Professional Documents
Culture Documents
Rais Magufuli Azindua Ghala Na Mitambo Ya Gesi Ya Taifa Gas Tanzania Limited
Rais Magufuli Azindua Ghala Na Mitambo Ya Gesi Ya Taifa Gas Tanzania Limited
1
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa Gas Tanzania Limited Bw.
Rostam Azizi amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuweka
na kusimamia mazingira yenye usawa kwa wafanyabiashara
na wawekezaji wote na kwamba kutokana na mazingira
mazuri ya kufanyia biashara anatarajia kuongeza uwekezaji
wa miradi mingine yenye thamani ya shilingi Bilioni 500
katika miaka 3 ijayo.
2
7,318 hivi sasa na kwa kuhakikisha matatizo ya kukatika
umeme yaliyokuwepo awali yanapungua kwa kiasi kikubwa.
3
ufisadi, Serikali inasubiri Mamlaka husika ikiwemo NSSF na
wananchi kutoa maoni ya nini kifanyike.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
25 Juni, 2019