Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203, Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 03 Machi 2017 Tele Fax : 2153426 Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Wito wa Vyombo vya Habari
Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Tanzania
Mhe:Dkt John Pombe Joseph Magufuli anatarajia kuzindua uwanja wa ndege vita wa JWTZ Ngerengere Mkoani Morogoro tarehe 06 Machi 2017. Hafla ya uzinduzi huo inatarajiwa kufanyika kuanzia Saa Mbili kamili asubuhi (2:00) katika uwanja wa ndege vita Ngerengere.
Inaombwa Chombo chako kwa kutumia wawakilishi waliopo
mkoani Morogoro kufika kwa ajili ya kufanya Coverage katika tukio hili muhimu kwa ujenzi wa Taifa.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania. Kwa Mawasiliano zaidi: 0756-716085