Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili Gafkosoft Com Swa Fasihi Simulizi PDF
Kiswahili Gafkosoft Com Swa Fasihi Simulizi PDF
Kiswahili Gafkosoft Com Swa Fasihi Simulizi PDF
search Search
Simulizi
Methali
Vitendawili
1. Kuburudisha - Hufurahisha
Mafumbo
na kuchangamsha hadhira
TUNGO FUPI Vitanza Ndimi na
2. Kunasihi- kutolea Vichezea Maneno
mawaidha na kuonyesha Semi
Lakabu
mwelekeo unaotarajiwa
Misimu
katika jamii
3. Kuelimisha watu kuhusu vitu Michezo ya
mbalimbali hasa mazingira Kuigiza
Ngomezi
yao
Miviga
4. Kutambulisha jamii - jamii MAIGIZO
Malumbano ya
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
4. Kutambulisha jamii - jamii MAIGIZO
mbalimbali husifika Utani
kutokana na sanaa zao Mazungumzo/Soga
katika fasihi simulizi kama Ulumbi
Vichekesho
vile nyimbo
Maonyesho
5. Kuhifadhi na kudumisha
utamaduni wa jamii
6. Kuunganisha watu - huleta watu pamoja
7. Kukuza lugha - fasihi huimarisha lugha kwa kuwa hutumia
mbinu mbalimbali za lugha.
8. Kuliwaza - hutoa huzuni na kuleta matumaini.
9. Kupitisha muda - wakati mwingine fasihi simulizi hutumika
kupitisha muda.
61 Comments
naomba msaada juu ya nyimbo jadia kwa sifa, na dhima zake kwa
jammi!
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Jared Ekirapa - Apr 15, 2013 @ 4:59am
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Je,vijana wa kizazi cha sasa wanachangia katika kukuuza fasihi
simulizi?Nisaidieni.
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Fanuel.Sigalla - May 17, 2013 @ 2:45pm
Wimbo una beti kama shairi. Tofauti iliopo kati hizi mbili ni ndogo.
Je,wajua sifa na maana ya maneno yanayotumika katika wimbo na
shairi?
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Mafwele Masumbuko - Aug 21, 2013 @ 3:57am
xawa wimbo ni shairi; lakini je? fungu linalo rudiwa kwa wimbo ni
kibwagizo?
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Al-Magram Bin Bahsan - Oct 02, 2013 @ 8:34pm
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Lugano Masanja - Jul 06, 2014 @ 5:20am
Fasihi hii si ya kiwango cha shule ya upili pekee bali pia huweza
kutumika katika vyuo vikuu kwa sababu kuna maelezo ya kutosha
kuweza kumsaidia mwalimu wa kiswahili anapojiandaa kwenda
darasani.Kulingana na maoni yako jinsi wewe mwenyewe umeuliza
iwapo fasihi hii ni ya shule ya upili,inamaanisha kuwa wewe
umeelewa fasihi vilivyo au vipi?
wawaaaah kefleeh
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Shairi ni wimbo kwa sababu baadhi ya mashairi yanaimbwa na
hayakaririwi vile baadhi ya beti za mashairi mengi hurudiwarudiwa
Sifa za Vitendawili
--------------------------------------------------------------------------------
Aina za Vitendawili
a) Vitendawili sahili
huwa na maelezo marefu (kama hadithi fupi) halafu jibu lake huwa
ni refu pia (kama mafumbo)
--------------------------------------------------------------------------------
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Umuhimu wa vitendawili
by mwasongwe isack
0758978644
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com
Kim Phil Metto - 5 days ago
Login to Comment
Like Share 0
Paneli la Kiswahili
Sauti za Kuimba
open in browser PRO version Are you a developer? Try out the HTML to PDF API pdfcrowd.com