Professional Documents
Culture Documents
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
17/09/2015
BENKI YA POSTA TANZANIA (TPB) YAKAMILISHA UJENZI WA
KITUO CHA AFYA UNGI MSUKA, KONDE.
Leo, tarehe 17 Septemba 2015, Benki ya Posta Tanzania (TPB)
inakabidhi rasmi mradi wa kituo cha Afya cha Ungi, Ungi Shehia
ya Msuka Mashariki Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini
Pemba, kituo ambacho Benki hiyo imedhamini ukamilishaji wake.
Kituo hicho cha afya kinatarajiwa kusaidia wananchi takriban elfu
tano wanaoishi kijijini hapo, ambao wamekuwa wakitembea
mwendo mrefu kuzifuata huduma hizo kwenye vijiji vya jirani.
Akiongea kwenye makabidhiano ya Kituo hicho Afisa Mtendaji
Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania Sabasaba Moshingi alisema
benki yake inadhamiria kuendelea kuisaidia jamii kuondokana na
changamoto mbalimbali za kijamii, hususan huduma ya afya kwa
mama na mtoto.
Mara baada ya kupata maombi ya kumalizia ujenzi wa kituo hiki
cha Ungi kutoka Jumuiya ya Maendeleo Jimbo la Konde, tulichukua
kushirikiana
bila
wananchi
huduma
wanazozitoa
haziwezi
kuwa