Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 9

HAPA KAZI TU

NCHI YETU
TANZANIA

Wasiliana nasi kwa Na:0222110585 au Tembelea Blog yetu kwa anuani: www.tanzaniangovernment.blogspot.com

Tanzania
Kunufaika
na Mradi
wa Bomba
la Mafuta

RAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI


UNUNUZI NDEGE MPYA

EFDs YAWEZESHA SERIKALI

Serikali kwa kuanzia imetoa


asilimia 40 ambazo ni sawa
shilingi bilioni 39,937,939,200
kwa ajili ya ununuzi wa ndege
mbili za awali .ambazo zimelipwa Kampuni ya Bombadier
Inc ya nchini Canada.
UK.3

Mashine za EFD ni kiungo

KUONGEZA MAPATO

muhimu cha ukusanyaji


mapato ya Serikali kulingana
na huduma zinazotolewa ili
kuiwezesha serikali kuongeza
mapato.

UK.4

Hatimaye Serikali kuhamia


Dodoma

Na Daudi Manongi

ANANCHI wa Tanzania wanatarajiwa


kunufaika na ujenzi
wa bomba la mafuta kutoka
Hoima nchini Uganda hadi
katika bandari ya Tanga
nchini Tanzania linalotarajiwa kukamilika mwezi Juni
mwaka 2020.
Kukamilika kwa bomba hili
kutawawezesha wananchi
kati ya kati ya 1000 hadi
2000 kupata ajira na kuongeza shughuli katika bandari
ya Tanga kutokana na meli
nyingi kutoka nchi mbalimbali ambazo zitakuwa zitumia
bandari hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Petroli nchini(TPDC)
Dk.James Matarajio anasema
kuwa uendeshaji wa bomba
utaongeza uwekezaji nchini
ambapo takribani dola za
kimarekani billion 4 na kuimarisha matumizi ya Bandari
ya Tanga.
Baadhi ya faida zitakazopatikana kutokana na mradi huo
kujengwa Tanzania kuwa ni
kuchochea shughuli za utafutaji mafuta nchini hususani
katika maeneo litakapopita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wakazi wa Dodoma
bomba la mafuta, kuimariwakati wa shughuli ya maadhimisho ya Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa Tanzania
sha matumizi ya Bandari ya
Tanga na kuongeza mapato ya
Serikali.
Na Immaculate Makilika
Faida nyingine zitakazotomiundombinu, usalama na
gi zina Ofisi na viongozi
kana na mradi huo ni Ujenzi
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,
huduma za maji na umeme ili mbalimbali wakiwemo Mawaaandalizi
ya
Serikali
wa barabara mpya takriba
Bw. Jordan Rugimbana
ziweze kukabiliana na ongeze- ziri, Wabunge na baadhi ya
Kuu kuhamia makao
anasema kuwa kikosi kazi
ko la viongozi na watumishi
kilometa 200 na uboreshaji wa
watendaji wa Serikali wanmakuu
ya
nchi
yanaendelea
kilichoundwa kwa ajili ya
wa umma watakaohamia
barabara zilizopo takriban kiayo makazi ya muda mkoani
vizuri
baada
ya
uongozi
wa
kufanya tathimini kimekamDodoma.
humo ambayo hutumia wakati
lometa 150 na madaraja katika Mkoa wa Dodoma kukamiliilisha kazi yake na kuonyesha
wanapohudhuria vipindi
maeneo linapopita bomba.
sha asilimia kubwa ya tarakuwa zaidi ya asilimia 70
Bw. Rugimbana ameongeza
mbalimbali vya Bunge.
Pia kujengwa kwa bomba
tibu zinazohitajika kwa ajili
ya maandalizi imekamilika
kuwa kikosi kazi hicho kihilo kutaongeza fursa za Shiri- ya mapokezi ya baadhi ya
ikiwemo kupata majengo ya
mezingatia huduma hizo kwa
Kwa upande wake. Mkuruka la Reli Tanzania kufanya
viongozi na watumishi waofisi na makazi ya watumishi
sababu watumishi hao wagenzi Mkuu wa Mamkala ya
takaoanza
kuhamia
mkoani
biashara ya kusafirisha kiwanwatakaohamia Dodoma.
tahamia Dodoma na familia
Ustawishaji Makao Makuu(C-

humo.

Inaendelea UK.3

Hatua ambazo zimechukuliwa ni pamoja na kutenga


majengo kwa ajili ya Ofisi za
Wizara ambazo zinatarajia
kuhamia mkoani humo katika Manispaa ya Dodoma.

Kwa mujibu wa Mkuu huyo,


kikosi kazi kiliangalia huduma za kijamii zitakazotumiwa
na watumishi wanaohamia
Dodoma na kuangalia jinsi ya
kuziboresha ikiwa ni pamoja na sekta za afya, elimu,

zao ikiwemo wanafunzi na


hivyo kuwepo na ongezeko la
mahitaji ya miundombinu ya
shule na huduma nyingine.
Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa
anaendelea kusema kuwa
bahati nzuri Wizara nyin-

Neema kwa wasafiri wa reli ya kati yaja


Kujengwa kwa kiwango cha kimataifa
kwa gharama ya shilingi Trilioni 16.

.7

UK

DA) Dodoma, Bw. Pascas


Mulagiri anasema maeneo ya
kujenga Ofisi za Wizara na
Taasisi za umma yatakuwa ni
yale yaliyopimwa na Mamlaka hiyo.

Inaendelea UK.2

Hatimaye Serikali
kuhamia Dodoma
Inatoka Uk.1

Amesema kuwa Mamlaka


hiyo ilianza maandalizi ya
serikali kuhamia Dodoma
tangu miaka ya 70 na hivyo
toka wakati imekuwa ikiendelea na maandalizi ya
kupokea uongozi na watendaji kuhamia Dodoma.
Naye Mbunge wa Dodoma
mjini Mhe. Anthony
Mavunde amempongeza Mhe.
Rais Magufuli kwa kuanza
kutekeleza ahadi ya kuhamia
Dodoma na kuongeza kuwa
wananchi wa Dodoma wako
tayari kuwapokea viongozi
na watendaji wote watakaohamia mkoani humo kwa
moyo mmoja ili kuendeleza
makao makuu ya Serikali.
Serikali inapoifanya
Dodoma kuwa makao makuu
ya nchi ni fursa ya kipekee
kwa wakazi wa mji huu,
tunatakiwa kujiandaa na
kuhakikisha tunaifanya
Dodoma kuwa Makao Makuu
ya Serikali anasema Naibu
waziri Mavunde
Mhe. Mavunde ametoa wito
kwa wawekezaji na wakazi
wa mkoani Dodoma kuanza
uwekezaji kwenye maeneo
mbalimbali ikiwemo kujenga
hoteli na kumbi za mikutano
kwa ajili ya kurahisiha shughuli mbalimbali za Serikali
na za wadau wengine wawapo
Dodoma.
Mkazi mmoja wa mji wa
Dodoma, Bibi Rebeka Daniel anasema kuwa uwepo wa
shughuli nyingi za Serikali
mkoani humo ni jambo la
kufurahisha kwani litawapa
fursa wananchi wa Dodoma
kupata ajira rasmi na zisio
rasmi ambazo zitawasaidia
katika kuongeza kipato chao
cha kila siku.
Ameongeza kuwa hatua hiyo
ya viongozi na watumishi wa
Serikali kuhamia Dodoma
kunasaidia mkoa huo kuwa
na maendeleo kama ilivyo
mikoa mingine hapa nchini.
Naye Mkazi wa Dodoma
mjini, Bw. Edson Kusaga
anasema kuwa Rais Magufuli ameonyesha kuwa ni
Kiongozi wa kuigwa kuwa
anachosema anatimiza ndio
maana baada ya miaka 40 ya
ahadi za kuhamishia shughuli
za Serikali mjini Dodoma ,
hatimaye ameanza kutimiza
kwa vitendo.
Ameongeza kuwa Serikali
kuhamishia makao makuu
Dodoma kutasaidia kuchochea maendeleo kwa mikoa
ya jirani kama Singida,
Iringa, Tabora, Manyara na
Shinyanga ambayo kwa miaka mingi imeonekana kuwa
nyuma kimaendeleo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Mhe. Jenister Mhangama ameleza
kuwa mpango wa kuhamia
Dodoma unaendelea vizuri na
baada ya kupata taarifa ya
kikosikazi Serikali itatoa taarifa ni watumishi na Wizara
ngapi zihamia Dodoma katika
awamu ya kwanza.
Mwishoni mwa mwezi Julai
mwaka huo Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli
akiwahutubia wajumbe wa
Mkutano Mkuu Maalum
wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) alielezea azma ya
Serikali yake ya kutekeza
ahadi ya siku nyingi ya Serikali kuhamia Dodoma.
Rais Magufuli amewahakikishia Watanzania kuwa
Makao Makuu ya Serikali
yatahamia mjini Dodoma
ndani ya kipindi kilichobakia
cha utawala wake.
Katika kuweka msisitizo
zaidi wa jambo hilo, mnamo tarehe 25 Julai, mwaka
huu katika maadhimisho ya
kumbukumbu ya Mashujaa
yaliyofanyika katika viwanja
vya mashujaa vilivyopo mjini
Dodoma, Mheshimiwa Rais
Magufuli alirudia ahadi hiyo
ya kuhamia Dodoma kwa
kuwa miundombinu iliyopo
inaruhusu Serikali kuhamia
mkoani humo.
Nitahakikisha katika awamu
ya uongozi wangu, Serikali
itahamia Dodoma, najua
viongozi wengine wote nao

HAPA KAZI TU

baadhi ya mikoa isiyo


na kanda pia imeomba
kunu.
kupewa fursa ya kufungua
Baadae WAZIRI wa Afya,
maduka ya dawa ya MSD
Maendeleo ya Jamii,
na iko tayari kutoa vyumJinsia, Wazee na Watoto,
ba vya kuweka maduka
Mhe. Ummy Mwalimu
hayo.
alizindua rasmi duka la
watanifuata, kwa kuwa sasa
MSD inalenga kufungua
miundombinu ya Dodoma inDawa la MSD mkoani
aweza kukidhi mahitaji yote, maduka ya dawa karibu
Mwanza ambalo lipo
amesema Rais Magufuli.
au ndani ya hospitali za
ndani ya Hospitali ya
Rais Magufuli anasema kuwa rufaa, mikoa na wilaya
SekouToure, na kufanya
katika kipindi kilichobakia
likiwa na lengo kuu la
maduka ya MSD yaliyocha utawala wake atahakikuhakikisha dhima ya
kisha hilo linafanyika kwa
funguliwa baada ya agizo
kuwa ni miaka zaidi ya 40
kuwezesha upatikanaji wa
la Rais Dkt. John Magusasa bado Serikali haijadawa na vifaa tiba vyenye
fuli kufikia mawili baada
hamishia makao yake mjini
ubora kwa bei nafuu kwa
Dodoma licha ya Baba wa
ya lile la Muhimbili lililoTaifa Mwalimu Julius Kamwatanzania na jamii kwa
funguliwa mwaka jana.
barage Nyerere kutaka hilo
ujumla inatekelezwa kwa
lifanyike.
Katika hotuba yake ya
vitendo, anafafanua Bwauzinduzi wa duka hilo,
Amesema kuwa haiWaziri Ummy ameiwekezakani kwa kipindi hicho nakunu.
Mnamo Novemba 2, 2015
chote Serikali bado inashpongeza MSD kwa hatua
indwa kuhamia Dodoma na
aliyekuwa Katibu Mkuu
hiyo nzuri ya kufungua
kuongeza kuwa ili kumuenzi
wa Wizara ya Afya, Donmaduka ili kuwawezekwa vitendo Baba wa Taifa
ald Mbando alizindua
Mwalimu Nyerere, Serikali
sha wananchi kupata
yake itahamia mjini Dodoma
duka hilo huku likionesha
dawa, na kuitaka MSD
kabla ya kumalizika uongozi
wananchi sura wasiyoijua
wa Awamu ya Tano.
kukamilisha ufunguzi wa
kwani kuna baadhi ya
maduka mengine mawili
Naye Waziri Mkuu wa Jamdawa linazoziuza Sh 1,200
yaliyosalia katika mikoa
huri ya Muungano wa Tanwakati dawa sawa na hizo
zania, Mhe.Kassim Majaliwa
ya Arusha na Mbeya.
wakati akihutubia wanakwenye maduka binafsi
Anaongeza kuwa MSD
nchi mjini Dodoma katika
zinauzwa hadi Sh 18,000.
wanapaswa kutambua
maadhimisho ya kumbukumAkizungumza kuhusu
bu ya Mashujaa,ameonesha
kwamba suala la afya
dhamira ya dhati ya kutimiza Nembo za dawa za Serindio kipaumbele kiahadi hiyo ya kuhamia mjini
kali, Mkurugenzi Mkuu
Dodoma, ambapo anasema
kubwa katika Wizara
kuwa anatarajia kuhamia
wa Bohari anasema, kwa
ya Afya, hivyo lazima
mjini Dodoma ifikapo mwezi
juhudi za upatikanaji wa
Septemba mwaka huu (2016). sasa dawa za MSD kama
dawa za Serikali zindawa zifanyike kwa ngunembo ya GOT
vu zote, kwani tatizo la
Maduka ya dawa awekewa
na wanatumia mfumo
dawa limekuwa ni sugu
yaja kwenye hos- wa Bar-coding kwa ajili
nchini.
ya kupokea, kutunza na
Hivi karibuni WAZIRI
pital za serikali
kusambaza dawa na vifaa
MKUU, Mhe. Kassim
tiba ikiwa inalenga udMajaliwa Majaliwa aliNa Betrice Lyimo
hibiti wa wizi wa dawa za
fungua duka la Bohari
umma.
Kuu ya Dawa (MSD)
kosefu wa dawa za
katika Hospitali ya wilaya
binadamu katika hos- Mpango huu tumeuanzisha tangu mwaka wa
ya Ruangwa mkoani
pitali za serikali nchini
fedha uliopita tumeanLindi ambalo litakuwa
umekuwa ni tatizo sugu.
za kuziwekea alama ya
na uwezo wa kuhudumia
Watanzania walishaanza
hospitali 524 katika
kukata tamaa na huduma GOT bidhaa zetu ikiwa
ni pamoja na vidonge,
mikoa ya Lindi, Mtwara
zitolewazo na hospitali
mkumbuke ilikuwa tunna wilaya ya Tunduru
za hapa nchini. Hali hiyo
aweka kwenye vifungashio mkoani Ruvuma.
imebadilika ghafla baada
vya ndani na maboksi,
Akizindua duka hilo
yaSerikali ya awamu ya
Waziri Mkuu alisema
Tano kuingia madarakani. lakini sasa hata kidonge
duka hilo litaendelea
Katika kipindi cha kamp- Vidonge hivyo tayari
kuboresha huduma za
eni za Uchaguzi Mkuu wa vimeweka nembo ya GOT
hadi sasa vipo aina 45
upatikanaji wa dawa kwa
Rais, wabunge na madina tunaendelea kuwapa
gharama nafuu katika
wani wa 2015 Tanzania,
maelekezo wazabuni ili
hospitali, vituo vya afya
Dkt. John Pombe Maguvyote viwekwe alama hizo
na zahanati katika wilaya
fuli alionyesha kukerwa
kwa sasa unaweza ukaona
ya Ruangwa pamoja na
na suala la wizi wa dawa
mikoa na wilaya za jirani.
katika hospital za Serikali nembo hiyo kwenye dawa
Duka hili litasaidia
na kuahidi kulifanyia kazi za serikali za Diclofenac,
Amoxicillin, Ciprofloxkufikiwa kwa malengo
suala hilo.
acin, Cotrimoxazole,
ya Serikali ya kuboresha
Punde baada ya Rais
huduma za afya kwa waMagufuli kuingia madara- Paracetamol na Magnesium, anafafanua Bwanananchi ikiwa ni pamoja
kani aliagiza Bohari Kuu
ya Madawa nchini (MSD)
kufufua maduka ya dawa
katika hospital za Serikali za kanda na za rufaa
nchini.
Agizo la Rais linatokana
na ukweli kwamba baadhi
ya watumishi wasio
waaminifu wamekuwa
wakiihujumu Serikali kwa
kukwapua dawa na kisha
kuziuza kwenye maduka
yaliyo jirani na Hospitali.
Siku chache baada ya
agizo hilo MSD ilitekeleza kwa kufungua duka la
kwanza katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili
(MNH) huku ikielezwa
ya kuwa dawa hizo zitauzwa kwa bei nafuu na
tofauti na bei za maduka
ya kawaida yaliyo nje ya
Hospitali.
Akizungumza kuhusu
Agizo hilo Mkurugenzi
wa MSD, Laurean Bwanakunu anasema kuwa,
agizo hilo limeendana na
Mpango Mkakati wa MSD
wa kufungua maduka
kwenye mikoa yote yenye
kanda za MSD, ingawa
Duka la Bohari Kuu ya Madawa(MSD)
lililopo Hospitali ya Taifa ya Muhumbili

na upatikanaji wa dawa na
vifaa tiba kwa wakati na
kwa gharama nafuu, hivyo
nawaomba mlitumie duka
hili, alisema Majaliwa.
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa MSD,
Laurean Bwanakunu
anasema kuanzishwa kwa
duka hilo kutaongeza upatikanaji wa dawa na vifaa
tiba kwa gharama nafuu
, hivyo kuondoa usumbufu kwa wagonjwa wa
kwenda kuzitafuta katika
maeneo ya mbali na kwa
bei kubwa.
Nitoe mfano wa tofauti
wa bei za dawa kati ya
maduka yetu na mengine,
dawa ya sindano ya diclofenac tunauza sh. 250
huku mitaani ni sh. 1,000
hadi 1,500 , ampliclox
dozi moja MSD sh. 1,500
mtaani sh. 3,500 na Ciprofloxacin MSD sh. 100
na mtaani sh. 500 hadi
1,000, anasema Bwanakunu.
Mkurugenzi huyo anasema lengo la maduka hayo
si kuuza dawa reja reja,
nia yao ni kuziuzia hospi
tali, vituo vya afya na Zahanati ili wagonjwa wanapokwenda huko kupatiwa
huduma wapate dawa kwa
wakati.
Duka hilo ni la sita kufunguliwa tangu Mhe.
Rais Dkt. John Magufuli
alipotoa agizo kwa MSD
kufungua duka la dawa
ndani ya Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili, ambapo mengine yako katika
mikoa ya Mwanza (Sekou
Toure), Arusha (Mount
Meru), Mbeya (karibu
na hospitali ya mkoa) na
Geita (Hospitali ya Wilaya
ya Chato).
Bohari ya Dawa ndiyo
taasisi pekee inayonunua,
kutunza na kusambaza
dawa na vifaa tiba vya
Serikali. MSD inazo kanda
za Mbeya, Iringa, Moshi,
Dodoma, Mtwara, Tabora,
Mwanza na Dar es Salaam. Pia ina vituo viwili
vya mauzo vya Muleba na
Tanga.

Tanzania
Kunufaika
na Mradi
wa Bomba la
Mafuta

kampuni maalumu ya kuendesha mradi ambayo Tanzania


kupitia TPDC itakuwa na
umiliki wa hadi 10%, utakao
tokana na kutoa ardhi pamoja na Hatua mbalimbali za
kuwezesha mradi zimeanza
ikiwa pamoja na kutoa elimu
kwa mwekezaji juu ya utwaaji waardhi na tathmini ya
athari za mradi kwa mazingira,
pamoja na mafunzo kuhusu mikataba inayotarajiwa
kuingiwa.
Pamoja na hayo hivi karibuni
inatoka uk.1
kikao kilichofanyika Hogo cha mabomba yanayokadi- ima, Uganda kati ya ujumbe
kutoka Tanzania na Uganda
riwa kufikia 123,000 kupitia
kilipelekea mafanikio makubmiundombinu ya reli iliyopo.
wa yaliyofikia Kampuni ya
Aidha , ujenzi huo utasaidia
kutoa fursa za ajira kwa takrib- CNOOC (China) na TULLOW
(UK) kukubal
ani watu 15,000 wakati wa
ujenzi na watu wapatao 1,000 iana kushiriki kwenye ujenzi
wa Bomba utakaoanza januari
wakati wa kuendesha mradi
katika maeneo mbalimbali am- mwakani na kupatikana kwa
Jina la Bomba ambalo ni East
bapo bomba hilo linapita.
African Crude Oil Pipeline
Mkurugenzi wa Mkondo
(EACOP).
wa Chini kutoka Shirika la
Maendeleo ya Petroli TanzaNchi hizi mbili zimefikiana
nia (TPDC), Dkt. Wellington
makubaliano haya baada ya
Hudson aliwaasa Watanzania
kuchangamkia fursa zitakazo- nchi ya Tanzania kuonekana
imekidhi vigezo mbalimbali
jitokeza wakati wa ujenzi wa
ambavyo vitasaidia katika upibomba hilo nchini.
tishwaji wa bomba hilo nchini.
Ametaja fursa hizo kuwa ni
kazi za kuunganisha mabomba
(welding), huduma za afya,
huduma za mabenki, huduma
za usafi na kudhibiti taka, kandarasi za kujenga na za umeme, kuchochea shughuli za utahuduma za Bima, huduma
futaji mafuta nchini hususani
za mawasiliano na mtandao,
katika maeneo litakapopita
kandarasi za ujenzi wa barabara
, huduma za uuzaji mafuta na
bomba la mafuta, kuimarisha
huduma za chakula kwa wafa- matumizi ya Bandari ya Tanga
nyakazi wa mradi huo.
Zaidi ya hayo kutakuwepo kwa na kuongeza mapato ya Serimkuza ambao utatumika kupikali. Mhandisi Matarajio
tisha bomba la gesi kuelekea
mikoa ya Kaskazini mwa Tan- Ununuzi Ndege Mpya
zania na nchi jirani za Uganda,
Kenya, Rwanda, Congo na
kuimarisha usafiri wa
Burundi pia hii ni faida moja
wapo ya bomba hili.
Anga nchini.
Kwa upande wa Waziri wa
Nishati na Madini Profesa Sos- Na Jovina Bujulu
peter Muhongo amesema kuwa
serikali za nchi zote mbili
ivi karibuni Serikali
zimejipanga katika kuhakikisha
imetangaza kununua
kuwa ujenzi huo unakwenda
kwa kasi kubwa, ikiwezekana ndege nne katika kipindi cha
ujenzi ukamilike mwishoni
mwa mwaka 2019.
mwaka huu wa fedha kwa ajili
Serikali ya Uganda inatarajia ya Kampuni ya Ndege Tankujenga kiwanda kwa ajili ya
kusafisha mafuta ghafi Hoima zania (ATCL) ili kuimarisha
ambapo wametoa hisa 40
sekta ya usafiri wa anga hapa
zenye thamani ya Dola za
Marekani bilioni 4.7 kwa nchi nchini zitakazogharimu Dola
zilizomo ndani ya Jumuiya
za Kimarekani milioni 46.
ya Afrika Mashariki ambapo
kila nchi itaweza kununua
Serikali kwa kuanzia imetoa
asilimia nane ya hisa hizo na
asilimia 40 ambazo ni sawa
kusisitiza kuwa Tanzania ipo
tayari kununua hisa nane kwa shilingi bilioni 39,937,939,200
thamani ya Dola za Marekani
milioni 150.4
kwa ajili ya ununuzi wa ndege
Hisa hizo zitanunuliwa na
serikali pamoja na wawekezaji mbili za awali .ambazo zimebinafsi watakaoonesha nia ya
lipwa Kampuni ya Bombadier
kununua hisa ili waweze kunInc ya nchini Canada.
ufaika na mradi huo.
Aidha, Waziri wa Nishati na
Azma hiyo ya Serikali ya
Madini Prof Sospeter Muhongo
kununua ndege mpya inaanasema kuwa asilimia 95 ya
bomba hili ambayo itakuwa
tokana na ahadi za Rais wa
upande wa Tanzania ambayo
Jamhuri ya Muungano wa
iko karibu na reli na barabara
itasaidia sana kuleta vifaa vya Tanzania Mhe. Dkt. John
ujenzi kwa na kufanya ujenzi
uwe wa rahisi zaidi.
Pombe Magufuli kutaka kufuKatibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini, Profesa Jus- fua Shirika la Ndege Tanzania
tin Ntalikwa, anasema serikali
imejipanga kikamilifu kutekeleza mradi huo na tayari imekutana na wafanyabiashara na
kuwapa elimu ya fursa zilizopo
katika mradi huo na jinsi wanavyoweza kunufaika nazo.
Profesa Ntalikwa anasema
mradi huo unatarajia kuanza
mwakani na utamalizika baada
ya miezi 36, ukigharimu Dola
za Marekani bilioni nne.
Aidha Bomba hilo la kutoka
Tanga hadi Uganda litakuwa
na urefu wa kilometa 1,443
na kipenyo cha inchi 24 na
litasafirisha mafuta ghafi kutoka
ziwa Albert nchini Uganda hadi
Bandari ya Tanga.
Aidha mfumo wa mradi wa
bomba hili ni mfumo mmoja
single intergrated project,pia
litafunikwa chini ya Ardhi na
litakuwa na vituo vinne vya
mafuta,vituo kumi vya kupasha
joto,kambi za kuwekea mabomba na kuhifadhi pamoja na
kambi za wafanyakazi.
Mradi huu utaendeshwa na

na kulipatia mtaji ili lianze


upya kutoa huduma hiyo kwa
Watanzania.
Ujio wa ndege hizo utaimarisha huduma za usafiri wa
anga na kuongeza ushindani
katika utoaji wa huduma za
anga hapa nchini kati yake
na kampuni binafsi za ndege
zinazotoa huduma hiyo kwa
sasa.
Mara baada ya ndege hizo
kuwasili hapa nchini zitaanza
kutoa huduma ya usafiri wa
anga hapa nchini kabla ya
kupanua wigo wake wa utoaji
wa huduma katika ngazi ya
ukanda wa Afrika Mashariki na baadaye katika anga.
nyingine za Kimataifa.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano, Mhe. Profesa Makame Mbarawa (MB)
aliwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Mapato
na Matumizi ya Fedha hivi
karibuni alisema kuwa Shirika
la ATCL lina ndege moja aina
ya Dash 8-Q300 na ndege ya
kukodi aina ya CRJ 200.
Kwa sasa ATCL ina ndege
moja na ndege nyingine ni ya
kukodi ambazo zinawezeshwa na Serikali kutoa huduma
za usafiri wa anga kati ya Dar
es salaam, Mwanza, Mtwara,
Kigoma na Moroni Comoro
alisema Profesa Mbarawa.
Aidha, Prof. Mbarawa
aliongeza kuwa Wizara yake
kwa kushirikiana na kampuni
ya ATCL na wadau wengine
imekwishaainisha ndege mbili
zinazofaa kununuliwa ambazo
zitakuwa na uwezo wa kubeba
abiria 78 na baadaye ndege
nyingine mbili kubwa zitakazokuwa na uwezo wa kubeba
abiria 155 ambazo zitanunuliwa kwa kipindi cha mwaka
huo fedha.
Mchakato wa ununuzi wa
ndege hizo mbili ambazo
zitanunuliwa katika awamu ya
kwanza ulihusisha wawakilishi wa viwanda vya ndege vya
Boeing ya Marekani, Airbus
ya Ufaransa, Embraer ya Brazil na Bombadier ya Canada.
Naibu Waziri wa Ujenzi,

HAPA KAZI TU
Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Edwin Ngonyani
alisema kuwa ndege hizo ambazo zinatarajiwa kununuliwa
zitatumia anga la Tanzania
ambapo hivi sasa anga hilo
linatumiwa na ndege zinazotoka nje ya Afrika, hivyo
upatikanaji wa ndege hizo
utasaidia kutoa fursa kutua
kwenye anga za nchi jirani.
Muda si mrefu tutapata
ndege mbili mpya, mwakani
tutaongeza nyingine mbili,
Serikali imejipanga kufufua
Shirika la Ndege na kubadilisha mfumo wa uendeshaji ili
liweze kujiendesha lenyewe
alisema Mhandisi Ngonyani.
Kwa mujibu wa Msemaji wa
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano, (Mawasiliano) William Budoya ,
amesema kuwa msukumo
wa kununua ndege hizo ni
jambo la muda mrefu kuanzia
Serikali ya Awamu wa Nne
2005-2015,na katika kuendeleza utekelezaji wa juhudi hizo
Serikali ya Awamu ya Tano
imetoa msisitizo na kulipa
kipaumbele suala hilo.
Aidha, Afisa Mawasiliano
huyo amesema kuwa ndege
zitakazonunuliwa ni aina ya
Bombadier kutoka kampuni
ya Bombadier Inc ya nchini
Canada.
Serikali ilichagua kampuni
ya Bombadier Inc kwa sababu iliainisha mchanganuo
wa biashara ambao ulishauri
kuanza na ndege ndogo, kwa
kuangalia soko la ndani baadaye ndege zinaweza kuongezwa kwa kuangalia soko la
kimataifa.
Aliongeza kwa ndege hizo zinatarajia kufika nchini ifikapo
mwezi Septemba mwaka huu,
na kwa kuanzia zitaanza kutoa
huduma kwa safari za ndani
ya nchi.
Aidha alisema kuwa Serikali
imemteua mshauri mwelekezi
ambaye ataweka manejimenti
imara katika uendeshaji ikiwa
ni pamoja na kuajiri wafanyakazi walio na weledi na
wenye utayari wa kufanya kazi

kwufanisi.
akiongea kuhusu sababu
za kuchagua aina hiyo
ya ndege Katibu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano Ndg.
Leordard Chamuriho alisema kuwa serikali ilichagua
ndege hizo kwasabu za kiuchumi,kiufanisi na uwezo
wa kumudu mazingira ya
Tanzania.
Shirika la ndege la Tanzania (ATC) lilianzishwa
mwezi Machi, 1977 chini
ya sheria ya Mashirika ya
Umma ya mwaka 1969 na
baada ya kuvunjwa kwa
lililokuwa Shirika la ndege
la Afrika Mashariki.
Katika kutekeleza sera ya
ubinafsishaji na ushirikishwaji wa sekta binafsi katika
uendeshaji wa Mashirika
ya Umma ya mwaka 2002,
Shirika la ndege la Tanzania (ATC) liliundwa upya
huku Serikali ikimiliki
asilimia 49 ya hisa zake
kwa Shirika la ndege la Afrika Kusini hatua ambayo
ilipelekea kuundwa upya
kwa kampuni ya ndege
Tanzania (ATCL).
Pamoja na kuwepo kwa
kampuni ya ndege ya
ATCL, kwa sasa kuna kampuni binafsi zinazojihusisha na huduma za usafiri
wa anga nchini na nje ya
nchi.Kampuni hizo ni Precision Air, Fastjet, Auric na
Coastal Air.
Akizungumzia mpango wa
Serikali wa kukabiliana na
changamoto ambazo zimekuwa zikiikabili kampuni
ya ATCL , Budoya alisema
kuwa mshauri mwelekezi
aliyeteuliwa na Serikali atatayarisha mpango
madhubuti wa kibiashara
utakaoifanya kampuni ya
ATCL kujiendesha kwa
faida na kuweza kuteka
soko la ndani na nje ya
nchi.

HAPA KAZI TU

HAPA KAZI TU

Matumizi ya EFDs yaongeza ukusanyaji wa mapato nchini

ers and Telecommunication


Ltd.
Kila mara imesisitiza kuwa,
Wafanyabiashara wote wanatakiwa kutumia Mashine
erikali yeyote dunza EFD kutunza kumbuiani ili ijiendeshe
kumbu za biashara na kutoa
kwa ufanisi katika
risiti, watumie mashine
kuwahudumia wananchi
hizo ipasavyo kwa hiari
wake inawajibu wa kukubila kushurutishwa.
sanya kodi kutoka vyanzo
Akiongea na Wakurugenzi
mbalimbali vya mapato.
wa Halmashauri, Majiji,
Njia mojawapo ya kukumiji na wilaya Julai 12
sanya mapato ni kutumia
mwaka huu Ikulu jijini
mfumo wa stakabadhi
Dar es salaam wakati wa
ambazo kila yanapofanyika
kula kiapo cha uadilifu wa
mauzo au kutoa huduma kiUtumishi wa Umma, Rais
asi fulani cha pesa huingia
Dkt. Magufuli alisema ni
katika mfuko wa Serikali ili
muda mwafaka kwa Viiweze kujiendesha na kuongozi hao kuondoka na
wahudumia wananchi wake
mashine za EFD na kuzwaweze kupata mahitaji
ipeleka katika maeneo yao
yao ya msingi ya kila siku.
ya kazi ili zisaidie kukusanKwa kuwa dunia imebaKamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Alphayo Kidata
ya mapato.
dilika na huduma nyingi
Ili kufikia malengo ya Seriakimkabidhi Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee
zimeanza kutolewa kwa
kali katika kukusanya kodi,
kutumia mifumo ya kisasa,
na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya Mashine Tano za EFDs
Rais aliwataka WakurugenTanzania nayo imebadilisha
zi hao wakasimamie kikamfumo wake wa kukusanya muwape bure halafu ninyi
inapata
mapato
yake
na
(CAG) kwa mwaka uliokodi ambapo sasa mashkwamba itaokoa mapato ya milifu mapato ya Serikali
mkusanye revenue? alihoji ishia Juni 2015, ambayo
ine za kielektroniki (EFD)
Serikali ambayo yanapotea. katika maeneo yao.
Rais Magufuli.
imekabidhiwa wakati wa
Kwa upande wa mapato,
zinatumika zaidi badala ya
mashine hizi
Zaidi ya hapo alionesha
Bunge la bajeti mwaka huu, Tunatarajia
Serikali ya Awamu ya Tano
stakabadhi za kuandikwa
zitatumika
mahsusi
kutolea
kuwa upo uwezekano wa
CAG ameshauri Serikali
imeanza kwa kupunguza
kwa mkono ambazo hazrisiti
na
hivyo
watumishi
Serikali kuwapunguzia
iendelee kutoa elimu juu
matumizi yake na kuongeikuwa njia bora zaidi ya
wote wa Serikali ambao
wafanyabiashsra bughudha ya utekelezaji wa hiari
za ukusanyaji wa mapato
kuongeza mapato na kutun- ya kununua mashine hizo
wanafanya
marejesho
kuzingatia Kanuni za She- ya matumizi mbalimbali
ambapo TRA imepangiwa
za kumbukumbu sahihi za
badala yake Serikali ikawa- ria ya Kodi ya Mapato
kufikia kiwango cha trilioni
mauzo yaliyofanyika hatua jibika kuzinunua mashine
wanatakiwa
kuambatanisha
za mwaka 2012 ambapo
12.363 katika makusanyo
ambayo ilifanya Serikali
risiti
za
mashine
za
EFDs,
hizo na kuwapa wafanyamesisitiza matumizi ya
kwa mwaka 2015/2016.
kupoteza mapato mengi.
amesema
Kidata
abiashara huku mamlaka
hiari ya mashine za EFD
Mwenendo wa makusanNi dhahiri mashine hizo
Kidata
ameongeza
kuwa
hiyo ikawa na wajibu wa
ambazo zinachangia kwa
yo hayo ya TRA unaleta
hutoa risiti sahihi ambazo
Sambamba
na
hili,
TRA
kukusanya kodi bila kukikubwa kuongeza
matumaini mema kwa taifa
wafanyabiashara wanapas- wasumbua wafanyabiasha- kiasi
bado
inaendelea
kudhibiti
mapato ya Serikali, kila
kwa kuwa kumekuwepo na
wa kuzitoa kwa wateja wao ra.
wafanyabiashara
wanaokmanunuzi ya Serikali
ongezeko la mapato kila
kwa kuwapa stakabadhi ha- Rais aliendelea kusema
wepa
kutumia
mashine
za
yanapofanyika yaambatane kielektroniki kwa kuwaka- mwezi kulingana na malenlali mara baada ya kuwapa
Hivi hizo mashine zinna Stakabadhi halali.
go yaliyowekwa.
huduma.
mata na kuwatoza faini au
auzwa bei gani? Ukipiga
Aidha, amependekeza
Mwezi Desemba 2015 TRA
Baba wa Taifa aliwahi
hesabu ya wafanyabiashara Serikali isiendelee kufanya kuwafikisha mahakamani
imevuka lengo kwa kukukusema kuwa serikali isiykwa
hatua
zaidi
za
kisheria
wote gharama za mashine
biashara na Wazabuni amsanya kiasi cha Sh. trilioni
okusanya kodi ni corrupt.
hizo hazifiki hata sh. bilioni bao hawatumii mashine za ili kuhakikisha inafikia na
Hii Mwalimu aliisema
12, wape halafu utaangalia EFD na kutoa Stakabadhi kuvuka lengo la kukusanya 1,403,189.8 wakati lengo
kuonyesha umuhimu wa
Sh. trilioni 15.5 kwa mwa- lilikuwa ni kukusanya kiasi
revenue utakayokusanya
za kielektroniki.
cha sh. trilioni 1,346,690.4,
kukusanya kodi kwa ajili ya kwao alisisitiza Rais.
ka huuwa fedha, ameseKatika ripoti hiyo CAG
mwezi Januari 2016 zimemaendeleo ya Taifa. Ndiyo Katika kuunga mkono
ma.
ameonesha udhaifu uliokusanywa kiasi cha trilioni
maana Rais wa Jamhuri ya juhudi za Rais katika
Aidha,
katika
kuitikia
wito
onekana katika matumizi
1,079,993.2 wakati lengo
Muungano wa Tanzania
wa Rais Dkt. Magufuli wa
kukusanya mapato, Mfany- Malipo yasiyoambatana
lilikuwa ni kukusanya triliDkt. John Magufuli amekugawa bure mashine za
abiashara wa jiji la Arusha, na risiti za Kielektroniki
oni 1,059,863.9.
kuwa akiwasisitiza WatanEFD
kwa
wafanyabiashaDkt. Philemon Mollel
(EFD) shilingi 976,282,947 ra, TRA imeanza kugawa
Hali hiyo ya kuongezezania kila mara umuhimu
(Monaban) amesema kuwa katika mwaka wa fedha
ka kwa makusanyo ya
wa kukusanya kodi kwa
mashine hizo bila malipo
wafanyabishara wa Arusha 2014/2015 na amebaini
kusema, Ukinunua bidhaa, wanaunga mkono juhudi za wakala tano (5) wamekwa awamu ya kwanza kwa mapato imeendelea kila
omba risiti, ukiuza bidhaa,
wafanyabiashara wa kati na mwezi kadiri siku zinavyo
Rais Magufuli kwa kuwa
lipa kiasi cha Shilingi
kwenda, Mwezi Februari
toa risiti.
anachokisema kila mtu ana- 976,282,947 kwa Wazabuni wadogo mkoa wa Dar es
zimekusanywa kiasi cha
Hatua hiyo ya kuomba na
Salaam.
jua kuwa Rais anamaanisha bila kudai risiti za Kielekkutoa risiti ina mchango
Mkurugenzi wa Elimu kwa trilioni 1,040,620.8 wakati
kwa moyo wa dhati kuijen- troniki (EFD).
mkubwa kwa Serikali
Kodi wa TRA, Rich- lengo lilikuwa ni kukuga Tanzania.
Hatua hiyo ya manunuzi ni Mlipa
sanya kiasi cha sh. trilioni
kwa kuwa kila huduma au
ard Kayombo amesema
Dkt. Mollel anasema kuwa kinyume na kanuni 24 ya
1,028,379.4, mwezi Machi
bidhaa zinazotolewa kuna
zoezi
la
kugawa
mashine
kutolewa kwa mashine za
EFD ya mwaka 2012, kuto2016 zimekusanywa kiasi
asilimia fulani inayoingia
EFD bure kutasaidia wafa- kutumia risiti za kielektron- za EFD awamu ya kwancha trilioni 1,316,072.4
katika mfuko wa Serikali
za ambalo litawahuisisha
nyabishara kutunza kumbu- iki kunaashiria ukwepaji
ambayo ni sawa na asilimia
ambao utasaidia katika
wafanyabiashara
wa
kati
kumbu sahihi za biashara
wa kodi, hivyo kuisaba101.0 wakati lengo lilikukutoa huduma mbalimbali
na
wadogo
limeanza
kwa
zao huku Serikali ikipata
bishia Serikali upotevu wa
wa ni kukusanya trilioni
za kijamii.
kugawa
mashine
za
EFD
kodi sahihi na kusisitiza
mapato.
1,302,482.3
Huduma ambazo zinakwa
wafanyabiashara
wa
elimu iendelee kutolewa
Ndiyo maana Mamlaka ya
Kwa mujibu wa Kamishna
tolewa na Serikali zinazomkoa
wa
Dar
es
Salaam
juu ya mashine hizo kwa
Mapato Tanzania (TRA)
Mkuu wa TRA, Alphahusisha sekta mbalimbali
wapatao
5,703
ambao
ni
kuwa wanajua kodi wanaimeanza kutoa pia mashyo Kidata alisema kuwa
zikiwemo afya, elimu, maji, zolipa zinatumika kama
wenye
mauzo
ghafi
kati
ine za EFD katika Wizara
kuanzia mwezi Julai 2015
umeme, usafirishaji, ujenzi ilivyokusudiwa.
ya
Shilingi
milioni
14
na
mbalimbali ambapo hadi
hadi Mei 2016 mamlaka
na uendeshaji wa Serikali
milioni
20
kwa
mwaka.
Mollel aliongeza kuwa
sasa Makatibu Wakuu 25
kwa ujumla kutokana na
wafanyabiashara katika jiji wa Wizara wamekabidhiwa Wafanyabiashara wa kundi hiyo imekusanya takriban
Sh 11.956 trilioni ambazo
asilimia hiyo ya mapato
hilo wanaendelea kufika
la Arusha wapo mstari wa
tayari mashine za kielekzimeingia katika mfuko
iliyopatikana.
katika
ofisi
za
Mamlaka
ya
mbele kuhakikisha jiji lao
troniki (EFDs) zipatazo
mkuu wa Serikali.
Akizungumza na wafaMapato
za
mikoa
wanayolinandelea kushiriki katika
130 kwa ajili ya taasisi na
Mafanikio hayo ya makunyabiashara kutoka Sekta
lipia kodi ya Ilala, Kinonujenzi wa taifa kwa kufuata mamlaka zenye wajibu
sanyo yanatokana na mikaBinafsi nchini (TPSF)
doni
na
Temeke
ili
kuhakiki
kaulimbiu ya Serikali ya
wa kukusanya mapato ya
kati mizuri ya TRA katika
pamoja na Baraza la Biusajili
wao
wa
namba
ya
Awamu ya Tano ya Hapa
Serikali.
kukusanya kodi tangu
ashara (TNBC) Ikulu jijini
utambulisho
wa
mlipakodi
Kazi Tu.
Mashine hizo zilikabidhiwa (TIN) na kupata kibali cha
Serikali ya Awamu ya Tano
Dar-es-Salaam Desemba
Mashine za EFD ni njia
kwa Makatibu Wakuu na
iingie madarakani Novem04, 2015, Rais Dkt. Magukupewa
mashine
ya
EFD.
na kiungo muhimu cha
Kamishna Mkuu wa TRA
ba 2015.
fuli alisema kuwa mashine
Mkurugenzi
Kayombo
kukusanya mapato sahihi
Alphayo Kidata hivi kariMikakati hiyo ni pamoja na
za kielekroniki ni muhimu
amesema
wafanyabiashara
ya Serikali kulingana na
buni jijini Dar es Salaam.
zigawiwe bure kwa wahuduma zinazotolewa, licha Lengo la kutolewa mashine wa mkoa wa Dar es Salaam kuendelea kudhibiti mianya
ya ukwepaji kodi, kufichua
fanyabishara ili waweze
na wale wa
ya kuwepo changamoto ya
hizo ni kuhakikisha mamla- watakaobaki
kodi na kupamkufanyakazi yao na Serikali matumizi ambayo yanaenda ka
mikoa
mingine
nchini
wainafikia na kuvuka lengo naostahili kupewa mashine wakwepa
bana
na
rushwa,
kupanua
ipate mapato stahiki.
kinyume na taratibu za
la kukusanya kodi Sh. 15.5 za EFD bila malipo watawigo
wa
kodi
kwa
kusajili
Katika mkutano huo na
Serikali katika kukusanya
trilioni kwa mwaka wa
wafanyabiashara
ambao
wafanyabishara hao Rais
pewa
mashine
hizo
katika
mapato hatua ambayo infedha wa 2016/2017.
hawajasajiliwa wakiwemo
aliguswa na namna mashya pili.
ahatarisha Serikali kukosa
Katika jitihada za kuhaki- awamu
washereheshaji na wanataine za EFD zinavyopatikaBaada
ya
kupata
kibali
mapato hali.
kisha taasisi za Serikali zina na kumpelekea kuwaam- Wanaotakiwa kutumia
Mfanyabiashara
atakwenda
natumia mashine za kielek- kuchukua Mashine ya EFD aluma.
Mikakati mingine ni Maafbia wafanyabiashara kuwa
risiti za EFD sio wafanyatroniki kutoa risiti, TRA
isa wa TRA kutekeleza
aliwahi kuongea na Kakutoka
kwa
mmojawapo
biashara tu bali hata Seriinatoa mashine hizi kwa
majukumu yao kwa weledi
mishna wa TRA na kutaka
wa
wasambazaji
wa
EFD
kali kupitia Wizara, Idara
ajili ya taasisi na mamlaka
na uadilifu wa hali ya juu,
kujua uhalali wa mashine
walioidhinishwa
na
Mamna Taasisi zake inapaswa
zenye wajibu wa kukusankusimamia kwa karibu
hizo.
laka
ya
Mapato
Tanzania
kutumia mashine hizo ili
ya mapato ya Serikali,
zaidi matumizi ya EFDs na
Kuna wakati nilikuwa
ambao
ni
wafuatao
Perkuondokana na hulka ya
amesema Kidata.
utoaji wa risiti, kufuatilia
nazungumza na Kamishigamon
Group
Ltd,
Bolsto
kutumia risiti zilizoandikWakati akiwakabidhi
na kudai malimbikizo ya
na wa TRA, nikamuuliza,
Solutions Ltd, Advatech
wa kwa mkono au kufanya Makatibu Wakuu hao
kodi kutoka kwa wadaiwa
kwani ni lazima muwauzie manunuzi ambayo yana
Office
Supplies
Ltd,
Commashine hizo Kamishna
sugu pamoja na kuendelea
hawa wafanyabiashara hizi risiti.
pulynx
Tanzania
Ltd,
Web
alieleza kuwa kila Katibu
na ukaguzi wa kodi kwa
mashine? Kama mnajua
Technologies
Ltd,
Softnet
Kwa mujibu wa ripoti ya
Mkuu atagawiwa mashine
mashine hizo ni halali, si
Technologies Ltd, Maxcom wafanyabiashara.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu tano za EFDs zitakazowa Hesabu za Serikali
saidia kuhakikisha Serikali Africa Ltd, Power ComputNa Eleuteri Mangi na
Hassan Silayo

Sheria mpya ya manunuzi kudhibiti mianya ya rushwa


Na Eleuteri Mangi

unge la Jamhuri ya
Muungano Tanzania
lilipitisha Muswada wa
Marekebisho ya Sheria
ya Manunuzi ya Umma
wa Mwaka 2016, ambayo
yanalenga kuziba mianya
ya rushwa, kuongeza uwazi
katika matumizi ya fedha
za umma, kuongeza kasi na
uwajibikaji.
Muswada huo umelenga
kuwa na Sheria ambayo
itahakikisha fedha za umma
zinatumika kwa usahihi
kulingana na thamani ya
bidhaa kwenye soko badala
ya kuwa kichaka na fedha
hizo kutumika kinyume na
malengo yaliyokusudiwa.
Hatua hiyo ya Bunge hilo
inafutia dhamira ya Rais
wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt.
John Pombe Magufuli
wakati akizindua Bunge la
11 la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania mjini Dodoma
mwezi Novemba mwaka
jana ambapo alionyesha
baadhi ya kasoro alizoziona
katika Sheria ya Manunuzi
ya mwaka 2011.
Moja ya maeneo aliyoyaona Rais Magufuli ni kuwepo na usimamizi hafifu
katika manunuzi ya umma
ambao uliruhusu mianya
ya rushwa kwa huduma
mbalimbali zilizotolewa
kwa Serikali kwa kuwa
zilikuwa hazilingani na
thamani halisi za fedha za
umma.
Kulingana na hali ya mau-

nuzi ya umma yalivyokuwa


hapo awali, Rais Magufuli
aliwataka Wabunge kuunga mkono Serikali yake
itakapopeleka Muswada
wa Marekebisho ya Sheria
ya Manunuzi ya Umma ili
sheria hiyo iweze kuongeza
ufanisi na kupata thamani
halisi ya fedha, inayotumika kwa kununua bidhaa na
kupata huduma.
Nia ya Serikali ya Mhe.
Rais Dkt. Magufuli ni
kuhakikisha kila senti inayoongezeka katika mapato
ya Serikali inaelekezwa
katika kutoa huduma bora
zaidi kwa wananchi kwa
kuziba mianya ya upotevu
wa fedha za Serikali ambayo inaipunguzia Serikali
uwezo wake wa kuwahudumia wananchi.
Hatua ya kupelekwa Bungeni marekebisho ya sheria
ya manunuzi namba saba
ya mwaka 2011, lengo lake
ni kuhakikisha fedha za
umma zinatumika kwa usahihi kulingana na thamani
ya bidhaa kwenye soko
badala ya kuwa kichaka
na fedha hizo kutumika
kinyume na malengo yaliyokusudiwa.
Akiwasilisha muswada wa
marekebisho ya Sheria ya
Manunuzi ya Umma ya
Mwaka 2016 Bungeni mjini Dodoma June 28, mwaka
huu, Waziri wa Fedha na
Mipango, Mhe. Dkt. Phillip
Mpango amesema kuwa
pamoja na mambo mengine
muswada huo umezingatia

manunuzi ya bidhaa bora


na kutoa fursa kwa kampuni za ndani kunufaika
katika mchakato wa zabuni
katika taasisi za Serikali.
Uwasilishwaji wa Muswada wa kurekebisha Sheria
ya Manunuzi ya Umma ya
2016 una mapendekezo
yanayotaka kuondolewa kwa sharti la kuwepo
mikataba baina ya Wakala
wa Huduma ya Manunuzi
Serikalini (GPSA) na
zabuni iliyofunganishwa
bei ili kuondoa utaratibu
wa kupanga bei elekezi na
badala yake taasisi zinazohitaji kununua bidhaa
ziweze kufanya utaratibu
ununuzi kwa kuzingatia bei
ya soko kwa wakati husika.
Dkt. Mpango amesema
marekebisho mengine ni
pamoja na upendeleo kwa
makundi maalum ambayo
yatanufaika katika mchakato wa zabuni za manunuzi
ya umma kwa kupewa
kipaumbele katika zabuni
za taasisi za Serikali.
Marekebisho yaliyomo kwenye muswada
huo yanalenga kukuza
uwekezaji wa ndani ya
nchi na kutoa masharti kwa
kampuni au mshauri wa nje
wanaopewa zabuni kuwa
na mchango katika kutoa
ajira nchini ambalo ni suala
jema katika kukuza kampuni za ndani kwa manufaa
ya kujenga uchumi wa
nchi.
Ili Mzabuni wa nje ya nchi
apewe zabuni katika shu-

ghuli zinazogharimiwa na
fedha za umma, anapaswa
kuhakikisha asilimia 60 ya
wafanyakazi wa kampuni
yake ni Watanzania alisema Dkt. Mpango.
Aidha, marekebisho ya
Sheria hiyo yanaitaka Serikali kusimamia na kuhakikisha watumishi wa umma
ambao hawastahili kupewa
magari, watumie magari
yao binafsi, na wale ambao
wanastahili wakopeshwe
magari na Serikali na kupewa posho kidogo kwa ajili
ya mafuta na matengenezo.
Hatua hiyo itasaidia kuipunguzia gharama Serikali katika uendeshaji wa
shughuli zake za kila siku
na kujikita katika kutoa
huduma kwa wananchi
katika sekta mbalimbali.
Kwa upande wa Kamati ya
Bunge ya Bajeti, akiwasilisha maoni ya kamati hiyo,
Mwenyekiti wa Kamati,
Hawa Ghasia amesema
kuwa wajumbe wa kamati
yake wamekubaliana na
Marekebisho ya Muswada
wa Sheria ya Ununuzi wa
Umma wa mwaka 2016.
Kamati imekubaliana na
Serikali kufanya manunuzi
kwa kuzingatia thamani ya
fedha kwa bidhaa, ikiwamo manunuzi ya magari
ambapo muswada huu
unaonesha kuwa inawezekana kupunguza gharama
za Serikali kwa kufuata
thamani ya fedha alisema
Mwenyekiti huyo.
Aidha, Kamati hiyo imeis-

hauri Serikali kuanzisha


mfuko wa uwezeshaji wa
makandarasi ili waweze
kumudu utoaji wa huduma
mbalimbali, zinazohuisha
gharama kubwa, mfano
ukandarasi wa barabara.
Mfuko huo utakuwa ukitoa
dhamana kwa wakandarasi,
Pia kamati hiyo imesisitiza
sheria hiyo ianze kutumika mapema ili kusimamia
matumizi ya Serikali katika
manunuzi.
Kwa upande wao baadhi ya
wabunge wameridhishwa
na hatua ya serikali kuleta
muswada huo na kusema
kuwa utasaidia kuondoa
urasimu na kuokoa ufujaji
wa fedha za Serikali.
Naye Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje
ameifananisha sheria ya
manunuzi na mchwa wanaotafuna kila mali za umma,
kitu ambacho hakitakiwi
kufumbiwa macho ili kuokoa fedha za umma ziweze
kuwahudumia wananchi.
Mimi nimekuwa mjumbe wa bodi ya mashirika
mbalimbali, lakini utakuta
vitu vinavyonunuliwa na
watu moja kwa moja, bei
inakuwa chini lakini kwa
kupitia Sheria ya Manunuzi
bei inakuwa mara mbili
yake, huu ni wizi, alisema
Lubeleje.
Sheria hiyo imekuwa
ikilalamikiwa na wadau
mbalimbali kwa kutoa
mianya kwa wazabuni
kupandisha bei za bidhaa
wanapopewa mikataba.

HAPA KAZI TU

Serikali yaanza kuondoa kero za foleni Dar es salaam.

Mchoro unaoonesha Barabara ya Juu (FlyOver) iliyopo katika eneo la


Tazara
Na Benjamin Sawe

erikali ya Awamu
ya Tano tangu iingie madarakani
mwishoni mwa mwaka
jana imechukua jitihada
mbalimabli za ujenzi na
uboreshaji wa barabara
mbalimbali katika Jiji la
Dar es Salaam ili kupunguza kero za foleni katika
Jiji hilo.
Jitihada hizo zimelenga
upanuzi , ukarabati , ujenzi
wa barabara za juu kwa juu
katika baadhi ya makutano ya Jiji la Dar es Salaam
kwa lengo la kuhakikisha
wananchi , wafanyakazi na
wasafirishaji wa ndani na
nje ya Tanzania wanafika
kwa wakati maeneo yao ya
kazi.
Katika kuonyesha kuwa
Serikali hii imekusudia
kuondoa kero hiyo katika
Jiji la Dar es Salaam, mapema mwaka huu ,Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John
Pombe Magufuli aliweka
jiwe la msingi la Mradi wa
Ujenzi wa barabara ya juu
(Flyover) katika makutano ya barabara ya Nyerere na Mandela, eneo la
TAZARA.
Akihutubia katika tukio

hilo ambalo linaendelea


muda huu, Mhe.Dkt
Magufuli anaeleza kuwa,
ujenzi wa barabara ya
juu (flyover) itagharimu
kiasi cha fedha Bilioni
100, za kitanzania mpaka kukamilika kwake.
Maradi huo unaotarajiwa kukamilika mwezi
Oktoba mwaka 2018
unatarajiwa kugharimu
takribani shilingi bilioni 100 ambapo kati
ya fedha hizo shilingi
bilioni 93.44 zitatolewa
na Japan kupitia Shirika
lake la Ushirikiano wa
Kimataifa (JICA), na
Serikali ya Tanzania itatoa shilingi Bilioni 8.3.
Mhe.Rais Magufuli
amebainisha kuwa mradi huo utasaidia kuondoa kero mbalimbali za
msongamano, ikiwemo
wananchi, wafanyakazi na wasafirishaji
wa mizigo na abiria
kuchelewa kufika katika
maeneo waliyokusudia
kwa wakati.
Amesema kuwa barabara hiyo inajengwa ikiwa
ni utekelezaji wa ahadi
ya serikali yake ya kupunguza tatizo la msongamano wa magari Jijini
Dar es salaam, ambao
kwa mwaka 2013 pekee

utafiti umeonesha ulisababisha upotevu wa shilingi


Bilioni 411.55
Barabara hiyo itakuwa na
njia nne na urefu wa mita
300 kutokea maeneo ya
katikati ya Jiji la Dar es
salaam kuelekea uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, na inatarajiwa
kupunguza kero ya msongamano wa magari yaendayo na yatokayo Uwanja
wa ndege na Bandari ya
Dar es salaam.
Rais Magufuli anabainisha
juhudi nyingine za kukabiliana na msongamano wa
magari Jijini Dar es salaam
kuwa ni pamoja na kujenga barabara ya njia sita
kutoka Dar es salaam hadi
Chalinze ambayo itakuwa
na barabara za juu kwa juu
(Flyover) tano na ujenzi wa
barabara nyingine za juu
katika makutano ya barabara za Nelson Mandela,
Morogoro na Sam Nojuma
eneo la Ubungo.
Jitihada nyingine za Serikali hii ni pamoja na
ujenzi wa daraja jipya la
Salander lenye urefu wa
kilometa 6.23 kuanzia Coco
Beach hadi hospitali ya
Agha Khan na kuendelea
na ujenzi wa awamu ya
pili wa miundombinu ya
mabasi yaendayo haraka

katika barabara za Kilwa,


Changombe na Kawawa, na
ujenzi wa awamu ya tatu wa
miundombinu ya mabasi
yaendayo haraka katika
barabara za Nyerere - Gongo la Mboto na Uhuru hadi
Azikiwe
Naye, Mtendaji Mkuu wa
Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Injinia.
Patrick Mfugale amesema
kuwa Mkandarasi Sumitomo Mitsui Construction
Co. Ltd anatarajia kutumia
muda wa miezi 35 kukamilisha ujenzi wa mradi huo
wa TAZARA.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Japan,
Toshio Nagase anasema
ujenzi wa barabara hiyo ya
juu kwa juu katika eneo la
TAZARA ni muendelezo na
alama ya uhusiano mwema
kati ya Tanzania na Japaan.
Amesema kuwa mradi huo
utapokamilika utakuza
uchumi wa Tanzania wa
kurahisisha huduma za
uchukuzi na upotevu wa
muda unaosababishwa na
msongamano wa magari
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi katika
eneo la Tazara jijini Dar
es salaam wamepongeza
juhudi ambayo inaendelea
kufanyika katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa

Muhimbili yaimarisha Huduma za vipimo


Utoaji wa huduma za afya katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili
(MNH) umeboreshwa wakati wa
kipindi cha Serikali ya Awamu
ya Tano hususani upimaji kwa
kutumia mashine za CT-Scan
na MRI.
Akizungumzia mashine za
CT-Scan na MRI, Mkurugenzi
Mtendaji wa Hospitali ya Taifa

Muhimbili, Prof. Lawrence


Mseru anasema kwamba
Serikali ya awamu ya tano
inayoongozwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. John Pombe
Magufuli iliagiza Hospitali
kununua mashine mpya ya
CT-Scan yenye uwezo wa 126
slices ili kukidhi mahitaji na

viwango vya wateja.


Uwepo wa mashine hii
mpya umeongeza uwezo kwa
kiwango kikubwa wa kupima
wagonjwa wengi kwa wakati
mmoja kwani kwa sasa
tunaweza kumpima mgonjwa
mmoja tumbo na kifua kwa
sekunde sita ambapo awali
tulikuwa tunapima wastani

wa wagonjwa 20 lakini sasa


tunapima wastani wa wagonjwa
50 ndani ya saa 24anasema
Prof. Mseru.
Anaongeza kuwa uwepo wa
mashine hizo Hospitalini hapo
haitegemei tena kukosekana
kwa vipimo vinavyohitaji mashine hizo kwani mashine hiyo ni
mpya, ya kisasa na yenye nguvu

barabara ya juu yaani FLY


OVER inayojengwa katika
makutano ya barabara ya
Nyerere na Mandela
Wameelezea kuridhishwa
na kusema kuwa kukamilika kwa mradi huo kutasaidia kwa kiasi kikubwa
kupunguza tatizo la msongamano wa magari katika
jiji la Dar es salaam na
kuwarahisishia wananchi
kufanya shughuli zao kwa
haraka.
Wameongeza kuwa kuanza
kwa ujenzi wa mradi huo
kunaonyesha azma safi ya
Serikali ya Awamu ya Tano,
kujengwa Tanzania mpya
inawarahisishia watu wa
tabaka lote usafiri.
Wananchi walitoa wito kwa
wenzao kuisadia Serikali
ya Rais Magufuli katika
utekelezaji wa majukumu
yake ili Watanzania walio
wengi waweze kufaidika na
matunda ya nchi hii.
Wakati Serikali kwa
upande wake ikidhamiria
kutekeleza miradi hiyo
muhimu, sisi wananchi kwa
upande wetu tunatakiwa
tuwe tayari kuisaidia ili
ikamilishe malengo yake
ambayo yana faida kubwa
kwetu tunaoishi sasa na
hata vizazi vijavyo Mmoja
wao alisema.

ya kuweza kufanya vipimo


vya kiutalaamu zaidi hasa kwa
upande wa viungo vya ndani
kama moyo, utumbo, ubongo
na hivyo kupata majibu sahihi
ya uchunguzi na ya uhakika
kwa wakati.
Sambamba na hilo, mnamo

inaendelea uk.7

inatoka uk.6

Januari 4, 2016 Naibu Waziri wa


Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto, Mhe. Dkt.
Ha misi Kingwangalla alifanya
ziara katika Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili ili kuona maendeleo
ya Hospital hiyo.
Dkt. Kingwangalla alitembelea
baadhi ya Idara za Hospitali hiyo
ikiwemo Kitengo cha dharura,
Chumba cha wagonjwa Mahututi
(ICU), Wodi ya Mwaisela, Duka
la dawa la MSD na kukagua
ufanyaji wa kazi wa mashine ya
CT-Scan na MRI.
Katika ziara hiyo, Dkt. Kingwan galla alifurahishwa na
mabadiliko ya utoaji wa huduma
katika upimaji kwa kutumia
mashine ya Computerized
Tomography Scan (CT-Scan) na
Magnetic Resonance Imaging
(MRI) ambazo awali zilikuwa
hazifanyi kazi.
CT Scan ni mashine inayotumika kupima viungo mbalimbali
kwa undani ikiwemo kuchunguza kifua, tumbo, mifupa yote, pia
kansa mbalimbali na magonjwa
mengine ndani ya mwili wa
binadamu.
Wakati MRI ni mashine
inayotumia nguvu za sumaku
pamoja na mawimbi ya redio (si
eksirei) na kompyuta kutoa picha
zinazoonyesha viungo vyote
mwilini na kumfanya daktari
achunguze sehemu za mwili
kwa undani zaidi na kutambua
magonjwa kwa njia ambazo haziwezi kugunduliwa kupitia mbinu
nyingine.
Mabadiliko haya ya utoaji
huduma kwa ubora na viwango
umetokana na juhudi za makusudi za Serikali ya Awamu ya
Tano katika kutatua changamoto
zilizokuwepo hospitalini hapo.
Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe
9 Novemba, 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli
alifanya ziara ya ghafla katika

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili


ili kujionea halihalisi ya utoaji wa
huduma mbalimbali za afya.
Kufuatia ziara hiyo, Dkt. Magufuli alionyesha kutoridhishwa na
utendaji kazi hospitalini hapo na
kuamua kuivunja Bodi iliyokuwa
ikisimamia MNH.
Akiwa ziarani, baadhi ya wagonjwa walimwambia Dkt. Magufuli kwamba wamekuwepo hospitalini hapo kwa muda mrefu
wakisubri vipimo vinavyotumia
mashine za MRI na CT-Scan
ambazo zilikuwa hazifanyi kazi
huku wengi wao wakilalamikia
uhaba wa vitanda.
Katika kutatua changamoto
hizo, Dkt. Magufuli akiwa mjini
Dodoma aliagiza Shilingi milioni
210 kati ya milioni 225 za kitanzania zilizotengwa kutumika
katika hafla ya Wabunge wapya,
zipelekwe Hospitali ya Muhimbili
kwa ajili ya kununulia vitanda na
magodoro ya wagonjwa.
Shilingi Milioni 225 zilizochangwa na wadau mbalimbali
kwa ajili ya kugharamia halfa ya
wabunge zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili zikasaidie
kununua vitanda na kwa kufanya
hivyo tutakuwa tumejinyima sisi
wenyewe lakini tutakuwa tumewanufaisha wenzetu ambao wana
matatizo makubwa yanayoweza
kutatuliwa kwa fedha hizo, alisema Dkt. Magufuli.
Ili kuhakikisha kuwa agizo hilo
linatekelezwa ipasavyo, fedha hizo zilitumika kununulia
vitanda 300 pamoja na magodoro
yake, shuka 600, baiskeli za
kubebea wagonjwa pamoja na
vifaa tiba ambavyo vilipelekwa
katika Hospitali ya Taifa ya

Muhimbili.
Vilevile tarehe 23 Novemba,
2015 aliyekuwa Katibu Mkuu
Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue
alitembelea Hospitali hiyo ili
kuhakikisha utekelezaji wa agizo
la Rais Magufuli la kununua
vitanda na magodoro yake kwa
ajili ya wagonjwa waliokuwa
wanalala chini.
Hivi karibuni Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee
na Watoto, Ummy Mwalimu
alipokuwa akiwasilisha Makadirio ya mapato na matumizi kwa
mwaka wa fedha 2016/2017
amesema kuwa Serikali ina
mpango wa kuboresha hospitali
za rufaa, maalumu za kanda na
Hospital ya Taifa ya Muhimbili(MNH) ambayo kwa sasa
itaanza kutoa huduma ya kupandikiza figo.
Muhimbili itaanzisha huduma mpya ya upandikizaji figo
na upandikizaji wa cochle kwa
wagonjwa ambao ni viziwi ili
kupanua wigo wa kutoa huduma
kwa wagonjwa binafsi na viongozi wa kitaifa alisema Mwalimu.
Alibainisha kuwa maboresho
hayo kwa upande wa Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili ni pamoja
na kuongeza idadi ya vitanda
vya wagonjwa wenye kuhitaji
uangalizi maalumu (ICU) kutoka
21 hadi vitanda 75.
Pia itanunua vifaa tiba vya
upasuaji na kuongeza vyumba
vya upasuaji kutoka 13 vya sasa
hadi 18 na kupanua huduma
ya kusafisha figo kwa kuongeza
vitanda kutoka 15 hadi vitanda
50 na kuanza kusafisha figo kwa
wagonjwa wenye Virusi vya
Ukimwi na Virusi vya ini.

HAPA KAZI TU

Vilevile aliongeza kuwa Taasisi ya


Mifupa Muhimbili (MOI) katika
mwaka wa fedha 2016/2017 itaongeza nafasi ya wagonjwa wanaolazwa kutoka vitanda 150 hadi
340 ambapo katika chumba cha
wagonjwa wenye kuhitaji uangalizi maalumu (ICU) vitaongezeka
kutoka vinane hadi 32.
Akizungumza kuhusu kutoa
huduma ya kupandikiza figo,
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba,
Dkt. Hedwiga Swai alisema kuwa
katika kutekeleza azima hii, tayari Hospitali imeiomba Serikali
fedha za kuwezesha ujenzi wa
miundombinu na ununuzi wa
vifaa kwa ajili ya kutoa huduma
hiyo ili kupunguza idadi ya wagonjwa wanaokwenda nje ya nchi
kupata huduma.
Aidha, Hospitali tayari imeanza
maandalizi ya kupeleka watalaam
wake kwenda kupata mafunzo
wakiwemo madaktari, wauguzi,
watalaam wa usingizi na fani
nyingine muhimu katika kutoa
huduma ya upandikizaji wa figo.
Akitoa mchanganuo wa watalaam hao, Dkt. Swai alisema
kwa kuanza Hospitali itapeleka
madaktari bingwa watatu kujifunza namna ya kupandikiza figo,
madaktari bingwa wa figo wawili
na wauguzi wawili kwa ajili ya
chumba cha upasuaji na upandikizaji wa figo.
Wengine ni wauguzi wawili kwa
ajili ya uangalizi maalumu wa
wagonjwa walioko vyumba vya
upasuaji na upandikizaji wa figo,
watalaam wa usomaji na uchunguzi wa vinyama vya figo ili kugundua chanzo cha ugonjwa wa
figo kwa wagonjwa hao, pamoja
na mtalaam wa radiolojia.

Tumeanza kufanya maandalizi ya vyumba vya upasuaji ili


kuhakikisha ifikapo Disemba
mwaka huu au mapema Januari
2017 kazi hii ya upandikizaji wa
figo inaanza mara moja Hospitalini hapa, alisema Dkt. Swai.
Alisema, Uongozi wa Hospitali
pia unakusudia kupeleka timu ya
watalaam wake wa figo kutembelea nchi mbalimbali duniani
ambazo zimeendelea katika kutoa
huduma ya upandikizaji figo ili
kujifunza namna bora ya kufanya
hivyo pamoja na kuanzisha ushirikiano baina ya Hospitali hizo
na Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Aidha, kwa sasa hospitali inahudumia wagonjwa takribani
100 wanaokuja kusafisha damu
angalau mara tatu kwa juma na
wagonjwa 200 waliopandikizwa
figo wanaohudhuria kliniki za
figo wakiwemo watoto.
Vilevile Hospitali huona wagonjwa wapatao 40 hadi 50 wakiwemo watoto 6 hadi 10 wenye
matatizo ya figo kila wiki ambao
hawajafikia hatua ya kusafishwa
damu ama kupandikizwa figo
nyingine.
Ni kweli serikali imeamua
kuboresha huduma za afya,
tumeshuhudia wagonjwa katika
Hospitali ya Muhimbili wakilala kila mmoja kwenye kitanda
chake, mashine za CT-Scan
na MRI zinafanya kazi muda
wote na hali ya utoaji huduma
imeboreka hospitalini hapo.
Usemi wa Hapa Kazi tu hakika
unatekelezwa kwa vitendo.

Neema watumiaji
wa reli ya kati yaja
Na Frank Shija

wa kipindi kirefu
huduma ya usafiri wa
treni kupitia Reli ya Kati
(Central Line Railway)
imekuwa msaada mkubwa
kwa wananchi wa mkoa wa
Kigoma na maeneo ya Kanda ya ziwa na nchi za jirani
zikiwemo Burundi, Rwanda, Uganda na Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo.
Historia inaonesha kuwa
Reli wa Kati kama inavyojulikana sasa ilijengwa kati
ya mwaka 1905 hadi 1914
wakati huo ikiitwa Reli
ya Tanganyika kwa kuwa
ilikuwa ikielekea Mkoani
Kigoma ambako Ziwa Tanganyika linapatikana.
Kutokana na umuhimu
wake katika kukuza uchumi
kupitia usafirishaji bidhaa
na huduma mbalimbali
ndani na nje ya Tanzania, Katika mwaka wa
fedha 2016/2017 Serikali
imeamua kuja na mpango kabambe wa kuifanyia

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Hamis Kigwangala (katikati), akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mionzi cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Flora Lwakatare
kuhusu mashine mpya ya CT-Scan alipofanya ziara katika hospitali hiyo.
maboresho miundombinu ya reli hiyo ili iweze
kwenda na wakati na kasi
ya ukuaji wa uchumi wa
Tanzania.
Mpango huo unahusisha
ujenzi wa mtandao wa Reli
mpya ya Kati katika Viwango vya Kimataifa (Standard
Gauge 80) ili kuendana
kasi ya ongezeko la mizigo.

Katika kuhakikisha kuwa


ujenzi huo unafanikiwa
na kuchochea maendelea ya Tanzania kufikia
nchi ya uchumi wa Kati
2025, Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli anakutana na
kufanya mazungumzo na

Rais wa Benki ya Exim ya


China Bw. Liu Liang Ikulu
Jijini Dar es Salaam kwa
lengo la kupata fedha za
ujenzi wa reli hiyo mpya
kupitia mkopo wenye
masharti nafuu.
Katika mazungumzo yao
Rais wa benki hiyo anamuhakikishia Rais Dkt.

John Magufuli kuwa Benki


hiyo iko tayari kutoa fedha
shilingi Trilioni 16 ili kufanikisha ujenzi wa kilometa 2561 za reli kwa kiwango
cha Kimataifa. Pia anamuhakikishia Mhe. Rais kuwa
Benki hiyo itashirikiana na
Tanzania katika kubadilishana uzoefu na utaalamu
inaendelea uk.8

katika ujenzi na uendeshaji wa reli hiyo.


Akiuzungumzia ujenzi
wa Reli hiyo Rais wa
Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt.
John Pombe Magufuli
anasema kuwa kukamilika kwake kutasaidia kuinua uchumi wa
Tanzania na nchi za
jirani zisizopakana na
bahari zikiwemo Uganda, Rwanda, Burundi,
na Congo.
Anasema reli hiyo
Mpya itakua tofauti na
ile inayotumika sasa
kutokana na uwezo
wake wa kuhimili
usafirishaji wa mizigo
mizito na mingi kwa
kuwa inajengwa kwa
kiwango cha Kimataifa Standard Gauge
railway na itaanzia
Dar es Salaam Mpaka Kigoma, kupitia
Tabora, Mwanza,Isaka
hadi Rusumo; Kaliua
-Mpanda -Karema na
Uvinza -Musongati
nchini Burundi.
Aidha, katika ufafanuzi
alioutoa hivi karibuni
kuhusu ujenzi wa reli
hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Chama
cha Mapinduzi mjini
Dodoma hivi karibuni Rais Mhe Dkt.
John Pombe Magufuli

alisema kuwa mchakato


wa ujenzi wa reli hiyo
umeanza kwa kutangaza
zabuni ili kumpata mkandarasi atakaye jenga Reli
hiyo.
Anasema Sambamba na
ujenzi huo Serikali itakarabati matawi ya reli
ya kati sehemu ya Kaliua-Mpanda ili kuboresha
ufanisi wake, kwa kutenga
Sh. bilioni 5.5 za ajili ya
usanifu chini ya Mpango
wa Taifa wa Maendeleo
wa miaka mitano uliowasilishwa bungeni Dodoma
na Waziri wa Fedha na
Mipango Dk. Philip
Mpango ambapo Serikali Serikali imejipanga
kufanya usanifu na ujenzi
wa madaraja 16 kati ya 28
yaliyochakaa kati ya Dar
es Salaam na Tabora.
Katibu Mkuu wa Wizara
ya Fedha na Mipango
Dkt. Servaciaus Likwelile akizungumza mara
baada ya utiaji saini wa
makubaliano ya ujenzi
wa reli hiyo kwa niaba ya
Serikali ya Tanzania na
Naibu Meneja wa Mikopo Nafuu wa Benki ya
Exim ya China Bw. Zhu
Ying anaeleza kuwa kiasi
cha Dola za Kimarekani
bilioni 7.6 ambazo ni
sawa na Shilingi Trilioni
16 zitatumika kutekeleza
mradi huo.

HAPA KAZI TU
Anasema hatua hiyo inawezesha kuanza kwa kazi
ya upembuzi yakinifu, usanifu na uundwaji wa timu
za pamoja kuanza kuanisha
mahitaji halisi ya ujenzi
wa mradi huo na kuongeza
kwamba ujenzi wake umekuja katika wakati muafaka
kwa kuwa reli iliyopo sasa
ya Kiwango cha meter
Gauge haina uwezo mkubwa wa kubeba mizigo mingi
hata baada ya kufanyiwa
ukarabati.

wengi zaidi Anasisitiza.


Kwa mwaka ni tani Milioni Anaielezea Reli hiyo kuwa
5 za mizigo ndizo zinaweza itawezesha usafirishaji wa
kupitishwa na reli ya sasa,
abiria na mizigo kwa kasi
ambazo haziwezi kukabiwa wastani wa kilometa 100
li mahitaji ya mizigo ya
kwa saa hivyo kuwezesha
Kanda hii ambayo itafikia
watumiaji wa usafiri huo
tani Milioni 30 ifikapo
kufika haraka zaidi sehmwaka 2025, Kutokana na emu wanazokwenda. Pia
uhitaji huo wa kukabiliana wakati wa ujenzi wa reli
na uongezaji wa mizigo
hiyo watanzania takribani
lazima tujenge uwezo wa
300,000 watapata ajira kukuihudumia kwa kuwa na
tokana na kushiriki katika
reli yenye uwezo wa kubeba ujenzi wa reli hiyo.
Mizigo mingi na abiria

Uhaba wa madawati shuleni umekuwa historia

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Mbunge wa Jimbo la Ilala Mh.
Idd Azzan Madawati yaliyotolewa na Ofisi ya bunge

Na Lilian Lundo

kosefu wa madawati
kwa shule za Msingi na
Sekondari ni tatizo ambalo limekuwepo nchini kwa
takribani nusu karne ambapo
wanafunzi wengi wamekuwa
wakisoma wakiwa wamekaa

sakafuni, kukalia matofali au


kukaa kwa kujibana katika
dawati moja.
Tatizo hilo liliongezeka zaidi
baada ya Serikali ya Awamu
ya Tano ya Mhe. Dkt. John
Pombe Magufuli kuanza
utekelezaji wa Elimu bure kwa
shule za msingi na sekondari

ambapo ilipelekea watoto


wengi kuandikishwa na kusababisha upungufu mkubwa wa
madawati.
Jumla ya wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza
mwaka 2016 ni wanafunzi
1,896,584 sawa na ongezeko
la asilimia 84.5 ya wanafunzi

walioandikishwa mwaka
2015 ambapo jumla ya wanafunzi 1,282,100.
Ongezeko hilo la wanafunzi
lilipelekea Mhe. Rais kutoa
agizo kwa wakuu wa mikoa
aliowateua kwa kuwapa
miezi mitatu kuanzia siku
aliyowaapisha Aprili 15

mpaka Juni 30 kuhakikisha


tatizo la madawati linatatuliwa
katika mikoa yao.
Aidha, Mhe. Rais hakuishia
kwa wakuu wa mikoa aliendelea kutoa agizo la ukamilishaji
wa madawati kwa shule zote
nchini wa wakuu wa wilaya na
wakurugenzi wa Halmashauri
na majiji ambapo aliwaambia
si jambo jema kuona mkurugenzi wa Halmashauri anakaa
kwenye kiti cha kuzunguka
na ofisi ina kiyoyozi wakati
huohuo ndani ya Halmashauri
yake kuna wanafunzi ambao
wako shuleni wanasoma wakiwa wamekaa chini au kukalia
tofali.
Vile vile Mhe. Rais katika
kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini alizitaka
Taasisi na Makampuni binafsi
kushirikiana na Serikali kutatua tatizo la upungufu wa
madawati kwa shule za msingi
na Sekondari ili kila mwanafunzi akae katika dawati.
Agizo la Mhe. Rais lilipokelewa vizuri na wananchi pamoja
na mashirikia ya Umma na

inaendelea uk.9

Binafsi, kwani wengi wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza kuchangia utengenezaji


wa madawati nchini ili kuhakikisha hakuna mwanafunzi
anayekaa chini katika shule za
awali mpaka sekondari.
Muitikio huo umewezesha
kutatua tatizo la madawati
nchini kwa kiwango kikubwa
ukilinganisha na hali ilivyokuwepo kabla ya tamko la Mhe.
Rais kutaka mikoa na wilaya
zinahakikisha madawati yanapatikana.
Shule zilikuwa na upungufu wa madawati yapatayo
1,400,000 lakini katika miezi
hiyo mitatu madawati zaidi ya
milioni moja yametengenezwa na kupunguza tatizo la
madawati kwa shule za Msingi
nchi nzima kwa asilimia 88
na shule za Sekondari kwa
asilimia 95.8.
Ofisi ya Bunge ni moja ya
Taasisi ya Serikali ambazo
zimeiunga mkono Serikali
kwa kuchangia shilingi bilioni
6 inayotegemewa kutengeneza
madawati 120,000 ambayo
yatagawiwa nchi nzima.
Ofisi hiyo ilikabidhi kwa Rais
awamu ya kwanza ya madawati hayo ambayo ilikuwa
na madawati 61,385 yaliyopelekwa katika majimbo
155 likiwemo jimbo la Ilala
lililopewa madawati 537 ambapo jimbo hilo lilo chini ya
Mbunge Mhe. Mussa Azzan
Zungu lilikuwa na upungufu
wa madawati 600.
Kwa upande wake, Mwalimu
Mkuu wa Shule ya Msingi
Bunge, Hadija Telela anasema
kuwa, shule yake ilikuwa na
upungufu wa madawati 120
ambapo ilipelekea dawati
moja lililotakiwa kukaliwa na
wanafunzi watatu walikuwa
wanakaa wanafunzi wanne
hadi watano na kupelekea
wanafunzi hao kukaa kwa
kubanana na kushindwa kufuatilia vizuri masomo yao.
Mwalimu Telela anaendelea kwa kusema kuwa mara
baada ya agizo la Mhe. Rais la
kuwataka wananchi na Taasisi
kuchangia katika utengenezaji wa madawati, wanafunzi
waliomaliza shule hiyo mwaka
1991 walitoa madawati 70
kwa shule hiyo.
Aidha baada ya kupokea madawati hayo, shule hiyo ilikuwa
na upungufu wa madawati 50
ambapo Ofisi ya Bunge ilitoa
madawati yote 50 kwa shule
hiyo, na hivyo kumaliza tatizo
la madawati katika shule hiyo.
Mkuu wa shule hiyo anaeleza namna alivyofurahishwa
na hatua ambazo Mhe. Rais
amezichukua za kuhakikisha
wanafunzi wote wanakaa

kwenye madawati kwani kwa pongeza Mhe. Rais namna


kuwa na mazingira mazuri
ambavyo amelisimamia zoezi
ya kusomea kutawapelekea
la uchangiaji wa madawati ili
wanafunzi kufanya vizuri
kuhakikisha hata mwanafunzi
zaidi kutokana na kutokuwa aliyeko kijijini naye anakuna hali ya kugombania mahali wa na mazingira mazuri ya
pa kukaa na kupoteza muda kusomea kwa kukaa kwenye
mwingi katika kusukumana dawati.
kwenye madawati badala ya Wakati huo huo, Anna Abrakumsikiliza mwalimu.
ham mwananchi kutoka mtaa
Kwa upande wake, Afisa
wa Kawe ambaye ana watoto
Elimu Sekondari wa Halwawili wanaosoma shule
mashauri ya Wilaya ya Iringa ya Msingi Kawe B anaeleza
Vijijini, Alice Msemwa anase- namna anavyofurahishwa na
ma kuwa shule za Sekondari utendaji wa Mhe. Rais, hasa
katika Halmashauri hiyo
kwa kuwatetea watoto wa
zilikuwa na uhaba wa zaidi ya wanyonge kwa kuhakikisha na
madawati 700 kabla ya tamko wao wanakuwa na mazingira
la Rais la kutaka kila mwana- mazuri ya kusomea.
funzi kukaa kwenye dawati. Anna anaendelea kusema
Msemwa anaendelea kwa
kuwa, utatuzi wa madawakusema kuwa wanafunzi
ti kwa shule za Serikali
walikuwa wakikaa kwenye
utapelekea wanafunzi wa
madawati kwa kubanana hali Serikali kuona thamani yao
iliyosababisha wanafunzi wen- iko sawa na wale wa shule za
gi kutofuatilia vizuri masomo binafsi kutokana na tofauti
na kuishia kusukumana ili
iliyokuwa ikionekana mwankukaa vizuri wakati masomo zoni ambapo wanafunzi wa
yakiendelea.
shule binafsi kila mwanafunzi
Aidha, Msemwa ameenanakaa kwenye dawati lake
delea kwa kusema kuwa
wakati wa Serikali wanaHalmashauri hiyo imeweza
banana wanafunzi zaidi ya
kufanikisha kupatikana kwa wanne kwenye dawati moja au
madawati hayo kwa shule
kukaa chini.
za Sekondari kupitia wadau Mwanzilishi wa wazo la
ambao walijitokeza kuchangia, kuondoa tatizo la uhaba wa
mfuko wa jimbo na Halmadawati, Mhe. Rais Magumashauri yenyewe.
fuli, amewashukuru watanShule zote za Sekondari
zania na wadau wote kwa
za Halmashauri hiyo zina
moyo waliouonyesha katika
madawati ya kutosha na kila uchangiaji wa madawati na
mwanafunzi anakaa kwenye kuwataka kuendelea na moyo
dawati lake kwa sasa.
huo huo ambapo kwa sasa
Utekelezaji wa agizo la Mhe. Serikali inajizatiti katika ujenRais la utengenezaji wa mad- zi wa madarasa ili kuhakikisha
awati umekamilika kwa asili- shule zote nchini zinakuwa
mia mia katika Halmashauri katika mazingira mazuri na
25 kutoka mikoa 13, shule za hatimaye kuongeza ufaulu.
Msingi na Halmashauri 46
Vile vile Mhe. Rais amewataka
kutoka mikoa 19, shule za
wanasiasa kushirikiana kwa
Sekondari.
karibu na kuacha tofauti za
Wilaya ya Kinondoni ni moja itikadi za vyama vyao pemya wilaya ambazo zimefaniki- beni, kutokana na kwamba
wa kukamilisha zoezi la uten- maendeleo hayachagui chama
genezaji wa madawati kwa
gani hivyo hivyo kwa upaasilimia mia huku wakiwa na nde wa madawati. Madawati
madawati ya ziada yapatayo yanapogawiwa kila mwana50.
funzi anapata dawati lake haiMkuu wa Wilaya ya Kinondo- jalishi mwanafunzi huyo baba
ni, Mhe. Ally Hapi anasema yake ni CCM, CHADEMA,
kuwa Kinondoni wamemaliza ACT, TLP, NCCR-Mageuzi au
rasmi zoezi la utengenezaji wa UDP.
madawati na ziada ya madawati 50 yatawekwa akiba kwa
ajili ya ya baadae.
Kuhusu suala la upatikanaji
wa madawati, Waziri Mkuu,
Mhe. Kassim Majaliwa
alipokuwa akitoa hotuba ya
kuhitimisha mkutano wa tatu
wa Bunge la 11 aliwapongeza
wadau wote waliojitoa kwa
hali mali katika kufanikisha
suala la utengenezaji wa madawati kwa shule za Msingi na
Sekondari.
Mhe. Majaliwa kipekee alim-

HAPA KAZI TU

TAHARIRI

anzania iko katika kipindi cha


uongozi wa Serikali
ya Awamu ya Tano
inayoongozwa na
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli.
Awamu hii pamoja
na mambo mengine
imejikita katika kuwaletea maendeleo
wananchi, kupiga
vita rushwa na Ufisadi, kuhimiza matumizi mazuri ya
rasilimali za Taifa,
Utumishi wa umma
wenye nidhamu na
uwajibikaji pamoja
na ushirikishwaji wa
wananchi katika kujiletea maendeleo yao
wenyewe kwa kufanya
kazi kwa bidii.
Ni dhahiri mabadiliko haya yanaifanya nchi yetu ianze
kushuhudia maboresho katika Sekta
mbalimbali zikiwemo
za Afya, Elimu, Maji,
Umeme, Nishati, Usafirishaji, miundombinu ya Barabara,
Biashara na Fedha
na kuifanya Tanzania
kungaa katika medani za Siasa na uchumi Kimataifa.
Mafanikio haya
tunayoyashuhudia
ni ishara njema ya
kuifanya Tanzania
kuelekea katika nchi
ya Uchumi wa Kati
ifikapo mwaka 2025,
Watanzania kwa
Umoja wetu bila kujali Itikadi za vyama
vyetu vya Siasa, Dini
zetu na Makabila
yetu tunalo jukumu

la kuunga mkono kwa


nguvu zote juhudi za
Serikali za kuifanya
Tanzania kuwa mahali pazuri pa kuishi.
Watanzania tunao
wajibu wa kulinda na
kudumisha amani na
utulivu uliopo sasa na
kuondokana na dhana kuwa anayehusika
na amani na utulivu
wa nchi yetu ni Serikali na wanasiasa
tu. Tukumbuke kuwa
maslahi yenu kama
wananchi yanategemea sana hali ya
amani na utulivu.
Kwa sababu hiyo,
kila mwananchi ni
mshika dau katika
kuhifadhi na kutetea
sifa yetu kama kisiwa
cha amani na utulivu
pamoja na kukumbuka kuwa tunaishi
katika dunia ya ushindani kwenye kila
jambo, ikiwemo ushindani katika kuvutia
mitaji na vitegauchumi, ushindani wa
ajira, na ushindani
wa biashara. Sifa
moja inayotuongezea
uwezo wa ushindani
katika Bara la Afrika
ni hali yetu ya amani
na utulivu.
Ghasia, fujo na vurugu hazina faida wala
mchango wa maendeleo kwetu,sote tuelewe
kuwa uvumilivu wa
kisiasa katika azma
ya kudumisha ukuaji wa kidemokrasia
nchini haukwepeki.
Mungu Ibariki
Tanzania, Mungu
Ibariki Afrika.

BODI YA UHARIRI

Zamaradi Kawawa-Mwenyekiti-0754 698 856


Tiganya Vincent-Katibu-0756 927 131
John Lukuwi-Mhariri wa Picha-0784 310 130
Jonas Kamaleki-Mhariri-0715 461 253
Aron Msigwa-Mhariri-0762 506 460
Hassan Silayo-Msanifu Kurasa-0718 747 064

HAPA KAZI TU

HAPA KAZI TU

Magufuli ajenga utamaduni mpya wa usafi wa


Mzingira
Na May Simba

ais wa Jamuhuri
ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt
John Pombe Joseph Magufuli anastaili kupongezwa
kwa kuwa mstari wa mbele
kuhamasisha na kutekeleza
kwa vitendo kampeni ya
kitaifa ya usafi wa mazingira.
Kampeni hiyo inamtaka
kila mwananchi kushiriki kikamilifu kusafisha
mazingira yanayomzunguka kwa kuwa mlinzi na
mwangalizi wa mazingira
katika maeneo anayoishi,
maeneo ya Biashara, ofisi
za Taasisi, Wizara, Mashirika, vituo vya kutolea
huduma za kijamii kama
shule, hospitali, masoko na
vyanzo vya maji ili kudhibiti athari za uchafuzi wa
mazingira na magonjwa
ya milipuko.
Ili kuhakikisha kampeni hiyo inadumu
na kuwa endelevu,
Desemba 23 mwaka
2015, Serikali kupitia Naibu Waziri
wa Nchi, Ofisi ya
Makamu wa Rais
Muungano na
Mazingira, Mhe. Luhaga Mpina iliitangaza
na kuirasimisha Siku ya
Jumamosi ya kila mwisho
wa mwezi kuwa siku ya
usafi wa mazingira kitaifa.
Mhe. Mpina alitangaza
kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi
ya viongozi na watendaji
wanaopuuza kusimamia
shughuli za usafi katika
maeneo yao pia wananchi
wanaoshindwa kutekeleza
agizo hilo katika maeneo
wanayoishi.
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Jiji la Dar
es Salaam, Enezaeli Ayo
anaeleza kuwa suala la
usafi wa mazingira katika
jiji hilo limepokewa na
kupewa uzito unaostahili
kuanzia ngazi ya Mkoa,
Manispaa, Halmashauri,
vijiji, kata, mtaa hadi kaya.
Wananchi wameonyesha
ushirikiano mkubwa katika
kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi
kuanzia saa moja hadi saa
nne asubuhi ambayo sasa
imeyafanya mazingira
kuoneakana safi anasema
Ayo.
Anasema Halmashauri

hiyo imeandaa mkakati


shirikishi kwa Manispaa
zote za jiji kwa lengo la
kuwaelimisha wananchi
juu ya usafi wa mazingira
kwenye kata na mitaa,
kutoa elimu kuhusu sheria za usafi na mazingira,
kuwaelimisha wananchi
kutii sheria ya uhifadhi wa
mazingira na taka ngumu, kushirikisha wadau
mbalimbali, kuongeza
ujenzi maeneo mapya ya
kuhifadhi taka ikiwemo
ujenzi wa dampo la kisasa
, kuongeza vitendea kazi
vya kukusanya, kuzoa na
kuhifadhi taka.
Aidha, Halmashauri hiyo
itashiriki katika kusimamia na kuendesha maeneo yote yatakayotumika
katika kutupa
taka,
uk-

aguzi
wa usafi
katika manispaa na kutoa ushauri pale
panapohitajika juu ya
masuala ya usafi kuanzia ngazi ya mtaa mpaka
wilaya.
Takwimu zinaonyesha
kuwa zaidi ya asilimia 70
ya magonjwa yanayoibuka
mara kwa mara nchini
yanahusiana na uchafuzi
wa maji na mazingira,
hivyo hali mbaya ya usafi
wa mazingira inaathiri
watu kiafya, kiuchumi na
kijamii.
Uchafu uliokithiri katika jiji la Dar es Salaa na
mikoa mingine hadi kufikia Juni 26 2016 umesababisha vifo vya watu 344
na wengine 22,185 waliugua ugonjwa huo tangu
kuripotiwa kwake nchini
Agosti 26 ,2015.
Aidha, katika Hotuba
ya Mapitio na mwelekeo

wa kazi za Serikali na
makadirio ya mapato na
matumizi ya fedha za ofisi
2016/2017, Waziri Mkuu
wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa aliwataka
viongozi na watendaji
wote wa Wizara, Mashirika, Taasisi za umma na
Sekta binafsi, Mikoa,
Wilaya na Halmashauri
zote nchini pamoja na
watendaji wa mitaa, kata,
vijiji, vitongoji na wakuu
wa kaya, kusimamia usafi
wa mazingira katika maeneo yao.
Napenda kuwahimiza na
kuwasihi wananchi wote
kudumisha utamaduni
na tabia nzuri ya kuhakikisha kuwa maeneo yenu

yanakuwa safi
wakati wote ili kuboresha afya zenu na kuleta
maendeleo endelevu
nchini, alisema Waziri
Mkuu.
Kwa upande wake Mkuu
wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Paul Makonda
amewataka wananchi wa
Mkoa wa Dar es Salaam
na mikoa mingine nchini
kujijengea utamaduni wa
kufanya usafi kila siku
ili waweze kujiepusha
na magonjwa. Alisisitiza
kuwa suala la usafi ni endelevu na wamejipamba
ipasavyo kuhakikisha jiji
la Dar es Salaam linakuwa
mfano wa kuigwa katika
suala zima la usafi.
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee
na Watoto imemtunuku
Rais Dkt. John Pombe

Magufuli ngao ya Usafi


kwa kuhamasisha usafi endelevu katika jamii. Tuzo
nyingine zimetolewa na
wizara hiyo katika ngazi
ya Taifa ambapo Mkoa
wa Njombe umetwaa tuzo
ya kampeni ya kutunza
usafi wa mazingira na afya
nchini mwaka 2016.
Kifungu cha 191 cha Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 kinaeleza kuwa
Mtu yeyote anayetenda
kosa kwa kukiuka kifungu chochote cha Sheria
hii, na ambacho hakina
adhabu iliyobainishwa,
akitiwa hatiani atatozwa
faini isiyopungua shilingi 50,000 na isiyozidi
shilingi Milioni hamsini,
au kifungo kisichopungua miezi mitatu au kisichozidi miaka saba jela
ama vyote viwili.
Ikumbukwe
kuwa mwishoni mwa
mwaka
jana,
Rais
Dkt.
John

Pombe
Joseph
Magufuli aliamua
kubadilisha
namna ya kuadhimisha Siku ya Uhuru
wa Tanzania Bara kwa
kuwataka watanzania wote
kushiriki katika kufanya
usafi ili kuondokana na
magonjwa kama kipindupindu ambayo husababishwa na uchafu.
Alisema siku hiyo itumike
kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi
(Uhuru na Kazi) katika
Taifa na kuwataka Watanzania waitumie siku hiyo
kwa kufanya usafi katika
sehemu mbalimbali kama
vile, hospitalini, maofisini, sokoni, viwandani na
usafi wa miji yao katika
kutimiza dhana ya Uhuru
na Kazi kwa vitendo.
Ni aibu kwa nchi yetu
kuendelea kuwa na
ugonjwa wa kipindupingu
katika maeneo mbalimbali wakati watanzania
wangeweza kuepukana na
ugonjwa huu kwa kujituma wenyewe kwa kufanya
usafi kwenye maeneo yao
Dkt. Magufuli.

India kuwekeza
Katika Sekta ya
Viwanda nchini
Na Immaculate Makilika

aadhi ya Mikoa na
Wilaya zimeanza kutenga maeneo
maalum kwa ajili shughuli
za uanzishwaji wa viwanda
vidogo kwa lengo la kuwaunganisha wazalishaji wadogo
wadogo ili waweze kuzalisha
bidhaa zilizo na ubora na
hatimaye wachagie katika
ujenzi wa uchumi wa nchi.
Hatua hiyo inalenga kuanzisha mitaa ya viwanda na
sehemu maalum za masoko
kwa ajili ya wajasiriamali
wadogo wakiwemo machinga na mama lishe ambapo
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji itawajibika
kutoa ushauri wa kitaalamu
utawasaidia wananchi kuunzisha viwanja hivyo.
Hadi hivi sasa, tayari Halmashauri kutoka mikoa
ya Arusha, Geita, Mbeya ,
Mwanza , Dar es Salaam na
Katavi zimetenga maeneo
kwa ajili ya kujenga mitaa ya
Viwanda vidogo vidogo kwa
ajili ya wajasiliamali wadogo
Ujenzi wa viwanda hivyo una
lengo la kuifanya Tanzania
kuwa na viwanda vitakavyoifanya iwe na uchumi wa
kati ifikapo mwaka 2025.
Juhudi hizo za Serikali zimechochewa na ziara ya siku
mbili ya Waziri Mkuu wa
India Mhe. Narendra Modi
ambapo nchi hizo zilisaini
mkataba wa pamoja kati ya
Shirika la Viwanda Vidogo
India (NSIC) na Shirika la
Viwanda Vidogo Tanzania
(SIDO) kwa ajili ya ushirikiano utakaowasaidia wajasiliamali wadogo na wakati.
Mkataba huo unatarajiwa
kuiwezesha SIDO kubadilishana uzoefu na NSIC, kufanya utafiti, kushauri kuhusu
miradi na sera ya uendeshaji
wa viwanda vidogo vidogo.
Hii yote ikiwa ni katika
kuanzisha vituo vya atamizi
(incubators) ambapo kupitia
atamizi hizo, wananchi watapatiwa mafunzo ya uzalishaji
wa bidhaa na mafunzo ya
biashara yatakayowawezesha
kuanzisha biashara zao za
viwanda vidogo vya uzalishaji.
Aidha, atamizi hizo zitawasaidia wabunifu kunufaika
na mafunzo na teknolojia
ya India. Mpango ambao
unadhamiria kutafuta ubia
kwenye sekta ya viwanda
inaendelea Uk.12

10

Inatoka Uk.10

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.


Dkt. John Pombe Magufuli la kujenga viwanda
hapa nchini ambapo kwa
kuanzia itanza na ujenzi
wa viwanda vya pikipiki, bajaji na trekta.

Aidha, kampuni za
vidogo pamoja na uratibu wa
Shapoorji Pallonji na
maonesho ya viwanda hivyo.
Kamal Industries, zinajenKuhusu hatua ya Shirika la
ga mtambo wa kuzalisha
Viwanda Vidogo la nchini
umeme kwa kutumia gesi
India kushirikiana na SIDO,
wa MW 250 katika eneo
Rais Magufuli amesema
la Zinga, Mkoani Pwani.
itaisaidia Tanzania kufukia
Uwekezaji huo, unalenga
azma ya kuwa nchi ya uchukuzalisha umeme utakaotumi wa kati unaoongozwa na Uanzishwaji wa viwanda
mika katika eneo la viwanviwanda ifikapo mwaka 2025. hivyo hapa nchini utasaidia da la Kamal Industries na
bidhaa kama pikipiki, bajaji umeme mwingine utauzwa
Eneo jingine ambalo nchi
hizo zinakusudia kushirikiana na trekta kuzalishwa na
kwenye gridi ya Taifa na
kuuzwa kwa bei ya nafuu
katika sekta ya viwanda ni
baadaye kwenye maeneo
pamoja na kuanzisha Viwan- pamoja na kutengeza ajira mengine ya viwanda huko
kwa watanzania na Serikali Bagamoyo na kwa wanada vya kutengeneza dawa
itajipatia kodi.hapa nchini. nchi wa Mkoa wa Pwani.
za binadamu zitakazotibu
magonjwa mbalimbali ikiwemo malaria, figo na kisukari. Katika sekta ya nishati,
Mahusiano yaliyopo kati
Kampuni ya Bajaj ya InViwanda vingine ni vile vya
ya Tanzania na India
dia, imeeleza nia yake ya
kutengeneza vifaa tiba viyamechukua muelekeo
kufanya uwekezaji mkub- mpya, ambapo makampuni
takavyotumika katika hoswa katika sekta ya mafuta kadhaa ya India yakitarapitali mbalimbali nchini,
nchini kwa kujenga kinu
uanzishwaji wake utasaidjiwa kuanzishwa ndani ya
cha kusafirishia mafuta,
ia kupunguza gharama ya
miaka michache ijayo amtayari kuna mawasiliano
kununua vifaa hivyo nje ya
bapo chini ya mpango huu,
nchi ambavyo vinaigharimu yanaendelea baina ya Shiri- Tanzania itakuwa kitovu
ka la Maendeleo ya Petroli cha viwanda vya India.
Serikali fedha nyingi.
Tanzania (TPDC) na KamAkizungumza, wakati wa
ziara hiyo Waziri Mkuu huyo puni ya Bajaj Group kuhusiana na uwekezaji huo.
wa India alikubali ombi la

Hongera TAKUKURU kwa kugeukia rushwa katika michezo


Na Makame Hussein

apambano dhidi ya rushwa


ni kipaumbele cha kwanza
cha Serikali ya Awamu ya Tano
kupitia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Joseph Magufuli.
Kupitia hutoba yake ya kuzindua
Bunge la Jamhuri Novemba 20
mwaka 2015, Rais Magufuli
alitaja rushwa kuwa ni eneo la
kwanza kati ya maeneo yaliyojitokeza kwa kulalamikiwa sana
wakati wa kampuni za uchaguzi
mkuu uliopita.
Alisema Rushwa, suala la rushwa limelalamikiwa sana takribani
katika maeneo yote yanayogusa
wananchi.
Rais Magufuli aliahidi kushu-

ghulikia kwa nguvu zetu zote


adui rushwa na changamoto
zingine zinazoikabili Tanzania na
kuzitaka Wizara, Ofisi na Taasisi
husika zijipange ipasavyo ili
kuzitatua.
Ikiwa ni miezi tisa imepita tangu
kuingia maradakani kwa Serikali
ya awamu ya Tano, mapambano
dhidi ya rushwa yanaonesha
kushika kasi huku mapambano
ya rushwa michezoni yakianza
kutiliwa mkazo kadri siku zinavyokwenda.
Hivi karibuni Taasisi ya Kuzuia
na Kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) ilimshikilia Rais
wa Simba Evans Aveva kwa
tuhuma za rushwa kupitia sakata
la fedha za mchezaji Emmanuel
Okwi ambazo Wanasimba wengi
walikuwa na shauku ya kusikia

fedha hizo zimeingia kwenye


akaunti ya Simba.
Akizungumza na Idara ya HabariMAELEZO kwa njia ya simu,
Msemaji wa TAKUKURU Tunu
Mleli alisema taasisi hiyo ilimshikilia kiongozi huyo wa Simba
kwa mahojiano ya uchunguzi
unaoendelea kuhusiana na tuhuma
za rushwa.
Alifafanua kuwa inadaiwa
kwamba Aveva alichepusha fedha
ambazo zilikuwa kwenye akaunti
ya klabu ya Simba zilizokuwa
ni malipo kwa ajili ya aliyekuwa
mchezaji huyo wa Simba Emmanuel Okwi.
Fedha hizo zililipwa na timu ya
Etoile du Sahel ya Tunisia na kiasi
cha fedha kilichokuwa kimelipwa
ni Dola za Kimarekani 319,212
kilillipwa mwezi Machi, 2016.

Alisema Tunu Mleli na kufafanua kuwa:


Baada ya hapo Aveva anadaiwa kuchepusha kiasi cha Dola
300,000 akaiweka kwenye
akaunti yake binafsi na baada ya
hapo akaanza kuchepusha zaidi
na kiasi cha Dola 62,000 akaichepusha kwenye akaunti ya mtu
aliyeko Hong Kong.
Na pia zile hela ambazo zilikuwa zimebaki kwenye akaunti
ya Simba bado kulikuwa kuna
miamala tofauti imefanyika
Msemaji huyo wa TAKUKURU
alibainisha kuwa kufuatia taarifa
za kintelijensia za TAKUKURU,
taasisi hiyo ikabaini suala hilo na
kufuatilia na baadaye kumkamata na kuanza kumuhoji kwa ajili
ya uchunguzi zaidi.
Hata hivyo, Mleli alibainisha
kuwa aliyeshikiliwa na kuhojiwa ni Aveva peke yake ingawa
kwenye hiyo miamala iliyofanyika kunaonesha kwamba kuna
watu wengine ambao wanahusika.
Hivyo alisema TAKUKURU
inaendelea kufanya uchunguzi ili
kubaini ni wakina nani na walihusika vipi na kwamba hakuna
taarifa rasmi iliyomtaja kiongozi
mwingine aliyekamata kuhojiwa.
Takukuru inafanya kazi kwa kufuata kanuni, taratibu, na Sheria
na uchunguzi una taratibu zake
na tunatumia Sheria ya Kuzuia
na Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007 alisema.
Hivyo, alibainisha kuwa baada
ya kufuata taratibu za uchunguzi
na uchunguzi ukikamilika jalada
linapelekwa kwa Mkurugenzi wa
Mashtaka (DPP) likishapatiwa
kibali ndipo litakwenda mahakamani.
Akifafanua kuhusu jinsi
TAKUKURU inavyoshughulikia
rushwa michezoni, Mleli alisema
taasisi hiyo haishughuliki tu na
mapambana dhidi ya rushwa
kwenye michezo.
Sisi mamlaka yetu tuliyopewa
kisheria ni kuzuia na kupambana
na rushwa nchini,haijalishi ni
sekta ipi ni sekta zote zinahusika
sekta binafsi na sekta ya umma
alifafanua Mleli.
Alitaja baadhi ya masuala ya
michezo yanayoshughulikiwa na
taasisi hiyo ni sakata la kupanga
matokeo katika mechi la Ligi
Daraja la Kwanza zilizofanyika
mwanzoni mwa mwaka huu.
Kwa hiyo mapambana dhidi
ya rushwa katika michezo bila
shaka TAKUKURU inahusika
na kama ulisikia mwanzoni mwa
mwaka huu, tulikuwa tuna sakata
la upangaji wa matokeo kupitia

Shirikisho la Mpira wa Miguu


Tanzania (TFF).
Alibainisha kuwa uchunguzi wa
suala hilo bado unaendele na
kuna uwezekano hivi karibuni
wanamichezo wakapata matokeo
ya uchunguzi wa suala hilo.
Mleli alifafanua kuwa sualala
kupambana na rushwa katika
michezo sio suala la TAKUKURU ama Tanzania peke yake,
kwani nchi nyingi duniani sasa
hivi zinafuatilia suala la rushwa
katika michezo.
Anakumbusha sakata la rushwa
lililomkumba Rais wa Shirikisho
la Mpira Duniani (FIFA) Sep
Blatter na baadhi ya maafisa wa
shirikisho hilo.
Kwa hiyo inaonekana kwamba
michezo ina uwezo wa kuliingizia mapato taifa na ikawanufaisha
pia walengwa lakini kuna wajanja ambao wanaweza wakatumia
mwanya huo kujinufaisha wao
wenyewe. Aliweka wazi Mleli.
Kwa mujibu wa Shirika la
Kimataifa la Kupambana na
Rushwa Duniani, yaani Tranparency International (TI)
michezo ni moja ya biashara
inayoingiza Mabolioni duniani.
Shirika hilo linasema kupitia
Tovuti yake kuwa kwa bahati
mbaya michezo imeingiliwa na
maslahi binafsi na maslahi ya
kisiasa, yaani kuna mianya mingi
ya rushwa.
Tayari kupitia sekta ya michezo,
mipango na maamuzi mingi
yamefanyika nyuma ya pazia.
Hii inaruhusu rushwa kutochunguzwa na kutochukua mkondo
wake inasema sehemu ya taarifa
ya tovuti hiyo na kubainisha
kuwa:
Rushwa katika michezo iko ya
mifumo mingi ikiwemo wamiliki wa klabu kuomba rushwa
kwenye uhamisho wa wachezaji
na kwa waamuzi kupanga matokeo ya mechi.
Kwa mujibu wa TI, yapo mambo
mengi yanayotakiwa kufanywa kumaliza rushwa kwenye
michezo.
Lakini tunahitaji kila mmoja
kutoa ushirikiano tufanye kazi
pamoja.Uwazi katika maamuzi
na sera ni muhimu inasema
sehemu ya taarifa ya tovuti hiyo
na kuongeza kuwa:
Serikali ni lazima zifanye kazi
kwa karibu na sekta ya michezo
na taasisi zinazojihusisha na
kupambana na rushwa
Kuibuliwa kwa matukio yanayohusu rushwa katika michezo
hapa nchini, ni ishara ya makali
ya meno ya TAKUKURU katika
kuhakikisha yanagata kila eneo.

11

HAPA KAZI TU

HAPA KAZI TU

Ahadi ya Elimu bure hadi kidato cha nne yafurahiwa


Na Jonas Kamaleki

inamungu ni kijana
aliye kuwa na bidii
sana shuleni, ndoto
yake ilikuwa awe rubani
pindi akimaliza masomo
yake ya taaluma hiyo. Kwa
bahati mbaya kwa kijana
huyo, wazazi wake walikosa ada ya kumsomesha,
hivyo akaishia darasa la
nne na ndoto yake ikaishia
hapo.
Kwa sasa ni mtoto wa
mitaani, inasikitisha, Je?
Binamangu angekuwa
anasoma kipindi hiki cha
Serikali ya Awamu ya Tano
ndoto yake ingezimika
au ingetimia! Bila shaka
ingetimia kwani Serikali
hii imeamua kutoa Elimu
ya Msingi bure.
Kati ya mambo ya
kupongezwa na kuungwa
mkono kwa Serikali hii ni
hili suala la ELIMU BURE.
Hakika Rais John Pombe
Joseph Magufuli na Serikali yake anawajali wananchi na hasa wa kipato cha
chini ambao ndio wengi.
Ni ukweli usiopingika
kuwa kutoa elimu kuanzia
awali, msingi hadi sekondari ni jambo la kushukuru
sana na litafanya vipaji
vingi watoto wanatoka
katika familia zilizo na
uwezo duni wa kipato
viweze kuibuka kwani
wazazi hawatashindwa
kuwapeleka watoto wao
shule kwa kisingizio cha
kukosa ada.

Kwa msingi huo ndoto za


akina Binamungu haziwezi kufa tena ni lazima
zitimie. Ni dhahiri kwamba watoto wengi walikuwa
wanazagaa mitaani pasipo
kwenda shule kwa sababu
wazazi wao hawakuwa na
uwezo wa kuwasomesha.
Baada ya elimu kutolewa
bure tunaona watoto wa
mitaani kupungua kwa
kiwango kikubwa.
Katika hotuba ya Mhe.
Rais ya kufungua Bunge
la 11 mnamo Novemba
20, 2015 mjini Dodoma,
Dkt. Magufuli alisema
yafuatayo kuhusu elimu,
Natambua juhudi kubwa
zimefanyika katika upanuzi wa elimu ya awali,
msingi, sekondari na vyuo
vikuu. Serikali ya Awamu
ya Tano itajielekeza katika kuongeza ubora wa
elimu inayotolewa ikiwa
pamoja na na kuongeza
mkazo katika masomo ya
sayansi. Aidha, tutahakikisha kwamba vifaa vya
kufundishia na kujifunzia vinapatikana ikiwa
ni pamoja na maabara,
vitabu, madawati.
Aliendelea kusema
,Tutahakikisha kuanzia
Januari mwakani elimu
kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne
inatolewa bure, kama
tulivyoahidi kwenye
kampeni. Tutahakikisha
kwamba wanafunzi wengi
zaidi wa elimu ya juu
wanapata mikopo kwa

wakati. Tutashughulikia maslahi na kero


za walimu wa ngazi
zote ikiwa ni pamoja
na kujenga nyumba
za walimu vijijini na
kuiunga mkono Benki ya walimu ili iweze
kuwanufaisha zaidi.
Wahenga husema haja
ya mja hunena, muungwana ni vitendo. Usemi
huu umedhihirika na
Serikali ya Awamu ya
Tano kutekeleza kwa vitendo yale wanayoahidi
ikiwemo hili la elimu
bure.
Ni ukweli usiopingika kuwa kila mwenye
kuthamini utu wa
Mtanzania ni lazima
akubaliane na kitendo cha kiungwana
kilichofanya na Serikali ya Rais Magufuli.
Mwenyewe anavyoinadi
cha kutoa elimu bure.
Ukweli huu unadhihirishwa na Mkazi wa
Bunju ambaye ni mzazi
wa watoto wawili, Bi
Pelagia Mpanda anayetoa ya moyoni kuhusu
elimu bure. Kwa kweli
ninamshukuru sana
Mhe. Rais John Pombe
Magufuli kwa kutoa
elimu bure kwa watoto
wetu, mimi nina watoto
mapacha ambao nimewasomesha kwa taabu
sana kuanzia chekechea
hadi darasa la saba.
Mamilioni ya pesa

yamenitoka na si kwamba nilikuwa tajiri la hasha


nimekuwa nikikopa huku
na kule na fedha nyingine
nikipata kwenye shughuli
za ujasiriamali, lakini cha
moto nilikiona.
Ameendelea kusema,
Nilivyosikia Elimu inatolewa bure hadi sekondari
nilishukuru sana nikashauriana na mume wangu watoto wetu tukawapeleka sekondari ya serikali ambapo
wanafanya vizuri, kwa kweli
nasema Magufuli umetujali
sisi watu wa hali ya chini na
Mungu akulinde uendelee
kutuongoza na kutusaidia,
Mzazi huyu anaendela
kusema hana wasiwasi
kwani anasomesha watoto
wake kwa raha na fedha
anayoipata anaielekeza
kwenye miradi mingine ya
maendeleo. Amemwomba Mhe. Rais atupie jicho
hata kwenye shule binafsi
wapunguze viwango vya
ada ili wale ambao bado
wanasomeshja watoto wao
katika shule hizo waweze
nao kupata unafuu.
Elimu bure imegusa watu
wengi na kuwafurahisha,
hapa Mratibu Elimu Kata
ya Keko, Bi Happines Elias
jijini Dar es Salaam naye
anasema haya kuhusu
Elimu Bure, kwa kweli
suala la Elimu bure nimelipokea kwa mikono miwili, mimi kama mwalimu
najua jinsi ambavyo wazazi
wamekuwa wakiangahika
na michango mbali mbali
kwa ajili ya watoto wao
shuleni, lakini baada ya vitu
hivi kuondolewa wazazi
na watoto wan amani na
watoto wanafanya vizuri
darasani kwa sasa kwani
hawana wasi wasi wa kufukuzwa.
Mratibu huyu ameongeza
kusaema kuwa anaipongeza Serikali ya Awamu ya
Tano kwa kujali elimu na
hasa baada ya kuondoa ada
haikuishia hapo bali imetoa
madawati kwa kila shule,
watoto hawakai chini tena.
Naye Bi. Mariam Yahaya,
mwanafunzi wa kidato cha
kwanza, Bunju Sekondari
anasema suala la Elimu
bure amelifurahia sana
kwani baada ya kumaliza darasa la saba hakuwa
na uhakika wa kuendelea
na masomo ya sekondari kwani wazazi wake
hawakuwa na uwezo wa
kumlipia ada na kuongeza
kuwa hivi sasa ana uhakika
kuendelea na masomo yake.
Kwa upande wa Wazi-

ri wa Nchi Ofisi ya
Rais, Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), George
Simbachawene anasema kuwa serikali ilivyojipanga kugharamia
elimu ya msingi, SERIKALI inapeleka Sh
bilioni 18.77 kila mwezi
kwa ajili ya kugharimia
elimu bure kwa shule za
msingi na sekondari.
Simbachawene
anabainisha kuwa katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama
zote za mtihani wa
kidato cha nne kwa
wanafunzi wote, tofauti
na miaka yote ambapo
wanafunzi hutozwa
gharama za mitihani.
Anasema fedha hizo
zitatolewa moja kwa
moja na Serikali kupia Baraza la Mitihani
(NECTA).
Majukumu ya Serikali
kuhusu utoaji elimu
bila malipo yameelezwa
katika waraka wa elimu
namba 6 wa mwaka
2015, Serikali itabeba
jukumu hili. Kutokana
na kuwabana mafisadi
tumeweza kupata fedha
za kutosha,anasisitiza
Simbachawene.
Kwa mujibu wa Waziri
huyo, Serikali inatoa
ruzuku ya uendeshaji
wa shule Sh 10,000 kwa
mwanafunzi wa shule
ya msingi na Sh 25,000
kwa mwanafunzi wa
sekondari kila mwaka.
Simbachawene anaongeza kuwa Serikali
itatoa fedha kwa ajili ya
fidia ya ada Sh 20,000
kwa kila mwanafunzi
wa shule ya kutwa na
Sh 70,000 kwa mwanafunzi wa sekondari kwa
mwaka.
Ama kweli Serikali ya
Awamu ya Tano imeonyesha dhamira ya
dhati ya kumkomboa
mwanachi hasa wa
kipato cha chini. Elimu
Kwanza na maendeleo
yanafuata. Hii inadhihirisha kuwa Serikali
hii imezidi kutambua
kuwa Elimu ni Ufunguo wa Maisha na ndio
maana suala la elimu
limepewa kipaumbele
na kuingizwa kwenye
mradi wa matokeo
makubwa sasa (BRN)

12

Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Bi. Sylvia Lupembe(Kulia) na


Msanifu Majengo wa Mamkala hiyo Bw. Peter Simon wakiwa na baadhi ya walimu wa shule ya
sekondari Ihungo walipoitembelea kwa ajili ya kuona hali halisi kabla ya kuanza kwa ukarabati.

Shule kongwe zakumbukwa


Na Hassan Silayo

iongozi wengi wa
nchi hii walipata elimu yao ya
sekondari katika shule
ambazo ni kongwe. Shule
hizi zimechakaa kimiundombinu hivyo kuhitaji
ukarabati mkubwa.
Kwa kutambua umuhimu
na mchango wa shule hizo,
hasa za sekondari, Serikali
ya Awamu ya Tano imeamua kuzikarabati ili ziwe
na miundombinu bora kwa
ajili ya ya kuweka mazingira mazuri ya kusomea kwa
kizazi hiki na vizazi vijavyo.
Ni dhahiri wanafunzi
pamoja na walimu wanahitaji mazingira mazuri
ya kujifunzia na kufundishia ili waweze kutimiza
malengo yao kulingana
na hatua mbalimbali wanazopitia kupata elimu.
Wakati wa vikao vya Bunge
la kumi na moja la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania,
Waziri wa Elimu, Sayansi,
Teknolojia na Mafunzo
ya Ufundi Profesa Joyce
Ndalichako alisema moja
kati ya mkakati wa Wizara
yake ni kuzikarabati shule
kongwe nchini kutokana na
uchakavu wa miundombinu
hali inayosababisha utoaji
wa huduma ya elimu katika
shule hizo kutoridhisha
kama ilivyokuwa hapo awali.
Kauli hiyo aliirejea tena
siku ya maadhimisho ya
elimu Tanzania kwa kuweka bayana Uzinduzi wa
Mpango maalumu wa miaka
miwili unahusisha ukarabati wa shule kongwe 88 za
sekondari za serikali nchini.
Mazingira ya kufundishia
na kujifunzia yana mchango
mkubwa katika kuinua
ubora wa Elimu katika
ngazi zote kwani unamfanya
mwanafunzi na mwalimu
kuwa katika mazingira rafiki
ya kutimiza majukumu yao

Alisema Profesa Ndalichako.


Waziri Ndalichako alisema
kuwa Awamu ya kwanza ya
mpango huo utajumuisha
shule kongwe 33 ambapo kila shule imekadiriwa
kutumia shilingi bilioni 1.
Katika mpango huo,
shule hizo zitafanyiwa
ukarabati mkubwa wa miundombinu ya majengo
ya madarasa, nyumba za
walimu, mabweni, Mabwalo, uboreshaji wa maabara
na vitendea kazi vyake.
Profesa Ndalichako aliongeza
kuwa dhumuni la mpango
huo ni kurudisha uhalisia wa
shule hizo kama ilivyokuwa
zamani hali itakayowezesha mazingira rafiki katika
maeneo ya shule na kurudisha ubora uliokuwa
unatolewa na shule hizo
zilizokuwa zikijulikana kama
shule za vipaji maalum.
Pofesa Ndalichako Alizitaja
shule zilizo katika awamu ya
kwanza ya mpango huo ni
Ihungo, Nganza, Tabora Boys
na Tabora Girls, Mwenge,
Same, Ilboru, Msalato,
Kilakala, Mzumbe na Pugu.
Nyingine ni Azania, Kantalamba, Jangwani, Mpwapwa,Tosamaganga, Malangali, Milambo, Nangwa,
Kibiti, Minaki, Ifakara, Songea
Boys,Ndanda, Kigoma, Kibaha, Shule za Ufundi za Bwiru
Boys,Ifunda, Iyunga, Moshi,
Mtwara, Musoma na Tanga.
Katika kutekeleza Mpango huo Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA) ilifanya ziara
ya kutembelea shule zilizo
katika awamu ya kwanza ya
utekelezaji wa mpango huo
wanaodhamiria kufikia shule
kumi na moja ili kuona uhalisia wa hali halisi ya shule hizo
kwa kuangalia maeneo korofi
yanayohitaji marekebisho ikiwemo majengo ya madarasa,
nyumba za walimu, mabweni,
Mabwalo ya chakula, Jiko, Mifumo ya Umeme na maabara.
Akizungumzia mpango huo

Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Elimu


Tanzania Bibi. Sylvia Lupembe
anasema kuwa mpango huo
utatekelezwa katika shule kongwe 11 katika mikoa ya Kagera, Mwanza, Tabora, Singida,
Same, Arusha, Dodoma, Morogoro na Dar es Salaam kwa
kufanya ukarabati wa miundo
mbinu ambayo imekuwa kero
kwa wanafunzi na walimu na
kufanya mazingira ya kupata elimu kutokuwa rafiki.
Hali ya shule zetu kongwe
kwa kweli sio nzuri tumetembea kwenye mikoa takribani
tisa inayojumuisha shule
11 tumejionea halihalisi ya
miundombinu ya shule zetu
kongwe hazipo katika mazingira mazuri ya kujifunzia,
kupitia mradi huu tunataka
kuweka mazingira mazuri
ya watoto wetu kujifunzia
na tunaanza na shule hizi
kongwe Amesema Sylvia.
Aidha anaeleza kuwa mikakati
waliyoiweka kama mamlaka
katika kufanikisha suala hilo
mbali na kutumia rasilimali
za ndani ya mamlaka hiyo
wameamua kutoa fursa kwa
wahitimu wa shule hizo wa
miaka iliyopita kushiriki katika mpango huo kwa namna
moja au nyingine ili kufanikisha utekelezaji wa mpango wa
uboreshaji wa shule kongwe.
Sisi kama mamlaka tumeamua kutoa fursa kwa wale
waliowahi kuhitimu katika
shule kongwe nchini kushirikiana na Mamlaka katika
mpango huu wa uboreshaji
wa shule kongwe ili kwa
pamoja kusaidia kuweka
mazingira mazuri na rafiki
kwa ajili ya utoaji elimu na
kuzirudisha shule hizi katika hali yake ya zamani
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya
ya Same sasa Geita Mh.
Herman Kapufi akiizungumzia ziara hiyo ya TEA
ameshukuru Jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya
Elimu Tanzania (TEA) katika
kutekeleza miradi inayosaid-

ia kuongeza ubora wa elimu


nchini ikiwemo utekelezaji
wa mradi kukarabati shule
kongwe nchini utakaoboresha mazingira ya kufundishia
na kusaidia kuinua kiwango
cha elimu katika shule hizo.
Bw. Kapufi anasema kuwa
mpango huo umekuja katika wakati muafaka wakati uongozi wa wilaya ya
Same ukipambana kutatua
changamoto za elimu na
kuwaomba wadau kuipa
ushirikiano Mamlaka hiyo.
Kwa kweli napenda kuishukuru Mamlaka ya elimu
Tanzania kwa jitihada zake
hizi za kuboresha sekta ya
elimu nchini, wamefanya kazi
kubwa sana katika wilaya hii
kwa kipindi chote nilichokuwa
hapa kama mkuu wa wilaya,
shule zetu kongwe zimechoka
sana na zinahitaji ukarabati ili kuweza kuzirudisha
katika hali yake ya kawaida
kwa utekelezaji wa mpango
huu Anasema Mh.Kapufi.
Akizungumzia kuhusu
mpango huo wa uboreshaji wa shule kongwe nchini
Mwalimu Mkuu wa shule wa
Shule ya Sekondari Nganza iliyoko jijini Mwanza Bi.
Yacinta Lyimo aliishukuru
Mamlaka ya Elimu Tanzania
(TEA) kwa Utekelezaji wa
mpango huo kwani utasaidia kuboresha mazingira ya
kufundishia na hata kusaidia
kuinua kiwango cha elimu
na ufaulu katika shule hizo.
Bi. Yasinta anasema kuwa miundombinu ya shule kongwe
imechoka hasa katika maeneo ya Madarasa, Mabweni,
Maabara, Vyoo, Mabwalo
ya Chakula, Nyumba za
walimu na mifumo ya umeme
hivyo mpango huu kwa kiasi
kikubwa utasaidia kuzirudhisha shule hizi kwenye hadhi
yake na kuzifanya kuwa na
mandhari nzuri za kuvutia
wanafunzi, walimu na wazazi.
Bw. Omari Kisuda Afisa
Elimu wa Manispaa ya Sin-

gida anasema kuwa Mpango


huo wa maboresho ya shule
kongwe nchini ni mkombozi
katika sekta ya elimu na umekuja kwa wakati kwani uhitaji
wa maboresho ya shule hizo
unahitajika hasa kutokana na
baadhi ya shule kushindwa
kufanya ukarabati wa mara
kwa mara kutokana na ufinyu
wa bajeti na kuziacha shule
zikiendelea kuharibika hali inayosababisha hata kupunguza
ari ya ufundishaji kwa walimu
na kupunguza ufaulu kwa wanafunzi kutokana na mazingira magumu ya ufundishaji.
Akizungumzia mikakati ya
usimamizi wa uboreshaji
wa shule hizo Mkadiriaji wa
Majengo Bw. Peter Simon
anasema kuwa mamlaka
tayari imeshapata washauri
wa mradi na wameshapita
katika shule zote kumi na
moja zilizokatika hatua ya
kwanza ya utekelezaji.
Bw. Simon anaongeza kuwa
Mamlaka itawashirikisha
makandarasi wa halmashauri katika maeneo zilipo
shule hizo ili kuhakikisha
usimamizi wa karibu wa
utekelezaji wa mradi huo
ili kuweza kuhakikisha kazi
inayofanyika inakuwa na
ubora kama lengo la mamlaka hiyo waliyojiwekea.
Rai yangu kwa wadau wa
sekta ya elimu nchini ikiwemo wahitimu wa zamani
wa shule hizo (alumni) ni
kujitokeza katika kuiunga
mkono Mamlaka ya Elimu
na Serikali kwa ujumla katika
kutekeleza mradi huo.
Hatua ya kusimamia uboreshaji wa shule kongwe za
sekondari nchini, italeta ari
kwa wanafunzi na kusaidia
kuboresha kiwango cha elimu
ikiwemo ufaulu Kwa ujumla
ikiwa mpango huo unatajwa
kuwa ni mkombozi kwa shule
hizo ambazo mvuto wake
utaendelea kama ilivyokuwa
zamani tofauti na ilivyosasa.

13

HAPA KAZI TU

HAPA KAZI TU

MATUKIO KATIKA PICHA

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Magufuli wakiwasalimia na baadhi ya Watanzania waliojitokeza wakati
Bw. Narendra alipowasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli


akiweka silaha za asili kwenye Mnara wa Mashujaa leo Mkoani Dodoma wakati wa
shughuli ya maadhimisho ya Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa Tanzania

Wananchi wakifanya usafi kutekeleza agizo la Rais John


Magufuli kufanya hivyo kila Jumamosi ya Mwisho wa
Mwezi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Kijiji cha Nanga Wilaya ya Igunga
Ndugu Masesa Kishiwa Makala kutoka Chadema wakati akiwa safarini
kuelekea Nzega Mkoani Tabora

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli Rais Dkt. John Magufuli akifungua kitambaa kuashiria uzinduzi
akisalimiana na Baadhi ya Wazee wakati kwenye kituo cha kulea wazee cha rasmi wa Daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam
Nkaseka ambapo alitoa misaada ya Chakula, Mavazi pamoja na Vifaa vya
Malazi.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Jakaya Mrisho Kik- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame, Mwakilishi Mkazi
akisalimiana na Mwakilishi maalum wa Masuala ya Maji kutoka Shiri- wete akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya
wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Bi Tonia Kandiero, Waziri
ka la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Katiba ya Jamhuri ya wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa
na Rais Mstaafu wa Kenya Mhe. Mwai Kibaki wakati wa Ufunguzi wa Muungano wa Tanzania na Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Daraja la Rusumo
linalounganisha nchi za Rwanda na Tanzania.
Maadhimisho ya Sita wa Wiki ya Maji ya Afrika.

Sehemu barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es salaam yenye


urefu wa kilometa 4.3 iliyopanuliwa kufuatia agizo la Rais Dkt John
Pombe Joseph Magufuli la kutumia fedha shilingi bilioni nne zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru.

14

Sehemu ya Kurukia Ndege kwenye uwanja wa Ndege uliopo


Mkoani Dodoma ambao Serikali ya Awamu ta Tano imeamua
kuupanua ili kuweza kuhudumia ndege kubwa

15

Mifuko ya Hifadhi ya Jamii yajipanga


kuwekeza kwenye viwanda
Na Fatma Salum

anzania ni
miongoni mwa
nchi zilizobarikiwa kuwa na rasilimali
nyingi zikiwemo madini, mbuga za wanyama,
mlima Kilimanjaro,
misitu, ardhi yenye rutuba, maziwa na bahari.
Baadhi ya mazao ya
rasilimali hizo huweza
kusaidia katika shughuli
za uzalishaji kwenye
viwanda.
Kwa kutambua umuhimu
wa rasilimali
hizo, Serikali
ya Awamu ya
Tano chini ya
uongozi wa Rais
Mhe. Dkt. John
Pombe Magufuli imejikita
katika kufufua
sekta ya viwanda ili Tanzania
iwe miongoni mwa nchi
zenye uchumi
wa kati ifikapo
mwaka 2020.
Jitihada hizi
za Serikali ya
Awamu ya
Tano zinalenga kufanikisha kile
ambacho kiliwahi
kuwepo na kupotea
baada ya ubinafsishaji
katika miaka ya 90.
Ikumbukwe kuwa
Tanzania ilikuwa na
viwanda vingi ambavyo
vilishindwa kuzalisha na kubinafsishwa
kwa baadhi ya watu
ambao nao walishindwa kuviendeleza.
Tanzania imekuwa na
viwanda vya nguo kama
vile Mwatex, Mutex,
Kilitex, Sungura Textile,Tanganyika Packers na UFI ambavyo
baadhi yao vimebaki
kama magofu kwani
havizalishi chochote.
Rais Magufuli ameonyesha kutofurahishwa
na hali ya nchi kuwa na
rasilimali nyingi lakini
hazitumiki ipasavyo
kuchangia uchumi
wa Taifa hasa kupitia
viwanda akitolea mfano wa uwepo Bahari
ya Hindi toka Tanga
hadi Mtwara lakini
hakuna hata kiwanda
kimoja cha samaki.
Hali hii ndio inaleta

msukumo kuwa lazima Tanzania iwe na


viwanda kwa kuwa
samaki wa kutosha
katika eneo hilo wapo.
Malighafi nyingine ambazo zinatoa msukumo
wa kuanzisha viwanda
hapa nchini ni uwepo
wa chuma cha kutosha
huko Liganga, ardhi
nzuri ya kilimo na gesi
ambayo inaweza kusaidia uzalishaji wa nishati
ya umeme kwa ajili ya

NSSF wamekusudia
kujenga kiwanda cha
sukari mkoani Morogoro
na hivi sasa wako kwenye
hatua za awali za utekelezaji wa mradi huo.
NSSF tayari wameanza
kufanya utafiti wa awali
(Preliminary Studies)
kuhusu namna watakavyoanzisha kiwanda
hicho ambacho kinatarajiwa kupunguza uhaba
wa sukari na kutoa ajira
kwa vijana hapa nchini.
Shirika hilo pia limepanga

HAPA KAZI TU

huo umetenga kiasi


cha shilingi bilioni 8
kwa ajili ya uwekezaji kwenye viwanda.
Wanatarajia kufufua kiwanda cha chai kilichopo
Lushoto mkoani Tanga
ambacho tayari utafiti
wa awali umeshafanyika na hatua nyingine
za ufufuaji wa kiwanda
hicho zinaendelea.
LAPF kwa kushirikiana
na mwekezaji binafsi
wamepanga kujenga
kiwanda cha kutengeneza bidhaa za pamba mkoani Shinyanga

Moja ya mitambo ya kuzalisha Umeme


kusukuma
mitambo viwandani.
Ili kufanikisha hilo
Serikali ya Awamu ya
Tano imeona ni vyema
kushirikiana na Mifuko
ya Hifadhi ya Jamii ikiwemo Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Mfuko wa Pensheni wa
PSPF, Mfuko wa Akiba
ya Wafanyakazi Serikalini(GEPF), Mfuko
wa Pensheni wa PPF na
Mfuko wa Pensheni wa
LAPF kufanya uwekezaji
mkubwa katika uanzishwaji na ufufuaji
wa viwanda nchini.
Ni wazi kuwa uanzishaji
wa viwanda hivi utapunguza changamoto ya
ukosefu wa ajira nchini hasa kwa vijana na
kukuza uchumi wa taifa
letu kwa kiasi kikubwa.
Katika kutekeleza hilo
NSSF imepanga kujenga
viwanda, kuingia ubia
na viwanda mbalimbali pamoja na kutoa
mikopo kwa wawekezaji
wa viwanda na kilimo ili kusaidia kuinua
uchumi wa nchi.

kutoa mikopo kwa kiwanda cha kuua mazalia ya


mbu kilichopo Kibaha na
Bodi ya Nafaka na Mazao.
Aidha NSSF imepanga
kuwekeza kwenye miradi
ya umeme na wanatarajia
kuanzisha uzalishaji wa
umeme wa gesi eneo la
Mkuranga mkoani Pwani.
Mradi huo wa kuzalisha
umeme utagharimu dola
za kimarekani Milioni
450 na utaweza kuzalisha
Megawati 300 ambazo
zitaelekezwa kwenye gridi
ya taifa na tayari zabuni
za mradi huo zimeshatangazwa ili kupata
mwekezaji mwenza.
NSSF kwa kushirikiana na
Kampuni ya Wajerumani wanatarajia kuwekeza
kwenye mradi wa ujenzi
wa kiwanda cha kuzalisha
mbolea za kilimo wilayani
Kilwa utakaogharimu
dola za kimarekani Bilioni 2, ambapo mradi
huo upo kwenye hatua
za awali za utekelezaji.
Naye Mkurugenzi
Mkuu wa mfuko wa
LAPF Bw. Eliud Sanga
amesema kuwa mfuko

ambacho kitazalisha gozi


na bandeji kwa ajili ya
matumizi ya hospitalini.
Hatua hiyo itasaidia
kupunguza gharama
ambazo hivi sasa Serikali
inaingia kununua bidhaa
hizo kutoka nje ya nchi.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mipango na
Uwekezaji wa LAPF Bibi.
Rose Metta, LAPF pia
wana mpango wa kufanya tafiti kwenye uwekezaji wa kiwanda cha kusindika zabibu na bidhaa
zitokanazo na wanyama
hasa ngozi ili kuongeza
thamani ya bidhaa hizo.
Nao mfuko wa GEPF
katika mwaka wa fedha
2016/2017 umetenga kiasi cha shilingi
bilioni 20 kwa ajili
ya uwekezaji kwenye
sekta ya viwanda.
Mkurugenzi wa mfuko
huo Bw. Daud Msangi
ameeleza kuwa wamepanga kuwekeza katika
Kiwanda cha Vipuri cha
Kilimanjaro (Kilimanjaro Machine Tools Company KMTC) amba-

po majadiliano baina ya
Mfuko na Shirika la Taifa la
Maendeleo (NDC) yamefanyika na tayari rasimu ya
upembuzi imewasilishwa.
Lengo ni kujenga kinu
cha kuyeyushia chuma
(foundry) ili kiwanda
kiweze kuzalisha vipuri
na mashine mbalimbali
za uzalishaji zitakazouzwa
katika soko la ndani na
nje. Tayari Menejimenti ya
Mfuko imetembelea kiwanda Julai 16 mwaka huu ili
kupata uelewa wa kiwanda
na changamoto zinazokikabili. Pamoja na ujenzi
wa kinu hicho, mfuko
unakusudia kutoa fedha za
uendeshaji (working Capital) anasema Msangi.
Mbali ya kuwekeza katika Kiwanda cha Vipuri
cha Kilimanjaro, mfuko
huo una nia ya kuwekeza
kwa pamoja na Benki ya
Maendeleo ya TIB katika kiwanda cha nyama
kinachojengwa Ruvu.
Kwa mujibu wa Bw. Msangi mfuko huo utaendelea
kushirikiana na NDC na
TIB ili kuweza kubaini
fursa nyingine kwa ajili ya
uanzishwaji au uendelezaji
wa viwanda mbalimbali.
Nao Mfuko wa Pensheni wa PSPF unaendelea
kuwekeza kwenye kilimo na
viwanda maeneo ambayo
yanachangia kuongeza ajira
na kukuza pato la nchi.
Maeneo hayo ni pamoja
na kiwanda cha nguo cha
21st Century cha Morogoro na kiwanda cha saruji
Tanga (Tanga Cement),
Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) na Kampuni
ya Bia Tanzania (TBL).
Katika mikakati yao ya sasa
PSPF wameainisha maeneo
mapya ya kuwekeza ambayo ni kwenye viwanda
vya pamba, chuma, ngozi,
magadi na ukanda maalum
wa uwekezaji (EPZA).
Mikakati hii ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
ikitekelezwa vyema chini ya usimamizi thabiti
itasaidia kuinua uchumi
wa nchi na pia kuchochea maendeleo ya sekta
nyingine ikiwemo kuboresha maisha ya watanzania
na taifa kwa ujumla.

16

HAPA KAZI TU

Serikali yawashukuru wadau wa Michezokufikia malengo alisema

Raymond Mushumbusi

erikali imewashukuru wadau wa michezo nchini kwa


kujitokeza na kuwa mstari
wa mbele kushiriki na
kudhamini michezo
mbalimbali nchini.
Shukrani hizo zimetolewa
leo na Naibu Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa
na Michezo Mhe. Anastazia Wambura alipokuwa
akizungumza na wanamichezo wanaokwenda

kushiriki mashindano ya
Olimpiki kwa mwaka 2016
yanayofanyika Jijini Rio
dejaneiro nchini Brazil.
Mhe. Anastazia Wambura
amesema kuwa wadau
wa michezo wamekuwa
wakishirikiana na Serikali
sio katika suala la michezo
pekee hata katika habari
na Sanaa na amewapongeza kampuni ya vingamuzi
ya Multichoice Tanzania
(DSTV) na Bodi ya Utalii

katika azma yao ya kuunga mkono maendeleo ya


sera ya michezo nchini.
Napenda kuwashukuru
wadau wetu Dstv na Bodi
ya Utalii, nawapongeza kwa kuona fursa hii
muhimu na kuitumia
kuwatia moyo wawakilishi wa nchi yetu katika
michezo ya Olimpiki kwa
mwaka 2016 mueendelee
kuiunga mkono Serikali
katika kutekeleza sera ya
maendeleo ya Michezo ili

Mhe. Anastazia.
Aidha amewataka wawakilishi wa Olimpiki kutumia fursa hii ya wadau
wa michezo waliojitokeza
kuwaunga mkono ikiwemo
Bodi ya Utalii kutangaza
utalii wa Tanzania kwa
mataifa mengine watakayo
kutana nayo katika mashindano ya Olimpiki nchini
Brazil.
Kwa upande wake Mkurungezi Mkuu wa Multichoice
Tanzania Bw.Maharage

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akikabidhi
bendera katika hafla ya kuwaaga wanamichezo wanaokwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Brazil
katika mashindano ya Olimpiki kwa mwaka 2016.

Serikali kuendelea kusimamia sekta ya Filamu


zimekuwa zikiingia nchini
Waziri alizitaja sheria
na Muziki nchini
kwa magendo bila kulipiwa
nyingine kuwa ni sheria
Na Lorietha Laurence

erikali imefanikwa
kukamata jumla ya
bidhaa za filamu na
muziki 94,000 ambapo
93,529 ni za wasanii wa nje
zilizoingia nchini kinyume
na sheria huku bidhaa
273 za wasanii wa ndani
zikiwa hazina stampu ya
ushuru wa bidhaa kutoka Taasisi ya Mapato
Tanzania(TRA) zikiwa
ni takwimu za awali.
Hayo yamejiri kufuatia
zoezi la kushtukiza lililofanywa na Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.
Nape Nnauye leo katika
soko la Kariakoo jijini
Dar es Salaam na kuahidi kwamba zoezi hilo
litafanyika nchi nzima.
Aidha aliongeza kuwa
mpaka sasa takribani
maduka 42 yamekaguliwa

na kukamata mitambo 19
ya kufyatua kazi za wasanii
(duplicators),printer 8
za Cd/Dvd,dvd writers
31,komputa 3,ups 7 kutoka
kampuni ya Aguster.
Hatua hii ni ya mwanzo
kwa kuwaonyesha Watanzania kuwa agizo la Rais
wa awamu ya Tano Mhe.
Dkt.John Pombe Magufuli la kulipa kodi na
kununua bidhaa halisi
kwa kutoa risiti linasimamiwa ipasavyo, alisema Mhe. Nnauye.
Mhe.Nnauye aliongeza kuwa wauzaji wengi
wa bidhaa za filamu na
muziki wamekiuka sheria zinazosimamiwa
na tasnia ya Filamu na
muziki ikiwemo sheria
ya Filamu na Michezo
ya kuigiza na.4 ya mwka
1976 inayosimamiwa na
Bodi ya Filamu Tanzania.

ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) na.23 ya


mwaka 1984, Sheria ya
Hakimiliki na Hakishiriki
na.7 ya mwaka 1999 inayosimamiwa na Chama cha
Hakimiliki na Hakishiriki ( COSOTA) pamoja
na sheria ya Ushuru wa
Bidhaa sura ya 147 chini
ya kanuni za stampu kwa
bidhaa za Filamu na Muziki ya mwaka 2013 inayosimamiwa na Mamlaka ya
Mapato Tanzania(TRA).
Alifafanua kuwa uchumi
wa nchi na wasanii umehujumiwa sana kufuatia
kuwepo kwa bidhaa za filamu zinazoingizwa nchini
na kuuzwa kwa bei nafuu
na kuua soko la bidhaa za
ndani na kuingiza tamaduni zisizofaa katika jamii
na hivyo kuchochea vitendo viovu ikiwemo ushoga.
Bidhaa nyingi za filamu

kodi na zimekuwa zikuuzwa kwa bei nafuu na hivyo


kudidimiza kazi za wazawa na kuikosesha Serikali
mabilioni ya fedha kupitia
kodi alisema Mhe.Nnauye.
Waziri Nnauye alitoa wito
kwa Watanzania kuwa
na tabia ya uzalendo
kwa kukunua bidhaa za
filamu zenye stampu ya
TRA ili kusaidia katika
kukusanya kodi na kuinua kipato cha wasanii.
Kwa upande wake Afisa
Uhusiano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. George Haule
amewaomba wananchi
waunge mkono jitihada
za Serikali kwa kununua
bidhaa za filamu zenye
stampu ya TRA ili kusaidia kuongeza pato la kodi
na kukomesha wale wote
wanaokwepa kulipa kodi.

Chande ameishukuru
Serikali kwa kuwapa fursa
ya kushirikiana na timu ya
Olimpiki kuitangaza michezo na kuitangaza Tanzania kimataifa na kuahidi
kuendelea kushirikiana na
Serikali katika kuendeleza
michezo nchini.

Tumieni fursa
ya Uwanja wa
Taifa.
Na Lilian Lundo

ivi karibuni Waziri


Mkuu wa Jamhuri
ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Kassim
Majaliwa Majaliwa alikutana na wadau wa michezo jijini Dar es salaam
na kuzitaka Kampuni na
wafanyabiashara kutangaza
biashara zao kupitia uwanja wa Taifa kwa ajili ya
kuiongezea Serikali mapato.
Uwanja wetu una hadhi
ya kimataifa lakini uwanja
huu hautumiki kutangaza biashara yoyote kama
chanzo cha mapato, badala
yake kuta za uwanja zimezungukwa na giza hasa
muda cha usiku, alisema
Mhe. Majaliwa.
Ameongeza kuwa kama
uwanja huo utazungukwa
na mabango ya matangazo
yataupandisha hadhi na
kubadilisha mandhari ya
uwanja hasa muda wa usiku na fedha zitakazopatikana zitatumika kuboresha
uwanja huo.
Hivyo Mhe. Majaliwa
amewataka wadhamini
wa michezo kujitokeza
kwa wingi kutumia fursa
hiyo ya kutangaza bidhaa
au huduma wanazozitoa
kupitia uwanja wa Taifa
ambao hutumika katika
mechi nyingi za kitaifa na
kimataifa zinazochezwa
nchini.
Amesema kuwa michezo
ni kielelezo kinachoweza
kutambulisha utamaduni
wa Taifa hivyo wadau wa
michezo washikamane
na Serikali na kuona ni
namna gani matatizo ya
michezo yatatatuliwa na
michezo kuendelezwa
nchini.
Serikali ya awamu ya tano
imejipanga kuendeleza michezo nchini kwa kuweka
misingi imara ya kuendeleza michezo kuanzia
umri wa chini, kurekebisha
sera na sheria za michezo
ziliopitwa na wakati, kujali
mafanikio, matatizo na
mambo muhimu yanayohusu michezo.

Gazeti hili hutolewa na Idara ya Habari (MAELEZO) S.L.P 8031 Dar Es Salaam.

17

You might also like