Professional Documents
Culture Documents
Waraka Wa JK Na. 4 Wa 2019 - Kuhusu Matakwa Ya Kuzingatia Sheria
Waraka Wa JK Na. 4 Wa 2019 - Kuhusu Matakwa Ya Kuzingatia Sheria
Waraka Wa JK Na. 4 Wa 2019 - Kuhusu Matakwa Ya Kuzingatia Sheria
22 Barabara ya Kivukoni,
S.L.P 9004,
DAR ES SALAAM
Page 1 of 4
b) Uandikishaji wa maelezo ya mlalamikaji na haki ya
mtuhumiwa/mshitakiwa kupata maelezo ya mlalamikaji pamoja na
hati ya mashtaka pale kesi inapofunguliwa mahakamani;
c) Uandikishaji wa maelezo ya mashahidi rnballmball wa mashtaka na
yale ya washtakiwa;
d) Utaratibu wa kutolewa kwa dhamana polisi kwa makosa
yanayodhaminika pale ambapo polisi hawajakamilisha upelelezi;
e) Utaratibu wa kutolewa kwa dhamana mahakamani kwa makosa
yanayodhamika kwa kufuata vigezo vya ki-sheria baada ya
mtuhumiwa kufikishwa mahakamani; , I
Page 2 of 4
Sambamba na hatua hiyo, vipo vikao vya Jukwaa la Haki -Jinai na vile
vya kusukuma kesi ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambavyo ni nyenzo za
.
kuziwezesha Mamlaka zinazohusika na utoaji wa Haki-Jinai kutatua
changamoto zinazojitokeza katika ngazi mbalimbali katika nchi yetu.
Mtendaji,
Mahakama Kuu ya Tanzania,
DAR ES SALAAM
Page 4 of 4