Professional Documents
Culture Documents
Zanzibar Daima Online Na. 11
Zanzibar Daima Online Na. 11
Zanzibar
Daima Online
CALL US:+447588550153
W W W. Z A N Z I B A R P R O P E R T Y. C O M PA N Y
FREE
LANDLORDS
Listing
CALL US:+255773620202
WHYCHOOSEUS?
a. Our Marketing is second to none.
b. We advertise in all major portals.
c. As well as being top search engines.
d. we can give your property lets huge
exposure
ABOUTUSCOMPANY
You will see the list of applicants we
may have for your property and your
property will be uploaded to our
site and the portals there and then
bringing the delay to almost zilch.
FACEBOOK/ZANZIBARPROPERTIES
WWW.ZANZIBARPROPERTIES.COMPANY
INFO@ZANZIBARPROPERTIES.COMPANY
www.zanzibarproperties.company
TIWITTER/ZANZIBARPROPERTIES
WAHAFIDHINA
KUYAANGAMIZA
MARIDHIANO?
Viongozi wa Zanzibar
fikirini mara mbili
arida hili lina wasiwasi kwamba lile kundi linalojitambulisha kama watetezi wa
mfumo wa Muungano wa Serikali Mbili
visiwani Zanzibar ni mabaki ya wale
waliopinga Maridhiano ya Wazanzibari
tangu yalipoanza Novemba 2009 na ambao muda
wote wamebakia kwenye nafasi ya kungojea
muda wa kulipiza kisasi chao kwa Maridhiano
hayo.
Hivi sasa kundi hili la giza limeamua kuendeleza mapambano yake dhidi ya Zanzibar
ndani na nje ya Zanzibar. Jarida hili limepokea
taarifa kwamba ule mpango wa kuiangamiza
Serikali ya Umoja wa Kitaifa unaosimamiwa
kijuujuu na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni
(CCM), Salmin Awadh Salmin, umewiva. Kwamba wanataka kuhakikisha kuwa ndani ya kipindi hiki kilichobakia kabla ya uchaguzi wa 2015,
serikali hiyo inaporomoka, na kwamba baada
ya uchaguzi huo, Zanzibar haitakuwa tena na
haja ya kuwa nayo.
Walio kwenye mpango huo kwa upande wa
Zanzibar, kwa mara nyengine wanatumia
mgongo na nguvu za Chama cha Mapinduzi
(CCM) upande wa Bara. Wanawatisha kwamba
uhai wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar
ni sawa na kifo cha Muungano. Wanasema
kwamba ili kuulinda Muungano, lazima serikali
hiyo iuliwe.
Online
styles
Z anzibar Daima
magazine Daima
Timu Yetu
[Muhariri]
Mohammed Ghassani
CONTRIBUTORS
Lara Sanusi, Silvian Gidali,
Martin Lumer, George Sapulete
www.magazine.com
YALIYOMO
TAARIFA
Tunawaomba radhi wasomaji
wetu kutokana na kusitishwa
kwa machapisho ya makala
yetu......
15
11
TAARIFA
01
02
11-14
15-18
01
Toleo la 11
Toleo la 11
02
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
Na
Mohammed Ghassani
03
Toleo la 11
historia wanayoyaamini
wahafidhina wetu, bado
historia hiyo si sehemu
salama kwao kujifichia,
maana ni gofu lililojaa
woga, kujishuku na kutokujiamini. Bahati mbaya
kwao ni kuwa gofu hili
lina mlango mmoja tu wa
kutokea ambao umeandikwa: Maridhiano na
Umoja wa Kitaifa.
Mwangwi unaosikika
ndani, kwa hakika unawafukuza wasikae gofuni
humo. Ni mwangwi wa
matendo yao. Kwa hivyo,
ni ama kupita katika
mlango huu au ni kubakia ndani ya jengo hilo
wakawa wamekwama na
kuikwamisha nchi katika
khofu, woga na kutokujiamini kama ilivyokuwa
kabla ya 2010.
Toleo la 11
04
Zanzibar Daima
Nitafafanua. Kwanza,
msimamo wa wahafidhina hao wa kujidhani
kwamba peke yao ndio
wazalendo wenye haki ya
kuitawala Zanzibar una
makosa mengi ya kisayansi na hauwezi, hatimaye, kuifikisha Zanzibar
popote zaidi ya penye
mfundo na mkwamo
mwengine wa kisiasa na
kiuchumi.
Kadiri wanavyotumia
historia kuhalalisha ukaidi
wao kwa Maridhiano
na Umoja wa Kitaifa,
ndivyo wanavyokwenda
wenyewe kwenye upande
usio sahihi wa historia,
siasa na mustakabali wa
nchi ndivyo wanavyosimamia upande sio wa
hoja.
Zanzibar imeinuka pale
tu ilipojali mchanganyiko
wake na kila ilipopuuzia
hilo imeporomoka. Zanzibar ikiporomoka, wao na
ahli zao pia hawatakuwa
salama. Mwenye kutaka
salama yake hataendelea
kujifungia kwenye gofu
hili la historia, maana
05
Toleo la 11
Zanzibar Daima
ni kujihalalishia vitisho,
woga na kutokujiamini. Mwenye mapenzi ya
kweli kwa Zanzibar, basi
hataupa mgongo mlango
wa Maridhiano na Umoja
wa Kitaifa, maana ndio
pekee utakaomtoa.
Mwenye akili timamu
Zanzibar, hasa kiongozi
mwenye kundi la wafuasi
atatafuta njia muafaka ya
kuifanya historia imsaidie
kupiga hatua mbele kama
kiongozi wa watu anayejiamini. Na ni mwangwi ule
wa kwenye gofu alimojifungia ndio unaomwambia
hivyo. Ndio unaomfukuza:
Toka humu. Pita kwenye
mlango wa Maridhiano na
Umoja wa Kitaifa, uende
zako!
Kwa vyovyote vile, mtazamo wa kihistoria hauwezi kuzalisha wahafidhina, maana busara yake
inasema kitu tafauti na
unganganizi wa mambo
yasiyokuwa na maana.
Inasema kuwa kujuwa
tukuendako ni kwa kujuwa tutokako na kupaelewa tulipo. Na ili hilo lifan-
na baadaye mikutano
yao ya hadhara baada
ya Bunge hilo kuahirishwa, utagundua kwamba
huenda wahafidhina wa
Zanzibar wanaona mauaji
ya 2001 yalikuwa ni tendo la kistaarabu na, kwa
hivyo, la kutukuzwa na
kurejewa tena na tena kila
ikipatikana nafasi.
Ndio maana ya kauli zao
za kuutetea Muungano
wa serikali mbili na kutokuitoa nchi kwa kipande
cha karatasi. Kundi hili
ambalo kwa hakika si
kubwa kama sauti yake
inavyosikikana linanadi
kwamba Maridhiano ya
2009 kilikuwa kitu kibaya
sana kwao na hivyo ni
jambo la kuepukwa kadiri
inavyowezekana.
Kitu pekee kinachodhihirika kwenye haiba ya
wapingao Maridhiano ya
Zanzibar ni ukosefu wao
wa upeo wa kilimwengu.
Zanzibar si nchi pekee
ulimwenguni iliyowahi
kupitia historia iliyonayo.
Ziko zilizopitia historia
mbaya zaidi. Pia SMZ si
Toleo la 11
06
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
Mwakilishi Vuai Shamsi Nahodha [Kushoto] na Muheshimiwa Salmin Awadh Salimin wakiwabadilishana mawazi
li ya Mapinduzi Zanzibar iitishe Kura ya
Maoni kuwauliza wananchi kama wangali
wanairidhia Serikali ya Umoja wa Kitaifa
(SUK), ni wazi kuwa amedhamiria ubaya.
Na
Jabir Idriss Jabir
07
Toleo la 11
Chama cha
(CC-CCM).
Mapinduzi
Toleo la 11
08
Zanzibar Daima
09
Toleo la 11
Zanzibar Daima
li ya umoja iliyokuja kwa
shida sana, inawakilisha
maoni ya walio wengi au
ni kitu cha kutaka kufurahisha watu wachache
wenye malengo ya kifisadi?
Kwa jicho langu na wengi
wanaofuatilia mwenendo wa Salmin Awadh na
wenzake katika miezi ya
hivi karibuni, siioni nia njema ya makada hawa ambao nawaita wahafidhina. Ni ujinga mtu kuamini
kuwa hawa wanadhamiria
kuimarisha umoja na kuzidi kutandika misingi ya
maridhiano kisiasa.
Hebu turudishe nyuma
kidogo mti wa saa. Salmin
Awadh ambaye kwa kuwa
kwake muwakilishi pia
ni Mjumbe wa Bunge
Maalum la Katiba, ndiye
aliyeibua ushindani wa kitoto dhidi ya Spika Kificho
akimshutumu
kuandaa
waraka unaoweka bayana msimamo wa Baraza
la Wawakilishi kuhusu Rasimu ya Katiba mpya.
Alipoamua
kushindana
na Spika Kificho, Salmin
Awadh alikuwa anajua pasipo shaka yoyote kuwa
yeye kama Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu
ya Baraza inayohusika na
Uchumi na Fedha, alikuwa
katika kikao cha kamati ya
uongozi kilichoidhinisha
msimamo uliomo kwenye
waraka huo.
Alikuwa ndani ya kikao
kuandaa msimamo. Alikuwa katika timu ya kamati
ya uongozi iliyoongozwa
na Spika Kificho kwenda
mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba kuwasilisha
msimamo huo kama ndio
maoni ya baraza kuhusu kupatikana kwa katiba
mpya.
Na kumbukumbu za Baraza zimethibitisha ukweli huo kwamba Salmin
Awadh alikuwa mmoja wa
wajumbe waliofuatana na
Spika kuongoza msafara wa kwenda kuwasilisha waraka kwa Tume ya
Warioba.
Anajua pia kwamba yale
maoni yaliyomo kwenye
waraka, ndiyo yaleyale
waliyoyatoa wawakilishi
wakati wa semina waliyoandaliwa kujadili mustakbali wa Zanzibar katika ujio wa katiba mpya ya
Jamhuri ya Muungano.
Alichokifanya
Salmin
Awadh ni kufikiria zaidi
maslahi ya chama chake
kuliko maslahi mapana ya
Wazanzibari na nchi yao. Ni
huyuhuyu aliyeanza kupiga jaramba akisema Zanzibar haitaweza kuchangia
gharama za Muungano na
hivyo haistahili kutafuta
mamlaka kamili.
Salmin Awadh akijinasibu
kufahamu vyema siri ya
hali ya kiuchumi ya Zanzibar, anasema ina uchumi mdogo usiotosha kuiwezesha kujitegemea na
kwa hivyo itahatarisha
faida kubwa inayopata kiuchumi kwa kushirikiana
na Serikali ya Muungano.
Toleo la 11
10
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
Barabara ya Wete-Konde ikiwa imeendelea kujengwa kwa zaidi ya mwaka wa tano sasa,
huku pakiwa hapana dalili ya kumalizika kwa karibu. Matokeo yake wananchi wanaoishi
kando ya barabara hiyo na watumiaji wake wanaambulia kuwa wahanga wa vumbi na hivyo
afya zao kuwa hatarini
Kutoka kwa
Mwandishi Wetu
11
Toleo la 11
laka ya kupambana na
rushwa.
Malalamiko ya wananchi sasa yamekuwa yakibebwa kwa ukakamavu
mkubwa na wajumbe wa
Baraza hilo chombo
mahsusi cha Zanzibar kwa
ajili ya kutunga sheria na
kuisimamia Serikali.
Wajumbe kila wanapoipata nafasi wakati wa
mijadala, wanalalamika
kwa kueleza malalamiko
ya wananchi. Wanataja
na mifano ya malalamiko
hayo; wanataja shida wanazopata wananchi katika
kupata huduma.
Kuna malalamiko ya maofisa wakubwa, wa kati
na wadogo, kujiingiza
kwenye mienendo ya kufuja mali ya umma, fedha
na vifaa.
Toleo la 11
12
Zanzibar Daima
13
Toleo la 11
Zanzibar Daima
mmoja vya kujenga nyumba ambavyo vilivyokusudiwa kugaiwa kwa wananchi wenye shida.
Zipo tuhuma kwamba
ofisa mmoja katika Idara
ya Ujenzi na Utengenezaji Barabara (UUB) iliyo
chini ya Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano,
ameigeuza mitambo ya
ujenzi ambayo ni ya serikali, kuwa ni mali yake na
anaikodisha kwa wajenzi
(wakandarasi) wa barabara.
Bado wananchi hawajasahau namna mawaziri kadhaa wa serikali iliyopita
na waliopo walivyohusika kukodisha majengo ya
serikali kinyume cha sheria.
Wapo maofisa wa serikali
wanatuhumiwa kutumia
madaraka vibaya. Pengine
ni kwa kufukuza watumishi wenzao bila ya kuzingatia kanuni za utumishi,
ikiwemo kumpa mtumishi
mtuhumiwa nafasi ya kujitetea kabla ya kumuadhibu.
Toleo la 11
14
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa CUF na Mbunge wa Singida Mheshimiwa
Tundu Lisuu, wakiwa kwenye viwanja vya Gombani Pemba
15
Toleo la 11
Na
Mohammed Abdurahman
Toleo la 11
16
Zanzibar
Zanzibar Daima
Moja ilimshinda
Nyerere, sambe
hawa viherehere.
yaliwashangaza wengi.
kutilia mkazo
umuhimu wa kupata
katiba itakayokidhi mahitaji ya wananchi kama walivyojielezawakati wa Tume ilipokusanya maoni
yao na wajumbe kuweka mbele
masilahi ya pande zote mbili za
muungano na kuwatakia kila la
kheri na kuwakumbusha wajumbe kwamba hatima ya Tanzania
imo mikononi mwao. Kweli mara
nyengine lile mtuulifikirio silo
liwalona hali kama hiyo ni sehemu ya utaratibu wa maisha ya
binaadamu.
Yaliozungumzwa naRais Kikwete
katika hotuba yake mbali na kujadiliwa kwa mapana na marefu.
Kukiwa na tafauti ya mitazamomiongoni mwa Watanzania
bara na visiwani kwa jumlakweli
17
Toleo la 11
Lakini kilichojitokeza ni
kwamba wakatiwengine
wanaamini siasa ni ukweli
kwa maanakile wanakisimamia kwa imani na
ujasiri, wawakilishi hao
wamedhihirisha kwamba
tafsiri sahihi kwao siasa
ni uwongo.
Kuna ambao hawakuchangiamijadala
katika bunge maalum la
Katiba hadi lilipoahirishwa, huenda kwa kuzingatia ule usemi bora kukaa
kimya kuliko kujiumbua.
Hawa pia sidhani kama
wananusurika au wanasafishika mbele ya waliowachaguwa, kwa sababu
kukaa kimya si suluhisho
bali ni undumila kuwili.
Siajabu, kwa hivyo, wanapoambiwa kuwawakiwa Zanzibar wanasema
mengine lakini kwenye
jukwaala kuzungum-
Ndivyo nionavyo!
Toleo la 11
18
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
19 Toleo la 11
Na
Foum Kimara
20
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
21
Tony Blair naye ndiyo hivyo hivyo. Alikuwa waziri mkuu wa Uingereza na kiongozi wa chama cha Labour tokea mwaka
1994 mpaka 2005 alipolazimika kuondoka madarakani kwa kukosa umaarufu kutokana na vita ya Iraq, ambavyo kama si
hivyo, basi angeliweza kugombania hata
kwa awamu ya nne.
Toleo la 11
Nchini Marekani hivi sasa baadhi ya wajumbe wa chama cha Democrat cha Rais
Barack Obama wameanza kujadili ukomo wa mihula miwili, wakiwa na upinzani
mkubwa kutoka kwa Republican wana-
kama ilivyo Zanzibar na ukosefu wa wingi kwa pande mbili, Mcguiness amekuwa
ni Naibu wa Kwanza wa Waziri Kiongozi
huku DUP ikitoa Waziri Kiongozi, mfano
wa CCM kutoa Rais wa Zanzibar na CUF
kutoa Makamu wa Kwanza wa Rais.
Hii ni demokrasia wala haijawahi kupingwa kwa sababu ya ukomo. Ndivyo historia na utamaduni wa kisiasa wa nchi yao,
kama ilivyo pia kwa Zanzibar. Maana yake
ni kuwa nchi zenye ushindani mkubwa wa
kisiasa na kiitikadi, wananchi huwekeza
kwenye umaarufu wa viongozi wao. Huo
ndio mtaji wa kisiasa, maana siasa ni mipango ya kuendesha au kuchukua uongozi wa nchi, ambayo lazima iekezwe na
uwekezaji wake ni huu.
Hata Mwalimu Julius Nyerere aliendelea
kuwa rais kwa zaidi ya miaka 20, akiwa
Mwenyekiti wa CCM kwa miaka na dahari na hata alipostaafu aliendelea kuwa
na maamuzi makubwa mbele ya chama
chake tena kwa uwazi huku hata katiba
ya chama ikiwa haikumpa idhini yoyote.
Inashangaza kwamba ni yeye aliyeweka
ukomo wa rais wa mihula miwili hali kwa
upande wake hakuliona hilo.
Toleo la 11
22
Zanzibar Daima
Zanzibar Daima
Timu ya Zanzibat baada ya kuchukua kombe la Mashindano ya Gossage mwanzoni mwa miaka ya 1960
Na
Zanzibar, visiwa
vya michezo
Mwanamichezo Wetu
23
Toleo la 11
Toleo la 11
24