Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 8

HABARI

HABARIZAZA
NISHATI
NISHATI&MADINI
&MADINI

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo No.169
Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi
Limesambazwa kwana Idaranazote
Taasisi IdaraMEM
zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015
Aprili 28 - Mei 4, 2017

Wabunge
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2
KUMEKUCHA ARUSHA
Maonesho ya Kimataifa ya Vito
kufanyika tarehe 3-5 Mei, 2017
Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA
Somahabari Uk.2

MAAFISA MADINI WATAKIWA KUWA WABUNIFU


Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Naibu Waziri wa Nishati na Naibu Waziri wa Nishati na
Mkurugenzi Mtend-
aji wa TANESCO,
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Madini, anayeshughulikia Madini anayeshughulikia
KATIKA UKUSANYAJI WA MADUHULI
Sospeter Muhongo Madini Stephen Masele Nishati, Charles Kitwanga
Mhandisi Felchesmi
Mramba
Mwakahesya UK
>>4

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4


Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
kwa ajili ya News Bullettin hii ya Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
kwa ajili ya News Bullettinau Fika hii
Ofisina Jarida laGhorofa
ya Mawasiliano Wizarya
a Tano
ya Nishati
(MEM) na Madini
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com
NewsBulletin
HABARI ZA NISHATI/MADINI

2
http://www.mem.go.tz

Aprili 28 - Mei 4, 2017

Na Rhoda James MAONESHO YA VITO ARUSHA


W
izara ya
Nishati na
Madini kwa
kushirikiana
na Chama
cha Wafanyabishara wa Madini
Tanzania (TAMIDA) kwa
mara nyingine tena wameandaa
Maonesho ya Kimataifa
ya madini ya Vito (AGF)
yatakayofanyika tarehe 3-5
mwezi Mei mwaka huu katika
Hoteli ya Mount Meru jijini
humo.
Mwenyekiti wa Kamati
ya Maonesho, Peter Perreira
alisema kuwa Maonesho
hayo ya Sita yanatarajiwa
kuwakutanisha washiriki zaidi
ya 100 kutoka nchi za Afrika
Mashariki, Kati na Kusini na
wanunuzi wa kimataifa zaidi ya
1000 pamoja na wadau mahiri
wa tasnia ya vito.
Alisema kuwa moja ya
malengo ya AGF ni kuhakikisha
kuwa azma ya kuifanya Arusha
kuwa kituo cha Madini ya Vito
Afrika inatimia.
Alisema kuwa ili lengo
hilo litimie, ni muhimu kwa
wadau, wafanyabishara na
wachimbaji wakubwa kwa
wadogo wa madini kushiriki
kikamilifu katika Maonesho
hayo ambapo licha ya kuuza
madini hayo, watapata fursa
za kuongeza wigo wa biashara
kwani watakutana na wanunuzi
kutoka mabara mbalimali.
Maonesho haya ni ya kwetu
lazima tushiriki kikamilifu,
tutangaze madini yetu
Mwenyekiti wa Kamati ya Maonesho ya Madini ya Vito ya Arusha (AGF) Peter Perreira
yakiwemo madini ya Tanzanite
ambayo upatikanaji wake ni
ya kutosha kwenye maonesho hayo. madini nje ya nchi. mabanda (Exhibitors) 300, na wageni
adimu na nchi yetu ni namba
Akizungumzia faida za Manufaa mengine yaliyopatikana mbalimbali 160.
moja Afrika kwa kuzalisha
madini hayo ya Tanzanite, Maonesho hayo, Perreira alisema wakati wa maonesho hayo ni pamoja Taarifa zaidi kuhusu usajili wa
alisema Pereira. kuwa Maonesho hayo ni muhimu na wageni kuingiza fedha za kigeni AGF 2017, zinapatikana katika Ofisi
Perreira alisema kuwa katika kwani yanaongeza pato la Taifa na hapa nchini ambazo hutumika kwa za Madini za Kanda zilizo katika Miji
maonesho hayo pia kutakuwa la mtu binafsi, huku akitolea mfano, ajili ya malazi, usafiri, chakula na ya Arusha, Mwanza, Dar es salaam,
na Mnada wa Serikali kwa Maonesho ya Tano yaliyofanyika kutembelea vivutio mbalimbali vya Mtwara, Mpanda, Shinyanga, Mbeya,
Madini ya Tanzanite na Madini mwaka 2016 ambapo madini yenye kitalii hapa nchini. Musoma, Songea na Singida au Ofisi
mengine ikiwa ni pamoja na thamani ya Dola za Marekani milioni Maonesho ya mwaka 2016 za TAMIDA.
bidhaa za Usonara kama vile 4.5, sawa na Shilingi Bilioni 9.9 yalihudhuriwa na washiriki 813 Aidha, Wanunuzi wanatakiwa
mikufu, pete na hereni. yaliuzwa. kutoka katika nchi 26 duniani ambazo kujisajili kupitia tovuti ya maonesho
Aidha, ili kuhakikisha kuwa Alisema kuwa, katika Maonesho ni Tanzania Marekani, Sri Lanka, ambayo ni www.arushagemshow.
Maonesho hayo yanafanyika hayo ya Mwaka 2016, Serikali ilipata India, Kenya, China, Ujerumani, com; au kwa barua pepe ya
kwa ufanisi, Perreira alisema jumla ya Shilingi bilioni 1.71, ambapo Namibia, Australia, Austria, Israel, maonesho: info@arushagemshow.
kuwa Wizara haitatoa vibali Shilingi bilioni 1.3 zilitokana na Italia, Uingereza, Hong Kong, com
vyovyote vya kusafirisha madini mnada wa madini yaliyokamatwa Switzerland, Zambia, Madagascar, Mabanda ya maonesho
ya vito nje ya nchi wiki moja na kutaifishwa na Serikali, Shilingi Afrika Kusini, Msumbiji, Urusi, yanapatikana kwa gharama za
kabla ya maonesho na katika milioni 388 zilitokana na mrabaha Cameruni, Canada, Malawi, Sudani, Dola za Marekani 1,000 na kamati
kipindi cha wiki mbili baada uliolipwa kutokana na madini Malta, na Thailand). Aidha, wanunuzi itasimamia ugawaji wa mabanda
ya maonesho ili kuhakikisha yaliyonunuliwa, na Shilingi milioni (buyers) wa madini walikuwa 353, hayo kwa ushindani (first come-first be
kunakuwepo na madini ya vito 26 zilitokana na vibali vya kusafirisha Walioshiriki kuonesha madini kwenye served).
NewsBulletin 3
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Aprili 28 - Mei 4, 2017

MAFUNZO YA UANDAAJI NA
UTEKELEZAJI WA BAJETI YA
TAHARIRI WIZARA 2017/2018
HONGERA TGDC KWA KUAMINIKA
KITAALUMA UKANDA WA BONDE
LA UFA AFRIKA MASHARIKI
Mwishoni mwa mwezi Machi hadi mwanzoni mwa
Mwezi Aprili, 2017, Wizara na Taasisi zake ziliwasilisha
kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini,
Taarifa za Utekelezaji wa Bajeti kwa Mwaka 2016/17.
Miongoni mwa Mafanikio yaliyoanishwa na Kampuni
ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania (TGDC), ni namna
ambavyo kampuni hiyo ilivyoweza kuwajengea uwezo wa
Kitaaluma wataalam wake wa ndani katika eneo la Nishati
Jadidifu kiasi cha Wataalam hao kuaminiwa na nchi
nyingine kwa ajili ya kutoa mafunzo ya kitaaluma.
Akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya
TGDC, kwa Kamati hiyo ya Bunge ya Nishati na Madini,
Kaimu Mtendaji Mkuu wa TGDC Mhandisi Kato
Kabaka, alieleza kuwa, uwezo wa Kitaalam wa TGDC
umeongezeka kufikia kiasi cha kuaminiwa ndani na nje
ya nchi kuwa ni kampuni yenye uwezo wa kutosha kutoa
ushauri wa kitaaluma katika Ukanda wa Bonde la Ufa la
Afrika Mashariki.
Ukanda wa Bonde la Afrika Mashariki unajumuisha
jumla ya nchi 13 ambazo ni Djibouti, Ethiopia, Eriteria,
Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda, Burundi, DRC,
Malawi, Zambia, Comoro na Msumbiji.
Ni dhahiri kuwa, uwepo na uwezo wa wataalam
husika unawezesha azma ya Serikali kufikia malengo yake
ikiwemo pia utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM) 2015-2020 ya Serikali kuwekeza nguvu kubwa
katika kuzalisha nishati Jadidifu. Vilevile, hili linawezesha
lengo kuu la Kampuni hiyo la kuzalisha Megawati 100 za
Jotoardhi ifikapo mwaka 2020.
Nishati Jadidifu ni chanzo kipya na miongoni mwa
vyanzo ambavyo Serikali inawekeza kuhakikisha kwamba
eneo hilo pia linachangia katika uzalishaji wa nishati
ya umeme ili kwa pamoja kufikia malengo ya Mpango
wa Maendeleo wa Taifa 2016/17-2020/21 na Dira ya
Maendeleo ya Taifa 2025. Sehemu ya washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali
MEM Bulletin inatoa pongezi kwa Menejimenti ya zilizokuwa zinawasilishwa.
TGDC kwa kuwa, kutokana na uwezo huo wa kitaaluma,
watalaam wa ndani wamefanikiwa kukamilisha utafiti wa
awali wa kisayansi katika eneo la Kisaki mkoani Morogoro
KWA HABARI PIGA SIMU FIVE
tangu mwezi Oktoba, 2016.
Aidha, TGDC wanastahili pongezi kutokana na
KITENGO CHA MAWASILIANO PILLARS OF
REFORMS
kuaminiwa na uwezo wake ambapo kampuni hiyo
imeingia makubaliano na kampuni ya ELC kutoka nchini TEL-2110490
Italia ili Wataalam wake 3 wakatoe ushauri wa kitaalam
kwenye Nyanja za kijiofizikia nchini Malawi, kuanzia FAX-2110389 INCREASE EFFICIENCY

MOB-0732999263
mwezi Aprili mwaka huu. QUALITY DELIVERY
Dira ya TGDC ni kuwa Kampuni ya kuendeleza OF GOODS/SERVICE
jotoardhi na yenye ushindani katika Ukanda wa Afrika SATISFACTION OF
Mashariki. THE CLIENT
Tunasema haya ni mafanikio kwa TGDC, Wizara na BODI YA UHARIRI
Serikali kwa kuwekeza katika RasilimaliWatu na hususan SATISFACTION OF
MSANIFU: Lucas Gordon BUSINESS PARTNERS
wataalam wa Nishati ya Jotoardhi ambalo ni eneo jipya WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
la taaluma na miongoni mwa chanzo kipya cha uzalishaji Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James , SATISFACTION OF
umeme nchini. Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya SHAREHOLDERS
HABARI ZA NISHATI/MADINI

4 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Aprili 28 - Mei 4, 2017

MAAFISA MADINI WATAKIWA KUWA WABUNIFU


KATIKA UKUSANYAJI WA MADUHULI
Na Greyson Mwase,
Morogoro

M
aafisa Madini
katika Ofisi za
Madini nchini
wametakiwa
kuwa
wabunifu kwenye ukusanyaji wa
maduhuli ili Sekta ya Madini iwe
na mchango mkubwa kwenye
ukuaji wa uchumi wa nchi.
Wito huo ulitolewa na
Mkurugenzi wa Sera na
Mipango, Wizara ya Nishati
na Madini, Haji Janabi kwenye
mafunzo ya uandaaji na
utekelezaji wa bajeti ya Wizara Sehemu ya washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa.
yaliyoshirikisha maafisa Bajeti ukusanyaji wa maduhuli ya Wizara,
kutoka Idara, Vitengo na Ofisi za maafisa madini hawana budi
Madini nchini yaliyofanyika mjini kuhakikisha wanashirikiana na
Morogoro hivi karibuni. halmashauri pamoja na kufahamu
Janabi alisema kuwa ili kanuni na sheria ambazo ni
kuweza kufikia malengo ya mwongozo katika kazi hiyo.
Wizara imeweka mikakati ya
kuhakikisha kuwa makusanyo ya
maduhuli kutokana na uwekezaji
kwenye madini yanaongezeka, hivyo
kuwa na mchango mkubwa kwenye
uchumi wa nchi, alisema Janabi.
Alisema Serikali imeweka
mikakati mbalimbali ya kurahisisha
Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Wizara ya Nishati na Madini,
kazi ya ukusanyaji wa maduhuli
Haji Janabi akieleza namna mchakato wa maandalizi ya Bajeti ya ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa
Wizara unavyofanyika katika mafunzo kwa Maafisa Bajeti kutoka huduma ya leseni za madini kwa
Idara, Vitengo na Ofisi za Madini za Wizara ya Nishati na Madini njia ya mtandao ijulikanayo kama
yaliyofanyika mjini Morogoro tarehe 26 Aprili, 2017 Online Mining Cadastre Transaction
Portal (OMCTP) inayowezesha
wachimbaji madini kulipia leseni
zao kwa njia ya mtandao badala ya
kufika ofisini.
Aliongeza kuwa ni vyema
maafisa madini kuhakikisha
wanashirikishana taarifa zote za
wachimbaji madini ili kuepuka
wachimbaji wasio waaminifu
wanaobadili majina ya kampuni
pindi wanaposhindwa kuendeleza
maeneo yao au kuhuisha leseni.
Ninaamini mtakapokuwa na
mfumo utakaowezesha wamiliki wa
leseni kufahamika kila ofisi, itakuwa
vigumu kwa wachimbaji madini
wenye tabia ya kubadilisha majina
Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Anthony Tarimo (wa kwanza kushoto) pamoja na ya kampuni ili kukwepa faini au
wataalam wengine kutoka Wizara ya Nishati na Madini, wakifuatilia hotuba ya ufunguzi iliyokuwa ada mbalimbali kuwepo na hivyo
inatolewa na Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Wizara ya Nishati na Madini, Haji Janabi kwa Niaba kuongeza mapato kwa Serikali,
ya Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Profesa James Mdoe (hayupo pichani) katika alisema Janabi.
NewsBulletin 5
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Aprili 28 - Mei 4, 2017

Ijue Almasi adimu ipatikanayo Tanzania


Na Rhoda James Magharibi ambao hutoa 90% ya

T
almasi zote zawaridi duniani.
anzania ni miongoni Pamoja na uwepo wa mgodi
mwa nchi zilizojaliwa wa WDL, Tanzania pia inachimba
kuwa na aina mbalimbali almasi kupitia mgodi wa kampuni
za madini na inatajwa ya El Hilal Minerals Limited iliyopo
kuwa kitovu cha Madini jirani na mgodi wa WDL huko
ya Vito barani Afrika. Kishapu Shinyanga. Almasi pia
Miongoni mwa madini hayo ya zinachimbwa kwa uchimbaji mdogo
vito ni Almasi. Asili ya neno Almasi katika eneo la Maganzo, Kishapu
kwa lugha ya Kiswahili haifahamiki Shinyanga, Mabuki Mkoani Mwanza
vizuri lakini warusi hutumia neno na maeneo mengine ya nchi yetu.
Almaz kumaanisha Diamond kwa Almasi za waridi hupatikana
lugha ya Kiingereza. katika migodi michache sana duniani
Almasi ni mojawapo ya madini na uadimu wake hufanya madini
adimu yenye mvuto mkubwa kwa haya yatafutwe zaidi (high demand).
wavaaji wa vito tokea zama za kale. Tanzania inasifika kwa utoaji wa
Almasi inachukuliwa na wapenzi Almasi za rangi ya waridi katika
wake kama kielelezo cha utukufu Afrika. Almasi za rangi ya waridi
(wafalme, watawala, makuhani na hupatika kwa nadra sana ukiwa na
watu wenye mamlaka); lakini pia madini hayo umetukuka na wewe
ni kielelezo cha utajiri na nguvu ya unakuwa miongoni mwa watu
kifedha kwa watumiaji wengine. maarufu au tajiri sana.
Kwa asili yake, madini ya almasi Madini ya Almasi huuzwa na
hayana rangi (transparent with kununuliwa kulingana na soko kwa
no hue); hata hivyo kasoro katika vigezo vya uzito (carat), usafi wa
uumbaji wake yaani mchanganyiko jiwe (clarity) mkato (cut) na rangi
wa kikemikali na mpangilio usio yake (colour) maarufu kama 4Cs! The Famous Williamson Diamond brooch.
sahihi wa atomu (chemical impurities Kwa upande wa rangi kipimo cha kuwa ni almasi bora ya waridi kuwahi Pia upo Mgodi wa El Hillal
and structural diffects) husababisha ubora wake hujulikana kwa kutumia kupatikana. Minerals limited uliopo Wilayani
uwepo wa rangi mbalimbali katika mpangilio huu: kuanzia kundi D - Almasi hiyo iliyotolewa kama Kishapu ambao unazalisha madini
madini ya almasi. N, Rangi ya juu kabisa kwa Almasi zawadi kwa Malkia wa Uingereza ya almasi. Nao unatoa ajira kwa
Uwepo wa rangi unaweza inaanzia D hadi N. Mpangilio huu baadaye ilikatwa na kutoa jiwe la carat wafanyakazi takribani 200. Kwa
kuongeza au kupunguza thamani ya unaokubalika zaidi duniana ulitolewa 23.6 ambalo liliwekwa katika mfano maana hiyo wafanyakazi zaidi ya
jiwe la almasi kulingana na mahitaji na Taasisi ya Jemolojia ya Marekani wa ua (Williamson pink brooch). 1500 wanaendesha maisha yao
ya soko. Rangi zinazoongeza thamani (Gemmological Institute of America Pambo hili ni miongoni mwa kutokana na migodi hiyo miwili
ya almasi ni nyekundu (ndiyo adimu GIA). Taasisi hii ndiyo bobefu zaidi mapambo adimu yanayopendwa ya Williamson na El Hillal bila
kuliko rangi zote), Bluu na waridi. katika utambuzi na uthaminishaji wa kuvaliwa na Mtawala huyo wa kuhusisha wachimbaji wadogo.
Rangi zingine ni njano, nyeusi, kijani madini ya almasi na vito duniani. Uingereza. Takwimu za mwaka 2013 za
na kahawia. Mwezi Septemba mwaka 2015, Wananchi wanafaidika na Mgodi wa Mwadui zinaonesha
Hapa Tanzania, mgodi pekee mgodi wa WDL ulibahatika tena uwepo wa madini ya almasi kwa kuwa mgodi huo ndiyo unashikilia
wenye historia kubwa ya uzalishaji kupata jiwe kubwa la almasi ya kiasi kikubwa kwa kujipatia ajira rekodi ya dunia ya kuwa mgodi
almasi ni mgodi wa Williamson rangi ya waridi lenye uzito wa carat za moja kwa moja migodini pekee uliochimbwa mfululizo kwa
Diamonds Limited (WDL) ulioko 23.16. Almasi hii imeweka rekodi au kupitia huduma mbalimbali miaka 70; ndiyo mgodi mkubwa
Kishapu Shinyanga. Mgodi huu nyingine kwa mgodi wa Mwadui, ikiwemo biashara na migodi husika, zaidi duniani unaochimbwa kwa
ambao pia unaitwa Mwadui kwa kwani iliuzwa kwa Dola za Marekani ajira kwenye kampuni zinazotoa stahili ya shimo la wazi (open cast);
heshima ya jina la chifu wa eneo hilo, milioni 10.05 huko Antwerp nchini huduma migodini na biashara kati unayo akiba ya almasi inayokadiriwa
uligunduliwa na Mjiolojia Dk. John Ubelgiji. Hii ni rekodi mpya kwa yao na waajiriwa kwenye migodi kuwa carat milioni 40; ukikadiriwa
Williamson katika mwaka 1940. thamani kuwahi kupatikana na inayowazunguka. kuwa na uhai wa miaka 18 (Planned
WDL ilisajiliwa rasmi kama kampuni kuuzwa kwa mgodi huo au mgodi Aidha, Serikali hujipatia fedha za mine life). Aidha, mgodi wa Mwadui
mwaka 1942 na Serikali ya kikoloni mwingine wowote wa almasi hapa kigeni, mapato kwa njia ya mrabaha, unatarajiwa kuendelea kuzalisha
kwa mtaji wa hisa 400 kila moja ikiwa nchini. kodi na tozo mbalimbali kwa almasi kwa miaka mingine 50 ijayo.
na bei ya 500 sawa na jumla ya mtaji Mbali na jiwe hili la carat 23.16, mujibu wa sheria. Mapato hayo yote Ili kuweza kufaidika ipasavyo na
wa 200,000. almasi nyingine ya waridi kuwahi yanapelekea uchumi wa Tanzania Rasilimali Madini, Wizara ya Nishati
Mgodi huu unasifika duniani kwa kupatikana katika mgodi wa Mwadui kuimarika. na Madini inaendelea kushirikiana
mambo mengi lakini pia ni miongoni ilikuwa na uzito wa carat 54.5 Faida za moja kwa moja za na Wachimbaji wote wakubwa kwa
mwa wazalishaji wachache wa almasi ambayo Dk. Williamson alimzawadia madini hayo ni ajira. Mgodi wa wadogo wanaojishughulisha na utafiti
za rangi ya waridi (rangi adimu na Malkia wa Uingereza (Queen Mwadui unatoa ajira za kudumu na uchimbaji wa madini ili waweze
inayopendwa sana duniani). Kwa Elizabeth II) mwaka 1947 kama takribni 600 pamoja na ajira zisizo kufanya shughuli hizo kwa ufanisi
kawaida mgodi wenye umaarufu wa zawadi ya harusi. za moja kwa moja zaidi ya 500 na hatimaye kuweza kulipa kodi
kuzalisha almasi za rangi ya waridi Jiwe hilo halikuwahi kuuzwa au kupitia kampuni zinazotoa huduma mbali mbali zitakazotumika katika
ni mgodi wa Agyle ulioko Australia kuingizwa sokoni lakini linadhaniwa mbalimbali kwenye mgodi huo. kuendeleza Sekta mbalimbali nchini.
HABARI ZA NISHATI/MADINI

6 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Aprili 28 - Mei 4, 2017

TANGAZO KWA MARA YA TATU


Kujaza Nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya TEITI
Kifungu 7(2) cha Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji katika
Rasilimali za Madini, Mafuta na Gesi Asilia, Mwaka 2015

Utangulizi

Utekelezaji wa shughuli za Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (TEITI) zinasimamiwa na Kamati ya
TEITI yenye wajumbe kumi na tano (15) kutoka makundi matatu: Asasi za kiraia; Kampuni na Serikalini. Kila kundi
linawakilishwa na wajumbe watano ambao uteuzi wao hufanywa kutoka katika makundi husika. Sheria tajwa hapo juu,
imeweka utaratibu katika Kifungu cha 7 wa namna ya kumpata Mwenyekiti.

Majukumu ya Kamati ya TEITI

Majukumu ya Kamati ni kuhamasisha Serikali kuweka mifumo ya uwazi katika usimamizi wa rasilimali za madini,
mafuta na gesi asilia ili kuboresha mapato na manufaa yanayotokana na shughuli za utafutaji na uchimbaji wa rasilimali
hizo nchini. Mazingira ya uwazi yanayolengwa ili kuwa na manufaa ya rasilimali husika ni katika:

i) Utoaji wa leseni na mikataba ya uchimbaji wa madini, mafuta na gesi asilia;


ii) Usimamizi katika uwekezaji na uendeshaji;
iii) Ukusanyaji wa mapato; na
iv) Mgawanyo wa mapato na matumizi.

Kufuatia kwisha kwa muda wa Mwenyekiti aliyopo sasa, Kamati ya Uteuzi (Nomination Committee) inakaribisha
maombi kutoka kwa wananchi wenye sifa:-

1. Awe Mtanzania aliye na rekodi ya utendaji uliotukuka;


2. Awe na uelewa na ufahamu mzuri juu ya sekta za madini, gesi asilia na mafuta; na
3. Awe mtu anayeweza kujenga mahusiano ya kikazi na kampuni zilizo katika sekta hii, asasi za kiraia na Serikali.

Tarehe ya mwisho ya kupokea maombi ni Mei 17, 2017. Maombi yatumwe kwa anwani ifuatayo:

Katibu Mkuu,
Wizara ya Nishati na Madini,
Barabara ya Kikuyu,
S. L. P. 422,
40474 DODOMA.
baruapepe: info@teiti.or.tz
NewsBulletin 7
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Aprili 28 - Mei 4, 2017

TANGAZO

NDUGU MWANANCHI USIKOSE KUANGALIA KIPINDI MAALUM CHA WAKALA


WA JIOLOJIA TANZANIA (GST) SIKU YA JUMAPILI YA TAREHE 30/04/2017,
KUANZIA SAA KUMI NA MBILI NA NUSU JIONI (12:30 JIONI) KUPITIA
KITUO CHA TELEVISHENI YA TAIFA (TBC1).

KIPINDI HIKI KITAELEZEA HUDUMA MBALIMBALI ZITOLEWAZO NA MAABARA ZA


WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA NA UMUHIMU WAKE KWA WADAU WALIO KATIKA
SEKTA YA MADINI, MAJI, MAZINGIRA, UJENZI NA TAIFA KWA UJUMLA.
KWA PAMOJA TUGUNDUE RASILIMALI MADINI KWA MAENDELEO YA TAIFA

IMETOLEWA NA
MTENDAJI MKUU,
WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA (GST)
S.L.P 903, DODOMA.

Je UNAJUA?
HABARI ZA
NISHATI NA
MADINI PIA
ZINAPATIKANA
KUPITIA

TOVUTI; https://mem.go.tz
Facebook; Nishati Na Madini
Twitter; @nishatiMadini
YouTube; Wizara ya Nishati na Madini

KWA PAMOJA, TUENDELEZE SEKTA ZA NISHATI NA MADINI.


HABARI ZA NISHATI/MADINI

8 NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Aprili 28 - Mei 4, 2017

You might also like