Professional Documents
Culture Documents
4 5843790377621915736 PDF
4 5843790377621915736 PDF
JIKOMBOE KIUCHUMI
&
UJASIRIAMALI
~ ii ~
©July 2018
TOLEO LA KWANZA
Kimechapishwa na:
KAS PRINTERS
Dar es Salaam
Contacts: 0653 409 946
kassolutionstz@gmail.com
~ iii ~
YALIYOMO
TABARUKU ..............................................................................vi
DIBAJI .....................................................................................vii
SHUKRANI ............................................................................. viii
*SURA O1* ............................................................................ 1
UTANGULIZI .......................................................................... 1
Kanuni 12 Za Kuwa Mjasiriamali: ........................................ 2
Kwa Nini Uwe Mjasiriamali? ............................................. 14
*SURA YA 02* ..................................................................... 16
KANUNI ZA KUPATA MTAJI .................................................. 17
Kanuni nane (7) bora za kupata mtaji: .............................. 20
Namna Ya Kuona Fursa Na Kutumia Hiyo FursA ............... 27
Kanuni Tano (5) Ya Namna Ya Kuiona Fursa ..................... 29
*SURA YA 03* ..................................................................... 34
KANUNI ZA KUTENGENEZA SABUNI .................................... 34
Sabuni Ya Majivu: .............................................................. 34
Sabuni Ya Urembo: ........................................................... 35
Sabuni Ya Manukato: ........................................................ 37
Sabuni Ya Asali Au Cream ................................................. 37
Sabuni Ya Kipande/ Mche ................................................. 39
Sabuni Ya Magadi (Gwanji) ............................................... 40
Sabuni Ya Kusafishia Vyoo, Masinki, Na Tiles: .................. 41
~ iv ~
Sabuni Ya Maji ................................................................... 43
Sabuni Ya Unga ................................................................. 45
Sabuni Ngumu: .................................................................. 47
Sabuni Ya Rangi Kwa Kutumia Vitu Asilia:......................... 48
Cream Ya Kunyolewa ........................................................ 49
*SURA 04* ........................................................................... 50
UTENGENEZAJI WA MISHUMAA/SHAMPOO ...................... 50
Utengenezaji Wa Mishumaa ............................................. 50
Utengenezaji Wa Shapooo:............................................... 53
*SURA YA 05* ..................................................................... 56
JINSI KUTENGENEZA UBUYU WA ZANZIBAR ...................... 56
Jinsi Ya Kutengeneza Karanga Za Mayai ........................... 57
*SURA YA 06* ..................................................................... 59
MPANGO BIASHARA NA UJASIRIMALI (BUSSNES
PLANNING) .......................................................................... 60
SURA YA 07 ........................................................................... 69
*HITIMISHO* ........................................................................ 69
USHAURI KUTOKA KWA MWANDISHI:.............................. 69
MAANA YA MANENO YALIYOTUMIKA: ............................. 72
REJEA MBALIMBALI: .......................................................... 75
~v~
TABARUKU
Maalumu kwa wenye nia na shauku ya kubadilika
kimtazamo na fikra na kuondokana na maisha ya kuwa
tengemezi. Katika ajira kwa kuajiriwa pekee bali
unaweza kujiari kwa ujasiriamali. Inawahusu watu wote,
wanaotamani kuyabadili maisha yaokwa kujiunga na
ulimwengu wa ujasiriamali, au kuongeza ujuzi na
maarifa katika ujasiriamali.
“Maisha haya jitoshelezi kwa kitu kimoja mpaka
yatoshelezwe”
(Shughuli zote afanyazo mwanadamu ni biashara,
lakini siyo kila shughuli ni ujasiriamali")
Peter a. Paul mwandishi, kitabu, mifereji 7 ya pesa.
~ vi ~
DIBAJI
Kujiamini,
Kujifunza,
Kujituma,
Kuwa mvumilivu.
@ Jacob Mushi
Mwandishi namjasiriamali.
Mwanzilishi wa Usiishie Njiani.
~ vii ~
SHUKRANI
N
amshukuru Mungu kwa mafunzo ya
MJASIRIAMALI KWANZA na Dr. Didas
Lunyungu niliyo udhuria na kujifunza mwaka
2012 katika ukumbi wa Dar Live Mbagala
Temeke jijini Dar es salaam. Namshukuru Mungu
kwa kunipa ufahamu kwa kujifunza kutoka kwa watu
mbalimbali ambao wanafanya maswala ya ujasiriliamali, na
wamefanikiwa kwa hali ya viwango. Pia kwa nafasi ya pekee
napenda kuwashukuru watu wote ambao wamefanya kazi ya
maandalizi yote hadi kufanikisha kitabu hiki kukamilika.
~ viii ~
*SURA O1*
UTANGULIZI
M
jasiriamali ni mtu yeyote ambaye yupo
kwa ajili ya kutatua matatizo ya watu
wengine kwa nia ya kukidhi na kuweza
kujipatia kipato. Mfano muuza mkaa wa
mafungu mtaani yupo kwa lengo la kumtatulia tatizo
Yule ambaye hana kipato cha kununua mkaa wa
magunia.
Ujasiriamaliniuwezo wakukubali kuingia katika biashara,
kumiliki na kusimamia jambo kwa ujasiri.Ujasiriamali
unahusu utafutaji, ushawishina uendeshaji wa shughuli
yako, kibiashara kwalengo la kupata faida. (By Mwalimu
Ngunda).
~1~
“Huwezi kuvuka bahari kama huna ujasiri wa kuacha kuona
ufukwe.”….Christopher Columbus
~2~
02. Kuwa na maono na malengo:
“Vipimovikilegeauboraunapungua”….. (Mwl
Emmanuel Makwaya)
~3~
ubora wa bidhaa yako inapungua. Ukijikuta huna wateja na
kuanza lalamika jibu hapo ni rahisi kwa sababu bidhaa yako
haina ubora.
Sukari umepunja
Viungo ulivyoweka havisikiki
Pakeji yako ni ndogo
~4~
Fanya katika hali ya ubora, kama ni vifungashio
tafuta vya viwango vya ushawishi.
Usiangaliye kupata faida kubwa sana na ikakupelekea
kuiandaa bidhaa yakokatika viwango hafifu.
Siku zote fikiria Ubora, usipofanya hivyo itaku
gharimu. (Think quality it pay not quality it
cost)ikiwa na maana kufikiria ubora inalipa la!
Usipofikiri itakugharimu.
~5~
kuzingatia vipo vikundi mbalimbali katika maswala yanayo
husu ujasiriamali. Mfano TUMAIN JIPYA
GROUP.(NewHope Interpreurship Group (NEHI).
Inawezekana likawepo au lisiwepo, lakini nimetolea mfano.
Katika Group (kikundi) lazima wana kikundi wawe na
mawazo yanayoendana. (Mlandano wa mawazo). Huku
wakinena maoja na kukubaliana kwa kilajambo. Akiwepo
hata mmoja ambaye mawazo yake, na utendaji kazi wake ni
tofauti na kundi zima huyo siyo wakuendelea kuwepo kwenye
kundi. Otherwise (vinginevyo) atakuwa mrudishanyuma
malengo ya kikundi. Kama mawazo yake ni ya msingi na
utendajikazi wake ni watofautilakinini katika hali ya kuleta
utoauti chanya wenye mafanikio huyo anafaa zaidi, pengine
kuliko kundi nzima.
~6~
6. Weka vipaumbele
~7~
“Uzoefu ni kufanya makosa na kujifunza kutokana na
makosa hayo”Bill Ackman
~8~
“Unaweza ukawa unajua lakini hufahamu, na ukawa
unafahamu, lakini hujui” mambo mengi amabyo wakati
mwingine unatamani kuyajua yahusuyo biashara na
ujasiriamali ingawaje unayafahamu vizuri. Kuna haja ya
kujifunza. Ndio maana kunawakati mtu ujitoa kwa namna ya
yoyote hili mradi hayapate mafunzo ili yakapate kumsaidi na
kumfaaa katika kujikomboa kimaisha. Ufahamu ni pale
kujiona kila kitu unakijua. Unaweza ukawa na stashahada au
shahada, ya maswala yanayohusu uchumi na ujasiriamali hapa
unaweza ukawa na maarifa ya maandishilakini siyo vya
vitendo. Chukua nafasi yakujifunza sasa kwavitendo.
Utayari wa mtu
Gharama ya kifedha
Kujitoa katika muda,
Bidii na uwajibikaji,
Shauku na nia ya dhati kutaka kujua,
~9~
“Unaweza ukawa na elimu na usiwe na maarifa na
unaweza kuwa na maarifa na usiwe na elimu”…. Mwalimu
Christopher Mwakasege
~ 10 ~
Moja kati ya kitu muhimu nikufanikiwa kufanya kilakitu
katika muda. Ratiba ya siku nzima, mpangilio wa vitu
vya kufanya nk. Tuone ratiba yake ikoje:
Ana amka saa kumi na moja kamili,
Anasali,
Saa kumi na mbili kasoro anakwenda ofisini,
sababu kubwa kuepuka foleni za barabarani na
kumwezesha kufika mapema.
Saa kumi na mbili kamili hadi saa moja na
nusu,anapitia email mbalimbali zaidi ya 500-
600, kupata kujua kinacho endelea kutokana kile
anachofanya (processing products) uzalishaji
bidhaa, mfano mahidi, sukari, kokoa, mafuta
mbolea, nk.
Saa moja na nusu anamaliza kusoma email, na
saa moja na nusu – saa saba anafanya mikutano
na bodi zake, kupanga bajeti, faida, hasara na
kufunga mahesabu.
Saa saba anapanda gari kwenda Gymu (mazoezi)
kwenye gari anasoma magazeti takribani 10 ya
siasa sababu yeye pia ni mwanasiasa.
Saa nane kamili hadi na robo anapata chakula
chamchana.
Saa nane na robo anarudi ofisini hadi usiku saa
tatu saa nne kulingana na siku hiyo.
Vipi wewe ratiba yako ikoje kwa siku? Unasoma kurasa
ngapi kutokana na unachofanya, unachotaka kukifanya
(vitabu, magazeti, email nk)? Jichunguze kisha anza leo
kufanya kila kitu katika muda.
Kwenda na muda + Unachofanya = Mafanikio makubwa
~ 11 ~
“Muda mzuri wa kupanda mti ni miaka 20 iliyopita.
Lakini muda mwingine mzuri wa pili ni sasa.”
Chinese Proverb.
~ 12 ~
Kuna watu wamevikatia tamaa vitufulani kwa kutovifanya
tena kutokana na matatizo waliyo kumbana nayo kipindi cha
nyuma. Ukiwa utaka kuwa mjasiriamali au kuendelea katika
ujasiriamali futa dhana ya kukata tamaa maishani mwako
kwanza.
(Helen Keller)
12. Uthubutu:
“Unashindwa kufanya vitu, kuanzisha, kutekeleza sio
Kama huwezi au kinashindikana”. Kwa vile hujaamua
tukuchukua hatua na kuthubutu. Ukitaka kuwa mjasiriamali
au kufanikiwa katika kila ulifanyalo kwa kupitia kanunina za
mafanikio na hii ni muhimu zaidi ya uthubutu. Acha kuwa
mtu wa kuongea tu bali kuwa mtu wa vitendo zaidi.
~ 13 ~
vitendo zaidi. Nilivutia sana na hiki kitu. Mwandishi wa
kitabu cha NGUVU YA UTHUBUTU. (AminaSanga) yeye
anaamini kuwa kwa kila jambo ili ulifanikishe ujasiriamali,
elimu, nk cha kwanza ni kuthubu. Nilijifunza na kupata
kuongeza kitu ndani yangu.
~ 14 ~
(1) Utakusaidia kuepukana na maisha ya kuwa
tegemezi:
Kuliko kutegemea wazazi kama ni kijana binti, kaka,
kuliko kutegemea kila mwisho wa mwezi upange
foleni, mikopo, kuombaomba msaada kwa ndungu
(ndugu nao watakuchoka).
Unaweza ukayaendesha maisha yako bila stress
(mawazo) na kufanikiwa kwa viwago kupita kile
unachofanya (ujasiriamali).
~ 15 ~
*********************
~ 16 ~
*SURA YA 02*
M
taji siyo kigezo cha kukufanya kushidwa
kutimiza malengo ya kufanya biashara yako. Hila
ninamna ya kufanya (kanuni) ili upate mtaji.
Moja kati ya changamoto kubwa iliyopo katika
swala zima la kuanzisha biashara au ujasiriamali
wowote ule nimtaji. Pengine hata wewe ambae unaendelea
kusoma kitabu hiki, usijali habari jema ni kwamba “Nothing
is impossible if you make it to be impossible will be” ikiwa na
maana hakuna kinachoshindikana hila ukikifanya
kishindikane kitashindikana tu.
~ 17 ~
Biashara ya kutafuta masoko kwa njia ya mtandao, na
kutumia pesa ya mteja (network bussines) kufanyanae
biashara (pressing order) kwa kuweka bili.
Ukikaa na kutulia utagudua biashara zingine nyingi ambazo
eidha zikawa zinaitaji mtaji mdogo sana au zisihitaji hata
mtaji (lakini isiwe biashara ambayo siyo ya halali).
Swala la mtaji limekuwa kilio kwa kila mwenye nia ya
kuendesha biashara na wenye malengo na mipango mingi
lakini tatizo ni mtaji.
~ 18 ~
Unajifunza nini?
Mtu wa 02:
Naye hakusita kwa shilingi 5000/= ya mtaji aliokuwa nao
aliamua kuufanyia biashara ambaye anaijua mhusika na
ikamzalishia faida ya shilingi 5000/=
Mtu 03:
Hakuona thamani ya mtaji aliokuwa nao, mosi pepingine
aliuona ni mdogo sana. Pili inawezekana hakuona shilingi
1000/= hafanyie kitu gani? Maamuzi ambayo uenda
aliyafanya
Alifukia shilingi shimoni kwa akili kwamba
itajizaa.
Alinunulia vocha
Au kufanyia matumizi yeyote mengine
Aliigawa nakadharika (n.k)
~ 19 ~
Kila mfanya biashara kubwa ambae unamwona kuna namna
ambavyo yeye alianza. Daktari nguli na bigwa wamaswala
ya Biashara na uchumi Dr. David J. Schwartzaliwahi
kusema safari ndefu inaanzishwa na hatua moja (The longest
journey begins with one step).Hatua ya kwanza katika
biashara nikuwa na wazo la biashara, pili namna ya kupata
mtaji na namna ya kukuza huo mtaji.
~ 20 ~
Majibu yote ya maswali hayo juu yatakupa picha ya namna
gani ya kufikirisha AKILI kupata mtaji. Twende kwenye
kanuni za namna ya kupata mtaji.
01 WATU:
Kuna biashara hazitaji kuumiza akili sana bali zinahitaji tu
kufahamiana na watu.
“Watu ndio mtaji wako wa kwanza”. Walengwa wako wa
kwanza katika bidhaa yako ni watu, pia walengwa wa kwanza
kukufanikisha kupata mtaji ni watu.Kivipiau kwa namna ipi?
Kuna namna mbayo unaweza kujipatia mtaji kupitia mtu.
Mfanokama ni kijana na lengo lako ni kuja kumiliki pikipiki
nyingi kwa ajili ya biashara ya bodaboda. Kule kufamihana
nammiliki wa pikipiki (Tajiri) na kuweza kuwekeana mkataba
au maafikiano (Sign of agreement). Kwa fedha ambayo
utalipwa ndani ya mwaka mmoja au miwili unauwezo
kumiliki pikipiki yako.
Pia kule kuishi na watu vizuri na kufamihana nao kwa ukaribu
(build the strong relationship with others). “Ikiwa na maana
moja kati ya vitu muhimu katika kuhusiana na watu ni
kujenga uhusiano imara na watu wengine,” pindi uendapo na
wazo la biashara na ukionyesha hali ya uhitaji na kwa
kuwashirikisha kukusuport (yani wa kusaidie) ni rahisi pia
wao kuonyesha moyo wa mwitikio.
Hapa ndipo ule msemo wa“Watu ni azina ya kila kitu”
utapotimia. Ishi na watu uvae viatu.
“Ulipoleo nikutokana na watu ambao walikubeba walioko
nyuma kukufikisha hadi hapo” kiwango cha ulivyo ni
kutokana na matokeo yaliyokubeba na wewe mbebwaji. Kuna
wakati pengine ulibebwa lakini hukubebeka, fikiri kwa upya.”
~ 21 ~
NB: Siyo kila mtu au watu wanaweza kukusaidia (supportors)
waleambao kiuhalisia hata ukiwaendea hawezi kuacha
kukusaidia hao chunga usijewapoteza. Pia wakati mwingine
uwezi jua nani wakukusaidia jaribu kwa kila unayeweza.
Kikubwa usichoke, kukata tamaa nk.
~ 23 ~
04 MICHANGO KUTOKA KWA NDUGU AU JAMAA:
Je una mahusiano mazuri na ndugu na jamaa ambao
wanakuzunguka? Kwani mahusiano ndiyo msingi wa mambo
mengine yote kuendelea kutokea na kutendeka. Wazo lako la
biashara unaweza kulifanikisha kupitia (support) msaada
kutoka kwa ndugu au marafiki. Hakuna ndugu asiyependa
maendelea labda yule tu asiyetaka maendeleo yako.
Washirikishe wazo lako au malengo yako ya juu ya kile
unachotaka kukifanya, washirikishe changamoto yako ya juu
ya kupata mtaji, na wakiwa waelewa wataonyesha ushirikiano
wao pamoja na wewe. Kingine ambacho wengi ukosea ni kule
kuto jenga mahusiano na ndugu na jamaa mapema, ndio
maana nilianza kwa kukuuliza swali, je ni vyema
kumkumbuka mtu wakati wa shida au uhitaji? Nijambo
ambalo siojema. Pia kumbuka ya kuwa sio kila ndugu au
jamaa wanaweza kukusaidia, wapo ambao wao hawependi
kuona unasonga mbele au kufanikiwa kama wao. Mwombe
Mungu akuonyeshe ndugu na jamaa sahihi ambao
watakusaidia, kulifanikisha kusudi lako.
~ 24 ~
kuona kanuni za kupata mtaji zote zimeshindikana unaweza
kufanya hivyo ukiwa na malengo ndani yake.
“Kuuza kitu chochote na ukiwa huna lengo la kukirudisha,
utakuwa wajiona unaenda mbele kumbe huko palepale”
(unapiga marktime).linus s.
~ 25 ~
07FEDHA ZA MKOPO KUTOKA TASISI/ SHIRIKA LA
BANK:
Kuna Bank na mashirika mbalimbali (Micro finance),
ambayo yana toa mikopo, dhana kubwa ya watu
kushindwa kuchukua mikopo ni juu ya mashariti
yaliyopo katika upatikanaji wa mkopo. Kingine kuogopa
kuja kushidwa kurejesha, mkopo ni kanuni kuu ya
kukuwezesha kutatua tatizolako la mtaji, ikiwa kanuni
zingine zote zimeshindikana. Chukua mkopo ukiwa na
lengo la kufanyia biashara kweli na plans (mipango)
mikakati ya namna ya kuzalisha faida na kurejesha
mkopo uliochukua. Tatizo linakuja mtu anachukua
mkopo akiwa bado hana mpango mkakati wowote
kuhusu anachotaka kukifanyia na namna atakavyofanya
kukuza na kuzalisha faida kubwa. Mwisho anajikuta
anafanya biashara ambayo mosi inaweza kuwa na faida
kubwa lakini mzunguko wake wa pesa ni wa taratibu, au
akachukua mkopo na kuanzisha biashara katika eneo au
mazingira ambayo bidhaa hiyo inafanywa na wengi au
wahitaji ni wa chache na mwisho wa siku hujikuta
anapata hasara kubwa na kushindwa kurejesha fedha
aliyokopa na kubakiwa anadaiwa. Kila kitu kina faida
yake na hasara yake, hivyo swala la mkopo linafaida
yake na hasara yake pia. Kuwa na malengo mapana na
mahususi kabla ya kuchukua mkopo,
~ 26 ~
huku hajui aendako ni wapi. Hawezi kuleta maendeleo,
binafsi, jamii, na Taifa. Na akitaka kupona katika eneo
hili cha kwanza:
Awe mtu wa kuheshimu wazo la kwanza,
Awe na msimamo na malengo yake,
Asiwe mtu wa kuiishia njiani,
Awe na mipango na mikakati
Aheshimu kila fedha inayopita mkoni mwake,
~ 28 ~
*KANUNI TANO (5) YA NAMNA YA KUIONA
FURSA*
~ 29 ~
Muhimu yafanyie kazi yatakutengenezea mianya
mikubwa katika kufanikiwa na kukipata ambacho
haukuwa nacho, na kukiongeza ubora zaidi ulichokuwa
nacho. Kumbuka kuwa kila umwonae anafanya kitu
fulani jua ya kuwa lazima awe amejifunza au kupitia
kujifunza ndio maana akitenda kwa ufanisi kile
akitenacho.
Kupitia changamoto:
Ukiona kile ambacho wengi wanakisumbukia kukipata
kiurahisi, yawezekana ikawa mtaa unao kaa, shuleni,
chuoni, ofisi au mahali popote ulipo. Jua hii ni
changamoto na ukiweza kuipatia suluhisho kwa
kurahisisha huo upatikanaji wa uhitaji wawengi wa watu.
Mfano upatikana wa maji, utapochukua hatua ya na
kuamua kutafuta yafuatayo:
Sim tank na kulijaza na kuanza kuuza maji,
Kutafuta magurudumu na kuajili vijana wa
kusambaza maji mtaani,
Kuchiba kisima na kufunga mota ya kuvutia
maji,
Kwa kuona tatizo hili utakuwa umetatua lakini kubwa
utakuwa umejitengenezea kipato.
Uwezo ulionao:
Mungu ni mgawa talanta na vipawa mbalimbali ndani ya
kila mwanadau, ndani yako kuna kitu ngani ambacho
unaweza kukifanya?
Kipaji ulicho nacho,
Ujuzi uliojifunza au kuzaliwa nao,
Maarifa ndani yako,
Ukiona ndani yako kuna kitu cha ziada na cha kipekee
mbali na elimu ya darasani anza na hicho kwanza.
Tumiakwa juhudi, na manufaa chanya tunu uliyonayo
~ 30 ~
ilikuyafanya maisha yaendelee. Kuna mtu moja anaitwa
Arthur yeye anasea hivi:
“Start where your, use what you have, do what you can”
akiwa na maana ya kuwa anzia hapo ulipo, tumia
ulivyonavyo, fanya unachoweza au uwezavyo.
Hapa tunajifunza kitu muhimu sana kutoka kwa Bwana
Athur, kuna ambao wanavyo vitu lakini hawaoni kama
kwa vichache walivyo navyo na sehemu walipo
wanaweza kuvitumia na kuleta badiliko. Leo fanya hivyo
na wewe usisubiri mpaka iwe hali shwari, uwe eneo,
mkoa fulani ndipo uweze kufanya ambacho unatamani
kukifanya.
Mkusanyiko wa watu:
~ 31 ~
4. Shughuli mbalimbali za wanafunzi, mfano
mahafari ya kuhitimu, makongamano, na
kambi mbalimbali za wanafunzi.
~ 32 ~
Pima kila wazo na ambalo la muhimu lifanyie
kazi kwa haraka,
Fanyia mchakato kile ambacho unaonyeshwa
ukiona chakufaa.
~ 33 ~
*SURA YA 03*
SABUNI YA MAJIVU:
Utengenezaji wa sabuni hii inahitaji juhudi na umakini
mkubwa kwa mtengenezaji.
Jinsi ya kutengeneza:
Hatua ya 1
Kusanya maganda ya ndizi, magogo ya mipapai, maganda ya
mbegu za kakao, kausha vitu hivi kwenye jiko la jua hadi
vikauke, kama huna jiko la jua vikaushe juani.
Hatua ya 2
Vichome hadi kupata jivu, pia unaweza kutumia jivu
la kuni au karatasi ambazo hazijaandikwa na sii jivu
la plastiki au vitu visivyo vya asili.
Kusanya majivu na uyapima kwenye ndoo ya lita 10.
Tumia ndoo yenye ujazo wa lita 20, ongeza lita 15 za
maji ya moto na Korogavizuri, baada ya dakika 10,
chuja kwa kutumia kitambaa, Kumbuka wakati wote
kutumia ndoo ya plastiki au chombo cha mfinyanzi.
~ 34 ~
Ongeza maji ya moto lita 5 kwenye majivu yaliyobaki
endelea kukoroga kwa dakika 10 halafu chuja tena.
Weka pamoja vile vyote ulivyochuja kwenye chombo
cha mfinyanzi kama utatumia chombo cha metali
kitaharibika.
Hatua ya 3
Chemsha majivu ya kuni vizuri kilo sita na uchanganye na
maji lita 4. Korogakwa pamoja kwa dakika kumi kisha
yarudishe tena kwenye moto. Chemshakwa muda wa dakika
thelathini na uepue ili yapoe.
Hatua ya 4;
Hatua ya 5
SABUNI YA UREMBO:
Mahitaji :
i. Mafuta ya mbogamboga/ mawese lita 8
ii. Maji lita 5.
iii. Sodium hydroxide {NaOH}lita 1
~ 35 ~
Jinsi ya kuchanganya
Hatua ya 1
Pima maji lita 5, ongeza sodium hydroxide {NaOH} lita 1,
koroga mchanganyiko huo na uache hadi joto lake lipungue.
Hatua ya 2
Ongeza mafuta lita 8 kwenye mchanganyiko wako huku
ukikoroga bila kusita kwa muda usiopungua dakika 60, ili
kuutambua kama mchanganyiko wako umekuwa tayari utaona
umekuwa laini.
Hatua ya 3
Mimina kwenye trea au vifyatulio, kabla sabuni
haijawa ngumu unaweza kukata kwa maumbo
unayotaka au kutia urembo, jina kwenye sabuni huu
ndio wakati muafaka.
Maji lita5
Sodium
Hydroxide (NaoH)
Mafuta lita 8
~ 36 ~
SABUNI YA MANUKATO:
Sabuni hii inakuwa imesheheni manukato ya aina mbalimbali
ambayo mtengenezaji anakuwa ametumia katika utengenezaji.
Mahitaji
Unga wa sabuni iliyotengenezwa na kuwa tayari
zaidi ya majuma (wiki) 8
Maji
Jinsi ya kutengeneza
Hatua ya 1
Saga sabuni iliyotengenezwa muda mrefu kupata unga.
Pima kg (kipimo) 8 vya unga wa sabuni, ongeza maji lita 2 na
yeyusha kwenye joto la kadiri ukikoroga hadi utakapo
changanyika vizuri.
Hatua ya 2
Ongeza matone mawili ama matatu ya marashi halafu
mimina kwenye vifyatulio.
jinsi ya kuchanganya
Hatua ya 1
Pima maji lita 5, ongeza sodium hydroxide {NaOH} lita 1,
koroga mchanganyiko huo na uache hadi joto lake lipungue.
~ 37 ~
Hatua ya 2
Ongeza mafuta lita 8 kwenye mchanganyiko wako huku
ukikoroga bila kusita kwa muda usiopungua dakika 60, ili
kuutambua kama mchanganyiko wako umekuwa tayari utaona
umekuwa laini.
Hatua ya 3
Weka asali lita 1 kwenye mchanganyiko wako hapo juu na
kisha koronga ili asali ichanganyike
Hatua ya 4
Mimina kwenye trea au vifyatulio, kabla sabuni
haijawa ngumu unaweza kukata kwa maumbo
unayotaka au kutia urembo, jina kwenye sabuni huu
ndio wakati muafaka.
hifadhi sabuni mahali penye mwanga na penye kivuli,
ni lazima sabuni ikae majuma (siku)8 hadi 12 au
ianikwe kwenye jiko la jua kwa majuma(wiki) 3 hadi
4 kabla ya kutumika.
Maji lita 5
Sodium hydroxide
Lita 1
Mafuta lita 8
Koroga dk 60
Asali lita
~ 38 ~
5. SABUNI YA KIPANDE/ MCHE
Sabuni hii inaitaji vitu vifuatavyo wakati wa utengenezaji
wake
Mahitaji
Caustic soda kg1
Mafuta lita 5 au 10
Mawese
Nazi
Nyonyo
Mbosa
Glycerin 1 4
Chumvi 1 4 kg
Rangi 1 kijiko cha chai
Maji 5lita
Slesi vijiko 5
Sodium silicate vijiko 4-5 vya chakula
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 1.
Chukua Caustic soda kg 1 changanya na maji lita 5
(koroga kwa daki 3) acha siku 3ili ipoe vizuri.
N.B chombo kisiwe cha plastic.
Hatua 2
Chemsha mafuta hadi yaivehii unaweza kutambua
kwa kutumbukiza karatasi nyeupe ikitoka nyeupe
kama ilivyo basi mafuta yako yapo tayari. Pia
unaweza kutumia hydrogen peroxide kuondoa
rangi ya mafuta.
Acha yapoe
Hatua 3
Chukua mchanganyiko wako wa caustic soda ulioifadhi
kwa siku 4 changanya na mafuta uliochemsha. Mafuta
yanayotumika ni moja wapo kati ya yale yaliyo
oredheshwa hapo juu.
Hatua 4
Changanya mchanyiko wako hapo juu pamoja na hivi:
~ 39 ~
Glycerin 1 4
Chumvi 1 4Kg
Rangi 1kijiko cha cha chakula
Perfume 1kijiko cha chakula
Sodium silicate vijiko4-5 vya chakula
Hatua 5
Baada ya kukoroga utapata uji mzito ambao utapelekea
kwenye mould.
Mahitaji:
Caustic soda 450g
Mafuta lita 1na nusu (1 ½)
Korie,
Nazi,
Mawese
Sodium silicate
Gelcerine
~ 40 ~
Cd E
Perfumu
Soda ash.
JINSI YA KUTENGENEZA:
HATUA 01
Changanya Caustic soda na maji kisha acha kwa masaa
24maji chupa nne (4) za soda zenye ujazo 350 lita.
Hatua ya 02
Utachukua sodium silicatena kumiminia kwenye
mchanganyiko wako hatua namba 01 hapo juuna kukoroga.
Hatua 03
Chukua mchanganyiko wako tena wa hatua namba 2 weka
kwenye ndoo yenye mafuta na kisha ukoroge.
Hatua 04
Weka rangi ya blue, perfume na baada ya hapo peleka
mchanganyikowako kwenye Mould (UMBO) , weka juani na
uache baada ya muda kidogo. Sabuni yako itakuwa tayari
~ 41 ~
Mahitaji:
Formaline 1 2 lita
Slesi 1 2
Perfume
Rangi
Chumvi yamawe 2kg
Maji 40lita
Beseni
mwiko
Jinsi ya kutengeneza
Hatua01
Weka maji kwenye beseni 40lita
Hatua 02
Weka formaline
Slesi 16 vijiko vya chakula
Rangi
Perfume 5 vijiko au kifuniko 100ml
Hatua 03
Koroga mchanganyiko wakowote kwa mda wa daika 15
Hatua 04
Sabuni yako itakuwa tayari kwa kupakiwa kwenye vyombo
maalum na kwenda sokoni
Mwonekano wa sabuni yako ukiwa umepaki kwenye
vifungashio.
Maji lita 40
Formaline chupa
500ml
Slesi vijiko 16
Koroga
Rangi
Perfume vikio 5
Chumvi 2kg
~ 42 ~
SABUNI YA MAJI
Sabuni hii ni ya maji inafaa kwa kufulia, kuonyeshea vyombo
kusafishia vyumba, vyoo na matumizi mengine mengi.
Mahitaji:
Beseni
Maji 20 lita
Mwiko
Sulphonic acid 1 lita
Soda ash
Rangi
Glycerine
Perfume
chumvi
Jinsi ya kutengenza
Hatua 1
Weka maji 20lita kwenye beseni lako
Hatua 2
Weka sulphonic acid
Soda ash
Hatua 3
Koroga hadi mchanganyikowako uchanganyikane vizuri
Hatua 4
Weka chumvi ya mawe au kiwandani 1kg
Rangi 2 vijiko vya chakula
Glceline 2 vijiko vya chakula
Perfume yoyote mfano, rose, orange, pineaple n.k
Hatua 5
Koroga mchanganyiko wako kwa mda wa dakika 15
Hatua 6
Sabuni yako tayari kwakuhifadhiwakwenye vyombo maalum
na kwenda sokoni.
~ 43 ~
Mwiko
Maji 20 lita
Sulphonic acid 1 lita
Soda ash
Rangi
Glycerine
Perfume
chumvi
Hatua ya 02
Pima maji 1lita kutoka kwenye lita 20 changanya na chumvi
250-300 gram, kama chumvi ni ya mawe acha kwa mda
kidogo hili iwezekuyeyuka vizuri.
~ 44 ~
Hatua ya 03
Andaa Beseni lako au chombo chochote kikubwa kisiwe cha
chuma. Weka sulphonic acid lita moja kwenye beseni na kisha
ikorogo kwa mwiko mrefu au mti.
Hatua ya 04
Weka sles yako kwenye sulphonic acid kisha koroga kwa
haraka haraka.
Hatua ya 05
Weka maji lita 15 kwenye mchanganyiko wako hatua namba
04, weka tena changanyiko wako wa soda ash na maji lita 5.
Jumla itakuwa lita 20.
Hatua ya 06
Weka mchanganyiko wako wa chumvi na maji(lita 01)
kwenye hatua 05. Na kisha pima maji lita 4 zilizo baki. Weka
hatua 06. Kumbuka kwa hatua zote usiache kukoroga.
Hatua 07
weka vitu vilivyobakia ikiwepo rangi, gyceline na marashi
(perfumu). Koroga na mwisho sabuni yako itakuwa tayari
kwa kwenda sokoni.
SABUNI YA UGA
Mahitaji
Sulphonic acid 1 lita
Sodium carbonate ( Naco3) 3kg
Optical Bright 6 vijiko vya chakula
Nasa vijiko 5 vijiko vya chakula
Perfume
Beseni
Mwiko mrefu
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 1
Vaa glofusi, chakuziba pua
Hatua 2
Pima sulphonic acid 1lita
Weka kwenye beseni
~ 45 ~
Hatua 3
Weka sodium carbonate lita 3/ kg kwenye mchanganyiko
hapo juu kisha koronga
Hatua 4
Weka optical brighty 6vijiko
Nasa 16 vijiko
Soda ash
Perfume
Koroga
Hatua 5
Sabuni yako itakuwa tayari kwa matumizi
Beseni
Sulphonic acid
1 lita
Sodium carbonate
(Naco3) 3kg
Optical Bright 6 vijiko
vya chakula
Nasa vijiko 5 vijiko
vya chakula
Perfume
~ 46 ~
Weka maji kiasi 500ml.
Weka Sulphonic Acid `1 lita kwa hali ya taratibu
kwenye maji huku ukikoroga. Rangi itabadilika
kutoka kahawiya na kuwa uji mzito mweupe
Caution/ Tadhari: Always add acid to water and not water to
acid “ikiwa na maana siku zote ongeza kemikali kwenye maji
na siyo maji kwenye kemikali. Kinyume na hapo utakuwa
unajitafutia hatari na kusababisha jina lako kubadilika,
nakutakia hali ya umakinihapa.
Hatua 02:
Weka Optical Bright vijiko 16 vya chakula
Nasa vijiko 5 vya chakula
Weka perfume hadi kupata nakshi unayotaka.
Hakikisha unaendeleakukoroga hili
mchanganyiko wako uwe sawia.
Hatua 03
Weka soda ash kilo 6kg
Sodium metasilicate vijiko 12-15 changanya kwa
pamoja.
Hatua 04:
Acha sabuni yako ipo kwa muda na kisha ifunge kwenye
vifaa ambavyo utakuwa umeandaa. Sabuni yako itakuwa
tayari kwa kwenda sokoni.
9. SABUNI NGUMU:
Sabuni hii inatumika kuondoa uchafu mgumu pamoja na
madoa sugu.
Jinsi ya kuchanganya
Pima maji lita 5
weka sodium hydroxide lita 1
acha mchanganyiko uchanganyike vizuri hadi uanze
kupoa. Ongeza mafuta vipimo (lita) 6 kwenye
mchanganyiko wako huku ukikoroga bila kukoma
hadi dakika 60.
~ 47 ~
Kabla sabuni haijawa ngumu sana, ongeza vipimo 2 vya
kaolin iliyochekechwa vizuri kama kaolini haipatikani
unaweza kutumia majivu ya kuni yaliyochekechwa vizuri
mimina sabuni kwenye kifyatulio na baada ya kuganda ikate
vipande kisha iweke sehemu safi ikauke taratibu hadi ndani ya
siku 12 sabuni itakuwa tayari kutumika.
Maji lita 4
Sodium hydroxide {NaOH} lita1
Mafuta lita 5
~ 48 ~
Kitendo cha kuweka rangi kwenye sabuni unaamua uweke
wakati gani wakati unaanza au wakati wa kumalizia hii haina
tatizo ila inategemea.Mafuta ya mawese huwa na rangi ya
njano,nyekundu kutokana na carotene iliyomo.
Kwa sababu hii ukitumia mawese bila kuharibu carotene
iliyopo unapata sabuni ya njano na hii ni rangi halisi na ya
asili isiyo na madhara yoyote.
Mahitaji
Majani mabichi yanayo nukia mfano mkaratusi,
limau, michaichai, lavenda
kipimo 1
Maji Lita 1
Unga wa sabuni iliyotengenezwa zaidiya wiki 8 kilo 5
Asali vijiko 3
Jinsi ya kuchanganya
Changanya vitu hivyo kwa pamoja taratibu chemsha
mchanganyiko huu hadi uwe kitu kimoja, hii ni nzuri
ikifanyika kwenye jiko la jua itasaidia kupunguza kiwango
cha mvuke utakao toweka wakati wa kuchemsha.
Kama huna jiko la jua basi lazima uongeze maji ili kurudisha
katika ujazo wa awali, baada ya kuepua koroga hivyo hivyo
wakati inaendelea kupoa, ikisha poa kabisa hifadhi katika
chombo kisichopitisha hewa ili kuzuia isikauke.
chombo kizuri ni cha kioo, plastiki au ka
~ 49 ~
*SURA 04*
UTENGENEZAJI WA
MISHUMAA/SHAMPOO
UTENGENEZAJI WA MISHUMAA
Mahitaji:1Paraffin Wax
2.Utambi
3.Mould (Umbo)
4. Stearine au mixture
5.Rangi
6.Jiko la mafuta ya taa au mkaa.
7.Sufuria.
8. Boric acid.
1. Paraffin Wax :
Hii inatokana na nta na sega ya nyuki iliyo
changanywa na mafuta ya taa. Ina rangi nyeupe na
katika utengenezaji wa mishumaa ina ubora kuliko bee
wax.
Bee Wax:
Inatokana na masega ya nyuki yaliyo changanywa na
mafuta ya petroli na diesel na rangi yake ni ya njano.
~ 50 ~
STEARINE
Hii dawa maalumu inayo fanya mishumaa iungane ama
ishikamane vizuri na kuwa imara zadi
~ 51 ~
BORIC ACID:
4. RANGI:
JINSI YA KUTENGENEZA:
Hatua 01
Andaa maumbo (mould) ya mshumaa kwa jinsi
upendavyo kwa ubunifu unaouhitaji
Hatu,02,kuandaa,Utambi
Chukua Boric Acid vijiko 5 vya chakula,changanya na maji
vijiko 4 vya chakula,Koroga kwa mdaa wa dakika 5,na kisha
tumbukiza utambi wako ukae kwa mdaa wa dakika 5,Anika
ukauke.Sababu ya kufanya hivi ni kutengeneza UTAMBI
wako usiishe haraka na usitoe Moshi,na ndio kazi ya Boric
Acid.
Hatua 03
Ukiwa umeshaandaa maumbo yako ya mshumaa (mould)
chukua utambiwako weka katikati ya chombo chako kwa
kushikiza na ute wa mshumaa,funga utambi wako juu ya
chombo kwa kijiti hii itakusaidia utambi wako usikae
pembeni.
Hatua,04
Washa jiko lako na,weka sufuria jikoni chukua Paraffin wax
kilo 1,sterin vijko 4, rangi na ikifuatiwa Perfume kijiko
1(rangi na perfume kama ukipenda)wakati mchanganyiko
~ 52 ~
wako unayeyuka koroga taratibu kuhakikisha mchanganyiko
wako umechanganyika vizuri,epua na anza kumimina
mchanganyiko wako kwenye maumbo yako,weka sehemu
yenye kivuli na baada ya kuwa mchanganyiko wako
umeganda,ondoa mshumaa taratibu kutoka kwenye maumbo
yake.Hivyo mshumaa wako utakuwa tayari kwa kutumia na
tayari kwa kwenda Sokoni.SIMPRONELA ;hii ni perfume na
pia ni dawa ya kuua mbu,waweza kuweka kwenye
mchanganyiko wako wa mshumaa ili kuboresha bidhaa yako
na kuwavutia watumiaji/wateja wengi.
UTENGENEZAJI WA SHAPOOO:
Ni sabuni maalumu kwa ajili ya kuonyeshea au
kusafishia nywele, kwa asilimia kubwa wadada, mabinti
na wakina mama ndio watumiaji sana wa bidhaa hii. Pia
hata wakaka na wababa ambao wanapenda nywele zao
kuwa safi nanadhifu.
Jinsi ya kutengeneza shapoo kuanzia 10lita
Mahitaji
Maji
Sulphonic acid lita 1
Slesi 1kg
Chumvi ya mawe 2kg au sodium sulphate
Glycerine 1 4 kilo
Formaline 1 4 lita
Rangi 1 kijiko cha chai
Perfume 1kijiko cha chakula
Maji lita 10
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 1
Chukua maji 10 lita
Weka slesi
Chumvi au Naso4 (sodium sulphate) 2kg
~ 53 ~
Hatua 2
Hatua 3
Weka
Glycerine 1 4kilo
Formalin 1 4 lita
Perfume 1kijiko cha chai
Hatua 5
~ 54 ~
******
~ 55 ~
******
*SURA YA 05*
Mahitaji
Ubuyu 2kg
Maji vikombe 2 vya chai 200ml
Rangi ya chakula vijio 2 vya chakula
Sukari 2kg
Radha ya chakula/ vanilla
Pili pili manga
Iriki
Jinsi ya kutayarisha
Hatua 1
Hatua 2
Hatua 3
Hatua 4
Hatua 5
Hatua ya 6
Karanga kg 1
Sukari 1 4 robo
Mayai 3
Mafuta ya kupikia
Chumvi 1 kijiko cha chakula.
~ 57 ~
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 01
Hatua 02
Hatua 04
Hatua 05
~ 58 ~
******
~ 59 ~
*SURA YA 06*
MPANGO:
~ 60 ~
Mipangoni mchakato wa namna ya kutimiza malengo, kwa
kubuni na kubaini kanuni na njia mbalimbali ya namna ya ya
kuyafikiahayo malengo.
Kuyaorodhesha,
Kubuni kanuni,
Kuweka ukomo wa kuyatimiza,
Matarajio au matokeo,
Chinese Proverb.
~ 63 ~
03. Kufanikiwa:
~ 64 ~
Mfano:
(i)Jina:
(ii)Aina ya Biashara:
~ 65 ~
(v) Tathimini ya soko:
(vi) Ushindani:
~ 66 ~
mgahawa, cafeteria, au unampango wakumiliki ainisha namna
ambavyo utatumia mbinu kujua uwezo wa wafanyakazi wako.
03.Hitimisho:
NB: wakati mwingine siyo muhimu kila mtu ajue huu mpango
biashara wako, wanaweza wakafahamu watendakazi wako tu,
au mtu wakaribu yako zaidi na siwatu baki. Kwa nini kwa ajili
ya usalama wa wazolako.
~ 67 ~
Mfano wa Fomu ya mpango biashara (Business plani):
Jina............................................................................................................................
Aina ya biashara..........................................................................................................
Historia ya biashara na
maendeleo.......................................................................................................................
.........................................................................................................................................
Huduma/bidhaa.............................................................................................................
.........................................................................................................................................
Tathiini ya
soko.................................................................................................................................
.........................................................................................................................................
Ushindani........................................................................................................................
Ufanyajikazi.................................................................................................................
Usimamizi na utawala.................................................................................................
Uwezo wa wafanyakazi................................................................................................
Matatizo na utatuzi......................................................................................................
Hitimisho.......................................................................................................................
.................................... .................................................
~ 68 ~
SURA YA 07
*HITIMISHO*
01 USHAURI KUTOKA KWA MWANDISHI:
* Hatu wezi kufanikiwa kwa lolote kasipo kuweka tegemeo
sehemu ambapo tunapata msaada katika mambo yote.
Mwenyezi Mungu ni tegemeo na kimbilio kwa kila mtu. Yeye
ndiye aliyeziumba mbingu na nchi na vitu vyote, Uhai, afya
yeye ndiye atujaliaye. Kama unaumwa unaweza kufanya kazi
ya kuzalisha Mali? Kwa hiyo tunaitaji afya na uzima na
Mungu ndiye mtoaji.
~ 69 ~
*Nampenda sana mtu aitwaye Maya Angelous anaoushauri
mzuri kwa ajili yako wewe ambaye unatamani kuyasogeza
maisha yako kutoka hatua uliyopo hadi hatua nyingine yenye
mafanikio. Katika mafanikio Maya Angelous anachokiamini
ni ya kuwa.
“Success is liking yourself, liking what you do, and liking how
you do it” akiwa na maana ya kuwa – “Mafanikio ni
kujipenda wewe, kupenda unachokifanya tena kwa namna
unavyofanya”
Maandalizi yako,
Kufanya kazi kwako kwa bidii,
Kujifunza kutokana na makosa.
~ 70 ~
Mambo haya matatu kwa wewe unayetaka kufanikiwa ya
nukuu (ya andike) yatakusaidia mbele ya safari yako.
****************
~ 71 ~
MAANA YA MANENO YALIYOTUMIKA:
Yapo maneno na chemikali ambazo kiuhalisia yakupasa
uzijue pia kwa undani wake kidogo maana nawakati
mwingine matumizi yake msomaji ili ikurahisishie katika
ujifunzaji na kujifunza karibia kila kitu kina maana yake.
Caustic soda:Kaustiki soda, ni kemikali poda inauwezo wa
kuchangayika kwenye maji na kutengeneza mchanganyiko
kamili (dissolving substance, it soluble in water). Utumika
kutengenezea sabuni ya mche (kipande) kazi yake,ni chanzo
cha kuwezesha povu kutokea, kuondoa uchafu, kuunganisha
maji + mafuta kuwa kitu kimoja. Caustic Soda ndio chanzo
kikuu kupata sabuni ya mche au kipande.
Cd E:Kirefu chake ni coconut die emide, (imetengeneza na
zao kubwa la nazi. Kazi yake ni kulainisha mikono utumiapo
sabuni, pia isichumbue mikono. Haina tofauti na matumizi ya
glycerini,
~ 73 ~
Optic bright: Ni chemikali ambayo ipo katika hali ya chenga
chenga nyeupe, blue na wakati wingine nyekundu kazi yake
nikuleta nakshi na mwonekano mzuri katika sabuni ya unga.
~ 74 ~
Rejea mbalimbali:
Dr. Didas Lunyungu, (2012).MJASIRIAMALI KWANZA.
Mbagala Dr Live, Jijini Dar es salaam. Tanzania
~ 75 ~
VITABU VINGINE AMBAVYO
AMEANDIKA MWANDISHI:
Mawasiliano:
Email: linussiwiti12@gmail.com,
Facebook:linussiwiti,
~ 76 ~