SHULE YA MSINGI: MASOMO YA DINI KWA KIWANGO CHA IPTIDAIYA (KWA LUGHA YA KIARABU) NA MASOMO YOTE YA SHULE YA MSINGI KWA LUGHA YA KINGEREZA. MAHALI SHULE ILIPO: SHULE IPO KISONGO, KILOMITA 14 KUTOKA JIJI LA ARUSHA, MITA 400 KUTOKA MJI WA KISONGO UPANDE WA KUSHOTO MWA BARABARA IENDAYO MONDULI PIA KUNA MASOMO MAALUMU KWA AJILI YA PRE FORM ONE,YANAYOENDESHWA SHULENI KUANZIA TAREHE 01/OCTOBA/2013 FOMU ZA KUJIUNGA NA SHULE ZINAPATIKANA SHULENI KISONGO, NA KATIKA OFISI ZA MSIKITI WA QIBLATYN KWA MAWASILIANO ZAIDI, WASILIANA NA 0754878615, 0754848689 AU 0767440500 UONGOZI WA SHULE

10
Mauaji ya Masheikh !
Nina ghamu mtimani, kadhalika na makiwa Kwa viongozi wa dini, kikatili kuuawa Si baidi ni jirani, ni hapo Kenya tambuwa Kuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Bilhaki kwa yakini, kuiridhia si sawa Sio yetu tukidhani, kadhia hii si sawa Tutafakari kiini, kwa pamoja sawasawa Kuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Kila mara hadharani, 'mekuwa wakiuawa Mithili ya hayawani, kwa risasi 'fyatuliwa Mifano nikikupeni, simanzi mtaingiwa Kuuwawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Awali nambaini, Kadimu alouawa Samir mwana wa Khani, Kwa Allah mrehemewa Kosale huyu ni nini, la kinyama kuuawa Kuuawa kwa Masheikh,tujifunzacho ni nini? Na Aboud dhukuruni, naye alivyouawa Rogo ni wake ubini, kwa Allah mrehemewa Kosale naye ni nini, la kinyama kuuawa Kuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Wiki jana si zamani, wengine wameuawa 'Kitoka msikitini, njani wakahujumiwa Kosalo nao ni nini, la kinyama kuuawa Kuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Ibrahimu yu ndani, mwa hao walouawa Yu Sheikhe na si haini, kwa Allah mrehemewa Kosale hasa ni nini, la kinyama kuuawa Kuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini? Twakuomba Rahmani, Masheikh walouawa Waweke pema peponi, kwa ya kwako majaliwa Nimefika ukingoni, wa nudhumu ya makiwa Ni nini tujifunzacho, kwa Masheikh kuuawa? ABUU NYAMKOMOGI MWANZA.

SHAIRI/Barua

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Afrika ipo njiani kutawaliwa upya kupitia zimwi la ugaidi?


NDUGU mhariri kwa mara nyingine tena naomba nafasi katika gazeti letu tukufu na mashuhuri nchini gazeti la An-nuur, nami nichangie kuhusu njama hii ya UGAIDI, hii ni kufuatia mkasa wa westgate shopping Mail Nairobi. Sina budi kuungana na wale wote waliotuma rambi rambi kutokana na msiba huu mkubwa uliowapa ndugu zetu wa Kenya hata hivyo hatuna budi kutafakari kwa kukuna vichwa hasa ili tumbaini mbaya wetu halisi na hivyo kuchukua tahadhari madhubuti kumshinda. Ndugu mhariri, kama viongozi wa Afrika wasomi (?) na hata wachambuzi wa mambo kitaifa na kimataifa watayaangalia matukio haya kwa jicho la mabeberu/ wa k o l o n i m a m b o leo na vyombo vya habari tumekwisha. Hii ina maana hawaangalii histori yetu na kujifunza kwayo! Viongozi na wasomi(?) wajiulize maswali machche ya f u a t a y o k a t i k a kupata majibu ya matatizo haya ya u s a l a , v i t a n a umasikini Afrika; Nani walioleta biashara ya utumwa na faida yake ilienda wapi? Nani walioleta ukiloni na faida yak e ilien da k wa mataifa yapi? Nani wanaendesha ukoloni mambo leo kupitia benki ya Dunia, IMF na sasa haya maAfricom? Nani waliowana akin ache GUEVANA, walter Rodney, Patrice Lumumba, na kupinduliwa Kwame Nkurumah? Majibu sahihi yakipatikana, bila shaka tutaanza kuelewa kuwa Alshaab, al-kaida, book haram huenda wa m e u n d wa k wa kazi maalum. Tuelewe kuwa jambo la kuuwa kwa wataka mali wa dunia ndiyo jadi yao. M a j i b u utakayopata h a ya t a k u o n ye s h a kuwa Al-shaabab au Al- kaiad wamehusika kwa namna yoyote kwa majanga hayo yaliyoikumba Afrika au hata dunia. Wa k u b wa hawaishi bila kuwa na imaginary enemy viongozi wasipokuwa makini watamaliza wazalendo wao wachache kwa kulaghaiwa na mabeberu. A n g a l i a ya n a y o y o e n d e l e a Kenya- wamekwama wasipokuwa makini itakuwa kama Iraq au Afganistan Enzi zetu kulikuwa na somo la history paper iii. Hii ni miaka 80 mwalimu wetu Form iv & vi alipenda kuliita somo hili identication of the enemy kumtambua adui. Kama serikali ililifuta, ilimrudishe na uchukue wanafunzi wengi wa kulisoma. Ni muhimu sana hasa wakati huu wa papa ya rasilimali zetu na za Afrika. Mabeberu watatuonyesha adui yetu halisi? Wakoloni mamboleo kwenye utajiri wa dunia ya leo na kesho. Hii habari ya Al-shaabab/ uislamu ni ghilba kwa watawala na wakristo ili kuwarahisishia agenda yao ya kupora rasilimali zetu na mwisho kutatawala rasmi kama zamani. Wakishaweka makambi yao hapa ( africom) hatutawatoa tena \mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania. M o h a m e d Mohamed Dar es salaam

Ni salamuye Wadudi, niwapeni ikhiwani Haikuwa makusudi, toweka yangu hewani Lisilokuwa na budi, hutendwa japo huzuni Nimerudi nimerudi, poleni kwa kunimisi Sasa tena haidhuru, nimetoka kifungoni Nimesha achiwa huru, towa mkono shavuni Uzisikilize duru, zilizoshiba kanuni Nimerudi nimerudi, poleni kwa kunimisi Ni machache niyaseme, yawe tulizo moyoni Wanawake kwa waume, wa bara na visiwani Haya wote shime shime, kwa nguvu shangilieni Nimerudi nimerudi, poleni kwa kunimisi Kaditama tamatini, nimefika kituoni Tazama vina vya ndani, utazame kwa makini Sifa yangu tabaini, ukianzia kwa chini Nimerudi nimerudi, poleni kwa "kunimisi" Sauti ya Mkutubi (MUM)-Morogoro 0714 341216

NIMERUDI!

Unguja kuenzi Kiarabu


Inatoka Uk. 12 Kifaransa, Komputa, Mziki yawe ya Hiari k wa M wa n a f u n z i kuyasoma lakini pia yasisaidie ufaulu wowote katika viwango vya Madaraja ya Ufaulu. " W a r a k a ulipendekeza Masomo hayo yakiwemo Dini na Kiarabu kuwa Optional na wala yasisaidie chochote katika kupandisha au kushusha Division ya Mtahiniwa." Alifafanua Mzee. A i d h a ilipendekezwa kuwa Utaratibu huo mpya uanzwe kufanyiwa kazi kwa Wanafunzi watakaoingia Kidato cha Kwanza mwakani ili ifikapo mwaka 2017 wanafunzi hao wa u t u m i e k a t i k a kidato cha nne. Hata hivyo Naibu Katibu Mkuu huyo alisema

kuwa Watendaji wa Zanzibar waliupinga utaratibu huo kwa vile haukidhi matakwa ya Zanzibar. "Watendaji wetu Waliupinga Waraka huo kwani hautufai na unatofautiana sana na Sisi kulingana na hoja zetu tulizotoa, lakini pia walikubali kuurudisha ili usiweze kufanyiwa kazi ", alisema Naibu Katibu Mkuu huyo. Alisema kwa Zanzibar, Wizara

ya Elimu inatoa Mchepuo wa Masomo ya Lugha katika Skuli tofauti ikiwemo Sekondari ya Kiponda hivyo itakuwa vigumu kufuata utaratibu huo. Kuhusu Somo la Dini Mzee amesema Somo hilo kwa Zanzibar ni muhimu sana na ni miongoni mwa masomo yenye Walimu Wazuri wa ngazi za Stashahada hadi UdaktariPHD ambapo ufundishwaji wake huanzia darasa la kwanza hadi
Chuo Kikuu hivyo kubadili utaratibu isingewezekana. A i d h a amefahamisha kuwa katika dunia

ya sasa Somo kama Komputa ni muhimu sana hivyo kulifanya halina ulazima ni kujirudisha nyuma kimaendeleo. Amesema licha ya mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Wizara kwa upande wa Zanzibar na B a r a , l a k i n i Wa o hawakushirikishwa katika Uanzishwaji wa Waraka huo. Katika hali ya kuliweka sawa jambo hilo, Mawaziri wa Wizara hizo Ali Juma Shamhuna na Mwenzake wa Bara Shukuru Kawambwa wanatarajia kukutana kulijadili jambo hilo. (Kwa hisani ya Faki MjakaHABARI MAELEZO ZANZIBAR.)

11
HIZI ni zama mbaya, kila mzazi ajue mtoto wake analala wapi na kushinda wapi. Kama ilivyotangazwa katika vyombo vya habari jana kuna watu wamekamatwa wakituhumiwa kufanya mazoezi ya kijeshi huko wilayani Kilindi. Habari za awali za kipolisi zinasema kuwa watu hao wamekuwa wakifanya mazoezi kwa zaidi ya mwezi mmoja. N a k wa m b a k a t i k a tukio la juzi usiku kamanda mmoja wa Polisi alijeruhiwa kwa risasi na sasa anaendelea na matibabu. Bado ni mapema mno kusema lolote juu ya tukio hilo. Hata hivyo kwa sasa tungependa tusisitize yale tuliyokwisha kusema kwa muda mrefu na kuendelea kuyakariri mara kwa mara. Tumekuwa tukisisitiza tena na tena kuwa hivi sasa kuna jitihada kubwa za kupandikiza kitisho cha ugaidi, lakini na wakati huo huo kuwapachika uhalifu na ugaidi Waislamu. Baada ya kuwa zimepigwa sana p r o p a g a n d a tulichowanasihi Waislamu ni kuchukua tahadhari. Wawe makini wasije wakajikuta wanatumbukizwa katika mtego wakakosa pa kutokea. Katika muktadha huo tukasema, kuna kila sababu ya kuwa macho na watu wanaojitia wanaharakati na kuja na agenda za Al Shabaab kwa sababu h a o wa n a we z a k u wa ni watu wanaotumiwa kukamilisha agenda za watu wengine ama kwa kujua, kwa maana kuwa wanalipwa, au kwa ujinga tu. Katika moja ya matoleo yetu yaliyopita tukasema wazi kuwa, iwapo atakujia mtu anakwambia ameiva anataka kwenda kupigana Somalia, mwambie akalime. Na umwepuke kwa sababu ama huyo ni wakala anayetaka kukutosa katika hatari, au ni mjinga sana. Na kwa vyovyote itakavyo kuwa awe ni mkinga au anatumiwa kama mamluki, bado atakuwa ni mtu hatari. Kwa hiyo ni mtu wa kuwa mbali naye. Tu m e k u wa t u k i t o a taarifa na tahadhari hii kwa uzito mkubwa bila k u c h o k a k wa s a b a b u tunajua hatari ya jambo

Habari

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 11-17, 2013

AN-NUUR

US DRONE STRIKES IN PAKISTAN WILL I BE NEXT?


On a sunny afternoon in October 2012, 68-year-old Mamana Bibi was killed in a drone strike that appears to have been aimed directly at her. Her grandchildren recounted in painful detail to Amnesty International the moment when Mamana Bibi, who was gathering vegetables in the family fields in Ghundi Kala village, northwest Pakistan, was blasted into pieces before their eyes. Nearly a year later, Mamana Bibis family has yet to receive any acknowledgment that it was the US that killed her, let alone justice or compensation for her death. Earlier, on 6 July 2012, 18 male laborers, including at least one boy, were killed in a series of US drone strikes in the remote village of Zowi Sidgi. Missiles first struck a tent in which some men had gathered for an evening meal after a hard days work, and then struck those who came to help the injured from the first strike. Witnesses described a macabre scene of body parts and blood, panic and terror, as US drones continued to hover overhead. The use of pilotless aircraft1, commonly referred to as drones, for surveillance and so-called targeted killings by the USA has fast become one of the most controversial human rights issues in the world. In no place is this more apparent than in Pakistan. The circumstances of civilian deaths from drone strikes in northwest Pakistan are disputed. The USA, which refuses to release detailed information about individual strikes, claims that its drone operations are based on reliable intelligence, are extremely accurate, and that the vast majority of people killed in such strikes are members of armed groups such as the Taliban and al-Qaida. Critics claim that drone strikes are much less discriminating, have resulted in hundreds of civilian deaths, some of which may amount to extrajudicial executions or war crimes, and foster animosity that increases recruitment into the very groups the USA seeks to eliminate. According to NGO and Pakistan government sources the USA has launched some 330 to 374 drone strikes in Pakistan between 2004 and September 2013. Amnesty International is not in a position to endorse these figures, but according to these sources, between 400 and 900 civilians have been killed in these attacks and at least 600 people seriously injured.

hili. Taarifa ya hivi karibuni ya Amnesty International (October 2013), inazungumzia mauwaji ya kutisha yanayofanywa katika nchi ya Pakistan katika ile vita inayoitwa ya ugaidi ikiongoza na Marekani. Mamia kwa maelfu ya watu wasio hatia, wengi wakiwa wanawake na watoto, wameuliwa katika mashambulizi ya drone yanayodaiwa kulenga magaidi.

Kumechafuka
Katika taarifa hiyo na za mashirika mengine ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu, inaelezwa kuwa kinachofanyika katika vita hiyo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kwa hakika hiyo ni sawa na uhalifu wa kivita. Sasa la kujua ni kuwa Pakistan imefikishwa hapo baada ya kupandikiziwa kitisho cha ugaidi na kikakubalika kuwa kipo. Baada ya hapo ikawa i n a p e wa u s h i r i k i a n o katika kupambana na magaidi ikiwa ni pamoja

na kutakiwa kuacha huru anga yake kwa Marekani iwe inaingia na kupiga watuhumiwa wa ugaidi inavyotaka. Matokeo yake ndio hayo watu wasio na hatia wanauliwa ovyo. Ni kutokana na h a l i h i y o , t u m e k u wa tukitahadharisha kuwa, wa t u wa s i o n e f a h a r i kushabikia mambo haya. Tukasema kama kweli kuna watu wanatuhumiwa kwa uhalifu au kwa hicho kinachoitwa ugaidi, basi wakamatwe kesi zifike mahakamani sheria

years, Amnesty International is seriously concerned that these and other strikes have resulted in unlawful killings that may constitute extrajudicial executions or war crimes. Mamana Bibis son Rafi qul Rehman (left) and his children Safdar (back), Nabeela, Zubair and Asma. They have yet to receive any acknowledgement that a US drone strike killed her, let alone justice or compensation for her death. (US drone strikes in Pakistan Index: ASA 33/013/2013 Amnesty International October 2013)

ichukue mkondo wake kuliko kuendelea tu kupiga propaganda. Tulisema, hatari ya p r o p a g a n d a n i k u wa unaweza ukawafanya watu wakaamini jambo lisilokuwepo. Na mwanya huo unaweza kutumiwa na watu wabaya kufanya tukio baya ikasingiziwa kuwa ni wale magaidi. Muhimu hapa ni kuwa ni wajibu wetu kama wananchi kuhakikisha kuwa hatuitumbukizi nchi yetu ilikofikishwa Pakistan na Yemen. Na kwa sababu imekuwa wazi kuwa wanaotakiwa ugaidi kwa nguvu ni Waislamu, ndio maana muda wote tumekuwa tukitoa tahadhari kwa Waislamu. Ta ha d ha r i ye nye we ni kuwa wawe makini wasitumbukizwe katika agenda wasizozijua kwa ujinga. K wa w e n g i n e n a o , wasilichukulie jambo kama hili kishabiki. Bali iwe katika sura, mwelekeo na mtizamo wa kuinusuru nchi. Zikija drone hapa au yakija yale ya Westgate Hall, hayachagui Muislamu au Mkristo. Ni matarajio yetu kuwa vyombo vya dola na Serikai kwa ujumla, italichukulia jambo hili kwa uzito na umakini mkubwa kwa nia ya kuinusuru nchi na sio kuitosa na kuisajili kuwa ina kitisho halisi cha ugaidi.

Inatangaza nafasi za Masomo kwa wanafunzi wote wanaohitaji kujiunga na Pre- Form One Boarding and Day. Masomo yameanza Tarehe 30/09/2013, Shule ipo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani-km 7 kutoka njia Panda ya Chalinze Tanga, Kuelekea Morogoro. Nafasi za Kidato cha Kwanza mwaka 2014 Pia tuna nafasi za kuhamia kwa Kidato cha 2 na 3. Usaili Kidato cha Kwanza utafanyika Tarehe 16/11/2013, kwa awamu ya kwanza. Awamu ya pili usaili utafanyika Tarehe 30/11/2013 na awamu ya Tatu Tarehe 20/12/2013. Kwa maelezo zaidi piga simu hizi:0762-270 378/ 0659 303 203/ 0784- 323 203. Au E-mail: chalislacentre@ yahoo.com MKUU WA SHULE

Chalinze Islamic Seminary Pre-Form One

Because the US government refuses to provide even basic information on particular strikes, including the reasons for carrying them out, Amnesty International is unable to reach firm conclusions about the context in which the US drone attacks on Mamana Bibi and on the 18 laborers took place, and therefore their status under international law. However, based on its review of incidents over the last two

12

AN-NUUR
MAKALA

12

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA

OKTOBA 25 - 31, 2013

Soma Gazeti la AN-NNUR kila Ijumaa


DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA
walikutana na Wenzao kutoka Zanzibar kwa lengo la kujadili Waraka wa E l i m u wa l i o k u j a nao uliokuwa unataka kufanyike mambo mapya. Mzee amebainisha kuwa katika Waraka huo We n z a o k u t o k a B a r a wa lip e nde k e z a k uwa M a s o m o ya D i n i ya Kiislam, Dini ya Kikristo, Lugha ya Kiarabu, Inaendelea Uk. 10

OKTOBA 25-31, 2013

AN-NUUR

Unguja kuenzi Kiarabu


Bara yaenda kivyake Islamic
na Waraka wa Elimu kutoka Tanzania Bara wa kuyafanya Masomo hayo kuwa ya hiari na hivyo yasichangie asilimia yoyote katika ufaulu wa Mtahiniwa. Naibu katibu Mkuu wa Wi z a r a ya E l i m u Zanzibar Abdallah Mzee ameyasema hayo wiki hii alipokuwa akizungumza WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imesema Masomo ya Dini, Ki ar abu na Mas o mo mengine hajafutwa na yataendelea kusomeshwa na kufanyiwa Mitihani katika ngazi zote kama ilivyokuwa hapo awali. Aidha imesema Wizara hiyo haijakubaliana Na Kaimu Balozi Virginia M. Blaser na Waandishi wa habari kwa lengo la kukanusha Taarifa zilizotolewa na baadhi ya Vyombo vya habari zilizodai kuwa Wizara hiyo imeondoa Mtaala wa Masomo ya Dini na Kiarabu kwenye Mitihani ya Taifa. Amefahamisha kuwa Watendaji kutoka Wizara ya Elimu Tanzania Bara

PA M O J A n a j a m i i mbalimbali duniani kote, Marekani ina fahari kubwa kuadhimisha tarehe 11 Oktoba kama Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike. Siku hii ilianzishwa ili kutambua haki za wa t o t o wa k i k e n a kuimarisha dhamira na jitihada za kimataifa za kutokomeza unyanyasaji, ubaguzi na ukatili wa kijinsia na ubaguzi wa kiuchumi u n a o wa a t h i r i z a i d i watoto wa kike. Ushahidi unaonyesha k u wa n c h i y o y o t e , ikiwemo Tanzania na Marekani inaweza tu kuendelea kiuchumi, kijamii na kisiasa pale a m b a p o wa s i c h a n a wanashiriki kikamilifu katika nyanja zote za maisha ya jamii na pale wanapolindwa dhidi ya ubaguzi na vitendo vingine vyovyote vinavyoweza kuwaathiri mathalan, ndoa za utotoni na za kulazimishwa na ukatili wa kijinsia. Siku hii inatupa fursa ya kipekee ya kutafakari jinsi gani tunaweza kufanyakazi pamoja ili kuhakikisha

Kwa nini yakupasa uwe mfano kwa mtoto wa kike wa Tanzania

Njama kumuua kiongozi wa Hizbullah yazimwa


BEIRUT Vyombo vya usalama vya Lebanon vimegundua na kuzima njama ya kutaka kumuua Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, katika siku ya Eid Adh'ha. Vyombo vya Usalama vya Lebanon vimeripoti kuwa njama hiyo ya kutaka kumuua Sayyid Nasrullah siku ya Eid katika eneo la Adhahiya mjini Beirut, imegunduliwa na kuzimwa kwa juhudi za wananchi na vyombo vya usalama. Ripoti zinasema kuwa gari moja lililokuwa na m a b o m u l i l i e g e s h wa katika makutano ya njia ya al Marija na al Maamura, ambako Katibu Mkuu wa Hizbullah Hassan Nasrullah alitazamiwa kuhutubia. Duru za usalama zinasema mabomu yaliyokuwa yametegwa kwenye gari hilo yalikuwa na kilo zisizopungua mia moja na kwamba, iwapo yangelipuka yangeharibu maeneo yote ya karibu na lilipokuwa limeegeshwa. Miezi kadhaa iliyopita, eneo la Dhahiya la kusini mwa Beirut lilishambuliwa kwa milipuko miwili ya kigaidi ambayo ilisababisha vifo vya makumi ya watu. (irib. ir)

VIRGINIA M. Blaser ni Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

kuwa vijana wetu wote - wa kike na wa kiume - wa n a f u r s a s a wa ya kuchangia katika jamii yao na kujenga mustakabali mwema kwa wao wenyewe,

familia zao na mataifa yao. Rais Barak Obama na Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry wamelifanya suala la kuinua hadhi ya wanawake na

watoto wa kike kuwa jambo la kipaumbele la kidiplomasia la Marekani. Kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania, wa b i a we n g i n e wa kimataifa na asasi mbalimbali zisizo za kiserikali, Watu wa Marekani wamekuwa waki sai dia jitihada mbalimbali za ulinzi, maendeleo na uwezeshaji wa watoto wa kike wa Tanzania ili waweze kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya nchi yao na dunia kwa ujumla. Hata hivyo, leo hii ninapenda kutoa wito kwa Watanzania wote, wake kwa waume, iwe ni baba au mama, kaka au dada, kiongozi au hata rafiki. Ninamwomba kila mmoja wenu achague mtoto mmoja wa kike katika jamii yake atakayemsaidia ili aweze kufikia upeo wa uwezo wake. Wa s i l i a n a n a mtoto huyo wa kike, ongea nae na zifahamu changamoto zinazomkabili katika maisha yake ya siku hadi siku. Shirikiana naye katika k u t a m b u a v i k wa z o vinavyomkwamisha
Inaendelea Uk. 8

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like