Professional Documents
Culture Documents
Zana Za Kufundishia Na Kujifunzia Ni Vifaa Anavyotumia Mwalimu Wakati Wa Mchakato Wa Ufundishaji Na Ujifunzaji Ili Zimrahisishie Ufundishaji Wake Na Kuwafanya Wanafunzi Waelewe Somo Kiurahisi Zaidi
Zana Za Kufundishia Na Kujifunzia Ni Vifaa Anavyotumia Mwalimu Wakati Wa Mchakato Wa Ufundishaji Na Ujifunzaji Ili Zimrahisishie Ufundishaji Wake Na Kuwafanya Wanafunzi Waelewe Somo Kiurahisi Zaidi
Zana Za Kufundishia Na Kujifunzia Ni Vifaa Anavyotumia Mwalimu Wakati Wa Mchakato Wa Ufundishaji Na Ujifunzaji Ili Zimrahisishie Ufundishaji Wake Na Kuwafanya Wanafunzi Waelewe Somo Kiurahisi Zaidi
AINA ZA ZANA
Umri au kiwango cha elimu cha wanafunzi, mwalimu anapaswa kuandaa zana
zinazoendana na umri pamoja na kiwango cha elimu ya wnafunzi wake,kwa kufanya
hivyo itawarahisishia wanafunzi kuelewa mada husika kwa urahisi zaidi,pia
itamsaidia mwalimu kufundisha kwa wepesi zaidi.
Zana haipaswi kua inayotisha, mwalimu anatakiwa kuandaa zana isiyotisha hasa
kwa wanaojifunza.Baadhi ya zana hazipaswi kutumika kwa wanafunzi kwa
wanafunzi wenye umri mdogo kwani zinaweza kuwaogopesha hata an kuwahamisha
darasani kisaikolojia , kwa mfano ; matumizi ya picha za wanyama wakali kama vile
samba na nyoka.
Kunahitajika umakini wa hali ya juu wakati wa utumizi wa zana ,mwalimu hana budi
kutoa maelezo ya kina kwa wanafunzi wake katika kutumia zana hizo,kwa mifano
baadhi ya dhana zimetengenezwa kwa vioo hasa katika masomo ya sayansi ,hivyo
mwalimu na wanafunzi wanatakiwa kuwa makini wanapotumia zana hizo ili zisiweze
kuvunjika hata kuwadhuru wnafunzi.
Kwa ujumla ,zana za ufundishaji na ujifunzaji ni muhimu sana katika suala zima la
ufundishaji na ujifunzaji kwani humsaidia mwalimu kuongeza ustadi na ujuzi zaidi
juu ya mada husika,pia humsaidia mwanafunzi kutumia milango yake ya fahamu
zaidi ya mmoja kitu ambacho humfanya mwanafunzi huyo kuielewa maada kwa
undani zaidi na kuihifadhi kichwani kupitia utumizi huo wa zana moja kwa
moja.Kama vile utumizi wa zana masikizi,zana maono na zana maono-masikizi.
MAREJELEO