Professional Documents
Culture Documents
Mahakam A
Mahakam A
1.0 Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa aya ya 112(1)
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Aidha, kwa mujibu wa Sheria
ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4/2011, Tume ya Utumishi wa Mahakama mbali na kuwa na
majukumu mengine inalo jukumu la kuajiri watumishi wa kada mbalimbali wa Mahakama.
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mahakama katika Mikoa iliyoainishwa katika Jedwali hapa chini:-
NA MKOA WILAYA IDADI
KANDA YA
NAFASI
MANYARA DM HANANG 2
DM SIMANJIRO 2
1 ARUSHA
ARUSHA DM 1
NGORONGORO
DM MOSHI 1
DM HAI 1
2 KILIMANJARO
DM ROMBO 2
DM SAME 1
DM BUNDA 1
MARA DM TARIME 2
DM SERENGETI 3
DM GEITA 1
3 MWANZA
DM CHATO 2
GEITA
DM BUKOMBE 2
MWANZA DM SENGEREMA 1
DM MBEYA 3
DM ILEJE 1
IRINGA DM KILOLO 2
DM NJOMBE 1
5 IRINGA
DM 2
NJOMBE
WANGING'OMBE
DM MAKETE 1
DM SINGIDA 3
DM BAHI 2
DODMA
DM KONGWA 2
DM KIGOMA 2
KIGOMA DM KASULU 3
DM KIBONDO 2
7 TABORA
DM TABORA 1
TABORA DM IGUNGA 1
DM URAMBO 1
DM MULEBA 3
8 BUKOBA KAGERA
DM NGARA 1
DM PANGANI 2
DM MUHEZA 2
9 TANGA TANGA
DM KILINDI 1
DM MKINGA 1
DM MTWARA 1
DM 1
MTWARA
TANDAHIMBA
10 MTWARA
DM NANYUMBU 1
DM LINDI 1
LINDI
DM KILWA 3
DM NYASA 1
DM NAMTUMBO 2
DM MASWA 3
DM MEATU 2
12 SHINYANGA SIMIYU
DM ITILIMA 1
DM BUSEGA 2
DM 3
RUKWA
SUMBAWANGA
DM KALAMBO 4
13 SUMBAWANGA DM NKASI 3
DM MPANDA 2
KATAVI
DM MLELE 1
Sifa za kuingilia:-
Waombaji wawe na Cheti cha kuhitimu kidato cha Nne/Sita, Shahada ya kwanza ya
Sheria Bachelor of Laws (LLB) kutoka katika Chuo kikuu kunachotambulika na Serikali pamoja
na cheti cha mafunzo ya Sheria kwa vitendo (Law school Certificate).
Kazi za kufanya:-
ii. Kusikiliza mashauri ya awali ya Jinai (Criminal Cases), Madai (Civil Cases), Mirathi (Probate and
Administration) na ndoa (Matrimonial Cases).
iii. Kutoa hukumu katika mashauri yote anayoyasikiliza ya jinai, madai, mirathi, ndoa na
mashauri mengine, kadri sheria inavyomruhusu.
iv. Kutoa amri mbalimbali za kimahakama anazoruhusiwa kisheria katika Mahakama za Mwanzo.
v. Kusuluhisha mashauri.
JUMLA KUU 3
Sifa za kuingilia:-
Sayansi ya Kompyuta
Teknolojia ya Habari
Kazi za kufanya:-
(i) Kuandaa, kuandika na kufanya majaribio ya program (plan code and test program)
(iii) Kuweka na kuhakikisha usalama wa program (Incorporate security setting into program)
(iv) Kushirikiana na wadau wengine katika kutengeneza programu mbalimbali (Corporate with other
software developers)
(v) Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkubwa wake wa kazi zinazoendana na sifa na fani
yake.
C. KATIBU MAHSUSI DARAJA III TGS B (Nafasi 20)
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mahakama katika Mikoa iliyoainishwa katika Jedwali hapa chini:-
3 MWANZA RM MWANZA 1
DM ILEMELA 1
MWANZA
MARA DM MUSOMA 1
GEITA RM GEITA 1
8 KAGERA RM BUKOBA 1
BUKOBA
DM KARAGWE 1
12 RUKWA RM RUKWA 1
SUMBAWANGA
KATAVI RM KATAVI 1
JUMLA KUU 20
Sifa za kuingilia:-
Kazi za kufanya:-
Katibu Mahsusi Daraja la III atapangiwa kufanya kazi Typing pool au chini ya Katibu
Mahsusi mwingine mwenye cheo cha juu kumzidi kwenye ofisi ya Mkuu wa sehemu au
kitengo.
(ii) Kusaidia kupokea wageni na kuwasaili shida zao, na kuwaelekeza sehemu wanazoweza
kushughulikiwa.
(iii) Kusaidia kutunza taarifa, kumbukumbu za matukio, miadi, wageni, tarehe za vikao safari za
Mkuu wake na ratiba ya kazi zingine zilizopangwa kutekelezwa katika ofisi anamofanyia kazi,
na kumuarifu Mkuu wake kwa wakati unaohitajika.
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mahakama katika Mikoa iliyoainishwa katika Jedwali hapa chini:-
2 KILIMANJARO DM SAME 1
MOSHI
DM ROMBO 1
3 MWANZA DM KWIMBA 2
MWANZA
DM UKEREWE 2
DM MISUNGWI 1
MARA DM SERENGETI 2
4 MBEYA DM KYELA 2
MBEYA DM MBARALI 1
DM MBOZI 1
5 IRINGA DM KILOLO 2
IRINGA
NJOMBE DM MAKETE 1
6 DODOMA DM DODOMA 1
DM MANYONI 1
DM SIKONGE 1
TABORA
7 TABORA DM URAMBO 1
KIGOMA DM KIBONDO 1
DM NGARA 1
DM KARAGWE 1
DM MUHEZA 1
9 TANGA TANGA
DM MKINGA 1
DM NANYUMBU 1
MTWARA
10 MTWARA DM NEWALA 1
LINDI DM NACHINGWEA 1
DM NAMTUMBO 2
11 SONGEA RUVUMA
DM MBINGA 1
13 SUMBAWANGA RUKWA DM 1
SUMBAWANGA
DM KALAMBO 1
KATAVI DM MPANDA 1
JUMLA 45
Sifa za Kuingilia:-
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti/Stashahada ya utunzaji kumbukumbu
kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma pamoja na wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye
Diploma ya Sheria kutoka chuo cha Uongozi wa Mahakama.
Kazi za kufanya:-
(iv) Kunukuu (kurekodi) mwenendo mzima wa kesi na kuweka kumbukumbu sahihi za mashauri
yanayosikilizwa na Majaji au Mahakimu.
(v) Kuhakiki na kuandaa taarifa iliyohakikiwa na kuwasilisha sehemu husika kabla yakutoa nakala
kwa Umma.
(vi) Kufanya kazi nyingine za kiutawala zinazohusu masuala ya kimahakama kama kuwasilisha
nyaraka za kisheria Mahakamani na kuangalia muda na siku ya kufanyika kwa kesi husika.
(vii) Kuthibitisha machapisho (transcripts) kwa ajili ya kumbukumbu za ofisi ndani ya muda
uliopangwa.
Sifa za Kuingilia:-
Kazi za kufanya:-
(iii) Kupokea simu kutoka nje na kuzisambaza kwa maafisa mbalimbali Ofisini.
(v) Kutunza rejesta ya simu zinazopokelewa kutoka nje ya ofisi na zinazopigwa nje ya ofisi.
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mahakama katika Mikoa iliyoainishwa katika Jedwali hapa chini:-
8 RUKWA DM 1
SUMBAWANGA
SUMBAWANGA
JUMLA 10
Sifa za Kuingilia:-
Kuajiriwa wenye Cheti cha Baraza la mitihani (NACTE) Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni
daraja la C ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua
miaka mitatu bila kusababisha ajali, wenye Cheti cha Majaribio ya Ufundi Daraja la II (VETA).
Kazi za kufanya:-
(ii) Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa
gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo,
Nafasi hizi ni kwa ajili ya Mahakama katika Mikoa iliyoainishwa katika Jedwali hapa chini:-
MWANZA DM MAGU 1
GEITA RM GEITA 1
TABORA DM NZEGA 1
7 TABORA
KIGOMA DM KASULU 1
8 BUKOBA KAGERA DM BIHARAMULO 2
SHINYANGA DM SHINYANGA 1
11 SHINYANGA DM MEATU 1
SIMIYU DM BUSEGA 1
JUMLA 21
Sifa za kuingilia:-
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/ JKT au Mafunzo ya
Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Kazi za kufanya:-
(i) Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini.
(ii) Kuhakikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake.
(iv) Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi.
(v) Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wanaidhini ya kufanya hivyo.
(vi) Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile moto, mafuriko
n.k. na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile polisi na zimamoto.
Mwisho wa kupokea barua za maombi hayo ni tarehe 04/09/2017 saa 9:30 Alasiri.
2.0 Barua za maombi ziandikwe kwa mkono wa mwombaji zikionyesha anwani sahihi
pamoja na namba ya simu na kuambatisha:-
NB. Nakala za vyeti vya taaluma na vya kidato cha nne/sita vithibitishwe na Hakimu/Wakili
anayetambuliwa na Serikali (True copies of the originals).
maeneo husika.
mwombaji.
3.4 Waombaji walio katika Utumishi wa Umma wapitishe maombi yao kwa
Mahakama ya Tanzania.
Umma.
3.11 Mwombaji asiandike barua zaidi ya moja kwa ajili ya kuomba nafasi
moja.
hayatashughulikiwa.
4.0 Maombi yote yatumwe kwa njia ya posta kwa Katibu, Tume ya Utumishi
Imetolewa na ;-
Katibu,
S.L.P 8391,
DAR ES SALAAM.