Professional Documents
Culture Documents
Sauti Ya Ilala
Sauti Ya Ilala
Tunajenga uwezo wetu wa kujiletea maendeleo. Manispaa ambayo ipo kwa ajili ya
kuunganisha wananchi na wadau wengine; ikusanye mapato yake kwa kiwango cha kutosha.
Baada ya kukusanya matumizi yafanyike kwa uadilifu na weledi ili kupata thamani ya fedha.
Wananchi wetu wanatakiwa kuelewa mipango yetu yote na waimiliki. Wasione mipango
hii ni ya viongozi au kikundi cha watu kwa msingi huu tuwashirikishe kuibua miradi
au mipango yetu ya maendeleo. Waelewe sababu za kutoa kipaumbele kwa shughuli
yoyote itakayoamuliwa kutekelezwa. Utaratibu huu utasaidia kuondoa malalamiko
kutoka kwa wananchi wetu; miradi itakuwa mahitaji ya wananchi na wataimiliki.
Wito wangu kwa wote ni tujenge ushirikiano na uwajibikaji kuleta maendeleo Wilaya yetu
ya Ilala. Ni lazima mchango wetu wa kukabiliana na changamoto za elimu, afya, maji
safi, maji taka, miundombinu, biashara holela, uchafu na uharibifu wa mazingira, makazi
holela, matumizi ya madawa ya kulevya, ukosefu wa ajira, ombaomba n.k. matokeo
yake yaonekane, changamoto zote tunazijua hivyo jukumu letu ni kuzipatia suluhu sasa.
Sauti ya Ilala
2 MAKALA
Yaliyomo
w a 6
asa
Ukur
Bonnah education
trust fund mkombozi
wa Elimu
Uku
rasa
wa 2
4
Sofia Kavishe: Kila
aina ya ufugaji uko
kwangu
a 12
s a w
ur a
Uk
Usafi wa Mazingira
ni Jukumu letu sote,
tuwajibike
Sauti ya Ilala
MAKALA
HABARI 3
Mnazi Mkinda wazinduliwa rasmi Ilala
Na Lucy Semindu-Ilala mkono kwa kuratibu mpango wa Mnazi Mkinda ili kukuza
elimu na vipaji vya wanafunzi wa Shule za Msingi za
Sauti ya Ilala
4 MAKALA
Bonnah education trust fund mkombozi
wa Elimu
Na Lucy Semindu Ilala wadau wana nafasi kubwa ya kuchangia maendeleo
kwa kushirikiana na Serikali. Alishukuru wote
Kutoka kushoto
zi na Ajira,
ni Naibu Waziri wa Ka Kalua,
Kipawa Mhe. Bonnah
Ma ko ng oro Ma ha ng a, Diwani wa Kata ya Wi laya ya
Mhe. aa na Mkuu wa
e Shisael, Meya Jerry Sil
paa ya Ilala kwenye picha
za Tig o Bi Wo ind
Meneja wa huduma ozi waandamizi wa Manis
shi pa mo ja na vio ng
Ilala Mh.Raymond Mu nafunzi wa shule ya sekondari
Mvuti.
. Picha kulia: Wa
ya pamoja siku ya tamasha hilo
Sauti ya Ilala
MAKALA 5
Bonnah education trust fund...
Kutoka Uk. 6 vyema wadau wengine wakajitokeza kwa ajili ya
kusomesha wanafunzi waliokosa fursa ya kulipiwa jambo hili muhimu.
ada ya sekondari. Aliyataka makampuni mengine
yaige mfano huo kwa kusaidia sekta za kijamii. Akifunga shughuli hiyo iliyoambatana na maonesho
ya mavazi ya Mwanamitindo mashuhuri Tanzania
Kwa upande wake Meneja wa huduma wa Tigo Bi. Asia Idarius, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.
Bi Woinde Shisael alisema kuwa Tigo imepanga Raymond Mushi alisema Serikali inazo changamoto
kusomesha wanafuzi 42 ili kuunga mkono kwa dhati nyingi zinazohitaji juhudi za kila mmoja wetu.
mpango huo ulioanzishwa na Bonnah Education .
Trust Fund. Aidha, Bi Woinde alisema kuwa tangu Alisisitiza kwamba yeye ataunga mkono Kiongozi
kuanzishwa kwake mwaka 1993, Tigo inatambua yeyote ambaye ana mpango wa kutatua changamoto
jukumu lake la kusaidia katika sekta mbalimbali za Serikali. Aliwataka Madiwani wengine wajitokeze
ikiwemo ujasiriamali, TEHAMA na Elimu na kwamba kutatua changamoto zilizopo na kwamba changamoto
Tigo inatambua umuhimu wa kuwajibika katika jamii haziwezi kutatuliwa na mtu mmoja peke yake. Sekta
na hii ni moja sehemu ya mikakati ya Tigo. ya elimu ni moja ya sekta ambayo ikiangaliwa na
kutekelezwa kwa dhati itasaidia Serikali kufikia
Alitoa rai kwa makampuni mengine kuchangia kwa matokeo makubwa sasa yaani BRN na kuiwezesha
ajili ya ada na vifaa vya shule na kwamba Serikali Tanzania kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025.
peke yake haiwezi kutatua changamoto zilizopo, ni
K atika kuhakikisha
kuwa Manispaa
ya Ilala inapiga hatua
katika sekta ya elimu,
Ofisi ya Mkurugenzi
wa Manispaa ya Ilala
imesaidia kukamilisha
ujenzi wa nyumba
nne za walimu katika
Kata ya Kiwalani huku
mojawapo ya nyumba
hizo ikijengwa shule
ya msingi Kigilagila na
kukabidhiwa walimu wa
shule hiyo pamoja na
kuezeka upya vyumba
10 vya madarasa.
Naibu Katibu Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Ndg.
Akielezea ujenzi wa
Ibrahim Nassib, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa nyumba tano za walimu
nyumba hizo kwenye
Kata ya Kiwalani zilizojengwa na Manispaa ya Ilala. Kulia ni Afisa Mtendaji
Mahafali ya darasa la
saba shule ya msingi
Kata ya Kiwalani Ndg. Adeltus Kazinduki (Picha na Michael Noel)
Kigilagila, Afisa
Mtendaji (WEO) wa hivyo kuendana na kauli mbiu isemayo Big Results Now
Kata ya Kiwalani, Ndg. Adeltus Kazinduki, amesema (Matokeo Makubwa Sasa), ilisema sehemu ya risala
kuwa, ujenzi ulianza mwaka 2005 kwa fedha za Wizara hiyo.
ya Elimu kupitia kwa Afisa Elimu wa Manispaa ya Ilala
lakini hazikutosha, hata pale wazazi walipochangishana Walimu hao wameendelea kumshukuru Mkurugenzi wa
pia hazikutosha. Manispaa ya Ilala kwa kuthamini maendeleo ya elimu
kwa kuwasaidia kuezeka upya vyumba vya madarasa
Nyumba hizo zilizogharimu kiasi cha Tsh. 53,970,300, 10 ambavyo bati zake zilishachakaa sana, na ujenzi
kwa mujibu wa Kazinduki, mwaka 2012 Kamati ya wa nyumba nne za walimu katika Kata ya Kiwalani
Maendeleo ya Kata (WDC) ikaazimia kuzimalizia, ambapo mojawapo ikiwa ni ya shule hiyo, sambamba
Shukrani kwa Mkurugenzi wa Manispaa kwa kusikia na vyumba vinne vya madarasa ambavyo kwa sasa
kilio chetu na hatimae kukamilisha ujenzi huo mwezi ujenzi umesimama kutokana na kukosekana fedha za
Juni mwaka huu alisema Kazinduki. kuvimalizia.
Nao wanafunzi wa shule hiyo katika wimbo wao maalumu Akitoa nasaha kwenye mahafali yaliyoandaliwa shuleni
wa shukrani, wametoa pongezi kwa Mkurugenzi wa hapo, Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa
Manispaa ya Ilala na kamati ya maendeleo ya Kata Tanzania, Ndg. Ibrahim Nassibu, amewaasa walimu,
kwa mchango mkubwa wa kuweza kukamilisha ujenzi wazazi na wanafunzi juu ya maadili mema na kuongeza
wa nyumba hizo na kuahidi kushirikiana na walimu kuwa elimu ya msingi waliyoipata iwe chachu ya
kuzitunza. muendelezo wa elimu ya juu ili kujiletea maendeleo.
Katika Risala yao, walimu wa shule hiyo wameishukuru Aidha, Nassibu ameipongeza Manispaa ya Ilala na
Serikali kwa kutambua umuhimu wa elimu na kuiwezesha Kamati ya maendeleo ya Kata ya Kiwalani kwa kujenga
kwa vitabu vya masomo mbalimbali.Tunaishukuru nyumba hizo za walimu na kuahidi ushirikiano kwenye
ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI kwa utaratibu mzuri
unaofanywa wa kutuletea vitabu vya kiada na ziada, Inaendelea Uk. 11
utaratibu huu utawasaidia wanafunzi na walimu na
Sauti ya Ilala
MAKALA 7
Gongo la mboto wageuza taka kuwa mali
Na David Langa Katika kituo hiki watu zaidi ya 200 wamepata ajira
K atika jiji la Dar es Salaam suala la takataka ni kwa namna mbalimbali ambapo taka zinazofikishwa
changamoto kubwa sana kwani pamoja na jiti- kwenye kituo hiki hutenganishwa na kisha kurejeshwa
hada kubwa zinazofanywa na Serikali na idara zote kwenye matumizi kwa njia tofauti.
zinazohusika lakini bado kuna taka nyingi sana zina-
zobaki bila kuzolewa nakupelekwa sehemu zinazo- Hapa taka kama vile Plastiki hukusanywa pamoja na
husika. kisha kuuzwa kwa wenye viwanda kwa ajili ya kutu-
mika kuzalishia tena bidhaa za Plastiki. Pia taka za
Inakadiriwa kuwa Manispaa ya Ilala pekee inazalisha chupa, vyuma na karatasi pia hukusanywa pamoja na
takribani tani 1100 za taka ngumu kwa siku ambapo baadaye kuuzwa kwenye viwanda vilivyopo ndani ya
kati ya hizo ni tani 550 tu ndizo huzolewa kwa ushiri- Jiji la Dar es Salaam.
kiano wa Manispaa na wakandarasi mbalimbali wali-
opewa tenda ndani ya Manispaa. Zipo pia taka zinazotokana na vyakula na mimea ya
aina mbalimbali kama vile maganda ya viazi, ndizi
Taka hizi zinapozolewa toka sehemu mbalimbali za na mabaki ya vyakula. Taka za aina hii zimekuwa
jiji hupelekwa katika dampo la Pugu-Kinyamwezi mkombozi mkubwa kwa wakazi wa Gongo la Mboto,
ambalo linasimamiwa kwa ushirikiano na mamlaka kwani zinatenganishwa na kisha kutumika kutengen-
ya jiji la Dar es Salaam. eza mbolea ya mboji ambayo ni rafiki wa mazingira.
Hata hivyo pamoja na kuwepo kwa dampo hilo la- Mbolea hii hutumika kukuzia mazao ya aina mbalim-
kini pia kuna changamoto mbalimbali kutokana na bali ikiwa ni pamoja na Bustani za mboga na maua
maeneo hayo ya dampo kukaliwa na watu, hivyo ku- ambapo watu hufika katika kituo hiki na kununua
sababisha kero kubwa kwa wakazi wa maeneo yote mbolea kwa ajili ya matumizi yao.
yanayo lizunguka dampo.
Inaendelea Uk. 11
Maeneo yanayoathirika zaidi
ni pamoja na eneo lote la Kata
yaUkonga, maeneo ya Gongo la
mboto, Pugu, Pugu-Kinyamwe-
zi, Majohe na Kipawa mpya.
K uwekwa kwa
sheria ndogon-
dogo za matumizi ya
Mzunguko wa sanamu ya askari katikati Manispaa (kushoto) na
sehemu ya kuegesha magari husaidia kupunguza msongamano wa
maeneo ya bara-
bara za katikati ya
Jiji yanaegeshwa
magari katika maeneo
barabara Manispaa
ya Ilala, kumesaidia yaliyoruhusiwa tu
kwa kiasi kikubwa kupunguza msongamano wa magari kwa ajili ya maegesho ya magari.
barabarani hali iliyopelekea barabara nyingi za kuingia Kuwakamata na kuwachukulia hatua za kisheria ma-
mjini na za mitaa kuwa wazi na hivyo kuruhusu magari dereva wa magari yanayoegeshwa katika maeneo ya-
kupishana bila kikwazo. nayokatazwa kuegeshwa magari.
Kuhakikisha kwamba hakuna biashara zinazofanyika
Magari mengi yalikuwa yakipaki maegesho yasiyo rasmi katika maeneo ya barabara na bakaa za barabara na
kandokando ya barabara na hivyo kusababisha ufinyu wa kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wataka-
barabara na kusababisha foleni zisizokuwa za lazima. She- okaidi.
ria hizi zimesaidia kwa kiasi fulani kupunguza adha hiyo.
Kuhakikisha kwamba hakuna shughuli za uoshaji wa
magari katika maeneo ya barabara, bakaa za barabara
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala baada ya kugundua
na maeneo mengine yasiyoruhusiwa katikati ya Jiji na
tatizo hili, wakawapa mkataba kampuni za TAMBAZA na
kuwachukulia hatua za kisheria wale wote wanaokai-
MWAMKINGA, AUCTION MART & GENERAL BRO-
di.
KERS, ili kusimamia utekelezaji wa sheria hizi na ukamata-
ji wa magari yaliyopaki katika maeneo yasiyo rasmi. Kuhakikisha kwamba maeneo ya barabara hayatumiki
kama maegesho ya kudumu ya magari mabovu au
Ni dhahiri kwamba lengo la sheria hizi ni kuielimisha jamii gereji bubu.
na madereva wa magari juu ya matumizi sahihi ya barabara
ili kuondokana na msongamano wa magari unaosababish- Kuhakikisha kwamba hakuna vifaa vya ujenzi
wa na baadhi ya madereva kuegesha magari yao kiholela vinawekwa katika barabara na bakaa za katikati ya Jiji
pembezoni mwa barabara na kuifanya kuwa finyu na ma- na shughuli nyingine zozote zenye kuchafua mazin-
tokeo yake kusababisha foleni. gira ya barabara.
MADHUMUNI MAKUU YA SHERIA HIZI: Kuhakikisha kwamba magari ya mizigo hayapaki ka-
Kuwaelimisha watumiaji wa barabara pamoja na mad- tika maeneo ya barabara isipokua kwa ajili ya kupakia
ereva wa magari kuhusu maeneo yanayostahili kuege- na kupakua tu na kwa muda mfupi usiozidi dakika 15.
sha magari na yasiyoruhusiwa kuegesha magari. Pamoja na mambo mengine, utekelezaji wa zoezi hili
Kuweka alama za kuonyesha maeneo ya barabara utafungua barabara nyingi katikati ya jiji hivyo ni muhimu
yanayoruhusiwa kuegesha magari na maeneo yasiy- kwa Manispaa ya Ilala kuzisimamia ipasavyo kupitia
oruhusiwa kuegesha magari kwa kufuata mwongozo mawakala waliyoidhinishwa pamoja na kutoa elimu kwa
kutoka kwa Mhandisi wa Manispaa ya Ilala. umma kuhusiana na sheria hizo.
Kuhakikisha kwamba magari yanayoegeshwa katika
Sauti ya Ilala
MAKALA 9
Gongo la mboto wageuza taka kuwa mali
Kutoka Uk. 9 kuwavutia wawekezaji kuja miaka miwili ijayo kuanzia sasa,
kuwekeza katika kituo hiki na lengo kuu ikiwa ni kuwajengea
Katika kituo hiki upo pia mradi kutoa elimu kwa wakazi wa Gongo uwezo wakazi wa eneo hili ili hapo
wakuzalisha umeme kwa kutumia la Mboto na maeneo ya jirani. baadaye waweze kujisimamia na
taka-vimiminika (Biogas) ambapo kisha kituo kujiendesha kwa faida.
taka laini kama vile kinyesi cha Kituo hiki kimepata ufadhili
wanyama hutumika kuzalisha kutoka nchini Ujerumani Mwakilishi wa BODRA Bi.
umeme wakutosha kutumika chini ya Shirika la BORDA Larissa Duma anasema wao wapo
katika eneo lote la mradi kwa (Bremen Overseas Research and nchini kwa ajili ya kuhakikisha
kuwashia taa na pia upo mpango Development Association) ambao wanawawezesha Watanzania
wakuzalisha umeme zaidi kwa ajili kwa kushirikiana na uongozi wa kujisimamia katika kutunza
ya kuendeshea mitambo ambayo Manispaa ya Ilala inayoongozwa mazingira na kuwa na mazingira
kwa sasa mitambo hii hutegemea na Mstahiki Meya Jerry Silaa endelevu na rafiki kwa viumbe
zaidi nguvu za mikono. wameweza kusimamia ukusanyaji vyote.
wa taka pamoja na kutoa elimu
Hali hii imeweza kubadilisha kwa wakazi wa Gongo la mboto Pamoja na Tanzania BORDA pia
dhana nzima ya taka kuwa kitu na maeneo ya jirani. inafanya kazi katika nchi zilizo
kisichohitajika kwa jamii nzima katika jumuiya ya maendeleo ya
kiasi kwamba hatua hii imeweza Shirika la BORDA linatazamiwa nchi zilizo kusini mwa Afrika
kuwepo katika kituo hiki kwa yaani SADC.
Sauti ya Ilala
10 MAKALA
Usafi wa Mazingira ni Jukumu letu sote, tuwajibike
Na Michael Noel-UoI kikubwa jitihada za usafi wa mazingira.
M aisha ya Binadamu yanategemea kwa kiasi Jukumu la usafi wa mazingira siyo la Serikali pekee,
kikubwa mazingira ya mahali tunapoishi na tu- bali kila mwananchi anapaswa kuhakikisha anawa-
napofanyia shughuli zetu mbali mbali, kwani mazin- jibika kuyatunza. Ili kufanikisha hili, viongozi wa
gira safi huleta afya bora kwa kupunguza milipuko ya Serikali za Mitaa lazima washirikishwe katika op-
magonjwa na kujenga jamii imara yenye afya na ari eresheni mbalimbali za utunzaji mazingira ili kuwapa
ya kufanya kazi za kijamii na kiuchumi. uwezo wa kusimamia na kukampeni zoezi hili kuan-
zia ngazi ya mtaa yaani nyumba kwa nyumba katika
Wakati Mataifa mengi duniani yakihaha kukabil- maeneo husika.
iana na uharibifu wa tabaka la anga yaani O-zone
layer inayosababishwa kwa kiasi kikubwa na shu- Kasi ya ongezeko la watu wanaoingia na kutoka wak-
ghuli za viwanda, na kusababisha mabadiliko ya tabia iwemo wafanyabiashara ndogo ndogo katika Manis-
nchi na kuleta athari kubwa kwa viumbe hai kama paa ya Ilala, imeleta changamoto katika idadi na ufan-
vile ongezeko la ukame, magonjwa, mafuliko na isi wa vitendea kazi vya kusafisha na kubebea taka
kadhalika, hali kadhalika hatua kali zaidi zinapaswa hasa ikizingatiwa taka nyingi zinaonekana maeneo ya
kuchukuliwa kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jirani na masoko.
katika makazi ya watu kunakosababishwa na utupaji
holela wa takataka hasa katika maeneo ya masoko na Tuboreshe mazingira kwa afya zetu, tunza mazingira
madampo yasiyo rasmi katika mitaa na pembezoni nayo yakutunze.Tushirikiane, kwa pamoja tunaweza.
mwa barabara za katikati ya jiji.
Sauti ya Ilala
MAKALA 11
Mpango wa Anuani za Makazi na
Postkodi una lengo la kuinufaisha nchi
Na Lucy Semindu
Aidha, Bw. Kissi alisema kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Swift Security Team limited
wakati wanaanza hawakuwa na wa- Bw. Jacob Kissi akifanya mahojiano na Sauti ya Ilala. (Picha Na
teja wengi lakini siku hadi siku wateja David Langa)
waliendelea kuongezeka kutokana na
kuwepo kwa uwajibikaji na utendaji
bora walionao. Kwani wameweza kufanya kazi kwa Inaendelea Uk. 15
ufanisi bila kuwa na matukio ya kiuhalifu na malindo
Sauti ya Ilala
MAKALA 13
Sekta ya ulinzi yakua kwa kasi...
Kutoka Uk. 14 yamekuwa salama kiasi cha kuzidisha imani kwa wa-
teja wao. Hii inatokana na mfumo bora wa mawasiliano
waliojiwekea baina ya wateja na kampuni pamoja na
maaskari kwa masaa 24.
K atika Dunia ya sasa yenye maendeleo ya sayansi kwa kuuza vyombo vya nyumbani peke yake, huku
na teknolojia, sekta ya biashara inakua kwa kasi likiwa na mtaji wa kiasi cha Shilingi za Kitanzania
zaidi hapa nchini na duniani kote kwa ujumla, huku Laki Sita (600,000/=). Mwaka 2002, duka la Joshua
vijana wengi wakitumia fursa zilizopo kujikwamua G. Traders lilianzisha pia biashara ya kuuza mabegi,
kimaisha. ikiwa ni sehemu ya faida iliyotokana na duka la awali
la uuzaji wa vyombo vya nyumbani.
Vijana hao wamekua wakitumia fursa za kujipatia
mikopo midogo na mikubwa kutoka katika asasi za Ni kweli haba na haba hujaza kibaba hadi kufikia
kiserikali na binafsi,na hata kukopeshana wao kwa mwaka 2013 kampuni ya Joshua G. Traders ikika-
wao kutoka katika vikundi vidogo vidogo vya
kuweka na kukopa (SACCOS) vyenye riba iliyo
na unafuu, ili waweze kujipatia mitaji ya bi-
ashara.
Sauti ya Ilala
16 MAKALA
Habari kat
1 2
3 4
2 Rais Dk. Jakaya Kikwete akiteta na jambo Meya wa
Manispaa ya Ilala Mhe. Jerry Silaa katika siku ya
maonyesho ya bidhaa zinazotengenezwa na walemavu.
1 Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa 5 Wanafunzi wa shule mbalimbali wakifanya mazoezi
(katikati), Afisa Elimu Misingi Bibi Elizabeth Thomas kabla ya kuanza ziara ya kuhamasisha Dawati ni
(kulia) na Mkururugenzi Mkuu wa Kampuni ya Elimu chini ya Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe.
Isiders Tanzania Bw. Haruni Kinega (Kushoto) Jerry Silaa.
katika kikao na waandishi wa habari
Sauti ya Ilala
MAKALA 17
atika picha Picha na David Langa
6 7
8 9
7 Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Halmashauri
ya Manispaa ya Ilala.(katikati) Mhe. Angelina
malembeka(Uchumi na Huduma za jamii), (kushoto)
Mhe. Lufungulo Magina(Mipango Miji na Mazingira),
(kulia) Mhe. Sultan Salim (Ujenzi) wakiwasilisha taarifa
za Kamati zao katika Baraza la Madiwani. (Picha na
David Langa)
Sauti ya Ilala
18 MAKALA
Serikali ya awamu ya nne yatekeleza
ahadi za ilani ya uchaguzi kwa vitendo
Barabara ya mradi wa usafiri uendao haraka awamu ya kwanza wazinduliwa.
Ujenzi wa daraja la Kigamboni ambalo ni la kisasa na kipekee Afrika Mashariki
na Kati wazinduliwa rasmi.
Na Lucy Semindu Dar es Salaam
Sauti ya Ilala
MAKALA 21
Kamati yahimiza uzingatiaji wa Sheria za Mipangomiji
Na Kassim Nyaki ifafanua.
Katika ziara ya kamati hiyo iliyotembelea pia sekta
Mwenyekiti wa kamati ya Mipangomiji katika Halmashauri Wakiwa katika ziara ya kutembelea viwanda vya maeneo
ya Manisipaa ya Ilala, Mhe. Magina Lufungulo, amesema ya Kiwalani na Buguruni wajumbe wa kamati hiyo Mhe.
kuwa, wapo baadhi ya watu ambao wamekuwa wakibadilisha Abdulkarim Masamaki na Mhe.Gharib Riyami wame-
matumizi ya maeneo yao bila kufuata taratibu zilizowekwa washauri wamiliki wa viwanda hivyo kwamba pamoja na
kisheria juu ya kuomba vibali vya kubadili matumizi kwamba wamekuwa na msaada mkubwa hasa katika suala
ya makazi au biashara kutoka mamlaka zinazohusika. la ajira kwa wananchi na kusaidia katika huduma za jamii,
kuna umuhimu wa kuwajali wafanyakazi wa viwanda hivyo
Mhe. Lufungulo ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Bugu- ikiwa ni pamoja na kuwanunulia vitendea kazi kama sare,
runi ameliambia Sauti ya Ilala kuwa kamati yao inafanya gloves, mabuti na kuboresha mazingira ya kufanyia kazi.
kazi kubwa kwa kushirikiana na watumishi mbalimbali Wamiliki wa viwanda mmesaidia serikali katika suala la
wa Halmashauri hiyo ili kuhakikisha suala la mipangomiji ajira kwa vijana wetu, lakini msijali uzalishaji wenu zaidi
linazingatiwa, hali itakayosaidia upangaji wa mipango ya kuliko afya za wafanyakazi, ni vizuri na wao wakafurahia
maendeleo ya wananchi na kukuza pato la Halmashauri kazi kwa kuwaboreshea mazingira, isiwe wanawazalishia
ninyi mnanufaika wao wanabaki na hali ngumu baada ya
kumaliza mi-
kataba yao ya
kazi, alieleza
Mhe. Riyami.
Wakati huo-
huo, kamati
hiyo imeshauri
maombi ya
kubadilisha
matumizi ya
uwanja eneo
la Kimanga
kuwa soko ya-
tazamwe upya
kwa kushiriki-
sha wataalamu
wa Mipango-
miji kutoka
chuo kikuu
kabla ya kamati
hiyo kuridhia.
Ni muhimu majengo kama haya yazingatie sheria za mipango miji Akitoa tath-
imini ya
ziara hiyo
Kamati yetu imedhamiria kufanya kazi kwa kushirikiana mwenyekiti wa kamati hiyo amebainisha kuwa kamati
na wataalam mbalimbali wa Halmashauri yetu ili kuhak- yao imejipanga vizuri kuhakikisha inatekeleza maju-
ikisha utaratibu wa mipango miji unapangwa na kusaidia kumu kwa kushirikiana na kamati ya ujenzi katika Hal-
uboreshaji wa mapato ya Halmashauri, hali itakayosaid- mashauri ya Ilala ili kuhakikisha sheria za Mipangomiji
ia uboreshaji wa huduma za jamii kwa wananchi, al- zinafuatwa na kuimarisha maendeleo ya Manispaa hiyo.
Sauti ya Ilala
22 MAKALA
Sofia Kavishe: Kila aina ya ufugaji uko kwangu
Na David Langa wa mambapo tulikuwa tunawauzia majirani zetu.
Sauti ya Ilala
MAKALA 23
Kila aina ya ufugaji...
Kutoka Uk. 24
Wito kwa Akina Mama.
kuwa salama.
Mama Kavishe anawashauri wakina
Mafanikio mama kuto-
Mama Kavishe anasema amefanikiwa
kuwasomesha watoto wake wote ndani
na nje ya nchi kupitia ufugaji na pia
amefanikiwa kujenga nyumba ya kuishi
na zingine tatu za kupangisha na kumu-
ingizia kipato cha kila mwezi.
Sauti ya Ilala
24 MAKALA
BRN kuiwezesha Ilala kuongeza mapato ya ardhi, majengo
Na Michael Noel- UoI
Vivutio vilivyo Ma
1 Ikulu ya Rais
2 Soko la samaki feri
Sauti ya Ilala
MAKALA 27
Manispaa ya llala
9 Mwenge wa Uhuru 10
Sanamu ya mpiga ngoma
11 12
Benki Kuu Soko la Kariakoo
Sauti ya Ilala
28 MAKALA
Mwenge wa Uhuru Dira ya...
Kutoka Uk.27
Shilingi 264,362,893
na mvuto wa kiuongozi kama Mheshimiwa Mstahiki
Ujenzi wa zahanati Kipawa, iliyopo Kata ya Kipawa,
Meya wa Ilala, Jerry Silaa na Mkurugenzi wa Manis-
wenye thamani ya Shilingi 139,637,000
paa ya Ilala, Bwana Maganga katika kuibua, kuisimamia
na kuiendeleza miradi
ya kimaendeleo kwa
Wananchi wa Ilala.
Sauti ya Ilala
MAKALA 29
Ilala na harakati za kuboresha, kukuza uvuvi
wa aina zote kuanzia wadogo.
Afisa uvuvi wa Manispaa ya Il-
ala Bw Msongo Songoro anasema,
Wapo wavuvi wachache wanaoji-
husisha na aina hii ya uvuvi ambapo
wanaopatikana na kosa adhabu kali
huchukuliwa dhidi yao ikiwa ni
pamoja na faini na kunyanganywa
kabisa leseni ya uvuvi
M adawati ni nyenzo muhimu sana katika kufanik- ya madawati haina budi kutatuliwa na hivyo kusaidia
isha maendeleo ya sekta ya elimu nchini kwani kuleta mazingira bora elimu na kuinua kiwango cha
wanafunzi wanapokalia madawati hujenga mazingira elimu kwa wanafunzi wa Halmashauri ya Manispaa
bora ya kusoma hivyo huwawezesha kufuatilia vyema ya Ilala.
masomo na kupelekea kuwa na matokeo mazuri dar-
asani. Hii inaiwezesha nchi yeyote kupata rasilimali Dawati ni Elimu ni mpango ulioanzishwa na kubu-
watu watakaochangia kwa kiasi kikubwa maendeleo niwa na Mhe. Jerry Silaa kupitia Mayors Ball am-
ya nchi. bapo Meya hukutana na wadau mbalimbali kujadili
maendeleo ya Halmashauri ya Ilala na namna wadau
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala hao wanaweza kuchangia kuchochea miradi mbalim-
Mhe. Jerry Silaa ni miongoni mwa viongozi nchini bali ya maendeleo ikiwemo ya sekta ya elimu.
Tanzania wenye mtazamo chanya wa kufanikisha
maendeleo ya nchi yetu kupitia sekta mbalimbali Matembezi ya kuhamasisha jamii kuchangia kwa ajili
ikiwemo sekta ya Elimu. ya madawati yalifanyika hivi karibuni ambapo Mgeni
Kwa upande wake Mhe. Jerry Silaa ameona sekta ya rasmi alikuwa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Inaendelea Uk. 35
Mama Salma Kikwete (katikati) Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh. Raymond Mushi na Meya wa Manispaa ya Ilala
Mh. Jerry Silaa wakiwa katika katika matembezi ya kuhamasisha Dawati ni Elimu. (Picha na David Langa)
Sauti ya Ilala
MAKALA 31
BRN kuiwezesha Ilala kuongeza mapato ya ardhi, majengo
Kutoka Uk. 26 ia mjadala huo walilalamika juu ya ushirikishwaji
hafifu wa wenyeviti na wajumbe wa Serikali za Mi-
Wakieleza njia za ulipaji kodi hiyo, Pascal Ka- taa na kudai kuwa wao ndiyo wanawafahamu wa-
bunduguru na George Haule kutoka Mamlaka ya miliki wa ardhi na majengo kwenye maeneo husika.
Mapato Tanzania (TRA), wameelezea kuwa hu-
fanyika kupitia Benki, M-PESA, Airtel Money, na Akisoma maazimio hayo, Mohamed S. Mwar-
NMB Mobile, na kuongeza kuwa majukumu ya izo kutoka Sekretarieti ya Manispaa ya Ilala,
TRA ni kutathimini, kukadiria, kukusanya pamo- amesema kuwa wajumbe wote wameafiki maaz-
ja na kutoa na kusambaza hati za madai (Bills). imio manne na kuyataja kuwa, Mosi, Suala
Kazi nyingine ni kuhasibu kodi ya majengo na ku- la kutambua na kubainisha majengo yanayo-
toa namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN). paswa kulipiwa kodi yafanywe kwa kushirikisha
ngazi ya mtaa, Pili, Halmashauri ya Manispaa
Fedha hizo hutumika kuipatia Serikali mapato, na TRA wakae kwa pamoja kuweza kupata ul-
kulinda viwanda vidogo vidogo vya ndani ya nchi, inganifu wa taarifa za walipa kodi za majengo.
kufanya mgawanyo sawa wa mapato, kuzuia ma-
tumizi ya bidhaa hatarishi ikiwa na kufanikisha Tatu, Halmashauri iandae taarifa ya kina kuhusu
kujenga miradi ambayo inachochea maendeleo leseni za makazi, na Wathamini wa Manispaa
kama barabara, umeme n.k alielezea Haule. waandae taarifa ya kina na iwasilishwe tena
katika ngazi zote. Hatua hii inachukuliwa kwa
Katika mafunzo hayo, wajumbe wengi waliochang- lengo la kuzijengea uwezo Serikali za Mitaa.
Wajumbe wa Baraza la wafanyakazi la Halmashauri ya Manispaa ya Ilala wakiwa katika picha ya pamoja mara
baada ya kikao cha Baraza hilo kilichozinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Joel Bendera,
(Kulia) Ndg. Mwendahasara Maganga ( Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala )(Picha na Lucy Semindu)
Sauti ya Ilala
32 MAKALA
Manispaa yakamilisha usajili wa Katiba ya michezo
Na Kassim Nyaki
undwa Manispaa za Ilala, Kinondoni na Te-
O fisi ya Michezo na Utamaduni katika Halmashau- meke kila Halmashauri ilianza kujitegemea.
ri ya Manispaa ya Ilala imekamilisha mchakato
wa kuandaa na kusajili katiba yao ikiwa ni katika har- Kwa mujibu wa Bw. Mpelembwa wadhamini wa
akati za kutekeleza agizo la serikali juu ya ushiriki wa michezo ya Manispaa ya Ilala watakuwa ni Mkuruge-
michezo kwa watumishi mahala pa kazi pamoja na zi, Afisa Utumishi mkuu pamoja na Mweka Hazina
ile ya mashindano ya mamlaka ya wakishirikiana na ofisi yao
serikali za mitaa (SHIMISEMITA) Tayari tupo katika hatua ikiwa ni katika hatua ya
nzuri, uundwaji wa kati- kuongeza msukumo juu ya
Akizungumza na Sauti ya Ilala Afisa utekelezaji wa programu ya
Utamaduni wa Manispaa hiyo Bw. ba ya michezo ya manis- michezo kwa kila mwaka.
Claud Mpelembwa alieleza kuwa paa yetu umekamilika na Pamoja na kuwashiriki-
ofisi yao imeshakamilisha usajili sha watendaji hawa wakuu
wa Katiba ya michezo kwa Man-
tunamshukuru Mkurugenzi pia tutawaomba Wakuu
ispaa hiyo ili kuhakikisha michezo wetu kutuunga mkono kati- wa Idara waunge mkono
mbalimbali inaanzishwa kuanzia ka utekelezaji wa agizo hili, juhudi hizi kwa kutenga
mwakani ikiwa ni hatua za utekele- bajeti ya michezo kwa timu
zaji wa maagizo ya Baraza la
Michezo la Taifa (BMT) juu ya
uundwaji wa vilabu na agizo
lililotolewa na serikali kuu-
fanya michezo na ushiriki wa
mamlaka za Serikali za Mitaa.
Sauti ya Ilala