Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 20

HABARI

HabariZAza
NISHATI
nishati&MADINI
&madini

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo No.159
Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi
Limesambazwa kwana Idaranazote
Taasisi MEM
Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Februari 17 - 23, 2017

Wabunge
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2
SERIKALI KUKUSANYA MRABAHA
WA SHILINGI MILIONI 466.4 KUTOKA
MNADA WA PILI WA TANZANITE
Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA
Somahabari Uk.2

Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na


Vito, Wizara ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo, akitangaza Baadhi ya wanunuzi wa
majina ya washindi wa zabuni za madini ya Tanzanite katika madini ya Tanzanite
hafla ya kutangaza washindi wa Mnada wa Pili wa Kimataifa wakitathmini madini hayo
wa madini hayo uliofanyika jijini Arusha. Kutoka kushoto ni Mkuu katika Kituo cha Jemolojia
wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera, Naibu Katibu Mkuu Arusha ulipofanyika Mnada
Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe, Mkuu wa wilaya wa Pili wa Kimataifa kwa
Simanjiro, Zephania Chaula, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa madini ya Tanzanite.
STAMICO, Mhandisi Hamis Komba na Kamishna Msaidizi wa Wanunuzi hao wanatoka
Madini, Kanda ya Kaskazini, Adam Juma. nchini Switzerland.

STAMICO YAJIPANGA KUFUFUA


Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Naibu Waziri wa Nishati na
Madini, anayeshughulikia
Naibu Waziri wa Nishati na
Madini anayeshughulikia
Mkurugenzi Mtend-
aji wa TANESCO,
Mhandisi Felchesmi
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya

MGODI WA MAKAA YA MAWE-KIWIRA


Madini Stephen Masele Nishati, Charles Kitwanga Mramba UK
>>4
JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4
Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa ajili ya News Bullettinau Fika hii
Ofisina Jarida laGhorofa
ya Mawasiliano Wizarya
a Tano
ya Nishati
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com
NewsBulletin
Habari za nishati/madini

2
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

Serikali kukusanya mrabaha wa Shilingi milioni


466.4 kutoka Mnada wa Pili wa Tanzanite
Teresia Mhagama na saba duniani ambazo ni Tanzania,
Zuena Msuya, Arusha Kenya, India, Sri Lanka, China,
Uswisi na Ujerumani zilishiriki..

I
Kwa upande wake, Mkuu wa
meelezwa Serikali itakusanya Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel
mrabaha wa Dola za Marekani Bendera, ambaye alikuwa ni mgeni
210,114.36 sawa na Shilingi rasmi katika hafla hiyo, alitoa wito kwa
466,453,871.43 kutokana na Wizara ya Nishati na Madini kuwa
mauzo ya madini ya Tanzanite na mpango wa kuongeza thamani
yaliyofanyika katika Mnada wa Pili madini ya vito hapa nchini badala ya
wa Kimataifa wa madini hayo jijini kusafirisha nje ya nchi yakiwa ghafi
Arusha. kwani inapunguza ajira kwa vijana wa
Hayo yalielezwa na Mkurugenzi kitanzania.
wa Kitengo cha Uthamini wa Madini
ya Almasi na Vito kutoka Wizara Fanyeni jitihada hata za
ya Nishati na Madini, Archard kuwashawishi hawa wanunuzi wa
Kalugendo, katika hafla ya kutangaza nje wakishirikiana na wanunuzi wa
washindi wa mnada huo wa Tanzanite ndani kuwekeza hapa nchini katika
uliofanyika katika kituo cha Jemolojia viwanda vya kukata madini ya vito
tarehe 12 Februari, 2017. na kuyangarisha ili kuwaongezea Wadau mbalimbali walioshiriki hafla ya kutangaza washindi wa Mnada
Kalugendo alisema kuwa mrabaha ajira vijana wetu na kuongeza mapato wa Pili wa Kimataifa wa madini ya Tanzanite uliofanyika jijini Arusha.
huo unatokana na jumla ya gramu yanayotokana na fedha za kigeni, Wa kwanza na wa pili kushoto ni wamiliki wa mgodi wa Tanzanite One,
990,039.04 za Tanzanite ghafi kuuzwa alisema Dkt.Bendera. Faisal Shahbhai na Hussein Gonga. Wa tatu kutoka kulia ni Mhasibu
kwa Dola za Marekani 4,202,287.13 Dkt. Bendera pia, aliishauri Wizara Mkuu kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Beatrice Lupi.
katika mnada huo. Aliongeza kuwa ya Nishati na Madini kuharakisha Mgodi wa Tanzanite One unamilikiwa na kampuni ya Sky Associates
hiyo ni sawa na asilimia 99.9 ya mchakato wa ujenzi wa jengo la kwa ushirikiano na STAMICO, kila moja akiwa na hisa asilimia 50.
madini yote yaliyopelekwa kwa ajili ya madini latika eneo la EPZ, Mererani
mauzo. ili kufanikisha zoezi zima la kuchakata
Aliongeza kuwa kampuni tatu madini karibu na eneo ambako madini
zinazochimba madini ya Tanzanite hayo yanachimbwa
zilizopeleka madini hayo kwa ajili Kuhusu suala la uhaba wa baruti
ya mauzo ni Tanzanite One Mining zinazotumika kuvunjia miamba
Company Ltd, Mathias J Lyatuu migodini, Mkuu wa mkoa wa
Mining na Tanzanite Africa Ltd Manyara aliitaka Wizara ya Nishati
ambapo zilipeleka jumla ya gramu na Madini kuhakikisha kwamba
990,444.04 za madini ghafi kwenye kunakuwa na ushindani wa wauzaji
mnada huo. wa baruti ili kupunguza changamoto
Aidha Kalugendo aliongeza ya upatikanaji wa bidhaa hizo
kuwa kutokana na mauzo hayo ya kutokana na kuwa na wauzaji
Tanzanite, Halmashauri ya Wilaya wachache wa baruti.
ya Simajiro ambako madini hayo Aidha aliipongeza Wizara ya
yanachimbwa, inatarajia kulipwa Nishati na Madini kwa kutambua Viongozi mbalimbali walioshiriki hafla ya kutangaza washindi wa Mnada
shilingi 27,987,232.29 kama kodi ya umuhimu wa kuendeleza mnada wa Pili wa Kimataifa wa madini ya Tanzanite uliofanyika jijini Arusha. Wa
huduma. huo wa madini ya Tanzanite kwa kwanza kushoto Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera, wa pili
Kalugendo alisema kuwa mara ya pili ambapo hamasa ya ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe,
mnada huo ulihudhuriwa na wadau ushiriki wa mnada huo imeongezeka wa Tatu kushoto ni Mkuu wa wilaya Simanjiro, Zephania Chaula na wa
mbalimbali kutoka ndani na nje ya zaidi na idadi ya wafanyabiashara kwanza kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Mhandisi
nchi ambapo Kampuni 68 kutoka nchi imeongezeka. Hamis Komba.

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera, ambaye alikuwa


ni mgeni rasmi katika hafla ya kutangaza washindi wa Mnada wa Viongozi mbalimbali wakifuatilia hafla ya kutangaza washindi wa Mnada
Pili wa Kimataifa wa madini ya Tanzanite uliofanyika jijini Arusha, wa Pili wa Kimataifa wa madini ya Tanzanite uliofanyika jijini Arusha.
akihutubia wageni mbalimbali walioshiriki kwenye mnada huo. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, Mkuu
Kushoto kwa Mkuu wa Mkoa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera, Naibu Katibu Mkuu Wizara
na Madini, Prof. James Mdoe na wa kwanza kushoto ni Kaimu ya Nishati na Madini, Prof. James Mdoe na Mkuu wa wilaya Simanjiro,
Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje. Zephania Chaula.
NewsBulletin 3
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

MATUKIO PICHANI

TAHARIRI
STAMICO KUFUFUA MGODI
WA MAKAA YA MAWE-KIWIRA;
NI HABARI NJEMA
Hivi karibuni, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Balozi Alexander
Muganda alisema kuwa Bodi ya Shirika hilo imejipanga
kufufua uzalishaji wa makaa ya mawe katika Mgodi wa Kiwira
mapema iwezekanavyo ili kuuwezesha mgodi huo kuingiza
mapato kwa Shirika na kuchangia katika maendeleo ya Taifa.
Akihitimisha ziara ya wajumbe wa Bodi mpya ya
STAMICO katika mgodi huo iliyolenga kukagua mazingira na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambaye pia ni Mwenyekiti
kujionea changamoto zilizopo katika kuelekea kuufufua mgodi wa Baraza Kuu la Mawaziri wanaohusika na Madini Afrika kupitia kituo cha
husika, Balozi Muganda alisema kuwa Bodi ya STAMICO AMGC akipokea zawadi kutoka kwa Ibrahim Shaddad ambaye ni Mkurugenzi
iliyoanza kazi rasmi Julai 2016, imetembelea miradi yote Mkuu wa kituo hicho. Ujumbe huo ulimtembelea Waziri katika ofisi yake mkoani
inayoendeshwa moja kwa moja na Shirika au kupitia kampuni Dodoma.
tanzu za shirika hilo ili kuona namna ya kuiendesha miradi hiyo
kwa manufaa na hivyo kuiwezesha STAMICO kujiendesha
kwa faida.
Alitaja gharama za kufufua Mgodi wa Kiwira kuwa ni
Dola za Marekani milioni 7.56, na kueleza kuwa dhamira ya
sasa ya Bodi hiyo ni kuanza uzalishaji wa makaa ya mawe
na kuuza wakati Shirika likiendelea na mipango mingine
ikiwemo kufufua mitambo ya uzalishaji umeme wa megawati 6
utakaounganishwa katika gridi ya Taifa na kusambazwa katika
maeneo mbalimbali ya mikoa ya Songwe na Mbeya.
Alisema kuwa mpango mkubwa wa baadaye wa
STAMICO juu ya Kiwira ni kukuza uzalishaji wa makaa
ya mawe kutoka tani 150,000 za makaa ghafi kwa mwaka
hadi kufikia tani 1,500,000 kwa mwaka hatua ambayo pia
italiwezesha Shirika kuongeza uzalishaji wa umeme kutoka
megawati sita hadi kufikia megawati 200.
Ikumbukwe kuwa mgodi huo ulisimamisha uzalishaji wa
makaa ya mawe mwaka 2008 na uzalishaji wa umeme mwaka
2009, jambo lililopelekea Serikali kuufunga kabisa mgodi huo
mwaka 2012.
Katika vipindi viwili tofauti kati ya mwaka 2014 na 2016, Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambaye pia ni mwenyekiti
STAMICO iliunda timu ya wataalam waliofanya tathimini ya wa Baraza kuu la Mawaziri wanaohusika na Madini Afrika kupitia kituo cha
kina juu ya ufufuaji na uzalishaji makaa ya mawe Kiwira katika AMGC (wa tatu kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Ibrahim Shaddad ambaye
mashapo ya Ivogo na Kabulo pamoja na kuanza kwa uzalishaji ni Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho, pamoja na wajumbe kutoka katika kituo
hicho.
umeme.
Pamoja na mambo mengine, timu hiyo ya wataalam
ilitathimini kuhusu hali halisi ya uchakavu wa mitambo,
mgodini, kituo cha umemekinu cha kusafishia makaa ya mawe, KWA HABARI PIGA SIMU Five
magari na makazi. kitengo cha mawasiliano Pillars of
Timu hiyo imebaini kuwa Mgodi wa Kiwira unaweza
Reforms
kuanza uzalishaji wa awali wa tani 150,000 za makaa ghafi kwa
mwaka na megawati sita za umeme kutoka katika kituo chake TEL-2110490
cha uzalishaji umeme kilichomo ndani ya eneo la mgodi.
Akitilia mkazo suala la kufufua mgodi huo, Kaimu FAX-2110389 increase efficiency

MOB-0732999263
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa STAMICO, Mhandisi Hamis Quality delivery
Komba, baada ya kutembelea mgodi wa Kiwira alieleza kuwa, of goods/service
ameweza kuujua vizuri Mgodi huo na kupata mwelekeo wa
satisfAction of
kitaaluma wa kinachotakiwa kufanyika katika kuifufua Kiwira. the client
Hakuna pingamizi kuwa, nia hiyo ya Bodi na Uongozi wa Bodi ya uhariri
STAMICO ya kufufua Mgodi wa Kiwira ni habari njema kwa satisfaction of
nchi, kutokana na faida mbalimbali za Mgodi huo ikiwemo Msanifu: Lucas Gordon business partners
kuongeza mapato ya Serikali na kusaidia juhudi za Serikali za Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
kuzalisha umeme wa kutosha utakaokidhi mahitaji ya nchi.
Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , satisfAction of
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya shareholders
Habari za nishati/madini

4 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

STAMICO YAJIPANGA KUFUFUA


MGODI WA MAKAA YA MAWE-KIWIRA
Na Koleta Njelekela ya kufanya uangalizi wa mgodi, ghafi kwa mwaka na megawati sita za kwa urahisi kufuatia hazina iliyopo
STAMICO kulinda mali ya umma (Care
and Maintanance) na kuboresha
umeme kutoka katika kituo chake cha
uzalishaji umeme kilichomo ndani ya
katika mgodi wa Kiwira ambapo
Kabulo peke yake inakadiriwa kuwa

M
wenyekiti wa Bodi mazingira ya mgodi wakati Serikali eneo la mgodi Alifafanua Mhandisi na hazina ya mashapo ya tani milioni
ya Wakurugenzi ikiendelea kutafuta ufumbuzi wa Mapamba. 40 -50 ya makaa ya mawe wakati
ya STAMICO kudumu wa kuufufua mgodi huo. Aidha Mhandisi Mapamba Ivogo ina mashapo ya tani milioni
Balozi Alexander Mgodi una wafanyakazi 39 tu kwa aliiomba Bodi ya Wakurugenzi ya 35, alifafanua kitaalam Mhandisi
Muganda amesema sasa baada ya wafanyakazi watatu STAMICO kusaidia kuhakikisha Komba.
kuwa Bodi ya Shirika hilo imejipanga kustaafu na wengine wawili kufariki kuwa mtaji wa ufuaji shughuli za Naye Katibu Tawala wa Wilaya
kufufua uzalishaji wa makaa ya mawe dunia. uzalishaji makaa ya mawe na umeme ya Ileje mkoani Songwe, Mary
katika Mgodi wa Kiwira haraka Mapamba alibainisha kuwa unapatikana kwa wakati muafaka Marco aliiomba Bodi ya STAMICO
iwezekanavyo ili kuuwezesha mgodi katika vipindi viwili tofauti kati ya ili kuokoa kuendelea kuchakaa kwa kuharakisha hatua za ufufuaji Mgodi
huo kuingiza mapato kwa Shirika na mwaka 2014 na 2016 STAMICO mitambo ambayo haijafanya kazi kwa wa uzalishaji makaa ya mawe na
kuchangia katika maendeleo ya Taifa. iliunda timu ya wataalam waliofanya muda mrefu. Umeme - Kiwira ili kuinusuru
Balozi Muganda aliyasema hayo tathmini ya kina juu ya ufufuaji Awali, Kaimu Mkurugenzi
mitambo inayoendelea kuharibika
hivi karibuni wakati akihitimisha uzalishaji makaa ya mawe Kiwira Mtendaji mpya wa STAMICO
katika mashapo ya Ivogo na Kabulo Mhandisi Hamis Komba alisema kwa kutotumika kwa muda mrefu.
ziara ya wajumbe wa Bodi hiyo mpya Mkoa wetu wa Songwe ni
ya STAMICO katika Mgodi wa pamoja na kuanza kwa uzalishaji kuwa baada ya kutembelea mgodi
umeme. wa Kiwira ameweza kuujua vizuri mkoa mpya unaotegemea mapato
Makaa ya Mawe-Kiwira iliyolenga yatokanayo na uvunaji wa rasilimali
ili kukagua mazingira ya mgodi na Pamoja na mambo mengine, timu na kupata mwelekeo wa kitaaluma
kujionea changamoto halisi zilizopo hiyo ya wataalam ilitathmini kuhusu wa kinachotakiwa kufanyika katika ya makaa ya mawe ya Kiwira hivyo
kuelekea hatua za kuufufua mgodi hali halisi ya uchakavu wa mitambo, kuifufua Kiwira tofauti na taarifa basi kufufuliwa kwa mgodi huu
huo. mgodini, kituo cha umemekinu cha za awali alizozisoma kwenye kutaisaida Wilaya ya Ileje kujiongezea
Balozi Muganda alisema kuwa kusafishia makaa ya mawe, magari na makabrasha baada ya kuteuliwa rasmi mapato kupitia kodi zitakazolipwa
Bodi hiyo mpya ya STAMICO makazi. kushika wadhifa huo Januari 3, 2017. na mgodi na hivyo kuchangia kuleta
ambayo imeanza kazi rasmi Julai Timu hiyo imebaini kuwa Mgodi Bodi ya STAMICO imejionea maendeleo ya wilaya na Taifa kwa
2016, imetembelea miradi yote wa Kiwira unaweza kuanza uzalishaji jinsi mgodi ulivyo na kwamba makaa ujumla. Alifafanua Katibu Tawala
inayoendeshwa moja kwa moja wa awali wa tani 150,000 za makaa ya mawe yanavyoweza kupatikana huyo wa Wilaya ya Ileje.
na Shirika au kupitia kampuni
zake tanzu na ili kuona namna ya
kuiendesha miradi hiyo kwa manufaa
na hivyo kuiwezesha STAMICO
kujiendesha kwa faida.
Alisema, kwa kuwa gharama za
kufufua Mgodi wa Kiwira ni kubwa
sawa na Dola za Kimarekani milioni
7.56, dhamira ya sasa ya Bodi ni
kuanza uzalishaji wa makaa ya mawe
na kuuza wakati Shirika likiendelea na
mipango mingine ikiwemo kufufua
mitambo ya uzalishaji umeme wa
megawati 6 utaunganishwa katika
gridi ya Taifa na kusambazwa katika
maeneo mbalimbali ya mikoa ya
Songwe na Mbeya.
Mpango mkubwa wa baadaye
wa STAMICO juu ya Kiwira ni
kukuza uzalishaji wa makaa ya
mawe kutoka tani 150,000 za makaa
ghafi kwa mwaka hadi kufikia tani
1,500,000 kwa mwaka hatua ambayo
pia italiwezesha Shirika kuongeza
uzalishaji wa umeme kutoka
megawati sita hadi kufikia megawati
200 Alifafanua Balozi Muganda.
Awali, Kaimu Meneja Mkuu wa
mgodi Mhandisi Aswile Mpamba
aliieleza Bodi mpya ya STAMICO
kuwa Mgodi huo ulisimama
uzalishaji wa makaa ya mawe mwaka
2008 na uzalishaji wa umeme mwaka
2009, hatua ambayo iliipelekea Mwenyekiti wa Bodi ya STAMICO, Balozi Alexander Muganda (wa tatu kutoka kulia) aliyeambatana na
Serikali kuufunga kabisa mgodi huo baadhi ya Waandishi wa Habari wa mkoa wa Songwe na Mbeya (waliosimama kulia kwake) kwa pamoja
mwaka 2012. wakiuangalia Mlima wa Kabulo ambao ni miongoni mwa maeneo yenye mashapo ya kutosha ya Makaa
Hatua hiyo iliisababisha Serikali ya Mawe kwa ajili ya uvunaji. Wa pili kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Kiwira Mhandisi Aswile
kuajiri wafanyakazi 44 kwa ajili Mapamba.
NewsBulletin 5
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

STAMIGOLD YAWEZESHA
WATAALAM STAMIGOLD VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI
WAONESHA UBUNIFU KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Wajenga bwawa la kipekee la kuhifadhi mabaki Jacqueline Mattowo & kikundi.
ya dhahabu (Tailings Storage Facility Godfrey Francis-STAMIGOLD Kwa upande wake, Mhasibu wa
Kikundi Justina Husein alielezea

M
manufaa mbalimbali tangu
Na Jacqueline Mattowo- haziruhusu kwa namna yeyote ile godi wa kuanzishwa kwa kikundi ikizingatiwa
STAMIGOLD maji au mabaki yanayohifadhiwa
kupenya ardhini na kuharibu
STAMIGOLD wanakikundi wengi hawakuwa na

M
Biharamulo kupitia njia ya uhakika ya kujiingizia kipato
mazingira, alisema Mwinuka. Kitengo chake cha
waka 2015 Idara Kwa upande mwingine Mwinuka ili kujikimu kimaisha. Vilevile ilikuwa
ya Uchenjuaji Mahusiano ya jamii ni ngumu kwa mtu mmoja mmoja
alizitaja faida za ubunifu uliofanywa mwaka 2014 uliwezesha kuanzishwa
katika mgodi wa na kueleza kuwa, ujenzi huo ni wa kuweza kupata soko la uhakika
STAMIGOLD kwa vikundi vya ujasirimali kwa bila kuwa na usajili wa biashara
gharama nafuu ambapo bwawa wakazi wa vijiji vilivyo jirani na mgodi
Biharamulo kwa lililojengwa kwa kutumia mashimo unaotambulika.
kushirikiana na Idara ya Uchimbaji vya Mavota na Mkunkwa lengo Wengi wetu hatukuwa na mtaji
ya zamani gharama zake ni dola za likiwa kusaidia jamii hizo kujikwamua
na Kitengo cha Mazingira ilianza Marekani milioni 1 tofauti na dola wa kutuwezesha kulima mazao mbali
ujenzi wa bwawa la kipekee la kiuchumi na kuondokana na dhana ya
milioni 4.5 ambazo zingetumika mbali au kununua bidhaa nyingi kwa
kuhifadhi mabaki ya dhahabu au kwa kujenga bwawa jipya ambalo kuishi kwa kutegemea kusaidiwa na
lugha ya kitaalam Tailings Storage wakati mmoja lakini kupitia kikundi
halitokani na mashimo ya zamani. mgodi.
Facility (TSF) kwa kutumia moja ya imekuwa ni rahisi kukusanya nguvu
Aidha, kwa mujibu wa Mwinuka, Vikundi hivyo ni pamoja na
mashimo yaliyoachwa (old pit) na kwa pamoja. Vilevile, faida nyingine
ujenzi huo ni rafiki wa mazingira kikundi cha kina Mama Maendeleo
kampuni ya African Barrick Gold Mavota, kikundi cha Jitihada vyote ya kuwa na kikundi ni uwezo wa
ikilinganishwa na ujenzi mwingine kukopesheka katika taasisi za fedha
sasa ACACIA ikiwa ni baada ya kwani ufukiaji wa mashimo kutoka kijiji cha Mavota pamoja na
bwawa la zamani kujaa . kikundi cha Muamko kutoka kijiji kwani kikundi chetu kimesajiliwa
(backfilling) utakuwa rahisi huko kisheria na pia mtaji wetu umekuwa
Meneja wa Idara ya Uchenjuaji baadae (rehabilitation) na vile vile cha Mkunkwa ambapo vikundi vyote
katika mgodi wa Biharamulo kupitia mgodi vilipatiwa mafunzo kutokana na soko la uhakika la bidhaa
ujenzi huo hautaweza kuharibu maji zetu katika mgodi wa Stamigold
Christopher Mwinuka katika yaliyopo ardhini yaani ground water ya ujasiriamali, elimu ya biashara na
mahojiano yaliyofanyika hivi kutokana na mali ghafi zilizotumika namna ya kuendesha kikundi pamoja ambapo tangu tuanze mpaka sasa
karibuni, alieleza kuwa, mara baada katika ujenzi huo. na kusaidiwa kufanikisha usajili hivyo kikundi kimejipatia shilingi za
ya bwawa la zamani lililokuwa Mwinuka alimaliza kwa kitanzania milioni 130 kutokana na
na uwezo wa kupokea mabaki ya kutambulika kisheria mpaka ngazi ya
kuishukuru serikali kwa kuwaamini wilaya. mauzo yaliyofanyika katika vipindi
dhahabu kwa muda wa mwaka Wataalam wa ndani ambao tofauti, alisema Justina.
mmoja kujaa ilitakiwa kujengwa Kitengo cha Mawasiliano
wanafanya kazi kwa mafanikio STAMIGOLD hivi karibuni kilifanya Mbali na mafanikio ya ujumla,
bwawa jipya. makubwa bila kutegemea wataalam wanachama wa kikundi cha
Kwa kutumia wataalam wa ndani mahojiano na viongozi wa kikundi
wa kigeni. cha Kina Mama Maendeleo Mavota Kina Mama Maendeleo Mavota
ya mgodi waliweza kubuni njia Ningependa kuwapongeza wameweza kupata manufaa binafsi
nyingine mbadala baada ya kuona ili kufahamu maendeleo ya kikundi
wafanyakazi wenzangu wa Idara tangu kuanzishwa kwake ikiwemo ikiwemo kuhudumia familia zao kwa
uwezekano wa kutumia moja ya ya Uchenjuaji, Idara ya Uchimbaji
mashimo yaliyokuwa yakichimbwa changamoto zinazowakabili katika kuwatimizia mahitaji yote muhimu
na Kitengo cha Mazingira ambao kufikia malengo waliyojiwekea. kama chakula, malazi, matibabu
dhahabu na kampuni iliyopita kwa pamoja tulishiriki katika kubuni
ambapo shimo linaweza kugeuzwa Mwenyekiti wa Kikundi hicho, na elimu bila kukwama tofauti na
ujenzi wa bwawa hili la kipekee, Genoviva Lucas alibainisha kuwa, walipokuwa hawajajiunga na kikundi
bwawa na kupokea mabaki kwa alieleza Mwinuka.
kipindi cha miaka miwili . wakati kikundi kinaanzishwa mwezi vile vile wengi wa wanachama
Mgodi wa Stamigold wameweza kukuza mitaji ya biashara
Bwawa jipya lililojengwa kwa Biharamulo ni mgodi pekee hapa Julai, 2014, kilikuwa na jumla ya
kutumia mashimo ya zamani wanachama 54 , hivi sasa wanachama zao binafsi hivyo kuweza kutoka katika
nchini unaomilikiwa na Serikali na hatua moja kwenda nyingine.
limejengwa kitaalam na kwa kuzalisha dhahabu chini ya wataalam hai wanaoendelea na kikundi hicho ni
kuzingatia uhifadhi wa mazingira 38 na wote ni wanawake. Kwa upande mwingine Kikundi
wazawa pekee.
hivyo kutumia mali ghafi ambazo Wazo la kuanzisha kikundi cha kina Mama Maendeleo Mavota
lilitokana na mkutano uliofanywa na kinakabiliwa na changamoto
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mavota, mbalimbali ikiwemo ya usafiri wa
Nicas Chakupewa ikiwa ni mwitikio kukusanya mazao kutoka mashambani
wa wito uliotolewa na Kitengo cha kabla ya kuandaliwa katika vipimo
Mahusiano ya jamii katika mgodi maalumu kulingana na mahitaji ya
wa Biharamulo ukihimiza wanakijiji mgodi na baadae kupelekwa kuuzwa
kubuni njia mbalimbali za kujikwamua mgodini.
kiuchumi ikiwemo kuanzisha vikundi Kikundi kilibainisha ombi lake
vya ujasiriamali, alieleza Genoviva. kubwa ni mgodi kuongeza oda ya
Genoviva aliongeza kuwa, vitu ili kuongeza mauzo hivyo kukuza
vikundi vyote vilivyoundwa mtaji wa kikundi na kuongeza vipato
vinajihusisha na kilimo ikiwemo vya wanakikundi hivyo kufanikiwa
kikundi cha Kina Mama Maendeleo kujikwamua kiuchumi.
Mavota ambacho huuza mgodini Mgodi wa Stamigold Biharamulo
mbogamboga, matunda, na vyakula umedhamiria kuhakikisha unazijengea
vya asili kama mihogo, maboga, jamii zilizo jirani na mgodi uwezo wa
viazi vitamu na magimbi ambapo kujikwamua kiuchumi ili hata pale
baadhi ya mazao yanalimwa na inapotokea mgodi umemaliza shughuli
wanakikundi na mengine kikundi zake za uchimbaji wanajamii wawe
hununua kwa wanakijiji . Mgodi wa tayari wameondokana na ile dhana ya
Bwawa jipya la kuhifadhi mabaki ya dhahabu (TSF) likiwa katika moja Biharamulo ndio soko kuu la bidhaa kuishi kwa kutegemea kusaidiwa na
ya hatua za ujenzi. zinazozalishwa tangu kuanza kwa mgodi.
Habari za nishati/madini

6 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

Wananchi Simanjiro wapongeza mradi wa Rafiki Power


Na Greyson Mwase, Naye Joseph Hango ambaye ni
Manyara mmiliki wa saluni ya kunyoa nywele

W
aliongeza kuwa uwepo wa nishati ya
ananchi katika umeme kupitia kampuni ya Rafiki
Wilaya ya Power umepelekea kuongezeka kwa
Simanjiro kipato kutokana na kuongezeka kwa
mkoani Manyara idadi ya wateja.
wamepongeza Aliiomba kampuni hiyo
kampuni ya kuzalisha umeme kwa kuendelea na juhudi za kusambaza
kutumia nishati ya jua ya Rafiki umeme katika maeneo mengi
Power iliyopo chini ya kampuni ambayo hayajafikiwa na huduma ya
tanzu ya E.ON ya Ujerumani, umeme ili kukuza uchumi wa wilaya
kwa kuwapatia huduma ya umeme na mkoa kwa ujumla.
iliyopelekea kukua kwa maendeleo Wakati huohuo, akizungumza Mmiliki wa mgahawa ulionufaika na huduma ya umeme jua kupitia
katika wilaya hiyo. katika ziara hiyo Meneja Mkuu wa kampuni ya Rafiki Power, Thadeo Bura (kushoto) akielezea manufaa
Waliyasema hayo hivi karibuni Kampuni ya Rafiki Power, Joanis ya mradi katika ziara ya wataalam wa Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya
katika ziara ya wataalam wa nishati Holzigel alisema kuwa kampuni yake Nishati na Madini katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara kwa ajili ya
jadidifu kutoka Wizara ya Nishati inatarajia kuongeza uzalishaji wa ukaguzi wa miradi ya umeme.
na Madini katika miradi ya umeme umeme ambapo kaya 20,000 nchi
mkoani Manyara yenye lengo la nzima zinatarajiwa kunufaika na
kuangalia utekelezaji wa miradi ya huduma ya umeme ifikapo mwaka
umeme, changamoto zake na kutoa 2022.
ushauri wa kitaalam. Alisema kwa kutambua umuhimu
Akizungumza kwa niaba ya wa nishati ya umeme katika uchumi
wenzake katika kijiji cha Komolo wa viwanda utakaopelekea Tanzania
kilichopo wilayani Simanjiro mkoani kuwa kwenye orodha ya nchi za
Manyara, Thadeo Bura ambaye kipato cha kati ifikapo mwaka 2025,
ni mmiliki wa duka la vifaa vidogo kampuni yake imeweka mipango ya
vya umeme jua na bidhaa nyingine, muda mfupi na muda mrefu ambapo
alisema kabla ya kampuni ya Rafiki inatarajia kufikia wateja 20,000
Power kuwekeza katika kijiji hicho ifikapo mwaka 2022.
maisha yalikuwa ni magumu Akitaja miradi inayotekelezwa
kwa kuwa hakukua na nishati ya na kampuni yake, Meneja Holzigel
alisema kwa Mkoa wa Arusha Moja ya mgahawa ulionufaika na huduma ya Umeme Jua kupitia
kuwawezesha kuanzisha miradi
kampuni yake ina miradi minne kampuni ya Rafiki Power kilichopo katika kijiji cha Komolo wilayani
midogo midogo.
katika maeneo ya Digodigo, Simanjiro mkoani Manyara.
Alisema mara baada ya kupata
umeme kupitia kampuni ya Rafiki Soitsambu, Ololosokowani, na
Power, ameweza kuanzisha duka kwa Malambo yaliyopo wilayani Mmiliki wa mgahawa
ajili ya vifaa vidogo vya umeme jua, Ngorongoro na miradi mingine wa chakula ambaye ni
bidhaa nyingine na kutoa huduma miwili iliyopo katika maeneo ya mmoja wa wanufaika
nyingine kwa wanakijiji wenzake. Itaswi na Kwamtoro wilayani wa huduma ya umeme
Alisema huduma ya umeme Kondoa, mkoani Dodoma. jua kupitia kampuni ya
imewekwa kwenye baadhi ya shule Aliongeza kuwa, mradi mwingine Rafiki Power akionesha
na hospitali hivyo kuboresha huduma mmoja unaotekelezwa na kampuni jokofu linalotumia nishati
za jamii. hiyo ni wa Komolo/Temeke, uliopo hiyo katika ziara ya
Simanjiro mkoani Manyara. wataalam wa Nishati
Jadidifu kutoka Wizara
ya Nishati na Madini
katika wilaya ya Simanjiro
mkoani Manyara kwa ajili
ya ukaguzi wa miradi ya
umeme.

Mmiliki wa mgahawa
ulionufaika na huduma
ya umeme jua kupitia
kampuni ya Rafiki Power,
Thadeo Bura akielezea
matumizi ya compressor
inayotumia nishati ya jua
kwa matumizi mbalimbali,
katika ziara ya wataalam
Meneja Mkuu wa kampuni ya kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya wa nishati jadidifu kutoka
jua ya Rafiki Power, Joanis Holzigel (kushoto) akibadilishana mawazo Wizara ya Nishati na
na Mtaalam wa Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Madini katika wilaya
Mhandisi Emillian Nyanda (kulia) katika ziara ya wataalam wa nishati ya Simanjiro mkoani
jadidifu kutoka Wizarani katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Manyara kwa ajili ya
kwa ajili ya ukaguzi wa miradi ya umeme. ukaguzi wa miradi ya
umeme.
NewsBulletin 7
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

KIKUNDI CHA MADINI KONGANE


CHAFANYA ZIARA YA MAFUNZO GST
Na. Samwel Mtuwa-
GST

W
akala wa
Jiolojia
Tanzania
(GST)

ulitembelewa na kikundi
maalum cha Madini Kongane
(Mining Cluster) cha mkoani
Morogoro kilichofanya ziara ya
siku moja kwa lengo la kupata
elimu ya utambuzi madini,
ukataji wa mawe, na miamba
pamoja na kujifunza juu ya
uchoraji wa ramani za madini
na utunzaji wa kumbukumbu
za sayansi ya madini
(Jiosayansi).
Akizungumza na MEM
Bulletin mwenyekiti wa
kikundi hicho, Mhandisi
Schola Mandwa alisema
kuwa wamekuwa wakitafuta Wawakilishi kutoka kikundi cha Madini Kongane cha mkoani Morogoro wakipata maelezo kutoka Mtalaam wa
taasisi ya madini yenye uzoefu uchoraji wa Ramani za Madini kutoka GST, Sara Mwangosi (kulia). Wawakilishi hao walifika katika ofisi za GST
na utendaji mkubwa wenye kwa ajili ya ziara maalum ya mafunzo ya sayansi ya Madini.
vifaa vya kisasa wakagundua
kuwa GST ni sehemu sahihi Sambamba na hayo cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo kutengeneza mfumo bora wa masoko
wanayoweza kufanya ziara ya walieleza kuwa wamejifunza Tanzania (TCCIA ) na wanachama wote baina ya GST na TCCIA katika sekta
mafunzo na kupata elimu nzuri na kujionea jinsi ramani za wa kikundi cha madini kongane mkoani nzima ya madini.
ya sekta nzima ya madini. madini zinavyochorwa na Morogoro, kwa sababu baada ya ziara Madini Kongane (Mining Cluster) ni
Martha alieleza kuwa kuchapishwa katika Idara ya hii sisi tutakuwa mabalozi wazuri juu ya kikundi maalum cha wachimbaji wadogo
katika ziara hiyo wamejifunza uchoraji ramani na utunzaji wa utendaji kazi wa GST, kwa wachimbaji wa madini waliounganishwa na chama
vitu vingi akitolea mfano taarifa za jiosayansi pamoja wadogo wa madini mkoani Morogoro na cha Wafanyabiashara, viwanda na kilimo
kuwa wameweza kujua njia na kutembelea makumbusho viunga vyake.
sahihi za uchimbaji madini Tanzania (TCCIA) kikiwa na majukumu
ya madini, mawe na miamba
katika mwamba unaozunguka kwa lengo la kujua historia ya Martha aliongeza kuwa kikundi cha mbalimbali kama vile kutafuta wadau
eneo husika, jinsi mashine madini nchini. Madini Kongane kipo katika mpango wa muhimu wa kuhamasisha na kuelimisha
zinavyoweza kutambua Kwa upande wake, Martha kuanzisha viwanda vidogo vya malighafi wachimbaji wadogo ili wawe katika
viashiria vya uwepo wa madini Bitwale ambaye ni muangalizi madini kama vile chaki, vikombe pamoja mfumo rasmi utakaowawezesha kuwa na
mbalimbali katika mwamba, na muwezeshaji wa kikundi na kufungua kiwanda cha uchimbaji vigezo mtambuka vya kukopesheka katika
vifaa vya kisasa vya upimaji, aliyeongozana na wajumbe kokoto, ukataji madini ya vito pamoja na taasisi za fedha na kutengeneza mfumo
ukataji wa miamba, madini wengine alisema kuwa ziara kupanua soko la madini ya viwandani. bora wa masoko na kuwaunganisha baina
pamoja na njia za kisasa za hiyo itaongeza ushirikiano Pamoja na haya yote kikundi cha ya wachimbaji wadogo na TCCIA katika
ungarishaji mawe ya nakshi. mzuri baina ya GST, Chama Madini Kongane kina mpango wa mkoa wa Morogoro

Wawakilishi wa kikundi cha Madini Kongane cha mkoani Morogoro


Wawakilishi kutoka katika kikundi cha Madini Kongane cha mkoani wakiwa katika picha ya pamoja katika jengo la Wakala wa Jiolojia
Morogoro wakipata maelezo juu ya utunzaji wa miamba, mawe na Tanzania mara baada ya kumaliza ziara ya mafunzo katika Idara za
madini katika jumba la makumbukusho la GST. utendaji za GST.
Habari za nishati/madini

8 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

TUMEHAMIA DODOMA

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali watu na Utawala Lucius


Mwenda (mwenye tai nyekundu) na Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya
Utawala, Prisca Mwaijande wakifuatilia zoezi la kupakia vifaa vya ofisi Maafisa wa Jeshi la Wananchi na baadhi ya watumishi wakipakia mizigo
kwa ajili ya watumishi wanaohamia Dodoma kwa awamu ya kwanza. katika lori tayari kwa safari ya kuelekea Dodoma, wiki iliyopita.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dtk. Mhandisi


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Dtk. Juliana Juliana Pallangyo akitoa neno la kwaheri kwa wafanyakazi walioondoka
Palangyo katika pilika za kuwasindikiza watumishi wanaohamia Dodoma kuelekea Dodoma kwa awamu ya kwanza na wale waliobaki wakisubiri
awamu ya kwanza taratibu za kuhama kwao zikamilike.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dtk. Mhandisi Juliana


Pallangyo akiwapungia wafanyakazi waliobaki jijini Dar es Salaam baada Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Nishati na Madini waliobaki jijini Dar es
ya watumishi wengine kuhamia Dodoma. Salaam baada ya watumishi wengine kuhamia Dodoma.
NewsBulletin 9
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

Profesa Ntalikwa, akutana na Ujumbe


wa Waziri Mkuu wa Uingereza
Na Teresia Mhagama, Katika kikao hicho walijadili
Dar es Salaam masuala mbalimbali ikiwemo
upunguzaji wa madeni ya Shirika

K
atibu Mkuu wa Wizara la Umeme Tanzania (TANESCO)
ya Nishati na Madini, ili Shirika hilo liweze kujiendesha
Profesa Justin Ntalikwa lenyewe kwa ufanisi pamoja
tarehe 16 Februari, 2017 uendelezaji wa miradi ya uzalishaji,
amekutana na Ujumbe usafirishaji na usambazaji wa umeme.
kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini Profesa Ntalikwa pia aliueleza
Tanzania ukiongozwa na Balozi, Ujumbe huo kuhusu mipango
Sarah Cooke, aliyeambatana na inayofanywa na Serikali ya kuendeleza
Mwakilishi wa Waziri Mkuu wa miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo
Uingereza anayehusika na masuala ya uandaaji wa kabrasha litakaloainisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa
Biashara nchini Kenya na Tanzania, miradi yote ya umeme inayohitaji (kulia) akimsikiliza Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Sarah Cooke,
Lord Hollick na Mshauri wa Hali ya wawekezaji. (kushoto) aliyeambatana Mwakilishi wa Waziri Mkuu wa Uingereza
Hewa na Mazingira, Alisema kuwa kabrasha hilo anayehusika na masuala ya Biashara nchini Kenya na Tanzania, Lord
Hollick (katikati). kikao kilifanyika katika Ofisi za Wizara ya Nishati na
Madini jijini Dar es Salaam.

litasambazwa kwa wadau mbalimbali kuwa kipaumbele cha nchi hiyo ni


na wawekezaji ili waweze kulisoma kuwekeza kwenye miradi ya nishati
na kufanya maamuzi ya kuwekeza kwani Tanzania ina vyanzo vingi vya
kwenye miradi husika. nishati jadidifu ikiwamo, Jotoardhi,
Kabrasha hilo limeshaandaliwa na maporomoko madogo ya Maji,
Wataalam na kwa sasa linapitiwa na Tungamotaka, Jua na Upepo.
baadhi ya Taasisi za Serikali kabla ya
Tunao mtaji wa kuwekeza
kulisambaza kwa wadau wetu kupitia
njia mbalimbali kama Tovuti na kwenye miradi ya umeme na pia
magazeti, alisema Profesa Ntalikwa. tunaweza kusaidia kiutaalam ili
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa kuifanya TANESCO kufanya kazi
(katikati) akiongoza kikao baina ya Ujumbe kutoka nchini Uingereza Kwa upande wake, Mwakilishi
ukiongozwa na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Sarah Cooke wa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa ufanisi ili kupunguza changamoto
pamoja Watendaji mbalimbali wa Idara ya Nishati katika Wizara ya anayehusika na masuala ya Biashara mbalimbali zinazochelewesha
Nishati na Madini. nchini Tanzania, Lord Hollick alisema uwekezaji, alisema Hollick.

Mbunge wa Simanjiro na Mkuu wa Vilevile aliwaasa wafanyabiasha


wilaya, wapongeza Mnada wa Tanzanite wote wa madini ya Tanzanite
kujitokeza kwa wingi katika minada
hiyo ili kuweza kufanya biashara halali
Zuena Msuya na itakayowaingizia mapato stahiki.
Teresia Mhagama Kwa upande wake Mkuu wa

M
wilaya wa Simanjiro, Zephania
bunge wa Simanjiro Chaula, pamoja na kupongeza mnada
Mhe. James Millya, huo, aliwataka wachimbaji wote wa
ameipongeza Serikali madini ya Tanzanite kulipa mirabaha
kwa kuweka utaratibu na kodi mbalimbali za serikali zilizopo
wa kuwa na minada kisheria.
ya kimataifa ya madini ya Tanzanite Alitoa onyo kuwa endapo
mkoani Arusha inayotoa fursa ya hawatalipa kodi hizo hatua za kisheria
kuwakutanisha wachimbaji wa ndani juu yao.
wa madini na wanunuzi wa ndani na Aidha katika kikao cha
nje ya Tanzania. majumuisho, Naibu Katibu Mkuu
Millya alitoa pongezi hizo wakati wa Wizara ya Nishati na Madini
wa Mnada wa Pili wa Kimataifa wa anayeshughulikia Madini, Profesa
Madini ya Tanzanite uliofanyika jijini James Mdoe, alikipongeza Kitengo
Arusha kuanzia Februari 9 hadi 12, cha Uongezaji Thamani Madini ya
2017. Mbunge wa Simanjiro, James Millya akizungumza katika hafla ya Almasi na Vito (TANSORT) pamoja
Aidha alishauri kuwepo kwa kutangaza washindi wa mnada wa Tanzanite uliofanyika katika kituo
cha Jemolojia jijini Arusha tarehe 12 Februari, 2017. na watumishi wote wa Wizara ya
minada ya madini ya Tanzanite Nishati na Madini waliofanikisha
ya ndani itakayokutanisha wauzaji utawasaidia wachimbaji wadogo na kipaumbele kwa kuwa madini hayo mnada huo ambao unaongeza mapato
na wanunuaji wa ndani ili na wao wao kupata bei halisi zinazoendana yanapatikana katika eneo hilo pekee ya Serikali.
washindane wenyewe kwa wenyewe na soko na hivyo kuwaepusha na duniani, alisema Millya. Profesa Mdoe alisema juhudi
kabla ya kuwafikia wafanyabiasha walanguzi wa madini hayo. Aidha alishauri kuwa minada hiyo zilizofanyika za kuweka utaratibu wa
wakubwa na mataifa ya kigeni. Pamoja na kutaka Dunia yote ifanyike wilayani Simanjiro ili wale Mnada wa Kimataifa wa Tanzanite
Alisema kuwa utaratibu huo wa itumie madini ya Tanzanite ni vyema wakazi wa eneo hilo wanufaike na utaiingizia Serikali mrabaha wa
kuwa na minada katika hatua za awali pia maslahi ya wanaSimanjiro yapewe minada hiyo. shilingi 466,453,871.43.
Habari za nishati/madini

10 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

Wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini


na Mbunge wa Simanjiro wafanya ziara
katika Maduka ya Tanzanite, Arusha
Teresia Mhagama na Baadhi ya Wajumbe wa
Kamati ya Kudumu ya Bunge
Zuena Msuya, Arusha ya Nishati na Madini, Mhe.

B
John Heche, Mbunge wa
aadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Tarime Vijijini (CHADEMA),(wa
Kudumu ya Bunge ya Nishati na pili kulia), Mhe. Mwantakaje
Madini na Mbunge wa Simanjiro, Juma Mbunge wa Bububu
(CCM) (wa pili kushoto) na
James Millya, walifanya ziara katika Mbunge wa Simanjiro, Mhe.
baadhi ya maduka yanayouza James Millya (wa kwanza
madini ya Tanzanite jijini Arusha ili kujionea kulia) wakiwa ndani ya Mgodi
shughuli za biashara na uongezaji thamani wa wa mfano wa Tanzanite
madini hayo zinavyofanyika. uliopo ndani ya duka la The
Tanzanite Experience jijini
Ziara hiyo ni moja ya majukumu waliyopanga Arusha. Mgodi huo hutumika
kuyafanya jijini Arusha, jukumu kuu likiwa ni kutoa elimu kwa wageni
kushuhudia jinsi Mnada wa Pili wa Kimataifa wa mbalimbali kuhusu shughuli za
Madini ya Tanzanite unavyofanyika katika kituo uchimbaji wa Tanzanite. Wa
kwanza kushoto ni Kamishna
cha Jemolojia jijini Arusha. Msaidizi wa Madini, Kanda ya
Moja ya duka lililotembelewa na Wabunge Kaskazini, Adam Juma.
hao ni The Tanzanite Experience ambalo
hujishughulisha na kukata Tanzanite ili kuiweka Mbunge wa Simanjiro, Mhe.
katika maumbo mbalimbali na kuingarisha. James Millya (wa nne kulia)
na Baadhi ya Wajumbe
Duka la The Tanzanite Experience pia hutoa wa Kamati ya Kudumu ya
elimu bure kwa wanafunzi na wageni mbalimbali Bunge ya Nishati na Madini,
kuhusu madini ya Tanzanite ikiwemo historia Mhe. Dunstan Kitandula,
yake. Mbunge wa Mkinga
Ndani ya duka hilo pia kumejengwa mgodi (CCM), (wa pili kulia), Mhe.
Mwantakaje Juma Mbunge
wa mfano wa Tanzanite ambao hutumika kutoa wa Bububu (CCM) (wa Tatu
elimu kwa wageni mbalimbali kuhusu shughuli kulia) na wakipata maelezo
za uchimbaji wa Tanzanite. kuhusu biashara ya
Baadhi ya Wajumbe waliofanya ziara hiyo Tanzanite ndani ya duka la
The Tanzanite Experience
ni pamoja na Mhe. John Heche, Mbunge wa jijini Arusha. Anayetoa
Tarime Vijijini (CHADEMA), Mhe. Mwantakaje maelezo ni Mkurugenzi
Juma Mbunge wa Bububu (CCM) na Mhe. Mtendaji wa kampuni hiyo,
Dunstan Kitandula Mbunge wa Mkinga (CCM). Hasnain Sajan. Wa kwanza
kushoto ni Kamishna
ziara ilifanyika tarehe 11 Februari, 2017. Msaidizi wa Madini, Kanda
ya Kaskazini, Adam Juma.

Mbunge wa Simanjiro, Mhe. James Millya (wa nne kulia) na Baadhi ya


Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. John
Heche, Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA),(wa pili kulia), Mhe. Dunstan
Kitandula, Mbunge wa Mkinga (CCM), (wa tatu kulia), Mhe. Mwantakaje
Juma Mbunge wa Bububu (CCM) (wa kwanza kulia), wakiwa ndani ya
duka la The Tanzanite Experience jijini Arusha ili kupata maelezo kuhusu
biashara ya Tanzanite na shughuli za uongezaji thamani madini hayo.
Wengine katika picha ni Afisa Madini Mkazi Merelani, Mhandisi Elias
Mutelani (wa tano kulia) na wa Sita kulia ni Kamishna Msaidizi wa Madini, Baadhi ya madini ya Tanzanite yaliyokatwa na kungarishwa katika duka
Kanda ya Kaskazini, Adam Juma. la The Tanzanite Experience jijini Arusha.
NewsBulletin 11
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

Wanawake 47 wahitimu mafunzo ya


ukataji na ungarishaji Vito
Teresia Mhagama na vyenye maumbo mbalimbali kama
Zuena Msuya, Arusha ya wanyama, ndege, samaki na vitu
mbalimbali vya urembo.

I
meelezwa kuwa jumla ya Akizungumzia mafanikio ya
wanawake 47 wamehitimu kituo hicho, Mpesa alisema kuwa
mafunzo ya ukataji na mbali ya kusaidia wanawake hao
ungarishaji wa madini ya kupata mafunzo yatakayowasaida
vito yanayotolewa na Kituo kujiajiri au kuajiriwa, Kituo hicho
cha Jemolojia jijini Arusha ambacho ni cha pekee Afrika Mashariki
kipo chini ya Wizara ya Nishati na kinachoendeleza taaluma ya
Madini. uongezaji thamani madini ya vito na
Hayo yalisemwa jijini Arusha miamba.
na Kaimu Mratibu wa Kituo hicho, Kuhusu mipango ya kuendeleza
Erick Mpesa wakati wa Mnada wa Chuo hicho alisema kuwa, Chuo Mmoja wa wanafunzi katika Kituo cha Jemolojia Arusha, Zuwena Mtoo,
Pili wa Kimataifa wa Madini ya kimepanga kutoa mafunzo ya akionesha utaalam wa kukata na kungarisha madini ya Vito, baada ya
Tanzanite uliofanyika jijini Arusha muda mrefu kwa ngazi ya diploma kupata mafunzo katika Kituo hicho kilicho chini ya Wizara ya Nishati
katika Kituo hicho. ambapo mitaala ya kozi mbalimbali na Madini.
Mpesa alisema kuwa mafunzo za taaluma ya vito na usonara
hayo yalianza kutolewa mwaka 2014 imeandaliwa na kuwasilishwa katika
ambapo katika Awamu ya kwanza Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
wanafunzi 15 walihitimu, Awamu (NACTE) ambapo mchakato wa Samadu Mohamed,
ya Pili walihitimu wanafunzi 14 ithibati na usajili unaendelea. kutoka Kituo
na Awamu ya Tatu walihitimu Kwa upande wake Mkufunzi cha Jemolojia
wanafunzi 18. Msaidizi wa TGC, Lilian Petro, Arusha, akionesha
Mafunzo haya hutolewa kwa alisema kuwa mafunzo hayo moja ya vinyago
muda wa miezi Saba ambapo husaidia wanafunzi hao kutambua vinavyotokana
Wanafunzi hawa ambao huwa madini ya aina mbalimbali, kuyakata na miamba
na umri wa chini ya miaka 30 na kufahamu thamani ya madini vinavyotengenezwa
wanafadhiliwa na Mfuko wa husika. katika kituo hicho.
Kuwaendeleza Wanawake chini ya Aidha Lilian, Alitoa ushauri
Kamati ya Maonesho ya Vito ya kwa wanawake mbalimbali nchini
Arusha (AGF) na Wizara ya Nishati kujiunga katika fani hiyo ya ukataji
na Madini, alisema Mpesa. na ungarishaji wa madini ya vito
Mratibu wa TGC aliongeza kwa kuwa inamsaidia mtu kujiajiri
kuwa Kituo hicho pia kinaendesha kwa kuanzisha vituo vya ungarishaji
shughuli za uchongaji wa mawe ya wa madini ya vito ndani ya nchi na
miamba kwa kutengeneza vinyago pia kuajiriwa. Kaimu Mratibu wa
Kituo Jemolojia
kilichopo jijini Arusha,
Erick Mpesa.

Mkufunzi Msaidizi katika Kituo cha Jemolojia Arusha, (TGC), Lilian


Petro (wa kwanza kulia) akionyesha madini ya vito yaliyongarishwa
na wanafunzi wanaopata mafunzo katika Kituo hicho kilicho chini ya
Wizara ya Nishati na Madini. Wa Pili kulia ni Mkurugenzi wa Kitengo
cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito (TANSORT), Archard
Kalugendo, wa Pili kushoto ni Mhe. Catherine Magige, Mbunge wa Viti Wanafunzi katika Kituo cha Jemolojia Arusha, wakikata na kungarisha
Maalum (CCM) na wa kwanza kushoto ni Beatrice Lupi, Mhasibu Mkuu madini ya Vito, baada ya kupata mafunzo katika Kituo hicho kilicho
kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO). chini ya Wizara ya Nishati na Madini.
Habari za nishati/madini

12 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

UFUNGUAJI ZABUNI MNADA WA PILI WA


KIMATAIFA KWA MADINI YA TANZANITE, ARUSHA
Kilele cha Mnada wa Pili wa Kimataifa kwa Baadhi ya walioshuhudia ufunguaji wa zabuni Wasaidizi wa Madini, Mkurugenzi wa Kitengo cha
madini ya Tanzanite kilikuwa ni tarehe 12/2/2017 hizo ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, mwakilishi
ambapo kazi ya kwanza iliyofanyika katika siku Madini, Prof. James Mdoe, baadhi ya Wajumbe wa kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
hiyo ni ufunguaji wa sanduku lenye bahasha za Kamati ya Kudumu Bunge ya Nishati na Madini, Serikali, Meneja Mradi SMMRP, Kaimu Mratibu wa
zabuni ili kuweza kuwapata washindi wa zabuni Mbunge wa Simanjiro, Vyombo vya Ulinzi na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) na wawakilishi
hizo watakaonunua madini ya Tanzanite kutoka Usalama, mwakilishi wa Wakala wa Ukaguzi wa wa kampuni zilizoleta madini ya Tanzanite kwa
kwa wauzaji wa ndani. Jumla ya bahasha za zabuni Madini Tanzania, Shirika la Madini la Taifa, Kaimu ajili ya kuuzwa, ambazo ni Tanzanite One, Mathias
zilizofunguliwa ni 79. Kamishna wa Madini, na baadhi ya Makamishna Lyatuu na Tanzanite Afrika.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO),


Mhandisi Hamis Komba, (katikati), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
STAMICO, Balozi Alexander Muganda (kulia) na Mhasibu Mkuu wa
STAMICO Beatrice Lupi (kushoto), wakishuhudia ufunguaji wa sanduku
lenye bahasha za zabuni kwa ajili ya kununua madini ya Tanzanite.
STAMICO inamiliki mgodi wa Tanzanite One kwa ubia na kampuni ya Sky
Associates ambapo Tanzanite One ilipeleka madini yake katika mnada
huo kwa ajili ya mauzo.

Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje, akifungua rasmi


sanduku lenye bahasha za zabuni za Tanzanite.
Baadhi ya Viongozi
mbalimbali
walioshuhudia
ufunguaji wa
zabuni kwa madini
ya Tanzanite. Wa
kwanza kulia ni Naibu
Katibu Mkuu, Wizara
ya Nishati na Madini,
Prof. James Mdoe,
wa pili kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na
Kamishna wa Madini, Vito, Wizara ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo (aliyesimama)
Mhandisi Ally Samaje akizungumza jambo kabla ya zoezi la ufunguaji wa sanduku lenye bahasha
na wa Kwanza za zabuni kwa ajili ya kununua madini ya Tanzanite kuanza. Wa kwanza
kushoto ni Mkuu wa kushoto Issa Lunda, Afisa Biashara kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
wilaya ya Simanjiro, Wa tatu kushoto ni Danford Phiri kutoka kitengo cha TEHAMA, Wizara ya
Zephania Chaula. Nishati na Madini na wa kwanza kulia ni Kamishna Msaidizi wa Madini,
Kanda ya Kaskazini, Adam Juma.

Viongozi mbalimbali wakishuhudia ufunguaji wa sanduku lenye bahasha


za zabuni kwa ajili ya kununua madini ya Tanzanite. Kutoka kushoto ni
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mhe. John Heche, Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Halima Hussein (kulia) kutoka Kituo cha Jemolojia Arusha (TGC) na
Catherine Magige, Mkuu wa wilaya ya Simanjiro, Zephania Chaula, Kaimu Salome Tilumanywa (kushoto) kutoka Kitengo cha Uongezaji Thamani
Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Madini ya Almasi na Vito (TANSORT) wakifungua bahasha za zabuni
Nishati na Madini, Prof. James Mdoe, Mhe. Mwantakaje Juma Mbunge wa kwa ajili ya kununua madini ya Tanzanite katika Mnada wa Pili wa
Bububu na Mhe. Dunstan Kitandula Mbunge wa Mkinga. Kimataifa wa Madini ya hayo.
NewsBulletin 13
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

PICHA MBALIMBALI ZA MNADA WA KIMATAIFA WA MADINI YA


TANZANITE ULIOFANYIKA JIJINI ARUSHA, 9-12 FEBRUARI, 2017.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya


STAMICO, Balozi Alexander Muganda
(wa pili kushoto) akizungumza na
watendaji mbalimbali wa Wizara,
STAMICO na Sky Associates mara
alipotembelea mnada wa Pili wa
Tanzanite uliofanyika katika kituo cha
Jemolojia jijini Arusha. Wa tatu kushoto
ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini
wa Madini ya Almasi na Vito, Wizara ya
Nishati na Madini, Archard Kalugendo,
wa nne kushoto ni Kamishna Msaidizi wa
Madini, Kanda ya Kaskazini, Adam Juma.
Wa kwanza kushoto ni Mhasibu Mkuu wa
STAMICO, Beatrice Lupi na wa kwanza
kulia ni Hussein Gonga kutoka kampuni
ya Sky Associates inayomiliki mgodi wa
Tanzanite One kwa ubia na STAMICO,

Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, Wizara Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito,
ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo (wa kwanza kulia) akizungumza Wizara ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo (mwenye shati
na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini la Kitenge) akionesha baadhi ya madini ya Tanzanite yaliyokuwa
waliotembelea Mnada wa pili wa kimataifa wa madini ya Tanzanite yakiuzwa wakati wa mnada wa Pili wa Kimataifa wa Madini ya
uliofanyika jijini Arusha. Wa kwanza kushoto ni Mbunge wa Tarime Vijijini, Tanzanite jijini Arusha. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya
Mhe. John Heche na katikati Mbunge wa Viti Maalum, Catherine Magige. Wakurugenzi ya STAMICO, Balozi Alexander Muganda.

Halima Hussein kutoka kituo cha Jemolojia Arusha (TGC) wa (kwanza


kulia), na Issa Lunda, Afisa Biashara kutoka Wizara ya Nishati na
Madini (wa pili kulia), wakiwahudumia baadhi ya wanunuzi wa madini ya
Tanzanite waliojitokeza katika Mnada wa Pili wa Kimataifa wa madini hayo Baadhi ya madini ghafi ya Tanzanite yaliyokuwa yakiuzwa katika
uliofanyika jijini Arusha. Mnada wa Pili wa Kimataifa wa madini hayo uliofanyika jijini Arusha.
Habari za nishati/madini

14 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

PICHA MBALIMBALI ZA MNADA WA KIMATAIFA WA MADINI YA


TANZANITE ULIOFANYIKA JIJINI ARUSHA, 9-12 FEBRUARI, 2017.
Mkurugenzi wa Kitengo
cha Uthamini wa
Madini ya Almasi na
Vito, Wizara ya Nishati
na Madini, Archard
Kalugendo (mwenye
suti ya kahawia)
akizungumza kuhusu
madini ya Tanzanite
yaliyokuwa yakiuzwa
katika Mnada wa
pili wa kimataifa wa
madini hayo uliofanyika
jijini Arusha baada ya
watendaji wa wilaya ya
Simanjiro kutembelea
Mnada huo. Wa kwanza
kulia ni Mkuu wa wilaya
ya Simanjiro, Zephania
Chaula.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, Wizara


ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo (wa pili kulia) akizungumza Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito,
kuhusu hatua mbalimbali zinazopaswa kufuatwa kwa wanunuzi wa madini Wizara ya Nishati na Madini, Archard Kalugendo (wa kwanza kulia)
ya Tanzanite yaliyokuwa yakiuzwa katika Mnada wa pili wa kimataifa wa akizungumza na baadhi ya wanunuzi wa madini ya Tanzanite
madini hayo uliofanyika jijini Arusha. Maelezo hayo aliyatoa kwa wageni yaliyokuwa yakiuzwa katika Mnada wa pili wa kimataifa wa madini
mbalimbali waliotembelea mnada huo wa kimataifa. Wa kwanza kulia ni hayo uliofanyika jijini Arusha. Wanunuzi hao ni Giovanni Barbattini na
Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Kaskazini, Adam Juma. Francesca kutoka nchini Switzerland.
Faisal Shahbhai (wa
kwanza kushoto),
Hussein Gonga (wa
pili kushoto), wote
kutoka kampuni
ya Sky Associates
inayomiliki mgodi
wa Tanzanite
One kwa ubia
na STAMICO,
wakizungumza na
Mkuu wa Mkoa wa
Manyara, Dkt. Joel
Bendera, (kushoto)
ambaye alikuwa ni
mgeni rasmi katika
hafla ya kutangaza
washindi wa mnada
wa Pili wa Tanzanite
uliofanyika katika
kituo cha Jemolojia
tarehe 12 Februari,
2017. Wa kwanza
kulia ni Mhasibu
Mkuu wa STAMICO,
Beatrice Lupi.
NewsBulletin 15
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

KUSAINI LESENI YA GRAPHITE - DODOMA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa


Sospeter Muhongo akisaini Leseni ya
uchimbaji wa kati wa Madini ya Kinywe
(Graphite) yatakayochimbwa kwa kipindi
cha miaka Kumi katika eneo la Chilalo
wilaya ya Nachingwea na Ruangwa
katika Mgodi wa Ngwena Tanzania
Limited , hafla hii ya utiliaji saini
ilifanyika katika ofisi za Wizara mkoani
Dodoma.

<<<<<<< <<<<<<< <<<<<<<

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati) Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)
akisaini Leseni ya uchimbaji wa kati wa Madini ya Kinywe (Graphite) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa kampuni ya
yatakayochimbwa kwa kipindi cha miaka Kumi katika eneo la Chilalo Ngwena Tanzania Limited, kushoto ni Meneja Biashara wa Tawi la
wilaya ya Nachingwea na Ruangwa katika Mgodi wa Ngwena Tanzania Tanzania, Stuart Mc Kenzie na kulia ni Dk. K.E Kawishe, Meneja Mkuu
Limited. Hafla hiyo ya utiliaji saini ilifanyika katika ofisi za Wizara mkoani wa kampuni ya Ngwena Tanzania Ltd wakiwa wameshika leseni ya
Dodoma , wanaoshuhudia ni watendaji kutoka Wizara ya Nishati na uchimbaji wa kati wa Madini ya Kinywe (Graphite). Hafla ya utiliaji saini
Madini pamoja na watendaji wa kampuni ya Ngwena Tanzania Limited. ilifanyika katika ofisi za wizara ya Nishati na Madini mkoani Dodoma.

Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
(katikati) akiwa
katika picha ya
pamoja na viongozi
wa Wizara ya Nishati
na Madini pamoja
uongozi wa kampuni
ya Ngwena Tanzania
Limited, mara baada
ya kuweka saini
katika leseni ya
uchimbaji wa kati
wa madini ya Kinywe
(Graphite), katika
ofisi za Wizara
mkoani Dodoma.
Habari za nishati/madini

16 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

KIKAO CHA KUJADILI KANUNI ZA LOCAL


COTENT GESI ASILIA NA MAFUTA
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amekutana na Wachimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia nchini, Wenyeviti wa Bodi za Shirika la
Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Wakuu wa Mashirika pamoja na Viongozi Waandamizi kutoka Wizara ya
Nishati na Madini na Taasisi zake ili kujadili Kanuni za Local Content kikao hicho kilifanyika tarehe 11-12 mjini Dodoma.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)


akimsikiliza mmoja wa washiriki katika kikao cha kuandaa Kanuni za
Local Content. Wengine katika picha ni wenyeviti wa Bodi za Shirika
la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Shirika la Umeme Tanzania
(TANESCO), Wakuu wa Mashirika pamoja na Viongozi Waandamizi kutoka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (katikati)
Wizara ya Nishati na Madini na Taasisi zake na wawakilishi wa kampuni akisikiliza mada kuhusu Local Content iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi
za Wachimbaji wa Mafuta na Gesi Asilia Nchini. Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),
Felix Ngamlagosi (hayupo pichani). Wengine ni washiriki waliohudhuria
kikao hicho mjini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa


(wa pili kulia) akiendesha kikao cha kujadili Kanuni za Local Content
kwa niaba ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akisikiliza
Wengine ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya BG, Marc Hartog (wa mada kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa
kwanza Kulia) Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi (hayupo pichani).
Tanzania (TPDC), Profesa Sufiani Bukurura (wa tatu kulia), Kaimu Kutoka kushoto, Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli
Kamishna wa Nishati na masuala ya Petroli, Mhandisi Innocent Luoga Tanzania (TPDC), Profesa Sufiani Bukurura, wa pili ni Katibu Mkuu
(wa nne kulia), Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa na wa tatu
Pamoja (PBPA), Modestus Lumato (wa tano kulia) pamoja na Viongozi Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya BG, Marc Hartog wakiwa katika kikao
Waandamizi kutoka Wizara ya Nishati na Madini. hicho mjini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati


na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi (aliyesimama) akitoa ufafanuzi
kuhusu mada zilizotolewa kwenye kikao cha kujadili Kanuni za
Local Content kwenye Ukumbi wa Wizara ya Nishati na Madini mjini
Dodoma. Wanaofatilia ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
Muhongo (wa kwanza kulia) pamoja na Wenyeviti wa Bodi za Shirika
la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Shirika la Umeme Tanzania
(TANESCO), Wakuu wa Mashirika na Viongozi Waandamizi kutoka Washiriki wa kikao cha Local Content wakifuatilia kikao kilichojadili kanuni
Wizarani. za Local Content mjini Dodoma.
NewsBulletin 17
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

By Eng.Gilay Shamika
Engineer & Gemologist TMAA
Email: gshamika@tmaa.go.tz
Phone: +255 762 715 762

Opal Gemstone in Tanzania


O
pal name history: The colour by diffraction in the visible resistant to scratches. (Glued on
sources of word Opal light range of 400 to 700 nanometers. Treatment and Grading of Opal bottom and on Top covered with thin
is not known. Opal is Color Ranges: White, Colorless, Treatment of Opal: Opal is layer of other transparent materials)
a hydratedamorphous Blue, Red, Green, Yellow, Orange, treated by either gluing a top or base
form of silica Brown, Pink, Purple, Gray, Black, of it to increase hardness (base) or Black layer onto a base and thin
(SiO2nH2O); its water content Banded, and Multicolored. intensity of colour (top side). This transparent on top glued
may range from 3 to 21% by weight, Varieties of Opal: There are treatment result into opal doublets
but is usually between 6 and 10%. many varieties of both precious and and triplets. Synthetic Opal:synthetic opal
Because of its amorphous character, common Opals. Opal Doublets: Are thin slices of under magnification, they show
it is classed as a mineraloid, unlike Black Opal: Is the most desired precious opal glued onto a base with snakeskin-like structure or known as
crystalline forms of silica, which are and beautiful form of opal. It is opal any material to increase hardness of chicken wire pattern. Synthetic opal
classed as minerals. with a dark blue, dark green or black opal. also can show columnar structure
Its splendid play of color is background with a strong play of vertically.
unsurpassed, and fine examples color. Most common problem
can even be more valuable than associated with Opal is called Crazing
Diamond. The intensity and Problem. Crazing problem is a
distribution of the color flashes is a condition whereby opal shows cracks
determining factor in the value of an internally or on the surface when
Opal. opal loose moisture. It is advised
In Tanzania Opal is mostly to keep opal away from excessive
available at Kigoma: Buhoro, temperature. But not all opals are
Nyakitonto, Makere and in other Black layer glued onto a base. affected by crazing.
regions with few occurrences. Opal Triplets: Are like opal
Australian opal has often been cited doublets but coated with a thin layer Opalis confused with: Agate,
as accounting for 9597% of the or dome of clear Quartz on top moss and sunstone.
worlds supply of precious opal White Opal: Opal with a light of cabochon to make them more
with the state of South Australia colored body color (white, yellow,
accounting for 80% of the worlds cream, etc.) with strong play of color.
supply.
Geology: Opal is primarily
composed of a solution of silicon
dioxide and water. As water runs
down through the earth, it picks up
silica from sandstone, and carries
this silica-rich solution into cracks
and voids, caused by natural faults or
decomposing fossils. Once the water
evaporates, it leaves behind a silica
deposit. Fire Opal: Opal with a
This cycle repeats over very long transparent to translucent deep- Gemological properties of Opal
periods of time, and eventually opal orange red. Mostly fire opal does
is formed.Opal is formed from tiny not show play of color. If Fire Opal
silica spheres, contained in silica-rich displays play of color, it is then called Gemological Properties of Opal Unit of Measure
solutions in the earth form and settle Precious Fire Opal. Refractive Index (RI) 1.450
under gravity in a void to form layers Specific Gravity (SG) 2.15
of silica spheres. The solution is
believed to have a rate of deposition Hardness (Mohs Scale) 5.5 to 6.5
of approximately one centimetre Toughness Medium
thickness in five million years at a Stability to light Unstable
depth of forty metres.
Sources of play of colour in
Opal: When the spheres are the Grading of Opal:Opals are classified into two types; Precious Opal and
same size and are arranged in a Common Opal. Opals displaying play of color are known as Precious Opals,
three-dimensional grid, negatively and opals lacking play of color are known as Common Opals.
charged areas are created in the
gaps between the spheres. If those Opal Grading Explanation
negatively charged areas are as big
as a wavelength of visible light, A precious opal Opals displaying play of color
then colors will be visible. For B common opal Opals lacking play of color
precious opal the sphere size ranges C D: precious/common opal Opals with faded display of
from approximately 150 to 400
nanometers producing a play of color/opals with faint color
Habari za nishati/madini

18 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

ADVERTISEMENT FOR
ADVERTISEMENT FOR APPOINTMENT OF CHAIRPERSON AND DIRECTORS
TO BOARD OF DIRECTORS OF THE TANZANIA
INTERNATIONAL PETROLEUM RESERVES (TIPER)
APPOINTMENT OF CHAIRPERSON AND
DIRECTORS TO BOARD OF DIRECTORS OF THE
PUMA ENERGY 16th FEBRUARY 2017

The Ministry of Energy and Minerals (MEM) of the Government of the United
16th FEBRUARY 2017 Republic of Tanzania as mandated under the Public Corporations Act and,
in that on behalf of the Shareholder of Tanzania International Petroleum
The Ministry of Energy and Minerals (MEM) of the Government of the United
Republic of Tanzania as mandated under the Public Corporations Act and, in Reserves (TIPER), hereby invites qualified competent Tanzanians to apply for
that on behalf of the Shareholder of PUMA Energy, hereby invites qualified consideration to the appointment as Chairperson and Directors to the Board
competent Tanzanians to apply for consideration to the appointment as of Directors TIPER.
Chairperson and Directors to the Board of Directors PUMA Energy.
Qualification/Qualities of Individuals to be appointed as Chairperson and
Qualification/Qualities of Individuals to be appointed as Chairperson and Members of the Board of Directors
Members of the Board of Directors
MEM therefore desires that the Board of Directors of TIPER shall be composed of
MEM therefore desires that the Board of Directors of PUMA Energy shall be individuals who have demonstrated significant achievements in their respective
composed of individuals who have demonstrated significant achievements in professional careers in business management and their service in either public
their respective professional careers in business management and their service or private sector, or both.
in either public or private sector, or both.
In light of Government policies and priorities on one hand, and the Companys
In light of Government policies and priorities on one hand, and the Companys Mission and Vision on the other hand, the individuals are expected to possess
Mission and Vision on the other hand, the individuals are expected to possess qualifications; qualities and experience that will add value in the energy sector
qualifications, qualities and experience that will add value in the energy sector and the petroleum sub-sector in particular. Specifically, the following qualities
and the petroleum sub-sector in particular. Specifically, the following qualities are considered desirable to any candidate aspiring to become Chairperson or
are considered desirable to any candidate aspiring to become Chairperson or Member of the Board of Directors of TIPER:
Member of the Board of Directors of PUMA Energy:
a) Citizen of Tanzania and graduate of accredited University;
a) Citizen of Tanzania and graduate of accredited University;
b) Person of moral character, proven integrity, and professional
b) Person of moral character, proven integrity, and professional competence;
competence;
c) At least ten (10) years experience in petroleum geosciences or
c) At least ten (10) years experience in petroleum geosciences or engineering; health, safety and environment maters; law; business
engineering; health, safety and environment maters; law; business administration and management; finance; economics or chemical
administration and management; finance; economics; chemical processing or refinery engineering;
processing or refinery engineering;
d) Knowledge of the petroleum industry and regulation in different fields
d) Knowledge of the petroleum industry and regulation in different fields of the economy;
of the economy;
e) No conflict of interest with the Authoritys activities; and
e) No conflict of interest with the Authoritys activities; and

f) Available for service as and when required. f) Available for service as and when required.

Applications from suitable candidates enclosing certified copies of relevant Applications from suitable candidates enclosing certified copies of relevant
certificates and Curriculum Vitae (CV) should reach the undersigned within certificates and Curriculum Vitae (CV) should reach the undersigned within
seven (7) days from the date of this advertisement. The CV should include seven (7) days from the date of this advertisement. The CV should include
names, addresses, and contact telephone numbers and e-mails of three names, addresses, and contact telephone numbers and e-mails of three
references. The envelope should be marked on toAPPOINTMENT AS references. The envelope should be marked on toAPPOINTMENT AS
CHAIRPERSON OR MEMBER OF DIRECTORS TO THE BOARD OF DIRECTORS OF CHAIRPERSON OR MEMBER OF DIRECTORS TO THE BOARD OF DIRECTORS OF
PUMA TIPER

Permanent Secretary Permanent Secretary


Ministry of Energy and Minerals, Ministry of Energy and Minerals,
5 Samora Machel Avenue, 5 Samora Machel Avenue,
P.O. BOX 2000, P.O. BOX 2000,
11474, DAR ES SALAAM. 11474, DAR ES SALAAM.
Email: ps@mem.go.tz Email: ps@mem.go.tz
NewsBulletin 19
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Februari 17 - 23, 2017

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


WIZARA YA NISHATI NA MADINI

TAARIFA KWA UMMA


AJALI YA WACHIMBAJI WADOGO WAPATAO 18 KUFUKIWA
NA KIFUSI BAADA YA SHIMO KUPOROMOKA KATIKA ENEO
LENYE LESENI YA UTAFUTAJI MADINI NA. PL 7132/2011
INAYOMILIKIWA NA STAMICO
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kuufahamisha umma kuwa, Tarehe 13 Februari, 2017 kulitokea ajali
ya wachimbaji wadogo wapatao 18 kufukiwa na kifusi wakati wakichimba dhahabu katika eneo la Buhemba
lenye leseni ya utafutaji wa madini ya dhahabu, PL No. 7132/2011 inayomilikiwa na STAMICO. Ajali hiyo
ilitokana na kuporomoka kwa mwamba wakati wachimbaji hao walipovamia eneo hilo na kuanza kuchimba
dhahabu kitendo ambacho kimekuwa kikifanyika hasa wakati wa usiku.

Wachimbaji 13 waliokolewa tarehe hiyo hiyo 13 Februari, 2017 wakiwa hai na kupelekwa katika Hospitali
ya Wilaya ya Butiama kwa matibabu. Zoezi la kutafuta wachimbaji wengine liliendelea ambapo tarehe 14
Februari, 2017 maiti mbili zilipatikana katika shimo hilo. Juhudi zaidi zinaendelea kutafuta wachimbaji
wengine waliobaki ambapo Uongozi wa Wilaya ya Musoma kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja
na Wizara ya Nishati na Madini kupitia Ofisi ya Madini Musoma kwa kushirikiana na Mgodi wa North
Mara na Wachimbaji wadogo wanaendelea na zoezi la uokoaji. Juhudi za kufukua shimo lililoporomoka pia
zinaendelea ili kuona kama kuna watu zaidi katika shimo hilo. Mgodi wa North Mara umetoa msaada wa
mashine ya kuvuta maji na tope ili kuwezesha zoezi la ufukuaji kuendelea.

Wizara ya Nishati na Madini inachukua fursa hii kuwatangazia Wananchi wote kuwa shughuli za Utafutaji,
Uchimbaji na biashara au shughuli yoyote ya madini zinatakiwa zifanyike kwa kuzingatia Sheria ya Madini
ya Mwaka 2010. Kwa maana hiyo, lazima shughuli hizo zifanywe na wamiliki wa leseni na vibali halali
vinavyotolewa kwa mujibu wa sheria hiyo. Kwa kufanya hivyo, itawezesha wataalam wa Wizara ya Nishati
na madini kufanya ukaguzi ili kuhakikisha kuwa shughuli hizo zinafanyika inavyotakiwa ikiwa ni pamoja na
usalama katika shughuli za uchimbaji.

Tunatoa wito kwa Wananchi wote ikiwa ni pamoja na wachimbaji wadogo kuacha tabia ya kuvamia maeneo
na kuendesha uchimbaji katika eneo lolote bila kumiliki leseni kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya Mwaka
2010.

Imetolewa na;
KATIBU MKUU
WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Habari za nishati/madini

20 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Februari 17 - 23, 2017

You might also like