Professional Documents
Culture Documents
Taarifa - Wanafunzi 2348 Washinda Rufaa Za Mikopo Ya Heslb
Taarifa - Wanafunzi 2348 Washinda Rufaa Za Mikopo Ya Heslb
Taarifa - Wanafunzi 2348 Washinda Rufaa Za Mikopo Ya Heslb
JUU
1.0 UTANGULIZI
Katika kipindi cha kati ya tarehe 1 Novemba, 2016 na 31 Januari, 2017 jumla
ya rufaa 20,020 ziliwasilishwa kwa njia ya mtandao. Kati ya hizo, jumla ya
fomu za rufaa 17,020 zilipokelewa kutoka vyuoni zikiwa na viambatisho
muhimu. Mapitio ya rufaa zilizowasilishwa yalifanywa kwa fomu zote
zilizopokelewa na matokeo ya rufaa hizo (zilizoshinda) kwa makundi ni kama
ifuatavyo: Walemavu 61; Yatima 57; Wenye mzazi mmoja 570; Familia zenye
kipato duni 1,169 na Waliosomeshwa na wahisani 491.
3.0 HITIMISHO
Imetolewa na:
MKURUGENZI MTENDAJI
BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
28 Februari, 2017