Professional Documents
Culture Documents
Elisi Katika Nchi Ya Ajabu
Elisi Katika Nchi Ya Ajabu
KATIKA
NCHI
YA A JABU
ELISI KATIKA NCHI YA AJABU
ELISI KATIKA
NCHI YA AelABU
LEWIS CARROLL
IMBTAFSIRIWA NA
St Lo DE MALET
LONDON
THE SHELDON PRESS
HOLY TRINITY CHURCH, MARYLEBONE ROAD, N.W.l.
1967
1
First published, 1940
V. Mashaubi ya Mdudu - 44
VI. Ngubuwb na PnjpiLi 56
VII. Kabamu ya Wbnyb Wazimu - 66
VIII. Machbzo ya Malkia - - 75
vu
W ..Y
!
E. V. St. L. C.-D.
IX
MsmB '
;
SURA I
PANGO LA SUNGURA
Hapo kale palikuwa na mtoto mwanamke, jina
lake Elisi. Wakati wa mwanzo wa hadithi hii
Elisi alikuwa amekaa pamoja na dada yake
katika kivuli cha mwembe; mara kwa mara
alikuwa akitazama kitabu alichokuwa akisoma
dada yake, lakini kilikuwa kitabu kisicho picha
Elisi akasema moyoni mwake, " Kitabu bila
sanamu hakina faida " akapiga mwayo akanena
" Nataka niondoke nikachume maua, lakini
nimechoka kabisa " !
Nitachelewa kabisa."
(Halafu alikumbuka ya kwamba sungura
hawasemi, lakini wakati wa hadithi hii haku-
shangaa.)
Sungura alitoa saa mfukoni mwake; mara
Elisi akaondoka akasema " Lo sungura ana
!
SURA II
KIDIMBWI CHA
MACHOZI
Elisi akapaza sauti
akasema " apaH
mambo yote yana-
zidi kunishangaza,
kumbe najiongeza
urefu kama bomba
ya baisikeli kubwa
kupita zote " Aka-
!
inamisha m
acho
akajaribu kuvita-
zama vidole vyake
vya miguu, akavi-
ona viko mbali sana,
akasema " Kwa
herini miguu, labda
hatutaonana tena,
nitawapeni zawadi
wakati wa siku-
kuu." Akacheka akasema Sasa nitapuuza
kila neno "
EUsi akajipiga kichwa darini, urefu wake
ulikuwa kama wa watu wawili wakubwa, aka-
19
20 ELISI KATIKA NCHI YA AJABU
twaa ufunguo mdogo wa dhahabu, akaenda
ule
upesi kwenye mlango wa bustani. Maskini
Elisi !Baada ya kujitahidi sana aliweza kuu-
karibia mlango, akalala kifudifudi akatazama
kwa jicho moja bustanini, lakini kuingia haku-
weza; akakata tamaa kabisa, akakaa kitako
akalia sana, akajUaumu tena akasema " Ni aibu
kabisa kulia namna hii, wewe mtoto mkubwa
sasa, nawe walia kama mtoto mchanga, tulia
mara moja " Walakini akazidi kulia akatoa
machozi mengi sana, hata yakatosha kujaza
mitungi ishirini, akawa amekaa katika kidi-
mbwi cha maji.
Badaye kidogo Elisi alisikia mashindo ya
miguu midogo njiani, mbali kidogo, akajifuta
machozi apate kumwona yu nani ajaye. Ku-
mbe ni Sungura Mweupe aliyekuwa akirudi,
amevaa nguo za umalidadi wa Kizungu, ame-
shika mkononi mwake upepeo na kofia, anapiga
mbio akinungunika na kusema " Atakasirika
sana nikimkawilisha." Elisi, kwa sababu ya
hali yake mbaya, na katika kukata tamaa
kwake alikuwa tayari kumwomba msaada mtu
ye yote, basi alipomkaribia Sungura alisema
kwa hofu na kwa sauti ndogo " Shikamoo
Bwana Sungura, Tafadhali ..." Sungura
akashtuka sana hata akaangusha vitu alivyo-
kuwa navyo, akakimbia upesi gizani.
Mle chumbani alimokuwamo Elisi mlikuwa
na joto kidogo, kwa hiyo alitwaa upepeo wa
KIDIMBWI CHA MACHOZI 21
Na Mamba alichekelea,
Akatandika kucha zake.
Samaki walipotembea
Wakahesabu meno yake.
Key g.
: j : S|
I
d : d I
s : s
I
d : d I
s : s
I
d : d I
r.d : r.r
n : n I
: s | l.s : f.n |
r.n : f.s | n.f : n.r |
d : s,
gam-ba Ka - ti - ka m - to a - kang'-aa Yu
l,.s, : l,.t, I
d : r
I
d : d I
:
II
: I
: s,
d : d I
s .s : s .s
I
d : d | s : s | d : d | r .d : r .r
n : n I
: s | l.s : f.n |
r.n : f.s | n.f : n.r |
n : s,
l,.s, : l,.t, I
d : r | d.r : n.f | s : s | l.s : f.n I
r.n : f.s
n.f : n.r I
d : s, |
1, .s, : 1, .t, | d : r | d : d | : |
"Mama yangu
iia Paka na
M bw a wa li - -
kuwa rafiki.
Mbwa akamshtaki
mama yangu. A-
kasema, wewe
umeiba cba-
k u 1 a c h a
Bw a n a w a -
M wam uzi ak a -
SHINDANO LA KAKA 33
Panya akajikatiza maneno akamwambia Elisi
akasema " Husikilizi Unafikiri Tiini ?" Elisi
!
SURA IV
NYUMBA YA SUNGURA
Alikuwa Sungura Mweupe aliyekuwa akirudi,
akitafuta huko na huko ahmokuwa akienda,
kana kwamba amepotelewa na kitu, akanu-
ng'unika akisema " Mama Mkubwa Mama !
'fl ^jNWewPE
kimya t u, a k a-
ngoja kwa dakika
chache, ha1afu
akasikia sauti
nyingi za watu wa-
liokaribia ; mara
kwa mara maneno
yao yahfuatana,
ndiyo: "Ikowapi
ngazi ?" " Lete
mbih, kazifunge
pamoja." " We-
we, shika kamba hii." " Itafaa, ina imara."
"Mathubuti kabisa." Nani atakayetelemka
bombani ?" " Si mimi." Mimi sitaki.
40 ELISI KATIKA NCHI YA AJABU
*'
Mimi naogopa." "
Mimi nakataa." " Wi-
lyam, hii ni kazi yako, umetumwa na Bwana,
panda upesi I" Wakumbuka Msomaji ya kwa-
mba mguu wa Elisi ulikuwa bombani, kwa
hiyo aliposikia shindo darini alisema moyoni
" Wilyam ndiye atakayeshuka bombani, hja-
pokuwa jembamba nadhani ya kuwa naweza
kumpiga teke." Akaukweza mguu kama ali-
vyoweza, akangoja mpaka akasikia mnyama
bombani, ndipo akapiga tekekwa nguvu.
Hakujua hata kidogo ni mnyama wa kabila
gani.
PaHkuwa na ghasia kabisa nje, EUsi aka-
sikiamaneno haya: " Tazama Wilyam !" " Loo
anaruka kama ndege !" " Uchawi gani huu ?"
" Mkamate Patriki we." " Mimi nitampa da-
wa." "Mshike kichwa." " Waonaje Kaka."
" Mambo gani umepata ?" " Tuambie yote."
Wilyam akajibu kwa sauti ndogo akasema
" Mimi siwezi kueleza, kiti kikubwa, kama
mguu wa binadamu kimenipiga nilipokuwa
bombani, nikatoka kama mshale uUotoka ka-
tika upindi." Wenzake wakamjibu " KweU,
umeruka kama mshale."
Sauti ya Sungura Mweupe ikasikilizana, wote
wakanyamaza; Bwana Sungura akasema " La-
zima tuichome nyumba hu." EUsia kapaza
sauti sanaakasema " Mkichoma nyumba nita-
mtuma Dina awakamate ninyi nyote." Mara
wote nje wakatuUa, baadaye wakaanza tena
NYUMBA YA SUNGURA 41
Key G.
: n .pi r : n .r | d : s, .s, 1| : d . t,
{] I
| |
II
1, : 1,
I
s, : d.n | r : d .r | d : d
- li - a? Je, u-ta - che - za mi - le - le?'
pomjua Nafasi
'
kama mimi nilivyomjua,
'
Niambie wafanyaje ?
Niambie wafanyaje.
Popo Popo, niambie
Wafanyaje ?
Key C.
se : 1 I
d' : t |
1 : s |
f : 1 |
r' : d' | d' : 1
f:l|r:n |
f:l|l:s |
d:rln:s
U - na - ru - ka m-bing - u - ni. Po - po po-po
d' : r I
s :- f : f I
n : s |
r : r | d :-
I
d : d I
d' : d' |
d : r |
n : s |
n : r |
d :- |
'^-^^
SURA X
NGOMA YA KAMBA
Kasa akamwambia Elisi akasema " Wewe je,
{| : s.f
I
n.,n : s.s | d'.d, : s .s | n.n : s.s
Che-wa a-mwa-mbia Ko-a, Ta-fa - dha-li ka-sa
{ I
d'. d' : s. f n .n : s .s |
d' .d' : d' .d' |
t .s : 1 .r
I
I
s . s : - .8 1 .1 : r' .r' | s .s : d' .d'
I
I
n .n : r .d | r : s .,s | n .n : s .s | d' .d' : s .s
I
n .n : s .s | d' : s | n .,n : s .s | d' .d' : s .n
'we-za che-za na - si, 'we-za che-za 'we-za che-za
f .1 : s .s
I
s : .s s
'we-za che-za na - - si .
mbo;
Mbah na Afrika ni karibu Bara Hindi
Njoo, kacheza Koa, usipige we mapindi.
{|s:s:s|n:n:n|f:f:f|r :r :r.r|n:n:nid:d:d
Ni-na-si-ki-a sa-u-ti ya Kam-ba " Ni-me-pi-kwa za-i-di, ta-
Jl
r : r :r I
t| :t| : t| d :d :d ! 1, :1, : 1, |
r :r :r |
s, :s, :Si .s,
I
-J I
1, :t| :d I
t, :d :r n :f :s I
s : s : 1 1
1 :t :t 1
s : s : s
I
{ 1 :1 :1 I
fe :fe :fe s : s : s 1
n :n :n |
f : f : f j
r : r : r
I I
n :n :n 1 d :d :d | r :5r :r | t, :- :t,
jl
- ki-ni wa - ka - ti wa ma-ji ma - ku - - u
A - li - sa - ha - u u - ho - da - ri huu.
NGOMA YA KAMBA 99
{| d :r 1
d :n |
n :- |
r :d |
r :d |
:- |
d :r 1
d :n |
n :- | r :d |
{
r :d I
:- |
pi :f |
n :s |
s :f |
n :f |
n :- | :
|
s :t, |
t, :t, |
d :r |
r :d
I |
d :- - :- d :n .Pi d :n .n s .d :r s :f n :r d :
{ I
I
I
I | |
|
|
||
Sisimwenzangu mashujaa,
Nasi twaona njaa njaa.
Tusitandike kitambaa,
Tule chakula cha kufaa
Chakula kizuri cha kufaa
Tule chakula cha kufaa.
SURA XI
MWIZI WA MAANDAZr
Walipokuwa wamefika Bomani Elisi na Mbu-
ziwalimwona Mfalme Mzunguwanne wa Kopa,
na Malkia Mzunguwapili wa Kopa, walikuwa
wamekaa penye viti vyao vya enzi, na mbele
yao mkutano mkubwa wa viumbe.
Mjanja Mzunguwatatu wa Kopa alikuwa
amefung\^a kwa minyororo, naye alikuwa ame-
simama kati ya Askari wawili.
Sungura Mweupe alikuwa akisimama, penye
kiti cha enzi cha Mfalme, alikuwa akishika
tarumbeta na cheti.
101
102 ELISI KATIKA NCHI YA AJABU
Katikati kabisa ya Boma palikuwa na meza,
na juu ya meza ilikuwa sahani kubwa yenye
maandazi.
Mfalme alikuwa mwamuzi, na alikuwa ame-
vaa kofia ya ujaji na juu ya kofia ile, amevaa
taji. Penye baraza ndogo wakakaa viumbe
thenashara, ambao waHkuwa wakiandika ka-
tika vibao vyao kwa
bidii. Elisi akamwu-
liza Mbuzi akasema
"Wanaandika nini ?"
Mbuzi akajibu " Wa-
naandika majini yao
wasiyasahau." Elisi
akasema " W
a p u-
mbafu!"
Sungura Mweupe
akapiga sana taru-
mbeta, akatangaza
kwa sauti kuu aka-
se ma " Ny amazeni
watu wote."
Mfalme akavaa miwani akatazamatazama, apa-
te kuona ya kwamba wote waUkuwa wametulia.
EHsi akavitazama vibao vya viumbe the-
nashara. Akacheka sana hawakujua hata
mmoja kuandika sawasawa. Elisi akasema
kimoyomoyo " Lakini hawa si binadamu. Nao-
na mjusi mmoja, panya mmoja, chura mmoja,
bata, kuku, kenge, komba na wengineo, si aja-
MWIZI WA MAANDAZI 103
SURA XII
USHAHIDI WA ELISI
Elisi alishtuka sana kusikia jina lake likita-
jwa; lakini akasimama mara akaitikia " Sa !"
Kwa sababu ya urefu wake mkubwa akaangu-
sha baraza ya wathenashara. Akafadhaika
sana akasema " Niwieni radhi, niwieni ra-
108
USHAHIDI WA ELISI 109
dhi !" Akawasaidia wanyama kutengeneza tena
meza, na kutafuta vibao vyao na kalamu
zao.
Wote walipokuwa tayari Mfalme alimwuliza
Elisi akasema " Unajua katika mambo
niai
haya ?"
Elisi akajibu " Sijui kitu." Mfalme
akawaambia wathenashara akasema " Andi-
keni Hajui kitu.' " Mfalme akamtazama EHsi
'
Akaamka.
!!!!!!!
Alipokuwa macho akajiona, na kumbe aliku-
wa amelala chini ya mwembe Dada yake
!