Professional Documents
Culture Documents
Taarifa Ya Caucus Ya Wabunge Wa CCM
Taarifa Ya Caucus Ya Wabunge Wa CCM
1
Baada ya agizo la Mheshimiwa Spika, Katibu wa Bunge
alielekezwa kuandaa hati ya kumuita CAG ili afike mbele ya
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge tarehe 21
Januari, 2019. Wito huo ulitolewa chini ya kifungu cha 15 cha
Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za Bunge, Sura ya 296 [The
Parliamentary Immunities, Powers and Privileges Act, CAP. 296
R.E. 2015] ambacho kinaeleza kuwa Kamati inayo mamlaka ya
kumwita mtu yeyote kufika mbele yake na kutoa maelezo au
ushahidi wa jambo lolote lililotokea.
2
Watanzania, kama CAG mwenyewe alivyoeleza kwenye taarifa
yake kwa vyombo vya habari tarehe 17 Januari, 2019.
Aidha, tunapenda kutumia fursa hii kumpongeza Mheshimiwa
Spika kwa jitihada zake za kulinda heshima ya Mhimili wa
Bunge kwa kusimamia Sheria ya Kinga, Madaraka na Haki za
Bunge.
-------------------------------
Jasson Samson Rweikiza (Mb)
KATIBU WA WABUNGE WA CCM
19 Januari 2019