Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 3

HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA

BARUA ZOTE ZIPELEKWE KWA MKURUGENZI WA MANISPAA

SIMU NA. 2128800


2128805 OFISI YA MKURUGENZI
MANISPAA YA ILALA
FAX NO. 2121486 1 MTAA WA MISSION
S.L.P 20950
11883- DAR ES SALAA

KUMB NA. IMC/KA.3/VOL 1 TAREHE: 8/2/2018

Kwa mujibu wa kifungu cha 89 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura
288 ya Mwaka 2002; Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala anawatangazia
Wananchi/Wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kwamba anakusudia kutunga Sheria
Ndogo zifuatazo:

1. SHERIA NDOGO ZA (KUDHIBITI OMBAOMBA) ZA HALMASHAURI YA


MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2018

2. SHERIA NDOGO ZA (URATIBU NA USIMAMIZI WA MACHINGA)


HALMASAHURI A MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2018

3. HATI RASMI YA UANZISHAJI WA BODI YA SOKO LA SAMAKI FERI ZA


HALMASAHURI A MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2018

4. HATI RASMI YA UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU ZA


HALMASAHURI A MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2018

5. SHERIA NDOGO ZA (UDHITIBITI NA USIMAMIZI WA MIFUGO) ZA


HALMASAHURI A MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2018

Sambamba na zoezi hilo Halmashauri inakusudia pia kufanya marekebisho ya Sheria ndogo
zifuatazo:
1. SHERIA NDOGO ZA (HIFADHI YA MAZINGIRA NA RASILIMALI ZA
ASILI) ZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO LA
SERIKALI NA. 596/2015

2. SHERIA NDOGO ZA (UENDESHAJI WA MASOKO) ZA HALMASHAURI


YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO LA SERIKALI NA. 594/2015.

3. SHERIA NDOGO ZA (UENDESHAJI WA SOKO LA SAMAKI FERI


MAGOGONI) ZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO
LA SERIKALI LA SERIKALI NA. 591/2015

4. SHERIA NDOGO ZA (MATUMIZI YA BARABARA) ZA HALMASHAURI


YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO LA SERIKALI NA 593/2015

5. SHERIA NDOGO ZA (USAFI WA MAZINGIRA) ZA HALMASHAURI YA


MANISPAA YA ILALA TANGAZO LA SERIKALI NA. 595/2015

6. SHERIA NDOGO ZA (BIASHARA YA ZAO LA NGOZI NA ADA ZA


MACHINJIO) ZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO
LA SERIKALI NA. 592/2015.

7. SHERIA NDOGO ZA (ULINZI WA UMMA) HALMASAHURI A


MANISPAA YA ILALA ZA MWAKA 2008

8. SHERIA NDOGO ZA (KODI YA HUDUMA) ZA HALMASAHURI YA


MANISPAA YA ILALATANGAZO LA SERIKALI NA. 109/2011.

9. SHERIA NDOGO ZA (ADA NA TOZO) HALMASAHURI A MANISPAA


YA ILALA ZA MWAKA

10. KANUNI ZA KUDUMU ZA HAMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA


TANGAZO LA SERIKALI NA 615/2015

11. SHERIA NDOGO ZA (UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU)


ZA HALMASAHURI YA MANISPAA YA ILALA TANGAZO LA
SERIKALI NA. 590/2015.

Kwa tangazo hili ninawaomba wananchi/wakazi wote pamoja na wadau wote kujitokeza na
kutoa maoni na mapendekezo yao kuhusu utungaji na marekebisho ya sheria tajwa hapo juu.
Maoni na mapendekezo hayo yawasilishwe kwa maandishi katika Ofisi za watendaji wa Kata,
Ofisi ya Mkurugenzi Idara ya Sheria au ofisi za Manispaa Arnatoglou Mnazi Mmoja chumba
Na.2 au kwa Sanduku la Posta 20950, Dar es Salaam kabla ya tarehe 30/3/2018.

LIMETOLEWA NA,

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA.

You might also like