Professional Documents
Culture Documents
Jarida La Wizara Ya Nishati Na Madini Toleo Na 145
Jarida La Wizara Ya Nishati Na Madini Toleo Na 145
HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.145
51
Toleo No.
Limesambazwa
kwa Taasisi
naTaasisi
Idarana
zote
MEM
, 2015 11 - 17, 2016
Limesambazwa
kwa
Idara
zote MEM Tarehe - 23-29 JanuariNovemba
Wabunge
Somahabari Uk.2
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
>>>
UK. 10
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
MHANDISI MRAMBA
Na Grace Kisyombe,
TANESCO
kurugenzi
Mtendaji wa
Shirika la Umeme
Tanzania
(TANESCO),
Mhandisi Felchesmi Mramba
ameeleza kuridhishwa na kasi ya
ujenzi wa mradi wa umeme wa
gesi wa Kinyerezi II utakaozalisha
umeme wa Megawati 240
unaotekelezwa na Shirika hilo jijini
Dares Salaam.
Mradi huo ulizinduliwa Machi
2016 na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt.
John Pombe Magufuli, kwa kuweka
jiwe la msingi ambapo eneo hilo
lilikuwa pori na kazi ya kusafisha
eneo ili kuanza ujenzi ilianza miezi
minane iliyopita.
Kwa wale waliokuwepo siku
Mheshimiwa Rais anaweka jiwe
la msingi la ujenzi wa mradi huu,
mtakumbuka kuwa eneo lote hili
lilikuwa pori, napenda niwapongeze
wahandisi na mafundi wote
mnaotekeleza ujenzi huu kwa
kazi nzuri na kasi ya kuridhisha.
Alipongeza Mhandisi Mramba,
ambaye alitembelea eneo hilo
mwishoni mwa wiki kukagua
maendeleo ya ujenzi wake.
Wahandisi wa TANESCO
wakishirikiana na wenzao kutoka
kampuni ya SUMITOMO
CORPORATION NA TOSHIBA
za Japan na washauri wa mradi
Lahmeyer International ya
Humburg nchini Ujerumani, ndio
wanaojenga mitambo hiyo ambapo
mradi unatekelezwa kwa fedha za
walipa kodi wa Tanzania na Japan.
Akitoa taarifa ya maendeleo
ya ujenzi huo, Meneja Mradi,
Mhandisi Stephen Manda alisema
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
PETROLEUM EXPLORATION IN
OFFSHORE TANZANIA
TAHARIRI
Tumetekeleza!
Serikali ya Awamu ya Tano kupitia Wizara ya Nishati
na Madini imeweka Mikakati yenye kuendana na Dira ya
Maendeleo ya Taifa ya Mwaka 2025 inayoelekeza nchi kuingia
katika uchumi wa Kati ifikapo mwaka 2025. Ili kufikia malengo
hayo, Serikali imeweka kipaumbele katika uchumi wa viwanda.
Katika uchumi wa viwanda, Nishati ya uhakika inahitajika
ili kuwezesha Wawekezaji zaidi kutoka ndani na nje ya nchi
kuwekeza nchini . Mara baada ya kugundulika kiasi kikubwa
cha gesi nchini kinachofikia futi za ujazo takribani trilioni 57.2,
ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tangu Serikali ya Awamu
ya Tano iingie madarakani kampuni kubwa kutoka ndani na nje
ya nchi zimeonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa Viwanda
vya Gesi Kimiminika na mbolea katika mikoa ya Lindi na
Mtwara.
Miongoni mwa uwekezaji huo ni mradi wa ujenzi wa
kiwanda cha kusindika gesi kimiminika (Liquefied Natural Gas;
LNG), unaotarajiwa kugharimu Dola za Marekani Bilioni 30
sawa na zaidi ya shilingi trilioni 65 za kitanzania unatarajiwa
kuanza mara moja baada ya kukamilika kwa taratibu za kisheria.
Kampuni zitakazohusika na ujenzi wa kiwanda hicho ni
pamoja na Statoil ya Norway, Exxonmobil ya Marekani, Shell
ya Uholanzi, BG na Ophir za Uingereza na Pavillion ya
Singapore.
Manufaa yatakayopatikana kutokana na mradi wa ujenzi wa
kiwanda hicho ni pamoja na ajira zaidi ya 10,000 zitakazotolewa
wakati wa ujenzi wa mradi na ajira nyingine zaidi ya 8,000
zitatolewa mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda
hicho. Pia mradi huo utachochea ujenzi wa viwanda vingine
vidogo vidogo kwa ajili ya bidhaa zitakazouzwa katika kiwanda
cha LNG, ujenzi wa vituo vya biashara, ununuzi wa bidhaa
kutoka kwa wananchi waishio karibu na kiwanda hicho na hivyo
kuchangia ukuaji wa uchumi
Pia uwekezaji mwingine ni ujenzi wa kiwanda kikubwa
cha mbolea katika eneo la Msanga Mkuu mkoani Mtwara,
ambapo Serikali itashirikiana na kampuni ya Helm kutoka nchini
Ujerumani.
Kiwanda cha mbolea kinachotarajiwa kujengwa, kitahitaji
gesi kiasi cha futi za ujazo trilioni 0.8 kwa kipindi cha miaka 20
ambapo Serikali imejipanga katika kuhakikisha kuwa gesi ya
kutosha inazalishwa ili kuendana na mahitaji ya kiwanda hicho
pamoja na matumizi mengine ya majumbani.
Katika maandalizi ya ujenzi wa kiwanda hicho, Serikali
imetenga eneo la Msanga Mkuu lililopo Mtwara lenye ukubwa
wa hekta 400 kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho ambapo
eneo hili limeshalipiwa fidia pamoja na Halmashauri ya Mtwara
kuboresha miundombinu ya barabara kwa kuweka lami kutoka
Mtwara Mjini hadi eneo la kiwanda tayari kwa kukabidhiwa kwa
mwekezaji kwa ajili ya ujenzi.
Aidha, Serikali inatarajia kujenga kiwanda kingine cha
mbolea katika Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ambapo kitatumia
gesi asilia. Kiwanda hicho kitakachojengwa kwa ubia kati ya
Tanzania na nchi za Denmark, Ujerumani na Pakistani kitakuwa
na uwezo wa kuzalisha tani 3,800 za mbolea kwa siku.
Tunapongeza juhudi zinazofanywa na Serikali na tunawaasa
wananchi hususan waliopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara
kujiandaa na fursa za uwekezaji zitakazojitokeza ili kuwa sehemu
ya uchumi wa gesi nchini.
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya
Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Na Mwandishi Wetu
aziri wa Nishati na
Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
hivi karibuni
alikutana na Bodi na
Menejimenti ya Shirika la Maendeleo
ya Petroli Tanzania (TPDC), katika
kikao kilichochadili maendeleo ya
utekelezaji wa miradi inayosimamiwa
na shirika hilo ikiwemo Mradi wa
Kusindika Gesi Asilia, (LNG) na
Mradi wa Bomba la Kusafirisha
Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki
(EACOP) kutoka Hoima nchini
Uganda hadi Bandari ya Tanga.
Katika kikao hicho Prof. Muhongo
aliitaka Bodi na Menejimenti hiyo
kuongeza kasi katika utekelezaji wa
miradi husika kutokana na manufaa ya
miradi hiyo kwa Maendeleo ya Taifa.
Mbali na Bodi na Menejimenti ya
TPDC, kikao hicho pia kilihudhuriwa
na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati
na Madini, Prof. Justin Ntalikwa,
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini, anayeshughulikia
Madini, Prof. James Mdoe na baadhi
ya Watendaji kutoka Wizara ya Nishati
na Madini.
Aidha, wakati huo huo, Waziri
Muhongo pia alikutana na Balozi wa
Uingereza nchini Sarah Cooke ambapo
walijadili masuala kadhaa kuhusu sekta
ya nishati ikiwemo chanzo cha Nishati
Jadidifu.
Pia, Waziri Muhongo alikutana
na Naibu Balozi wa Marekani nchini
Virginia Blaser ambapo walijadili
masuala kadhaa kuhusu Sekta ya
Nishati.
Sehemu ya Menejimenti ya
TPDC wakifuatilia kikao baina
yao na Waziri wa Nishati
na Madini, Prof. Sospeter
Muhongo (hayupo pichani).
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
KAMPUNI YA CHINA
GEZHOUBA GROUP
Kaimu Kamishna Msaidizi
wa Nishati anayeshughulikia
Maendeleo ya Nishati, Juma
Mkobya ( wa kwanza kushoto)
akizungumza wakati wa
kikao chake na Wawakilishi
wa Kampuni ya China
Gezhouba Group Company
Ltd (CGGC). Kampuni
hiyo inayojishughulisha na
uendelezaji wa Nishati ya
umeme ikiwemo uzalishaji
wa umeme kwa kutumia
teknolojia mbalimbali, illikutana
na Wizara ili kubaini fursa
za uwekezaji zilizopo katika
sekta hiyo.Wengine katika
picha ni wataalam kutoka
Wizara ya Nishati na Madini.
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Na Greyson Mwase,
Dar es Salaam
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
10
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
u
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli (katikati)
akikata utepe wakati wa kuweka jiwe la msingi
la mradi wa Kinyerezi II MW 240 jijini Dar es
Salaam tarehe 16 Machi, 2016
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
11
MAONESHO YA KIMATAIFA YA
VITO KUFANYIKA MEI 2017
Na Rhoda James
aonesho ya Tano
ya Kimataifa
ya Vito ya
Arusha (AGF)
yanatarajiwa
kufanyika, kuanzia tarehe 3 hadi 5,
Mei 2017.
Maonesho hayo ambayo
hufanyika kila mwaka jijini Arusha
na kuwakutanisha Wafanyabiasha
wa Madini na Vito na Wadau
mbalimbali wa madini yatafanyika
katika Hoteli ya Mount Meru jijini
Arusha.
Hayo yameelezwa na
Mwenyekiti wa Kamati ya
Maandalizi ya Maonesho ya Vito
kutoka upande wa Chama cha
Wafanyabiashara wa Madini
Tanzania (TAMIDA) Peter Pereira
wakati wa kikao cha kamati ya
maandalizi kilichofanyika hivi
karibuni jijini Arusha.
Pereira alisema kuwa, lengo la
Maonesho hayo ya Kimataifa ni
12
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
erikali ya Awamu ya
Tano kupitia Wizara ya
Nishati na Madini imeweka
mikakati yenye kuendana
na Dira ya Maendeleo ya
Taifa ya Mwaka 2025 inayoelekeza
nchi kuingia katika uchumi wa
kati ifikapo mwaka 2025. Ili kufikia
malengo hayo, Serikali imeweka
kipaumbele katika uchumi wa
viwanda.
Katika uchumi wa viwanda,
nishati ya uhakika inahitajika ili
kukaribisha Wawekezaji zaidi kutoka
ndani na nje ya nchi. Mara baada
ya kugundulika kiasi kikubwa cha
gesi nchini kinachokadiriwa futi za
ujazo takribani trilioni 57.2, ndani
ya mwaka mmoja tangu Serikali ya
Awamu ya tano kuingia madarakani
makampuni makubwa kutoka ndani
na nje ya nchi wameanza kuonesha
nia ya kuwekeza katika ujenzi wa
viwanda vya gesi kimiminika na
mbolea katika mikoa ya Lindi na
Mtwara.
Akielezea ujenzi wa kiwanda
cha kusindika gesi kimiminika
(Liquefied Natural Gas; LNG),
unaotarajiwa kugharimu Dola za
Marekani Bilioni 30 sawa na zaidi
ya shilingi trilioni 65 za kitanzania,
Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo anasema
kuwa ujenzi unatarajiwa kuanza
mara moja baada ya kukamilika
kwa taratibu za kisheria.
Anataja kampuni zitakazohusika
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
13
14
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
ZIARA YA PROF.
NTALIKWA REA
Kutoka kushoto ni Katibu
Mkuu wa Wizara ya Nishati na
Madini, Profesa Justin Ntalikwa,
Kamishna Msaidizi wa Nishati
anayeshughulikia Umeme,
Mhandisi Innocent Luoga, na
Mhandisi Yahya Samamba
kutoka Wizara ya Nishati na
Madini wakifuatilia maelezo
yaliyokuwa yanatolewa na
Kaimu Mkurugenzi Mkuu
wa Wakala wa Nishati Vijijini
(REA) Mhandisi Gissima
Nyamo-Hanga (hayupo
pichani) hivi karibuni jijini Dar
es Salaam.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
15
BUSINESS PERSPECTIVE
Email: salum.mnuna@gmail.com
By Salum Mnuna
Putting Political Sales proposition HAPA KAZI TU to Work, Make It an action item to
16
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Geological Survey of Tanzania, Kikuyu Avenue, S.L.P 903, Dodoma, TANZANIA. Simu: +255 26 2323020 Nukushi: +255
26 2323020, Barua pepe:madini.do@gst.go.tz, Tovuti:http//www. gst.go.tz, portal:http//www.gmis-tanzania.com
madini
maeneo
Tanzania
v.
Utati wa jiosayansi kwa ajili ya kutathimini
wingi wa mashapo katika maeneo yaliyotengwa kwa
wachimbali wadogo ili kuwaongezea tija na ufanisi
wachimbali hao.
Maeneo yaliyofanyiwa utati huo ni pamoja na LondoniSambaru, Misaki, Mpambaa, Kirandotaa na Sekenke
Mkoani Singida; Mvomero Mkoani Morogoro, Handeni,
Kilindi Mkoani Tanga; Mererani, Dongobesh, Mkoani
Manyara; Itumbi na Sangambi Mkoani Mbeya, D-reef,
Kapanda, Ibindi Mkoani Katavi; Katente, Nganzo,
Kerezia na Mgusu Mkoani Geita; Nyamongo na
Buhemba Mkoani Mara na Kyerwa Mkoani Kagera.
Aidha, wakati wa ughani huo mafunzo mbalimbali
(utati, uchimbaji na uchenjuaji salama) yalitolewa
kwa wachimbaji wadogo zaidi 2500 na vijarida vya
kuwaelimisha viligawiwa. Vijarida hivyo ni pamoja
mwongozo kwa wachimbaji wadogo kuhusu utati,
uchimbaji na uchenjuaji salama na wenye tija.
Uchorongaji ili kubaini uwingi wa mashapo umeanza
katika maeneo ya Katente na Nganzo kwa lengo la
kubaini uwingi wa dhahabu (Resource estimates) na
madini mengine yaliyopo.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
17