Professional Documents
Culture Documents
Jarida La Nchi Yetu Mwezi Juni
Jarida La Nchi Yetu Mwezi Juni
Jarida La Nchi Yetu Mwezi Juni
www.maelezo.go.tz
i Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
Bodi ya Uhariri
Mwenyekiti
Dkt. Hassan Abbasi
Mkurugenzi-Idara ya Habari-MAELEZO
Wajumbe
Rodney Thadeus
John Lukuwi
Elias Malima
Jovina Bujulu
Lilian Lundo
Msanifu Jarida
Hassan Silayo
Mwezi Juni mwaka huu, karata nyingine ya Mhe. John Pombe Magufuli ilichangwa na kwa wale weledi
wa mchezo wa karata wanaweza kusema alilamba dume. Hii imedhihirika pale alipofanya ziara ya siku
tatu katika mkoa wa Pwani na kuzindua viwanda vikubwa vitano ambapo alisema mkoa huo una zaidi ya
viwanda 127 jambo ambalo kama angevitembelea vyote hata mwaka mmoja usingetosha kuvikagua.
Kipindi cha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Mhe. Magufuli aliwaomba wananchi
wamchague na wamuamini kwani anadhamiria ya dhati kuitoa nchi katika lindi la umasikini na
kuipeleka katika uchumi wa kati unaojengwa na ukuaji wa viwanda. Jambo hili limeanza kudhihirika.
Mbali na ahadi hiyo, ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM sura ya pili ibara za 32 na 33 zimeweka
bayana mikakati ya kuanzisha viwanda vipya na kushirikiana na wawekezaji kuimarisha viwanda vilivyopo ikiwa
ni pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa uwekezaji mkubwa wa viwanda ili kuzalisha ajira za kutosha.
Mpango wa maendeleo wa taifa wa Miaka mitano 2016/17-2020/21 pia umeweka bayana mikakati itakayosaidia
kukuza uchumi wa viwanda ikiwemo kushirikiana na Jumuiya za Kikanda katika masoko na uchumi kama Jumuiya
ya Afrika Mashariki pamoja na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kukuza uchumi wa viwanda.
Juhudi zote hizo zinadhihirisha kuwa Tanzania ya viwanda inawezekana chini ya uongozi wa Jemedari
Rais John Pombe Magufuli zimeanza kuzaa matunda. Mkoa wa Pwani ni kioo cha uwekezaji mkubwa
wa viwanda hivyo ni vema kuwakaribisha viongozi wa mikoa mingine ili waweze kujifunza mbinu
walizotumia kufikia mafanikio hayo ambayo yameonekana katika kipindi kifupi kwa ujenzi wa viwanda
vingi ambavyo vitazalisha ajira kwa wingi na hatimaye kuwapunguzia vijana tatizo la ajira kwa vijana.
Sisi NCHI YETU tuna unga mkono jitihada za Mhe. Rais za kuhakikisha kunakuwa na ongezeko
la viwanda, pia tunaunga mkono onyo alilolitoa kwa watumishi wa umma wanaokwamisha
wawekezaji kwa makusudi kwa kuwawekea mlolongo wa taratibu zisizokuwa na tija ambazo mara
nyingi zimewakatisha tamaa na kusababisha wengine kuhamishia uwekezaji katika nchi jirani.
Tanzania ni nchi yenye utajiri mkubwa wa rasilimali ikiwemo madini, misitu, mbuga za wanyama, hali
nzuri ya hewa na tunu za taifa letu za amani na utulivu, ni vyema tukatumia baraka hizo tulizojaaliwa na
Mungu katika kuhakikisha uchumi unakua kwa sababu mazingira yetu yanaruhusu. Pamoja na mambo
yote mazuri ni vema kila mmoja wetu akatimiza wajibu wake ili tunufaike na ukuaji wa uchumi sambamba
na utetezi wa maslahi ya wanyonge jambo ambalo kila mara Mhe. Rais amekuwa akilitilia mkazo.
Tukiwa watanzania wenye uchungu na uzalendo wa nchi hii, tuendelee kumuunga mkono na kumuombea
Rais wetu katika kuhakikisha azma yake ya kukuza uchumi kwa kuijenga Tanzania ya viwanda inawezekana.
Tuna toa rai kwa viongozi wa mikoa ambayo haina viwanda wakajitathmini na kujitafakari ni kwa namna
gani watamsaidia Mhe. Rais kwa kuanzisha kuweka mazingira wezeshi uanzishwaji wa viwanda. Aidha ni budi
kuhakikisha kwamba wanaiga mfano wa mkoa wa Pwani kwa kuvutia wawekezaji wengi katika sekta ya viwanda
ili kuweza kuongeza ajira na kuondoa umaskini miongoni mwa Watanzania. Tanzania ya viwanda imeanza
kuonekana, kila mmoja atimize wajibu wake, Mungu ibariki nchi yetu, Mungu ibariki Tanzania ya viwanda.
1 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
Inatoka Uk. 1
Viwanda vitano vilivyozinduliwa tani 1,200,000 kwa mwaka. Serikali katika kuhakikisha
na Rais ni pamoja na kiwanda inawasaidia wawekezaji wa
cha vifungashio cha Global Kiwanda hiki kinamilikiwa viwanda kwa kupitia Shirika
Packaging Tanzania chenye na Mtanzania Bwana la Reli Tanzania (TRL) tayari
uwezo wa kutengeneza mifuko Mohamed Said Kiluwa kwa limejenga njia ya reli ya kilometa
aina ya sandarusi 53, 000 kwa siku. asilimia 51 na mwekezaji 3.5 inayounganisha kiwanda
kutoka China kwa asilimia 49. cha Chuma cha Kiluwa na reli ya
Kiwanda hicho ambacho ujenzi kati ikiwa ni juhudi za kurahisisha
wake umegharimu shilingi bilioni Katika kiwanda cha vinywaji usafirishaji wa malighafi na
nane, kimeajiri wafanyakazi 110. baridi cha Sayona Drinks Ltd vyuma vinavyozalishwa
kinachomilikiwa na Mtanzania kiwandani hapo kwenda
Kiwanda kingine ni cha
Subhash Patel ambapo Rais ndani na nje ya nchi.
kutengeneza matrekta 2,400
Magufuli aliweka jiwe la
aona ya Ursus kiwanda hiki
msingi la ujenzi wa kiwanda Katika ziara hiyo, Rais
kinamilikiwa na Serikali ya
Tanzania kwa asilinia 100.
hicho utakao gharimu shilingi Magufuli pia alizindua
bilioni 120 mpaka kukamilika. Barabara ya Bagamoyo
Kiwanda kingine kilichozinduliwa Makofia - Msata yenye urefu
ni cha chuma cha Kiluwa Aidha kiwanda hicho cha wa kilometa 64 ambayo
Steel Group kilichopo Mlandizi sharubati kitatoa ajira 800 na imejengwa na wakandarasi
ambacho katika awamu ya pia kufungua fursa ya soko la wazawa kwa fedha za ndani.
kwanza kitakuwa na uwezo wa matunda kwa wakulima 30,000
kuzalisha tani 500,000 za nondo ambao watakuwa wanakiuzi Barabara hiyo itasaidia
kwa mwaka na awamu ya pili kiwanda hicho matunda. kupunguza foleni iliyokuwa
kitaongeza uzalishaji hadi kufikia kero katika barabara ya
Inaendelea Uk. 3
Inaendelea Uk. 2
Jarida la Nchi Yetu 2016
Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na
Tuimarishe Uchumina
Limeandaliwa wa Viwanda
Idara kwa Maendeleo Yetu
ya Habari-MAELEZO 2
mwaka 2015 wa kuhakikisha
kuwa Tanzania inakuwa nchi
ya viwanda na kupelekea
kuondoa tatizo la ajira nchini na
pia kupunguza bei za bidhaa
kwenye soko la biashara.
P amoja na Tanzania
kutajwa kuwa ni miongoni
mwa nchi tano zenye
uchumi unaofanya vizuri
barani Afrika, lakini tangu
kuingia utawala wa Awamu
ya Tano kumekuwepo na
dhana miongoni mwa
baadhi ya watu na taasisi
kuwa hali si hivyo ilivyo.
trilioni 21.65 katika kipindi kuwa katika kipindi cha Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia
kama hicho mwaka 2016 kuanzia Julai 2016 hadi ya mwaka 2017 inaonesha
hadi shilingi trilioni 22.53. Machi, 2017 ni biashara kuwa, Tanzania imepiga
7,277 tu ndizo zilizofungwa hatua 12 kutoka kuwa nchi
Hotuba hiyo ya Waziri katika mikoa mbalimbali ya 144 hadi nchi ya 132 kwa
ilibainisha pia kuwa kwa sekta nchini ikilinganishwa na urahisi wa kufanya biashara.
ya kibenki nayo iliendelea biashara mpya zipatazo
kuwa imara na himilivu huku 224,738 zilizosajiliwa Kwa upande wa uwekezaji,
uwiano kati ya mali inayoweza katika kipindi hicho hicho. mwaka 2016 Tanzania ilikuwa
kubadilishwa kuwa fedha nchi ya kwanza miongoni
taslim na amana zinazoweza Kufungwa huku kunaweza mwa nchi za Afrika Mashariki
kuhitajika kwa muda mfupi kusababishwa na mambo kwa kuvutia uwekezaji na
ilikuwa asilimia 35.9 mwezi mengi lakini inawezekana ya nane kwa Afrika, ikiwa
Machi 2017 ikilinganishwa na sana kasi hiyo ya kufunga imepiga hatua kutoka
uwiano wa chini unaohitajika biashara inatokana na nafasi ya 19 mwaka 2015.
kisheria wa asilimia 20. wito unaotolewa na
Serikali kuwataka wale Taarfa hii ni kwa mujibu
Imekuwa ikidaiwa pia kuwa wote wanaofunga wa Fahirisi ya Uwekezaji
katika kipindi cha Awamu ya biashara watoe taarifa ili Afrika ya mwaka 2016
Tano kumekuwepo na kasi wasiendelee kutozwa kodi. (Africa Investment Index,
ya wafanyabishara kufunga 2016) iliyotolewa na taasisi
biashara zao likitajwa jiji Ni kweli tumekuwa tukisoma ya Quantum Global
la Dar es Salaam kuwa katika baadhi ya vyombo Research Lab ya Uingereza.
moja miji iliyoathirika sana. vya habari vikiwemo vya
nje vikidai kuwa wawekezaji Katika kuendelea kuweka
Hata hivyo, takwimu rasmi wanasita kuja Tanzania kwa mazingira bora zaidi ya
toka Mamlaka ya Mapato madai kuwa wamepoteza uwekezaji nchini, Kituo cha
Tanzania (TRA) zinaonesha imani kutokana na Uwekezaji Tanzania (TIC)
5 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
wanaojaribu kuujenga
wakosoaji wa hali uchumi
nchini hauna msingi wowote.
Kama alivyoeleza Waziri
Fedha katika hotuba yake
ya bajeti, Serikali imekuwa
ikifanya jitihada za kujenga
mazingira mazuri ya kuvutia
uwekezaji kufanya biashara.
dhana ya ushirikishwaji
na pia ni kielelezo kuwa
Serikali imezidi kuwa sikivu.
Serikali haikuamka tu
ikaamua kufuta kodi na
tozo mbali mbali bali ni
matokeo ya kusikiliza maoni
ya wananchi wakiwemo
walipa kodi na watumia
huduma zinazotozwa kodi.
Mwaka huu Serikali, kwa
mfano, imefuta kodi ya
Ongezeko la Thamani (VAT)
kwa magari ya kubebea
wagonjwa, ada ya leseni ya
Waziri wa Fedha na Mpango Mhe.Dr.Philip Mpango akiwasilisha Bungeni magari, kodi kwa vifaa va
mapendekezo ya Serikali kuhusu makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa walemavu, tozo na ada za
mwaka 2017/18. zimamoto kwa shule binafsi.
Inaendelea Uk. 7
Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na
7 Tuimarishe Uchumi
Limeandaliwa na Idarawa
ya Viwanda kwa Maendeleo Yetu
Habari-MAELEZO
K
Taarifa ya Kamati
atika kutekeleza agizo ya pili ya Uchunguzi
wa Madini yaliyo
la Mhe. Rais Dkt. John kwenye makontena
Pombe Magufuli lililotokana yenye mchanga
unaosafirishwa
na mapendekezo ya kamati nje ya nchi kutoka
ya pili ya mchanga wa kwa Mwenyekiti wa
Kamati hiyo Profesa
madini (makinikia) chini Nehemiah Osoro Ikulu
ya Mwenyekiti wake Prof. jijini Dar es Salaam,
kulia ni Waziri Mkuu
Nehemia Osoro, hatimaye Mhe. Kassim Majaliwa
Bunge la Jamhuri ya na Kushoto ni
Makamu wa Rais Mhe.
Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
limeanza kujadili miswada
Inaendelea Uk. 8
Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na
Tuimarishe Uchumi
Limeandaliwa wayaViwanda
na Idara kwa Maendeleo Yetu
Habari-MAELEZO
8
mitatu ya sheria iliyowasilishwa
na Waziri wa Katiba na Sheria
Prof. Palamagamba kwa ajili
ya kufanyiwa marekebisha.
Miswada iliyowasilishwa
Bungeni ni pamoja na
Muswada wa Sheria ya
Mapitio na Majadiliano
kuhusu Masharti Hasi katika
Mikataba ya Maliasili za Nchi
wa Mwaka 2017, Muswada
wa Sheria ya Mamlaka ya
Nchi kuhusiana na Umiliki wa
Maliasili wa Mwaka 2017 na
Muswada wa kutungwa kwa
Sheria mbalimbali ikiwemo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
sheria ya madini, petrol, kodi akipeana mikono na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada
ya mapato, Kodi ya Ongezeko Profesa John L. Thornton mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es
la Thamani na Sheria ya Bima. salaam Juni 14, 2017. Kulia ni balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles
Katika muswada wa
kutungwa kwa Sheria
mbalimbali ikiwemo sheria
ya madini, petrol, kodi ya
mapato, Kodi ya Ongezeko
la Thamani na Sheria ya
Bima, marekebisho ni yale
ya kutambua na kuweka
umiliki wa madini, petroli na
gesi chini ya usimamizi wa
Rais kwa niaba ya wananchi,
tofauti na ilivyokuwa awali
ambapo bidhaa hizo zilikuwa
chini ya wizara yenye
dhamana ya nishati madini.
Malori yakisomba mawe na mchanga wa dhahabu katika mgodi
Marekebisho hayo pia
wa Buzwagi.
Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na
9 Tuimarishe Uchumi
Limeandaliwa wa
na Idara yaViwanda kwa Maendeleo Yetu
Habari-MAELEZO
Upoteaji wa mapato na
udhaifu wa sheria katika sekta
ya madini ulibainika wakati
Mwenyekiti wa Kamati ya Pili
ya kuchunguza mchanga
wa madini uliozuiliwa
kusafirishwa nje nchi, Prof.
6
Tuunge Mkono Jitihada za Kupinga Rushwa na Ufisadi na
11 Tuimarishe Uchumi
Limeandaliwa na Idarawa Viwanda kwa Maendeleo Yetu
ya Habari-MAELEZO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia wakati alipozindua Kamusi Kuu ya Kiswahili
namna samaki anaweza kufugwa vizuri bila
kuharibu mazingira na kuleta manufaa kabla ya
kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma
kuhutubia kwenye kilele cha siku ya mazingira Juni 19, 2017.
duniani ambapo kilele chake kimefanyika kwenye
viwanja vya Mwenge,Butiama
Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
12
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Rais wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Nyerere akiwa anasaidia katika kuponda udongo pamoja na mwakilishi wa Shirika la Misaada la
kwa ajili ya nyumba katika kijiji cha ujamaa Mkoani Ujerumani KFW Bi. Katrin Brandes na aliyekuwa
mkuu wa mkoa wa Lindi Bibi Mwantum Mahiza
Dodoma.
wakifunua kitambaa kuzindua ujenzi wa mradi wa
maji wa mji wa Lindi eneo la Ngapa mjini Lindi
13 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
za kisheria pamoja na
wale wote wanaoliingiza
taifa kwenye umaskini
mkubwa kwa kuhujumu
rasilimali za watanzania.
Katika muktadha huu ni
vyema sasa Mkurugenzi Mkuu
wa TAKUKURU Kamishna
Valentino Mlowola na timu
yake waendelee na moyo
huo wa kuchapa kazi bila
woga na kuhakikisha kuwa
hata wale waliotajwa katika
ripoti ya pili ya mchanga
wa madini maarufu kama
Makinikia, wanachunguzwa
na wakibainika wafikishwe
mbele ya vyombo vya Sheria
ili imani ya Watanzania kwa
aliyeianzisha vita hivi Rais
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli iendelee kuimarika.
Magufuli amepokea toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU
Kamishna Valentino Mlowola Taarifa ya Utendaji kazi wa Mapambano haya
TAKUKURU ya mwaka 2015/2016 Ikulu Jijini Dar es Salaam. yakisimamiwa kwa dhati
na yakiungwa mkono na
Kitendo cha kuwafikisha ni vyema wananchi na wao Watanzania wote, bila
watuhumiwa wa ESCROW kwa upande wao kukataa kujali itikadi za vyama,
Mahakamani sio tu kutoa au kupokea rushwa itawezesha serikali kutekeleza
kimewafurahisha watu wengi lakini pia kusaidia katika majukumu yake ipasavyo
bali hata wakosoaji wa juhudi za kuwafichua wale kwa kujenga mazingira
juhudi za Mh. Rais Magufuli wote wanaojihusisha na mazuri ya kuiwezesha kufikia
za kupambana na ufisadi vitendo hivyo. Kwa kufanya lengo la Tanzania kuwa nchi
wameanza kumkubali hivyo itasaidia kujenga taifa ya uchumi wa kipato cha
na kumuunga mkono. lenye wazalendo wa kweli kati ifikapo mwaka 2025.
watakaosaidia ndoto ya
Kwa mfano, aliyewahi kuwa
Mwenyekiti wa Kamati
Tanzania ya viwanda na
yenye uchumi wa kati kufikiwa.
Viva Magufuli, viva
ya Bunge ya Hesabu za TAKUKURU kila kitu
Serikali (PAC) ambaye Pongezi hizi zisiwafanye
pia ni kiongozi wa Chama Kamishna Mlowola na kinawezekana
cha ACT-Wazalendo, Zito timu yake kulewa sifa na tukiwa na
Kabwe hakuficha hisia zake kuona wameshafanikiwa,
na kumpongeza Mh.Rais wanatakiwa kuhakikiksha nia ya dhati.
na TAKUKURU alipoandika kuwa wale wote walioshiriki
kwenye ukurasa wake wa kwa namna moja ama
mtandao wa kijamii wa Twitter. nyingine katika kashfa ya
Akaunti ya Tegeta ESCROW
Kwa kuwa mwarobaini wa wanachukuliwa hatua
rushwa sio TAKUKURU pekee,
17 Limeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO
M fuko
PPF
wa Pensheni
umejipanga
kuwekeza kwenye viwanda
ili kufanikisha azma ya Serikali
ya Awamu ya Tano ya
kujikita kwenye uchumi wa
viwanda utakaowezesha
Taifa kufikia uchumi wa
kati ifikapo mwaka 2025.
Na Mwandishi Wetu-MAELEZO
Waziri Mkuu azindua Wakala wa BarabaraVijijini
W aziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
amezindua Wakala wa Barabara Vijijini
na Mijini (TARURA) ikiwa ni mkakati wa
kuharakisha utatuzi wa changamoto
za usafiri katika maeneo hayo.
Idara ya Habari-MAELEZO
S.L.P 8031
Dar es Salaam-Tanzania
Simu : (+255) 22 -2122771
Baruapepe:maelezo@habari.go.tz
Tovuti: www.maelezo.go.tz
Blogu: blog.maelezo.go.tz