Professional Documents
Culture Documents
Annuur 1157 PDF
Annuur 1157 PDF
Sauti ya Waislamu
Uk. 3
RAIS Uhuru
Kenyatta wa
Kenya.
Tahariri/Habari
AN-NUUR
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Habari
AN-NUUR
yao tu.
Pingamizi la pili upande
wa serikali ulisema kwamba
Mahakama Kuu haikuwa na
mamlaka ya kusikiliza maombi
yaliyowasilishwa na utetezi
kwa sababu bado kesi ilikuwa
katika hatua za mwanzo katika
Mahakama ya Kisutu, kwa
hiyo maombi hayo hayawezi
kuletwa Mahakama Kuu.
Mmoja wa mawakili
wanaowatetea watuhumiwa
ya mahakama inapotolewa
kwa mwanasheria yeyote,
a n a t a k i wa a c h u k u e k i t u
kinachoitwa Judicial notice
(yaani mahakama inatakiwa
ijue tu kwamba hukumu hiyo
ipo) wala haihitajiki kuletwa
ile nakala ya hukumu, hili ni
jambo ambalo linalotakiwa
kuthibitishwa. Alifafanua
wakili huyo.
Aliendelea kufafanua
hoja yake kwamba kwa wao
k u wa s i l i s h a m a h a k a m a n i
nakala ya hukumu, inatosha
kusema kwamba huk umu
ya mahakama ya Kisutu
imeshafutwa na hukumu
ya Mahakama Kuu, hivyo
mahakama ya Morogoro
inastahili ifanyie kazi maelezo
hayo na hawapaswi kukaa
na kuacha kuifanyia kazi eti
kwasababu nakala ya huku
haijaletwa.
Kuna kitu kinaitwa Judicial
Makala/Tangazo
BAADA ya kumshukuru
ALLAH (SW) kama
a n a v y o s t a h i k i
kushukuriwa, sala
na salamu zimfikie
Mjumbe wake Sayyidina
Muhammad (s.a.w)
pamoja na Masahaba zake
na kila anayefuata njia
yake kwa wema mpaka
siku ya malipo.
Enyi Waja wa ALLAH
:Hasadi ni maradhi
mabaya ya nafsi, na ni
kasoro kubwa inayokaa
katika moyo wa mtu na
ni asili na sababu ya kila
matendo maovu, na ni
tabia inayomuweka mtu
mbali na uchamungu.
Na maana yake ni kwa
mtu kutamani neema au
kheri aliyokuwa nayo
mwenziwe imuondokee.
Hasidi huwa anachukia
pale mwenziwe anapopata
kheri na anafurahi pale
mwenziwe anaposibiwa
na shari.
Anasema ALLAH
(SW) :Ikikupateni
kheri huwasikitisha
na ikikupateni shari
wanaifurahia. Na mkisubiri
na mkamcha ALLAH hila
zao hazitakudhuruni kitu.
Hakika ALLAH anayajua
vizuri yote wanayoyatenda
Tahadharini na Hasadi
(SECONDARY)
S/N
NAFASI
1
2
3
4
5
MWALIMU WA HISTORIA
MWALIMU WA ENGLISH
MWALIMU WA CHEMISTRY
MWALIMU WA KIARABU
MWALIMU WA CIVICS
SIFA
BA(EDC)
BA(EDC)
BSC(EDC)
BA(EDC)
BA(EDC)
(PRIMARY)
S/N
1
2
3
S/N
1
AN-NUUR
NAFASI
MWALIMU WA ELIMU YA MAARIFA
MWALIMU WA SHULE YA MSINGI
MWALIMU WA SHULE YA MSINGI
NAFASI
LABORATORY TECHNICIAN
SIFA
CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)
CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)
CERTIFICATE/DIPLOMA (EDC)
SIFA
CERTIFICATE/DIPLOMA
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
K U N D I l a wa p i g a n a j i
nchini Iraq la ISS limewaua
wanawake 150 katika mkoa
wa Anbar, Magharibi mwa
nchi hiyo kwa kukataa
kuolewa na wanamgambo
wa kundi hilo.
Ta a r i f a ya Wi z a r a ya
Haki za Binadamu ya Iraq
imeeleza kuwa wanawake
wasiopungua 150, wakiwemo
wajawazito wameuliwa na
kundi la kigaidi na kitakfiri
la Daesh katika mji wa
Fallujah baada ya kukataa
kile kinachoitwa na kundi
6
Papa akosoa
vikali viongozi
wenzake Vatican
Na Iddi Ssessanga/ape,dpae
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki
duniani, Papa Francis, amewakaripia
vikali viongozi wa Vatican na
kukosoa kile alichokieleza kuwa
ni ugonjwa ulioukumba uongozi
huo, ukiwemo wa kuteta na uchu
wa madaraka.
Papa Francis ameongeza
kile alichokiita magongwa 15
yanayowakabili wasaidizi wake
ndani ya Vatican, na kuwataka
watumie muda huu wa Krismas
kutubu dhambi zao na kulifanya
Kanisa kuwa mahala penye afya na
patakatifu zaidi mwaka 2015.
Papa Francis alizungumza juu ya
wale wanaojigeuza kuwa mabosi na
wanaojiona wako juu ya kila mmoja
na hawamtumikii yeyote.
Alionya pia juu ya kile alichokiita
"ugonjwa wa madaraka" na kuwaonya
dhidi ya nargisi ya wale wanaojijali
wenyewe bila kuwahurumia walio
dhaifu na wanaohitaji zaidi.
Tamaa ya vyeo na ubinafsi
Aliwakosoa pia wasiowaheshimu
wakubwa zao akisema,"ugonjwa wa
kutomtii mkubwa ndiyo ugonjwa
wa wale wanaowasifu wakubwa zao
wakitumai kupata kitu kutoka kwao.
Alisema hao ni wahanga wa tamaa ya
vyeo na ubinafsi, wanawaheshimu
binadamu na siyo Mungu."
Imeelezwa kuwa wakati miongoni
mwa wasikilizaji walikuwepo
wakimsikiliza Papa Fransis, walikuwa
wamekunja sura zao, lakini ujumbe
ukiwaingia barabara.
A i d h a Pa p a a l i z u n g u m z i a
ugonjwa wa kile alichokiita sura
za msiba, akibainisha kuwa watu
wasioridhika na wanaokunja sura,
wale wanaojaribu kuvaa sura za ukali,
wanawatendea wengine kwa dharau
na kwa kibri, hasa wale wanaoamini
ni wa hadhi ya chini.
Papa Francis, ambaye ndiye Papa
wa kwanza kutoka Amerika Kusini
na hakuwahi kufanyakazi katika
Baraza la Uongozi wa Kanisa hilo
linalodhibitiwa na Wataliano, kabla
ya kuchaguliwa hakuona haya
kulalamika juu ya porojo, tamaa
za vyeo na hila za madaraka jinsi
vinavyoikabili Vatican.
Lakini wakati ajenda yake ya
mageuzi ikizidi kushika kasi,
alionekana mwenye kuthubutu
zaidi hata kuweza kubainisha yale
yanayoikwamisha taasisi hiyo.
Wafuatiliaji wa masuala ya Vatican
walisema hawajawaji kusikia hotuba
kali kama hiyo kutoka kwa Papa na
kuongeza kuwa huenda ameamua
kuweka mambo hadharani kutokana
na upinzani anaokabiliana nao katika
kutekeleza mageuzi yake.
"Ukweli ni kwamba anaielekeza
hotuba yake ya Krismas kwa magonjwa
15 ya kiroho kwa namna hiyo, kwa
maoni yangu ni ishara kwamba
anachukulia mageuzi katika uongozi,
na mageuzi ya kiroho kiujumla
kama hatua muhimu anayotaka
kuendelea kuchukuwa. Kwamba
bado kuna upinzani mkubwa na
pengine upinzani umeongezeka
katika miezi ya hivi karibuni," alisema
Iacopo Scaramuzzi, ripota wa gazeti
la TMNews mjini Vatican.
Habari za Kimataifa
AN-NUUR
VOA
MJI wa New York umekumbwa
na simanzi kufuatia mauaji
ya maafisa wawili wa polisi
yaliyofanywa na kijana mmoja,
ambaye aliwaambia wapita
njia kuangalia alichokuwa
anakwenda kukifanya muda
mfupi kabla ya kufanya mauaji
hayo.
7
Na Asia Mbwana, Dar es Saalam
Makala
AN-NUUR
Makala
8
Na Omar Msangi
FEBRUARI mwaka
2011, Bunge la Nigeria
l i l i p i t i s h a s h e r i a ya
kupambana na ugaidi.
Kama ilivyokuwa kwa
K e n ya j u z i , s e r i k a l i
ya Nigeria wakati huo
ilidai kuwa ni muhimu
kupitisha sheria hiyo ili
itoe nguvu na uwezo zaidi
kwa vyombo vya dola
kukomesha ugaidi ili
kuleta amani katika nchi.
Lakini kama ilivyokuwa
Kenya pia, sheria hiyo
ililalamikiwa sana kwa
sababu ilidaiwa kuweka
msingi wa kuvunja haki
za kikatiba na haki za
b i n a d a m u . C h i n i ya
sheria hiyo, maofisa wa
polisi na vyombo vingine
vya usalama, walipewa
mamlaka kisheria
ya kukamata watu na
kuwaweka ndani bila ya
kuwafungulia mashitaka.
Aidha, waliweza pia
kukamata mali za
watuhumiwa yakiwemo
magari na vilivyokuwemo
bila ya kuwajibika kuwa
na hati ya kisheria ya
kupekua au kukamata
mali.
Kabla ya serikali
ya Goodluck Jonathan
kupelekea muswada
wa sheria hiyo bungeni,
kulitangulia mashambulizi
ya kigaidi Jos ambapo zaisi
ya watu 200 waliuliwa.
Hapo tena ndio muswada
ukaletwa ikielezwa kuwa
hali ilikuwa ya kutisha
na ilikuwa ikihitaji sheria
kali na kuvipa uwezo
mkubwa zaidi vyombo
vya usalama.
Pamoja na maelezo na
hoja hizo kutoka serikalini,
muswada ulikabiliwa na
upinzani mkali kutoka
kila kona mpaka ndani
ya Bunge. Katika hali
ya kutaka kupiga
magoti, Rais Jonathana
akawabembeleza wabunge
kupitisha muswada huo.
Hata hivyo, mara tu
b a a d a ya k u p i t i s h wa
sheria hiyo, Nigeria
haikupumua. Matukio
ya ugaidi unaodaiwa
kufanywa na Boko Haram
ndio ulipamba moto. Kwa
mwaka huo wa 2011,
yalifanyika mashambulizi
8 ambapo watu 180
waliuliwa. Taarifa moja
ya Human Rights Watch
inasema kuwa mwaka
2012 Boko Haram waliuwa
zaidi ya watu 815 katika
matukio 275 ya kigaidi,
idadi ambayo ni kubwa
kuliko yaliyojiri kwa
mwaka 2010 na 2011.
Mwaka 2013 waliuliwa
watu wasiopungua 423.
Na kufika mwaka 2014
AN-NUUR
k u we k a s h e r i a k a m a
hizo pamoja na kuwa na
vikosi maalum vya kutesa,
kuuwa na kupoteza watu.
Toka walikuwa
wakionekana kama
vijana hamnazo tu wa
mtaani wanaopiga porojo
ambapo difenda moja tu
ya FFU wenye mabomu
ya kutoa machozi ilitosha
kuwasambaratisha, hivi
sasa tunaambiwa Boko
Haram wana mpaka silaha
za kutungulia ndege na
magari ya kisasa ya kijeshi.
Mara kadhaa serikali
ya N i g e r i a i m e k u wa
ikiilalamikia Marekani
kuwa haiwapi silaha za
kisasa zikiwemo helkopta
za kijeshi ili kupambana na
Boko Haram!
Katika mazingira kama
haya, suala la kwanza
la msingi na muhimu
ilikuwa kumjua huyu Boko
Haram ni nani? Silaha na
wapiganaji anawapata
wapi? Je, haya matukio
yanayodaiwa kufanywa na
Boko Haram ambapo watu
wasio na hatia, wanauliwa,
ni kweli yanafanywa na
huyu Abubakar Shekau
na watu wake? Na huyu
Shekau ni nani na nani
anamfadhili?
Bila kujiuliza maswali
Wakristo na Waislamu.
Wa k r i s t o wa k a u l i wa ,
Waislamu wakaachiwa?
Fitna gani inajengwa
hapo?
Kule Iraq walikamatwa
makachero wawili wa
U i n g e r e z a wa k i l i p u a
s h a b a h a z a Wa s u n i
wakijifanya kuwa
wao ni wapiganaji wa
Kishia. Lakini hata yale
yaliyodaiwa mashambulizi
ya k u j i t o a m u h a n g a ,
ilikuwa ni makachero wa
namna hiyo wanaotegesha
mabomu katika gari,
linalipuka na kuuwa watu
halafu zinasambazwa
taarifa katika vyombo vya
habari kuwa waliofanya
mashambulizi hayo ni
magaidi wa kujitoa
muhanga wa Kishia au
Kisuni. Yote hiyo ilikuwa
ni katika kutekeleza ule
mkakati wa Salvador
Option ya kupandikiza
machafuko na mauwaji ya
Wasuni na Washia katika
Iraq, ili wasishikamane
kukabiliana na mvamizi.
(Tazama: From El Salvador
to Iraq: Washington's
man behind brutal
police squads. Tazama
pia Death-squad style
massacres For Iraq, "The
Salvador Option" Becomes
Reality-by Max Fuller)
Al-Shabaab inapambana
na jeshi la serikali ya
Somalia, al-Shabaab
inapambana na AMISOM,
al-Shabaab inapambana na
majeshi ya Kenya yaliyoko
Somalia, al-Shabaab
inapigwa na Marekani
kutoka angani kwa
kutumia Drone. Al Sahaab
hii ni jeshi la namna gani la
kushindana na nguvu zote
hizi? Je, yenyewe inapata
wapi silaha na uwezo wa
kukabiliana na nguvu zote
hizo?
Akizungumzia juu ya
utata katika hii inayoitwa
Vita dhidi ya Ugaidi,
Michel Chossudovsky
ameandika makala akihoji
ni nani Abu Musab AlZarqawi.
Katika utangulizi wa
makala na uchambuzi
wake huo, alikuwa na haya
ya kusema:
MIFUMO ya kijasusi
ya Marekani imeunda
asasi zake za ugaidi. Na
wakati huo huo, inaunda
tahadhari zake kuhusu
ugaidi kutokea kuhusu
makundi ya kigaidi
ambayo imeyaunda
yenyewe. Kwa njia
hiyo, imesuka mpango
wa mabilioni ya dola za
Marekani wa kupambana
na ugaidi, 'kuzifuata' asasi
hizo za ugaidi.
Propaganda ya
Inaendelea Uk. 12
Makala
AN-NUUR
MIFUMO ya kijasusi
ya M a r e k a n i i m e u n d a
asasi zake za ugaidi. Na
wakati huo huo, inaunda
tahadhari zake kuhusu
ugaidi kutokea kuhusu
makundi ya kigaidi ambayo
imeyaunda yenyewe. Kwa
njia hiyo, imesuka mpango
wa mabilioni ya dola za
Marekani wa kupambana na
ugaidi, 'kuzifuata' asasi hizo
za ugaidi.
Propaganda
ya
kupambana na ugaidi na ile
ya vita vinaendana. Mifumo
ya propaganda inaingiza
habari katika mtiririko wa
habari. Tahadhari za ugaidi
inabidi zionekane ni tishio
halisi. Lengo ni kuyaonyesha
makundi hayo ya ugaidi
kama 'maadui wa Marekani.'
Lengo la msingi ni kuinua
hamasa katika jamii kuunga
mkono agenda pana ya vita
ya Marekani.
'Vita dhidi ya ugaidi'
inahitaji uhalalishaji wa
k u wa s a i d i a wa t u wa l i o
taabani, vita dhidi ya ugaidi
inaonyeshwa kuwa ni ya
haki, ambayo inapiganwa
kwa misingi ya maadili
kurekebisha uovu uliotokea.
Nadharia ya Vita ya Haki
inatoa maelezo ya lipi 'jema'
na lipi 'baya.' Inawadhihirisha
n a k u wa u n d i a t a s w i r a
viongozi wa ugaidi kama
'watu waovu.'
Wadadisi na wachambuzi
MARA nyingi gazeti la Annuur, limekuwa likiandika
makala mbalimbali za
kuutahadharisha umma
wa Kiislamu juu ya wimbi
la jihad feki namna
lilivyoanzishwa, na namna
a m b a v y o l i m e wa a t h i r i
Waislamu kutoka maeneo
mbalimbali ulimwenguni.
Pamoja na jitihada hizo
katika kuwafungua macho
Waislamu, lakini bado baadhi
ya watu katika jamii ya
Kiislamu imekuwa ikipinga
na hata wakati mwingine kuja
na kauli za kashfa, vitisho na
matusi.
Mnamo tarehe 21 mwezi
Desemba 2014, bwana mmoja
mara baada ya swala ya
Adhuhur Katika Msikiti wa
wilaya ya Songea, alisimama
na kutoa mawaidha juu ya
jihad mkononi mwake akiwa
ameshika gazeti la An-nuur
lenye matukio mbalimbali,
moja likiwemo lile tukio la
Ustadh aliyefanyiwa vitendo
vya kudhalilisha na polisi
mpaka akafanyiwa upasuaji
katika hospitali ya Taifa ya
Muhimbili.
Alidai kuwa Masheikh na
Waislamu katika Tanzania,
ni madhalili kwani hawana
uwezo wa kuthubutu kumiliki
silaha ilhali Maaskofu wao
Uhusiano wa Al Zarqawi na
Al Qaeda
Al Zarqawi mara nyingi
anatajwa kama 'mshirika wa
Osama,' mlundikiwa tuhuma
anayedaiwa kuhusika na
mashambulizi mengi ya
kigaidi katika nchi kadhaa.
Katika taarifa nyingine, mara
nyingi kutoka kwa vianzio
vile vile, inasemekana
kuwa hana uhusiano na Al
Qaeda na anafanya mambo
yake kama mtu huru. Mara
nyingine anaonyeshwa kama
mtu anayewania uongozi wa
Al Qaeda kushindana na bin
mchango wa kununua
tasbihi kiasi cha shillingi
55,000 na hivyo ndivyo
alivyofanya katika Misikiti
yote aliyozungumza hapa
Songea na mikoa mingine
kwa mujibu wa maelezo
yake.
Alichukua mawasiliano
ya wale wote waliokuwa
tayari kwenda jihad na
kuwaahidi kuwa, anakwenda
katika wilaya ya Tunduru
lakini wanatakiwa kufanya
maandalizi ya kwenda jihad.
Moja katika maandalizi hayo
ni kucheza karate Misikitini.
Ya p o m a s wa l i m e n g i
a m b a y o Wa i s l a m u n a
pengine vijana ambao tayari
wa m e k w i s h a t u m b u k i a
katika jahazi hilo la kwenda
jihad tunapaswa kujiuliza na
kupata majibu stahiki.
Kwanza je, tunajua kuwa
serikali yetu kwa sasa ipo
katika mapambano makubwa
Laden.
Jina lake linazuka mara
nyingi tu katika taarifa za
habari na za kiserikali. Tangu
mwanzo wa mwaka 2004,
yuko katika habari takriban
kila siku.
Osama anatoka familia
yenye nguvu ya bin Laden,
ambayo kihistoria ina
uhusiano wa kibiashara na
ukoo wa Bush na wanachama
wengine wa asasi za
uchumbaji mafuta jimbo la
Texas. Bin Laden alirubuniwa
na CIA wakati wa vita
vya Urusi na Afghanistan
na kupigana kama
mujahidina. Kwa maneno
mengine, kuna historia
ndefu iliyohakikishwa ya
mahusiano kati ya bin Laden
na CIA na mahusiano ya
kifamilia kati ya bin Laden
na Bush.
Tofauti na bin Laden,
Al Zarqawi hana historia
ya k i f a m i l i a . A n a t o k e a
katika familia maskini ya
ki-Palestina nchini Jordan.
Wazazi wake wamefariki.
Anatokea hivi hivi tu.
Anatakwa na CIA kama
'mbweha mpweke,' ambaye
anapanga vitendo nje kabisa
ya mtandao wa Al Qaeda.
Hata hivyo la kushangaza
ni kuwa 'mbweha mpweke'
huyu anaonekana katika
nchi kadhaa, nchini Irak
ambayo sasa ndiyo maskani
yake, lakini pia katika Ulaya
Magharibi. Pia anatuhumiwa
kupanga shambulizi la
kigaidi katika ardhi ya
Inaendelea Uk. 11
watu wajisajili kwenda jihadi
na yeye muhamasishaji
anakwenda kuandaa
mazingira na atakuja
kuwachukua, kumbe ndio
ikawa sababu ya kukamatwa
vijana walioitwa kuwa ni
magaidi ambao walijisajili
kwenda jihad Somalia?
Lakini hata kama ndio
tumepumbazwa na mvuto
wa Jihad Feki, hatufikirii na
kujiuliza, tuna uhakika gani
kwamba mtu huyo fedha
hizo anakwenda kununulia
silaha? Asiporudi, tutampata
wapi kudai pesa zetu? Hivi
ndio imekuwa Muislamu
anayeingia Msikitini
kuswali ndio awe mjinga wa
kutapeliwa kirahisi kiasi hiki!
Inasikitisha!
Mwisho naomba kuwaasa
Waislamu kuwa historia
k w e t u s i s i Wa i s l a m u ,
ingawaje ni muhimu sana,
lakini tumeifanya kama
simulizi za kale pasi na
kuchukua mafunzo yoyote.
Yapo maeneo mbalimbali
ambayo matukio mfano wake
yametokea na mwisho wake
umekuwa ni mbaya kwa wale
walioingia kwenye mtego.
Tusiwe wajinga kiasi cha
kushindwa kupambanua
mambo ambayo yako wazi
kiasi hiki.
10
Makala
AN-NUUR
SHEIKH Msellem
Kiislamu. Lakini lau Muislamu
ataseme kwamba aliyechukua
chupa ya ulevi kwa mwenzake
kwanza alipaswa kuomba idhini
ya mwenzake, kwa kuwa si milki
yake, hapo Muislamu huwa
hakubeba aqlia ya Kiislamu katika
qadhia hii.
Kitu cha pili katika shakhsia
na wasfu wa mwanaadamu ni
nafsiyah ya mtu husika. Nafsiyah
Na Dk. Abdallah
Daruwesh.
SHUKURANI zote anastahiki
Mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa
ulimwengu na rehma na amani
zimfikie Nabii wetu Muhammad
(saw) mwisho wa Mitume na ndugu
zake wote miongoni mwa Manabii
na Mitume.
Ama baada ya utangulizi huu
mfupi:
Miongoni mwa uzuri wa dini yetu
tukufu na ni sifa za pekee ambazo
tunajivunia. Tunamshukuru na
kumsifu Mwenyezi mungu kwa hilo,
nalo ni kule kuweka miongoni mwa
nguzo za Uislamu za imani ambazo
hazitimii wala haikamiliki isipokuwa
kwa kuamini Mitume yote, nako
ni kuamini Mitume ya Mwenyezi
Mungu ambao amewaleta Mola
11
Makala/Tangazo
AN-NUUR
Inatoka Uk. 9
Marekani. Anaonekana kuwa
katika sehemu kadhaa kwa
wakati mmoja. Anaelezwa
kuwa ndiye 'adui wa kwanza
wa Marekani,' 'bingwa wa
kubadilisha muonekano
wake na kubeba vitambulisho
feki.' Tunahimizwa kuamini
kuwa 'mbweha mpweke'
huyu anafaulu kuyapiga
chenga mashirika ya ujasusi
ya Marekani ambayo
yamesheheni wapelelezi
hodari.
Kwa mujibu wa gazeti
l a We e k l y S t a n d a r d ambalo linaaminika kuwa
na uhusiano wa karibu na
'wahafidhina mamboleo'
katika utawala wa Bush
(kwa mara ya kwanza makala
hii iliandikwa wakati Bush
bado yupo madarakani kama
Rais wa Marekani. Inarejewa
sasa kwa umuhimu wake.),
"Abu Musab al-Zarqawi ni
moto hivi sasa. Alisimamia
siyo tu kuuawa kwa Berg
lakini pia shambulio lililoua
watu wengi jijini Madrid
hapo Machi 11, kulipuliwa
kwa wa-Shia waliokuwa
wanasali nchini Irak mwezi
huo huo, na shambulio la
Aprili 24 la kujitoa mhanga
katika bandari ya Basra
Inaendelea Uk. 15
14 GRADUATION
TH
The Vice Chancellor of SUMAIT University - Zanzibar invites all graduands of the academic year 2013/2014
to the 14th Graduation. The Ceremony will be held on Wednesday 14th January 2015 at the SUMAIT
University premises - Chukwani. The Minister for Education and Vocational Training, Honourable ALI JUMA
SHAMUHUNA will be the Guest of Honour.
All graduands are required to confirm their participation to the Academic Office not later than Friday 2nd January
2015. Graduands are reminded to pay Tzs. 10,000/= (non-refundable) before Monday 12th January 2015 for
graduation gowns.
Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves. All graduands
are requested to report at the University by 3.00 pm on Tuesday 13th January 2015 for rehearsal and logistical
briefings. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowed to take part in the event.
For more information please contact SUMAIT University at the following address:
The Academic Office,
SUMAIT University Zanzibar
P.O. Box: 1933 Zanzibar.
Tel: +255242234102
Email: amacez@zitec.org; Website: www. ucez.ac.tz
12
MAKALA
Inatoka Uk. 8
AN-NUUR
Zarqawi, al Qaida na
watu kama hao, watabaki
wa k i d h a n i k u wa a d u i
yao ni maboya hayo,
kumbe wanaowalipua ni
watu wengine kabisa ili
kupandikiza machafuko.
Na tunaambiwa kuwa
b a a d a ya m k a k a t i h u o
kufanikiwa, Iraq wakawa
wa n a l i p u a n a we n ye we
kwa wenyewe, wakakosa
nguvu ya kupambana
na adui mvamizi, ikawa
sasa makampuni ya
wa n a t a k i wa wa va e
kaptula inayovuka
magoti na shati liwe refu
kuvuka kiuno na liwe
pana. Kwa upande wa
wasichana sketi ndefu
na shati pana lisilo bana
ili hata kama ikifika
muda wa kwenda
kuswali, iwe rahisi
kwenda kutekeleza
ibada hiyo kwa urahisi.
Kuanzaia darasa la
tatu mpaka darasa
la saba mwanafunzi
anatakiwa awe na
daftari la somo la dini,
ili aweze kuandika na
kujifunza kwa urahisi
kuandika na kusoma.
Mzee Mikidadi
Khalfani
Mzee wa maadili
mashuleni.
Wa k r i s t o w a k a a c h w a
Waislamu? Na kwa nini
hivi vinavyoitwa vikosi vya
serikai vya kupambana na
ugaidi vinalenga Masheikh
na Waislamu? Je, hakuna
harufu hapo kama ile ya
Washia na Wasuni Iraq?
We find it difficult to
understand how and why, in
spite of the U.S. presence in
Nigeria, with their sophisticated
military technology, Boko
Haram should be expanding
and becoming more deadly.
Anauliza swali hili
Prof. Adebowale Adefuye,
ambaye ni Balozi wa Nigeria
kule Washington, Marekani.
Swali hili alitakiwa Prof.
Adebowale Adefuye na
serikali yake, ndio watupe
majibu. Sio wasubiri kupata
majibu kutoka kwa watu
wengine.
Nimalizie kwa kusema
kuwa nadhani jambo la
msingi hapa ni kutafiti na
kujua ukweli wa mambo
kwa sababu inavyoelekea
tunapelekeshwa kupambana
na bogeymen kutumikia
masilahi ya mabeberu.
Sasa kama viongozi wetu
watakuwa wanalijua hili
lakini wakaamua kutufanyia
usanii wa kutuletea Patriot
Acts, huo utakuwa ni usaliti
wa hali ya juu. Swali ni je,
13
Na Juma Kilaghai
MOJA ya mafunzo ya
msingi kwa wanaosomea
fani ya udaktari wa meno
ni jinsi ya kujaza matundu
yaliyoko kwenye
meno. Madaktari hawa
watarajiwa wanafunzwa
kwamba ili kurejesha jino
lililotoboka katika hali
ya uzima, wanatakiwa
kusafisha tundu husika
kwa kulipekecha (drill),
kisha kulijaza tundu
hilo kwa mchanganyiko
maalum unaojumuisha
madini fedha na zebaki.
Kitaalamu mchanganyiko
h u u m a a l u m h u i t wa
ama silver amalgam au
mercury amalgam.
Hata hivyo katika hali
ya kushangaza, wanafunzi
hawa husisitiziwa kanuni
tatu kuhusu hii silver/
mercury amalgam. Kanuni
hizi ni: Hata siku moja usije
ukaigusa kwa vidole vyako
vitupu (bila kuvaa glavu).
Pili, hata siku moja usije
ukaicha inazagaa zagaa tu
bila kufunikwa; na tatu,
mabaki ya mchanganyiko
huu, au jino lililonglewa
lenye mchanganyiko huu,
ni lazima yaondolewe
katika mazingira kwa
kuzingatia kanuni kali
zinazosimamia uondoshaji
wa taka za sumu kali katika
mazingira.
Sababu kubwa ya
tahadhari hii ni ule
utambuzi kuwa madini
ya zebaki ni sumu hatari
pale yanapoingia mwilini!
Uzunguni kuna msemo:
Mad as a hatter. Hatter
ni mtu ambaye kazi yake
inayomuuingizia riziki ya
kila siku ni kutengeneza
au kushiriki katika
kutengeneza kofia za aina
ya hat, au heti kama
tulivyozoea kuziita kwa
kiswahili. Chimbuko la
msemo huu lilikuwa ni
ile hali ya ugonjwa wa
wa z i m u u l i o o n e k a n a
k u w a k u m b u k a
wafanyakazi wengi
waliokuwa wakifanya
kazi katika viwanda vya
kutengeneza kofia za heti
kwenye miaka ya 1,800
katika maeneo mbalimbali
ya Ulaya na Marekani.
Uchunguzi wa kisayansi
baadaye ulibaini kuwa
watu waliokuwa wanapata
uwendawazimu katika
viwanda hivi walikuwa
ni wale walioathiriwa
na mvuke wa zebaki.
Hii ni kwa sababu enzi
hizo kemikali iliyokuwa
ikijulikana kama mercury
nitrate ilitumiwa sana
k a t i k a v i wa n d a h i v i
kuondoa mabaki ya
m a n y o ya ya l i y o k u wa
ya n a g a n d i a n a k a t i k a
kofia hizi zilipokuwa
zinatengenezwa.
Katika viwanda vya leo
vya kutengeneza kofia za
heti matumizi ya zebaki
yamepigwa marufuku.
Makala
AN-NUUR
cha T-lymphocytes
ni kati ya 70% na 80%
ya chembechembe
z o t e n ye u p e a i n a ya
lymphocytes alizonazo.
Katika kesi moja wapo
Dk Eggleston alibaini kuwa
kiasi cha T-lymphocytes
kilichokuwa katika mwili
wa binti mmoja aliyekuwa
na umri wa miaka 21
ambaye alikuwa na meno
yaliyokuwa yamejazwa
kwa silver/mercury
amalgam kilikuwa ni 47%
tu ya chembechembe zote
za lymphocytes alizokuwa
nazo. Dk Eggleston
aliondoa silver/mercury
amalgam aliyokuwa nayo
binti huyo kinywani,
na baada ya zoezi hilo
kiwango chake cha
T-lymphocyte kilipanda
na kufikia 73%! Baada ya
tukio hili Dk Eggleston
alirejesha silver/mercury
amalgam kwenye meno
ya yule binti; na kiasi cha
T-lymphocytes kilishuka
tena hadi kufikia 55%! Dk.
Eggleston alimalizia kwa
kutoa tena silver/mercury
amalgam iliyokuwa
kwenye kinywa cha yule
binti na akajaza matundu
yaliyoachwa wazi kwa
aina fulani ya dhahabu
inayoaminika kuwa
salama kwa matumizi
hayo. Baada ya zoezi hili
kiasi cha T-lymphocyte
kwenye mwili wa yule
binti kiliongezeka tena
hadi kufikia 72%!
Pamoja na kwamba
kushuka kwa kiwango cha
kinga za mwili kunamweka
mtu katika hatari zaidi
ya kupata ugonjwa wa
saratani, na zebaki kwa
kupitia njia hii inaweza
kutuhumiwa kwamba
inasababisha saratani,
ukweli ni kwamba zebaki
ni kisababishi kikubwa cha
saratani bila hata kupitia
njia hii. Uthibitisho wa
hili unapatikana katika
kisa cha Dk Pinto. Huyu
alikuwa ni daktari wa
meno aliyeishi katika
miaka ya 1920.
Katika kisa hiki Dk Pinto
aliombwa kumtibu mtoto
aliyekuwa analalamika
kuwa ana maumivu
kwenye fizi zake. Mtoto
huyu pia alikuwa mbioni
kufa kutokana na kuwa na
saratani ya damu. Baada
ya kumchunguza Dk Pinto
aligundua kuwa meno
ya mtoto huyo yalikuwa
yamejazwa kwa silver/
mercury amalgam. Dk
Pinto aliamua kuondoa
silver/mercury amalgam
hiyo na mtoto akapata
nafuu kubwa. Dk Pinto
alipowaambia madaktari
wa mtoto huyo waliokuwa
wanamtibu saratani yake
juu ya kile alichokifanya
walikataa kumwamini. Ili
kuthibitisha madai yake
alirejesha silver/mercury
amalgam kwenye meno
ya yule mtoto; naye baada
ya muda mfupi alianza
tena kukumbwa na dalili
za saratani aliyokuwa
a n a u g u a h a p o a wa l i .
Pamoja na uthibitisho huu
madaktari wa mtoto huyo
waliendelea kushikilia
misimamo yao. Ili
kumsaidia mtoto Dk Pinto
aliamua kuwapuuza na
kuondoa silver/mercury
amalgam yote kwenye
kinywa cha mtoto, naye
baada ya muda mfupi
akapona saratani
iliyokuwa inamsumbua.
Tafiti za hivi karibuni
kabisa zimethibitisha
kuwa zebaki inasababisha
matatizo mengi sana ya
kiafya. Kwa mfano katika
utafiti uliofanywa na
serikali ya Sweden, serikali
iliweza kutambua kiasi cha
wananchi wa nchi hiyo
wapatao 250,000 ambao
walikuwa na matatizo
mbalimbali ya kiafya
yaliyokuwa na uhusiano
wa moja kwa moja na
silver/mercury amalgam
walizowekewa kwenye
meno yao. Mwaka 1994
kampuni ya Kijerumani
iliyokuwa inaitwa Degusa,
iliamua kufunga kiwanda
chake cha kuzalisha
silver/mercury amalgam.
Iliamua kufanya hivi
hadi hapo itapojiridhisha
kuwa eti mercury ambayo
n i s e h e m u ya s i l ve r /
mercury amalgam,
haina madhara! Degusa
ndiyo kampuni kubwa
kuliko zote ulimwenguni
inayojihusisha na
utengenezaji wa metali
(metals) mbalimbali
zinazotumiwa na
madaktari wa meno katika
tiba zao.
Ta f a d h a l i s a n a
b a a d a ya t a a r i f a h i i
usije ukakurupuka na
kukimbilia kwa daktari
yeyote yule wa meno
na kumwambia aondoe
silver/mercury amalgam
katika kinywa chako.
Sababu ya tahadhari hii
ni kwamba kazi hiyo
inapaswa kufanywa na
daktari mwenye ujuzi
wa kutosha na uzoefu.
Uondoaji wa kiholela
unaweza kukusababishia
KUMEZA zebaki nyingi
kwa muda mfupi kuliko
hata uliyokuwa unameza
kupitia silver/mercury
amalgam uliyokuwa
nayo kwenye meno
yako. Kumtumia daktari
mwenye ujuzi wa kutosha
na uzoefu unaweza
k u k a wa n a g h a r a m a
kubwa, lakini je, fedha
zako ni kitu gani, kama
afya yako iko kwenye
mashaka?
14
Makala
AN-NUUR
Curcumin;
Catechines;
Polyphenols;
Flavonoids; na
Piperine
4. VIUA VIJIDUDU
Cinnamaldehyde.
Mlundikano wa viini
lishe/virutubisho hivi
umepelekea chai hii kuwa
ya baridi ya yabisi;
Kupunguza kasi ya
ongezeko la virusi vya
ukimwi;
Kukinga dhidi ya
uharibifu wa ini;
Kukinga dhidi ya
sumu na makovu kwenye
mapafu;
Kukinga dhidi ya
ugonjwa wa ngozi kuchuja
rangi, yaani, vitiligo; na
K u s a f i s h a
kinywa dhidi ya bakteria
wasiotumia oksijeni
(anaerobic bakteria)
Chai hii inaweza
kukusaidia pia kama
unahisi kuwa unakabiliwa
na moja wapo ya hali hizi.
Hivi sasa inapatikana Dar
es Salaam pekee, katika
ofisi zetu zilizoko Mosque
Street, No. 1574/144
(mkabala na msikiti wa
Sunni), Kitumbini. Jitihada
zinafanyika pia ili kabla ya
mwisho wa mwaka huu
iwe inapatikana walau
katika miji yote iliyo makao
makuu ya mikoa Tanzania
nzima. Kwa maelezo zaidi
unaweza kuwasiliana nasi
kwa simu namba 075428
1131/0686281131/065528
1131.
KWA WALIOKO DAR ES
SALAAM
Kama unaishi Dar es
salaam unaweza kuja
hapa ofisini kwetu mtaa
wa Mosque, kwa ajili ya
kupata chai ya Timamu.
Tuko Kitumbini, mtaa wa
Mosque. Mtaa huu unaitwa
Mosque kwa sababu kuna
misikiti miwili mikubwa
inayoongozana (Ibaadh
na Sunni); ambayo
imetenganishwa na duka
la tamu-tamu la Taj Mahal
Sweet Mart.
Mtaa huu pia ni maarufu
sana kwa MGAHAWA WA
MIAKA MINGI SANA
UNAOITWA NEW ZAHIR
RESTAURANT (Tazama
picha. Jengo lenye canopy
yenye mistari myekundu.).
Iwapo utalazimika kuuliza
ili ufike Mosque Street, basi
waambie hao unaowauliza
ni mtaa iliko NEW
ZAHIR RESTAURANT.
Ukiweza kufika NEW
ZAIHIR RESTAURANT
utaiona hiyo misikiti
miwili tuliyoitaja iliko.
1 . k wa wa na o t o k e a
m a e n e o ya M b a g a l a ,
Kurasini na Temeke ambao
wakija mjini kituo chao cha
mwisho cha daladala ni
Stesheni, basi waje mpaka
barabara ya Samora liliko
tawi la NBC SAMORA.
Mtaa wa Mosque unaanzia
NBC Tawi la Samora na
kupandisha kuelekea
juu hadi mtaa wa Libya.
Ili kufika ofisini kwetu,
ukitokea hapo NBC Samora
utavuka kwanza mtaa wa
India, kisha mtaa wa Indira
Gandi. Hapo utakuta hiyo
misikiti mikubwa miwili
inayoongozana.
2. Kwa wanaokuja mjini
kwa njia za Morogoro na
Ali Hassan Mwinyi, kituo
cha basi cha kushukia
n i A K I B A . B a a d a ya
kuteremka tembea hadi
kwenye maungio ya
Morogoro Road, ingia
Morogoro Road na uifuate
kama vile unaelekea
Bandarini zinakoegeshwa
Boti za kwenda Zanzibar.
Endelea mbele ambapo
utavuka mitaa ya Libya
na kisha Jamhuri mpaka
utakapokutana na tawi la
benki ya NMB la Morogoro
Road likiwa mkono wako
wa kulia. Hapo kata kulia
kuingia mtaa wa Mshihiri.
Ukiendelea mbele kidogo
utakutana na mtaa wa
Mosque unakatiza na
kushoto kwako utaiona
3. Kwa wanaokuja na
barabara za Nyerere au
Uhuru hadi Mnazi Mmoja.
Ukifika mnazi mmoja vuka
mataa hadi liliko tawi la
benki ya NBC la Mnazi
mmoja. Hapo utakuwa uko
mtaa wa Jamhuri. Shusha
moja kwa moja na huo
mtaa hadi utakapokuta
kituo cha mafuta cha
Puma. Mbele kidogo ya
hicho kituo ni mtaa wa
Mosque unakatiza. Ukifika
hapo kwenye mauongio
ya Jamhuri na Mosque,
tazama kulia kwako utaona
hiyo misikiti miwili.
4. Kama unataka kuja
na gari lako Mwenyewe
ni bora uende hadi Samora
avenue uingie Mosque
Street kwa kutokea hapo
tawi la NBC Samora. Au
kama unatokea barabara
ya Nkrumah au Uhuru,
ukishafika Clock Tower
ingia mtaa wa India,vuka
mtaa wa Aggrey (kuna
kituo cha mafuta cha
GAPCO) na barabara
utakayokutana nayo
ikikatisha ni Mosque.
Hapo kata kushoto na
baada ya kuvuka Mtaa wa
Indira Gandi utaiona hiyo
misikiti miwili mkono
wako wa kulia.
Kwa watu wa mikoa ya
Tanga na Morogoro
Dawa inapatikana kwa:
A B D A L L A H
MWARABU
S I M U :
0 7 8 3 290921/0658-290921
BARABARA YA 12,
JIRANI NA MSIKITI WA
IBAADH
TANGA MJINI
DOTTO MALENDA
0715-282331
MTAA WA KARUME
(MKABALA NA MASJID
HAQ)
MOROGORO MJINI
15
Na Khatib Juma Mziray
KUTOKANA na makala
zangu nilizoandika awali,
kwanza nashukuru kwamba
z i m e p a t a wa s o m a j i n a
ushahidi ni ujumbe wa
m a n e n o n i n a o t u m i wa .
Naamini hii itakuwa njia
moja wapo ya kuelimishana
na kufahamiana kwa
manufaa yetu sote. Ni
watu wengi walionitumia
ujumbe kwa hiyo sitaweza
kuwataja wote au kunukuu
waliyosema, ila nitachukua
wachache tu kuwakilisha.
Labda nianze na huyu
ambaye anasema:
Habari ndugu yangu haya
unasungumza una ukweli
gani? Wakati mtafutia amani
leo mnawaona wabaya why?
Binadamu unataka nini?
Unataka uniambie alishabab
kawaagiza Bushi? Au inch za
Ulaya? Mnauwana wenyewe
alafu unawasingizia
wengine kisa tu imani yenu
inapingana hapana hauko
sawa kikulacho kiko nguoni
mwako. (0755 499 872)
Wa pili ameandika hivi:
Mziray umeandika vizuri
kuhusu joka na amani,
umesahau kuandika kuwa
Uislam umesambazwa
kwa ukatili kwani haukuja
Tanzania na pipi kwa hiyo
kama demokrasi ni uongo
hata Uislam ni uongo kwani
haukuleta amani. (0714 970
710)
Kwa wote hawa
niseme mambo mawili
ambayo nitayajengea hoja
k wa k u u l i z a m a s wa l i .
Afghanistan ni katika nchi
masikini duniani na iliyopo
nyuma kielimu. Haina
utaalamu wa namna yoyote
wa sayansi na tekinolojia ya
kisasa. Na hata nchi nyingi
za Kiarabu zipo hivyo
ukiacha utajiri wa mafuta.
Kwa upande mwingine
Makala
AN-NUUR
Historia ya Al Zarqawi
Mara ya kwanza jina
la Abu Musab al Zarqawi
linatajwa ilikuw ni kuhusiana
na jaribio lililoshindwa la
kushanbulia Radisson SAS
Hotel jijini Amman, Jordan
wakati wa maadhimisho
ya milenia mwezi Desemba
1999, Kwa mujibu wa taarifa
za habari, alikuwa kabla
anatumia jina tofauti: Ahmed
Fadil Al-Khalayleh (inaelekea
likiwa ni mojawapo kati ya
AN-NUUR
16
16
16
MAKALA
AN-NUUR
Soma
gazeti la
AN-NUUR kila Ijumaa
kuwafikisha wananchi
katika matarajio yao ya
kimaendeleo.
Akizungumzia
matarajio yake katika
uongozi wake alisema,
kwanza wataanza na kuzifuta
tozo za kero ambazo ni
kero kwa wananchi, kwa
kutakiwa watoe pesa ili
waweze kupata huduma
kutoka ofisi ya Serikali yao
ya Mtaa.
Moja ya ahadi yetu
ambayo wananchi
wanaisubiri kwa hamu
ambayo imekuwa ni kikwazo
kufanikisha mambo yao
mengi ni kufuta tozo za kero
kwa wananchi, kama vile
kupata huduma ya muhuri
wa Serikali ya Mtaa, ili uweze
kupata huduma za kijamii
katika sekta mbalimbali.
Au unataka uchukue
mkopo inahitajika barua ya
utambulisho au kufungua
akaunti benki sasa huduma
hizo zitakuwa bure
hazitochajiwa kiasi chochote
kwani hii ni moja ya kero
kubwa kwa wananchi
hivi sasa. Alisema Bw.
Kambona.
Alisema wapinzani
wamejipanga kuanzia ngazi
ya chini kwa kujua kwamba
ndiko kuna wapiga kura
na ndio msingi wa CCM,
hivyo wamebaini kuwa
wakiwaelimsha wakajua
wajibu wao kuelekea katika
Bw. Kambona.
Alisema, kwa sasa
wa n a n c h i wa m t a a wa
Mkuza wanafata huduma
za afya katika Zahanati ya
Serikali iliyopo kijiji cha
Mwendapole, umbali wa
kilomita zipatazo tatu wakati
shule ya msingi watoto
wanakwenda vijiji vya jirani
umbali wa kilomita nne.
Kwa upande wake
Bw. Kassim Abdallah
Mkwenya, aliyepata ridhaa
ya wananchi kwa nafasi ya
ujumbe, alisema uongozi
uliopita wa CCM haukuwa
unazingatia utawala bora
kwa kuwatumikia wananchi.
Kwanza alisema,
hapakuwa na mikutano
ya wananchi, ya kueleza
mapato na matumizi kwa
wananchi walio waweka
m a d a r a k a n i i s i p o k u wa
ukaribu wao na wananchi
huwa pale wanapohitaji
kura zao na huishia pindi
matokeo yanapotangazwa
na wao kuibuka washindi.
Sisi tutawajibika
kwa wananchi tutaitisha
mikutano na kueleza mapato
na matumizi kwa uwazi
kwa mujibu wa sheria, ili
kujenga imani kwa wananchi
kama tulivyoahidi pia
tutawashirikisha katika
vikao vya maamuzi ya
maendeleo ya mtaa wao.
Alisema Mjumbe huyo.