Professional Documents
Culture Documents
Imaan Newspaper Issue 81
Imaan Newspaper Issue 81
Imaan Newspaper Issue 81
ALHAMISI
Bei: Sh800/KSH80/Ush1,200/-
Uk.7
IMETHIBITIKA!
UK 5
Ulevi, zinaa
vinavyodumaza
elimu Tanzania
UK 14
Na.
1
2
3
4
5
6
7
8
MJI
DAR ES SwalaAM
ZANZIBAR
TANGA
MOROGORO
MTWARA
ARUSHA
DODOMA
MBEYA
ALFAJR
11:20
11:19
11:21
11:31
11:27
11:27
11:32
11:48
HABARI / TANGAZO
DHUHUR
6:27
6:27
6:31
6:36
6:28
6:40
6:40
6:52
ASR
09:48
09:49
09:54
09:57
09:46
10:04
10:02
10:12
MAGHARIB
12:19
12:20
12:26
12:26
12:13
12:39
12:33
12:41
ISHA
1:28
1:31
1:37
1:37
1:24
1:49
1:44
1:52
Na.
9
10
11
12
13
14
15
MJI
KIGOMA
MWANZA
KAGERA
TABORA
SHINYANGA
SINGIDA
IRINGA
ALFAJR
11:56
11:39
11:43
11:44
11:40
11:37
11:41
DHUHUR
7:06
6:53
6:58
6:53
6:52
6:46
6:44
ASR
10:28
10:17
10:23
10:15
10:16
10:09
10:04
TIF yachinja
ngombe 150,
mbuzi 1600
Idi el Hajj
NASSORO ABEID,
MOROGORO
fundisho Uislamu.
Sheikh Kundya alisema taasisi yake iligawa vichinjo hivyo
kwa wahitaji. Alisema, katika
mkoa wa Morogoro, vichinjwa
hivyo viligawiwa katika ofisi
kuu ya TIF ambapo wakazi
kadhaa wa mkoa huo walijitokeza kupata msaada huo wa
nyama.
Licha ya makao makuu ya
TIF, shughuli ya kuchinja na
kugawa nyama pia iliendelea
katika misikiti mbalimbali
hapa hapa mkoani Mogororo,
alisema Sheikh Kundya.
Sadaka hiyo ilitolewa na taasisi zifuatazo: Dar Al Ber Society ya Dubai (UAE), Sharjah In-
ISHA
2:11
2:02
2:09
1:57
2:00
1:51
1:439
Uchinjaji wa
mbuzi 1600 na
ngombe 150
uliofanywa na
TIF na kugawiwa
katika mikoa
mbali mbali
hapa nchini
katika sikukuu
hii ya Idi-el-Hajj.
MAGHARIB
01:01
12:52
12:58
12:47
12:49
12:40
12:32
HABARI
IMETHIBITIKA!
Vurugu Hijja
huletwa na
mahujaji
wa Kishia
NA MWANDISHI WETU
ijja ya mwaka huu 1437 Hijriyya imemalizika yapata wiki moja iliyopita pasina
tukio lolote baya kwa mahujaji ukiacha
wale waliofariki kwa matatizo ya kiafya.
Kwa mujibu wa mahujaji mbali mbali waliorejea nchini kutoka Makka, ibada hiyo ya Hijja
ilitawaliwa na utulivu mkubwa tofauti na miaka
mingine. Mbali na kuimarika kwa huduma na
taratibu za Hijja, kuna jambo moja kubwa limedhihiri. Ilibidi mahujaji wajiulize, hivi kuna nini
kimepungua mwaka huu? Ikabainika kwamba
ni kukosekana kwa mahujaji kutoka Iran, taifa
la Kishia lenye msuguano na Saudi Arabia wa
kiitikadi na kisiasa.
Miaka mingi tangu kufanyika kwa Mapinduzi ya Kishia ya Iran mwaka 1979, Iran ilipanga kutumia ibada ya Hijja kama jukwaa la kisiasa, jambo ambalo lilipingwa na Saudi Arabia.
Matokeo yake ni kutokea kwa vurugu na hata
mauaji katika mji wa Makka mara kadhaa zikianzishwa na harakati za mahujaji wa Iran waliolazimisha kufanya maandamano na mara nyingine wakijipenyeza na silaha na kusababisha
makabiliano na polisi wa Saudi Arabia.
Mwaka jana lilitokea tukio la mkanyagano
katika eneo la Jamaraati, mkanyagano uliosababishwa na makundi mawili ya mahujaji yaliyokuwa yakienda pande mbili tofauti kukutana
na kusababisha vifo vya watu wengi.
Idadi ya vifo ilifikia 769 kwa mujbu wa taarifa
rasmi za Saudi Arabia huku wengi wao wakiwa
mahujaji wa nchi ya Iran ambayo ilidai waliofariki ni zaidi ya 2,000.
Kama kawaida yake, Iran iliilaumu sana
Saudi Arabia kwa uzembe na hata kudai kuwa
tukio hilo ni mauaji yaliyopangwa na Saudi Arabia. Kwa mujibu wa Ayatollah Ali Khamenei,
Saudia ni wauaji wa mahujaji.
Alhamdulillahi ukweli umebainika. Mleta
vurugu na msababisha matukio ya mkanyagano kama lile la mwaka jana amejulikana. Mwaka huu mahujaji wa Iran walisusia kwenda Hijja
kwa kutokuridhika na hatua zilizochukuliwa na
Saudi Arabia kudhibiti mienendo ya mahujaji.
Matokeo yake ndiyo haya. Hijja imefanyika
na kumalizika kwa amani na utulivu mkubwa
kiasi haijawahi kutokea. Ni wazi kwamba mahujaji wa Iran ndiyo chanzo cha vurugu katika
Hijja.
LENGO LA UJENZI
WA HOSPITALI
KUWAPA
WANAWAKE
UHURU WA
KUELEZA
MATATIZO
YAO PINDI
WANAPOKUWA
WANAUMWA KWA
KUWAWEKEA
MADAKTARI
WANAWAKE
liyekuwa mama wa
maombezi katika kanisa la Pentekoste banana, jijini Dar es Salaam, Sophia Kenani na
Wakina mama wengine
watatu kutoka sehemu na
madhebebu tofauti ya Kikirsto wamesilimu na kuingia Dini Tukufu ya Kiislamu.
Wakielezea sababu zilizopelekea kuchukua uamuzi
huo, wote walisema wamevutika na ujumbe na mafundisho ya Uislamu. Sophia
(49) alisema amependa kuingia katika Uislamu kwa hiyari yake na hakuna mtu
yeyote aliyemlazimisha kuchukua uamuzi huo.
Sophia alisema miezi
minne nyuma akiwa Mkristu zilimjia ndoto na mawazo
ya kubadili dini na kuingia
katika Uislamu. Sophia alisema mara kadhaa mtu aliyevaa kanzu nyeupe alimjia
ndotoni na kumwambia
kuwa yeye (sophia) ni mtu
msafi na hivyo anafaa sana
kuwa Muislamu.
Baada ya kutokewa na
hali hiyo mara kwa mara, alisitisha kwenda Kanisani
kwa kipindi cha takribani
miezi minne mpaka alipofikia uamuzi wa kusilimu.
Zaidi, Sophia alisema
wakati alipokuwa Mkristo
akiabudu alisoma mpaka
kufikia ngazi ya uchungaji
na alikuwa akishikilia nyadhifa mbalimbali ikiwa ni
pamoja na mama wa
maombezi, (mtu anayetembea akiwashuhudia watu)
na mwalimu wa watoto.
Mimi ni mtu mzima
mwenye akili timamu na
sasa nina miaka 49. Nimesil-
nawake wa Msikiti wa
Mtoro, Saida Saidi Kimpinga, ambaye ndiye aliyewasilimisha alielezea furaha yake
na kuwakaribisha wanawake
hao katika Uislamu huku
akisema idadi hiyo ya watu
wanne wakina mama kusilimu kwa siku mmoja ni mara
ya kwanza kwa msikiti huo.
Mwenyezi Mungu kawafungulia kutambua haki
hakuna mtu aliyelinganiwa
na uongozi wa hapa msikitini labda huyo dada anayefanya hapo biashara zake
ndiye katueleza mwenyewe
kuwa yeye huwa anasikia
mawaidha ndiyo yaliyomkinaisha kuupenda Uislamu,
alisema dada Saida.
Aidha, Saida alisema uongozi wa msikiti wa Mtoro
umeshawapa vyeti vya wanawake waliosilimu na uongozi wa wanawake wanashirikiana kuhakikisha wanapata walimu kuwafundisha
wakina mama hao Uislamu.
TUJIKUMBUSHE
Muhtasari
Mosi, Madhehebu nyingi zilizoibuka katika kipindi cha mwanzoni
zilitoweka na kubakia madhehebu
nne kuu. Pili, Madhehebu zilifikia
ukomo wa uundwaji wake kimfumo
katika kipindi hiki. Tatu, ijtihadi
(kufanya juhudi kutoa ufumbuzi wa
masuala) nje ya madhehebu iliachwa na ijtihadi ya kimadhehebu
QIBLA
(MAQAAMAT)
MBALI MBALI
ZILIWEKWA
KUZUNGUKA
AL-KAABA,
MOJA KWA
AJILI YA IMAMU
KUTOKA
MADHEHEBU
HIZO NNE.
WAKATI
WA SWALA
ULIPOWADIA,
IMAMU WA
MADHEHEBU
MOJAWAPO
ALIONGOZA
SWALA KWA
AJILI YA
WAFUASI WAKE
Tanbihi
Kitendo hiki cha utawala wa
Saudi Arabia kuondosha umadhehebuu uliowagubika Waislamu na
kuwaunganisha waswali nyuma ya
imamu mmoja katika Al-Kaaba ni
katika mambo yaliyowachukiza
baadhi ya Waislamu. Makka wakati
huo ilikuwa chini ya mtawala
(Amiri) Sharifu Hussein bin Ali.
Abdulaziz ibn Suud ndiye aliondosha utawala wa Masharifu Makka.
Kupigwa vita kukubwa kwa ukoo
wa Ibn Saud unaotawala Saudi Arabia kutoka kwa waijiitao Masharifu
na Mashia ni kutokana na kuuteka
mji wa Makka na kurejesha Uislamu usiotambua madhehebu kama
dini ndani ya dini ya Kiislamu.
Hussein ibn Ali alikuwa ndiye
mtawala wa mwisho wa ukoo wa
Hashim (Bani Haashim) kutawala
Makka. Kwa kuwa alikuwa akiheshimika sana duniani kote, utawala
wa ukoo wa Ibn Suud ulianza na kuchukiwa na washabiki wa umadhehebu.
Utawala huo uliunga mkono
harakati za kuurejesha Uislamu katika hali yake ya kutokushabikia
madhehebu zilizoongozwa na
Sheikh Muhammad ibn AbdilWahhab (Allah amrehemu).
Chuki ilyoelekezwa dhidi ya ukoo
wa Ibn Suud ikamwelekea pia
Sheikh Muhammad ibn AbdilWahhab ambaye alikuwa mwanachuoni mfuasi wa madhehebu ya
Imam Ahmad ibn Hambal (Allah
amrehemu).
Huu ndio ukawa mwanzo wa
kile kinachoitwa harakati dhidi ya
Uwahabi yaani harakati dhidi ya
fikra za Muhammad ibn AbdilWahhab, harakati ambazo zinashadidiwa na maadui wa Uislamu, washirikina na watu wa bida.
Itaendelea Inshaa-Allah.
Waislamu wayakana
makundi potofu
yanayovuruga amani
NA.IBRAHIMU HAJJ, MOROGORO
Mkuu wa
Kituo cha
Dini cha
Kiislamu
cha
Al-Azhar
Al-Shariif,
Sheikh Said
Awadh
Abdul
Adhiim
MAKONGAMANO YA
KIISLAMU NI MUHIMU
ILI KUFUNDISHA
UMUHIMU WA
KUSHIKAMANA NA
DINI KWA KUFUATA
MIONGOZO SAHIHI
ILIYOMO KATIKA
KITABU CHA
MWENYEZI MUNGU
QURAN TUKUFU
fu pamoja na mafundisho ya Mtume Muhammad (rehema na amani ya Allah iwe
juu yake).
Kwa upande wake, mgeni rasmi katika
kongamano hilo, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Steven Kebwe aliwahimiza
waumini waliohudhuria kushikamana
pamoja na kufanya kazi kwa bidii sambamba na kuhakikisha wanailinda amani ya
nchi. Naye, Shekh Mkuu wa Mkoa wa Mo-
WATERCOM LIMITED
P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area Temeke,DareSwalaam, Tanzania. www.watercomtz.com, Email:info@watercomtz.com
HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA
TAHARIRI / NASAHA
The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: imaanmedia3@gmail.com
CHUMBA CHA HABARI: 0652 777 969 AFISA MASOKO: 0785 500 502
TOVUTI: www.islamicftz.org
NASAHA ZA WIKI
YUSUPH AMIN
f a ny a u b ay a , m n a j i f a ny i a
wenyewe (Quran,17:7).
Hakuna asiyefahamu kuwa,
ulinganiaji ni jukumu la umma,
na kila Muislamu atahesabiwa
kwa kutotenda majukumu yake
binafsi ya kiibada na kijamii.
Mtume kwa upande wake aliweza kuwaonesha Maswahaba
mfano mwema wa tabia nao
wakimfuata na kumuiga katika
matendo na kauli.
Changamoto kubwa tuliyonayo Waislamu wa sasa, ni
Karbala kabla ya kuiumba AlKaaba kwa miaka elfu 24 na akaitakasa na kuibariki na haijaacha
kuwa takatifu na yenye baraka kabla Allah hajaumba viumbe. (AtTahdhiib cha At-tuusiy, mjalada wa
6/72).
Na huyo huyo Al-Hurr Al-Amily
amesema katika upokezi mwingine
kutoka kwa Imam As-swaadiq:
Ardhi ya Al-Kaaba ilisema, nani
kama mimi na ilihali pamejengwa
juu yangu nyumba ya Allah juu ya
mgongo wangu, wananiijia watu
kutoka pande zote za mbali na
ATHARI NA
HADITHI ZA
KISHIA NI
NYINGI KATIKA
KUWATUSI
MASHEIKH
WAWILI
ABUBAKR NA
UMAR (ALLAH
AWARIDHIE)
NA KUDAI
KUWA WAO
WALIPONDOA
NA WALI
BADILISHA
KITABU CHA
ALLAH.
yemwita na hivi ndivyo alivyoshusha katika kitabu chake, Na pale
Mola wako alipowaleta katika wanadamu kutoka migongoni mwao
kizazi chao, na akawashuhudisha
juu ya nafsi zao, akawaambia je,
Mimi si Mola Mlezi wenu? Na ya
kuwa Muhammad ni Mtume
wangu na Ali ni Amiri wa Waumini. Hili ni limo katika usuul
Al-Kaafii (1:412).
Al-Kulayn naye alisema katika
tafsiri yake ya Aya: Basi wale waliomuamini yeye (Quran, 7:157)
yaani: Maimamu. Na wakamheshimu, na wakamsaidia, na
wakaifuata nuru iliyoteremshwa
pamoja naye; hao ndiyo wenye
kufanikiwa. (Quran, 7:157) yaani! ambao wamejiepusha na
kuabudu masanamu. Hii ni kauli
ya Al-Kulayni.
Kisha anasema Jibti na Twaghuti ni fulani na fulani. Hili limo
ndani ya Al-Kaafii ukurasa wa
429. Tazama katika kitabu cha AlKaafii hakutaja majina ya haya
Matwaghuti mawili kwa sababu
Al-Kulayn, (mwandishi wa kitabu
hicho) alikuwa wakati wa udhaifu
na unyonge.
Yeye, Muhammad bin Yakub
Al-Kulayni akasema: Fulani na
Fulani wakati ambapo Al-Majlisiy Sheikh wa dola ya Swafawiyah katika wakati wa nguvu na ulinzi alisema katika kitabu chake,
Bihaar-ul-Anwaar Juzuu 23
ukurasa wa 306, Muradi wa Fulani na Fulani ni Abubakr na
Umar(Allah awaridhie). Na hivi
ndivyo Al-Majlisiy alivyoona kuwa
Umar na Abubakr (Allah awaridhie) ni mashetani, (Allah
atukinge na upotofu huu.)
Imekuja katika tafsiri yake kwa
kauli ya Allah: Wala msifuate
nyayo za Shetani. Hakika yeye ni
adui yenu aliye dhahiri. (Quran,
2:168). Wamesema: Hatua za
shetani wallahi ni utawala wa fulani na fulani.
Na imepokewa kuwa Abuu
Abdillaahi amesema: Na mwenye
kumtii Allah na Mtume wake katika utawala wa Ali hakika huyo
amefuzu kufuzu kukubwa.
Amesema: Hivi ndivyo ilivyoshuka. Hili limo ndani ya Usuul-ulKaafi, juzuu ya kwanza ukurasa
wa 314.
Kadhalika imepokewa kutoka
kwa Abuu Abdillahi amesema: Jibrili alishuka kwa Muhamad na Ahli zake kwa aya hizi,
Enyi mliopewa kitabu aminini
yaliyoteremshwa kwa Ali ni nuru
Itaendelea
Hebu tujadili:
Katika gazeti la Mizani toleo namba
212 la Septemba 9, 2016, paliandikwa
makala isiyo na jina la mwandishi chini
ya kichwa cha habari: Kongamano la
Maulamaa laukana Uwahabi-Ladai si
katika madhehebu ya Ahlu Sunnah.
Katika makala hiyo paliandikwa
hivi: Sheikh Mkuu wa Al-Azhar Ahmad At-Tayyib alidaiwa kushiriki katika maamuzi ya kuwatoa Answar Sunnah kuwa si katika Ahlu Sunnah wal
Jamaa. Madai haya si mageni kwani ni
maarufu katika gazeti la Mizani kupitia
makala inayoandikwa na Mudir wa
Abudharr Muslim Mission, Dar es Salaam, ambayo ni kituo cha Mashia.
Alhamdulillahi, chuo cha Al-Azhar
Sharifu kimetoa msimamo wake
kwamba Saudi Arabia ni kitovu cha
Ahlu Sunnah wal Jamaa kama jibu kwa
wafitini hawa wa Kishia ambao daima
hawaishi njama za kuwagawa Ahlu
Sunnah wal Jamaa.
Mashia wanajua fika kwamba kama
Ahlu Sunnah wal Jamaa watabakia
kuwa Jamaaa yaani kundi moja kama
jina lao lilivyo, mikakati yao ya kuueneza Ushia katika nchi za Kisunni hauwezi kufanikiwa.
10
11
Tukio la ushindi
Ikiwa ni kwa sura ya kwanza, yaani
kupata ushindi, hilo ni jambo la kushukuriwa, kumnyenyekea yule aliyeneemesha jambo hilo, naye si
mwingine bali ni Allah Taala. Ni yeye
Allah anayeunusuru umma wake dhidi adui zake. Hakika, La haula wala
kuwwa illa billahi..
Allah Taala anasema: Na
Mwenyezi Mungu hakufanya haya ila
kuwa ni bishara kwenu, na ili nyoyo
zenu zipate kutua. Na msaada hautoki
isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu aliyetukuka.. (Quran, 3:126).
Akikunusuruni Mwenyezi Mungu
hapana wa kukushindeni na akikutupeni ni nani basi baada yake
atakayekuwanusuru?(Quran,
3:160).
Yapaswa tufanye kama Mtume (rehema na amani za Allah ziwe juu yake)
alivyofanya wakati wa ufunguzi wa
mji wa Makka. Aliingia huku akinyenyekea na kumshukuru Mola wake
kwa kusoma suratul- fat-hi. Abdillahi
ibn Maghfal anasema: Nilimuona
Mtume wa Allah siku ya ufunguzi wa
mji wa Makka akiwa juu ya ngamia
huku akisoma suratul-fat-hi.
Tukio la kushindwa
Na ikiwa ni kwa sura yapili, yaani
tukio la kushindwa, basi yatupasa
kuthibiti na kujizatiti katika kulazimiana na mafundisho ya Uislamu kwa
kuyahubiri bila ya kubadilisha na hususan katika maudhui zinazohusiana
na mambo ya itikadi na kadhia zinazohusu umma wa Kiislamu, hasahasa
uwekaji msisitizo katika masuala yanayohusu mfumo wa kielimu (mitaala.).
Kushikamana na Uislamu na imani ndiyo njia pekee ya kupata nusura
ya uhakika kwani si lazima ushindi
siku zote upatikane kwa njia ya kupigana.
Allah Mtukufu anasema kumwambia Mtume wake(rehema na amani za
Allah ziwe juu yake) na Maswahaba
wake watukufu, baada ya kumalizika
vita vya Uhud ambavyo Waislamu
walishindwa: Makundi mawili mion-
KUSHIKAMANA
NA UISLAMU
NA IMANI
NDIYO NJIA
PEKEE YA
KUPATA
NUSURA YA
UHAKIKA
KWANI SI
LAZIMA
USHINDI
SIKU ZOTE
UPATIKANE
KWA NJIA YA
KUPIGANA
goni mwenu yakaingiwa na woga
kuwa watashindwa na hali Mwenyezi
Mungu ndiye Mlinzi wao, na waumini
wamtegemee Mwenyezi Mungu tu.
(Qur-an, 3:122)
Basi msiregee na kutaka suluhu,
maana nyinyi ndiyo mtakaoshinda.
Na Mwenyezi Mungu yu pamoja
nanyi, wala hatakunyimeni malipo ya
vitendo vyenu. (Quan, 47:36).
Na kwa upande mwingine, hakika
sisi tunashuhudia Waislamu wengi,
pindi umma wao unapopatwa na
matatizo ya kushindwa, kufeli katika
majambo - baadhi yao hunyongonyea
na kukata tamaa haraka au kushikwa
na ganzi, na midomo yao haiachi
kutaja matukio yaliosababisha
washindwe au kutaja matukio yaliyowahuzunisha, bila ya kuonesha dira
au njia mbadala itakayoleta tija na
ufumbuzi, utakaoutoa umma kutoka
katika lindi la udhalili na kushindwa.
Katika hali kama hiyo, wapo baadhi yao walio tayari kujiunga na madhehebu au mitazamo potofu, wakidhani kwamba kufanya hivyo ni njia
mbdala itakayowanasua na matatizo
au kuwatoa katika hali ya majonzi na
huzuni..
Mtu anayeidurusu vizuri sera na
mwenendo mzima wa Mtume (rehema na amani za Allah ziwe juu yake),
atangamua ni jinsi gani Mtume alikabiliana na matukio kama haya, na ni
jinsi gani alikuwa akiwanasua Maswahaba wake (Allah awaridhie wote)
kutoka katika kipindi cha shida na
mateso na kuwapeleka katika hali ya
faraja na nusura.
Ipo mifano mingi katika sira na
mwenendo wa Mtume (rehema na
amani za Allah ziwe juu yake) inayoakisi taswira hiyo.
Mji wa Baghdad
ukiwa
umeangamizwa
na majeshi
washirika
wakiongozwa na
Marekani.
4. Hijra ya Mtume
Habari za kuhama kwa Mtume
5. Vita ya Ahzab
Tukio la vita vya Ahzab ni tukio
huenda linaakisi vizuri hali tuliyokuwa nayo hivi sasa, wakati makundi
ya makafairi yalipojikusanya pamoja
dhidi ya Waislamu, na wakawazunguka Waislamu kama bangili izungukavyo mkono, kwa lengo la kumua
Mtume na kuongoa mzizi wa Uislamu na Waislamu,
Quran imeeleza kwa ufasaha tukio
hili, pale Allah Taala aliposema:
Hapo ndipo waumini walipojaribiwa
na wakatikiswa mtikisiko mkali. Na
waliposema wanafiki na wale wenye
maradhi katika nyoyo zao, Mwenyezi
Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu.
Na kundi moja katika miongoni
mwao lililoposema, Enyi watu wa
12
AFYA YAKO
PAZI MWINYIMVUA
Uzalishaji wa nishati
Chakula kikiwa tumboni katika aina
ya wanga, sukari, mafuta na kama ipo
haja ya protini huvunjwa vunjwa na
kupata vipande vidogo zaidi (glucose, fatty acids). Vipande hivyo vidogo vidogo
hufyonzwa kutoka katika utumbo na kupelekwa katika damu na hatimae katika
chembe hai (cells) zinaunguzwa na kuupa mwili nishati (energy).
Vipande hivyo vidogo vidogo kama
vipo vingi kuliko mahitaji ya mwili ya kuzalisha nishati, vinabadilishwa na kuwa
mafuta na hatimaye vinahifadhiwa mwilini kwa matumizi ya siku zijazo. Na hii
ndiyo sababu ya watu wanaokula chakula
kingi kuliko mahitaji ya mwili wanakuwa
na unene au uzito uliopitiliza.
Kwahiyo, ili mwili usiwe na akiba
kupita kiasi lazima kukipunguza chakula kilichohifadhiwa
kwa njia kama kufanya
mazoezi, kufanya kazi
za kutoka jasho
kama kulima kwa
jembe la jadi,
kula kiasi na
kufunga
swaumumara
k w a
mara.
Matumizi ya Protini
Virutubisho vya protini vinaweza kutumika kuzalisha nishati pale ambapo
mtu anapokula vyakula vya protini kuzidi
mahitaji ya kujenga na kukarabati mwili.
Pia, kama mtu hali chakula cha kutosha
aina ya protini, nyama za mwili wake hutumika huvunjwa vunjwa na kuunguzwa
ili kupata nishati.
Kama hali hiyo itatokea mwili wa mtu
huwa mwemba kuliko kawaida. Kwa watoto hali hiyo inaweza kupelekea udumavu wa mwili na akili.
Matumizi ya nishati
Nishati inayozalishwa baada ya virutubisho kuunguzwa mwilini inahitajika
kwa kazi kuu tatu. Kwanza, nishati huuwezesha mwili kupumua, kusaga chakula, kuwezeha mzunguko wa damu, kuleta
joto, na na mwili kufanya kazi nyingine
zinazotuwezesha kuwa hai.
Pili, nishati inauwezesha mwili kuviunganisha virutubisho vya aina mbalimbali kama protini ili kupata chembe
chembe hai, damu, majimaji (fluids),
kinga ya mwili (antibodies) na vitu
vingine.
Tatu, nishati huwezesha misuli kujikunja na kukunjuka na hivyo kuweza
mtu kutembea, kulima, kuandika, kuzungumza, kwenda haja ndogo na
kubwa, mama kujifungua, kufanya mazoezi, kujisomea, kupigana vita na kazi nyingine.
Watu wanahimizwa kula mlo kamili
wenye wanga, mafuta kiasi, matunda,
mboga za majani na maji safi na salama
ili kupata virutubisho vinavyohitajika na
miili. Matunda na mboga za majani zitaupa mwili vitamini, madini na nyuzi
lishe za kutosha.
Wasomaji wetu
Baadhi ya wasomaji wetu wa gazeti la
hili wanakabiliwa na tatizo la unene na
uzito uliopitiliza. Wanasema maisha yao
yapo hatarini kutokana na athari za unene na uzito uliopitiliza unaowakabili
kama vile kukosa usingizi, kuchoka
Hospitali kwanza
Wale wote wenye uzito au unene kupita kiasi wanahimizwa kwenda hospitali
kwa ajili ya vipimo na ushauri zaidi wa
namna watakavyoweza kupunguza uzito
au unene bila ya kudhuru afya zao. Ni
hatari sana kununua dawa hata kama zitadaiwa kuwa ni za kiSunnah bila ya
kwanza kufika hospitali na kupimwa.
Matumizi ya dawa bila vipimo na ushauri
wa daktari unaweza kuharibu figo na viungo vingine.
Wajawazito
Kina
mama wajawazito wanahitaji virutubisho vya protini na vile vingine ili watoto
wao walio tumboni waweza kukua vizuri.
Vilevile, wajawazito wanahitaji virutubisho hivyo ili miili yao iweze kutengeneza mfuko wa uzazi (placenta), mafuta na
damu ya kutosha mwilini.
Mama mjamzito bila ya kuwa na
damu ya kutosha, wakati wa kujifungua
anaweza kupoteza maisha. Naye mama
anayenyonyesha anahitaji virutubisho
vya protini ili mwili uweze kutengeneza
maziwa ya kutosha. Bila ya hivyo, mtoto
atakuwa hashibi na kuweza kudumaa.
Virutubisho wezeshi
Muda wote mwili wa mwanadamu
unafanya kazi mbalimbali zikiwemo kusaga chakula, kuzalisha nishati, kusafirisha ujumbe kutoka kichwani kwenda viungo vya chini kupitia mishipa ya fahamu, kupumua, kujenga na kukarabati
mwili, kupambana na maradhi, yai la
mama kusafiri, mbegu za baba kusafiri na
kuweza kuingia ndani ya yai, kutoa uchafu kama mkojo, jasho na kinyesi.
Ili mwili uweze kufanya kazi zote hizo
unahitaji virutubisho vya kuwezesha kazi
kufanyika.
Virutubisho hivi vinahitajika katika
kiwango kidogo sana mwilini na kwa kimombo vinaitwa micronutrients. Virutubisho hivi ni vitamini na baadhi ya
madini.
Kwa mfano, mwili wa binadamu unahitaji aina mbalimbali za Vitamin B ili
kuwezesha kazi ya wanga aina ya glucose
kuunguzwa na hewa ya oxijeni (oxygen)
na kutoa nishati.
Watu wale vizuri
Watu wanahimizwa kula vyakula bora
vya aina mbalimbali na wasikose matunda na mboga za majani kila mlo ili kupata
virutubisho vya aina zote na kiasi cha kutosha.
Wito wa Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu kupitia Quran
Tukufu anawahimiza wanadamu kula
vya halali na vilivyo bora: Enyi watu kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za shetani, bila
shaka yeye kwenu ni adui dhahiri (Quran,
2:168).
Enyi Mlioamini kuleni vizuri tulivyokuruzukuni, na Mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa mnamuabudu yeye peke
yake. (Quran: 2:172). Na kuleni katika
vile alivyokuruzukuni Mwenyezi Mungu
vilivyo vizuri na halali na Mcheni
Mwenyezi Mungu ambaye nyinyi
mnamwamini (Quran, 5: 88).
13
UCHUMI NA BIASHARA
ABUU MAYSARA
okuruzukuni.
Kisha akamtaja mtu ambaye
yuko katika safari, nywele zake
zikiwa zimetimka na mwili
umeenea vumbi huku akiinua
mikono yake mbinguni huku
akiomba Yaa Rabb! Yaa Rabb!
(Anaomba) na huku chakula
chake haramu, na mavazi yake
haramu na amekulia katika mzingira ya haramu, ni vipi atajibiwa? (Muslim, Na. 1015).
Kwa hiyo muislamu usisome
3. Muamala wa Munaabadhah
Muamala huu ni muamala
wa kuuziana au kubadilishana
bidhaa pasina mnunuzi kuikagua wala muuzaji kuainisha sifa
14
YUSUPH AMIN
Serikali
imekuwa
ikipambana
usiku na
mchana ili
kuhakikisha
kiwango cha
ufaulu kwa
wanafunzi wa
shule za msingi
na sekondari
kinaongezeka.
Kuonesha
uthubutu,
miaka ya
hivi karibuni
serikali kwa
kushirikiana
na wadau
mbalimbali
walifanikisha
ujenzi wa
maabara za
masomo ya
sayansi katika
shule zake za
sekondari nchi
nzima.
Ulevi, zinaa
vinavyodumaza
elimu Tanzania
es Salaam, na hapo nikajifunza mengi. Moja ya matukio ninayoyakumbuka sana ni maisha ya baadhi ya
wanafunzi shuleni hapo kutawaliwa
na tabia za ulevi na uasherati.
Hali hii ilitamalaki zaidi kila ilipofika mwishoni mwa wiki, na katika mwanzo na mwisho wa mihula
ambapo ilikuwa ni kawaida kwa wanafunzi kufanya hafla ya kurejea
shuleni maarufu kama back to
school party.
Nilichostaajabu zaidi ni kuwaona
wanafunzi wenzangu ambao wengi
wao walikuwa wamepanga kwenye
mabweni ya jirani na shule, kila
mmoja akiishi chumba kimoja na
mwanafunzi mwenzake wa kike
mithili ya mume na mke. Kwa hakika nilikuwa nikipata gagaziko la nafsi kila nilipoitafakari hali hii, lakini
kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
nilifanikiwa kuhitimu kidato cha sita
pasi na kuathiriwa na mazingira.
Chimbuko la tatizo
Tukizungumzia malezi ya watoto,
tunazungumzia makuzi ya vijana
ambao ndiyo taifa la kesho. Katika
kile ninachoweza kukiita kujitia upofu wazazi wamekuwa wakiwapa
uhuru vijana wao kufanya kila wanachotaka tukidhani kuwa wao ni watu
wazima. Hali hii imesababisha kuwepo visa vingi vya utovu wa nidhamu kwa wanafunzi ambapo baadhi
yao wamekuwa wakijiingiza kwenye
vitendo vya kihuni. Rafiki yangu
mmoja ambaye ni mzee wa makamo
aliwahi kuniambia kuwa wakati akisoma malezi ilikuwa ni jukumu la
mzazi, mwalimu na jamii kwa ujumla.
Katika maelezo yake akanidokeza
kuwa walifanya hivyo kwa kutambua kuwa kuharibika tabia ya mwanafunzi mmoja athari zake husambaa kwa wengine kwa njia tofauti.
Aidha aliendelea kusema ni mbaya
kudhani katika jamii ni kundi fulani
tu la watu ndilo lenye wajibu wa
kusimamia malezi ya wanafunzi.
Kukosekana kwa utamaduni
huu wa malezi ya pamoja kulisababisha hata juhudi za wananchi za
kuwakamata wanafunzi wahuni na
kuwapeleka polisi kuishia patupu
kutokana na wanafunzi hawa kutopewa adhabu stahiki, alisema
Mzee huyo.
Ingawa hakuna utafiti wa kitaalamu unaobainisha chanzo cha wa-
MAKALA
15
Msahafu wa Imam
bali na hilo la Quran, pia tunasoma katika vitabu vya Mashia wakisema kuwa: Asiyeamini Uimamu wa Ali na watoto wake na wajukuu zake huyo ni kafiri, hata ikiwa anatamka Shahada, anaswali swala 5, anafunga swaumu ya Ramadhani, anatoa Zakka,
na anaenda kuhijji Makka. Yote hayo hayatamsaidia mtu huyo na mafikio yake ni
motoni kwa kuwa aliupinga uimamu.
Sasa, ndugu msomaji wa Makala hii,
hilo si dogo, kama Abdillahi Nasir anavyotaka kuwalaghai Waislamu kwenye kitabu
chake Shia na Quran - Majibu na Maelezo,
uk. 5. Nililotaka kulisema pale mwanzo wa
paragrafu hii ni kuwa Usunni hauwezi
ukawa sahihi na wakati huo huo Ushia nao
ukawa sahihi, kama vile ambavyo Uislamu
hauwezi ukawa dini sahihi na wakati huo
huo, ikawepo dini nyingine ambayo nayo
ikawa ni ya sawa na sahihi mbele ya Allah.
Nina maana ya kusema kuwa, Ushia
ukiwa ni itikadi sahihi basi Usunni lazima
uwe ni batili. Au, Usunni ukiwa ni itikadi
ya sawa na inayokubaliwa mbele ya Allah,
basi Ushia lazima uwe ni Batili. Haviwezi
vyote vikasimama na mtu akadai kuwa imani au itikadi zote mbili ni sahihi na ni safi
isipokuwa hitilafu zilizomo ni ndogo ndogo
tu!
Kwa maneno hayo, niwaombe
Masheikh zangu wote wenye kuifanya
Daawa hii, ya kuwalingania watu waje
kwenye dini na itikadi sahihi, wahakikishe
hili wanaliweka mbele katika kila mihadhara, minakasha, majadiliano, na kwenye
makala na mengineyo. Haiwezekani
Usunni uwe ni Uislamu na hapo hapo
Ushia nao uwe ni Uislamu.
Waingereza wana msemo usemao:
Two opposites, never converge. Waarabu
nao wana usemi; Adh-dhiddaani, laa yattafiqaani. Kiswahili chake ni Yakinzanayo, hayawafikiani. Kwa hiyo basi, kazi
yetu kwenye daawa hii iwe ni kuvunja nguzo za imani za Ushia. Kazi iwe ni kulivunja
sanamu la uimamu. Uimamu ukiporomoka, Ushia unakuwa kiwete.
Msijadiliane na Mashia kuhusu udhu.
Je! Tuoshe miguu au tupanguse.!? Msijadiliane na Mashia juu ya ubora wa Ali
dhidi ya Masahaba wengine! Mtapoteza
muda mwingi huko kwenye nukta hizo.
Mtachukua muda mrefu sana kutambua
nani kafiri na nani Muislamu kati ya Sunni
na Shia.
Muulize Shia ukikutana naye, ikiwa Uimamu wa Ali, uteuzi wake ni kutoka kwa
Allah Mtukufu, uteuzi ulioletwa duniani
na Jibril (amani imshukie), kisha uteuzi
huo ukatangazwa na Mtume Mtukufu
Muhammad (rehema na amani ya Allah
iwe juu yake), swali kwako ewe Shia Abubakr ndiye aliyekuwa wa kwanza kuivunja
amri hiyo kutoka kwa Allah, kwa itikadi
yenu, nyie Mashia, Je Abubakr mtamuitaje? Muumini au kafiri?
Kwa itikadi ya Mashia, kwa kuwa Abubakr aliipinga amri hiyo ya Uimamu wa
Ali, aliyeteuliwa na Allah Taala ni lazima
awe Kafiri. Endelea kumuuliza huyo Shia,
ikiwa hilo usemalo ni kweli, kwa muda wa
miaka 24 na miezi 9 , baada ya Mtume
wetu kufariki, Imamu Ali alikuwa akiswali
swala tano nyuma ya Imamu yupi?
Kumbuka, enzi hizo pale Madina,
msikiti ulikuwa mmoja tu, Waislamu wote
wa Madina wakiswali swala za jamaaa na
swala za Ijumaa hapo msikitini. Mpaka vipofu, waliamriwa wafike msikitini kuswali
Nukta ya Pili, Abdillahi Nasir anaukubali huo Msahafu wa Fatima kuwa upo.
Tabaan, ni wahyi kutoka kwa Allah. ni
kitabu (mkusanyiko wa makaratasi.) kilichoteremka baada ya Quran, kikiwa na
mafundisho, usia, utabiri wa mambo yatakayo kuja kutokea zama za mwisho wa
dunia. Kwa kifupi sana , huu ulikuwa ni
Wahyi kutoka kwa Allah, sub-haanahuu
wataAala.
Sasa kwa kuwa mlango wa wahyi
wameufungua Mashia katika dini yao,
(kwa Sunni, sisi Wahyi ulikoma mara tu
Mtume (rehema na amani ya Allah ziwe
juu yake) alipofariki dunia. Ndio maana
tunamuita Ahmad Mirza Qadiyani, kafiri.)
Tunawauliza Mashia, Ni lini mlango wa
wahyi ulifungwa?
Ghulam Ahmad Mirza Qadiyan, ambaye naye alidai kupata wahyi kutoka kwa
Allah, mtamkatalia vipi dai lake hilo ikiwa
nyie Mashia mnakubali kuwa wahyi uliendelea kushuka baada ya Mtume (rehema
na amani ya Allah zimwendee) kufariki?
Nukta ya Tatu: Kule kukubali kwao
Mashia kuwa kuliteremka kitabu baada ya
Mtume - (kwa hakika zaidi), kuliteremka
vitabu vingi baada ya Quran - kauli hii pekee inakutosha kukufanya uwe ni kafiri.
Kwa kukubali kwenu kuteremka msahafu wa Fatima, (ingawa si Quran, kwa Taqiyya yenu), ndiko kuliko wafanya Mashia
wenzenu; Imaamiya Ismaailiyya, kudai
kuwa Agha Khan aliteremshiwa wahyi na
kitabu (nao wanadai si Quran) kiitwacho
Jiinaan.
Nyie Mashia Ithna- Ashariyya mna
kitabu Msahafu wa Fatima (Wahyi kutoka
kwa Allah- Naudhubillah) na wao Mashia
Ismaailiyya Imaamiyya- wana kitabu- Jiinaan-(Wahyi kutoka kwa Allah- Nauudhubillah). Vipi hapo, mtakikubali kitabu
hicho?- (Hamkikubali, bali mnawaita hao
Mashia wenzenu kuwa ni makafiri). Ebwe!
Mlango wa wahyi mmeufungua nyie
wenyewe, sasa Ndugu zenu Mashia Ismailiyya, nao wanadai agha khan kapata
wahyi na kupewa kitabu- mnaruka kama
Ngedere. Mnawaita- Mashia Ismaailiyya
makafiri.
Yapo mengi sana, kwa leo tuachie hapo,
tutaendelea tena wiki ijayo, in shaa Allah,
kuelezea juu ya kitabu chao Mashia kiitwacho- msahafu wa Imamu Ali.
16
SEIF RUGA
Uhafidhina na
unganganizi wa jambo
Uhafidhina huu uwe ni wa kimtazamo wa kisiasa, kimadhehebu,
kikundi au kimakundi au uwe una
sura ya upetukaji mpaka kupenda au
kuchukia pindi unapoota mizizi ndani ya moyo wa mtu au akili yake huuzidi nguvu moyo na akili hiyo, na
mambo yote atakayofahamishwa
mtu mwenye maradhi ya aina hiyo
kuhusu dalili mbalimbali za
maandiko kutoka katika Quran na
Sunnah hawezi kuzikubali na kuzikiri.
Imamu Al-Mawrdiy (Allah amrehemu) amesema: Nilkuwa siku moja
na mtu mwenye uhafidhina (asiyetaka kubadilika kwa mujibu wa andiko
la Quran au hadithi ya Mtume) katika hafla fulani, ikawa mpinzani wake
ameleta hoja iliyo na mashiko ya ushahidi.
Jibu la mtu huyo lilikuwa hivi,
Hakika huu ushahidi aliouleta yeye
ni batili, na ni hoja dhaifu isiyokubalika, kwa sababu Sheikh wangu hajawahi hata siku moja kunielezea hoja
hiyo. Na kila ambacho Sheikh hakunifundisha basi hakina kheri ndani
yake.
wameshikamana na muongozo wa
Quran na Sunnah ya Mtume.
Lakini iwapo watakuwa wamezidisha jambo katika dini au kupunguza mfano kumfanya rafiki na kumthamini
mtu anyeunga mkono kikundi au taasisi
yao, bila ya kujali mtu huyo yupo katika
haki au batili; na kumchukia yule ambaye hakubaliani na mitazamo ya kikundi au tasisi yao, bila ya kujali kuwa yupo
katika haki au batili - Bila ya shaka huu
ndiyo utengano na tofauti ambayo Allah
Taala na Mtume wake (rehema na amni
za Allah ziwe juu yake) wameusema
vibaya na kuukataza.
Hakika Allah Taala na Mtume wake
wameamrisha umoja na mshikamano,
na wamekataza utengano na tofauti, na
wameamrisha kusaidiana juu ya wema
na uchamungu, wamekataza kusaidiana
juu ya madhambi na kufanyiana uadui.
Sababu za nje zilizochochea farka
miongoni mwa Waislamu
Tulizozijadili zilikuwa sababu za ndani ya Waislamu ambazo huchochea
uhasama na utengano kwa jamii ya
Waislamu. Zifuatazo ni sababu za nje ya
wigo wa Waislamu ambazo zinazopelekea mifarakano kwa Waislamu.
Miongoni mwa sababu zinazoleta tofauti ni kukosekana mshikamano katika
safu ya umma wa Kislamu ni vita ya utamaduni na itikadi za dini nyingine.
Dini hizo zimeuchukulia Uislamu
kuwa ni adui yao namba moja katika
huu uso wa dunia, kuanzia katika upande wa kiitikadi na kiutamaduni. Vita
hii si ya leo wala ya jana bali ilianza tangu
dahari, tokea tu pale mbegu ya Uislamu
ilipodhihiri juu ya mgongo wa ardhi,
tangu pale Mtume (rehema na amani ya
Allah ziwe juu yake) alipoanza kulingania ibada ya Mwenyezi Mungu mmoja.
Hapa tutaangazia kwa muhatsari
baadhi ya harakati za mashirika ya kimisionari wa kinaswara zilizofanywa na
zinazoendelea kuratibiwa kwa juhudi
kubwa ili kuzalisha tofauti na mpagaranyiko miongoni mwa Waislamu.
Hakika Uislamu ulikuja kuunganisha baina ya watu wa pande mbalimbali
za Waarabu zilizokuwa zikizozana mara
kwa mara, na pia kuunganisha watu wa
kheri mingoni mwa viumbe.
Kwa mfano tunajua kuwa Swahaba
Bilali bin Rabah (Allah amridhie) mwadhini wa Mtume, asili yake ni mhabeshi
wa Ethopia upande wa bara la Afrika, na
Swahaba Suhaib (Allah amridhie) asili
yake ni Mrumi, Swahaba Salman (Allah
amridhie) asili yake ni Mfursi.
Naye Mohammad bin Ishak mwanazuoni wa kwanza kuandika katika fani
ya sira (historia) ya Mtume (rehema na
amani zaAllah ziwe juu yake),asili yake
ni ni Mfursi. Imamu Attwabariy Sheikh
wa wanahistoria wa Kiislamu na wanazuoni wa tafsiri ya Quran, asili yake ni
Mturuki.
Unapochunguza kwa makini vitabu
vinavyozungumzia wasifu wa wasomi na
wanazuoni maarufu wa Kiislamu na
uvumbuzi wao uliochangia kupatikana
fani na taaluma mbalimbali za kielimu,
utawakuta wengi wametoka maeneo tofauti ya kidunia.
MAKALA
17
MTUME
ALIPOMBASHIRIA
SUHAIB:
MAZINGATIO Biashara imekuwa na faida Abuu Yahya
MATUKIO YENYE
ZAHARANI BARAKA
ya kilimwengu.
Mtume (rehema na amani ya
Allah iwe juu yake) alimwambia
Suhaib Ar-Rumi : Biashara
yako imekuwa ya faida Abuu
Yahya. Lakini watu hawa, wallioipa nyongo dini kwa ajili ya
maslahi ya kilimwengu, inafaa
tuwaambie biashara yenu imekuwa ya hasara.
Kuna namna nyingi mno za
kufanya biashara ya aina hii aliyoifanya Swahaba huyu wa
Mtume, licha ya tofauti kubwa
itakayokuwepo kati yetu sisi na
yeye ya hali, mazingira na umadhubuti wa imani.
Bado tunayo nafasi ya kufanya biashara za namna hii kwa
sababu kuna kutoa na kuchukua,
lakini katika biashara hii unachokitoa kinaonekana lakini unachokichukua hakionekani bali
kinategemea imani yako na utakasifu wa nia kwani hicho kinapatikana kwa Allah Mtukufu.
Njia za kutoa katika kheri ni
nyingi, maeneo ya kutoa ni mengi ambayo tumehamasishwa
ndani ya Quran na katika Sunnah za Mtume (rehema na amani ya Allah ziwe juu yake).
Tutumie neema za mali alizotupa Allah ili tufanye biashara
yenye faida. Uzito wa tukio la
Suhaib haupo katika wingi wa
mali aliyoiacha kwa ajili ya Allah
tu bali upo katika nia na imani
aliyokuwa nayo na utayari wa
kulifanya jambo kwa kufadhilisha radhi za Allah na kuonesha
mapenzi ya dhati kwa Allah na
Mtume wake.
Mwanza
Arusha
Kigoma
Tabora
Moro
Dsm
Masafa ya Imaan FM
1
2
3
4
5
6
Daresalaam
Morogoro
Arusha
Mwanza
Kigoma
Tabora
104.5 Mhz
96.3 Mhz
90.8 Mhz
105.6 Mhz
92.5 Mhz
101.6 Mhz
7
8
9
10
11
12
Mbeya
Dodoma
Ruvuma
Mtwara
Zanzibar
Pemba
90.3 Mhz
102 Mhz
94.2 Mhz
90.9 Mhz
104.5 Mhz
104.5 Mhz
Mbeya
Ruvuma
Mtwara
18
SEIF RUGA
Maana ya yamini
Neno yamini katika muktadha
wa lugha ya kiarabu, asili yake ni
mkono wa kulia kinyume cha
mkono wa kushoto. Sababu ya
yamini kuitwa kiapo kwamba
Waarabu waliapa kwa kushikana
mikono ya kulia kuonesha msisitizo wa kile walichokiazimia juu
yake. Kwa kuzingatia mazingira
hayo, kiapo kikaitwa yamini.
Ama yamini kwa kisharia ya
Kiislamu ni kuweka msisitizo katika jambo, kwa kutaja jina miongoni mwa majina ya Allah Taala au
sifa miongoni mwa sifa zake.
Maana na utaratibu
wa yamini (kiapo)
katika Uislamu (1)
Wail bin Hujur, akatokezewa ghafla na adui yake, ikawa watu wanababaika kuhusu kuapa, mimi
nikaapa kwamba yeye ni ndugu
yangu, yule adui yake akamwachia.
Tulipofika kwa Mtume wa Allah (rehema na amani za Allah ziwe
juu yake) nikamuhabarisha tukio
hilo ya kwamba mimi nimeapa
kuwa Wail ni ndugu yangu.
Mtume akasema, Umesema kweli
Muislamu ni ndugu wa Muislamu
mwingine(Abuu Daudi).
Uapaji katika jambo la Sunnah
Uapaji huu unahusisha maslahi baina ya mahasimu wawili au
unaondosha chuki na mifundo katika moyo wa Muislamu kutoka
kwa hasimu wake, au unaondosha
shari. Uapaji wa aina hii ni Sunnah
kwa sababu kufanya jambo hili
kumesuniwa, na yamini kiapoina hukumu na kupelekea katika
hilo.
nyinyi,wala si katika wao. Na huapa kwa uongo,na hali kuwa wanajua. (Quran, 58:14).
Na kwa kuwa uongo dhati yake
ni jambo la haramu, na utakapokuwa uongo huo umeapiwa,
huzidi mardufu uharamu wake.
Hutokea wakati ikaruhusiwa
kuapa juu ya jambo la uongo. Hii
ni pale itakapobainika uongo ni
sababu ya kuokoa maisha ya mtu
asiyekuwa na kosa, kwa kutaka kuuliwa kwa njia ya dhuluma.
Mfano, mtu asiyekuwa na kosa,
alijificha katika nyumba ya mtu
ambaye anafahamu kwa yakini
kuwa yeye hana kosa. Pindi
dhalimu na mbaya wake akimuulizia kwa minajili ya kutaka kumuua, inaruhusiwa kisharia kukanusha uwepo wake katika njumba
hiyo. Ukanushaji huu ni wa uongo,
lakini kisharia unaruhusiwa, na
tena ni wajibu kufanya hivyo kwa
kuwa ndani yake kuna uokoaji wa
maisha ya mtu asiyekuwa na kosa.
Sharti za Mwenye
kuapa
Mtu anayaeapa ni sharti awe
balehe, mwenye akili timamu,
mwanaume au mwanamke, na
awe na kusudio la kuapa. Vilevile,
muapaji aape kwa hiari yake bila
ya kulazimishwa. Kiapo) cha mtoto mdogo, mwenda wazimu na
mtu aliyelala hakiswihi.
Uthibitisho wa haya ni hadithi
ya Mtume (rehema na amni za Al-
19
WATOTO / MALEZI
ABUU RAMLA
Miongoni
mwa
ushahidi
mzuri katika
kuwajengea
watoto wetu
haiba na
tabia nzuri ni
simulizi za
Allah kwetu
kupitia
nasaha na
mawaidha ya
Luqman kwa
mtoto wake,
kwa muundo
na njia ya
kumnasihi.
bo baya, fikra ya mtoto huliona zuri. Haiyumkiniki kutarajia mtoto wako awe
mwema, ikiwa wewe mwenyewe hukuvaa joho la wema.
Kanuni za
Biashara
katika
Uislamu
Uk 13
20 DHUL HIJA, 1437 ALHAMISI SEPTEMBA 22 - 28, 2016
NA MUGINI SINGIRA
SOPHIA
SAMFUNDO
Kutoka Ulokole hadi Uislamu
Kusilimu kwake
Akiwa anasali kanisa lake la
Pentekoste, siku moja Sophia alienda kusali na kawaida yake akiwa
kiongozi - Mama wa Maombezi na
Mlezi - alikuwa anakaa mlangoni
ili wasichana waliovaa sketi fupi
wakiingia anawapa sketi ndefu zinazoweza kustiri miili yao.
Jambo hilo halikumpendeza
Mchungaji Mkuu wa Kanisa ambaye alipinga utaratibu huo. Sophia
alisikitika kuona kuona Mchungaji
wake hataki watu wawe katika
mazingira ya kujihifadhi katika ki-
kuacha kwenda kanisani kwa miezi minne kuanzia April 24, 2016.
Tukilinganisha na mafunzo ya
Uislamu, Allah anasema: Bila
shaka dini (ya haki) mbele ya
Mwenyezi Mungu ni Uislamu na
waliopewa kitabu Mayahudi na
Manasara) hawakukhitalifiana ila
baada ya kuwajia ilimu, (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi
uliokuwa baina yao, na
anayezikataa aya za Mwenyezi
Mungu ni mwepesi wa kuhisabu.
(Quran, 3:19)
Wakati huo wa miezi minne
ambayo hakuwa akienda kanisani,
Sophia alikuwa akifikiria juu ya
suala hilo huku akiwa ni mwenye
kukata tamaa. Kila alipojaribu
kupanga siku kwenda alijikuta
akiahirisha bila dharura yoyote ya
msingi.
Sophia anasema wakati alipokuwa bado Mkristo alikuwa alidadisi kuhusu Uislamu kwani
alikuwa akiishi na jamii ya Waislamu. Sophia aliwauliza watu waliokuwa akiishi nao mambo
mbalimbali ya Uislamu hadi wazo
la kuingia katika Uislamu lilimjia
kichwani.
Sophia alivutiwa na baada utaratibu na mienendo ya dini hii tukufu ya Uislamu hususan katika
mambo ambayo alikuwa akigombana na mchungaji wake, suala la
wasichana kwenda kuabudu wakiwa nusu uchi.
Sophia anasema ilifika wakati
akaanza kutolewa mtu usingizini
akimueleza kuwa yeye (Sophia) ni
mtu msafi na anafaa kuwa Muislamu na mara nyingine aliota anaenda msikitini huku akiongozwa na
mtu huyo aliyevaa kanzu. Huu
ulikuwa ni msumari wa mwisho.
Sophia hakuhitaji ishara zaidi
bali aliamua kushuhudia kuwa:
Hakika apasaye kuabudiwa kwa
haki ila Allah na Muhammad ni
Mtume wake. Hakika Mwenyezi
Mungu humzindua amtakaye na
kumuelekeza katika uongofu.
Karibu dada Sophia katika Uislamu.
HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA na The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania E-mail: imaanmedia3@gmail.com