Professional Documents
Culture Documents
Tangazo La Ufadhili 2019
Tangazo La Ufadhili 2019
Tangazo La Ufadhili 2019
Ufadhili huu ni kwa ajili ya kulipiwa ada ya mafunzo (Tuition fee), pamoja na posho ya
utafiti pindi mwanafunzi anapokuwa kwenye kipindi cha kufanya utafiti kama sehemu ya
mafunzo yake (Dissertation Allowance). Malipo ya posho ya utafiti yatazingatia viwango
vilivyopitishwa na Wizara.
4. Mwombaji awe amefanya kazi kwa muda usiopungua miaka miwili baada ya kuajiriwa
serikalini.
Imetolewa na:
Katibu Mkuu,
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Mji wa Serikali Mtumba,
Barabara ya Afya,
S. L. P. 743
40478 DODOMA
18/10/2019