Download as doc, pdf, or txt
Download as doc, pdf, or txt
You are on page 1of 9

Mawasiliano ya umma.

(1)
Na Rwambogo Edson.
Mawasiliano ya umma tunaweza kuita ni kitendo cha kundi la watu kuzalisha taarifa
ambayo itawafikia kundi kubwa zaidi la watu wenye tabia tofauti na mitazamo tofauti
bila kuzingatia mipaka yao ya upeo.

Mawasiliano ya umma yanakupa nafasi ya kuwa muandaaji, muelimishaji, mburudishaji, mtoaji


taarifa, mfafanuzi/mchambuzi, mbunifu na kiongozi lakini pia taaaluma hii inakupa nafasi ya kua
mwandishi, muhariri, mtangazaji, mpigapicha, mwandishi wa makala na wakati mwingne
hukupa nafasi ya kukosoa na kutoa maoni ya kujenga pale panapoonekana hapajanyooka.

Mawasiliano ya umma yanajumuisha mawasiliano kati ya makundi ya watu au mtu na mtu


kupitia vyombo mbalimbali vya mawasiliano kama vile radio, TV, Magazeti, majarida na sasa
mitandao ya kijamii. Kupitia ujumbe uliouandaa, kupitia vyombo hivyo utakua umelenga
kuwafikia watu wegi kwa hiyo tutaita mawasiliano ya umma.

Pia tunaweza kusema mawasiliano ya umma yanatumika kufikisha ujumbe tofauti kwa jamii
husika yenye tamaduni na mapokeo tofauti kwa wakati mmoja. Panapokua na mawasiliano kati
ya watu wawili tunaita mawasiliano binafsi, mwalimu anapofundisha darasani au mwana siasa
anapotoa hotuba huo unakua ni mfano wa mawasiliano ya kundi la watu lakini pia kuna hatua
nyingine ya mawasiliano pale mtu anapokua anasoma maandiko ya vitabu au taarifa yoyote
kupitia maandiko mbalimbali.

Kuna hatua nyingine ambayo tunasoma magazeti, majarida, kusikiliza Radio au kutazama Tv.
Hii inaweza kuitwa mawasiliano ya umma kwa kuwa ujumbe huwafikia watu wengi kupitia njia
tofauti ambapo mala nyingi chanzo kinaweza kua mtu mmoja na wafikwa wa huo ujumbe
wakawa watu wengi ambapo huwa ni ngumu kujua Idadi yake.

Mawasiliano ya umma yana upekee wake na yana utofauti kutoka katika mawasiliano binafsi
kutokana na asili ya mawasiliano kujikita katika kutumia vyombo vya ziada kuwafikia watu
wengi zaidi na ata mapokeo na urudishaji wa taarifa au mapokeo ya ujumbe kuwa tofauti. Hii
tunaweza kuita ni taaluma ya masomo yanayomaanisha mtu mmoja kutuma ujumbe mmoja ulio
na uzani sawa kwa kundi kubwa la watu na wakati mwingine inaweza kua ni kwa muda mmoja.

Historia ya mwasiliano ya umma.

Mawasiliano ya umma kwa ujumla yanajumuisha maneno jumuishi kwa lengo la


kuwafikia walengwa. Vyombo vya habari hutumika kusambaza hizo taarifa kama vile
Radio, TV,Magazeti, majarida, filamu,kaseti,video na hata mitandao na huitaji taasisi au
vyombo kutuma jumbe mbalimbali ili kuwafikia walaji.
Mawasiliano ya umma yana ujumbe mahususi na aina ya wamasiliano kutokana na asili ya
hadhira na mapokeo kutoka kwa walaji wa maudhui hayo. Mwisho kabisa hadhira hii inaweza
ikawa haifahamiani na wala hakuna jamii itakayokua inajua kuwa kuna hadhira inayopokea
ukumbe kama huo upande mwingine, wakati huo hadhira hiyo inaweza kujikuta inaishi Pamoja
kihisia bila kujiwekea, mfumo, sheria, wala uongozi kati kati yao.

Kutokana na takwimu za Umoja wa mataifa kufikia 1996 asilimia 64 ya watumiaji wa mtandao


walikua ni wamarekani, 17% walikua ni watu kutoka nchi za magharibi na asilimia 4%walikua
ni watu wa bara la asia. Na kwa upande wa Africa, amerika ya kusini na sehemu ya dunia
iliyobaki waliokua wanatumia mitandao ilikuwa ni asilimia moja. Mwishoni mwa 1996 tafiti
zilikua zinaonyesha ni mitandao mitatu(3)tu ambayo kati 1,400 ilikua ikitumika Afrika nzima.

Zama za mawasiliano ya umma.(2)


Na Rwambogo Edson
Kupitia masalia ya kumbukumbu za mwanzo juu ya mawasiliano na maendeleo ya binadamu au
mapinduzi ya binadamu wa kale yanaonyesha binadamu alianza kuchukua hatua mbalimbali za
kuwasiliana miaka milioni 70 iliyopita. Binadamu aliishi kama panya katika zama za mijusi
wakubwa kuwahi kutokea waliojulikana kama Dinosaurs.

Mamilioni ya miaka yamepita kabla ya kugundulika binadamu ambae alikua na viungo kamili na
miguu iliyosahihi katika kuamua na kufanya mabadiliko katika mazingira yanayomzunguka.
Miaka zaidi ya milioni moja mpaka milioni tano iliyopita ziligundulika taarifa za kuwepo
binadamu katika bara la Africa binadamu huyo alikua akiishi mapangoni na mavazi yake yalikua
yakitumika na familia nzima na ilipokua inatokea kutembea umbali mrefu alilazimika kutumia
miguu na mikono.

Katika zama zilizofuata binadamu huyu alipiga hatua kubwa sana katika muonekano na
kimaendeleo kutokana na mazingira yaliyomzunguka kubadilika pia. Katika zama hizi binadamu
aliweza kugundua moto kwa matumizi yake mbalimbali, Binadamu hawa walianza kuishi katika
kundi kubwa sehemu moja kutokana na kuzaliana hivyo kuongezeka kwa Idadi na mahitaji yake
binafsi.

Kisha zama zikabadilika katika zama za tatu, ambapo binadamu huyu alianza
kugundua zana tofauti zilizoweza kumsaidia kupunguza ugumu wa kazi zake za kila
siku. Katika zama hizi binadamu aligundua chuma kwa ajili ya kukatia vitu
mbalimbali lakini pia kwa ajili ya ulinzi na kuwinda. Binadamu huyu aliweza
kutengeneza makazi ya muda wa kati kwa ajili ya kujihifadhi na maadui na hali
ngumu ya hewa.

Kwa kuwa binadamu huyu aliishi katika mapango alianza kupamba na kuweka
michoro katika mapango alimokua akiishi. Lakini pia alianza kutengeneza zana za
Kilimo kwa ajili ya kulima na kupanda baadhi ya mimea ili kujipatia Chakula na
kuandaa nyama ya kuchoma kwa kutumia zama za mawe na chuma lakini pia
alitengeneza mavazi ya kuvaa,pia alianza kufuga wanyama kwa ajili ya kitoweo.
Katika zama hizi binadamu alibadilika kimuonekano na kiupeo kwa kugundua njia
rahisi zilizompunguzia ugumu wa kazi, kutokana na ugumu wa kazi kupungua pia
aliboresha makazi yaliyomsaidia kudhibiti hali ngumu ya hewa.

Mabadiliko ya binadamu yalienda kasi sana katika zama za mwisho kutokana na


ugunduzi mbalimabli alioufanya. Lakini mabadiliko haya yalikuja haraka sana kwa
sababu binadamu huyu alikua na uwezo wa kuwasiliana kwa ufasaha. Uwezo huu
ulimuwezesha binadamu kurahisisha kazi zake nyingi na kufanya uvumbuzi
mbalimabli kwa kushiriki na kushirikiana katika kutatua chaangamoto
zilizomzunguka.

Mfano ni katika zama hizi ambapo binadamu huyu aliweza kukopa ujuzi na kujifunza
kutatua matatizo mbalimbali kwa kushirikiana na jamii zilizomzunguka na zilizomabli
na mazinigra yake. Hii ilileta maana hasa katika kukusanya taaluma na ujuzi kutoka
sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuvumbua mambo mbalimbali.

Katika taaluma ya mawasiliano tumegawanya maendeleo haya katika zama tano za


mapinduzi ya binadamu katika kuwasiliana ambazo zitatuongoza kuona binadamu
huyu katoka wapi, wapi alipo na wapi anaenda katika taaluma hii ya kupashana
habari.

1. Zama za alama na ishara


2. Zama za kuzungumza na Lugha
3. Zama za Uandishi
4. Zama za kurudufu taarifa (print)
5. Zama za mawasiliano ya umma

mapinduzi ya mawasiliano(3)
1) Zama za alama na ishara (3)

Binadamu wa kale alikua akiwasiliana kama wanayama wanavyowasiliana leo. Alikua


akiwasiliana kwa kutumia lugha ya mwili na kunusa harufu mbalimbali na makelele.
Iliwezekana kufanya hivyo kwa kuwa walikua ni binadamu wachache walioishi
sehemu moja kwa uchache wao.
Mawasiliano ya makelele yalijumuisha kubweka, kuunguruma na kufoka.
Hawakuweza kuongea kwa kuwa walikua na uwezo mdogo wa kuzalisha saurti
kutokana na koo lao la sauti kutokua na uwezo huo. Walikua na uwezo wa kuzalisha
sauti lakini hawakua na uwezo wa kuipangilia katika matamshi sahihi kimawasiliano.
Ugumu wa kutoa na kupokea sauti hizo ulikua mgumu sana kwa nyakati hizo. Katika
zama hizi za ishara na alama uliwawezesha binadamu hawa kuwasiliana mambo
madogo madogo na mawazo yasiyohitaji nguvu kubwa kuelewa. Alama hizi na ishara
sasa zilikuja kubadilika kwa kuongeza lugha ya mwili au lugha ya vitendo. Pamoja na
maendeleo haya kuleta sura mpya katika mawasiliano lakini hikusaidia sana
kuwasiliana na watu waliokua mbali zaidi ya wale waliokua karibu.

Kwa hiyo mawasiliano yalikuwa mepesi kidogo. Ni katika zama hizi Binadamu hawa
walianza kutumia moshi na moto kuwasiliana japo haikurahisisha pia ugumu wa
mawasiliano.

2) Zama za mazungumzo na Lugha.


Katika zama hizi binadamu alianza kuunda zana bora kwa kutumia mawe na chuma.
Pia kwa mala ya kwanza alianza kuchora na kupaka rangi katika mapango yake
alimokua akiishi hii ilikua ni zama bora ya utambuzi na uvumbuzi.

Ni katika zama hizi binadamu aliweza kuchora picha za binadamu na wanyama kwa
kutumia mawe, pembe, mifupa na michoro mbalimbali wenye kuta za mapango
walimokua wakiishi. Miongoni mwa michoro hiyo iliweza kupatikana katika nchi za
dunia ikiwemo ufaransa na Hispania.

Katika kipindi hiki binadamu aliweza kutengeneza nguo zake kwa kutumia ngozi za
wanyama mbalimbali. Lakini pia walitengeneza vyungu kwa kutumia udongo na kwa
kuvikaza kwa kutumia moto. Pamoja na hayo yote jambo kubwa la uvumbuzi katika
zama hizi ilikua uchoraji na upakaji wa rangi katika mapango yao.

Binadamu wa zama hizi alikua na fuvu la kichwa, ulimi na kibox cha sauti kama
alivyo binadamu wa leo. Kwa hiyo matamshi uwezo wa kuongea katika lugha fasaha
kama ilivyo leo inakadiliwa kuwa ni miaka 35,000 mpaka 40,000 iliyopita. Masalia
baadhi yamekutwa katika nchi ya uhoranzi . binadamu wa zama hizi masalia
yanaonyesha alikua na nguvu na ujasiri wa kupambana na hali yake.

Aliweza kuwinda na kutengeneza zana za kumsaidia kuwinda na kulima kwa usahihi


mkubwa sana. Kupitia zama hizi binadamu aliweza kuishi muda mrefu maana aliweza
kujitetea na kujitafutia Chakula kwa kuwinda, kulima na kufuga mifigo mbalimbali
lakini haya yote yalifanikiwa sana kwa kuwa alikua na uwezo wa kuwasiliana.
Uwezo huu ulimuwezesha kupanuan uwezo wake wa kufikili na kupanga mambo.
Ilimsaidia sana kuepukana na ugumu wa maisha na kumfanya aishi vile alivyotaka
iwe kwa nyakati zake.

Ni katika kipindi hiki binadamu aliweza kutumia uwezo wake kuwasiliana na


kustawikuerekea kujitambua zaidi. Walifuga wanyama wengi zaidi. Pia miaka 10,000
iliyopita walianza kulima mazao ya Chakula badala ya kuzunguka kutafuta Chakula
kutoka eneo moja kwenda eneo linguine waliishi katika vyanzo vya maji ili kuzalisha
Chakula kwa urahisi zaidi.

Wakati haya yote yakitokea lugha iliendlea kukua na kustawi zaidi. Binadamu alianza
kwenda maeneo mbalimbali kujifunza lugha tofauti na kukuza lugha zao kupitia
muingiliano wa jamii tofauti.
Walizalisha maneno na tarakimu lakini pia walianza kujiwekea utaratibu wa namna ya
kuishi katika makundi yao hii ilikuza sana lugha zao. Kupitia sheria walizojiwekea
ilipunguza sana binadamu hawa kuzunguka badala yake walianza kujenga makao ya
kudumu katika maneo yao. Kitu cha muhimu katika zama hizi lugha ilikua muhimu na
ilisaidia kubadili namna ya kuishi kutoka katika uwindaji na maisha ya kuzumguka
kutafuta Chakula na kufikia katika hatua kubwa ya kujitambua.

Wakati lugha haipo haikua rahisi ata kidogo kudhibiti mienendo na maisha ya watu
katika mazingira walimokua wak,iishi.

3. Zama za Uandishi (4)


Sehemu ya nne ya makala haya tunazungumzia zama undishi. Ilichukua maelfu ya
miaka kwa mwanadamu kuendelea mpaka kufikia kuzungumza na kutumia lugha.
Baada ya hapo ilichukua makumi machache ya miaka kufikia kuanza kuandika.
Utofauti huu wa muda mfupi unaonyesha ni kiasi gani uwezo wa kuwasiliana
ulivyosaidia kufikia haraka teknolojia ya kuandika kwa haraka sana.

Historia ya maendeleo ya binadamu kufikia kuweza kuandika inaonyesha ilianzia


katika uwezo wa kuchora michoro na kuweka maelezo katika picha hizo. uchoraji ni
uwasilishaji wa wazo kwa kutumia picha na mchoro. Wakati matamshi katika
mmandishi hutumia alama rahisi kwa kutanabaisha alama kupitia sauti mahususi.
- Uchoraji wa michoro
Uchoraji ni njia ya uwasilishaji mawazo na ujumbe au mawasiliano kwa kutumia picha na
mchoro. Picha huwasilisha umbile na mautdhui ya kitu. Hii haisaidii sana katika mawasiliano
kama mtu hatoelewa nini kinakusudiwa. Ata katika dunia ya leo tunatumia maelezo
katika kufafanua mchoro na picha katika magazeti, majarida na vitabu mbalimbali.
Kwa hiyo katika zama za kale ilikua ngumu sana kujua dhamira ya wachoraji hao au
kukutanisha wazo kwa Pamoja kwa muwasiliahaji na mpokeaji wa ujumbe kupitia
michoro hiyo. Kwa hiyo hatua ya kwanza katika kuboresha njia hii ya mawasiliano
kupitia michoro ilikutwa katika mapango na miamba huko Msri. Tunapozungumzia
uboreshaji wa taarifa/mawasiliano tunamaanisha wapokeaji wote kuelewa ujumbe
mahususi kupitia picha na alama mbalimbali katika njia moja. Hii ilirahisisha sana
mawasiliano. Baadhi ya michoro iliyokutwa katika kuta za mapango zilionyesha
michoro ya kuchomoza kwa jua hii ilikua ni ishara ya siku kuanza, mshare na upinde
ishara ya uwindaji.neiform script is the earliest known writing system in the world. Cuneiform
writing
Uandishi wa Irabu na sirabi
Hatua iliyofuata ilikua ni ugunduzi wa uandishi wa irabu na sirabi hii ilkuja baada ya
miaka 1000 baada ya uvumbuzi wa matamshi. Binadamu hawakulizika na zile alama
za kale zilizokua 100 wakapunguza kufikia 26. Maendeleo mengine yalirahisisha
alama hiziyalileta tofauti nyingi sana katika ulimwengu. Wgiriki miaka 500 BK
walizalisha urahisi zaidi wa maandijo ya ugunduzi wa sirabi na irabu kwa kuongeza
irabu tano hivyo wakaongeza irabu tano katika zile sirabi sirabi hizi zilipitishwa na
utawala wa Roma.Warumi wakaweka baadhi ya marekebisho kwa kuweka herufi
kubwa na ndogo katika hizo sirabi zote.

Maendeleo ya maandishi katika vyombo rahisi kubebeka.


Alama za picha na michoro ilipiga hatua nyingne kubwa baada ya wamisri kugundua
uchoraji wa picha hizo katika mawe madogo na kuta ndogo. Ilifika wakati watu
kutoka samaria na misri walitengeneza vipande vidogo vya udongo kwa ajili ya
kucholea.

Faida kubwa yah ii teknologia ni kwamba michoro hii ilikuwa ya kudumu kwa kua
haikua rahisi kuharibu na kubomoa vipande hivyo vya udongo na mawe kwa kuwa
vilitengenezwa vikiwa imara sana. Pamoja na kujitahidi kuviweka katika hali ya
udogo lakini kubeba vipande vya mawe vilivyo andikwa na kuchorwa haikua kazi
rahisi kwa binadamu wa wakati huo.

Ili kuepuka hilo jambo Wamisri wakagundua magome ya miti aina ya papyrus ambayo
ilikua imara na bora kwa ajili ya kubebea maandishi hayo hiyo ilikua miaka 2500 BK.
Pia ilikua rahisi sana kuandika katika karatasi zile kwa kua walitumia manyoya na
wino na iliokoa muda kwa kua kuandika katika karatasi/gome ilikuwa ni rahisi zaidi
kwa kua mwandishi angeweza kulinyoosha na kuandika kwa urahisi.

Utengenezaji wa karatasi kwa mala ya kwanza ulifanyika katika ghuba yam to Nile
baada ya kukutwa miti mingi sana aina ya PAPYRUS. Gome safi lilichunwa kutoka
katika shina la mti huuo na kasha kulazwa chini yakiwa magome mengi kupondwa ili
kuondoa takataka mpaka kutengenezwa moja katika magome mengi.

Magome haya yalisindikwa na kukaushwa kutengeneza karatasi. Watu wa zama hizi


waliokua wameendelea sana kiimani na wasomi wa hali ya juu walihundua kua
katikati ya ganda la mti la juu na mti kuna weupe ambao ni mzuri na ni mlaini sana.

Walikata magome haya na kuyakusanya Pamoja na kuyapiga ili kuyapunguza uzito na


kasha kuyakausha kwa njia hiyo walifanikiwa kutengeneza karatasi. Katika zama hizi
ndio kipindi ambacho mandishi mengi sana yalikusanywa na kuhifadhiwa katika
nyaraka hizi.
Kadili siku zilivyozidi kusonga jamii nyingi zilianza kuboresha namna ya karatasi
walizokua wakitumia kuandikia.haya yote yalisaidia sana uzalishaji wa karatasi
zilizosaidia urahisi wa kutunza maandishi yaliyokua yakiandikwa na watu wa zama
hizi.
Religious doctrines and scriptures could be easily recorded. Observations of nature
and natural calamities, successful treatment of diseases and many such important
things could be recorded.
Human mind was now freed from the burdensome task of having to remember
entire cultures and reproduce them through memory. The human mind could now
concentrate on more productive ventures.
The Era of Print
Printing was one of the greatest human accomplishments in the field of
communication after the development of language and writing. The earliest attempt
at printing involved preparing printing plates by carving wooden blocks, stone
tablets, or metal plates. The text matter and other matter to be printed were
transformed into a raised and reverse format. This was done to facilitate transfer of
ink from the raised surface. Later it became known as ‘relief printing’. All these
activities including engraving, inking, and transforming the images on to paper
were done by hand. This manual practice was time-consuming, laborious, and
prone to errors. Also the end result was not of good quality. More number of
copies could not be printed. Also not much
works could be done by this method.
By the fifteenth century, many parts of the
world had developed technology for producing
paper and ink along with a technique for
printing manually. The biggest change came in
the middle part of the fifteenth century and
Johann Guttenberg; a goldsmith from
Germany was the moving force behind this
revolution. He is credited with the two important
developments, movable types, and mechanical
printing press.
Guttenberg experimented for years before he came up with square shaped metal
castings bearing individual alphabets on them. These alphabets were raised and in
reverse. This way originated readymade movable types and all was needed as to
arrange the ready-made types in the required sequence.
Edited with the trial version of
Foxit Advanced PDF Editor
To remove this notice, visit:
www.foxitsoftware.com/shopping

History & Industry of Mass Communication


17
The other invention of Guttenberg was the mechanical printing press. He was
inspired by the juice-making machine, which was being operated by his wife. He
developed a machine that had two platforms, a mobile one for the plate of type or
image plate and one stationary one for the paper.
Other modifications included a process for inking and finally a mechanism for
bringing the two surfaces together for the transfer of images. Using his two
inventions, Guttenberg printed an elaborated decorated book, ’42-line Bible’. It is
one of the finest examples of the printer’s art ever produced. Sadly, he never got
anything out of his 20 years long passionate mission and died in poverty some ten
years after inventing what was perhaps the biggest invention after the wheel.
Spread of literacy
The beginning of the sixteenth century saw thousands of books being published in
great numbers. From religious books to educational books, printing finally led to
newspapers. And by the eighteenth century, newspaper had become a powerful
tool of communication. The greatest effect of printing was:
1. Expression of knowledge covering a broad range of ideas and feelings
2. Permanence of records
3. Swiftness, and
4. Diffusion of information to all classes of people
The Era of Mass Communication
Printing started a new era of communication as people around the world got to
know about developments in other parts of the world. This led to new inventions
and discoveries. By mid-nineteenth century, telegraphy was invented. Though it
was not a means of mass communication, it was indeed a great initiation, which
resulted in the development of radio and television broadcasting technologies.
Motion pictures made their way in the end of the 19 th century. The 20th century
began with cinema becoming accepted as a medium of entertainment. Radio
broadcasting began in 1920 and two decades later, in 1940, came the television.
While radio and television were spreading all over the world, new media were
being invented. Cable TV, VCR, etc. followed soon. Satellite technology, which
was developed much earlier, was used for weather forecast, etc, was now being
used for broadcasting. This gave birth to the concept of satellite radio and satellite
television. Next came the computers, which were initially used for calculating and
Edited with the trial version of
Foxit Advanced PDF Editor
To remove this notice, visit:
www.foxitsoftware.com/shopping

History & Industry of Mass Communication


18
computing. Soon satellites and computers were brought together to form a network
connecting people all over the world. The international network or Internet with its
world wide web WWW has finally turned the world into a glo

You might also like