Professional Documents
Culture Documents
Mem 137 Online PDF
Mem 137 Online PDF
Mem 137 Online PDF
HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
TETEMEKO
Wabunge
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.137
51
Toleo No.
Limesambazwa
kwa Taasisi
naTaasisi
Idarana
zote
MEM
, 2015 16 - 22, 2016
Limesambazwa
kwa
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 JanuariSeptemba
abari Uk.2
h
a
m
o
S
TAARIFA KWA UMMA
TUKIO LA TETEMEKO LA ARDHI MKOANI KAGERA
3
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
TUKIO LA TETEMEKO LA
ARDHI MKOANI KAGERA
1 Tukio la tetemeko:
Tarehe 10/09/2016 saa 9 na
dakika 27 mchana kumetokea
tetemeko la ardhi mkoani Kagera.
Kitovu cha tetemeko hilo ni
kwenye makutano ya latitudo 10 06
na longitudo 31055 eneo ambalo
ni kilomita 20 kaskazini mashariki
mwa kijiji cha Nsunga na kilomita
42 kaskazini magharibi mwa mji
wa Bukoba (Picha Namba 1 na 2).
Kitovu hicho kilikuwa kilomita 10
chini ya ardhi kwenye eneo hilo.
Nguvu za mtetemo wa ardhi wa
tetemeko hilo ni 5.7 kwa kutumia
skeli ya Richter ukubwa ambao
ni wa juu sana kiasi cha kuleta
madhara makubwa. Kutokana na
ukubwa huu maeneo mengi ya
mkoa wa Kagera ikijumuisha mji
wa Bukoba yamepatwa na madhara
makubwa sana ikijumuisha nyumba
nyingi kupasuka (Picha Namba 3
na 4), watu wengi kujeruhiwa kwa
kuangukiwa na vifusi na kuta za
nyuma ambapo inakisiwa kuwa
watu 13 wamepoteza maisha yao.
2 Sababu za kutokea tetemeko hilo:
Kwa kuwa kitovu cha tetemeko
hilo kiko chini sana ya ardhi (Km 10)
na kwa kutafasiri umbile la mawimbi
ya tetemeko hilo yaliyonakiliwa na
vituo vya kupimia matetemeko ya
ardhi (Picka Namba 5) inaonekana
kuwa tetemeko hilo limetokana na
misuguano ya mapange makubwa
ya ardhi iliyopasuliwa na mipasuko
ya ardhi mithili ya mipasuko
kwenye bonde la ufa. Kwa kuwa
eneo lililokumbwa na tetemeko la
ardhi liko karibu na mkondo wa
magharibi wa bonde la ufa la Afrika
Mashariki inakisiwa kuwa mtetemo
huu umesababishwa na kuteleza na
kusiguana ka mapande ya miamba
juu ya mipasuko ya ardhi ya bonde
hilo la ufa.
5
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
TAHARIRI
Poleni Watanzania
kwa Tetemeko la
Ardhi
TUKIO LA TETEMEKO LA
ARDHI MKOANI KAGERA
>>Inatoka Uk. 2
(e)
Baki mahali salama hadi hapo mitetemo
itakapo malizika na kisha ujikague
kuona kama hujaumia na ndipo utoe
msaada kwa wengine ambao watakuwa
wameumia.
(f) Ondoka mahali ulipo kwa
uangalifu kuepuka vitu ambavyo
vitakuwa vimedondoka na kuvunjika
kwani vinaweza kukudhuru.
(g) Jiandae kwa mitetemo
itakayofuata baada ya mtetemo mkuu.
Tetemeko kuu huwa mara nyingi
linafuatiwa na mitetemo mingi midogo
midogo.
(h) Kumbuka kuwa matukio
ya matetemeko ya ardhi huweza
kuambatana na moto hivyo jihadhari
na matukio ya moto kwa vile tetemeko
la ardhi linaweza kusababisha kupasuka
kwa mabomba ya gesi au kukatika
kwa nyaya za umeme ama kuharibika
kwa vifaa vinavyotumia umeme na
kusababisha hitilafu ya umeme.
(i) Kama uko nje ya jengo wakati
tetemeko linatokea unashauriwa kubaki
nje, simama mahali pa wazi na uwe
mbali na majengo, miti mikubwa,
nguzo na nyaya za umeme na ujikinge
kichwani kadri inavyowezekana kwani
paa za nyumba, miti, nguzo na nyaya za
umeme vinaweza kudondoka na kuleta
madhara.
(j) Endapo utakuwa unaendesha
chombo cha moto wakati wa tukio la
tetemeko la ardhi unashauriwa usimame
kwa uangalifu sehemu salama na usubiri
hadi mitetemo imalizike ndipo uendelee
na safari yako kwani tetemeko linaweza
kusababisha barabara au madaraja
kukatika.
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya
Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
PROF. NTALIKWA AWATEMBELEA
WAATHIRIKA WA TETEMEKO KAGERA
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
akala wa Jiolojia
Tanzania (GST),
tarehe 13 Septemba,
2016, ulitoa taarifa ya
utafiti wa awali wa
tetemeko la ardhi baada ya kutembelea
eneo la kitovu cha tetemeko hilo katika
Kijiji cha Kigazi, kilichopo Kata ya
Minziro iliyopo Kilometa 88 Kaskazini
Magharibi mwa Bukoba Mjini.
Utafiti wa GST, umeainisha chanzo
cha tetemeko hilo kuwa ni msigano wa
mapande miamba katika uelekeo wa
Kaskazini kusini uliosababisha kuteleza
kwa pande la miamba kuelekea ulalo wa
Mashariki.
Kutokana na umbile la dunia lilivyo
kwa kufuata kipenyo cha dunia, eneo la
juu ni gumu ambako viumbe, udongo,
maji na hewa unapatikana, eneo lililo
ampuni ya
kuzalisha umeme
kwa kutumia
makaa ya mawe
kutoka nchini
Ujerumani ya STEAG
imeonesha nia ya kuendeleza
wataalam kutoka Tanzania
kuhusu teknolojia hiyo.
Kauli hiyo ilitolewa jijini
Dar es Salaam na Mkurugenzi
wa Huduma za Mtambo
kutoka kampuni ya STEAG,
Achim Nietzschmann
wakati alipokutana na Naibu
Katibu Mkuu katika Wizara
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
1.
Kamishna Msaidizi
wa Nishati
anayeshughulikia
Umeme, Mhandisi
Innocent Luoga (wa
pili kushoto) akikagua
mitambo ya kuzalisha
umeme kwa kutumia
mafuta ya dizeli
Wilayani Liwale.
2.
Mtambo wa kuzalisha
umeme kwa kutumia
Dizeli
Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Umeme, Mhandisi Innocent Luoga (wa pili kulia) akijadiliana jambo na Wataalam wakati
akikagua ujenzi wa Kituo kipya cha kusambaza umeme wa kiasi cha MVA 20 mkoani Mtwara.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
UKAGUZI WA MIRADI YA
UMEME LINDI NA MTWARA
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
anzania ni miongoni
mwa nchi 30 za Afrika
ambayo imepokea
msaada wa jumla ya Taa
2300 za Solar kutoka
Serikali ya China kupitia Kampuni
ya Poly Technologies Inc, kwa ajili
ya familia ambazo hazijafikiwa na
umeme wa Gridi ya Taifa.
Hayo yamebainika wakati wa
kikao cha kusaini mkataba wa
msaada huo, ambao ulisainiwa na
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
10
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
BUSINESS PERSPECTIVE
Email: salum.mnuna@gmail.com
By Salum Mnuna
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
11
12
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
he Tanzania Minerals
Audit Agency (TMAA)
is a semi-autonomous
institution established in
2009 under the Executive
Agencies Act, Cap. 245. The aim of
TMAA is to maximize Government
revenue from the mining industry
through effective monitoring and
auditing of mining operations and
ensuring sound environmental
management. TMAA is the successor
of the Minerals Auditing Section
under the Ministry of Energy and
Minerals which was responsible for
undertaking gold auditing of the
major gold mines in the Country.
The Ministry of Energy and
Minerals through the Sustainable
Management of Mineral Resources
Project (SMMRP) has been
supporting the TMAA by providing
new laboratory equipment.
Describing the TMAA Laboratory,
the Manager for Laboratory Services,
Engineer Mvunilwa Mwarabu, says
The Agency has a modern laboratory
which provides laboratory services
on behalf of the Government as well
as commercial services for mineral
explorers, miners, mineral traders,
buyers and exporters.
She adds TMAA Laboratory
receives all sorts of mineral ores,
concentrates, bullions, rock and soil
samples from individuals as well as
corporate entities to ascertain mineral
contents.
The main objectives of the TMAA
include improving delivery of quality
services, improving auditing of
quality and quantity of produced and
exported minerals, and strengthening
the auditing of capital investment and
operating expenditures of large and
medium scale mining entities.
Other objectives are strengthening
the auditing and monitoring of
environmental management of large,
medium and small scale mines,
strengthening management of
information on minerals produced
and exported by large, medium and
small scale mines and strengthening
the mechanisms for minerals royalty
collection from large, medium and
small scale mines.
Explaining the roles and functions
of TMAA, Mwarabu says that the
agency monitors and audits the quality
and quantity of minerals produced
and exported by large, medium and
small scale miners to determine
revenue generated and thus facilitate
collection of payable royalties. It
audits capital investment and
operating expenditure of the large and
medium scale mines for the purpose
of gathering taxable information and
provide the same to the Tanzania
Revenue Authority (TRA) and other
relevant authorities.
We also monitor and audit
environmental management,
environmental budget and expenditure
for progressive rehabilitation and
mine closure, Mwarabu says. She
adds that the agency also collects,
analyzes, interprets and disseminates
13
TMAA expands laboratory services through SMMRP
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
14
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Na Greyson Mwase
Tanzania, (TPDC).
Akizungumza katika kikao hicho
kilichokutanisha
pia watendaji kutoka
aibu Katibu Mkuu wa
Mamlaka
ya
Udhibiti
wa Huduma za
Wizara ya Nishati na
Nishati
na
Maji
(EWURA)
na TPDC,
Madini anayeshughulikia
Balozi
wa
Denmark
Nchini,
Einar
Madini, Prof. James
Jensen
alisema
kuwa
mara
baada
ya
Mdoe amekutana na
kukamilika
kwa
kiwanda
cha
mbolea,
Mabalozi kutoka nchi za Ujerumani
Tanzania itapata manufaa makubwa
na Denmark ikiwa ni mwendelezo
ikiwa ni pamoja na ajira, fedha za
wa maandalizi kwa ajili ya ujenzi
kigeni kutokana na kuuza mbolea nje
wa kiwanda cha mbolea wilayani
ya nchi na hivyo kuinua uchumi wa
Kilwa mkoani Lindi. Mbolea hiyo
nchi.
itatengenezwa kutokana na gesi asilia.
Wakati huohuo Naibu Katibu
Kiwanda hicho kitamilikiwa na
Mkuu wa Wizara ya Nishati na
kampuni za Ferrostaal Industrial
Madini anayeshughulikia Madini, Prof.
Projects ya Ujerumani, Haldor Topsoe James Mdoe alisema kuwa maandalizi
ya Denmark na Fauji Fertilizer
kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho
Limited ya Pakistan kwa kushirikiana bado yanaendelea ikiwa ni pamoja na
ushirikishwaji wa wadau mbalimbali.
na Shirika la Maendeleo ya Petroli
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
15